To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit
http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Luka
11Veengi valwjitahidi ivikia mpangilio sumu ihusu masuala ala aletimizwa kiidi yedu, 2shaali valaduninga sohoso, ambao ianza kuvooka ni mashahidioi va meso na vatumishi va ndumwa. 3Ata naani piu baada yeshungua kwa uangalifu kuooka cha mambo yahaya piu ianza k`vooka - ngilelolya ni8 ksha kwakwa ngikuandikie katika mpangilio wakwe - mheshimiwa sana Theofilo. 4Ili kwamba ngidime imanya uloi wa mambo yo uleloshwa.5Katika mfiri ya Herode, mfalme wa Yudea, heveere na kuhani fulani evelahwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mfele wakwe nefumie mwanamka wa Haruni, na rina lakwe neveelahwa Elizabeti. 6Voose vevere haki mbele sa Ruva; valechambuka vetere lawama katika amri soose na mavavaso aa Bwana. 7Lakini vevere mwana ku, cha kfa Elizabeth nevekeri muumba, na kwa wakati shwahashu voose vevavili valemeikua naavi.8Luvaha ikafumia kwamba Zakaria neveke katika uwepo wa Ruva, kaendeleana irunda kazi za Ruva shali ivekeri katika utaratibu wa ikamba lakwe. 9Ilingana na kvaka cheshakua mndu wa Ruva ungau msa ehuduma, evekeri elesamburwa kwa kura ili ihicha na fo mmba ya Bwana na kwa kdo nefukuziwa ubani. 10Isanga loose la vandu livekeri sha litereva wakati vefukizia ubani.11Luvaha malaika wa Bwana alemfumia na itotona uria sho kilo wa mbuho yefukiziwa. 12Zakaria akadumbukwa nimo saso alemlilia; uhova ukamra. 13Lakini malaika ula kammbia, "Utaihove Zakaria, cha kva kiterevo kila chafo vakihuchania. Mfele wafo Elizabeth nekfelia mwana . Rina lakwe wemlaha Yohana.14Weshekunda na ishanga mka na veengi weshekunda ione kalakwe. 15Cha kfa nesheva mduva mbele ya meso ya Bwwana. Neshenywa divai au wari kali ku, nekolia aishurwa Roho Mtakatifu tangu ekeri ndeuni kwa mae wakwe.16Na vandu veengi wa Israeli vehundukia kwa Bwana Ruva wavo. 17Nesheenda mbele ya kiamu cha Bwana katika Rohi na oru wa Elia. Nevika adi ili iuura moo wa vandie kwa vana, ili kwamba vala vetetii vasheenda kwa hekima na haki. Nevika adi ivikia tayari kwa Bwana vandu ambao valeandaliwa kwa ajili yakwe."18Zakaria kavia malaika, "Ngedima imanya aja lihali? Kwa sababu nihani ni mmeku na mfele wakwa mwaka yajwe ileva nyiingi sana." 19Malaika ula akamjibu kaambia, "Nihani ni Kapreli, ngetotona mbele ya Ruva. Ngiledumwa ngikuuie, na ikuhendie habari ii nsha. 20Na sakulia, vechecha se ku, vakaa sii veshedima ichecha ku mpaka mfiri ula wa mambo yahaya lo ishefumia. Ihai ni kwa sababu ulemwa iamini machecha yakwa ambayo etimizwa kwa wakati muafaka."21Luvaha vandu vevekeri vevecha Zakaria. Vakariiwa nevetumia muda mwiingi fo mbuhoni. 22Lakini arumie shaa, aledima ichecha se navo ku. Vakamanya kwamba kure maono ammbia ekeri fo mbuhoni. Kaendelea ivarora ishara nave kakaa sii. 23Ikafumia mfiri yakwe yehudumia ikasia aleuya na kaa kwakwe.24Baada ya Zakaria iuya kaa ifuma ihudumia fo mbuhoni, mfele wakwe kava na hali. Nave alefuma kaa kwake ku kwa muda wa mweri itanu. Akaamba, 25"Lihali niilo Bwana alerunda kwakwa lo anlolie kwa upendeleo ili ifuna aibu yakwa mbele sa vandu."26Luvaha, katika mweri wa sita wa hali ya elizabeti, Ruva kavia malaika Kaprieli aende kula mji wa Galilaya welahwa Nazareti, 27kwa bikira alekolya aveswa na msoro msa rina lakwe nelahwa Yusufu, vee nevekeri wa ukoo wa Daudi, na rina la bikira sho nevelahua Mariamu. 28Kasha kwakwe na kaamba, "Ngakudikira, veheve ulembilia neema nduve! Bwana aleshihiwa naa vee." 29Lakini machecha ya malaika yalemchanganya na alemanya niiki malaika alefuna salaam hiyai ya ajabu kwake.30Malaika Kammbia, "Utahove Mariamu, maana wakolia neema ifuma kwa Ruva. 31Na sakulia, uura hali fo ndeuni kwafo na ushefe mwana na imwana sho. Nave wemlaha rina lakwe 'Yesu,' 32Nesheva mduve na veshemlaha mwana wa msa ekeri dooka sana. Bwana Ruva nemninga kdengu cha enzi cha Daudi ndiye wakwe. 33Netavala dooka ya ukoo wa Yakobo milele kasha na tene na ufaklme wakwe wera mwisho ku.34Mariamu kavia malaika, lihali lefumia kwa namna iki, maana nilewahi ilaha na msoro woose piu ku? 35Malaika akajibu na akammbia, Roho mtakatifu neesha dooka yafo, na oru wa sho ekeri dooka sana isha dooka yafo. kwa acho, mtakatifu neoneka nelahua mwana wa Ruva.36Na sakulia, mwanandiyo yafo Elizabeti ena hali ya mwana kwenye umri wake wa uzee. shu ni mweri wa sita kwakwe, ula msa mevemlaha muumba. 37Maana kure ndido chelema kwa Ruva." 38Mariamu kaamba, "Sakulia nihani ni mtumishi wa kfele wa Bwana. Leka kive kwaka ado sava sava na ndumwa yako". Naalo malaika kamchaho.39Niilo katikan mfiri yo Mariamu kafuma buru kaenda katika nchi ya vilima, kure mji fo nchi ya Yudea. 40Kaenda mmba mwa Zekaria na akamdikira Elizabeti. 41Luvaha, ikafumia kwamba Elizabeti aishe eidikirwa na Mariamu, mwana katoola ifuma fo ndeuni, na Elizabeti kaishuriwa Roho Mtakatifu.42Kachecha sauti yakwe na kaamba kwa sauti nduve, ''Umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanavaka, na mwana sho nei fo ndeuni kwafo nabarikiwa. 43Na ileva aja kwakwa kwamba, mama wa Bwana wakwa ilempasa ashe kwakwa? 44Kwa kfa sakulia, ngaishwa maduni kwakwa sauti ya idikira kwafo, mwan andeuni kwakwa katoola kwa furaha. 45Na alebarikiwa mfele ula ambaye aleamini evefumia ukamilifu wa mambo ala aleviwa ifuma kwa Bwana."46Mariamu akaamba, nafasi yakwa imsifu Bwana, 47na moo yakwa wakunde katika Ruva mwokozi wakwa.48Cha maana nasakwa hali ya sumbai ya mtumishi wakwe wa kfele. Sakulia, tangu luvaha vizazi vyoose vyemlaha mbarikiwa. 49Kwa sho aliyemweza alerunda mambo maduve kwakwa, na rina lakwe ni takatifu.50Rehema yakwe yedumu ifuma kizazi kwa vala vemheshimu vee. 51Alevarora oru kwa maoko akwe; kavataratara vala ambao vejivuna dooka ya mawazo aa moo yavo.52Kavamashua sumbai vana va mfalme ifuma katika madengu avo aa enzi alafu kavadosa dooka vala vekekeri va hali ya sumbai. 53Kaininga vala vena shaa kiao ksha na vindo visha, bali matajiri kavadishira maoko a duhu.54Kafuna msaada kwa Israeli mtumishi wakwe, ili akumbue irora rehema 55(Shali aleamba kwa vandue vedu) kwa Abrahamu na uzao wakwe kasha na tene."56Mariamu alekaa na Elizabeti yapata mieri iradu adi ni lo kauya na kaa kwakwe. 57Luvaha wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti yera mwana wakwe na yaashika kara mwana wa msoro. 58Mamrasa vakwe, na vanandie vakwe valeishwa shali Bwana alekuza rehema kwakwe vakakunda vekeri hamu.59Luvaha ikafumia mfiri ya nane kwamba velekeri vakashehedina mwana. ilevadasa vamlahe rina lakwe, "Zekaria," kwa izingatia rina la ndie akwe, 60Lakini mae yakwe akajibu na kaamba, "Ehe ; nelahua Yohana." 61Vakammbia, kuure nangu umu katika vanandio elahua rina lihali ku.''62Vakavesa ishara ndie yakwe iashiria veave nekundi rina nalahue nani. 63Ndie yakwe vaniinge kibao cha aandikeho, na akaandika, "Rina lakwe ni Yohana." Voose vakariiwa na lihali.64Shavi momu wakwe ukaruika na ulumi ula ukava huru. Kachecha na imsifu Ruva. 65Uhova ukavashelia voose vakaa kfuhi nave. Mambo yahaya yakaenga katika nchi yoose ya vilima vya Yudea. 