To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit
http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Marko
11Shu ni mwanso wa injili ya Yesu Kristo, mwana wa Ruva. 2Shali ileandikwa na nabii Isaya, ''Sakwa, ngimduma mjumbe wakwa mbele yafo, umu etararisha shia yafo. 3Sauti ya mndu elaha mwai, ''imarye shia ya Bwana, orweni shia sakwe.''4yohana alesha, akivabatisa mwai na ihubiri ubatiso wa toba kwa msamaha wa sambi. 5Nchi yoose ya Yudea na wandu voose wa Yerusalemu veleenda kwakwe. Vevei velebatiswa nave katika mto Yordani, vekiungama sambi savo. 6Yohana evekeri erare vasi la mafili ya ngaambia na mkanda wa ngosi ksihi kwakwe, na evekeri sie na asali fo mwai.7Elehubiri na iyamba, ''kure umu esha baada yakwa ere oru saidi kuliko nahani, na ngireku hadhi hata ya inama sumbai na ifutua kamba sa fiadu yakwe. 8Nihani ngilevabatisa kwa mriinga, lakini ve eva batisa nyohonyo kwa Roho mtakatifu.''9Ilefumia katika mfiri sooso shali Yesu elesha ifuma Nasareti ya Galilaya na elebatiswa na Yohana katika mto Yordani. 10Wakati Yesu alipoinuka ifuma mriingeni, elelolia ruveni silegawanyika wasi na Roho akasooka sumbai dooka yakwe sha mbeta. 11Na sauti iklefuma ruveni, ''Ve ni mwanakwa ngikundi.Ngishihiwa sana na vaeve.''12Kisha mara imu Roho ikamlasimisha iyenda mwai. 13Evekeri mwai mfiri arobaini, alejaribiwa na shetani. Evekeri pamoja na vanyama vya nguduni, na malaika valemhudumia.14Luvaha baada ya yahana irewa, Yesu elesha Galilaya aletangasa injili ya Ruva, 15akiamba, ''Muda washika, na ufalme wa Ruva ukfui. Tubuni na iyamini injili.''16Na akahicha mbahi ya bahari ya Galilaya, alemlolia Simoni na Andrea ndugu wa Simon vekumba nyafu savo katika bahari, kwa kfa vevei wavuvi. 17Yesu akavavia, ''shioni, ngafateeni na ngevafanya wa wandu''. 18Na mara imu velecha nyafu savo na vakamfuata.19Wakati Yesu alechambuka kwasha knahana, alemlolia Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana mwanandiye; vevei kwenye mtumbwi veveigenga nyafu. 20Mara elevalaha navo veleachana na papa yavo Zebedayo ndani ya mtumbwi na vatumishi veleasimwa, wakamwendea.21Na valiposhika Kapernaumu, mfiri ya sabato, Yesu eleingia kwenye Sinagogi na ifundisha. 22Valeshangaa fundisho lakwe, kwa vile eleva akuvafundisha sha mndu ambaye ere mamlaka na siyo kama vaandishi.23Wakati shohosho kuleva na mndu katika sinagogi lavo eleva na roho ngiishwa, na elekeba kelele, 24akiamba, ''Dure choiki chefanya na veave, yesu wa Nazareti? Washa iduangamiza? Ngikuishi veave ni veivi. Veave ni mtakatifu umoni wa Ruva!'' 25Yesu alemkemia roho shafu na iyamba, ''Shia na ufume ndani yakwe!'' 26Na roho mshafu elemuusa sumbai na akafuma kwakwe wakati akilia kwa sauti ya dooka.27Na vandu voose veleshangaa, hivyo vakaulisana kila umu, ''Hii ni choiki? Fundisho ihiya lenye mamlaka? Hata ehamuru roho vashafu nave vemtii!'' 28Na habari kuhusu ve mara imu sikasambaa kila kindu ndani ya mkoa woose wa Galilaya.29Na mara imu baaya ya ifuma fosha ya sinagogi, valeingia kaa kwa Simini na Andrea vekeri na Yakobo na Yohana. 30Luvaha maamka wa Simoni eleva alaa evaiwa wa homa, na mara imu welemvia Yesu habari sakwe. 31Ado elesha, alemra kwa maoko, na akamwinua dooka; homa ikasiilia kwakwe,na akaansa ivahudumia.32Kashini yohoyo wakati muu wameisama, walemhemba kwakwe woose vevekeri wevaiwa,au valio pagawa na roho ng'viishwa. 33Mji woose velekwanyika pamoja katika mwongo. 34Elevaponya veengi vevekeri vevaiwa wagonjwa mbalimbali na ifuna pepo veengi. bali eleruhusu ku pepo ngiviishwa ichecha kwa sababu velemwishi.35Eleamka shuru na mapema, wakati ivekeri bado mlema ; eleviilia na iyenda mahali pa wasi na eletereva foo. 36Simoni na voose vevekeri hamu nave velemfata. 37Valemkolia na imvia, ''kila umu ekwengecha''38Elevavia, ''Dusilie mahali kwingi, shaa katika miji iliyosunguka, ili ngidime ihubiri foo pia. Ndiyo sababu nilikuja hapa.'' 39Eleenda ehicha Galilaya yoose, ekihubiri katika masinagogi yavo na ikemia roho ngviishwa.40Ere ukoma umu alesha kwakwe. Eleva emsihi; alekaba makoti na elemmbia, ''sha ukundi,wedima ing'fanya ngive safi.'' 41Akisukumwa na huruma, yesu eleonia koko chakwe na na imfura, akammbia, ''Ngikundi. Uve msha.'' 42Mara imu ukoma ukamfuma, na elevanywa iva msha.43Yesu elemwonya vikali na akammbia asiilie mara imu, 44Akamvia, '' Hakikisha huamba checha kwa yoose ku, lakini enda, ujioneshe kwa kuhani, na utoe sadaka kwa ajili ya utakaso ambao Musa eleagisa, sha ushuhuda kwavo.''45Lakini eleenda na iansa kumvia kila umu na iyeneza ichecha saidi hata yesu aledimase iingia ku mjini kwa uhuru. Hivyo elekaa kndu pa faragha na vandu velesha kwakwwe ifuma kila kindu.
21Alipouya Kaperinaumu baada ya mfiri nnangana, ilesikika ileishwa shali evei kaa. 2Vandu veengi sana vevekeri halahala na hevere nafasi se, hata ile ya ala mwoongo, na yesu eleamba ichecha kwavo.3Kisha baadhi ya vandu velesha kwakwe na velemuende mndu evei elepoosa, vandu vaana vevekeri vamwira. 4Wakati walipashindwa imshika ka sababu ya umati va vandu, velefuna paa la dooka ya kindu halahala evekeri. Na vevekeri valeisha itosha itundu, velesoosa kitara ambacho mndu aliyepoosa eve laye.5Aleilolia imani yavo, yesu elemmbia mndu elepoosa, ''Mwana akwa, sambi safo simesamehewa.'' 6Lakini baadhi ya vaandishi na vale vevekeri hoo velejihoji moyoni mwavo, 7''Edima aja mndu shu kwamba adi? Ekufuru veivi edimaye isamehe sambi isipokuwa Ruva emeni?8Mwara yesu alemanya rohoni kwakwe ndochovene fikiri miongoni mwavo wemeni. Elevavia, ''niiki mfikiri ado mooni mwani? 9Lingali ni rahisi saidi kuamba kwa mndu elepoosa, 'Sambi safo zimesamehewa' au iamba 'totona' ira kitara chafo, na uchambuke?'10Lakini ili vapate imanya ya kuwa mwana wa Adamu ere mamlaka ya isamehe sambi katika dunia, elemmbia yula elepoosa, 11''Ngikuvia veave, amka, ira mkeka wafo, na usiilie kwafo.'' 12Elefofona na mara imu akaira mkeka wakwe, na eleenda shaa ya mmba mbele ya kila mndu,hivyo voose veleshangaa na welemninga Ruva utukufu na wakaamba ''kamwe, dukeveiloliyeku jambo sha lihali''.13Eleenda se kando ya ziwa, na umati woose va vandu walesha kwakwe, na akavafundisha. 14Alipokuwa ehicha elemlolia lawi mwana wa Alfayo achaamiye kwenye sehemu ye kukusanyia kodi na alembiliya, ''ngifuate''. Elefofona na imfata.15Na wakati yesu alipokuwa evejipata kyao katika mmba ya Lawi, wakusanya kodi veengi na wandu wenye sambi vevkeri vela na yesu na vanafunsi wakwe,kwa kuwa vevekeri veengi navo velemfata. 16Wakati vaandishi, ambao vevekeri mafarisayo, walipololia shali yesu evekeri ela na vandu wenye sambi na wakusanya kodi, velevavia vanafunsi vakwe, ''Niiki ela na wakusanya kodi na vandu wenye sambi?''17Wakati yesu alipoishwa adi elevavia, vandu vere na afya katika mwili wemhitaji ku tabibu; ni vandu vewaiwa pekee ndio vemhitaji. Silesha ku iwadhaa vandu vere haki, lakini vandu vere haki, lakini vandu vere sambi.''18Vanafunsi wa Yohana na Mafarisayo vevekeri vefunga. Na baadhi ya vandu velesha kwakwe na immbiya, ''Niiki vanafunsi wa Yohana na Mafarisayo vefunga, lakini vanafunsi vafo vefunga ku?. 19Yesu akavavia, ''Je vevehudhuria harusini vedima ifunga wakati Bwana harusi bado ekeri hamu navo? Kwa vyoose bwana harusi ekeri bado efo hamu navo vedima ifunga ku.''20Lakini mfiri seesha wakati bwana harusi atakapofunwa kwavo, na katika mfiriso vo veshefunga. 21Kureku mndu ashonaye kipande kihiya cha nguo kwenye vasi kuukuu, vinginevyo kiraka chebanduka ifuma katika loholo, kihiya chebanduka ifuma katika kikuukuu, kushekeri na mpasuko mviishwa.22Kureku mndu avikaye divai nhiya katika viriba vikuukuu, vinginevyo divai yebara viriba na vyoose viwili divai na viriba vyecheka. Badala yakwe, vika divai nhiya katika voriba vihiya.''23katika mfiri ya sabato yesu alehicha kwenye baadhi ya mashamba, na vanafunsi vakwe veleansa ihira baadhi ya masuke ya ngano. 24Na Mafarisayo akavavia, ''Sakwa, niiki mfanya kindo ambacho ni kinyume cha sheria katika mfiri wa sabato?''25Elevavia, ''Hamkusoma kila elerunda Daudi evekeri katika uhitaji na shaa - yeye hamu na vandu vevekeri nave? 26Jinsi eleenda katika mmba ya Ruva wakati wa Abiathari evekeri kuhani mduve ela mkate uliovikwa mbele - ambao ileva kinyume cha sheria kwa mndu voose ila isipokuwa makuhani - na elevaninga hata baadhi ya vala vevekeri hamu nave?''27Yesu akaamba, ''Sabato ilefanywa kwa ajili ya mwanadamu, siyo wanadamu kwa ajili ya sabato. 28Kwa hiyo, mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato.''
