Swahili Katanga: Bible for Ephesians

Formatted for Translators

©2022 Wycliffe Associates
Released under a Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Bible Text: The English Unlocked Literal Bible (ULB)
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English Unlocked Literal Bible is based on the unfoldingWord® Literal Text, CC BY-SA 4.0. The original work of the unfoldingWord® Literal Text is available at https://unfoldingword.bible/ult/.
The ULB is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Notes: English ULB Translation Notes
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English ULB Translation Notes is based on the unfoldingWord translationNotes, under CC BY-SA 4.0. The original unfoldingWord work is available at https://unfoldingword.bible/utn.
The ULB Notes is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Below is a human-readable summary of (and not a substitute for) the license.
You are free to:
The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following conditions:
Notices:
You do not have to comply with the license for elements of the material in the public domain or where your use is permitted by an applicable exception or limitation.
No warranties are given. The license may not give you all of the permissions necessary for your intended use. For example, other rights such as publicity, privacy, or moral rights may limit how you use the material.

Ephesians

Chapter 1

1Paulo , mutume wa Yesu Kristo kupitiya mapenzi ya Mungu, ku ba takatifu bale beko mu Epheso na ba kamilifu mwa Yesu kristo: 2Neema na salama y mi pewe kupitiya Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo!3U barikiwe Mungu , Baba wa Bwana Yesu Kristo, ari tu bariki mu manamuna yote na mabaraka ya ki roho mu mafashi ya yulu mwa Kristo ! 4Dani yake Mungu ari tu tshakula bele ya ku umba dunia , dju tu kuye batakatifu na ba sho kutenkatenka bele yake.5Shiye tu ritshakuliwa mu mapendo yake kuya ba toto yake kupitiya Yesu Kristo , vile aritaka kwa mapenzi yake, 6mu kusifu ya utukufu ya neemaa ile ari tupa mwa mupendwa wake.7Mwake tuko na ku okolewa kupitiya damu yake , kutukombola mu zambi, vile utadjiri ya neema , 8Mungu ari pungusha ya tele yule yetu kupitiya ekima ya namuna yote na akiri,9A na tu djuwisha siri ya mapenzi yake, kwa vile a na taka mu kuhumba mwake ye moya , 10Djo ya kuyeka mu matendo pale wakati ita fika , ya kuweka pamoya bintu biote mwa Kristo, ble biko mu bingu na bille biko pa dunia.11Mwake tu na kuya tena bariti, tu ri tshakuliwa bele kufatana na kutaka ya ule eko na fanya bintu biote kufata na mashauri ya mapenzi yake, 12Dju tu tumike mu ke shangiliya ya utukufu yake , shiye bale bele tu ri tumainiya mwa Kristo.13Mwake mweye tena , mu kushikiya neno ya kweri , indjili ya okovu yenu , mwake muri amini na bari mitshandja Roho Mutakati ile bari lakaka, 14ile iko ahadi ya uriti , dju kombola bale Mungu ari tshakula, kwa ku shangiliya ya utukufu yake.15Ni pale miye tena , Muku shikiya kusema ya imani yenu kwa Yesu na kwa mapendo yenu dju batakatifu bote , 16Mi shi atche ku murudishiya neema dju mweye , mina mikumbuka mu mahombi ,17Dju ya Mungu wa Bwana Yesu Kristo wetu , Baba ya utukufu , a mipe Roho ya ekima na ya ufunuwo , mu ku djuwa kwake , 18Na engaze matcho ya roho yenu , dju mu yuwe kitumaini kani kina riunga ku mwito yake , butadjiri kani ya utukufu ya kuriti kwake ana tchungiya batakatifu,19Na iko dju yetu shiye tu amini bunene ya Nguvu yake ya sho mwisho, ina djonesha na nguvu kupitiya buzuri ya nguvu yake. 20ile ari weka mwa Kristo , mu ku mulamusha mu bafu , na muku mwikarisha ku mukono ya mwanaume yake mu ma fashi ya yulu , 21Yulu ya utawa yote , ya madaraka yote , ya nguvu yote, ya makustaili, na ya ma djina ile ba tezi kutaya , apana paka mu wakati ya sasa , lakini tena mu waka ya ku mbele.22Ana weka biote tchini ya mikulu yake, na leta dju ya mukubwa wa yulu ya kanisa , 23ile ni Mwili yake , utawa ya ule ana yaja yote mu biote.

