Language: Military Swahili

Book: Mark

Mark

Chapter 1

1 Hiyi ni nwanzo wa injili ya Yesu-Kristu, mutoto wa Mungu. 2 Kufwatana na kitabu iliandeka nabii Isaya: « Angaliria, mina matuma mupasha habari kwako sababu ya ku watengenezea njia zao. 3 Nakulikuya saute ya mutu moya mu pori ilianza kulalamika:"mutengeze njia ya mafalme; na muyi nyoloshe ma njia.» 4 Yohane aliubiri katika pori aliba batisa ku ubatizo ya kutubu zambi na kuomba usama. 5 Na iuchi ya ba yuda na majama ya yerusalema walikuya mbele yake. Na bari ba batisa kwake ye ye mumutone ya yondani, kwa kutubu makosa zao. 6 Yohane alivala nkochi ilikuya na manyonya ya mpunda na arwala mushipi ya ngoyi mukifuno yake na arianza kuria ba mpanyo na kunua ya mu pori. 7 Ariwa hubirina kusema: « ule eko nakuya ku mukongo yangu, ekona nguvu ya kunishindiya, na mimi sistahili kwa kukujama ju yakufungula nkamba ya bilato yake. 8 Namina mibatisa kwa maji, lakini yeye ata mi batisa batisa kwa roho mutakatifu. 9 Na kwa masitu ile Yesu arikuya ku nazareti na ku golilaya, aribatizwa kupitiya yahone ndani ya mutoni wa yordani. 10 Sawa vile Yesu alikoto mu mutoni na ariona mbungu kufunguliwa na roho mutakatifu vinushukiya jiwa. 11 Na sauti ya nguvu ikatoka kumbingu na kusema:« Huya ni mwana wangu mupenda na anani furakiya». 12 Kisha roho mutakitifu vi musukuma kumupe leka mupori. 13 Na alikuya mupori masiku makumi ine, na kujaribiwa. Na arikuya pamoja na wa nyama wa mupori, na wa malaika wa ku muchunga. 14 Kisha yohane barimufunga, na yesu aringiya mu golilaya na kutangaza habari ya injili ya Mungi. 15 Na arisena:« wakati inaeneya na ufalme wa Mungu iko karibu Mutubu na mu amini injile ». 16 Na aripata pembeni ya bahari ya galilaye, na armaona simoni na Andrea nduku yake ya simoni, wa katuya makila ndani ya bahari, nabarikuya batu ya kuloba samaki. 17 Yesu akawambiya:« kuyeni muni fwate na mita mifwanya kuwa walobaji wa watu». 18 Na wakati ile, wariacha makila na kumufwata. 19 Wakati Yesu alipita kiloko kwa mbori, na arimu ana yakobo Yakobo mwana wa zebedayo nakisha yake alimuona Yohane nduku yake. 20 Kisha aribayita na bari mwacha baba yabo zebedayo ndani ya muntumbu na ba fwanya yake. kisha babarimufwata. 21 Na walifika muji wa kapernaumu wakati ya sabato, Yesu arienda kwingiya mu sinagogi na arianza kufundasha. 22 Barianza kumushnga kwa mafundisho, na aribafundisha sawa mumoja ule arikuya na mamlaka apana sawa benye bananjikaka. 23 Nawakati ile kurikuya mutu moja mu sinagogi arikuya mapepo mubaya, alianza kulalamika. 24 Naku sema « t uko uka namambo kaninaweye, Yesu wa nazareti? naunaluya kutu haribu? Na juwa vile uko. roho mutakatifu wa Mungu!» 25 Yesu auamu tosha ma mpepo muchafu nakusema«munya maze kima na mutoke!». 26 Na mampepo mubaya irimutupa chini na iritoka yote na kulalamika kwa saute ya yulu. 27 Na batu bari shanga na bariulizana mu moja kwa mumoja«Hiyi ni nin? mafundisho ya sasa na mamulaka? na ana amurisha ma mpepo muchafu na ika mutii!». 28 Na habari ike sambelala jimbo yote ya galilaya. 29 Na kisha kutoka kusinagogi, waliingi ya munyunta ya simoni na Andrea, barichangana tena na yakibo na yohone. 30 Sasa mukowa simoni arilala, arikuwa mugonjwa wa homa, bakisema ju yake na kumwambiya Yesu. 31 Kisha arikuya, na magonjua ya maungu moto arisha na aka wa saidiya chakula. 32 Kisha mangaribi jua iriingia, baka mubetea bale bote barikuya na magonjua mbarimbari na benje kushikwa na mapepo muchafu. 33 Migini yote ilichangana pa mulango. 34 Aripoponyesha bate barikuya na mago ujua mingi na kufukuza mapepo muchafu. 35 Aulamuka busubuyi sana wakati ya ka bushiku kidogo; atitokama na arienda fazi ya ye moya ku omba. 36 Simoni na bate arikuyanabo walimutafuta. 37 Barimukuta na bari mwambiya:«watu wote wanakutatu» 38 Na anasema:«Tewendeni fazi ingine, inje ya vijiji inakuya ya kanda kanda kusudi nipate kuhubiri huko nako Njo kwama nakuya apa » 39 rienda kuhubiri kwa galilaya muzima, kuhubiri tena mu masinagogi yao, nakutosha mapepo muchafu 40 Na mugonja wa utama moja arikuya kwake. kumuomba ;Na kumupikia makumwambiya:«Kama utaya penda utaweza kunitunza niwe safi» . 41 Arimusikiriya huruma, Yesu arinyolosha mukono wake na arimugusa, na kusema:«nanitaka uwe safi». 42 Na pale pale ugonjwa wa ukoma ulitoka na aka kuya safi. 43 Yesu ana musopesha na kumuondowa. 44 Ana muonesha: Angoria usimwambiye mutu ata neno yoyote, lakini ukajioneka nishe mbele ya kuhani, na ulete sadaka ya utakasa kama vile musa aliongoza, sawa ushuhuda yabo». 45 Lakini aritoka na akaanga kubambiya kwakila mu majo nakupaza saute ya neno la Mungu sawa vile Yesu hakupasha kuingiya kwa wepesi kwa kila mjini. kisha akabakiya inje kukipande ye yeye peke na watu walikuya kwa vipande vyote.


Chapter 2

1 Kuka pita masiku kidogo, Yesu akarudiya Kapernaumu, batu bote baka juwa kama eko ndani ya nyumba. 2 Batu mingi sana bali kuwa ba ki kusa nyika pale, aku kuwa tena fasi, tii na mbele ya mulango, na Yesu a ka anja hubiri. 3 Na kuka kuya ki kundi kya batu na mugonjwa wakulekeya mikulu; batu ine balikuwa ba ki mubeba. 4 Ba kakuta batu ba likuwa bamingi sana, na aku kuwa njiya ya kuingiya na mogonjwa, wala kumusogeleya, Yesu, wa ka tosha linjanja yulu ya nyumba, na ba ka mushusha mugonjwa na kitanda kyake pale Yesu a li kuwa wa ku sibama ndani, kati kati ya batu. 5 Wa kati Yesu ali ona bukubusa ya imani yabo, aka mwambi ya mugonjwa mwenye kulala pa kitanda , "mu toto yangu, jambi ya ko ina samehewe". 6 Lakini ba handikaji ba ka shangala sana ndani ya ma roho yabo. 7 Ba ka anja kusema, mutu ana weja kutosha mutu mwingine jambi? uyu ana ona jarawu Mungu, bila Mungu kuko tena mutu ata weja kuhurumiya batu jambi? 8 Yesu aka juwa mawajo iliku wa ndani ya maroho yabo, aka sema, "juu ya nini muna waja ivi ndani ya maroho yenu? 9 Mambo ya nguvu iko wapi? kama ni ka sema na mutu, jambi yako ina malijika, na kusema na mutu si bama! kamata kitanda kyako kwenda? 10 juu bajuwe kama mutoto wa mutu eko na uwejo yaku samehe batu jambi katika Duniya akasema na mugonjwa wa kulekeya mikulu. 11 Na sema na weye: simama, beba kitanda kyako, rudiya ku nyumba yako; 12 Mara moja mugonjwa aka sibama na aka kamata kitanda kyake akatoka inje ya nyumba mbele ya batu bote, na batu ba kashangala sana, na kisha batu bote baka shukuru Mungu, na ba kasema, bado atuyaonaka mambo kama iyi. 13 Yesu aka kwenda tena kutembeya pembeni ya kijiba ya mayi, na batu bamingi bali mufwata, aka anja kuwa hubiri. 14 Wakati wa kupita kwake aka muona levi mutoto wa Alfayo wa kwikala pa bureau ya ba tu ba kulipisha kodi na aka mwambiye "unifwate", aka si bama na aka mufwata. 15 Wakati Yesu ba ka anja kula chakula munyumba ya Levi, batu ya kulipisha kodi, na ba pagano ba mingi balikuwa na kula pa moja na Yesu na bana funji bake, batu balikuwa ba mingi ba kumu fwata. 16 Wa kati ba andi kayi bale bali kwisa bafarisayo, baka ona kama Yesu eko na kula pamoja na ba pagano piye na batu ya kulipisha kodi, baka sema na bana funji bake, juu ya nini Yesu eko na kula pa moja na ba kulipisha kodi tena na ba pagano? 17 Wa kati Yesu aka basiya na aka ba ambiya, kama mutu ana mugonjwa, ata weja ku tafuta munganga, mupaka mugonjwa njoo ata ita munganga, mujuwe kama mimi sikuya kutafuta batu bajuri, kwa la kini nilikuya ku tafuta batu babaya. 18 Batu baka mulija Yesu kwa sababu kani banafunji ya Yohane na bafarisayo ba likuwa ba kifunga chakula, la kini banafunji bako haba fungake? 19 Yesu aka bajibu, kama bwana mwenye ndowa, ana ita batu ku feti ya ndowa, bale batu bana weja kukatala kula chakula? na wakati bwana mwenye ndowa eko pamoja nabo? mujuwe kama wakati bwana mwenye ndowa eko pale, batu ya feti abaweji kulala na njala. 20 Laki masiku ya mbele kama bwana mwenye feti ya ndowa ana kwenda mbali nabo, nabo ba tafunga chakula, 21 Hakuna mutu ata weja kubeba kila ka yanguo ya mupya na aba ndike kunguwo ya jamani, kila ka ya nguo ya jamani na kilaka kipya kitabanduka. 22 Hakuna mutu ata moja ata weja kubeba pombe ya butamu na kutiya ayo muma chupa ya jamani, pombe ya makali ita pasula chupa ya jamani na uta poteja chupa na pombe, weka pombe mupya ya butamu muma chupa ya mupya. 23 siku ya Mungu, Yesu aka pita na bana funji yake ku ma shamba ya ngano, bana funji bake ba ka anja kuchu ma ngano. 24 Na bafarisayo ba ka mwambiya, angaliya, bambo mubaya bana funji bako beko na tenda leo siku ya Mungu, bana vunja sheriya ya siku ya Mungu? 25 Yesu aka anja kubajibu, hamu kusoma mambo mfalme Davida ali tenda wakati ali kamatiwa na njala, yeye na batu bake bote? 26 Na muna alingiya kateka nyumba ya Mungu, wa kati Abyatari alikuwa mu kubwa wa kanisa, Davida ali beba chakula ndani ya kanisa na sheriya ya Mungu ili kataja kabisa, mutu wote aweji kula chakula ya kutole wa ndani ya kanisa, mpaka bachungaji ya kanisa, lakini Davida ali kula na akapatia batu bake bote? 27 Yesu aka sema, siku ya Mungu ili fanyijiwa juu ya mutu, la kini mutu aku fanyijiwa juu ya siku ya Mungu. 28 Muja we kama mutoto wa mutu ni mu kubwa kupita siku ya Mungu.