31Na tena aleingia ndani ya sinagogi na mle kuvere na mndu mwenye koko kilepoosa. 2Baadhi ya vandu vevekeri vemfatilia kwa ukaribu na ililia kama emhaira mfiri wa Sabato ili shali vamstaki.3Yesu akammbia mndu mwenye koko kilepoosa, ''Umuka na utotone katikati ya umati huu. 4Kisha akavavia vandu, ''Je ni halali itenda tendo jema mfiri ya Sabato au itenda yalefaa; iokoa maisha au iwaa?'' Lakini velekaa kimya.5Akawasakua kwa nyafi, akihusunika kwa sababu ya uhumu wa mioyo yavo, na akammbia mndu ula, ''Orua koko chafo''. Akaoruwa na yesu akahara koko chakwe. 6Mafarisayo vakafumia shaa na mara vekafanya njama hamu na Maherode dhidi yakwe ili kummbwaa.7Kisha yesu hamu na vanafunsi wakwe, veleenda baharini, na umati uduve wa vandu ulevapata velefuma Galilaya na Uyahudi. 8Na ifuma Yerusalemuna ifuma Idumaya na mbele ya Yordani na mraseni ya Tiro na Sidoni, umati mduve, uliposikia kila kindi elefanya, velesha kwakwe.9Na alevavia vanafunsi vakwe kuandaa mtumbwi mnana kwa ajili yakwe kwa sababu ya umati, ili shali watashe vakamsonga. 10Kwa kuwa elevahaira veengi, ili kila mndu ere mateso evere shauku ya mshika ili amguse.11Koose roho vashafu velemkolia, veleua sumbai mbele yakwe na ilia, na veleamba, ''Veave ni mwana wa Ruva.'' 12Eleveamuru kwa msisitiso watafanye amanyike.13Eleenda dooka ya mlima, na akavalaa aliowataka,na vakaenda kwakwe. 14Elewashakua ikumi na vavili (akavalaa mitume), ili shali vave hamu nave na adime ivaduma ihubiri, 15na iva na mamlaka yefuna roho ngviishwa. 16Na akavashakua kumi na vavili: Simoni, elemninga rina la Petro,17Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yakwe Yakobo, eliininga rina la Bonagesi, hao ni vana va ngurumo, 18na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo, 19na Yuda Iskariote, ambaye elemsaliti.20Kisha eleenda kaa, na umati wa vandu vakasha hamu ve, hata wachadime ila mkate. 21Familia yakwe veleishwa habari hiyo, veleenda imra, kwani veleamba, ''Elerukwa na akili.'' 22Vaandishi velesha ifuma Yerusalemu valeamba, ''Alepagawa na Beelzebul,'' kwa mangi wa roho shafu efuna roho shafu.''23Yesu elevalaha kwakwe na iyamba navo kwa mfano, ''Jinsi yoiki ishetani edima imfuna ishetani? 24Sha umangi ukatavanyika umeni, umangi shu wedima itotonaku. 25Sha mmba ikatavanyika imeni, mmba yo yedima itotonaku.26Sha ishetani atatotona kinyume chakwe emeni na itawanyika, edima itotona ku na eva ashika mwisho wakwe. 27Lakini kure nanga umuku adimaye iingia ndani ya mmba ya mndu ere oru na iiva findo fyakwe bila imfunga emeni oru kwansa, na kisha ihumanyia kila ki mmba.28Dhooi ngivavieni, sambi soose sa vana va vandu zasamehewa, hamu na kufuru soose vetamka, 29Lakini yoose atakaye mkufuru roho mtakatifu esamehewa ku tukulu, bali ere hatiya ya sambi ya milele.'' 30Yesu aleamba lihali kwa sababu vevekeri veamba, ''Ere roho ng'shafu''.31Kisha maakwa na vanandiye wakwa velesha na itotona shaa. Wakamduma mndu, kumlaha. 32Na umati wa vandu ulechaamia karibu nave vakammbia, ''Maafo na wanandiye wafo vekeri fo shaa, na vekusengesha ve.''33Elevajibu, ''Ni veivi maakwa na vanandiye wakwa?'' 34Elewasakua vala velemsunguka na akaamba, ''sakwa, vahava ni mama zangu na wanandiye wakwa! 35Yoose arundaye mapensi ya Ruva, mndusha ni mwanandiye yakwa, na dada akwa, na mama akwa''.
41Tena eleansa ifundisha kandokando ya bahari. Na umati uduve ulekusanyika ukimsunguka, eleingia ndani ya mtumbwi baharini, na ichaamia. Umati woose uvekeri mbai ya bahariufukweni. 2Na akavafundisha mambo mengi kwa mfano, na akaamba kwavo kwa mafundisho yakwe.3Huchanieni, mpanzi eleenda ichonga. 4Alipokuwa echonga, baadhi ya mbegu silechona shieni, na mache yakasha yakasila. 5Mbegu singi silechona kwenye mwamba, ambako evekeri na teri nyiingi ku. Mara sikauma kwa kfa vevere teri yeshika ku.6Lakini jua lilefuma, sileuma, na kwa kfa sire mri ku sileuma. 7Mbegu silechona katikati ya mihinga. Mihinga ileva ivilamia, sileraa matunda yeyote.8Mbegu siingi silechona kwenye teri ng'sha na sikazaa matunda wakati sileengereka, nyingi silera mara thelathini saidi, na singi sitini, na singi mia.'' 9Na akaamba, ''yoose ere madu ye ishwa, na aishwe!''10Yesu evei emoni, vala vevekeri karibu nave na vala kumi na mbili velemmbesa ihusu mifano. 11Akaamba kwavo, ''kwenu mleningwa siri ya ufalme wa Ruva. Lakini kwa vei shaa kila ng'ndo ni mofano, 12ili vakavakua, dhoi vesakua lakini vedholia ku, na kwa hiyo wanapoiswa dhooi veishwa, lakini vemanya ku,amasivyo velebadilika na Ruva avasamehe.''13Na akaamba kwavo, ''Je mwemanya mfano shu? mwemanyaaja ielewa mifano ingi?. 14Mpanzi elechonga ichecha. 15Baadhi ni vala velechona mbahi ya shia, handu checha lilechongwa. Na valipoishwa, mara ishetani likasha na ihira ichecha ambalo lilechongwa ndani yavo.16Na baadhi ni vala velechongwa dooka ya mwamba, ambao, walipoishwa ichecha, kwa haraka velepokia kwa furaha. 17Na vere mriku yoose ndani yavo, lakini hufumilia kwa muda mfuhi. Halafu ukiva na mahangaiko wakati viishwa kwa sababu ya ichecha, mara ikaba ituulia.18Na vengi ni vala velechongwa katika mihinga veleishwa ichecha, 19lakini mahangaiko ya dunia, idhembwa na mali, na tamaa sa mabo engi, huvaingia na ililamia ichecha, na liledhemwa iacha matunda. 20Kisha kure vala ambao velechongwa kwenye teri ng'sha velishwa ichecha na iliambilia na iraa matunda: baadhi thelathini, na baadhi sitini, na baadhi mia imu.''21Yesu akavavia, ''Je wehende taa ndani ya mmba na iivikia sumbai ya kikapu,au sumbai ya kitanda? Huiende mmba kuivikia dooka ya kiango. 22Kwa kuwa kure ng'ndo choose kilekrika ambacho kitemanyika na kure siri ambayo itevikwa wasi ku. 23Akava ho mwenye madu yeishwa, na aishwe!''24Akavavia, ''Iveni makini kwa kila mnachikihuchania,kwa kuwa kipimo mbimaho, nacho mwebimiwa, na mwehengeriwa kwenu. 25Kwa kfa ve ekire einingwa saidi, na ula etere, ifuma kwakwe vehirwa hata kila evere.''26Na akaamba, ''Umangi wa Ruva umehusana na mnduelechonga mbegu katika teri. 27Elelaha kio na ihamba shuru, na mbegu silechipua na ingana, igawa emanyaku elivyofumia. 28Dunia hufura mbegu imoni, kwansa mara, halafu maua, halafu mbegu silekomaa. 29Na wakati mbegu ikakdia yaura hukamacha mhindo, kwa kfa mafuno yemeshika.''30Na akaamba, ''duhulinganishe umangi wa Ruva na nndo choiki, au dutumie mfano wonnki iwaelesa? 31Ni sha mbehu ya haradali, ambayo ilechongwa ni ng'naana sana kuliko mbehu soose urukeni. 32Hata, wakati ilechongwa, ukakua ikava nduve saidi ya mimea yoose ya bustanini, na yadasa matavi maduve, hata mache wa ruveu hudima fiota vyao kivuli chakwe.''33Kwa mifano nyiingi elefundisha na eleamba ichecha kwavo, kwa kadiri walivyodima imanya, 34na aleamba kwavo ku bila mifano. Lakini wakati evekeri emoni, akavaelesa kila nndo vanafunsi wakwe.35Katika mfiri sho, wakati wa kashini uleshika, akaamba kwavo, ''N'ndeni upande wa kavili''. 36Hivyo veleucha umati, vakamwira yesu, wakati sho tayari eleva ndani ya mtumbwi. Mitumbwi mingi ivei hamu nave. 37Na muho mkali wa dhoruba na maruhu yeleva yeingia ndani ya mtumbwi na mtumbwi tayari uleva waishwa.38Lakini yesu emoni eleva kwenye Shetri, amelaa kwenye mto. Vakamwamsa, vakaamba, ''Mwalimu, ujali sooso duufa?. 39Na akaamka, akaukemea muho na akaivia bahari, ''Ive shwari, amani''. Muho ukasia, na kuvekeri na utulivu mduve.40Na akaamba kwavo, ''Niiki muhiova? Je mre imani fo?'' 41Velejaa wasiwasi mduve ndani yavo na vakaviana vo kwa vo, ''shuashu ni veivi se, kwa kfa hata muho na bahari vyemtii?''.
51Valesha mpaka upande mwingi wa bahari, katika mkoa wa Gerasi. 2Na ghafla wakati yesu alipokuwa efumashaa ya mtumbwi, mndu wenye roho shafu elesha kwakwe ifuma makaburini.3Mndu sho eleishi makaburini. Kureku eledima imsuia saidi, kureku hata kwa minyororo. 4Evekeri afungwa minyororo. Elefee na minyororo na pingu sakwe silemishwa. Kure hata umu ere oru yemshinda ku.5Kyoo na kwaya evei makaburini na mlimeni, elelia na ikifeenafeena emeni kwa mawe makali. 6Alipomlolia yesu kwa kwasha, eledisha kwakwe na anama mbele sakwe.7Elelia kwa sauti kuu, ''Ukundi ngikurundie choiki, yesu, mwana wa Ruva aliye dooka sana? Ngikusihi kwa Ruva emeni, utang'tese.'' 8kwa kuwa elemmbia, ''Mfume mndu shu, veave roho mshafu.''9Nave elemmbesa, ''Rina lafo ni veivi?'' Nave akamjibu, ''Rina lakwa ni Legion, kwa kuwa dukeri veengi.'' 10Elemsii tena na tena achavakamache sha ya mkoa.11Luvaha kundi duve la nguruve livekeri lilelishwa dooka ya kilima, 12Navo velemsihi, vakiamba, ''dudume kwa nguruve duingie ndani yavo.'' 13Hivyo elewaruhusu, roho vashafu velevafuma na iingia ndani ya nguruve, navo veledishilia ksinde ya kilima mpaka baharini, na karibu nguruve elfu mbili vevesama baharini.14Na vala vevekeri vewalisha nguruve veledisha na ifuna taarifa ya kilichofumia katika mji na katika nchi. 15Ndipo vandu veengi velefuma eveenda ilolia kilichofumia. Ndipo velesha kwa yesu na velemlolia mndu elepagawa na roho - elekeri na jeshi - achaamia sumbai, amefikwa, na avei na akili timamu navo vakaihova.16Vala velelolia kilefumia kwa mndu alepagawa na roho velevia kilefumia kwakwe na pia ihusu nguruwe. 17Navo veleansa imsihi asilie katika mkoa wavo.18Na alipokuwa eingia ndani ya mtumbwi, mndu elepagawa na maroho maviishwa elemsihi kwamba aende hamu nave. 19Lakini elemruhusu ku, lakini elemmbia, ''Enda kaa kwafo na kwa vandu vafo, na uvavie elekufanyia Bwana, na rehema eleninga.'' 20Hivyo eleenda na iansa itangasa mambo maduve ambayo yesu alefanya kwakwe katika Dekapoli, na kila umu alestaajabu.21Na wakati yesu alipovuka upande ungi, ndani ya mtumbwi, umati mduve ulekusanyika imsunguka, evekeri kando ya bahari. 22Na umu wa kiongosi wa sinagogi, avelahwa Yairo, elesha, na alipomlolia, elechona machendeni kwakwe. 23Akamsihi saidi na saidi, akiamba, ''mwanamka akwa mnahana ekfuhi ifa. Ng'kusihi, shio na uvike maoko yafo dooka yakwe ili adime ipata afa na iishi.'' 24Hivyo veleenda hamu nave, na umati mduve ulemfata navo vakimsonga kfuhi na vakimtengeta.25Kuvekeri na mfele ambaye samu yakwe ivekeri ifuma kwa miaka kumi na ivili. 26Eleteseka vya kutosha sumbai ya matibabu meengi na eletumia kila n'ndo evere. Hata ado elesaidika ku kwa chochote, lakini badala yakwe elesidi iva na hali ng'viishwa. 27Eleishwa habari ihusu yesu. Hivyo elesha mma yakwe wakati eleva echambuka ndani ya umati, naye elegusa nguo yakwe.28Kwa kuwa eleamba, ''kama nkifura nguo yakwe ku, ngeva msima.'' 29Alopomra, ifumwa na samu kulevia, ''Na elekwishwa katika mwili wakwe shali eleponywa ifuma katika ukiva wakwe.30Na ghafla yesu alemanya ndani yakwe emeni shali oru ulemfuma. Na elegeuka kuni na kuni katika umati wa vandu na immbesa, ''Ni veivi elera nguo yakwa?'' 31Vanafunsi vakwe vakammbia, ''Ulolia umati huau wakusonga ukikutengeta, nawe waamba, ni veivi eleng'ara?'' 32Lakini yesu alesakua kuni na kuni ilolia ambaye eleva afanya ado.33Mfele, akimanya kilichofumia kwakwe, elleihova na ichechema. Elesha na ihua sumbai mbele yakwe na imvia ukweli woose. 34Eleamba kwakwe, ''Mwanamka, imani yafo yakufanya uve msima. Enda kwa amani na uhairwe ifuma kwenye ndwari yafo.''35Evekeri echecha, baadhi ya vandu velesha ifuma kwa kiongosi wa sinagogi, vakiamba, ''Mwanamka wafo ameifa. Niiki iendelia imsumbua mwalimu?''36Lakini yesu alipoishwa ambacho veamba, elemmbia kiongosi wa sinagogi, ''Utaihove. Amini tiki.'' 37Elemruhusu yoose ku iyongosana nave, isipokuwa Petro, yakobo, na Yohana, mwanandiye yakwe Yakobo. 38Velesha kaa kwa kiongosi wa Sinagogi nave elelolya furugu, ilia kwingi na iombolesa.39Eleingia kaa, elemmbia, ''Niiki msikitika na niiki mlia? Mwana hafaku bali alaa.'' 40Velemseka, lakini ve, elevafuna vose shaa, elemwira papa wa mwana na maye va vala vevekeri hamu nave, na eleingia ndani evekeri mwana.41Eleuhira koko cha mwana na elemmbia, '' Talitha koum,'' ambayo ni iamba, ''Mwanamka mnahana, ngikuvia amka.'' 42Ghafla mwana eleamka na ichambuka (kwa kuwa evere umri wa mwaka kumi na ivili). Na ghafla velerwa na mshangao mduve. 43Elemwamuru kwa oru shali kweku yoose epaswa imanya ihusu lihali. Na elevavia wamninge mwanamka ula kyao.