Chapter 2

1Murikuya ba kufa kupitiya ma bubaya yenu na kupitiya ma zambi yenu, 2Mule murianza kutembelele yamo, vile mandjiya ya dunia , vile kyongozi a madaraka ya mu pempo , pempo mutshafu ile iko na tumika dani ya mtoto ya butomboji. 3Shiye bote tena , turi kuya ba ile kikundji , na turianza ku ishi vile mapenzi ya mwili yetu , muku fanya mapenzi ya mwili na mawazo yetu, na tu rikuya kupitiya mufano ya batoto ya makari , sa bengine...4Lakini Mungu , eko mutadjiri mu reema , dju ya mapendo munene ile ari tu penda , 5Shiye turi kufa kupitiya bubaya yetu , ana tu rudishiya bujima na Kristo5 (ni kupitiya neema djo tu riokolewa ) ; 6Ari tu fufula pamoya , na ana tu ikarisha pamoya mu ma fashi ya yulu, mwa Yesu Kristo, 7dju ya ku onesha mu mashiku ya kumbele utadjiri ya sho kwisha ya neema yake kupitiya buzuri yake kwe tu shiye mwa Yesu Kristo.8Kwamana ni kupitiya neema dju muri okolewa , kupiya imani . Na ile ayi toke kwenu , ni kipadji kia Mungu. 9Ayina kupiti matendo , djo muntu ashi ri tukuze. 10Kwamana tuko biumbe biake, tu riumbiwa mwa Yesu - Kristo dju ya matendo muzuri, ile Mungu ari tayarisha ku mwandjo, djo tu y weke mu matendo.11Ni dju ya ile , mweye murikuya ba pagano dani ya mwili , bari mita ba sho kutahiriwa kwa bale beko ba ku tahiriwa na na beko bakutahiriwa mukimwili kupitiya mikono ya muntu, mu kumbuke 12Ile murikuya mu ile wakati pashipo Kristo, ku katariwa kustaili ya mukini mu israeli , bageni ku magano ya malako , pashipo kitumaini na pashipo Mungu mu dunia.13Lakini sasa , mwa=Yesu Kristo , mweye murikuya banri , muna kuya karibu kupitiya damu ya Kristo. 14Kwamana eko salama yetu, yeye kwake ya biwiri ana fanya bikuyu mukimoya, na ana angusha kibumbashi kiritukabula, 15Bu adwi, iri labiki kupitiya mwili yake sheria ya mipango dani ya miandjiko yayo , dju ya ku umba mwake ye moya na yo biri muntu wa sasa moya, mu ku weka salama , 16Na ku ba roudisha , moya na ule mu mwili moya, na Mungu kupitiya musalaba , mu ku aribisha kupitiya yeye bu adwi.17Ari kuya kuleta salama kwa mweye muri kuya bari, na kwa bale bari kuya karibu, 18kwamana kupitiya yeye tu na kuya ba moya kwa bengine kufika (kwingiya) karibu na Baba, dani ya Roho moyan .19Vile seke , amuna tena bageni , wala bantu ba indje ; lakini muko pamoya na batakatifu, bantu ba munyumba ya Mungu. 20Bari mifudisha yulu ya madjengo ya ba mitume na ya nabi , Yesu-Kristo ye moya eko ribwe ria kushimamisha. 21Mwake yeye ekulu yote, bina angariwa muzuri, kulamuka djoya kuya ekalu takatifu dani ya Bwana. 22Mwake tena muna fundichiwa djo ya kuya nyumba ya Mungu mu kiroho.

