Language: Swahili

Book: 2 John


2 John

Chapter 1

1 Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli, 2 kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. 3 Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo. 4 Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba. 5 Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake. 6 Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo. 7 Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo. 8 Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili. 9 Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia. 10 Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie. 11 Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu. 12 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili. 13 Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.



2 John 1:1

Sentensi Unganishi

Baada ya salamu, Yohana anawaonyesha waumini kuwa upendo na kweli vinakwenda sambamba

Maelezo ya Jumla

Kihistoria mtume Yohana amekubalika kuwa ndiye mwandishi wa barua hii. Anasema "pendaneni" hii pengine barua hii liliandikiwa kanisa.

Maelezo ya Jumla

"ninyi" na "yenu" katika barua hii yanaonyesha wingi

Maelezo ya Jumla

katika barua hii Yohana anatumia maneno "sisi" na 'yetu" ikimaanisha Yohana mwenyewe pamoja na wasomaji wake

Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake

Barua za wakati huo zilianza na jina la mwandishi, kwa kushupisha inaweza kusomeka:- " mimi, Yohana mzee, ninaandika barua hii kwa mwanamke mteule na watoto wake"

Mzee

Ni rejea kwa Yohana, mtume na mwanafunzi wa Yesu. Anajiita mzee labda kwa sababu ya umri wake mkubwa au kwa sababu ni kiongozi kanisani.

kwa mwanamke mteule na watoto wake

Pengine hii ina maana ya kundi au kusanyiko na waumini .

ambaye nampenda katika kweli.

" Ninyi watu ninaowapenda katika kweli"

wanao ifahamu kweli

"ambao wanao fahamu ukweli kuhusu Mungu na Yesu"

Baba...Mwana

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

katika kweli na upendo.

Neno "kweli" linaelezea "upendo." Pengine inamaanisha "katika upendo wa kweli"

2 John 1:4

...wewe, mwanamke, nakuandikia

Ni maneno ambayo yametumiwa katika hali ya umoja.

kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba

"Kama vile Mungu Baba alivyo tuagiaza"

siyo kwamba nakuandikia amri mpya

" siyo kwamba nakuagiza kufanya jambo jipya"

bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo

Hapa neno "mwanzo" inamaanisha " tulipoamini kwa mara ya kwanza" kwa maneno mengine:- " lakini nawaandikia kama tulivyoagizwa na Kristo kufanya tulipoamini mara ya kwanza."

tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.

Hii inaweza kutafisiriwa kama sentensi mpya: "Na alitupa amri kwamba tunapaswa kupendana."

Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.

" Mungu amewaagiza tangu mwanzo mlipoamini mpendane"

2 John 1:7

Sentensi Unganishi

Yohana anawaonya kuhusu wazushi, na kuwakumbusha kubaki katika mafundisho ya Kristo na kujiepusha na waasi

Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu.

"Walimu wengi wa uongo wamekwisha liacha kusanyiko" au " wadanganyifu wengi wapo ulimwenguni"

wadanganyifu wengi.

"walimu wengi wa uongo" au "wazushi"

katika ulimwengu

Hapa inaelezea kila mtu aliyeko hai katika ulimwengu huu.

Yesu Kristo alikuja katika mwili.

"Yesu alikuja katika hali ya mwili wa kibinadamu."

Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo

" Ni wale wanaowadanganya wengine na kumpinga Kristo mwenyewe"

mpinga Kristo.

" kinyume na Kristo"

Jiangalieni wenyewe.

"Iweni macho" au " iweni waangalifu."

hampotezi mambo

"kutopoteza tuzo zenu za wakati ujao kule mbinguni."

tuzo kamili

"tuzokamili kule mbinguni"

2 John 1:9

Yeyote aendeleae mbele

Hii inaonyesha mtu anaye dai kufahamu zaidi juu ya Mungu na ukweli kuliko mtu yeyote "Yeyote anayesema kuwa anafahamu zaidi kuhusu Mungu." au " Yeyote anayeikana kweli"

hana Mungu

" si mali ya Mungu"

Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana

"Wale wanaofuata mafundish ya Kristo ni mali ya Baba na Mwana"

Baba na Mwana

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

msimkaribishe katika nyumba zenu

Hapa ina maanisha kumkaribisha na kumtendea heshima ili kujenga uhusiano na naye.

hushiriki katika matendo yake maovu

" Hushiriki naye katika matendo yake ya uovu" au" humsaidia katika matendo yake maovu."