Chapter 3

1 Ali ingiyatena ku synagoga na kule kuli kwa mutu wa mikono ya kukauka. 2 Batu bengine balikuwa na kumwagalia kwa akili dju ya kwana kama anaweza ku baponesha siku ya sabbatu. Dju yaku mutshonge 3 yesu akamwambiye mutu wa mikonoya ku kauka ivi: " lamuka na simama apa kati kati". 4 Kicha, Yesu akambiya batu: " ina rusiwa ku fanya mujuri wala ma baya siku ya sababu ku poneshe maisha wala kuua?". lakini baka bakiya kinua 5 akabangalia kwa kisilani; ma kuhuzunika kwa sababu ya roho yabo na aka mbiya mutu: " nyorasha mu komo yako" aka nyorasha na yesu akamuponesha. 6 Mara moya , Bafarisayo bakatoka inye baka pana shauri na Herodia baka fanya mapatano mu baya kwa sababu bamuua 7 Kisha Yesuna bana funzi yake baka enda ku mayi na batu ba mingi ku to keya galilaya na ku yuda , 8 na ku Yerusalemu, na kutoka idu ma ya na mbele ya Yorodani na kuba jirani ya Tiro na Sidoni; batu ba mingi, sabali yuwa benye ilikuwa na fanya baka ku ya kwake . 9 Aka ambiya banafunzi yake ba jenge mutu mbu dju yake , dju ya batu mingi, dju isi katike. 10 Dju alikwa na ponasha batu nba bamingi, mpaka gisi bote benye balikwa na malasi baka penda ku mu sogeleya dju ba mu guse. 11 Wa kati mapepo mubaya ili baona, balianguka chini pempeni yake nakulala mika, " uko mutoto wa Mungu". 12 Aka bambiya basi mufamilishe 13 Aka ponda yulu ya mulima ,na aka baita benye ali penda , na ba kuye karibu yake . 14 Ata tshaguwa kumu na mbili ( benye alikwa na ita mutanu) dju ba ku we na ye na abatu me kubiri. 15 Na uwezo ya kufuza pepo mubaya. 16 Ata tshagu kumi na mbili: Simoni, muenye alipatiya jina ya Petro; 17 Yakobo mutoto wa zebedayo na Yowane ndugu wa Yakobo muenye alimupatiya jina ya bonagesi, yenye ina manicha mutoto wa radi. 18 Na Andrea, Filipo, Barholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mutoto wa Alfayo, Thadyo Simoni mutu wa Kanaana. 19 Na Yuda Iskarisote mwenye ali mupana (ku mujicha) 20 Kisha akaenda ku nyumba, na kikundi kia batu ( batu mingi) bali kutuna na bakaenda pa moya tena . mpaka aba ku weza na kukula tshakula. 21 Wa kati familia ya ke ili na sikiya iyi habari, bakaenda ku mukamata, dju alisema : "Ana akili" . 22 Benye banandi kaka ( waandishi) benye balibalitoka Yerusalemu baka sema : " bana mu pakala ma pepo kwa beelze buli na ni kwa mtawala wa mapepo mubaya 23 Yesu akaba ita karibu yake na akaba mbiya ku mifano : " na munagani shetani anaweza ana weza kufukuza shetani? 24 Kama ufalme moya ina jigabula ayo peke, ufalme moya ina jigabula ayo peke ufalme iyi aiwezi kusima matena. 25 Kama inagabuliwa yenyewe aiwezi kusima ma matena 26 Kama shetani ana jisima mia ye mue nye we, ata jigabula , ata simmama na ata malizika(ataisha). 27 Lakini akuna ata mutu moya mwenye ana weza kuingiya ku nyumba ya mutu wa nguvu kwanza 28 Niko na bahambiya bya kuli sasa : " Zambi yote ya batu bata isameya pamoya na masemo mabaya. 29 Lakini maseno mubaya dju ya roho muta katifu abata isa meya na ule mutu ata kwa na Zambi ya milele . 30 Yesu aka ba mbiya dju balikwa na sema: " iko na pepo mubaya " 31 Kisha maman na ba ndugu ya bali kuya na bali simama inje ,baka tuma mutu dju aende kumu muita. 32 Kikundi ya batu balikala karibu yeka na baka mwa mbiya: " maman yako na ba ndugu ya biko inje na bana kutafuta". 33 Yesu akabaka ji biya : " nani maman yangu na ba ndungu ya ngu" ? 34 Sa alimaliza kwanga liya benye balikwa na muzunguluka, aka sema: " muo ngaliye ! muone maman yangu na bandugu ya ngu . 35 Ulewote mwenye ata fanya mopenzi ya Mungu, ule mutu ndjo ndugu yangu ndjo dada yango na ndjo maman ya ngu"


Chapter 4

1 Arianza kuwa fundisha tena kupembeai ya ba hari. Namakutano mingi bali muljunguluka pembeni yake; nayeye arikuya ndani ya butumbu kati ya bahari mwenye kuikala. nakikundi kia batu kilikuya pembeni ya bahari. 2 Arianza ku bafundisha mafundisho mingi kwa mifano, na arisema hivi mu mafundisho yake. 3 Sikiyeni, mipendaji aritoka na kwanza kupanda mbegu. 4 Na wakati ariakupanda mbegu. Mambego ingine, iri auguka ku pembeni ya njia, na ba ndeke bakayaribisha. 5 Na mbego ingine muma yibwe mule hamukukuwa bulongo mingi. Ilitoka pale lakini hayikukuwa na udongo muzuri. 6 Nawakati jua iretoka, ikakauka na kulunguwa sabata ya kukosewa mizizi. 7 Na mbego ingine ilianguka fazi yamiba. Nakupandishwa kwa miiba na hayikuzala matunda yayote. 8 Na mbeko ingine ilianguka pa bulongo muzuri na inazala matunda na inaongezeka makumi ine kupita ingine makumi sita na ingine mia. 9 Na akisema, «ule anakuya na mashikio, ashikiye». 10 Wa kati arikuya peke yake, na bale barikuya karibu na yeye, pa moja tena na watumishi wake waka muuliza sababu ya mifano. 11 Kisha ariwambiya; «Kwenu mweye munapewa uficho ya ufalme wa Mungu. Na bale ba inje bata semewa kwa mifano. 12 Bana ona, lakini abaone, bana shikiya lakini aba shikiye. Na kama ba narudia kwa Mungu na ata ba hurumia. 13 Na anawambiya: «ju nini hamuelewe hiyi mfano? na muta wez kuelewa mifano ingine?» 14 Mupandaji eko na panda neno. 15 Na ingine ninile irianguka ku pembeni ya njia kule neno bariipanda, hata shetani alikuya ku yitosha neno iripandiwa. 16 Na ingine bari ipanda mu mayibwe, nibale bana shikiya neno kwa wepesi na furaha. 17 Na abana ata na mizizi ndani yao, lakini bana ivumiriya kwa mashiku mfupi. Wakati yamateso ya nguvu sana na kuteseka kwa sababu ya neno ya Mungu abata shimama. 18 Na ingine baripanda katika niiba, barishikiya neno. 19 Lakini masumbufu ya dunia, kudanganiwa kwa makuta, na tamaa ya mamboyabo inawasonga kwa neno ya Mungu, na inashinda kuzala matunda. 20 Na wale bana yipanda pabu longo muzuri. Bana ishikiya neno la Mungu, nabana ipokeya na ina zala matenda ma zuri; wengine makumi tatu, wengine makumi sita nanwengine mia moja. 21 Yesu akabambia: «Unaweza kukoma tala ndani ya nyumba na kuyiweka chini ya kitunga, ao chini ya kitanda, naulite kwa ndani, nakuiweka juu ya meza». 22 Hakuna kitu kyote kya kufichama ambacho akita weza kujulikana geupe, na hakuna mabo ya kufichama hayitaweza kutokeya wazi? 23 Na mwenye kuya nasikiyo asikiye. 24 Akabambia «Mukalamuke, kwa kipimo kile muko na pimana noyo njo ile ata mipimiya. 25 Ule eko nayo ata pokea kupita, naule hana na yo batamutosha yote ile ekonayo. 26 Ako bambia: «Ufalme wa Mungu unafwanana na mutu mwenye kupanda mbeyo ku bulongo». 27 Usiku analala, na muchana analamuka, na mbego ika toka na kunea muzuri. 28 Na dunia iritosha matunda peke yayo: kisha ina tosha miti, kisha maua na miba. 29 Wakati mbego inaivya inatosha na kuteneza ju kuvuna inakuya karibu. 30 Akabaambiya : « Tulinganishe ufalume wa Mungu na kitu kani? kubambiya?» 31 Nikama mbego ya mutarde, bariipanda ya kiloko sana kuliko mbego ya dunia yote. 32 Kisha kuyipanda ili komeya kupita kwa kuya mukubwa kushinda miiti ya shamba kwa sababu wa ndege baweke bisangala kwa ile muti 33 Na mingi ya mifano aribafundisha, ariwasemea neno sababu bakuye benye kusikiya. 34 Na aribambia pasipo mifano, wakati alikuya ye moya, aribaelezea ba nafunzi bake. 35 Ile siku mangaribi inafika, akabambia hivi: «tuirike ngambo ingine». 36 Kisha kinkundji ya wana funzi barienda na Bwana Yesu kwa sababu barikuya tayari ndani ya butumbu. Butumbu mingi ilikuya pale. 37 Na wakati pepo mukubwa irishimama na mayi ikaa tomboka. 38 Lakini Yesu arikuwa wa kulala kisha bakamu sha, bakisema, mwalimu tuna kuya muhatari. 39 Na akalamuka, akanyamazisha pepo, akasema na bahari ikuye kimia na pepo ika nyamaza nakukakuya amani kabisa. 40 Akasema nabo kwanini muko naogopa? Kwa nini muna imani kidogo? 41 Baka ogopa sana na bakasema babenyewe huyu ni mutu wana muna gani? Ata pepo ya bahari ina mutii?


Chapter 5

1 BIlifaka upanda mxengine wa bahari, ndani ya muji wa Gerasi. 2 Kwa nala malamoya Yesu alitoka ndani ya mtubu, na mtu ya mapepo mingi alikuya mbele yake kisha kutoka ku makaburi. 3 Uyu mtu alikuwa na bakiya ku makaburi. A kukuwa ata mtu mumoya waku muweza, hata ku mufunga na makamba ao minyororo. 4 Uyu mahisha yake alikuwa nama kamba ao minyororo na machuma ku migulu yake. Lakini alikuwa nayi kata sana na kuvunja ile machuma. a kupatikana ata mtu wa kumu weza. 5 Usiku na muchana, alikuwa mu makabwi na ku milima. Alikuwa na lalamika sana na kujika ta kataka bilonda na ma fiwe. 6 Waka ali ona Yesu kumbali, aka kimbiya mbiyo sana nna kupiga magoti mbele yake. 7 Aakalala mika tena sana na sawuti ya nguvu: "Nini yenye weye na miye, Yesu mwana wa Mungu aliye ju sana? "Nime kulomba kwa jina la Mungu, usini sumbwe". 8 Sababu alikuwa na mwambiya, " mtake ndani yake mapepo buchafu". 9 Na Yesu muwuliza: Jina na yako ni nani?" Aka mujubiya, " jina yangu ni legioni, sababu tuka ba mingi". 10 Tena wali mu lomba asibatume kufasiya ku kawuka. 11 Hile hile wakati kikundi kubwa ya ma ngulube ili kuwa na kuliswa ju ya mulima, 12 Waka mulomba abatume ku ma ngulube, tu ingie ndani yao. 13 Na Yesu aka ba ruusu, mapepo ika mutoka uyu mtu na kuingiya kwa ngurube. Na ma mangurube ika kimbiya taka chini ya mulima mupaka bahati na balikuliwa ngurube karibuni elfumbili ilizama ndani ya balali. 14 Ba chunga nguruwe baka peleka abari ndani ya mungini na mihani karibu karibu yote ilipikana na batu mingi balikuya ju baone bienye bilipitana pale. 15 Wlaikuya kwa Yesu, na wakati baliona mtu mwenye alikuwa na mapepo mbele (jina legioni) ana ikala, tena ana vala na akili yake, wali shanga sanga. 16 Benye baliona yenye ilifanikana na mtu wa papepo baka ambiya bale benye balikuya yote ilifanyikane na maneno ya ngutrube. 17 Tena waka mulomba Yesu sana atoke mu mugine yabo. 18 Vile ni Yesu alikuwa na ingiya ndani ya mutumbu, mtu wule alikuwa na mapepo, ali mulonma aende naye pia. 19 Lakini Yesu aaku mu itikiya, me aka mwambiya wende ku nyuma yako karibu ya batu yako na ubambambiye yote yenye Mungu ana kufaniziya na uruma yenye akaku onesha. 20 Kisha akaenda na akatangaza makubwa yote yenye Yesu alifanya ju yake ndani ya Dekapoli, na kila mtu ali shangaa sana. 21 Wakkati Yesu alikuya ngambo ya mayi kwa mutumka batu ba mingi bali shangana pembeni yake na bali kuwa bana simama pembeni ya mayi. 22 Mumoja wa ba ongozi ba sinagogi, jinalake Yairo, alifika pale na wakati aliona Yesu, ali jitupa chini ya migulu yake. 23 Na akamuomba sana , na kusema " mutoto wangu ana taka kufa" samani kuya na umutiliye mikone, apate kusikiya muzuri na kuponya. 24 Kisha Yesu alienda naye na batu mingi sana baka mufuata te na baka kuya mbele yake. 25 Kumbe, kulikuwa mwana muke alikuwa na gojwa damu kutoka miaka kumi na mbili. 26 Aliteseka sana kumikono ya baminga nya mingisa sana. Na alipoteya yote alikuwa nayo lakini ayi kubalika, na ilikuwa tena nguvu sana. 27 NA aka sikiya biko na oneya ju ya Yesu kisha, ali muzogeleya Yesu kinyume wakati alikuwa natembeya na kundiyaa ya batu mingi na aka gusa nguwo yake. 28 Ju alikuwa na jisemeya, "niki gusatu ma nguo yake, nita ponya". 29 Sa aligusa tu na damu ika isha kutoka, na aka sikiya ndani ana ponya kwa ugojwa. 30 Kwa mbiyo Yesu alisikiya nguvu moya ina mutoka mu mwili, na aka gewuka mbele ya mukutano na aka wuliza, " nani ana gusa nguwa yanfu?" 31 Na mitume bake mujubiya, "Una ona kundi kubwa ambaye inaku songa, kisha una sema bana ni gusa?" 32 Lakini Yesu ali angaliye pembeni yake ju ajuwe kama na ninjo alifanya vile. 33 Mwana muke alijuwa yote ili mufikiya, alikuya na boga sana na kuteteneka mbele yake. Na kujitupa chini mbele yake Yesu na aka sema ukweli yote kabisa. 34 A ka mwambiya " Binti wangu, imani yako inaku ponya. Wende na amani na uponye na magonfwa oyako yete". 35 Wakati alikuwa na sema naye, batu balifika toka ku nyumba ya mkubwa wa sinagogi na kusema: binti wake amekufa. Kwa nini una endelesha ku sumbuwa mwalimu?" 36 Usi ogopi asema Yesu kwa mukubwa wa sinagogi. Kuwa tu na imani. 37 Ali kataliya bote basimu fwate, kutosha Petro, Yakobo na Yowani, na ndugu yake na Yakobo. 38 Balifika ndani ya nyumba ya mukuu wa sinagogi. Yesu aka ona batu balikuwa makelele mingi sana, bali kuwa na lia na. 39 Kisha kuingiya nyumbani, aka bambiya, "nini yenye mu na changanikiwa na kuliya ivi? Mtoto anala akukufa". 40 Bote bali mucheka. Lakini alibatosha bote inje. Ako kamata tu baba yake na mam wa mtotom, na bale balikuwa naye, na baka ingiya kwenye kuli kuwa mototo. 41 Aka kamata mkona wa mtoto na akasema: "Talitha koum" ambae ina sema, binti (ntoto mwana muke) na sema shimama. 42 Kwa mara moya mtoto akashimama na aka tembeya, ( mahana alikuwa na niaka kumi na mbili). Na bote baka changala sana tena. 43 Na aka bambiya kama ba sipime kwa mbiya mtu mambo aya. Kisha aka mambiya ba mupe chakule akule.