61Na elesilia ho na ienda mjini kwavo, na vanafunsi vake vakamfata. 2Sabato iliposhika, eleansa katika sinagogi. Vandu veengi velemswa vakashangaswa, vakaamba, ''Akolia ku mafundisho yahaya?" "Ni hekima yonki eleiningwa?" "Etenda afo miujiza yahai kwa maoko yakwe?" 3"Je shuashu si ula seremala, mwana wa Mariamu na mwanandiye vavo Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Je dada sakwe si veishi adi hamu nasi? "Na velefurahishwa na yesu ku.4Yesu akavavia, "Nabii euwa heshima, isipokuwa katika mji wakwe na miongoni mwa wanandiye wakwe na kaa kwakwe''. 5Eledima itenda miujisa hoku, ila elevavikia maoko wagonjwa vanahana akavahaira. 6Eleshangaswa sana kwa kfa ya kutokuamini kwavo. Kisha elevichambukia vijiji vya mraseni akigundisha.7Elewalaa vala vanafunsi kumi na ivili akaansa ivaduma vavili vavili. Akavaninga mamlaka dooka ya roho ng'shafu, 8na akavaamuru wataire choose wanapoenda isipokuwa fimbo tiki. Wachaire mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni; 9lakini varare fiadu, na siyo kanzu ivili.10Na akavavia, mmba yoose mtakayoiingia,ehaamieni hoodo mpaka mtakaposiilia. 11Na mji woose usipowaambilia wala iwahuchania siilieni kwavo, kung'uteni mavumbi ya machende yenu, ive shuhuda kwavo.''12Navo vakasiilia vakitangusa vandu vatubu na iacha sambi savo''. 13Velevafukuza roho ng'viishwa veengi, velewafia mafuta vagonjwa na vakahairwa.14Mangi Herode alipoishwa yohoyo kwa kuwa rina la yesu livekeri lilemanyika sana. Baadhi veleamba, "Yohana mbatisaji afufuka na kwa kfa ado, yohoyo, hiyai oru ya miujisa irunda kasi ndani yakwe.'' 15Baadhi yamwao veleamba, "Shuashu ni Eliya," Bado vengi vakaamba, "shuashu ni nabii, kama umu va vala manabii wa kasha."16Lakini Herode alipoishwa yahaya akaamba, ''Yohana, niliyemteena mduve amefufuliwa." 17Maana Herode emeni eleagiza Yohana akamatwe na elemfunga gerezani kwa kfa ya Herodia (mfele wa vava akwe Filipo) kwa kfa ve evekeri amualika.18Kwa maana Yohana elemmbia Herode, "Si halali kumwalika mfele wa vavao.'' 19Lakini Herodia eleansa imsua na evekundi imbwaa, lakini eledimaku, 20maana Herode elemwova Yohana: elemanya kwamba ni ere haki mndu mtakatifu, na elemlekelia salama.Na alipoendelia imuhuchania elehusunika raavi, lakini elefurahi imhuchania.21Hata iliposhika wakati mwafaka ikiwa yashika mfiri ive oneka Herode akavaandalia maofisa vakwe karamu, na makamanda, na viongosi wa Galilaya. 22Ndipo mwanamka wa Herodia akaingia na itema mbele yavo, akamfurahisha Herode na vageni vevechaamie wakati wa kyao cha kashini. Ndipo mfalme akamvia mwanamka, ''Nitereve choose ukundi nami ngekununga.''23Akamwapia naiamba, choose utakachongitereva, ngekuniinga, hata nusu ya umangi wakwa.'' 24Akafuma shaa ammbesa maakwe, ''ng'tereve choiki?'' Akaamba, ''Mdwe wa Yohana Mbatisaji.'' 25Na mara umu akaingia ndani kwa mangi akaansa iifumba, ''Ngikundi uninge ndani ya sahani, mdwe wa Yohana Mbatisaji.''26Mangi elesikitishwa naavi, lakini kwa kfa ya kiapo chwakwe na kwa ajili ya vageni, eledimaku iliyaa ombi lakwe. 27Hivyo, mangi eleduma askari kati ya valinsi vakwe na akaagisa eyenda imhendie mdue wa Yohana. Mlinsi eleenda kumteena mdwe evei kifungoni. 28Akaiende mdwe wakwe kwenye sahani na imninga mwanamka, na mwanamka akamninga maakwe. 29Na vanafunsi wakwe valipopishwa ado, veleenda ihira mwili wakwe vakaenda irika kaburini.30Na mitume, velekusanyika hamu mbele ya yesu, vakammbia yoose velerunda na valiyoyafundisha. 31Nave akavavia, ''shioni mmeni pa faragha na wasi na dupumsike kwa muda. ''Vandu veengi vevekeri velesha na isiilia, nanga velekolia nafasi yela ku. 32Hivyo veledua mashua vakaiilia kndu pa wasi peke yavo.33Lakini velemlolia vakisiilia na vengi vakawamanya, kwa hamu veledisha kwa machende ifuma miji yoose, navo vakashika kabla yavo. 34Valiposhika pwani, elelolia umati mduve na elewahurumia, kwa kfa vevekeri sha mahorima yechere molisa. Na akaansa iwafundisha mambo meengi.35Muda ulipoendelia sana, vanafunsi vakasha vakamvia, ''haadi ni kindu pa wasi na muda wasia. 36Uvaage vaende miji ya mraseni na vijiji ili vakajodee kyao.''37Lakini elevajibu akiamba, ''Vaningeni nyohonyo kyao''. Vakamvia, ''Dudima iyenda na iyola mikate ire thamani ya dinari mia ivili na ivaninga vala?'' 38Akavavia,'' Mre mikate miinga? Endeni msakulie". Valipokolia vakamvia, ''Mikate mitanu na samaki vavili."39Akavaamuru vandu vachaamiye katika makundi dooka ya mara mavishi. 40Wakavadaamira katika makundi, makundi ya mamia kwa hamsini. 41Kisha akaira mikate na samaki vavili, na isakua ruveu, akabariki kisha akavaninga vanafunsi vavike mbele ya umati na kisha elegawa samaki vavili kwa vandu voose.42Valela voose hadi vakatosheka. 43Velesana fipande vya mikate ilebaki, vikaishwa vikabu kumi na fivili, na pia fipande fya samaki. 44Na vevekeri vasoro elfu tano veleva mikate.45Mara akavavia vadue kwenye mashua vaende sehemu ingi, hadi Bethsaida, wakati ve akivaaga makutano. 46Walipokuwa wamekwisha iyenda, akaenda mlimani itereva. 47Kuvekeri kashini, na mashua yavo wakati sho ivei katikati ya bahari, nave evei emoni nchi kavu.48Na elevalolia vakataabika ikaba makasia kwa kfa ya muho ulevashiingia. Karibu kuucha akavafata akichambuka dooka ya mriinga, na elekundi ivaicha. 49Lakini valipomlolia echambuka dooka ya mriinga, vakaingiwa na wasiwasi vakidhani ni varimu hata vakakabe kelele. 50Kwa kfa velemlolia velejawa na hofu. mara akaamba navo akavavia, ''Mve vajasiri ni nihani mchave na wasiwasi.''51Akaingia ndani ya mashua, na muho ukacha ifuma, navo vakamshangaa kabisa. 52Ado vevekeri vadewa maanaku ya mkate ila maana akili savo sivekeri na uelewa mnahana.53Navo valiponika ng'ambo veleshika nchi ya Genesareti mashua ikatia nanga. 54Valipofuma shaa ya mashua, mara vakammanya. 55Vakadisha itangasa katika mkoa msima na vakaansa ivahende wagonjwa kwa machela, kila veleishwa esha.56Koose eleingia katika vijiji, au mjini, au katika nchi, velevavikia wagonjwa kndu pa tela, na vakamsihi avaruhusu ira pindo la vazi lakwe. Na voose velemra velehairwa.
