Huduma ya Yesu huko Galilaya
Kuelekea Yerusalemu, nyakati mara nyingi ambapo Yesu anatabiri kifo chake mwenyewe; wanafunzi wanakosa kuelewa na Yesu anawafundisha jinsi itakuwa vigumu kumfuata (8:27-10:52)
Injili ya Marko ni moja ya vitabu vinne katika Agano Jipya ambavyo huelezea baadhi ya maisha ya Yesu Kristo. Waandishi wa Injili waliandika juu ya mambo mbalimbali kuonyesha kuwa Yesu alikuwa nani na ni nini alichofanya. Marko aliandika mengi juu ya jinsi Yesu aliteseka na kufa msalabani. Alifanya hivyo ili kuwatia moyo wasomaji wake ambao walikuwa wakiteswa. Marko pia alielezea desturi za Wayahudi na maneno mengine ya Kiaramu. Hii inaweza kuonyesha kwamba Marko alitarajia wengi wa wasomaji wake wa kwanza kuwa kuwa watu wa mataifa.
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake asilia, "Injili ya Marko" au "Injili Kulingana na Marko." Wanaweza pia kuchagua kichwa ambacho kinaweza kuwa wazi, kama vile "Habari Njema Kuhusu Yesu ambayo Marko Aliandika."
Kitabo hakitupatia jina la mwandishi. Hata hivyo, tangu wakati wa Kikristo wa kwanza, Wakristo wengi wamefikiri kwamba mwandishi alikuwa Marko. Marko pia alijulikana kama Yohana Marko. Alikuwa rafiki wa karibu wa Petro. Marko huenda hakushuhudia kile Yesu alichosema na kufanya. Lakini wasomi wengi wanadhani kwamba Marko aliandika katika injili yake kile ambacho Petro alimwambia kuhusu Yesu.
Watu walimwona Yesu kama rabi. Rabi ni mwalimu wa sheria ya Mungu. Yesu alifundisha kwa njia sawa na walimu wengine wa kidini huko Israeli. Alikuwa na wanafunzi ambao walimfuata kila mahali alipoenda. Wanafunzi hawa waliitwa wanafunzi. Mara nyingi aliwaambia mifano. Mifano ni hadithi zinazofundisha masomo ya maadili. na na )
Vitabu vya Mathayo, Marko na Luka huitwa Injili za sinoptiki kwa sababu vina vifungu vingi vinavyofanana. Neno "synoptic" linamaanisha "kuona kwa pamoja."
Maandiko husemekana kuwa "sawa" wakati ambapo injili mbili au tatu zinafanana au zinakaribia kufanana. Wakati wa kutafsiri vifungu sambamba, wafasiri wanapaswa kutumia maneno sawa na kuyafananisha iwezekanavyo.
Katika Injili, Yesu anajiita mwenyewe "Mwana wa Binadamu." Ni kumbukumbu ya Danieli 7:13-14. Katika kifungu hiki kuna mtu anayeelezewa kuwa "Mwana wa binadamu." Hiyo ina maana kwamba mtu huyo alifanana na mwanadamu. Mungu alitoa mamlaka kwa mwana wa binadamu kutawala mataifa milele. Na watu wote watamwabudu milele.
Wayahudi wa wakati wa Yesu hawakutumia "Mwana wa Binadamu" kama jina la mtu yeyote. Kwa hiyo, Yesu aliitumia kwa ajili yake mwenyewe ili kuwasaidia kuelewa yeye alikuwa nani kweli.
Kutafsiri jina "Mwana wa Binadamu" kunaweza kuwa vigumu kwa lugha nyingi. Huenda wasomaji hawaelewi tafsiri halisi. Watafsiri pia wanaweza kutumia jina mbadala, kama vile "Yule aliye Mtu." Inaweza pia kusaidia wanapoingiza maelezo ya chini ili kulielezea.
Injili ya Marko inatumia neno "mara moja" mara arobaini na mbili. Marko hufanya hivyo ili kufanya matukio kuwa ya kusisimua na ya wazi. Inamtoa msomaji haraka kutoka tukio moja hadi linalofuata.
Aya zifuatazo zinapatikana katika matoleo ya kale ya Biblia lakini hazijajumuishwa katika matoleo ya kisasa zaidi. Watafsiri wanashauriwa kutojumuisha aya hizi. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri, kuna matoleo ya zamani ya Biblia ambayo yanajumuisha moja au zaidi ya mistari hii, watafsiri wanaweza kuijumuisha. Ikiwa imejumuishwa, inapaswa kuwekwa ndani ya kifungo cha mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao haikuwa Injili ya Marko.
Kifungu kinachofuata hakipatikani katika maandiko ya awali. Biblia nyingi zinajumuisha kifungu hiki, lakini Biblia za kisasa zimekiweka katika mabango ([]) au zinaonyesha kwa namna fulani kwamba kifungu hiki huenda si mfano ya kitabo cha asili cha Marko ya Injili ya Marko. Watafsiri wanashauriwa kufanya jambo sawa na matoleo ya kisasa ya Biblia.
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hii kwa mashairi katika 1:2-3, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Ukoma ulikuwa ugonjwa wa ngozi ambao ulimfanya mtu asiwe msafi na asiweze kumwabudu Mungu vizuri. Yesu anaweza kufanya watu kuwa "safi" au wenye afya kimwili au pia kuwa "safi" au wenye haki na Mungu kiroho .
Wasomi wanajadiliana ikiwa "Ufalme wa Mungu" ulikuwapo wakati huu au bado unakuja. Tafsiri za Kiingereza mara nyingi hutumia maneno "karibu," lakini hii inaweza kusababisha ugumu kwa watafsiri. Matoleo mengine hutumia "unakuja" na "umekaribia."
Kitabu cha Marko huanza na nabii Isaya kusema ujio wa Yohana mbatizaji aliye mbatiza Yesu.
Mwandishi wa Marko, pia aliyeitwa Yohana Marko, ambaye ni mwana wa mmoja wa wanawake aliyeitwa Mariam aliyetajwa katika injili nne. Pia ni mpwa wa Barinaba.
Hii ni jina la muhimu sana kwa Yesu.
Hii ni lugha inayomaanisha "mbele yako"
Hapa neno "yako" urejea kwa Yesu na liko katika umoja. Pindi unapotafasiri, tumia nomino "yako" kwa sababu ni maneno ya mtu mwingine nabii, na hakutumia jina la Yesu.
Hii urejee kwa mtumwa.
Kufanya hivi humaanisha kuandaa watu kwa ajili ya ujio wa Bwana. AT:"nitaandaa watu kwa ajili ya ujio wako"
Hii inaweza kuelezwa kama sentesi. AT: "Sauti ya yule aitae toka jangwani imesikiwa" au " Wanasikia sauti ya mtu anaita toka jangwani"
Haya maneno humaanisha kitu kile kile.
"Iweke njia tayari ya Bwana." Kufanya hivi humaanisha kuwa tayari kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. AT: "Jiandae kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja" au " Tubu na uwe tayari kwa ajili ya Bwana anapokuja"
Katika mistari hii maneno "yeye" mwanaume, "yule" mwanaume, na "ake" mwanaume urejee kwa Yohana.
Hakikisha wasomaji wako wanaelewa kwamba Yohana alikuwa mtumwa aliyekuwa amenenwa na nabii Isaya katika mistari ya awali.
Maneno "yote" na "wote" hapa ni maneno ya zaidi hutumiwa kusisitiza kwamba kulikuwa na idadi kubwa ya watu. AT: "Watu wengi kutoka Yuda na Yerusalemu"
Haya matendo mawili yalitokewa wakati ule ule. Watu walibatizwa kwa sababu walitubu dhambi zao. AT: "Pindi walipotubu dhambi zao, Yohana aliwabatiza katika mto wa Yordani"
Yohana alihubiri
Yohana anajilinganisha mwenyewe kama mtumishi kuonyesha jinsi gani Yesu ni mkuu. AT:"Sina hadhi na hata kufanya jukumu la chini la kumvulisha viatu vyake.
Wakati Yesu alipokuwa hai, watu walivaa ndara zilizotengenezwa kwa ngozi na kufungwa kwa ukanda wa ngozi.
ni kupinda kwa kuelekea chini
Ubatizo wa kiroho umelinganishwa kwa ubatizo wa maji. Ubatizo wa kiroho huwaleta watu katika mahusiano na Roho Mtakatifu kama ilivyo katika ubatizo wa maji unamleta mtu kuwa uhusiano na maji
Baba, Mwana, na Roho wote wanajidhihirisha pamoja, kwa wakati mmoja.
Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. AT: " Yohana alimbatiza yeye"
Maana zinazoweza kuwa sahihi ni: 1)huu ni mfanano, na Roho alimshukia Yesu kama ndege anavyoshuka toka mbinguni kuelekea ardhi au 2) Roho kiuhalisia alionekana kama njiwa alivyoshuka juu ya Yesu.
Hii inawakilisha Mungu anazungumza. Wakati mwingine watu hukwepa kurejea moja kwa moja kwa Mungu kwa sababu wana mheshimu yeye. AT: "Mungu alizungumza toka mbinguni."
Ni neno la cheo kwa Yesu. Baba anamwita Yesu "mwana" kwa sababu ya upendo wa milele kwake.
Baada ya ubatizo wa Yesu, anakuwa nyikani kwa siku arobaini na badae kwenda Galilaya kufundisha na kuita wanafunzi wake.
"alimwongoza Yesu nje kwa shinikizo"
"Alikaa nyikani"
"muda wa siku arobaini"
"alikuwa miongoni mwa"
"Baada ya Yohana kuwa ametiwa gerezani" Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. AT: " baada ya kumshika Yohana."
"Alihubiri"
"Huu sasa ni wakati"
"Yesu alimuona Simoni na Andrea"
Maana pana ya sentensi hii inaweza kuwekwa wazi. AT: "kutandaza wavu katika maji kushika samaki"
"Nifuate mimi" au "njoo nami"
Huu mfano humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu, ili wengine wamfuate Yesu. AT: "Nitakufundisha namna ya kuwapata watu"
"ndani ya mtumbwi wao"
"kushona nyavu"
Inaweza kuwa msaada kusema wazi kwanini Yesu alimwita Yakobo na Yohana. AT: "aliwaita wao waje naye"
"watumishi ambao walifanya kazi kwa ajili yao"
"Yakobo na Yohana walikwenda pamoja na Yesu"
Katika mji wa Kaperinaumu siku ya Sabato Yesu anafundisha katika sinagogi. Anaondoa pepo kwa mtu, ambayo inashanganza watu walio maeneo ya karibu ya Galilaya.
"alifika Kaperinaumu"
Kuna maneno yaliyo achwa katika sentensi hii ambayo yanaweza kuongozwa. AT: "kama mtu aliye na mamlaka alifundisha na siyo kama waandishi wafundishavyo"
Mapepo wanauliza swali wakimaanisha kuwa hakuna sababu ya Yesu kuwaingilia na wanatamani yeye aondoke. " Yesu wa Nazareti, tuache sisi peke yetu! Hakuna sababu ya wewe kutuingilia sisi."
Mapepo wanauliza swali kumsihi Yesu asiwadhuru. "Usi tuharibu sisi!"
Hapa neno "yeye" lina rejea kwa mtu aliye pagawa na mapepo.
Pepo ndiye anayelia, wala siyo mtu.
Mwitikio wa watu unaweza kuandikwa na sentensi hizi badala ya maswali. "walisema wao kwa wao, "Hii ina shanganza! Anatoa mafundisho mapya, na huzungumza na mamlaka!"
Neno "yeye" ulerejea kwa Yesu.
Baada ya kumponya mtu aliye pagawa na pepo, Yesu alimponya mama mkwe wa Simoni pamoja na watu wengi wengine.
mkwe alikuwa mgonjwa na homa. Neno "sasa" hutambulisha mama mkwe wa Simoni katika hadidhi na kutupa maelezo ya nyuma kuhusiana yeye.
Inaweza kuonyeshwa waziwazi nani aliye mponya. "Yesu alimponya homa yake"
Inamaamisha chakula kilitengwa. "Aliwahudumia chakua la vinywaji"
Hapa maneno "yeye" na "yeye" urejea kwa Yesu.
Hapa neno "wote" ni maelezo zaidi na linatumiwa kusisitiza idadi kubwa ya watu waliokuja. "wengi waliokuwa wagonjwa au kupagawa na mapepo."
Neno "wote" linaelezea namba ya watu waliokuwa wakimtafuta Yesu. "Watu wengi kutoka mjini walikusanyika nje ya mlango"
Yesu anachukua muda kuomba katikati ya wakati wake wa kuponya watu. Badae anaenda mjini kupitia Galilaya kuhubiri, kuponya na kutoa mapepo.
Hapa maneno "yeye" na "yeye" urejea kwa Yesu
"mahali ambapo anaweza kuwa peke yake"
Hapa "yeye" urejee kwa Simoni. Pia, wale waliokuwa pamoja naye akiwemo Andrea, Yakobo, Yohana, na inawezekana watu wengine.
Neno "kila mmoja" linafafanua namna watu wengi waliomtafuta Yesu. "Watu wengi wanakutafuta wewe"
Hapa maneno "yeye" na "mimi" urejea kwa Yesu.
"Tunapaswa kwenda mahali pengine." Hapa Yesu anatumia neno "sisi" kurejea kwake, akiwemo Simoni, Andrea, Yakobo, na Yohana.
Neno "kupitia" linaelezea Yesu alikwenda maeneo mengi wakati wa huduma yake. "Alikwenda maeneo mengi ya Galilaya."
"Mwenye ukoma alikuja kwa Yesu; mwenye ukoma alikuwa akimsihi Yesu akiwa amepiga magoti chini. Mwenye ukoma alisema kwa Yesu"
Kikundi cha maneno "kunifanya safi" kinaeleweka kutoka kwenye kikundi kingine cha maneno. "Kama unataka kunifanya safi, basi unaweza kunifanya safi."
"nataka" au "hamu"
Nyakati za Biblia, mtu aliye kuwa na ugonjwa wa ngozi alihesabika siyo msafi mpaka pale ngozi ilipo ponywa na kubaki bila kuwa na maambukizi. "unaweza kuniponya"
Hapa neno " kusukumwa" ni lugha inayo maanisha kuwa na hisia juu ya hitaji la mtu mwingine. "Kuwa na huruma kwa ajili yake, Yesu "au" Yesu alipatwa na huruma kwa ajili ya mtu.
Inaweza kuwa msada kutaja kitu gani Yesu ana utayari kufanya"Ninatamani kukufanya uwe safi"
Neno "yeye" ni limetumiwa kurejea kwa yule mkoma aliyeponywa na Yesu.
"Uwe na uhakika kutosema chochote kwa yoyote"
Yesu alimwambia mtu kujionyesha mwenyewe kwa kuhani ili kuhani aweze kumuona ngozi yake kama kwamba ukoma wake umekwisha. Ilihitajika katika sheria ya Musa mtu kujionyesha kwa kuhani kama amekuwa safi.
Neno "mwenyewe" linawakilisha ngozi ya mwenye ukoma. "jionyeshe ngozi yako"
Ni vizuri kutumia nomino "wao", kama inawezekana, katika lugha yako. Maana zinazowezekana ni 1) "ushuhuda kwa makuhani" 2) "ushuhuda kwa watu"
Neno "yeye" urejea kwa mtu aliyeponywa na Yesu.
vivumishi vya maneno haya mawili yana maana inayofanana na yanamwelezea yule mtu aliyewaambia watu wengi.
Neno "kila mmoja" linafafanua, "Watu wengi aliokutana nao."
Hii ina maanisha kwamba makundi makubwa yalimzuia Yesu kuingia mjini kwa sababu makundi yalifanya ugumu kwake kutembea katika mji. "makundi yalimzuia Yesu kutembea kwa uhuru mjini."
"mahali pa utulivu" au "mahali ambapo hakuna mtu aliye ishi"
Neno "kila mahali" linafafanua kuwa, "kutoka maeneo yote ya mkoa"
Watu wa wakati wa Yesu walipozungumza juu ya "wenye dhambi," walikuwa wakiongea juu ya watu ambao hawakuitii sheria ya Musa na badala yake wakatenda dhambi kama kuiba au dhambi za ngono. Wakati Yesu alisema kwamba alikuja kuwaita "wenye dhambi," alimaanisha kwamba watu pekee wanaoamini kuwa wao ni wenye dhambi wanaweza kuwa wafuasi wake. Hii ni kweli hata kama wao sio wale ambao watu wengi wanafikiria kuwa "wenye dhambi."
Watu wangeweza kufunga, au kutokula chakula kwa muda mrefu, walipokuwa na huzuni au wakimwonyesha Mungu kwamba walijutia dhambi zao. Wakati walipokuwa na furaha, kama wakati wa harusi, wangekuwa na karamu, au mlo ambapo wangeweza kula chakula kikubwa.
Viongozi wa Kiyahudi walitumia maswali ya uhuishaji ili kuonyesha kwamba walikuwa wamekasirika kwa sababu ya kile Yesu alichosema na kufanya na kwamba hawakuamini kwamba alikuwa Mwana wa Mungu
Baada ya kuhubiri na kuponya watu kote Galilaya, Yesu anarudi Kaperinaumu anako mponywa na kumsamehe dhambi mtu aliye pooza
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. watu wa pale walisikia kwamba alikuwa katika nyumba ile ile.
Hii inaweza kutajwa kama kauli tendaji. "kwa hiyo watu wengi walikusanyika" au "watu wengi walikuja nyumbani"
Hii inarejea hapakuwa na nafasi ndani ya nyumba. "haikuwepo nafasi tena kwa ajili yao mule ndani"
"wanne wao walimbeba yeye." Inawezekana kulikuwa na watu zaidi ya wanne ndani ya kundi waliomleta mtu kwa Yesu.
walimletea mtu asiyeweza kutembea wala kutumia mikono yake.