Chapter 6

1 Ina sema ivi: na alitoka kule akaenda ku mungini yake na banafinzi yake baka mufata. 2 Wakata sabbata ili fika , akafundisha ndané ya synagogi . Batu ba mingi balimusikiya nafurasana. Balikamwa na sema: " wapi djo iyi mafundisho?" 3 "Hakiligani bali mupatiya ?" "mhudiza gani iko nafania na mikoma yake. Hauyuwe mfandi mototo wa Maria ndungu ya Yakobo, wa Yosua, Jude na Simona? Ba dada ya abiko apa na shiya ? na aba kuffurahi na Yesu. 4 Na Yesu aka bambiya: " mu mabuawezi kokosa heshima isipokwa ndani ya mugini yake na ndani ya roho ya ndungu yake na ndani ya nyumba yake. 5 Akukuwa na uwezo ya kufanya miujiza hapa , lakini alikuwa na tiya mikono ku kitsha ya bato benye biko banagonjua na ku bapoesha. 6 Kwa miniya yabo ili mu shangaza. Na akaenda ndani ya migini ya pembeni fundisha. 7 Na akaita banafunzi yake kuni na mbili akabatuma mbili ma kuba patiya ma uwezo yulu ya ma pepo. 8 Na akabambiya basi bebe kitu djuya safari yabo, isipokwa mutu moyatu baatshe mi kate, ba atshe mizigo na basi bebe makuta kumifuko ya bo. 9 Ha kini ba kuwe na bilato , na kanzu mbili. 10 Na akabambiya : kila nyumba yenye mutu ingiya ,mu bakiye ndani mpake siku mutu toka ile mugini. 11 Na kama mugini moya bana katala kupokeya wale banakotala kubasikiya, muke ku ile mugini, mu panguze migulu yemu na mutoke ibakiye ushuda kwabo 12 Balitoka naku ubiri kama batu ba atshe Zambi. 13 Bakafukuza ma pepo mingi, na balipakala batu ba mingi benye balegonya mafuta na ba kapona . 14 Mfalme Heroda aka beba ile, kwadju jina ya Yesu ika ina djulikana sana. 15 Bengine balikwa na sema: " Yowane mubatizayi ana fufuka kubafu ma kwasababu ya ile ,ngufu ya midiza iko mu kazi yake." Bengine balisema : "iko Elia " bengine balisema tena : iko mu mubii, sa mu moya waba mabii wa zamani 16 Lakina wa kati Herode aliskiya na kosema "Yowane mwe nye mili kata kitsha a na fufuka " 17 Sababu Herode alifungisha Yowane na baka muinza gereza sababu mwana muke Herodias ( bibi wa mulokoyake Filipo kwa sababu alimuwaa.) 18 Sababu Yowane aliambiya Herode: " hairusheriya kuwowa bibi wa ndungu wako". 19 Lakiru Herode alikwa na bisila ni yake na aka penda ku muuwa likiki akukuwa na uruezo. 20 Dju Herode alikwa na agopa Yowane, alidjuwa kama ni mutu mwema ma mutakatifu, na aka mutshanga salama. Na akasendeleya na kumunikia, na aka sikiya mubaya sana wa kati ile alikuwa na musikiya na furaha 21 Kisha wa kati ili pati kama siku ya kuzalikiwa kwa Herode na akatengeneza tshakula kwa dju ya bakubwa ba mungini yake, baongozi na ba kubwa ba Galilaya. 22 Binti wa Herodias ye mwe nyewe ili ingiya na akatsheza mbele yabo, na aka mufuraisha Herode na bageni bake benye balikuya dju ya tshakula le mufalme anarumbiya binti: "unilomba biote bienye una penda utapata" 23 Na aka mulapiya anasema: yote nyenye uta milomba nita kupitiya, mpaka pa kati kati ya mufulme wa ngu". 24 Akatoka aka mbiya ma man yake : " ni mulombe nini?" na mama aka mujibiya asema : " lomba kitsha ya Yowane mubatizo. 25 Na kwa mbiyyo, aka ingiya kwa mufulme na naku mulomba ivi: " na penda unpatiye apa sasa , ndani ya sahani kitsha ya Yowane mubatizo. 26 Na mufalme aka uzunika lakkini dju alilapa na bageni age pacha ku katala kulomba kwake. 27 Sasa mufulme akatuna askari moya ndani ya benye bana mutshugaka na muongozi dju yaku muleteya kitchwa ya Yowane na askari akalende na kukata kitchwa ndani ya gereza. 28 Aka leta kitchwa yake ndani yasani na kuyi patiya mama yake. 29 Na banafunzi yake bakasikiya habari, balikuya na baka beba muli yake 30 Na wa mutume ba kakatshangana pembeni ya Yesu baka mwa mbiya yote yenye ili pitikana na nakofundusha. 31 Na akabambiya ivi : "mutoke mulende muporikavu na mupumuzike munda kidogo". Dju batubamingi balikawa na kuya na ku rudiya , na akukuwa na pata wakati ya kukula. 32 Kisha na akaenda ku benki moya pembeni ya djangwa 33 Lakini alibaona wa kati balikwa na toka na mingi bali bafaneya dju balikwa pa moya na balikimiya pale bote na mugulu, ku migini yote na bakafika mbele yabo. 34 wa kati balikwana shu ka pembeni ya bari, baka wona batu ba mingi na akabasikilia urama ndju balikwa kama vile bakondoo bila mutshungadi: na aka anza kuba fundisha bitu biamingi. 35 Na kati ilesogeya banafunzi yake baka musogeleya na kumwambiya ivi : apa ni djangwa na ina kwa nyuma sana. 36 Ubarudishe ku mugini baende bakatafute tshakula 37 Aka bajiya ana sema ivi: mye peke mubapatiye tshakula. Baka mwambiya: tu na weza enda kuta futa mikate djuya batu elfumbili na kuba patiya bakule? 38 Aka bambiya ivi: " bipande ngapi yenye mukonayo? mwende na muone. Wa kati baliyenda, bakasema bipande tano na samaki mbili. 39 Aka bambiya batu baikale ndani ya bikundi ku mayani mubiche. 40 Ba kaikala kubikundi ya makumi tano na ya mia moya. 41 Aka kamata bipande ya mikate tano na samaki mbili na akangalia mbinguni, akaibariki nakuyikata kupipande na kwambiya bana funzi yake bagabuliye kikundi ya bato. Nabakagabumlia bote il samaki mbili. 42 Baka kula bote nagisi balishiba. 43 Baka lokota bipande ya mikate, bakagabulayo ndani ya bikapo kumi na mbili inayala na bipande ya samaki. 44 Na balikwa elftano ya batu benye bali kula ile bipande ya samaki na mikate . 45 Kwaraka akambiya banafunzi ya bapande ndaniya mashua dju baende fasi ingine, ku Bethsaida , wakati aliwa na sambaisha makutano. 46 Wakati balienda, akaenda ku mulima djuya kuomba . 47 Magaribi ikafika na mashwa ilikwa kati kati ya mayi na alikwa shini ye peke 48 Na aliba ana kama balikwa na matatizo ya ku simama dju mbele yabo kuli kwa mpepeyo munene. Karibu na asubuyi baka muona iko natembeya yulu ya mayi, na akapenda ku pita karibu yabo. 49 Lakini sa bali muona iko motembeya yulu ya mayi, baliwaza kama muzimu na baka lala mika . 50 Kwa sababu bali muona baka yala na gonga Moramoya akasema mabo na akabambiya: mukwe na bidi ni miye musiogope. 51 Aka rudiya ndani ya mashwa na bo na mupepeya ika katika . Akashagala sona . 52 Kwa iya aba kuyua bipande tano ina manisha nini; kwa balikwa na akili kidogo 53 Sa balivuka ngambo, bakaenda ku mugini genesareti na baka sima misha mashwa. 54 Wakati balitoka ndani ya mashwa, kwa mbiyo baka muyuwa. 55 Bali kimbiya kuenda ku muleteya bagondja bote benye balikwa ku nyumba, kubitanda, fasi yote yenye balikia kama iko na kuya. 56 Fasi yote yenye alingia ku mugini ku mingini, wala kuma inshi alikwa na weka bagonja bote kuma soko na alikwa na batsha ba guse ku manguo yake na batu ba mingi nbenye bali munguo, bali pona.