71Mafarisayo na baadhi ya vaandishi ambao vevekeri vafumia Yerusalemu velekusanyika kumtengeta ve.2Na velelolia kuwa baadhi ya vanafunsi vake velela mikate kwa maoko najisi; ambayo ilesambwa ku. 3(Kwa Mafarisayo na Vayahudi voose veleku mpaka vesambie maoko yavo usha; vererihilia utamaduni wa vameku. Wakati 4Mafarisayo valipouya ifuma kndu pa tela, velaku mpaka vameoga kwansa. Na kure sheria singi ambazo vesifuata kabisa, ikava ni hamu na isambia fikombe, masufuria, fyombo fya shaba, na hata fidi filetumika wakati wa kyao.)5Mafarisayo na vaandishi velemmbesa yesu, ''Niiki vanafunsi vafo veishi ku ilingana na tamaduni za wameku, kwani vela mkate pasipo isambia maoko?''6Lakini ve akavavia, ''Isaya eletabiri usha ihusu nyo vanafiki, eleandika, 'vandu vahava vaniheshimu kwa momu yavo, lakini mioyo vavo ifo kwasha na 7nihani.Veng'fanyia ibada sitere maana, velefundisha sheria sa vanadamu sha maambilio yavo.'8Mleicha sheria ya Ruva na ira kwa wepesi tamaduni sa vanadamu.'' 9Na iyamba kwavo, ''Mleiliya amri ya Ruva kwa urahisi ili kwamba mtunse tamaduni senu! 10Kwa kuwa Musa eleamba, 'mheshimu papa afo na maafo; na 've eambaye maviishwa dooka ya papa akwe au maakwe hakika efa11Lakini mwaamba, 'kama mndu akaamba kwa papa akwe au maa, ''Msaada voose ambao mveambilia ifuma kwakwa ni hasina ya hekalu,'' (hivyo ni iyamba kwamba imefuma kwa Ruva') 12hivyo mweruhusiwa ku irunda jambo loose kwa ajili ya papa au maakwe. 13Mleifanya amri ya Ruva kuwa bure kwa kuhende tamaduni senu. Na mambo meengi ya jinsi yo mwerunda.''14Elevalaha makutano ve na ivavia, ''Nihuchanie nyo voose, na mumanye. 15Kure choose ifuma shaa ku ya mndu ambaye chedima imshafua mndu kiingiapo kwakwe. Bali kila kimfumacho mndu ndicho kimshafua. 16(Singatia: mstari shuu, ''Kama mndu yoose ere madu yeishwa na aishue'' fo kwenye nakala sa kasha).17Yesu elevacha makutano na iingia mmba vanafunsi vakwe vakammbesa ihusu mfanosho. 18Yesu akaamba, ''Na nyohonyo pia bado mwamanya fo? mlolia kshali choose kemuingia mndu chedima imshafua ku, 19kwa kfa mwedima ku ienda mo wakwe, lakini kikaingia katika ndeu lakwe na kisha kikaicha ienda shoroni.'' kwa maeleso yahaya yesu elevifanya vikyao fyoose iva safi.20Aleamba, ''Ni kila ambacho kimfuma mndu ndicho chemshafua. 21Kwa kuwa kifuma ndani ya mndu, shaa ya mo, hufuma mawaso maviishwa, sinaa, urango,mauaji, 22uasherati, tamaa ng'viishwa, uofu, ilemba, kujamiiana, wifu, kashfa, majifuno, utondo. 23Maofu ya yoose yefuma ndani, ndiyo yala yamshafua mndu.''24Eleamba ifuma ala na isilia iyenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Eleingia ndani na evekundi ku mndu voose amanye kuwa evei hoodo, lakini ilewesekana imrika ku. 25Lakini ghafla mfele, ambaye vana wake vanang'ana evei na roho ng'shafu, aleishwa habari sakwe,akasha, na ichona machendeni kwakwe. 26Mfele sho evei Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Elemsihi ve amdishire roho ng'viishwa ifuma kwa mwanamka wakwe.27Yesu akamvia mfele, ''Vaache vana valishwe kwansa, kwa kuwa sio sawa ihinda mkate wa vana na ikumbiria kite.'' 28Lakini mfele elemjibu na iyamba, ''dhooi Bwana, hata kite sumbai ya mesa ele makombo ya kyao cha vana.''29Akamvia, ''kwa kuwa waamba adi, uko huru enda. Roho ng'viishwa amemfuma mwanamka afo.'' 30Mfele eleuya kaa kwakwe na akamkolia mwanamka wakwe amelaa ktareni, na roho ng'viishwa ivekeri yamfuma.31Yesu elefuma se shaa ya mkoa wa Tiro na ihichia Sidoni ielekia bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi. 32Na vakamhendie mndu ivei aminga na evekeri edima ichecha usha ku, velemsihi yesu avike maoko dooka yakwe.33Elemfuna sha ya kusanyiko kwa siri, na akavika fidole vyakwe kwenye madu yakwe, na baada ya ifucha macha, elera ulumi wakwe. 34Elesakua dooka ruveu, akahema na imvia, ''Efata,'' hiyo ni iyamba ''Futuka!'' 35Na muda ula ula madu yakafutuka, na kivekeri cha shiingia ulumi kileharibiwa na eledima ichecha usha.36Na velemwamuru wachamvie mndu yoose ku. Lakini kadiri elevaamuru, ndivyo veletangasa habari so kwa wingi. 37Hakika veleshangaswa, na iamba, ''Arunda kila n'ndo usha. Hata avafanya veteishwa vaishwe na mabubu ichecha.''
81Katika mfiri so, kuvekeri se na umati mduve, na kvevekeri na kyao ku. Yesu akavalaha vanafunsi vakwe akavaiia, 2''Ngihurumia umati shu, vaendelia iva nani kwa mfiri isadu na vere kyao ku. 3Nkivavia vauye kaa kwavo bila ila vedima vakasimia shieni kwa shaa. Na baadhi yavo vafuma kwasha sana''. 4Vanafunsi vakwe vakamjibu, ''Dwekolia ku mkate yeshika ihuicha vandu vahava katika eneo li lilechwa?''5Kakavaulisa, ''mre fipande fiinga vya mikate?'' vakaamba, ''saba.'' 6Eleamuru umati uchaamie sumbai. Akaira mikate saba, akamshukuru Ruva, na iiteena. Akavaninga vanafunsi vakwe vaivikie mbele yavo, navo vakavike mbele ya umati.7Pia vevekeri na samaki vanahana idashi, na baada yeshukuru, elevaamuru vanafunsi vyakwe vavaninge ado pia. 8Velela na vakatosheka. Na velekwanya fipande filebaki, vikabu viduve saba. 9Velekaribia vandu elfu ina. Na velevacha vasiilie. 10Mara eleingia kwenye mashua na vanafunsi vakwe, na vakaenda katika ukanda ya Dalmanuta.11Kisha Mafarisayo velefuma sha na iansa ibishana nave. Velekundi avaninge ishara ifuma ruveu, kwa imjaribu. 12Eletafakari kwa kina mooni mwake akaamba, ''Niiki kisasi ki chefuata ishara? Ngivavia nyohonyo ukweli, kure ishara ku itakayofunwa kwa ksasi ki.'' 13Kisha akavaacha, akaingia ndani ya mashua se, akasiilia ilekia upande mwingi.14Wakati sho vanafunsi veletumle ihira mikate. vevere mikate ku saidi ya kipande kimu kivekeri kwenye mashua. 15Elevaonya na ivavia, ''Mve meso na mkringe dhidi ya chachu ya mafarisayo na chachu ya Herode.16Vanafunsi vakaviana voo kwa voo, ''Ni kwa kfa dure mikate ku.'' 17Yesu elelitambua lo, na akavavia, ''Niiki mviana ihusu itekeri na mikate? Mwamanya foo? Muishi foo? moo senu ileva miepesi?18Mre meso, mwelolia fo? mre madu, mweishwa fo? mwekumbua fo? 19Nilipoiava mikate mitano kwa vandu elfu tano, mleira vikabu viinga vilivyoishwa vya mikate? ''vakamjibu, ''kumi na mbili.''20"Na nilipoava mikate saba kwa vandu elfu ina, mleira vikabu fiinga?'' 21Vakaamba ''saba''. Akavavia, ''Bado mweishifo?''22Vakasha Bethsaida. Vandu vo valemhende kwa yesu mndu kipofu na vakamsihi yesu amre. 23Yesu akamra koko kipofu ula, na imwongosa shaa ya kijiji. Elefisha macho dooka ya meso yake, na ihorwa maoko yakwe dooka yakwe, akammbesa, ''Ukolia n'ndo choose?"24Elesakua dooka na iyamba, ''ngivoni vandu velolika sha mdi ichambuka.'' 25Ndipo akahorua se maoko yakwe dooka ya meso yakwe mndu ula akafutua meso yakwe, elelolia se, na akalolia kila n'ndo ni ksha. 26Yesu elemlekia aende kaa na akamvia, ''Utaingia mjini."27Yesu elesiilia na vanafunsi vakwe iyenda vijiji vya Kaieseria ya Filipi. Vevei mkoni akavavesha vanafunsi, ''Vandu veamba nihani ni veivi?'' 28Vakamjibu vakaamba, ''Yohana mbatisaji. Vengi veamba, 'Eliya' na vingi, 'Umu wa manabii."29Akavavesa, "Lakini nyohonyo mweamba nihani ni veivi? Petro akamvia, Veave ni Kristo." 30Yesu elevaonya vachambie mndu yoose ihusu ve.31Na akaansa ivafindisha ya kuwa mwana wa Adamu lasima eteseka kwa mambo meengi, na eleliiwa na fiongosi na makuhani waduve, na vaandishi na ewawa, na baada ya mfiri isadu efufuka. 32Eleamba yaa kwa uwasi. Ndipo Petro akamhira mbahi na akaansa imkemia.33Lakini yesu alehunduka na iwasakulia vanafunsi, vakwe na imkemia Petro na imvia, ''Hita mma yakwa shetani! wejali mambo ya Ruva, itekeri mambo ya vandu." 34Kisha akaulaha umati na vanafunsi vakwe hamu, na akavavia, "Kama kure mndu ekundi infata, ajikane emoni, ahire msalaba wakwe, na ang'fate.35Kwa kuwa yoose ekundi iyokua maisha yakwe atayachesa, na yoose atakayeyachesa maisha yakwe kwa ajili yakwa na kwa ajili ya injili, eyaokua. 36Yemfidia choiki mndu, ikolia uruka voose, na kisha ikolia hasara ya maisha yakwe? 37Mndu edima ifuna choiki badala ya maisha yakwe?38Yesu eng'lolia haya na machecha akwa katika kisasi ki cha vazinzi na kisasi cha venye sambi, mwana wa Adamu emlolia haya ku wakati eisha katika umangi wa papa akwe hamu na malaika watakatifu.
