1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu, 2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe. 3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo. 4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa. 5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti. 6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana. 7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana. 8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake. 9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba. 10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba. 11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia. 12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia. 13 Lakini malaika akamwambia, "Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana. 14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake. 15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake. 16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao. 17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake." 18 Zakaria akamwambia malaika, "Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana." 19 Malaika akajibu na kumwambia, "Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema. 20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka." 21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni. 22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya. 23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake. 24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema, 25 "Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu." 26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti, 27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu. 28 Akaja kwake na akasema, "Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe." 29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake. 30 Malaika akamwambia, "Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu. 31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.' 32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. 33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. 34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote? 35 Malaika akajibu na akamwambia, "Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu. 36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba. 37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu." 38 Mariamu akasema, "Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako." Kisha malaika akamwacha. 39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea. 40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti. 41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu. 42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, "umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa. 43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu? 44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha. 45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana." 46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana, 47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu. 48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa. 49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu. 50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye. 51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao. 52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini. 53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu. 54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema 55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele." 56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake. 57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume. 58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye. 59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, "Zekaria," kwa kuzingatia jina la baba yake, 60 Lakini mama yake akajibu na kusema, "Hapana; ataitwa Yohana." 61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili." 62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani. 63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, "Jina lake ni Yohana." Wote wakashangazwa na hili. 64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu. 65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea. 66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, " Mtoto huyu kuwa wa namna gani?" Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye. 67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema, 68 "Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake. 69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi, 70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. 71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia. 72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu, 73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu. 74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu. 75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote. 76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake, 77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao. 78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia, 79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani." 80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka sala ndefu au unabii mbele kidogo ya maandiko nyingine. Kwa sababu hii, ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 1:46-55, 68-79.
Haikuwa jambo la kawaida katika ichi ya Mashariki ya Karibu kumwia mtoto jina ambalo sio jina la jamaa. Kwa kuwa Elizabeti na Zakaria hawakuwa na mtu aliyeitwa "Yohana" katika familia yao, jina hili liliwashangaza sana kwa watu wengine.
Luka hatumii maneno mengi magumu. Lugha yake ni rahisi na ya moja kwa moja.
Luka anaeleza kwanini anamwandikia Theofilo.
"taarifa" au "simulizi za kweli"
Neno "yetu" katika kauli hii linaweza au haliwezi kutomhusisha Theofilo.
"Sisi" katika kauli hii Theofilo hahusiki.
"kupewa wao" au "iliyotolewa kwao"
Unaweza kuhitaji kupambanua kwamba ujumbe ni nini. NI: "kumtumikia Mungu kwa kuwaambia watu habari zake" au "kufundisha watu habari njema kuhusu Yesu"
"kutafiti kwa makini." Luka alikuwa makini kutafuta uhakika wa kile kilichotokea. Huenda alizungumza na watu mbalimbali ambao waliona kilichotokea kuhakikisha anachokindika kuhusu tukio hili ni sahihi.
Luka alisema hivi kuonesha heshima na taadhima kwa Theofilo. Hii inaweza kumaanisha kwamba Theofilo alikuwa afisa mhimu serikalini. Sehemu hii tumia mfumo unaotumika kwenye utamaduni wako kumwongelea mtu mwenye mamlaka ya juu. Baadhi ya watu wanaweza kupendelea pia kuweka salamu mwanzoni na kusema "kwa ... Theofilo" au "Mpendwa ... Theofilo."
"mheshimiwa" au "muungwana"
Jina hili linamaana "rafiki wa Mungu." Linaweza likaweka wazi tabia ya mtu huyu au inaweza kuwa ndilo jina lake halisi. Tafsiri nyingi limetumika kama jina lake.
Malaika anatoa unabii kuzaliwa kwa Yohana
Zakaria na Elizabethi watabulishwa. Mistari hii inatoa taarifa ya historia kuwahusu wao.
"Wakati ambao Mfalme Herode alitawala katika Uyahudi"
"Palikuwa pa uhakika" au "palikuwa na." Hii ilikuwa njia ya kutambulisha mhusika mpya katika katika historia. Fikiria namna lugha yako inavyofanya.
Inafahamika kwamba hii inarejea kwa makuhani. NI: "mgawo wa makuhani au "kundi la makuhani."
"ambaye alitokea ukoo wa Abiya." Abiya alikuwa mhenga wa kundi la makuhani na wote waliokuwa wanatokea kwa Haruni, ambaye alikuwa kuhani wa kwanza katika Israeli.
"Mke wake alitokea ukoo wa Haruni" Hii inamaanisha anatokea katika mfumo ule ule wa kikuhani kama Zakaria. "mke wake pia alitokea pia ukoo wa Haruni" au "Zakaria na mke wake wote wawili walitokea kwa Haruni."
"tokea ukoo wa Haruni"
"mbele za macho ya Mungu" au "kwenye mtazamo wa Mungu"
"yote ambayo Bwana alishaamuru na aliyotaka"
Hili neno la kutofautisha kwamba yafuatayo hapa ni kinyume cha yaliyotarajiwa. watu walitarajia kwamba kama walifanya yaliyosahihi, Mungu angeliwaruhusu kuwa na watoto. Ingawa wanandoa hawa walifanya yaliyo sahihi, hawakuwa na mtoto yeyote.
Hii kauli ilitumika kubadili simulizi kutoka taarifa za mwanzo kwenda kwa wahusika.
"ilipokuwa zamu ya kundi lake" au "wakati ulipowadia wa kundi lake kuhudumu"
Sentensi hii inatupa sisi taarifa kuhusu wajibu wa kikuhani.
"mfumo wa kiutamaduni" au "njia yao ya kawaida"
kura ilikuwa ni jiwe lenye alama ambalo lilitupwa au viringishwa chini ili kwamba liwasaidie kuamua jambo fulani. Makuhani waliamini kwamba Mungu aliielekeza kura kuwaonesha kile walichokitaka makuhani kuchagua.
Makuhani walikuwa wanachoma harufu nzuri kama sadaka kwa Mungu kila asubuhi na jioni katika madhabahu maalumu ndani ya hekalu.
"Idadi kubwa ya watu" au "Watu wengi"
Kiwanja ilikuwa ni eneo linalolizunguka hekalu. NI: "nje ya jengo la hekalu" au "kwenye kiwanja nje ya hekalu."
"kwenye muda uliopangwa." Haikowazi kama ilikuwa muda wa asubuhi au jioni kwaajili ya sadaka ya ubani.
Wakati Zakaria anafanya wajibu wake hekaluni, malaika anakuja kutoka kwa Mungu kumpa ujumbe.
Neno hili linazingatia mwanzo wa kitendo katika historia,
"ghafla alikuja kwake" au "ghafla alikuwa pale pamoja na Zakaria." Hii inaweka wazi kwamba malaika alikuwa pamoja na Zakaria, na siyo tu maono.
Hizi kauli mbili zinamaana ileile, na zinasisitiza jinsi Zakaria alivyokuwa na hofu.
"Zakaria alipomwona malaika" Chanzo cha hofu kilikuwa kushituliwa na ile asili ya malaika. Zakaria hakufanya kitu chochote kibaya.
Hofu ni kitu kinachofafanuliwa kama kwamba shambulio au Zakaria alizidiwa nguvu.
"usiendelee kuniogopa mimi" au "Wewe hutakiwi kuniogopa mimi"
"Mungu amesikia ambacho uliomba." Kinachofuata kinadokeza na kingeliongezwa: "ataruhusu hiyo." Mungu hakukomea kusikia tu alichoomba Zakaria; pia alikuwa anaelekea kutenda.
"mwana wa kiume kwaajili yako" au "kuzaa mtoto wako wa kiume"
"Kwasababu" au "Katika nyongeza kwa hili"
Haya maneno mawili yanamaanisha jambo lilelile na yangeliweza kuunganishwa kama lugha haina maneno yanayofanana. NI: "furaha sana."
"kwasababu ya kuzaliwa kwake"
"atakuwa mtu mhimu sana kwaajili ya Bwana" au "Mungu atamstahilisha kuwa mtu mhimu sana" (UDB)
Hii itatajwa kama kauli tendwa: NI: "Roho Mtakatifu atamwezesha" au "Roho Mtakatifu atamwongoza." Hakikisha haieleweki sawa na ambavyo roho mchafu anaweza kumfanya mtu.
watu tayari walishawahi kujazwa na Roho Mtakatifu, lakini hakuna hata mmoja aliyesikia mtoto ambaye hajazaliwa kajazwa na Roho Mtakatifu.
Inaeleweka kama japo Zakaria haikuwekwa, kauli hii ingelitafsiriwa kama "wengi wa koo za Israeli" au "wengi wenu ambao ni watu wa Mungu, Israeli." Kama mabadiliko haya yakifanyika, hakikisha kwamba "Mungu wao" imebadilishwa kuwa "Mungu - wao (wingi)."
"kirudi nyuma" au "rejea"
Yeye angelitangulia kutangaza kwa watu kwamba Bwana angelikuja kwao.
"uso wa" iko hapa ni nahau ambayo inarejea kwenye ule uwepo wa Bwana. Wakati mwingine iliondolewa kwenye tafsiri. NI: "kabla."
"pamoja na ile roho na nguvu alizokuwa nazo Eliya." Neno "roho" liwe linarejea kwa Roho Mtakatifu wa Mungu au mwenendo wa Eliya au namna ya kufikiri. Hakikisha kwamba neno "roho" halimaanishi mzimu au roho mchafu.
"Kushawishi baba kutunza watoto wao tena" au "kuwasababisha baba kurejesha uhusiano na watoto"
"kurejesha moyo" ni sitiari kwaajili ya kubadili nia ya mtu fulani kuelekea hali fulani.
"tembea" ni sitiari kwa namna mtu anaishi na kutenda. NI: "asiyetii atatenda" au "asiyetii ataishi"
"watu ambao hawatii"
haijasemwa jinsi watakavyo kuwa tayari. Hii ilidokeza taarifa zingeliongezwa. NI: "jitayarishe kuamini ujumbe wa Bwana" au "uwe tayari kumtii Bwana."
"Jinsi gani naweza kujua kwa hakika kwamba ulichosema kitatokea"? "kujua" kunamaanisha kujifunza kupitia uzoefu, akipendekeza Zakaria alikuwa akiuliza kutokana ishara kama uthibitisho. Hii inaweza kusemwa wazi kama: NI: "unaweza kufanya nini kuthibitisha kwangu kwamba hiki kitatokea?"
Hii inasemwa kama kukemewa kwa Zakaria. Uwepo wa Gabrieli, unakuja moja kwa moja kutoka kwa Mungu, itakuwa inatosha kumthibitishia Zakaria.
"ambaye hutumika"
Hii inaweza. kusemwa kwenye mtindo wa kutenda. NI: "Mungu alinituma kusema kwako."
Neno "tazama" hapa linatutaarifu kuwa makini kwa taarifa zinazofuata za ku.shangaza
Hii inamaanisha kitu kilekile, na vilirudiwa kusisitiza ukamilifu wa ukimya wake. NI: "kutoweza kuzungumza kabisa" au "hawezi kuzungumza kwa vyovyote."
"usiamini yale niliyosema"
"kwa wakati ulioandaliwa"
Hii inadokeza kuhama katika simulizi kutokana nakilichotokea ndani ya hekalu kwenda kilichotokea nje. NI: "Wakati huo" au "Wakati malaika na Zakaria wanazungumza."
Mambo haya huenda yalitokea muda uleule, na ishara za Zakaria ziliwasaidia watu kuelewa kwamba amepata maono. Inaweza ikawa msaada kwa wasikilizaji wako wabadili utaratibu kuonesha hivyo. NI: "Yeye aliendelea kuwafanyia ishara na alibaki kimya. Hivyo walitambua kwamba alipata maono wakati akiwa ndani ya hekalu."
maelezo yaliyotangulia yanaashiria kwamba Gabrieli alikuja kweli kwa zakaria hekaluni. Watu, hawajui hilo, walidhani Zakaria aliona maono.
Kauli hii inahamisha simulizi kwenda mbele ambapo huduma ya Zakaria ilikuwa inaishia.
Zakaria alikuwa haishi Yerusalemu, ambapo palikuwa na hekalu. Alisafiri kwenda kwenye mji alioishi.
Kauli "siku hizi" inarejea wakati Zakaria alikuwa anatumika hekaluni. Hii inawezekana kulisema hili kwa uwazi. NI: "Baada ya Zakaria kurudi nyumbani tokea kwenye huduma hekaluni."
"mke wa Zakaria"
"hakuondoka nyumbani kwake" au "alibaki peke yake ndani"
Kauli hii inarejea ukweli kwamba Bwana alimruhusu apate ujauzito.
Hili ni tamko zuri la mshangao. Yeye alikuwa na furaha sana kwa kile alichokitenda Bwana kwaajili yake.
"Kuangalia" ni nahau ambayo inamaanisha "kutendea" au "kushughulikia." NI: "tazama kwa wema" au "alinihurumia"
Hii inarejea kwenye aibu aliyoihisi kwa sababu alikuwa hawezi kuwa na watoto.
Malaika Gabrieli anamtangazia Mariamu kwamba anakwenda kuwa mama wa mtu ambaye ni Mwana wa Mungu.
"katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeth." Hii ilikuwa lazima kulisema wazi kama ingelichanganya na mwezi wa sita katika mwaka.
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutenda: NI: "Mungu alimwambia malaika Gabrieli nenda"
"Yeye niwa kabila lilelile kama Daudi" au "Yeye alikuwa ukoo Mfalme Daudi" (UDB)
"rehani" au "kuahidiwa kuolewa." wazazi wa Mariamu waliweka msimamo kwaajili yake atamwoa Yusufu.
Hii inamtambulisha Mariamu kama mhusika mpya katika simulizi.
"Malaika alikuja kwa Mariamu"
Hii ilikuwa ni salamu ya kawaida. Inamaana: NI: "furahia" au "uwe na furaha."
"ninyi ambao mmepokea neema kubwa!" au "ninyi mmepokea wema maalumu!"
"pamoja nawe" ni nahau ambayo inadokeza kutiwa moyo na kukubalika. NI: "Bwana kafurahishwa na wewe."
Mariamu alifahamu maana ya maneno hayo, lakini hakuelewa kwanini malaika alimwambia salaamu hii ya kushangaza.
Malaika hakutaka Mariamu kuwa na woga kwa ujio wake, kwasababu Mungu alimtuma ujumbe mzuri.
Nahau "kupata fadhila" inamaana kupokelewa vizuri na mtu fulani. Sentensi inaweza kugeuzwa kuonesha Mungu kama mtenda. NI: "Mungu ameamua kutoa neema yake" au "Mungu anaonesha wema wake."
Mariamu atazaa "mwana" atakayeitwa "Mtoto wa aliye Juu Sana" (UDB). Yesu ni mtoto aliyezaliwa na mama mwanadamu, na Yeye vilevile ni Mwana wa Mungu. Maneno haya yatafsiriwe kwa uanglifu sana.
Maana zinazowezekana ni 1) "watu watamwita" au 2) "Mungu atamwita."
Hii ni sifa mhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
Kiti kinawakilisha mamlaka ya mfalme kutawala. NI: "kumpa mamlaka kutawala kama mfalme kama baba yake Daudi alivyofanya"
Kauli hasi ""hakuna mwisho" sisitiza kwamba utaendelea milele. Pia inaweza kusemwa kwa kauli chanya. NI: "ufalme wake hautaisha."
NI: "Hili linawezekana kwa namna gani?" Ingawa Mariamu hakuelewa jinsi itakavyotokea, yeye hakuwa na shaka kwamba ingelitokea.
Mariamu alitumia hali halisi kusema kwamba hajawahi kuhusika kwenye tendo la ngono. NI: "Mimi ni bikra" (UDB)
utungaji mimba wa Mariamu ungelianza na ujio wa Roho Mtakatifu kwake.
"kuja ghafla" au "atakutokea"
Ilikuwa ni nguvu ya Mungu ingelikuja zaidi ya kawaida kumsababisha Mariamu kuwa mjamzito hata wakati akiwa bado akabaki bikra. Hakikisha hii haidokezi hali au muungano wa ngono - huu ulikuwa muujiza.
"utafunikwa kma kivuli"
"mtoto mtakafu" au "mtoto mchanga mtakatifu"
Maana zinazowezekana 1)"watu watamwita" au 2) Mungu atamwita
Ingawaje mama yake Yesu alikuwa mwanadamu, Mungu zaidi ya kawaida alimweka Yesu tumboni mwake. Hivyo basi, Mungu alikuwa Baba yake, na Yesu alikuwa anaitwa "Mwana wa Mungu."
Hii ni sifa mhimu kwaajili ya Yesu.
Huu udhihirisho hapa unasisitiza umhimu wa kauli inayomhusu Elizabeth ambayo inafuata.
Kama unataka kusema uhusiano maalumu, Elizabeth huenda alikuwa shangazi wa Mariamu au shangazi - mkubwa.
"pia anaujauzito, ingawa tayari kazeeka, pia mjamzito na atazaa mtoto." Hakikisha haieleweki kama ingawa wawili Mariamu na Elizabethi walikuwa wazee walipopata ujauzito.
"mwezi wa sita wa ujauzito wake"
Kwa sababu" au "Hii inaonesha hivyo"
Kauli yake inamashaka maradufu inaweza kutamkwa kwa kauli chanya. NI: "Hii inaonesha Mungu anaweza kufanya kitu chochote." Ujauzito wa Elizabethi ulithibitisha kwamba Mungu anaweza kufanya lolote - hata kumwezesha Mariamu kuwa mjamzito bila kushiriki na mwanaume.
Mariamu anatumia udhihirisho huo huo kama malaika kusisitiza jinsi alivyokuwa anajali kuhusu uamzi wake kujikabidhi kwa Bwana.
Chagua udhihirisho ambao unaonesha unyenyekevu na utii kwa Bwana. Yeye alikuwa hajiinui juu ya kuwa mtumishi wa Bwana.
"Acha hii itokee kwangu." Mariamu alikuwa anadhihirisha utayari wake kwa mambo yatakayo tokea kwamba malaika alishamwambia yalikuwa karibu yatokee.
Mariamu anakwenda kumtembelea ndugu yake Elizabethi ambaye alikuwa anakaribia kumzaa Yohana.
Nahau hii inamaanisha hakusimama tu, lakini pia "alikuwa tayari." NI: "alianza kutoka" au "alikuwa tayari"
"eneo la vilima" au "sehemu ya milima ya Israeli"
Hii inadokeza kwamba Mariamu alimaliza safari yake kabla ya kwenda nyumbani kwa Zakaria. Hii ingelisesemwa wazi. NI: "Yeye alipofika, alikwenda."
Kauli ilitumika kuonesha tukio jipya katika sehemu ya simulizi hii.
"katika tumbo la Elizabethi"
"sogea ghafla"
Kauli hizi mbili zinamaanisha kitu kilekile, na zinatumika kusisitiza namna Elizabethi alivyokuwa kasisimka. Zingeliweza kuwekwa katika kauli moja. NI: "liotamka ghafla kwa sauti." (UDB)
Nahau hii inamaanisha "aliongeza kiwango cha sauti yake"
Nahau "kati ta wanawake" inamaana "zaidi kuliko wanawake wengine."
Mtoto wa Mariamu analinganishwa na matunda ya mti unaozaa. NI: "mtoto katika tumbo lako" au "mtoto utakayemzaa" (UDB)
Elizabethi alikuwa haulizi apate taarifa. Alikuwa anaonesha jinsi alivyoshangaa na alivyokuwa na furaha kwamba mama wa Bwana amekuja kwake. NI: "Jinsi ilivyokuwa ajabu kwamba mama wa Bwana amekuja kwangu!"
Hii inarejea kwa Mariamu. "wewe, mama wa Bwana wangu." (UDB)
Kauli hii inatuamsha tusikilize kushangaa kwa kauli ya Elizabethi inayofuata.
"lisogea ghafla kwa furaha" au "ligeuka kwa haraka kwa sababu alikuwa na furaha!"
Hii nahau inamaana "nilisikia."
"ninyi mlio amini mmebarikiwa" au "kwa sababu mliamini, mtakuwa na furaha"
"mambo haya yangelitokea kweli" au "mambo haya yangelikuwa kweli"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " ujumbe ambao Bwana amempa" au "mambo yale uliyo ambiwa na Bwana"
Mariamu anaanza wimbo wa kumsifu Bwana Mwokozi wake.
Mariamu anatumia mtindo wa ushairi pale anaposema mambo yale yale katika njia mbili mhimu. ikiwezekana tafsri haya katika tofauti ndogo ya maneno au kauli ambayo inamaana inayofanana.
Yote "nafsi" na "roho" ... hurejea kwenye viungo vya kiroho vya mtu. Mariamu anasema kwamba ibada yake inatokea kwenye mtima wake wa ndani. NI: "utu wangu wa ndani ... moyo wangu" au "Mimi ... Mimi."
"amehisi kufurahi sana" au "alikuwa na furaha sana"
"Mungu, ambaye ndiye aniokoaye mimi" au "Mungu ananiokoaye mimi"
"Kwa sababu yeye"
"alitazama pale kwa makini" au "alijali"
"umaskini." Familia ya Mariamu ilikuwa siyo tajiri.
Kauli hii inatoa wito kwa kauli inayofuata.
"sasa na badaye"
"watu wote katika vizazi vyote"
"Mungu, mwenye nguvu" (UDB)
Hapa "jina" hurejea kwenye hali yote ya Mungu. NI: "Yeye."
"rehema ya Mungu"
"kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kinachofuata" au "kupitia kila kizazi" au "kwa watu wa kila majira"
"mkono wake" ni lugha picha inayorejea mkono wa nguvu wa Mungu. NI: inaonesha kwamba Yeye ananguvu sana."
"fukuza katika uelekeo mbalimbali"
"moyo" ni nahau ambayo inarejea kwenye mawazo ya mtu ya ndani. NI: "mawazo katika utu wao wa ndani."
Enzi ni kiti ambacho mtawala anakalia, na ni mfano wa mamlaka. Kama mfalme akiondolewa kwenye enzi yake, inamaanisha hana mamlaka tena ya kutawala. NI: "Yeye amechukua mamlaka ya wafalme au "watawala kuacha kutawala."
Kupingana kati ya hali hizi mbili iwekwe wazi katika tafsiri kama inawezekana.
"umaskini." Familia ya Mariamu walikuwa siyo tajiri. Angalia livyotafsriwa 1:48.
Katika neno picha hili, watu ambao ni wa mhimu wako juu zaidi ya wale ambao si mhimu. NI: "amefanya watu wanyenyekevu kuwa wa mhimu" au "amewapa heshima ambao watu wengine hawakuwaheshimu."
Kutofautisha kati ya matendo wawili yaliyo kinyume itengenezwe tafsiri iliyowazi kama inawezekana.
Maana zinazowezekana ni 1) "amewapa wenye njaa chukula kizuri wale" au 2) "kawapa wahitaji vitu vizuri,"
UDB inarekebisha mistari hii kuwa daraja ili kutunza kwa pamoja taarifa zinazohusu Israeli.
"Bwana amesaidia"
Kama wasomaji watachanganya hiki na mtu anayeitwa Israeli, itatafsiriwa kama "mtumishi wake, taifa la Israeli" au "Israeli, mtumishi wake."
"ili kwamba"
Mungu hawezi kusahau. Ambapo Mungu "hukumbuka," hii nahau inayomaanisha Mungu anatenda kutokana na ahadi yake aliyotoa mapema.
"hakika kama alivyoahidi kwa wahenga wetu angelifanya." "Kauli hii inaleta taarifa ya nyuma ahadi ya Mungu kwa Abrahamu." NI: "kwa sababu aliahidi kwa wahenga wetu angelikuwa na rehema."
"wazawa wa Abrahamu"
Elizabethi anajifungua mtoto wake na Zakaria anamwita jina mtoto wao.
"Mariamu alirudi nyumbani kwake" au "Mariamu alirudi kwenye nyumba yake"
Neno hili linaonesha mwanzo wa tukio linalofuata katika historia.
"majirani na ndugu wa Elizabethi"
""amekuwa mwema sana kwake" UDB
"Sasa wakati mtoto akiwa na siku nane" au NI: "Ndipo, siku ya nane baada ya mtoto kuzaliwa"
Hii huenda wanarejea kwa Zakaria na rafiki na ndugu wa Elizabethi.
Hii ilikuwa sherehe ya kawaida wakati mtu alipokuwa anamtahiri mtoto rafiki zake wapaswa kuwa hapo kusherehekea pamoja na hiyo Familiya. NI: "sherehe kwaajili ya kutahiriwa kwa mtoto."
"Walikuwa wanaenda kumwita yeye" au "Walitaka kumwita yeye jina." Hii ilikuwa desturi ya kawaida.
"jina la baba yake"
"kwa jina hilo" au "kwa jina lilelile"
Hii inarejea kwa watu ambao walikuwa pale kwaajili ya sherehe ya kutahiriwa.
"alitaja." Pengine Zakaria alikuwa hawezi kusikia, vilevile kuzungumza, au watu walikisia kwamba hangeliweza kusikia.
"kwa baba wa mtoto"
"jina ambalo Zakaria alitaka kumpa mtoto"
Inaweza ikasaidia kusema jinsi Zakaria "alivyoomba," Sababu hakuweza kuzungumza. NI: "Baba yake alitumia mikono kuwaonesha watu kwamba alihitaji wampe ubao wa kuandikia"
"kitu fulani unachoweza kuandika"
"shangaa sana" au "stajaabishwa"
Hizi kauli mbili ni maneno picha ambayo pamoja yanasisitiza kwamba Zakaria aliweza kuzungumza ghafla.
Kauli hizi zinaweza pia kusemwa katika mtindo wa kutenda. NI: Mungu akafungua kinywa chake na kuuweka huru ulimi."
"Wote walioishi karibu na Zakaria na Elizabethi walikuwa na hofu." Walikuwa wamepigwa butwaa kwa njia ya Mungu ya miujiza kumrejeshea Zakaria uwezo wa kuzungumza. NI: "Kila mmoja aliyeishi karibu nao walikuwa katika hofu ya Mungu."
Hii hairejei tu kwa wale majirani wa karibu lakini kwa kila mmoja ambaye aliishi eneo hilo.
Neno "wao" hapa linarejea kwenye mambo yaliokwisha tokea.
Hii inarejea kwenye kundi kubwa la watu walioishi Uyahudi yote.
"kuuliza"
"Aina gani ya ukuu ambao atakuwa nao mtoto huyu akikua?" Hii pia inawezeakana kwamba swali hili lilikuwa linamaanisha kuwa ni kauli ya kuwashangaza kwa kile walichisikia kuhusu mtoto. NI: "Mtoto huyu atakuwa mkuu wa namna gani!"
Kauli hii "mkono wa Bwana" inarejea nguvu za Mungu. "Nguvu za Mungu zilikuwa pamoja naye" au "Mungu alikuwa anafanya kazi ndani yake kwa nguvu."
Zakaria anasema kilichotokea kwa Yohana mtoto wake.
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: "Roho Mtakatifu alimjaza Zakaria baba yake."
baba wa Yohana
fikiria njia za asili za kuanza kunukuu moja kwa moja katika lugha yako. NI: "alitoa unabii na alisema" au "alitoa unabii na hiki ndicho alichokisema"
"Israeli" hapa anarejea kwa taifa la Israeli. Uhusiano kati ya Mingu na Israeliungelisemwa moja kwa moja. NI: "Mungu ambaye anatawala juu ya Israeli" au "Mungu ambaye Israeli anamwabudu."
"watu wa Mungu"
pembe ya mnyama ni mfano kwaajili ya nguvu zake kujitetea yenyewe. Maana hii isemwe wazi. NI: "mtu fulani mwenye nguvu kutuokoa sisi."
"Nyumba" ya Daudi inawasilisha familia yake, hasa, ukoo wake, NI: "katika familia ya mtumishi wake Daudi" au "ambaye ni ukoo wa mtumishi wake Daudi"
"kama tu Mungu alivyosema"
Mungu aliwawezesha manabii kuzungumza neno alilotaka wao wazungumze. udhibiti wa Mungu unaweza kusemwa NI: "alisababisha manabii wake watakatifu kusema."
Hii inazungumzia ujumbe wa manabii kama ilikuwa midomo inasema maneno NI: "kwenye maneno ya"
"waliishi zamani"
Hii inarejea kwenye wokovu wa mwili, zaidi kuliko wokovu wa kiroho.
Hizi kauli mbili kimsingi zinamaanisha jambo lilelile na zimerudiwa kusisitiza jinsi adui zao walivyokuwa na nguvu kinyume chao.
Itakuwa ni msaada kusema tena "wokovu" hapa. NI: "wokovu kutokana na mkono wa."
"nguvu" au "udhibiti." Neno "mkono" linakwenda pamoja na nguvu ambazo zinatumika kuwaumiza watu wa Mungu
"kuwa na huruma kwa" au "kutenda kutokana na rehema yake kwao"
Hapa neno "kumbuka" linamaana kuendelea kujitoa au kukamilisha kitu fulani.
Kauli hizi mbili zinarejea kwenye kitu kile kile. Zimerudiwa kuonesha kujali kwa Mungu juu ya ahadi kwa Abrahamu.
"kufanya iwezekane kwaajili yetu"
Inaweza ikasaidia kubadili mtindo wa kauli hizi. NI: "kwmba tungelimtumikia yeye bila bila hofu baada sisi kuokolewa kutoka katika nguvu za adui wetu."
"mkono" inarejea kudhibiti au nguvu ya mtu. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kutoka katika udhibiti wa adui zetu."
Hii inarejerea nyuma kwenye hofu ya adui zao. NI: "bila kuwaogopa adui zetu"
Hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "kuishi katika njia safi na kutenda haki"
Nahau hii ambayo inamaanisha "katika uwepo wake"
Zakaria anatumia kauli hii kuanza hotuba yake moja kwa moja kwa mtoto wake. Unaweza kuwa na njia ile ile ya kuhutubia moja kwa moja katika lugha yako.
Watu watatambua kwamba huyu ni nabii. Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "watu watajua kwamba wewe ni nabii."
"ambaye anamtumikia aliye Juu Sana." Hii inarejea kwa Mungu. NI: "ambaye anazungumza kwaajili ya Mungu aliye Juu Sana."
Nahau hii inamaana "kwenda mbele za Bwana" au "kuja mbele za Bwana."
"kuelezea wokovu kwa watu wake" au "hivyo watu wake waweze kufahamu wokovu"
"kupitia msamaha wa dhambi zao." Pia inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwa sababu Mungu amewasamehe"
Kupitia katika mistari hii : "sisi" inahusisha watu wote.
Hii inaweza kusaidia kusema kwamba rehema ya Mungu inatusaidia sisi. NI: "kwa sababu Mungu anahuruma na na rehema kwetu."
Mwanga kwa kawaida ni sitiari kwa ukweli. Hapa, jinsi jua linavyochomoza mwanga wake juu ya nchi ilitumika kama mfano wa jinsi mwokozi anavyotoa ukweli wa kiroho kwa watu.
"toa maarifa kwa" au "toa mwanga wa kiroho kwa"
Giza hapa ni sitiari kwa watu wasio na kweli. Hapa, watu ambao wanapungukiwa ukweli wa kiroho wanasemwa kama kwamba wanakaa gizani. NI: "watu wasiojua kufanya kweli"
kauli hizi mbili zinafanya kazi pamoja kusisitiza giza nene la kiroho kwa watu Mungu huwaonesha rehema kwao.
kivuli ni sitiari kwa kitu fulani ambacho kinakabili. Hapa, inarejea kwenye giza la kiroho ambalo litawasababisha kufa. NI: "ambao wanakaribia kufa."
Kuongoza mtu kutembe ni sitiari ya kuongoza ufahamu wa kiroho. NI: "tuongoze" au "Tufundushe."
"miguu" inatumika kuwakilisha mtu kwa ujumla. NI: "sisi"
"njia ya amani" ni sitiari kwaajili ya njia inayomsababisha mtu kuwa na amani na Mungu. NI: "kuishi maisha ya amani" au "kutembea katika njia ambayo inatuongoza kwenye amani."
Hii inatuambia kwa kifupi kuhusu miaka ya Yohana kuongezeka.
Neno hili linatumika hapa kuonesha kituo kwenye mfululizo wa habari kuu. Luka anahama kwa haraka kutoka kuzaliwa kwa Yohana kwenda kwenye huduma yake.
"kukomaa kiroho" au "kuimarisha uhusiano na Mungu"
"aliishi katika mwitu." Luka hasemi katika umri gani Yohana alianza kuishi mwituni.
Hii siyo lazima kuonesha hoja ya kumalizia. Yohana anaendelea kuishi katika pori hata baada ya kuanza kuhubiri hadharani.
"alipoanza kuhubiri hadharani"
Hii ilitumika hapa katika dhana ya jumla ya "wakati" au "fursa"
1 Sasa katika siku hizo, ikatokea kwamba Kaisari Agusto alitoa agizo akielekeza kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi duniani. 2 Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio akiwa gavana wa Siria. 3 Hivyo kila mmoja akaenda mjini kwake kuandikishwa sensa. 4 Naye Yusufu aliondoka pia katika mji wa Nazareti huko Galilaya na akasafiri Yudea katika mji wa Bethlehemu, ujulikanao kama mji wa Daudi, kwa sababu alitokea katika ukoo ya Daudi. 5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa na alikuwa akitazamia mtoto. 6 Sasa ilitokea kwamba, wakiwa kule wakati wake wa kujifungua mtoto ukawadia. 7 Akajifungua mtoto wa kiume, mzaliwa wake wa kwanza, akamzungushia nguo mwilini kumkinga na baridi mtoto. Ndipo akamweka kwenye kihori cha kulishia wanyama, kwa sababu haikuwepo nafasi kwenye nyumba za wageni. 8 Katika eneo hilo, walikuwapo wachungaji walioishi mashambani wakilinda makundi ya Kondoo wao usiku. 9 Ghafla, malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukang'aa kuwazunguka, na wakawa na hofu sana. 10 Ndipo malaika akwaambia, "Msiogope, kwasababu nawaletea habari njema ambayo italeta furaha kuu kwa watu wote. 11 Leo Mwokozi kazaliwa kwaajili yenu mjini mwa Daudi! Yeye ndiye Kristo Bwana! 12 Hii ndiyo ishara ambayo mtapewa, mtamkuta mtoto amefungwa nguo na amelala kwenye hori la kulishia wanyama." 13 Ghafla kukawa na jeshi kubwa la mbinguni likaungana na malaika huyo wakamsifu Mungu, wakisema, 14 "Utukufu kwa Mungu aliye juu sana, na amani iwe duniani kwa wote ambao anapendezwa nao." 15 Ikawa kwamba malaika walipokwisha kuondoka kwenda mbinguni, wachungaji wakasemezena wao kwa wao, " Twendeni sasa kule Bethlehemu, na tukaone hiki kitu ambacho kimetokea, ambacho Bwana ametufahamisha." 16 Wakaharakisha kule, na wakamkuta Mariamu na Yusufu, na wakamuona mtoto amelala kwenye hori la kulishia wanyama. 17 Na walipoona hivi, wakawajulisha watu kile walichokuwa wameambiwa kumhusu mtoto. 18 Wote waliosikia habari hii wakashangazwa na kile kilichosemwa na wachungaji. 19 Lakini Mariamu akaendelea kufikiri kuhusu yote aliyokwisha kuyasikia, akiyatunza moyoni mwake. 20 Wachungaji wakarudi wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya kila kitu walichokwisha sikia na kuona, kama tu ilivyokuwa imenenwa kwao. 21 Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni. 22 zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana. 23 Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, "Kila mwanaume anayefungua tumbo ataitwa aliyetolewa wakfu kwa Bwana." 24 Wao vilevile walikuja kutoa sadaka kulingana na kile kinachosemwa katika sheria ya Bwana, "Jozi ya njiwa au makinda mawili ya njiwa." 25 Tazama, palikuwa na mtu katika Yerusalemu ambaye jina lake alikuwa akiitwa Simeoni. mtu huyu alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Yeye alikuwa akisubiri kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake. 26 Ilikuwa imekwisha funuliwa kwake kupitia Roho Mtakatifu kwamba yeye hangelikufa kabla ya kuwomwona Kristo wa Bwana. 27 Siku moja alikuja ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi walimleta mtoto, Yesu, kumfanyia yale yaliyopasa kawaida ya sheria, 28 ndipo Simeoni alimpokea mikononi mwake, na akamsifu Mungu na kusema, 29 "Sasa ruhusu mtumishi wako aende kwa amani Bwana, kulingana na Neno lako. 30 Kwa kuwa macho yangu yameuona wakovu wako, 31 ambao umeonekana kwa macho ya watu wote. 32 Yeye ni nuru kwa ajili ya ufunuo kwa Wamataifa na utukufu wa watu Israeli." 33 Baba na Mama wa mtoto walishangazwa kwa mambo ambayo yalizungumzwa juu yake. 34 Ndipo Simeoni akawabariki na akasema kwa Mariamu mama yake, "Sikiliza kwa makini! Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli na ni ishara ambayo watu wengi wataipinga. 35 Pia ni upanga utakaochoma nafsi yako mwenyewe, ili kwamba mawazo ya mioyo ya wengi yadhihirike". 36 Nabii mwanamke aliyeitwa Ana pia alikuwako hekaluni. Yeye alikuwa binti wa Fanueli kutoka kabila la Asheri. Alikuwa na miaka mingi sana. Naye aliishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuoana, 37 na ndipo akawa mjane kwa miaka themanini na minne. Naye hakuwahi kuondoka hekaluni na alikuwa akiendelea kumwabudu Mungu pamoja na kufunga na kuomba, usiku na mchana. 38 Na kwa wakati huo, alikuja pale walipo akaanza kumshukuru Mungu. Aliongea kumhusu mtoto kwa kila mtu ambaye alikuwa akisubiri ukombozi wa Yerusalemu. 39 Walipomaliza kila kitu walichotakiwa kufanya kuligana na na sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, mjini kwao, Nazareti. 40 Mtoto alikua, na akawa na nguvu, akiongezeka katika hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake. 41 Wazazi wake kila mwaka walikwenda Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ya Pasaka. 42 Alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda tena wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu. 43 Baada ya kubaki siku zote kwa ajili ya sikukuu, walianza kurudi nyumbani. Lakini mvulana Yesu alibaki nyuma mle Yerusalemu na wazazi wake hawakujua hili. 44 Walidhani kwamba yumo kwenye kundi walilokuwa wakisafiri nalo, hivyo walisafiri safari ya siku. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni wa ndugu na marafiki zao. 45 Waliposhindwa kumpata, walirudi Yerusalemu na wakaanza kumtafuta humo. 46 Ikatokea kwamba baada ya siku tatu, wakampata hekaluni, akiwa ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali. 47 Wote waliomsikia walishangazwa na ufahamu wake na majibu yake. 48 Walipomwona, walistaajabu. Mama yake akamwambia, "Mwanangu, kwa nini umetutendea hivi? Sikiliza, baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa." 49 Akawaambia, "Kwa nini mmekuwa mkinitafuta? Hamkujua kwamba lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu? 50 Lakini hawakuelewa nini alichomaanisha kwa maneno hayo. 51 Ndipo akaenda pamoja nao mpaka nyumbani Nazareti na alikuwa mtii kwao. Mama yake alihifadhi mambo yote moyoni mwake. 52 Lakini Yesu aliendelea kukua katika hekima na kimo, na akazidi kupendwa na Mungu na watu.
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka sala ndefu au unabii mbele kidogo ya maandiko nyingine. Kwa sababu hii, ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 2:14, 29-32.
Maelezo ya Luka kuhusu kuzaliwa kwa Kristo hauna maelezo mengi kama vile injili nyingine. Huenda Luka hakufikiri kama maelezo haya yalikuwa muhimu, labda kwa sababu ya habari za kuzaliwa katika injili nyingine.
Hii inatoa maelezo ya nyuma kuonesha kwanini Mariamu na Yusufu wanatakiwa kuondoka kwaajili ya kuzaliwa kwa Yesu.
Neno hili ni alama ya kuanza kwa sehemu mpya ya simulizi.
Kauli hii ilitumika kuonesha kwamba huu ni mwanzo wa wajibu. Kama lugha yako inayo njia ya kuonesha kuanza kwa kuwajibika, unaweza ukatumia hiyo. Baadhi ya tafsiri haziweki kauli hii.
"Mfalme Agusto" au "Mtawala Agusto." Agusto alikuwa mtawala wa kwanza wa dola ya Rumi.
Amri hii huenda ilinabebwa na wajumbe kupitia katika dola. NI: "wajumbe waliotumwa maelekezo ya amri"
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba waorodheshe watu wote wanaoishi katika ulimwengu wa kirumi" au "wahesabu watu wote katika ulimwengu wa kirumi na waandike majina yao."
eneo la dunia lililotawaliwa na serikali ya Rumi au "nchi zilizoongozwa na dola ya Kirumi"
Krenio aliteuliwa kuwa mtawala wa Siria/Shamu
"kila mmoja aliondoka" au "kila mmoja alikuwa anakwenda"
Inaweza ikasaidia kusema kwamba "ya kwake" hairejei kwenye mji ambao alikuwa akiishi. NI: "ni mji ambao wahenga wake waliishi."
"kuwa na majina yameandikwa kwenye orodha" au "kuwekwa kwenye idadi kiofisi"
UDB inaweka sawa hii mistari miwili kuwa daraja ambalo litatengeneza urahisi wa kufupisha sentensi.
Hii inamtambulisha Yusufu kama mhusika mpya katika simulizi.
Taarifa hizi zilizotangulia kuhusu umhimu wa wa Bethlehemu. Ingawa ulikuwa mji mdogo, Mfalme Daudi alizaliwa pale, na ulikuwapo unabii kwamba masihi atazaliwa pale. NI: ambao ulikuwa unaitwa mji wa Daudi"
"kwa sababu Yusufu alikuwa wa uzao wa Daudi"
Hii inamaanisha kutaarifu kwa afisa kule hivyo wamhusishe naye kwenye wajibu. Tumia kauli kwaajili ya afisa mwandikishaji wa serikali ikiwezekana.
Mariamu alisafiri pamoja na Yusufu kutoka Nazarethi. Ni wazi kwamba wanawake pia walihitajika, hivyo Mariamu angelihitaji kusafiri na kuandikishwa vile vile.
"mchumba wake" au "aliyekuwa ameahidi kwake." Wachumba walihesabiwa kisheria wameoana, lakini pale isingelikuwa kukaribiana kimwili kati yao.
Hii inatuambia kuzaliwa kwa Yesu kwa tangazo la malaika kwa wachungaji.
UDB inapanga upya mistari hii katika mstari daraja ili kutunza pamoja undani kuhusu mahali walipokaa.
Kauli hii inaweka alama ya kuanza kwa tukio linalofuata katika simulizi.
"wakati Mariamu na Yusufu walikuwa Bethlehemu"
"ilikuwa ni muda wa kujifungua mtoto wake"
Hii ilikuwa ni njia ya kawaida kwa akinamama kukinga na kutunza watoto wao kiutamaduni. ungesema hii wazi: NI: "akasetiri joto kwa kumfunga blanketi vizuri" au "akamfunga kumsetiri kwa blanketi."
Hiki kilikuwa aina ya kiboksi au chombo ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kingine ndani yake kwaajili ya chakula cha wanyama. kilikuwa safi sana na kilikuwa laini na kavu kama nyasi kavu ndani kama sponji kwa mtoto. Wanyama kawaida walitunzwa karibu na nymbani kuwalinda kiusalama na kuwalisha kwa urahisi. Ni dhahiri Mariamu na Yusufu walibaki kwenye eneo ambalo lilitumika kwaajili ya wanyama.
"hapakuwa na mahali kwaajili yao kwenye vyumba vya wageni." Hii huenda ilikuwa kwa sababu ya watu wengi walikwenda Bethlehemu kujiandikisha. Luka anaongeza kama taarifa ya iliyokwishakutolewa.
""malaika kutoka kwa Bwana" au "malaika anayemtumikia Bwana"
"akaja kwa wachungaji"
chanzo cha mwanga mweupe ulikuwa ni utukufu wa Bwana, ambao uliwatokea kwa wakati ule ule kama malaika.
"koma kuwa na hofu"
"kwama zitawafanya wote kufurahi sana"
Baadhi wanafahamu hii kurejea kwa Wayahudi. Wengine wanaelewa inarejea kwa watu wote.
Hii inamaanisha Bethlehemu
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo tendea. NI: "Mungu atawapa ishara hii" au "mtaona ishara hii inayotoka kwa Mungu."
""uthibitisho." Hii pengine inaweza kuwa ishara kuthibitisha kwamba kile ambacho malaika alikuwa anasema ni kweli, au inaweza kuwa ishara ambayo ingelisaidia wachungaji kumtambua mtoto.
Hii ilikuwa njia ya kawaida kwamba mama alimlinda na kutunza watoto wao katika utamaduni huo. NI: "alisetiriwa vema katika blanketi itunzayo joto" au "alifungwa kwaufanisi kwenye blanketi." Angalia jinsi ilivyotafsiriwa 2:2.
Hiki kilikuwa kiboksi au kitu ambabacho watu waliweka humo majani au chakula kwaajili ya kula ng'ombe. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6.
Neno "jeshi la mbinguni" hapa itarerejea kwenye jeshi halisi la malaika, au inawezakuwa sitiari kwaajili kikundi cha malaika kilicho andaliwa. NI: "kundi kubwa la malaika kutoka mbinguni." (UDB)
"kumpa sifa Mungu"
Maana zinazowezekana ni 1) "Toa heshima kwa Mungu aliye mahali pa juu sana" au 2) "Toa heshima ya juu sana kwa Mungu."
"wale watu ambao wako duniani ambao Mungu ameridhishwa nao basi wawe na amani"
kauli hii ilitumika kuonesha kubadili kwa masimulizi kwenda kwenye ambacho wachungaji walifanya baada ya malaika kuondoka.
"kutoka kwa wachungaji"
"kwa mmoja na mwingine"
Tangu wachungaji walikuwa wanazungumza mmoja na mwingine, lugha ambayo inamtindo wa kuhusisha kwa "sisi" na "nasi" tumia mtindo wa kuhusisha hapa.
"nasi tuta"
Hii inarejea kuzaliwa kwa mtoto, na siyo kuonekana kwa malaika.
Hii ilikuwa aina fulani ya boksi au kitu ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kwaajili ya wanyama kula. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6.
Hii inaweza ikasemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: ""kile ambacho malaika waliwaambia wao wachungaji."
"mtoto"
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "ambacho wachungaji waliwaambia."
hazina ni kitu fulani ambacho ni cha thamani sana na kizuri. Mariamu alifikiri mambo aliyoambiwa kuhusu mtoto wake kuwa ni mazuri sana. NI: "kuyakumbuka kwa makini" au "kuyakumbuka kwa furaha."
"wakarudi mashambani kwenye kondoo"
haya yanafanana na yanasisitiza jinsi walivyochangamka kuhusu kile ambacho Mungu kafanya. NI: "sema juu ya kusifu ukuu wa Mungu."
Sheria Mungu aliyowapa Wayahudi waamini aliwaambia lini mtoto mvulana atahiriwe na sadaka ipi wazazi walete.
kauli hii inaonesha muda ukapita kabla ya tukio jipya.
"ilikuwa siku nane baadaya kuzaliwa kwake" au "alikuwa na umri wa siku nane"
Yusufu na Mariamu walimwita jina lake.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "jina ambalo malaika alimwita."
Hii inaonesha kupita kwa muda kabla ya tukio jipya.
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa tendea. NI: "hesabu ya siku ambazo Mungu alitaka."
"kwaajili ya wao kuwa safi kiutaratibu." Pia unaweza kuisema nafasi ya Mungu. "Mungu kutaka wao wawe safi tena."
"kumleta kwa Bwana" au "kumleta yeye kwenye uwepo wa Bwana." Hii ilikuwa ni sherehe kutambua nia ya Mungu kwa mtoto mzaliwa wa kwanza ambaye ni wa kiume.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa tendea. NI: "kama alivyo andika Musa" au "walifanya hivyo kwa sababu Musa aliandika."
"fungua tumbo" ni nahau ambayo inarejea kwa mtoto wa kwanza kutoka tumboni. Hii ilirejea kwa wote wanyama na wanadamu. NI: "kila mzaliwa wa kwanza mtoto ambaye ni mwanaume."
"ambacho sheria ya Bwana inasema." Hii ni sehemu tofauti katika sheria. Inarejea kwa wanaume, iwe mzaliwa wa kwanza au sivyo.
Wakati Mariamu na Yusufu wako hekaluni, waliwaona watu wawili: Simeoni, ambaye alimsifu Mungu na kutoa unabii kuhusu mtoto, na nabii mke Ana.
Neno "tazama" linatuashiria mtu mpya katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa na njia ya kutenda hivi.
Kauli za nadharia hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "alifanya kilichokuwa kinamridhisha Mungu na alitii sheria za Mungu."
Hili ni jina jingine la "Masihi" au "Kristo." NI: "ndiye ambaye atafariji Israeli."
"Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye." Mungu alikuwa pamoja naye katika njia maalumu na alimpa hekima na maelekezo katika maisha yake.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "Roho Mtakatifu akamwonesha" au "Roho Mtakatifu akamwambia."
"angelimwona Masihi Bwana kabla hajafa"
Baadhi ya lugha zinaweza kusema "kwenda"
Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "kama Roho Mtakatifu alivyo mwelekeza."
"katika kiwanja cha hekalu." Makuhani tu wangeliigia kwenye jengo la hekalu.
"wazazi' wa Yesu"
"desturi ya sheria ya Mungu"
"Mimi mtumishi wako; niruhusu niende katika amani." Simeoni alikuwa anarejea kwake mwenyewe.
Hii ni tasifida imaanishayo "kufa"
"kama ulivyosema" au "kwasababu ulisema ningeli"
Udhihirisho huu unamaanisha, "Nimeona mwenyewe" au "Mimi, Mwenyewe, nimeona"
Udhihirisho huu unarejea kwa mtu ambaye angeleta wokovu - mchanga Yesu--ambaye Simeoni alikuwa amembeba. NI: "mwokozi ambaye umemtuma" au "yeye ambaye ulimtuma kuokoa" (UDB)
inategema na jinsi unavyo tafsiri kauli iliyopita, hii inahitaji kubadilishwa kuwa "ambaye wewe."
"umepanga" au "ulisababisha itokee"
Sitiari hii inamaanisha kwamba mtoto atasaidia watu kuona na kufahamu njia inasema mwanga husaidia watu kuona barabara. NI: "huyu mtoto anawezesha watu kuelewa nuru inavyoruhusu kuona barabara."
iwe lazima kusema ambacho kimefunuliwa. NI: "ambacho kitaufunua ukweli wa Mungu."
itakuwa lazima kusema udhihirisho ni nini, NI: "kwamba itadhihirisha ukweli wa Mungu"
"atakuwa sababu kwamba utukufu utakuja kwa watu wako Israeli"
Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "mambo ambayo Simeoni aliyasema kumhusu yeye."
"alisema kwa mama wa mtoto, Mariamu." Hakikisha haieleweki kama Mariamu ni mama wa Simeoni.
Simeoni alitumia udhihirisho huu kumwambia Mariamu kwamba ambacho anachokwenda kukisema ni cha mhimu sana kwake.
Neno "kuinuka" na "kuanguka" yanadhihirisha kugeuka kutoka kwa Mungu na kumkaribia Mungu karibu. "mtoto huyu atasababisha watu wengi katika Israeli kuanguka kutoka kwa Mungu au kuinuka karibu na Mungu."
"kwaajili ya ujumbe kutoka kwa Mungu kwamba watu wengi watapinga"
Sitiari hii inafafanua huzuni ya ndani ambayo Mariamu angeliisikia. NI: "Huzuni yako itakuwa maumivu ingawa kama upanga utapenya moyoni mwako."
NI: "mawazo ya watu wengi yatawekwa wazi."
Hii inatambulisha mhusika mpya katika simulizi.
"Fanueli" ni jina la mwanaume.
"miaka 7 "
"baada ya kuolewa naye"
miaka minne - Maana zinazowezekana 1) kawa mjane kwa miaka 84 au 2) alikuwa mjane na alikuwa na umri wa miaka 84.
Hii huenda ni maana iliyokuzwa kwamba alitumia muda mwingi katika hekalu hii ilionekana kama kwamba hakuondoka pale. NI: "kila mara alikuwa hekaluni" au "daima alikuwa hekaluni."
"kujinyima chakula na maombi"
"kuwafuata" au "alikwenda kwa Mariamu na Yusufu"
Hapa neno "wokovu" lilitumika kurejea kwa mtu ambaye angetenda. NI: yule ambaye angeokoa Yerusalemu" au "mtu ambaye angeleta baraka za Mungu na fadhila tena kwa Yerusalemu."
Mariamu, Yusufu na Yesu waliondoka Bethlehemu na kurudi kwenye mji wa Nazarethi kwaajili ya utoto wake.
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba sheria ya Bwana iliwataka kufanya."
Kauli hii inamaana waliishi Nazarethi. Hakikisha haieleweki kama mji ulio milikiwa.
"kuwa na hekima zaidi" au "alijifunza ambayo yalikuwa ya hekima"
"Mungu alimbariki" au "Mungu alikuwa pamoja naye kwa namna pekee"
Wakati Yesu akiwa na umri wa mika 12, huenda Yerusalemu pamoja na familia yake. Wakati akiwa pale, anauliza na kujibu maswali kwa waalimu hekaluni.
Haya ni maelezo ya nyuma. (angalia:
"Wazazi wa Yesu"
Yerusalemu ulikuwa juu ya mlima zaidi kuliko ya maeneo mengine, hivyo wilikuwa kawaida kwa Waisreli kusema wanapanda kwenda huko Yerusalemu.