Chapter 7

1 Siku moya bafarisayi na bahandikayi balitoka Yerusalema bakakuya kumuhona yesu 2 Bakakuta banafunzi ya Yesu beko na kuta chakula bila kunawa mikono. 3 Na sheriya ya bayahuda na ya ba farisayo ina kataza sana kula bilakunawa mikono. 4 Kisha kutoka kusoko aba wezi kula chakula bila kunawa mikono bana eshinuya sana masheriya yabo kama kusukula makopo kusukula ma byungu ya byuma na ba kiti fete. 5 bafarisayo na ba handikayio ba ka muliza Yesu juu ya nini bana funzi bako aba esheniye sheriya ya bayahuda, kwa sababu beko na kula bila kusukula mikono yabo? 6 Lakini Yesu aka bajibu mutumishi wa Mungu Isaya alitabishi muzuri juu yenu mweye batu ba bongo ali andika, na kusema kama batu aba bana eshimiya Mungu ku kinywa bure, kwala kini ma roho iko mbali na Munga . 7 Ba na ni tukuza kwa bongo na bana fundisha sheriya yabo yaba kambo. 8 Bana acha sheriya ya Mungu na kufuta mashimiya sheriya yabo. 9 Bana asha sheriya ya Mungu na kufuta masheriya yabo 10 Na Musa alisema heshimu baba yako na mama yako na ule ata chambula baba yake wala mama yake kwa kweli ata kufa 11 Lakini mweye muko na sema kama mutu eko na pesa ana penda ku saidiya baba yake ao mama yake ana sema pesa nilipenda ku ba saidiya nayo ni ya kanisa (Nikusema pesa yote natowa kwa Mungu) . 12 Na awezi tena kusaidiya baba yake ao mama yake 13 . Muna haribisha sheriya (Amri) ya Mungu juu ya sheriya( Amri) yenu ya bankambo, na mambo mingi, ya mubaya muko na tenda . 14 Akaita tena batu na akasema muni sikiye ! mweye bote , na muni sikilise mujuri. 15 Akuna ata kitu kimoya kyenye ku ingiya ndani ya kinywa ya mutu na kimu haribishe lakinki kile kyenye kutoka ndani ya kinjwa njoo kita musharibu. 16 Tiya akili kuma andiko iyi mwenye kuwa na masikiyo asikiye. 17 Waka Yesu ali toka kati ya batu funzi yake baka mufwata kisha baka muliza aba fasiri ye mahana ya masemo aliye sema . 18 Yesu aka bajibu kwa nini amuna akeli ? Humujuwe kama kitu kiyote kyenye ku kingiya ndani ya tumbo ya mutu akiwezi kumharibu. 19 Kwa sababu aki taingiya ndani ya roho ya mutu, lakini kita ingiya mutumbo na kisha tafsiri iyi Yesu alifanya chakula yote kuwa muzuri . 20 Aka ba ambiya kile kinatokaka ndani ya tumbo njoo kina haribishaka mutu. 21 Ni kati ya roho ya mutu njoo kuko na mawazo mubaya, kuzini, bwizi, kuhuwa. 22 Busharati, tanaa mubaya , roho mubaya bongo kujisikiya bwivu , kujiona kutomboka bu pumbafu. 23 Mambo yote iyi ina toka ndani ya roho ya mutu , na njoo yenye ku haribu mutu. 24 Aka toka pale na akaendaku jimboya tina naSidoni akaingiya ndani , na hakupenda ata mutu moya ajuwe kama eko ndani ya mugini ule lakini habakuweza kumuficha. 25 Ya kushanga mwana muke moya alikuya na mototo mugojwa sana ya mapepo mbaya, aka sik;iya abari ya Yesu aka kuya na aka pika magoti mbele ya Yesu . 26 Na mwana muke uyu alikuwa muyunani ( Grecque ou helema) wa kabila ya kifoeniki ( phenicienne) aka muomba Yesu afukuwe pepo mubaya ndani ya mwili ya mtoto wake 27 Yesu aka mwambiya mwana muke, acha mbele bato to ba kule mbele kwa sababu ahiko muzuri kukamata chakula ya batoto na kutu piya imbwa . 28 Lakini mwana muke aka mujibu na kusema ndiyo bwana, chakula ya batoto yenye kwanguka ku meza 29 Yesu akamwambiya , kufatana na imani yako kwende na amani, pepo chafu inaisha kutoka ndani ya mutoto yako mwana muke. 30 Mwana muke akarudiya kunyumba yake na aka kuta mtoto wake mwana muke wakulala bila nagonjwa na pepo mubaya ina isha ku mutoto. 31 Yesu aka toka mumu gini tino akapitiya mu muigini ya Sidoni njiya ya kwenda kubahari ya Galilaya ,a akafika ku jimbo ya dikapolisi ( decapole). 32 Na baka muleteya mutu asi semake wala asikiyake (bubu), baka muomba Yesu aweke mikano yake mik;ono yake juu yake. 33 Aka mutosha mutu uyu inje ya mugini mbali na batu akaweka bidole yake ndani ya masikiyo yake kiosha aka tema mate akagusa lulimi lwake. 34 Aka angaliya yulu mbinguni, akasema na ku mwambiye "EFATA" ambayo ina . 35 Mana moja babu aka anza tusema na kusikiya mujuri. 36 Aka ba hambiya ba funge siri wala basiseme na mutu mambo iyi, lakini habakuwaza kufunga siri mpaka vile ali bakataza , joo mpaka vile abari ilei tawala kwa batu bote. 37 Batu bote baka shangaa sana bakasema anafanya mambo yote muzuri basipo sikiya bana sikiya na bubu bana sema .


Chapter 8

1 Mu ile siku, kulikuwa kikundi kabambiya batu, na balikosa biakula. Yesu akaita banafunzi yake na anabambia. 2 «Nasikia uruma ya uji ki kundi ya batu, ju balikala wakati mulefu masiku tatu, habana biakukula. 3 Nikaba ruolisha kwabo bila kukula ba naweza kuanguka ku njia na bengine ndani yabo ba natoka mbali sana.» 4 Banafunzi yake bana muliza: «Mikate enyewe itapatikana wa mu iyi fasi ju ya kubakulisha batu aba? » 5 Anabauliza : «Mikate ngapi muko nayo,?» Baka mujibia «saba». 6 Akoambia kikundi ikale chini ku bulongo nyuma ya kumushakuru Mungu na akavunja mikate na anabapatia banafinzi yake ju ya kutia oyo mbele ye kikundi kya batu na bakaitia mbele yabo. 7 Balekwa nabo na nusu ya ndakala, na nyuma anakamaka mikate na ndakala akamushukuru, na abambia banafunzi bakabule na kikundi. 8 Balikula na bana shiba. Na bakalokota bipande enye ilibakia na banaya vitunga saba kalambi. 9 Batu balikuwa karibu elfu ine. Na Yesu akaba barudisha. 10 Wakati alirudia ku masuwa na banafunzi wake, bakaenda ku jimbo la Dalmamuta. 11 Kiisha bafakisayo balimu fwata ma bakaanza kuongea na ye. Banamuliza abapatie alama moyo kutoka mbinguni ju ya ku mupima. 12 Akawaza sana ndani ya roho yake na anasema, "kwa nini iyi kizazi intafuta alama? Kwa kweli, nabambia, hakuna alama enye batapatia mu iyi kizazi". 13 Kisha ana baacha na anaïngia tena ndani ya mutumbu na akaende ngambo ya pili ya baali. 14 Banafunzi balisabu kukamata mikale. Ilibakia kipande moya tu ya mukate dani ya masuwa. 15 Akabapatia angalisho na kubambia: «Fanyeni angalisho na ujanja» (Bukalamusi, Mafanisiyo) ya bafalisayo na ya Herode. 16 Banafunzi bakaji semeleya bao benyewe: «kwa sababu hatuna mukate.» 17 Yesu akatambua na akabambia «Ju ya nini muna sema sema ndani yenu ju munakosa mikate»? Ha muyayuwa? hamuelewe? Roho yenu inakuwa teke teke? 18 Muko na macho, ha muone? muko na masikiyo ha musikie? ha mukumbuki? 19 Wakati milibakabula mikate tena kwa batu elfu tano, meililokota kitunga ngapi ya bipande ya mikate? Waka mujibia: «kumi na mbili». 20 Na wakati mulikabulana mikate saba kwa batu elfe na ine mulilokokate kitungapi. 21 Bakasema «saba». Akabambia "bado" ha muelewe? 22 Bamafika Bethsaida. Batu ya pale ban muletea mutu moja kipofu na bakamulomba Yesu amuguse. 23 Yesu ana kamata yule kipofu na akamubeba inje ya kijiji. Anatema mate ku macho yake na anamutilia mikono, akamuliza: «una ona ka kitu?» 24 Akalamusha macho na akasema: « naona batu banaonekana sa miti enye inatembea». 25 Kisha akanyolosha mikokono ku macho yake, mulu akafungula macho yake na macho yake ika tengemana (macho inaona), na anaona bito yote wazi. 26 Yesu anamurudisha kwake na akamwambia «usiyingie mugini». 27 Yesu alitoka na banafunzi yake na wanaenda ku jiji vya kaiseria ya filipi. Ku njia, akauliza banafunzi bake : «batu banasema niko nani?» 28 Bakamu jibia: Yoani mubatizayi. Bengine banasema, Eliya na bengine umoja Manabii. 29 Akabouliza lakiani nyinyi munasema niko nani? Petro akamujibu: «uko Kristo». 30 Yesu akabambia basi mwambie at mutu moja ju yake . 31 Na anaanza kufundisha ya kakama inabidi mtoto wa mutu ateseke sana kwa mane no mingi, na baongonzi na bakubwa ya makuhani, na batu benye bana ndikako Mandishi, na atakufa na nyuma ya siku tatu atafufuka. 32 Anasema wazi. Basi Petro akamukamata na anaonza kumutombokea. 33 Lakini Yesu aligeuka na kuangalia banafunzi yake na akamutomokea Petro na ku mwambia, Pita nyuma yangu shetani! Haupende maneno ya Mungu, lakini maneno ya batu. 34 Kisha akakutani sha kikundi ya batu na banafunzi wake fasi moja, na anbambia kama kuko mutu an penda kunifata, ajikatale ye mwenyewe, abebe musalaba yake, na anifuate. 35 Kwa sbabu mutu yote mwenye anapenda kuponesha maisha yake ataipoteza, na ule mwenye atapoteza maisha yake ju yangu na ju ya neno la mungu ataiponesha. 36 Mutu atapata faida gani mukupoteza uzima ya maisha yake ju apate yote ya dunia? 37 Nini mutu anawe kupana ju ya ku badinisha na maisha yake? 38 Mutu yote mwenye atenisilikia haya, mu kizazi iki kibaya tena kia ahambi, mutoto wa mutu atamusikia haya wakati atakuya na uwezo pamoya na bamalaika.