91Na aleamba kwavo, "Hakika ngiamba kweni, baadhi yenu kure vandu vetotoni haadi veonja mauti kuu kabla ya yelolia umangi wa Ruva ukasha kwa Oru." 2Na baada ya mfiri sita, yesu elewahira Petro, Yakobo na Yohana pamoja nave mlimeni, vemeni, niho eleansa ibadilika mbele yavo. 3Mavazi yakwe sikaansa ivaa sana, mahewa saidi, mahewa kuliko mng'arishaji sana, meupe saidi kuliko mng'arishaji yeyote duniani.4Ndipo Eliya hamu na Musa velefumia mbele yavo, na vevekeri vechecha ya yesu. 5Petro alejibu amvesa yesu, "Mwalimu, ni ksha si duwe haadi, na dujenge fibanda firadu, kimu kwa ajili yafo, kimu kwa ajili ya Musa na kingi kwa ajili ya Eliya." 6(Kwa kuwa uveishi choiki che amba ku, veleihova sana.)7Uruhu lilefumia na ivafunika niho sauti ilefuma mbinguni iamba, "Shu ni mwanaakwa ngimbundi. mhuchanieni ve." 8Ghafla,walipokuwa vehimahiya, velelolia yoose ku hamu navo, kasoro yesu taba.9Wakati vemashuka ifuma mlimeni, elevaamuru vachamvie mndu yoose yo velevalolia , mpaka mwana wa Adamu efufuka ifuma kwa wafu. 10Niho mambo avo vemeni. Lakini valevesana vo kwa vo choiki maana yakwe "fufuliwa ifuma kwa wafu".11Velemuulisa yesu, "Niiki vaandishi huamba lasima Eliya ashe kwansa?" 12Akavavia, " hakika Eliya atakuja kwansa iyokua findo fyoose. Niiki ileandikwa mwana wa Adamu lasima akolie ukiva mwiingi na vamusuwe? 13Lakini ngiamba kwenu Eliya elemeisha, na velemfanya shali vekundi, shandu mabadiliko yeamba ihusu ve."14Na wakati veleuya kwa vanafunsi, valelolya kundi duve lavasunguka na Masadukayo vevekeri vebishana navo. 15Na mara vamlolia, kundi loose ikundi loose lileshangaa na imdishilia imdikira. 16Akavaulisa vanafunsi vyakwe, "mbishana navo dooka ya iki?"17Umu wavo katika kundi elemjibu, "Mwalimu, ngilemhende mwana wakwa kwafo; ere roho ng'shafu ambayo yemfanya atadime ichecha, 18na imsababisha akachechema na imhusu sumbai, na ifuma mavia dumbuni na iva mayo na kukakamaa. Nilevaitereva vanafunsi vafo imfuna roho ng'nishwa, lakini veledima ku. 19Alevajibu, "kisasi kileamini, ngekaa nanyi kwa muda shong'ki? Ngehirana na nyohonyo mpaka indihi? Mhendeni kwakwa."20Nelemhende mwana wakwe, Roho ng'shafu amlolie yesu, Ghafla ilemmbikia katika ichechema. Mwana wa ksoro eleuwa sumbai na ifuna mavia dumbuni. 21Yesu elemuulisa papa akwe, "Alekaa kwa hali hiyai kwa muda shon'nki?" papa akaamba, tangu mnana. 22Mara ingi huuwa machoni au nmringeni, na ijaribu ihangamisa. Kolia wedima ifanya choose uduhurumie na uduheeke."23Yesu elevavia, "Kolia ukeri tayari? kila nndo chewesekana kwa yoose eamini.' 24Ghafla papa wa mwana elilia na iyamba, "ngeamini! ng'heaka kwa kfa ngiteamini kwakwa." 25Wakati yesu alolie kundi lishilia kwavo, alemkemia roho mshafu na iyamba, "Ve roho bubu na kiziwi, ngikuamuru mche, utaingie kwakwe seku."26Elelia kwa ngufu na imhangaisha mwana na roho ilemfuma. Mwana elolika sha amefa, nihi veengi veleamba, "Amefa," 27Lakini yesu elemhira kwa koko alemtotomsa, na mwana akatotona.28Wakati yesu eingie mmba, vanafunsi vakwe velimuulisa faragha, "Niiki duledima ku imfuna? 29Elevavia, "kwa namna hiyai efuma bila maombi ku."30Wakati vafume ho na ihichia Galilaya. Ukundi mndu yoose amanye vekeri, 31kwa kuwa evefundisha vanafunsi vakwe. Alevavia, mwana wa Adamu iviviwa maokoni mwa vandu na vemwa akava afa, baada ya mfiri isadu efufuka se." 32Lakini velemuelewa ku maeleso ho na valeihova imuulisa .33Niho veleshika Karperinaumu. Wakati ekeri ndani ya mmba elevaulisa, "Mvejadili choiki fo mkoni"? 34Lakini velisia si. Kwani vevei vebishana mkoni kwamba ni veivi evekeri mduve saidi. 35Elechaamia sumbai akavalaha ikumi na vavili hamu, na elechecha navo, "Kolia kure msa ekundi iva wa kwansa, ni lasima ave va mwisho na mtumishi wa voose."36Elemhira mwana mnana na imvikia katikati yavo. Akamhira katika maoko yakwe, akaamba, 37"Yoose amuambiliaye mwana sha shu kwa rina lakwa, pia anihambilia nihani, na ikiwa mndu anihambilia, niani tiki ku, lakini pia aliyeng'duma."38Yohana akamwambia, "Mwalimu dulemlolia mndu efuna roho ng'viishwa kwa rina lako dukamshiingia kwa sababu edufata ku." 39Lakini yesu akaamba, "mchamsingie ku, kwa kfa kure msa efanya kasi ku nduve kwa rina lakwa na niho baadaye aambe checha vishwa loose dooka yakwa.40Yoose echei kinyume naso ekeri upande wedu. 41Yoose ekuninga kikombe cha mringa ya nywa kwa sababu ufo na kristo, dhooi ngivavia, hechesa thawabu yake ku.42Yoose sho evakosesha va vanahana veniamini nihani, ivekeri usha kwakwe ifungiwa iwe lesha singoni na ikumbwa baharini. 43Sha koko chafo kikakukosesha, kiteene. Ni heri iingia katika usima utere koko, kuliko iingia kwenye hukumu ukava na maoko yoose. Katika mocho "Ucherumika''. 44(Singatia: Mstari hii, Mahali ambapo funsa vefaku na mocho ucherumika." Ufo katika nyaraka sa kasha ku).45Sha kchende chafo kikakusesha. kiteena ni usha kwafo iingia usimani ukiva kilema, kuliko ikumbwa hukumuni na machende avili. 46(Singatia: Mstari huu, "Mahali ambapo funsa vefaku na mocho uchedima irumika" ifo ku kwenye nakala sa kasha).47Sha riso lafo likikukosesha lifune. Ni usha kwafo iingia katika umangi wa Ruva ukeri na riso limu, kuliko iva na meso avili ikumbwa kuzimu. 48Mahali pere funsa wachavefa, na mocho uterumuka.49Kwa kfa kila umu ekolezwa na mocho. 50Shumbi ng'sha, sha shumbi ikachesa ladha yakwe,uivika aja ive na ladha yakwe se? Mve na shumbi miongoni mwani wemeni, na mve na amani kwa kilka umu."
101Yesu eleondoka eneo hilo na akaenda katika mkoa wa Uyahudi na eneo la mbele ya mto Yordani, na makutano yelemfuata se. Elevafundisha se, shali ivekeri kawaida yakwe ifanya. 2Na Mafarisayo velesha imjaribu na vakamulisa, "Ni halali kwa msoro ilekana na mfele wakwe?" 3Yesu akavajibu, "Musa elevaamuru choiki?" 4vakaamba, "Musa eleruhusu iandika cheti che lekana na kisha imdishira mfele."5Ni kwa sababu ya moo senu mihumu ndiyo maana elevaandikia sheria yahai," Yesu elevavia. 6"Lakini ifuma mwanso wa uumbaji, 'Ruva eleumba msoro na mfele.'7Kwa sababu yahai msoro emleka papa akwe na maakwe na eungana na mfele wakwe, 8na hao vavili vewa mwili umu; kwa kfa si vavili se, bali ni mwili umu. 9Kwa hiyo elechokiunganisha Ruva, mwanadamu achaktenganishe.10Vevekeri ndani ya mmba, vanafunsi wakwe vakamuulisa ve ihusu lihali. 11Akavavia, "Yoose elekana na mfele wakwe na ialika mfele ungi, efanya usinzi dhidi yakwe. 12Mfele nave akamleka mmi wakwe na iyalikwa na mmi ungi, efanya uzinzi."13Navo velemhendie vana vao vanana ili avafure, lakini vanafunsi vakamkemia. 14Lakini yesu aletambua lo, elefurahishwa nalo ku kabisa akavavia, "Varuhusuni vana vanana vashe kwakwa na mchawasiingie, kwa kfa vei sha vahava umangi wa Ruva ni wavo.15Udhooi ngivavia, yoose echeuambilia umangi wa Ruva sha vana vanana hakika edima ku iingia katika umangi wa Ruva. 16Kisha akavaira vana maokoni mwake na akavabariki akivavikia maoko yakwe dooka yamwao.17Na eleansa safari yakwe mndu umu elemdishilia na ikaba makoti mbele yakwe, akammbesa, "Mwalimu mwema, ngifanye choiki ili ngidime irithi usima wa milele?" 18Na yesu akaamba, "Niiki ulenglaha mwema? Kureku aliye mwema, itekeri Ruva emeni. 19Usiishi amri: Uchauwe, uchaive, utashuhudie uongo, uchalembe, mheshimu papa na maafo."20Mndu ula akaamba, "Mwalimu haya yoose ngileyatii tangu ngi msangi." 21Yesu elemsakulia na imkunda. Akamvia, ulepungukiwa kindo kimu. Yekubidi ukumbe vyoose uvekeri nafyo na uwaninge maskini, na weva na hasina rueu. Navo ushe ung'fate". 22Lakini alekata tamaa kwa kfa ya maeleso yahaya; elesiiliya akiva ere husuni, kwa kuwa evei na mali nyiingi.23Yesu akasakuliwa pande voose na akavavia vanafunsi vakwe, ''Ni jinsi yonki ilivyo vihumu kwa tajiri iingia katika umangi wa Ruva! 24Vanafunsi vakwe veleshangaswa kwa machecha yahayo. Lakini yesu akavavia se, "Vana , ni jinsi yonki ilivyo vihumu kuingia katika umangi wa Ruva! 25Ni rahisi kwa ngamia ihicha kwenye tundu la sindano, kuliko mndu tajiri ihicha katika umangi wa Ruva."26Veleshangaswa navo na vakaviana, "Hiyo veivi eokoka" 27Yesu akavasakulia na iyamba, "Kwa binadamu yewesekana ku, lakini sio kwa Ruva. Kwa kfa katika Ruva yoose yewezekana." 28Petro akaansa isungumsa nave, sakulia dwacha vyoose na dwakifata."29Yesu akaamba, "Udhooi vivavia nyo, kureku lelecha mmba, au kaka, au dada, au mama, au papa, au vana, au ardhi, kwa ajili yakwa, na kwa ajili ya injili, 30ambaye eambilia ku mara mia zaidi ya luhuva ha dunieni: mmba, kaka, dada, mama, vana, na ardhi, kwa ukiva, na uruka wo usha, usima wa milele. 31Lakini vengi vei va kwansa vewa va mwisho vewa wa kwansa."32Vevei shieni, iyenda Yerusalemu, yesu eleva avatangulia mbele yavo. Vanafunsi vakashangaa, na vala vevei vemfata mma vakaihova. Ndipo yesu alipovafura pembeni se vala ikumi na vavili na iansa kuvavia ambacho chemfumia adi kfui. 33Sakua, duenda mpaka Yerusalemu, na mwana wa Adamu ekamadwa kwa kwa makuhani waduve na vaandishi. vemhukumu afe na vemfuna kwa vandu va mataifa. 34Vemdhihaki, vemfuchia macha, vemkaba fimbo na vembwaa. Lakini baada ya mfiri isadu efufuka."35Yakobo na Yohana, vana va Zebedayo, walwsha kwakwe na iyamba, "Mwalimu, dukahitaji udufanyie choose dukutereva. 36Elevavia, mkundi ngivatendie choiki?" 37Vakaamba, "Duruhusu duchaamie nave katika utukufu wafo, umu katika koko chafo cha klo na ungi koko chafo cha kmaso.38Lakini yesu akavajibu, "Mweishi mtereva choiki. Mdima inywea kikombe ambacho ngeknywelia au istahimili ubatiso ambao ngebatiswa?" 39Vakamvia, Dwedima" yesu akavavia, "Kikombe ngeknywelia, mwekinywea. Na ubatiso ambao kwavo ngimebatiswa, mweustahimili. 40Lakini achaamiye koko chakwa cha klo au koko chakwa cha kmaso nihani ngevafuna ku, lakini ni vala ambao kwavo yameandaliwa."41Vala vanafunsi veengi kumi veleishwa yahaya, vakaansa ivakasirikia Yakobo na Yohana. 42Yesu akavalaha kwakwe na iyamba, "Muishi kuwa vala mwedhaniwa kuwa ni vatawala wa vandu wa mataifa huwatawala, na vandu vo mashuhuri vewarara mamlaka dooka yavo."43Lakini yepaswa ku iva adi kati yani. Yoose ekundi iva mduve kati yani lasima avatumikie, 44na yoose eva wa kwansa kati yani ni lasima ave mdumwa wa voose. 45Kwa kfa mwana wa Adamu elesha itumikiwa ku bali itumikia, na iyafuna maisha yakwe kuwa fidia kwa vengi."46Vakasha Yeriko. Evei esiilia Yeriko na vanafunsi vakwe na kundi duve, mwana wa Timayo, Batimayo,kipofu mterevaji, elechaamia mbai ya mko. 47Elepoishwa kuwa ni Yesu Mnazareti, eleansa ikaba kelele na iyamba, "Yesu mwana wa Daudi, ngihurumie!" 48Vengi velemkemea kipofu ula, vakimvia asie. Lakini elelia kwa sauti saidi, mwana wa Daudi, ngihurumie!"49Yesu eletotona na iamuru alahawe. Velemlaha kipofu ula, vakiamba, "kuwa shujaa! Totona yesu eklaha". 50Akalikumba mbahi ikoti lakwe, akadisha saidi, na isha kwa yesu.51Yesu akamjibu na akamvia, "Ekundi ngikufanyie choiki?" Ula msoro kipofi akamjibu, Mwalimu, ngikundi ilolia." 52Yesu akamvia, "siilia. Imani yafo imekuponya." Hapo hapo meso yakwe yakalolia; na akamfata yesu barabarani.