2 John 1:12

Sentensi Unganishi

Yohana anamalizia barua yake kwa kuonyesha shauku ya kuwatembelea na anatoa salamu kutoka kanisa jingine

Maelezo ya Jumla

Maneno "kwako" yanaonyesha umoja katika mstari wa 12. Neno "yenu" linaonyesha wingi mstari wa 13

sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino

Yohana hakutaka kuyaandika mambo mengi lakini alitaka kuja kuongea nao ana kwa ana.

Watoto wa dada yenu mteule

Yohana anazungumza habari ya kanisa jingine kana kwamba ni dada kwa kanisa analowaandikia na waumini wa kanisa hilo anawafananisha na watoto. Hapa inasisistiza kwamba waumini wote ni familia ya kiroho.


Language: français (French)

Book: 2 John


2 John

Chapter 1

1 De l'ancien à la dame élue et à ses enfants, que j'aime dans la vérité, pas seulement moi seul mais aussi tous ceux qui ont connu la vérité; 2 à cause de la vérité qui demeure en nous et qui sera avec nous pour toujours. 3 Que la grâce, la miséricorde, la paix soient avec vous de la part de Dieu le Père et de la part de Jésus-Christ, le Fils du Père, dans la vérité et l'amour. 4 Je suis très réjoui d'avoir trouvé quelques-uns de tes enfants qui marchent dans la vérité, selon le commandement que nous avons reçu du Père. 5 Maintenant, je t'en supplie, Madame, non pas comme en te prescrivant un nouveau commandement, mais celui que nous avons eu dès le commencement, c'est ce que nous nous aimions les uns les autres. 6 Et cet amour consiste à marcher selon ses commandements. C'est le commandement que vous avez appris dès le commencement et dans lequel vous devez marcher. 7 Car beaucoup de séducteurs sont sortis et entrés dans le monde, et ils ne confessent pas que Jésus-Christ est venu en chair. Celui-ci est un séducteur et un Antéchrist. 8 Prenez garde à vous-même, afin que vous ne perdiez pas le fruit de votre labeur, mais que vous receviez une pleine récompense. 9 Quiconque va plus loin et ne demeure pas dans l'enseignement de Christ, n'a point Dieu. Celui qui demeure dans l'enseignement du Christ a le Père et le Fils. 10 Si quelqu'un vient à vous sans apporter cet enseignement, ne le recevez pas dans votre maison et ne le saluez pas. 11 Celui qui le salue participe à ses actions pécheresses. 12 J 'ai beaucoup de choses à vous écrire mais je ne souhaite pas vous écrire avec du papier et de l'encre. Mais j'espère venir vers vous et vous parler face à face, afin que notre joie soit parfaite. 13 Les enfants de ta soeur élue te saluent.



2 John 1:1

Informations générales:

La tradition identifie l'apôtre Jean comme l'auteur de cette lettre. Bien que peut-être adressé à un femme individuelle, parce qu’il écrit qu’ils doivent «s’aimer les uns les autres», ceci est probablement dû à église.

Informations générales:

Toutes les instances de «vous» et de «votre» dans cette lettre sont plurielles, sauf indication contraire. (Voir: formes de vous )

Informations générales:

Dans cette lettre, Jean lui - même comprend et ses lecteurs par « nous » en utilisant le mot et « notre » (Voir: inclus “Nous” )

De l'aînée à la dame choisie et à ses enfants

C'est comme ça que les lettres ont été lancées. Le nom de l'auteur peut être explicite. AT: «Moi, Jean le aîné, vous écris cette lettre à la dame élue et à ses enfants »(voir: Connaissance acceptation et de Information implicite )

l' aîné

Cela fait référence à Jean, l'apôtre et disciple de Jésus. Il se réfère à lui-même en tant qu '«aîné» soit à cause de son âge avancé, soit parce qu'il est un chef de file dans l'église.