"walishindwa kukaribia pale Yesu alipokuwa Yesu"
Nyumba alizoishi Yesu zilikuwa na paa za wima zilizo tengenezwa kwa udongo na kufunikwa kwa vigaye. Hatua ya kutengeneza tundu juu ya paa inaweza kuelezwa zaidi kwa uwazi au kufanywa zaidi kwa ujumla ili kwamba iweze kueleweka katika lugha yako. "waliondoa vigaye sehemu ya paa juu alikokuwa Yesu. Na walipotoboa katika paa ya udongo "au" walipotengeneza tundu juu ya paa alipokuwa Yesu, na kisha walimshusha"
"Akijua kwamba watu hao wana imani." Hii inaweza kumaanisha 1) kwamba ni wale watu waliokuwa wamembeba aliyepooza ndio waliokuwa na imani au 2) kwamba aliyepooza na watu wamembeba wote walikuwa na imani.
Neno "mtoto" hapa linaonesha kwamba Yesu alimjali huyo mtu kama baba anavyomjali mwana.
Maana zinayowezekana 1) "Mungu amekwisha kukusamehe dhambi zako" (Taz 2:7) au 2) "Nimekusamehe dhambi zako."
Hapa "mioyo yao" ni mbadala wa mawazo ya watu. "walikuwa wanafikiri wao wenyewe"
Hili swali liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitilia shaka uwezo wa Yesu kusamehe dhambi. "Mtu huyu hapaswi hivi!"
Swali hili liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitia shaka kwamba Yesu ni Mungu. "Mungu peke yake ndiye anaweza kusamehe dhambi!"
"ndani ya utu wa ndani" au"ndani yake"
Waandishi walikuwa wakifiri kila mmoja nafsini mwake; walikuwa hawaongeleshani kila mmoja na mwenzake.
Yesu aliuliza swali hili kuwakemea waandishi kwa kutilia mashaka mamlaka yake. NI kama alitaka kusema kuwa, "Hampaswi kuonea shaka mamlaka yangu!"
Neno "mioyo" linatumika mara kwa mara kurejea kwenye mawazo, hisia, matamanio, au mapenzi ya mtu
Yesu aliuliza swali hili kwa sababu waandishi waliamini kwamba mtu huo alikuwa amepooza kwa sababu ya dhambi zake na ikiwa dhambi za mtu huyo zingesahewa, angeweza kutembea. Kama Yesu alimponya mtu aliyepooza, waandishi walipaswa kukiri kwamba Yesu anaweza kusamehe dhambi. Sawa na kusema "Ni rahisi kumwambia mtu aliyepooza dhambi zako zimesamehewa!" [Hili ni swali lisihitaji jibu]
"Lakini ili kwamba umjue." Neno "wewe" urejea kwa waandishi na kundi.
Yesu ujirejea yeye mwenyewe kama "Mwana wa Adamu." "Kwamba mimi ni Mwana wa Adamu na nina mamlaka."
"wakati watu walipokuwa wakitazama"
Yesu anafundisha kundi kando ya bahari ya Galilaya, na anamwita Lawi kumfuata yeye.
Hili ni bahari la Galilaya, ambayo linajulikana kama ziwa la Gennesareti.
watu walikwenda pale alipokuwa
Alfayo ni baba wa Lawi
Ni badae sasa kwa siku hiyo, na Yesu anakuwa katika nyumba ya Lawi kwa ajili ya chakula.
"nyumba ya Lawi"
Mafarisayo walitumia kikundi cha maneno "watu wenye dhambi" kurejea kwa watu walioshindwa kutunza sheria kama walivyo fikiri Mafarisayo wangefanya.
Maana zinazowezekana ni 1) "kulikuwa na watoza kodi wengi na watu waovu waliomfuata Yesu
Waandishi na Mafarisayo waliuliza swali hili konesha kwamba walikataa ukarimu wa Yesu. "Hakupaswa kula na kunywa na wenye dhambi na watu wanaokusanya kodi."
Yesu aliitikia kwa kile walichokuwa wamesema waandishi kwa wanafunzi wake kuhusu kula na watoza kodi na watu wenye dhambi.
aliwaambia waandishi
Yesu aliwalinganisha wale wanajijua kuwa ni wenye dhambi na wale wale wanaojijua kuwa ni wagonjwa. "Watu wanaofikiri kuwa wao ni wenye haki hawahitaji msaada; ni wale tu wanaojijua kuwa ni wagonjwa ndio wanaohitaji msaada!
"afya"
Yesu alitegemea kuwa wasikilizaji wake wangeelewa kwamba alikuja kwa wale wanaohitaji msaada. "Nilikuja kwa watu wanaojielewa kuwa ni wenye dhambi, siyo kwa watu wanaoamini kuwa wao ni wenye haki."
Inaweza kuwa msaada kutaja kwamba hii inarejea kwa watu ambao Yesu aliwaita. "lakini nilikuja kuwaita watu wenye dhambi"
Yesu anasema mifano kuonyesha kwa nini wanafunzi wake hawakuweza kufunga pindi alipokuwa nao.
Haya maneno yanarejea kwa kundi lile lile la watu, lakini la pili liko bayana zaidi. Yote urejea kwa wanafunzi wa Mafarisayo, lakini hayalengi kwa viongozi wa Mafarisayo. "wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wakifunga... wanafunzi wa Mafarisayo"
"baadhi ya watu." Ni vizuri kutofasiri kikundi cha maneno bila bayana hawa walikuwa watu akina nani. Kama katika lugha yako unapaswa kuwa bayana, maana zinazowezekana ni 1)hawa watu hawakuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yohana au wanafunzi wa Mafarisayo au 2) hawa watu walikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yohana
Yesu aliuliza swali hili kulinganisha kati yake mwenyewe na wanafunzi wake na bwana harusi na marafiki wake.'' wanafunzi wangu husherekea kwa kuwa niko pamoja nao!''
Yesu anajilinganisha mwenyewe na bwana harusi anapoongelea kuhusu kifo chake, ufufuo na kupaa kwake. Kama lugha yako inakulazimu kuchanganua mtendaji, fanya kwa ujumla kama iwezekanavyo. Kauli ya kutenda inachukua nafasi kama lugha yako haiwezi kutumia kauli ya kutendewa. "Watamwondoa bwana harusi" au bwana harusi ataondoka."
Neno "kwao" na "wao" urejea kwa washiriki wa harusi.
Kushona kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu kitasababisha tundu kwenye vazi kuukuu kuwa baya zaidi kama kipande cha nguo mpya hakitabadilika. Vyote viwili, nguo mpya na vazi kuukuu vitapotea.
"Hakuna yoyote." Kikundi cha maneno urejea kwa watu wote, wala siyo watu.
Yesu analinganisha mafundisho yake na wanafunzi wake na divai mpya na viriba vipya. Mfano huu hujibu swali "Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi? Hapa "Hakuna mtu akabidhiye mafundisho mapya kwa wale waliozoea mafundisho ya zamani."
"juice ya zabibu." Hii ina maana ya mvinyo ambayo haijaumuka bado. Kama zabibu hazijulikani katika eneo lako, tumia neno la jumla kwa matunda.
Hii inamaanisha viriba ambavyo vimetumika mara nyingi
Hii ilikuwa mifuko iliyotengenezwa kwa kutumia ngozi za wanyama. Pia inaweza kuitwa "mifuko ya divai" au "mifuko ya ngozi" (UDB)
Wakati divai mpya inapoumuka na kupanuka, inaweza kupasua na kutoka nje kwa sababu havitaweza tena kunyooka kwa nje.
kuharibika
"viriba vipya" au "mifuko mipya ya divai." Hii inarejea kwa viriba vipya ambavyo havijawahi kutumika.
Yesu anawapa Mafarisayo mfano kutoka katika maandiko kuonyesha kwanini wanafunzi hawakuwa sahihi kuchukua masuke ya ngano siku ya Sabato.
Kuchukua ngano katika mashamba ya wengine na kula haikuhesabiwa kuwa wizi. Swali lilikuwa kama ilikuwa sawa kufanya jambo kama hilo siku ya Sabato
Wanafunzi walichukua masuke ya ngano kuyala. Hii inaweza kuelezwa kwa maneno kuonyesha maana kamili. "chukua na kula masuke ya ngano"
Hii ni sehemu nyeti ya zao la ngano, ambayo ni aina ya nyasi pana. Hushikiria ngano iliyokomaa au mbegu za mmea
Mafarisayo wanamuuliza Yesu swali kumlaani. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi. "Tazama! Wanavunja sheria ya kiyahudi kuhusu Sabato"
"Uwe makini kusikiliza kile ninachotaka kukuambia"
"Yesu aliwambia Mafarisayo"
Yesu alijua kwamba Waandishi na Mafarisayo walikuwa wamesoma simulizi. Aliwashutumu kwa kukuielewa kwa makusudi. Tafsiri mbadala: "Kumbukeni kile Daudi alichofanya...pamoja naye na jinsi alivyokwenda" au "Kama mnakumbuka kile Daudi...naye, mngejua kwamba alikwenda"
Hii inaweza kusema kama amri. "Kumbuka ulichosoma kuhusu alichofanya Daudi wakati ambapo alikuwa na watu wakiwa na uhitaji na njaa"
Yesu anarejea kwa kusoma kuhusu Daudi katika Agano kale. Hii inaweza kutofasiriwa kuonyesha taarifa thabiti.
Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyotengenishwa na mstari wa 25. "Alienda aliingia katika ya Mungu...kwa wale walikuwa naye" (UDB)
Neno "a" urejea kwa Daudi
Hii urejea kwa mikate kumi na miwili ambayo ilikuwa imewekwa kwenye meza ya dhahabu ndani ya hema au jengo la hekalu kama dhabihu kwa Mungu nyakati za kipindi cha Agano la Kale.
"Mungu aliweka Sabato kwa ajili ya mwanadamu"
"mtu" au "watu" au "mahitaji ya watu" Hii urejea kwa wanaume na wanawake.
'Mungu hakumuumba mtu kwa ajili ya uzuri wa Sabato"
Ilikuwa kinyume cha sheria ya Musa kufanya kazi siku ya sabato. Mafarisayo waliamini kumponya mtu mgonjwa siku ya Sabato ilikuwa "kazi," hivyo wakasema kwamba Yesu alifanya makosa wakati alimponya mtu siku ya Sabato.
Hakuna mtu anayejua kwa hakika hatua ambazo watu hufanya au maneno gani wanayosema wanapotenda dhambi hii. Hata hivyo, labda wao humtusi Roho Mtakatifu na kazi yake. Sehemu ya kazi ya Roho Mtakatifu ni kuwafanya watu kuelewa kuwa wao ni wenye dhambi na wanahitaji kusamehewa na Mungu. Kwa hiyo, yeyote asiyejaribu kuacha dhambi huenda anakufuru Roho. and )
Yafuatayo ni orodha ya wanafunzi kumi na wawili:
Katika Mathayo:
Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo, Yohana mwana wa Zebedayo, Filipo, Bartholomeo, Tomasi, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Tadayo, Simoni wa Zeloti na Yuda Isikariote.
Katika Marko:
Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana mwana wa Zebedayo (ambao aliwaita Boanerge, yaani, wana wa ngurumo), Filipo, Bartholomeo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alifayo, Tadayo Simoni wa Zeloti na Yuda Isikariote.
Katika Luka:
Simoni (Petro), Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomeo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alifayo, Simoni (aitwaye Zeloti), Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Isikariote.
Thadayo labda ni Yuda, mwana wa Yakobo.
Watu wengi huwaita wale ambao wana wazazi sawa "ndugu" na "dada" na kuwafikiria kama watu muhimu zaidi katika maisha yao. Watu wengi pia huita wale walio na babu na nyanya sawa "ndugu" na "dada." Katika sura hii Yesu anasema kwamba watu muhimu zaidi kwake ni wale wanaomtii Mungu.
Yesu amponya mtu siku ya Sabato katika Sinagogi na kuonyesha jinsi anavyojisikia walivyofanya Mafarisayo kuhusiana na sheria za Sabato. Mafarisayo na Maherode wanapanga kumua Yesu.
"Baadhi ya Mafarisayo." Badae, katika 3:5, hawa watu wanaonyeshwa kama Mafarisayo.
"mtu aliye na mkono uliopooza"
"Mafarisayo walimtazama Yesu kwa karibu sana kuona kama atamponya na mkono uliopooza"
Mafarisayo walitaka kumshtaki Yesu kwa kuvunja sheria kwa kufanya kazi siku ya Sabato, je amponye mtu. "kumshtaki yeye kwa kufanya kosa" au " kumshtaki yeye kwa kuvunja sheria"
"katika ya umati huu"
Yesu alisema changamoto hii. Alitaka wao wakiri kuwa ni halali kumponya mtu siku ya Sabato.
Haya makundi ya maneno yanafanana katika maana, tofauti ya pili imeenda ndani zaidi.
Inaweza kuwa ni msaada kutubu "ni halali," kama lilivyo swali analouliza Yesu tena kwa njia nyingine. "ni halali kuokoa maisha au kuua"
Hii urejea kwa maisha ya kimwili kama neno mbadala kwa mtu. "mmoja wapo anakufa" au maisha ya mmoja wapo"
"Lakini walikataa kumjibu"
"Yesu aliangalia"
"alikuwa na huzuni kubwa"
Huu mfano unaelezea jinsi Mafarisayo hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa huyo mtu aliye kuwa na mkono uliopooza. "hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa mtu huyo"
"Nyosha mkono wako"
Hii inaweza kutajwa na kauli tendaji. "Yesu alimponya mkono wake" au Yesu aliufanywa mkono wake kama ulivyo kuwa awali"
walianza kufanya mpango
Hili ni jina la kisiasa lilompa nguvu Herode wa Antipasi
"kwa namna gani watamuua Yesu"
Yesu aliendelea kuponya watu kama alivyofuatwa na umati mkubwa pindi alipotaka kuwa mbali nao.
Hii urejea bahari ya Galilaya
Huu ni mkoa, hapo awali ulijulikana kama Edomu, ambao ulikuwa mpaka nusu ya kusini mwa mkoa wa Uyahudi.
Hii inarejea kwa miujiza ya Yesu aliyokuwa akifanya. "miujiza mikubwa aliyokuwa akifanya"
"alikuja alipokuwa Yesu"
Kama ilivyokuwa umati mkubwa ulikuwa unamsonga Yesu, alikuwa katika hatari ya kusongwa. Katika mstari wa 9-10 yameunganishwa na kusemwa taarifa dhabiti kwa usahihi.
"Yesu aliwambia wanafunzi wake"
Neno "wengi" umaanisha idadi kubwa ya watu waliokwisha ponywa na Yesu. "Kwa sababu Yesu alikuwa ameponya tayari watu wengi, kila mmoja"
"wagonjwa wote walimsonga wakiwa na shauku ya kumgusa"
"muone Yesu"
Hapa "wao" urejea kwa roho chafu. Ni zile zinazosababisha watu wanao wamiliki kufanya mambo. Hii inaweza kufanywa dhabiti. "ziliwasababisha watu wanao wamiliki kuanguka chini mbele yake na kulia.
Roho chafu hazikuanguka mbele yake Yesu kwa sababu zilimpenda au zilitaka kumwabudu yeye. Zilianguka chini mbele yake kwa sababu zilimuogopa.
Yesu ana nguvu juu ya roho chafu kwa sababu ni yeye ni "Mwana wa Mungu"
Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu
"Yesu aliwaamuru kwa msisitizo roho hizo chafu"
"si kumfunua yeye ni nani"
Yesu awaita rasmi wanafunzi wake kabla hajaenda nyumbani, pale aliposhitakiwa kuwa wazimu na aliyetawaliwa na Beelzebuli.
"ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri"
Mwandishi anaanza kuwataja orodha ya majina ya mitume kumi na mbili. Simoni ni mtu wa kwanza aliye kutajwa.
Kikundi cha maneno "kwa wale" urejea kwa wote Yakobo mwana wa Zebedayo na ndugu yake Yohana.
"Jina Bonagesi, ambalo lina maanisha wana wa ngurumo" Maana ya jina "Bonagesi" inaweza kuwa dhabiti zaidi. "jina jipya 'wanaume wanaofananishwa kama ngurumo"
Hili ni jina la mwanaume
"ambaye atamsaliti Yesu" Neno "ambaye" urejea kwa Yuda Iskariote.
"Kisha Yesu alienda nyumbani kule alikokuwa anaishi"
Neno "mkate" usimama badala ya chakula. "kule wote" au " kula chochote"
Familia yake walienda nyumbani, ili kwamba wamkamate na kumlazimisha aende nao.
Maana za neno "wao" ni 1) ndugu zake au 2) baadhi ya watu katika umati
"Familia ya Yesu inatumia lugha hii kueleza kwa namna gani wanafikiri anavyofanya. "uazimu" au kichaa"
"Kwa nguvu za Beelzebuli ambaye ni mtawala wa mapepo, Yesu anatoa mapepo
Yesu aeleza kwa mifano kwanini hatawaliwi na Shetani na wale wanaofanya mapenzi ya Mungu wako vile vile kama kuwa kaka yake, na dada, na mama.
"Yesu aliwaita watu waje kwake"
Yesu aliuliza swali hili katika kuwajibu waandishi kusema kwamba anatoa mapepo kwa Beelzebuli. " "Shetani hawezi kujitoa yeye mwenyewe!" au " Shetani hawezi kwenda kinyumbe na roho zake chafu!"