"muda wa kawaida" au "kama walivyofanya kila mwaka"
"Wakati wote wa kusherehekea sikuu ulipokwisha" au "Baada ya kusherehekea sikukuu kwa siku zote zilizotakiwa"
Hili ni jina lingine la kwaajili ya sherehe ya Pasaka, sababu ilihusisha kula chakula cha sherehe.
"walifikiri"
"walisafiri siku moja" au "walikwenda umbali wa kama watu wanatembea siku moja"
Kauli hii ilitumika hapa kuashiria umhimu wa tukio katika simulizi. Kama lugha yako ina namna ya kufanya hivi, ufikiri kuitumia hapa.
Hii inarejea kwenye kiwanja cha hekalu. Makuhani tu walioruhusiwa ndani ya hekalu. NI: "katika kiwanja cha hekalu" au "kwenye hekalu."
Hii haina maana ya katikati kabisa. Zaidi, inamaanisha, "kati" au "pamoja na" au "kuzunguka."
"waalimu wa dini" au "wale ambao waliwafundisha watu kuhusu Mungu"
Walikuwa hawawezi kuelewa namna gani mvulana wa miaka kumi na miwili asiye na elimu ya dini ajibu vizuri hivyo.
"kwa kiwango kipi alielewa" au "kwamba yeye anaelewa mengi sana kuhusu Mungu"
"kwa namna alivyo wajibu vizuri" au "kwamba yeye aliwajibu maswali yao vizuri sana"
"Wakati Mariamu na Yusufu wanamwona Yesu"
Hii ilikuwa kumkemea kwa kupindisha kwa sababu hakwenda pamoja nao wakati wa kurudi nyumbani. NI: usingefanya hivi!"
Hili neno daima linatumika kuonesha mwanzo wa tukio jipya au mhimu. Hii pia inaweza kuonesha kutumika mahali tukio linapoanzia. Kama lugha yako inakauli ambayo inatumika kwa njia hii, fikiri ikiwa itaonesha uasili ikitumika hapa.
Yesu alitumia maswali mawili kuwakemea wazazi wake kwa upole, na kuanza kuwaambia kwamba analo kusudi kutoka kwa Baba yake wa mbinguni ambalo wao hawakulielewa. NI: "mlikuwa hamhitajiki kunijali mimi."
Yesu anatumia swali hili la pili kujitahidi kusema kwamba wazazi wake wangejua kuhusu kusudi ambalo Baba alimtuma. NI: "Ninyi mngejua ... nyumbani."
Kwenye miaka 12, Yesu, Mwana wa Mungu, alielewa kwamba Mungu alikuwa Baba yake halisi (siyo Yusufu, mume wa Mariamu).
Maana zinazowezekana ni 1) "katika nyumba ya Baba yangu" au 2) "kuhusu biashara ya Baba yangu." Ikiwa kwa lolote, ambalo Yesu alisema "Baba yangu" alikuwa anarejea kwa Mungu. Kama alimaanisha "nyumba," basi alikuwa anarejea hekalu. Kama alimaanisha "biashara," alikuwa anarejea kwenye kazi ya Mungu aliyopewa kuifanya. Lakini sababu ya mstari unaofuata anasema kwamba wazazi wake hawakuelewa ambacho alichokuwa anawaambia hao, ingelikuwa vema usifafanue zaidi.
"Yesu alirudi nyumbani pamoja na Mariamu na Yusufu"
"aliwatii" au "kwa njia zote aliwatii"
"alikumbuka mambo yote kwa makini" au "kwa furaha alifikiri kuhusu mambo haya." Maneno "kuhifadhi" au "moyo" yanaashiria kwamba Mariamu alijali mambo haya kuwa ni yanamhusu kwa kina na ni mhimu.
"kuwa na hekima sana na nguvu." Hivi vinarejea kwenye akili na kukua kimwili.
Hii inarejea kukua kiroho na kijamii. Hii ingetofautishwa. NI: "Mungu alimbariki zaidi na zaidi, na watu walimpenda zaidi na zaidi."
1 Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene, 2 na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani. 3 Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi 4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, "sauti ya mtu aliaye nyikani, "Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka. 5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa. 6 Watu wote watauona wokovu wa Mungu." 7 Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, "Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja? 8 Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, "Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya. 9 Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni. 10 Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, "Sasa tunatakiwa tufanyeje?" 11 Alijibu na kuwaambia, "kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo." 12 Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, "Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini? 13 Akawaambia, "Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya." 14 Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, "Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?" Akawambia, "Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu." 15 Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo. 16 Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, "Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 17 Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika. 18 Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu. 19 Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda. 20 Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani. 21 Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka. 22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, "Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe." 23 Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli, 24 mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu, 25 mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai, 26 mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda, 27 mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri, 28 mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri, 29 mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri,, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi, 30 mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu, 31 mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi, 32 mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni, 33 mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni,, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda, 34 mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori, 35 mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala, 36 mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki, 37 mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani, 38 mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka nukuu mbele kidogo ya maanidko nyingine za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 3:4-6, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
Maelekezo ya Yohana kwa askari na watoza ushuru katika sura hii si ngumu. Ni mambo ambayo yaliyopaswa kuwa wazi kwao. Aliwaagiza kuishi kwa haki.
Nasaba ni orodha ambayo hurekodi mababu au wazao wa mtu. Orodha hizo zilikuwa muhimu sana katika kuamua nani aliyekuwa na haki ya kuwa mfalme, kwa sababu mamlaka ya mfalme mara nyingi ilipokelewa au kurithiwa kutoka kwa baba yake. Ilikuwa pia ya kawaida kwa mtu yeyote mashuhuri kuwa na kumbukumbu ya kizazi.
Unabii mara nyingi huhusisha matumizi ya sitiari ili kueleza maana yake. Utambuzi wa kiroho unahitajika kwa tafsiri sahihi ya unabii. Unabii wa Isaya ni sitiari ndefu unaoeleza huduma ya Yohana Mbatizaji and
Tukio hili linaweza kuchanganya kwa sababu mwandishi anasemaYohana alifungwa na kisha anasema alikuwa akibatiza Yesu. Mwandishi huenda anatumia maneno haya kwa kutarajia wakati Herode anamfunga Yohana. Hii inamaanisha kwamba taarifa hii iliandikwa kabla ya tukio lenyewe katika maandishi.
Maelezo kwa Ujumla
"Wakati akitawala Kaisari Tiberio ikiwa miaka kumi na tano"
Haya ni majina ya watu.
Haya ni majina ya maeneo ya utawala
"Wakati ambapo Anasi na Kayafa walikuwa wakihudumu pamoja kama kuhani mkuu." Anasi alikuwa kuhani mkuu, na wayahudi waliendelea kumtambua hivyo hata baada ya Warumi walipomteuwa mtoto wake mkwe, Kayafa, kuchukua nafasi yake kama kuhani mkuu.
"Mungu alisema neno lake"
Neno "Ubatizo" na "Toba" yanaweza kuelezewa kama vitendo. AT: "na alihubiri kwamba watu wale inapaswa kubatizwa kuonyesha kwamba walikuwa wakitubu."
"Ili kwamba dhambi zao zingeweza kusamehewa" au "ili kwamba Mungu angeweza kusamehe dhambi zao." Toba ilikuwa kwamba Mungu aweze kusamehe dhambi zao.
Mwandishi, Luka, kanukuu mstari kutoka nabii Isaya tokana na Yohana Mbatizaji.
Misitari 4-6 ni nukuu kutoka Isaya. Ingeweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Hii ilitokea kama Isaya alivyokuwa ameandika katika kitabu chake" au "Yohana aliyatimiza maneno ambayo Isaya alikuwa ameyaandika katika kitabu chake."
Hii inaweza kudhihirishwa kama sentensi. NI: "Sauti ya mmoja inapazwa ikisikika katika nyika" au "Wanasikia sauti ya mtu fulani inapazwa katika nyika"
Kauli hizi mbili kimsingi ni kitu kile kile.
"Andaa njia kwaajili ya Bwana." Kufanya hivi kunawakilisha kujiandaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. NI: "Andaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja" au "Tubu na uwe tayari kwaajili ya ujio wa Bwana"
"pa kupita" au "barabara"
Watu wanapoandaa barabara kwa ajili ya mtu mhimu anayekuja, wanasawazisha maeneo yaliyoinuka na kujaza maeneo ya mabonde ili kusawazisha barabara. Hii ni sehemu ya msemo wa neno lililozungumzwa katika msitari ulioelezwa juu.
Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Watalijaza kila eneo la bonde katika barabara.
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "watasawazisha kila mlima na kilima"" au "Wataondoa kila eneo la mwinuko katika barabara"
Hii inaweza kuelezewa kama tendo. AT: "Jifunze jinsi Mungu anavyookoa watu kutoka katika dhambi."
Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza"
Katika sitiari hii, nyoka wenye sumu ni hatari na wanawakilisha uovu. AT: "Ninyi nyoka waovu wenye sumu!" au "Ninyi ni waovu kama nyoka wenye sumu."
Hakuwatarajia haswa kujibu. Yohana alikuwa anawakemea watu kwasababu walikuwa wanamwomba awabatize, lakini hawakutaka kuacha kutenda dhambi. AT: "Hamwezi kuikimbia gadhabu ya Mungu namna hii" au "Hamwezi kuepuka gadhabu ya Mungu kwa kubatizwa."
Neno "gadhabu" linatumika hapa kumaanisha adhabu ya Mungu kwa sababu gadhabu yake inaizidi hiyo. AT: "kutoka kwenye adhabu ambayo Mungu anaituma" au "kutoka kwenye gadhabu ya Mungu ambayo yuko karibu kuiachilia"
Katika mfano huu, tabia ya mtu inalinganishwa na mti. Kama tu kwa mmea linavyotarajiwa kuzaa tunda linaloendana na aina ya mmea, mtu ambaye anasema kwamba ametubu, anatarajiwa kuishi kwa haki. AT: "Zaeni aina ya tunda linaloonyesha kwamba umetubu" au "fanya mambo mema yanayoonyesha kwamba umegeuka kutoka katika dhambi zako."
"Kusema mwenyewe" au "kufikiri mwenyewe"
"Abrahamu ni Baba yetu" au Sisi ni uzao wa Ibrahimu. "kama inaeleweka kwanini wangesema hili, unaweza pia kuongeza habari imaanishayo: "Hivyo Mungu hatatuadhibu sisi."
Nahau hii inamaanisha "Umba watoto kwa ajili ya Ibrahimu" au "sababisha watu kuwa wafuasi wa Ibrahimu."
Labda Yohana alikuwa anamaanisha mawe halisi kando ya Mto Yordani.
Shoka ambalo liko tayari kukata mizizi ya mti ni mfano wa adhabu iliyo karibu kuanza. Inaweza pia kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Mungu ni kama mtu aliyeweka shoka lake dhidi ya mzizi wa miti."
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hukata chini kila mti usiozaa tunda jema."
"Moto" pia ni mfano wa adhabu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hulitupa ndani ya moto"
Yohana anaanza kujibu maswali ambayo watu kwenye mkutano wanamuuliza.
"Walimuuliza na kusema" au Walimuuliza Yohana"
"Aliwajibu, akisema" au "aliwajibu" au "alisema"
"Fanya jambo hilohilo." Inaweza kwa msaada kuelezea hasa inavyomaanisha. AT: "Mpe chakula mtu ambaye hana kabisa."
Hii ingeweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza."
"Msiombe fedha zaidi" au "Msitake fedha zaidi." Watoza ushuru walikuwa wakikusanya fedha zaidi kuliko walivyokuwa wanatakiwa. Wanapaswa kuacha kufanya hivyo.
Kifungu hiki kinaonyesha kwamba mamlaka ya watoza ushuru hutoka Rumi. AT: "zaidi kuliko kile Warumi wamewaamuru kuchukua."
"Watu wanaotumika jeshini"
Vipi na sisi maaskari, tunapaswa kufanya nini?" Yohana haunganishwi katika maneno "sisi" na "sisi." Maskari walimaanisha kwamba alikuwa amewaambia makutano na watoza ushuru wanachotakiwa kufanya na walitaka kujua kama maaskari wanachotakiwa kufanya.
Inaonekana kwamba maaskari walikuwa wanatengeneza tuhuma za uongo dhidi ya watu ili kujipatia fedha. AT: "kwa namna ileile, msimshutumu yeyote kwa uongo ili mjipatie fedha kutoka kwao" au "Msiseme kwamba mtu asiye na hatia amefanya kitu kinyume cha sheria."
"Toshekeni na malipo yenu"
"Kwa sababu watu." Hii inamaanisha watu walewale waliokuja kwa Yohana.
Udhihirisho huu hapa unamaanisha "fikiria juu yao kwa utulivu"
Jibu la Yohana kuhusiana na mtu mkuu ajaye ni wazi inamaanisha Yohana siyo Kristo. Inaweza kusaidia kusema hili wazi kwaajili watu wako, kama UDB, inavyofanya. "Hapana, Mimi siye"
"Nawabatiza kwa kutumia maji" au "Nawabatiza kwa nyenzo ya maji"
Kufungua kamba za viatu ilikuwa ni wajibu wa mtumwa. Yohana alikuwa anasema kwamba yule atakayekuja ni mkubwa kiasi kwamba Yohana hakustahili hata kuwa mtumwa wake. AT: "Hafikii umuhimu hata kulegeza kamba za viatu vyake."
"Viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi" au "Aina ya viatu vya wazi vyenye kamba za ngozi"
Huu mfano unalinganisha ubatizo wa kawaida unamleta mtu katika muunganiko na maji kwenye ubatizo wa kiroho unaowaleta katika muunganiko na Roho Mtakatifu na moto.
Hapa neno "moto" linamaanisha 1) hukumu au 2) utakaso. Inafaa kuionda kama moto
Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari."
Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio.
Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba"
Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi.
Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote.
Simulizi inaelezea nini kinaenda kutokea kwa Yohana lakini halijatokea kwa wakati huu.
"Pamoja na hoja zingine za nguvu nyingi"
Herode alikuwa Tetraki, siyo mfalme. Alikuwa na utawala unaokomea eneo maalumu katika mkoa wa Galilaya.
"kwa sababu Herode alimuoa Herodia, mke wa ndugu yake." Huu ulikuwa uovu kwa sababu kaka wa Herode alikuwa hai. Hii inaweza kusemwa wazi. AT: "kwasababu alimuoa mke wa kaka yake, Herodia, wakati kaka yake akiwa hai"
"Aliwaambia askari wake kumuweka Yohana jela
Yesu anaanza huduma yake kwa ubatizo wake.
Msemo huu ni mwanzo wa tukio jipya katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
"Wakati Yohana alikuwa akibatiza watu wote." Neno "watu wote" inahusu watu akiwemo na Yohana.
"Yesu alibatizwa na Yohana." Baadhi ya makundi wanaweza kuchanganywa kwamba Yohana alikuwa anabatiza wakati Herode alimweka gerezani kwenye mstari uliotangulia. Ikiwa hivyo, inaweza ikasaidia kuwaambia kwamba tukio hili lilitokea kabla Yohana hajakamatwa. UDB inaliweka hivi "Lakini kabla ya Yohana hafungwa gerezani" mwanzoni mwa mstari huu.
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutendea. NI: "Yohana alimbatiza Yesu, vilevile"
"Anga likafunguliwa" au "anga likawa wazi." Hii ni zaidi ya kusafisha mawingu, lakini siyo wazi nini maana yake. Ni uwezekano ina maana kwamba shimo alionekana katika anga.
"Roho Mtakatifu akashuka juu Yesu"
"Katika hali ya kimwili Roho Mtakatifu alionekana kama njiwa"
Mungu Baba anaongea na Mwanaye ("ambaye nampenda"), Yesu ni Mungu Mwana, wakati Mungu Roho shuka juu ya Yesu. watu wa Mungu kupendana na kufanya kazi pamoja kama Baba, Mwana, na Roho.
Hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu
Luka anaorodhesha mababu wa Yesu kwa njia ya uzao wa baba yake mlezi, Yusufu.
Neno hili limetumika hapa kuthibitisha mabadiliko kutokana na hadithi ya taarifa za msingi kuhusu kuhusu umri Yesu na mababu.
"umri wa miaka 30"
"Ilidhaniwa kwamba alikuwa ni mwana wa Yusufu" au "Watu walidhani kuwa yeye ni mwana wa Yusufu"
fikiria jinsi watu wanavyoorodhesha wahenga katika lugha yako. Utumie mfumo huohuo kwa orodha yote. Mifumo inyoowezekana ni 1) "ambaye alikuwa mwana wa Heli, ambaye alikuwa mwana wa Mathat, ambaye alikuwa mwana wa Lawi" 2) Yusufu alikuwa mwana wa Heli, Heli alikuwa mwana wa Mathat, baba wa Mathat alikuwa Lawi"
"Yusufu alikuwa mwana wa Eli" au "baba Yusufu alikuwa Eli"
Huu ni mwendelezo wa orodha ya mababu wa Yesu. Tumia namna ile ile kama ulivyotumia kwenye mistari ile iliyotangulia.
Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. AT "ambaye alikuwa mwana wa Yohanani, ambaye alikuwa mwana wa Resa ... Levi" au "Joda alikuwa mwana wa Yohanani, Yohanani mwana wa Resa ... Levi" au "baba Joda ilikuwa Yohanani, baba Yohanani aliitwa Rhesa ... Levi. " Hii ni muendelezo wa orodha ya mababu Yesu.
Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Simeoni ambaye alikuwa mwana wa Yuda" au "Levi mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda" au" baba Levi aliitwa Simeoni, baba Simeon alikuwa Yuda"
Matumizi maneno sawa kama wewe ulivyotumika katika mistari iliyopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Aminadabu, ambaye alikuwa mwana wa Admini" au "Levi alikuwa mwana wa Aminadabu, Simeoni ni mwana wa Admini" au "baba Nashon ilikuwa Aminadabu, Aminadabu baba aliitwa Admin"
Tumia maneno sawa kama uliyotumia katika mistari iliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Kenani, ambaye alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "Levi alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "baba Shela alikuwa Kenani, Kenani baba aliitwa Arfaksadi"
1 Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani 2 kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa. 3 Ibilisi akamwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate." 4 Yesu akamjibu, "Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee." 5 Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi. 6 Ibilisi akamwambia, "Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa. 7 Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako." 8 Lakini Yesu alijibu na kumwambia, "Imeandikwa, "lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake." 9 Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa. 10 Kwa sababu imeandikwa, "Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda, 11 na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe." 12 Yesu akijibu alimwambia, "Imenenwa, "usimjaribu Bwana Mungu wako." 13 Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine. 14 Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote. 15 Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu. 16 Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko. 17 Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa, 18 "Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa, 19 kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake." 20 Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye. 21 Alianza kuzungumza nao akisema, "Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu." 22 Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, "huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?" 23 Yesu akawaambia, "hakika mtasema methali hii kwangu, "Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako." 24 Pia alisema, "hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake." 25 Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote. 26 Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni. 27 Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria. 28 Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote. 29 Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini. 30 Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake. 31 Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi. 32 Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka. 33 Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu, 34 "Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!" 35 Yesu alimkemea pepo akisema, "Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!" Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote. 36 Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, "Ni maneno ya aina gani haya?" Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka." 37 Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo. 38 Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake. 39 Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia. 40 Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote. 41 Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, "Wewe ni mwana wa Mungu!" Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo. 42 Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao. 43 Lakini akawaambia, "Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa." 44 Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 4:10-11, 18-19, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
Ingawa ni kweli kwamba shetani aliamini kwa hakika kwamba angeweza kumshawishi Yesu kumtii, ni muhimu kuonyesha kama Yesu hakutaka kumtii hata kidogo.
Ibilisi amkuta Yesu aweze kumjaribu akose baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini 40.
Hii inarejea baada ya Yohana kumbatiza Yesu. NI: "Baada ya Yesu kuwa kabatizwa"
Hii inaweza katika mfumo wa kutenda. NI: "Roho alimwongoza"
Tafsiri nyingi zinasema kwamba majaribu yalikuwa kwa siku zote arobaini. UDB inasema "Wakati akiwa pale, Ibilisi aliendelea kumjaribu" kuweka hili wazi.
"siku 40"
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutenda. NI: "ibilisi alimjaribu asimtii Mungu"
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu.
Ibilisi anamtega Yesu afanye muujiza huu ili kwamba athibitishe yeye ni "mwana wa Mungu"
Ibilisi ama anashikilia jiwe au ananyooshea kidole kwenye jiwe lililokaribu.
Kukataa kwa Yesu kukosolewa na Ibilisi iko wazi kwenye jibu lake. Itaweza kusaidia kusemwa hili kwa wazi kwa kundi lako, kama inavyofanya UDB "Yesu alijibu, Hapana, sitafanya hivyo"
Nukuu inatoka kwa Maandiko ya Musa katika Agano la Kale. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
Neno "mkate" linarejea kwenye chakula kwa ujumla. Chakula kama ukilinganisha kwa Mungu, chenyewe tu, hakitoshi, kumtosheleza mtu. Yesu ananukuu maandiko kwanini asibadili jiwe mkate. NI: "watu hawahawezi kuishi kwa mkate tu" au "siyo chakula tu ambacho kinamfanya mtu aishi" au "Mungu anasema vitu mhimu zaidi ya chakula"
mlima mrefu
hapo hapo au "kwa ghafla"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. Huenda kwamba maana "wao" inarejea 1) mamlaka na fahari ya falme au 2) falme NI: "Mungu ameyatoa kwangu"
Kauli hizi mbili zinafanana sana. Zinaweza kuwekwa pamoja. NI: "kama utainama chini katika kuniabudu"
"Nitakupa wewe ufalme hizi zote, pamoja na fahari zake"
Utofauti huu unamaanisha kwamba Yesu alikataa kufanya kile alichoambiwa na Ibilisi. Itakuwa msaada kusema hiki wazi kwa hadhara yako. NI: "Lakini alijibu, 'Hapana, sitakuabudu wewe, kwa sababu imeandikwa" (UDB)
"akamjibu" au "alimjibu"
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
Yesu alikuwa ananukuu amri kutoka kwenye maandiko kusema kwanini hataweza kumwabudu Ibilisi.
Hii inarejea kwa watu katika Agano la Kale waliopokea amri ya Mungu. Unawea kutumia kauli ya umoja 'wewe' sababu kila mtu ilikuwa atiii, au ungetumia kauli ya wingi "ninyi" sababu watu walipaswa kuitii.
Neno "yeye" anarejea kwa Mungu.
Hii ilikuwa ni ncha kwenye paa la hekalu. Kama mtu akianguka kutokea kule, angejeruhiwa sana au kufa.
shetani alikuwa anamkosoa Yesu athibitishe kwamba alikuwa Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo mhimu kwaajili ya Yesu.
"ruka chini ardhini"
Ibilisi anamaanisha kwamba nukuu yake kutoka Zaburi inamaanisha Yesu hataumia kama ni Mwana wa Mungu. Hii inwaeza kusemwa wazi, kama inavyofanya UDB. NI: "Hutaumia" sababu imeandikwa"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mwandishi ameandika"
"Yeye" inarejea kwa Mungu. Ibilisi kwa sehemu alinukuu kutoka Zaburi kwa juhudi kumshawishi Yesu kuruka kutoka juu ya jengo.
Yesu anamwambia Ibilisi kwanini hatafanya kile ambacho Ibilisi amemwabia kufanya. Kukataa kwake kufanya inaweza kusemwa wazi. NI: "Hapana, sitafanya hivyo, kwasababu ilisemwa"
Yesu ananukuu kutoka maandiko ya Musa katika Kumbukumbu la Torati. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa amesema" au "katika maandiko Musa alisema"
Maana zinazowezekana ni 1) Yesu hataweza kumjaribu Mungu kwa kuruka kutoka katika hekalu, au 2) Ibilisi hawezi kumjaribu Yesu kuona kama yeye ni Mwana wa Mungu. inafaa zaidi kutafsiri mstari kama ilivyoelezwa zaidi kuliko kujaribu fafanua maana.
"mpaka tukio lingine"
Hii haimaanishi kwamba Ibilisi alikuwa kafanikiwa katika majaribu yake - Yesu alipinga kila jaribio. Hii inaweza ikasemwa wazi. Ni: "lishamaliza kujaribu kumjaribu Yesu" (UDB) au "pumzika kujaribu kumjaribu Yesu"
Yesu alirudi Galilaya, akifundisha katika Sinagogi, na anawaambia watu pale kwamba yeye anatimiza maandiko ya Isaya nabii.
Hii inaanza simulizi jipya katika habari.
"na Roho alikuwa anampa yeye nguvu." Mungu alikuwa pamoja na Yesu kwa namna maalumu, anamwezesha yeye kufanya vitu ambayo kawaida watu wasingeviweza.
Wale waliomsikia Yesu waliwaambia watu wengine kuhusu yeye, na ndipo wale watu wengine waliwaambia hata zaidi kuhusu yeye. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "watu wakaeneza habari kuhusu Yesu" au "watu waliwaambia watu wengine kuhusu Yesu" au "maarifa kumhusu yeye yalikuwa yakipita kutoka kwa mtu kwenda mtu mwingine"
Hii inarejea kwenye maeneo au mahali karibu na Galilaya.
"kila mmoja alisema mambo makuu kuhusu yeye" au "watu wote walimsema vizuri "
mahali wazazi wake walipomlelea " au "pale alipoishi alipokuwa mdogo" "mahali alipokulia"
"kama alivyofanya kila sabato." ilikuwa siyo mazoea ya kawaida kwenda kwenye sinagogikwenye siku ya sabato.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mtu fulani alimpa gombo la nabii Isaya"
Hii inarejea kwenye kitabu cha Isaya imeandikwa kwenye gombo. Isaya aliandika maneno miaka mingi kabla, na mtu fulani mwingine aliyanukuru kwenye gombo.
"mahali katika gombo palipo na maneno haya." Sentensi hii inaendelea katika mstari unaofuata.
"Roho Mtakatifu yuko pamoja nami kwa namna maalumu." Wakati mtu fulani anasema hivi, anathibitisha kunena maneno ya Mungu.
Katika Agano la Kale, mafuta ya upako yalimiminwa juu ya mtu aliyepewa nguvu na mamlaka kufanya kazi maalumu. Yesu anatumia sitiari hii kurejea kwa Roho Mtakatifu kuwa juu yake kumwandaa kwaajili ya kazi. NI: "Roho Mtakatifu yuko juu yangu kuniwezesha" au "Roho Mtakatifu alinipa mimi nguvu na mamlaka"
"watu maskini"
"kuwaambia ambao walikuwa wametekwa kwamba wako huru" au "kuwaweka huru wafungwa wa vita"
"kumpa kipofu kuona" au "kumfanya kipofu aweze kuona tena"
"weka huru wale ambao tumikishwa vibaya"
"mwambia kila mmoja kwamba Bwana tayari amebariki watu wake" au "tangaza kwamba huu ni mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake"
gombo lilikuwa limefungwa kwa kubingilishwa kama bomba kutunza kile kilichoandikwa ndani yake.
Hii inarejea kwa mtumishi wa sinagogi ambaye alileta na kutunza kwa uangalifu and unyenyekevu gombo linalobeba maandiko.
Lahaja hii inamaanisha "yalikuwa yameelekezwa kwake" au "walitazama kwa makini kwake"
Yesu alikuwa anasema hivyo kutimiza unabii kwa vitendo na hotuba kwa wakati wake kabisa. Hii inaweza ikaelezwa katika kauli tendaji. NI: "Sasa hivi ninatimiza inatimiza ambacho maandiko yalisema mnaponisikiliza sasa"
"lipigwa butwaa na vitu vya neema alivyokuwa akivisema." Hapa "aneema" inaweza kuerejea 1) ubora au jinsi ya ushawishi aliozungumza Yesu, au 2) kwamba Yesu alizungumza maneno kuhusu neema ya Mungu.
Watu walifikiri kwamba Yusufu alikuwa baba wa Yesu. Yusufu hakuwa kiongozi wa dini, hivyo walishangaa kwamba mtoto wake atahubiri kiasi hicho. NI: "Huyu ni mwana wa Yusufu tu!" au "Baba yake ni Yusufu tu!"
Nazarethi ni mji ambao ndimo Yesu alikulia
"Kwa hakika" au "bila shaka." Huu ni uthibitisho wa nguvu.
Kama daktari haonekani kuwa ana afya, hakuna sababu kumwamini kuwa kweli ni daktari. Wakati watu wanasema mithali hii kwa Yesu, watamaanisha hawakuamini kwamba yeye ni nabii sababu hafanani.
Watu wa Nazarethi hawakuamini Yesu kuwa nabii sababu ya sifa yake ya chini kama mtoto wa yusufu. Hawataamini isipokuwa waone wao wenyewe akifanya miujiza.
"Hii kweli ni hakika." Hii ni kauli ya msisitizo kuhusu kile kinachofuata.
Yesu anaitengeneza kauli hii kwa ujulma ili kwmba awakemee watu. Yeye anamaanisha kwamba wanakataa kuamini taarifa za miujiza yake Kapernaumu. Wao walifikiri tayari walijua yote yanayomhusu yeye.
"ardhi yao" au "wenyeji wa mji" au "nchi ambayo alikulia"
Yesu anawakumbusha watu, wanaomsikiliza kwenye sinagogi, kuhusu Eliya na Elisha waliokuwa manabii ambao waliwafahamu.
"Nawaambia ukweli kabisa." Kauli hii ilitumika kusisitiza umhimu, ukweli na usahihi wa kauli zinazofuata.
mjane ni mwanamke aliyefiwa na mume wake.
Watu wale aliokuwa anawahutubia walijua kwamba Eliya alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu. Kama wasomaji wako hawatajua hilo, unaweza ukafanya taarifa zisizowazi kuwa wazi kma UDB. AT: "Eliya alipokuwa anatoa unabii Israel"
Hii ni sitiari. Anga limefananishwa na dari iliyofungwa, na hivyo hakuna mvua itakayonyysha toka huko. NI: "ambapo hakuna mvua inashuka chini kutoka angani" au "wakati ilikuwa hakuna mvua kabisa"
"tatizo kubwa la kupungua chakula." Njaa ni kipindi kirefu ambapo hakuna uzalishaji wa mazo ya kutosha chakula kwa watu.
Watu walioishi Sarepta walikuwa Wamataifa, siyo Wayahudi. Watu wanaomsikiliza Yesu wangeelewa kwamaba watu wa Sarepta walikuwa Wamataifa. Mjane mmataifa anaishi Sarepta.
Msiria ni mtu kutoka nchi ya Siria. Watu wa Siria ni siyo Wayahudi. NI: "Mmataifa Naamani kutoka Siria"
Watu wa Nazarethi walikosewa sana kwamba Yesu alidondoa maandiko ambayo Mungu aliwasaidia wamataifa badala ya Wayahudi.
"walimlazimisha yeye kuuacha mji" au "alisukumwa nje ya mji" (UDB)
"ncha ya jabali"
"kupita katikati ya mkutano" au "kati ya watu ambao wanajaribu kumuua yeye." Neno "haki" hapa ni sawa na neno "rahisi." Linaashiria kwamba hakuna kilichomzuia yeye kuweza kutembea kupitia mkutano wenye hasira.
"alikwenda mbali" au "alikwenda kwa njia yake" Yesu alikwenda ambako alikuwa kapanga kwenda badala ya ambako watu walijaribu kumlazimisha aende.
Yesu anakwenda Kapernaumu, anafundisha watu katika Sinagogi huko, na anaamuru mapepo kuondoka kwa mtu.
"ndipo Yesu." Hii inaashiria tukio jipya.
Kirai hiki "shuka chini" ilitumika hapa sababu Kapernaumu ni chini kuliko Nazarethi.
"Kapernaumu, mji mwingine katika Galilaya"
"lishangaa sana" au "liovutia sana" au "lioshangaza "
"alizungumza kama mtu mwenye mamlaka" au "maneno yake yalikuwa na nguvu kubwa"
Kirai hiki kinatumika kudokeza utangulizi wa mhusika mpya ndani ya simulizi; katika suala hili, mtu aliyepagawa pepo.
"ambaye alipagawa na pepo mchafu" au "ambaye alitawaliwa na na roho mchafu" (UDB)
"yeye alipiga kelele"
Hili jibu la kichokozi ni nahau ambayo inamaana: "Nini tulichonacho cha kufanana?" au "unahaki gani ya kutusumbua sisi?"
Swali hili lingeandikwa kama sentensi. NI: "Nini wewe, Yesu wa Nazarethi, unataka kutufanyia" au Hakuna chochote cha kufanya na wewe, Yesu wa nazarethi!" au "Huna haki kutusumbua sisi, Yesu wa Nazarethi!"
"Yesu alikemea pepo akisema," au "Yesu bila huruma alisema kwa pepo"
Yeye alimwamuru pepo kutokumtawala mtu. NI: "mwache peke yake" au "usiishi ndani ya mtu huyu tena"
Watu wanadhihirisha jinsi walivyoshangazwa kwamba Yesu anamamlaka kuamuru pepo kumwacha mtu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Haya maneno yanashangaza!" au "maneno yake ya ajabu"
"Yeye anamamlaka na nguvu kuamuru roho wachafu"
Hii ni amri kuhusu kile kilichotokea baada ya simulizi ambacho kilisababishwa na matukio ndani ya hadithi yenyewe.
"taarifa kuhusu Yesu zilianza kuenea" au "watu walianza kueneza habari kuhusu Yesu"
Yesu bado yuko Kapernaumu, lakini sasa yuko katika nyumba ya Simoni, alipomponya mama mkwe wa Simoni na watu wengi.
Hii inaanzisha tukio jipya
Mkwe - "mama yake mke wa Simoni"
Hii ni nahau inayomaanisha "alikuwa anaugua"
"mwili wake ulikuwa na joto kali"
Maana yake walimwomba Yesu amponye homa yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kumwomba Yesu amponye homa"
Neno "Hivyo" linaweka wazi kwamba alifanya hivi kwa sababu watu walimsihi badala ya mama mkwe wa Simoni.
"alikwenda kwake na aliegama kwake"
"alisema kwa kuikaripia homa" au "aliamuru homa kumwacha" UDB. Itakuwa ni msaada kusema wazi alichoiambia homa kufanya. NI: "aliiamuru ngozi kupoa" "aliuamuru ugonjwa kumwacha"
Hapa hii inamaana alianza kuandaa chakula kwaajili ya Yesu na watu wengine ndani ya nyumba.
"aliweka mkono wake juu" au "aligusa"
Hii ilimaanisha kwamba Yesu aliyafanya mapepo yaondoke kwa watu yaliokuwa yamewatawala. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "Yesu pia aliyalazimisha mapepo yatoke"
inamaanisha kitu kilekile, na huenda inarejea kulia kwa hofu au hasira. Baadhi ya tafsiri inatumia neno moja. NI: "paza sauti"
Hiki ni cheo mhimu kwa Yesu.
"aliwaambia pepo kwa ukali"
"Wao hapana kuwaruhusu"
Ingawa watu walitaka Yesu abaki Kapernaumu, anakwenda kuhubiri kwenye masinagogi mengine Uyahudi.
"wakati wa jua kuchomoza"
"mahali pa pekee" au "mahali pasipokuwa na watu"
"kwa watu katika miji mingine mingi"
Hii inaweza ikawekwa kwenye kauli tendaji, NI: "hii ni sababu Mungu alinituma hapa mimi"
Tangu Yesu awe Galilaya, neno "Uyahudi" hapa huenda linarejea kwenye ukanda wote ambako Wayahudi waliishi wakati huo, NI: "ambapo waliishi Wayahudi"
1 Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti. 2 Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao. 3 Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua. 4 kuongea, akamwambia Simoni, "Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki." 5 Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu. 6 Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika. 7 Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama. 8 Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,"Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana." 9 Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya. 10 Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, "Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu." 11 Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye. 12 Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, "Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa." 13 Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, "Nataka. Takasika." Na saa ileile ukoma ukamwacha. 14 "Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, "Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao." 15 Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao. 16 Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba. 17 Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya. 18 watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu. 19 Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu. 20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, "Rafiki, dhambi zako umesamehewa." 21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, "Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?" 22 Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, "Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu? 23 Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?' 24 Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'" 25 Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu. 26 Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, "Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo." 27 Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, "Nifuate." 28 Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma. 29 Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao. 30 Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, "Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?" 31 Yesu akawajibu, "Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja. 32 Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu." 33 Wakamwambia, "Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa." 34 Yesu akawaambia, "Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao? 35 Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga." 36 Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. "Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani. 37 pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika. 38 Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya. 39 Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora."'
Agano Jipya mara nyingi huzungumzia juu ya kufanya wanafunzi au wafuasi wa Kristo. Hii ni huduma kuu ya kanisa. Kuna takwimu nyingi tofauti zinazotumiwa kuelezea hii katika Agano Jipya. Katika sura hii, Yesu anatumia mfano wa uvuvi kueleza kuwa wanafunzi wa Kristo wanapaswa kukusanyika watu wengine wawe wanafunzi wa Kristo. Yesu anamsaidia mvuvi Simoni kuvua samaki wengi sana ili kuonyesha kwamba Yesu atawawezesha Simoni na wanafunzi wengine kukusanyika wau wengi kumfuata Kristo. and
Mafarisayo hutaja kundi la watu kuwa "wenye dhambi." Walikuwa wanamaanisha ni watu ambao hawakuwa na nia ya kufuata Sheria ya Musa. Hata hivyo, Luka anatumia neno "wenye dhambi" kama maneno ya kuzihaka, kwa sababu Yesu anasema kwamba alikuja kuwaita wenye dhambi kutubu. Kwa kutaja "wenye dhambi," Yesu alikuwa akimaanisha mtu yeyote mwenye hatia ya dhambi. and
Kufunga mara nyingi kulifanyika wakati wa toba. Hakukufanyika wakati wa furaha. Kwa kuwa wakati ambapo Yesu alikuwa pamoja na wanafunzi wake ilikuwa wakati wa furaha, aliwaambia kama watafunga kwa wakati hayuko pamoja na wao tena.
Yesu anatumia hali ya kufikiri kuwahukumu Mafarisayo. Kifungu hiki kinajumuisha "watu wenye afya njema" na "watu wenye haki." Hii haimaanishi kwamba kuna watu ambao hawahitaji Yesu. Hakuna "watu wenye haki," kila mtu anahitaji Yesu. (See: and Luke 5:31-32)
Katika sehemu kadhaa za sura hii mwandishi alidokezea habari fulani ambayo wasomaji wake wa awali wangeelewa na kuwazia. Wasomaji wa kisasa labda hawajui mambo hayo yote, hivyo wanaweza kuwa na shida kuelewa mambo yote yaliyoandikwa na mwandishi. UDB mara nyingi huonyesha jinsi habari hiyo inaweza kutolewa ili wasomaji wa kisasa waweze kuelewa vifungu hivi.
Sehemu za sura hii ni mfululizo wa matukio ambayo tayari yametokea. Katika kifungu fulani, wakati mwingine Luka anaandika kana kwamba matukio yamekwisha kutokea wakati matukio mengine bado yanaendelea (ingawa yamekamilika wakati anaandika). Hii inaweza kusababisha shida katika kutafsiri kwa kuunda utaratibu wa matukio usiofaa. Inaweza kuwa muhimu kufanya haya thabiti kwa kuandika kana kwamba matukio yote yamekwisha kutokea.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Yesu anahubiri kutoka katika mtumbwi wa Simoni Petro katika ziwa Genesareti
Kauli hii inatumika hapa kuweka alama kwenye mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yako inanamna ya kufanya hivi, ungefikiri kutumia hapa.
Hili ni jina lingine la ziwa Galilaya. Galilaya ulikuwa upande magharibi wa ziwa, na na nchi ya Genesareti ulikuwa upande wa mashariki, hivyo ulikuwa unaitwa kwa majina yote.
Walikuwa wanasafisha nyavu za kuvuvia ili wazitumia tena kupata samaki.
"mtumbwi unaomilikiwa na simoni"
"alimwambia Petro kuusukuma mtumbwi zaidi kutoka ufuoni"
kuketi ilikuwa ni mfumo wa kawaida kwa mwalimu.
"aliwafundisha watu akiwa amekaa kwenye mtumbwi." Yesu alikuwa katika mtumbwi mbali kidogo kutoka ufuoni na alikuwa anaongea na watu ambao walikuwa kwenye ufuo.
"Yesu alipomaliza kuwafundisha watu"
"kwa sababu ya maneno yako" au "kwa sababu umeniambia kufanya hivi"
walikuwa mbali sana kutoka ufuoni hivyo walifanya ishara, huenda kupunga mikono.
"mtumbwi ulianza kuzama." "mtumbwi ulianza kuzama kwa sababu samaki walikuwa wazito sana."
Maana zinazowezekana ni 1) "kuinama chini magotini pa Yesu" au 2) kulala chini miguuni ya ardhi miguuni pa Yesu" 3) "kupiga magoti mbele ya Yesu." Yesu hakuanguka kwa bahati mbaya. Yeye alifanya hivi kama ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yesu.
Neno hapa kwa "mtu" linamaanisha "mtu mzima mwanaume" na kwa ujumla zaidi "binadamu."
"idadi kubwa ya samaki"
"Wadau wa Simoni katika biashara ya uvuvi"
Sura ya kukamata samaki imekuwa ikitumika kama sitiari kwa kukusanya watu kumfuata Kristo. NI: "utavua watu" au "mtakusanya watu kwaajili yangu" au "mtaleta watu kuwa wanafunzi"
Yesu anamponya mkoma katika mji tofauti ambao hautajwi jina.
Kauli hii inaonesha tukio jipya katika simulizi.
"mtu alikuwa anaukoma." Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
"alipiga magoti na kichwa kikagusa chini" au "aliinama mpaka chini" (UDB)
"kama unataka"
ilifahamika kwamba yeye alikuwa anamuuliza Yesu aponywe. Hii inaweza ikasemwa wazi. NI: tafadhali nisafishe, sababu unaweza
Hii inarejea kwenye usafi wa ibada, lakini ilifahamika kwamba yeye si msafi kwasababu ya ukoma. Yeye hasa anamuuliza Yesu amponye maradhi yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "niponye ukoma hivyo nitakuwa msafi ... upone"
"hakuwa naukoma tena" (UDB)
Hii tafsiri inaweza ikanukuiwa moja kwa moja. "kutomwambia mtu kwamba wewe umeponywa." Ni "Kutokusema kwa yeyote."
Sheria inamtaka mtu kufanya dhabihu maalumu baada ya utakaso wao. Hii ilimruhusu mtu kuwa safi kitaratibu, na kuweza tena kushiriki katika desturi kidini.
"Hii inathibitisha uponyaji wako""
Maana zinazowezekana 1) "kwa makuhani" 2) "kwa watu wote"
"habari kuhusu Yesu." Hii pengine ingemaanisha "taarifa kuhusu uponyaji mtu kwa Yesu" au "taarifa kuhusu Yesu kuponya watu."
"taarifa kuhusu yeye zilizagaa sana" au "watu waliendelea kuzisema habari kuhusu yeye katika maeneo mengine"
"maeneo ya pekee" au "maeneo ambapo hapakuwa na watu wengine"
Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha katika jengo, baadhi ya watu walimleta mtu aliyepooza kwaajili Yesu kumponywa.
Kauli hii inaonesha mwanzo wa sehemu mpya katika simulizi.
Hawa ni watu wapya katika simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kuonesha kwamba hawa ni watu wapya. "kulikuwa na watu ambao walikuja."
"kitu cha kulalia" au "kitu cha kuunyosha mwili"
"hangeweza kuondoka mwenyewe"
Katika baadhi ya lugha inaweza inaweza ikawa kiasili ukirekebishwa. "Lakini kwa sababu ya mkutano wa watu, wasingepata njia kumleta mtu ndani"
Ni wazi kwamba sababu iliyowafanya wasiweze kuingia ilikuwa hadhara kubwa sana pale hapakuwa na nafasi kwaajili yao.
Nyumba zilikuwa na dari, na baadhi ya nyumba zilikuwa na ngazi au kipandio (daraja) cha kurahisisha kupanda kule juu.
"mbele ya Yesu moja kwa moja" au "kwa haraka mbele ya Yesu"
ilieleweka kwamba walimwamini Yesu anaponya mtu aliyepooza. NI: "Yesu alipotazama kwamba wanaamini kwamba anaweza kumponya mtu, alimwambia "
Hili ni neno lililotumika kwa ujumla ambalo watu walitumia walipokuwa wakizungumza mtu na ambaye jina lake hawakulijua. ilikuwa siadabu, lakini pia haikuonesha heshima maalumu. Baadhi ya lugha ziliweza kutumia neno kama "rafiki" au "mkuu."
"umesamehewa" au "nasamehe dhambi zako"
"jadili hili" au "toa hoja kuhusiana na hili." NI: "pengine jadili hata siyo Yesu alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi."
Swali hili linaonesha jinsi walivyoshituka na kukasirika kwa kile ambacho Yesu alisema. "Mtu huyu anamkufuru Mungu" au "Yeye anamkufuru Mungu kwa kusema hivyo"
Inachodokeza taarifa ni kwamba kama mtu anadai kusamehe dhambi anasema ni Mungu. "Hakuna anayeweza kusamehe dhambi lakini Mungu pekee" au "ni Mungu pekee ambaye anaweza kusamehe dhambi."
Kirai hiki kinaashiria kwamba walikuwa wanahojiana kimya kimya, hivyo kwamba Yesu alitambua zaidi na alisikia walichokuwa wanfikiri.
Msingepaswa kusema hivi mioyoni mwenu " au"Msingepaswa kutia shaka kwamba nina mamlaka ya kusamehe dhambi"
Hii inarejea sehemu ya mtu ambayo hufikiri au huamini.
Kitu ambacho hakipo wazi ni kimoja. "Ni rahisi kusema, sababu hakuna mmoja atakayejua, lakini kitu kingine ni "kigtumu kusema sababu kila mmoja atajua". watu wasione kama mtu dhambi zako zimesamehewa, 'lakini Mungu pekee anaweza sababisha huyu mlemavu kusimama na kutembea."
Yesu alikuwa akiongea kwa Waandishi na Mafarisayo. Neno "enyi" ni wingi.
Yesu alikuwa akirejea yeye peke yake
Yesu alikuwa akisema haya kwa mtu aliyepooza .Neno "wewe" ni umoja
"mara moja"njia sahihi"
Inaweza kusaidia kusema kwa wazi kwamba aliponywa. NI: "mtu aliponywa! akainuka."
"hofu sana"au" kujawa na utisho"
"vitu vya kushangaza "au" vitu vigeni"
Yesu alipoondoka nyumbani, anamwita Lawi, Myahudi mtoza ushuru amfuate. Lawi anaandaa mlo kwaajili ya Yesu uliowakera mafarisayo na waandishi.
Kirai "vitu hivi" kinamaanisha kilichotokea kwenye mistari iliyopita. Ishara hii ni tukio jipya.
"akamwangalia mtoza ushuru kwa umakini "au" alimwangalia mtoza ushuru kwa uangalifu"
Kufuata mtu ilikuwa ni kauli imaanishayo kuwa mwanafunzi. NI: "Kuwa mwanafunzi wangu "au" njoo, nifuate kama mwalimu wako"
"akaacha kazi yake kama mtoza ushuru"
Chakulani, Yesu anazungumza na Mafarisayo na waandishi.
"kwenye nyumba ya Lawi"
Aina ya Kigiriki ya kula kwenye karamu ilikuwa kuegemea kochi na kujihimili peke yako kwa mkono wa kushoto kwenye baadhi ya mito ." au " "kwenye meza"kukaa mezani"
"kwa wanafunzi wa Yesu"
Mafarisayo na Waandishi waliuliza haya kudhihirisha kutoridhishwa kwao kwamba Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanakula na wenye dhambi. NI: "Huwezi kula na wenye dhambi!"
Mafarisayo na waandishi waliamini kwamba watu wa dini wanapaswa kujitenga na watu waliowaona kuwa ni wenye dhambi. Neno "wewe" ni wingi.
Yesu anadhihirisha hii kama mithali.
daktari atibuye " au" daktari"
Maneno "inahitaji" yanaeleweka kutoka kirai kilichotangulia. NI: "ni wale wagojwa tu wanamwitaji"
Baadhi ya watu walifikiri wanahaki. Yesu anarejea kwa hao kwa namna walivyofikiri kuhusu wao wenyewe ingawaje alijua kwamba hawakuwa wenye haki. NI: "watu wafikirio wanahaki"
"Viongozi wa dini wakasema kwa Yesu"
Yesu alitumia swali kusababisha watu kufikiri kuhusu hali ambayo tayari wanaijua."Hakuna mmoja wenu anawaambia waliohudhuria harusini kufunga wakati bado Bwana arusi yupo nao."
"wageni" au "marafiki. "Hawa ni marafiki ambao husherehekea na mtu ambaye anafunga ndoa.
kufunga ni ishara ya huzuni. Viongozi wa dini walielewa kwamba waalikwa arusini hawawezi kufunga wakati bwana arusi akiwa pamoja nao.
"upesi" au siku hizo" (UDB)
Yesu anajifananisha yeye mwenyewe na bwana arusi, wanafunzi wake ni waalikwa arusini. Hakufafanua sitiari, hivyo tafsiri ieleze kama ni lazima tu.
Yesu anasema habari kwa waandishi na mafarisayo waliokuwa nyumbani kwa Lawi.
"Hakuna mmoja hupasua " au" mtu hachani kamwe"
Kauli hii tete inaelezea sababu kwa nini mtu hatarekebisha vazi kwa njia hiyo.
"karabati"
"kisingeweza kukubaliana " au" kisingekuwa sawa"
"Mtu hawezi kuweka "au" hakuna hata mmoja huweka"
"juisi ya dhabibu."Hii inamaanisha divai ambayo bado hajachachishwa."
Hii ni mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi ya mnyama. Ingeweza kuitwa mifuko ya divai "au "mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi."
Kipindi divai mpya inachana na kuvutika, inapasua ngozi ya zamani kwa sababu hata hivyo hunyooka. Wasikilizaji wa Yesu walielewa taarifa zihusuzo divai iliyochachishwa na kuvutika.
"Divai ingevuja nje ya mifuko"
"viriba vipya " au "mifuko mipya ya divai."Hii inamaanisha viriba vipya vya divai, visivyotumika.
Sitiari hii inakanusha mafundisho ya zamani ya viongozi wa dini ni kinyume na mafundisho mapya ya Yesu. Dokezo ni kwamba watu ambao walizoea mafundisho ya zamani hawako tayari kusikiliza vitu vipya ambavyo Yesu anafundisha.
"divai ambayo imechachishwa"
Itasaidia kwa kuongeza: na "hata hivyo tayari kujaribu divai mpya.
1 Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka. 2 Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, "Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato"? 3 Yesu, akawajibu, akisema, "Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye? 4 Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila." 5 Kisha akawaambia, "Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato." 6 Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza. 7 Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa. 8 Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, "Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja." Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale. 9 Yesu akasema kwao, "Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?" Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu, 10 "Nyoosha mkono wako." Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa. 11 Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu. 12 Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu. 13 Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita "mitume." 14 Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo, 15 Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote, 16 Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti. 17 Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni. 18 Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia. 19 Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote. 20 Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, "Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu. 21 Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka. 22 Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu. 23 Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii. 24 Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu. 25 Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye. 26 Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo. 27 Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni. 28 Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea. 29 Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu. 30 Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie. 31 Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo. 32 Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao. 33 Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo. 34 Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena. 35 Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu. 36 Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma. 37 Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa. 38 Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi." 39 Kisha akawaambia mfano pia. "Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia? 40 Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake. 41 Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii? 42 Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako. 43 Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri. 44 Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma. 45 Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake. 46 Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo? 47 Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo. 48 Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri. 49 Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.
Luka 6:20-49 ina baraka na ole nyingi ambazo zinaonekana kuwa sawa na Mathayo 5-7. Sehemu hii ya Mathayo kwa kawaida inaitwa "Mahubiri ya Mlimani." Katika Luka, hayashikamani na mafundisho juu ya ufalme wa Mungu kama katika injili ya Mathayo.
Ilikuwa nazoezi yaliokubaliwa kwa wasafiri kuchuma na kula kiasi kidogo cha nafaka kutoka kwa mimea katika mashamba waliyoyapitia. Sheria ya Musa ililazimisha walimaji waruhusu wasafiri hivyoo. Wafarisay waliwaza kama kuchuma nafaka ni kazi ya "kukusanya masuke yaiyobaki" na sheria ya Musa inazuia kufanya kazi kwa siku ya Sabato. , and )
Ilikuwa kawaida kwa Yesu kutumia maneno ya mifano kwa kufundisha watu ukweli usiyo rahisi wa kiroho.
Yesu alitumia maswali ya uhuishaji ili kuwafundisha watu na kuwahukumu.
Mara nyingi Luka anaandika habari yaliyoelewa kabisa na watu wa kale wa inchi za Mashariki ya Karibu lakini labda watu wa leo wa mazoezi tofauti hawaelewi. kwa mfano watu wanatarajia siku ya hukumu ya mwisho au labda hukumu kwa siku ya mwisho ya maisha yao
Yafuatayo ni orodha ya wanafunzi kumi na wawili: Katika Mathayo: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo, Yohana mwana wa Zebedayo, Filipo, Bartholomayo, Tomasi, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni mzeloti na Yuda Iskarioti.
Katika Marko: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana mwana wa Zebedayo (ambaye aliwaita Boanerge, yaani, wana wangurumo), Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni mzeloti, na Yuda Isikarioti.
Katika Luka: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni (aitwaye mzeloti, Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Isikarioti.
Inawezekana kuwa Thadayo na Yuda, mwana wa Yakobo, ni majina mawili ya mtu mmoja.
Sasa Yesu na wanafunzi wake wanatembea kupitia kwenye shamba la ngano wakati baadhi ya mafarisayo wanaanza kuwauliza wanafunzi kuhusu walichokuwa wanafanya siku ya sabato ambayo katika sheria ya Mungu imetengwa kwaajili ya Mungu.
Neno "wewe" hapa ni wingi, na linarejea kwa wanafunzi.
Kirai hiki kilitumika hapakuzingatia mwanzo wa sehemu mpya ya masimulizi. Ikiwa lugha yako ni njia ya kufanya hivi, ingeweza kutumika hapa.