66Na voose valeishwa vakaama fo moni kwavo, vakaamba, "Mwana shu nei aja?" Cha kfa koko wa Bwana kikeri pamoja nane.67Ndie akwe Zekaria kaishuriwz na Roho Mtakatifu na kafuna unabii, kaamba, 68'Asifiwe Bwana, Ruva wa Israeli, kwa kfa alenheeka na aleshughulikia wokovu wa vandu vakwe.69Aleduinulia uhembe wa wokovu katika mmba ya mtumishi wakwe Daudi, ifuma miongoni mwa ukoo wa mtumishi wakwe Daudi, 70shali valeamba kwa momu ya vandu velafya vevekeri katika nyakati sa kasha. 71Neduokoa ifuma kwa adui sedu na ifuma maokoni mwa wose vedusukie.72Nevika adi irora rehema kwa ndie sedu, na ikumbwa agano lake takatifu, 73Iakana kaamba kwa Abrahamu ndie yedu. 74Aleakana kuthibitisha kwamba ivewesekana imtumikia vee bila iihova, baada ya iokolewa ifuma katika maoko ya adui sedu. 75Katika utakatifu na haki mbele sake mfiri yedu yoose.76Ndiyo, na vee mwana, ushelahwa nabii wa ula ekeri dooka sana, kwa kfa usheenda mrele ya kiamu cha Bwana ili umwandalie shia, iwaandaa vandu kwa ajili ya ushelio wakwe, ivafahamisha vandu vakwe kwamba, 77vesheokolewa kwa shia ya yesamehewa sambi sao.78Lihali leshefumia kwa sababu ya huruma ya Ruva wedu, sababu ambayo jua lefumia dooka likadushelia, 79likaaka kwavo vakaao mlemeni na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza matende yedu kwenye shia ya amani."80Luvaha, ula mwana kang`ana na neere oru mooni na alekaa nguduni mpaka mfiri ya wefumia kwakwe kwa Israeli
21Luvaha katika mfiri yohoyo, ikafumia kwamba Kaisari Agusto alefuna agizo akielekeza kwamba iirwe sensa ya vandu voose veishi kuni urukeni. 2Hiyai iveekeri ni sensa ya kwanza ilefanyika wakati Krenio ekeri gavana wa Siria. 3Kwaacho kila umu kaenda mrini kwakwe iandikishwa sensa.4Naye Yusufu aleondoka pia katika mri wa Nazareti fo Galilaya na akasafiri Yudea katika mri wa Bethlehemu, umanike shali mri wa Daudi, kwa kuwa afumie katika ukoo wa Daudi. 5Aleenda fo endejiandikisha ekeri na Mariamu, ambaye akeri amemposa na akeri akatazamia mwana.6Luvaha ikafumia kwamba, vekeri kula wakati wakwe wera mwana ukashika. 7Akalee mwana wa ksoro, niive mwana wakwe wa mbele, akamhoroshia nguo mmbili sho imshingia mwana na mbeho. Nyiho kandembilkia kiloni handu vanyama velilia, cha kfa neuere nafasi fo mmba ya vageni ku.8Katika eneo loholo kuveere vemsa vekaa fo mashambeni veringa makundi aa mahorima avo kiyo. 9Ghafla, malaika wa Bwana akavafumia, na utukufu wa Bwana ukavaa paa ivatengeta, vakara uhova sana.10Niiko malaika kavavia, "Mtahove, cha kfa nyakuheni habari nsha ambayo ikuheni furaha nduve kwa vandu voose. 11Luni mwokozi aoneka kwa ajili yenu kula mrini kwa Daudi ve niive Kristo Bwana! 12Lihali niiyo ishara ambayo muiningwa, mundekolia mwana emhoroshie nguo elae kula ksalioni handu wanyama veulia."13Ghafla kukava na jeshi nduve la ruveni likaungana na malaika ula vakamsifu Ruva, vakaamba, 14"Utukufu kwa Ruva ukeri dooka sana, na amani ive kuni urukeni kwa voose vo vesa eshihiwa navo."15Ikava kwamba malaika vamarie valeuya vakaenda fo ruveni, velisa vakiviana vo kwa vo, "Ndefoni luvaha kula Bethlehemu, na dundelolia ndido cho chafumia amabacho Bwana adufahamisha." 16Wakaharakisha kula, na vakamlolia Mariamu na Yusufu, na vakamlolia mwana elae kwenye ksalioni handu vanyama velilia.17Na valolie ado, vakavavia vandu kila vavekeri valeviwa ihusu mwana . 18Voose valeishwa machecha ahaa vakariiwa na kila kileambwa na velisa. 19Lakini Mariamu akaendelea ifikiri ihusu yo oose eleishwa, akayatunza fo mooni mwake. 20Velisa vakauya vakamtukuza na imsifu Ruva kwa ajili ya kila kindo velemeikushwa na ikilolya, shali velekolya tu vaviwa fo kwavo21Ileshika mfiri ya nane na ivekeri ni wakati wa wedima mwana, vakamlaha rina Yesu, rina elekolya ameiningwa na ula malaika atatungwa ndeni.22Zao zilizotakiwa sa utakaso zimesie, ilingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu valekamacha hekaluni kula Yerusalemu nakambikia mbele sa Bwana. 23Shali ileandikwa katika sheria ya Bwana, "Kila msoro elerua ndeu nelahua alefunwa wakfu kwa Ruva." 24Navo vilevile valesha vachasa ilingana na kila kileambwa katika sheria ya Bwana, "Jozi ya mbeta au makinda avili ya mbeta."25Sakulia, heveere na mndu katika Yerusalemu ambae rina lakwe nevekeri evelahwa Simeoni. Mndu shu nevekeri mndu mwenye haki na mcha Ruva. Veave evekeri eveecha kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu nevekeri dooka yakwe. 26Nevekeri ilekolya funuliwa kwakwe ameiviwa Roho mtakatifu kwamba veave hangeifa kabla ya atalolya Kristo Bwana.27Mfiri umu alesha kiidi ya hekalu, eongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo vazazi valehende mwana, Yesu, ishemrundi yale yaliyopasa kavaida ya sheria, 28Niilo Simeoni alemwambilia maokoni mwake, na imsifu Ruva na akaamba, 29"Luvaha ruhusu mtumishi wafo aende kwa amani Bwana, ilingana na ichecha lafo.30Cha kfa meso akwa yamelolya wokovu wafo, 31ambao usa uleloliwa kwa meso aa vandu voose. 32Veave ni nuru kwa ajili ya ufunulio kwa Masanga na utukufu wa vandu Israeli."33Ndie na Mae wa mwana vakariiwa kwa mambo ambayo yaliyozungumzwa dooka yakwe. 34Niilo Simeoni alevabarikia na kavavia kwa Mariamu mae yakwe, "Huchania kwa makini! Mwana shu nesheva sababu yecheka na iokoka kwa vandu veengi katika Israeli na ni ishara ambayo vandu veengi vesheivinga. 35Pia ni kshu chechektosha nafsi yafo umoni, ili kwamba mavaso aa moo ya vengi amanike."36Nabii mfele elafya alahua Ana nevekeri hekaluni. Vee nevekeri mwanamka wa Fanueli ifuma kabila la Asheri. Neveere na miaka nyiingi sana. Nave nelekaa na mmi ake kwa miaka saba baada ya yealikwa, 37na niiho akava mkusu kwa mika themanini na iina. Na alevuma fo mbuhoni na nevekeri neveendelea imwabudu Ruva pamoja na ifunga na iitereva, kyo na kwaya. 38Na kwa wakati shohosho, nalesha hala vevekeri kavooka imshukuru Ruva. Kachecha ihusu mwana kwa kila mndu ambaye nevekeri akisubiri ukombosi wa Yerusalemu.39Vashike imaa kila nndo vevetakiwa varunde ilingana na sheria ya Bwana, valeuya Galilaya, mjini kwavo, Nazareti. 40Mwana aleng`ana, na akava na oru, kaengereka katika hekima, na neema ya Ruva ikava dooka yakwe.41Vazazi vakwe kila mwaka veenda Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya yechasa. 42Asheng`ana na umri wa miaka ikumi na ivili, valeende se wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu. 43Baada yebaki mfiri yoose kwa ajili ya sikukuu, valeanza iuya na kaa. Lakini mwana ula kboro Yesu alebaki mma mle Yerusalemu na wazazi wakwe valemannya lihali. 44Veveishi kwamba yumo kwenye ikundi vevekeri vakasafiri nalo, hivyo vesafiri safari ya mfiri. Nyiho vakaanza imtafuta miongoni wa ndugu na marafiki sao.45Waliposhindwa kumpata, vakauya Yerusalemu na vaakaanza imsengecha fo. 46Ikafumia kwamba baada ya mfiri iradu, vakamkonia hekaluni, akiwa ameketi katikati ya vaalimu, evahuchania na ivavesa maswali. 47Voose valemhuchania valeriiwa na ufahamu wakwe ere na majibu akwe.48Vashikeimlolia, vaneriiwa. Mae wakwe kammbia, "Mwanaakwa, niiki warunda adi? Huchania ndiafo na nihani duveksengecha kwa wasiwasi mduve." 49Kavavia, "Niiki muvemsengecha ? Muveishi kwamba lasima ngikae kuni kwenye mmba ya Ndie akwa? 50Lakini valemanya choiki emaanisha ku kwa machecha ohoo.51Niilo aleenda pamoja navo mpaka mmba Nazareti na vekeri mtii kwavo. Mae akwe kakama mambo yoose mooni kwake. 52Lakini Yesu aleendelea ing`ana na ileha katika hekima na kimo, na akazidi ikundwa na Ruva na vandu.