Chapter 3

1Dju ya ile , miye Paulo, mufungwa ya Kristo djo yenu meye ba pagano... 2Kama muri yuwa ku bembelesha neema ya Mungu , ile ari nipa dju yenu.3Ni kupitiya ufunuwo djo ni riyuwa bia kufutshama ku bile mina miandjikiya mu misemo kiloko . 4Muku bisoma , mutezi ku onesha akiri ile niko nayo ya bia kufuntshama bia Kristo. 5A bi kurionesha ku batoto ya bantu mu ma wakati ingine , sa vile iri funguriwa apa sasa kupitiya roho ku ba takatifu mitume na nabie ya Kristo.6Iyi siri , ni kusema ba pagano beko nabo ba riti , bana kuya tena mwili moya na bana ingiya tena ku malako mwa Yesu - Kristo kupitiya endjili, 7Djo miri fanyiwa waziri kwa kipadji ya neema ya Mungu, ile iri ni pewa kupiya nguvu ya uwezo yake.8Kwa miye , niko wa mwisho ku batakatifu bote, iyi neema niri pata kusema ku bapagano ma butadjiri ya sho ya Kristo, 9Na kuweka ku mwangaza ni nini matayarisho ya siri ya kufuntchama ya wakati yote mwa Mungu ari umba bintu biote.10Dju ya butawala na waongozi mu ma fashi ya yulu kudjuwa leo kupitiya kanisa ekima ya kwendeleya pashipo mwisho ya Mungu, 11kwa vile mipango ya milele ile ari weka mu matendo kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu.12Mwa ule tuku na , kupitiya imani mwake yeye , uru ya tu tshofe kwa Mungu na kitumaini , 13Tena mina milomba mu shipoteshe bidi dju ya mateso yangu djo yenu : ni utuku yenu.14Dju ya ile , mina twanga magootshi bele ya Baba , 15kwakew ma djama yote ina beba djina mu bingu na pa dunia, 16dju a mipe , kwa vile utadjiri ya utukufu yake , ikuye na uwezo ya nguvu kupitiya roho yakedani ya muntu.17Djo Yesu a ikale dani ya ma roho yenu kupitiya imani , dju mukuya wa kushimama na kwila dani ya mapendo , 18Mu shikiye na ba takatifu bote nini bufupi , bulefu , bu nene , na bulefu , 19Na kudjuwa mapendo ya Kristo , ina pita kudjuwa kote , dju ya kusema mu kuye benye ku ya jiwa paka mu ku tawala ya Mungu.20kwamana , kwa ule atezi kufanya , kupitiya uwezo ina tenda dani yetu , pashipo mwisho yulu ya biote bile ana tu nalomba wala kuwaza, 21Kwa yeye utuku dani ya kanisa na mwa Yesu-Kristo , mu ma wakati yote , mile na mile ! Amina!

Chapter 4

1Mina na misubutisha seke , miye , mufungwa mwa Bwana , ari tembeya munamuna inapasha kwa ku mitiwa ile iri miangariria , 2Mu kurishusha kote na bupole , na utulivu , muku ritshikiya ba moya na bengine na mapendo, 3muri weka mu kutchunga mukimoya ya roho kupiliya kifungo ya salama.4Kuku mwili moya na roho moya , sa vile tena muri itiwa ku kitumaini moya kupitiya mwito yenu ; 5Kuku Bwana moya , imani moya , ubatizo moya, 6Mungu moya na Baba moya wa bote, eko yulu ya biote , na kati ya bote , na mwa bote.7Lakini kwa kila muntu kati yetu aripata neema kwa kipimo ya kipadji ya Kristo. 8Ni kwamana ime sema : muku panda yulu , ari beba bafungwa , na ari fanya makipadji ku bantu.9kwa lakini , ina sema nini : ari panda , kama siyo ari shuka tena mu ma fashi ya tshini ya bulongo? 10Yeye djo ari shuka , ni yeye paka ari panda yulu ya ma bingu yote, djo ya kuyaja bintu biote.11Na arikabula bamoya sa vile batumes , bengine sa vile banabi, bengine sa baengiliste , bengine sa batshungadji na batuzadji, 12Dju ya kushima kwa kweri ya batakatifu djo ya kaji ya uduma na kufundisha ya mwili ya Kristu, 13Paka pale shiye bote tu tafika mukuya mukimoya mu imani na mukudjuwa Mtoto ya Mungu, mu ali ya muntu kufanyiwa , mu kipimo ya mufano ya vile inapasha ya Kristo,14Djo tu shi bakiye paka batoto , yulu yulu na kubebewa ku ma pempo yote ya mamafundisho , kupitiya bongo ya bantu , kupitiya bukalamushi mu mufano ya kudanganyiwa 15Lakini , tumikiya ukweri dani ya mapendo, tuna endeleyagambo yote mwa ule ni mukubwa , Kristo. 16Ni kwake , na neema ku bifungo biote ya usaidizi , mwili yote , inogonziwa muzuri na ina kuya nguvu muku riunga, ina kokota kwendeleya yake kwa vile nguvu inapasha kwa bipande yake , na ina rifundisha yo yenyewe dani ya mapendo.17Ona seke ile mina sema na ile mina semeseya dani ya Bwana, ni kusema amu wezi ku tembe tena sa bapagano, beko na tembeya sa vile mawazo yabo ina ba peleka kubintu bia sho mana. 18Beko na akili ya kufunika , beko bageni ku maisha ya Mungu, djo ya kukosa kuyuwa ile iko dani yabo, djo ya roh yabo ya nguvu . 19ba na potesha amu , ba na ripeleka mu bia kutchangatchanga, dju ya kufanya mambo ya butchafu yote ile ina riunga ku taama.20Lakini mweye , ayina vile barimifundisha kwa Kristo, 21Kama bele muri mushikiya , na kama , muri riweka vile inapasha ku ukweri ile iko mwa Yesu, ni mwake djo murifundishiwa, 22ku ritosha , kumitosha , ku weka penbeni ku maisha yenu ya zamani , kwa muntu wa zamani ari landiwa kupitiya taama ya bongo.23Kwa kuya wa kuzarika tena dani ya roho ya akiri yenu, 24Na kuvala muntu wa sasa , ku umbiwa kwa vile Mungu dani aki na butakatifu ile ina zala ukweri.25Ni kwamana , katala bongo , na ile kila muntu katshi yenu aseme kwa ukweri kwa djirani wake ; kwamana tuku wa member ba moya na bengine. 26Kama muna shikiya makari , ushi fanye zambi; djuwa ishi lale uko paka na kishilani, 27Na ushi kabule shetani djiya.28Ule eko na iba ashi ibe tena; lakini a tumike , mukufanya na mikono yake bile biko bizuri, dju ya kupata nini ya kukabula ule eko nayo lazima na yo . 29Mukinya yenu mushi toke misemo mubaya, lakini , mutoke, ma misemo muzuri , ile ina saidiya kuyenga na kuleta neema kwa bale bana ishikiya. 30Mushi sikitishe Roho - Mutakatifu ya Mungu, kupitiya ile muri pikiwa djo ya shiku ya ukombozi.31Butshungu boyte , bunyama bote , na makari ya namuna yote , y poteye katshi katshi yenu. 32Mukuye bazuri ba moya kwa bengine, musaidiyane , mu rumiyane bengi na bengine , sa vile Mungu ari mi rumia mwa Risto.