Chapter 9

1 Na akawambia kama: kweli watu wengine wapo pamoja na niye, hawatakufa kama hajaona ufalme wa Mungu. 2 Kusha siku sita, Yesu akamata: Petro, yakobo na Yoana, wakaenda wote ku kilima, walipo fika, Yesu kwa maombi yake alibadilika mbelz yao. 3 Manguo yake ikawa mweupe saana kushinda yote hapa ku dunia. 4 Walipo kuwa pale kumulima wakaona Elya na Musa wako wunaongeya na Bwana Yesu. 5 Petro alipo ona Eliya na Musa kuongea na Yesu, akaomba kwa Yesu kama ni vizuri wabaki pale na kuyenga hema tatu, mayo ya Yesu, ingine ya Musa na ngine ya Eliya. 6 Kwa kushangaa, kuogiopa kwa alikosa neno la kusema. 7 Mola walikua pale kikilima, mawingu nkashuka na kuwafinika, pale pale sauti ikasilikama kutoka yuu mbinguni kusema: Huu ni mtoto wangu ninaye mupenda. Musikie. 8 Kiisha ile, mara moya hawakuona tena mtu, Yesu peke yake ndjo alibaki pembeni yao. 9 Wakati wapo wanarudi, Yesu akawapa oola wasiseme na watu maneno waliona kule, mpaka wakati mwana Adam atafufuka. 10 Petro, Yakoba na Yoana watii ile Oda ya Yesu kutokusema maneno waliona, lakini walikwa wakisumulia juu ya kufufuka Yesu alisema. 11 Walimuriliza Yesu: wenge kuandika kama: Eliya akuye mtu wa kwanza? 12 Yesu akawayihi, kweli atakuya wa kwanza, sasa kwa sababu gani inaandikwa mwana wa inafaa upate matso mingi na wanuchukie? 13 Yesu akawaongosha kweli Eliya alishaka kuya na walinufanga gisi walipenda kafatana na maandiko. 14 Wakati walirudi kwenye wengina walibaki, waliona kwa mbali, waliona waytu wengi wako pamoya na wanafuzi pia Masudukayo walikuwa wana bishana nao. 15 NA mara moya, kundi lete lilishanga wakati waliona Yesu, na wote wakaenda kungokea kwa furaha. 16 Pale Yesu alipowasikia, akawauliza kwa nini unabisha? 17 Mtu moya katika kundi akayihu "Mwalimu", naleta mtoto wangu kwako, anayo pepo chafu saana inamkataza kusema, 18 na kimushika na kutetemeka na kumwangusha na kumwangusha chini na kutosha pofu ku midomo yake na kusanga meno. Nilimuleta kwa wanafungi wako hawakuweza kutosha ile pepo. 19 Yesu aliwajihu akisema, " kizazi isipo imani, nitokea nanyi kwa waki gani? wakati gani mtaweza? na akasema bamuletee mtoto kwa Yesu. 20 Walipo meta mtoto kwa Yesu, Roho mchafu wakati iliona Yesu, mara moja ikotia mtoto kutetemeka na akanguka chini na kutosha povu kukimwa yake. 21 Mara moya Yesu akamwaliza babaya mtoto: hui magonjwa ilifanya siku ngapi? baba moto akajibu akasema Tangu utoto wake. 22 Kuna wakati inamwangusha katika moto au pahali ya maji na na wakati ingine karibu kumuwewa, baba mtoto akamwambia Yesu: kama unaweza kufanya chochote utusamehe na utusaidie. 23 Yesu akajibu, akamwambia: kama ukotayari? kila kitu kiko inawezekama kwa wote anayo amini. 24 Mara moya, mgazi wa mtoto alilia na kusema: Naamini, nisaidi kutokwamini kwangu. 25 Sasa, wakati Yesu aliona kundi linakuya kwao, pole pole akakemea roho cafu wewe roho bubu na kiziwi, nakuya oda kwacha mtoto na usirudie tena kwake. 26 Wakati Yesu oda kwa roho chafu kutoka ndani ya mtoto, roho ile ikalalamika kwa sauti kubwa na kumwangaisha mtoto mbele yake kutoka ndani ya mtoto. Wakati roho unaacha mtoto, akanguka na akowa sawa vile anakiuya na watu walisema " Amekufa", 27 Yesu alimkamata kwa mkono na kusimanisha, naye alimama. 28 Wakati Yesu alingina ndani ya nyumba, wanafunzi wakamwendea kwa siri na kumuliza sababu ngani sisi hatukutosha roho chafu? 29 HYesu akajihu akasema: kikwa maombi ndio inaweza kutoko. 30 Wakaenda Galilaya hakupenda watu wajue pahali iko. 31 Kwa ile wakati Yesu alikuwa anafundisha wanafunzi wake aliwambia mwana wa Adamu atatolewa kwa mikono ya watu na kunuua. Wakati atakufa, kisha siku tatu atafufuka. 32 Wanafungi hanajua maana ya ile maneno, na waliogopa kumuriliza. 33 Wakati walipo Kaperinaumu, walikuwa nalani ya nyumba, umo akauliza wanafungi wake: mikuwa mnabishana juu ya nini ngiani? 34 Lakini hawayihi neno. Wanabishana njiani aliye mkubura zaidi. 35 Yesu alikkaa chini akawaita mitume yake kumina wawili panoja na kawaambia "kama utaka kwa wa kwanza ni mzuri uwe wa mwisho na mtumishi wa wote". 36 Pale Yesu akokamata mtoto mdogo na ku muweka kati kati yao akamkanata katika mikona yake, akasema, 37 Mtu yote atakaribisha mtoto huyu kwa jina yangu, higo anamipokea mimi na ikiwa mtu amemipokea, hanipokei mimitu lakani pia aliye nituma. 38 Yohana alimwambia Yesu: Mwalimu, tulimwona mtu anatosha roho chafu kwa jina lako, lakini tulinukataya, kwa sababu hatufwati. 39 Lakini Yesu akajihu akiseme: Msimkataze kwa sababu hakuna atakaye fanga kizi kubwa juu yangu na tena kiisha aseme mameno mbaya juu yango. 40 Mtu yeyote hama neno nasi, iko ngambo yetu. 41 Ule atakupokea na kopo ya mayi pa kunywa kwa sababu uko mwaminifu hatapoteya zawadi yake. 42 Tena ule wote ataangusha hawa wadogo wenye kuniani, ingekuwa hari kukama kumufungia ku jiwe kushingo na kutupwa chiyu mayi. 43 Kama mukono wako iki kwangusha katika Nzambi uhikate. Ni vizuri kuingia ufalme wa mbingu mkono moya kuliko kwena Jenama na mikono yote mbili: katika moto wa milele na milele. 44 Mahali ambayo funza hawakufina moto usio zimika. 45 Kama mukala yako iko inakutuma kwa maboya uyikate ni heri kwako kuingia mbinguni na mguu, moya, kuliko kwenda ienana na miguu mbili. 46 Katika moto isiyo zimika. 47 Kama yicho lako likikukosha tosha oyo. Ni kuingia mfalme wa Mungu ukiwa na yicho moya, kuliko kuwa na macho mbili na kutupwa yenama. 48 Mahali palipo na funza wasiokufa, na moto usiogimika. 49 Kwa kuwa kila moya ateketezwa na moto. 50 Chumvi ni mzuri, kama chumvi ikipoza utamu yake, utafanya nini kusudi iwe na utamu wake tena? Muwe na chumvi miongani mwenu wengewa na muwe na salama kwa kila monoja.


Chapter 10

1 Makutano walimfuata tena Yesu Baada yake kuondaka na kwenda kwenye kulikuwa wayahudi pembi ya Baari ya Yarodani, vile ili kuwa kazi yake aliwafundisha tena, kama mbele. 2 Jambo kubwa wafalisayo walikuya mbele yake na kumu wuliza, "Ni mubaya bwana a fukuze bibi yake?" 3 Yesu akabalibiya, " Musa alibambiya nini?" 4 Balisema " Kama Musa alitu patiya njiya ya ku fukuza Bibi". 5 "Yesu naye akawa jibiya kusema kama ili kuwa ju ya roho mubaya yenu nje ali baandikiya vile". 6 Lakini kutokeya muanzo wa duniya, Mungu aliwawumba Bwana na bibi. 7 Njo mana mwanawume ata mwasha baba yako na mama yake, 8 na bote mbile bata kuwa mwili moya; ju abi kotena mbili lakini mwili moya. 9 Ju yenye Mungu ana kifanya mwili kimoya na ku ku ibaridi mwana damu awezi kui achanisha. 10 Ku nyumba kuenye balikuwa, bana funzi bake baka muwuliza ju ya ihi. 11 Aka bambiya kama "Aka bambiya bote benye biko na acha ba bibi yabo na ku wowa ba bibi bengeni, ana fanya ucharati naye. 12 Bibi naye aki acha bwana wake na ku olewa na bwana mwengine, ana fanya ucharati". 13 Na bote bali muletaya ba toto yabo ju abatiliye mikono, lakini bana funzi yake balikatala. 14 Kisha Yesu alipo ona vile, haku furahi naye kabisa aka bambiya, "Bahache ba toto badogo ku kuya kwangu, musi ba fukuze, kwa sababu bale baliya kama ba toto ufalme wa Mungu ni yabo. 15 Ya kweli na ba mbiya, kama amupoyi ufalme wa Mungu sa mtoto kidogo kweli amuta ingia katika ufalme wa Mungu. 16 Kisha kusema akaka mata ba toto ku mikono yake na aka ba bariki na kuba wekeya mikono juu yabo. 17 Na alipotoka kwee nda mtu mmuoya akakuya mbi kweke na kupiga magoti mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu mwema, ni fanye nini ju nipate uzima wa mille?" 18 Kisha Yesu akasema, " ju ya nini unani ita mwema? Ha kuna aliye mwema, isi pokuwa Mungu wetu peke yake tu. 19 Una puwa sheriya yote ya Mungu "Usi wele, usi fanye usharati, usiibe, usishuchi die bongo, usidanganye, ueshimu baba na mama yako". 20 Mtu wule akasema, " Mwalimu, ma neno yote ii nahifanya tango noko mtoto". 21 Yesu alimwangalia na ku mpenda. Aka mwambiya, " lakini una kosa kitu moya. Una pasha kunza biako biote na ku saidiya ukuye unifuate". 22 Lakini nguvu ilimuishiya kusikiya masemi ya Yesu; alitoka mbele ya Yesu na huzuni, kubwa ju alikuwa na mali mingi". 23 Yesu akaa ngaliya ngambo yote na aka bambisha bana funzi bake, " ni magumu sana kwa mwenye pesa (tayiri) kuingia katika ufalme wa Mungu! 24 Ba na funzi baka shongaa sana kusikiya vile. Lakini Yesu aka bambiya tena, "Batoto, ni na mua gani iko nguvu kuingia katika ufalme wa Mungu! 25 Ni mwepesi kwa ngamia kupita kwenye tundu la shindano, kuliko mtu mali (tajiri) kuingia katika ufalme wa Mungu". 26 Baka shangaa sana tena baka semeshana, " sasa nani ata okoka na kuingiya". 27 Yesu aka baangaliya na aka sema " kwa wana damu haiwezekani, lakini kwa Mungu a pana. Ju kwa Mungu yote ina wezekana". 28 " Petro akaanza sema shana naye, Angalia tu meacha bieti u biote tu nq ku fuata". 29 Yesu akasema, "Nikweli na bambiya niye yote, akuna mwe ana acha nyamba, au kaka, au kwa afili ya injilli . 30 Hata pokea mara mia zaidi kwa wakati wa sasa mudunia, nyumba, kaka, dada, mama, watoto, kwa mateso, na uli mwengu ita kuya ata pata uzima wa milele. 31 Lakini bengi balia ba kwanza bata kuwa ba mwisho na ba ku mwisho bata kuwa ba kwanza. 32 Katika njiani, ya ku kuenda Yerusalema, Yesu alikuwa ame kuisha enda mbele yabo. Bana funzi bali shangaa na bale benye balikuwa na bafuta nyuma tena baliongopa. Na njo Yesu alibatosha pembeni tena bale kumina mbile na akaanza ku ba julisha kienye kiko kina mbele: 33 "Musikiye, tu kotu na panda Yerusalemu, na mtoto wa mtu tu ta mutowa ku mukono ya makohani wa kuuna waandishi. Na bata mhukumu akufe na kumu pa mapatiya Mataifa.. 34 Tena bata mucheka, na ku mutemeya mate, ku mupika fimbo, lena ku mwuwa. Likini ya siku tatu a ta fufuka tena". 35 Yakobo wa Yohani, ba toto wa Zebedée, balikuta kwa kena ba na sema: "Mwalimu, tu na penda utu fanyize ye kama vile tu na kulo mba". 36 Akajibiya: "Mu na penda ni ba fanyiziye nini". 37 Na baka sema, "utu rusu tu pate fasi ndani ya utukufu yako, mmoya katika mkono wako ya kuume na mwengine ku mukono wa ko ya kushota". 38 Lakini Yesu akawa jibiya, "Hamujuu kwenye muko na nilomba. Muta weza ku kunya ile kikombe ambaye mimi nita kunya au kunhitika ubatizo ambae miye nita batizwa?". 39 Nao baka jibiya kama 'tuta weza?" Yesu aka bambiya, "kikombez yenye nita kunywa na niye muta ku nywa. na ubatizo amnbaye nita ba batizwa na niye muta batizwa. 40 Lakini kwaajili ya ku kaa ku mukono wangu wa kuume au mkono wangu wa ku shoto, ayiko mimi njo nita ya pana, lakini ni ju ya bale benye ilitaya rishiwa. 41 Na wakati bana funzi kumi ba lisikiya, maneno aya wa lisikiya Yakobo na Yohani. 42 Lakini Yesu ali bahita naku ba mbiya kama: "muna juwa kama, bale benye bana one kana ni bata wala (ba ongozi) wa pagani bana bapita, tena wakubwa ndani ya bo wana onesha mamlaka juu ya bo". 43 Sikilizeni kweniye i sikkwe iki, ule wote ana penda a kuwe mukunwa ndani yenu lazima akuwe mudogo. 44 Tena kila mwenye ana penda kuwa wakwanza ndani yenu lazima akuwe mtumwa wa bote. 45 Kwa mahana "mtoto wa Mungu aakuya uju ba mutumikiye, lakine ju ya kututumikiya, na kutowa maisha yake kama sadaka kwaha jili ya duniya nzima". 46 Bali fika Yeriko. Na vile alikwa natoka Yeriko na bana fungi yake naku kubwa watu, mwana wa Timayo, Batimayo, mwenye macho ya kukufa, mu ombiya, alikkwa na ikala kubarabara. 47 Watati alisikia kama Yesu wa Mwazereti iko na pita akaanza ku lala mika, "Yesu, Mwana wa Daudi, unirumie!". 48 Bengine baka mukemeya uyu kipofu, na ku mwambiya kama anya maze, ahache makelele. Chaku shangaza sana alilala mikatena nguvu sana na sawuti kubwa tena, "Mwana wa Daudi, unirumie!". 49 Bwana Yesu aka sikiya, tena aka simama na aka sema kama ba muyite. BAka muyita kipofu, na ku mwambiya, "pata nguvu na ukuwe mushujaa! simama ju bwana Yesu anakuita". 50 Pale pale akatupa koti lake na kwanza mbiyo sana, kunda kwenda kwe Yesu. 51 Bwana Yesu akamujibiya na kuse sema, "Mwalimu, na taka nione". 52 Yesu aka mwambiya, wende. Kwa sababu imaniyako ina kuponya.Pale pale macho ika fungilika na oka hona tena na tena aka fuata nwana Yesu njiyani.