31Luvaha, katika mwaka wa ikumi na tanu wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato ekeri gavana wa Uyahudi, Herode nevekeri mkoa wa Galilaya, na Filipo mwanandie nevekeri mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania nevekeri mkuu wa mkoa wa Abilene, 2na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, checha la Ruva likashelia Yohana mwana wa Zakaria, ksaka kiumi.3Alesafiri katika mkoa woose itengeta ioru Yordani, ehubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa sambi.4Shali kivekiandike katika kitabu cha machecha ya Isaya nabii, "Sauti ya mndu elia ekeri ksaka kiumu, "Zunguzieni tayari mko ya Bwana, zunguzieni ehicha yakwe kuoroke.5Kila mruma ushikiwe, kila mlima na kilima usavasishwe, mko ukome uoruliwe, na shia nlemi zizunguziwe zikae usha. 6Vandu vooose velolia wokofu wa Ruva."7Kwacho, Yohana kavavia isanga maduve ya vandu zilesha likundi ibatizwa na vee, "Nyohonyo uzao wa shoka ire sumu, sho elekia nyeni mkaidisha nyafi yo iisha?8Reni matunda eendana na toba, na mtaanze iamba kiidi yenu, "Dure Ibrahimu ambaye ni ndie wedu; cha kfa ngakvieni lee, Ruva edima iinulia Ibrahimu vana hata ifumana na mawe yahaya.9Tayari soka laveivikwa kfui mri wa mdi. Kwacho, kila mdi utere matunda mesha, wetenwa na ikumbwa mochoni.10Niilo vandu katika makutano vakammbesa vakaamba, "Luvaha dutakiwe duvike aja?" 11Kavajibu na kavavia, "Shali mndu ere ngasu ivili netakiwe aininge uchoe imu sho msa etere kabisa, na ambaye ere kiao na avike ado ado."12Kisha baadhi ya vatoza ushuru valesha naho vakabatizwa, na vakammbia, "Mwalimu, dutakiwe duvike aja? 13Kavavia, "Mtasandirie besa zaidi yaso mleviwa msandirie."14Baadhi ya maaskari veveho vakamuuliza vakiamba, "Na sohoso duvike aja? Dutakiwe durunde aja?" Kavavia, "Mtaire besa kwa mndu woose kwa oru, na mtasikanie mndu woose kwa uongo. Ridhikeni na mshahara sho wenu."15Luvaha, kwa kuwa vandu vekeri na shauku ya yeveecha Kristo sho eshesha, kila umu nevekeri anawasa sana mooni kwakwe ihusu Yohana shali vee ndiye Kristo. 16Yohana kavajibu kwa kavavia voose, "Nihani ngavabatiza nyohonyo kwa mringa, lakini kure umu neesha ambaye nere oru kuliko nihani, na ngekari hata ifutua kamba za viadu vyakwe. Nekubatizeni nyohonyo kwa Roho Mtakatifu na kwa mocho.17Pepeto lakwe likero maokoni mwakwe ili isambia usha uwanda wakwe wa weela ngano na isandiria ngano ikumbini kwakwe. Lakini, nekora maepezi kwa mocho ambao utedima iruma.18Kwa maonyo engi meengi pia, alehubiri habari msha kwa vandu. 19Yohana alehongolia pia Herode mduve wa mkoa elealika Herodia, mfele wa mwanandie na kwa maovu engi meengi mesa Herode alekolya aatenda. 20Lakini baadaye Herode alefanya uovu ungi uviishwa sana. Alemfunga Yohana gerezani.21Kisha ikafumia kwamba, wakati vandu voose vevekeri ibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati ekeri eitereva, uwingu ukaruika. 22Roho Mtakatifu kamashuka dooka yakwe kwa mfano wa kiwiliwili shali mbeta, wakati huo huo sauti ikasha ifuma uwinguni ikaamba, "Vehave ni Mwanaakwa mkundwa. Ngashihiwa sana na vehave."23Luvaha Yesu emeni, ashikeianza ifundisha, nevere na umri upatao miaka salasini. Nevere ni mwana (shali veveifikiria) wa Yusufu, mwana wa Eli, 24mwana wa mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,25mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai, 26mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,27mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri, 28mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri, 29mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,30mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu, 31mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi, 32mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,33mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hersoni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda, 34mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori, 35mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,36mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki, 37mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani, 38mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Ruva.
41Niilo, Yesu ekeri eishwe Roho Mtakatifu, aleuya ifuma ioru Jordani, na eongozwa na Roho ksaka kiumu. 2Kwa mfiri arobaini, na foodo alejaribiwa na Ibilisi. Wakati sho elela nndo choose, na mwisho wa wakati sho kaishwa shaa.3Ibilisi kammbia, "Kolia vehave ni mwana wa Ruva, liamuru iwe lihali live mkate." 4Yesu kamjibu, "Ileandikwa; 'mndu eishi kwa tiki ku."5Niilo Ibilisi kamwongoza dooka kwenye cha mlima, na kamrora falme soose za uruka kwa muda mfuhi. 6Ibilisi kaambia, "Ngekuunga mamlaka ya etawala falme hizi soose pamoja na fahari wakwe. Ngedima ifanya ado cha kfa vyoose nilekabisiwa kwakwa ngivitawale, na ngedima iininga woose piu sho ngakunda. 7Kwaacho, kolia wedima iinama na ingiabudu, vindo vyoose piu veva vyafo."8Lakini yesu kamjibu na kammbia, "Ingiandike, "Lasima umwabudu Bwana Ruva wafo, na lasima umtumikie vee emoni yakwe."9Baadaye ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kandembikia sehemu ya dooka kabisa ya jengo la hekalu na kammbia, "Kolia vehave ni mwana wa Ruva, toola ushike sumbai ifuma haadi. 10Cha kfa imeandikwa , "Atawaagiza malaika zakwe vashe vakutunze na vakulinde, 11na vekuira dooka na maokoni mwavo ili kwamba utakabwe machende avo dooka ya iwe."12Yesu kajibu kammbia, "Ileambwa, "Utajaribu Bwana Ruva wafo." 13Ibilisi ashileimaria imjaribu Yesu, aleenda sakwe na kamcha hadi wakati ungi.14Niilo Yesu kauya Galilaya kwa oru sa Roho, na habari semhusu vee sikamanyika na kusambaa katika mikoa mraseni yoose. 15Kafindisha katika masinagogi yavo, na kila umu kamsifi.16Mfiri umu kaenda Nazareti, mri ambao aleng`ania na itunzwa. Shali ivekeri kvaka chakwe aleingia kwenye sinagogi mfiri ya sabato, na katotona kusoma maandiko. 17Kakabisiwa gombo la nabii Isaya, ado, kafutua gombo na kasengecha handu haandike,18Roho wa Bwana ukeri dooka yakwa, cha kwa aleng`fia mafucha kuhubiri habari mesha kwa maskini. Kang'duma ngitangase uhuru kwa vafungwa, na kuwafanya vetelolia waweze valolie se. Ivavikia huru vala valehoniwa, 19Itangaza mwaka ambao Bwana erora wema wakwe."20Amae kafunga gombo, kauuria kiongosi wa sinagogi, na kachaami sumbai. Meso ya vandu voose vevekeri katika sinagogi vakamsakuli vee. 21Kaanza ichecha navo kavavia, "Luni ichecha lii latimiswa maduni kwanu." 22Kila umu hala aleshuhudia kila aleamba Yesu, na vengi miongoni mwavo vakariiwa na machecha ya hekima evefuma katika dumbuni kwakwe. Vavekeri veviana, "Shwahashu ni msangi tiki wa Yusufu, au dwalemba?"23Yesu kavavia, "Hakika mweamba methali ihai kwakwa, "Mwaauga, uhaire umoni. Choose dwaishwa ukirunde Kapernaumu, ukirunde na haa pia kijijini kwafo.'' 24Pia kavavia, ''Hakika ngakuvieni nyohonyo, kuure nabii ekubalika fo nchi yakwe ku."25Lakini ngikuvieni nyohonyo loi kwamba kuveere vakusu veengi Israeli katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kutare na mvua kwa miaka iradu na nusu, wakati kuveere na shaa nduve katika nchi yoose. 26Lakini Eliya aledumwa kwa woose umu wavo, lakini kwa mkusu umu tiki msa ekaa Serepta kfui na mri wa Sidoni. 27Pia, kuverese na vakoma veendi Israeli katika kipindi cha Elisha nabii, lakini kuure hata umu wavo alehairwaku isipokuwa Naamani mndu wa Siria.28Vandu voose kiidi ya sinagogi vakarwa na nyafi vaishwe yahaya yoose. 29Vakatotona na vakamsukumiza sha ya mri, na vakamwongoza mpaka kwenye mbahi wa mlima wa mri ambapo mri wavo ulejengwa dooka yakwe, ili vadime imkumba sumbai. 30Lakini kahicha salama katikati yavo na kaenda sakwe.31Niilo kasooka Kapernaumu, katika mri wa Galilaya. Sabato imu ekeri efundisha vandu kiidi ya sinagogi. 32Vakariiwa na mafindisho yakwe, cha kfa elefindisha kwa mamlaka.33Luvaha mfiri sho kiidi ya sinagogi, kuvieere na mndu eveere na moo ya pepo mshafu, na evelia kwa sauti ya dooka, 34"Duure choiki nave, Yesu wa Nazareti? Washa usheduwaa? Ngiishi vehave ni veivi! Vehave ni mtakatifu wa Ruva!"35Yesu kavaila ipepo kaamba, "Sia sii, na umfume mndu shu!" Pepo ula kamduulia mndu ula sumbai katikati yavo, alemfuma ula mndu bila ya mbooha kasiilia nanga alevaywa ku yoyote. 36Vandu woose veleriiwa, na vakaendelea ichecha nndo cho kila mndu umu na uchoe. Vakaamba, "Ni machecha ya omaki yahaya?" Eamuru roho washafu kwa mamlaka na oru na vakafuma." 37Niilo, habari dooka ya Yesu zikamanyika kila handu katika maeneo iletengeta mkoa sho.38Kisha Yesu alefuma mri sho na kaenda katika mmba ya Simoni. Luvaha, mae mkwe wakwe na Simoni nevelwae homa kali, na vakamsihi kwa niaba yakwe. 39Niilo, Yesu kamserelia, kaihongolia ile homa na ikamlekia. Ghafla katotona na akaansa ivatumika.40Jua livekeri lianze ichonia, vandu vakamhendia Yesu kila umu eluae ndwari wa maradhi ya aima mbalimbali. Kavavilkia maoko yakwe dooka ya kila mgonjwa na eluae vakahai piu voose. 41Mapepo pia alevafuma veengi wavo vakalia kwa sauti na vakaamba, "vehave ni mwana wa Ruva!" Yesu kaahongolia mapepo ala kavahima vatacheche , cha kfa veishi kwamba vee ekeri ni Kristo.42Wakati kukfui icha, kaenda eneo kuteere na vandu. Isanga ya vandu vavekeri vakimtafuta na vakasha katika eneo evekeri. Vakaeria imshiingia ataende kwasha na wavo. 43Lakini kavavia, "Lasima pia ngihubiri habari nsha za ufalme wa Ruva katika miri ingi nyiingi, cha kfa ngiledumwa haadi." 44Kisha aleendelea ihubiri kiidi ya masinagogi katika uyahudi woose piu.