Chapter 5

1Mukuye seke ba bana mufatirisha Mungu; sa batoto bapendwa; 2Na mutembeye dani ya mapendo, kwa mufano ya Kristo, ule ari tupenda , na ari ritowa ye moya kwa Mungu djo yetu sa sadaka na matolewo ya arufu muzuri.3Bucharati , kushikuye butshafu iyi namuna , na taama , ishi taiwa ata katchikatchi yenu, djo vile ina pasha kwa batakatifu. 4Bashi shikiye wala misemon ya sho eshima , wala mitshezo ya bubumbafu, wala mamitshezo , bintu biko kinyume ku buzuri ; tushi kiye matendo ya shukrani.5Kwamana , mudjuwe muzuri , busharati ata bumoya , wala butshafu , wala taama , ni ku sema , wa kwabudu , ayina na uriti mu bufalme ya Kristo na ya Mungu. 6Muntu ashi mi lande kupitiya ma misemo ya sho mana; kwamana ni djo ya bile bintu makari ya Mungu ita anguka kwa batoto ya butomboji. 7Mushikuye seke na semu na mweye.8Murikuya ngiza zamani , na sasa muko mwangaza dani ya Bwana. Mutembeye sa vile batoto ya mwangaza! 9Kwamana ma tunda ya mwangaza ina elekewa mu buzuri yote ya kila namuna, ya aki na ya ukweri. 10Tshunguza ile iko muzuri kwa Bwana ; 11Na mushi riunge ku matendo mubaya ya ngiza, lakini mu yi ukumu. 12Kwamana ina leta aya ya kusema bile beko na fanya muku futchama;13Lakini bile biote bina ukumiwa ina onekana kupitiya mwangaza , kwamana bile biote bina rionesha ni mwangaza. 14Ni dju ya vile iriendikiwa : lamuka , weye uko na lala , lamuka weye mu bafu, na Kristo ana kwangaza.15Mwepuke kuritebesha na ekima , apana kama vile ba bumbafu , lakini sa vile bantu ya akiri; 16mu uze wakati , kwamana mashiku iko mubaya. 17Ni djo mana mushi kuye ba sho beyi , lakini mushikiye ni nini mapenzi ya Bwana.18mushi lewe vinio : ni bucharati. mukuye , kwanza , benye ku djaziwa na Roho Mutakatifu ; 19mu patane kupitiya ma zaburi , mamimbo , na kupitiya mimbo ya kiroho , mu imbe na kushukuru na roho yenu yote matukuzo ya Bwana; 20Murudishi kila wakati neema dju ya bintu biote kwa Mungu Baba, mu djina ya Bwana wetu Yesu-Kristo, 21Mu rishushe ba moya kwa bengi dani ya Boka bwa Kristo.22Mwana muke , muti ba bwana yenu , sa vile kwa Bwana; 23Kwamana Bwana ni chefu wa mwana muke, sa vile Kristo ni chefu ya kanisa, ile ni mwili yake , na ile eko Mukombozi. 24kwa lakini , sa vile kanisa ina ti kwa Kristo, bana muke nabo bana pasha kuya vile kwa ba bwanabo mu bintu biote.25Bwana , mupede ba bibiyenu , sa vile Kristo ana penda kanisa, na kuri peleka yemo dju yayo , 26Djo ya kutakasa kupitiya neno , kisha ku itakasa kupitiya ubatizo ya mayi, 27Djo ya ku onesha bele yake ile kanisa utukufu , pashipo butshafu , wala zagila , wala pashipo kufana nisha, lakini butakatifu na shaba.28Ni djo vile babwana panapasha kupenda ba bibi yabo sa vile mwili yabo . Ule ana penda bibi yake ana ripenda ye moya. 29Kwamana akuna muntu atezi ku tchukiya mwili yake ; lakini ana irishaka na ku itengeneza ,sa vile Kristo ana fanyaka dju ya kanisa, 30djo tuko bipande ya mwile yake.31Djo kwamana mwanaume ata atcha baba na mama yake , na kuriunga kwa bibi yake , na bo bawiri batakuya mwili moya. 32Iyi Siri iko munene ; mina sema dju ya Kristo na ya kanisa. 33Mu kinyume , muntu wote katiyenu a pende bibi yake sa vile ye moya, na bibi a echimiye bwana yake.