111Wakati sho velesha Yerusalemu, velekaribia Besthfage na Bethania, katika Mlima wa Mizeituni, Yesu alevaduma vavili miongoni mwa vanafunsi wakwe. 2Na elevavia, "Endeni katika kijiji kikabiliana naso. Mara mkaingia fo, mwemkolia mwana punda ambaye hajapandwa. Mfutuieni na mhende kwakwa. 3Na kolia yoose akivavia, 'Niiki mrunda adi? mwepaswa iyamba, 'Bwana emhitaji na mara emhuria haadi."4Veleenda na imkolia mwanapunda emfunge shaa mlangoni kwenye mtaa ulio wasi, navo velemfutua. 5Na baadhi ya vandu vevei vetotoni hala na velevavia, "Muusa iki, imfutua mwana punda sho"? 6Velemmbia shali yesu elevavia, na vandu vakavacha vasiilie.7Vanafunsi vavili valemhende mwana punda kwa yesu na veletandika mavasi dooka yavoili yesu adime idwaa. 8Vandu veengi veletandika mavasi yavo barabarani, na veengi veletandika matavi veleyateena ifuma mashambeni. 9Vala valeenda mbele yakwe na vala velemfata velekaba kelele, "Hosana! Elebarikiwa esha kwa rina la Bwana. 10Ubarikiwe umangi usha wa papa yedu Daudi! Hosana kwa aliye dooka"11Niho yesu aleingia yerusalemu na eleenda hekaluni na elesakua kila n'ndo. Luhuva, wakati uleva waenda, eleenda Bethania hamu navo kumi na vavili. 12Mfiri ulefuata, wakati vevei veuya Bethania, elevaa na shaa.13Na akalolia mdi wa mtini uvei na mara kwa kwasha, eleenda isakua sha evedima ikolia choose dooka yakwe. Na wakati eleenda kwasha, elekolia choose ku yataare mara, kwa kfa ivei majira ya mtini ku. 14Eleuvia,"Kure yoose eshela se itunda ifuma kwako ku". Na vanafunsi vakwe vakaishwa.15Velesha Yerusalemu, nave akaingia hekaluni na iansa iwafuna shaa vekumba na veola ndani ya hekalu. Elehundusa mesa sa vebadilisha besa na fidi fya vala vevekeri vekumba mbeta. 16Elemruhusu yoose ku ihira choose hekeluni kledima ikubwa.17Elevafundisha na iyamba, "Je ileandikwa 'mmba yakwa yelahawa mmba ya sala kwa mataifa yoose'? lakini mleifanya pango la vanyang'anyi." 18Makuhani vaduve na vaandishi veleishwa yo eyamba navo velevengecha shia ye mwaa. Hata ado veleiova kwa sababu umati uleshangaswa mafundisho yakwe. 19Na kila wakati kashini ikashika, velesidia mjini.20Vekeri vechambuka shuru velelolia mdi wa mtini uleuma mpaka kwenye mizizi yakwe. 21Petro elekumbua na iyamba, "Rabi! Sakwa, mdi wa mtini eleuchelia fyao uleuma."22Yesu elevajibu, "Mve na imani katika Ruva. 23Amini ngivavia shali kila euviaye mlima shu, 'Siilia, na ukakumbe umeni baharini, 'na shali ere mashaka ku mooni mwakwe lakini eamini kwamba cho eleamba chefumia, ado ndivyo Ruva efanya ado.24Kwa hiyo ngivavia: kila kindo muitereva na ivesa kwa ajili yakwe, amini kwamba mweambilia navyo fyenu. 25Wakati mwetotona na itereva, mwepaswa isamehe choose mkeri nacho dhidi ya yoose, ili kwamba papa papa enu aliye ruveu evasamehe pia nanyo makosa yenu. 26(Singatia: Mstari shuu, "Lakini msiposamehe, vala papa yenu eliye ruveu evasamehe sambi senu ku" ivekeri kwenye naka la sa kasha ku).27Velesha yerusalemu se. Na yesu evei echambuka hekaluni, makuhani vaduve, vaandishi na vameku velesha kwakwe. 28Velemmbia, "kwa mamlaka yonki ufanya mambo ya?" Na ni veivi elekuninga mamlaka yefanya ya?"29Yesu elevavia, "Ngevavesa swali limu. Ngivieni na nihani ngevavia kwa mamlaka yonki ngerunda mambo yahaya. 30Je, ubatiso wa Yohana ulefuma ruveu au ulefuma kwa vanadamu? Ngijibuni."31Velejadiliana miongoni mwavo na ishindana na iyamba, "Shali dukaamba, 'Ifuma ruveu,' eamba, 'Niiki mcheamini?' 32lakini shali dukaamba, 'Ifuma kwa vanadamu;...... "Veleihova vandu, kwa voose velera kwamba Yohana evei Nabii. 33Niho velemjibu Yesu na imvia, "Duishi ku. Niho Yesu akavavia, wala nihani ngevavia ku kwa mamlaka yonki ngefanya mambo yahaya.
121Kisha Yesu eleansa ivafundisha kwa mfano. Akaamba, "Mndu elechonga shamba la misabibu, akalitengetia usio, na akasuma shimo le sindika mvinyo. Akajenga mnara na kisha akakodishia shamba la misabibu kwa vakulima wa msabibu. Kisha elesafiri safari ya kwasha. 2Wakati uleshika, elemduma mtumishi kwa vakulima va misabibu ihambilia ifuma kwavo baadhi ya matunda ya shamba la misabibu. 3Lakini velemra, vakamkaba, na vakamdishira bila choose.4Akamduma kwavo mtumishi ungi, vakamjeruhi mdweni na imtendia mambo ya aibu. 5Bado elemduma ungi, na shu umu velembwaa. Velemhendia wengi vengi mambo sha yo yo, vakavakaba na vengi iwavwaa.6Evei bado na mndu umu saidi wa imduma, mwana mpendwa. Nave eleva wa mwisho eledumwa kwavo akaamba, "Vemheshimu mwanaakwa." 7Lakini vapangaji velesemezana voo kwa voo, "Shu ndiye mrithi. Shioni, hebu dumvwae, na urithi utakuwa wedu."8Velemvamia, vakambwaa na imkumba shaa ya shamba la misabibu. 9Kwa hiyo, Je! efanya choiki mmiliki wa shamba la misabibu? Esha na iwaangamisa vakulima va misabibu na elikabidhi shamba la misabibu kwa vengi.10Mwakolia isoma andiko lahali? " Jiwe ambalo wajenzi veleliliyaa, lawa jiwe la mbahi. 11Lahali lilefuma kwa Bwana, na ni la ajabu mesoni fedu." 12Velesengecha imra yesu, lakini veleihova makutano, kwani velemanya shali eleva elenena mfano sho dhidi yavo. Hivyo velemcha na iyenda savo.13Kisha vakavaduma baadhi ya mafarisayo na maherodia kwakwe ili imteka kwa machecha. 14Valeshika, vakamvia, "Mwalimu, duishi kwamba wejali ku maoni yoose na werora upendeleo ku kati ya vandu. Ufundisha shia ya Ruva katika dhooi. Je! ni haki itaa kodi kwa kaisari au la? Je! dwedima itaa au la? 15lakini yesu elemanya unafiki wavo na ivavia, "Niiki mng'jaribu? Nningeni dinari ngidime iisakwa."16Vakahende umu kwa yesu, Akavavia, "Je ni sura ya veivi na maandishi yekeri ho ni ya veivi? Vakaamba, "Ya Kaisari." 17Yesu akavavia, "Mningeni kaisari findo fya kaisari na Ruva findo fya Ruva" Vakamstaajabia.18Kisha Masadukayo, veamba kure ufufuoku, velemwendea vakammbesa, vakaamba, 19Mwalimu, Musa eleduandikia kuwa , 'Ikiwa mwanandiye wa mndu akafa na imcha mfele mma yake, lakini elecha mwana ku, mndu emhira mfele wa mwanandiye akwe, na ikolia vana kwa ajili ya mwana ndiye akwe.'20Kuleva na wanandiye saba, wa kwansa elealika na kisha kafa elecha mwana ku. 21Kisha wa kavili akamhira nave kafa, elecha mwana kuwa karadu adoado. 22Na wa saba elefa bila icha mwana. Mwishowe na mfele pia kafa. 23Wakati wa ufufuo, vefufuka se, Je eva mfele wa maivi? Vala wanandiye saba vevei vammi akwe."24Yesu elevavia, "Je! hiyai si sababu ku kwa kfa mwapatanishwa, kwa sababu mteishi maandiko wala ngufu sa Ruva?" 25Wakati wa vefufuka ifuma wafu vealika wala iingia katika ndoa, bali weva sha malaika wa ruveu.26Lakini, ihusu wafu ambao vefufuliwa, Je! mlesoma fo ifuma katika kitabu cha Musa, katika habari sa ngudu, jinsi Ruva eleamba na ivavia, 'Nihani ni Ruva wa Abrahimu, na Ruva wa Isaka, na Ruva wa Yakobo?' 27Ve si Ruva wa wafu, bali vekeri hai. Ni dhahiri mwapotoka."28Umu wa vaandishi elesha na kuyaishwa machecha yavo; elelolia yesu elewajibu usha. Elemmbesa, "Je ni amri ingai ivei muhimu saidi katika soose?" 29Yesu elemjibu, "iliyo ya muhimu ni hiyai, "Ishwa, Israeli, Bwana Ruva wedu, Bwana ni umu. 30Lasima umkunde Bwana Ruva wafo, kwa moo wafo woose, kwa roho yafo yoose, kwa akili yafo yoose, na kwa ngufu safo soose.' 31Amri ya kavili ni hiyai, 'lasima umkunde mamrasa afo shali ujikundi umeni kure amri ingi ku saidi ya hizi."32Mwaandishi akaamba, "Usha mwalimu! waamba kweli shali Ruva ni Umu, na shali kure mwingi saidi yakwe. 33Kumkunda ve kwa moo woose, na kwa ufahamu wose na kwa ngufu soose, na imkunda mamrasa shali ve umeni, ni muhimu mno katika matoleo na dhabihu seteketesa." 34Wakati yesu elelolia afuna jibu la Bwana, elevavia, "Veave ufo kwasha ku na umangi wa Ruva". Baada ya ho kure hata umu elesubutu imuulisa yesu maswali yoose ku.35Na yesu elejibu, wakati evekeri efundisha katika hakalu, akaamba, ''Je! vaandishi huamba kuwa kristo ni mwana wa Daudi? 36Daudi emeni katika roho mtakatifu eleamba, 'Bwana eleamba kwa Bwana wakwa, chaamia katika koko chakwa cha klo, mpaka ngivafanye maadui wafo iva sumbai ya machende yafo.' 37Daudi emeni humlaa kristo, Bwana' Je! ni mwana wa Daudi kwa jinsi yonki?" Na kusanyiko kuu lilemhuchania kwa furaha.38Katika mafundisho yakwe yesu eleamba, "Jihadharini na vaandishi, vetamani ichambuka na kansu ng'yaasha na idikirwa kwenye tela 39na ichaamia kwenye fidi vya vaduve katika masinagogi na katika sikukuu kwa maeneo ya waduve. 40Pia vela mmba sa vajane na vetereva maombi maasha ili vandu vavalolie. Vandu va veambilia hukumu iliyo nduve."41Kisha yesu elechaamia sumbai kfuhi na isanduku la sadaka ndani ye eneo la hekalu; eleva esakwa vandu vevekeri vevika besa savo ndani ya isanduku. Vandu veengi matajiri velevika kiasi kduve cha besa. 42Kisha mfele mjane maskini elesha na ivika fipande fivili, thamani ya senti.43Kisha akamlaha vanafunsi wakwe na imvia, "Amini ngikuvia, mfele shu mkusu avika kiasi kduve saidi ya voose ambao vameifuna katika isanduku la sadaka. 44Kwani woose vafuna ifumana na wiingi wa mapato yavo. Lakini mfele mkusu shu, ifuma katika umaskini wakwe, kavika besa yoose ambayo epaswa itumia kwa maisha yakwe."