51Basi ikafumia wakati vandu vyalekuumbania na imtengeta Yesu na ihuchania ichecha la Ruva, ambapo evekeri etotoni mbahi irivariva Genesareti. 2Alilolia mashua ivili ziletitima mbahi ya irivariva. Wavuvi valekolia vyafuma na vevekeri vyesambia nyafu savo. 3Yesu kaicha katika umuwafo ya sila mashua, ambayo ivekeri ya Simoni na kamtereva aikache mringeni kwasha kidoko na nchi ngiumu. Kisha kachamia na ifindisha ifumia kula mashueni.4Kachecha, kavia Simoni, "Ikamache mashua yafo mpaka hala kilindi cha mringa na imashua nyafu zavo ili vaomwe samaki." 5Simon kamjibu na immbia, Bwana, dulerunda kasi kio chose, na dulera chose ku, lakini kwa ichecha lafo, ngimashua nyafu. 6Vyashiike irunda hado vyalesandia kiasi kiduve cha samaki na nyafu savo zikaanza idumbuka. 7Ado vakalaha mamrasa vavo vekeri mashua ingi ili vashe na vaheka. Vakasha vakaishura mashua soose, kiasi kwamba zivekundi ichonia.8Lakini Simoni Petro, alolie ado, kauwa hondi kwa Yesu kaamba, "Fuma kwakwa, kwa sababu nihani ni mndu ngire sambi Bwana." 9Kwa sababu aleriiwa, na voose vevekeri nave, kwa ifua samaki vavekeri valerunda. 10Ihai ilevaumbania Yakobo na Yohana vana va Zebedayo, ambao vevekeri vashirika va Simoni. Na Yesu kamvia Simoni, "Utaihove, kwa sababu ianza luvaha na wefuaa vandu." 11Walipokwisha vahende mashua zavo nchi ngiumu, valecha kila nndo na imfata vee.12Ikafumia kwamba ekeri katika mri umuwafo, mndu aevelwae ukoma avekeri foo. Wakati amlolie Yesu, aleuwa kainamisha kiamu chakwe mpaka sumbai na imtereva, kaamba, "Bwana", ikiva kwakunda, wedima insambia." 13Kisha Yesu aleorua koko chakwe na kamfura, kaamba, "Ngikundi. Uvae." Na saa ileile ndwari ya ikamcha.14Alemvavasa atavie mndunwoose, lakini kammbia, "Enda savyo, na undekurora kwa makuhani na ufune sadaka ya ivaa kwafo, savasava na kila Musa alekiamuru, kwa ushuhuda kwavo."15Lakini habari kumhusu yeye zikalolikana kwasha saidi, na isanga nduve wa vandu ukasha likahuchania efindisha na ihaira ndwari zavo. 16lakini mara kwa mara alejitenga faraghani na iitereva.17Ikafumia mfiri umu kati ya sohoso evekeri efindisha, na vevekerifo Mafarisayo vaalimu wa sheria nevechaamie ho ambao valesha ifuma vijiji viingi tofauti ifuma mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia ifuma katika mri wa Yesusalemu. Oru ya Bwana uvekeri handu hamu nave pamoja na ihaira.18Vandu kadhaa valesha, valeira kwenye mkeka mndu eluae, na vakasengecha kiidi ili vamlae sumbai mbele ya Yesu. 19Valekoliya mko ya wehicha kiidi kwa sababu ya isanga, hivyo vakaova dooka ya ipaa la mmba na immashua ula mndu sumbai ihicha kiidi ya vigae, dooka mkeka wakwe katikati ya vandu, mbele kabisa ya Yesu.20kasakulia imani yavo, Yesu kaambia, Rafiki, sambi savo wasamehewa." 21Vaandishi na Mafarisayo vakaanza ivesana loholo, vakaamba, "Shwahashu ni veivi echecha makufuru? Ni veivi edima isamehe sambi che Ruva emoni yakwe.?"22Lakini Yesu, kamanya choiki walichokuwa vefikiri, kavajibu na kavavia, "Niiki muvesana lihali fo mooni kwenu? 23Choiki kii karahisi iamba, 'Sambi safo sasamehewa' au iamba, 'Totona uchambuke?' 24Lakini mumanye kwamba Mwana wa Adamu ere mamlaka urukeni ya esamehe sambi, Ngakuvia vahave, 'Ira, itasha lafo uende kaa kwafo."25Wakati ichecha ado katotona kaira itasha lia mbele yavo lia velemhende nalo elae, kaveuya na kaa kwakwe echambuka emeni kashukuru na itukuzwa Ruva. 26Kila umu kariiwa na vakatukuza Ruva. Vakaruwa na uhova, vakaamba, "Dwalolya mambo etekeri aa kavaida luni."27Baada ya mambo yahaya ifumia, Yesu alefuma fo na kalolia msura ushuru elahwa Lawi echamie handu esandiria kodi. Kammbia, "Ngifuate." 28Ado Lawi katotona kamfatia, kacha kila nndo mma.29Kisha Lawi kaandaa mmba kwakwe karamu nduve kwa ajili ya Yesu. Vevekerifo vasura ushuru vengi kula na vandu veengi valechaamia mesani velaa pamoja navo. 30Lakini Mafarisayo na vaandishi vala vekeri vang`unyania vanafunzi, veamba, "Niiki li muula kyao na inywa na vasura ushuru pamoja na vandu veengi vere sambi?" 31Yesu kavajibu, "Vandu vetelwae veenda kwa bistari ku, ni vala tiki velwae nivo vehitaji daktari umu. 32Nilesha ngalae vandu vere haki haki vakolie itubu ku, ila ngileshelaha wenye sambi ili vatubu."33Vakammbia, "Vanafunzi wa Yohana mara nyiingi vefunga na itereva, na vanafunzi wa Mafarisayo navo vevika ado ado. Lakini vanafunzi vafo vela na inywa.'' 34Yesu kavavia, "yewezekana mndu voose vasha na harusi ya Bwana Arusi eeho vafunge wakati Bwana harusi bado yu pamoja navo? 35Lakini mfiri iisha wakati Bwana harusi kafumaho kwavo, niilo katika mfiri yo mwefunga."36Kisha Yesu alechecha navo kwa mfano. "Kure eshahua nguo ifuma kwenye vazi nhia na avehie ya kasha ku. Kolia nevika ado, kashashua nguo nhia, na kipande cha nguo ifuma vazi nhia cheva itumika na nguo ya vazi la kasha.37Pia, kure mndu ambaye evika divai nhia kwenye viriba matoshe ku. Kolia akifanya ado, divai nhia yebara kila chombo, na divai yo yebarikja makobo yo elekuwa na divai yefuluka, na makobo neveharibika. 38Lakini divai, nhia lasima ivikwe kwenye viriba khiya. 39Na kuure mndu baada kamenywa divai ya kasha, ekungi nhiya, kwa sababu veamba, 'Ya kasha ni nsha."
61Luvaha ikafumia kwenye Sabato kwamba Yesu evehicha katika mcheme la nafaka na vanafunzi wakwe vavekeri veveilua mabua, vakaasingasinga yo maoko yavo vakaaka klimu. 2Lakini baadhi ya Mafarisayo vakaamba, "Niikili murunda nndo ambacho kitekeri halali kishema ikirunda mfiri ya Sabato"?3Yesu, kavajibu, kaamba, "Mlewahi isoma kila Daudi alerunda ekeri na shaa, ve na vasoro vala evekeri nave? 4Aleenda katika mmba ya Ruva, na kaira mikate mitakatifu na kalacho baadhi, na kaira seho nnaana kaininga vandu evekeri navo vakala, japo ivekeri ni halali ya makuhani iila." 5Kamaa kavavia, "Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato."6Ikafumia katika Sabato ingi kwamba kaenda se kiidi ya sinagogi na kandefindisha vandu huko. Hevere mndu ambaye koko chakwe wa kiluae kilehololia. 7Vaandishi na Mafarisayo vevekeri vemsakulia sii kwa makini valolie kolia nehaira mndu mfiri ya Sabato, ili vadime imshtaki kwa kosa. 8Lakini nelemanya mbiri savo vevefikiria na kaamba kwa mndu eluae alehololia koko, "Amka, totona hapa katikati ya kila umu." Niilo huyo mndu aletotona na kusimama hala.9Yesu akaamba kwavo, "Ngakuveseni nyohonyo, ni halali mfiri ya Sabato irunda mesha au irunda mavishwa, ikira maisha au iyaharibu?" Kisha kavasakulia voose na kammbia ula mndu, 10"Orua koko chafo." Kavika ado, na koko wakwe kikakolia chaahai. 11Lakini vakaishwa na nyafi, vakaviana vo kwa vo ihusu choiki vedima imrunda kwa Yesu.12Ikafumia mfiri yo kwamba neveenda mlimeni iitereva. Kaendelea kio ksima eitereva Ruva. 13Kushike icha shuru ya, kalaha vanafunzi vakwe kwakwe, na kasambura ho ikumi na vakili kati yavo, ambao vesa alevalaha "Mitume."14Marina ya vala mitume yalikua Simoni (ambaye pia alemlaha Petro) na Andrea mwanandie, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo, 16Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni na Yuda, ambaye alelahuwa Zelote, 15Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, msa evekeri msaliti msaliti.17Kamaa Yesu kamashuka pamoja navo ifuma mlimeni na kasookia handu hei tambarare. Idadi nduve ya vanafunzi wakwe hevere huko, pamoja na idadi nduve ya vandu ifuma Uyahudi na Yerusalemu, na ifuma pwani ya Tiro na Sidoni. 18Valesha vamhuchanie na iharwa ndwari savo. Vandu vevekeri vevesumbuliwa na pepo vashafu valehairwa pia. 19Kila umu kwenye hilo valekuumbanyia alejaribu aleeria imwacha kwa sababu oru za naire uvefuma fo kwakwe, na kavahara woose.20Amae kasakulia vanafunzi walwe, na kaamba, "Mwabarikiwa nyohonyo mkeri maskini, kwa maana ufalme wa Ruva ni wenu. 21Mwabarikiwa nyohonyo muishwe na shaa luvaha, kwa maana mtashibishwa. Mwabarikiwa nyohonyo mliao luvaha, kwa maana museka.22Mwabarikiwa nyohonyo ambao vandu vekusukieni na ivatenga na iksemberieni nyohonyo kwamba ni vavishwa, kwa ajili ya Mwana Adamu. 23Kundeni katika mfiri sho na itoolatoola kwa furaha, kwa sababu hakika mwera na kakasha nduve mbinguni, kwa maana vandie vavo valerundia adoado manabii.24Lakini ole wenu nyo matajiri! Kwa maana mlemeikolia faraja yenu. 25Ole wenu nyo muhuusu luvaha! kwa maana mulolia shaa baadaye. Ole wenu nyo muuseka luvaha! Kwa maana muomboleza na ilia baadaye.26Ole wenu, mtakaposifiwa na vandu voose! Kwa maana ndie zavo valetendia vamabii va uongo ado ado.27Lakini ngiamba kwenu nyohonyo muhuchania, kundeni adui senu na ivarundia mesha kwa wanao wachukieni. 