Chapter 6

1Batoto , mushikiye bazazi yenu , vile Bwana , kwamana ile iko aki , 2Echimiya baba yako na mama yako ( ni embri ya kwanza na malako) , 3Djo ukuye na furah na u ishi mwaka mingi pa dunia.4Na mweye , ba baba , mushi tshokoze batoto yenu , lakini mu ba fudishi mu ku batengeneza na mu ku ba fudisha mwa Bwana.5Bafanya kazi , mweshimiye ba kubwa benu mu ki mwili , na boka na kutetemeka, mu ku rishusha ya roho yenu, sa vile kwa Kristo, 6Apana paka bele yabo , sa vile kufuraisha bantu, lakini sa vile ba fanya kaji ya Kristo , banafanya na roho muzuri mapenzi ya Mungu. 7Mu ba tumikiye na roho yote , sa vile munatumikiya Bwana na apana bantu, 8Muyuwe asema mutu wote , akuye mutumwa , wala uru , atapata kwa Bwana mu ile ata fanya ya muzuri.9Na muye , bakubwa , mu fanya na mweye vile kwabo, na mu epuke fudjo , mu djuwe asema mukubwa wabo na wenu eko mu bingu, na kumbele yake akuna butchakuzi ya bantu.10Kwa ina bakiya , Muri kabule nguvu mwa Bwana , na kupitiya nguvu yake uwezo yote . 11Mu vale ma sila yote ya Mungu , djo mu shimame imara ku bukalamushi ya shetani.12Kwamana a tuna apa dju ya ku kombana na mwili na damu , kwalakini ni na matawala , na uongozi , na bariti ya iyi dunia ya ginza, na ma pempo ya makari mu mafashi ya yulu. 13ni vile , mubebe ma sila ya Mungu , djo ya kushimama mu machiku ya mubaya , na kuchimama imara kisha kutambuka.14Muchimame seke imara : mukuye na ukweri kama muchipi mukivuno yenu; muvale gambo ya aki; 15Muvale dju ya bilato kumikulu yenu mabao ile ina leta engili ya salama ; 16Mubebe yulu ya biote ukingo ya imani, na ile mutezi kujima ma djiya yote ya moto ya mukalamushi;17Mubebe tena chapo ya kokolewa , na mupanga ya kiroho , ile ni neno ya Mungu. 18Mufanye mu wakati yo kupitiya roho mahombi ya namuna yote na ya buluma . muchimame ku ile na kwedeleya beleyote , na muhombe djo ya batakatifu bote.19Muhombe djo yangu , dju ni pewe , pale mitafungula kinya , ya kudjuwisha vile inapasha na uru siri ya engili , 20Djo ya ile niko mushimamizi dani ya bifungo , na ile mina sema na kwakikisha sa vile mina pasha mu kusema21Dju na mweye , muyuwe ile ina nyangariria , iyi ni na fanya , Tychike , mupendwa nduku na mukamilifu na mwaziri dani ya Bwana , ata mionesha biote. 22Mina mutuma biyobiyo kwenu , djo mu yuwe ali yetu , na djo a poleshe ma roho yenu.23Salama na mapendo na imani imi pewe ku banduku kutoka kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu - Kristo! 24Neema ikuye na na mwebote muna pemda Bwana Yesu - Kristo kwa mapendo ya mushimamo.