Neno "ufalme" ni neno mbadala kwa watu wanaoishi katika ufalme. "kama watu wanaoishi katika ufalme wamegawanyika wao wenyewe"
Kikundi hiki cha maneno ni mfano wa maana kwamba watu hawataunganishwa na wataanguka. "hawatavumilia" au "wataanguka"
Haya ya maneno mbadala kwa watu wanaoishi ndani ya nyumba. "familia" au "kaya"
Neno "mwenyewe" ni nomino tendaji ambayo inarejea tena kwa Shetani, na mfano mbadala wa roho chafu zake. "Kama Shetani na roho zake chafu waligombana" au "kama Shetani na roho zake chafu wameinukiana dhidi ya mwenzake na wamegawanyika"
Huu ni mfano unamaanisha ataanguka na hawezi kuvumilia. "atakoma kuwa pamoja" au "hawezi kuvumilia na amefika mwisho" au "ataanguka na amefika mwisho.
kuiba vitu vya dhamani vya mtu
Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata ni ya kweli na muhimu
"wale waiokwisha zaliwa." Sura hii imetumiwa kusisitiza ubinadamu wa watu. "watu"
"zungumza"
"watu walikuwa wakisema"
Hii ni lugha inayo maanisha kumilikiwa na roho chafu. "anamilikiwa na roho chafu"
Hii inarejea kwa ndugu zake Yesu
"Wakamtuma mtu ndani kumwambia kwamba walikuwa nje na kwamba yeye anapaswa kuja kwao"
"wanakuulizia wewe"
"hawa ni ndugu, dada yangu, na mama yangu"
Marko 4:3-10 huunda mfano mmoja. Mfano huo umeelezwa katika 4:14-23.
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 4:12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Mifano ni hadithi fupi ambayo Yesu aliwaambia ili watu waweze kuelewa kwa urahisi somo alilojaribu kuwafundisha. Pia aliwaambia hadithi ili wale ambao hawakutaka kumwamini wakose kuelewa kweli.
Yesu alipokuwa anafundisha akiwa kwenye mtumbwi kandokanod ya bahari, aliwambia mfano wa udongo
Hii ni bahari la Galilaya
"na akaketi ndani mwa mtumbwi"
"Zingatia"
"Alipokuwa akipanda mbengu juu ya udongo." Kwa tamaduni zingine watu walipanda mbingu kwa utofauti. Katika mfano huu mbengu zilipandwa kwa kutupwa juu ya ardhi iliyokuwa imeandaliwa kwa kukuza.
"zilianza kuota kwa haraka"
Hii inarejea kupoteza uchafu juu ya ardhi ambapo utapanda mbengu.
Hii urejea kwa mimea midogo. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "inanyausha mimea midogo"
"sababu mimea midogo haikuwa na mizizi, zilinyauka"
Neno ika -"zi"-songa urejea kwa mimea midogo
Kiasi cha nafaka kilichotokana na kila mmea inalinganishwa na mbengu moja iliyoota. "Mimea baadhi ilizaa mara thelathini zaidi kama mbegu ilivyopandwa na mtu"
"30...60...100." Hizi zinaweza kuandikwa kama hesabu
Yesu anaendelea kueleza kiasi cha nafaka iliyopatikana. Udondoshaji wa maneno umetumika hapa kufupisha kikundi cha maneno lakini yanaweza kuandikwa. "na baadhi zilizaa sitini zaidi ya nafaka na baadhi zilizaa mia zaid ya nafaka"
Hii ni njia ya kurejea kwa yeyote asikilizae. "Yeyote anayenisikiliza mimi"
Hapa neno "kusikiliza" humaaanisha kuwa makini. "unapaswa kuwa makini kwa kila ninachosema"
Hii haimaanishi kwamba Yesu alikuwa kabisa peke yake, hapa, umati wa watu ulikuwa umeenda na Yesu alikuwa na wanafunzi kuma na wawili na wafuasi wengine baadhi.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu amekupa wewe" au "Nimekwisha kukupa wewe"
"lakini kwa wale hawako miongoni mwenu" Hii urejea kwa wote wale hawakuwa miongoni mwa wanafunzi kumi na wawili au wafuasi wengine wa Yesu.
Inaweza kusemwa kwamba Yesu anatoa mifano kwa watu. " Nimezungumza vyote katika mifano"
Inakisiwa kwamba Yesu anazungumza kuhusu watu akitazama kwa kile anacho waonyesha na kusikia kile anacho wambia. "wanapotaza kile nafanya... wanaposikia kile nachosema "
Yesu anazungumzia watu wanaoelewa wanachokiona kwa uhalisia. "wanatazama na hawaelewi"
Hii inamaanisha kugeuka mbali na dhambi
Yesu anaelezea mfano wa udongo kwa wafuasi wake na kisha anawambia kuhusiana na taa kuonyesha vitu vilivyo jificha vitajulikana.
"Na Yesu akasema na wanafunzi wake"
Yesu alitumia maswali haya kuonyesha jinsi alivyokuwa na huzuni kwamba wanafunzi wake hawakuweza kuelewa mfano wake. "kama hautaweza kuelewa mfano huu, fikiri jinsi ilivyo ngumu kwa wewe kuelewa mifano mingine"
"Mkulima anayepanda mbegu zake huwakilisha"
"Neno" huwakilisha ujumbe wa Mungu. Kupanda ujumbe huwakilisha kufundisha. "yule anayefundisha watu ujumbe wa Mungu"
"Baadhi ya watu ni kama mbegu huanguka kandokando mwa njia" au "Baadhi ya watu ni kama njia ya miguu ambapo mbegu huangukia"
"njia ya miguu"
Hapa wanapo-"i" sikia urejea "neno" au "ujumbe wa Mungu"
"Na baadhi ya watu ni kama mbegu." Yesu anaanza kuelezea ni kwa namna gani wanafanana kama mbegu zinazoangukia udongo wa mawe.
Hii ni ulinganishi wa mimea midogo kuwa inakuwa na mizizi mifupi. Mfano huu humaanisha kwamba watu kwa mara kwanza husimumika pindi wapokeapo neno, lakini hawakujitoa kwa nguvu kwalo. "Nao wanakuwa kama miche midogo isiyokuwa na mizizi"
Hii siyo ya kutia chumvi sana katika kuelezea, tiachumvi, kusisitiza jinsi mizizi ilivyokuwa na kina kidogo.
Katika mfano huu, "vumilia" humaanisha "kuamini" "kuendelea katika imani"
Inaweza kuwa msaada kueleza kwanini taabu huja. Ilikuja kwa sababu watu waliliamini neno. "sababu waliliamini neno"
Katika mfano huu, "kujikwaa" humaanisha "kuacha kuamini ujumbe wa Mungu"
Yesu anaanza kueleza kwa namna gani watu wanakuwa kama mbegu zinazoanguka kwenye miiba. "Na watu wengine wanakuwa kama mbegu zilizopandwa katika miiba"
"masumbufu ya maisha" au "mambo yanayo husiana na maisha ya sasa"
"tamaa ya mali"
Kama Yesu anavyoendelea kusema kuhusu watu walio kama mbegu zinazoanguka katika ya miiba, anaeleza tamaa na masumbufu yanavyofanya kwa neno katika maisha kama miiba inavyoisonga mimea midogo.
"neno hakuna kuzaa tunda lolote katika wao"
Yesu anaanza kueleza namna gani baadhi ya watu wako kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. "kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri"
Hii inarejea kwa nafaka ilitokana na mimea. "baadhi huzaa nafaka thelathini, baadhi nafaka sitini, na baadhi nafaka mia" au baadhi 30 nafaka, baadhi nafaka 60, na baadhi nafaka 100"
"Yesu alisema na umati"
Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Unaleta taa ndani ya nyumba na kuiweka chini ya kikapu, au chini ya kitanda!"
Hii inaweza kusemwa kwa namna chanya. "Kwa kila kitu kilichojificha kitafanywa kujulikana, na chochote kilicho sirini kitakuwa peupe"
"hakuna kilichojificha... hakuna siri" Vifungu vyote vina maana ile ile. Yesu anasisitiza kwamba kila kilichojificha kitawekwa wazi.
Hapa neno "kusikiliza" humaaanisha kuwa makini. "unapaswa kuwa makini kwa kila ninachosema"
"Yesu akawambia umati"
maana zinazowezekana ni 1) Yesu anazungumza kipimo halisi na ukarimu kwa wengine au 2) huu mfano ambao Yesu anazungumzia wa "kuelewa" kama ilikuwa ni "kupima"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atakupima, na atakuongezea"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kwa yeye Mungu atampa zaidi...kutoka kwake Mungu atavichukua"
Yesu basi anawambia watu mfano kueleza ufalme wa Mungu, ambapo kwa badae anawaeleza wanafunzi wake.
Yesu hufanananisha ufalme wa Mungu kwa mkulima anayepanda mbegu. "kama mkulima anayepanda mbegu"
"Anamka asubuhi na kulala usiku"
shina au kuchipuka
kichwa katika shina au sehemu ya mmea inashika tunda
Hapa "mundu" ni maneno mbadala yanayosimama kwa mkulima au watu wanaotumwa na mkulima kwenda kuvuna nafaka. "mara huenda na mundu kuvuna nafaka" au "mara hutuma watu na mundu kuvuna nafaka"
ni upanga uliojikunja au ndoano iliyo na makali inatumiwa kuvunia nafaka
Hapa maneno "ni tayari" ni lugha kwa ajili ya nafaka iliyo tayari kuvunwa. "sababu nafaka iko tayari kuvunwa"
Yesu aliuliza swali hili kusababisha wasikilizaji wake kufikiri kuhusu ufalme wa Mungu. "Pamoja na mfano huu naweza kueleza ufalme wa Mungu ukoje"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "wakati yoyote anapanda mbegu" au "wakati yoyote anapanda mmea"
Mti wa haradali unaelezwa kama unasababisha matawi kukua makubwa. "pamoja na matawi makubwa"
Neno "kwao" urejea kwa umati
"na kama waliweza kuelewa baadhi, aliendelea kuwaambia zaidi"
Hii inamaanisha kuwa alikuwa mbali na umati, lakini wanafunzi bado walikuwa naye.
Hapa "kila kitu" ni kutia chumvi sana katika kueleza kitu au tia chumvi. Aliezea mifano yake yote. "alielezea mifano yake yote"
Kama Yesu na wanafunzi wake wanachukua mtumbwi kukwepa umati wa watu, upepo mkali wa dhoruba ukajitokeza. Wanafunzi wake wanaogopa wanapoona hata upepo na bahari unamtii Yesu.
"Yesu alisema kwa wanafunzi wake"
"upande wa pili wa bahari ya Galilaya" au "upande wa pili wa bahari"
Hapa "ukajitokeza" ni lugha inayotumiwa kwa "kuanza" " upepo mkali wa dhoruba kuanza"
Inaweza kuwa msaada kusema kwamba mtumbwi ulikuwa umejaa maji. "mtumbwi ulikuwa umejaa maji"
Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri"
Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi"
Neno "waka" urejea kwa wanafunzi
Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa"
Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu.
Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza
"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari"
"Na Yesu akasema kwa wanafunzi wake"
Yesu anauliza maswali haya kuwafanya wanafunzi kufikiri kwanini wanaogopa wakati yuko pamoja nao. Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Haupaswi kuogopa. Unahitaji imani zaidi"
Wanafunzi wanauliza swali katika hali ya kushangaa kwa yale Yesu alifanya. Hili swali linaweza kuandikwa kama sentensi. "Huyu mtu si kama watu wengine wa kawaida; hata upepo na bahari unamtii!"
Maneno "Talitha, koum" (Marko 5:41) yanatoka kwa lugha ya Kiaramu. Marko anayaandika jinsi yanavyosikika na kisha kutafsiri. (See: [[rc://*/ta/mtu/translate/translate-transliterate]])
Baada ya Yesu kutuliza dhoruba kubwa, anamponywa mtu aliyekuwa na mapepo mengi, lakini wenyeji wa Gerasi hawakufurahi kwa uponyaji wake, na walimuomba Yesu aondoke.
Neno "Wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake.
Hii urejea kwa Bahari ya Galilaya
Hili jina urejea kwa watu wanaoishi Gerasi.
Hii lugha inayomaanisha kwamba mtu "ametawaliwa" au "kumilikiwa" na roho chafu. "kutawalia na roho chafu" au roho chafu kumiliki"
Hii inaweza kuandikwa katika kauli tendaji. "Watu walimfunga mara nyingi"
Hii inaweza kuandikwa katika kauli tendaji. "kuharibika kwa viungo vyake"
"kamba kwenye miguu yake" au "minyororo iliyofungwa kifundoni kumzuia"
"pingu" au "minyororo ilifungwa kwenye kifundo cha mkono kumzuia"
"mwenye kumzuia" Mtu mwenye pepo mchafu hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguvu za kumshinda
"kumtawala"
Mara nyingi wakati ambapo mtu anamilikiwa na pepo, pepo atamsababisha mtu huyo kufanya vitu vya uharibifu, kama vile kujikata mwenyewe.
Wakati ambapo mtu huyu alipomwona Yesu, Yesu alikuwa anatoka mtumbwini.
Hii inamaanisha aliinama mbele za Yesu kwa hofu na heshima, na wala si kwa kuabudu.
"Roho chafu ikapiga kelele"
Roho chafu inauliza swali hili kwa uoga. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Niache peke yangyu, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu! Hakuna sababu ya wewe kuniingilia mimi"
Yesu, "Mwana wa Mungu aliye juu,"ana uwezo kuzitesa roho chafu.
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
Hapa roho chafu anaapa kwa Mungu kama anafanya ombi la Yesu. Angali namna gani ya ombi hili linafanywa katika lugha ya kwenu.
roho zilizokuwa ndani ya mtu zilisema kwa Yesu kwamba haimo roho chafu moja tu ndani ya mtu huyu, bali roho wengi wachafu.
"roho chafu walimsihi Yesu"
"Yesu aliziruhusu roho chafu" zikawaingie nguruwe
"na nguruwe walikimbilia"
Unaweza kuifanya hii sentensi kujitegemea: "mpaka baharini. Kuliwakuwako na nguruwe elfu mbili, na walizama baharini."
"Yapata nguruwe 2000 " walizama baharini
Inaweza kusemwa kwa usahihi kuwa watu walitoa taarifa yao kwa watu walikuwa katika mji na nchi.
Hili lilikuwa jina la mapepo mengi ambayo yalikuwa ndani mwa mtu.
Hii ni lugha inayoamaanisha kuwa anafikiri vizuri. "kwa akili timamu" au "kufikiri kwa usahihi.
Neno "wa" urejea kwa kundi la watu walioenda nje kuona nini kimetokea.
"Mtu ambaye mapepo yalimtawala"
amepagawa na mapepo- Ijapokuwa mtu hajapagawa na mapepo tena, bado anaelezwa katika hali hiyo. "mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo"
Alichofanya Yesu hakikumruhusu mtu kufanya inaweza kusema kwa usahihi. "Lakini hakumruhusu mtu kuja nao"
Mkoa uliokuwa kusinimashariki mwa Bahari ya Galilaya
Inaweza kuwa msaada kusema kwanini watu walistaajabu. "watu wote waliosikia alichosema walistaajabu"
Baada ya kumponya mtu aliyemilikiwa na pepo katika mji wa Gerasenes, Yesu na wanafunzi wake wanarudi kupitia ziwa Kaperinaumu ambapo mmoja wa watawala wa sinagogi anamuuliza Yesu kumponya binti yake.
Inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa kwa maneno haya. "upande wa pili wa bahari"
"ufukoni mwa bahari" au "katika ufuko"
Hili ni bahari la Galilaya.
Hili ni jina la mwanaume.
"Hivyo Yesu alienda pamoja na Yairo." Wanafunzi wa Yesu walienda pia naye. "Hivyo Yesu na wanafunzi walienda na Yairo"
"Kuweka mikono" urejea kwa nabii au mwalimu kuweka mkono wake kwa mtu na kugawa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yairo anamuomba Yesu kumponya binti yake.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "na mponye na kumfanya hai"
Hii inamaanisha umati walimzunguka Yesu na kujisonga wenyewe kuwa karibu na Yesu.
Wakati Yesu akiwa katika njia kumponya mtoto wa miaka 12 wa mtu mmoja, mwanamke aliyekuwa anaumwa miaka 12 anaingilia kati kwa kumgusa Yesu kwa ajili ya uponyaji.
"Sasa" inaonyesha kuwa huyu mwanamke ambaye ametambulishwa kwa simulizi katika lugha yako.
Mwanamke hakuwa na kidonda kilichokuwa wazi; badala yake, kutokwa kwa damu yake kwa kila mwezi hakukukoma. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya heshima kurejea kwa hali hii.
"kwa miaka 12"
"ugonjwa wake ilikuwa mbaya" au "kutokwa damu kuliongezeka"
Alikuwa amesikia taarifa kuhusu Yesu kwa jinsi alivyoponya watu. " Kuwa Yesu aliponya watu"
vazi la nje au mkoti
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "itaniponywa mimi" au "nguvu yake itaniponywa mimi"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "ugonjwa ulimwacha" au " hakuwa tena na ugonjwa"
"tulishangaa kusikia ukisema kwamba mtu fulani alikugusa."
Hii inamaanisha walimsonga Yesu na kusukuma wenyewe kwa pamoja kuwa karibu na Yesu.
"alipiga magoti mbele zake." Alipiga magoti mbele ya Yesu kama tendo la heshima na utii.
Maneno "ukweli wote" urejea kwa namna alivyomgusa na kupona. "kumwambia ukweli wote kuhusu alivyomgusa"
Yesu alikuwa akiitumia istilahi hii kwa mfano kurejea kwa mwanamke kama muumini.
"imani yako kwangu"
"Wakati Yesu alipokuwa akizungumza"
Maana zinazowekana ni 1) watu hawa walitokea nyumbani mwa Jarius au 2) Jarius alikuwa amewapa watu hawa maagizo kwenda kumuona Yesu au 3) watu hawa walikuwa wametumwa na mtu aliyekuwa kama mwenyekiti na kiongozi wa Sinagogi kwa kukosekana kwa Jarius.