131Yesu evekeri echambuka ifuma hekaluni, umu wa wanafunsi vakwe akammbesa, "Mwalimu, sakwa mawe yahaya yeshangasa na majengo!" Akamvia, ulolia majengo yahaya Maduve? 2Kure nanga iwe limu lishebaki dooka ya lingi ambalo lichechonswa sumbai ku".3Nave evekeri echaamiye dooka ya mlima wa miseituni mma ya hekelu, Petro,Yakobo, Yohana na Andrea vakammbesa kwa siri, 4"Duvie, mambo yahaya yeva indihi? Ni choiki dalili ya mambo yayaha ifuma.5Yesu eleansa ivavia, "Veni makini shali mndu yoose achawapotoshe. 6Vengi yeisha kwa rina lakwa veamba, 'Nihani ndiye', na vewapotosha vengi.7Mleishwa ficha na tetesi sa ficha, mchaihove; mambo yahaya hayana yere budi ifuma ku, lakini mwisho bado. 8Taifa letotona kinyume na taifa lingi, na umangi kinyume na umangi peva mtetemeko sehemu mbalimbali, na shaa.Shuashu ni mwanso wa ushungu.9Veni meso. Vewakamacha hadi mabaraseni, na mwekabwa katika masinagogi. Mwechochoswa mbele ya watawala na wamangi kwa ajili yakwa sha shuhuda kwavo. 10Lakini injili lasima kwansa ihubiriwe kwa mataifa yoose.11Wakati vewara na iwakabisi, mchaihove ihu kila mweamba. Ndani ya muda sho, mweningwa choiki cha amba; mweva nyo mwechecha ku, bali roho mtakatifu. 12Mwanandiye emshitaki mwanandiye iwawa, papa na mwana wakwe. Vana vetotona kinyume cha papa savo na isababisha iuwawa. 13Mwesuiva na kila mndu kwa sababu ya rina lakwa. Lakini atakayefumilia mpaka mwisho, mndusho eokoka.14Mtakapololia chukiso la uharibifu litotoni hala wehetakiwa itotona (asomaye na amanye), niho vekeri ndani ya Yuda vadishilie mlimeni, 15naye ekeri dooka ya mmba achamashuke sumbai ya mmba, au ihira choose kikeri shaa, 16na ekeri shambeni achauye ihira nguo yakwe.17Lakini ole wavo vafele vere hali na veova katika mfiri sho! 18Tereveni shali ichafumie wakati wa mbeho. 19Kwani kweva na ukiva mduve ambao ulewahi ifumia ku, tangu Ruva eleumba uruka, mpaka luhuva, ehe wala chefumia seku. 20Mpaka Bwana epungusa mfiri, kure mwili weokoka ku, lakini kwa ajili ya vateule, ewashaku, ebumgusa namba sa mfiri.21Wakati sho sha mndu yoose evavia, sakwa, kristo yufo haadi! au 'Sakwa, efo ala!' mchaamini. 22Kwani wakristo wa ulembi na manabii wa ulembi vefumia na vefuna ishara na maajabu, ili shali, vavalembe, yamkini hata vateule. 23Veni meso! Ngameivavia ya soose kabla ya wakati.24Lakini baada mateso ya mfiri sho, moshu uvevikwa mlema, mveri wefuna mwanga wakwe ku, 25nyota zechona ifuma angeni, na ngifu sikeri ruveu zeding'ina. 26Niho vemlolia mwana wa Adamu esha fo maruhuni kwa nguifu nduve ya utukufu. 27Niho eduma malaika sakwe na ivaumbania hamu vateule wakwe ifuma urya duve iina sa dunia, ifuma mwisho wa dunia mpaka mwisho wa ruveu.28Kwa mtini jifunseni. Sha tavi ledima ifuma na ivika haraka mara yakwe, niho mweishi kshali hwari ki kfuhi. 29Naavekdo, mkalolia mambo yahaya yefumia, manyeni shali ekeri kfui na mwongo.30Dhooi, ngivavieni, kisasi ki chehicha kwasha kabla mambo yahaya yafumia ku. 31Ruveu na nchi seicha, lakini machecha yakwa yeicha kamwe ku. 32Lakini ihusu mfiri sho au saa, kure eishi ku, nanga malaika ruveu, nanga malaika ruveu, nanga mwana, ila papa.33Iveni meso, Sakwa, kwa sababu mweishi ni mdayonki ku yefumia. (Singatia: Mstari shuu, "Mve vaangalifu, Sakweni na tereveni kwa sababu....'' ikeri kwenye nyaraka sa kasha ku). 34Ni shali mndu aenda safarini: akaacha mmba yakwe, na imvika mdumwa wakwe kuwa mtawala wa mmba, kila umu na kasi yakwe. Na imwamuru mlinsi iva meso.35Kwa hiyo iveni meso! Kwani mweishi ku ni indihi Bwana wa mmba esha kaa yedima ni kashini, kio cha manane, wakati ijokoo levika au shuru . 36Sha akasha ghafla, achakolia walaa. 37Kila ngiamba kwafo ngiamba kwa kila mndu: kesheni"!
141Ileva mfiri ivili tiki badala ya sikukuu ya Pasaka na Mikate ichevikwa chachu. Makuhani vaduve na vaandishi veleva vesengecha namna yemra Yesu kwa mbusha na immbwaa. 2Kwa kuwa veleamba, "Wakati shu wa sikukuu, vandu vachashe fanya ficha.'3wakati yesu evekeri Bethania kaa kwa Simoni mkoma, na eleva eendameseni, mfele umu elesha kwakwe ekeri na shuba ya marashi ya nardo safi yenye gharama nduve naavi, elemisha shuba na ilesa dooka ya mdwe wakwe. 4Lakini kuvekeri na baadhi yavo velesua. Veleviana voo kwa voo veamba, "Ni choiki sababu ya ulema shuu? 5Manukato yahaya yedima ikumbwa kwa saidi ya dinari mia isadu, na vaningwe maskini." Navo velemkemia.6Lakini yesu eleamba, "Mcheni emoni. Niiki mnamsumbua? Afanya jambo lisha kwakwa. 7Mfiri soose maskini muinavo, na wakati woose mwakunda mwedima ifanya mesha kwavo, lakini mva naani wakati woose. 8Afanya kila adima: aufia mwili wakwa mafucha kwa ajili ya pumsiko. 9Dhooi ngivavia, kila handu inchili ihubiriwa katika uruka woose, kila alefanya mfele shu chechechwa kwa ukumbusho wakwe.10Kisha Yuda Iskariote, umu wa vala kumi na ivili, veleenda kwa vaduve wa makuhani ili shali akolie imkabisi kwavo. 11Wakati vaduve wa makuhani veleishwa ado, velekunda vakaahidi imninga besa. Eleansa isengecha nafasi ya imkabisi kwavo.12Katika mfiri ya kwansa ya mkate ichevikwa chachu, wakati velefuna mwanaihorima wa Pasak, vanafunsi vakwe vakamvia, "Ukundi dwende ku dundeandaa ili ukolie ila mlo wa Pasaka?" 13Elevaduma vanafunsi vakwe vavili na ivavia, "Endeni mjini, na msoro ambaye eneira mtungi eloliana nanyo. Mfuateni. 14Mmba eingia, mfuateni na mvieni mmba yo, 'mwalimu aamba, "Kikeri ku chumba cha vageni handu ngela pasaka na vanafunsi wakwa?"15Evarore chumba cha dooka kduve chenye samani ambacho kikeri tayari. Fanyeni maandalisi kwa ajili yedu pale." 16Vanafunsi velesiilia na iyenda mjini; velekolia kila nndo shali eleva avavia, na va veleandaa mlo wa Pasaka.17Wakati ivekeri kashini, elesha na vala kumi na vavili. 18Na vekeri vei kfuhi na mesa na ila, yesu eleamba, "Dhooi ngivavia, umu kati yenu ele hamu nani eng'saliti." 19Voose velesikitika, na umu baada ya ungi velemmbia, "Hakika siyo nihani ku?''20Yesu elejibu na ivavia, "Ni umu wa kumi na vavili kati yenu, umu ambaye sasa echovya tonge katika bakuli hamu na nihani. 21Kwa kuwa mwana wa Adamu eenda shali maandiko yeamba dooka yakwe. lakini ole wakwe mndu ula ambaye ihichia ve mwana wa Adamu esalitiwa! Ingeva usha saidi kwakwe sha mndu ula achaveoneke."22Na wakati vela , yesu eleira mkate, akaubariki, na imereshua. 23Alewaninga akiamba, "Ireni. Shuashu ni mwili wakwa." 24Elehira kikombe, akashukuru, na iwaninga, na voose vakakinywea. Elevavia,. "Hiyahi ni samu yakwa ya agani, samu yefulukwa kwa ajili ya veengi. 25Dhooi ngivavia, nginywa seku katika zao lihali la msabibu mpaka mfiri ula ngishenywa nhiya katika umangi wa Ruva."26Velemaa iimba wimbo, veleenda shaa katika Mlima wa Miseituni. 27yesu akavavia, "Nyo woose mwejitenga kwasha kwa sadaka yakwa, kwa kuwa ileandikwa, 'Ngemkaba molisa na mahorima vetawanyika.'28Lakini baada ya yefufuka kwakwa, ngesongwa mbele yenu galilaya." 29Peto elemvia, "Hata sha voose vekcha, nihani ngekoha ku."30yesu elemvia, "Dhooi ngivavia kioki, kabla ya ijokoo ivika mara ivili, weva wemkana mara isadu." 31Lakini Petro akaamba, "Hata ikanilasimu ifa hamu nave ngekna ku". Voose velefuna ahadi ila ila.32Velesha kwenye eneo lelahawa Gethsemane, na yesu elevavia vanafunsi vakwe, "Chamieni haadi wakati msali." 33Elevahira Petro, Yakobo, na Yohana hamu nave, akaansa ihusunika na itaabika naavi. 34Elevavia, "Nafsi yakwa ire husuni naavi, hata ifa. Bakini haadi na mkeshe."35Yesu eleenda mbele kdoko, akachona sumbai, akatereva, sha yedima, shali saa hiyai ingemwidia. 36Akaamba, "Aba, Papa, mambo yoose kwafo yewesekana. Ngifune kikombe ki. Lakini siyo kwa ikunda kwakwa ku bali ikunda kwafo."37Eleuya na iwakoli valae, na akamvia Petro, "Simoni, je walaa? udima ikesha hata saa imu ku? 38Kesheni na mtereve shali mchashe ingika katika majaribu. Katika ngoo i radhi, lakini mwili ni dhaifu." 39Eleenda se itereva, na eleamba machecha yalayala.40Elesha se akavakolia velae, kwa kuwa meso yavo yevei masito velemanya choiki che mvia. 41Elesha mara ya karadu na ivavia, "Bado mlae na ibumsika? Yashika! saa yashika. Sakwa! Mwana wa Adamu esalitiwa maokoni mwa ula ere sambi. 42Amkeni, ndeni. Sakwa, yula engisaliti ekeri kfui."43Mata tu evei bado echecha, Yuda, umu wa vala kumi na vavili, eleshika na kundi iduve ifuma kwa vaduve wa makuhani, vaandishi na wameku vere mapanga na marungu. 44Wakati sho msaliti wakwe eleva avaninga ishara, akaamba, ula ngembusu, nive. Mreni na imkamacha sumbai ya ulinsi." 45Wakati Yuida eleshika, imu kwa imu eleenda kwa yesu na iamba, "Mwalimu!" Na imbusu. 46Kisha vakamvika sumbai ya ulinsi na imra.47Lakini umu kati yavo eletotona karibu nave elefuna ubanga wakwe akamkaba mtumishi wa kuhani na imteena kdu. 48yesu elemvia, "Mwasha innra kwa mabanga na marungu sha vanyang'anyi? 49Wakati kila mfiri ngvei nayo na iwafundishe hekeluni, mleng'ra ku. Lakini hiyai lafanywa ili maandiko yatimie. 50Na vala voose vevekeri na yesu velemcha na idisha.51Msangi umu elemfata, evekeri arara shuka tiki evekeri akshikia imsunguka; velemra lakini 52eleturushuka akaicha shuka hala akadisha duhu.53Valemwongosa yesu kwa kuhani mduve. Hala velekusanyika hamu nave makuhani vaduve voose, vameku na vaandishi. 54Petro nave elemfata Yesu kwa kwasha, ielekia kwenye ua wa kuhani mduve. Eleketi hamu na valinsi, vevei kfui na mocho iocha ili ikolia mrike.55Wakati sho makuhani vaduve voose na Barasa loose vevekeri vesengecha ushahidi dhidi ya Yesu ili vakolie imbwaa. Lakini velekolia ku. 56Kwa kuwa veengi velehende ushuhuda wa uongo dhidi yakwe, lakini nanga ulewana ku.57Baadhi veletotona na ihende ushahidi wa uongo dhidi yakwe; veamba, 58"Dulemwishwa eamba, 'Ngeliharibu hekelu lihali litengenese kwa maoko, na ndani ya mfiri iradu ngelijenga lingi lichetengeneswa kwa maoko." 59Lakini nanga ushahidi wavo uteuvana ku.60Kuhani mduve eletotona katikati yavo na akammbesa Yesu, "Je, ure jibu fo? Vandu va vekushuhudia choiki dhidi yafo?" 61Lakini elesia si na elejibu choosa ku. Mara kuhani mduve akammbesa se, "Je veave ni Kristo, mwana wa Mbarikiwa?" 62Yesu eleamba, "Nihani nive. Na wemlolia mwana wa Adamu achaamia koko cha klo wa ngufu esha maruhuni ya ruveu."63Kuhani mduve eleshauwa nguo yakwe na iyamba, "Je, bado duhitaji mashahidi? 64Mwaishwa kufuru. Uamusi wenu ni ungau? Na voose velemhukumu shali umu estahili ifa. 65Baadhi veleansa imfuchia macha na imshikia kyamu na imkaba na imvia, "Ilafia!" Maafisa velemhira na imkaba.66Na Petro ekeri bado ekeri sumbai uani, mtumishi umu wa vafele wa kuhani mduve elesha kwakwe. 67Elemlolia Petro ekeri atotoni iocha mocho, na elemsakwa kwa kfui. Kisha akaamba, "Nave pia uvei Mnazareti, Yesu." 68Lakini eleliya, na iamba, "Simanya ku wala ngeelewa ku ihusu kila uamba!" Kisha akasiilia akaenda uani. (Singatia; Mstari shu, "Na ijokoo likavika" lifo ku kwenye nakala sa kasha).69Lakini mtumishi wa kfele hala, elemlolia na eansa imviase vala ambao vevekeri vetotoni hala, "Mndu shu hamu navo!'' 70Lakini elekana se. baadaye kdoko vala vevekeri vetotoni hala vevei vemvia Petro, "Hakika veheve isha ukeri navo, kwa maana veave pia ni Mgalilaya."71Lakini eleansa ikvika emeni sumbai ya fyao yeapa, "Ngimuishi mndu shu mwemamba." 72Kisha ijokoo likavika mara ya kavili. Kisha Petro alekubwa machecha ambayo yesu elemvia: "kabla ijokoo havika mara ivili, wenkana mara isadu." Na elechona sumbai na ilia.