Kwa suala hili, hizi ni sehemu kubwa za nchi ambapo watu walikuwa wametawanya mbegu pawe na ngano nyingi.
Hii ni sehemu ya juu ya mmea wa ngano, ambao ni aina jani kubwa. inashikilia mbegu inayoota ya mmea.
Walifanya hivi kutenganisha ngano. NI: "Walifikicha ngano katika mikono yao kutenganisha ngano na ganda" (UDB)
Hili ni swali linalowatuhumu wanafunzi kwa kuvunja sheria. NI: "Kuchuma nafaka siku ya sabato ni kinyume na sheria ya Mungu!"
Mafarisayo waliona hata kitendo kidogo cha kufikicha ngano kuwa ni kazi ivunjayo sheria. NI: "kufanya kazi"
Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye"
"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu"
Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu"
Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!"
Waandishi na Mafarisayo wanatazama Yesu anaponya mtu siku ya Sabato
Hapa sasa ni siku ya Sabato nyingine na Yesu yuko kwenye Sinagogi.
Kirai hiki kimetumika hapa kuzibgatia mwanzo wa tukio jipya katika masimulizi.
Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
mkono wa mtu ambaye umepata umeadhirika kiasi ambachomhawezi kuunyoosha. Ulikuwa umejikunja kwenye eneo la ngumi, ikaufanya uonekane mdogo na wenye kupinda.
"walikuwa wanamuangalia Yesu kwa makini"
"kwa sababu walitaka kutafuta"
"mbele ya kila mtu" (UDB). Yesu alimtaka yule mtu kusimama ambapo kila mmoja angemuona.
"kwa Mafarisayo"
Yesu alitaka kuwasahihisha Mafarisayo wajuao kwamba ni kosa kuponya siku ya Sabato. Aliuliza swali kama kupinga kati ya kufanya wema au uovu ili kwamba iwe wazi kipi ni sahihi na kipi ni kibaya. NI: "tendo lipi ambalo sheria inaruhusu - kufanya wema na kuponya, au kuumiza na kuharibu maisha?"
"kusaidia mtu au kumdhuru mtu"
"Shikilia mkono wako" au" panua mkono wako"
"aliponywa"
Yesu anachagua mitume kumi na wawili baada ya kuomba usiku mzima.
kirai hiki kimetumika hapa kuashiria mwanzo wa kipande kipya cha masimulizi.
"katika wakati huo" au"sio mbali baada ya hapo " au" siku moja katikati ya hapo"
"Yesu alikwenda nje"
"ilipokuwa asubuhi" au "siku iliyofuata"
"aliwachagua kumi na wawili kati ya wanafunzi"
"ambao aliwafanya mitume" au "na alipowateua wao kuwa mitume."
Hizi ni taarifa zimeongezwa kwenye mstari wa ULB
"kaka yake Simoni, Andrea"
inawezekana maana 1) "Zelote" ni cheo kinacho onesha alikuwa sehemu ya kundi la watu waliotaka kuwaacha huru Wayahudi kutoka utawala wa Rumi NI: "mzalendo" au "mtaifa" au 2) "mwenye bidii" ni maelezo yanayoashiria alikuwa na bidii kwaajili ya Mungu kuheshimiwa. NI: "shauku"
Inaweza kuwa lazima kueleza nini maana ya "msaliti" katika mkutadha huu. NI: "aliwasaliti rafiki zake" au "aliwageuka rafiki zake mbele ya maadui" (kawaida kwa kurudisha fedha alizolipwa" au "kumweka rafiki katika hatari kwa kuwaambia maadui kuhusu yeye"
Ingawa Yesu akiwaelekea hasa wanafunzi wake, walikuwapo watu wengi karibu ambao wanasikiliza.
"pamoja na kumi na wawili aliowachagua" au "pamoja na mitume wake kumi na wawili"
Hii inaweza kusema katika kauli tendaji "kwa Yesu kuwaponya wao"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Yesu pia aliwaponya watu walisumbuliwa na roho wachafu."
"sumbuliwa na roho chafu" au waliotawaliwa na roho chafu"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "alikuwa na nguvu kuponya watu" au "alitumia nguvu zake kuponya watu"
Kirai hiki kimerudia mara tatu. Kila mara ,kinaashiria kwamba Mungu huwapa neema watu fulani au kwamba hali zao ni chanya au nzuri.
"Wale ambao ni maskini hupokea neema ya Mungu" au " ambao ni maskini hunufaika"
Lugha ambazo hazina neno ufalme laweza sema, "Mungu ni mfalme wako" au "kwa sababu Mungu ni mtwala wako."
"ufalme wa Mungu ni wako." Hii ingeweza kumaanisha 1) "umetokana na ufalme wa Mungu" au 2) Utakuwa na mamlaka katika ufalme wa Mungu."
"Mtacheka na kufurahia" au "Mtakuwa na furaha"
"Mmepokea neema ya Mungu" au "Mnanufaika" au "Ni kwa namna gani ni nzuri kwenu"
"kuwakataa ninyi"
"kwa sababu mnajumuika na Mwana wa Adam" au" kwa sababu walimkataa Mwana wa Adam "
"Kipindi wanafanya mambo hayo" au "kipindi yanatokea"
Nahau hii inamaanisha "kuwa na furaha zaidi"
"malipo makubwa" au "zawadi nzuri"
"jinsi gani kwenu ni hatari." Kirai hiki kimerudia mara tatu. Ni kinyume cha "mmebarikiwa ninyi" Kila mara, kinaashiria kwamba hasira ya Mungu ni moja kwa moja kwa watu, au kwamba kitu hasi au kibaya kinawasubiri.
namna gani balaa ni wale ambao ni matajiri" au "shida zitakuja kwa wale ambao ni matajiri"
"mfariji wenu" au "kinacho waridhisha ninyi" au "kinacho wafanya mwe na furaha"
"ambao matumbo yao yameshiba sasa" au "ambaye hula kingi sasa"
"ambaoana furaha sasa."
"ni gani balaa gani litakuwa kwenu" au "jinsi mtakavyo kuwa na huzuni"
kipindi watu wote" au "kipindi kila mmoja"
"walinena vizuri juu ya manabii wa uongo"
Yesu anaendelea kuzungumza kwa wanafunzi wake na vile vile na mkutano wanao msikiliza yeye.
Yesu sasa anaaza kuzungumza kwa hadhara yote, zaidi kuliko kwa wanafunzi wake tu.
Katika kila amri hizi hufanyika kwa mwendelezo, siyo tu kwa mara moja.
Hii hainamaana unawapenda tu adui na siyo marafiki. Hii inaweza kusemwa. NI: "Wapende adui, siyo tu rafiki!" (UDB)
Virai viwili hivi vinamaana sawa, na kwa pamoja vinasisitiza hoja.
Mungu ndiye abarikie. Hii inaweza ikadhihirisha. NI: "Omba Mungu kubariki hao" (UDB)
"ambao wanatabia ya kukulaani"
"wale ambao wanatabia ya kukutenda mabaya"
"kama yeyote akupigaye"
"kwenye upande mmoja wa uso"
Inasaidia kusema ambacho mshambuliaji atafanya kwa mtu. NI: "geuza uso wako kwamba aweza kupiga na shavu jingine pia"
"hapana kumzuia kuchukua"
"Ikiwa yeyote anakuomba kitu, mptie"
"usimwombe" au "usihitaji"
Kwa baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa uasilia zaidi kubadili amri: NI: "Uwafanyie watu sawasawa na unavyotaka watu wakufanyie."
"Ni dhawabu gani mtapokea?" au "Mtapokea sifa gani kwa kufanya hivyo?" Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hamtapokea thawabu yeyote kwa hilo" au "Mungu hatawazawadia kwa hilo"
Sheria ya Musa iliamuru Wayahudi wasipokee riba kwa pesa waliyokopeshana.
"mtapokea dhawabu kubwa" au "mtapokea malipo mazuri" au "mtapata zawadi nzuri kwa sababu ya hilo"
Ni vizuri sana kutafsiri "wana" kwa maneno ambayo lugha yako itayatumia kwa asili kurejea kwa mwana wa kibinadamu.
Hakikisha kwamba neno "wana" ni wingi lisichanganywe na cheo cha Yesu "Mwana wa aliye Juu Sana"
"Watu ambao hawamshukuru yeye na ambao ni waovu"
Hii inamrejea Mungu. Ni bora kutafsiri "Baba" kwa neno ambalo lugha ambayo kwa asili hutumika kurejea kwa baba binadamu.
"Msihukumu watu" au "usimkosoe mtu"
"na kama matokeo yako"
Yesu hakusema ambao wasingehukumu. Inawezekana maana ni 1) "Mungu hatakuhukumu wewe" au 2) "hakuna wa kukuhukumu wewe."
"Msishutumu watu"
Yesu hakusema ambaye angehukumu. inawezekana inamaanisha 1) "Mungu hatakushutumu wewe" au 2) "hakuna hata mmoja atakaye washutumu."
Yesu hakusema ambaye angesamehe. Inawezekana inamaanisha 1) "Mungu atakusamehe" au 2 ) "watu watakusamehe."
Yesu hakusema kwa hakika ambaye angetoa. Inawezekana inaanisha 1) "yeyote atakupa wewe 2) "Mungu atakupa wewe?
Amri ya sentensi hii inaweza kurudiwa. NI: "kitamwagwa magotini penu kiasi cha ukarimu kilichosindiliwa na kumwagika. "Yesu alitumia mfano wa mfanya biashara wa nafaka kupata kiasi cha ukarimu. NI: "Ni kama mfayabiashara wa nafaka ambaye hushindilia nafaka na kuzitikisa pamoja na hutoka nafaka nyingi ambazo humwagika, watakupatia wewe kwa ukarimu.
"kiasi kingi"
Yesu hakusema kwa hakika nani atapima. Maana zinazowezekana 1)"watatumia kipimo hicho hicho kupima vitu vyako" au 2) Mungu atakupimia pia vitu wewe
Yesu anahusisha baadhi ya mifano kujenga hoja yake.
Yesu alitumia swali ili kupata watu wa kufikiri kitu ambacho tayari wanajua. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Mtu kipofu hawezi kumuongoza mtu mwingine kipofu.
mtu ambaye ni "kipofu" ni sitiari kwa mtu ambaye hajafundishwa kama mwanafunzi.
Baadhi ya lugha zinaweza kupendelea, "kama mmoja alifanya" Hii ni hali upuuzi kwamba haiwezi kabisa kutokea.
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: wawili wote wataangukia shimoni"
"Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake." Maana zinazowezekana ni 1) "Mwanafunzi hana maarifa kuliko mwalimu wake" au 2) Mwanafunzi hana mamlaka kuliko mwalimu"
Hii inaweza kumaanisha kuwa 1)"mwanafunzi hawezi kuwa na ufahamu mkubwa kuliko mwalimu "au 2) " Mwanafunzi hana mamlaka zaidi ya mwalimu ."Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu."
"Kila mwanafunzi aliyefundishwa vizuri" au "kila mwanafunzi ambaye amejazwa mafundisho na mwalimu."
Yesu anatumia swali hili kuwapa watu changamoto kuzingatia dhambi zao wenyewe kabla hawajafuatilia dhambi za watu wengine. NI: "usiangalie ... lakini puuza kitiji ambacho kimo kwenye jicho lako"
Hii ni sitiari ambayo inarejea kwenye kosa dogo alilofanya muumini mwenzako.
"doa" (UDB) au "kibanzi." Tumia neno kwa kitu kidogo ambacho kwa kawaida kinaingia kwenye jicho la mtu.
Hapa "ndugu" inanarejea kwa myahudi au muumini mfuasi wa Yesu.
Hii ni sitiari kwa kosa la mtu maarufu. kijiti hakiwezi kuingia kwenye kwenye jicho la mtu kilivyo. Yesu anasisitiza kwamba mtu awe makini kwa makosa yake mwenyewe kabla hajashughulikia makosa madogo ya mwingine.
"boriti " au "kigogo"
Yesu anauliza swali hili kukosoa watu wazingatie dhambi zao kabla ya kufuatilia dhambi za wengine. NI: "Usiseme ... jicho"
watu wanaweza wakasema kama mti ni mzuri au mbaya, na ni aina gani ya mti, kwa matunda yake unayozaa. Yesu anatumia hii kama sitiari isiyo elezewa - tunajua mtu wa aina gani kwa ya kuona mtendo yao.
"sababu ipo" Hii inaashiria kwamba kinachofuata ni sababu ni sababu ya kwanini hatupaswi kuwahukumu ndugu zetu
mti wenye afya
"liooza" au "baya" au "siofaa"
watu hutambua aina ya mti kwa matunda yake unayozaa. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "watu wanajua aina ya mti" au "watu wanatambua mti"
Mmea au kichaka chenye miiba
mzabibu au kichaka kilicho na miiba
Yesu analinganisha mawazo ya mtu kwa hazina nzura au mbaya. Mawazo mazuri ya mtu mzuri yanasababisha matendo mazuri. Mawazo maovu ya mtu mwovu husababisha matendo mabaya.
Neno "mwema" hapa linahusu mwenye haki au maadili mema.
Neno "mtu" linarejea kwa mtu, mwanaume au mwanamke. NI: "mtu mwema"
"vitu vizuri hutunza moyoni mwake" au "vitu vizuri huvithamini"
Kutoa kilicho kizuri ni sitiari kwa kufanya mema. NI: "kufanya kilicho kizuri"
"mambo mabaya anayotunza moyoni mwake" au "mambo mabaya anayothamini"
Kirai "kinywa chake" kinawakilisha yeye kutumian mkinywa chake. NI: "anachofikiri moyoni mwake kinaathiri anachosema kwa mdomo wake" au anachokithamini moyoni mwake huamua kinachosemwa na kinywa.
Yesu anamlinganisha mtu ambaye anatii na mtu anayejenga nyumba juu ya mwamba ambapo itakuwa na uimara na gharika.
Urudiaji wa maneno haya huashiria kwamba walimwita Yesu kwa kawaida "Bwana."
Itakuwa wazi zaidi kubadili mfumo wa sentensi hii. NI: "Nitakuambia jinsi kila mtu anayekuja kwangu akasikia na kuyatii maneno yangu anavyofanana "
"Kuchimba msingi wa nyumba kwa kina kufikia mwamba imara" Baadhi ya tamaduni hawajengi juu ya mwamba, wanaweza kuhitaji kutumia kitu kingine kwa msingi imara.
"msingi" au "saidia"
Huu ni mwamba mgumu ambao upo chini ya udongo.
"maji yaendayo kasi" au "mto "
"Yakagonga dhidi yake"
Maana zinazowezekana ni 1) "sababisha kutikisika" au 2) "iharibu."
"kwa sababu mtu alikuwa ameijenga vizuri"
Yesu anamlinganisha mtu asikiaye hatii mafundisho na mtu ambaye kajenga nyumba bila msingi hivyo itaanguka wakati wa mafuriko.
"Lakini" inaonesha utofauti mkubwa kwa mtu aliyetangulia ambaye alijenga kwenye msingi.
Baadhi ya tamaduni nymba yenye msingi ni imara. Taarifa za kuongeza zinaweza zikawa msaada NI: "lakini hakuchimba chini na kujenga kwanza msingi"
"msingi" au "msaada imara"
"maji -yanayotembea kwa kasi"
"maji yanakwenda kwa kasi" au "mto"
"iliyogonga"
"anguka chini" au "ikagawanyika"
"nyumba hiyo ilikuwa imeharibika kabisa"
1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu. 2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa. 3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife. 4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, "anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake, 5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu". 6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. "Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu. 7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona. 8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu "Nenda" na huenda, na kwa mwingine, "Njoo" naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya". 9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema."Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu. 10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima. 11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu. 12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye. 13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, "Usilie". 14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema "Kijana nasema amka" 15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake. 16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema "Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu" na "Mungu amewaangalia watu wake" 17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani. 18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote. 19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema "Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie? 20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, "Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?" 21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona. 22 Yesu akajibu na kusema kwao. "Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema. 23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa". 24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, "Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo? 25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme. 26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii. 27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, "Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu, 28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana." 29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana. 30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe. 31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai? 32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.' 33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema "Ana pepo. 34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, "Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi! 35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote." 36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale. 37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato. 38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato. 39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, "Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi. 40 Yesu akajibu na kumwambia, "Simoni nina kitu cha kukuambia. "Akasema" "Kiseme tu mwalimu!" 41 Yesu akasema "Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini. 42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi? 43 Simoni akamjibu na kusema, "Nadhani aliyesamehewa zaidi."Yesu akamwambia, "Umehukumu kwa usahihi." 44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, "Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake. 45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu. 46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato. 47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu." 48 Baadaye akamwambia mwanamke, "Dhambi zako zimesamehewa" 49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, "Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?" 50 Na Yesu akamwambia mwanamke, "Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani"
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 7:27, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
Kuna nyakati katika maelezo ya sura hii ambapo kuna mabadiliko ya ghafla katika mada. Mtafsiri hapaswi kulainisha mabadiliko haya.
Hali hii haikuwa jambo la kawaida sana katika Israeli ya kale. Haikuwa kawaida kwa askari wa Kirumi kuhitaji chochote kwa Waisraeli kwani hawakuwa wa maana kwa Warumi na hawangehitaji uponyaji kutoka kwa Myahudi. Haikuwa pia kawaida kwa tajiri kujali maslahi ya mtumwa wake. Hii inaonyesha imani kuu.
Ubatizo ambao Yohana alifanya ulikuwa tofauti na ubatizo ambao kanisa linafanya. Ubatizo wa Yohana ulikuwa unaashiria kuwa wale waliopokea walikuwa wametubu dhambi zao. Ndio maana Mafarisayo hawakuhusika katika ubatizo wa Yohana. and ).
Luka anaashiria kundi la watu kuwa "wenye dhambi." Viongozi wa Kiyahudi waliona watu hawa kuwa hawaelewi Sheria ya Musa, na hivyo wakawaita "wenye dhambi." Kwa kweli, viongozi wenyewe ndio walikuwa wenye dhambi. Hali hii inaweza kuchukuliwa kama kinaya.
Miguu ilionekana kuwa ni chafu sana katika inchi za Mashariki ya Karibu ya Kale. Ingekuwa tendo la unyenyekevu sana kwa mwanamke huyu kuosha miguu ya Yesu na ilikuwa njia ya kumheshimu Yesu.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida.
Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia"
Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi
"ambaye akida alimthamini" au "ambaye alimweshimu"
"sihi pamoja" au "alimwomba"
"akida anastahili"
"Watu wetu" hii inarejea kwa wayahudi.
"alienda"
kauli hasi hizi zinaweza kubadilishwa. NI: "karibu na nyumba"
Akida alikuwa anaongea kwa upole kwa Yesu. NI: "Usijisumbue mwenyewe kwa kuja nyumbani kwangu" au "Sitaki kukuudhi"
Kirai hiki ni nahau inayo maanisha "Njoo ndani ya nyumba yangu." Kama lugha yako ina nahau inayomaanisha "Njoo kwenye nyumba yangu" fikiri kama ina weza kuwa nzuri kuweka hapa."
Mtumishi alijua kuwa Yesu atamponya yule mtumishi kwa kusema tu. Hapa "neno" linarejea kuamuru. NI: "toa tu agizo"
Neno lililotumiwa kutafsiri hapa kama "Mtumishi" mara nyingi limetafsiriwa kama "Mvulana" inaweza kuonyesha ishara kuwa mtumishi alikuwa kijana mdogo au inaonyesha ufanisi wa akida kwake.
Neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni neno la kawaida kwa mtumishi.
"alimshanga akida"
Yesu alisema haya kusisitiza maajabu ambayo anataka kuwaambia.
maana yake ni kuwa Yesu alitarajia wayahudi kuwa na imani kama hii, lakini hawakuwa hivyo. Hakuwatajia wamataifa kuwa na imani ya namna hii, lakini huyu mtu amekuwa na imani hiyo. Unaweza kuongeza taarifa iliyofichika. NI: "sijaona mwisraeli yeyote anaye niamini kwa kiasi kama mmataifa huyu!" (UDB)
Ilifahamika kwamba hawa walikuwa watu waliotumwa na akida. Hii inaweza kusemwa NI: "watu ambao watawala wa Rumi waliowatuma kwa Yesu"
Yesu anaenda katika mji wa Naini, pale alipomponya mtu aliyekuwa amekufa.
ni jina la Mji
Neno "Tazama" linatuashiria utangulizi wa simulizi ya mtu aliyekufa kwenye habari. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivi. NI: "Kulikuwa na mtu aliyekufa"
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: watu walikuwa wanapeleka nje ya mji mtu aliyekufa"
"alikuwa mwana pekee wa mamaye, na alikuwa mjane" Hii ni taarifa iliyotangulia kuhusu aliyekufa na mama yake.
hii sentensi inatumika hapa kuonyesha mwanzo wa habari mpya. kama Lugha yako ina njia nyingine ya kufanya hivi unaweza kutumia hapa.
mwanamke ambaye mumewe amesha kufa
"aliona huruma kwa ajili yake"
"akaenda mbele" au "akamsogelea aliyekufa"
Hiyo ilikuwa ni machela au kitanda kilitumika kubeba mwili kwenda maeneo ya kuzika. kisingeweza kuwa kitu cha kuzikia. Tafsiri nyingine inapunguza uthamani "Jeneza" au "Kiti cha msiba"
Yesu alisema hili kuonyesha mamlaka yake "Nisikilize!"
mtu alikuwa bado amekufa; sasa alikuwa hai. Itakuwa lazima kusema hili wazi. NI: "ni mtu aliyekuwa amekufa."
Hii inatumabia jinsi ilivyotokea kama matokeo ya uponyaji wa Yesu kwa mtu aliyekuwa amekufa.
"Hofu huwajaa wote." Hii inaweza katika kauli tendaji. NI: "wate wakawa na hofu sana."
Walikuwa wanarejea kwa Yesu, siyo kwa yule nabii asiyejulikana.
"Amekuja kuwa nasi" au "Ameonekana kwetu." Mungu ameinua nabii mkuu katikati yetu." Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu ameinua nabii mkuu kati yetu"
Nahau hii inamaana "ajali"
"Habari hizi njema" inarejea kwa vitu ambavyo watu walikuwa wanasema katika mstari wa 16. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji "Watu wakaeneza hizi taarifa kuhusu Yesu" au "Watu waliwaambia wengine hii taarifa ya kuhusu Yesu."
"Hili neno" au "Huu ujumbe"
Yohana anatuma wawili wa wanafunzi wake kumuuliza Yesu.
Hii inatambulisha tukio jingine kwenye habari
"akamwambia Yohana"
"mambo yote alikuwa anafanya"
Sentensi hii inaweza kuandikwa hivyo kwamba ikawa na nukuu ya moja kwa moja tu. NI: "watu walisema kwamba Yohana mbatizaji aliwatuma wao kwake kuuliza 'wewe ni yule ajaye, au tumtazamie mwingine?" au "watu walisema, '"Yohana katutuma sisi kwako kuuliza kama ni yule ambaye anakuja, au kama tutazamie mwingine."
"tusubiri mwingine" au "tumtazamie mtu fulani"
"kwa wakati huo"
Itakuwa msaada kusema tena uponyaji. NI: "aliwaponya na roho chafu"au "na aliwaweka huru watu kutoka katika roho chafu"
"aliwaambia wajumbe wa Yohana" au "alisema kwa wajumbe aliowatuma Yohana"
"Mwambie Yohana"
"watu masikini"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu atambariki mtu ambaye haachi kuamini kwake sababu ya matendo yake"
"Watu" au "yeyote" Huyu si mtu maalumu.
maana mbili hasi "Hendelea"
Yesu anaanza kuzungumza katika makutano kuhusu Yohana mbatizaji. anauliza maswli balagha kuwasaidia kufikiri kuhusu ambacho Yohana mbatizaji hasa anavyofanana.
Hii inategemea jibu hasi. "milikwenda nje kuona mwanzi ukitikiswa na upepo? siyo hivyo" Inaweza pia ikaandikwa kama sentensi. NI: "Kwa hakika hamkwenda kuona mwanzi ukitikiswa na upepo!"
Maana zinazowekeana kwa sitiari hii ni (1) mtu anaye badili mawazo yake, kama mwanzi ni rahisi kugeuzwa na upepo, au 2) mtu anayeongea sana lakini hasemi chochote cha mhimu, kama mwanzi ugeuzwavyo wakati upepo unapovuma.
Hii pia inatazamia jibu hasi, sababu Yohana alivaa vazi gumu. "mlikenda huangalia mtu amevaa nguo laini? siyo hivy!" Hii pia inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: Hakika hamkwenda kuona mtu amevaa nguo laini!"
Hii inarejea nguo za gharama. Nguo za kawaida zilikuwa chakavu. NI "vaa nguo za gharama"
Ikulu ni kubwa, nyumba ya gharama anayoishi mfale.
Hii inaelekea kwenye jibu chanya. "Mlikwenda nje kuona nabii?" Ndivyo mlivyofanya!" Hii pia inaweza ikaandikwa kama sentensi. NI: "Lakini mlienda kweli kuona nabii!"
Yesu alisema kusisitiza umhimu wa vile ambavyo angesema badaye
Kirai hiki kinamaanisha kwamba Yohana alikuwa kabisa nabii, lakini kwamba alikuwa hata zaidi ya nabii halisi. NI: ""siyo nabii wa kawaida" au "ni muhimu zaidi ya nabii wa kawida"
"Nabii huyo ni yule manabii waliyeandika kumhusu" au "Yohana ni yule manabii walimwandika wakati mrefu uliopita"
katika mstari huu, Yesu anamnukuu nabii Malaki na kusema kuwa Yohana ni mjumbe wa kile Malaki alisema.
Nahau inamaana "Mbele yako" or "kwenda mbele yako"
Neno "Yako" ni umoja kwa sababu Mungu aliongea kwa masihi katika nukuu.
Yesu alikuwa anaongea na makutano hivyo "Ninyi" ni wingi. Yesu alitumia kirai hiki kusisitiza ukweli wa vitu vya kushangaza aliokuwa anaenda kuusema.
"baadhi ya wale mwanamke amewazaa" hii ni sitiari lakini inalenga kwa watu wote. NI: "watu wote waliowahi kuishi."
"Yohana ni mkuu zaidi"
Hii inahusiana na kila mtu ambaye ni sehemu ya ufalme ambao Mungu atauanzisha.
kiwango cha kiroho cha watu katika ufalme wa Mungu kitakuwa cha juu kuliko cha watu kabla ya ufalme uliokuwa umeanzishwa. NI: "kiwango cha kiroho cha juu kuliko Yohana"
Luka, mwandishi wa kitabu, alichangia juu ya mwitikio wa watu kwa Yohana na Yesu.
Mstari huu unaweza kurekebishwa wazi zaidi. NI: "wakati watu wote waliokuwa wamebatizwa na Yohana, wakiwemo watoza ushuru, walisikia hiki, wakatangaza kwamba Mungu ni mwenye haki.
"Walisema kwamba Mungu amejionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye haki" au "walitangaza kuwa Mungu alitenda kwa haki
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "sababu walikubali Yohana awabatize" au "sababu Yohana aliwabatiza wao."
"walikataa ambacho Mungu alitaka wao wafanye" au "chagua kutotii ambacho Mungu aliwaambia"
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "ambao Yohana hakuwabatiza" au "ambao walikataa kubatizwa na Yohana" au " wale waliokataa ubatizo wa Yohana."
Yesu aliendelea kusema kwa watu Kuhusu Yohana mbatizaji.
Yesu alitumia maswali kutambulisha mlinganisho.Yawaeza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hivi ndivyo nitawafananisha kizazi hiki., na ndivyo wanavyofanana.
Watu wanalioishi wakati wa Yesu anasema
Haya maneno ni mwanzo wa kulinganisha kwa Yesu. Yesu anasema kwamba watu wa kizazi hiki wanafanana na watoto ambao hawaridhiki na njia mbazo watoto wengine wanafanya
Kubwa, eneo la wazi ambapo watu huja kuuza bidhaa zao.
"Lakini hamkucheza kwenye mziki"
"Lakini hamkuomboleza na sisi"
Maana zinazowezekana ni 1) "Kufunga mfululizo" au 2) kutokula chakula cha kawaida
Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu Yohana. Hii inaweza ikasemwa bila nukuu ya moja kwa moja. NI: "Mlisema kuwa ana pepo" au "Mlimtuhumu kuwa ana Pepo"
Yesu alitarajia watu pale kujua kuwa alikuwa anajisemea mwenyewe. NI: "Mimi" mwana wa mtu.
Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu mwana wa Mtu. Hii inaweza kusemwa moja kwa moja. NI: "mmesema kwamba mimi ni mtu Mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi"
Ni yule kitabia ya hula chakula kingi zaidi ya uhitaji wake.
Hii inaonekana kabisa kuwa ni mithali ambayo Yesu aliihusisha na hali hii. Hii huenda inamaana kwamba watu wenye hekima wangeelewa watu hawangemkataa Yesu na Yohana.
Mfarisayo alimwalika Yesu kula nyumbani kwake.
Ilikuwa ni desturi ya wakati huo mtazamaji kuhudhuria chakula cha jioni bila kula.
Alama ya mwanzo mpya wa habari na inatambulisha mfarisayo kwenye habari.
"Alikaa kuzunguka kwenye meza kwa ajili ya chakula." Ilikuwa ni desturi kwa chakula cha starehe kama hiki chakula cha jioni kwa wanaume kula huku wakiwa wamejilaza kwa raha wakizunguka meza.
Neno "Tazama" linatutazamisha sisi kwa mtu mwigine katika hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na namna ya kufanya hivi.
Yawezekana alikuwa kahaba. "Aliyeishi maisha ya dhambi" au "Ambaye alikuwa na sifa za kuishi maisha ya dhambi."
"chupa hii ilitengenezwa kwa jiwe laini." Chupa ni laini, mwamba mweupe. watu walihifadhi vitu vya thamani katika hiyo chupa.
"na manukato ndani yake." manukato yalikuwa ni mafuta yaliyokuwa yanatoa harufu nzuri ndani yake. watu walijipaka wao wenyewe au kunyunyizia nguo zao ili wanukie vizuri.
"Kwa nywele zake"
"mwaga manukato juu yao"
"alisema yeye mwenyewe"
Farisayo aliwaza kuwa Yesu hakuwa nabii kwa sababu amemruhusu mwanamke mwenye dhambi kumgusa. NI: "Inaonekana Yesu siyo nabii, sababu nabii angejua kwamba mwanamke anayemgusa ni mwenye dhambi."
Simoni kimakosa alihisi kwamba nabii asingeruhusu kuguswa. Ukweli huu ungeongezwa. NI: "ni mdhambi na asingeruhusiwa kugusa"
Hili lilikuwa ni jina la Farisayo aliyemwalika Yesu katika nyumba yake. Huyu hakuwa Simoni Petro.
Kusisitiza nini anaenda kumwambia Simoni Farisayo, Yesu alimwambia hadithi.
"mkopeshaji fulani alikuwa na wadeni wawili"
"posho ya siku 500. " Dinari" ni wingi wa dinarius." Dinari ilikuwa ni sarafu ya fedha.
"posho ya siku 50"
"aliwasamehe madeni yao" au "aliyafuta madeni yao"
Simoni alikuwa na tahadhari ya jibu hili. NI: "Huenda"
"Uko sahihi"
"Yesu akamwangalia mwanamke. "Yesu akaelekeza uamkini wa Simoni kwa mwanamke kwa kumgeukia"
Huu ni wajibu wa msingi kwa mwenyeji kuleta maji na taulo kwaajili ya wageni kuoshwa na kukausha miguu yao baada ya kutembea kwenye njia ya vumbi.
Yesu mara mbili anatumia virai hivi kupinga upungufu wa heshima ya Simoni kwa kile kitendo cha ziada cha mwanamke.
Mwanamke alitumia machozi yake kwa maji yaliyokosekana.
Mwanamke alitumia nywele zake badala ya taulo iliyokosekana.
"Mwenyeji mzuri kwenye huo utamaduni aliwasalimia wageni wake kwa busu kwenye shavu. Simono hakufanya."
"ameendelea kunibusu miguu yangu"
Yesu anaendelea kupinga wema hafifu wa Simoni na kitendo cha mwanamke
"paka kichwa changu kwa mafuta" Hii ilikuwa ni desturi ya kumkaribisha mgeni aliyeheshimika. NI: "nikaribisha kwa kunitia mafuta kichwani"
Mwanamke alimweshimu sana Yesu kwa kufanya hivi. Alitoa kielelezo cha unyenyekevu kwa kutia mafuta miguuni badala ya kichwani.
Hii inasisitiza umhimu wa sentensi inayofuata.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu kasamehe dhambi zake nyingi"
upendo wake ulikuwa ulikuwa ushahidi kwamba dhambi zake zimesamehewa. Baadhi ya lugha zinahitaji kitu cha "Upendo" Kusema. "alipenda zaidi ambaye amemsamehe" au " alimpenda sana Mungu."
"Mtu yeyote anasamehewa vitu vichache." Katika sentensi hii Yesu anaonyesha kanuni za jumla. Hata hivyo, Simon alikuwa anatarajia kuelewa kuwa Yesu anazungumzia kuwa Simoni ameonesha upendo kidogo.
"ndipo akamwabia mwanamke" (UDB)
"umesamehewa." Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "Nasamehe dhambi zako"
"kaa pamoja kuzunguka meza" au "kula pamoja"
Viongizi wa dini walijua kwamba Mungu tu anayesamehe dhambi, na hawakuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu, Swali hili huenda lilikusudiwa kuwa tuhuma. NI: "Huyu mtu anafikiri kuwa yeye ni nani?" Ni Mungu pekee anaye samehe dhambi!" au "Kwanini huyu mtu anajifanya kuwa Mungu awezaye kusamehe dhambi?"
"Kwa sababu ya imani, umeokoka" "imani" inaweza ikatazamwa kama kitendo. NI: "kwa sababu umeamini, umeokoka"
Hii ni namna ya kusema kwaheri wakati huohuo unatoa baraka. NI: "Unapokwenda, usiwe na wasi wasi kabisa" au "Mungu akupe amani unapoenda"
1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye, 2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba. 3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe. 4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano. 5 "mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila. 6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu. 7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa. 8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. "Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,"Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie." 9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo, 10 Yesu akawaambia, "Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.' 11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu. 12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa. 13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka. 14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda. 15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu. 16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona. 17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga. 18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa." 19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu. 20 Na akataarifiwa, "Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe. 21 Lakini, Yesu akajibu akasema "Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii." 22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, "Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa." Wakaandaa mashua yao. 23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana. 24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, "Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!" Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu. 25 Tena akawaambia, "Imani yenu iko wapi?" Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,"Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?" 26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya. 27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi. 28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi" 29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani. 30 Yesu akamwuliza, "Jina lako nani?" akajibu akisema, "Legioni" Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake. 31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. 32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo. 33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo. 34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka. 35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa. 36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa. 37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi. 38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema, 39 "Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea" Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake. 40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja. 41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake, 42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake. 43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja, 44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma. 45 Yesu akasema, "Nani ambaye kanigusa?" Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga." 46 Lakini Yesu akasema, "Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu." 47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla. 48 Kisha akasema kwake, "Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani." 49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, "Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu." 50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, "Usiogope. Amini tu, na ataokolewa." 51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake. 52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, "Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu." 53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa. 54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, "Mtoto, inuka" 55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale. 56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
Kuna nyakati katika maelezo ya sura hii ambapo kuna mabadiliko ya ghafla katika mada. Mtafsiri hapaswi kulainisha mabadiliko haya.
Miujiza ya Yesu katika sura hii inaonyesha kwamba alikuwa na mamblaka juu ya mambo yanayozidi udhibiti wa binadamu. Inaonyesha pia kwamba kumwabudu Yesu ni jibu sahihi kwa matendo yake.
Mfano ni hadithi fupi inayotumikiwa kwa kuonyesha fundisho ya maadili au wa kidini. Sura hii ina mfano mrefu, unaofunua ukweli kwa wale wanaomwamini Yesu. Pia yanaficha ukweli huo huo kutoka kwa wale wanaomkataa Yesu. Mifano kwa kawaida huchukua fomu ya hadithi.
Sura hii inaanzisha dhana ya kaka na dada "wa kiroho". Maandiko hutumia maneno haya kwa kutaja uhusiano kati ya Waisraeli. Hapa, wale wanaomfuata Yesu sasa wanajulikana kama kaka na dada. and )
mistari hii inatoa mrejesho wa habari za Yesu kuhusu kuhubiri wakati anasafiri.
Hiki kipande cha maneno kimetumika hapa kuweka alama ya sehemu ya habari mpya.
"Ambao Yesu amewaweka huru kutokana na roho chafu na kuwaponya na magonjwa"
"Wanawake watatu waliokuwa wanaitwa: Mariam, Yoana, na Susana.
Yoana alikuwa mke wa Kuza, na Kuza alikuja meneja wa Herode. "Yoana, Mke wa meneja wa Herode."
Yesu aliwaambia mfano wa mpandaji kwa makutano. Alieleza maana ya ke kwa wanafunzi wake.
Hili neno linaonyesha mwanzo wa kitendo katika habari.
"mkiulima alienda kupanda baadhi ya mbegu shambani"
"Zilikanyagwa pia mara zilipoota"
"Walizila zote"
"Miche ikakauka na kupooza"
"ardhi ilikuwa kavu"
Yesu anamaliza kuwaambia mfano makutano
Miti ya miiba ikachukua madini, maji, na mwanga, kwa hiyo miche ya mkulima haikukua vizuri.
"Kuzaa mavuno" au "Kuzaa mbegu zaidi"
inaweza kuwa ni kiasili sana kwa baadhi ya lugha kutumia nafsi ya pili: "Wewe mwenye sikio la kusikia, sikia."
" Anayeweza kusikia" au "Yeyote anayenisikia mimi"
"Na asikilize vizuri" au "na awe makini kwa kile ninachokisema"
Yesu anaanza kusema kwa wanafunzi wake.
"MUngu amewapa ninyi zawadi ya kuelewa" au "Mungu amewafanya watu kuelewa"
Hizi ni kweli kwamba zimejificha lakini Yesu aliwafunulia.
"kupitia wanachoona, hawatajua." "kupitia wanavyoona vitu, hawatavielewa" au "kupitia wanavyoona vitu vikitokea, hawataelewa vina maanisha nini."
"Kupitia wanavyosikia hawatelewa." "kupitia wanavyosikia maelekezo, hawataelewa ukweli."
Yesu anaaza kuelezea maana ya mfano wa udongo kwa wanafunzi wake.
Hii inamaanisha kuwa anawafanya kusahau neno la Mungu ambalo wamelisikia.
Kwenye mfano hii ilikuwa kama fumbo la ndege anayedaka mbegu. jaribu kutumia maneno kwa lugha yako ambayo hutunza picha hii.
Hii ina maana kuwa shetani hukichukua neno mbali mbali na hamu zao za kuliamini neno la Mungu.
Tangu mwanzo hili lilikuwa kusudi la mwovu, inaweza kutafsiriwa kama. "Kwa sababu mwovu amezama, 'Hawataamini na hawataokolewa"' au "'Hawataweza kuamini kwa matokeo ambayo Mungu atawaokoa."
"Wakikutana na magumu wanaanguka mbali na Imani" au "Wanapokutana na magumu wanaacha kuamini"
"huduma na utajiri na ubora wa maisha huwasonga." "kama palizi huzuia miche mizuri kukua, huduma, utajiri, na ubora wa maisha haya zinawabana hawa watu kukua."
"vitu ambavyo watu huogopa"
"vitu ambavyo kwenye maisha watu hufurahia"
"hawazai kuzaa matunda." "kama mche ambao haukui na kuzaa matunda, hawawezi kukua na na kufanya kazi njema."
"Kuzaa matunda ya Uvumilivu." Ni kama miche yenye afya inavyozaa matunda mazuri, wanatoa kazi njema kwa uvumilivu"
Yesu aliendelea na mfano mwingine kisha akahitimisha kwa wanafunzi wake kwa kusisitiza jukumu la familia yake katika kazi yake.
Hili neno limetumika hapa kuweka alama ya kuanza kwa mfano mwingine.
"meza" au "rafu"
"kita kitu kilichojificha kitajulikana"
"na kila kitu ambacho ni siri kitajulikana na kuja kwenye mwanga"
"jinsi gani unasikiliza katika kile ninawaambia" au "Jinsi unavyosikiliza neno la Mungu"
"yeyote anayesikiliza" au "yeyote anayepokea ninachokifundisha"
"vingi atapewa." "Mungu atampa vingi"
"yeyote ambaye hataaelewa" au "yeyote ambaye hatapokea kile ninachofundisha"
Hawa walikuwa wadogo zake Yesu nusu ndugu.
"watu wakamwambia" au "mtu fulani akamwambia"
"wanasubiri kukuona" au " na wanataka kukuona"
"Wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii wanafanana na mam yangu na ndugu zangu kwangu" au "Wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii ni mhimu sana kwangu kama mama yangu na ndugu zangu"
Yesu na wanafunzi wake kisha wakatumia mashua kuvuka ziwa Genasareti. wanafunzi wakajifunza megi kuhusu nguvu ya Yesu kupitia dhoruba iliyotokea.
Neno hili limetumika hapa kuonyesha alama wa mwanzo wa kipande kipya cha kile kilichotekea.
Hili ni ziwa Genesareti ambalo liliitwa ziwa la Galilaya.
"walipotoka"
"Alilala"
"upepo wenye nguvu ghafla ukaanza kupiga"
Neno la kigriki ambalo limetafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa" hili linahisiana na mtu mwenye mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo linamlenga mtu mwenye mamlaka, kama "Mheshimiwa"
"alizungumza kwa kasi"
"upepo na mawimbi wakakoma"
Yesu alikuwa anawakemea kwa upole kwa sababu walikuwa hawamwamini kuwa atawajali. "Mlipaswa kuwa na imani" au "Mlipaswa kuniamini"
"Ni mtu wa namna gani huyu."
Hii inaweza ikawa mwanzo wa sentensi chache: "Anaamuru"
Yesu na wanafunzi wake wakaja pwani kwa Wagerasi ambapo Yesu aliondoa mapepo mengi kutoka kwa mwanaume.
Wagerasini walikuwa ni watu kutoka mji ulioitwa Gerasa.
"Upande mwingine wa Galilalya"
"mtu kutoka mji wa Gerasa"
"mtu ambaye nguvu za giza zilimwendesha" au "huyu mtu alikuwa anaendeshwa na nguvu za giza"
Hii ni taarifa ya nyuma kuhusu huyu mtu aliyekuwa na mapepo.
"hakuwa anavaa nguo"
Hizi ni sehemu ambazo watu huwa wanaweka miili ya watu waliokufa, yawezekana ni mapango. ukweli kwamba mtu huyu alikuwa anaishi humo inaashiria kuwa haya hayakuwa mashimo yaliyochimbwa chini ya ardhi.
"yule mwenye pepo alipomwona Yesu"
"alipiga kelele" au "alipiga yowe"
"alilala chini ya ardhi mbele ya Yesu." Hakuanguka kwa ajali kama ajali.
"Alisema kwa sauti ya juu" au "Alipiga kelele"
"Kwa nini unanitesa mimi"
Hiki ni cheo kikubwa sana kwa ajili ya Yesu.
"mara nyingi walikuwa wanamshika mtu huyu" au "mara nyingi huenda ndani mwake." Hii inatuambia jinsi Pepo alivyofanya mara ya nyingi kabla ya Yesu kukutana naye.
"Hata kama watu walimfunga... na kumbana na kumlinda"
imetafsiriwa hii na neno ambalo linahusu kikundi kikubwa cha maaskari au watu. Katika tafsiri zingine zinasema "Legioni." "Kikosi cha" au Brigedia"
"Kumtoka mtu na kwenda kwenye shimo"
ona
"lilikuwa karibu linakula majani juu ya kilima"
Neno "Hivyo" limetumika hapa kuweka alama ya tukio lililotokea kwa sababu ya kitu fulai kingine kilichotokea huko nyuma. kwa jambo hili. Yesu akayaambia mapepo kwamba yaweza kwenda kwa nguruwe.
"Kimbia kwa haraka sana"
"kwa haraka wakakimbia mbali"
"walimwona mtu ambaye mapepo yamemtoka"
"Alikuwa amevaa nguo"
"alikuwa na akili timamu" au "alikuwa anaishi kawaida"
"amekaa chini, akimsikiliza Yesu"
"walimwogopa Yesu"
Hawa walikuwa watu waliokuwa na mtu yule wakati Yesu alifanya mapepo yaondoke.
Yesu amemwokoa mtu aliyekuwa na mapepo yakimwongoza" au "Yesu alimponya mtu alikuwa na mapepo yakimwongoza"
"Eneo hilo la Gerasini" au "eneo ambapo watu wa wagerasini waliishi"
"wakajawa na hofu." au "hofu kubwa iliwajaa."
wakati mwingine unapaswa kuaza na hii. "Kabla ya Yesu ana wanafunzi wake kuondoka, yule mtu" au "Kabla ya Yesu na wanafunzi wake hawajawasha mashua yao, mtu"
"kaya yako" au "familia yako"
wakati Yesu na wanafunzi wake waliporudi Galilaya upande mwingine wa ziwa, alimponya binti wa mtawala wa sinagogi mwenye miaka 12 na pia mwnamke aliyekuwa akitokwa na damu miaka 12.
Mistari hii inatupa taarifa za nyuma kuhusu Yairo.
"Kwa furaha ya makutano wakamsalimia"
Neno "Tazama" linatutazamisha sis kwa Yairo kama mtu mpya katika habari hii. lugha yako inaweza kukawa na njia nyingine ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu aliyeitwa Yairo."
"mmoja wa viongozi katika sinagogi la mtaa" au "'kiongozi wa watu walikutana kwenye sinagogi katika eneo hilo"
(1) "Alianguka kwenye miguu ya Yesu" au (2) "alilala chini kwenye ardhi katika miguu ya Yesu." Yairo akuanguka kwa ajali. alifanya vile kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa Yesu.
"alikuwa katika hali ya kufa" au "alikuwa karibu na kifo"
Watafsiri wengine wanaweza kusema kwanza, "Hivyo Yesu alikubali kwenda na yule mtu."
"makutano walikuwa wakijaa kwa kubanana kumzunguka Yesu"
"alikuwa anatokwa na damu nyingi" alikuwa akitokwa damu kutoka na tumbo lake hata kama haikuwa kawaida ya wakati wake. kwa kabila baadhi wanaweza wakawa na njia ya upole kuhusiana na hali hii.
"lakini hakuna hata mmoja wao wa kumtibu" au "hakuna hata mmoja wao aliweza kumponya"
"aligusa pindo la vazi lake" Wanaume wa kiyahudi walivaa Taso juu ya makunjo ya nguo zao kama sehemu ya mavazi ya sherehe zao kama amri katika amri za Mungu. Hii inaonyesha ndiyo alichogusa.
Neno liliotafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa." Hii inaenda kwa mtu mwenye mamlaka, lakini si kwa mtu mwingine yeyote. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo ni la kawaida limetumika kuelezea mtu aliye kwenye mamlaka, kama vile "Mheshimiwa"
Kwa kusema hiv, Petro alikuwa akihusisha kila mmoja anaweza kumgusa Yesu. hii ni taarifa thabiti inaweza kufanywa kwa wazi kama ni mhimu katika UDB
"Nimesikia uponyaji nguvu zimetoka kwangu." Yesu hakupotwza nguvu au kuwa mdhaifu, lakini nguvu yake inamponya mwanamke.
"hawezi kutunza siri ya kile alichokifanya." "kwamba asingeweza kuendelea kutunza kama siri maana yeye ni yule aliyemgusa Yesu."
"akatetemeka kwa hofu"
yawezekana maana ni 1). "aliinama chini mbele za Yesu" au 2) alilala chini kweye ardhi katika miguu ya Yesu. "hakuanguka kiajali. alifanya hivi kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa ajili ya Yesu.
"Kwenye sehemu ya" au "Mbele"
Hii ilikuwa ni aina ya kusema kwa mwanamke. Kabila lako linaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha huu wema.
"Kwa sababu ya Imani yako, umekuwa vizuri." "Kwa sababu umeamini, umeponywa"
Hii ni njia ya kusema, ""Kwa heri" na kutoa baraka kwa wakati mmoja. "Unapokwenda, Usiogope hata kidogo" au "Mungu akupe amani unapoenda"
"wakati Yesu alipokuwa akiongea kwa mwanamke"
Hii inarudi kwa Yairo.
"Yesu alimjibu Yairo"
"Nitamponya"
"Kisha walipokuja katika nyumba, Yesu"
"aliwaruhusu Petro, Yohana, Yakobo, baba yake binti, na mama yake kuingia ndani"
"watu wote walikuwa wanaonyesha huzuni zao na kulia kwa sauti kwa sababu binti amekufa"
"Binti mdogo, amka"
"akawa mzima" au "akawa hai tena"
"pumzi" au "Uhai"
1 Akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa uwezo na mamlaka juu ya mapepo yote na kuponya magonjwa. 2 Akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. 3 Akawaambia, "Msichukue chochote kwa ajili ya safari yenu wala fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala pesa wala msichukue kanzu mbili. 4 Nyumba yoyote mtakayo iingia, kaeni humo mpaka mtakapo ondoka mahali hapo. 5 Na kwa wale wasio wapokea, mtakapo ondoka mji huo, jikung'uteni vumbi katika miguu yenu kwa ushuhuda juu yao". 6 Wakaondoka na kwenda kupitia vijijini, wakitangaza habari njema na kuponya watu kila mahali. 7 Sasa Herode, mtawala, alisikia yote yaliyo kuwa yakitokea alitaabika sana, kwa sababuu ilisemekana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji amefufuka kutoka wafu, 8 na baathi kwamba Elia amekwisha tokea, na kwa wengine kwamba mmoja wa manabii wa zamani amefufuka katika wafu tena. 9 Herode alisema, "nilimchinja Yohana, lakini huyu ni nani ninae sikia habari zake? Na Herode alitafuta njia ya kumwona Yesu. 10 Wakati waliporudi wale waliotumwa, wakamwamwambia kila kitu walicho fanya. Akawachukua pamoja naye, akaenda peke yake katika mji uitwao Bethsadia. 11 Lakini makutano wakasikia kuhusu hili wakamfuata, na aliwakaribisha, na akaongea nao kuhusu ufalme wa Mungu, na aliwaponya wale waliohitaji uponyaji. 12 Siku ikaanza kuisha, na wale kumi na wawili wakaenda kwake na kusema, "Watawanye makutano kwamba waende katika vijiji vya karibu na mijini wakatafute mapumziko na chakula, kwa sababu tupo eneo la nyikani." 13 Lakini akawaambia, "Nyie wapeni kitu cha kula." Wakasema "Hatuna zaidi ya vipande vitano vya mikate na samaki wawili, isipokuwa tungeenda na kununua chakula kwa ajili ya kusanyiko hili la watu." 14 Kulikua na wanaume wapatao elfu tano pale. Akawambia wanafunzi wake. "Wakalisheni chini katika makundi ya watu wapatao hamsini kwa kila kundi. 15 Kwa hiyo wakafanya hivyo na watu wa wakaketi chini. 16 Akachukua mikate mitano na samaki wawili na akatazama mbinguni, akavibariki, na kuvimega katika vipande, akawapa wanafunzi wake ili waviweke mbele ya makutano. 17 Wote wakala na wakashiba, na vipande vya chakula vilivyo baki viliokotwa na kujaza vikapu kumi na viwili. 18 Nayo ikawa kwamba, alipokuwa akiomba peke yake, wanafunzi wake walikuwa pamoja naye, na akawauliza akisema, "watu husema mimi ni nani?" 19 Wakijibu, wakasema, "Yohana mbatizaji, lakini wengine husema Eliya, na wengine husema mmoja wa manabii wa nyakati za zamani amefufuka tena." 20 Akawambia, "Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?" Akijibu Petro akasema, "Kristo kutoka kwa Mungu." 21 Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza kutomwambia yeyote juu ya hili, 22 akasema kwamba mwana wa Adamu lazma ateseke kwa mambo mengi na kukataliwa na wazee na Makuhani wakuu na waandishi, na atauawa, na siku ya tatu atafufuka. 23 Akawambia wote, "kama mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku, na anifuate. 24 Yeyote ajaribuye kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote apotezae maisha yake kwa faida yangu, atayaokoa. 25 Je kitamfaidia nini mwanadamu, kama akiupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au akapata hasara ya nafsi yake? 26 Yeyote atakaye nionea aibu mimi na maneno yangu, kwake yeye mwana wa Adam atamuonea aibu atakapo kuwa katika utukufu wake, na utukufu wa Baba na malaika watakatifu. 27 Lakini ninawaambia ukweli, kuna baadhi yenu wasimamao hapa, hawata onja umauti mpaka wauone ufalme wa Mungu." 28 Ikatokea yapata siku nane baada ya Yesu kusema maneno haya kwamba akawachukua pamoja nae Petro, Yohana na, Yakobo, wakapanda mlimani kuomba. 29 Na alipokuwa katika kuomba, muonekano wa uso wake ulibadilika, na mavazi yake yakawa meupe na ya kung'aa. 30 Na tazama, walikuwepo wanaume wawili wakiongea naye! Walikuwa Musa na Elia, 31 walionekana katika utukufu. Waliongea kuhusu kuondoka kwake, jambo ambalo alikaribia kulitimiza Yerusalem. 32 Sasa Petro na wale waliokua pamoja naye walikuwa katika usingizi mzito. Lakini walipokuamka, waliuona utukufu wake na wanaume wawili waliokuwa wamesimama pamoja nae. 33 Ikatokea kwamba, walipokuwa wakiondoka kwa Yesu, Petro akamwambia, "Bwana, ni vizuri kwetu kukaa hapa na inatupasa tutengeneze makazi ya watu watatu. Tutengeneze moja kwa ajili yako, moja kwa ajili ya Musa, na moja kwa ajili ya Eliya." Hakuelewa alichokuwa akiongelea. 34 Alipokuwa akisema hayo, likaja wingu na likawafunika; na waliogopa walipoona wamezunguwa na wamezungukwa na wingu. 35 Sauti ikatoka kwenye wingu ikasema, "Huyu ni Mwanangu mteule. Msikilizeni yeye." 36 Sauti iliponyamaza, Yesu alikuwa peke yake. walikaa kimya, na katika siku hizo hawakumwambia yeyote lolote miongoni mwa waliyoyaona. 37 Siku iliyofuata, baada ya kutoka mlimani, kusanyiko kubwa la watu lilikutana naye. 38 Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko alilia kwa sauti, akisema, "Mwalimu ninakuomba umtazame mwanangu, kwa kuwa ni mwanangu wa pekee. 39 Unaona roho chafu humshika, na mara hupiga kelele, na pia humfanya achanganyikiwe na kutokwa povu kinywani. Nayo humtoka kwa shida, ikimsababshia maumivu makali. 40 Naliwasihi wanafunzi wako kuikea itoke. lakini hawakuweza." 41 Yesu akajibu akasema, "Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, mpaka lini nitkaa nanyi na kuchukuliana nanyi? Mlete mwanao hapa." 42 Kijana aliokuwa anakuja, roho cha ikamuangusha chini na kumtikisa kwa fujo. Lakini Yesu aliikemea ile roho chafu, alimponya mvulana, na kamkabidhi kwa baba yake. 43 Wote walishangazwa na ukuu wa Mungu. Lakini walipokuwa wakistaajabu wote kwa mambo yote aliyo yaliyotedeka, akasema kwa wanafunzi wake, 44 "Maneno yawakae masikioni mwenu, kwa kuwa Mwana wa Adamu atatolewa mikononi mwa wanadamu." 45 Lakni hawakuelewa maana ya maneno hayo, na yalifichwa machoni pao, ili wasije wakalielewa. Waliogopa kumuuliza kuhusu neno hilo. 46 Kisha mgogoro ulianza ulizuka miongoni mwao i juu ya nani angekuwa mkuu. 47 Lakini Yesu alipotambua walichokuwa wakihojiana mioyoni mwao, alimchukua mtoto mdogo, na kumuweka upande wake, 48 na akasema, " kama mtu yeyote akimpokea mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, anipokea mimi pia, na yeyote akinipokea mimi, ampokea pia aliyenituma, kwa kuwa aliye mdogo kati yenu wote ndiye alie mkuu" 49 Yohana akajibu akasema, "Bwana, tulimuona mtu akifukuza pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu haambatani na sisi." 50 Lakini Yesu akamwambia, "Msimzuie, kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu" 51 Ikatokea kwamba, kulinga na siku zilivyokua zikikaribia zsiku zake za kwenda mbinguni, kwa uimara alielekeza uso wake Yerusalemu. 52 Akatuma wajumbe mbele yake, nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali. 53 Lakini watu huko hawakumpokea, kwasababu alikua ameelekeza uso wake Yerusalemu. 54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipo liona hili, wakasema, "Bwana unahitaji tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze?" 55 Lakini aliwageukia akawakemea. 56 Kisha walikwenda kijiji kingine. 57 Walipokuwa wakienda katika njia yao, mtu mmoja akamwambia, "Nitakufuata popote uendapo." 58 Yesu akamwambia, "Mbweha wanamashimo, ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana pakulaza kichwa chake." 59 Ndipo akamwambia mtu mwingine, "Nifuate." Lakini yeye akasema, "Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzika baba yangu," 60 Lakini yeye akamwambia, "Waache wafu wawazike wafu wao, lakini wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu kila mahali." 61 Pia mtu mwingine akasema. "Nitakufuata, Bwana, lakini niruhusu kwanza nikawaage walio katika nyumba yangu." 62 Laki Yesu akamwambia hakuna mtu, atiaye mkono wake kulima na kuangalia nyuma atakayefaa kwa ufalme wa Mungu."