"kiongozi wa Sinagogi" ni Jarius
"kuzungumza na Jairus
"Hatupaswi kumsumbua mwalimu zaidi"
Hii inarejea kwa Yesu
Kama ni muhimu, unaweza kusema kuwa Yesu anamuamru Jarius kuamini. "Amini tu naweza kumfanya binti yako kuwa hai"
Katika mistari hii neno "a" urejea kwa Yesu.
"kwenda naye" Inaweza kuwa msaada kusema wakati walipokuwa wakienda. "kuongozana naye kwa nyumba ya Jarius"
"Yesu aliwaambia watu walikuwa wakilia"
Yesu aliuliza swali hili kuwasaidia kuona imani yao ndogo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi "Hampaswi kufadhaika na kulia."
"watoe watu wengine wote nje ya nyumba"
Hii inarejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana
Inaweza kuwa msaada kusema alipokuwa mtoto. "alienda chumbani pale alipokuwa amelala mtoto."
Hii ni sentensi ya kiaramu, ambayo Yesu alimwambiaa binti katika lugha yake.
"alikuwa na miaka 12"
"Aliwaamuru kwa nguvu, hakuna yeyote anapaswa kujua hili" au "Aliwaamuru kwa nguvu, Wasimwambie yeyote kuhusu aliyoyafanya!"
"Aliwaamuru kwa nguvu"
Na aliwaambia, 'mpeni chochote ale"
Katika inchi ya Mashariki ya Karibu wakati wa kale, watu walijaribu kuponyesha wagonjwa kwa kuwawekea mafuta ya mizeituni.
Yesu anarudi kwa mji wa nyumbani ambapo anakataliwa.
Hii inarejea kwa mji wa Nazarethi ambao Yesu alikulia na familia yake inaishi. Hii hana maana ya kuwa anamiliki ardhi.
Hili swali, ambalo lina muundo wa tulivu, inaweza kuulizwa katika kauli tendaji. "Hii ni hekima ya namna gani aliyopata?"
Haya maneno yanasisitiza kuwa Yesu mwenyewe anafanya miujiza.
Si huyu ni seremala, kijana wa Mariamu, na kaka yake Yohana na Yose na Yuda na Simoni? Dada zake hawapo hapa kati yetu?
"kwa umati"
Ni hakika kabisa kwamba wananiheshimu na manabii wengine wa sehemu nyingine,lakini si ndani ya miji tuliozaliwa! Hata kidogo na watu wanaoishi katika nyumba zetu hawatuheshimu!"
"kuwawekea mikono" inarejea kwa nabii au mwalimu kuweka mikono yake kwa yeyote na kutoa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yesu anaponya watu.
Yesu anatuma wanafunzi wake nje wawili wawili kuhubiri na kuponya.
Hapa neno "aliwaita" linamaanisha kuwa aliwaita kumi na wawili waje kwake.
" 2 kwa 2" au "jozi" msivae kanzu mbili msichukue shuka nyingine."
Hapa "mkate" ni neno yenye maana sawa na chakula kwa ujumla.
Katika utamaduni, wanaume walibeba pesa zilizowekwa katika mkanda. "hapana pesa iliwekwa kwenye mfuko wa pesa"
"Yesu akawaambia kumi na wawili"
"kaeni katika nyumba ile mpaka mtakapoondoka katika mji ule."
"kama ushuhuda kinyume nao." Inaweza kuwa msaada kueleza namna hili tendo lilikuwa ushuhuda kwao. "kama ushuhuda kwao. Kwa kufanya hivyo, utaweza kushuhudiwa kuwa hawakuwakaribisha"
Neno "waka" urejea kwa kumi na wawili na haimjumuishi Yesu. Pia, inaweza kuwa msaada kusema kwamba walienda katika miji baadhi. "
"tubu dhambi zao"
Inaweza kuwa msaada kusema kwamba walifukuza pepo nje ya watu. "Walifukuza pepo wengi nje ya watu"
Wakati Herode anasikia kuhusu miujiza ya Yesu, anakuwa na wasiwasi, kufikiri kwamba mtu fulani amemfufua Yohana Mbatizaji kutoka kwa wafu. (Herode alisababisha Yohana Mbatizaji kuuwawa.)
Neno "hayo" urejea kwa kila kitu ambacho Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakifanya katika miji baadhi, ikiwemo na kukemea mapepo na kuponywa watu.
Baadhi ya watu walikuwa wakisema kuwa Yesu alikuwa ni Yohana Mbatizaji. Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Baadhi yao walikuwa wakisema, 'Ni Yohana Mbatizaji alie rejea"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimfufua Yohana Mbatizaji"
Inaweza kuwa msaada kusema kwanini baadhi ya watu walifikiri kuwa ni Eliya. "Baadhi wao walisema, ni Eliya, ambaye Mungu aliahidi kumtuma tena."
Katika mstari wa 17 mwandishi anaanza na kutoa maelezo ya nyuma kuhusu Herode na kwanini alimkata kichwa Yohana Mbatizaji.
Hapa Herode anatumia neno "Ni" ikirejea kwake mwenyewe. Neno "Ni" mbadala linalotumika kwa maaskari wa Herode. "ambao niliamuru maaskari wangu kumkata kichwa."
Hiii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "amekuwa hai tena"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Herode alituma maaskari wake kumshika Yohana na kumfunga gerezani"
"amri ya kumshika"
"kwa sababu ya Herode"
"mke wa ndugu yake Filipo." Ndugu wa Herode ambaye ni Filipo siyo sawa na Filipi ambaye alikuwa mwinjilisti katika kitabu cha Matendo ya mitume aur Filipi aliyekuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu.
"kwa sababu Herode alikuwa amemuoa"
Binti wa Herode ni mtendaji mkuu katika kifungu hiki na "binti" ni maneno mbadala kama anavyotaka mtu fulani amuuwe Yohana. "alitaka mtu fulani amuuwe, lakini asinge muuwa"
Hivi vifungu viwili vinaweza kuunganishwa tofauti kuonyesha zaidi kwanini Herode alimwogopa Yohana. "maana Herode alimwogopa Yohana kwa sababu alimjua"
"Herode alimjua kuwa Yohana alikuwa mwema"
"Msikilize Yohana"
Mwandishi anaendelea kutoa maelezo ya nyumba kuhusu Herode na kukatwa kichwa Yohana mbatizaji.
Hapa neno "aka" urejea kwa Herode na maneno mbadala kwa mtumwa wake ambaye angeweza kumwamuru kuandaa karamu. " alikuwa na chakula kilichokuwa kimaandaliwa kwa ajili ya maofisa... wa Galilaya" au alikuwa amealika maofisa wake... wa Galilaya kuwa na kufurahi pamoja naye"
chakula cha kawaida au dhifa
Neno "wake mwenyewe"ni nomino inayotumiwa kusisitiza kwamba ilikuwa ni muhimu alikuwa ni binti wake Herode aliye cheza wakati wa karamu.
"alikuja ndani ya chumba"
Hii inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "Nitakupa nusu ya kile ninachomiliki na kutawala, kama utaniomba"
"akatoka nje ya chumba"
"sasa hivi"
juu ya kisahani
"kwa sababu ya wageni wake waliosikia akitoa ahadi,"
"juu ya kisahani"
"Na wanafunzi wa Yohana"
Baada ya wanafunzi kurudi toka kuhubiri na kuponya, wanaenda sehemu nyingine kuwa na faragha, lakini kuna watu wengi wanakuja kumsikiliza Yesu anafundisha. Wakati ambapo kunakuwa jioni, anawalisha watu na kisha anawatuma kila mmoja wakati akiomba peke yake.
eneo ambalo halikuwa na watu
Hii inamaanisha kwamba watu waliendelea kuja kwa mitume na kisha kwenda mbali nao.
Neno "hawa" urejea kwa mitume.
Hapa neno "wali" inawajumuisha mitume na Yesu.
"watu walimuona Yesu na mitume wakiondoka"
Watu walienda kwa miguu kutoka miji yote, ambapo inajipinga na namna wanafunzi walienda kwa mtumbwi.
"Yesu aliona umati mkubwa"
Yesu analinganisha watu kwa kondoo waliochanganyikiwa pindi wanapokosa mchungaji wao wa kuwaongoza.
Hii inamaanisha ilikuwa ni jioni. "Wakati ambapo kulikuwa kumeendelea" au " kuendelea jioni"
Hii inarejea kwa eneo ambalo hakuna watu. Ona kama ilivyo tofasiri katika 6:30
"Lakini Yesu aliwajibu na akisema kwa wanafunzi wake"
Wanafunzi wanauliza swali hili kusema kwamba hakuna njia wanaweza kununua chakula cha kutosha kwa umati huu. "Hatuwezi kununua mikate ya kutosha kulisha umati huu, hata kama tungekuwa na dinari mia mbili!"
"200 dinari." Dinari ni sarafu za Kirumi.
"mikate" Mikate ni donge la unga lilotengenezwa na kuokwa.
Eleza nyasi kwa rangi ya neno inavyotumika katika lugha yako kwa nyasi zenye afya, ambayo inaweza ua isiwe rangi ya kijani.
Hii urejea kwa namba ya watu katika kila kundi. "wapatao watu hamsini katika baadhi ya makundi na wapatao watu mia kwa makundi mengine"
Hii inamaanisha kwamba alitazama juu mbinguni, ambako kunausishwa na sehemu anayoishi Mungu.
"alizungumza baraka" au "alishukuru"
"aliwagawa samaki wawili ili kwamba kila moja apate kitu"
Maana zinazoweza ni 1) "Wanafunzi walichukua au 2) "Watu walichukua"
"vikapu kumi na viwili vilijaa vipande vya mkate"
"12 vikapu"
"5,000 wanaume"
Hesabu ya wanawake na watoto haikuhesabiwa. Kama isingeelewaka kuwa wanawake na watoto walikuwapo, inaweza kuwekwa kwa usahihi. "Na kulikuwa na watu elfu tano walio kula mikate. Hawakuwahesbau wanawake na watoto"
Hii inarejea kwa Bahari ya Galilaya.
Huu ni mji uliopo pwani ya kaskazini katika bahari ya Galilaya.
"Walipokuwa watu wamekwisha kuondoka"
Dhoruba inajitokeza wakati wanafunzi wanajaribu kuvuka ziwa. Kumuona Yesu anatembea juu ya maji kunawaogopesha. Hawaelewi namna gani Yesu anaweza kutuliza dhoruba.
Huu ni wakati kati ya saa tatu asubuhi na jua linajomoza.
roho ya mtu aliyekufa au aina zingine za roho
Sentensi hizi mbili zinafanana katika maana, zinasisitiza kwa wanafunzi kwamba hawakupaswa kuogopa.
Kama unataka kuwa mahususi zaidi, inaweza kusemwa nini walikuwa wakishangaa. "Walishangazwa na kila alichokuwa amekifanya"
Neno "mikate" urejea wakati Yesu alipoizidisha mikate.
Kuwa na mioyo inawakilisha kuwa wagumu kuelewa.
Wakati Yesu na wanafunzi wake wanafika Genesareti wakiwa katika mtumbwi wao, watu wanamuona na kumletea watu awaponye. Hii inatokea kokote waendako.
Hili ni jina la mkoa kaskazi mwa magharibi mwa Bahari ya Galilaya.
"watu pale walimtambua Yesu"
Neno "wa" urejea kwa watu waliomtambua Yesu, wala si kwa wanafunzi.
Neno hili urejea kwa watu. "watu wagonjwa"
"Popote Yesu alipoingia"
Hapa "wa" urejea kwa watu. Haaina maana ya kurejea kwa wanafunzi wa Yesu
Hii urejea kwa watu. "watu wagonjwa"
Maana zinazowekana ni 1)"mgonjwa alimsihi" au 2) "watu walimsihi"
Neno "wa" urejea kwa mgonjwa.
"pindo la vazi lake" au " pindo la vazi lake"
"wote"
Some translations set poetry farther to the right than the rest of the text to show that it is poetry. The ULB does this with the poetry in 7:6-7, which is from the Old Testament.
The Pharisees washed many things that were not dirty because they were trying to make God think that they were good. They washed their hands before they ate, even when their hands were not dirty, though the law of Moses did not say that they had to do it. Jesus told them that they were wrong and that people make God happy by thinking and doing the right things. and )
This is an Aramaic word. Mark wrote it the way it sounds using Greek letters and then explained what it means.
Yesu anawakemea Mafarisayo na waandishi
"walikusanyika kumzunguka Yesu"
"na Mafarisayo na wandishi waliona"
Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "kwamba, walikula na mikono najisi"
Wazee wa kiyahudi walikuwa viongozi katika jamii zao na pia walikuwa waamuzi wa watu.
"mabirika ya shaba" au "vyombo vya vyuma"
"benchi" au "vitanda". Kwa wakati huo, Wayahudi wange egemea kitu wakati wa kula.
"Wanafunzi wako hawatii tamaduni za wazee wetu! Wanapaswa kuosha mikono yao kwa kutumia ibada zetu!"
Hapa Yesu ananukuu kwa nabii Isaya, ambaye aliandika maandiko miaka mingi kabla.
Hapa "midomo" ni kirai cha kuzungumza. "kwa kile wanachosema"
Hapa "moyo" urejea kwa mawazo ya watu au hisia. Hii ni njia kusema kuwa watu hawajitoa kwa Mungu. "lakini hawanipendi kabisa"
"Wananifanyia ibada zisizo na maana" au wananiabudu kwa utupu"
Yesu anaendelea kuwakemea wandishi na Mafarisayo
"kata kumfuata"
"Anaye laani"
"shikiliza kwa nguvu" au "weka"
Yesu anatumia sentensi za kejeli kuwakemea wasikilizaji wake kwa kuziacha amri za Mungu. "Mnafikiri mmefanya vizuri kwa jinsi mmemkataa amri za Mungu ili kwamba mtunze tamaduni zenu, lakini mlichofanya si vizuri kabisa!"
"mu uhodari kiasi gani kumkataa"
"anaye laani"
"anapaswa kuuwawa"
Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mamlaka yanapaswa kumwadhibu kifo mtu anasema vibaya juu ya baba yake au mama"
Tamaduni za waandishi zilisema kwamba pindi pesa au vitu vingine vilipoahidiwa kanisani, visingetumika kwa lengo lingine lolote.
Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, kwa hiyo andika hii kwakutumia alfabeti za lugha yako lisikike kama hili kwa kadri uwezavyo.
Hapa mwandishi anarejea kwa kitu fulani katika neno la Kiebrania. Hili neno linapaswa kunakiriwa kama ilivyo katika lugha yako kutumia alfabeti.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Nimeitoa kwa Mungu"
Kwa kufanya hivi, Mafarisayo wanawaruhusu watu kutowapatia wazazi wao, kama wanatoa ahadi kumpa Mungu kila wangetoa kwao
kualishwa au kuachana nayo
"Na mnavyofanya inaweza vitu vingine kufanana na hiki"
Yesu anazungumza mfano kwa umati kuwasaidia kuelewa alichokuwa akiwaambia waandishi na Mafarisayo.
"Yesu aliita"
Neno hili "Sikiliza" na "elewa" yanashabiana. Yesu anayatumia yote pamoja kusisitiza kwamba wasikilizaji wake lazima wawemakini kwa kile anachokisema.
Inaweza kuma msaada kusema nini Yesu anawaambia kuelewa. "jaribu kuelewa ninachoenda kukuambia"
Yesu anazungumza kuhusu anachokula mtu. Hii ni kinyume na "kile kitokacho mwa mtu"
"Ni utu wa ndani" au "Ni kile mtu anachofikiri, anachosema, au dkufanya"
Wanafunzi bado hawajaelewa nini Yesu alichosema kwa waandishi, Mafarisayo, na umati. Yesu anaeleza maana zaidi kwa utoshelevu kwao.
Neno hili limetumika hapa kuanzisha wazo jingine katika hadithi. Sasa Yesu yuko mbali na umati, yuko ndani na wanafunzi wake.
Yesu anatumia swali hili kueleza kukatishwa tamaa kwake kwamba hawaelewi. Hii inaweza kuelezwa kama sentensi. "Baada ya yote nimekwisha sema na kufanya, ningetegemea muelewe"
Yesu anatumia swali hili kufundisha wanafunzi wake kitu fulani ambacho walipaswa kuwa wanakijua tayari. Inaweza kusemwa kama sentensi "Chochote kiingiacho...huchafua
Hapa "haki" urejea kwa kile kimwingiacho mtu, kwamba, kila mtu anakula.
"Yesu alitangaza"
Inaweza kuwa msaada kueleza kwa usahihi nini maana ya maneno haya. "vyakula vyote safi, inamaanisha kuwa watu wanaweza kula chakula chochote pasipo Mungu kumhesabia mlaji kuwa najisi
"Yesu alisema"
Inaweza kuwa msaada kusema kwa ufasaha "kile" urejea kwa. "Ni mawazo na matendo yanayomtoka mtu."
kushindwa kutawala tamaa za mwili
Hapa neno "ndani" huelezea moyo wa mtu. "hutoka ndani mwa moyo wa mtu" au "hutoka ndani mwa mawazo ya mtu"
Wakati Yesu anaenda Tiro, anamponya binti wa mwanamke wa kimataifa akiwa na imani ya ajabu.
Hii ni lugha inayomaanisha kuwa alikuwa amilikiwa na roho chafu.
"piga magoti"
Neno "sasa" utambulisha wazo jingine katika hadithi, kama ilivyo sentensi hii hutoa maelezo ya nyuma kuhusu mwanamke.
Hili ni jina la mwanamke la kitaifa. Alizaliwa mkoa wa Kifoeniki Syria.
"Watoto lazima wale kwanza" au "Lazima nilishe watoto kwanza."
Wayahudi. AT: "Lazima nitumikie Wayahudu kwanza."
Chakula
Watu wa mataifa
"unaweza kunitumikia, mtu wa mataifa, katika njia ndogo hii.