28Vabarikieni vala vesa vekchelieni vyao nyohonyo na muvaterevieni vala vesa vekhoonieni.29Kwakwe veave akukabae shavu imu, hundusa na la ivili. Shali mndu kaksoka ijoho lafo utamshiimgie eira na ngasu. 30Ininga kila kakutereva. Kolia mndu akusoka nndo chafo ni mali yafo, utamtereve akuurie ku.31Shali mkundi vandu vakurundieni, naanyo varundieni ado ado. 32Shali mkakunda vandu mkundeni nyohonyo tiki, yohoyo ni thawabu yonki kwenu? Kwa maana hata vere sambi vekunda vala vesa vekundanyi. 33Shali mwerundia mesha vala vesa vekurundieni mesha nyohonyo taba yohoyo ni thawabu yonki kwenu? Kwa maana hata vesa vere sambi vevika hado ado. 34Shali mkakobia nndo kwa vandu ambao muishi vesheuura, yohoyo ni thawabu yonki kwenu? Hata vere sambi vekoriya vere sambi, na veishi vesheambilia ifumia kiasi chohocho se.35Lakini kundeni adui senu na mvarundieni mesha. Vakobieni na mtaihove ihusu iuriwa, na thawabu yenu yeva nduve. Mweva vana va ekeri dooka, kwa sababu vee emeni ne msha kwa vandu veeshukuru na vesa veteshukuru na vaviishwa. 36Reni na huruma, shali Ndie yenu ere na huruma.37Mtahukumu, naanyo mwehukumiwa ku. Msilaani, naanyo mwecheliwa. Sameheni vengi, naanyo mwesamehewa.38Iningeni vengi, naanyo mweiningwa. Kiasi chehuucha chesindiliwa na kikaishwa basha kikundi ifuluka chechefulukia ho ndii kwenu. Kwa sababu kwa kibimo choose cho ksa mwetumia niicho chohocho mweshebimiwa nyohonyo."39Niilo alevavikia mfano pia. "Se mndu etelolia adima iongoza mndu ungi etelolia? Kolia evika ado baasi voose vechonia irumeni au vechonia ku? 40Vanafunzi eva mduve kuliko mswalimu wakwe, lakini kila mndu akiisha kafindisha kwa ukamilifu veva sha mwalimu wakwe.41Na niiki li basi velolia kakibanzi kekeri kiidi ya risho la mwanandio wafo, na iboriti lo lii fo kiidi ya riso lafo utelisakulia? 42Wedima kummbia mwanandio wafo, 'Mwanandio, ngiitereva ngikufune kibanzi indo lii fo riso kwafo,' naave uoni ibiriti iliyo katika riso kwafo umoni ku? Mnafiki vehave! Kwanza ifuna boriti katika riso lafo kwafo umoni, niilo welolia usha ifuma kibanzi katika riso la mwanandio wafo.43Kwa sababu kure mdi usha wera matunda maviishwa ku wala kuure mdi uviishwa wera matunda mesha ku. 44Kwa sababu kila mdi wemanyika kwa matunda maviishwa akwe. Kwa sababu vandu vetumua tini ifuma kwenye miiba, wala vetumua mzabibu ifuma kwenye mchongomeni.45Mndu msha katika hazina nsha nevuna yaliyo mesha, au mndu mmbiishwa katika hazina nuiishwa ya moo wakwe nevuna maviishwa. Kwa sababu momu sho wakwe ure ala mavishwa fo moni kwakwe.46Niikili munlaha 'Bwaba, Bwana,' na bado mukundi irunda aa ngiamba ku? 48Kila mndu esha kwakwa na ihuchania machecha akwa na iarundia kazi, ngemrora shali ekeri. 47Ngeusani na mndu ejenga mmba yakwe, msa esuma sumbai sana na ijenga msingi na mmba dooka ya iwe amara. Makuusa akasha, maporomoko aa mriinga alekaba mmba ya, lakini aledima iidingiza ku, cha kfa ing`jenge usha.49Lakini mndu woose kaishwa checha lakwa na kalimena; mfano wakwe ni mndu ejenga mmba dooka ya ndohe hetere na msingi, iuru lihende makuuza kwa oru, mmba ila ilekolia maangamizi maduve.
71Baada ya Yesu imaa kila nndo ksa eveiamba kwa vandu vevemhuchania, kaingia Kapernaumu.2Mndumwa fulani wa akida, msa evekeri wa kfuhi sana kwakwe, nevelwae mgonjwa sana na ekfui ya ifa. 3Lakini akiwa kaishwa kuhusu Yesu, ula Akida alemduma kiongozi wa kiyahudi, andeitereva ashe amwokoe mdumwa sho wakwe atafe. 4Washike kfui na Yesu, vakamtereva kwa bidii vakaamba, "Anastahili kwamba ulepaswa irunda adi kwa ajili yakwe, 5kwa sababu nekundi uruka shu wedu, na niive ilejenga sinagogi kwa ajili yedu."6Yesu kaendelea na safari yakwe pamoja navo. Lakini kabla atashika kwasha na mmba, afisa umu aleduma mambuya wakwe vacheche nave. "Bwana, utakushokere umoni kwa sababu nihani ngistahili vehave uhiche kuni kaa kwakwa. 8Kwa sababu hiyai ngelekari ifikiria hata nihani umoni kuwa ngefaa isha na kwafo, lakini teamba ichecha tu na mtumishi wakwa atapona. 7Kwani nihani pia ni mndu ngileiningwa mamlaka na ngire askari sumbai yakwa. Ngaamba kwa shwahashu "Enda" na neenda, na kwa ungi, "Shio" nave nesha, na kwa mtumishi wakwa 'Runda kihaki', na vehave nerunda."9Yesu aishwe yahaya aleriiwa, na kuhundukia makutano evekeri vemfata na kaamba, "Ngakvieni, hata katika Israeli, ngilevelolie mndu ere imani nduve shali shwahashu. 10Niilo vala vevekeri valedumwa vakauya mmba na na vakalolia mtumishi evelwae msima.11Fulani baada ya yahaya, ikafumia kuwa Yesu ekeri anasafiri kwenda mri welahua Naini. Vanafunzi vakwe vakaenda pamoja nave vechuchana na isanga wa vandu. 12Aleshika kfui na lango la mrisho sakulia, mndu alefa vevemchuche vamuura, na mwana eonekie emeni kwa mae yakwe. Evekeri mkusu, na isanga wa wawakilishi ifuma kwenye mri vevekeri pamoja nave. 13Vakolie, Bwana kaseria kwa huruma nduve sana dooka yakwe na akammbia, "Utalie". 14Niilo kaseria mbele akaligusa jeneza ambalo livechuche mndu sho alefa kaliacha, na vala veira vakatotona, kaamba "Msangi ngaamba amka" 15Mfu kaamka na kachaamiya sumbai kaanza ichecha. Niilo Yesu kamkabidhi kwa mae akwe.16Niili hofu ikaihova voose. Vakaendelea imtukuza Ruva vakaamba "Nabii mduve ainuliwa kuni kiidi yedu" na "Ruva nasakulia vandu vakwe." 17Hizi habari sihasi za Yesu sikashika uruka msima wa Yudea na mikoa ingi yoose ya mraseni.18Vanafunzi wa Yohana vakammbia mambo yahaya yoose. 19Niilo Yohana kavalaha vavili wa vanafunzi wakwe na kavaduma kwa Bwana kaamba "Vehave ndie ula eesha, au kure mndu ungi duveeche? 20Vashike kfuhi na Yesu vahava vakaamba, "Yohana mbatizaji aduduma kwafo kaamba, 'Vehave ni ula eesha au kure mndu ungi dumbeche?"21Kwa wakati shohosho alehaira vandu veengi ifuma katika ndwari na mateso, ifuma kwa roho vashafu, na kwa vandu wenye upofu aliwapa kuona. 22Yesu kajibu na kaamba kwavo. "Baada ya yeva mleenda na mkafuma ndemmbieni cho Yohana mlelolia na ikiishwa. Vesa upofu wanapokea kuona na viwete valechambuka, na vesa vere ukama valetakasika, vamingi valeishwa, vafu wanafufuliwa na vakava hai se, maskini vakakolia habari nsha. 23Na mndu ambaye hataacha eteniamini nihani kwa sababu ya matendo akwa alebarikiwa."24Baada ya vala valedumwa na Yohana iuya fo valefumia, Yesu akaanza kaamba kwa isanga dooka ya Yohana, "Mweenda sha ilolia choiki, mwanzi ukiva udingizwa na muho? 25Lakini mleenda sha ilolia choiki, mndu erare usha? sakulia vandu vala verare mavazi ya kifalme na veishi maisha ya starehe wafo kwenye nafasi za wafalme. 26Lakini mwaenda sha ilolia choiki, Nabii? Nii, ngichecha kwenu na saidi sana kuliko nabii.27Shwahashu nii vee aleandikiwa, "Sakulia, nimduma mjumbe wakwa mbele ya meso yenu, msa eandaa mko kwa ajili yakwa, 28Ngiamba kwenu, kati ya vala valeoneka na mfele, kuure mkuu shali Yahana, lakini mndu asiye muhumu sana atakayeishi na Ruva handu alipo vehave, akeri mkuu kuliko Yohana."29Na vandu voose valeishwa yahaya pamoja na vasura ushuru, valetangaza kuwa Ruva ni ere Haki. Vevekeri kati yavo vala vesa valebatizwa kwa ubatizo wa Yohana. 30Lakini mafarisayo na vataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao vetebatizwa na vehave valeliaa hekima za Ruva kwa ajili yavo vemeni.31Tena ngedima ivalinganisha na choiki vandu va kizazi kiaaki? Vekeri hasai? 32Veusani na vana vetema kwenye tela vechamia vakalahana umu baada ya ungi vakaamba, 'Dwavilia filimbi kwa ajili yenu, na mletema ku. Dwaomboleza na mwalia ku.'33Yohana mbatizaji alesha alela mkate wala alenywa divai, na mkaamba "Nere pepo. 34Mwana wa mndu kasha kala na inywa na nyo mkaamba, "Angali ni mmbavu na mlevi, mbuya wa vasura na vere sambi! 35Lakini hekima yatambulika kuwa ire haki kwa vana vakwe voose piu."36Umu wa Mafarisayo kaitereva Yesu aende angela handu hamu nave. Baada ya Yesu ihicha na fo mmba ya farisayo, alechamia kwenye meza ili ale. 37Sakulia kuveere na mfele umu katika jiji lo neveere sambi. Kamanya kuwa nevere naenda kwa farisayo, kahende shuba ya manukato. 38Katotona mma yakwe kfuhi na machende yakwe kuni elia. Tena kaanza ibora machende ala ama Yesu na masoru, na ihangua na mashui yo aa mdue sho wakwe, ebusu machende ala na iafia manukato.39Na ula farisayo alelaha Yesu alolie ado, kafikiria fo mdueni kwakwe emeni akaamba, "shali shwahashu mndu evekeri nabii, nevemanya shohosho ni veivi na ni aina yonki ya mfele msa emwacha, lii nere sambi. 40Yesu kajibu na kaamba, "Simoni ngiire nndo chekuvia. "Kaamba" "Amba tiki mwalimu!"41Yesu kaamba "kuveere na vadaiwa vavili kwa mkopeshaji umu. Umu nevedaiwa dinari mia tano na wa kavili nevedaiwa dinari hamsini. 43Na walipokuwa vevere besa ya kumlipa kavasamehe wose. Luvaha ni veivi ekunda zaidi? 42Simoni kamjibu na kaamba, "Ngafikiri sho msa elesamehewa zaidi. "Yesu kammbia, "Wahukumu kwa usahihi."44Yesu kahundukia mfele na kaamba kwa Simoni, Unamwona shwahashu mfele. Ngasha na kuni mmba kwafo. Waninga mringa kwa ajili ya machende akwa ku lakini shwahashu, kwa masori yakwe, nabora machende akwa na iyahangua na mashui yo amdue sho wakwe. 45Hukunibusu, lakini ve, tangu alipoingia shu aacha kunibusu machende akwa.46Wafia machende akwa kwa mafucha, lakini nafia machende akwa kwa manukato. 47Kwa jambo lihali, ngikuvia kwamba alee nevere sambi nyiingi na nasamehewa zaidi, na pia nekunda zaidi. Lakini esamehewa hanana, nekunda aanana tiki."48Baadaye kavavia mfele, "Sambi safo zasamehewa" 50Vala vevechamie meseni pamoja nave vakaanza iviana vo kwa vo, "Shwahashu ni veivi mpaka asamehe sambi?" 49Na Yesu kavia mfele, "Imani yafo yakuokoa. Enda kwa amani"