151Shuru na mapema vaduve wa makuhani velesumana hamu va vameku na vaandishi na barasa loose la vameku. Kisha ndipo vakamfunga Yesu vakamkamacha kwa Pilato. Pilato akavavesa, "Veave ni mangi wa Vayahudi?" 2"Akamjibu, "veave waamba ado." 3Vaduve wa makuhani veleelesa mashitaka meengi dooka ya Yesu.4Pilato akamvesa se, "Hujibu choose ku? Uvoni jinsi vekushtaki kwa mambo meengi? 5Lakini yesu elemjibu Pilato, ku, na yohoyo ilemshangasa.6Kwa kawaida wakati wa sikukuu humfutulia mfungwa umu, mfungwa sho velemtereva. 7Kuvekeri vahalifu geresani, miongoni mwa vewaa kati ya veleasi vetumikia makosa yavo. Evekeri fo mndu umu elahawa Baraba. 8Umati ulesha kwa Pilato, na imtereva afanye shali elefanya fo mma.9Pilato akavajibu na ivavia, ''Mkundi ngiwafutulie Mangi wa Wayahudi?" 10Kwa kuwa elemanya ni kwa sababu ya wifu vaduve wa makuhani velemra yesu na imkamacha kwakwe. 11Lakini vaduve wa makuhani velechochia umati ikaba kelele kwa sauti shali afutuliwe Baraba badala yakwe.12Pilato akavajibu se na iyamba, "Ngimfanye iki mfalme wa Wayahudi? 13Vakakaba kelele se, "Msulubishe!"14Pilato akaamba, "Afanya jambo lonki vishwa?" Lakini vakasidi ikaba kelele saidi na saidi "Msulubishe." 15Pilato evekundi ivaridhisha umati, akawafutulia Baraba. Akamkaba yesu mijeledi kisha akamfuna ili asulubiwe16Askari velemwongosa hadi ndani ya ua (ule uvekeri ndani ya kambi) na velekusanyika hamu kikosi cha askari. 17Vakamvika Yesu kansu ya rangi ya sambarau, na vakasokota taji ya miiba vakamvika. 18Vakaansa imdhihaki na iyamba, "Salam, Mangi wa Wayahudi!"19Vakamkaba mdweni kwa mwanzi na imfuchia macha. Vakakaba makoti mbele yakwe kwa kumheshimu. 20Hata velemaa imdhihaki, vakamfuna kansu ila ya rangi ya sambarau au imvika nguo sakwe, na imfuna shaa kwenda kumsulubisha. 21Vakamlasimisha eicha shia imheka, evekeri eingia mjini ifuma mndeni. Evelahawa Simoni Mkirene (papa akwe Iskanda na Rufo); vakamlasimisha ihira msalaba wa yesu.22Askari vakamkamacha Yesu handu pelahawa Goligotha (maana ya tafsiri hiyai ni , Sehemu ya fuvu la mdwe) 23Vakamninga mvinyo ichanganywe na manemane, lakini elenywa ku. 24Vakamsulubisha na iaviana ngo sakwe, vakayakabia kura na iyamua kipande ekolia kila askari.25Ivekeri saa isadu shuru velemsulubisha. 26vakavika dooka yakwe ubao uleandikwa shitaka, "Mangi wa Wayahudi." 27Velemsulubisha hamu na majambasi vavili, umu uria wakwe na klo na ungi uria wakwe wa kmaso kwakwe. 28(Singatia: Mstari shu, "Na maandiko yakatimia yala yeleambwa sifo katika nakala sa kasha ku).29Nave vevekeri vihicha velemlahilia, vakading'na, fiboromu vyafo vakaamba, "Aha veave utakayelimisha hekalu na iijenga kwa mfiri isadu, 30jiokoe umeni na umashuke sumbai ifuma msalabeni!"31Kwa namna ila ila vaduve wa makuhani velemdhihaki vakivisiana, hamu na vaandishi na iyamba, "Elevaokua vengi, lakini edima ijiokua emeni ku. 32Kristo Mfalme wa Israeli, mashuka sumbai luhuva fuma msalabeni, ili dudime isakwa na kuamini." Na vala velesulubiwa hamu nave velemdhihaki.33Ileshika saa sita, mlema ukasha dooka ya nchi yoose hadi saa tisa. 34Wakati wa saa sita, yesu elekaba kelele kwa sauti nduve, "Eloi, Eloi, lama sabaktani?" ileva na maana "Ruva wangu, Mungu wangu, niiki wang'cha?" 35Baadhi yavo veletotona veleishwa vakaamba, "Sakwa, emlaha Eliya".36Mndu umu akadisha, akaishura siki katika sponji na ivikia dooka ya mdi wa mwanzi, akamninga ili anywe. Mndu umu akaamba, "Tirima dulolie sha Eliya esha immashua sumbai." 37kisha yesu akalia kwa sauti nduve na akafa. 38Pasia la hekalu likatawanyika fipande ivili ifuma dooka mpaka sumbai.39Ofisa umu evekeri etotoni imwelekia yesu, elelolia afa kwa jinsi ila, akaamba "dhooi shuashu ni mwana wa Ruva." 40Vevere vafele vekeri vesakwa kwa kwasha. Miongoni mwavo evekeri Mariamu Magdalena, Mariamu(maakwe Yakobo mwanani wa Yose), na Salome. 41Wakati evekeri Galilaya velemfata na imtumikia. Na vafele vengi veengi pia velaambatana nave hadi Yerusalemu.42Kuvekeri kashini, na kwa kfa ileva mfiri ya maandalio, mfiri kabla ya Sabato, 43Yusufu wa Arimathaya elesha hala. Evekeri mjumbe wa Barasa eheshimiwa mndu eutarajia umangi wa Ruva. Kwa ujasiri akaenda kwa Pilato, na imtereva mwili wa Yesu. 44Pilato akashangaswa shali yesu tayari ameifa; akamlaha ula afisa akammbesa sha yesu afa.45Elekolia uhakika kwa afisa shali afa, alemruhusu Yusufu kuuhira mwili. 46Yusufu evei ada sanda. Akamsoosa fuma msalabeni, akamfunga kwa sanda, na kumvika ndani ya kaburi lilesumwa katika mwamba. Kisha akaviringisha iwe mwongo wa kaburi. 47Mariamu Magdalena na mariamu maakwe Yose velelolia handu elerikwa Yesu.
161Wakati sabato ilesia, Mariamu magdalena na Mariamu maakwe na Yakobo. na Salome, veleola manukato mesha, ili vadime isha kuufia mafucha mwili wa yesu kwa ajili ya masidhi. 2Shuru na mapema mfiri wa kwansa wa juma, valeenda kwenye kaburi wakati jua lifuma.3Vakasiana vo kwa vo, "Veivi edufunia iwe kwa ajili yedu ili duingie kaburini?" 4Wakati velesakwa mndu amerelifuna iwe, ambalo livekeri iduve naavi.5Vakaingia kwenye kaburi na vakamlolia msangi erare ijoho ihewa, echaamie uvari wa klo, na vakariwa. 6Akavavia, "Mtaihove mumtafuta Yesu, wa Nazareti, elesulubiwa. Amefufuka! Efo haadi ku. Sakwa handu hala velekeri velemvikia. 7Endeni, makavavie vanafunsi vakwe na Petro ya kuwa awasongolia ielekea Galilaya foodo mwemlolia, shali elevavia."8Velesiilia na idisha ifuma kwenye kaburi;vakachechema na iriiwa. Veleamba choose kwa mndu yoose kuu sababu veleihova naavi.9Mapema katika mfiri ya kwansa ya juma, baada ya ifufuka, elemfumia kwansa Mariamu Magdalena, ambaye ifuma kwakwe elemfina roho ngviishwa saba. 10Elelolia na ivavia vala ambao vevekeri hamu nave wakati vevei vehusunika na ifuna machozi. 11Veleishwa shali ni msima na alolika nave, lakini velemwamini ku.12Baada ya yohoyo, elejitokesa katika namna tofauti kwa vandu veengi vavili, wakati vevei vechambuka ifuma katika nchi. 13Veleenda na ivavia vanafunsi vengi vo velebaki, lakini velemwamini ku.14Yesu baadae akajitokesa kwa vala kumi na umu vevekeri vela katika mesa, na akavakemia kwa kutokuamini kwavo na uhumu wa mioyo, kwa sababu velewaamini ku vala velemlolia baada ya ifufuka ifuma kwa wafu. 15Akavavia, "Endeni urukeni mwoose, na ihubiri injili kwa viumbe vyoose. 16Yoose eaminiye na ibatiswa eokolewa, na yula echeamini ehukumiwa.17Ishara si seambatana na voose veaminio. Kwa rina lakwa vefuna roho ng'shafu. Veamba kwa lugha nhiya. 18Vemra shoka kwa maoko yavo, na hata venywa kndo choose kire sumu chevasuruku. Vevikia maoko kwa vewaiwa na veva wasima."19Baada ya Bwana iamba navo, vakahirwa dooka ruveu na achaamiye koko cha klo cha Ruva. 20Vanafunsi vakasiilia na ihubiri kila handu, wakati Bwana efanya kasi navo na ilithibitisha checha kwa miujisa na ishara sefuatana navo.