Kuna mzozo kati ya wasomi kuhusu maana ya ufalme we Mungu hapa unamaanisha utawala wa Mungu duniani au ujumbe wa injili
Nabii Malaki alitabiri kwamba siku moja Eliya angerudi kabla Masihi hajaja. Yesu anaelezea kwamba Yohana Mbatizaji alitimiza unabii huu kwa kumtumikia Mungu kwa namna ileile kama Eliya. Eliya ametajwa kwa njia mbili tofauti katika sura hii, kama mtu halisi na kurudi kimfano kwa Eliya. and )
Maneno 'ufalme wa Mungu' katika sura hii yalitumikiwa kwa kutaja ufalme utakapokuja wakati maneno haya yaliyosemwa.
Katika Maandiko utukufu wa Mungu unaonekana kama mwanga wa kunga'a sana. Utukufu wa Mungu Katika Maandiko utukufu wa Mungu unaonekana kama mwanga wa kunga'a sana kwa mtu anayeuona. Tukio hilo, iliyoandikwa katika sura hii, linaitwa "kugeuka sura," asababu Yesu aligeuka sura na kubadilika sura ili aonyeshe utukufu wake wa kiungu. and )
Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Mfano wa kitendawili katika sura hii: "Yeyote anayetaka kuokoa maisha yake ataipoteza, na yeyote anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu ataipata." (Luka 9:24).
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
ULB inatumia neno hili mara kadhaa katika sura hii kwa maana mbalimbali. Yesu anasema, "Yeyote akipokea mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, yeye ananipokea pia, na yeyote akinipokea mimi, anapokea pia yeye aliyenituma"
Yesu anawakumbusha wanafunzi wake waasitegemee pesa na vitu nyao, anawapa nguvu, na pia awatuma waende sehemu mbalimbali.
Maneno haya mawili yametumika pamoja kuonesha kwamba wale kumi na wawili walikuwa na uwezo na haki ya kuponya watu.
"ugonjwa"
"aliwatuma sehemu mbalimnbali" au "aliwambia waende"
"Yesu akawaambia wale thenashara"
AT." usichukue chochote" au "usije na chochote"
"kwa ajili ya safari yako" au "wakati unasafiri." Wasichukue chochote kwaajili ya safiri yao yote, watapita kijiji kwa kijiji mpaka warudi kwa yesu.
"fimbo" au "fimbo ya kutembelea." ilikuwa ni fimbo kubwa iliyotumika kumsaidia mtu wakati wa kupanda au kwenye barabara mbovu. ilikuwa ikitumika pia kujilinda dhidi ya watekaji.
ni mfano wa kibebeo(begi) ambalo wasafiri hutumia kwa kubebea kile anachokitaka safarini.
AT: "Chakula"
"Nyumba yoyote mtakayoingia"
"Bakieni humo" au "muishi kwa mda ndani ya ile nyumba kama wageni"
"kutoka mjini" au "kutoka katika sehemu ile"
AT: " hiki ndo mtakachofanya kwa watu watakao kataa kuwapokea"
"waliondoka sehemu ambayo yesu alikuwepo"
"walienda kila mahali"
Mistarin hii inapingan kutoa taarifa kuhusu Herode
hili neno limetumika kuonesha pumziko katika story kamili. Hapa Luka anasimulia taarifa za msingi za Herode.
Inamwakilisha Herod ambae alikuwamtawala wa moja ya nne ya Israel.
"alikasirika sana" au "alikuwa anashangaa"
AT: "niliwaamlisha wanajeshi wangu wamkate kichwa Yohana"
Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani.
AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu"
"walirudi pale alipokuwa yesu"
"mitume wakamuambia yesu"
Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji.
Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja"
Hili ni jina la mji.
"jua lilivyoanza kuzama" au " siku ilivyoanza kuisha"
"kuwaambia makutano waondoke"
AT: " labda tutaenda kununa chakula" au " labda kama twende kununua chakula" au unaweza kuanza sentyensi mpya "kama wewe unataka tuwalishe, tutatakiwa kwenda kununua chakula."
"kama wanaume elfu tano." hii number haijumuishi wanwake na watoto ambao yaweza kuwa walikuwepo.
"waambieni wakae"
"50 kila "
wanfunzi wakawakalisha makutano kwenye makundi ya watu hamsini hamsini.
"yesu akachukua"
kiwango maarumu cha mkate wa kuokwa. AT: "mkate mzima"
"wakati anaangalia" au " baada ya kuangalia"
Hii inawakilisha kuangalia juu, kuelekea mawinguni. Wayahudi waliamini kuwa mbingu iko juu mawinguni.
"kuwagawia" au " kuwapa"
AT: "walikula kama walivyotaka"
Yesu akisali, pekee yake na wanfunzi wake, na kuanza kuongelea kuhusu yesu ni nani. Yesu anawaambia kuhus kifo chake na ufufuo utakao fata na kuwataka wamfate yeye hata iweje.
Hii sentensi inaashiria mwanzo wa tukio jipya.
"yesu alipokuwa akiomba"
Wanfunzi walikuwa na yesu, lakini alikuwa anasali pekee yake na yeye mwenyewe kwa siri.
"walimjibu wakisema"
AT: "wengine wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
"ambae aliishi muda mrefu uliopita"
"alifufuka"
"yesu akawaambia wanafunzi wake"
"Petro alijibu na kusema" au "Petro alijibu kwa kusema"
AT: "Lakini yesu waliwaonya na kuwaelekeza" au '"Ndipo yesu waliwapa onyo kali"
"kutokumwambia mtu yoyote" au " wasimwambie mtu yoyote." Hii inaashiria msemo. AT: "lakini kuwaaonya, yesu aliwaambia, "msimwambie mtu yoyote"
AT: "kwamba watu wanweza msababishia mwana wa Adamu kuteseka sana." Hii pia inaweza kutafasiriwa kama msemo wa moja kwa moja kwa sababu ipo kwenye UBS.
AT: "na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi watamkataa"
AT: " na watu watamuua"
"siku tatu baada ya kufa" au "kwenye siku ya taut baada ya kifo chake"
"atawekwa hai." AT: "Mungu atamfanya hai tena" au "atafufuka"
yesu akawaambia
Hii inamaanisha wanafunzi wake wote waliokuwa na yesu.
"kunifata mimi" au "kuongozana na mimi kama mwanafunzi"
AT: "kujijitoa kwa nfasi yake mwenywe," au "na aache tamaa yake mwenyewe"
"auchukue na aubebe msalaba wake kila siku." Hii haimaanishi aubebe msalaba kila siku. Inamaanisha wafuasi wake wakatae vitu wanavyovitakana wawe tayari kuteseka na kufa ili kumtii yesu.
"kenda pamoja na mimi" au "kuanza kunifuata na kuendelea kunifuata"
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi wake. AT: "mwanadamu hapati kitu chochote kizuri...binafsi."
"kama atapata kila kitu ulimwenguni"
AT: "yeye mwenyewe atapotea"
AT: "na nilichosema" au "na nilichofundisha"
"mwana wa Adam atamuonea aibu"
Yesu alikuwa anajiongelea yeye mwenyewe. AT: "mimi, mwana wa Adam"
Yesu anajiongelea yeye mwenyewe kupitia nafsi ya tatu. AT: "nitakapokuja kwenye utukufu wangu"
"baadhi yenu mliosimama na mimi hapa"
AT: "watauona ufalme wa Mungu kabla hawajafa" au "utauona ufalme wa Mungu kabla huja"
Siku nane baada ya Yesu kuwaambia kuwa baadhi hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu, Yese anaenda mlimani kuomba pamoja na Petro na Yohana ambao walilala wakati Yesu anabadilika muonekano .
Hii sentenso imetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika hadithi. Kama lugha yako ina namna nzuri ya kufanya hivi, unaweza kufikria kuitumia hapo.
"siku 8"
Hii inaashiria Yesu alisema kwa wanafunzi wake kwenye mistari inayoendelea.
Haiko wazi ni juu kiasi gani walienda. AT: "pembeni mwa mlima"
"nyeupe ya kungaa na kali" au "nyeupe kali na ya kung
aa"
Neno "tazama" hapa liaashiria tuwe makini kwa taarifa ya kushangaza inayofata. AT: "ghafla kulikuwa na wanaume wawili wanaongea" au "ghafla wanaume wawili walikuwa wanaongea."
Hii sentensi ya kuoanaisha inatoa taarifa kuhusu Musa na Elisha. AT: "na walionekana wenye utukufu"
"kuondoka kwake" au "atakavyooondoka." AT: "kifo chake."
Hii sentensi ya imetumika kuashiria pumziko kwenye hadithi wenyewe inayotolewa, Hapa Luka anasimuili taarifa kuhusu Musa na Yakobo, na Yohana.
Hii inamaanisha mwanga uliowaka kuwazunguka. AT: "Aliona mwanga mkali unawaka kwa yesu" au "waliona mwanga mkali unatokea ndani ya Yesu"
Inamaanisha Musa na Elisha.
Hii sentensi imetumika hapa kuonesha matukio yananza. Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hili linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "kiongozi" au neno huwa linatumika kueleza mtu mwenye mamlaka, mfano kama "Sir"
"hema" au "kibanda"
"Wakati Petro alikuwa akisema viotu hivi"
Hawa wanafunzi wazima hawakuogopa mawingu. Msitari unaashiria woga usio wa kawaida ulitokea juu yao kupitia mawing. AT: "walishitushwa"
AT: "kama mawingu yalivyo wazunguka"
AT: "Mungu akaongea nao kupitia mawinguni akisema"
Neno "kuchaguliwa" linatoa taarifa kuhusu mtoto wa Mungu. Haisemi kuwa Mungu alikuwa na mtoto zaidi ya mmoja. AT: "mwanangu niliuyekuchagua" (UDB) au "mwanangu,uliyechaguliwa"
Hii ni taarifa inayosema kilichotokea baada ya hadithi kama matokeo ya hadithi yenyewe.
Hizi zinaweza kuwakirisha siku ambazo mpaka Yesu anachukuliwa mawinguni baada ya ufufuo au yaweza kuwa baada ya siku ambazo Yesu alitoa kauli.
Siku ya pili baada ya Yesu kubali muonekano, Yesu alitoa pepo lililokuwa limemuingia kijana ambae wanafunzi walishindwa kumponya.
Hii tungo inaashiria mwanzo wa sehemu nyingine ya hadithi, Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
Neno "tazama" linatujulisha juu ya mtu mpya anaetokea kwenye hadithi. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na mwanaume kwenye kusanyikao"
Tungo "unaona" inatutambulisha kwa pepo kwenye hadithi ya mwanadamu. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na pepo"
inaweza kuwa na maana hizi 1) "vigumu kumuacha kamwe mwanangu" (UDB) au 2) "ni ngumu kwa mwanangu wakati linatoka"
Wakati mtu anamshituko, wanaweza kupata shida kupimua au kumeza. Hii inasababisha povu jeupe kutokea kwenye midomo yao. Kama lugha yako inaweza elezea vizuri, itumie.
"kwenye jibu Yesu akasema"
Hii ilielezwa kwenye umati uliokuwa limekusanyika, na sio kwa wanafunzi.
Hapa "nita" ni wingi. Yesu anatumia swali kukemea umati. AT: "nimefanya merngi na bado hamuamini!"
Hapa "wako" ni umoja. Yesu snaongea moja kwa moja na baba wa anaemshughulikia.
"anakuja" au "yuko anakuja"
"alizungumza kwa ukali kwa"
Yesu alifanya miujiza , lakini umati haukutambua nguvu za Mungu zilitumika kuponya.
"kwamba Yesu alifanya"
AT: "sikizia kwa makini na ukumbuke" au "usisahau hili"
Hapa " mikono" inamaanisha nguvu au utawala. AT : "wanadamu watamkabidhisha mwan wa Adamu kwenye mamlaka."
Yesu anajiongelea mwenyewe kwenye nafsi ya tatu. AT: "mimi, mwana wa Adamu"
AT: "wahakujua anaongelea kifo chake"
AT: "Mungu aliwafichia maana yake"
Mzozo kuhusu madarsks ukanza kati ya wanafunzi.
"kati ya wanafunzi"
AT: "kufikiria juu ya mtu mmoja mmoja" au "kufikilia kimoyoni"
Hii inawakilisha mtu anaefanya jambo au an kama muwakirishi wa Yesu. AT: "kwa sababu yangu
AT: "ni kama amenipokea mimi"
"Mungu, aliyenituma"
Yohana alikuwa anajibu juu ya kile Yesu alichosema kuhusu ukuu. Hakuwa anajibu swali. alitaka kujua mtu aliye yalhimiza mapepo kutoka atakuwa na nafasi gani kati ya wanafunzi. AT : "kwenye kujibu, Yohana akasema" au "Yohana alijibu kwa Yesu"
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hapa linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "mweshimiwa"
Hii inamaanisha mtualiyekuwa anaongea alikuwa na nguvu na mamlaka ya Yesu.
AT: "mruhusu aendelee"
Baadhi ya lugha ina misemo inayomaanisha kitu kile kile. AT: "kama mtu asipokuzuia , ni kama anakusaidia" au "kama mtu hatendi kinyume na wewe, anafanya sawa sawa na matakwa yako."
Na sas ni dhahili kuwa Yesu ameamua kwenda Yerusalem.
Hii tungo imetumika hapa kuashiri mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi
"muda ulikuwa unafika wa yeye kwenda juu" au " muda ulikaribia wa yeye kwenda juu"
"kudhamilia" au "kukusudia"
AT: "alifikiria akilini mwake" au "aliamua"
Hii inamaanisha kufanya mipango ya kufika katika eneo, inawezekana kuunganisha eneo la kuongealea, anaeo la kukaa, na chakula.
"hawakumkaribisha" au au hawakutaka abaki"
"aliona kwamba wasamaria hawakumpokea Yesu"
Yakobo na Yohana walipendekeza njia hii ya hukumu kwa sababu walijua kwamba hivi ndivyo manabii kama Elia walivyo hukumu watu waliomkataa Mungu.
"Yesu aligeuka na kuwakemea Yakobo na Yohana." Yesu hakuwahukumu Wasamaria , kama wanafunzi walivyo tegemea.
Huyu hakuwa moja ya wanafunzi
Yesu anajibu kwa mithali ili kufundisha watu kuhusu kuwa mwanafunzi wa Yesu. Yesu anajibu kwamba kama mtu atahitaji kumfuata, kwamba mtu huyo anaweza asiwe na nyumba. AT: "Mbeha wana mashimo...wala sehemu ya kulaza kichwa. Hivyo usitegemee kama utakuwa na nyumba"
Hawa ni wanyama wa nchi sawa na mbwa. Wanalala katika mapango au shimo katika arthi.
"ndege wanaoruka angani"
"Yesu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu"
"sina sehemu ya kulaza kichwa changu" or "wala sehemu ya kulala." Yesu anakuza ili kujenga hoja kwambaalikuwa hakalibishwi popote kuishi.
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake akiwa pembezoni mwa barabara.
Hii ina maanisha kuwa mfuasi wa Yesu na kwenda pamoja naye.
"Kabla sijafanya hivyo, mniache niende."
Kwa sababu watu waliokwisha kufa hawawezi kumzika mtu yeyote, Maana inayokusudiwa hapa ni ya kwamba watu walio wafu katika roho wawazike watu walio wafu katika mwili.
"nitaungana nawe kama mwanafynzi" au " niko tayari kukufata"
"kabla sijafanya hivyo, niruhusu niseme kwaheri" au "niruhusu kwanza niwaambie naondoka"
"nyumba yangu" au "watu wa nyumabani kwangu"
Yesu anajibu mithari kumfundisha mwandamu kwa mwanafunzi wake, Yesu anamaanisha mtu hafai kwa ajili ya ufalme wa Mungu kama anafata watu wa nyuma badala ya kumfata Yesu
AT: " baada ya kuanza kulima shamba lake" au "baada ya kuanza kuandaa shamba lake"
Mtu anaangalia nyuma wakati analima hawezi kuliongoza vizuri jembe pale linapotakiwa kwenda. Wanatakiwa kuwa makini kuangalia mbele ili walime vizuri.
"kufaa kwa" au " kizuri kwaajili ya"
1 Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda. 2 Akawaambia, "Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake. 3 Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. 4 Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani. 5 Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.' 6 kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu. 7 Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine. 8 Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu, 9 na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu' 10 Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni, 11 'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.' 12 Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo. 13 Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu. 14 Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu. 15 Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu 16 Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma" 17 Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, "Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako." 18 Yesu akawaambia, "Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi. 19 Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru. 20 Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni." 21 Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, "Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako." 22 "Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake." 23 Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, "Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona. 24 Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia." 25 Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, "Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?" 26 Yesu akamwambia, "Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?" 27 Akajibu akasema, "Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe." 28 Yesu akasema, "Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi." 29 Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, "Na jirani yangu ni nani?" 30 Yesu akijibu akasema, "Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.. 31 Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine. 32 Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine. 33 Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma. 34 Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia. 35 Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.' 36 Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?" 37 Mwalimu alisema, "Ni yule aliyeonesha huruma kwake." Yesu akamwambia, "Nenda na ukafanye vivyo hivyo" 38 Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake. 39 Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake. 40 Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, "Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie." 41 Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, "Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi, 42 lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake."
Mavuno ni picha ya kawaida inayotumiwa katika Agano Jipya. Wakati watu wanakuja kwa Yesu na kumwamini inajulikana kama mavuno.
Dhana ya "kuwa jirani" ilikuwa muhimu katika desturi ya inchi za kale za Mashariki ya Karibu, ambayo kukaribisha wageni ilikuwa heshimu sana. Katika sura hii, "jirani ina maana ya mtu anayesihi karibu au labda mtu mwingine ye yote. "Alikuwa jirani" pia hutumiwa kumaanisha "alikuwa jirani mwema."
Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni.
Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi.
"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo.
"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi"
Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia."
"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini
"enendeni kwenye majiji" au "enendeni kwa watu"
Hii inamaana ya kuwa kuna watu wangewadhuru wale ambao Yesu aliwatuma. Majina ya wanyama wengine yangeweza kuwakilishwa. AT;"Nitakapowatuma huko nje watu watawadhuru kama ambavyo mbwa mwitu huwaingilia kondoo"
Hii imetafasiriwa na maana halisi ya "mbwa wa mwituni" au "mbwa wakali" au jina la mnyama wa pekee kama mbwa ambaye watu huwa wanamfaham.
"Musichukue Mikoba yenye pesa ndani yake"
Yesu alikuwa anasisitiza ya kuwa waende kwa haraka huko mjini na wafanye hii kazi. Hakuwambia wawe wakorofi au watu wabaya.
Hii ilikuwa ni salamu na baraka. Hapa "nyumba" inawakilisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. AT: "watu wa nyumba hii na wapokee amani."
"mtu mwenye amani." Huyu ni mtu anaetaka kuwa na amani na Mungu na watu.
AT: "atakuwa na amani aliyombarikia"
AT: "kama hakuna mtu mwenye amani huko" au "mwenye nyumba sio mtu wa amani"
"hatokuwa na hiyo amani" au "hatoipokea hiyo amani uliyombarikia"
Yesu hakumaanisha waendelee kubakia ndani ya nyumba kwa siku nzima, ila wapate kulala katika nyumba mojakila usiku. AT:" Kuendelea kulala katika nyumba"
Yesu alikuwa alikuwa akizungumzia wale watu aliowatuma huko nje. Kwa sababu wangekuwa wakiwafundisha na kuwaponya watu, hivyo watu wangewapatia mahali pa kukaa pamoja na chakula.
AT:" Msilale sehemu/nyumba tofauti tofauti katika kila usiku"
" Kama wakiwakaribisha"
AT " kuleni chakula chochote watakacho wapeni"
Hii inarejea ya kuwa kazi ya ufalme wa Mungu ilikuwa ikifanyika mahali pale kupitia uponyaji kwa wanafunzi wake na mafundisho ya Yesu. AT:" Munaweza kuuona ufalme wa Mungu ukiwazunguka ninyi".
"kama wakiwakataa"
Kwa sababu Yesu alikuwa akiwatuma watu hawa huko nje katika makundi ya watu wawili wawili, hivyo watu wawili wawili walikuwa wasemaji kwa kila kundi. kwa hiyo lugha zenye tafasiri ya neno "sisi" ndo ilikuwa hivyo. AT: "Kama ambavyo mlitukana sisi, na ndivyo tutakavyo wakana ninyi. Na hata tumekataa vumbi linalo toka katika mji wenu linalonata katika miguu yetu".
Neno "Lakini tambueni hiii" linatambulisha onyo. Linamaanisha "hata kama mkitukana sisi, haibadilishi maana ya ufalme wa Mungu kuwepo hapa".
"Ufalme wa Mungu upo kati yenu"
Yesu alikuwa akiyasema haya kwa watu sabini(70) ambao alikuwa akiwatuma huko nje, Alisema haya ili kuonesha ya kuwa alikuwa aseme kitu cha muhimu zaidi"
kwa kawaida neno linasema "siku ile"Lakini wanafunzi wake walielewa ya kuwa, alimanisha siku ya mwisho ya hukumu kwa wenye dhambi.
"Mungu hataihukumu Sodoma kwa nguvu kama atakavyouhukumu ule mji" AT "Mungu atawahukumu watu wa ule mji kwa nguvu zaidi ya atakavyo wahukumu watu wa Sodoma".
Yesu aliongea kana kwamba watu wa Korazini na Bethadai walikuwepo, lakini hawakuwepo.
Yesu anaelezea hali ambayo ingetokea hapo nyuma lakini haikutokea. AT: " Kama mtu angelitenda miujiza kwa watu wa Tire na Sidoni ambayo ningetenda kwenu"
"Watu wanyonge walioishi huko wangelionesha huzuni ya dhambi zao".
"Wakivaa nguo za magunia na kukaa kwenye majivu"
AT: "Lakini kwa sababu hamkutubu na kuniamini mimi hata kama mliniona nikitenda miujiza, Mungu atawaadhibu zaidi ya jinsi ambavyo atawadhibu Tire na Sidoni"
"Siku ya mwisho ambapo amaungu atamuhukumu kila mmoja.
Yesu anaongea na watu wa mji wa Kaperanaum, kama vile walikuwa wakisikiliza kumbe ndivyo sivyo.
Yesu anatumia swali kuwakalipia watu wa Kaperanaum kwa kujisifu kwao. AT : "Hautakaamufikie juu mpka mbinguni" au "Mungu hatakuheshimu"
AT: "Utaenda chini kuzimu" au " Mungu atakupeleka kuzimu".
AT: "Mtu akiwasikiliza, ni kama ananisikiliza mimi"
"Atakaye wakataa ninyi, amenikataa mimi".
Atakaye nikataa mimi, itakuwa kama anamkataa yeye aliyenituma".
Hii inarejea Mungu Baba aliemuteuwa Yesu kwa ajili ya kazi Maalumu. AT: " Mungu, alienituma".
Lugha zingine zinaweza sema ya kuwa wale sabini walienda kwanza huko nje kama ambavyo UDB inasema. Hii ni taarifa ya mwanzo inayoweza fanya ya mwisho.
Unawezataka kuongeza idadi, kwa maana ya kwamba, "Andishi mbalimbali wana 72 badala ya 70.
kwa hapa, "Jina" lina rejea Nguvu na mamulaka ya Yesu".
Yesu alitumia mfano hai, kuonesha jinsi ambavyo Mungu alikuwa akimshinda shetani pale ambapo wanafunzi wake 70 walikuwa wakihubiri mjini".
"Mamlaka ya kukanyaga nyoka na kusaga n'ge" Maana zinazotambulika ni kama, 1)Hii inarejea uhalisia wa nyoka na n'ge. au 2) Nyoka na nge ni vielelezi wa roho chafu. UDB inatoa tafasiri ya kuwa hizi ni roho chafu. "Nimewapa haki na mamlaka ya kuteka roho chafu"
Hii inamaana ya kuwa watafanya haya na hawatadhurika. AT:Watatembea juu ya nyoka na n'ge na hawatawadhuru".
Mnyama mdogo mwenye sehemu mbili za kushikia mfano wa pembe, na kitolea sumu mfano wa sindano kali kwenye mkia wake.
Nimewapa mamlaka kuzishinda nguvu za adui" au " Nimewapa mamlaka ya kumshinda adui" na adui ni Shetani.
" Msifurahi tu kwa sababu wanawatii"'
AT: "Mungu ameyaandika majina yenu mbinguni" au "Majina yenu yapo katika orodha ya watu ambao ni ufalme wa mbinguni".
AT: "Mtawala juu ya kilammoja na kilakitu mbinguni na duniani"
Hii inarejea mafundisho ya nyuma ya Yesu juu ya mamlaka ya wanafunzi wake. Inaweza kuwa rahisi kusema " vitu hivi" na msomi aweze kuielewa maana.
" kutoka kwa watu wenye hekima na ufahamu". AT: "kutoka kwa watu wanaofikiri kuwa waoni wenye hekima na ufahamu".
Hii inamaanisha wale watu wasio waza kuwa wao ni wenye hekima na wanawiwa kuyapokea mafundisho ya Yesu.
"kama watoto wadogo". hii inawakilisha watu wanaojua ya kuwa si wenye hekima na maarifa.
SAT: "kwa nyie mkiyafanya haya, yanawapendeza ninyi".
AT: " Baba yangu amekabidhi kila kitu kwangu".
Hivi ni vichwa vikuu vya muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
Yesu alikuwa akijizungumzia yeye katika nafasi ya tatu.
Neno ambalo limetafasiriwa kama "Afahamuye" linamaanisha kujua kutokana na kumwelewa mtu. Mungu Baba anamjua Yesu kwa namna hiyo.
Hii inamaanisha ni Baba peke yake anajua Mwana ni nani.
AT: "na watu watajua Baba ni nani endapo Mwana atataka kuwadhihirishia Baba kwao".
Yawezekana hii ilikuwa katika wakati fulani. AT: "badaye, ambapo wanafunzi wakewalikuwa peke yao pamoja naye, akasema"
Pengine hii ilikuwa na maana kwa watu wote waliokuwa wamekuja kumsikiliza Yesu AT: "Ni jinsi gani ilivyo vyema kwa wale wanaoona vitu mnavyoviona".
"Vitu ambavyo mmeniona mimi nikivifanya"
"Vitu ambavyo mmenisikia mimi nikiviongea".
Yesu anajibu kwa kutumia simuilizi kwa mwalimu wa kiyahudi ambaye alitaka kumujaribu Yesu.
Hii pia ilitokea kwa wakati fulani, AT: "Siku moja Yesu alipokuwa akiwafundisha watu, Mwalimu fulani"(UDB)
Hii inatupeleka moja kwa moja kwa mtu mpya katika simulizi. Pengine lugha yako ikawa ina namna ya kufanya hivi.
"Kumchanganya"
Yesu anatumia mfano kumfundisha huyu Mwalimu wa kiyahudi. AT: "niambie ni nini Musa aliandika kwenye sheria"
"Umesoma nini ndani yake?" au "Unaelewa nini ambacho unaweza sema?"
Mtu yule(myahudi) ananukuu kile Musa alichoandika kwenye sheria.
Yote hii inamaanisha ya kuwa mtu lazima ampende Mungu kikamilifu na kila kitu chake
Hii inamaanisha mtu aliepo katika jamii yako. AT: "raia mwenzako" au "watu wa jamii yako".
Lakini alijaribu kutafuta njia ya kujisafisha yeye mwenyewe, hivyo akasema" au " lakini akataka kuonekana kuwa ni mwenye haki, akasema"
Yesu akamjibu yule mtu kwa kumwambia fumbo AT: " kwa kumjibu Yesu akamwambia simulizi hii"
" Alizungukwa na wanyang'anyi" au "wanyang'anyi wakamteka".
"Walimchukulia vyote alivyokuwa navyo" au "Wakamuibia vitu vyake vyote"
Hiki ni kitu ambacho hakuna alikuwa amepanga.
Maelezo haya yanatambulisha mtu mpya katika simuilizi, lakini haimutaji kwa jina lake.
"Na baada ya kuhani kumuona yule mtu aliekuwa amejeruhiwa".Kuhani ni mtu wa dini, hivyo watu walihisi ya kuwa angemsaidia yule mtu.Kwa sababu hakumsaidia aya hii ingeweza kutafasiriwa kama "lakini baaada ya kumuona" kuleta umakini kwa hii hali ambayo haikutokea kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
Inaonesha dhahiri ya kuwa hakumsaidia yule mtu mwenye majeraha. AT:"hakumsaidia yule mwenye majeraha badala yake alimpita".
Hii inatambulisha mtu mpya kwenye simulizi bila ya kutaja jina lake. Tunajua tu ya kuwa alikuwa msamaria . Wayahudi walikuwa wakiwadharau wasamaria na walikuwa wakimudhania ya kuwa hatamsaidia yule myahudi aliekuwa ameumizwa.
"Baada ya msamaria kumuona yule mtu aliekuwa ameumizwa"
"Akamuonea huruma"
Angekuwa ameweka yale mafuta na divai kwenye vidonda vyake, AT:" akaweka divai na mafuta kwenye vidonda na akavisokota kwenye nguo"
Divai ilitumika kusafisha vidonda na mafuta yalitumika kuzuia kudhuriwa kwa vidonda
"Mnyama wake mwenyewe". Huyu alikuwa mnyamaambaye alitumika kubeba mizigo mizito. inasemekana alikuwa punda.
"Mshahara wa siku mbili". Denari ni umoja wa denari.
" Mwangalizi wake" au "mtu ambaye alimtunza na kuwa akribu naye"
AT:" Unafikiri nini? ni nani kati ya hawa watatu"
"Alijionesha mwenyewe kuwa jirani mwema"
" Kakwe yeye ambaye wanyang'anyi walimteka"
Yesu anakuja kwenye nyumba ya Matha ambapo dada yake Mariam akawa akimsikiliza Yesu kwa umakini mkubwa.
Neno hili limetumika mahali hapa kuonesha tukio jipya
"Kama ambavyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakisafiri"
Hii inatambulisha kijiji kama sehemu mpya,lakini hapakupewa jina.
Hii inamtambulisha Matha kama mhusika mpya. Pengine lugha yako ikawa na namna nyingine ya kumtambulisha mtu mpya.
Hii ilikuwa kawaida na yenye heshima kwa mtu anayetaka kujifunza kwa mda ule. AT:" alikaa kwenye sakafu"
AT: "Na akasikiliza Mafundisho ya Bwana"
Martha alaikuwa analalamika kuwa Bwana alimruhusu Mariamu aketi amsikilize wakati kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Alimuheshimu Bwana, ndo maana alitumia swali la kejeli kufanya malaliko yake kuwa ya upole.AT: "inaonekana hujali..pekeyangu."
Yesu arudia rudia jian la martha kuonesha msisitizo. AT: "Mpendwa Martha" au "wewe Martha."
Inaweza maanisha 1) " Sitachukua fursa yake" au "2) "Hatapoteza alichopatakwa sababu ananisikiliza."
1 Ilitokea wakati Yesu alipokuwa anaomba mahali fulani, mmoja wa mwanafunzi wake alimwambia, "Bwana, tufundishe sisi kuomba kama Yohana alivyo wafundisha wanafunzi wake'. 2 Yesu akawaambia, Msalipo, semeni, 'Baba, Jina lako litakazwe. Ufalme wako uje. 3 Utupe mkate wetu wa kila siku. 4 Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe wote waliotukosea. Usituongoze katika majaribu." 5 Yesu akawaambia, "Ni nani kwenu atakuwa na rafiki, ambaye atamuendea usiku, na kumwambia, Rafiki niazime mikate mitatu. 6 Kwa sababu rafiki yangu amenijia sasa hivi kutoka safarini, nami sina cha kumuandalia.' 7 Na yule aliyeko ndani akamjibu, usinitaabishe, Mlango umekwisha kufungwa, na watoto wangu, pamoja nami tumekwisha kulala kitandani. Siwezi kuamka na kukupa wewe mikate. 8 Nawaambia, japo kuwa haamki na kukupatia mikate kama rafiki yake, kwa sababu ya kuendelea kumgongea bila aibu, ataamka na kukupatia vipande vingi vya mikate kulingana na mahitaji yako. 9 Nami pia nawaambieni, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata, pigeni hodi nanyi mtafunguliwa. 10 Kwa kuwa kila mtu aombaye atapokea, na kila mtu atafutaye atapata, na kila mtu apigaye hodi, mlango utafunguliwa kwake. 11 Ni baba yupi miongoni mwenu, mwanaye akimuomba samaki atampa nyoka badala yake.? 12 Au akimuomba yai atampa nge badala yake?. 13 Kwa hiyo, ikiwa ninyi mlio waovu mnajuwa kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni kwamba atawapa Roho Mtakatifu hao wamuombao?" 14 Baadaye, Yesu akawa anakemea pepo, na mtu mwenye pepo alikuwa bubu. Ikawa pepo lilipomtoka, mtu huyo aliweza kuongea. Umati wakastaajabu sana. 15 Lakii watu wengine wakasema, huyu anaondo mapepo kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo 16 Wengine walimjaribu na kumtaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni. 17 Lakini Yesu aliyatambua mawazo yao na kuwaambia, "Kila ufalme utakaogawanyika itakuwa ukiwa, na nyumba iliyo gawanyika itaanguka. 18 Kama Shetani atakuwa amegawanyika, ufalme wake utasimamaje? Kwa sababu mwasema natoa mapepo kwa Belzebuli 19 Kama mimi natoa mapepo kwa Belzebuli, je wenzenu wanatoa mapepo kwa njia gani? Kwa sababu hii, wao watawahukumu ninyi. 20 Lakini, kama natoa mapepo kwa kidole cha Mungu, basi uflame wa Mungu umewajia. 21 Mtu mwenye nguvu aliye na silaha akilinda nyumba yake, vitu vyake vitakaa salama. 22 Lakini akivamiwa na mtu mwenye nguvu zaidi, Yule mtu mwenye nguvu atamnyang'anya silaha zake, na kuzichukua mali zake zote. 23 Yeye asiye pamoja nami yuko kinyume nami, na yeye asiyekusanya pamoja nami hutapanya. 24 Pepo mchafu amtokapo mtu, huenda na kutafuta mahali pasipo na maji ili ajipumzishe. Atakapokuwa amekosa, husema, 'nitarudi nilipotoka. 25 Akirudi na kukuta nyumba imefagiliwa na imekaa vizuri. 26 Hivyo huenda na kutafuta mapepo saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe na kuwaleta waje wakae mahali pale. Na hali ya mtu huyo huwa mbaya kuliko ilivyokuwa mara ya kwanza." 27 Ilitokea kwamba alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamke fulani alipasa sauti yake zaidi ya wote kwanye mkutano wa watu na kusema " Limebarikiwa tumbo lililo kuzaa na matiti uliyoyanyonya" 28 Lakini yeye akasema, wamebarikiwa wale wasikio neno la Mungu na kulitunza. 29 Wakati umati wa watu wanakusanyika na kuongezeka, Yesu akaanza kusema " Kizazi hiki ni kizazi cha uovu. Hutafuta ishara, na hakuna ishara watayopewa zaidi ya ile ishara ya Yona. 30 Maana kama Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninawi, ndivyo na Mwana wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki 31 Malkia wa Kusini atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki na kuwahukumu wao, kwani yeye alitoka katika mwisho wa nchi ili aje asikilize hekima za Solomoni, na hapa yuko aliye mkuu kuliko Solomoni. 32 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki siku ya hukumu watakihukumu, kwani wao walitubu kwa mahubiri ya Yona, na tazama, hapa yuko aliye mkuu kuliko Yona. 33 Hakuna Mtu yeyote, awashaye taa na kuiweka sehemu ya chini yenye giza isiyoonekana au chini ya kikapu, ila huwasha na kuweka juu ya kitu ili kila mtu aingiaye aweze kuona mwanga. 34 Jicho lako ni taa ya mwili. Jicho lako likiwa zuri basi mwili wako wote utakuwa kwenye mwanga. Lakini jicho lako likiwa baya basi mwili wako wote utakuwa kwenye giza. 35 Kwa hiyo, mjihadhari ili mwanga ulio ndani yenu usitiwe giza. 36 Hivyo basi, kama mwili wako wote uko kwenye mwanga, na hakuna sehemu iliyo katika giza, basi mwili wako utakuwa sawa na taa iwakayo na kutoa mwanga kwenu." 37 Alipomaliza kuongea, Farisayo alimwalika akale chakula nyumbani kwake, naye Yesu akaingia ndani na kuwa pamoja nao. 38 Na Mafarisayo wakashangaa kwa jinsi ambavyo hakunawa kwanza kabla ya chakula cha jioni. 39 Lakini Bwana akawaambia, "Ninyi Mafarisayo mnaosha nje ya vikombe na bakuli, lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu. 40 Ninyi watu msio na ufahamu, Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia? 41 Wapeni masikini yaliyo ndani, na mambo yote yatakuwa safi kwenu. 42 Lakini ole wenu Mafarisayo, kwani mnatoa zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani. Lakini mmeacha mambo ya haki na kumpenda Mungu. Ni muhimu zaidi kufanya yaliyo ya haki na kumpenda Mungu, bila kuacha kufanya na hayo mengine pia. 43 Ole wenu Mafarisayo, kwa kuwa mnapenda kukaa katika viti vya mbele kwenye masinagogi na kuamkiwa kwa salamu za heshima sokoni. 44 Ole wenu, kwani mnafanana na makaburi yasiyo na alama ambayo watu hutembea juu yake pasipokujua." 45 Mwalimu mmoja wa sheria za Kiyahudi akamjibu na kumwambia, "Mwalimu, unachokisema kinatuudhi pia sisi." 46 Yesu akasema, "Ole wenu, waalimu wa sheria! kwani mnawapa watu mizigo mikubwa wasiyoweza kuibeba, walakini ninyi hamgusi mizigo hiyo hata kwa moja ya vidole vyenu. 47 Ole wenu, kwa sababu mnajenga na kuweka kumbukumbu kwenye makaburi ya manabii' ambao waliuwawa na mababu zenu. 48 Hivyo ninyi mwashuhudia na kukubaliana na kazi walizozifanya mababu zenu, kwa sababu hakika waliwauwa manabii ambao mnajenga kumbukumbu katika makaburi yao. 49 Kwa sababu hiyo pia, hekima ya Mungu inasema, 'Nitawatumia manabii na mitume nao watawatesa na kuwaua baadhi yao. 50 Kizazi hiki kitawajibika kwa damu ya manabii waliouawa tangu kuanza kwa dunia, 51 Kutoka damu ya Abeli hadi damu ya Zakaria, aliyeuawa katikati ya madhabahu na patakatifu. Ndiyo, nawaambia ninyi, kizazi hiki kitawajibika. 52 Ole wenu waalimu wa sheria za Kiyahudi, kwa sababu mmechukua funguo za ufahamu; nyie wenyewe hamuingii, na wale wanaotaka kuingia mnawazuia." 53 Baada ya Yesu kuondoka pale, Waandishi na Mafarisayo walimpinga na kubishana naye juu ya mambo mengi. 54 wakijaribu kumnsana kwa maneno yake.
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo mashairi au sala maalum. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 11: 2-4, ambayo ni sala maalum, inayoitwa "Sala ya Bwana." Sala hii katika Mathayo 6 kuweka mbele kidogo."
Huu sio maombi ya kurudiwa mara kwa mara, ingawa sala hii inaweza kutumika kwa njia hiyo. Badala yake, hutoa mfano wa jinsi Wakristo wanapaswa kuomba.
Yona alikuwa nabii wa Agano la Kale wa muhimu fulani lakini sio umuhimu mkubwa. Aliita taifa la Wayunani kutubu dhambi zao na walitii. Matukio haya husababisha nabii wa Kiyahudi kuwa na hasira juu ya neema ya Mungu inayoonyeshwa kwa Mataifa. Sura hii inalinganisha na mtazamo wa baadaye wa Wayahudi, sababu ya ukosefu wao wa toba na baadaye kuwa na hasira juu ya Mungu kwa neema anayowaonyesha Wayunani. , and )
Mwangazi ni picha ya kawaida katika Maandiko iliyotumiwa kuonyesha haki. Mwanga pia hutumiwa kuonyesha njia ya haki na kuonyesha kuishi kwa haki. Giza mara nyingi hutumiwa kama picha ya kuonyesha dhambi au uovu. and )
Hii ilikuwa zoezi lililofanywa na Mafarisayo, lakini haikuwa wajibu kulingana na sheria ya Musa. Mafarisayo walikuwa na ibada nyingi zinazohusisha kuosha kwa kujaribu kujiweka safi. Hii ni ajabu kwa sababu hakuna kiasi cha maji kinachoweza kuwafanya kuwa safi kiroho. , and
Hii ni mwanzo wa sehemu inayofuata ya hadidhi. Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kuomba
Neno hili lilitumika kuonyesha mwanzo wa...
Yesu, mwana wa Mungu, Aliwaamuru wanfunzi kuheshimu Jina la Mungu "Baba", kwa kulitamka jina la Mungu kama "Baba" wakati wa kuomba
Yesu aliwaambia wanafunzi wake
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
"Watu wote wakuheshimu wewe" au "mfanye kila mmoja aliheshimu Jina lako"
"Uizimamishe ufalme wako" Tunataka utawale watu wako.
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake namna ya kuomba.
Mkate ni chakula cha gharama ambacho huliwa na watu kila siku
"Utusamehe kwa kufanya dhambi kinyume na wewe" au "Tusamehe dhambi zetu"
Kwasbabu nasi tunawasamehe
wale waliofanya makosa juu yetu au waliotutendea mambo mabaya
Tuongoze mbali na majaribu
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake juu ya maombi
Yesu alitumia maswali kuwafundisha wanafunzi wake . "Fikiria mmoja wenu anayo" au "Fikiria unayo"
Nikopeshe mkate mitatu au nipe mikate mitatu na nitakupilia baadaye . Mwenyeji hana chakula chochote kilicho tayari cha kumpa mgeni wake.
alikuwa akisafiri na sasa hivi akaja nyumbani mwangu
"chakula chochote kilicho tayari cha kumpa"
"Siyo rahisi kwangu mimi kuamka"
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi, Neno ninyi ni wingi
Yesu aliongea na wanafunzi wake kana kwamba wao ndiyo waliokwenda kuomba mkate.
Hii inamaanisha ile hali ambayo yule mtu aliendelea kuomba mkate bila kujali kama ni wakati mwafaka wa rafiki wake kuamka katikati ya usiku na kumpa mkate
Yesu alitoa hizi amri kuwatia moyo wanafunzi wake kuomba bila kukoma. Lugha nyingine huitaji maelezo zaidi. "waweza kuelezea kama ifuatavyo: endelea kuomba kwa kile unachokihitaji....endelea kutafuta kile unachohitaji kwa Mungu...endelea kubisha hodi kwenye mlango"
"Mungu atakupatia " au "Utapokea"
Kugonga katika mlango ni kupiga mara kadhaa kumfanya yule aliyeko ndani ajue kuwa unasimama je. Inaweza pia kutafsiriwa kwa kutumia njia ambayo watu wa kabila lenu huonyesha kuwa wamefika. Mfano "Kuita" au "kukohoa" au "Kupiga makofi" . Hapa inamaana mtu anendelee kuomba kwa Mungu hadi amjibu
"Mungu atafungua Mlango kwa ajili yako" au "Mungu atakukaribisha Ndani"
Yesu alimaliza kufundisha wanafunzi wake kuhusu maombi.
Yesu alitumia maswali kufundisha wanafunzi wake. " Hamna kati yenu...nyoka"
"Mkate" au "Kiasi cha cakula"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Au, kama akiomba samaki, hutampa nyoka"
Nge ni kama buibui , lakini ana mkia wenye sumu unao choma. Kama Nnge hafahamiki sehemu unayoishi, waweza kutafsiri kama "buibui mwenye sumu" au "Buibu anayechoma"
"kwa kuwa ninyi mlio waovu mnajua " au "hata japokuwa ninyi ni watenda dhambi , mnajua"
Je si zaidi na kwa uhakika Baba yenu wa mbinguni atawapa Roho Mtakatifu ...Yeye? Yesu alitumia maswali tena kuwafundisha wanafunzi wake. "Uwe na uhakika kuwa Baba yenu wa Mbinguni atawapatia Roho Mtakatifu...yeye"
Hii ni sehemu nyingine ya hadithi iliyofuata. Yesu alihojiwa baada ya kukemea pepo limtoke kwa mtu aliyekuwa bubu.
"Yesu alikuwa akimuondoa pepo nje ya mtu" Au " Yesu alimuamuru pepo kumuacha mtu"
hunda yule pepo haongei. Huenda msomaji alifahamu kuwa huyo pepo alikuwa na nguvu ya kuwafanya watu wasiongee. " pepo alimsababishia yule mtu asiweze kuongea"
kifungu hiki inatumika kuonyesha tendo lilipoanza. Kama lugha yenu ina namna ya kufanya hili, unaweza kutumia hapa. Pepo alipomtoka mtu yule, na hivyo ikampelekea Yesu kufundisha habari za roho mbaya.
"wakati pepo lilipo mtoka mtu" au "wakati pepo lilipo muacha mtu"
"mtu ambaye alikuwa hawezi kuzungumza sasa akazungumza"
"anatoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebul, mkuu wa mapepo"
Yesu alianza kujibu umati waliojikusanya
"Watu wngine walimjaribu Yesu". Walimtaka awathibitishie kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu.
"na kumuambia awape ishara kutoka mbinguni" au "kwa kutaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni". Ni kwa njia hii walimtaka yeye athibitishe kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu.
"Kama watu katika ufalime watapigana wenyewe kwa wenyewe, wataingamiza ufalme wao. "
Hapa "Nyumba" inamaanisha ni familia, "Kama watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe wataiharibu familia yao"
"Kuangushwa chini na kuharibiwa" Taswira hii ya nyumba kuanguka chini inafananishwa na uharibifu utakaotokea pale watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe.
"Shetani" hapa inawakilisha wale mapepo waliojiunga na Shetani kumuasi Mungu. "Kama shetani na washirika wa ufalme wake wanapigan a wao kwa wao"
Yesu alitumia maswali kufundisha watu. "Ufalme wa Shetani hautadumu" au "Ufalme wa shetani utaanguka na kusambaratika"
Kwa sababu mwasema ni kwa nguvu ya Belzebuli nawafanya mapepo kuwaacha watu . sehemu iliyofuata ya majibu yake inaweza kutamkwa kirahisi: "hii inamaana Shetani amegawachika juu yake"
"ni kwa nguvu ya nani wenzenu wanawaamurisha mapepo kuwaacha watu. " Yesu alitumia swali kufundisha watu.Swali la Yesu inaweza kurahisishwa, "basi ni lazima tukubaliane kuwa wenzenu pia hutumia nguvu ya Beelzebuli kuondoa mapepo". "Lakini tunajua kuwa hiyo si kweli".
wenzenu wanao watoa mapepo kwa nguvu ya Mungu watawahukumu ninyi kwa kusema kuwa mimi natoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebuli.
"Kidole cha Mungu" inamaanisha ni Nguvu ya Mungu
"Hii inaonyesha kuwa ufalme wa Mungu umekuja kwenu"
Hii inaongelea Yesu ambaye anamshinda Shetani na mapepo wake kama mtu mwenye nguvu zaidi ananyo chukua vitu vya mtu mwenye nguvu
"hakuna awezaye kuiba vitu vyake"
"Kuiba mali zake" au kuchukua kila kitu alichokitaka"
"yeye asiyenisaidia " au "yeye asitenda kazi pamoja nami"
"anafanya kazi kinyume nami". Hii inamaanisha wale watu waliosema kuwa Yesu anafanya kazi pamoja na Shetani.
"Hii inamaanisha "sehemu ya ukiwa", mahali ambapo roho mbaya hurandaranda .
"kama roho hakupata sehemu ya kupumzika"
Hii inamaanisha mtu yule ambaye alikuwa anakaa kwake. "mtu ambaye nilikuwa nikikaa kwake"
"akaikuta mtu alifagia nyumba na kuwa safi na kuweka kila kitu mahali pake " au " kumkuta mtu kama nyumba iliyosafishwa na kupangiliwa vizuri"
"tupu" Mfano huu inamaanisha hali ambayo mtu hakujazwa Roho wa Mungu baada ya mapepo kuondoka.
Huu ni mkatizo wa mafindisho wa Yesu. Mwanamke aliongea baraka na Yesu akajibu.
Kifungu hiki kinatumika kuonyesha tukio muhimu katika historia. Kama lugha yako ina njia ya kufanya hii, unaweza ukatumia hapa.
"aliongea kwa sauti iliyozidi kelele za umati"
Sehemu ya mwili wa mwanamke ilitumika kuwakilisha mwanamke. " Ana heri kiasi gani yule mama aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake" au " Ana furaha iliyoje yule mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake"
" Ni vizuri zaidi kwa wale "
Yesu aliendelea kufundisha umati
Watu wanaoishi katika nyaka hii ni watu waovu
"Wanataka mimi niwape ishara " au "Wengi wenu mnataka mimi niwape ishara" . Habari ya aina ya ishara wanayotaka inaweza kufaywa rahisi kama ilivyo katika UDB
"Mungu hatawapa ishara "
"kile kilichotokea kwa Yona" au "muujiza ambao Mungu alifanya kwa Yona"
Hii inamaana kuwa Yesu atatumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Wayahudi wa wakati huo kama ilivyokuwa kwa Yona alivyotumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa watu wa Ninawi.
Yesu alikuwa akijisemea mwenyewe
Hii ilimaanisha malkia wa wa Sheba. Sheba ilikuwa ni ufalme wa kusini mwa Israeli
"Atasima pia na kuwahukumu watu wa kizazi hiki"
"alikuja tokae umbali mrefu" au " Alikuja kutoka sehemu ya mbali"
Yesu alikuwa akiongelea juu yake. "Mimi ni mkuu kuliko Sulemani lakini hamnisikilizi"
"Watu wa Ninawi watasimama na kuwahukumu watu wa nyakati na kuwalaani."