81Ikafumia muda mfuhi baadaye kwamba Yesu aleanza isafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na itangasa habari njema ya ufalme wa Ruva na vala ikumi na ivili valeenda pamoja nave, 2vilevile vafele fulani valekolia vahairwa dwari na vala va maroho maviishwa na dwari za kila aina. Vevekeri Mariamu sho vemlaha Magdalena, ambae msa valefuna mapepo saba. 3Yoana mfele wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na Vafele veengi vengi, vesa velefuna mali zavo kwa ajili yavo vemeni.4Na baada ya isanga wa vandu likuumbanie handu hamu, vekerivo na vandu valesha na kwakwe ifuma mri mbalimbali, kachecha navo kwa kutumia mifano. 5"Mpandaji alienda alendechonga mbeu, ekeri echonga, mbeu n`nana sikachonia mbahi ya mko zikavadwavadadwa na machende sumbai na mache aafo dooka akazila. 6Mbeu zingi zikachonia dooka ya ndohe wa mlelia zikang`ana na zikava miche zikauma kwa sababu zishikeiua unyevunyevu.7Mbeu zingi zikachonia kwenye kiidi ya makdi aa mhiinga, nayo hiyo kiidi ya mhiinga akang`ana handu hamu na mbeu zila akazisonga. 8Lakini mbeu ziingi zikachonia handu here ndohe nsha zikang`ana zikavika kyao klimu kiingi mara mia zaidi. Baada ya Yesu iamba machechao, kachecha kwa sauti nduve, "Woose msa na ere madu ehechania na ahuchanie."9Tena vanafunzi wakwe vakammbesa maana ya mfano ula, 10Yesu kavavia, "Mwainingwa upendeleo wemanya siri za ufalme wa Ruva, lakini vandu vengi vefindishwa kwa mfani tiki, ili kwamba 'vakamlolia vataloliena vakaishwa vatamanye.'11Na ihai niiyo maana ya mfano shu. Mbeu ni checha la Ruva. 12Mbeu zila zilechonia mbahi ya mkoni vandu vala veishwa ichecha la Ruva, na baadaye mwovu shatani kavasoka ifuma fo moni, ili kwamba vataamini na vaokolewe. 13Kisha na zila zilechonia kwenye mlelia ni vandu vala veishwa ichecha na vakaliambilia kwa furaha lakini veere mri woose ku, veamini kwa muda ufuhi, na wakati wa majaribu veuahi.14Na mbeu zila zilechonia kwenye mhingeni ni vandu vala veishwa checha, lalkini vakaendelea ing`ana vesongwa na mambo meengi na utajiri na ubora wa maisha yahaya lakini vetungama ku. 15Lakini zila mbeu zilechonia hala here ndohe nsha ni vandu vala, vahoo vanyenyekevu na vere moo usha, vakaishwa ichecha na velira sii na liva salama na lira matunda ya uvumilivu.16Luvaha, kuure hata umu, iasha taa kashikia kwa kibakuri ku au ivikia ushiwi ya ktara . Badala ya vevikia kwenye kanara cha taa ili kwamba kila umu anayeingia asha alolie. 17Kwa kuwa kuure nndo chekrika ambacho kitemanyika ku, au nndo choose kilicho sirini ambacho kitemanyika kuvaa kwenye taa ku. 18Kwaacho uve makini uvekeri unhuchania. Kwa sababu aliye nacho, kwakwe neengerwa uhera, Lakini nacho hata etere hata kila knana ere nacho nesokwa."19Baadaye mae yakwe Yesu na mwanandio zakwe vakasha kwakwe velemshika kfuhi ku cha kfa ya isanga wa vandu. 20Na vakandembia, "Mae afo na mwanandio vekeri ho sha vekundi vaklolie vehave. 21Lakini, Yesu kajibu kaamba "Maakwa na vanandie vakwa ni vala vesa veishwa ichecha la Ruva na ilitii."22Ikafumia mfiri imu kati ya mfiri zila Yesu na vanafunzi vakwe valebakia mtumbwi, na kavavia, "Na dutoole kula ng`aata ya ivili ya rivarivali." Vakaandaa mashua yavo. 23Lakini vaanze ifuma hala, Yesu kalaa choo, na kukasha muho mkali ukavasikakakasika kura mringeni, na mashua yavo ikaanza iishwa mringa vakava katika hatari nduve sana.24Badaye vanafunzi wakwe vakasha kwakwe na vakandemwamsa, vakaamba, "Bwana mduve! Bwana Mduve! Dukfui karibu ifa!" Kaamaka kahongolia muho ula na mawimbi ala kula mringeni akahumwa kukasia sii. 25Tena kavavia, "Imani yenu iko wapi? Vakaihova, Vakariiwa, vakaviana kila umu na uchoe, "Shwahashu ni veivi, kiasi kwamba ehongwa na muho, na mringa na ukamtii?"26Vakashika kwenye mri wa Gerasini ukeri upande wa mma ya Galilaya. 27Yesu amashuke na kavacha kwenye ndohe, mndu fulani umu ifuma fo mrini, kasumana nave, na shu mndu nevere nguvuu za mlema. Kwa muda ulehi ekeri erara nguo, na evelaa haishi kwenye mmba, lakini neveishi kwenye makaburi.28Ashike ililya Yesu kalia kwa sauti, na kauwa sumbai mbele yakwe. Kwa sauti nduve kaamba, Choiki ngausa kwafo, Yesu mwana wa Ruva ekeri dooka? Ngikutereva, utangiadhibu nihani" 29Yesu kaamuru roho mavishwa amfume mndu ula, kwa kuwa mara nyiingi yalemsesa. Hata shali ekeri nemfunge na minyororo na ibanwa na ivikwa sumbai ya ulinzi, alemisha vifungo na iendeshwa na mapepo mpaka ksaka kiumi.30Yesu akammbesa, "Rina lafo nani?" kajibu kaamba, "Legioni" Kwa maana mapepo meengi aleingia kwakwe. 31Vakaendelea imsihi utaduamuru duende kwenye ishimo.32Kundi la nguruwe kuveere liveringa dooka ya kilima, dutereva uduruhusu duende dundeingia kwa hao nguruwe. Na akavaruhusu kufanya ado. 33Kwaacho vala mapepo vakamfumia mndu ula na vakaingia kwa vala nguruwe, na lila kundi likadisha kwenye likasookia wa mlima mpaka irivarini na likachonia humo.34Vala vandu vavekeri veveringa wala nguruwe valolie kilefumia, vakadisha na vakafuma taarifa hala mjini na shaa katika miji ulevatengeta. 35Vandu vaushwe ado vakaenda valelolia cho kilefumia, na vakasha kwa Yesu na vakamlolia mndu ula evere mapepo yaliyokuwa yamemtoka.Ekeri alefuma erare nsha na ere akili timamu, echaamie kwenye machende kwa Yesu, na vakaihova36Niilo umu wavo aliyeona kilefumia aleanza ivahadisia wengine jinsi shwahashu mndu aliyekuwa eveongozwa na mapepo aleihairwa. 37Vandu woose wa mkoa wa Wagerasi na maeneo elezunguka valeitereva Yesu afume kwavo kwa sababu vevere na uhova nduve. Na aliingia kwenye mtumbwi ili kauya.38Mndu ula aliyetokwa na pepo alemsihi Yesu aende nave, lakini Yesu kammbia aende na andeamba, 39"Uya kwenye mmba yafo na undetala ala oose piu Ruva ambayo alekrundia'' Shwahashu mndu kaondoka, katangaza koose katika mri woose ambayo Yesu alemrundia kwa ajili yakwe.40Na Yesu kauya, isanga likamkaribisha, kwa sababu woose vekeri vevembeecha. 41Sakulia kasha mndu umu elahuwa Yairo ni umu kati ya viongozi katika Sinagogi. Yairo kauwa machendeni pa Yesu na kumsihi aende mmba kwake, 42kwa sababu neveere na mwana wa kaa umu tu, ere umri wa miaka ikumi na ivili, na nevelwae ekfuhi ifa. Na ekeri akienda, makutano livesukumana dhidi yakwe.43Mfele mwenye nefumia damu kwa miaka ikumi nevekeri ho na aletuma besa soose piu eenda kwa vaanga, lakini kuure hata umu msa alemhaira kuu, 44kasha fo mma ya Yesu na kugusa kaacha vazi lakwe, na ghafla shavi damu ikadumbuka.45Yesu kaamba, "Veivi ambaye angiacha?" Vakalaa woose, Petro kaamba, Bwana mkubwa, isanga wa vandu vesukumana na wanakusonga." 46Lakini Yesu kaamba, "Mndu umu angifura, maana alemanya kure oru wamfuma kwakwa."47Mfele ashikeilolia ya kuwa ekari irika cho arunda ku, akaanza ichechema, kauwa sumbai mbele za Yesu katangaza mbele ya vandu voose nndo cha mteve na kamwacha na shali ave hai shavi. 48Niilo kaamba kwakwe, "Binti, imani yafo yakufanya uve mzima. Enenda kwa Amani."49Akeri akiendelea ichecha hala tiki, mndu umu akasha ifuma kwenye mmba ya kiongozi wa sinagogi, kamba, "Binti yafo aafa. Utamsumbue mwalimu." 50Lakini Yesu ashikeishwa ado, kamjibu, "Utaihove, Amini tiki, na neokolewa."51Niilo aleingia kwenye hiyo mmba, aleruhusu mndu woose aingie fo nave ku, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, ndie akwe mwanamka, na mae akwe. 52Luvaha vandu voose vevere veveiomboleza na kutoa sauti kwa ajili yakwe, lakini akaamba, "Mtakabe kelele, afaa ku, lakini nelae tiki. 53Lakini vakamseka kwa imena, veishi iva ameifa.54Lakini veave, kamwacha mwanamka ula koko, kamlaha kwa sauti, kaamba, "Mwana, inuka" 55roho wakwe ukamuulia, na kaveamka wakato huohuo. Kavaamrisha kwamba, mningeni nndo fulani kwa ili ale. 56Wazazi wakwe vakariiwa, lakini kavaamuru vatavie mndu cho kivekeri chafumia.