Chapter 11

1 Wakati walifika karibu na Yerusalema na walipo karibiya Bethfage na Bethania katika mlima wa mizetuni , Yesu akauatuna wanafunzi wake wawili; 2 akiuapa odo ja kwenda katika mjini olijo mbele jao wakati mtafika kwa ile mjini mtamoona mtoto wa punda mwenye kufungiwa kwa kamba mtu hajaipandia. mmufungule na mkuye na yo kwangu. 3 Na kama mtu akiuuliza na yo wapi mtamujibu bwana iko na yo lazima 4 Wale wanafunzi wakatiu oda ya Yesu na walikuta kama vile Yesu aliwaambia juu ja mtoto wa punda alije funga wa ka mufungua. 5 Watu walikuwa wanasimmama pale walikuwa , waliwauliza ,sababu gani mnafunga mtoto wa punda. 6 Wakajibu kama Yesu ako nayo lazima na wakaende na jule punda. 7 Wale wanafunzi wote wawile wakabeba ule mtoto wa punda mbele ja Yesu-Kristo wakaweka maguo yao juu ja punda , ile Yesu apande juu ja jo. 8 Watu wengeni wengi wakatandika nao navazi jao kati kati ya njia wengine wakayandika mangalala ile walikata kumashamba 9 yabo.Watu walitembea mbele yake na walio mfuata walifanya makelele" hozana! anabarikiwa aneyekuya ku jina la bwana . 10 Ubarikiwe ufalme utakaokiya wa bala jetu Dauda! Hosana kwa ule aliye juu 11 Pale Yesu aliingizana Jerusalemu na kueleka kukanisa na akaangulmia kila kitu sasa , wakati wa kurudi umepita, akaenda Bethania, pamoja na wanafunzi wake kumi na mbili . 12 Siku inayofuata wakati walikwa wa kirudia kotka Bethania,Yesu akasikia njaa. 13 Kwa mbali akoona mti iliyo kuwa na majani Yesu akasogea kwangalia kama anaweza pata tunda kwa ile mti: na wakati alipofike pembeni ya mti hakuona hata tunda isipokua mojuri peke. Jake kwa sababu wakati wa kutowa matunda bado kweneya. 14 Akasema: " hakuna mtu atakaye kula tunda kutoka kwako tena wanafuzi wakasikia neno ile anasema juu ya mtki 15 walirudi tena mjini jerusalemu na akaingia ku kanisa na akaza kufukuza nje wote ureliku wakinzisha na wale wa kununua ndani ya kanisa. Aliangusha bameza wenye kubarisha feza na vite ya wenye kuuzisha njiwa . 16 Hakupatia hata mtu moja ruhusa kubeba kitu ya kunzisha ku kanisa . 17 Yesu akanza kuwafundisha akisema : imandikiwa nyumba yangu itaitua nyumba ja maombi kwa watu wote ? Lakini mnaingenza kuwa pahali pa wanyanganyi. 18 Makuharu wakuu na wandikayi walikuwa wakifata maseno je Yesu, nao walitafuta mna gani ya kumuwu sta vile walimuogopa kwa sababu kundi ilishangazwa na mahubiri yake . 19 Na wakati yote ya magaribi ikienea alikuwa anatoka njini 20 Asubuyi walipo kutembea, waliona mti wa umekauka mpaka kwenge mizizi yake . 21 Petro akakumbuka na akasema : Mwalimu ! Ona, mti yenye ulilaani inakauka 22 Yesu aliwajibu mmwani Mungu. 23 Naurambia, amini kwamba kila mtu yeyote atasema mlima hu ondoka ujitupe katika bahari na kama ana mashaka ndani ja roho wake, lakini anaomini kama yenye alisema kitatimia na hivi ndio Mungu atafanya. 24 Yesu akasema kwa hiyo ninawaambia: yote mtaomba na kuuliza kwa ajili yake sadiki kama mneipata nayo itakuwa yenu. 25 Wakati mnasimama kwa kuombo, mnapashwa kuhurumia wote unaye neno ile baba yetu wa mbinguni awahurumie ninyi vile vile makosa yenu. 26 Lakini kama hamusamehu Baba wenu aliye mbinguni hatasamu dhambi yenu haumo kwenye nakala za kale 27 Tena walikuya Yerusalemu, na yesu alikuwa onatembea mu kanisa mukuhani wakuu , wandishi na wazu na wazee walikuya kwa Yesu. 28 wakamwambia : ni kwa uwezo gani unafanya matendo hii ? Na ni nanki alie kupatia uwezo kuifanya hii ? 29 Yesu akawajibu: nitawauliya ulizomoja : muniambie na mimi, nitawaambia kwa uwezo gani ninafanya maneno hii. 30 Namna gani ubatizo wa Yowane ulitoka mbinguni au kwa watu? mnijibu 31 Wakanza kujiulizauliza katika roho jao: kama tukisema ili toka mbinguni atasema sababu gani hauku mwani ? 32 Lakina tukisema ilitoka kwa watu, waliogopa watu, kwa sababu wote walijua kwamba yahona ni nabii. 33 Ndiopale walimjibu Yesu na wakisema hatujuwe . Na Yesu akawaombia " na mimi sitawambia ni kwa uwezo gani nayafanya maneno hii.


Chapter 12

1 Basi Yesu alionza kulata mafunsa kwa fumbo na analeta fombo ya mulima mashamba moya mwenye alifanyia mashamba yake lupangu, na anatengeneza shimo ya kusindika nvinyo. Na aka tengeneza muzunguluka na aka safiri anaachia ba fanya mashamba. 2 Saa alinudia anatuma mutumishi kwa wafanya mashamba juya kutuala matunda ya vingo. 3 Lakini bafanya mashamba banamupika mutumishina akarudia bila kitu ku mikono. 4 Na akatuma tena mutu mwengeni na banamupika mutumishi na bamumiza ku kichwa na banamutendea bitu bia haya. 5 Anatuma mwengine na baka mupika na kumuwa, na bana fanya vile vile na bamingi mpaka kuwa bengine. 6 Uyu mutu alibaka na mutu moya wa ku mutuma, mutoto wako mupendwa. 7 Lakini walima mashamba wakasema ndani yabo: Angalia uyu njo mtoto wake, tumuwe ju shamba itabakia yetu. 8 Bakamukamukamata na bakamuwa. 9 Saa ivi mwenyi mashamba atfanya nini? Atakuya kuba fukuza na kubapita batumishi bengine. 10 Hamukusuma iyo mandiko? Lijiwa enye bajengayi wanatupa njo inageuka lijuwa ya maana. 11 «"Bitu iyi yote inatoka kwa bwana na ika muzuri ku macho yetu."» 12 Apo balitafuta kumuwa Yesu lakini banaogopa kundi la labatu mingi ju balijuwa kama alisema ile fumbo yu yabo, bakatamaasha na baenda . 13 Kiskia abo kwenda, banamutamiya Yesu nusu nusu ya ba farisaya na ba yerodia jaya kumutega Yesuna mauliza iyi. 14 Wakati banafika, baka sema: «Mwalimu, tunajuwa kama hautikake manen aya batu bengine na hauchuguwe mutu mwenye unapenda ndani ya batu. Kwakweli unafundeisha njia ya Mungu. Sheria inaruusu kulipa codi ya Cesria? Tunaweza kulipata ao bado?» 15 Lakini Yesu alijuwa unafiki yabo na anabajibia: « Juya nini munanipima? Munilete makuta niangaliye.» 16 Bakamupatia Yesu moja: «Yesu anabakauliza iyi sula na mandiko ni ya nani?» bakamujibu : «Ni ya Cezari». 17 Yesu akusema : «bumupatie Cezari bitu biake na bumupe Mungu biake.» Bakashongola mbele yake. 18 Kisha basadukayo benye balihakikusha ya kama hakuna ufuko, banakuya kwa Yesu, banamuliza: 19 Mwalimu muba alituandika "kama ndugu ya mutu anakufa anaacha bibi wake lakini ule bibi hakuzala ata mtoto moja, ule mutu anaweza kuowa bibi wa ndugu yake na kuzala na yee batoto iuya ndugu wake." 20 Bandugu sabva ya banaume; wakwanza anaowa bibi, akakufa bila kuacha naye mutoto. 21 Wa pili, wa tatu, wa ine ma ... 22 Wa saba naye vile anaowa bibi wa marehemu ndugu yaba bila kuzala naye ata mutoto moja. 23 Bakamaliza Yesu swali kama siku ya ufufuko yule atakuwa bib wa nani? «Kwa sababu bandugu banaume ba saba balimukata koma bibi yabo.» 24 Yesu aka sema: «Na njo maana muko ndani ya kosa, ju hamuyuwe mandiko, walanguvu ya Mungu? » 25 Ju batafukuka ndani batu benye balikufa, na habatakuwa batu benye balioma, na benye banaposha kuona, kakini batakuwa bamalika mbingini. 26 Lakini juya batubenye balikufa na ba fufuka, hamukosoma ndaniya kitabu ya Musa, ndni ya kishaka ginsi Mungu alimwambia na akasema: "Niko Mungu wa Abramu, Mungu wa Izaka na Mungu wa Yakobo? 27 Haïko Mungu wa batu banye banakufa, lakini wa batu ba uzima. Mujidanganya sana.» 28 Pamoja ya benye banandikakaalikuya na anasikia maongesi yabo; anawona Yesu alibapatia jibu muzuli. Akamaliza : «Amni gani ya enye iko ya maana sana ya amni yote ?» 29 Yesu anamujibia: Musikiye Isalayeli, ya maana ni bwana Mungu wetu, ni, bwana moja. 30 Inapashwa upende Bwana Mungu wako ndani roho yako, kwa akili yako yote na kwa unezo yako yote. 31 Amni ya pili nu iyi : Ni muzuri upende jinani yako savile unajipende weye peke. 32 Mwenge anandikaka anasema : Mwalimu! unasema kweli kama Mungu moya ti,lakuna mwengine kumushinda yeye. 33 Kumupenda ku Roho muzima, kusikiya yote enye inakoka kwake, na kwa uwezo wake yote, na kupenda jinani kama vile unajipenda weye peke, ile iko na maana kupita matoleo wa sadaka. 34 Wakati Yesu aliona kama anamujibia na elimu, akamwambia :«Hauko mbali na ufalme wamungu.» Kisha pale hakuna ata mutu moyo mwenye alipima kulimuza Yesu moswala mengin. 35 Wakati alikwafundisha ku hekalu;Yesu akajibu na akasema : « Juya nini batu benye kuandika wanasema Kristo ni mwana wa Daudi ?» 36 Daudi yeye peke dani ya Roho Mutakatifu akasema: «Bwana akamwambia bwana wangu, ikale ku mukono yangu ya kiume mpaka nifanye ba adui yako bakawe chini mikula yako». 37 Daudi yeye peke anamwita «Bwana» mamuna gani Masiya anaweza kuwa mwana wa Daudi? Batu mingi balikuwa bana musikya na furaha sana. 38 Ndani ya mafundisho yake, Yesu alisema: «Majichuge na batu benyekuandika benye banapenda kutembeya na makanzu milefu na kusalimiwa ku ma fasi ya wetu mingi. 39 Na kuikala ku makiti ya kwanza ku ma sinagogi na ku ma feti . 40 Na banakula nyumba ya benye balikufisha ba bwana na banaomba mingi ju baunekane kwa batu. Bale batu batapata ukumu kabambi. » 41 Wakati Yesu alikala chini karibu na sanduku ya sadaka ndani ya hekalu; na pale alikuwa anangalia batu wakati balikuwa banatia makuta yabo. Batu mingi batajiri balitia makutu mingi. 42 Mu ile wakati, mwanamuke mjane mpasikini alikuya kutia bipande mbili yote enye ilikuwa wa mali yake. 43 Njo Yesu anaita banafunzi wake na anabambia: «Kwa kweli nabambia, ule mwanamuke mjane masikini anatela makuta mingi kupita bote benye blitote sadaka. 44 kwa sababu bote balileta kufutama na umingi ya makuta enye balikuwa nayo, lakini uyu mwanamuke alitolea kidogo ya makuta yake ya kuishi nayo enye alibakia mayo mikononi.