"watu wa Ninawi walitubu"
Yesu alijiongelea mwenyewe. "Mimi ni mkuu kuliko Yona lakini hamkutubu"
Yesu alimaliza kuwafundisha makutano
"kuficha kwenye sehemu iliyofichika"
"ila wanaweka juu ya meza" au " Ila wanaweka juu ya kabati"
Hii imewasilishwa na mafumbo tofauti. Jicho hufananishwa na Maono, ambayo ni mfano wa kuelewa. Mwili ni kiwakilishi cha maisha ya Mwanadamu. " Jicho lako ni taa ya maisha yako" au "Maono yako ni taa ya maisha yako" Kwasababu Yesu alikuwa anaongea kitu ambacho ni kweli kwa kila mtu, inaweza ikatafsiriwa kama " Jicho ni taa ya mwili wa mwanadamu"
" Maono yako yakiwa mazuri" au "ukiona vema"
Yesu aliongelea kweli kama mwanga . "mwanga wa kweli utakuwa maishani mwako" Au "Maisha yako yote utakuwa na mwanga"
Yesu aliongelea habari ya kuwa katika uongo kama vile ni kuwa katika giza. " Maono yako yakiwa mabaya, basi maisha yako yote yanajawa na giza"
Yesu aliongea watu ambao wamejawa na kweli kama vile taa iwakavyo na kutoa mwanga wote.
Huu ni mwanzo wa sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alikaribishwa kula nyumbani mwa Mfarisayo
"kukaa katika meza". " ilikuwa ni desturi kwa chakula kama hii wanaume kula wakiwa wamekaa vizuri kwa kustarehe kwenye meza"
Mafarisayo wana sheria ya kuwa watu ni lazima wanawe mikono yao ili waonekane kuwa wasafi mbele za Mungu. "kunawa mikono" au "kunawa mikono ili kuwa msafi kiibada"
Yesu alianza kuongea na mafarisayo
Kuoasha nje ya vyombo ilikuwa ni sehemu ya mazoea ya ibada kwa Wafarisayo
Hii inafananishwa na njinzi wanavyosahau ndani ya vyombo na wanavyosahau maisha yao ya ndani.
Yesu alitumia swali kuwakemea Mafarisayo kwa kutojua ya kuwa kile kilichoko ndani ya miyoyo yao inajalisha kwa Mungu.
"Wapeni Maskini kile kilichoko ndani ya vikombe na bakuli" au " Muwe wakarimu kwa watu maskini"
" mnatoa moja ya kumi ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani", Yesu alikuwa anatoa mfano wa njinzi mafarisaya walivyo makini katika kutoa moja ya kumi ya mapato yao.
hizi ni kama dawa. Watu huweka kidogo kwenye chakula ili kuipa utamu fulani. Kama watu hawafahamu mnanaa na mchicha, unaweza kutumia majina ya viungo wanayoijua au ufahamu wa jumla wa "viungo."
Tafsiri yake inaweza kuwa 1) Kila aina nyingine ya mbogamboga" 2) "Kila aina ya viungo vya bustani" 3) Kila aina ya mimea ya bustani
"na kila wakati myafanye na hayo mengine pia"
Yesu alimaliza kuongea na mafarisayo
"viti vizuri sana"
Mafarisayo ni kama makaburi yasiyo na alama kwasababu wanaonekana kama waasafi, lakini huwafanya watu waliokaribu nao kuwa siyo wasafi.
Makaburi hayo yalikuwa mashimo kuchimbwa katika ardhi ambapo maiti kuzikwa. Wao hawakuwa na mawe nyeupe kwamba watu kawaida kuweka juu ya makaburi ili kwamba watu wengine kuona kwao. Wakati watu kutembea juu ya kaburi, wangeweza kuwa najisi.
Yesu alianza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi
"munaweka mizigo juu ya watu ambayo ni mizito kubebeka" . Yesu aliongea kuhusu mtu fulani kuwapa watu sheria nyingi kama mtu kuwapa mizigo mizito kubeba. "Mnawapa watu mizigo mizito kwa kuwapa sheria nyingi za kufuata"
"lakini hamtumii hata moja ya kidole chenu kuwasaidia kubeba mizigo hiyo. "Lakini hamfanyi kitu chochote kabisa kuwasaidia waitii sheria zenu"
Hii huwafanya kuona utofauti kati yao kwa namna wanavyo waheshimu manabii wakati wakipuuza ukweli kuwa wababu zao ndio waliowauwa.
Yesu aliwakemea Mafarisayo na waalimu wa sheria . Walijua mauwaji ya manabii, lakini hawakushutumu wala kuwalaani wababu zao kwa kuwauwa. " kwahiyo, badala ya kuwakana wao, ninyi mwashuhudia na kukubaliana "
Hii inarejea sentensi iliyofuata, Mungu atawatuma manabii wengi ili kuonesha kuwa kizazi hiki kitawauwa, kama walivyofanya baba zao.
"Mungu kwa hekima yake alisema" au "Mungu alisema kwa hekima"
"Nitawatumia manabii na mitume watu wangu"
"watu wangu watawatesa na kuwauwa baadhi ya manabii na mitume"
Damu iliyomwagwa inamaanisha mauwaji ya manabii. "Kwa hiyo Mungu atawajibisha kizazi hiki kwa kifo cha manabii wote ambao watu wamewauwa"
Huyu ni kuhani wakati wa Agano la kale aliyewakemea watu wa israeli kwa habari ya usinzi. Huyu siye Baba wa Yohana Mbatizaji.
"ambaye watu walimuuwa"
Yesu alimaliza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi
Yesu aliongea kuhusu ukweli wa Mungu kama vile ilikuwa ndani ya nyumba ambayo waalimu walikataa kuingia na hawaruhusu wengine kuingia. Hii ina maanisha waalimu hawamjui Mungu , na pia wanawazuia wengine kumjua Yeye pia.
Hii inawakilisha maana ya ruhusa, kama kwenye nyumba au kwenye chumba cha stoo.
" ninyi wenyewe hamuingii ndani kupata ufahamu"
Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambapo Yesu alikula katika nyumba ya mfarisayo. Hii mistari inamweleza msomaji nini kilifanyika baada ya sehemu ya habari kuu ya hadithi kuisha "
" Baada ya Yesu kuondoka katika nyumba ya mfarisayo"
Hii inamaanisha walihitaji Yesu kusema kitu kibaya ili waweze kumshitaki
1 Kwa wakati huo, maelfu mengi ya watu walikusanyika pamoja, kiasi cha kuanza kukanyagana, akaanza kusema na wanafunzi wake kwanza, "Jihadharini na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki" 2 Na hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa, wala jambo lililofichwa ambalo halitajulikana. 3 Na lolote mlilolisema katika giza, litasikiwa katika mwanga. Na yoyote mliyoyasema kwenye sikio ndani ya vyumba vyenu vya ndani vilivyofungwa yatatangazwa juu ya paa la nyumba. 4 Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili na kisha hawana kitu kingine cha kufanya, 5 Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. 6 Je shomoro watano hawauzwi kwa sarafu mbili? hata hivyo hakuna hata mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu. 7 Lakini mjue kuwa, nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa. Msiogope. Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi. 8 Ninawaambia, yeyote atakayenikiri Mimi mbele za watu, Mwana wa Adamu atamkiri mbele za malaika wa Mungu. 9 Lakini yeyeyote atakayenikana mbele za watu naye atakanwa mbele ya Malaika wa Mungu. 10 Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu, hatasamehewa. 11 Watakapowapeleka mbele za wakuu wa masinagogi, watawala, na wanye mamlaka, msiogope juu na namna ya kuongea katika kujitetea au nini mtakachosema, 12 kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha namna mtakavyosema kwa wakati huo." 13 Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu." 14 Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu.? 15 Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo." 16 Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana, 17 na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu? 18 Akasema, nitafanya hivi. Nitavunja ghala zangu ndogo na kujenga iliyo kubwa, na kuyahifadhi mazao yangu yote na vitu vingine. 19 Nitaiambia nafsi yangu, "Nafsi, umejiwekea akiba ya vitu vingi kwa miaka mingi. Pumzika, ule, unywe na kustarehe." 20 Lakini Mungu akamwambia, ewe mtu mpumbavu, usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako, na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nini? 21 Ndivyo itakavyokuwa kwa kila mtu anayejiwekea mali na si kujitajirisha kwa ajili ya Bwana. 22 Yesu akawaambia wanafunzi wake, Kwa hiyo nawaambia msihofu juu ya maisha yenu__ya kuwa mtakula nini au juu ya miili yenu __ya kuwa mtavaa nini 23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi. 24 Angalieni ndege wa angani, hawalimi wala hawavuni. Hawana chumba wala ghala ya kuhifadhia, lakini Baba yenu huwalisha. Ninyi si bora zaidi kuliko ndege! 25 Ni yupi kati yenu ambaye akijisumbua ataweza kuongeza dhiraa moja katika maisha yake? 26 Ikiwa basi hamuwezi kufanya hicho kitu kidogo kilicho rahisi kwa nini basi kusumbukia hayo mengine?. 27 Angalieni maua -yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayasokoti. Lakini nawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya, 28 Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni, ambayo leo yapo, na kesho hutupwa kwenye moto. Je si zaidi atawavika ninyi? enyi wa imani haba! 29 Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini, wala msiwe na hofu. 30 Kwa kuwa Mataifa yote ya dunia husumbukia mambao yao. Na Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji hayo. 31 Lakini tafuteni ufalme wake kwanza, na hayo mengine mtazidishiwa, 32 msiogope, enyi kundi dogo, kwa sababu Baba yenu anafurahia kuwapa ninyi huo ufalme. 33 Uzeni mali zenu na mkawape maskini, mjifanyie mifuko isiyoishiwa__hazina ya mbinguni isiyokoma, sehemu ambapo wezi hawatakaribia wala nondo haitaweza kuharibu. 34 Kwa kuwa palipo na hazina yako, ndipo na roho yako itakapokuwepo. 35 Nguo zenu ndefu ziwe zimefungwa kwa mkanda, na taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelee kuwaka, 36 na muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao kutoka kwenye sherehe ya harusi, ili kwamba akija na kupiga hodi, wataweze kumfungulia mlango kwa haraka. 37 Wamebarikiwa wale watumishi, ambao Bwana atawakuta wako macho. Hakika atafunga nguo yake ndefu kwa mkanda, kisha atawaketisha chini kwa chakula, na kisha kuwahudumia. 38 Kama Bwana atakuja kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku, au hata zamu ya tatu ya ulinzi, na kuwakuta wakiwa tayari, itakuwa ni heri kwa hao watumishi. 39 Zaidi ya hayo, mjue hili, kama bwana mwenye nyumba angelijua saa ambayo mwivi anakuja, asingeliruhusu nyumba yake ifunjwe. 40 Iweni tayari pia kwani hamjui ni wakati gani mwana wa Adamu atarudi. 41 Petro akasema, "Bwana, watuambia sisi wenyewe hii mifano, au unamwambia kila mtu.? 42 Bwana akawaambia, "Ni nani mtumwa mwaminifu au mwenye hekima ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wengine, ili awagawie chakula chao kwa wakati mwafaka? 43 Amebarikiwa mtumishi yule, ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya yale aliyoagizwa. 44 Hakika nawaambia ninyi ya kuwa atamweka juu ya mali yake yote. 45 Lakini Mtumishi yule akisema moyoni mwake, "bwana wangu anachelewa kurudi; hivyo akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, kisha akaanza kula, kunywa na kulewa, 46 bwana wake yule mtumwa atakuja katika siku asiyotegemea na saa asiyoijua, naye atamkata vipande vipande na kumuweka katika sehemu pamoja na wasiokuwawaaminifu' 47 Mtumishi, anayejua mapenzi ya bwana wake, naye hakujiandaaa wala hakufanya sawa sawa na mapenzi yake, atapigwa viboko vingi. 48 Lakini mtumishi asiyejua mapenzi ya bwana wake, lakini akafanya yanayostahili adhabu, atapigwa viboko vichache. Kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake, na yeye aliyeaminiwa kwa vingi, kwake vitadaiwa vingi zaidi. 49 Nimekuja kuwasha moto duniani, na natamani iwe umekwishawaka, 50 Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa, na nina huzuni mpaka utkapokamilika! 51 Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani? Hapana, Nawaambieni, badala yake nimeleta mgawanyiko. 52 Tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika, na watatu watakuwa kinyume na wawili, na wawili watakuwa kinyume na watatu. 53 Watagawanyika, baba atakuwa kinyume na mwanae, na mwanae atakuwa kinyume na babaye, mama atakuwa kinyume na binti yake, na binti atakuwa kinyume na mama yake, Mama mkwe atakuwa kinyume na mkwe wake naye mkwe atakuwa kinyume na mama mkwe wake. 54 Yesu akawa anawaambia makutano pia, "Mara muonapo mawingu yakitokea magharibi, mnasema nyakati za mvua zimewadia; na ndivyo inavyo kuwa, 55 Na upepo wa kusini ukivuma, mnasema, Patakuwepo na joto kali, na ndivyo inavyokuwa. 56 Enyi wanafiki, mnaweza kutafsiri mwonekano wa nchi na anga, lakini inakuwaje hamuwezi kuutafsiri wakati uliopo? 57 Ni kwa nini kila mmoja wenu asipambanue lililo sahihi kwake kulifanya wakati ambapo angali na nafasi ya kufanya hivyo? 58 Maana mkienda na mshitaki wako mbele ya hakimu, jitahidi kupatana na mshitaki wako mungali bado mko njiani asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akupeleka kwa ofisa, na ofisa akakutupa gerezani. 59 Nakuambia, hutatoka huko hadi umelipa mpaka senti ya mwisho.
Kuna matatizo mengi juu ya kutambua vizuri dhambi hii maalum. Hata hivyo, inaonekana kuwa inahusisha kumtukana Roho Mtakatifu na kazi yake. Kwa kuwa sehemu ya kazi yake ni kuwashawishi watu juu ya dhambi zao na kwamba wanahitaji kusamehewa na Mungu, yeyote anayezarau ukweli huu, atakataa kuja kwa Mungu kwa toba. Kwa sababu hii, hangeweza kusamehewa.
Ingawa neno "msimamizi" haitumiwi katika sura hii, uwakilishi, ambao ni kazi ya msimamizi, ni neno kubwa katika mafundisho haya. Msimamizi mwema ni mtu ambaye wengine wanaweza kumwamini kushughulika juu ya vitu vyao. Kwa sababu kila kitu ni cha Mungu daima, kila kitu anachompa kila mtu bado ni cha Mungu, na mtu anayepokea zawadi kutoka kwa Mungu ni mwendeshaji wa kile ambacho ni cha Mungu. zawadi kwa Mungu" instead of "zawadi kutoka kwa kwa Mungu" or "Hivi sivyo vitu vinavyoonekana tu, vitu ambavyo Mungu aliwaruhusu mtu kuchunga, lakini ni mambo pia kama uwezo wa asili wa mtu huyo. Mungu anatumaini kama watumishi wake watakumbuka kama ataweza kila mara kuwaomba ripoti ya vitu alivyowapatia.
Kuna fundisho muhimu juu ya mgawanyiko katika sura hii (Luka 12:51-56). Mgawanyiko huu haukusudi kuwa na maana ya kusema kama watu wangekuwa adui. Lakini, ina maana ya kusema kama katika ulimwengu kuna mgawanyiko wazi kati ya watu Wakristo na watu wasio Wakristo na wale wasio Wakristo. Kuonekan kama mfuasi wa Yesu ni muhimu kuliko uhusiano nyingine wowote wa familia.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Mara na mara Agano Jipya hutoa maagizo au amri maalum kuhusu Wakristo wote. Wakati mwingine, maagizo yake yanafikiriwa kuwa maagizo ya ujumla na yanapaswa kuchukuliwa kama "mawazo mazuri." Kwa mfano, "usiwe na wasiwasi" au "uza vitu vyako" sio maagizo kwa Wakristo wote.
Hii ni sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya maelfu ya watu.
"wakati wakifanya hayo "
Hii ni habari ya nyuma inayoelezea mpangilio wa hadithi
"ni kusanyiko kubwa"
Hii ni kivumishi kinachoelezea wingi wa watu waliokuwepo
"Yesu alianza kwanza kuongea na wannafunzi wake, na kuwaambia"
Kama vile chachu inavyoenea kwa donge la unga wa mkate, unafiki wao huenea kwa jamii nzima. "Mjitunze na unafiki ya Mafarisayo ambayo ni sawa na chachu" au " Mjihadhari msije mkawa wanafiki kama Mapharisayo. Hii tabia ya uovu hushawishi kila mmoja kama ambavyo chachu huharibu donge la unga"
"Lakini kila kitu kilichofichwa kitaonyeshwa" Neno "lakini" ni neno la kiunganishi" Lakini watu watajua mambo yote wafanyayo watu kwa siri"
Hii ina maana sawa na sehemu ya kwanza ya sentensi ili kuzizitiza ukweli. " na watu watajifunza kuhusu kile ambacho watu wengine wanajaribu kuficha"
" watu watasikia katika mwanga"
"Kumnong'onezea mtu mwingine"
"kwenye chumba iliyofungwa". "Kwa sehemu ya faragha" au "Kwa siri"
"itasemwa kwa sauti ya juu". "Watu watatangaza"
Nyumba katika Israeli zlikuwa na paa gorofa, hivyo watu wanaweza kwenda na kusimama juu yao. Kama viongozi wanavyokuwa na wasiwasi kujaribu kufikiria jinsi watu wanavyoweza kupanda juu ya zile nyumba, hii inaweza pia kutafsiriwa na usemi zaidi kwaa jumla, kama vile "kutoka mahali pa juu ambapo kila mmoja atakuwa na uwezo wa kusikia."
Yesu anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwenye mada nyingine, kwa hili, kuongelea kuhusu kutokuogopa.
"hawawezi kusababisha maumivu mengine zaidi" au "hawawezi kukuzuru zaidi"
"Mwogopeni Mungu ambaye" au "Muogopeni Mungu kwa sababu"
"baada ya kukua" au "baada ya kumuua mtu"
"ana mamlaka ya kuwatupa watu kwenye jehanamu"
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi
Ni ndege wadogo sana wenye kula mbegu
"Mungu hajawahi kusahau mmoja wao". "Mungu kwa uhakika anakumbuka kila shomoro"
"Mungu anajua hata idadi ya nywele zilizoko kichwani mwako"
"Msiwaogope watu" au "Msiwaogope watu watakao waujeruhi ninyi"
"Mungu anawathamini ninyi kuliko mashomoro wengi"
Yesu alikuwa anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwa mada nyingine, kwa hili, anaongelea kuhusu kukiri.
"yeye atakaye waambia wengine kuwa yeye nimwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye nitambulisha mbele ya wengine kwamba ni mwaminifu kwangu"
Yesu alikuwa akirejea Yeye mwenyewe. Mimi Mwana wa Adamu
"Yeyote atakaye nikataa mbele za watu" " Yeyote atakaye kataa kunitambulisha kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye kataa kusema yeye ni mwaminifu kwangu"
"Atakanwa" Mwana wa Adamu atamkana yeye " au " Nitamkana kuwa si mwanafunzi wangu"
"Yeyote atakayesema jambo baya juu ya Mwana wa Adamu "
"atasamehewa". "Mungu atamsamehe yeye kwa hilo"
"atakayeongea maovu juu ya Roho Mtakatifu " au "Kusema kuwa Roho Mtakatifu ni mwovu"
"Mungu atamuhesabu kuwa na hatia milele"
" Ndani ya masinagogi ili wawaulize maswali kwa viongozi wa kidini"
"watu wengine wenye nguvu ndani ya nchi"
"kwa muda huo" au "Kisha"
Hii ni katizo kwa mafundisho ya Yesu. Mtu mmoja alimuomba Yesu amfanyie kitu na Yesu akamjibu.
Maana inayowezekani ni 1) Hii ni namna ya kuongea na mtu mgeni au 2) Yesu anamkemea yule mtu. Labda lugha yenu ina njia mbadala ya kuongea na watu kwa namna ya njia hizi mbili. Watu wengine hawatafsiri neno hili kabisa.
Yesu alitumia swali kumfundisha huyo mtu. " Mimi siyo mwamuzi wenu au mpatanishi" . Lugha zingine hutumia wingi wa maneno ya "Yenu" au "Wenu"
Neno "akawaambia" hapa huenda inarejea umati wote wa watu.
"Jichungei na kila aina ya uchoyo". "Msijiruhusu kupenda kuwa vitu"au " Msiruhusu tamaa ya kuwa na vitu vingi iwatawale"
Hii ni kauli ya jumla za ukweli. Haimrejei mtu yeyote maalum. Lugha nyingine zina jinsi ya kuelezea .
"Ni kiasi gani vya vitu anavyomiliki" au "kiasi gani ya mali anayomiliki"
Yesu aliendeleza mafundisho yake kwa kuwaeleza mfano
Huenda Yesu alikuwa bado anaongea na mkutano wote.
"imezaa mavuno mengi"
jengo ambalo wakulima huhifadhi mazao na chakula wanachopanda baada ya kuvunwa
"Mali"
"Nitajiambia mwenyewe"
Yesu alinukuu jinsi Mungu alivyomjibu mtu tajiri, alipokuwa anamalizia hadithi yake.
"utakufa usiku wa leo" au " Nitaichukuwa uhai wako kutoka kwako leo"
"nani atamiliki vitu ulivyo hifadhi?" au " ni nani atakayekuwa nayo vitu ulivyoviandaa?" Mungu alitumia swali kumfanya mtu atambue kuwa hatamiliki tena vitu hivyo.
"kuhifadhi vitu vya dhamani"
"maskini"
Maana yake ni kwamba mtu huyu hakuwa anajali vitu vilivyo muhimu kwa Mungu, au kuwa Mungu atamlipa. "kwa mtazamo wa Mungu" au "kulingana na Mungu"
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya umati.
"kwasababu hiyo" au " kwasababu ya mafundisho ya hadihi hii"
"Nataka niwaambie kitu muhimu"au "Inabidi msikilize kwa umakini juu ya hili"
"kuhusu maisha yenu na nini mtakula" au " kuhusu kuwa na chakula cha kutosha ili muweze kuishi"
"kuhusu miili yenu na nini mtavaa" au " kuhusu kuwa na nguo za kutosha za kuvisha miili yenu"
(Rivens) hii inamaanisha 1) Ni aina ya ndege wanaokula mbegu zaidi, au 2) aina ya ndenge wanaokula nyama ya wanyama waliokufa. Wasikilizaji wa Yesu watakuwa wameidharau hao ndege kuwa si kutu (rivens) kwani Wayahudi hawali aina hiyo ya ndege.
Hii ni tahamaki na siyo swali. Yesu alisisitiza ukweli kwamba watu ni wa muhimu sana kwa Mungu kuliko ndege.
Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake
Huu ni mfano kwasababu dhiraa hutumika kupima urefu, na siyo muda. Taswira ya maisha ya mtu kufutwa kama vile ubao, au kamba , au kitu chochote kigumu.
Yesu alitumia swali lingine kuwafundisha wanafunzi wake.
(Lilies), haya ni mauwa mazuri yanayojiotea yenyewe shambani. Kama lugha yako haina jina la mauwa ya aina ya (lily) unaweza kutumia jina lingie la maua yanayofanana na hilo au tafsiri kama "maua"
"haitengenezi uzi ili yajivike" au "hawatengenezi uzi"
"Sulemani aliyekuwa na mali nyingi" au "Sulemani aliyevikwa vizuri"
"Kama Mungu huyavika majani ya kondeni namna hiyo " au "Kama Mungu huwapa mauwa ya kondeni mavazi mazuri hivyo" Kama Mungu hufanya majani ya kondoni kuwa mazuri kama hivi"
"mtu huzitupa kwenye moto"
"Hii ni mshangao na siyo swali. Yesu alitilia mkazo kuwa atawatunza na kuwajali watu zaidi kuliko anavyojali majani.
"usitazame zaidi juu ya kula na kunywa" au "Msiwe na tamaa zaidi ya kula na kunywa"
Hapa "mataifa" inamaanisha "wasio amnini" "Watu wote wa mataifa mengine" au "watu wote wasio amini duniani"
Baba wa Yesu, Mungu Baba, pia hufanyika Baba wa wote watakao muamini Yesu.
Hii ni sifa muhimu sana kwa Mungu.
"kushughulika na ufalme wa Mungu" au "Kutamani sana ufalme wa Mungu"
"hayo mambo mengine pia mtapewa". "Hayo mengine" ina maanisha chakula na mavazi. "Mungu atawapa ninyi hizo vitu"
Yesu aliwaita wanafunzi wake kundi. Kundi ni mkusanyiko wa kondoo au mbuzi ambayo mchungaji anawatunza. Kama vile mchungaji anvyowajali kondoo, Mungu atawajali wanafunzi wa Yesu. "kundi dogo"au "kundi linalopendwa"
"na wapeni watu maskini fedha mlizopata kwa mauzo"
mifuko na hazina mbinguni zinamaanisha kitu kimoja. Vyote vinawakilisha baraka za Mungu mbinguni.
"kwa namna hii mtajifanyia wenyewe"
"mifuko ya fedha ambazo hazitoboki"
'"ambazo haiishiwi" au "haipungui"
Hapa "moyo" una maanisha mawazo ya mtu.
Yesu alianza kuelezea mfano
Watu walivaa mavazi marefu. Walikuwa wakifunga na mkanda ili kuwafanya waweze kutembea njiani . " Funga nguo zako na mkanda ili uweze kuhudumia" au Uvae na uwe tayari kuhudumia"
"Fanyeni taa zenu ziendelee kuwaka"
Hii unafananishwa na jinsi wanafunzi wanavyotakiwa kuwa tayari kwa Yesu kurudi kama watumishi walio tayari kwa bwana wao kurudi.
"kurudi nyumbani kutoka kwenye karamu ya harusi"
"Ni vizuri kama nini"
"wale ambao bwana wao atawakuta wakimngoja atakapo rudi" au "Walio tayari bwana akirudi"
Kwasabu watumishi wamekuwa waaminifu na wako tayari kumuhudumia bwana wao, bwana atawalipa kwa kuwahudumia wao.
'atajiandaa kuwahudumia wao kwa kufunga nguo yake na mkanda" au " atavaa tayari kuwahudumia"
zamu ya pili ya ulinzi ni kati ya saa 3:00 usiku na saa 6:00 usiku. "karibu na usiku wa manane" au "kabla ya usiku wa manane"
zamu ya tatu ya ulinzi ni kuanzia saa 6:00 usiku na na saa 9:00 usiku. Au "akija akiwa amechelewa sana usiku"
"asingeruhusu mwizi aivunje nyumba yake"
Kitu pekee kinacho wafananishwa kati ya mwizi na Mwana wa Adamu ni kwamba watu hawajui ni wakati gani wanakuja, hivyo wanatakiwa kuwa tayari.
Yesu alikuwa akiongelea habari zake mwenyewe. "wakati Mimi, Mwana wa Adamu, nitakapo kuja"
Katika mstari wa 42, Yesu aliendelea kuelezea mfano
Katika mstari wa 41, kuna katizo katika kuelezea mfano kwani Petro alimuuliza Yesu swali kuhusu mfano.
Yesu alitumia swali kufundisha watu. Yesu hakujibu swali la Petro moja kwa moja, lakini alitegemea wale wanaotaka kuwa watumwa waaminifu kuwa mfano huo inawahusu wao. " Nimesema kwa kila mmoja ambaye ..kwa wakati mwafaka.
Yesu alielezea mfano mwingine wa jinsi watumishi wanavyotakiwa kuwa waaminifu wakati wanamngoja bwana wao arudi.
"ambaye bwana wake atamuweka kuwa mtawala wa wengine"
"Itakuwa heri kwa mtumishi yule"
"kama bwana wake akirudi atamkuta akifanya kazi hiyo"
Hii ina maanisha yule mtumishi ambaye bwana alimuweka juu ya wengine
"akafikiri ndani yake"
"bwana wangu hatarudi mapema"
Neno lililotafsiriwa hapa kama "watumishi wa kiume na Kike" mara nyingi hutafsiriwa kama "wavulana" na "wasichana". Inaweza kuashiri kuwa watumishi walikuwa vijana au wanao pendwa sana na bwana wao.
"wakati mtumishi hamtegemei"
Inaweza kuwa na maana zifuatazo: 1) Ile hali ya bwana kutoa adhabu kali kwa mtumishi wake. 2) Hii inaelezea jinsi ambavyo mtumishi atakavyo vyongwa kama adhabu.
Yesu alimaliza kuelezea mfano
"atapigwa mara nyingi" au "atachapwa mara nyingi" ."bwana wake atampiga mara nyingi"au "bwana wake atamuadhibu sana"
"watahitaji vingi kwa yeyote aliyepokea vingi" au " bwana atahitaji vingi kwa kila mmoja aliyempa vingi"
"Kwa yule waliyempatia vitu vingi avitunze" au "kwa yule aliyepewa wajibu mkubwa"
"bwana alimkabidhi ..bwana atataka"
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake
"Nimekuja kutupa moto duniani" au "Nimekuja kuwasha moto duniani" . Inawsza kuwa na maama zifuatazo: 1) Yesu alikuja kuwahukumu watu 2) Yesu alikuja kuwatakasa wanaomuamini 3) Yesu alikuja kusababisha kugawanyika kwa watu.
Kuna msisitizo wa njisi alivyotaka hayo yatokee. " Natamani sana kuwa imeshawaka" au "Ni jinsi gani ninavyotamani iwe imeshaanza"
"Ubatizo" ina maanisha aina ya mateso ambayo Yesu atapata. Kama maji yamfinikavyo mtu wakati wa ubatizo, mateso yatamkabili na kumpata Yesu. " Ni lazima nipitie mateso mabaya" au "Nitapitia katika mateso makubwa kama vile mtu anavyofunikwa na maji wakati wa ubatizo"
Neno "Lakini" linatumika kuonyesha kuwa hatawasha moto duniani mpaka kwanza apitie hayo mateso"
Mshangao inasisitiza jinsi alivyo na huzuni. "Nina huzuni sana na itaendelea kuwepo hadi nimalize ubatizo huu wa mateso"
Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake. Watu walimtegemea Masiha awaletee amani kwa maadui wao. "Msifikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani"
" lakini nimekuja kuleta mgawanyiko" au "watu watakuwa wakigawanyika miongoni mwao kwa sababu nimekuja"
"uadui" au "kutoelewana"
Hii ni mfano wa aina ya mgawanyiko utakao kuwepo kwenye familia.
kutakuwepo na watu watano katika nyumba moja
Yesu alianza kuonge na umati
"Mvua inakuja" au "Inaenda kunyesha"
"nchi na anga" au " hali ya hewa"
Yesu alitumia swali kukemea umati. "Mnatakiwa kujua namna ya kutafsiri nyakati za leo"
Yesu anatumia swali kukemea umati. Anafundisha namna ya kufanya jambo jema kabila ya kuchelewa. Ninyi wenyewe mwatakiwa kutambua yaliyo mema"
"kwa utashi wenu" au "wakati bado mna muda wa kufanya hivyo"
Japo Yesu alikuwa akiongea na umati, hali aliyokuwa anaiwasilisha ni ya mtu kupitia mwenyewe..
"mkubaliane juu ya jambo na mshitaki wako"
Hili lina maanisha hakimu mkazi, lakini neno hili hap ni maalum zaidi na linatisha.
"hatakuruhusu wewe utoke huko"
1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao. 2 Yesu akajibu na kuwaambia, "Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo? 3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo. 4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu? 5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia. 6 Yesu aliwaambia mfano huu, "Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata. 7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi? 8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake. 9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate.!"' 10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato. 11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama. 12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, "Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako." 13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu. 14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, "Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. ' 15 Bwana akamjibu na akasema, "wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato? 16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?" 17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda. 18 Yesu akasema, "Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini? 19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake. 20 Tena akasema, "Niufananishe na nini ufalme wa Mungu? 21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka." 22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha. 23 Mtu mmoja akauliza, "Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?" Hivyo akawaambia, 24 "Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia. 25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.' 26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu." 27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!' 28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje. 29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu. 30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho." 31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, "Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua." 32 Yesu akasema, "Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu. 33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu. 34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili. 35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'"
Sura hii inaanza na kurejelea ya matukio mawili, ambayo maelezo yake hayajahifadhiwa (Luka 13:1-5).
Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Mfano wa kitendawili katika sura hii: "wale ambao hawana muhimu zaidi watakuwa wa kwanza, na wale ambao ni muhimu zaidi watakuwa wa mwisho" (Luka 13:30).
Yesu bado akizungumza mbele ya umati wa watu. Hii ni sehemu moja ya hadithi aliyoanza
Katika aya hizi, baadhi ya watu katika umati walimuuliza Yesu swali na anaanza kujibu.
Msemo huu unajumuisha tukio hili hadi mwisho wa sura ya 12 wakati Yesu alikuwa akifundisha umati wa watu.
Hapa 'damu' inahusu kifo cha Wagalilaya. pengine Pilato akaamuru askari wake kuua watu badala ya kufanya hivyo mwenyewe. AT "ambaye askari wa Pilato waliuawa wakati Wagalilaya walipokuwa wakitoa dhabihu."
.......
Hapa 'Nawaambia' nasisitiza 'hapana.' AT "Kwa hakika walikuwa si wenye dhambi" au "wewe unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa wenye dhambi."
"nyinyi nyote pia mtakufa. "Msemo" katika njia hiyo hiyo' ina maana wao watakuwa na uzoefu wa matokeo sawa, si kwamba watakufa kwa njia sawa.
"kupoteza maisha yako " au "kufa"
Huu ni mfano wa pili wa Yesu kuhusu watu ambao walioteseka. AT "Au kuhusisha wale" au "Fikiria kuhusu wale."
"18 watu"
Hili ni jina la eneo la Yerusalemu
'Walikuwa wenye dhambi zaidi' au "gani hii kuthibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi?' Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT 'sidhani kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi
"watu wengine"
Hapa "Nasema" inasisitiza "Hapana" AT "Kwa hakika walikuwa si zaidi wenye dhambi" au 'Wewe ni unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi."
"Kupoteza maisha yako" au "kufa"
Yesu anaanza kwa kuwaambia mfano kueleza kauli yake ya mwisho, "Lakini kama hamta tubu, nyote pia mtangamia."
Mtu alikuwa amepanda mti
3 miaka
mtu anatumia swali kusisitiza kwamba mti haina maana na mtunza bustan lazima aukata. AT "Je, si basi unaharibu ardhi".
Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza
AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate"
"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti.
Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata."
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. aya hizi hutoa taarifa ziliyopita kuhusu mazingira ya sehemu hii ya hadithi na kuhusu mwanamke mlemavu aliyetambulishwa kwenye hadithi
neno hili ni alama ya sehemu mpya ya hadithi.
"Siku ya Sabato." Baadhi ya lugha husema "Sabato" kwa sababu hatujui ambavyo hasa siku ya Sabato ilikuwa.
Neno "tazama" hapa alerts sisi mtu mpya katika hadithi.
18 miaka
"Roho mbaya kwamba ilimfanya yeye awe dhaifu"
"Wewe umeponywa kutokana na ugonjwa wako." Kwa kusema hivyo, Yesu alikuwa akifanya na kutokea.
Yeye alimgusa
AT "yeye alisimama moja kwa moja"
AT "alikuwa na hasira kwa sababu Yesu amemponya"
"Alisema" au "alijibu"
AT "njooni basi huponya wakati wa siku hizo sita"
"Bwana alijibu kwa mtawala wa sinagogi"
Yesu anatumia swali kuwafanya wao kufikiri juu ya kitu tayari walijua. AT 'Wewe kufungua punda wako ... Sabato."
Hawa ni wanyama ambao watu kuwatunza kwa kuwapa maji.
AT "uzao wa Ibrahimu"
AT "ambaye Shetani alimfanya kilema" au "ambaye Shetani alimfunga kwa ugonjwa huu"
18 kwa miaka mingi. "neno "mrefu" hapa inasisitiza kuwa miaka kumi na minane ilikuwa muda mrefu sana kwa mwanamke kuteseka. Lugha nyingine wanaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza hili.
Yesu anazungumza kuhusu ugonjwa wa wanawake kana kwamba ni kana kwamba amefungwa. AT "ni haki ya kumfungua yeye kutoka kwa Shetani ... siku" au "ni haki ya kutolewa yeye kutoka vifungo vya ugonjwa huu ... siku."
"'Wakati Yesu aliposema mambo hayo"
"Mambo ya ukufu Yesu alikuwa akifanya"
Yesu alianza kwa kuwaambia mfano kwa watu katika sinagogi.
Yesu anatumia swali kutambulisha kile yeye kitamhusu kufundisha. AT "Mimi nitawaambia ufalme wa Mungu ni kama nini"
Hii kimsingi ni sawa na swali lililopita. Yesu alitumia hilo kutambulisha nini ataweza kukizungumzia . Baadhi ya lugha wanaweza kutumia yote kwa ujumla, na baadhi kutumia moja tu.
Mbegu ya haradali ni mbegu ndogo sana ambayo hukua katika mimea kubwa. Kama hii haijulikani, inaweza kutafsiriwa kwa jina la mbegu nyingine kama hiyo au rahisi kama "mbegu ndogo."
na hupandwa katika bustani zao. ' Watu hupanda aina ya baadhi ya mbegu kwa kuzitupa ili waweze kuzitawanya katika bustani.
Hii ni exaggeration ya kufanya hatua. AT 'kichaka kubwa sana.'
"Ndege wa angani." AT "ndege warukao angani" au "ndege".
Yesu alimaliza kuzungumza na watu katika sinagogi. Huu ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi.
Yesu anatumia swali jingine kutambulisha kile yeye ataweza kufundisha.
Kiasi kidogo tu cha chachu kilikua kinahitajika ili kufanya kiasi cha unga kuumuka . Hii inaweza kufanya wazi kama ilivyo katika UDB.
"kiasi kikubwa cha unga" au kwa muda kwamba utamaduni wako unatumia kwa kupima kiasi kikubwa cha unga.
Hii ni sehemu ya nyingine ya hadithi. Yesu anajibu swali kwa kuwaeleza mfano kuhusu kuingia ufalme wa Mungu
Hii ni taarifa zilizopita kwamba kutuambia nini Yesu alikuwa akifanya wakati tukio hili lilipotokea.
Mungu ataokoa watu wachache tu
"Fanya Kazi kwa bidii ili kupita njia ya mlango mwembamba." Yesu anazungumza kuhusu ufalme wa Mungu kana kwamba ni nyumba. Yesu anazungumza na kundi, "wewe" alisema katika amri hii ni wingi
Hii ina maana ya Mungu. AT "Mungu."
Yesu alikuwa akizungumza na mkuta. mfumo wa "ninyi" ni wingi. Yeye aliwashughulikia wao kama vile hawataingia kwa kupitia mlango katika ufalme
"Kugonga kwenye mlango"
"Nenda mbali na mimi"
"watu wanaofanya uovu "
Yesu anaendelea kuzungumzia kuingia katika ufalme wa Mungu. Huu ni mwisho wa mazungumzo haya.
"lakini ninyi wenyewe mulikuwa mutupwe nje." AT "Lakini Mungu atawafukuza nyinyi nje"
"Watu watakuja"
Hii ni kuhusu heshima au umuhimu. AT "baadhi ambao ni muhimu angalau watakuwa muhimu zaidi'"au "baadhi ambaye watu hawata mheshima, Mungu atamheshimu."
Kuunganisha Maelezo Hili ni tukio la lingine katika sehemu hii ya hadithi. Yesu bado yupo njia kuelekea Yerusalemu, wakati baadhi ya Mafarisayo wakizungumza naye kuhusu Herode.
'"Muda mfupi baada ya Yesu alipomaliza kusema"
Tafsiri hii kama onyo kwa Yesu. Walikuwa wakitoa ushauri aende mahali pengine na kuwa salama.
Herode ataagiza watu kumuua Yesu. AT "Herode anataka kupeleka watu wake kuua wewe."
Yesu alimuita Herode mbweha. Mbweha ni mbwa porini mdogo. Maana inawezekana ni 1) Herode hakuwa tishio kubwa wakati wote 2) Herode alikuwa mdanganyifu
Angalia:
Viongozi wa Wayahudi waliua manabii wengi wa Mungu katika Yerusalemu na Yesu alijua kwamba wangeweza kumuua huko pia. AT "ni katika Jerusalem kwamba viongozi wa Wayahudi huwaua wajumbe wa Mungu."
Yesu alimaliza kukabiliana na Mafarisayo. Hii ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi.
esu anazungumza kana kwamba watu wa Yerusalemu walikuwa huko kumsikiliza. Yesu alisema hii mara mbili ili kuonyesha jinsi alikuwa akisikitisha kwa ajili yao
Kama itakuwa ni ajabu kushughulikia mji, unaweza kufanya wazi kwamba Yesu kwa kweli akihutubia watu katika mji "wewe watu wanaowaua manabii na kuwapiga mawe wale Mungu aliwatumwa kwenu"
"Kukusanya watu wako" au 'kukusanya wewe"
Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kufunika wao kwa mbawa zake
Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kuwafunika wao kwa mbawa zake.Maana inawezekana ni 1) "Mungu amekuacha" au 2) "mji yako ni tupu." Inamaana kwamba Mungu ameacha kulinda watu wa Yerusalemu, hata maadui wanaweza kuwashambulia na kuwafukuza. Huu ni unabii kuhusu jambo ambalo lingetokea hivi karibuni. AT "nyumba yako itakuwa imetelekezwa' au 'Mungu atawaacha ninyi."
"Huwezi kuniona mpaka wakati unakuja wakati utasema" au "wakati mwingine utakaponiona, utasema"
Hapa "jina" inahusu nguvu na mamlaka ya Bwana
1 Iltokea siku ya Sabato, alipokua akienda nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo kula mkate, nao walikuwa wakimchunguza kwa karibu. 2 Tazama, pale mbele yake alikuwa mtu ambaye anasumbuliwa na uvimbe. 3 Yesu aliuliza wataalam katika sheria ya Wayahudi na Mafarisayo, "Je, ni halali kumponya siku ya Sabato, au sivyo?" 4 Lakini wao walikuwa kimya, kwahiyo Yesu akamshika, akamponya na kumruhusu aende zake. 5 Naye akawaambia, "Ni nani kati yenu ambaye ana mtoto au ng'ombe anatumbukia kisimani siku ya Sabato hata mvuta nje mara moja?" 6 Wao hawakuwa na uwezo wa kutoa jibu kwa mambo haya. 7 Wakati Yesu alipogundua jinsi wale walioalikwa kwamba wamechagua viti vya heshima, akawaambia mfano, akiwaambia, 8 "Wakati mnapoalikwa na mtu harusini, usiketi katika nafasi za heshima, kwa sababu inawezekana amealikwa mtu ambaye ni wakuheshimiwa zaidi kuliko wewe. 9 Wakati mtu aliyewaalika ninyi wawili akifika, atakuambia wewe, "mpishe mtu huyu nafasi yako," na kisha kwa aibu utaanza kuchukua nafasi ya mwisho. 10 Lakini wewe ukialikwa, nenda ukakae mahali pa mwisho, ili wakati yule aliyekualika akija, aweze kukuambia wewe, `Rafiki, nenda mbele zaidi." ndipo utakuwa umeheshimika mbele ya wote walioketi pamoja nawe mezani. 11 Kwa maana kila ajikwezaye atashushwa, na yeye ajishushae atakwezwa. ' 12 Yesu pia alimwambia mtu aliyemwalika, 'Unapotoa chakula cha mchana au cha jioni, usiwaalike rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au majirani zako matajiri, ili kwamba wao wasije wakakualika wewe ukapata malipo. 13 Badala yake, unapofanya sherehe, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu, 14 na wewe utabarikiwa, kwa sababu hawawezi kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki." 15 Wakati mmoja wa wale walioketi mezani pamoja na Yesu aliposikia hayo, naye akamwambia, "Amebarikiwe yule atakayekula mkate katika Ufalme wa Mungu!" 16 Lakini Yesu akamwambia, "Mtu mmoja aliandaa sherehe kubwa, akaalika watu wengi. 17 Wakati sherehe ilipokuwa tayari, alimtuma mtumishi wake kuwaambia wale walioalikwa, `'Njooni, kwa sababu vitu vyote vimekwisha kuwekwa tayari.' 18 Wote, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi, 'Nimenunua shamba, lazima niende kuliona. Tafadhali unisamehe.' 19 Na mwingine akasema, `'Nimenunua jozi tano za ng'ombe, na mimi naenda kuwajaribu. Tafadhali uniwie radhi.' 20 Na mtu mwingine akasema, 'Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.' 21 Mtumishi akarudi na kumwambia bwana wake mambo hayo. Yule mwenye nyumba alikasirika akamwambia mtumishi wake, `'Nenda upesi mitaani na katika vichochoro vya mji ukawalete hapa maskini, vilema, vipofu na walemavu." 22 Mtumimishi akasema, `Bwana, hayo uliyoagiza yamekwisha tendeka, na hata sasa bado kuna nafasi.' 23 Bwana akamwambia mtumishi, 'Nenda katika njia kuu na vichochoro na uwashurutishe watu waingie, ili nyumba yangu ijae. 24 Kwamaana nawaambia, katika wale walioalikwa wa kwanza hapana atakayeonja sherehe yangu. ' 25 Sasa umati mkubwa walikuwa wanakwenda pamoja naye, naye akageuka na akawaambia, 26 'Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, mama yake, mke wake, watoto wake, ndugu zake waume na wanawake- ndio, na hata maisha yake pia -hawezi kuwa mwanafunzi wangu. 27 Mtu asipochukua msalaba wake na kuja nyuma yangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu. 28 Maana ni nani kati yenu, ambaye anatamani kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama kwa mahesabu kama ana kile anachohitaji ili kukamilisha hilo? 29 Vinginevyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, wote walioona wataanza kumdhihaki, 30 wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.' 31 Au mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine katika vita, ambae hatakaa chini kwanza na kuchukua ushauri kuhusu kama ataweza, pamoja na watu elfu kumi kupigana na mfalme mwingine anayekuja juu yake na watu elfu ishirini? 32 Na kama sivyo, wakati jeshi la wengine bado liko mbali, hutuma balozi kutaka masharti ya amani. 33 Kwa hiyo basi, yeyote kati yenu ambaye hataacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. 34 Chumvi ni nzuri, lakini ikiwa Chumvi imepoteza ladha yake, jinsi gani inaweza kuwa chumvi tena? 35 Haina matumizi kwa udongo au hata kwa mbolea. hutupwa mbali. Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie."
Mstari wa 3 unasema, "Yesu aliwauliza wataalam wa sheria ya Kiyahudi na Mafarisayo, 'Je, ni halali kuponya siku ya Sabato, au la?'" Mara nyingi, Mafarisayo walimkasirikia Yesu kwa kuponya siku ya Sabato. Katika kifungu hiki, Yesu awashangaza Mafarisayo. Ilikuwa kawaida Mafarisayo ambao walijaribu kumtega Yesu.
Sura hii inabadilika kwa kasi kutoka kwenye mada moja hadi nyingine. Kuna sehemu kadhaa kubwa zilizo na mistari nyingi na mafundisho mengine mafupi yaliyomo katika mstari mmoja.
Luka 14:15-24 ni kama mfano uliopanuliwa. Ufalme wa Mungu unaweza kuwasilishwa kama sikukuu ya harusi au chakula cha jioni. Mfano huu ungeweza kuonyesha kuwa watu wanamkataa Yesu kwa sababu mbalimbali zisizo muhimu na kwa sababu ya hii kukosa kupokea baraka kubwa za Yesu.
Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Mfano wa kitendawili katika sura hii: "kwa maana kila mtu atakayejikuza atanyenyekezwa, na yeye atakayejinyenyekeza atainuliwa" (Luka 14:11).
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Leo ni Sabato na Yesu yuko nyumbani kwa Mfarisayo. Mstari wa 1 huwapa kutumia taarifa za msingi kuhusu mazingira ya hadithi.
"Kula" au "kwa ajili ya chakula." Mkate ilikuwa ni sehemu ya mlo na hutumiwa katika adhabu hii kwa kutaja mlo.
Walitaka kuona kama wangeweza kumshtaki kufanya kitu chochote kibaya.
Neno "tazama" hutahadharisha sisi kwa mtu mpya katika hadithi. lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. kiingeleza anatumia "Kuna mbele yake alikuwa mtu."
Uvimbe ni uvimbe unaotokana na ujenzi wa maji hadi katika sehemu za mwili. Baadhi ya lugha inaweza kuwa na jina kwa hali hii. AT "alikuwa akisumbuliwa kwa sababu sehemu ya mwili wake ilikuwa na uvimbe wa maji"
"Je, sheria kibali chetu sio kuponya...?
viongozi wa dini walikataa kujibu swali la Yesu.
Yesu anatumia swali kwa sababu yeye aliwataka kukubali kwamba wao wangemsaidia mtoto wao au ng'ombe, hata siku ya Sabato. Kwa hiyo, ilikuwa haki kwa yaye kuponya watu hata siku ya Sabato. AT "Kama mmoja wenu ana mwana au ng'ombe ... wewe bila ya shaka utamvuta yeye nje mara moja."
Walijua jibu na kwamba Yesu alikuwa sahihi, lakini hawakutaka kusema chochote kuhusu hilo. AT "Walikuwa hawana kitu cha kusema."
AT "wale ambao ni viongozi wa Mafarisayo walikuwa wamelikwa kwenye mlo"
"Viti kwa ajili ya watu wakuheshimiwa" au"'viti kwa ajili ya watu muhimu"
AT "Wakati mtu anapokualika"
AT "kwa sababu mtu anaweza kuwa amamualika mtu ambaye ni muhimu zaidi kuliko wewe"
"Basi utajisikia aibu na"
Jesus continues speaking to the people at the Pharisee's house.
AT "wakati mtu anakualika kwenye mlo"
"Kiti maana ya mtu angalau muhimu"
"sogea kwenye kiti kwaajiri ya watu muhimu zaidi"
AT "Kisha mmoja ambaye aliyekualika wewe atakuheshimu"
"Anajaribu kuangalia muhimu" au "ambaye anachukua nafasi muhimu"
"atakuwa ameonyesha kuwa duni" au "atapewa nafasi isiyomuhimu." au "Mungu atakayejinyenyekeza.'
"Ambaye amechagua kuangalia isiyo muhimu" au "ambaye amechukua nafasi isiyo muhimu"
"Itakuwa inaonyesha kuwa muhimu" au "atapewa nafasi muhimu." AT 'Mungu atawainua."
"Kwa sababu wao wanaweza"
AT "na kwa njia hii kukulipa"
Yesu anaendelea kuzungumza na Mfarisayo aliyemwalika nyumbani kwake.
AT"'Mungu atakubariki"
AT "hawawezi kuwakaribisha karamu katika kurudi"
AT "Mungu atakulipa wakati yeye huleta watu wema nyuma ya maisha"
Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano
mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. "
neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo."
Yesu akaanza kuelezea mfano
AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza"
AT "wale waliokuwa wamealikwa"
Yesu anaendelea kusema mfano wake.
Watu wote ambao walialikwa na mtumishi wakampa udhuru kuhusu ni kwanini hawakuweza kuja kwenye karamu
"Kusema kwa nini hawakuweza kuja chakula cha jioni"
"Tafadhali nisamehe' au 'Tafadhali kubali msamaha wangu"
AT "10 ng'ombe kufanya kazi katika mashamba yangu"
tumizi kujieleza ambako ni asili katika lugha yako. Baadhi ya lugha wanaweza kusema "wamezipata ndoa'"au "kuchukuliwa mke."
"Akawa na hasira na watu waliokuwa wamealikwa"
Inaweza kuwa muhimu na hali wazi kulisema taarifa ambazo mtumishi alifanya nini bwana amemwagiza. AT "Baada mtumishi akatoka na alifanya hivyo, yeye akarudi na kusema."
AT "Nimefanya nini aliamuru"
Yesu alimaliza mfano wake.
Hii ina maana ya barabara na njia nje ya mji. AT "barabara kuu na njia nje ya mji."
Aliwadai
"Ili watu wanaweza kuijaza nyumba yangu"
Neno "wewe" linamhusu mtumishi.
neno hapa kwa "watu" linamaanisha "wanaume watu wazima" na si tu watu kwa ujumla
"Ambaye mimi nilimulika wakwanza"
"Kufurahia chakula cha jioni Nimetengeneza"
Yesu anaanza kufundisha umati wa watu ambao walikuwa safarini pamoja naye.
Hapa, "chuki' ni exaggeration kuonyesha jinsi muhimu ni kumpenda Yesu zaidi kuliko mtu mwingine. AT "Kama mtu akija kwangu na hanipenda mimi zaidi kuliko yeye anavyompenda baba yake ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu" au "Tu kama mtu ananipenda mimi zaidi kuliko yeye anayempenda baba yake mwenyewe ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu"
"Na hata nafsi yake mwenyewe"
AT "Kama mtu anataka kuwa mwanafunzi wangu, ni lazima kubeba msalaba wake na kunifuata"
Warumi mara nyingi walimfanya mtu kubeba msalaba wake kabla walipomsulubisha. Yesu hamaanishi kila Mkristo ni lazima asulubiwe. Yeye anamaana wao lazima kuwa tayari kuteseka kwa njia yoyote kuwa wanafunzi wake.
Yesu anatumia swali kupata watu kufikiri juu ya nini wangeweza kufanya katika hali fulani. AT "Kama mtu alitaka kujenga mnara, bila ya shaka kwanza kukaa chini na kuamua kama alikuwa na fedha za kutosha kukamilisha hilo."
Hii inaweza kuwa mnara katika shamba lake. AT "jengo refu" au "sehemu ya juu ya jukwaa."
"Wakati yeye imejenga msingi." AT "wakati yeye anaanza kujenga"
Yesu alitumia neno hili kuanzisha hali nyingine ambapo watu kuhesabu gharama kabla ya kufanya uamuzi.
Yesu anatumia swali jingine kufundisha umati wa watu. AT "unajua kwamba mfalme ... bila kukaa chini kwanza na kuchukua shauri ... wanaume."