91Kalaha vala ikumi na vavili handu hamu, kavaininga uwezo na mamlaka dooka ya mapepo oose na ihaira ndwari. 2Kavaduma vaende kuhubiri ufalme wa Ruva na ihaira ndwari.3Kavavia, "Mtaire nndo choose piu ku kwa ajili ya safari yenu wala fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala besa, wala mtaire ngasu ya kavili. 4Mmba yoose yo nsa mweingia kaeni fosii mpaka lo mwefuma idumbwa loholo.5Na kwa vala vetyekundi ikuambilieni, lo mwefuma fo mrini kwavo, dukedukeni mafumbi fo machendeni kwenu ushuhuda dooka yavo." 6Vakafuma vakaenda ihicha vijijini, vetangasa habari zisha na ihaira vandu kila handu.7Luvaha Herode, mtawala, aleishwa oose yo mesa eletendeka na yo elefumia kashoka sana, cha kfa vandu vanaana veleikimba vakaamba Yohana mbatizaji alefufuka ifuma kwa wafu, 8na baadhi kwamba Elia alevafumia na vengi veamba ni mndu umu wa manabii va kasha valefa kafufuka ifuma fo mbuhoni. 9Herode kaamba, "Ngilememshusha Yohana, lakini shwahashungiiveivi se msa ngiishwe machechao? Na Herode kasengecha mko welolia Yesu.10Wakati vashikeuya vala vesa aleduma, vakammbia kila nndo alerunda. Akavira handu hamu, kaenda emeni mpaka mri welahu Bethsadia. 11Lakini isanga lia za vandu vakaishwa ihusu lihali vakamfata, nave kavakaribisha, na kachecha navo ihusu ufalme wa Ruva, kahaira vala vesa vevelwae.12Mfiri ukaanza isia, vala ikumi na vavili vakanda kwakwe vakaamba, "Via vandu vaende vijiji vya kfuhi na mjini vandesengecha handu helaa na kyao, cha kfa dukeri ksaka kyumu." 13Lakini ve kavavia, "Vainingeni kyao." Vakaamba, "Duure zaidi dukpande dutanidwa mkate na dusamaki duvili ku, isipokuwa duveendeo la kyao kwa ajili ya isanga li la vandu. 14Hevee vasoro na oru elufu tanu hala. Kavavia vanafunzi vakwe. "Vadamireni sumbai machombo aa vandu hamsini kila ichombo.15Kwaacho vakavika ado na vandu vakachamia sumbai. 16Kaira mikate ya itani na samaki zila ivili kasakulia fo dooka ruveni, kaibarikia, kaviteena vipande, kainingia vanafunzi vala ili vavikie mbele ya isanga lia. 17Voose vakala vakahuucha basha, na vipande vila vilebaki vakavisana vakaishura vikabu ikumi na viwili.18Nayo ikava kwamba, ekeri etereva emeni hala, vanafunzi wakwe vevekeri handu hamu nave na kavavesa kaamba hifi "vandu veamba nihani ni veivi? 19Vakamjibu, vakaamba, "Yohana mbatizaji vengi vakaamba Elia, vengi vakaamba ni mndu wa kasha evefiie alefufuka se."20Kavavia, "Lakini nyohonyo mweambanihani ni veivi?" Akajibu Petro kaamba, "Kristo ifuma kwa Ruva." 21Lakini kavakania, Yesu vatandeamba kwa mndu woose piu dooka ya lihali, 22kaamba kwamba mwana wa Adamu lazima ateseke kwa mambo mengi na vameku vemliyaa na vandu va Ruva vaduve na vaandishi, na eshewaawa, na mfiri wa karadu neshefuruka se.23Kavavia voose, "Kolia mndu woose ekundi ifata, lazima ajikane mwenyewe, aire msalaba wakwe kila mfiri, na anifuate. 24Woose ajaribuye kuyaokoa maisha yakwe atayapoteza, lakini woosa apotezae maisha yakwe kwa faida yakwa, atayaokoa. 25Je kitamfaidia chionki mwanadamu, kolia akiupata ulimwengu woose, lakini akapoteza au akapata hasara ya nafsi yakwe?26Woose pi kanloliria aibu nihani na machecha akwa, kwakwe, ve mwana wa Adamuneshemlolirihe aibu lo, na mtukufu wa Baba na malaika vatakatifu. 27lakini ngikuvieni uloi, kuure baadhi yenu mtotoni haadi veonja umauti ku mpaka valolie ufalme wa Ruva."28Ikava sha mfiri nane adi baada ya Yesu ichecha machecha o kwamba kavaira handu hamu vakwa Petro, Yohana na, Yakobo vakaduwa mlimeni indesali. 29Na ekeri katika esali na iitereva, mlolikano wa kyamu chakwe ukailashika, na nguo zila everare zikava ng'waa paa.30Na sakulia, kuveere vasoro vavili evechecha navo! Vevekeri Musa na Elia, 31Nalelolika katika utukufu. Vakachecha ihusu isilia kwakwe jambo ambalo evekfuhi ilimaria fo Yerusalemu.32Luvaha Petro na vala evekeri navo handu hamu valekolia valaa choo veng'urua. Lakini iamka valolia utukufu wakwe na vasoro vavili vevekeri vetotoni handu hamu nave. 33Ikafumia kwamba, vevekeri vefuma kwa Yesu, Petro kammbia, "Bwana"ni nndo ksha kwedu ikaa haadi yadupasa dujenge mri ya vandu varadu haadi. Dutengeneze imu kwa ajili yafo, imi kwa ajili ya Musa, na imu kwa ajili ya Eliya." Alemanya nndo alichokuwa eveambia ku.34Ekeri echecha yohayo, likasha iruhu na likavashikia; na vakainova vashikeilolia vashikwa na itengetwa na iruhu. 36Sauti ikafuma fo iruhuni ikaamba, "Shwahashu ni Mwanakwa msambure mhuchanieni vee." 35Sauti ya ishikeisia, Yesu evekeri emeni. Vakasia sii, na katika mfiri yo valevia mndu woose ku choose piu ku shandu vevekeri cho nalelolia.37Mfiri sho ulefata, baada ya yefuma mlimeni, isanda liduve la vandu vakakoliana nave. 38Sakulia, msoro umu kafuma kiidi ya isanga lia kalia kwa sauti kaamba, "Mwalimu ngikuterevia usakulie mwanakwa, kwa kfa ni mwanaakwa wa emeni. 39Uwoni roho ng'ivishwa yemra, na sa singi hukaba kelele, na pia na yemfanya kasukwa, na ifuma mavia fo dumbuni, ikamsababishia kavaywa naavi. 40Ngilevia vanafunzi vafo vaitereve ifume, lakini valedima ku."41Yesu kavajibu kaamba, "Nyohonyo kizazi kiteamini na ksakilecheka, mpaka indihi ngekaa nanyo na iirana naanyo? Hende mwana sho haadi." 42Msangi ula wakati eesha, roho ya ikamchonsa sumbai na isikasika kwa fujo. Lakini Yesu kaihongolia roho nshafu, kahaira msangi, kamkabidhi kwa ndie yakwe.43Voose walishangaswa kwa ukuu wa Ruva. Lakini vekeri veriiwa voose kwa mambo yo aletendeka, kaamba kwa vanafunzi vakwe, 44"Machecha aa avakae fo maduni kwenu cha kfa mwana wa Adamu nefunwa maokoni mwa vandu." 45Lakini valemanya maana ya machecha o ku, na alerikwa mesoni kwavo ili vateshemanya. Vakaihova immbesa ihusu ichecha lo.46Niilo mgogoro uleanza miongoni mwao i dooka ya veivi eva mshili. 47Lakini Yesu amanye cho vekundi iambia fo mooni kwavo, aleira mwana mnana, na kammbikiya uria sho wakwe, 48na kaamba, "Kolia mndu woose kaambilia mwana mnana sha shwahashu kwa rina lakwa, ang'iambilia nihani se, na aambilia sho ang'duma, cha kfa sho ekeri mnana kati yenu voose niive ekeri mshili"49Yohana akajibu kammbia, "Bwana,dwalolia mndu edishira ipepo kwa rina lafo dukamshingia, cha kfa dukeri nave hamu ku". 50Lakini Yesu kaambia, "Mtashingie cha kfa etekeri kinyume nanyo ni wa kwenu."51Ikafumia kwamba, ilingana na mfiri zivekeri kfuhi mfiri yakwe yeenda mbinguni, kwa uimara eleelekeza kyamu chakwe Yerusalemu. 52Kaduma vajumbe mbele yakwe, navo vakaenda na vakaingia katika kijiji cha Wasamaria ili vamtayarishie mahali. 53Lakini vandu foodo valemwambilia ku, cha kfa alekolya aelekeza kyamu chakwe Yerusalemu.54Vanafunzi vakwe Yakobo na Yohana vashike ilolya lihali, vakaamba, "Bwana ukundi duamuru mocho umashuke sumbai ifuma mbinguni uvakombekombi?" 55Kisha kavahundukia kavahongolia. 56Niilo valeenda kijiji kingi.57Vekeri veenda fo mkoni kwa shia yavo, mndu umu kavavia, "Ngekufuata kila handu waenda." 58Yesu kammbia, "Masisi ere mruma, mache yo afo ruveni ere isambi, lakini mwana wa adamu ere nanga handu herara mdue chakwe."59Niilo alevia mndu ungi, "Ng'fuate". Lakini vee kaambia, "Bwana, ngiruhusu kwanza ngiende nginderika ndie akwa," 60Lakini vee kammbia, "Leka vafu varike vafu vawo, lakini vehave enda undetangaza ufalme wa Ruva kila handu."61Pia mndu ungi kaamba. "Ngikufuata, Bwana, lakini ngiruhusu kwanza ngindeaga vala va kula kaa kwakwa. " 62Lakini Yesu kammbia, kuure mndu, atiaye koko wakwe ichema na ihunduka mma ifaa katika ufalme wa Ruva."