Vipande vidogo vidogo sana ya mkate
"unaweza kwenda sasa" au "nenda nyumbani"
Yesu amesababisha pepo mchafu kumtoka binti wa mwanamke. Hii inaweza kueleza kwa usahihi. "Nimesababisha roho mchafu kumwacha binti yako"
"Alisafiri kupitia"
"miji kumi," kanda ya kusini mashariki ya Bahari ya Galilaya.
"ambaye alikiwa hana uwezo wa kusikia"
"hakuweza kuongea vizuri"
"Yesu alimtoa nje"
Yesu anaweka vidole kwenye masikio yake.
Yesu anatema mate na kisha anagusa ulimi wa mwanaume.
Inaweza kuwa msaada kusema kwamba Yesu alitemea mate vidole vyake.
Hii inamaanisha kuwa alitaza juu mbinguni, ambako kunahusishwa na eneo analoishi Mungu.
Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, Kwa hiyo andika hii kwa kutumia alfabeti za lugha yako na neno lisike karibu na "effatha" kwa kadri uwezavyo.
akavuta pumzi kuonyesha kuwa hakuwa na furaha.
"alisema na mwanaume"
Hii inamaanisha alikuwa hawezi kusikia. "masikio yake yalifunguliwa na aliweza kusikia"
"Yesu alikitoa kilichokuwa kimeushikilia ulimi wake" au "Yesu aliponya kilichokuwa kimemfanya asiongee vizuri"
"kinachomzuia yeye kuongea " au "usemi wake kuwa na kikwazo"
Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa iliyokosekana. "kadri alivyowaamuru wasimwambie mtu yoyote."
"kadri ya upana" au " zaidi"
"kabisa" au "mno"
Haya urejea kwa watu. "watu viziwi...watu wakimya" au " watu wasioweza kusikia...watu wasioweza kuongea"
Wakati Yesu alifanya muujiza na kulisha na mkate kwa umati mkubwa wa watu, labda walikumbuka wakati Mungu alifanya ajabu zamani akalisha watu wa Israeli jangwani.
Chachu ni kiungo kinachosababisha mkate kuwa kubwa kabla ya kuoka. Katika sura hii, Yesu anatumia chachu kama sitiari ya mambo ambayo yanabadili jinsi watu wanavyofikiri, kuzungumza, na kutenda.
Wakati Yesu aliwaita watu "kizazi cha uzinzi," alikuwa akiwaambia kuwa hawakuwa waaminifu kwa Mungu. and )
Yesu alitumia maswali mengi yauhuishaji kama njia ya kuwafundisha wanafunzi
Kitendawili ni taarifa ya kweli inayoonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Yesu anatumia kitambo wakati anasema, "Yeyote anayetaka kuokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata" (Marko 8:35-37).
Umati mkubwa ambao haukuwa na chakula ulikuwa na Yesu. Anawalisha kutumia mikate saba na samaki wachache mbele za Yesu na wanafunzi wake wakaingia ndani ya mtumbwi kwenda eneo jingine.
Kikundi hiki cha maneno kinatumiwa kutambulisha tukio jipya katika hadithi.
"kwa sababu hii ni siku ya tatu hawa watu wamekuwa pamoja nami"
Maana zinazofaa ni 1) "wanaweza kupoteza fahamu kwa muda" au 2)wanaweza kuwa dhaifu"
Wanafunzi wanaonyesha mshangao kwamba Yesu angewatazamia kuweza kupata chakula cha kutosha. "Hili ni eneo la jangwa ambako hakuna eneo ambalo tunaweza kupata mikate ya kutosha kuwalizisha watu hawa!"
Boflo ya mkate ni bonge la unga wa ngano ambalo linatengenezwa na kuokwa.
"Yesu aliwauliza wanafunzi wake"
Hii inaweza kuandikwa kama dondoa ya moja kwa moja. "Yesu aliuamuru umati, 'ukae chini"
Tumia maneno ya lugha ya kwenu kwa namna watu wanakula kimatamaduni kama hakuna meza, aidha kwa kukaa au kujilaza.
Hapa neno "wali..." linatumika kurejea kwa Yesu na wanafunzi wake.
"Yesu alishukuru kwa samaki"
"Hawa watu walikula"
"wanafunzi walikusanya"
Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizokosekana. "vipande vilivyo baki vya mkate na samaki, ambavyo vilijaza vikapu saba vikubwa.
Hii inaweza kuwa msaada kufafanua ambapo Yesu anawaacha waende. "Na baada ya kula, Yesu aliwaacha waende"
Hii inaweza kuwa msaada kufafanua namna ya kwenda Dalmanuta. "walipiga mashua kupitia bahari ya Galilaya mpaka Dalmanuta"
Huko Dalmanuta, Yesu anakataa kuwapa Mafarisayo ishara kabla ya yeye na wanafunzi hawajaingia katika mashua na kuondoka.
"Walimuuliza"
Hapa "mbinguni" urejea kwa eneo ambapo Mungu anaishi, na ni maneno badala ya Mungu. "kutoka kwa Mungu"
Mafarisayo walimjaribu Yesu kumfanya yeye awathibitishie kuwa anatoka kwa Mungu. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "kuhakikisha kuwa Mungu alimtuma yeye"
Hii inamaanisha kuvuta ndani na kisha kupumua.
"katika yeye"
Yesu anawakaripia. Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Kizazi hiki hakipaswi kutafuta ishara"
Wakati ambapo Yesu anazungumza juu ya "kizazi hiki", anarejea kwa watu walio ishi wakati huo. Mafarisayo hawa wanajumuishwa katika kundi hili. "wewe na watu wa kizazi hiki"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "Sitatoa ishara"
Wanafunzi wa Yesu walienda naye. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi pamoja na wanafunzi wake"
Hii huelezea bahari ya Galilaya, ambayo inaweza kusemwa kwa ufasaha. "kwa upande mwingine wa bahari"
Wakati Yesu na wanafunzi wake wakiwa ndani ya mtumbwi, walikuwa na majadiliano kuhusu kuelewa kudogo kati ya Mafarisayo na Herode, ijapokuwa walikuwa wamekwisha ona ishara nyingi.
Hili neno linatumika kuweka alama ya kutenganisha hadithi. Hapa mwandishi anasema taarifa za nyuma kuhusiana na wanafunzi kusahau kuchukua mkate.
Kikundi cha maneno yaliyo kinyume "hakuna zaidi" hutumiwa kusisitiza namna ya kiasi kidogo cha mkate waliokuwa nao. "mkate mmoja tu"
Haya maneno mawili yana maana ya kufanana na yanarudiwa hapa kwa msisitizo. Yanaweza kuanganishwa. "Kuwa macho"
Hapa Yesu anazungumza kwa wanafunzi wake katika mfano ambao hawauelewi. Yesu analinganisha mafundisho ya Mafarisayo na Herode kwa chachu, lakini hauwezi kueleza hivi unavyo tofasiri sababu wanafunzi wenyewe hawakuuelewa.
Katika sentensi hii, inaweza kuwa msaada kusema kwamba, "ni" urejea kwa kile Yesu alichokwisha sema. "Angepaswa kuwa amesema kwa sababu hatuna mikate"
Wanafunzi walikuwa na mkate mmoja, ambao haikuwa na tofauti kutokuwa na mkate kabisa. "mikate midogo kabisa"
Hapa Yesu anawaonywa kwa ulaini wanafunzi wake kwa sababu wangeweza kuelewa alichokuwa anazungumzia. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Haupaswi kufikiri kwamba naongelea mkate halisi"
Maswali haya yana maana ile ile na yanatumika kwa pamoja kusisitiza kwamba hawaelewi. Hii inaweza kuandikwa kama swali moja au sentensi. "Hamjajua bado?" au "Mnapaswa kujua na kuelewa kwa sasa mambo ninayo sema na kufanya."
Mfano huu urejea kwa hao hawako wazi au kuwa tayari kuelewa Yesu alimaanisha nini. Huu unaweza kuandikwa kama sentensi. "Namna gani mioyo yenu haiko wazi kuelewa ninachosema?" au "Mioyo yenu haiko tayari kuelewa."
Yesu anaendelea kukemea kwa utilivu wanafunzi . Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Una macho, lakini hauelewi unachokiona. Una masikio, lakini hauelewi unachosikia. Lazima ukumbuke"
Hii urejea kwa watu 5,000 Yesu aliye walisha
Hii inaweza kuwa msaada kusema wakati ambapo walichukua vipande vya vikapu. "ni vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate mlichukua baada ya kila mmoja amemaliza kula"
Hii urejea kwa watu 4,000 waliolishwa na Yesu.
Hii inaweza kuwa msaada kusema wakati ambapo walivichukua. "ni vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate mlichukua baada ya kila mmoja amemaliza kula"
Yesu kwa utilivu anawakamea wanafunzi wake kwa kushindwa kuelewa. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Lazima uelewe kwa sasa mambo ninayo sema na kufanya."
Wakati ambapo Yesu na wanafunzi wake wanatoka katika mtumbwi wao hukpo Bethsaida, Yesu anamponya mtu kipofu.
Huu ulikuwa ni mji kaskazini mwa ufuko wa bahari ya Galilaya.
Hii inaweza kuwa msaada kusema kwa nini walitaka Yesu amguse mtu huyo. "kumgusa ili kumponya"
"Wakati ambapo Yesu alipotema mate juu ya macho yake... Yesu alimuuliza"
"Mtu alitazama juu"
Mtu anaona watu wanatembea, na bado hawakuwa vizuri kwake, hivyo aliwalinganisha na miti. "Ndiyo, naona watu! Wanatembea, lakini siwaoni vizuri . Wanaonekana kama miti"
"Yesu tena"
Kikundi hiki cha maneno "macho yaliona" inaweza kuandikwa katika kauli tendi "Kurudisha uonaji, na mtu akafungua macho yake"
Yesu na wanafunzi wake wakiwa njiani kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi wanazungumza juu ya Yesu ni nani na nini kitatokea kwake.
"Wakamjibu, wakasema,"
Hili lilikuwa jibu la mwanafunzi, ambalo watu walisema Yesu alikuwa nani. Hii inaweza kuonyeshwa kwa usahihi. "Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
Neno "wengine" urejea kwa watu wengine. Pia, inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana. "Watu wengine wanasema wewe ni ... watu wengine wanasema wewe ni"
"Yesu akawauliza wanafunzi wake"
Yesu hakutaka wao wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ni Kristo. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. Pia, hii inaweza kuandikwa kama dondoo ya moja kwa moja. "Yesu aliwaonya wasimwambie mtu yeyote kuwa ye ni Kristo" au " Yesu aliwaonya, 'msimwambie mtu yeyote kwamba mimi ni Kristo"
Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "na kwamba viongozi na makuhani wakuu na waandishi watamkataa, na watu hao watamuua na baada ya siku tatu atafufuka."
"Alisema hivi ili iwe nyepesi kuelewa"
Petro alikemewa na Yesu kwa kusema mambo aliyosema kuwa yangetokea kwa Mwana wa Adamu. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "alianza kumkemea kwa kusema mambo haya"
Baada ya kumkemea Petro kwa sababu hakutaka Yesu kufa na kufufuka, Yesu anawambia wanafunzi wake na umati namna ya kumfata.
Yesu anamaanisha ya kuwa Petro anafanya kama Shetani kwa sababu anajaribu kumzuia Yesu kutimiza alichotumwa na Mungu kufanya. "Pita nyuma Shetani! Nakuita Shetani kwa sababu hujali" au "Pita nyuma yangu, kwa sababu unafanya kama Shetani! Hujali"
"Nipishe mimi"
Kumfuata Yesu hapa kunawakilisha kuwa mmoja wa wanafunzi wake. "kuwa mwanafunzi" au "kuwa mmoja wa wanafunzi wangu"
"hawapaswi kuzitimiza tamaa zake" au "anapaswa kuziacha tamaa zake"
"beba msalaba wake na umfuate" Msalaba huu unawakilisha mateso na kifo. Kuchukua msalaba huwakilisha kuwa tayari kutesa na kufa. "unapaswa kunitii mpaka hatua ya kuteseka na kufa"
Kumfuata Yesu hapa uwakilisha kumtii. "na nitii mimi"
"Kwa kuwa yeyote anayetaka"
Hii urejea kwa vyote maisha ya mwili na maisha ya kiroho.
"kwa sababu yangu na kwa sababu ya injili." Yesu anazumguza juu ya watu wanaopteza maish yao kwa ajili ya kumfuata Yesu na injili. Hii inaweza kusema kwa usahihi. "kwa sababu ananifuata mimi na kuwambia wengine injili"
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Hata kama mtu anapata ulimwengu wote, haitamfaidi kama atapata hasara ya maisha yake"
Yesu anatumia kutia chumvi sana katika kusisitiza kwamba hakuna chochote ulimwenguni unachoweza kupata kwa kupoteza maisha yako. "kama anapata kila kitu katika ulimwengu"
"kupoteza"
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Hakuna chochote mtu anaweza kufanya kutoa badala ya maisha yake." au " Hakuna yoyote anaweza kutoa chochote kwa badala ya maisha yake."
Kama katika lugha yako "kutoa" huitaji mtu kupokea alichopewa, "Mungu" inaweza kusemwa kama mpokeaji. "Nini mtu anaweza kumpa Mungu"
Yesu anazungumza juu ya kizazi hiki kama "wazizi" akimaanisha kwamba si waaminifu katika mahusiano yao na Mungu. "katika kizazi hiki cha watu waliojiingiza katika uzizi kinyume na Mungu na niwazinifu" au "katika kizazi hiki cha watu wasio waaminifu kwa Mungu na ni wenye dhambi"
Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu
"atakapokuja tena"
Wakati ambapo Yesu anakuja atakuwa na utukufu ule ule kama wa Baba yake
"atafuatana na malaika watakatifu"
Maandiko mara nyingi huzungumzia utukufu wa Mungu kama mwanga mkubwa, wenye nguvu. Watu wanapoona mwanga huu, wanaogopa. Marko anasema katika sura hii kwamba mavazi ya Yesu yalikuwa na mwanga huu wa utukufu kiasi cha kuwawezesha wafuasi wake kuona kwamba Yesu kweli alikuwa Mwana wa Mungu. Wakati huo huo, Mungu aliwaambia kwamba Yesu alikuwa Mwana wake. and )
Yesu alisema mambo ambayo hakutarajia wafuasi wake kuelewa kwa kweli. Wakati aliposema, "Ikiwa mkono wako unakukosesha, uukate" (Marko 9:43), alikuwa akizidisha sana ili waweze kujua kwamba wanapaswa kuacha mbali na chochote kilichowaanya kutenda dhambi, hata kama ni kitu walipenda au walidhani walihitaji.
Eliya na Musa ghafla wanaonekana kwa Yesu, Yakobo, Yohana, na Petro, na kisha kutoweka. Wote wanne waliona Eliya na Musa, na kwa sababu Eliya na Musa walizungumza na Yesu, msomaji anapaswa kuelewa kwamba Eliya na Musa walionekana kimwili.
Yesu anajiita mwenyewe "Mwana wa Binadamu" katika sura hii and
Kitendawili ni taarifa ya kweli inayoonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Yesu anatumia kitendawili wakati anasema, "Ikiwa mtu anataka kuwa wa kwanza, lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote" (Marko 9:35).
Yesu amekuwa akizungumza kwa watu na wanafunzi wake kuhusu kumfuata. Siku sita badae, Yesu anaenda na wanafunzi watatu juu ya mlima pale alipobadilika, kwa hiyo anaonekana kama siku moja atakavyokuwa katika ufalme wa Mungu.
"Na Yesu aliwaambia wanafunzi wake"
Ufalme wa Mungu unakuja kumwakilisha Mungu akijionyesha yeye kama mfalme. "Mungu anajionyesha yeye mwenyewe na nguvu kuu kama mfalme"
Mwandishi anatumia "yao" hapa kusisitiza kuwa walikuwa wao wenyewe na kwamba Yesu tu, Petro, Yakobo na Yohana welienda mlimani.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "alionekana tofauti sana"
"mbele yao"
"kung'aa" au "inang'aa" Mavazi ya Yesu yalikuwa meupe yakitoa mwanga.
"sana, sana"
Kupausha kunaelezea mchakato wa kufanya pamba nyeupe ya kiasilia zaidi ya weupe kwa kutumia kemikali ya kupausha au amonia.
Inaweza kuwa msaada kusema hawa wanaume ni "manabii wawili walio ishi muda kitambo, Musa na Eliya."
Neno "wa" urejea kwa Eliya na Musa
"Petro alimwambia Yesu." Hapa neno "alimjibu" linatumiwa kumtambulisha Petro katika mazungumzo. Petro alikuwa hajibu swali.
Hili neno urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana
"mahema" Hii urejea kwa makao rahisi ya muda.
Sentensi hii iliyo kwenye mabano usema maelezo ya nyuma kuhusu Petro, Yakobo, na Yohana.
kuogopa sana
"kutokea na kuwafunika"
"Sauti" ni kirai cha Mungu. Pia, "sauti" inaelezwa kama "inatoka mawinguni", ikimaanisha kuwa walimsikia Mungu akuzungumza kutoka mawinguni. "Kisha Mungu alizungumza toka mawinguni"
Mungu Baba aliezea upendo wake kwa mwanae mpendwa, Mwana wa Mungu.
Hili ni jina muhimu kwa Yesu.Mwana wa Mungu.
Hapa "wa" urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana.
Hii inamaanisha kuwa alikuwa akiwaruhusu wawaambie watu kuhusu kile walichokiona tu baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
"Kuwa unaishi tena baada ya kufa"
"Hivyo hawakusema kuhusu mambo haya kwa yeyote ambaye hakuyaona pia yaliyotokea.
Ijapokuwa Petro, Yakobo, na Yohana walishangaa nini Yesu angemaanisha na "kufufuka toka kwa wafu," walimuuliza badala ya ujio wa Eliya.