Maana inawezekana ni 1) "kufikiri kwa makini kuhusu" au 2) "kumsikiliza washauri wake."
"10,000...20,000"
"Na kama yeye anatambua kwamba yeye hakuwa na uwezo wa kumshinda mfalme wengine"
wale tu kati yenu ambao wataacha vyote walivyo navyo wanaweza kuwa wanafunzi wangu
Kuacha nyuma vyote alivyo navyo
Yesu anamalizia kufundisha umati wa watu.
"Chumvi ni muhimu." Yesu anafundisha somo juu ya wale ambao wanataka kuwa wanafunzi wake.
Yesu anatumia swali kufundisha umati wa watu. AT "hawezi kuwa chumvi tena" au " hakuna anaeweza kuifanya kuwa chumvi tena"
Watu kutumia mbolea ku rutubisha bustani na mashamba. Chumvi bila ladha ni haina maana ni haina hata thamani ya kuchanganywa na mbolea. AT "lundo la mbolea' au 'mbolea."
AT "Mtu kuitupilia mbali"
AT "Kama una masikio ya kusikia, kusikiliza vizuri" au "Kama unasikia ninachosema, kuwa makini"
"Yeyote anaweza kusikia" au "Mtu anikisikia mimi"
"basi naye asikilize vizuri" au "basi naye awe makini kwa kile nisemacho"
1 Basi watoza ushuru wote na wengine wenye dhambi walikuja kwa Yesu na kumsikiliza. 2 Mafarisayowaote na waandishi wakanung'unika wakisema, "Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi na hata hula nao." 3 Yesu akasema mfano huu kwao, akisema 4 "Nani kwenu, kama ana kondoo mia moja na akipotelewa na mmoja wao, hatawaacha wale tisini na tisa nyikani, na aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone? 5 Naye akisha kumpata humweka mabegani pake na kufurahia. 6 Afikapo kwenye nyumba, huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimempata kondoo wangu aliyepotea.' 7 nawaambia vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, zaidi ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu 8 Au kuna mwanamke gani mwenye sarafu kumi za fedha, akipotewa na sarafua moja, hata washa taa na kufagia nyumba na kutafuta kwa bidii hadi atakapoipata? 9 Na akiisha kuiona huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimeipata tena sarafu yangu niliyokua nimeipoteza. 10 Hata hivyo nawaambia kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye." 11 Na Yesu akasema, "Mtu mmoja alikua na wana wawili 12 yule mdogo akamwambia babaye, Baba nipe sehemu ya mali inayonistali kuirithi. Hivyo akagawanya mali zake kati yao. 13 Siku si nyingi yule mdogo akakusanya vyote anavyomiliki akaenda nchi ya mbali, na huko akatapanya hela zake, kwa kununua vitu asivyo vihitaji, na kutapanya fedha zake kwa anasa. 14 Nae alipokua amekwisha tumia vyote njaa kuu iliingia nchi ile naye akaanza kuwa katika uhitaji. 15 Akaenda na kujiajiri mwenyewe kwa mmoja wa raia wa nchi ile, naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe. 16 Na akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe kwa sababu hakuna mtu aliempa kitu chochote apate kula. 17 Ila yule mwana mdogo alipozingatia moyoni mwake, alisema 'ni watumishi wangapi wa baba yangu wanachakula kingi cha kutosha na mimi niko hapa, ninakufa na njaa! 18 Nitaondoka na kwenda kwa baba yangu, na kumwambia, "Baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako. 19 Sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako." 20 Ndipo akaondoka akaenda kwa baba yake. Alipokua angali mbali baba yake alimuona akamwonea huruma akaenda mbio na kumkumbatia na kumbusu. 21 Yule mwana akamwambia, 'baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako sistahili kuitwa mwana wako.' 22 Yule baba aliwaambia watumishi wake, 'lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike mtieni na pete kidoleni na viatu miguuni. 23 Kisha mleteni ndama yule alienona mkamchinje tule na kufurai. 24 Kwa kuwa mwanangu alikua amekufa naye yu hai. Alikua amepotea nae ameonekana wakaanza kushangilia. 25 Basi yule mwanae mkubwa alikuwako shamba. Alipokuwa akija na kuikaribia nyumba alisikia sauti ya nyimbo na michezo. 26 Akaita mtumishi mmoja akamuuliza mambo haya maana yake nini? 27 Mtumishi akamwambia mdogo wako amekuja na baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu amerudi salama.' 28 Mwana mkubwa akakasirika akakataa kuingia ndani na babaye alitoka nje kumsihi. 29 Ila akamjibu babayake akisema, 'Tazama mimi nimekutumikia miaka mingi, wala sijakosa amri yako, lakini hujanipa mwana mbuzi, ili niweze kusherehekea na rafiki zangu. 30 Lakini alipokuja huyu mwana wako aliyetapanya mali yako yote pamoja na makahaba umemchinjia ndama alienona. 31 Baba akamwambia, 'Mwanangu, wewe u pamoja nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako. 32 Ila ilikua vyema kwetu kufanya sherehe na kufurahi, huyu ndugu yako alikua amekufa, na sasa yu hai; alikua amepotea naye ameonekana."
Luka 15:13-32 ni mfano mmoja, unaojulikana kama mfano wa mwana mpotevu. Kuna takwimu tatu katika hadithi. Kwa ujumla inakubaliwa kuwa baba anaonyesha mfano wa Mungu and )
Mafarisayo hutaja kundi la watu kuwa "wenye dhambi." Viongozi wa Kiyahudi walidhani watu hawa walikuwa wenye dhambi, lakini kwa kweli viongozi wenyewe walikuwa pia wenye dhambi. Hali hii inaweza kuchukuliwa kama kinaya.
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui sehemu ambapo haya yalijir; ni tu siku moja wakati Yesu alikuwa akifundisha.
hii ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi.
"Mtu huyu amaleta wenye dhambi mbele yake" au "Mtu huyu ameshiriki na wenye dhambi"
Walikuwa wakizungumza kuhusu Yesu.
neno "hata" inaonyesha kwamba wao walidhani ilikuwa mbaya kwamba Yesu kuruhusu wenye dhambi kuja kwake, lakini ilikuwa mbaya zaidi kwamba angeweza kula pamoja nao.
Hii ni kusisitiza kuwa kulikuwa na watu wengi sana. "watoza ushuru wengi"
Yesu anaanza kwa kuwaambia mifano kadhaa. mfano wa kwanza ni kuhusu mtu na kondoo wake.
Hapa "wao" inamaanisha viongozi wa dini.
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama yeyote kati yao akipoteza mmoja wa kondoo wake, wataenda kumtafuta. Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo.
Kwakua mfano umeanza na "Nani kati yenu," baadhi ya lugha zingeendeleza mfano katika mtu wa pili. "Tuseme mmoja wenu, kama ana kondoo mia"
tisa "100 ... 99"
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama mmoja kati yao wamepoteza mmoja wa kondoo zao, wao bila ya shaka huenda kumtafuta. "Kila mtu ... bila ya shaka huondoka ... mpaka ampate." Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo.
tisa "100 ... 99"
Hii ilikuwa njia ambayo wachungaji walibeba kondoo. Hii inaweza kusemwa "kumlaza mabegani mwake na kumbeba nyumbani"
"Wakati mmiliki wa kondoo anakuja nyumbani" au "Wakati umefika nyumbani". Rejea mmiliki wa kondoo kama alivyofanya katika mstari uliopita.
"katika njia sawa" au "kama mchungaji na marafiki na majirani wangefurahia"
"kila mtu mbinguni atafurahi"
wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu. Yesu hakuwa akisema kwamba kweli kuna watu wenye haki. Anamaanisha watu ambao wanadhani ni wenye haki, ila sio. "Watu 99 ambao wanadhani kwamba wao ni wenye haki na hawana haja ya kutubu."
watu tisini na tisa wenye haki "watu 99 wema"
watu wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu Hii haina maana kwamba Mungu hana radhi kwa wale wanaomtii anachukua furaha kubwa ndani yao. Lakini furaha mbinguni kwa wakati mtu anaokolewa kutoka dhambini ni hata furaha zaidi!
Hii haina maana kwamba waumini hawana haja ya kutubu wote wanahitaji kufanya.
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu mwanamke na shilingi kumi.
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii.
Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha ina njia ya kuonesha hili.
"Kwa njia hiyo hiyo" au "Kama vile watu hushangilia pamoja na mwanamke"
"wakati mwenye dhambi mmoja akitubu"
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii. "Mwanamke yeyote ... bila ya shaka atawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate"
Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha na njia ya kuonesha hili.
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu kijana ambaye anamuomba baba yake sehemu ya urithi wake.
hii ni utangulizi wa mtu mwingine katika mfano. Baadhi ya lugha zinaweza kusema "Kulikuwa na mtu ambaye"
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
"kati ya wanawe wawili"
"akakusanya vitu vyake" au "kuweka mambo yake katika mfuko wake"
"kwa kutumia fedha yake yote juu ya vitu asivyo vihitaji"
"ukame ukatokea huko na nchi nzima haikuwa na chakula cha kutosha"
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika hadithi kuu. Hapa Yesu anaeleza jinsi yule mdogo akaenda kutoka kuwa na mengi hadi kuwa katika uhitaji.
"kukosa kile anachokihitaji" au "kutokua na yakutosha"
"kuishi bila kufikiria"
inahusu yule mdogo.
"alichukua kazi kwa" au "alianza kufanya kazi kwa ajili ya"
"mtu wa nchi hiyo"
"kuwapa chakula nguruwe wa mtu yule"
"alitaka sana kwamba angeweza kula." Ina eleweka kwamba hii ni kwa sababu alikuwa na njaa sana. Hii inaweza kuwa alisema. "alikuwa na njaa ambayo angefurahia kula"
Haya ni maganda ya maharagwe kwamba kukua juu ya mti ....... "maganda ......" au "maganda" au "maganda ya maharage "
msemo huu una maana "akili yake kurejea." "kueleweka vizuri hali yake"
Hii ni sehemu ya mshangao, na si swali. "watumwa wa baba yangu wote wanachakula cha kutosha kula"
Hii pengine si kukisia. Kijana anaweza kweli kuwa amekuwa na njaa.
Wayahudi wakati mwingine walikua wanaepuka kusema neno "Mungu" na walitumia neno "mbinguni" badala yake. "Mimi nimemkosea Mungu,"
"Mimi sistahili hata kuitwa mwanao." Hii inaweza kusemwa "Mimi sistahili wewe uniite mwanao"
"tena sistahili" Ina maana kwamba katika siku za nyuma alikuwa anastahili, lakini sasa hastahili.
"niajiri kama mfanyakazi wako" au "niajiri nami nitakua mmoja wa wafanya kazi wako" Hili ni ombi, si amri. Na inaweza kuwa na manufaa kwa kuongeza "tafadhali" kama UDB ilivyo fanya.
"Hivyo aliondoka nchini na kuanza kurudi kwa baba yake." neno "hivyo" linaweka alama tukio hilo kuwa lilichotokea kwa sababu ya kitu kingine kwamba kilichotokea kwanza. Katika kesi hiyo, kijana alikuwa katika haja na aliamua kwenda nyumbani.
"alikuwa na huruma juu yake" au "alimpenda saana kutoka moyoni mwake"
baba alifanya hivyo ili kumuonyesha mwanawe kuwa yeye alimpenda na alikuwa na furaha kwamba mwana alikuwa anakuja nyumbani. Kama watu wanadhani kwamba ni vigumu au ni vibaya kwa mtu kumkumbatia na kumbusu mtoto wake, unaweza kubadilisha na kuweka njia ambayo wanaume katika utamaduni wako huonyesha upendo kwa watoto wao.
Hii ina maana "katika uwepo wako" au "dhidi yeko"
"Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwake" au "Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwa baba yake"
Tazama 15:17
"vazi bora katika nyumba." "koti bora" au "vazi bora"
pete ilikuwa ni ishara ya mamlaka ambayo wanaume walivaa kwenye moja ya vidole vyao.
Watu matajiri wa wakati huo walivaa viatu. Hata hivyo, katika tamaduni nyingi za kisasa itakuwa "viatu."
ndama ni ng'ombe mdogo. Watu huwapa ndama moja ya chakula maalum ili aweze kukua vizuri, na kisha wakati wao humla huyo ndama siku wakitaka kuwa na sikukuu maalum "ndama bora" au "wanyama wadogo tumekuwa tukiwafanya wanenepe"
maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wanapaswa kupika nyama zinaweza kufanywa safi. "na kumchinja na kuipika."
Mfano huu unamuongelea mwana kuenda kana kwamba alikua amekufa.: "ni kama mwanangu alikuwa amekufa na akawa hai tena" au "nilihisi kama mwanangu alikuwa amekufa, lakini yeye sasa yu hai"
Mfano huu unasema mwana kuwa wamekwenda kana kwamba alikuwa amepotea. "Ni kana kwamba mwanangu alikuwa amepotea na sasa nimemuona au "Mwanangu alikuwa amepotea na amerejea nyumbani"
maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wapike nyama na kuwekwa wazi.: "kumchinja na kumpika"
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika habari kuu. Hapa Yesu anaanza kwa kuwaambia sehemu mpya ya hadithi kuhusu mwana mkubwa.
neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni kawaida kutafsiriwa kama "kijana." inaweza kuonyesha kwamba mtumishi alikua mdogo sana.
"nini kinatokea"
Inasemekana akilua shabani kwasababu alikua anafanya kazi uko.
Tazama 15:22
"kamwe usiasi sheria yako yoyote" au "daima tii kila kitu ulichoniambia nifanya"
"kusherehekea"
"yule mwana wako" mwana mkubwa alikua anamaanisha ndugu yake kwa njia hii ili kuonyesha jinsi gani anahasira.
"kupoteza utajiri wako wote juu ya makahaba" au "kutupa mbali fedha yako yote kwa kuwalipa makahaba." Maana inawezekana ni 1) alifikiria hivi ndivyo ndugu yake alitumia fedha au 2) anatumia mafumbo kwa makusudi kukuza dhambi za ndugu yake.
"kwa miaka mingi"
"Nimefanya kazi kwanguvu kwaajili yako" au "nimefanya kazi kwa bidii kama mtumwa kwa ajili yako"
mwana mbuzi ilikuwa mdogo na sio ghali kuliko ndama aliye nona. "hata mwana mbuzi"
Tazama 15:22
neno "yake" inahusu mwana mkubwa.
baba alikuwa anamkumbusha mwana mkubwa kwamba mtu ambaye alikuja nyumbani alikuwa ndugu yake.
Tazama 15:22
Tazama 15:24
1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, "Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake. 2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, "Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.' 3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya. 4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao. 5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?' 6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.' 7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.' 8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. 9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. 10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia. 11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli? 12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? 13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali." 14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki. 15 Na akawaambia, "Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu. 16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu. 17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane. 18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini. 19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa. 20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda. 21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake. 22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa. 23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. 24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. 25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa. 26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.' 27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu 28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. ' 29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao. 30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.' 31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Imeandikwa kama Abrahimu alisema "hawatajali hata kama mtu atafufuka kutoka wafu." Hii ni mwelekeo wa ukweli kwamba Yesu atafufuka kutoka kwa wafu na hawatajali ukweli huu.
Maneno haya hayamaanishi kanuni za sheria ya Musa zilimalizika wakati wa Yohana Mbatizaji. Ni wazi kutoka kwenye Injili kuwa Yesu aliishi na kuhudumia kulingana na sheria. Kilichobadilika ni ujumbe uliotangazwa. Ndio maana UDB inasema, "Sheria ambazo Mungu alimpa Musa na kile ambacho manabii waliandika zilihuburiwa mpaka Yohana Mbatizaji alifika."
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza katika
sehemu ya mwisho ilikuwa ilivyoagizwa kwa Mafarisayo na waandishi, ingawa wanafunzi wa Yesu walikua sehemu ya umati wakisikiliza.
huu ni utangulizi wa mhusika mpya katika mfano.
Hii inaweza alisema kama "Watu waliripoti kwa tajiri"
"kutumia mali ya tajiri kipumbavu"
Tajiri anatumia swali kumkemea wakili. "Nimesikia nini unafanya"
"panga rekodo zako ili kumkabidhi mtu mwingine" au "Andaa rekodi uliyo andika kuhusu fedha yangu"
wakili anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake.
Hii ina maana ya mtu tajiri. Wakili hakuwa mtumwa. "mwajiri wangu"
"Mimi sina nguvu za kulima ardhi" au "Sina uwezo wa kuchimba"
hii inaweza kusemwa "wakati nikipoteza kazi yangu ya usimamizi" au "wakati bwana wangu inachukua mbali usimamizi wangu kazi"
meneja anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake. "Inabidi nifikirie kuhusu nini nitafanya...kazi"
Hii ina maana kwamba watu hao watatoa kazi, au mambo mengine ambayo anayahitaji ili aishi.
"watu ambao walikuwa katika madeni kwa bwana wake" au "watu ambao wanadaiwa kitu na bwana wake." Katika hadithi hii wadaiwa wanadaiwa mafuta na ngano.
"mdaiwa alisema ... Na wakili akamwambia mdaiwa"
Haya yalikuwa yapata lita 3,000 ya mafuta.
"100 ... 50 ... 80"
Hii ilikuwa yapata vikapu elfu vya ngano.
"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa"
"mdaiwa alisema ... Na meneja akamwambia mdaiwa"
"100 ... 50 ... 80"
"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa"
Yesu alimaliza mfano huo kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Katika mstari wa 9, Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake.
maandiko hayaonyeshi jinsi bwana alitambua juu ya matendo ya wakili wake.
"kusifiwa" au "akamsifu" au "kumpitisha "
"alikuwa alitenda vyema" au "Yesu alikuwa amefanya jambo la busara"
Hii ina maana ya wale kama meneja wa udhalimu ambao hawajui au kutokujali juu Mungu. "Watu wa dunia hii" au "watu wa kidunia"
Hii inamaanisha watu wenye haki wasio na chakuficha. "wana wa nuru" au "watu waishio kwenye mwanga"
"Nina" inasemea Yesu. maneno "nawaambia" yanaweka alama ya mwisho ya hadithi na sasa Yesu anasimulia watu jinsi ya kutumia hadithi kwa maisha yao.
Hii ina maana ya mbinguni ambako Mungu anaishi.
lengo hapa ni juu ya kutumia fedha kusaidia watu wengine, sio kwa njiacambayo utajiri unapatikana kwa uongo.
Inawezekana Maana ni 1) "fedha iliyopatikana kidhuluma" au 2) fedha iliyo patikana kwa mambo ya kidunia.
Hii inaweza kutaja 1) Mungu wa mbinguni, ambaye ameridhika kwamba umetumia hela kuwasaidia watu, au 2) marafiki ulio wasaidia na fedha yako.
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "hakuna mtu atakayewakabidhi nyinyi mali ya kweli" au "hakuna mtu nitakupa utajiri wa kweli wa kusimamia"
Yesu anatumia swali hili kufundisha watu. "hakuna mtu atakupa utajiri kwa nafsi yako"
"Watu ambao ni waaminifu." Hii itakuwa ni pamoja na wanawake.
'waaminifu hata kwa mambo madogo. " hakikisha hii haina sauti kama hao sio waaminifu sana.
"wasio waadilifu hata katika mambo madogo." Kuhakikisha hii haina sauti kama sio waovu mara nyingi.
Tazama 16:08
hii inahusu mali ambayo ni zaidi ya kweli, halisi, au kudumu kuliko fedha ya udhalimu.
Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 inatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anaitikia kwa Mafarisayo.
"mtumishi hawezi"
"mtumishi chuki"
"kujitolea." Hii ina maana kimsingi ni sawa na "upendo" katika kifungu uliopita.
"kushikilia mmoja katika dharau" au "chukia mwingine"
Yesu alikuwa akizungumza na kundi la watu, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" bila kutumia hiyo.
"kuwa mtumwa"
"kutumikia mabwana wawili tofauti kwa wakati mmoja"
Vifungu hivi viwili ni vinafanana tofauti kubwa ni kwamba bwana kwanza amechukiwa katika kifungu cha kwanza, lakini bwana wa pili amechukiwa katika kifungu cha pili.
Hii ina maana kimsingi ni sawa na "chuki" katika kifungu kilichopita.
neno hili lina weka alama ya kuhama kutoka katika taarifa ya awali.
"aliyependa kuwa na fedha" au "ambaye alikua na tamaa ya fedha"
"Mafarisayo wakamdharau Yesu"
"Na Yesu aliwaambia Mafarisayo"
"wewe unajaribu kujifanya kuonekana vizuri kwa watu"
Hapa "mioyo" inahusu tamaa za watu."Mungu anaelewa tamaa yako kweli" au "Mungu anajua nia yako"
hii inaweza semwa kama "Yale mambo ambayo watu wanadhani ni muhimu sana"
"Mungu anachukia" au "ni mambo ambayo Mungu anayachukia"
Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 unatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anawajibu Mafarisayo.
Hii inahusu maneno yote ya Mungu kwamba yalikuwa yameandikwa hadi wakati huo.
Hii ina maana ya Yohana Mbatizaji. "Yohana mbatizaji alikuja"
Hii inaweza semwa kama: "Mimi nafundisha watu kuhusu habari njema ya ufalme wa Mungu"
Hii ina maana ya watu ambao walikuwa wakisikiliza na kukubali mafundisho ya Yesu. "Watu wengi wanafanya kila liwezekanalo kuingia"
"kama unavyo jua kuwa mbingu na ardhi hawezi kupita, unaweza kuwa na uhakika kwamba"
maneno "herufi moja ya sheria" maana yake ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambayo inaweza kuonekana kuwa haina umuhimu saana. "kuliko kwa mtu kuondoa hata undani ndogo ya sheria."
Hii inaweza kusemwa kama, "hata herufi ndogo ya barua ya sheria itadumu saana kuliko mbingu na nchi kuwepo"
"Herufi" ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambacho kinaweza kuonekana kuwa hakina umuhimu saana. "kuliko kwa hata undani mdogo wa sheria"
"mwisho" au "kusitisha kuwepo"
"Anayemwacha mkewe" au "Mtu yeyote anayemtalaka mke wake"
"ni hatia ya kufanya uzinzi"
"mtu yeyote anayemwoa mwanamke"
Wakati Yesu akiendelea kufundisha watu akaanza kuwaambia mfano. Ni kuhusu tajiri na Lazaro.
Hii nistari inatoa taarifa kuhusu hadithi. Yesu anaanza kueleza kuhusu tajiri na Lazaro.
"ambao walivaa mavazi yaliyo tengenezwa na kitani safi" au "ambao walivaa nguo ghali sana." rangi ya zambarau na kitani safi zilikua nguo ghali sana.
"kufurahia kula chakula cha gharama kila siku" au "alitumia fedha nyingi na kununua chochote akitakacho"
Hii inaweza semwakama "Watu walikuwa wamemlaza maskini mmoja jina lake Lazaro kwenye lango lake"
"katika lango la nyumba ya tajiri" au "katika mlango wa kuingia kwenye mali ya tajiri"
"na vidonda yote juu ya mwili wake"
Hii inaweza semwa kama: "alitamana tajiri ampe makombo ya chakula ambayo atayatuma"
hii inaonyesha kwamba kile kifuatavyo ni kibaya zaidi kuliko yale ambayo tayari yameelezwa kuhusu Lazaro. "katika nyiongez ya hayo" au "hata"
Wayahudi huchukuliwa mbwa kuwa wanyama wasio safi. Lazaro ni mgonjwa sana na dhaifu hata kufukuza mbwa wasimlambe vidonda vyake.
maneno haya yametumika hapa kuadhimisha tukio katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
Hii inaweza alisema katika fomu ya kazi. AT: "Malaika wakamchukua mbali"
Inavyoonekana Ibrahim na Lazaro walikuwa wameketi karibu wakati wa sikukuu mbinguni. Hii ilikuwa ni desturi ya Kigiriki kualika wageni katika karamu. "kukaa karibu na Ibrahimu" au "uketi karibu na Ibrahimu."
"na watu walimzika"
"naye akaenda kuzimu ambapo alikuwa akiteseka katika maumivu ya kutisha"
"akaangalia juu"
"Lazaro na ameketi karibu na Ibrahimu" au "na Lazaro pamoja naye"
Hii inaonyesha kwamba Ibrahimu na Lazaro walikua wameketi karibu, katika utamadunu wa kigiriki.
"Watu walimzika"
"alikwenda kuzimu, ambapo aliteseka katika maumivu ya kutisha"
"Lazaro ameketi karibu na Ibrahimu" au "Lazaro karibu naye"
"na tajiri aliita na kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"
Ibrahimu alikuwa babu wa Wayahudi wote, ikiwa ni pamoja na mtu mmoja tajiri.
"tafadhali nihurumie" au "tafadhali uniwie radhi mimi"
"kwa kumtuma Lazaro" au "na kuwaambia Lazaro kuja kwangu"
Hii inaonyesha udogo wa kiasi alichoomba. "aweze kuloanisha ncha ya kidole chake"
"Niko kwenye mateso katika moto huu " au "Mimi naumia sana katika moto huu"
"tajiri alilia kwa kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"
tajiri alikuwa mmoja wa kizazi cha Ibrahimu.
"mambo mazuri"
"katika njia hiyohiyo alipokea mambo mabaya" au "vivyo alipata mambo ambayo yalimfanya ateseke"
"yeye anatulizwa hapa" au "yeye anafuraha hapa"
"mateso"
"kwa kuongeza sababu hii"
Hii inaweza kusemwa kama. "Mungu ameweka bonde kubwa kati ya wewe na sisi"
"mwinuko, kina na bonde kubwa" au "kujitenga kubwa" au "bonde kubwa"
"watu wale ambao wanataka kuvuka shimo" au "kama kuna mtu anataka kuvuka"
hii inahusu ukweli kwamba wao wote hupokea kitu wakati wao waliishi duniani. Si kusema kwamba kile walikipata mara moja. "wakati alipokuwa hai kupokea"
"kwa kuongeza sababu hii"
"kwamba utamwambia Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu" au "tafadhali, umtume aende nyumbani kwa baba yangu"
hii inahusu watu katika nyumba. "familia yangu"
"ili Lazaro inaweza kuwaonya"
"mahali hapa ambapo sisi kuteseka kwa adhabu" au "mahali hapa ambapo sisi tunateswa maumivu ya kutisha"
Hii ina maana yeye hataki hili litokee "ili kwamba wao wasi"
Yesu alimaliza kusimulia hadithi kuhusu tajiri na Lazaro.
Ina onyesha kuwa Abraham alikataa kumtuma Lazaro kwa ndugu wa tajiri. Hii inaweza kuwa alisema. "Hapana, sitaweza kufanya ivyo, kwa sababu ya ndugu zenu na yale ambayo Musa na manabii waliandika mda mrefu uliopita"
"ndugu zako lazima wawe makini na Musa na Manabii"
"kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda kwao" au "kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda na kuwaonya"
"Kama hawatakuwa makini kwa kilicho andikwa na Musa na manabii"
"Wala mtu ambaye atakuja kutoka kwa wafua atakua na uwezo wa kuwashawishi" au "hawatamini hata kama mtu angefufuka kutoka wafu"
Hii ina maana ya maandiko yao. "nini Musa na manabii aliandika"
1 Yesu akawaambia wanafunzi wake, "mambo yasababishayo watu watende dhambi hayana budi kutokea, Lakini ole wake mtu anayeyasababisha! 2 Ingekua ni heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito la kusagia shingoni na kutubwa baharini, kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi. 3 Jilindeni. Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu msamehe. 4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, 'ninatubu,' msamehe!" 5 Mitume wake wakamwambia Bwana, "tuongezee imani yetu." 6 Bwana akasema, "kama mgekuwa na imani kama punje ya haradarii, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, 'n'goka na ukaote baharini,' nao ungewatii. 7 Lakini nani miongoni mwenu, ambaye ana mtumishi anayelima shamba au anayechunga kondoo, atamwambia arudipo shambani, 'Njoo haraka na keti ule chakula? 8 Je hatamwambia, 'Niandalie chakula nile, na jifunge mkanda na unitumikie mpaka nitakapo maliza kula na kunywa. Baada ya hapo uta kula na kunywa? 9 Hata mshukuru mtumishi huyo kwasababu katimiza yale aliyoamriwa? 10 Vivyo hivyo nanyi mkiisha kufanya mliyoagizwa semeni 'Sisi tu watumishi tusiostahili. Tumefanya tu yale tuliyopaswa kufanya.' 11 Ilitokea kwamba alivyokua akisafiri kwenda Yerusalemu, alipita mpakani mwa Samaria na Galilaya. 12 Alipokua akiingia kwenye kijiji kimoja, huko alikutana na watu kumi waliokuwa na ukoma. Wakasimama mbali 13 wakapaza sauti wakasema "Yesu, Bwana tuhurumie." 14 Alipowaona akawaambia, "Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani." nao walipokua wakienda wakatakasika. 15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa sauti kuu akimsifu Mungu. 16 Akapiga magoti miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikua msamaria. 17 Yesu akajibu, akasema, "Je hawakutakasika wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa? 18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumtukuza Mungu, isipokuwa huyu mgeni?" 19 Akamwambia, "Inuka na uende zako imani yako imekuponya." 20 Alipoulizwa na mafarisayo ufalme wa Mungu utakuja lini, Yesu akawajibu akisema, "Ufalme wa Mungu sio kitu ambacho kinaweza kuonekana. 21 Wala watu hawatasema, 'Angalia hapa!' au, 'Angalia kule!' kwa maana ufalme wa Mungu umo ndani yenu." 22 Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona. 23 Watawaambia, 'Angalia, kule! Angalia, hapa!' Lakini msiende kuangalia, wala kuwafuafata, 24 kama umeme wa radi umulikao katika anga kuanzia upande mmoja hadi mwingine. Hivyo hata Mwana wa Adamu atakuwa ivyo katika siku yake. 25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki. 26 Kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokua katika siku ya Mwana wa Adam. 27 Walikula, walikunywa, wakioa na kuolewa mpaka siku ile ambayo Nuhu alipoingia katika safina na gharika ikaja na kuwaangamiza wote. 28 Ndivyo ilivyokua katika siku za Lutu, walikula, kunywa, wakinunua na kuuza, kulima na walijenga. 29 Lakini siku ile Lutu alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya moto na kiberiti kutoka mbinguni ikawaangamiza wote. 30 Hivyo ndivyo itakavyo kuwa siku ile ya Mwana wa Adamu atakapofunuliwa. 31 Siku hiyo, usimruhusu aliye kwenye dari ya nyumba ashuke kuchukue bidhaa zake ndani ya nyumba. Na usimruhusu aliyeko shambani kurudi nyumbani. 32 Mkumbuke mke wa Lutu. 33 Ye yote anaejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini ye yote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa. 34 Nakwambia, usiku huo kutakua na watu wawili katika kitanda kimoja. Mmoja atachukuliwa, na mwingine ataachwa. 35 Kutakua na wanawake wawili wanasaga nafaka pamoja, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa." 37 Wakamwuliza, "Wapi, Mungu?" Akawaambia, "Pale ulipo mzoga, ndipo tai hukusanyika kwa pamoja."
Katika utakaso wa watu 10
Sura hii inatumia mfululizo wa mifano kutoka Agano la Kale. Mifano zote hizi ni wakati ambapo watu hawakujihusisha na Mungu. Kuelewa vizuri maana ya kila mfano itakuwa vigumu bila kuanza kusoma na kuelewa kitabo cha Mwanzo.
Those who read your translation may need help so they can understand what Jesus was teaching here.
Hii ni aina maalum ya hali ya fikira. Katika hali hii, badala ya kuzungumza juu ya hali au vitu vingetokea, inatoa ufafanuzi juu ya hali ya baadaye ikiwa hali ya sasa haibadiliki.
Yesu anatumia takwimu mbili za misemo kwa wakati mmoja katika sura hii. Anashirikisha hali ya kufikiri pamoja na maswali ya uhuishaji kwa sababu jibu sahihi kwa hali ya kufikiri lazima iwe wazi.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Mfano wa kitendawili katika sura hii: "Yeyote anayetaka kupata uhai wake ataupoteza, lakini yeyote anayepoteza uhai wake atauokoa" (Luka 17:33).
Yesu anaendelea kufundisha, lakini yeye ataelekeza nia yake kwa wanafunzi wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza
"Mambo ambayo huwajaribu watu kutenda dhambi bila ya shaka vitatokea"
"kwa mtu yeyote ambaye husababisha majaribu kuja" au "kwa mtu yeyote ambaye anasababisha watu kujaribiwa"
Hii inaweza kusemwa: "kama walikuwa waweka jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa" au "kama mtu alikua awekewe jiwe zito shingoni mwake na kumsukuma"
Hili ni kubwa sana, jiwe zito la mviringo linalotumika kusaga nafaka za ngano kuwa unga" "jiwe nzito"
Hii hapa inahusu watu ambao imani bado ni dhaifu. "Watu hawa ambao imani yao ni ndogo"
Hii ilikua njia ya kumaanisha dhambi za kutokudhamiria. "dhambi"
Ina maana kwamba adhabu ya mtu huyu kwa kusababisha watu kutenda dhambi itakua mbaya zaidi ya wazima baharini.
Maneno haya rejea wanawake ikiwa ni pamoja na wanaume.
Hii kauli inaonyesha kwamba tukio hilo pengine litatokea katika siku zijazo.
"ndugu" hapa limetumika kwa maana ya mtu aliye na imani sawa. "mwamini mwenzetu"
"kumwambia kwanguvu kwamba aliyoyafanya ilikuwa ni makosa" au "msahishe"
Hii inaonyesha inaweza isitokee ila kama ikitokea Yesu anawaambia watu wasamehe.
namba saba katika Biblia ni ishara ya ukamilifu. "mara nyingi katika siku"
Kuna mapumziko mafupi katika mafundisho ya Yesu wakati wanafunzi wakizungumza nae. Kisha Yesu anaendelea kufundisha.
"Tafadhali tuongezee imani"
"haradali" ni mbegu ndogo sana. Yesu ana maana kwamba hawakuwa na hata kiasi kidogo cha imani.
"mtini" au "mti"
hii inaweza semwa kama: "kujing'oa mwenyewe na kujipanda mwenyewe baharini" au "Chukua mizizi yako nje ya ardhi, na kuweka mizizi yako ndani ya bahari"
"mti ungewatii." Matokeo haya ni masharti. ingeweza kutokea tu kama walikuwa na imani.
Kama aina hii ya mti haufahamiki, inaweza kuwa na manufaa mbadala aina nyingine ya mti. "mtini" au "mti"
Yesu anauliza kundi kuhukumu hali fulani na mtumishi.
"mtumishi anaelima shamba lako au analinda kondoo wako"
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi.
"funga nguo yako katika kiuno chako na unitumikie mimi" au "vaa vizuri kisha unitumikie." Watu hufunga nguo zao karibu na viuno vyao ili nguo zao wakati wa kazi zisiwasumbue.
"Kisha baada ya kunitumikia"
Yesu anauliza wanafunzi wake swali kuwasaidia kufikiri juu ya jukumu la mtumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Lakini mtu yeyote kati yenu ... siwezi kusema kwake ... kaa chini kula '"
Yesu anatumia swali la pili kueleza jinsi wafuasi wangewa fanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Naye hakika humwambia ... kula na kunywa '"
Yesu alimaliza kufundisha. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi hii.
"Yeye hakutaka kuwashukuru" au "Wewe hutashukuru"
Hii inaweza kusemwa "Mambo uliyo muagiza afanye"
"haki?" au "ni hii si kweli?"
Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi wake, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" itakuwa matumizi yake.
Hii inaweza kusemwa kama "kwamba Mungu alikuamuru"
"ukusema kwa Mungu"
Hii ni kueleza kuwa wao hawakufanya kitu cha kustaili kusifiwa. "Sisi watumishi wa kawaida" au "Sisi watumishi hatustahili sifa yako"
Yesu anatumia swali hili ili kuonyesha jinsi watu wanavyo wafanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Yeye hakutaka kumshukuru mtumishi ... aliamuru"
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Yesu anaponya watu 10 wa ukoma. Mstari wa 11 na 12 unatoa taarifa za msingi na mazingira ya hadithi.
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
"kama Yesu na wanafunzi walipokuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu"
Hii inaweza semwa kama. "watu kumi wenye ukoma walikutana naye" au "watu kumi waliokuwa na ukoma walikutana naye"
kauli hii ina maana kusema kwa sauti kubwa. "wakamwita kwa sauti kubwa" au "wao kuita kwa sauti"
neno lililotafsiriwa hapa kama "Bwana" siyo neno la kawaida kwa "Bwana." Hii moja inahusu mtu ambaye ana mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine.
Walikuwa hasa wanaomba kuponywa. "tafadhali tuonyeshe huruma na utuponye"
"kama Yesu na wanafunzi walikuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu"
maneno haya haya elezei hicho kijiji.
Hii ilikuwa ishara ya heshima , kwa sababu wenye ukoma hawakuruhusiwa kukaribia watu wengine.
wenye ukoma walikuwa wanatakiwa kuthibitishwa na makuhani kwamba ukoma wao umepona. "jionyesheni wenyewe kwa makuhani ili waweze kuwachunguza"
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
Wakati watu waliponywa, wao hawakuwa tena najisi. Hii inaweza kufanywa wazi. "wakawa safi wakati walipo ponywa ukoma wao" au "walikuwa wametibiwa ukoma wao"
"kuona kwamba ameponywa" au "alitambua kwamba Yesu aliyemponya"
"alirudi Yesu"
"nakumtukuza Mungu kwa sauti kubwa"
"akapiga magoti na kuweka uso wake karibu na miguu ya Yesu." Alifanya hivi kwa kumheshimu Yesu.
Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi kuhusu Yesu alivyo ponya wenye ukoma.
Yesu alijibu kulingana na kile mtu alichokifanya, lakini alikuwa akizungumza na kundi la watu karibu naye. "Basi Yesu akawaambia ule umati"
Hii ni moja ya maswali matatu. Yesu aliyatumia kwa kuonyesha watu walio karibu naye jinsi alivyo shangazwa na kukatishwa tamaa kwamba moja tu ya watu kumi alirudi kumtukuza Mungu. "Watu kumi waliponywa" au "Mungu akamponya watu kumi"
"Kwa nini wengine tisa hawakurudi?" Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Watu wengine tisa wanapaswa kurudi, pia"
Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Hakuna mtu isipokuwa huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu" au "Mungu akaponya watu kumi, lakini tu huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu"
Wasamaria walikuwa hawana mababu Wayahudi na hawakuwa wakimwabudu Mungu kwa njia ile ile ambayo Wayahudi walivyofanya.
"Kwa sababu ya imani yeko umekuwa vizuri." "Imani" yaweza tajwa kama tendo "Kwa sababu unaamini, umeponywa"
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui ambapo hili limetokea; ni siku moja wakati Yesu akizungumza na Mafarisayo.
Hii ​​inaweza semwa kama: "wakamuuliza 'Lini Utawala wa Mungu utakuja?"
Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Baadhi ya tafsiri huanza kwa "Siku moja" au "Mara."
Hii inaweza kusemwa: "Ufalme wa Mungu si kitu ambacho unaweza kuona kwa macho yako" au "Ingawa unanngalia Ufalme wa Mungu, huwezi kuuona"
"Utawala wa Mungu uko hapa" au "Mungu tayari ameanza kutawala kati yenu"
Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake.
"wakati utafika ambapo" au "Labda siku moja"
"wewe utataka sana kuona" au "utakuwa wataka uzoefu"
Hii ina maana ya Utawala wa Mungu. "moja ya siku wakati Mwana wa Adamu atatawala akiwa mfalme"
"na wala kwenda pamoja nao ili kuona"
"kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla"
hii inahusu ufalme ujao wa Mungu. "itakuwa kana kwamba siku ile Mwana wa Adamu atafika kutawala"
Yesu anazungumza juu yake mwenyewe.
"hutaweza kuihisi"
Hii ina maana ya kumtafuta Masihi. "Angalia, Masihi yuko pale! yuko huku!"
Mwana wa Adamu ajae itakuwa wazi na ghafla, kama muonekano wa radi. "kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla"
"Lakini kwanza Mwana wa Adamu lazima ateswe." Yesu anazungumza juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu.
"na kizazi hiki lazima kitamkataa"
"siku za Nuhu" inahusu wakati wa maisha ya Nuhu kabla ya Mungu kuwaadhibu watu wa dunia. "Kama watu walivyokua wakifanya katika siku za Nuhu" au "Kama watu walivyokua wakifanya wakati Nuhu alivyokua akiishi"
"siku za Mwana wa Adamu" inahusu kipindi kabla Mwana wa Adamu atakuja. "Watu watakuwa wakifanya mambo sawa katika siku za Mwana wa Adamu" au "watu watakuwa wakifanya mambo sawa wakati Mwana wa Adamu akikaribia kuja"
Watu walikuwa wanafanya mambo ya kawaida. Hawakujua au kujali ya kwamba Mungu alikuwa karibu kuwahukumu.
hii inaweza semwa kama "Wazazi walikuwa wakiruhusu binti zao kuolewa na wanaume"
"meli" au "majahazi"
Hii inaweza semwa kama "watu wa kizazi hiki lazima watamkataa"
Hii sio pamoja na Nuhu na familia yake waliokuwepo katika safina. "kuharibiwa wale wote ambao hawakuwa katika meli"
"siku za Lutu" inahusu wakati tu kabla ya Mungu haja adhibu miji wa Sodoma na Gomora. "Mfano mwingine ni jinsi ilivyotokea wakati wa Lutu" au "Kama watu walikuwa wakifanya wakati Lutu akiishi"
"watu wa Sodoma walikula"
"moto na kiberiti ukaanguka kutoka mbinguni kama mvua"
hii haina ni pamoja Lutu na familia yake. "kuharibiwa wale wote ambao walikaa katika mji"
"Itakuwa kama hiyo." "Kwa njia hiyo hiyo watu hawtakuwa tayari"
Hii inaweza semwa kama "wakati Mwana wa Adamu ataonekana" au "wakati Mwana wa Adamu anakuja"
"yeyote alie juu ya nyumba asishuke" au "mtu akiwa darini kwake, ni lazima asiende chini"
dari zao zilikuwa bapa na watu kuweza kutembea au kukaa juu zao.
"mali zake" au "mambo yake"
Walikua wasirudi nyumbani kuchukua kitu chochote
Yesu anazungumza juu yake mwenyewe. "Mimi, Mwana wa Adamu"
"Kumbuka kile kilichotokea kwa mke wa Lutu!" Hili ni onyo. Yeye aligeuka na kuangalia Sodoma na Mungu akamuadhibu pamoja na watu wa Sodoma. "Msifanye kile mke wa Lutu alichokifanya"
"Watu ambao hujaribu kuokoa maisha yao watayapoteza" au "Yeyote anajaribu kuokoa njia yake za zamani za maisha atapoteza maisha yake"
"lakini watu ambao kupoteza maisha yao atawalinda" au "lakini mwenye kukataa njia yake ya zamani ya maisha kuokoa maisha yake"
Kama Yesu anaendelea kuhutubia wanafunzi wake, anasisitiza umuhimu wa nini alichokua akiwaambia.
Hii inahusu nini kitatokea kama yeye, Mwana wa Adamu, atakuja wakati wa usiku.
mkazo si juu ya watu hawa wawili, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
"kochi"
"Mtu mmoja atachukuliwa na mtu mwingine ataachwa." Hii inaweza semwa kama "Mungu atachukua mtu mmoja na kumuacha mwingine" au "Malaika atachukua mmoja na kumuacha mwingine"
mkazo si juu ya hawa wanawake wawili au shughuli zao, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
"wakisaga nafaka pamoja"
wanafunzi walilomwuliza swali kuhusu mafundisho yake na akawajibu
"Bwana, wapi hii itatokea?"
Inavyoonekana huu ni msemo ukimaanisha "Itakuwa dhahiri" au "Mtaijua ni pale yanapotokea." "Kama tai mkutano inaonyesha kwamba kuna maiti, hivyo mambo hayo kuonyesha kwamba Mwana wa Adamu atakuja"
Tai ni ndege wakubwa ambao wanaruka pamoja na kula nyama za wanyama waliokufa wakiwapata. Unaweza kuelezea ndege kwa njia hii au kutumia neno kwa ndege wa kawaida wanaofanya hivi.
1 Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa. 2 akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu. 3 Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.' 4 Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu, 5 lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. '' 6 Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu. 7 Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao? 8 Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? ' 9 Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine, 10 'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru. 11 Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru. 12 Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. ' 13 Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.' 14 Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. ' 15 Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia. 16 Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao. 17 Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. ' 18 Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' 19 Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake. 20 Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako. 21 Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.' 22 Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '"Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. ' 23 Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana. 24 Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu! 25 Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. ' 26 Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?' 27 Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana." 28 Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. ' 29 Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, 30 ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' 31 Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa. 32 Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate. 33 Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. ' 34 Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa. 35 Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada, 36 aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea. 37 Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita. 38 Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.' 39 wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu. 40 Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza, 41 'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.' 42 Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. ' 43 Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.
Luka 18:6-8 inapaswa kuonekana kama maelezo ya mfano katika 18:1-5.
Waamuzi walitakiwa kuendesha haki bila masharti, lakini hakimu huyu hamtendei mwanamke haki. Badala yake, anapaswa kuomba mara nyingi kwa hakimu kufanya jambo linalofaa. Kwa hiyo, hakimu alionyeshwa kama 'asiye na haki." and )
Luka mara kwa mara anaonyesha kuwa tofauti makundi haya mawili ya watu katika injili yake. Mafarisayo walijiona kuwa ni mifano ya wazi ya wenye haki na kuona watoza ushuru kuwa wenkye dhambi sana, mifano ya wazi ya uovu. , and )
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Sala ya Mfarisayo kwa hakika haielekezwi kwa Mungu, kwa hiyo kile anachofanya sio maombi. Yeye anadhani anaomba, lakini anazungumza tu ili watu wengine wamsikie na kufikiri kuwa ni mtakatifu.
Kuna nyakati ambapo Agano Jipya inatoa maelekezo maalum au amri ambazo zinahusu Wakristo wote. Kwa nyakati nyingine, maelekezo yake ni ya jumla au hata kupita kiasi. Kwa mfano, wakati Yesu anasema, "Uza vitu vyako," hazungumzii na Wakristo wote mahali pote wakati wote, lakini Wakristo wote wanapaswa kukumbuka kwamba wao ni mawakili tu wa kila kitu wanachopokea kutoka kwa Mungu, na anaweza kuwaomba kukitoa wakati wowote.
Yesu anaanza kuwaambia mfano akiendelea kuwafundisha wanafunzi wake. Hii ni sehemu ile ile ya simulizi. Mstari wa 1 unatupa maelezo ya mfano ambao Yesu anataka kuusema.
"Kisha Yesu"
Sentensi hizi mbili zina maana sawa ambayo Yesu aliitumia ili kusisitiza. Lugha zingine zina namna tofauti za kusisitiza. "Daima muendelee kuomba."
Hii pia inaweza kuanza kwenye sentensi mpya "Akasema"
Neno "fulani" imetumika kuonyesha kuwa hii ilitokea, lakini bila kumuonyesha hakimu au mji.
Ogopa
"Hajali watu"
Yesu alitumia neno hili kumtambulisha mtu mwingine kwenye simulizi.
Ni mwanamke ambaye mume wake amekufa. Watu waliomsikiliza Yesu watafikiri kuwa ni mtu ambaye hamna mtu wa kumlinda kutoka kwa wale wanaotaka kumuumiza.
Neno "yeye" linamaanisha hakimu.
"waadhibu" au "nisaidie"
"adui yangu" au "mtu anayejaribu kuniumiza." Huyu ni mpinzani katika mabo ya sheria. Hipo wazi kuwa mwanamke anamshitaki yule mtu au yule mtu anamshitaki mwanamke.
"ogopa Mungu"
Hii inamaanisha "watu" kwa ujumla.
"Ananisumbua"
"asije akanisumbua"
"kwa kuja kwangu mara kwa mara"
Yesu anamaliza kuwaambia mfano wake na anatoa maelezo kwa wanafunzi wake.
"Fikiri jinsi alivyosema huyu hakimu mmbaya.: Tafsiri kwa namna ambayo watu wataelewa kwamba Yesu tayari aliwaambia alichokisema jaji.
Hili neno linaonyesha kuwa Yesu alimaliza kutoa mfano na akaanza kutoa maana yake.
Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wale.
"Watu aliowachagua"
Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wake.
Yesu alikuwa anajizungumzia mwenyewe.
Dhumuni la mfano huu ni kuwatia moyo wanafunzi wake waendelee kuamini na kuomba. Yesu hapa anatumia swali lingine anayotegemea jibu hasi. "Lakini najua mimi, Mwana wa Adamu, nikirejea, nitawakuta watu wasioniamini."
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine kwa watu wengine waliojiona kuwa wenye haki.
"Ndipo Yesu"
"Baadhi ya watu"
"waliokuwa na haki wenyewe" au "waliodhani kuwa wana haki"
"Kutothamini" au "kudhani kuwa ni bora zaidi ya"
"kwenye eneo la hekalu"
Maana kwenye maneno ya Kigiriki haipo wazi. inaweza kuwa na maana 1) "Mfarisayo alisimama akaomba juu yake mwenyewe kwa njia hii" au 2) Mfarisayo alisimama pekeyake na akasali."
Jambazi ni mtu anayeiba vitu kwa kumlazimisha mtu ampe au kwa kumtishia kwa nguvu.
"Ninayopokea"
Yesu alimaliza kuwaambia mfano. kwenye mstari wa 14, alitoa maelezo kuhusu maana ya mfano huo.
"Akaangalia mbinguni" au "akaanalia mbele"
Hii ni ishara ya nje ya masikitiko makuu, na kuonyesha namna huyu mtu anavyotubu na unyenyekevu.
Mungu nakuomba nirehemu mimi, japokuwa ni mtenda dhambi" Mungu, nakuomba unirehemu mimi. Ni mtenda dhambi"
"Mungu alimsamehe yule mtoza ushuru"
"Kuliko yule mtu mwingine" au "na sio yule mtu mwingine." ' Lakini Mungu hakumsamehe Mfarisayo"
Kwenye sentensi hii, Yesu anahama kwenye simulizi na kutoa maelezo ya simulizi.
"Mungu atamshusha"
"Mungu atampa heshima"
Hili ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza Yesu anawakaribisha watoto na anazungumza nao.
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi tofauti. "akawagusa. Lakini"
"Wanafunzi walijaribu kuwakataza wazazi wasiwalete watoto kwa Yesu"
Hizi sentensi mbili zina maana inayofanana na zimewekwa pamoja ili kutia msisistizo. Lugha nyingine zinasisitiza kwa namna tofauti. "Mnatakiwa muwaache watoto wadogo waje kwangu."
"Ni wa watu waliokama hawa watoto"
"Hakika nawaambia." Yesu alitumia maelezo haya kusisitiza umuhimu wa alichokuwa anataka kukisema.
Mungu anataka watu wapokee ufalme wake kwa kuamini na unyenyekevu. "Yeyote anayetaka kuingia kwenye ufalme wa Munguataupokea kwa kuamini na unyenyekevu kama mtoto mdogo."
Hii ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza. Yesu akaanza kuongea na kiongozi kuhusu kuingia katika ufalme wa Mungu.
"Ni kitu gani natakiwa kufanya" au "Ni kipi kinahitajika kwangu"
"kuwa mmiliki halali wa." Hii ina maanisha mali ya mtu aliyekufa. Luka anatumia neno hili kuonyesha kuwa mtawala anafahamu kuwa uzima wa milele hauwezi kuuchuma, na sio kila mtu ataishi milele.
"Hakuna mtu aliye mwema kabisa. Mungu pekee ndo mwema"
"Usifanye mauaji"
"Amri zote hizi"
"Yesu aliposikia yule mtu akisema hayo"
"akamjibu"
"Bado unatakiwa kufanya jambo moja" au "Kuna jambo moja bado hujalifanya"
"Uza mali zako zote" au "uza vyote unavyomiliki"
"Wape hizo pesa masikini"
"Utakuwa na baraka za Mungu mbinguni"
Kifungu hiki hakipo kwenye maneno mengi ya Kigiriki na mara kadhaa huondolewa kwenye tafsiri za kiingereza.
Haiwezekani ngamia kuenea katika tundu la sindano. Kwa hiyo Yesu alitumia mafumbo kuonyesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kabisa kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Tundu la sindano ni shimo katika sindano ya kushonea ambapo uzi hupita.
"Watu waliomsikiliza Yesu wakasema"
Inawezekana kuwa walikuwa wanataka jibu. Lakini ni dhahiri kwamba walitumia swali kuonyesha mshangao wao kwa alichokisema Yesu. "Hivyo hakuna atakayeokoka na dhambi" au "Hivyo Mungu hatamuokoa hata mmoja"
"inawezekana kwa Mungu kufanya"
Huu ni mwisho wa mazungumzo kuhusu kuingia kwenye ufalme wa Mungu.
"utajiri wetu wote" au "Mali zetu zote"
Yesu anatumia maelezo haya kuonyesha umuhimu wa kile anachotaka kukisema.
"kila aliyeacha... atapokea"
"na pia uzima wa milele katika ulimwengu ujao"
Hii ni sehemu inayofuata ya sehemu ya simulizi inayoanza Yesu haongei tuu na wanafunzi wake tuu.
Inaonyesha umuhimu wa mabadiliko katika huduma ya Yesu alivyokuwa akienda Yerusalemu kwa mara ya mwisho.
"ambayo manabii waliandika"
Hii inamaanisha Manabii wa Agano la kale.
Yesu alikuwa anajielezea mwenyewe kama "mwana wa Adamu" na akatumia "yeye" kujielezea mwenyewe.
"yatatokea" au "yatatimia"
"Viongozi wa Kiyahudi watamkabidhi kwa Mataifa"
"watamdhihaki, watamtendea vibaya na kumtemea mate"
Hii inaelezea siku ya tatu baada ya kufufuka. Japokuwa wanafunzi wake hawakumuelewa, hivyo ni vizuri kutokuongeza maelezo haya unapotafsiri mstari huu.