à la dame choisie et à ses enfants

Cela fait probablement référence à une congrégation et aux croyants qui lui appartiennent. (Voir: métaphore )

que j'aime en vérité

“ Vous les gens que j'aime vraiment”

qui a connu la vérité

qui ont connu la vérité sur Dieu et Jésus

Pere fils

Ce sont des titres importants qui décrivent la relation entre Dieu et Jésus. (Voir: Traduire Fils et Père )

en vérité et amour

Le mot «vérité» décrit «l'amour». Peut-être que cela signifie «dans le vrai amour». (Voir: Hendiadys )

2 John 1:4

vos enfants… vous, madame… vous écrivant

Ces instances de «votre» et «vous» sont singulières. (Voir: formes de vous )

tout comme nous avons reçu ce commandement du Père

« Comme Dieu le Père nous a ordonné »

pas comme si je vous écrivais un nouveau commandement

“ Pas comme si je vous commandais de faire quelque chose de nouveau”

mais on en a eu depuis le début

Ici, «commencer» fait référence à «quand nous avons cru pour la première fois». AT : « mais je vous écris ce que le Christ nous a commandé de faire quand nous avons cru pour la première fois. (Voir: Connaissance supposée et information implicite )

commencer - que nous devrions nous aimer

Cela peut être traduit par une nouvelle phrase. Au début. Il a commandé que nous devrions en aimer un un autre"

C'est le commandement, comme vous l'avez entendu depuis le début, que vous devriez y marcher

La conduite de nos vies selon les commandements de Dieu est évoquée comme si nous y marchions. Le mot «ça» fait référence à l'amour. "Et il vous a commandé, depuis que vous avez cru la première fois, de vous aimer les uns les autres" (Voir: métaphore )

2 John 1:7

Déclaration de connexion:

Jean les avertit des trompeurs, leur rappelle de rester dans l' enseignement du Christ et les avertit de rester à l'écart de ceux qui ne restent pas dans l'enseignement du Christ.

Car de nombreux trompeurs sont sortis dans le monde

«Car de nombreux faux enseignants ont quitté la congrégation» ou «car de nombreux trompeurs sont dans le monde»

beaucoup de trompeurs

" Beaucoup de faux enseignants" ou "de nombreux imposteurs"

Jésus Christ est venu dans la chair

Venir en chair est un métonymie pour être une personne réelle. AT: "Jésus-Christ est venu comme un vrai humain" (Voir: métonymie )

Ceci est le trompeur et l'antichrist

"Ce sont eux qui trompent les autres et s'opposent au Christ lui-même"

Regardez à vous

«Attention» ou «Faites attention»

perdre les choses

« Perdez vos récompenses futures au paradis»

récompense complète

“ Récompense complète au paradis”

2 John 1:9

Celui qui avance

Cela se réfère à une personne qui prétend en savoir plus sur Dieu et la vérité que tout le monde. À: "Quiconque prétend en savoir plus sur Dieu" ou "Celui qui désobéit à la vérité"

n'a pas Dieu

« Ne fait pas partie à Dieu »

Celui qui reste dans l'enseignement, celui-ci a à la fois le Père et le Fils

"Quelqu'un qui suit l'enseignement du Christ appartient à la fois au Père et au Fils"

le père et le fils

Ce sont des titres importants qui décrivent la relation entre Dieu et Jésus. (Voir: Traduire Fils et Père )

le recevoir dans votre maison

Ici, cela signifie l'accueillir et le traiter avec honneur afin de construire une relation avec lui.

participe à ses mauvaises actions

" Partage avec lui ses mauvaises actions" ou "l'aide dans ses mauvaises actions"

2 John 1:12

Déclaration de connexion:

La lettre de Jean ferme avec son désir de leur rendre visite et donne des salutations d'une autre église.

Informations générales:

Les mots «vous» au verset 12 sont singuliers. Le mot «votre» au verset 13 est pluriel. (Voir: formes de vous )

Je n'ai pas voulu les écrire avec du papier et de l'encre

Jean ne veut pas écrire ces autres choses mais aimerait venir leur dire les mots. Il est ne pas dire qu'il les écrirait avec autre chose que du papier et de l'encre.

parler face à face

«Face à face» est un idiome, c'est-à-dire parler en leur présence. AT: «parle en ta présence» ou «vous parler en personne» (voir: idiome )

Les enfants de votre soeur choisie

Ici, Jean parle de cette autre église comme si c'était une soeur de l' église des lecteurs et des croyants qui faisaient partie de cette église comme s'ils étaient les enfants de cette église. Cela souligne que tous les croyants sont une famille spirituelle. (Voir: métaphore )