Neno "wa" urejea kwa Petor, Yakobo, na Yojhana.
Unabii unasemswa kwamba Elijah ambaye angekuja toka mbinguni. Kisha Masihi, ambaye ni Mwana wa Adamu, atakuja kutawala na Mwana wa Adamu atakuja kuteseka na kuchukiwa na watu. Wanafunzi wamechanganyikiwa ni kwa namna gani hivi viiwili vinaweza kweli.
Waandishi walifundisha kuwa Eliya angerudi tena ulimwenguni kabla ya Masihi kuja.
Kama Yesu anafundisha wanafunzi wake, anauliza swali hili na kisha kuwaambia wanafunzi wake jibu. Hii inaweza kama sentensi. "Lakini pia nataka wewe ufikirie kile kilichoandikwa kuhusu Mwana wa Adamu. Maandiko yanasema kuwa anapaswa kuteseka kwa mambo mengi na kufanyiwa vibaya kama aliyechukiwa"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "na watu walimtenda kama mtu aliyechukiwa"
Inaweza kuwa msaada kusema nini watu walimfanya kwake. "na viongozi wetu walimfanyia vibaya, kama jinsi walivyo taka kufanya"
Wakati Petro, Yakobo, Yohana na Yesu walipokuja chini kutoka mlimani, waliwakuta waandishi wakibishana na wale wanafunzi wengine.
Yesu, Petro, Yakobo na Yohana walirudi kwa wanafunzi wengine ambao hawakuenda nao mlimani.
Waandishi walikuwa wakibishana na wanafunzi ambao hawakuenda pamoja na Yesu.
Inaweza kuwa msaada kusema kwanini walishangaa. "walishangaa kwa kuwa Yesu alikuwa amekuja"
Kueleza nini waandishi na wale wanafunzi walikuwa wakibishania nini, baba wa yule kijana aliye na mapepo anamwambia Yesu kwamba amewauliza wanafunzi kutoa pepo kwa kijana, lakini hawakuweza. Yesu kisha analitoa pepo nje ya mvulana. Baadaye wanafunzi wanauliza kwa nini halishindwa kumtoa pepo.
Hii inamaanisha yule kijana ana roho chafu. "Ana roho chafu"
Wakati mtu anakuwa na mshtuko, wanaweza kuwa na shida ya kupumua au kuvuta hewa. Hii inasababisha kutoka povu mdomoni. Kama lugha yako ina njia kueleza hili, unaweza tumia.
"kuwa mwenye shingo ngumu" Inaweza kuwa msaada kusema kwamba ni mwili wake unaokuwa mgumu.
Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "hawakuweza kutoa roho chafu nje yake"
Ijapokuwa alikuwa ni baba wa kijana aliyefanya ombi kwa Yesu, Yesu anaitikia kwa umati wote. Hii inaweza kusemwa kwa usahihi. "Yesu aliitikia kwa umati"
"Nyie kizazi cha wasioamini" Yesu anaita umati wake hivi, kama anavyoanza kuwajibu.
Yesu anatumia maswali haya kueleza kukatishwa tamaa kwake. Yote maswali yana maana ile ile. Yanaweza kuandikwa kama sentensi. " Nimechoshwa na kutoamini kwenu!" au "Kutoamini kwenu kumenichosha! Nashangaa kwa muda gani nitachukuliana nanyi."
"nitachukuliwana nanyi" au "kuvumialiana nanyi"
"Mleteni mvulana kwangu"
Hii urejea kwa roho chafu.
Hii ni hali ambayo mtu hana wa uwezo wa kujiongoza juu ya mwili wake, na mwili wake hutikikisika.
"Tangu alipokuwa mtoto mdogo." Inaweza kuwa msaada kusema kama sentensi nzima. "Amekuwa hivi tangu alipokuwa mtoto mdogo"
"hisi huruma"au " uwe na wema"
Yesu anakemea wasiwasi wa mtu. Hii swali linaweza kuandikwa tofauti au kama sentensi. "Yesy akamwambia, "Kwanini unasema, "kama uko tayari"? au " Yesu alimwambia, 'Usingelikuwa umesema.
Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "unaweza kufanya lolote"
Hii inaweza kuandikwa kama dhahania dogo na katika kauli tendaji. "Mungu anaweza kufanya chochote kwa ajili ya watu wanaomwamini yeye"
"kwa yeyote mtu"
Hii inarejea kwa kumwamini Mungu.
Mwanaume anamuuliza Yesu kumsaidia kushinda kutoamini na kuongezea imani yake. "Nisaidie wakati ninashindwa kuamini" au "Nisaidie kuwa imani zaidi"
Hii inamaanisha kuwa watu zaidi walikuwa wanakimbilia kule aliko Yesu na kundi lilikuwa linakuwa kubwa.
Maneno "bubu" na "kiziwi" yanaweza kufafanuliwa. "Wewe roho chafu, wewe unaye sababisha kijana kutokuwa na uwezo wa kusikia na kuongea."
"Roho mchafu alilia kwa nguvu"
Mvulana alionekana kufa" au Mvulana kama amekufa."
"kumtetemesha kijana"
Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "alitoka nje mwa kijana"
Muonekano wa kijana unalinganishwa na mtu aliyekufa.
"ndipo watu wengi"
Hii inamaanisha kuwa Yesu alimshika mkono mvulana kwa mkono wake.
"alimsaidia kumwinua juu"
Hii inamaanisha walikuwa peke yao.
"mtupe roho mchafu nje." Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "mtupe roho mchafu nje mwa kijana"
Neno, "haiwezekani" na "isipokuwa" yote yako kinyume. Katika lugha nyingine ni asili zaidi kutumia maelezo mazuri. "Aina hii inawezatu kuondolewa kwa maombi."
Hii inaelezea roho chafu.
Yesu na wanafunzi wake waliiacha nyumba pale walipokuwa na Yesu baada ya kumponya kijna aliyekuwa na pepo. Anatumia muda kuwafundisha wanafunzi wake peke yao.
Kwenda kupitia",au"Kupitia kwa"
"Yesu na wanafunzi wake waliondoka mkoa huo"
"alisafiri kupitia"
Yesu alikuwa anafundisha wanafunzi wake kwa faragha, mbali na umati.
Hapa Yesu anarejea kwake mwenyewe kama Mwana wa Adamu. Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu. "Mimi, Mwana wa Adamu,"
Hapa "mikono" ni kirai cha kuthibiti. "katika udhibiti wa wanaume"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Baada ya kumuua na siku tatu kupita."
Walikuwa wameogopa kumuuliza Yesu hii sentensi ilikuwa ina maana gani. "walikuwa wameogopa kumuuliza ilimaanisha nini"
Wakati ambapo wanafika Karperinaumu, Yesu anafundisha wanafunzi wake kuwa watumishi wanyenyekevu.
"walifika." Neno "wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake.
"wanajadili wao kwa wao"
Walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu kumwambia Yesu walichokuwa wanajadili. "walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu"
Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa iliyokosekana. "nani alikuwa mkubwa kati yao"
Hapa neno "kwanza" na "mwisho" ni maneno yanayo pishana. Yesu anazungumza kuwa "muhumimu zaidi" kama kuwa wa "kwanza" na kuwa "usiye wa muhimu zaidi" kama kuwa wa "mwisho" Kama yeyote anataka Mungu amjali ya kuwa yeye ni wa muhimu zaidi, anapaswa kujiona yeye kuwa asiye na umuhimu zaidi kwa wote"
"kwa watu wote...kwa watu wote"
"miongoni mwao" Neno "mwao" urejea kwa umati
Hii inamaanisha kuwa alimkumbatia mtoto au kumnyanyua na kumweka katika mapaja yake.
"mtoto kama huyu"
Hii inamaanisha kufanya kitu fulani kwa sababu ya upendo kwa Yesu. "kwa sababu wananipenda" au "kwa ajili yangu"
Hii urejea kwa Mungu aliyemtuma kwa ulimwengu. "Mungu amenituma mimi"
"Yohana alimwambia Yesu"
"Kuyaondoa mbali mapepo"
Hapa "jina" lina husishwa na mamlaka ya Yesu na nguvu
Hii ina maana kwamba hayuko miongoni mwa makundi ya wanafunzi
"asiyetupinga sisi"
Hii inaweza kuelezwa kwa usahihi inavyomaanisha. "ni kujaribu kupata malengo yale yale ambao tunayo"
Yesu anazungumza kumpa yeyote kikombe cha maji kama mfano wa mtu anavyoweza kumsaidia mwingine. Huu mfano wa kumsaidia mwingine kwa njia yoyote.
Hii ni sentensi iliyo hasi inasisitiza maana ya chanya. Katika baadhi ya lugha, ni halisia zaidi kutumia sentensi chanya.
Jiwe kubwa juu yake husagwa nafaka kupataunga
Hapa "mkono" ni kirai cha kutamani kufanya kitu kiovu ambacho utakifanya kwa mkono wako.
"kukosa mkono na kisha kuingia katika masiha"
Kufa na kisha kuanza kuishi umilele kama inavyosemwa kuingia katika maisha.
kukosekana kwa kiungo cha mwili kwa matokeo ya kutolewa au kuumizwa. Hapa inarejea kwa kukosekana kwa mkono.
"mahali ambapo moto usiozimika"
na Mungu kuwatupa kuzimuni"
"funza ambao hula miili ya waliokufa."
Hapa Yesu anazungumzia kila moja atakaswe kwa kupitia mateso. Yesu anazungumzia mateso kama moto na kuwapa mteso watu kama inavyoweza kutumika kwa chumvi kwao. Hii inaweza kusemwa pia katika kauli tendi. "Kama chumvi inavyotakasa dhabihu, Mungu atamtakasa kila mmoja kwa kuwaruhu kuteseka"
"ina ladha ya chumvi"
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "hauwezi kuifanya ladha yake tena."
"ladha ya chumvi tena"
Yesu anazungumza kufanya mambo mazuri kwa kila mmoja kama hayo mazuri ni chumvi ambayo watu wanakuwa nayo. "Fanya vizuri kwa kila mmoja, kama chumvi iongezavyo ladha kwa chakula"
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandishi yote. ULB inafanya hivyo kwa nukuu zilizotajwa katika 10:7-8.
Mafarisayo walitaka kutafuta njia ya kumlazimisha Yesu aseme kwamba ni vizuri kuvunja sheria ya Musa, hivyo wakamwuliza kuhusu talaka. Yesu anaelezea jinsi Mungu aliyepanga ndoa kwa mwanzo, kwa kuonyesha kosa la mafundisho ya talaka ya Mafarisayo.
Wasemaji hutumia mifano kama picha ya vitu vinavyoonekana kwa kueleza ukweli usiyoonekana. Wakati Yesu aliposema juu ya "kikombe nitakachokunywa," alikuwa akizungumzia juu ya maumivu atakapoteswa nayo msalabani kuwa mfano wa kinywaji ya uchungu na sumu katika kikombe.
Kitendawili ni taarifa ya kweli inayoonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Yesu anatumia kitendawili wakati anasema, "Yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu lazima awe mtumishi wenu" (Marko 10:43).
Baada ya Yesu na wanafunzi wake kuondoka Karpenaumu, Yesu anawakumbusha Mafarisayo, pamoja na wanafunzi wake, nini Mungu anategemea katika ndoa na talaka
Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye. Walikuwa wakiondoka Kapernaumu. "Yesu na wanafunzi wake waliondoka Kapernaumu"
"hii ilikuwa mbele ya Mto Yorodani" au "ilikuwa ng'ambo ya Mto Yorodani"
Neno "ali" urejea kwa umati
"ilikuwa kawaida yake" au "alikuwa desturi yake kufanya"
Musa alitoa sheria kwa mababu zake, ambazo walipaswa kuzifuata. "Musa aliwaamuru nini mababu wetu katika hili"
Hii ilikuwa ni karatasi kusema kuwa mwanamke hakuwa tena mke wake.
Wakaidi ninyi
Hili ni fumbo kuonyesha muungano wa kimwili wa karibu kama mme na mke.
"Wakati ambapo Yesu na wanafunzi walikuwa"
Wanafunzi wake Yesu walikuwa wakizungumza naye kwa faragha. walikuwa peke yao ndani ya nyumba"
Neno "hili" urejea kwa mazungumzo aliyokuwa nayo Yesu pamoja na Mafarisayo kuhusu talaka.
"kama mtu yeyote"
Hapa "yake" urejea kwa mwanamke aliyemuoa kwanza
Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizosahaulika. "anafanya uzinzi dhidi yake" au "anafanya uzinzi dhidi ya mme wa kwanza"
Sentensi hizi mbili zina maana sawa, zimerudiwa kwa ajili ya msisitizo. Katika luga zingine ni asili zaidi kusisitiza kwa njia nyingine. AT: " Muwe na uhakika wa kuwaruhusu watoto wadogo kuja kwangu."
Hii ni hasi mbili. Katika baadhi ya lugha ni asili zaidi kutumia taarifa chanya. AT: "ruhusu"
"kama yeyote"
Yesu analinganisha namna gani watu wanapaswa kuupokea ufalme wa Mungu na namna watoto wanavyoweza kuupokea. "katika tabia hiyo kama mtoto angefanya"
"hawataweza kumpokea Mungu kama mfalme wao"
Neno "kuui" urejea kwa ufalme wa Mungu.
"aliwakumbatia watoto"
AT: Unapaswa kufikiria kwa umakini unacho ashiria (AU, kile ambacho unaashiria nilivyo) kwa kuniita mwema, kwa sababu Mungu pekee ndiye mwema!
"Kuna kitu kimoja unapngukiwa." Hapa Yesu anazungumza juu ya tendo la kutofanya kitu fulani" kama "kupungukiwa." "Kuna kimoja ambacho haujafanya"
hauna kitu fulani
Hapa neno "u" urejea kwa vitu anavyouza na ni kifungu cha maneno kinachosimama badala ya pesa mtu anayopokea anapouza. "wape masikini pesa"
Hii urejea kwa masikini. "watu masikini"
"utajiri"
"alimiliki vitu vingi"
Haiwezekani kwa Ngamia kuingia kwenye jicho la sindano. Ni ngumu zaidi kwa watu matajiri kuamua kumruhusu Mungu atawale maisha yao."
"Jicho la sindano" ni shimo lililo juu ya sindano.
"Hivyo hakuna atakaye okolewa."
"yeyote aliye acha...atapokea."
"kwa faida yangu" au "kwa yangu tena"
"maisha haya" au "umri huu uliopo"
"maisha yajayo" au "umri ujao"
"watu watamtoa Mwana wa Mtu" au "watu watamwachilia Mwana wa Mtu."
Haya maneno urejea peke yake kwa Yakobo na Yohana
"wakati ambapo unatukuzwa." Maneno haya "utukufu wako" urejea wakati Yesu anatukuzwa na kutawala katika ufalme wake. "wakati ambapo unaongoza katika ufalme wako"
Yesu anatumia maneno haya kurejea kwenye mateso ambayo yuko karibu kuyapitia.
Yesu anatumia maneno haya kurejea kwenye mateso ambayo yuko karibu kuyapitia.
"wale wanaofikiriwa kuwa watawala
"kudhibiti" "kuwa na nguvu juu ya"
"kufanya matumizi ya"
"kuwa katika heshima" au "Kupongezwa"
mtu yeyote
"Kwa kuwa Mwana wa Mtu hakuja kwa watu ili wamtumikie"
jina la mtu
Hili lilikuwa ni jina la baba yake na kipofu mwombaji.
"aliamuru wengine wamwite"
"usiogope"
"uwezo wa kuona"
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB hufanya hivi kwa mashairi katika 11:9-10,17, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Yesu aliingia Yerusalemu juu ya mnyama. Kwa njia hii alikuwa kama mfalme aliyeingia mjini baada ya kushinda vita muhimu. Pia, katika Agano la Kale, wafalme wa Israeli walikuwa wanapanda punda. Wafalme wengine walipanda farasi. Kwa hiyo Yesu alikuwa akionyesha kwamba alikuwa mfalme wa Israeli lakini hakukuwa kama wafalme wengine.
Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya tukio hili. Mathayo na Marko waliandika kwamba wanafunzi walimletea Yesu punda. Yohana aliandika kwamba Yesu alipata punda. Luka aliandika kwamba walimletea mwana-punda. Mathayo tu aliandika kwamba kulikuwa punda pamoja na mwana-punda. Hakuna anayejua hakika ikiwa Yesu alipanda punda au mwana-punda. Ni bora kutafsiri kila maneno haya kama yanoyoonekana katika ULB bila kujaribu kuwafanya wote wanasema jambo sawa. (Ona: Mathayo 21:1-7 na Marko 11:1-7 na Luka 19:29-36 na Yohana 12:14-15)
ni jina la kijiji
"Wanafunzi wawili walikwenda"
Hii urejea kwa punda mdogo aliye na uwezo wa kubeba mtu.
"Waliitikia"
"kama Yesu alivyowaambia kuitikia." Hii inarejea namna Yesu alivyokwisha waambia kuitikia kwa maswali ya watu kuhusu kumchukua mwanapunda.
Hii inamaanisha kuwa waliwaruhusu kuendelea kufanya walichokuwa wakifanya"
Maana ya neno hili haiko wazi, bali kwa uhakika lilitafsiriwa vizuri zaidi kama kuelezea ukaribisho na kusifu, kama ndani "Chini" au"Kumsifu Mungu"
"kwa sababu ilikuwa jioni"
"yeye na wanafunzi wake walikwenda Yerusalemu na kwenda Bethania"
"wakati walipokuwa wakirudi Yerusalemu kutoka Bethania"
Hii ilitokea wakatik Yesu na wanafunzi wake wanatembea kuelekea Yerusalemu.
"kama kulikuwa na tunda lolote juu yake"
Hii inamaanisha kuwa hakupata mtini wowote. "alipata majani peke yake na hakuna mtini katika mti"
"wakati wa mwaka"
Yesu anauambie kwa mtini na kuulaani. Anazungumza nao ili wanafunzi wake wasikie.