Mstari huu sio sehemu ya simulizi lakini ni mawazo kuhusu sehemu ya simulizi hii.
"Hawakuelewa kabisa mambo haya"
Hii inaelezea namna ambavyo Yesu atateseka na kufa Yerusalemu, na atafufuka toka kwa wafu.
"Mungu aliwafanya wasielewe maana ya kile alichokuwa akiwaambia"
"Mambo ambayo Yesu aliyasema"
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anamponya kipofu alipokuwa anakaribia Yeriko. Mistari hii inatupa historia kuhusu simulizi hii.
Neno hili linatumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya.
"Alipokuwa karibu"
"kulikuwa na mtu kipofu ameketi" Hapa "mmoja" inaonyesha kuwa mtu huyu alikuwa wa muhimu katika simulizi hii lakini Luka hakutaja jina lale.
"Aliomba. aliposikia"
"Makutano wakamwambia kipofu"
Yeso toka mji wa Nazareti uliopo Galilaya.
"Alikuwa akimpita"
Neno hili linaweka alama ya tukio limetokea kwa sababu kitu fulani kilitokea kwanza. Kwa hivyo makutano walimwambia kipofu kuwa Yesu anapita.
"akaita kwa sauti" au "akapiga kelele"
Yesu alikuwa uzao wa Daudi, Mfalme muhimu kwa Israeli.
"nionee huruma" au "nihurumie"
"watu"
"awe kimya" au "asipige kelele"
Hii inaweza kumaanisha alilia kwa sauti zaidi au alilia zaidi kwa kusisitiza.
"watu wamlete kipofu kwake"
aweze kuona tena
"Nimekuponya kwa sababu umeniamini"
"Akaanza kumfuata"
"Akampa Mungu utukufu" au "Akamsifu Mungu"
1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko. 2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri. 3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo. 4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo. 5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.' 6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha. 7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.' 8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. ' 9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu. 10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. ' 11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja. 12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi. 13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.' 14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.' 15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara. 16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. ' 17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. ' 18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.' 19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.' 20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa, 21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. ' 22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda. 23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida? 24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.' 25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. ' 26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa. 27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. '' 28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu. 29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, 30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu. 31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, "Bwana anamhitaji. '' 32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia. 33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?' 34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. ' 35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake. 36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani. 37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona, 38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!' 39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. ' 40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. ' 41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia, 42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. 43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande. 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'. 45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza, 46 akiwaambia, "Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi". 47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua, 48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
Luka 19:11-27 ni mfano mmoja. Mfano huu unawafundisha Waumini jinsi ya kuishi katika Ufalme wa Mungu utakapokuja. Wasikilizaji wa Yesu waliamini kimakosa kwamba ufalme huo ungeonekana haraka sana. Ingawa ufalme unaweza kuonekana wakati wowote, maneno haya hayana maana ya kusema ufalme utatokea leo au kesho, lakini itawezekana.
Mafarisayo hutaja kundi la watu kuwa "wenye dhambi." Viongozi wa Kiyahudi walidhani watu hawa walikuwa wenye dhambi, lakini kwa kweli viongozi wenyewe walikuwa pia wenye dhambi. Hali hii inaweza kuchukuliwa kama kinaya. and
Ingawa neno hili haitumiwi katika sura hii, ni neno kubwa katika mafundisho haya. Usimamazi ni kuwa mwaminifu katika vitu umepewa kwa kuchungu. Mungu anatarajia kila mtu kutumia vipaji alivyompa. Hii sio tu vipaji au uwezo ambao Mungu amempa mwanadamu, lakini maisha ya mtu anayoyaishi katika matarajio ya uzima wa milele. Mungu pia anatarajia watu kuishi katika matarajio ya kurudi kwa Yesu.
Jinsi ambavyo Yesu aliingia Yerusalemu, akiwa amepanda mnyama, ilikuwa sawa na vile ambavyo mfalme angeingia katika mji baada ya ushindi mkubwa. Na kwa wafalme wa Israeli, ilikuwa desturi kupanda punda badala ya farasi. Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya tukio hili, lakini hawakuandika maelezo sawa. Mathayo aliandika kuhusu kuwepo kwa punda na mwana-punda, lakini haijulikani ni yupi ambaye Yesu alipanda. Ni bora kutafsiri kila moja ya vifungu hivi kama inavyoonekana katika ULB bila kujaribu kuwafanya wote kusema jambo sawa. (Tazama:Mathayo 21:1-7 na Yohana 12:14-15)
Hii ilikuwa njia ya kumheshimu mfalme.
Imeandikwa kama Yesu alisafisha hekalu kwa kufukuza wafanyabiashara wasio watu wa Mungu kutoka hekaluni. Tukio hili linaonyesha mamlaka ambayo Yesu alikuwa nayo juu ya hekalu na taifa la Israeli. and )
Hii ni sehemu iliyofuata ya simulizi. Zakayo anatambulishwa kwenye simulizi. mstari wa kwanza unaonyesha historia ya safari ya Yesu.
Neno "tazama" linatuonyesha mtu mpya kwenye simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na na njia ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa"
Hii ni historia ya Zakayo.
"Zakayo alijaribu"
"kwa kuwa alikuwa mfupi"
"Mti wa mkuyu." unazalisha matunda madogo ya duara yenye sentimita zipatazo 2.5.
"kwenye mtui" au "alipokuwa Zakaria"
"Yesu alikwenda kwenye nyumba ya mwenye dhambi kumtembelea"
"mwenye dhambi hasa"
Hii inamzungumzia Yesu
"Mungu ameokoa nyumba hii"
neno "nyumba" inamaanisha watu waishio kwenye nyumba hiyo au familia.
"huyu mtu pia" au "Zakayo pia"
Inamaanisha 1)"kizazi cha Ibrahimu" na 2)"mtu aliyekuwa na imani kama ya Ibrahimu."
"watu waliokua mbali na Mungu" au "wale ambao kutokana na dhambi wako mbali na Mungu"
Yesu alianza kuwaambia makutano mfano. mstari wa kumi na moja unaonyesha historia kwa nini Yesu aliwaambia mfano huo.
"kwamba Yesu ataanza kumiliki maramoja kwenye ufalme wa Mungu"
"Mtu mmoja ambaye alikuwa mmoja wa viongozi" au "mtu mmoja toka kwenye familia ya muhimu." "Mtu wa muhimu"
Hii ni picha ya mfalme mdogo kumwendea mfalme mkubwa. Mfalme mkubwa atampa mfalme mdogo mamlaka ya kuongoza nchi yake mwenyewe.
Ofisa aliwaita
"akawapa kila mtu fungu moja"
Fungu ni gramu 600. kila fungu linathamani ya malipo ya miezi minne ya mtu, "Sarafu kumi" au "kiasi kikubwa cha pesa"
"fanya biashara na pesa hizi" au "tumia hizi pesa ili upate zaidi"
Watu wa nchi yake"
"wawakilishi" au "wajumbe"
Neno hili limetumika kuonyesha umuhimu wa tukio kwenye simulizi. Kama lugha yako ina namna nyingine ya kufanya hivi unaweza ukaitumia hapa.
"Baada ya kuwa Mfalme"
"kwenda kwake"
"ni pesa kiasi gani waliipata"
"Mtumishi wa kwanza"
"Akaja mbele ya Afisa"
"wewe umefanya vyema" Lugha yako inaweza kutafsiri kifungu hiki kwamba mwajiri anatumia kuonyesha kiridhika, kama vile "kazi nzuri."
"Bwana kwa pesa ulizonipa, nimezalisha mara tano"
"Utakuwa na mamlaka juu ya miji mitano"
'Mtu wakali' au 'mtu ambaye anatarajia mengi toka kwa watumishi wake'
Ni fumbo linaloelezea mtu mkorofi. "unaondoa kitu asichokiweka" au "unachukua kitu ambacho sio chako."
"Kuvuna usichokipanda." Mtumishi alikuwa anamfananisha bwana wake na mkulima anayechukua chakula ambacho mtu mwingine alikipanda.
"kukusanya" au "kuweka"
"Kutokana na ulichokisema"
Afisa alirudia maneno aliyoyasema mtumishi juu yake. Hakusema kuwa ilikuwa kweli.
"mtu mkorofi"
Afisa alitumia swali ili kumkemea Mtumishi dhalimu. "Ungeweka pesa yangu..... faida."
"Kopesha pesa zangu benki" Tamaduni ambazo hazina benki zaweka kutafsiri kuwa "Acha mtu aazime pesa zangu."
Benki ni biashara salama ya kuweka pesa za watu. Benki huwakopesha watu pesa kwa faida. Hivyo inalipa pesa ya ziada au faida kwa watu wanaoweka pesa zao benki.
"Ningekusanya kiasi hicho cha fedha pamoja na faida iliyopatikana" au "ningepata faida"
Faida ni pesa ambayo benki humlipa mtu anayeweka pesa zake katika benki.
Afisa aliyekujakuwa mfalme. Tafsiri hivi kwa maneno ambayo yataeleweka kwa wasomaji.
"Watu waliokua wamesimama karibu nao"
Yesu amemaliza kuwaambia mfano wake na sasa anatoa mawazo juu ya makutano nyumbani kwa Zakayo.
Hii ilikuwa kauli ya mfalme. Watafsiri wengine wanaweza kutaka kuanza mstari huu kwa kusema "Na mfalme akajibu, 'Nawaambia ninyi" au Lakini mfalme akasema, Namwaambia hivi"
"kila mtu atakayetumia vizuri alichopewa" au "kila mtu atakayetumia vizuri vitu nilivyompa"
"Ntampa zaidi"
"Toka kwa mtu ambaye hatumii vizuri kile nilichompa"
"Nitakichukua kutoka kwake"
Kwa kuwa adui zake hawakuwepo pale, lugha nyingine zawezasema "wale adui zangu."
Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Zakaria. Mstari huu unaelezea aliyoyafanya Yesu baada ya simulizi hii.
"Yesu alipomaliza kusema maneno haya"
Yerusalemu ilikuwa kama mita 975 juu ya Yeriko.
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anakaribia Yerusalemu.
Aya hii imetumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kama lungha yako ina njia nyingine ya kusema hivi unaweza ukatumia hivyo.
Neno "yeye" linamaanisha Yesu. Wanafunzi wake walisafiri pamoja naye.
Bethfage kilikuwa kijiji kwenye mlima wa Mizeituni, ambayo imepita katikati ya bonde la Kidron toka Yerusalemu.
"Mlima ulioitwa Mlima wa Mizeituni" au Mlima ulioitwa "mlima wa mti wa Mizeituni"
"Punda mdogo" au "myama mdogo wa kumuendesha"
"ambae hamna mtu aliyemtumia"
"Wale waliotumwa na Yesu" au "Wanafunzi wawili waliotumwa na Yesu"
"waliweka nguo zao juu ya mwanapunda." Mavazi ni nguo. Hapa inamaanisha mavazi ya nje au nguo.
"watu walitandaza mavazi yao" au "wengine walitandaza mavazi yao." Hii ni ishara ya kuonyesha heshima kwa mtu fulani.
"Yesu alipokaribia" au "Yesu alipokuwa anakaribia." Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye.
"Mambo makubwa waliyoyaona yakifanywa na Yesu"
Walisema haya kuhusu Yesu
Hapa "jina" linaelezea nguvu na mamlaka. Pia "Bwana" linamaanisha Mungu
"Acha kila mtu amtukuze yeye aliye juu sana" au "acha kila mtu amsifu aliye juu"
"waambie wanafunzi wako waache kufanya mambo haya"
Yesu alisema hivi kuonyesha msisitizo wa alichotaka kukisema baadae.
Tafsiri zingine zinahitaji kuweka wazi kile ambacho Yesu alikuwa ikimaanisha pale aliposema 'Hapana, mimi sitawakemea, kwa maana hwa watu wakikaa kimya.'
"Mawe yatasifu"
"Kusogelea" au "kuwa karibu"
Hii inamaanisha Yerusalemu.
Neno "ule" linamaanisha mji wa Yerusalemu, lakini linawakilisha watu wanaoishi ndani ya mji huo.
Huu ni mshangao. Yesu alionyesha huzuni yake kwamba watu wa Yerusalemu hawakujua mambo haya. Maelezo haya yanaweza kuongezwa mwishoni mwa sentensi "hivyo mngeweza kuwa na amani." "Natamani mtambue au "nina huzuni kwa kuwa hamjui."
Neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
"Hamuawezi kuona tena" au "hamkuweza kufahamu"
Yesu akaendelea kuongea.
Kilichofuata ni sababu ya Yesu kuhuzunika.
Hii inaonyesha kwamba wangepitia nyakati ngumu. Baadhi ya lugha hawaongelei juu ya wakati ujao. 'Katika siku zijazo mambo haya yatatokea kwako' au 'hivi karibuni utavumilia wakati mgumu.'
neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
Boma ni ukuta unaolinda watu wasitoke nje ya mji.
Kwa kuwa Yesu alikuwa akiongea na mji, hii inaelezea ukuta na wajenzi wa ukuta wa mji. "Wataharibu kuta zako" au "Wataharibu kuta zako."
Hii inaelezea watu wanaoishi kwenye mji. "na watawaua watu wa kwenye mji."
Huu ni mfano unaoelezea namna ambavyo maadui wataharibu kabisa mji uliojengwa kwa mawe. "Hawataacha jiwe lolote kwenye eneo hilo."
"haukulijua"
Hili ni tukio lingine kwenye sehemu hii ya simulizi. Yesu aliingia hekaluni.
"Kutoa nje" au "kutoa kwa nguvu nje"
Hii imenukuliwa toka Isaya. "Maandiko yanasema" au "Nabii aliandika maneno haya kwenye maandiko"
Neno "yangu" inamuelezea Mungu na "nyumba" linaelezea hekalu.
"sehemu ambayo watu wananiomba"
"sehemu ambayo wanyang'anyi wanajificha." "Kama pango la wanyang'anyi."
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi hii. Aya hizi zinaelezea kuhusu hatua inayoendelea baada ya sehemu kuu ya simulizi kuisha.
'Hekaluni' au 'kwenye hekalu'
'Mwenye cheo cha juu cha makuhani' 'makuhani muhimu zaidi '
"Walisikiliza kwa makini kile alichokuwa akikisema Yesu"
1 Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee. 2 Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? " 3 Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni 4 ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? ' 5 Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?' 6 Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. ' 7 Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka. 8 Yesu akawaambia, '"Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya." 9 Aliwaambia watu mfano huu, "Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu. 10 Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu. 11 Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu. 12 Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje. 13 Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. ' 14 Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. ' 15 Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini? 16 Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine". 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa' 17 Lakini Yesu akawatazama, akasema, "Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'? 18 Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. ' 19 Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu. 20 Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka. 21 Nao wakamwuliza, wakisema, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. 22 Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?" 23 Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia, 24 "Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?" Walisema, ' "Ya Kaisari." 25 Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.' 26 Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote. 27 Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo, 28 wakamwuliza, wakisema, "Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake. 29 Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto, 30 na wa pili pia. 31 Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa. 32 Baadaye yule mwanamke pia akafa. 33 Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. ' 34 Yesu akawaambia, "Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. 35 Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. 36 Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo. 37 Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo. 38 Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. " 39 Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. ' 40 Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi. 41 Yesu akawaambia, "Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? 42 Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia, 43 mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. ' 44 Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?" 45 Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake, 46 'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni. 47 Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 20:17, 42-43, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
Sura hii ina maswali mawili yaliyopangwa ili kumkamata mtu anayekubali kitu ambacho hataki kusema. Yesu anauliza swali kwa Mafarisayo ambalo linawatega kwa kuwalazimisha kukiri kwamba wanaamini Yohana Mbatizaji alikuwa nabii au kuwakasirisha Wayahudi kwa kukataa hili. Viongozi walijaribu kumtega Yesu kwa kumuuliza kuhusu kulipa kodi kwa serikali ya Kirumi. Kujibu ndiyo kungewakasirisha Wayahudi na kujibu hapana kungewakasirisha Warumi.
Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini sivyo. Katika sura hii, Yesu ananukuu Zaburi ambayo inasema Daudi anamwita mwanawe "bwana," yaani, "mkuu." Hata hivyo, kwa Wayahudi, mababu walikuwa wakubwa kuliko uzao wao. Katika kifungu hiki, Yesu anajaribu kuwaongoza wasikilizaji wake kuelewa kweli kwamba Masihi mwenyewe atakuwa Mungu, na kwamba yeye mwenyewe ndiye Masihi. (Luka 20:41-44).
Makuhani wakuu, mafarisayo na wazee walimuuliza Yesu hekaluni.
neno hili linaonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Yesu anawajibu wakuu wa makuhani, mafarisayo na wazee.
"Yesu akawajibu"
Yesu alijua mamlaka ya Yohana ilitoka mbinguni, Aliuliza swali ili vingozi wa kiyahudi waseme wanavyofikiri kwa wote waliowasikiliza. "mnafikiri mamlaka ya Yohana yalitoka mbinguni au kwa wanadamu?" au "mnadhani Mungu alimwambia Yohana abatize watu au watu walimwambia afanye hivyo?"
"toka kwa Mungu" Wayahudi waliepuka kumtaja Mungu kama "Yawe". Mara nyingi wanatumia neno "Mbingu" kumuelezea
"Walijadili" au "walitafakari jibu lao"
Lugha nyingine zinatumia nukuu ya moja kwa moja. "Kama tukisema mamlaka ya Yohana yalitoka Mbinguni"
"Toka kwa Mungu" inategemea na namna ambavyo swali lilitafsiriwa kwenye mistari iliyopita, hii inaweza kutafsiriwa kama "Mungu alifanya" au "Mungu alimpa mamlaka"
Yesu atasema
"Kutuua kwa kutupiga mawe" Sheria ya Mungu imeamuru watu wake kuwapiga mawe watu wanaomdhihaki yeye au manabii zake.
"ndipo wakuu wa makuhani na mafarisayo na wazee wakamjibu" Neno "ndipo" linaonyesha tukio limetokea kutokana na tukio limgine lililotokea kabla.
Wakasema, "hatujui ilipotoka"
"Yohana mbatizaji alitoka wapi." Mamlaka aliyokuwa nayo Yohana ya kubatiza yalitoka wapi" au "nani alimpa mamlaka Yohana ya kubatiza watu."
"Na sitawaambia" au "kama ambavyo hamniambii basi na mimi siwaambii"
Yesu alaanza kuwaambia mfano watu waliokuwa hekaluni
"aliwaruhusu baadhi ya wakulima wa mizabibu watumie kwa mabadilishano ya pesa" au "aliwaruhusu wakulima wa mizabibu walitumie ba baadae wamlipe pesa"
Watu ambao hupanda na kukuza mizabibu. "wakulima wa mizabibu"
"Baadhi ya mizabibu" au "baadhi ya walichozalisha kwenye shamba." Pia inaweza kuelezea vitu amabavyo vinatokana na zabibu au pesa zinazotokana na mauzo ya zabibu
"wakamrudisha bila kumlipa" au "wakamrudisha bila mizabibu"
"Wakamdhalilisha"
"wakamsababishia majeraha"
Hata mtumishi wa tatu au na mtumishi mwingine. Neno
"wakati wakulima walipomuona mtoto wa mwenye shamba"
Walisema hivyo ili kutiana moyo kuua
Yesu alimaliza kuwaambia mfano wake kwa makutano.
"Wakulima wa mzabibu walimtoa kwa nguvu mwana wa mwenye shamba nje ya shamba
Yesu alitumia maswali ili wasikilizaji wake wawe makinijuu ya atakayoyafanya mwenye shamba. "sasa sikilizeni je Bwana shamba atawafanya nini."
"Mungu ayaepushe yasitokee haya" au "Isitokee kamwe" Watu wanaelewa mfano huu kuwa unamaanisha kuwa Mungu atawaondoa Yerusalemu kwa kuwa wamemkataa Mesia. Wanaelezea kwa nguvu shauku yao kuwa jambo hili baya lisitokee.
Yesu anaendelea kuwafundisha makutano
"Lakini yesu akawatazama" au "Lakini Yesu akawaangalia moja kwa moja." Alifanya hivi ili wamuelewe alichokuwa anakisema.
"Andiko hili linaelezea nini?" Yesu alitumia maswali kuwauliza makutano. "Mnatakiwa kuwa na uwezo kuelewa aandiko hili"
Fumbo hili ni unabii toka kitabu cha Zaburi kuhusu namna watu watakavyomkataa Masiha.
"Jiwe walilolikataa waashi wakisema halikuwa zuri kwa ajili ya ujenzi." Kipindi hicho watu walijenga kuta za nyumba na majengo mengine kwa kutumia mawe.
Hili lilikuwa jiawe la muhimu kwa kufanya jengo liwe imara. "Limekuwa jiwe la Msingi" au "limekuwa jiwe la Muhimu"
"Yeyote atakayeanguka kwenye jiwe hilo". Fumbo hili ni unabii kuhusu kitakachotokea kwa wote watakaomkataa Mesia.
"Atavunjika vipande vipande." Haya ni matokeo ya kuanguka kwenye jiwe.
"Lakini kwa yeyote ambaye jiwe litamwangukia." Fumbo hili linaonyesha unabii kuhusu Mesia atakapowahukumu waliomkataa.
"walitafta njia ya kumkamata Yesu"
Mda huo huo
Hii ndiyo sanbabu hawakumkamata Yesu moja kwa moja. Watu walimuheshimu Yesu na viongozi wa dini waliogopa kile ambacho watu wangekifanya ikiwa wangemkamata Yesu. "Lakini hawakumkamata kwa kuwa waliwaogopa watu."
"Mafarisayo na Makuhani wakuu walituma wapelelezi kumuangalia Yesu"
"kwa kuwa walitaka kumtuhumu Yesu kwa kusema jambo baya"
"ili kumpeleka kwa" au "ili kumkabidhi kwa"
Kuongoza na mamlaka ni njia mbili za kuelezea kitu kimoja.
Hapa ni mwanzo wa tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi hii. Muda sasa umepita tangu Yesu alipoulizwa maswali hekaluni na Makuhani wakuu. Wapelelezi sasa wanamuuliza Yesu.
Inamaanisha 1)wewe sema ukweli hata kama watu wa muhimu hwatapenda" au 2)"usimpendelee mtu mmoja juu ya mwingine."
Hii ni sehemu waliyosema wapelelezi kwamba wanafahamu kuhusu Yesu.
Walitegemea kuwa Yesu atasema "ndio" au "hapana." Angesema "ndio" Wayahudi wangemkasirikia kwa kusema walipe kodi kwa serikali ya kigeni. Angesema "hapana" viongozi wa dini wangewaambia warumi kuwa Yesu aliawafundisha watu kuvunja sheria za warumi.
Walimuuliza Yesu kuhusu sheria za Mungu na sio sheria za Kaisari. "shheria zetu zinaruhusu."
kwa sababu kaisari alikuwa kiongozi wa serikali ya Roma hivyo wanaielezea serikali ya Roma kwa jina la Kaisari.
"lakini Yesu alitambua mtego wao ulivyokuwa" au " lakini Yesu alione kuwa walikuwa wanajaribu wanamtega" neno "wao" linamaanisha wapelelezi"
Hii ni sarafu ya Kirumi yenye thamani ya mshahara wa siku.
Yesu alitumia swali kuwajibu waliokuwa wanamtega.
"picha na jina"
Hapa ni mwisho wa tukio hili kuhusu wapelelezi na sehemu ya simulizi inayoanza
"Kisha Yesu akawaambia"
Hapa "Kaisari" anamaanisha serikali ya Rumi
"hatukuweza kupata chochote kibaya kwa aliyoyasema"
"Walishangaa" au wali
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. hatufahamu ilitokea wapi, japo inaweza kuwa wapo hekaluni. Yesu anaongea na Masadukayo.
Maneno haya yanatambulisha Mawadukayo ambao ni kundi la Wayahudi wanaosema hakuna atakayefufuliwa toka kwa wafu. Haimaanishi kuwa baadhi ya masadukayo wanaamini kuwa kuna ufufuo na wengine hawaamini.
"Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake wakati ana mke lakini hawana watoto"
"mtu atamuoa mjane aliyefiwa na mume wake"
Masadukayo wakamaliza kumuuliza Yesu maswali.
Masadukayo walimwambia Yesu simulizi fupi kwenye mstari wa 29-32. Hii ni simulizi waliyoiweka kama mfano. kwenye mstari wa 33, walimuuliza Yesua swali kuhusu simulizi hiyo.
Hii inaweza kuwa imetokea au ni simulizi iliyotengenezwa ili kumjaribu Yesu.
"kufa bila kuwa na mtoto" au "na kufa lakini hawakuwa na mtoto yeyote"
"wa pili alimuoa na kitu kilekile kikatokea" au "ndugu wa pili akamuoa na akafa bila kupata watoto"
"wa tatu akamuoa"
"kwa njia ileile kama ndugu wote saba walimuoa na hawakupata watoto wa wakafa.
"wakati watu watafufuliwa toka kwa wafu" au "wakati waliokufa wanakuwa hai tena." Baadhi ya lugha wananjia ya kuonyesha kuwa masadukayo hawaamini kuwa kuna ufufuo.
Yesu anaanza kuwajibu Masadukayo
"Watu wa ulimwengu huu" au "watu wa nyakati hizi." Hii inapingana na wale walioko mbingini na watu watakaoishi baada ya ufufuo.
Kwa tamaduni hiyo wanaongelea juu ya mwanaume kumuoa mwanamke na mwanamke kupelekwa kwenye ndoa kwa mume wake "kuolewa."
"watu ambao Mungu anawaona kuwa wanastahili"
"kufufuliwa toka kwa wafu" au "kufufuka toka kwa wafu"
"Hawataoa." Hii ni baada ya ufufuo.
Hii ni baada ya ufufuo. "Hawatakuwa na uwezo wa kufa tena."
"ni watoto wa Mungu maana amewatoa toka kwenye kifo"
Yesu alimaliza kuwajibu Masadukayo.
Neno "hata" lipo hapo kwa sababu Masadukayo hawakushangazwa na baadhi ya maandiko kuwa wafu wanafufuliwa, ila hawakutegemea kama Musa angeandika kitu kama hicho. "Lakini hata Musa alionyeshwa kuwa wafu wanafufuliwa"
"kwenye sehemu ya maandiko ameandika kuhusu kichaka kinachowaka moto" au "kwenye maandiko kuhusu kichaka kinachowaka moto"
Ambapo Musa alimuita Bwana
"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo" walimuabudu Mungu huyuhuyu.
Neno hili limetumika kuonesha ukomo wa mafundisho makuu. hapa Yesu anaelezzea namna ambavyo simulizi hii inathibitisha kuwa watu wanafufuliwa.
Sentensi hizi zina maana moja lakini ni mbili kwa ajili ya kusisitiza. Lugha nyingine zina namna tofauti ya kuonyesha msisitizo. " Bwana ni Mungu wa walio hai katika uzima wa milele"
"kwa sababu kwenye macho ya Mungu wote wapo hai." "kwa sababu Mungu anajua ruho zao zipo hai"
"Baadhi ya mafarisayo wakamwambia Yesu." walikuwepo mafarisayo wakati Masadikayo walipokuwa wakimuuliza Yesu maswali.
"waliogopa kumuuliza" au hawakujitoa kumuuliza." hawakuendelea kumuuliza maswali ya mitego maana waliogopa majibu yake yenye hekima yatawafanya waonekane wajinga tena."
Yesu aliwauliza Mafarisayo swali.
Yesu alitumia swali kuwafanya mafarisayo wafikiri alichokuwa anakisema. "Tuwafikirie walivyosema... mwanangu" au "Nitaongea kuhusu wao wakisema... mwanangu"
"Kizazi cha Mfalme Daudi" Neno "mwana" limetumika kuelezea kizazi. Kwa sababu hii inamuelezea atakayetawala juu ya ufalme wa Mungu.
Hii imenukuliwa kutoka katika kitabu cha zaburi inasema "Yaweh" na mara nyingine inasema "Bwana" "Bwana Mungu akasema kwa Bwana wangu" au "Mungu akasema kwa Bwana wangu"
Daudi alikuwa akimuelezea Kristo kama "Bwana wake"
upande wa kulia ni sehemu ya heshima. Mungu alimuheshimu Mesiya kwa kusema "keti upende wangu wa kulia"
Mpaka nitakapowashinda adui zako
"Imekuwaje Kristo akaawa mwana wa Daudi" "hii inaonyesha kuwa Kristo sio
Sasa Yesu alikuwa anaelekeza umakini wake kwa wanafunzi wake na kuzungumza nao.
Kujihadhari navyo
Mavazi marefu yanaonyesha kuwa walikuwa wa muhimu. walipenda kupitapita wakiwa wamevaa nguo zao za muhimu"
"Pia wanakula kwenye nyumba za wajane" "Pia wanachukua kile kinachomilikiwa na wajane"
"wanajifanya kuwa ni wenye haki na huomba maombi marefu" au "huomba maombi maraefu ili watu wawaone"
hii inamaanisha Mafarisayo walifanya mambo yaliyowafanya waonekane wana umuhimu na wenye haki kuliko walivyo kiuhalisia.
"Watapokea adhabu kubwa kuliko wengine" au "Mungu atawaadhibu zaidi ya wengine"
1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina. 2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili. 3 Hivyo akasema, "Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote. 4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake." 5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema, 6 "Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa." 7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, "Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?" 8 Yesu akajibu, "Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate. 9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi." 10 Kisha akawaambia, "Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine. 11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni. 12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu. 13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu. 14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema, 15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana. 16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu. 17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu. 18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea. 19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu. 20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia. 21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia. 22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika. 23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa. 24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika. 25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi. 26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa. 27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu. 28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu." 29 Yesu akawaambia kwa mfano, "Uangalieni mtini, na miti yote. 30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu. 31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia. 32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea. 33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe. 34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla 35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima. 36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu." 37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni. 38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Luka 21:5-36 ni mafundisho yaliyopanuliwa kuhusu kurudi kwa Kristo.
Yesu anafundisha kwamba kabla ya kurudi kwake watu wengi watajidai kuwa ni yeye anayerudi. Pia itakuwa wakati wa mateso makubwa.
Wayahudi walizungumzia wakati kati ya uhamisho wa Babeli na kuja kwa Masihi kama kipindi cha utawala wa Wayunani. Hii ni kwa sababu Wayahudi hawakuwa na mamlaka juu ya mambo yao wenyewe.
Unabii katika sura hii ina lugha ya kusema kwa mifano. Ni bora kutafsiri habari yalioandikwa kama matukio halisi isipokuwa tafsiri hii haiwezekani au inatoa maana isiyosawa. Kwa mfano, maneno "yamevunjwa," "yatasimama dhidi," na "hakuna nywele kichwani mwako itakayoangamia" ni mifano. "Ishara mbinguni," "tetemeko la ardhi," na "vita" lazima pia zitafsiriwe kwa uhalisi.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Hii ni namna ya kutambulisha mtu mpya katika hadithi
"zawadi za fedha"
"sanduku la makusanyo" au "sanduku la fedha". Hili lilikuwa moja ya masanduku pale hekaluni ambapo watu huweka fedha kama zawadi kwa Mungu.
"sarafu mbili ndogo" au "sarafu za shaba ndogo sana". Hizi zilikuwa ni sarafu zenye thamani ndogo sana ambazo watu walizitumia siku hizo.
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
Tafsiri mbadala:"kuwa na fedha nyingi na kutoa baadhi ya hizo"
Tafsiri mbadala:"alikuwa na vichache sana, na bado aliweka vyote"
"vitu ambavyo watu walimpa Mungu"
"kutakuwa na nyakati ambapo" au "siku fulani"
"kila jiwe litatolewa mahali pake." Tafsiri mbadala: "adui hawataliacha jiwe juu ya jiwe juu ya jiwe jingine."
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Yote yatabomolewa chini" au " Adui watabomoa chini kila jiwe."
"wanafunzi wakamuuliza Yesu" au "Wanafunzi wa Yesu wakamuuliza"
Hii inarejea kile ambacho Yesu amesema kuhusu adui kuliharibu hekalu.
Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake.Tafsiri mbadala: "kwamba msiamini uongo" au "kwamba hakuna mmoja wa kuwadanganya."
Tafsiri mbadala: "wanadai kuwa mimi" au "wanadai kuwa na mamlaka yangu"
"Msiruhusu haya mambo yawaogofye" au "msiogope"
Tafsiri Mbadala: "mwisho wa dunia hautatokea upesi baada ya vita na vurugu" au "dunia haitafikia mwisho upesi baada ya mambo hayo kutokea"
" mwisho wa kila kitu" au "mwisho wa miaka"
"Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake." Kwa sababu huu ni mwendelezo wa kuongea kwa Yesu kutokea kwenye mstari wa nyumba, baadhi ya lugha zisingependelea kusema "Kisha akawaambia."
Tafsiri mbadala: "taifa moja litashambulia taifa jingine"
Hii inamaanisha makundi ya watu ya kikabila kuliko nchi.
Tafsiri mbadala: "Ufalme utainuka juu ya ufalme mwingine" au "majeshi kutoka ufalme mmoja utashambulia majeshi kutoka ufalme mwingine"
"kutakuwa na njaa na tauni" au "nyakati za njaa na magonjwa yanayouwa watu wengi"
"matukio yanayotisha watu" au "matukio yanayosababisha watu kuogopa sana"
Hii inamaanisha mambo mabaya ya kutisha ambayo Yesu alisema yatatukia.
Tafsiri mbadala: "watawakamata" au "watawashika"
"watu wata.." au "adui wata..."
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
"kuwatoa ninyi kwa viongozi wa masinagogi." Viongozi wa masinagogi wangewakataza Wayahudi wengine wote kuingiliana na wanafunzi kwa sababu wanamfuata Yesu.
"na kuwapeleka ninyi magerezani" au "na kuwaweka ninyi magerezani"
Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"
"kwa ninyi kuwaambia wao ushuhuda wenu kunihusu mimi"
"Kwa sababu ya hili." Yesu anatumia neno hili hapa kurejea kwenye kila kitu alichokisema.
Tafsiri mbadala: "zingatieni akilini mwenu" au "amua kiuthabiti"
"kutokufikiri nini ambacho mtasema ili kujitetea kinyume cha mashitaka yao"
"Nitawaambia maneno gani ya hekima ya kusema"
Tafsiri mbadala: "maneno ya hekima"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Adui zenu hawataweza kubishana na ninyi au kusema kwamba hamko sahihi" au "Adui zenu lazima wakubali kwamba mko sahihi."
Tafsiri mbadala: "wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu watawapeleka kwa wenye mamlaka"
"watawaua baadhi yenu." Pia inaweza kutafsiriwa kama 1) "wenye mamlaka watawaua baadhi yenu" au 2) "wale ambao watawaleta watawaua baadhi yenu." tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi.
Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"
Hii inaonyesha sehemu ndogo sana ya kiungo cha mwanadamu kusisitiza kwamba mtu katika ukamilifu wake hatapotea. Yesu aliishasema kwamba baadhi yao wanaweza kuuwawa. Kwahiyo baadhi walielewa kwamba hawatadhurika kiroho. Tafsiri mbadala: "Lakini mambo haya hayawezi kweli kuwadhuru ninyi" au "Hata kila unywele juu ya vichwa vyenu utakuwa salama.
"kwa kusimama thabiti." Tafsiri mbadala: "Kama hamtaacha."
"mtapokea uzima" au "mtaishi milele"
Tafsiri mbadala: "Majeshi yanauzunguka Yerusalemu"
"kwamba itaharibiwa hivi karibuni" au "kwamba watauharibu muda si mrefu"
"kimbia mbali kutoka kwenye hatari"
"hizi ni siku za adhabu" au "huu ni wakati ambapo Mungu atauadhibu mji"
Tafsiri mbadala: "mambo yote ambayo manabii wameandika katika maandiko matakatifu zamani za kale"
Tafsiri mbadala: "yatatokea"
Yaweza kutafsiriwa kama 1) watu wakaao katika nchi watadhikika au 2) kutatokea maafa kabisa katika nchi.
"kutakuwa na ghadhabu kwa watu hawa." Tafsiri mbadala: "hawa watu watapata uzoefu wa hasira ya Mungu" au "God atakasirika sana na atawaadhibu watu hawa."
"watauwawa kwa ncha ya upanga." Tafsiri mbadala: "maaskari maadui watawauwa.
Tafsiri mbadala: "Maadui zao watawakama na kuwapeleka nchi nyingine"
Inaweza kutafsiriwa kama 1) watu wa Mataifa wataushinda Yerusalemu na kuukalia au 2) watu wa Mataifa watauharibu mji wa Yerusalemu au 3) watu wa Mataifa watawaharibu watu wa Yerusalemu.
Tafsiri mbadala: "wakati wa watu wa Mataifa umefika mwisho"
Tafsiri mbadala: "watu wa mataifa mbalimbali watadhikika" au "watu wa mataifa mbalimbali watakuwa na fadhaa nyingi"
"kwa sababu watachanganywa na mlio wa bahari na mawimbi" au "sauti kubwa ya bahari na machafuko yake yatawatisha watu." Hii inaoneka kumaanisha dhoruba isiyokuwa ya kawaida au machafuko yanayotokea baharini.
"mambo ambayo yatatokea duniani" au "mambo yatakayotokea kwa dunia"
Inaweza kutafsiriwa kama 1) vitu vya huko angani kama jua, mwezi, na nyota hazitaenda kwa utaratibu wake wa kawaida au 2) roho zenye nguvu sana huko mbinguni zitafadhaishwa. Tafsiri ya kwanza inapendekezwa. Tafsiri mbadala: "Mungu atatikisa vitu vyenye nguvu huko mbinguni.
Yesu anarejea kwake mwenyewe
Tafsiri mbadala: "akija chini katika mawingu"
Hapa "nguvu" inawezekana inarejea katika mamlaka yake kuuhukumu ulimwengu. Hapa "utukufu" unaweza kurejea mwanga angavu. Mungu wakati mwingine anaonyesha ukuu wake na mwanga angavu sana. Tafsiri mbadala: "a nguvu na utukufu" au "atakuwa na wa nguvu na wa utukufu sana."
Wakati mwingine watu wanapoogopa, hujiinamisha chini ili kuepuka kuonekana au kuumizwa. Wakati wanapokuwa hawaogopi tena, wananyanyuka. Tafsiri mbadala: "simameni na ujasiri."
Tafsiri mbadala: "tazameni juu." Kwa kutazama juu, wataweza kumuona mwokozi akija kwao.
Tafsiri mbadala: "kwa sababu mkombozi wenu anakuja kwenu" au "kwa sababu Mungu mara atawaokoa"
"Wakati majani yake yaanzapo kukuwa"
Tafsiri mbadala: "watu wanajionea wenyewe na kutambua"
"kiangazi kiko karibu kuanza." Kiangazi katika Israel ni wakati wa ukavu sana, hivyo mazao huvunwa mwanzo wa kiangazi. Tafsiri mbadala: "wakati wa mavuno u tayari kuanza."
Mungu atausimamisha ufalme wake hivi karibuni" Tafsiri mbadala: Mungu atatawala kama Mfalme hivi karibuni."
Inaweza kutafsiriwa kama 1) kizazi ambazho kitaona moja ya ishara ambazo Yesu aliziongelea au 2) kizazi amacho Yesu alikuwa anakizungumzia. Tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi.
Tafsiri mbadala: "kitakuwa bado hai wakati..."
"Mbingu na nchi zitakoma kuwepo." Neno "mbingu" hapa linamaanisha anga na ulimwengu mwingine juu yake.
"maneno yangu hayatakoma kuishi" au "maneno yangu hayatashindwa kamwe." Tafsiri mbadala: "Nikisemacho hakika kitatokea."
Tafsiri mbadala: "ili msije mkawa mmetingwa na"
"tamaa isiyoweza kuzuiwa" au " kujiweka kwenye kutamani na kutumia vitu ambavyo vinakufanya ujisikie vizuri." Tafsiri mbadala: "Anasa nyingi."
"kujitaabisha au kujihangaisha sana kuhusu maisha haya"
Wengine wangependa kuongeza habari elekezi: "Kwamba kama hamtakuwa waangalifu ile siku itawajia ghafula." Ujio wa siku hiyo utaonekana kuwa wa ghafula na wakutotarajiwa kwa wale ambao hawako na hawaisubiri.
Tafsiri mbadala: "siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja"
Tafsiri mbadala: "wakati ambapo hamuitarajii, kama mtego unapofunga ghafula kwa mnyama"
"itamuathiri kila mmoja" au "tukio la siku hiyo litamuathiri kila mmoja"
Tafsiri mbadala: "katika eneo la dunia nzima" au "juu ya dunia nzima"
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "imara vya kutosha kuyavumilia haya mambo" au 2) "kuweza kuyaepuka haya mambo."
"mambo haya yatakayotokea." Yesu alikuwa amewaambia si muda mrefu juu ya mambo mabaya ambayo yangetokea kama vile kuteswa, vita, na kuchukuliwa mateka.
"Kusimama kwa ujasiri mbele ya Mwana wa Adamu." Hii inaweza kumaanisha wakati ambapo Mwana wa Adamu anamhukumu kila mmoja. Mtu ambaye hayuko tayari atamuogopa Mwana wa Adamu na hataweza kusimama kwa ujasiri.
"wakati wa mchana angeweza kufundisha." Mistari inayofuata kuhusu vitu ambavyo Yesu na watu walifanya kila siku katika wiki kabla hajafa.
Tafsiri mbadala: "katika hekalu" au "kwenye uwanja wa ndani wa hekalu"
"usiku angeliweza kwenda nje ya mji" au "alikwenda nje kila usiku"
Tafsiri mbadala: "idadi ya watu wengi sana" au "karibu kila mmoja"
"wangekuja asubuhi na mapema" au "walikuja mapema sana kila asubuhi"
"kumsikiliza akifundisha"
1 Basi Sikukuu ya Mkate Usiyotiwa Chachu ilikuwa imekaribia, ambayo inaitwa Pasaka. 2 Makuhani wakuu na waandishi wakajadiliana namna ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu. 3 Shetani akaingia ndani ya Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na mbili. 4 Yuda akaenda kujadiliana na wakuu wa makuhani na wakuu namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao. 5 Walifurahi, na kukubaliana kumpa fedha. 6 Yeye aliridhia, na alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu. 7 Siku ya mikate isiyotiwa chachu ikafika, ambapo kondoo wa Pasaka lazima atolewe. 8 Yesu akawatuma Petro na Yohana, akasema, "Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuje tukile." 9 Wakamuuliza, "Wapi unataka tuyafanyie hayo maandalizi?" 10 Akawajibu, "Sikilizeni, mtakapokuwa mmeingia mjini, mwanamume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi. Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia. 11 Kisha mwambieni bwana wa nyumba, "Mwalimu anakwambia, "Kiko wapi chumba cha wageni, mahali ambapo nitakula Pasaka na wanafunzi wangu?" 12 Atawaonyesha chumba cha ghorofani ambacho kiko tayari. Fanyeni maandalizi humo." 13 Hivyo wakaenda, na wakakuta kila kitu kama alivyowaambia. Kisha wakaandaa chakula cha Pasaka. 14 Muda ulipofika alikaa na wale mitume. 15 Kisha akawaambia, "Nina shauku kubwa ya kula sikukuu hii ya Pasaka na ninyi kabla ya kuteswa kwangu. 16 Kwa maana nawaambieni, sitakula tena mpaka itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu." 17 Kisha Yesu akachukua kikombe, na alipokwisha kushukuru, akasema, "Chukueni hiki, na mgawane ninyi kwa ninyi. 18 Kwa maana nawaambia, sitakunywa tena mzao wa mzabibu, mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja." 19 Kisha akachukua mkate, na alipokwisha kushukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, "Huu ni mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi." 20 Akachukua kikombe vivyo hivyo baada ya chakula cha usiku akisema, "Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, ambayo imemwagika kwa ajili yenu. 21 Lakini angalieni. Yule anisalitie yuko pamoja nami mezani. 22 Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake kama ilivyokwisha amuliwa. Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa!" 23 Wakaanza kuulizana wao kwa wao, nani miongoni mwao ambaye angefanya jambo hili. 24 Kisha yakatokea mabishano katikati yao kwamba ni nani anaye dhaniwa kuwa mkuu kuliko wote. 25 Akawaambia, "Wafalme wa watu wa mataifa wana ubwana juu yao, na wale mwenye mamlaka juu yao wanaitwa waheshimiwa watawala. 26 Lakini haitakiwi kabisa kuwa hivi kwenu ninyi. Badala yake, acha yule ambaye ni mkubwa kati yenu awe kama mdogo. Na yule ambaye ni wa muhimu sana awe kama atumikaye. 27 Kwa sababu yupi mkubwa, yule akaaye mezani au yule anayetumika? Je si yule aketie mezani? Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye. 28 Lakini ninyi ndio ambao mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu. 29 Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme, 30 kwamba mpate kula na kunywa mezani kwangu kwenye ufalme wangu. Na mtakaa kwenye viti vya enzi mkizihukumu kabila kumi na mbili za Israel. 31 Simoni, Simoni, fahamu kwamba, Shetani ameomba awapate ili awapepete kama ngano. 32 Lakini nimekuombea, kwamba imani yako isishindwe. Baada ya kuwa umerudi tena, waimarishe ndugu zako." 33 Petro akamwambia, "Bwana, niko tayari kwenda na wewe gerezani na hata katika mauti." 34 Yesu akajibu, "Nakwambia, Petro, Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua." 35 Kisha Yesu akawaambia, "Nilipowapeleka ninyi bila mfuko, kikapu cha vyakula, ua viatu, je mlipungukiwa na kitu?" Wakajibu "Hakuna." 36 Kisha akawaambia, "Lakini sasa, kila mwenye mfuko, na auchukue pamoja na kikapu cha vyakula. Yule ambaye hana upanga imempasa auze joho lake anunue mmoja. 37 Kwa sababu nawaambia, yote ambayo yameandikwa kwa ajili yangu lazima yatimilike, 'Na alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati.' Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu kinatimizwa." 38 Kisha wakasema, "Bwana, tazama! Hizi hapa panga mbili." Na akawaambia"yatosha." 39 Baada ya chakula cha usiku, Yesu aliondoka, kama ambavyo amekuwa akifanya mara kwa mara, akaenda mlima wa Mzeituni, na wanafunzi wakamfuata. 40 Walipofika, aliwaambia, "Ombeni kwamba msiingie majaribuni." 41 Akaenda mbali na wao kama mrusho wa jiwe, akapiga magoti akaomba, 42 akisema, "Baba, kama unataka, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike." 43 Kisha malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu. 44 Akiwa katika kuugua, akaomba kwa dhati zaidi, na jasho lake likawa kama matone makubwa ya damu yakidondoka chini. 45 Wakati alipoamka kutoka katika maombi yake, alikuja kwa wanafunzi, na akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni yao, 46 na akawauliza, "Kwanini mnalala? Amkeni muombe, kwamba msiingie majaribuni." 47 Wakati alipokuwa bado akiongea, tazama, kundi kubwa la watu likatokea, na Yuda, mmoja wa mitume kumi na wawili akiwaongoza. Akaja karibu na Yesu ili ambusu, 48 lakini Yesu akamwambia, "Yuda, je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?" 49 Wakati wale waliokuwa karibu na Yesu walipoona hayo yanayotokea, wakasema, "Bwana, je tuwapige kwa upanga?" 50 Kisha mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia. 51 Yesu akasema, "hii inatosha. Na akagusa sikio lake, akamponya. 52 Yesu akasema kwa kuhani mkuu, na kwa wakuu wa hekalu, na kwa wazee waliokuja kinyume chake, "Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga? 53 Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote kwenye hekalu, hamkuweka mikono yenu juu yangu. Lakini hii ni saa yako, na mamlaka ya giza." 54 Wakamkamata, wakamuongoza, wakamleta nyumbani mwa kuhani mkuu. Lakini Petro akamfuatilia kwa mbali. 55 Baada ya kuwa wamewasha moto katika ule uwanda wa ndani na walipokwisha kukaa chini pamoja, Petro akakaa katikati yao. 56 Mtumishi mmoja wa kike akamuona Petro alipokuwa amekaa katika mwanga utokanao na moto, akamtazama akamwambia, "Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye." 57 Lakini Petro akakana, akasema, "mwanamke, mimi simjui." 58 Baada ya muda kidogo, mtu mwingine akamuona akasema "Wewe pia ni mmoja wao". Lakini Petro akajibu, "Mwanaume, mimi siyo." 59 Baada ya kama saa moja hivi, mwanaume mmoja akasisitiza akasema, "Kweli kabisa huyu mtu pia alikuwa pamoja naye, maana ni Mgalilaya." 60 Lakini Petro akasema, "Mwanaume, sijui usemalo." Na mara, wakati akiongea, jogoo akawika. 61 Akageuka, Bwana akamtazama Petro. Na Petro akalikumbuka neno la Bwana, pale alipomwambia, "Kabla ya jogoo kuwika leo, utanikana mimi mara tatu." 62 Akienda nje, Petro akalia kwa uchungu mwingi. 63 Kisha wale wanaume waliokuwa wakimlinda Yesu, wakamdhihaki na kumpiga. 64 Baada ya kumfunika macho, wakamuuliza, wakisema, "Tabiri! Ni nani aliyekupiga?" 65 Wakaongea mambo mengine mengi kinyume cha Yesu na kumkufuru yeye. 66 Mara ilipokuwa asubuhi, wazee wa watu walikusanyika pamoja, wakuu wa makuhani na waandishi. Wakampeleka kwenye Baraza, 67 wakisema, "Kama wewe ni Kristo, tuambie." Lakini yeye akawaambia, "Kama nikiwaambia, hamtaniamini, 68 na kama nikiwauliza hamtanijibu." 69 Lakini kuanzia sasa na kuendelea, Mwana wa Adamu atakuwa amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu." 70 Wote wakasema, "Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?" Na Yesu akawaambia, "Ninyi mmesema mimi ndiye." 71 Wakasema, "Kwa nini bado tunahitaji tena ushahidi? Kwa sababu sisi wenyewe tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe."
Matukio ya sura hii hujulikana kama "jioni ya mwisho." Sikukuu ya Pasaka kwa njia nyingi inafanana na dhabihu ya Yesu kama kondoo wa Mungu.
Hadi leo, hatua hii inafanyika karibu na makanisa yote kukumbuka dhabihu ya Kristo kwa ajili ya dhambi za mwanadamu.
Yesu anataja Agano Jipya wakati wa jioni la mwisho. Agano Jipya ni chanzo cha utata kati ya wasomi. Kuna maoni mengi tofauti kuhusu wakati agano hili linapoanza na uhusiano wa kanisa na agano jipya.
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Katika tamaduni nyingi, kuna imani kwamba mambo mabaya hutokea tu katikati ya usiku, wakati watu wema wamelala. Maneno haya ni kejeli yanayoonyesha kwamba watu wanaomkamata Yesu wanatenda mabaya.
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. Yuda anakubali kumsaliti Yesu. Mistari hii inatupa taarifa za msingi kuhusu sehemu hii ya simulizi.
Neno hili linatumika hapa sehemu mpya ya simulizi
sikukuu hii ilikuwa inaitwa kwa jina hili kwa sababu wakati wa sikukuu, Wayahudi hawakula mkate ambao ulikuwa umetengenezwa na chachu. Tafsiri mbadala: "Sikukuu ambapo wangekula mkate usiyotiwa chachu"
Huu ni mkate ambao hauna chachu au hamila ili kuufanya uumuke. Tafsiri mbadala: "Mkate bila Hamila."
"ilikuwa tayari sana kuanza"
Makuhani na waandishi hawakuwa na mamlaka ya kumuua Yesu wao wenyewe, lakini walitegemea kupata watu wengine wa kumuua. Tafsiri mbadala: "Namna gani ambavyo wangesababisha Yesu kuuwawa" au "namna ambavyo wangesababisha mtu amuuwe Yesu."
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "walikuwa na wasiwasi wa kile ambacho watu wangefanya" au 2) "walikuwa na wasiwasi kwamba watu wangemfanya Yesu mfalme."
Huu ndio mwanzo wa matukio katika sehemu hii ya simuli.
Hii inawezekana ilikuwa sawa na kupagawa na pepo.
"viongozi wa makuhani"
'viongozi wa walinzi wa hekalu'"
Tafsiri mbadala: "namna ambavyo angewasaidia kumkamata Yesu"
"Wakuu wa makuhani na wakuu"
"kumpa Yuda fedha"
"alikubali"
hiki ni kitendo kinachoendelea baada ya sehemu hii ya simulizi kuisha.
"kuwasaidia kumkamata Yesu"
"kwa usiri" au "wakati ambapo hakuna kundi la watu wakimzunguka"
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anawatuma Petro na Yohana kuandaa kwa ajili ya chakula cha Pasaka. Mstari wa saba utatupa habari au taarifa za msingi kuhusu simulizi inavyoanza.
"Siku ya mkate bila hamila" au "Siku ya chapati." Hii ilikuwa ni siku ambayo Wayahudi wangetoa nje ya nyumba zao mikate yote ambayo ilikuwa imetengenezwa na hamila. Kisha wangesherehekea sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu au hamila kwa siku saba.
Kila familia au kikundi cha watu wangemchinja kondoo na kumla pamoja, hivyo kondoo wengi sana walichinjwa. Tafsiri mbadala: "watu ilikuwa lazima wachinje kondoo kwa ajili ya chakula cha Pasaka."
Yesu alikuwa anawajumuisha Petro na Yohana aliposema "tu.." Petro na Yohana wangekuwa sehemu ya kundi ambalo lingekula chakula kile.
Hili ni neno la kiujumla linalomaanisha "fanya tayari." Yesu si kwamba alikuwa akiwaambia Petro na Yohana kufanya mapishi yote.
Neno "tu.." halimuhusishi Yesu. Yesu asingekuwa sehemu ya kundi ambalo lingeandaa chakula kile.