Chapter 13

1 Hivi Yesu alianza kutoka mu ,hekalu, moya kati ya banafunzi akamuzima:«Mwalimu,angalia maibwe muzurihivi, na mujengeyo uyu!» 2 Uko una ona hii majego munene hivi ? Hakutabakia ata jiwe moya yulu ya jiwe ingine pasipo kwangushiwa chini 3 Wakati ali ikala pa kirima ya miti ya mpafu, ekoana angalia kwenye ku nyumba y Mungu ile, Petro, Yakobo, Yohane na Andrea baka muuliza pembeni: 4 «Utwa mbiye, wati kani hii bitu bitafika? Maalama kani pale ibi bitu bitakuya karibu na kufika?.» 5 Na Yesu aka anza kuba ambiya: «Mwanamuke sana mutu asikuye kumipotesha. 6 Ba mingi bakakuya mu jina yangu nakusema : "Miye njo Kristo." Na bapoteza batumingi. 7 Pale mutasikia mavita nakusikiya habari ya vita musihangaike. Ibi bitu mpaka bifike tu, lakini haiyakuya mwisho. 8 Juu kabila moya itasima kukombanisha ingine ufalme kwa ufalme ingine. Kutakuwa kutetemeka kwa bulongo ku mafasi ya mingi, na ma njala itapeswa batu nimwanzo ya maumivu ya kuzala. 9 Mujikalamushe sana. Bata mikabula ku babiongozi na bata mpika ndani ya mikushaniko ya sinagogi. Mutasambishwa mbele baliwali na bafakme juu yangu, hii ikuwe ushuuda kwabo. 10 Lakini inpashiwa habari njema iubiriwe mbele katika makabila yote. 11 Wakati bana mibamba nakumikabula kuba adui, musi hangaike kwa bile mutasema. Juu pa ile saa ile, batemipa bya kusema; ha ina mweye mutasema, Lakini Roho Mutakatifu. 12 Ndugu atapeleka ndugu yaku ku lufu na baba kupeleka ndugu yake kulufu. Batoto batatombokea wazazi na kumwapele kulufu. 13 Batemi chukia kwa batu bote juu yangu, lakini kila mutu akankamana na ku mwisho, ule mutu ata okoka. 14 Wakati mutaona kichafu kyakuleta chuki, kinasimama pale kinakawiza kusimama (akusoma asikilize), 15 bale beko mu Yudea bakimbiliye mibirima, ulenaye eko yulu ya nyumba asishuke ndani ya nymba na nakubeba kitu kiya kwenda nakyo, 16 na ule eko kumashamba asirudie kubeba nguo yabaridi. 17 Ile wakati, banamuke bale bata kuya na mimba na bale batakuya beko bana nyonyesha batoto bata kuya na magumu sana. 18 Mu ombe juu isikuye wakati wabaridi ile yakupita. 19 Juu kutaku mateso yakupita yote, ile haiyakuyakako tangu mwanzo, pale Mungu aliumbaka dunia, paka sasa, hapana, haku takuyaka tena ya vile. 20 Kama Mungu asikufupishako masiku ile, hakuna mutu moya aliweza kuokoka, lakini juu ya bale bali isha kuchakuliwa, benye yeye anaweka pembeni, akashusha ko bwingi ya masiku. 21 Sasa, kama mutu moya anasema: «mwangarie, Kristo ye uyu» ao «mwangarie, ye ule pale!» musiitike. 22 Juu ba kristo babongo na ba nabii babongo betaonekana na bata kanya miuzida, nabyaku shangaisha wapate kulanda, kama iliwezekana kwabo, atabachakuliwa. 23 Mukalamuke sana! Na miambia hii mambo yote mbele ya wakati. 24 Lakini, kisha ile mateso ya kupita yote ya ile masiku juwa ita kuwagiza, mwezi haita leta mwangaza wake. 25 Nyota itatoka mbingu na kwanguka na ma uwezo ile iko mu mbingu itatatemea. 26 Njo pale sasa bata ona Mutoto wa Mutu kutoka mu mawingu na uwezo mukubwa na utukufu. 27 Pale ata tuma ba malaika bake naita changa bachakuliwa bake bote kutoka ngambo ine, baku mwisho ya dunia pâka na mwisho wa mbingu. 28 Mupate mafundisho kutoka ku muzabibu. kama tukonaona matawi yake ina anza kulekea nakutosha mayani ya sasa, munayuwaka aseme wakati wakivukutu unakuwa karibu. 29 vili vile, pale mutaona mambo yote hii kufika, munajuwa kama anakuwa karibu, pa milango. 30 Kweli, mina miambia, hii kizazi hakatipata paka maneno hii itafika. 31 Mbingu na hii dunia bitapita, lakini maneno yangu haiwezi kupita. 32 Lakini, ile mambo ya siku na saa ile, hakuna mutu anejua, ata ba malaika ba mu mbingu, hata Mutoto, lakini Babatu. 33 Mukuwe na kwangalia sana. Mukeshe, ju hamujume kama tukowakatikati twiko. 34 Inafwanana na mutu moya alienda musafiri(aka toka ndani ya nymba yake na akeyaiya batu ya kazi, na kwa kila mutu na kazi yake akaonesha wa ku kesha abaki macho wazi.) 35 Na mwenye sasa, mukeshe. Juu hamu juwe wakati kani mwenye nyumba atarudia, pengine busiku, katikati ya busiku, wakati jogo analia, ao busubu. 36 Kama anarudia pasho kukala, asimi kute benye kulala. 37 Ile miambia, na sema nakila moja wenu: Kesheni!»


Chapter 14

1 Kuli bakia tu masiku mbili tufike siku ya kufuraia pasaka na juma ya kula tu mpaka mikate yagipo ku tia dawa yaku vimbisha mikate. Pale biongozi bya ba kutshoma matoleo na wale wenye kazi ya kwandika bitabu takatifu wali anza kutafuta namna yakumubamba Yesu na kumu. 2 Bali sumburia bana sematusi mubambe hii wakati ya furaha juu batu basitomboke na kuleta fudjo. 3 Hivi Yesu ali kuwa pale Bethania, ule ali lukulaka bukoma pale ali anza kula, mwanamuke moya akaingia, ana bamba ku mukono chupa yenye kuyala mafuta ya arufu ya nguvu sana, ya muzuri sana tena ya bei sana . Aka ivunja na anamu mwangiya yote Yesu pa kichwa. 4 Batu beinginebali uzunika. Baka anza kusema kati kati yao aseme: Juu ya nini kuabaribisha kitu ivin. 5 Mafuta ya ivi, baliweza ku i uzicha bei ya nguvu, ata elfu tatu ya feza ya dinari, na ile feza baweza kusaidia ba masikini. Baka anza kumu fokea. 6 Lakini Yesu akasema: « Mu mwache kimia . Juu ya nini muna mu uzinisha hivi. Ana nifanishia miye kitendo kizuri kupita. 7 Ba masikini, muko nabo kilasiku na wakati ote munapenda, munaweza, kuba fanishia bizuri, lakini miye, hamutakuya namiye masiku yote kati kati yenu. 8 Ye uyu anafanya ile yeye anaweza. Anapakala maungo yangu juu ya maziko. 9 Kweli mina miambia hivi: Kule kote bata ubiri habari njena katika dunia mzima, kile uyu mwanamuke anafanya betekikumbu kaka naku kisezea. 10 Pale ule Yuda wa mungini isikali moja katikabamitume na mbili, akaenda ku onana biongozi bya bale zana chomaka matoleo ya mungu juu ye alipenda abakaburie Yesu. 11 Pale biongozi bana sikiya vile, bakafurahi sana na kumulaka aseme bata mulipa. Kwanza pale, Yuda aka anza kuta futa njia yakubakabukiria Yesu. 12 Ile siku ya kwanza kula mikate ya sipo kutia dawa ya kuvimbisha, ile saa bana anzatu kuchoma batoto ba bakondolo juu banze kula yenye pasaka, banafunzi bake bakamu uliza, «Unapenda twende fasi kani tukakengeneze pale utakula Pasaka?» 13 Aka tuma banafunzi bake mbili, aka ba ambia: «Mwendetu ku mungini iko mbele, pale mutaona mwanaume anabeba mutungi ya mai, mumu fwate. 14 Pa ile nyumba ata ingia mu mufwame na museme namwenye nyumba aseme: mwalimu ana uliza aseme: Ni wapi ile Chumba kwenye mitakulia chakula ya pasaka pamoja na banafunzi bangu ? 15 Ata mionesha yulu ya nyumba, chumba ya munene baisha kupanga meza na biti na kila kitu pale. Pale, mu tengengenezee pale. 16 Bale banafunzi baka toka ba kaingia mu mugini. Baka kuta kila kitu vile vile alibaambiya na bakatengeneza chakula ya Pasaka pale. 17 Kumagaribi sana, Yesu akafika pale na banafunzi bake bote kumi na mbili. 18 Wakati wali anza kula Yesu akasema: «Kweli mina wa ambia, mumoya we nu ule tuko nakula naye apa atani kabula». 19 Bote baka uzunika, na moya moya baka anza kumu uliza «Haina miye eh?» 20 Yesu akasem: « Ni Moja wenu kati yenu batu kumi na mbili, ule eko na tanta mukate yake pamoja na miye mu kibakuli. 21 Juu , mwana wa mutu eko ana enda kutoza padunia vile ina andika juu yake ndani ya mandiko. Lakini ni laanakwa mutuule ata mukabula Mwana wa Mutu. Inge kuwa muzuri kwake kukosa kuzaliwa.» 22 Wakati beko na kula, Yesu akabeba mukate, aka ibariki, akaivunja. Aka wakaburia akisema: «Mupokee hii ni maungu yangu.» 23 Akabeba kopo, akashukuru na akabatia , na bote baikunwa. 24 Akasema: «Hii nidamu yangu ya upatanisho, ina mwandika juu ya batu mingi. 25 Kweli minaiambia hivi sita kunwa tena pamoja na mwenye hii matunda ya mizabu paka ile siku mitakunwa ya mupya mu ufalme wa Mungu. 26 Kisha kuimbia mwimbo moya pale, wakatoka mumugini na kxenda ku mulimaya ya kati miti ya mpafu. 27 Yesu akawambia ya : «Mwe bote mutanikimbia, juu ina andika : Mita pika muchungaji, naba kondoo batazambalana. 28 Kisha miye kufuka, mita watangilia pale Galilaya». 29 Petro akasema:«Ata bote banakimbia, miye siwezi ku kimbia» 30 Yesu aka mwamwambia :«Kwzli mina kwambia, bushiku hii tumbele ya jogokulia mara mbili, utanikana mara tatu.» 31 Lakini Petro akasema naye: «Ataita ni Pasha kufa pamoja naweye, siwezi kufanya kitu kya vile.» Nabote baka anza kulapa paka vile. 32 Toka pale, bakafika pafinashi banaita Gestesemane na Yesu akaambiya banafunzi bake:« Ikaleni apa wakati mta omba.» 33 Akabeba pamoja naye Petro , Yakobo na Yoana, Kisha akaingiya mu mawazo ya uzuni munene na roho yake ika anza kuhangaika . 34 Akawambiya « Roho yangu ina uzini katusana tubyakufwa. Mubakie apa mu keshe.» 35 Yesu akaenda mbele kiloko, aka anguka chini na aka anza kuomba aseme kama itawezekana, saa ile yende mbele mbari naye. 36 Akisema :«Wangu Baba bitubyote bina wenzikana kwako. Sukuma mbari mami poko hii. Lakini isikuye mapendo ya roho yangu Lakini yako.» 37 Anarudia akawakuta wanalala na akasema na Petro: «Simoni, unalala? Ha uwezi kukesha ata saa moya? 38 Kesha na ku omba juu usianguke pale uta jaribiwa . Roho ina yala na kutaka lakini maungu iko na buzaifu.» 39 Akaenda tena ku omba eko anaru dira masemo ile ile. 40 Akarudia tena ana bakuta bakulala, juu macho yabo ili kuwa buzito sana na ha bakujuwa atakya kusema na Yesu. 41 Akarudia kwabo mara tatu, Akasema nabo:«Munalala tu na muna endelea tu na kupumuzika. Ina tosha. Saa ina enea Mwana wa Mutu beko banamukabula ku mikono ya watenda zambi. 42 Simameni, twendeni. Muone, wakunikabula mwenyewe anafalika kazibu. 43 Pale alikuya angali kusema, Juda ye uyu, mumoja wa bale kumi na mbili, akafanika na kikundi kya watu mingi sana benye kuwa na mipanga, bengine miti vile bali batuma kuko bakubwua ba batumishi ya Mungu, nabale ba andika amri ya musa na wazee. 44 Ule alimukabula Yesu alipata bale alikya nabo kanuni moya, aseme: «tumitakumbatia na kumu salima kwa kinwa njo yeye. Mumu bambe muzuri na mutembeye naye benye kumuchuga muzuri. 45 Pale tu Yuda anafikia, akaenda mara moja kule kuko Yesu, nakusema:«Mwalimu.» na akapatia yambo kinya kwa kinwa. 46 Bakatia mikono yabo yulu yake na kumubamba. 47 Pale pale, mumoja wabo akatisha mupanga na akapika Mutumishi wa kiongozi wa bale Batumishi bakuchoma ma toleo mu nyumba ya Mungu na akatamuka lisikiyo. 48 Yesu akawambiya:«munaniku iya sawa kwamwiji, na mipanga na miti juu ya kunifunga ? 49 Wakati nilikuya kati Yenu, niko banafudisha masiku yote katika hekalu, hamu kunibambe. Lakini hii yote ilifikaka juu maandiko yenane. 50 Nabo bote balikuyaka pamoja na Yesu bakamukimbia na kumwacha. 51 Mutoto mwanaume alianza kumufwata, na aliwala bule nguo yakuf inika pakitanda. Bale bale batu banamubamba, akakimbia bundi tu, 52 aka acha nguo ile. 53 Wakaenda na Yesu kwa kule kiongozi wa batumishi bale bana chomaka matoleo muhekalu, njo kule bakubwa bote na batumishi baku meza ya nyumba ya Mungu walikusanika, na wazee wote, na wale wana andika sheria ya Mungu. 54 Petro alimufata nyuma kiloko naakangia ndani ya lupango ya ule mukubwa kub natumishi bote na aka ikala pamoja na bajamu kuota moto. 55 Ule kiongozi wa batumishi bakuma meza ya ndani ya nyumba ya Mungu, na kinkundi kyote kya bakubwa ba kakatafuta ma ushuda yakumuangusha nayo Yesu juu ya banaume. Lakini habkupata. 56 Juu bamingi balileta ushuda wa bongo juu yake, na yote haikwanze kupatana. 57 Mwengine walimama na kuleta ma ushuuda ya bongo juu yake bakasema: « 58 Tuli musikiya kusema : "Ntavunja hii hekalu yenge kujengwa na mikono ya watu na kisha siku tatu, mita jenga ingine pasipo mikono?» 59 Ata kwa ile yote, paka habakupatana tu. 60 Ule mukubwa wa bale banachomaka matoleo ndani ya nyumba ya Mungu akasimama katika yaona kumu uliza Yesu: «Hakuna jibu? Ni nini watu wote wana shu udia juu yako?» 61 Lakini yeye alibakia kimia bila kujibu. Mara tena, ule mukubwa wa banye bana chomaka matoleo ndani ya nyumba ya Mungu aka mu uliza na kusema : «Jee, weye njo Kristo, mutoto wa ule mubarikiwa?» 62 Yesu akajibu: «Njio ni miye na utaona Mwana wa Mutu, wakati ataikala ku mukono wa ku ume ya ile uweza na eko nashuka toka mbingu.» 63 Ule mkuwa akapasula ma nguwo nakusema:«hakuna tena faida na baku shuudia?» 64 Munejisikilia mwe benye matusi yake. Sasa muna bamba kanuni kani?» Nabote bakamambo yake aseme anstahili kufe. 65 Wengine waka anza kumutemea mate, bakamufunguwa kumacho, nakupika makofi na kumwambia:«Tabiri sasa.» Ba soda bakamubulula na kumu pika. 66 Hivi Petro aliwa tupale ndani ya lupango, mutoto mwanamuke moya mutu wa kazi munyumba ya ule kiongozi wa bale bana chomaka matoleo mu nyomba ya mungu akafika kwake. 67 Aka muona Petro vile alisimama karibu na moto juu ya kuota. Akamwaria muzuri kisha akasema naye: «Naweye ulikuya naye uyu waku Nazareti, Yesu.» 68 Lakini yeye aka kana, nakusema:« Si juwa sisikie unasema.» Kisha tena, akatoka inje ya mpango. Na jogo akalia. 69 Lakini ,pale, ule mutoto mwanamuke mutu wa kazi akamuona tena, aka anza ku onesha batu basimama pale aseme: « Uyu mutu ni mumoja wabo.» 70 Lakini akakana tena. Kisha saa, wala walishimama pale wakasema na Petro:«Kweli tu uko mumoja wabo, juu na weye uko mutu wa Galilaya.» 71 Sasa pale, akaanza kujitakia malaana nakulapa:«Simuyume ule mutu ule munasemea.» Pale, 72 Jogo akalia mara pili. Na Petro akakumbuka ilemaneno Yesu ali mwambia kaseme: «Mbele ya jogo aliye mara mbili, utanikana mara tatu.»Akaliya na machozi mingi sana.


