Swahili: Unlocked Literal Bible for Philemon

Wasweta: Bible for Philemon

Formatted for Translators

©2022 Wycliffe Associates
Released under a Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Bible Text: The English Unlocked Literal Bible (ULB)
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English Unlocked Literal Bible is based on the unfoldingWord® Literal Text, CC BY-SA 4.0. The original work of the unfoldingWord® Literal Text is available at https://unfoldingword.bible/ult/.
The ULB is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Notes: English ULB Translation Notes
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English ULB Translation Notes is based on the unfoldingWord translationNotes, under CC BY-SA 4.0. The original unfoldingWord work is available at https://unfoldingword.bible/utn.
The ULB Notes is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Below is a human-readable summary of (and not a substitute for) the license.
You are free to:
The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following conditions:
Notices:
You do not have to comply with the license for elements of the material in the public domain or where your use is permitted by an applicable exception or limitation.
No warranties are given. The license may not give you all of the permissions necessary for your intended use. For example, other rights such as publicity, privacy, or moral rights may limit how you use the material.

Philemon

Sura 1

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na ndugu Timotheo kwa Filemoni, mpendwa rafiki yetu na mtenda kazi pamoja nasi, 2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipas askari mwenzetu, na kwa kanisa lile linalokutana nyumbani kwako. 3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.

4 Wakati wote namshukuru Mungu wangu, ninakutaja katika maombi yangu, 5 Kwa sababu nasikia kuhusu imani uliyonayo katika Bwana Yesu na upendo ulio nao kwa watakatifu wote. 6 Ninaomba kwamba ushirika wa imani yenu iwe na ufanisi katika ujuzi wa kila jambo jema lililoko kati yetu katika Kristo. 7 Kwa kuwa nimekuwa na furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa sababu mioyo ya watakatifu wote imekuwa ikitulizwa nawe.

8 Kwa hiyo, ingawa nina ujasiri wote katika Kristo kukuamuru wewe kufanya kile unachoweza kufanya, 9 lakini kwa sababu ya upendo, badala yake nakusihi - mimi, Paulo niliye mzee, na sasa ni mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu. 10 Ninakusihi kuhusu mwanangu Onesmo, niliyemzaa katika vifungo vyangu. 11 Kwa kuwa mwanzoni hakukufaa, lakini sasa anatufaa sote, wewe na mimi.

12 Mimi nimemtuma akurudie wewe, aliye moyo wangu hasa. 13 Nataraji angeendelea kubaki pamoja nami, ili anitumikie badala yako, wakati niko kifungoni kwa ajili ya injili. 14 Lakini sikutaka kufanya jambo lolote bila ruhusa yako. Nilifanya hivi ili kwamba jambo lolote zuri lisifanyike kwa sababu nilikulazimisha, bali kwa sababu ulipenda mwenyewe kulitenda. 15 Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. 16 Ili kwamba asiwe tena mtumwa, bali bora zaidi ya mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa hasa kwangu, na zaidi sana kwako, katika mwili na katika Bwana.

17 Na hivyo kama wanichukulia mimi mshirika, mpokee kama ambavyo ungenipokea mimi. 18 Lakini kama amekukosea jambo lolote, au unamdai kitu chochote, kidai hicho kutoka kwangu. 19 Mimi Paulo, ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe. Mimi nitakulipa pasipo na kukuambia yakua ninakudai wewe binafsi uhai hasa.

20 Naamu ndugu, acha nipate faida kutoka kwako katika Bwana; uiburudishe nafsi wangu katika Kristo.

21 Nikiwa na imani kuhusu utii wako, nakuandikia nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya vile ninavyokuomba.

22 Wakati huo huo, andaa chumba cha wageni kwa ajili yangu, kwa kuwa ninatumaini kupitia maombi yako nitarudishwa kwenu.

23 Epafra, mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu anakusalimu, 24 na kama afanyavyo Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi pamoja nami. 25 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho yako. Amina.

Philemon

Chapter 1

1 Paulo omubohe owa Kristo Yesu, kweki oweto Timotheo ku-Filimoni, omuhanche omusani wetu kweki omukori owa emirimu hamwi kubetu. 2 Kweki Afia muhara wetu, Arkipas omusirikare murikyetu, kweki Erisengero rinorisikana mnyumba yao. 3 Enkabe ebere kubenyu kweki obuhoreru obwa Enonkwe Thatha wetu kweki omunene Yesu Kristo. 4 Enkaga gyonse ochomeri Enonkwe . Ndakugamba mumasabo gane. 5 Ndigwa obuhanche kweki obwitabirirya buno unabo kumnene Yesu kweki obuhanche bunu unabo kubonsigo kubanu bamanyire Enonkwe. 6 Ndasaba iga obumwi obwa okwitabirirya kwenyu kubere okunyora mubumanyi obwa eringana eriya rinu riringi kubetu okuitira Kristo. 7 Okugira mchomerwe kurwa mubuanche bwao, kugira emioyo egya abarabu bonse girakribwa nawe. 8 Nonyora nina obukare bwonsi kuhitira Kristo kukukerya uwe okore kira otura kukora. 9 Kuhitira kubuhanche ndakukagasirirya honi, Paulo onu ndingi omogaka, kweki ndingi omubowe kumirimu egya Yesu Kristo. 10 Ndakusaba uwe omona wani Onesimo, ononibura kukubowa kwani. 11 Kugira kare hayo tikwakuchomerae, kubono aratuchomera bonse, uwe kweki oni. 12 Mtumire akwiranire uwe onu oringi omoyo gwani. 13 Ndatuna agendereri kusaga hamwe kuoni, thuunkorerae, ohonde yankorere ensiko ginu ndingi mkibohe kuhetera ering'ana erya Enonkwe. 14 Tinatuna kukora ering'ana ryonsiryonsigoe rino otankereri. Nakorigo kugira ering'ana ryoryonse erichomu orikore kugira nakusing'irirya, kugira waancha omwene kurikora. 15 Waturwa hayo kunkaga , yanga igo obhe nawe ensiko gyonse. 16 Kugira thabera omukori owa emirimu onu takuwanua kyonsekyonse, kumuhiri omuhanche kuoni, kweki kuhitira kumubere kweki kumnene. 17 Hano unchimiyi oni mrikyao, mgege kanu okangegere oni. 18 Hanu oranyore osareri ering'ana ryonsiryonsigo, kweki orasaba ekintu kyonsikyonse ekyao, saba kiyo kurwa kuoni. 19 Honi Paulo, ndandika kuhetera kukuboko kwani mwene. Honi ndikwiranirya kweki kukukerya ndakusaba uwe mwene obuhoru. 20 Muhiri wani, thiga nyore enkabe kurw kuwe kuhitira omunene Kristo. 21 Hanu nina obwikirirya ndandika manyiriga orikora amanene ya garya ndakusaba. 22 Mnkaga eyo tura enyumba eya abachi, kugira ndikirirya kuithira amasabo gao ndiranibwa kubenyu. 23 Epafra, omubowa mrikyane okuhutura ku-Yesu arakukerenia. 24 Kweki kigo okpora Marko, Aristarko, Dema, Luka, abakori abha emirimu hamwi naoni. 25 Enkabe eya omnene wetu Yesu Kristo ebere hamwi mmoyo gwao.