"Alizungumza na mtu"
Neno "wa" urejea kwa Yesu anazungumza kwa mtini.
"Yesu na wanafunzi wake walikuja"
Yesu anawafukuza watu hawa nje ya hekalu. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "kuanza kuwatoa wauzaji na wanunuzi nje ya hekalu"
"watu waliokuwa wakinunua na kuuza"
"Imeandikwa ndani ya maandiko kwamba Mungu alisema, 'Ninataka nyumba yangu kuitwa nyumba mahali watu kutoka mataifa yote wanapaswa kusali', lakini ninyi majambazi mmeifanya kama pango mahali mnakoweza kujificha! Ninyi mnajua hivyo!"
"mti wa mtini ulikauka mpaka kwenye mizizi yake na ulikufa."
"kutokuwa na mashaka" ina maana mbili hasi "hakika amini." Vifungu hivi vyote vina maana sawa iliyorudiwa kwa mkazo. Lugha zingine zimesisitiza kwa njia tofauti. Wakati: Kama hakika huamini"
Ni kawaida kwa desturi za kiyahudi kusimama wakati tusalipo kwa Mungu.
Maneno "mambo haya" yanalejea kwa Yesu kupindua meza za wauzaji hekaluni na kuzungumza dhidi ya vitu walivyofanya na walichofundisha.
"Hamna mamlaka kufanya mamba haya kwa sababu hatujawapa ninyi mamlaka."
Pamoja na kwamba Yesu alilijua jibu la swali hili, aliwauliza kuwajaribu viongozi wa dini sababu ya kumuuliza yeye.
Inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa zilizokosekana. "Kama tukisema 'ilitoka mbinguni"
Hapa "mbinguni" urejea kwa Mungu. "Kutoka kwa Mungu"
Neno "ham" urejea kwa Yohana mbatizaji.
Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana katika majibu yao. "Lakini kama tukisema, 'kutoka kwa wanadamu"
"Kutoka kwa watu"
Viongozi wa dini hawasemi kuwa tatizo lingeweza kuwa kama wangetoa jibu hilo, lakini walifikiri juu yake. "Lakini kama tukisema, 'Kutoka kwa wanadamu, hiyo haitakuwa vizuri" au "Lakini hatutaki kusema kutoka kwa wanadamu"
Mwandishi, Mariko, anaeleza kwanini viongozi wa dini hawakutaka kusema kuwa ubatizo wa Yohana ulitoka kwa wanadamu. Hii inaweza kusemwa kwa usahihi. "Walisema wao kwa wao kwa sababu waliwaogopa watu" au "Hawakutaka kusema kuwa ubatizo wa Yohana ulitoka kwa wanadamu kwa sababu waliwaogopa watu.
"watu waliamini"
Hii inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa zinazokosekana. "Hatujui ubatizo wa Yohana ilitoka wapi"
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 12:10-11,36, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Hali za kudhania ni hali ambazo hazikutendeka. Watu huelezea hali hizi ili waweze kujifunza kile wasikilizaji wao wanafikiri ni nzuri na mbaya au sahihi na zisizo sahihi.
Mwenye shamba aliwapangisha wengine kuitunza mizabibu.
"mumiliki wa shamba la mzabibu alituma waoteshaji wa mzabibu"
Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "walimpiga huyo moja kwenye kichwa, na kumuumiza vibaya"
Haya maneno urejea kwa watumishi wengine. "bado mtumishi mwingine...watumishi wengine wengi"
Hii inarejea kwa watumishi waliotumwa na mwenye shamba. Maneno "hayo hayo" urejea kwa jinsi walivyotendewa. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "Waliwatendea watumishi wengine wengi waliotumwa na mwenye shamba"
Wakulima wa mizabibi waliokuwa wamapangishwa shamba la mizabibu kutoka kwa mwenye shamba.
"Hivyo nitawaambia kile mwenye shamba la mizabibu atakavyofanya."
"Sasa fikiri kwa uangalifu kuhusu haya maneno, ambayo umeshayasoma katika maandiko."
"Ninajua mnachojaribu cha kunifanya niseme jambo lililo kinyume ili mpate nafasi ya kunishitaki."
Ni sarafu iliyokuwa na thamani ya mshahara wa siku.
"Mafarisayo na Maherodia walimletea sarafu ya serikali ya Kirumi"
"Toeni kwa serikali ya Roma vitu ambavyo vinamilikiwa na serikali ya Roma
Musa aliandika kuwa kama ndugu wa mttu akifa... ndugu yake ajipatie mtoto kwa mke aliyeachwa kwa ajili ya ndugu yake.
"Katika ufufuo, watakapofufuka tena, haitawezekana tena kuwa mke wa hao ndugu saba!"
"Mmekoseshwa kwasababu hamjui maandiko wala nguvu za Mungu."
"Mungu anawafufua"
Mwandishi anamuuliza Yesu swali la akili, ambalo Yesu analijibu.
"Mwandishi alimuuliza Yesu"
Taarifa inayokosekana inaweza kuongozwa. "amri iliyo ya muhimu zaidi katika zote...amri iliyo ya muhimu anasema"
"Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja"
"Moyo" na "roho" ni mifano ya utu wa ndani na tamaa zake na hisia. "kwa chote unachotaka na kujisikia"
"akili" urejea kwa namna mtu anavyofikiri na "nguvu" urejea kwa nguvu za mtu kufanya mambo. "kwa yote unayofikiri, na kwa yote unayofanya"
Yesu anatumia mfanano kulinganisha namna watu wanavyopaswa kupendana wao kwa wao kwa upendo ule ule kama wanavyojipenda wenyewe"
Hapa neno "hizi" urejea kwa amri mbili ambazo Yesu alikuwa amewambia watu.
Yesu anamsifu mwandishi juu ya mawazo yake juu ya kila alichosema Yesu.
"Jibu zuri"
Hii inamaanisha kuwa kuna Mungu mmoja tu.
Iliyokosekana inaweza kuongezewa. "hakuna Mungu mwingine"
"Moyo" ni mfano utu wa ndani wa mtu na tamaa zake na hisia. "Ufahamu" urejea kwa kufikri na "nguvu" urejea kwa nguvu za mtu kufanya.
Neno "ule" limewekwa katika maumbo yai ambapo neno "ako" limeachwa. Linaweza kuongezwa.
Mfanano huu unalinganishwa namna watu wanavyopaswa kupendana wao kwa wao kwa upendo ule ule wanavyojipenda wenyewe.
Lugha hii inamaanisha kuwa kitu fulani ni muhimu mno kuliko kitu kingine. Kwa hali hii, amri hizi mbili ni zaidi ya kumfurahisha Mungu kwamba matoleo ya kuteketeza na dhabihu.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. Hapa Yesu anazungumza juu ya mtu aliye tayari kujitoa kwa Mungu kama mfalme kama aliye karibu kimwili kwa ufalme wa Mungu, kama inavyofananishwa na eneo halisi.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. "kila moja aliogopa"
"Hawa watu hufundisha sheria ya kiyahudi lazima hawako sahihi wanaposema kwamba Kristo ni mtu tu wa kawaida wa uzao wa Mfalme Daudi!"
Neno "mwana" limetumika hapa kuelezea ukoo.
"hivyo hawezi kuwa mwana wa Daudi!"
Nomino "salamu" inaweza kuelezwa pamoja na kitendo "salimu". Hizi salamu zilionyesha kuwa watu waliwaheshimu waandishi. "na kusalimiwa kwa heshima kwenye masoko" au "na kwa watu kuwasalimu kwa heshima kwenye masoko"
Hapa Yesu anawaeleza wandishi wakiwadanganya wajane na kuiba nyumba zao kama kula nyumba zao.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu hakika atawahukumu kwa hukumu kuu" au "Mungu kwa hakika atawahukumu kwa ukali"
Neno "kuliko" humaanisha kulinganisha. Hapa kulinganisha ni watu wengine waliohukumiwa. "watapokea hukumu kuu kuliko watu wengine"
"sarafu mbili ndogo", ni sarafu yenye thamani kidogo
Ni hakika ya kile ninachowaambia
sanduku hili lilikuwa na kukusanyia sadaka za watu wote hekaluni
vingi zaidi
"upungufu" au "Kutokuwa na chochote"
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 13:24-25, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Yesu alisema mengi juu ya kile kitatokea kabla ya kurudi kwake (Marko 13:6-37). Aliwaambia wafuasi wake kwamba mambo mabaya yatatokea ulimwenguni na mambo mabaya yatawatokea kabla ya kurudi, lakini walistahili kuwa tayari kwa kurudi kwake wakati wowote.
Walipoondoka eneo la hekaluni, Yesu anawambia wanafunzi wake nini kitatokea badae katika hekalu zuri ambalo Herode mkuu alilijenga.
"Mawe" urejea kwa mawe yaliyotumiwa kujenge. ""majengo yakushangaza na mawe yalitokana nayo"
Hili swali linatumiwa kuleta umakini kwa majengo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Tazama haya majengo makubwa sasa, lakini hakuna jiwe hata moja"
Hii inamaanisha kuwa maadui wa kijeshi wataangusha mawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Hakuna jiwe hata moja litakalo salia juu ya jingine, kwa kuwa maadui wa kijeshi watakuja na kubomoa majengo haya."
Katika kujibu maswali ya wanafunzi kuhusu kubomolewa kwa hekalu na nini kitatokea, Yesu anawambia nini kitatokea badae.
Walipokuwa wamefika kwenye Mlima wa Mizeituni, na Yesu kuwa amekiti chini. Taarifa zinaweza kufanya kwa usahihi. "Baada ya kufika kwenye Mlima Mizeituni, ambao ulikuwa nyuma ya hekalu, Yesu chini.
"wakati ambapo walikuwa peke yao"
Hii inarejea kwa kile Yesu amekwisha sema kitatokea kwa mawe ya hekalu. Hii inaweza kufanywa wazi. "haya mambo hutokea kwa majengo ya hekalu... yako karibu kutokea kwa majengo ya hekalu"
"kwamba haya yote"
"kwa wanafunzi wake"
Yesu anawaonya wanafunzi wake wasidaganywe na yeyote nini kitatokea. Hapa"kuwapotosha" ni mfano wa kudanganya.
Maana talajiwa ni 1)kudai mamlaka yangu" au 2) kudai kuwa Mungu amewatuma"
"Mimi ni Kristo"
Hapa "kuwapotosha" ni mfano ukimaanisha kudanganya. "nitawadanganya watu wengi"
Maana talajiwa ni 1)"sikia sauti halisi ya vita ikiwa karibu na taarifa za vita kwa mbali" au 2)sikia vita ambavyo ni halisia vinatokea na watu kusema kuwa vita vinaenda kuana"
maneno ambayo siyo rahisi kugundua kama yako sahihi au hapana
Hii inarejea kwa mwisho wa ulimwengu. Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezewa. "lakini siyo mwisho wa ulimwengu. "
Lugha hii inamaanisha kupigana na mtu mwingine. "nitapigana kinyume"
Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezwa. "taifa litainuka kinyume na taifa" au "taifa litapigana kinyume na taifa"
Yesu anazungumza juu ya maafa kama mwanzo wa utungu kwa sababu mambo makali yatatokea baada ya hayo. "Haya matokeo yatakuwa kama utungu wa kwanza wa mwanamke anaposumbuka wakati anapozaa mtoto. Watasumbuka zaidi baada ya hayo"
"Iweni tayari kwa yale watu watawafanyia"
Hii inamaanisha kuwafunga watu fulani na kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "watu watawapiga"
Hii inamaanisha kuwekwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa. "Mtawekwa katika kujaribiwa kabla" au "Mtaletwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa"
"Kwa sababu yangu" au "kusababishwa na mimi"
Hii inamaanisha watashuhudia kuhusu Yesu. Hii inaweza kufanywa wazi. "na kuwashuhudia kuhusu mimi" au "na mtawambia kuhusu mimi"
Yesu bado anazungumza juu ya mambo ambayo lazima yatatokea kabla ya mwisho kuja. Hii inaweza kufanywa wazi. "Lakini injili ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla mwish haujaja"
Hii inamaanisha kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine. Kwa jambo hili, chini ya uzimamizi wa mamlaka.
Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezewa. "lakini Roho Mtakatifu atazungumza kupitia wewe"
Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa "Ndugu atamshitaki ndugu yake kuuawa" Hii inamaanisha kuwa ndugu atamsaliti ndugu yake na kusaliti huku kutasababisha ndugu yake kuuawa
Hii inarejea kwa wote ndugu na dada
Hii inamaanisha kuwa baba atamsaliti mtoto wake na kusaliti huku kutasababisha mtoto kuuawa. "baba atamshitaki mtoto wake "auwawe" au baba atamsaliti mtoto wake, kumwaacha auwawe"
Hii inamaanisha kuwa watoto watawapinga wazazi wao na kuwasaliti.
Hii inamaanisha kuwa mamlaka yatasema wauwawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Kila mmoja atawachukia"
Yesu anatumia kirai "jina langu" kurejea kwake mwenyewe. "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnaniamini mimi"
Hii inamaanisha kuwa mwaminifu kwa Mungu mpaka mwisho wa maisha ya mtu. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atamuokoa yeyote aliye mwaminifu kwake, kuvumilia majaribu, mpaka mwisho wa maisha yake"
Haya maneno yanatoka kitabu cha Daniel. Wasikilizaji wake wangekuwa na uelewa wa aya na unabii uhusuo chukizo kuingia katika hekalu kulinajisi. "mambo ya aibu yanayo najisi vitu vya Mungu.
Wasikilizaji wa Yesu wangekuwa wamejua kuwa hii inarejea kwa hekalu. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "kusimama katika hekalu pale lisipotakiwa"
Si Yesu anazungumza. Mathayo aliongeza kwa hii kupata umakini wa wasomaji, ili waweze kusikiliza onyo hili. "ikiwezekana kila mmoja asomaye awe makini kwa onyo hili"
Juu ya nyumba ambapo Yesu aliishi ilikuwa tambarare, na watu wangeweza kusimama juu yake.
Hii urejea kwa kurudi nyumbani kwake. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "hakuna kurudi nyumbani mwake"
"kuchukua vazi lake"
Hii njia ya upole kusema kwa mtu kuwa ni mwenye mimba.
Ombeni kwamba wakati huu" au " Ombeni kwamba mambo haya"
"majira ya baridi" au " baridi, majija ya mvua" Hii urejea kipindi cha mwaka wakati ambapo ni baridi na isiyofurahisha
"kubwa zaidi kuliko haijawahi tokea." Hii inaelezea namna ilivyo kubwa na mbaya mateso makubwa.
hayajawahi kutokea "na kubwa zaidi haitatokea tena"
Inaweza kuwa msaada kuweka wazi "siku" zipi zinaongelewa. "atapunguza siku za mateso" au "atapunguza wakati wa mateso"
Hili neno halimaanishi kuwa siku zitakuwa chini ya masaa 24 kila moja, lakini zitakuwa siku chache za mateso.
Neno "mwili" urejea kwa watu. Hapa "kuokoka" urejea kwa wakovu wa kimwili. "hakuna yeyote atakayeokoka" Pia, maneno haya yanaweza kusemwa katika mtindo chanya. "kila mmoja atakufa"
ustawi wa
kikundi cha maneno "wale aliowachagua" humaanisha kitu kile kile kama "wateule" Kwa pamoja, wanasisitiza kuwa Mungu aliwachagua watu hawa.
Biblia ya UDB hutumia mstari kama daraja kuunganisha mistari ya 21 na 22, kusema maelezo anayowambia watu ili kwamba iwe rahisi kuelewa.
"watu wanaodai kuwa wao ni Kristo"
Neno linalokosekana linaweza kuongezwa. "ili kwamba kuwadanganya watu"
Maelezo yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "Kama inawezekana, hata wanaweza kuwadanganya wateule" au "hata wataweza kujaribu kuwadanganya watu ambao Mungu amekwisha wachagua."
"Iweni macho"
Yesu aliwambia mambo haya kuwaonya. "Nimewambia nyinyi haya yote kabla ya wakati kuwaonya"
Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "jua litatiwa giza"
Hapa mwezi umeongelewa kama ulikuwa hai na waweza kutoa kitu chochote kwa mtu fulani. "mwezi hautato mwanga" au "mwezi utatiwa giza"
Hii haimanishi kwamba zitaanguka chini lakini ni kwamba zitaanguka kutoka pale zilipo kwa sasa.
Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "Mungu ataitingisha nguvu zilizoko mbinguni"
Hili ni jina la maelezo juuya sayari na linaweza kuwa pamoja na nyote.
"mawinguni"
"Kisha watu watamuona"
"nguvu na utukufu"
Neno "ata" urejea kwa Mungu na kirai kwa malaika wake, kama wao watakao kusanya wateule. "watawakusanya" au "malaika wake watawakusanya"
Ulimwengu wote umesemwa kuwa kama "pande kuu nne" ambazo zinarejea kwa pande nne: kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
Huku kulikokithiri kumetolewa msisitizo kwamba wateule watakusanywa kutoka ulimwengu wote. "kutoka kila eneo ulimwenguni"
Yesu anatoa mifano mifupi hapa kuwakumbusha watu kufahamu lini mambo aliyokuwa anaongelea yanatokea
Kifungu "tawi" urejea kwa matawi ya mtini. "matawi yake yanaweza kutoa"
"ukijani na laini"
Hapa majani ya mtini yanaongelewa kama yalikuwa hai na yanaweza kuwa tayari kusababisha majani yake kukua. "majani yake huanza kuchipua"
sehemu ya mwaka ni joto au majira ya kukua
Hii inarejea kwa siku za mateso. "mambo haya nimekwisha kueleza"
"Mwana wa Adamu yuko karibu"
Nahau hii inamaanisha kwamba yuko kairba na karibu ameshafika, urejea kwa msafiri kuwa karibu kufika katika mlango. "na yuko karibu hapo"
Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu.