Chapter 15

1 Asubuhi sana wakuu wa makuhani bali kutuna pa moya na bazee na baandishe na na baraza nzima ya bazee. kisha bakafunga Yesu, bakamupeleka kwa Pilato; Pilato akamwaliza, uko mufalme wa bayahudi? 2 Akakjibu, unaishasema. 3 Wakuu wa makuhani baka eleza mashitake mengi ju ya Yesu. 5 Pilato akamwuliza tena haokuletajibu: huona na mna banakushitaki na mambo mengi. 4 Lakini Yesu hakumjibia Pilato, na hiyo ilimshngaza . 6 Wakati wa sikkuu, kwa kawaida kumfungulia mfungwa moya , mfungwa balimwomba. 7 Kwa kawaida wakati yasikukuu kumfungulia mfugwa moya , mfungwa bali mwomba katika Gerezani pamoja na wahalifum miogonni wa wauaji na waliosi balitumikia makosa yao. kulikuwa mtu moya na jina Baraba. 8 Umati balikuya kwa Pilato, na kumwomba afanyekama alifanyaka huko nyuma 9 Pilato akawajibu na kusema " munataka ni bafungulie mfalme wa bayhuda ? 10 Juu aliyuwqa ni sababu ya wivu wakuu wa mukuhani balikamata Yesu na kumpeleka kwake. 11 Lakini wakuu wa makuhani walituna umati kupiga kelele kwa sauti ya nguvu umuatshe Barabas . 12 Pilato akajibu tena na kusema nifanye nini na mfalme wa bayahudi? 13 Bakapiga kelele tena akufeku ku msalaba 14 Pilato akasema" anafanya mambo gani mubaya? Lakini baka endeleya kupga kelele zaidi wa zaidi: akufe ko musalaba. 15 Pilato akitaka kufuraisha umati, akabafungulia . Akampiga Yesu fimbo kisha akamuleta baende komuuwa ko musalaba 16 Ma askari wa limuingisha Yesu ndani ya kambi na wali ita kilosi yote. 17 Bakamuvalisa Yesu kanzu ya rangi ya muekunda, na baka soKota taji ya miiba bakamweka. 18 Bakanza kumusalkimia na kusema : salam mfalme wa bayahudi. 19 Bakampiga ko kicho kwa riani na kumtupia mate. Bakapiga magoti mbele yake 20 kisha kumsumbua bakamtosha kile kanzu ya mwekunda na bakamuvalisha nguho yake . Na bakamtoa na kwenda kumuuwa ko msalaba . 21 Bakalazimisha mumpitanjia kumsaidia, alikuwa na ingiya mongini kotoka shamba Anaitwa Simoni mkirene ( baba yake iskanda na rufo): bakamlazimisha kubeba msalaba wa Yesu 22 Askari bakampelaka Yesu fasi inayitwa Goligotha (ilebanaita sehenmu yafuvu la kichwa ). 23 Bakamupa pa mvinyo ile inachanganyika na manemane, lakini hakukunywa. 24 Bakamutiya komsalaba na batagawanya nguhoyake. Bayipigia kura kwa kuyuba kipande atapatakila askari. 25 Ilikwa saa tatu asuuhi balimu tiya ko msalaba. 26 Bakaweka juu yake kumbao, baliandika: " mfalme wa bayahudi" . 27 Balimutiya ko msalaba pa moya na bamwizi wawili. moya upende wake wakulia na ingine kushoto yake . 28 njo voile mandiko ilitimizwa ya kusema walimuwa fasi moja na watenda mabaya. 29 Nao balikuwa banapita balintukana, bakitikisa kichwa yao bakisema " aha!" we ulitaka kouunja kanisa na kuijenga kwasikutatu. 30 Uzi okoe we mwenyewe na ushuke chini kutoka msalaba 31 Kwa namna ile ile wakuu wa makuhani bali mutukana bakisemeza na pamoya na waandishina kusema, aliwaokao wengine lakini hawezi kujiokao mwenyewe. 32 Kristo mfalme wa Israel, shkachinisasa kutoka msalabani, ili tuwezekuona na kwamini na wale balikuwa na kumsalaba pamoyanayepia balimucheka 33 Ali fika saa sita, giza ilikaja juu ya inchi yote hadisaa tisa . 34 Wakati wa saa tisa Yesu alipiga kelele kwa sautikubwa:" Eloi, Eloi lama sabatani" iki wa na maana "mungu wangu, mungu wangu kwa nini unaniacha? 35 Bengine balisimama pale , balisikiya bakasema muone anamwita Eliya 36 Mutukoya akakimbia mbiyo, akabeba sponji na kuiweka juu ya muti wa mwanzi akampatia akunye, mutu moya akasema ngoya toone kama Eliyaa atkuya kumshusha chini. 37 Kisha Yesu akalia kwa sauti kubwa na kukata roho. 38 Nguo ya hekalu ikapasuka kipande mbili kutoka yulu mpaka chini . 39 Ofisa moya alikuya kusimama mbele na Yesu, aliona kama , akasema" kweli huyu mutu alikuwa mutoto wa Mungu. 40 Pale pia bana muke balikuwa na angalia kwa mbali kati yao ilikuwa, Mariamu Magdalena, mariamu mama yake ya Jake na Yakobo moloko yakenayose na Salomé. 41 Wakati ali kuya Galiya balimufata na kumtumikia, na bana muke bengine mengi pia balipanda na ye ko Yerusalemu. 42 Katika busiku ilikuwa siku ya kutegeneza sabato. 43 Yusufu wa Arimathaya alikuya pale. Alikuwa moya katika baraza wa eshima ule alikuwa na ongolea ufalme wa Mungu. akayenda na nguvu yote kwa Pilato na kuomba mwili wa Yesu. 44 Pilato akashangaa kama namna Yesu alikufa akayita yule ofisa aka mwuliza kama Yesu alikufa. 45 Wakati alisikiya na ofisa kama alikufa akamparusa na Yusefu kubeba mwili. 46 Yusefa ananunua nguo ya sanda. Akamutosfa msalabani akamfinika na nguo bakamzika ndani ya kaburi balichimba mulijiwe. Kisha akafunga mulangu ya kaburi na lijiwe. 47 Mariamu Magdalena na Miriamu mama yake na Jose baliona namna Yesu alizikwa.


Chapter 16

1 Wakati siku ya Mungu ilipita Maria Magdalena na Maria mama yake na Yakobo , na Salomé, balinunua malasi muzuri, yakuweza ku pakaa mwiliwa Yesu ajilli ya maziko. 2 Asubuhi sanasiku ya kwanza ya juma balienda kwenye kaburi, wakati jua ilitoka. 3 Wakisemezana kati yao, nani atatosha jiwe mbele ya kaburi ajili yetu . 4 Wakati balikuwa na zumuza baliona mtu anaisha kotosha jiwe ambayo ilikuwa kubwa sana. 5 Bakaingia kwenye kaburi, na baka mwona kiyana anavaa kanzu meupe ana ikaa upande wa kulia, na wakashangaa. 6 Akabaambia, msiogope mnamtafuta Yesu wa Nazareti, uyu balitungika. 7 Mwende mkawaambe banafunzi wake na petro ya kuwa,anabatangulia ku Galilaya, kule ntamwona kama alikuwa na baambia 8 Bakaondoka na kukimbiya kutoka kwenye kaburi , balitetemeka na balishangazua . habakusema hata kitu na mtu yote sababu baliogopa sana. 9 Asubuhi sana katika sikuya kwanza ya juma kiisha ya kufufuka alimto kea kwanza Maria Magdalena ambayo kutoka kwake alimtosha mapepo saba. 10 Alionadoka na kuwaambia wale balikuwa pa moja naye wakati balikuwa na huzunika na kutosha machozi. 11 Balisikia kwamba iko mzima, na alkiomekana na ye. Lakini habakumwamini 12 Kiisha hayo, alitokelea katika namna tofauti kwa batu bengine bawili wakeati balikuwa na tembeya kotoka katika mongini. 13 Balienda na kuawaambia banafunzi bengine baliobaki lakimi habakwa amini. 14 Kiisha hayo Yesu akatokea kwa bale kumi na moya balikuwa ku meza na akawaambia tena sababu na kukosa kuamini kwao na ugumu wamioyo , kwa sababu habakuwaamini bale balmwona nyuna yake kufufuka koka kwa wafu. 15 Akabaambia, mwendeni dunia wote na kuhubia injili kwa viumbe yote . 16 Yule ataamini na akabatizwa,ataokelewa , na yule asiyeamini,tahukumiwa. 17 Angalia ishara hizi zitaambatana na wote waamini. Kwa jina yangu batafukuza chitane, batasema kwa lughamppya. 18 Batabamba nyoka kwa mikono yao na hata bakikunywa kitu yote ya kifo. Wataweka mikono kwa bagonjwa nao batakuwa bazima. 19 Kiisha ya bwana kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni na anakaa komkono wa kiume wa Mungu. 20 Wanafunzi walienda na kuhubikila fasi, na bwana ali kisha mwito wao na miudiza