"kufanya maandalizi ya chakula" au "kuandaa chakula"
"Yesu akawajibu Petro na Yohana"
"mtamuona mtu amebeba mtungi wa maji"
"amebeba mtungi wenye maji ndani yake." Inawezekana angekuwa amebeba mtungi begani mwake.
Tafsiri mbadala: "Mfuateni, na ingieni kwenye hiyo nyumba"
Hii inaanzisha nukuu elekezi ambapo Yesu aliwaambia wanafunzi wake nini cha kusema.
Hii inaongela juu ya Yesu.
"kula mlo wa Pasaka"
"Mwenye nyumba atawaonyesha"
"vyumba vya juu ya nyumba"
"Hivyo Petro na Yohana wakaenda"
"Nimetaka sana"
Hii sentensi inatumika kusisitiza umuhimu wa kile Yesu atakisema baada ya hicho.
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "mpaka kusudi la Sikukuu ya Pasaka litakapokuwa limetimizwa" au 2) "mpaka tutakapokula na kushangilia Sikukuu ya mwisho ya Pasaka." Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoitimiliza" au "mpaka Mungu atakapolitimiliza kusudi la Sikukuu ya Pasaka."
"alipokwisha toa shukurani kwa Mungu"
"akasema kwa mitume wake"
Tafsiri mbadala: "mgawane divai miongoni mwenu" au "ninyi wote mnywe divai kidogo kutoka katika hiki"
Hii sentensi inatumika kusisitiza wa kile ambacho Yesu atakisema baada ya hiki.
Hii inarejea "jwisi" ambayo inakamuliwa kutoka katika zabibu inayoota kwenye shamba la mizabibu. Divai inatokana na "jwisi" ya zabibu iliyochacha.
Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoimarisha ufalme wake" au "mpaka Mungu atakapotawala katika ufalme wake.
Huu mkate ni ule ambao haukuwa na hamila ndani yake, hivyo ilikuwa na chapati.
"akaukata" au "akauchana." Aliugawanya kwenye vipande vingi vingi au aliugawanya kwenye vipande viwili na akawapa mitume kugawana miongoni mwao.
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "Huu mkate ni mwili wangu" au 2) "Huu mkate unawakilisha mwili wangu."
"mwili wangu ambao nitautoa kwa ajili yenu" au "mwili wangu ambao nitautoa sadaka kwa ajili yenu" Tafsiri mbadala: "mwili wangu, ambao nautoa kwa wenye mamlaka kuuuwa kwa ajili yenu."
"kula huu mkate"
"ili kunikumbuka mimi"
Neno "kikombe" linamaanisha au linarejea divai ndani ya kikombe. Tafsiri mbadala: "Divai kwenye kikombe hiki" au "Divai hii."
"ni agano jipya, ambalo litatoa matunda kwa damu yangu" au "ni agano jipya ambalo litahalarishwa kwa damu yangu" au "linawakirisha agano jipya, ambalo Mungu ataliimarisha wakati damu yangu itakapomwagwa"
"damu yangu, ambayo imemwagwa katika kifo kwa ajili yenu" au "damu yangu, ambayo itatoka katika vidonda vyangu kwa ajili yenu nitakapokufa." Yesu aliongea kuhusu kifo chake kwa kurejea mwili wake kuvunjwa na damu yake kumwagwa.
"Yeye atakaye nisaliti"
"Kwa kweli Mwana wa Adamu atakwenda" au "Kwa maana Mwana wa Adamu atakufa"
Tafsiri mbadala: "kama Mungu alivyokwisha amua" au "kama Mungu alivyokwisha kupanga"
Tafsiri mbadala: "Lakini ole kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!" au "Lakini ni hatari kiasi gani kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!"
"Kisha mitume wakaanza kubishana wao kwa wao"
Tafsiri mbadala: "watu wangefikiri ni wa muhimu sana"
"Yesu akawaambia mitume"
"wanatawala kwa ukatili juu yao" au "wanapenda kutumia nguvu juu yao"
Watu inawezekana hawakuwafikiria wale watawala kama watawala wakuheshimiwa. Tafsiri mbadala: "walipenda kuitwa" au "walijiita wenyewe."
Tafsiri mbadala: "wafadhili" au "viongozi wanaowasaidia watu"
"msifanye kama hivyo"
Viongozi walikuwa mara nyingi watu wazima na waliitwa "wazee," "vijana wadogo" walikuwa na uwezekano mdogo wa kuongoza. Tafsiri mbadala: "enye umuhimu wa mwisho"
Hii inaunganisha amri ya Yesu mstari wa 26 na mstari mzima wa 27. Inamaanisha kwamba mtu wa muhimu zaidi anatakiwa kutumika kwa sababu Yesu ni mtumishi.
"yule anayehudumia chakula" au "yule anayewahudumia waliokaa." Hii inamaanisha mtumishi.
"nani aliye wa muhimu....atumike?" Yesu anatumia swali kutambulisha jibu lake kwa swali la mitume kuhusu ukubwa. Tafsiri mbadala: "Nataka ninyi mfikiri kuhusu nani aliye mkubwa...atumike."
"yule anayekula chakula"
Yesu anatumia swali jingine kuwafundisha wanafunzi. Tafsiri mbadala: "Bila shaka yule aketie mezani ni wa muhimu zaidi kuliko mtumishi!"
"Bado nawatumikia." Neno "bado" liko hapa kwasababu kunautofautishaji kati ya kile ambacho watu wangetegemea Yesu kuwa na kile ambacho kweli yuko.
"mmekaa nami katika mapito yangu"
Lugha nyingine zinaweza hitaji kubadilisha mpangilio. "Kama baba alivyonipa mimi ufalme, nami nawapeni."
"Nawafanya ninyi watawala katika Ufalme wa Mungu" au "Nawapa ninyi mamlaka kutawala katika ufalme" au "Nitawafanya ninyi wafalme"
"kama Baba alivyonipa mimi mamlaka kutawala kama mfalme katika ufalme wake"
Tafsiri mbadala: "mtafanya kazi kama wafalme" au "mtafanya kazi za wafalme"
Tafsiri mbadala: "Viti vya wafalme" au "viti vilivyotengenezwa kwa wafalme"
Yesu anaongea moja kwa moja na Simoni.
Yesu alilisema jina lake mara mbili kuonyesha kwamba kile ambacho alikuwa akiseme kwake kilikuwa cha muhimu sana.
Neno "awa" linaonyesha mitume wote.
Hii inamaanisha kwamba Shetani alitaka kuwajaribu mitume ili kupata makosa.
Hapa inamaanisha amemuombea kipekee kabisa SImoni.
"kwamba utaendelea kuwa na imani" au "utaendelea kunitegemea mimi"
"Baada ya kuanza kunifuata tena" au "Baada ya kuanza kunitumikia mimi tena"
Hii inamaanisha wanafunzi wengine wa Yesu. Tafsiri mbadala: "Waamini wenzako" au "mitume wengine."
Mpangilio wa maneno unaweza kubadilishwa na kusomeka: "Utanikana mara tatu kwamba unanijua kabla jogoo hajawika siku hii ya leo"
Hii inaweza kuongelewa kwa namna chanya: "Jogoo atawika siku hii ya leo mara tu baada ya kunikana."
Hapa, kuwika kwa Jogoo kunaonyesha muda fulani katika siku. Jogoo mara nyingi huwika kabla ya jua kuchomoza asubuhi.
Siku ya Kiyahudi huanza wakati wa kuzama kwa jua. Yesu alikuwa anaongea baada ya jua kuwa limezama. Jogoo angeliwika muda mchache kabla ya asubuhi. Asubuhi ilikuwa sehemu ya "siku hii." Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo" au "asubuhi."
Yesu alikuwa akiongelea kuhusu mitume wake.
Mfuko ni begi la kuwekea fedha. Hapa inatumika kumaanisha "fedha."
Tafsiri mbadala: "Begi la msafiri" au "chakula"
Yesu anatumia swali kuwasaidia mitume kukumbuka namna ambavyo watu waliwahudumia vizuri walipokuwa wakisafiri. Tafsiri mbadala: Wakati ule...bado mlikuwa na kila kitu mlichokihitaji.' Na wanafunzi walikubali wakasema 'Ndiyo, tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji."
"Hatukupungukiwa na kitu" au "Tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji"
Yesu alikuwa hamaanishi mtu falani kipekee ambaye hakuwa na upanga. Tafsiri mbadala:"Kama mtu hana upanga, anapaswa kuuza joho lake."
"koti" au "nguo ya nje"
Tafsiri mbadala:"ambayo nabii ameandika kuhusu mimi katika maandiko"
Mitume wangelimuelewa Mungu kwamba angesababisha yote yaliyoandikwa kwenye maandiko kutokea. Tafsiri mbadala: "Mungu atatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee."
Hapa Yesu ananukuu maandiko. Tafsiri mbadala: " watu walimchukulia kama mtu ambaye hafuati au hana sheria."
"Wale wanaovunja sheria" au "waharifu"
Inaweza kumaanisha 1) "Yale ambayo mtume ametabiri kuhusu mimi yako tayari kutokea" au 2) "Kwa kuwa maisha yangu yanafikia ukingoni."
Hii inamaanisha angalau wawili wa mitume wa Yesu.
Inaweza kumaanisha 1) "Hizo panga zinatosha" au 2) "Hiyo inatosha kuiongelea." Yesu aliposema wanatakiwa kununua panga, alikuwa hasa akiwaambia kuhusu hatari ambazo wote watazikabili. Inawezekana si kwamba aliwataka wanunue panga na wapigane.
Hii inamaanisha kukamilika kwa chakula cha Pasaka.
"kwamba hamjaribiwi" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya kutenda dhambi"
"kama umbali wa mtu kurusha jiwe." Tafsiri mbadala: "umbali mfupi" au kwa kipimo cha kukadilia kama "umbali wa mita 30"
Yesu atabeba adhabu ya dhambi zote katika historia ya mwanadamu kwa adhabu ya msalabani. Anaomba kwa Baba yake akimuuliza kama kuna njia nyingine.
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
Yesu anamaanisha juu ya mateso ambayo yuko karibu kuyapitia kana kwamba yalikuwa ndani ya kikombe na kwamba alikuwa anakwenda kukinywa. Tafsiri mbadala: "niondolee hiki kikombe cha mateso" au "niondolee haya mateso" au "niokoe kutoka katika kuteseka kwa namna hii."
Tafsiri mbadala: "Hata hivyo, nataka kufanya yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yako kuliko yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yangu.
"akamtokea Yesu"
"akamtia moyo"
"Alikuwa katika kuugua, na akaomba"
Tafrisi mbadala: "Wakati Yesu alipoamka baada ya kuomba" au "Baada ya kuomba, Yesu aliamka na"
"aliwaona kwamba walikuwa wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni sana"
Inaweza kumaanisha 1) "Nashangazwa kwamba mnalala sasa" au 2) "Hampaswi kuwa mmelala sasa hivi!"
"msijaribiwe" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya mtende dhambi"
Neno "tazama" linatutazamisha kuhusu kundi jipya katika simulizi.
Yuda alikuwa akiwaonyesha watu Yesu alipo. Alikuwa hawaambii kundi la watu nini cha kufanya. Tafsiri mbadala: "akiwaongoza kwa Yesu."
"kumsalimia kwa busu" au "kumsalimia kwa kumbusu." Wakati wanaume walipowasalimia wanaume wengine ambao walikuwa wa familia au marafiki, waliwakumbatia.
Yesu anatumia swali kumkemea Yuda kwa kumsaliti kwa busu. Kwa kawaida busu ni ishara ya upendo. Tafsiri mbadala: "Ni busu unayotumia kumsaliti Mwana wa Adamu!"
Yesu anatumia neno hili kujiongelea yeye.
Hii inaonyesha wanafunzi wa Yesu.
Tafsiri mbadala: "kwamba makuhani na maaskari walikuwa na watu wa kumkamata Yesu"
"akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa panga"
Tafsiri mbadala: "akamgusa mahali ambapo sikio lake lilikuwa limekatwa"
"Je mnakuja na marungu na mapanga kwa sababu mnafikiri mimi ni mnyang'anyi?" Yesu anatumia hili swali kuwa tahayarisha viongozi wa Kiyahudi. Tafsiri mbadala: "Mnajua kwamba mimi si mnyang'anyi, na bado mnanijia mkileta mapanga na marungu."
"Nilikuwa kati yenu kila siku"
Tafsiri mbadala: "Uwanda wa ndani ya hekalu" au "katika hekalu"
Tafsiri mbadala: "kunikamata"
"muda wako"
Hii inamaanisha mtawala muovu, Shetani. Tafsiri mbadala: "muda kwa mtawala wa giza" au "muda ambao Shetani anafanya mambo maovu kama anavyopenda kufanya"
"wakamuongoza Yesu kutoka kwenye bustani mahali ambapo walikuwa wamemkamata"
Moto ulikuwa ni wakuwapa watu joto. Tafsiri mbadala: "baadhi ya watu walikuwa wamewasha moto."
Huu ulikuwa uwanda katika nyumba ya kuhani mkuu. Ulikuwa na kuta pande zote, lakini bila paa.
"akamtazama moja kwa moja Petro na kusema na watu wengine pale uwandani"
Mwanamke alikuwa anawaambia watu kuhusu Petro kuwa na Yesu. Inawezekana kwamba hakulijua jina la Petro.
"Lakini Petro akasema haikuwa kweli"
Petro hakulijua jina la yule mwanamke. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanamke".
Petro hakulijua jina la yule mwanaume. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanaume".
"alisema kwa msisitizo" au "alisema kwa sauti"
Hapa "huyu mtu" inamaanisha Petro. Muongeaji inawezeka hakulijua jina Petro.
Mwanaume aliweza kuonyesha Petro alitokea Galilaya kutokana na jinsi alivyoongea.
Tafsiri mbadala: "kile ulichosema si kweli kabisa" au "kile ulichosema na uongo kabisa"
"wakati Petro alipokuwa akiongea"
Tafsiri mbadala: "Neno la Yesu" au "Kile ambacho Yesu alikuwa amekisema"
Yesu alikuwa ameishaongea jioni iliyopita kile kitakacho tokea muda si mrefu kabla ya jua kuchomoza au katika kuchomoza kwa jua. Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo."
"Baada ya kuwa wamemfunika macho yake ili kwamba asiweze kuona"
Wale walinzi hawakuamini kwamba Yesu ni nabii. Badala yake waliamini kwamba nabii wa ukweli angemjua aliyempiga hata kama alikuwa hawezi kuona. Walimuita Yesu nabii, lakini walitaka kuonyesha kwamba hakuwa nabii. Tafsiri mbadala: "Jionyeshe kwamba wewe ni nabii. Tuambie nani amekupiga? au "Haloo nabii, nani amekupiga?"
"Kuongea neno kutoka kwa Mungu!" Taarifa kutokana na ukweli huu ni kwamba Mungu angelimwambia Yesu nani alimpiga kwa sababu Yesu alikuwa amefunikwa macho na hakuweza kuona.
Inaweza kumaanisha 1) "Wazee walimleta Yesu kwenye baraza" au 2) "Walinzi walimpeleka Yesu mbele ya baraza la wazee."
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Wazee wakamwambia Yesu"
"tuambie kwamba wewe ni Kristo"
Yesu alisema kwamba haikuwa na maana kama angesema au angewauliza kusema, wasingejibu kwa ufasaha. Hizo sentensi mbili kwa pamoja zinaelezea mtazamo wa Yesu kwamba baraza lilikuwa kwa kweli halitafuti ukweli.
Hii ni moja ya maelezo ya kinadharia aliyoyatoa Yesu. Ilikuwa ni njia ya Yesu kujibu bila kuwapa sababu ya kusema kwamba alikuwa anahatia ya kukufuru.
Haya yalikuwa maelezo ya pili ya kinadharia
"kuanzia siku hii" au "kuanzia kutoka leo"
Yesu alitumia sentensi hii kumaanisha Kristo. Alimaanisha kwamba alikuwa akijiongelea mwenyewe, lakini wazee iliwalazimu kuuliza kuona kama hivyo ndivyo kweli alikuwa akisema.
Wayahudi walielewa kwamba hakuna hata mmoja ambaye angeweza kukaa pale.Waliiona hii ni sawa na kusema "atakuwa na Mungu kama Mungu."
"Mungu mwenye nguvu zote." Hapa "nguvu" inamaanisha mamlaka yake kuu.
Baraza lilimhukumu Yesu kusulubiwa kwa sababu alijithibitishia kwamba yeye alikuwa "Mwana wa Mungu," akijua Baraza litamhukumu kifo.
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
"Ndiyo, ni kama mlivyosema"
Walitumia swali kwa kuweka msisitizo. Tafsiri mbadala: "Hatuna haja tena ya kuwa na ushahidi!"
Tafsiri mbadala: "tumesikia moja kwa moja kutoka kwake kwamba anaamini yeye ni Mwana wa Mungu"
1 Mkutano wote wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato. 2 Wakaanza kumshutumu, wakisema, "Tumemkuta mtu huyu akipotosha taifa letu, kwa kukataza tusitoe kodi kwa Kaisari, na akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo, Mfalme." 3 Pilato akamuuliza, akisema, "Je wewe ni Mfalme wa Wayahudi?" Na Yesu akamjibu akisema, "Wewe wasema hivyo". 4 Pilato akamuambia kuhani mkuu na makutano, "Sioni kosa kwa mtu huyu". 5 Lakini wao wakasisitiza, wakisema, " Amekuwa akiwachochea watu, akifundisha katika Uyahudi yote, kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa." 6 Pilato aliposikia haya, akaulizia kama mtu huyo ni wa Galilaya? 7 Alipotambua kuwa alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka Yesu kwa Herode, ambaye naye alikuwa Yerusalemu kwa siku hizo. 8 Herode alipomuona Yesu, alifurahi sana kwasababu alitaka kumuona kwa siku nyingi. Alisikia habari zake na alitamani kuona moja ya miujiza ikifanywa na yeye. 9 Herode alimhoji Yesu kwa maneno mengi, lakini Yesu hakumjibu chochote. 10 Makuhani wakuu pamoja na waandishi walisimama kwa ukali wakimshitaki. 11 Herode pamoja na maaskari wake, walimtukana na kumdhihaki, na kumvika mavazi mazuri, kisha akamrudisha Yesu kwa Pilato. 12 Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo, (kabla ya hapo walikuwa maadui). 13 Pilato akawaita pomoja makuhani wakuu na watawala na umati wa watu, 14 Akawaambia, "Mmeniletea mtu huyu kama mtu anaye waongoza watu wafanye mabaya, na tazama, baada ya kuwa nimemhoji mbele yenu, sikuona kosa kwa mtu huyu kuhusu mambo yote ambayo ninyi mnamshitaki yeye. 15 Hapana, wala Herode, kwa maana amemrudisha kwetu, na tazama hakuna chochote alichokifanya kinachostahili adhabu ya kifo. 16 Kwahiyo basi nitamuadhibu na kumuachilia. 17 (Sasa, Pilato anawajibika kumuachilia mfungwa mmoja kwa wayahudi wakati wa sikukuu). 18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja, wakisema, "Mwondoe huyo, na tufungulie Baraba!" 19 Baraba alikuwa ni mtu ambaye amewekwa gerezani kwa sababu ya uasi fulani katika jiji na kwa kuua. 20 Pilato akawaambia tena, akitamani kumwachilia Yesu. 21 Lakini wao wakapiga kelele, wakisema, "Msulibishe, msulibishe." 22 Akawauliza kwa mara ya tatu, "kwa nini, huyu mtu amefanya maovu gani? Sikupata kosa linalostahili adhabu ya kifo kwake. Kwahiyo nitakapo maliza kumuadhibu nitamuachilia." 23 Lakini wakasisitiza kwa sauti ya juu, wakitaka asulubiwe. Na sauti zao zikamshawishi Pilato. 24 Hivyo Pilato akaamua kuwapatia matakwa yao. 25 Akamuachilia yule waliyemtaka ambaye alifungwa kwa kusababisha ghasia na kuua. Lakini akamtoa Yesu kwa matakwa yao. 26 Walipokuwa wakimpeleka, walimkamata mtu mmoja aitwaye Simoni wa Ukirene, akitokea katika nchi, wakamtwika msalaba ili abebe, akimfuata Yesu. 27 umati mkubwa wa watu, na wanawake ambao walihuzunika na kuomboleza kwa ajili yake, walikuwa wakimfuata. 28 Lakini akawageukia, Yesu akawaambia, 'Mabinti wa Yerusalemu, msinililie mimi, bali jililieni ninyi wenyewe na kwa ya ajili watoto wenu. 29 Tazama, siku zinakuja ambazo watasema, "Wamebarikiwa walio tasa na matumbo yasiyozaa, na matiti ambayo hayakunyonyesha. 30 Ndipo watakapo anza kuiambia milima, 'Tuangukieni,' na vilima, 'Mtufunike.' 31 Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje ukiwa mkavu?" 32 wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe. 33 Walipofika mahali paitwapo Fuvu la kichwa, ndipo wakamsulubisha pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia na mwingine upande wa kushoto. 34 Yesu alisema, "Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. "Nao wakapiga kura, kugawa mavazi yake. 35 Watu walikuwa wamesimama wakiangalia huku watawala wakimdhihaki, wakisema, "Aliwaokoa wengine. Sasa ajiokoe mwenyewe, kama yeye ni Kristo wa Mungu, mteule". 36 Askari pia walimdharau, walimkaribia yeye na wakumpa siki, 37 wakisema, "Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi jiokoe mwenyewe" 38 Kulikuwa pia na alama juu yake iliyoandikwa "HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI." 39 Mmoja wa wahalifu aliyesulubishwa alimtukana akisema, "Wewe si Kristo? jiokoe mwenyewe na sisi" 40 Lakini yule mwingine akajibu, akimkemea na akisema, "Je wewe humuogopi Mungu, nawe uko katika hukumu hiyo hiyo? 41 Sisi tupo hapa kwa haki, kwa maana sisi tunapokea kile tunachostahili kwa matendo yetu. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya." 42 Na aliongeza, "Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako." 43 Yesu akamwambia, "Amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso." 44 Hapo ilikuwa karibu saa ya sita, giza likaja juu ya nchi yote hadi saa ya tisa, 45 Mwanga wa jua ulizimika. Kisha pazia la hekalu likagawanyika katikati kuanzia juu. 46 Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, "Baba mikononi mwako naiweka roho yangu," baada ya kusema haya, akafa. 47 Wakati Akida alipoona yaliyotendeka alimtukuza Mungu akisema, "Hakika huyu alikuwa mtu mwenye haki." 48 Wakati umati wa watu waliokuja pamoja kushuhudia walipoona mambo yaliyofanyika, walirudi huku wakipiga vifua vyao. 49 Lakini marafiki zake, na wanawake waliomfuata toka Galilaya, walisimama kwa mbali wakiangalia hayo mambo. 50 Tazama, palikuwepo na mtu aitwaye Yusufu, ambaye ni mmoja wa baraza, mtu mzuri na mwenye haki, 51 (alikuwa hajakubaliana na maamuzi au matendo yao), kutoka Armathaya, mji wa Kiyahudi, ambao ulikua ukisubiria ufalme wa Mungu. 52 Mtu huyu, alimkaribia Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. 53 Alimshusha, na akauzungushia sanda, na akaumweka katika kaburi lililokuwa limechongwa katika jiwe, ambalo hakuna aliyewahi kuzikwa. 54 Ilikuwa ni siku ya maandalizi, na Sabato inakaribia. 55 Wanawake, waliokuja nao kutoka Galilaya, walimfuata, na wakaona kaburi na jinsi mwili wake ulivyolazwa. 56 Walirudi na kuanza kuandaa manukato na marashi. Kisha siku ya sabato walipumzika kwa mujibu wa sheria.
ULB huweka mbele kidogo mstari wa mwisho wa sura hii kwa sababu unaunganishwa zaidi na sura ya 24 kuliko sura ya 23.
Watu hawa hawakuwa wakimshtaki Yesu kwa kufanya uovu, bali mashtaka yao yalikuwa ya uwongo. Waligeuza ukweli ili kumfanya Pilato kumhukumu Yesu kufa.
Hii ni ishara muhimu. Pazia ilikuwa mfano ya utenganisho kati ya Mungu na mwanadamu. Mungu hakuweza kupatikana moja kwa moja kwa sababu ya utakatifu wake. Kifo cha Kristo kilibadilisha hii.
Ilikuwa ni desturi katika Israeli ya kale kumzika mtu aliyeheshimika katika kaburi na kutumia mwamba mkubwa kuifunga.
Baada ya swali moja rahisi, inaonekana kwamba Pilato anamtangaza Yesu kutokuwa na hatia haraka sana. Hii ni kwa sababu Luka hajaweka maelezo mengi ya mazungumzo ya Yesu na Pilato. Habari hii imeandikwa katika Injili nyingine.
"Viongozi wote wa Kiyahudi"
"kusimama" au "kusimama kwa miguu yao"
"kuwa mbele ya Pilato". Kusimama kwa kumuangalia Pilato"
"kusababisha ghasia kwa kuelezea uongo kwa watu"
"kwa kuwaambia wasitoe kodi"
"Pilato akamuuliza Yesu"
"Ulichokisema ni sawa" au " Ni kama ulivyo niuliza mimi"
"Mkusanyiko wa watu"
"Sijaona kuwa mtu huyo ana hatia ya kitu chochote)
"kusababisha ghasia miongoni"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Alianza kusababisha ghasia huko Galilaya na sasa anasababisha ghasia hapa"
"kusikia kuwa Yesu alianza kufundisha huko Galilaya"
kama
Hii inamaanisha Yesu
"Pilato akatambua"
Kifungu hiki hakitaji ukweli unaoelekea kuwa Herode alikuwa Mtawala wa Galilaya. "Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode kwasababu Herode alitawala Galilaya"
"Pilato alituma"
Hii inamaanisha Herode
"Wakati wa sherehe za Pasaka"
"Herode alifurahi sana"
"Herode alihitaji kumuona Yesu"
"Herode alisikia habari ya Yesu"
"Herode alitamani"
"kumuona yeye akifanya baadhi ya miujiza"
"Herode alimuuliza Yesu maswali mengi"
"Hakumjibu" au "hajampa Herode majibu"
"walisimama pale"
"walimshutumu Yesu kwa ukali" au "walimshutumu yeye kwa hasira"
Tafsiri hii haimaanishi walifanya hivyo ii kumuheshimu au kumjali Yesu. Walifanya hivyo kumdhalilisha na kumdhihak Yesui"
Maelezo yaha yana maanisha walianza urafiki kwasababu Herode alifurahia kitendo cha Pilato kumruhusu kumuhukumu Yesu. "Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo kwasababu Pilato alituma Yesu apelekwe kwa Herode ili akahukumiwe"
"kabla ya siku ile"
"Aliwaita Makuhani na watawala na umati wa watu kuja kukutana pamoja"
"Nimemuuliza Yesu Mbele yenu". Nimemuhoji Yesu wakati ninyi mnashuhudia hapa"
"Na sifikiri kwamba ana hatia"
"Hata Herode hafikiri kwamba ana hatia" au "Hata Herode anafikiri kuwa hana hatia"
"kwasababu" au "tunjua hili ni kwasababu"
"Herode alituma Yesu arudishwe kwetu" Neno "kwetu" linamaanisha Pilato na askari wake,na siyo makuhani na waandishi waliokwenda kwa Herode pamoja na Yesu, wala sio makutano.
"hakufanya kitu chochote kinachostahili adhabu ya kifo"
Kwa sababu Pilato alikuwa hakuona kosa kwa Yesu anapaswa kumtoa bila adhabu. Siyo lazima kujaribu kufanya kauli hii iendane na tafsiri kifikra. Pilato alimuadhibu Yesu, ambaye alijua kuwa hana hatia, kwa sababu tu alikuwa na hofu ya umati wa watu.
"Watu wote kwenye mkusanyiko walipiga kelele"
"Mchukue mtu huyu mbali ". Mchukuwe mtu huyu mbali na kumnyonga"
"ambaye Warumi walimuweka gerezani"
"kwasababu ya kujihusisha" au " kwasababu ya uhalifu wake"
"alijarubu kuwahamasisha watu wa mji kuasi dhidi ya serikali ya Kirumi"
"akaongea nao tena" au "aliongea tena na watu kwenye mkusanyiko"
"kwasababu alitaka kumuachilia Yesu"
"Pilato akasema na mkutano tena, kwa mara ya tatu"
"Mkusanyo walisisitiza"
"kwa kupiga kelele"
"Kwa Pilato kuwaamuru askari wake wamsulubishe Yesu"
"Na umati wakandelea kupiga kelele hadi wakamshawishi Pilato"
"kufanya kile ambacho umati walitaka"
"Pilato akamuachilia Barnaba ambaye umati walimuomba aachiliwe"
"ambaye Warumi walimuweka Jela"
"Pilato aliwaruhusu umati wafanye kwa Yesu chochote walivyotaka" au "Pilato alimtoa Yesu kwa umati wa watu na kuwaruhu umati kufanya kwa Yesu kile walicho kitaka."
"wakati maaskari wakimpeleka Yesu mbali na alipokuwapo Pilato"
Maaskari wa Kirumi wana mamlaka ya kuwashurutisha watu kuwabebea mizigo yao". Usitafsiri kana kwamba Simoni amekamatwa au alifanya kosa fulani.
"mtu aitwaye "
"aliyekuwa anakuja Yerusalemu akitokea nje ya mji"
"kuweka msalaba juu ya mabega yake"
"kuomboleza kwa ajili ya Yesu"
"waliokuwa wakimfuata Yesu"
"Mabinti" wa mji maana yake watu wa mji . "ninyi wanawake mliotoka Yerusalemu"
"kulia kwaajili ya hali yangu"
"badala yake mlie kwa ajili ya mambo yanayokwenda kutokea kwa ajili yenu na watoto wenu"
"watu watakaposema"
"wanawake ambao hawakuzaa watoto"
"Kwa wakati huo"
"wataiambia milima"
Yesu anatumia swali kusaidia umati kuelewa kwamba watu wanafanya mambo mabaya sasa katika nyakati nzuri, hivyo kwa hakika watafanya mambo mabaya zaidi katika nyakati mbaya siku zijazo. "Unaweza kuona kwamba wanafanya mambo hayo mabaya wakati mti ni mbichi, hivyo unaweza kuwa na uhakika kwamba watafanya mambo kuwa mabaya wakati mti ni kavu."
mti mbichi(kijani) ni mfano wa kitu kilichokizuri kwa sasa . Kama lugha yako ina mfano mzuri unaweza kutumia hapa.
"Mti uliokauka ni mfano wa kitu kibaya baadaye"
hapa alikuwa akimaanisha aidha Warumi au viongozi wa kiyahudi au hakuna aliyelengwa moja kwa moja "
"Maaskari waliwapeleka wahalifu wengine wawili pamoja na Yesu ili wakauwawe pia.
Neno "walipofika" inajumuisha maaskari, wahalifu na Yesu.
"maaskari wakamsulubisha Yesu"
"mmoja wa wahalifu aliwekwa upande wa kulia wa Yesu"
" na muhalifu mwingine aliwekwa upande wa kushoto mwa Yesu"
Neno "wao" inamaanisha wale wanao msulubisha Yesu. Yesu aliongea kwa huruma na Baba yake juu ya wanaume waliokuwa wanamsulubisha"
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
"kwasababu hawajui kile wanachokifanya". Maaskari hawakujua kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu. Kwasababu hakika hawamjui ni nani wanayemsulubisha"
Maaskari walifanya aina ya kamari "walifanya kamari"
"kuamua nani kati ya maaskari atapeleka nyumbani sehemu ya mavazi ya Yesu"
"walisimama pale"
Hii inamaanisa Yesu.
"Yesu atakuwa na uwezo wa kujiokoa" au "Tunataka kuona akijionyesha yeye ni nani kwa kujiokoa mwenyewe kutoka msalabani"
"mmoja ambaye Mungu alimchagua"
"Yesu"
"kuja karibu na Yesu"
" walimpa Yesu siki ili anywe" Siki ni aina ya kinyaji kirahisi ambayo watu wa kawaida hunywa. Maaskari walimdhihaki Yesu kwa kumpa siki mtu aliyesema yeye ni mfalme.
" kitu kama ubao juu ya msalaba wa Yesu iliyoandikwa"
Watu walioweka alama juu ya Yesu walikuwa wakimdhihaki yeye. Hawakuamini kweli kuwa yeye ni mfalme.
"aliyeangikwa pia msalabani"
"alimtukana Yesu"
Muhalifu alitumia swali kumdhihaki Yesu."umedsi kuwa wewe ni Kristo"
Muhalifu hakufikiri kweli kuwa Yesu angeweza kuwaokoa kutoka kwenye msalaba"
"muhalifu mwingine alijibu"
"na kumkemea yule muhalifu akisema"
Muhalifu alitumia swali kumkemea yule muhalifu mwingine. " Hauna hofu ya Mungu , kwani unamdhihaki Yesu wakati umetundikwa msalabani kama yeye.
"Kiukweli sisi tunastahili adhabu hii"
Hii inamaanisha Yesu.
"Muhalifu pia akasema "
"Utakapo anza kutawa kama Mfalme"
"Ukweli" inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu anaongea. "Nataka wewe uelewe kuwa"
Hii ni sehemu ambayo watu wema huenda wanapokufa. Yesu alikuwa akimthibitishia mtu yule kuwa atakuwa na Mungu na Mungu atamkubali yeye. "Ni mahali pa furaha" au 'Ni mahali pa watu wenye haki" au "Ni mahali ambapo watu wanaishi vizuri."
"Ilipokaribi mchana" . Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi.
"ardhi yote ikawa giza"
"Hadi 9 Mchana" Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi.
"Pazia ndani ya Hekalu"
"ilichanika vipande viwili" . "Mungu alichana pazia la hekalu katika vipande viwili"
Mungu Baba alikuwa amemtuma Mungu Mwana kufa msalaba ili afanyike sadaka ya mwisho kwa ajili ya dhambi za binadamu. Lakini, Mwana bado alimpenda Baba na kumkabidhi maisha yake kwa Baba yake
"kupasa sauti"
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
"Naiweka roho yangu kwako" au " Nakupa roho yangu, nikijua utaitunza"
"Baada ya Yesu kusema hivyo"
"Yesu akafa"
"mambo yaliyotokea"
"Mkusanyiko wa watu"
"tukio"au "kile kinachotokea"
"waliokusanyika pamoja"
"kitu kilichofanyika"
"kurudi majumbani mwao"
"wakipiga vifuani mwao wakionyesha jinsi walivyosikitika"
"wale waliomjua Yesu" au "wale waliokutana na Yesu huko nyuma"
"walimfuata Yesu"
"umbali fulani kutoka alipo Yesu"
"yaliyotokea"
Neno 'tazama' inatufanya tuweze kumuona mtu mpya katika hadithi. Lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa".
"na Yeye alikuwa mmoja wapo wa wajumbe wa baraza la Wayahudi"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Yeye alikuwa mtu mzuri na mweye haki"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Joseph hakukubaliana na uamuzi wa baraza hilo kumuua Yesu na hatua ya baraza hilo"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Josefu alitokea kwenye mji wa kiyahudi ulioitwa Arimathaya"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya."Josefu alikuwa akisubiri"
"Josefu "
"alikwenda kwa Pilato na kuomba"
"Josefu alichukua mwili wa Yesu kutoka msalabani"
"Akafunga mwili katika nguo nzuri ya kitani'
"kuweka mwili wa Yesu kwenye kaburi" au "Kuweka mwili wa Yesu kwenye chumba cha kuzikia"
"Kaburi ambalo mtu alilichonga kwenye mwamba"
Hii inaweza ikatafsiriwa kama sentensi mpya. "Hakuna aliyewahi kuweka mwili katika kaburi hilo"
"Ni siku ambayo watu wanajiandaa kwa siku ya Wayahudi kupumzika iitwayo Sabato"
"Inakaribia kuwa jioni, kuanza kwa Sabato" Alfajiri hapa ni mfano kwa ajili ya mwanzo wa siku. Kwa Wayahudi, siku ilianza jioni.
"waliosafiri na Yesu kutoka jimbo la Galilaya"
"walimfuata Josefu na wanaume waliokuwa pamoja naye"
"wanawake wakaona kaburi"
"Wanawake waliona jinsi hao wanaume walivyomlaza mwili wa Yesu ndani ya kaburi"
"wanawake walienda kwenye nyumba ambayo wanawake hao wanakaa"
"kuandaa manukato na marashi ili kuandaa Mwili wa Yesu kwa ajili ya mazishi".
"wanawake wale hawakufanya kazi"
"Kulingana na sheria za Wayahudi" au "kama sheria ya Wayahudi inavyotaka"
1 Mapema sana siku ya kwanza ya juma, walikuja kaburini, wakileta manukato ambayo walikuwa wameyaandaa. 2 Wakakuta jiwe limevingirishwa mbali na kaburi. 3 Wakaingia ndani, lakini hawakuukuta mwili wa Bwana Yesu. 4 Ilitokea kwamba, wakati wamechanganyikiwa kuhusu hili, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi ya kung'aa. 5 Wanawake wakiwa wamejaa hofu na wakiinamisha nyuso zao chini, wakawaambia wanawake, "Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu? 6 Hayupo hapa, ila amefufuka! Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa angali Galilaya, 7 akisema kwamba Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe, na siku ya tatu, afufuke tena." 8 Wale wanawake wakakumbuka maneno yake, 9 na wakarudi kutoka kaburini na wakawaambia mambo haya yote wale kumi na moja na wengine wote. 10 Basi Maria Magdalena, Joana, Maria mama wa Yakobo, na wanawake wengine pamoja nao wakatoa taarifa hizi kwa mitume. 11 Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaha tu kwa mitume, na hawakuwaamini wale wanawake. 12 Hata hivyo Petro aliamka, na akakimbia kuelekea kaburini, na akichungulia na kuangalia ndani, aliona sanda peke yake. Petro kisha akaondoka akaenda nyumbani kwake, akistaajabu nini ambacho kimetokea. 13 Na tazama, wawili miongoni mwao walikuwa wakienda siku hiyo hiyo katika kijiji kimoja kiitwacho Emmau, ambacho kilikuwa maili sitini kutoka Yerusalemu. 14 Wakajadiliana wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotokea. 15 Ikatokea kwamba, wakati walipokuwa wakijadiliana na kuulizana maswali, Yesu akasogea karibu akaambatana nao. 16 Lakini macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye. 17 Yesu akawaambia, "Nini ambacho ninyi wawili mnakiongelea wakati mnatembea?" Wakasimama pale wakionekana na huzuni. 18 Mmoja wao, jina lake Cleopa, akamjibu, "Je wewe ni mtu pekee hapa Yerusalemu ambaye hajui mambo yaliyotokea huko siku hizi?" 19 Yesu akawaambia, "Mambo gani?" Wakamjibu, "Mambo kuhusu Yesu Mnazareti, ambaye alikuwa nabii, muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote. 20 Na kwa jinsi ambayo wakuu wa makuhani na viongozi wetu walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha. 21 Lakini tulitumaini kwamba yeye ndiye atakaye waweka huru Israeli. Ndiyo, mbali na haya yote, sasa ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee. 22 Lakini pia, baadhi ya wanawake kutoka katika kundi letu walitushangaza, baada ya kuwapo kaburini asubuhi na mapema. 23 Walipoukosa mwili wake, wakaja, wakisema kwamba waliona pia maono ya malaika waliosema kwamba yu hai. 24 Baadhi ya wanaume ambao walikuwa pamoja nasi walienda kaburini, na kukuta ni kama vile wanawake walivyosema. Lakini hawakumuona yeye." 25 Yesu akawaambia, "Ninyi watu wajinga na wenye mioyo mizito ya kuamini yote ambayo manabii wamesema! 26 Je haikuwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo haya, na kuingia katika utukufu wake?" 27 Kisha kuanzia kutoka kwa Musa na manabii wote, Yesu akawatafsiria mambo yanayomuhusu yeye katika maandiko yote. 28 Walipokaribia kile kijiji, huko walikokuwa wakienda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea mbele. 29 Lakini walimlazimisha, wakisema, "Kaa pamoja nasi, maana inaelekea jioni na siku ni kama imeisha." Hivyo Yesu akaingia kwenda kukaa nao. 30 Ilitokea kwamba, wakati amekaa nao kula, alichukua mkate, akaubariki, na kuuvunja, akawapa. 31 Kisha macho yao yakafunguliwa, wakamjua, na akatoweka ghafla mbele ya macho yao. 32 Wakasemezana wao kwa wao, "Hivi mioyo yetu haikuwaka ndani yetu, wakati alipoongea nasi njiani, wakati alipotufungulia maandiko?" 33 Wakanyanyuka saa hiyo hiyo, na kurudi Yerusalemu. Wakawakuta wale kumi na mmoja wamekusanyika pamoja, na wale waliokuwa pamoja nao, 34 wakisema, "Bwana amefufuka kwelikweli, na amemtokea Simoni." 35 Hivyo wakawaambia mambo yaliyotokea njiani, na namna Yesu alivyodhihirishwa kwao katika kuumega mkate. 36 Wakati wakiongea mambo hayo, Yesu mwenyewe alisimama katikati yao, na akawaambia, "Amani iwe kwenu." 37 Lakini waliogopa na kujawa na hofu, na wakafikiri kwamba waliona roho. 38 Yesu akawaambia, Kwanini mnafadhaika? Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu? 39 Angalieni mikono yangu na miguu yangu, kwamba ni mimi mwenyewe. Niguseni na muone. Kwa maana roho haina nyama na mifupa, kama mnionavyo mimi kuwa navyo." 40 Alipokwisha kusema hivi, akawaonyesha mikono yake na miguu yake. 41 Walipokuwa bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini, na kustaajabu, Yesu akawaambia, "Je mna kitu chochote cha kula?" 42 Wakampa kipande cha samaki aliyechomwa. 43 Yesu akakichukua, na kukila mbele yao. 44 Akawaambia, "Nilipokuwa nanyi, niliwaambia kwamba yote yalioandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na Zaburi lazima yatimilike." 45 Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko. 46 Akawaambia, "Kwamba imeandikwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka tena kutoka katika wafu siku ya tatu. 47 Na toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia kutokea Yerusalemu. 48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya. 49 Angalia, nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu. Lakini subirini hapa jijini, mpaka mtakapovishwa nguvu kutoka juu. 50 Kisha Yesu akawaongoza nje mpaka walipokaribia Bethania. Akainua mikono yake juu, na akawabariki. 51 Ikatokea kwamba, wakati alipokuwa akiwabariki, aliwaacha na akabebwa juu kuelekea mbinguni. 52 Basi wakamwabudu, na kurudi Yerusalemu na furaha kuu. 53 Waliendelea kuwepo hekaluni, wakimbariki Mungu.
Katika sura hii inaonekana kuwa Luka kwa makusudi anatofautisha imani ya wanawake na imani ya wanafunzi kumi na wawili.
Luka katika sura hii anatumia maelezo mengi ili kuonyesha ufufuo wa Yesu kutoka kwa wafu. Luka anaonyesha kwamba haikuwezekana kwa mtu mwingine kufa kwa niaba ya Yesu. Anaonyesha pia kwamba ufufuo haukuwa mfano. and
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'
Inasemekana kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu siku ya tatu. Alikufa siku ya Ijumaa alasiri (kabla ya kutua kwa jua) na kufufuliwa Jumapili. Katika Israeli ya kale, siku ilianza na kumalizika wakati wa kutua kwa jua. Pia walihesabu sehemu yoyote ya siku kama "siku."
Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya malaika waliovalia nguo nyeupe wakiwa pamoja na wanawake katika kaburi la Yesu. Waandishi wawili kati yao waliwaita wanaume, lakini ni kwa sababu tu malaika walikuwa katika hali ya kibinadamu. Waandishi wawili waliandika kuhusu malaika wawili, lakini waandishi wengine wawili waliandika juu ya moja tu. Ni bora kutafsiri kila moja ya vifungu hivi kama inavyoonekana katika ULB bila kujaribu kufanya vifungu vyote kufanana. (Angalia: Mathayo 28:1-2, Marko 16: 5 na Luka 24: 4 na Yohana 20:12)
"Kabla jua halijachomoza siku ya Jumapili"
"wanawake walifika kwenye."
Kaburi lilikuwa limechongwa katika mwamba wa karibu na bahari.
Tafsiri mbadala: "kwamba mtu fulani alikuwa ameriviringisha lile jiwe"
Hili lilikuwa kubwa, limechongwa, jiwe la duara kubwa la kutosha kuweza kuziba kabisa mlango wa kuingilia kaburini. Lilihitaji watu wengi kulivingirisha.
Hii sentensi ilitumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika simulizi.
"wamevaa angavu, mavazi yanayong'aa"
"wakaogopa"
Wale wanaume wanatumia swali kuwapinga wale wanawake kumtafuta kwenye kaburi mtu aliyehai. Tafsiri mbadala: " Mnamtafuta mtu aliye hai kati ya au miongoni mwao wafu" au "Hamtakiwi kumtafuta mtu ambaye yu hai katika sehemu wanapozika watu waliokufa!"
Hapa inamaanisha wengi, inaongelea juu ya wanawake waliokuja.
"Kumbukeni yale"
Yesu alikuwa amekwisha kusema haya wiki moja mapema.
Neno "nanyi" linaonesha wingi. Inaongelea juu ya wale wanawake na wanafunzi wengine.
Huu ni mwanzo wa kunukuu jambo si kwa njia ambayo imenyooka.
Hii ni jamboa bila shaka lingetokea kwa sababu alikuwa ameamua kwamba litatokea. Tafsiri mbadala: "ilikuwa ni lazima wamtoe Mwana wa Adamu kwa watu wenye dhambi ili waweze kumsulubisha .
Hapa "mkono" unaonyesha nguvu au uthibiti.
Tafsiri mbadala: "walikumbuka yale aliyoyasema Yesu"
"wanafunzi wengine wote waliokuwa na mitume kumi na mmoja"
Neno hili limetumika hapa kuonyesha pumziko katika simulizi kuu. Hapa Luka anatoa majina ya baadhi ya wanawake na kuelezea namna ambavyo mitume waliitikia kwa kile ambacho walisema.
"Lakini mitume walifikiri kwamba kile ambacho wanawake walisema yalikuwa ni maongezi yasiyo na maana"
"akainama." Petro ilimlazimu ainame ili aweze kuangalia au kutazama kaburini.
"sanda tu"
Hii inaashiria mwanzo wa tukio jingine tofauti na lile linalowahusisha wale wanawake na Petro.
"siku ile ile "
Hili ni jina la mji
"kilometa kumi na moja."
Hii sentensi inatumika hapa kuashiria pale ambapo kitendo kinaanza. Kinaanza na Yesu kuwasogelea karibu.
Tafsiri mbadala: "Kuna kitu kiliwazuia hivyo hawakuweza kumtambua."
Hii ni jina la mwanamume
Cleopa anatumia swali kuonyesha mshangao wake kwamba huyu mtu anaonekana kutokujua juu ya mambo ambayo yametokea Yerusalemu.
"Mambo gani yametokea?" au "Mambo gani yaliyofanyika?"
Hii inamaanisha kwamba Mungu alimfanya Yesu kuwa mwenye nguvu na kwamba watu walimuona kwamba alikuwa muwez. Tafsiri mbadala: "na Mungu alimpa nguvu kufanya na kufundisha mambo makubwa ambayo yaliwashangaza watu wote."
Tafsiri mbadala: "walimtoa Yesu kwa kiongozi wa Kirumi ili kiongozi huyo aweze kumuua kwa kumsulubisha"
Warumi walitawala juu ya Wayahudi. Tafsiri mbadala: "atakaye tuweka huru Waisraeli kutoka kwa adui zetu wa Kirumi."
"tangu walipomuua"
Wale wanaume waliichukulia taarifa ya wale wanawake kuwa ni kitu kizuri, siyo kitu kingine kibaya cha kuongezea juu ya kifo cha Yesu.
Wale wanawake ndiyo waliokuwa pale kaburini.
"malaika katika maono"
Tafsiri mbadala: "akili zenu ni nzito sana kuamini" au "ninyi ni wazito kuamini"
Yesu anatumia swali kuwakumbusha wanafunzi juu ya kile ambacho manabii walisema. Tafsiri mbadala: "Ilikuwa ni lazima...utukufu."
Hii inamaanisha juu ya nyakati ambazo Yesu atamuonyesha kila mmoja uzuri wake na ukuu wake na kupokea heshima na ibada.
"Walipokuja karibu"
Wale watu wawili walieelewa kutokana na kitendo chake kwamba alikuwa anaendelea kuelekea sehemu nyingine. Inawezekana labda aliendelea kutembea barabarani walipochipuka kuingia kwenye geti la kijiji. Hakuna kiashiria kwamba Yesu aliwadanganya kwa maneno.
"Walimuomba kwa nguvu sana." Neno la kiyunani linamaanisha kutumia nguvu za mwili juu ya muda wa ziada. Iliwachukua muda fulani na jitihada fulani kumshawishi.
"Yesu akaingia ndani ya nyumba"
Neno hili limetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika simulizi.
Hii inazungumzia juu ya mkate unaotengenezwa bila hamila. Haimaanishi chakula kwa ujumla.
"akashukuru kwa ajili ya huo mkate" au "Akamshukuru Mungu kwa ajili ya mkate"
Tafsiri mbadala: "kisha wakaelewa" au "kisha wakatambua"
Hii inamaanisha kwamba ghafula hakuwa tena pale. Haimaanishi kwamba akawa haonekani kwa macho.
Wanatumia swali kuweka msisitizo namna walivyo shangazwa juu ya kukutana kwao na Yesu. Tafsiri mbadala: "Mioyo yetu ilikuwa ikiwaka ndani yetu...maandiko."
Hii ni lugha ya picha inayoelezea hisia kali walizokuwa nazo walipokuwa wakiongea na Yesu. Tafsiri mbadala: "Tulikuwa na hisia kali alipokuwa akiongea na sisi."
Yesu hakufungua kitabu au gombo la chuo. Tafsiri mbadala: "wakati alipokuwa akituelezea maandiko.
Inahusiana na wale watu wawili
"kuamka" au "kusimama"
Hii inaongelea wale mitume wa Yesu. Yuda hakuwa pamoja nao.
Wale mitume kumi na moja na wale waliokuwa pamoja nao walisema hivyo.
"Hivyo wale watu wawili wakawaambia"
Hii inamaanisha Yesu alivyowatokea wakiwa njiani kuelekea kijiji cha Emmau.
Tafsiri mbadala: "namna walivyomtambua Yesu"
"wakati Yesu alipouvunja mkate" au "wakati Yesu alipouchana mkate"
Neno "mwenyewe" linakazia juu ya Yesu na mshangao wa Yesu kiuhakika kuwatokea. Wengi wao walikuwa hawajamuona baada ya ufufuko wake.
Tafsiri mbadala: "mahali ambapo wote wanaweza kumuona"
"Basi iweni na amani" au "Basi Mungu awape amani!"
"walishikwa na mshangao na kuogopa"
Walikuwa hawajaelewa kiuhalisia kwamba Yesu kwelikweli yu hai.
Hapa inamaanisha roho ya mtu aliyekufa.
Yesu anatumia swali kuwatia moyo. Tafsiri mbadala: "Msiogopeshwe."
Yesu anatumia swali kuwakemea kidogo. Yesu alikuwa anawaambia wasitie mashaka kwamba yu hai. Tafsiri mbadala: "Msitie mashaka katika akili zenu!" au "Acheni kutia mashaka!"
Hii ni namna ya kumaanisha mwili
"bado hawakuweza kuamini kwamba ni ukweli kabisa." Walikuwa na furaha sana, lakini wakati huohuo, ilikuwa ngumu kwao kuamini kwamba ni kweli kabisa imetukia.
"na walishangazwa" au "na kustaajabu hili laweza kutokeaje"
"mbele yao" au "wakiwa wanatazama"
"Wakati bado nilipokuwa nanyi"
Tafsiri mbadala: "yote ambayo Musa, manabii, na waandishi wa Zaburi waliandika kuhusu mimi"
Tafsiri mbadala: "Mungu atayatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee"
Tafsiri mbadala: "Kisha akawawezesha kuyaelewa maandiko"
Tafsiri mbadala: "Hivi ndivyo watu hapo zamani waliandika"
"baada ya usiku mbili"
Tafsiri mbadala: "wafuasi wa Kristo inawapasa kuhubiri kwamba watu wanahitaji kutubu ili Mungu awasamehe dhambi zao"
Tafsiri mbadala: "kama wawakilishi wake" au "na mamlaka yake"
"makabila yote kwenye jamii" au "makundi yote ya watu"
"Mnatakiwa kuwaambia wengine kwamba mliyoyaona kuhusu mimi ni kweli." Wanafunzi walikuwa wameyaona maisha ya Yesu, kufa kwake, kufufuka kwake, na waliweza kueleza kwa wengine kitu gani alifanya.
"Nitawapa kile ambacho Baba yangu aliahidi kuwapa." Yesu, Mungu Mwana, atatoa kile Mungu Baba alikiahidi kwa wafuasi wake wote, ambacho ni Mungu Roho Mtakatifu.
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
Nguvu ya Mungu itawafunika kwa namna ileile nguo inavyomfunika mtu. Tafsiri mbadala: "mnapokea nguvu."
"kutoka juu" au "kutoka kwa Mungu"
"Ilitokea"
"wakati Yesu alipokuwa anamuomba Mungu kuwatendea mema"
Kwa sababu Luka haelezei kiuwazi nani alimbeba Yesu kwenda juu, hatujui kama alikuwa Mungu mwenyewe au malaika mmoja au malaika wengi.
Mistari hii inaelezea matendo ya Mitume
"Mitume walimwabudu Yesu"
kisha walirudi
hii inamaanisha kuwa walienda hekaluni kila siku
makuhani peke yao ndio waliruhusiwa kuingia hekaluni
wakimsifu Mungu