Ni njia ya kistaarabu kusema juu ya mtu fulani kufa. "hatakufa" au "hatakoma"
Kifungu "mambo haya" urejea kwa siku za mateso.
Huku kulikokithiri kunarejea mbingu zote, pamoja na jua, mwezi, nyote, na sayari na ulimwengu wote.
"itakoma kuishi" Kifungu hiki urejea kwa mwisho wa ulimwengu.
Yesu huzungumza maneno yakutopoteza nguvu zao kama wangekuwa kitu fulani ambacho kamwe hakitakufa. "maneno yangu kwamwe hayatawapotezea nguvu zao"
HIi urejea kwa wakati ambapo Mwana wa Adamu atarudi. "siku hiyo au saa hiyo ambapo Mwana wa Adamu atarudi" au " siku hiyo au saa hiyo ambapo nitarudi"
Haya yametajwa kati ya wale wasiojua lini Mwana wa Adamu atarudi. "hata malaika mbinguni au Mwana anajua"
Hapa "mbinguni" urejea kwenye eneo ambalo Mungu huishi.
Ni vizuri kutofasiri "Baba" na neno hilo ambalo lugha yako ya asili hutumia kurejea kwa baba wa kibinadamu. Pia, hii ni umboyai ambayo husema kwamba Baba anajua lini Mwana atarudi. "ila ni Baba anajua"
Inaweza kuanishwa waziwazi nini "muda" urejea kwa. "wakati ambapo muda utakuja wakati ambapo matukio yote haya yatatokea"
"kuwaambia kila moja kazi gani anapaswa kufanya"
Hii urejea kwa kurudi kwa bwana. "kama atarudi jioni"
Jogoo ni ndege anayeita asubuhi na mapema. Sauti kubwa anayofanya ni "kuwika"
Hapa Yesu anazungumza kutokuwa tayari kama "kulala" "asikukute hauko tayari kwa kurudi kwake"
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 14:27,62, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
Marko 14:22-25 inaelezea chakula cha mwisho cha Yesu na wafuasi wake. Wakati huu, Yesu aliwaambia kwamba kile walichokuwa wakila na kunywa kilikuwa mwili wake na damu yake. Karibu makanisa yote ya kikristo huadhimisha "Meza ya Bwana," "Ekaristi", au "Mkutano wa Kikawa" kukumbuka chakula hiki.
"Abba" ni neno la Kiaramu ambalo Wayahudi walitumia kuzungumza na baba zao. Marko analiandika kama linavyotamkwa na kisha kulifasiri.
Yesu anajiita mwenyewe "Mwana wa Binadamu" katika sura hii and
Siku mbili tu kabla ya pasaka, makuhani wakuu na waandishi walikuwa wakitafuta kwa hila namba ya kumuua Yesu.
pasipo watu kugundua
Neno "wa" urejea kwa makuhani wakuu na waandishi.
Inaweza kuwa msaada kuongoze taarifa zilizokosekana. "Hatuwezi kufanya wakati wa sikukuu"
Huyu mtu alikuwa na ukoma hapo awali lakini hakuwa mgonjwa tena.
Hili ni laini, "jiwe jeupe."
Hakuna sababu nzuri kupoteza manukato ghali namna ile.
"Tungeuza manukato haya." au Angeweza kuuza manukato haya
"dinari 300." Dinari ni sarafu za Kirumi.
Hampaswi kumpa shida
Baada ya mwanamke kumpaka mafuta Yesu kwa manukato, Yuda anaahidi kumkabidhi kwa mahuni wakuu.
Yuda hakumkabidhi Yesu kwao bado, badala yake alienda kufanya mipango nao. "ili kufanya mpango nao kumkabidhi Yesu kwao"
Inaweza kuwa msaada kusema waziwazi nini makuhani wakuu walisikia. "Wakati ambapo makuhani wakuu walisikia nini alichotaka kufanya kwa ajili yao"
chumba cha ziada kwa ajili ya watembeleaji
Walipaswa kufanya maandalizi ya chakula cha Yesu na wanafunzi wake kula. "Andaa chakula kwa ajili yetu hapo"
"Wanafunzi wawili waliondoka"
"kama Yesu alivyokuwa amesema"
Ilikuwa desturi kuwa na meza fupi ikiwa na mito ambapo wageni wangeweza kukaa mbele katika mkao wa nusu kulala kwenye meza wakati wa karamu ya chakula.
Hii ina maana kwamba "mmoja kwa muda wake" kila mwanafunzi alimwuliza yeye.
"Hakika, haiwezi kuwa mimi ninayesaidia adui zako kukukamata!"
"Yeye ni mmoja wa kumi na wawili, mmoja kwa sasa"
Katika utamaduni wa Yesu, wate wangeweza kula mara chache mkate, kuchovyo katika bakuli la mchuzi.
Hapa Yesu urejea kwa maandiko kutabiri kuhusu kifo chake. Kama una njia ya kistaraabu kusema kuhusu kifo katika kabila lako, tumia hapa. "Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakufa kama yasemavyo maandiko"
Hii inaweza kuanishwa zaidi moja kwa moja. "nani anamsaliti Mwana wa Adamu"
Huu ulikuwa ni mkate ulio bapa ambao haujatiwa chachu, ambao uliliwa kama sehemu ya chakula cha pasaka
Hii inamaanisha kwamba aliumega katika vipande ili kwamba watu wale.
Hapa "kikombe" ni kirai cha mvinyo. "Alichukua kikombe cha mvinyo"
Agano ni kwa ajili ya msamaha wa dhambi. Hii inaweza kuandikwa kwa uwazi zaidi. "Hii ni damu yangu ambayo inathibitisha agano, damu imwagikayo ili kwamba wengi wapokee msamaha wa dhambi"
"Mvinyo huu ni damu yangu. Ni vizuri kutofasiri kihalisia, ijapokuwa wengi huelewa hii kumaanisha kwamba mvinyo unawakilisha damu ya Yesu na huo mvinyo si damu halisi.
Hii inaonyesha kuwa sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu.
"mvinyo" Hii ni njia ya maelezo inayorejea kwa mvinyo.
Maana zinazowekana ni 1) "tena" au 2)"kwa njia mpya"
Wimbo ni aina ya wimbo. Ilikuwa desturi yao kuimba Zaburi toka Agano la Kale katika haua hii.
"Sitaku" ni kifupi cha sitajitenga nawe. Maneno "jitenga nawe" yanarudia kinyume chake mara mbili na humaanisha "nitabaki na wewe."
"sema kwamba hunijui mimi"
Neno "roho" limetumika wakati mwingine kimfano kurejea kwa mtu kamili siyo sehemu yake tu.
"apewe nguvu ya kushinda mateso aliyokuwa anayapitia.
Abba ni neno la Kiyunanai ambalo linatumika na watoto kumtaja baba yao. Inaashiria uhusiano wa karibu. Kwa kuwa tayari inamtaja Baba, ni muhimu kuhifadhi neno la Kiyunani "Abba."
Kikombe hurejea kwenye ghadhabu ya Mungu ambayo ilikuwa lazima Yesu aivumilie.
Yesu alimwomba Baba yake kuondoa mateso ambayo angeweza kuyavumilia juu ya msalaba kufa kwa ajili ya dhambi zote za mwanadamu, kwa muda wote. Lakini Baba alihitaji dhabihu ya Mwana wake, mkamilifu wa pekee kukidhi utakatifu wake wa Kimungu. Kwa hiyo, Yesu alikwenda msalabani.
Hii ni kichwa muhimu kwa ajili ya Mungu.
"na akamkuta Petro, Yakobo, na Yohana wamelala"
"Simoni, umelala wakati nilipokuambia kukesha."
"Ungeweza hata kukesha."
"Miili yenu haiwezi kufanya kile ambacho akili zenu zinataka ninyi kufanya."
"mwili unaoonekana"
"aliwakuta Petro, Yohana, na Yakobo wamelala"
bado mmelala! mmepumzika!
wakamkamata kwa nguvu
mnakuja kwangu, kama dhidi ya mwizi, kwa mapanga na marungu kunikamata
nguo nzito iliyotengenezwa kutokana na mmea
Baada ya umati wa makuhani wakuu, waandishi, na wazee kumuongoza Yesu kwa kuhani mkuu, Petro anamtazama kwa mbali wakati wengine wanasimama kushuhudia uongo kinyume na Yesu.
Hii inaweza kupangiliwa kwa upya ili kwamba inakuwa rahisi zaidi kuelewa. "Makuhani wakuu wote, wazee, na waandishi walikuwa wamekusanyika hapa kwa pamoja"
Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya badiliko katika hadidhi kama mwandishi anavyoanza kusema kuhusiana na Petro.
Kama Petro alivyomfuata Yesu, alisimama katika uwanja wa kuhani mkuu. Hii inaweza kuandikwa waziwazi. "na alienda mpaka uwanja wa kuhani mkuu"
Petro aliketi pamoja na walinzi waliokuwa wakifanya kazi katika uwanja. "Aliketi katika uwanja pamoja na walinzi"
Hili neno limetumika kuweka alama kwa badiliko katika hadithi kama mwandishi anavyoendelea kutuambia kuhusu Yesu kuwekwa kwenye majaribio.
Hapakuwa wenyewe ambao wangemwadhibu kifo Yesu; badala yake, wangemuomba mwingine kufanya . "wangemwadhibu kifo Yesu" au "wangeweza kupata mwingine kumwadhibu kifo Yesu"
Hawakupata ushuhuda kinyume dhidi ya Yesu ambao wangemtia hatiani na kumwua.
Hapa anaongea ushuhuda wa uongo unoelezwa kama ilikuwa kama kitu halisi ambacho mtu anaweza kubeba. "Mshitaki kwa kusema ushuhuda wa uongo dhidi yake"
Hii inaweza kuandikwa kwa mtindo wa chanya. "lakini ushuhuda wao haukufanana"
Neno "tu" hurejea kwa watu walioeta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu.
"alisimama kati ya wakuu wa makuhani, waandishi na wazee"
Hili ndilo jina Mungu alijiita mwenyewe katika Agano la Kale.
ishara ya hasira juu ya kile ambacho Yesu alikuwa amesema
"Wajumbe wote wa Baraza walimhukumu Yesu"
Kama Yesu alivyokuwa ametabiri, Petro anamkana Yesu mara tatu kabla ya jogoo hajawika.
"nje ya uani"
Mtumishi wa kike alimtumikia kuhani mkuu. "moja wa watumishi wa kike waliomtumikia kuhani mkuu"
Hii inamaanisha kudai kwamba kitu fulani si sahihi. Katika hali hii, Petor alikuwa akisema kwamba alichosema mtumishi wa kike kuhusu yeye hakikuwa sahihi.
Ote,"kujua" na "kuelewa" zina maana ile ile hapa. Maana imerudiwa kuongeza msisitizo kwa kile alichokuwa akisema Petor. "Hakika sikuelewi unachoongelea"
mmoja wa wanafunzi wa Yesu
Petro alihuzunika sana na kushitushwa sana na kuanza kulia
Pazia la hekalu lilikuwa ni ishara muhimu ambalo lilionyesha kwamba watu walihitaji kuwa na mtu anayeongea na Mungu kwa niaba yao. Hawangeweza kuzungumza na Mungu moja kwa moja kwa sababu watu wote ni wenye dhambi na Mungu huchukia dhambi. Mungu akagawanya pazia ili kuonyesha kwamba watu wa Yesu wanaweza sasa kuzungumza na Mungu moja kwa moja kwa sababu Yesu amelipia dhambi zao.
Kwa kujifanya kumwabudu Yesu
Hili ni tamko katika Kiaramu. Marko hutafsiri sauti zake kwa kuandika kwa kutumia herufi za Kigiriki. Halafu anaelezea maana yake.
"Wewe mwenyewe umesema hivyo."
"Alimpeleka mbali" au "basi nenda"
Walimpiga Yesu hasa kwa fimbo
Ona jinsi ulivyotafsiri mstari huu katika
Hii ni sehemu wanaokaa maaskari.
"Idadi kubwa" au "wengi"
Hii ilikuwa tendo la kejeli. Zambarau ilikuwa rangi inayoonesha mamlaka na kumvalisha ni namna ya kudhihaki cheo chake, "Mfalme wa Wayahudi."
Maaskari walimdhihaki Yesu kwa sababu hawakuamini kwamba alikuwa Mfalme wa Wayahudi.
"wezi kila upande"
"siki"
Mungu aligawa pazia la hekalu mara mbili
Hii ni cheo muhimu kwa Yesu.
Ni jina.
"awali lile kaburi lilichimbwa na mtu katika mwamba imara"
vazi lililotengenezwa kwa kitani inayopandwa kama ilivyotafsiriwa katika 14:51-52
"mahali pale ambapo Yusufu na wengine waliuzika mwili wa Yesu"
Kaburi ambamo Yesu alizikwa (Yohana 19:41) lilikuwa ni aina ya kaburi ambalo familia za Kiyahudi za matajiri zilizika maiti yao. Kilikuwa chumba halisi kilichokatwa kutoka kwenye mwamba. Kilikuwa na eneo bapa upande mmoja ambapo wangeweza kuweka mwili baada ya kuupaka mafuta na manukato na kuufunga kwa nguo. Kisha wangeuweka mwamba mkubwa mbele ya kaburi ili yeyote asiweze kuona ndani au kuingia.
Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya malaika waliovalia nguo nyeupe wakiwa na wanawake katika kaburi la Yesu. Waandishi wawili kati yao waliwaita wanaume, lakini ilikuwa tu ni kwa sababu tu malaika walikuwa katika hali ya kibinadamu. Waandishi wawili kati yao waliandika kuhusu malaika wawili, lakini wale waandishi wengine wawili waliandika juu ya mmoja tu. Ni bora kutafsiri kila moja ya vifungu hivi kama inavyoonekana katika ULB bila kujaribu kufanya vifungu vyote kufanana. (See: Matthew 28:1-2 and Mark 16:5 and Luke 24:4 and John 20:12)
Siku ya kwanza ya wiki, wanawake walikuja asubuhi kwa sababu walitegemea kutumia kitoweo kuupaka mafuta mwili wa Yesu. Walishangaa kumuona kijana ambaye anawambia kuwa Yesu yu hai, lakini wanaogopa na hawamwambii mtu yeyote.
Hii ni kwamba, wakati jua lilipochomoza siku ya saba na siku ya kwanza ya wiki kuanza.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "mtu amekwisha kulivingirisha jiwe"
Malaika kwa mkazo anatangaza kuwa Yesu amekwishafufuka. Hii inaweza kutofasiriwa katika kauli tendaji. "Alinuka!" au " Mungu alimwinua kutoka mauti!"
Neno "kaburi" inarejea kwenye eneo ambapo watu wanaweka mwili wa mtu aliyekufa. "Sehemu ya kuzikia" ni neno la kiujumla ambalo linarejea kwa:
Haya maneno urejea kwa kushangazwa kwa sababu ya kitu cha ajabu kilichofanyika.
Yesu anaonekana mara ya kwanza kwa Mariamu Magidalena, ambaye anawambia wanafunzi, kisha anajitokeza kwa wengine wawili kama wanavyokuwa wakitembea, na badae anatokea kwa wanafunzi kumi na mmoja.
"jumapili"
"Walimsikia Mariamu Magidalena akisema"
Yesu alikuwa ni mtu ambaye "wale wawili" waliona, lakini walichokiona hakikuonekana kama Yesu, kwa hiyo hawakujua walikuwa wakimtazama Yesu
wawili "wale walikuwa naye"
Wanafunzi wengine hawakuwaamini wale wawili walikuwa wakitembea walichosema.
Wakati ambapo Yesu anakutana na kumi na moja, anawakemea kwa kutokuwa na imani na kuwambia waende kwa ulimwengu wote kuhubiri injili.
Hawa ni wanafunzi kumi na moja ambao walibaki baada ya Yuda kuwaacha.
Hiki ni kirai cha kula, ambacho kilikuwa ni njia ya kawaida siku zile wakati wa kula. "walikuwa wanakula chakula"
Walikuwa wameegama chini upande wa kushoto, wakitumia mkono wao wa kula chakula kwenye meza.
Yesu anakemea wanafunzi wake kwa sababu wasingeweza kumwamini. Tofasiri usemi huu ili ieleweke kuwa wanafunzi hawakumwamini Yesu. "kukataa kuamini"
Hapa "ulimwengu" ni kirai kwa watu katika ulimwengu. "Nenda kila sehemu kuna watu"
Hii ni kutia chumvi na kirai kwa ajili ya watu "ulimwengu wote"
Neno "a" urejea kwa yeyote. Sentensi hii inaweza kufanywa katika kauli tendaji."Mungu atawaokoa watu wote ambao wanaamini na kukuruhu wewe uwabatize"
Neno "a" urejea kwa yeyote. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " Mungu atahukumu watu wote ambao hawaamini."
Mariko anasema juu ya miujiza kama vile watu wanaenda pamoja na wakristo. "Watu wanawatazama wale wanaomini wataona mambo haya kutokea na kujua niko pamoja na wakristo"
Maana zinaweza kuwa 1) Yesu anataja orodha ya kiujumla: "Katika jina langu watafanya mambo kama haya: Wa" au 2) Yesu anatoa orodha sahihi: "Haya ni mambo watakayo fanya katika jina langu"
Hapa "jina" linahusishwa na mamlka ya Yesu na nguvu. "Kwa nguvu ya jina langu" au " Kwa nguvu za jina langu
Hii inaweza kuwa kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimchukua juu mbinguni, na ameketi"
"sehemu ambapo Mungu umpe kuketi kwa heshima na nguvu"
"kulionyesha kuwa maneno yake, ambayo yalikuwa yakizunguzwa, yalikuwa kweli"