101Baada ya mambo yohoyo, Bwana kashakua sabini vengi, kavaduma vavili vavili wamsongolie kila mri na kundu ekundi ienda. 2Kavavia, "Kilimu ni kiingi, lakini vandu verunda kasi ni vanaana. Kwa ado itereveni moni klimu, ili adume buru vandu verunda katika klimu chakwe.3Endeni katika mri. Sakulieni, ngikdumeni sha ihorima kiidi ya makite aa msudu. 4Mtaire mfuko wa besa, wala mkoba wa mndu eenda shamba, wala viadu, wala mtaidikirie woose mkoni.5Katika mmba yoose piu usa mweenda, kwanza ambeni, 'Amani ive katika mmba ihai.' 6Kolia kure mndu wa amani hoodo, amani yenu yebaki dooka yakwe, lakini kolia hatare, yewa na kwenu. 7Bakini katika mmba yohoyo, leni na inywa cho ksa vefuna maana mrunda kasi astahili mshahara wakwe. Mtahame ifuma mmba ihai muende ingi.8Mri woose piu msa mwaingia, na vakakuambilieni, leni choose piu ksa chehendwe mbele yenu, 9na haireni vandu velwae vesa vekeri fo. Ambieni kwavo, 'Ufalme wa Ruva washa kfuhi nanyo'10Lakini katika mri woose piu msa mweingia, vatavekuambilieni endeni sha katika barabara na ambeni, 11'Hata mori keenge wara kuni machende katika mri yenu duidukaduka dhidi yenu! Lakini mkae mwemanya lihali, ufalme wa Ruva wafuuhiya.' 12Ngakuvieni kwamba mfiri wa hukumu weva ni ustahimilifu zaidi kwa Sodoma kuliko mri shohosho.13Ole kwafo Korazini, ole kwafo Bethsaida! Kolia kazi nduve zilerundika mmba yafo iverundika Tiro na Sidoni, vevetubu kasha sana, vakarar nguo za makunyia na ngurani. 14Lakini yeva usitahamilifu uhera mfiri ya hukumu kwa Tiro na Sidoni uhera yavu. 15Vehave Kapernaumu, wafikiri vekdosa mpaka mbinguni"Ehe, umashuliwa sumbai mpaka kwa varimu.16Sho msa ekhuchanieni nyohonyo anhuchania nihani, na mndu woose piu msa ekuliaeni na nliaa nihani, na msa enliyaa nihani namliyaa ula aleng'duma."17Vala sabini vakauya kwa ikunda, vakaamba, "Bwana, hata mapepo vekutii katika rina lafo." 18Yesu kavavia, "Ngaloliya sishetani lauwa ifuma uwinguni sha ibarangasa. 19Sakulia, ngakuiningeni malmlaka ya evacha shoka na kshusha, na oru woose wa adui, nanga kuure nndo choose piu kwa shia yoose ku cheshekusuruni. 20Hata ado mtakunde tiki kwa lihali, ni kwamba roho zikutiini, lakini kundeni uheraa kwamba marina yenu emaandike mbinguni."21Katika mda ulaula alekunda sana katika Roho Mtakatifu,na kaamba, "Ngikusifu vehave, Ndie, Bwana wa mbingu na uruka, kwa sababu ulerika mambo yahaya kwa vandu vere akili na hekima, kwashukulia vatale findisha, sha vana vanana. Iyee, Ndie, kwa kfa ileshihira fo mesoni kwafo."22Kila nndo kilekabisiwa kwakwa na Ndie wakwa, na kuure msa eishi Mwana niveivi ku ila Ndie, na kuure afahamuye Ndie ni veivi ila Mwana, na woose ambaye Mwana hutamani akrua kwakwe."23Kahundukia vanafunzi, kaamba faraghani, "vamebarikiwa vo valeloliya yahaya yo mesa nyohonyo mteoni. 24Ngikuvieni nyohonyo, kwamba manabii veengina vafalme valetamani ilolya mambo yahaya yo mwalolya, na valealolya, na ihachania ihachania yo mwahachania, waleaishwa ku."25Sakulia, mwalimu fulani wa sharia ya Kiyahudi aletotona na imdaala, kaamba, "Mwalimu, ngivike aja ngirizi uzima wa kasha na tene?" 26Yesu kavavia, "Choiki kikiandike katika sharia? Uisoma aja?" 27Akajibu kammbia, "Wekunda Bwana Ruva wafo kwa moo sho wafo woose piu, na kwa roho yafo yoose piu, kwa oru zafo soose, na kwa mamrasa wafo sha mmbili sho wafo umoni." 28Yesu kaamba, "Wajibu kwa usha. Runda ado na weishi."29Lakini mwalimu, katamani iktalia haki emoni, Kammbia Yesu, "Na mamrasa wakwa ni veivi?" 30Yesu kamjibu kaamba, "Mndu fulani nevekeri esooka ifuma Yerussalemu eenda Yeriko. Kauwa kiidii ya varango, vakamsoka mali akwe piu, vakamkaba vakamcha ekfuhi ifa.31Kwa bahati mobia umu fulani nevekeri esooka na mko shohosho, ashikeimlilia kaiyama kahicha uria ungi. 32Ado ado kahicha Mlawi umu, ashike ishika hala amlolye, kahicha uria ungi.33Lakini Msamaria umu, neveenda safari, kahicha hala evekeri mndu ula alesukumwa kwa huruma. 34Alemkaribia na kamfunga vidonda vyakwe, kamlesiria mafucha na divai dooka yakwe. kamwira kamdosa na dooka ya mnyama sho wakwe, kamkamacha mpaka mmba ya vageni kamhudumia. 35Mfiri sho ulefatia kaira besa dinari ivili, kaingia moni mmba yo ya vageni kammbia, 'Muhudumie na kolia kure nndo chaengereka atumia, ngeshetaa lo ngeuya.'36Ni ungau kati ya hava varadu, wefikiri, evekeri ni mamrasa kwakwe vee aleuwa kiidi ya varango?" 37Mwalimu aleamba, "Ni ula alerora huruma kwakwe Yesu kaambia, "Enda na nave undevika ado ado"38Luvaha vekeri vesafiri vakaingia kijiji fulani, na mfele umu rina lakwe Martha alemkaribisha mmba kwakwe. 39Neveere vavae elahua Mariamu, alechaamia machendeni pa Bwana na ehuchania ichecha lakwe.40Lakini Martha neveere shughuli nyingi za zekora mlo. Kaenda kwa Yesu , na kaamba, Bwana, wejali kwamba vavaakwa ang'cha ngihudumie ngimeni fo? Kwa acho ngammbia asheng'heeka." 41Lakini Bwana kamjibu na kaambia, "Martha, Martha, ure sumbuka dooka ya mambo meengi, 42lakini ni nndo kimu tiki cha muhimu. Mariamu asambura nndo kikeri chema, ambacho cheshekaa kifunwe kwakwe ku."
111Ikafumia wakati Yesu ekerieitereva handu halive, umu wa vanafunzi wakwe kaambia, "Bwana, dufundishe sohoso iitereva shali Yahana alefindisha vanafunzi vakwe.'2Yesu kavavia, Mkaitereva, ambeni 'Ndie, rina lafo litakazwe. ufalme wafo ushe.3Uduninge mkate wedu wa kila mfiri. 4Udusamehe makosa edu, shali sohoso duevasamehe voose valedukosia. utaduongose katika majaribu."5Yesu kavavia, "Ni veivi kwenu eva na uchoe, msa emundea kiyo, ammbie, uchoe teng'iara mikate iradu. 6Kwa sababu kure uchoe wakwa asha luvaadi ifuma shomba, naani ngiire nndo chela ku. 7Na ula sho ekeri mmba kamjibu, utanitaabishe, mlango ngameishinga dwameilaa ktareni ngedima iamka na ikuninga vehave mkate ku. 8Ngakuvieni, japo etekundi iamka na ikuninga mkate shali ukeri uchoe wakwe, cha kfa weendelea imlaha uteere aibu, nesheamka akuininge vapande viingi vya mkate sawa na mahitaji yo afo.9Nahani pia nikuvieni, Itereveni, nanyo mweiningwa; sengecheni, nanyo mwekolia, kabeni hodi nanyo mweruiliwa. 10Cha kfa kila mndu eitereva neambilia, na kila mndu esengecha nekolia, na kila mndu ekaba hodi, mlango weruika kwakwe.11Ni ndie ungau miongoni mwamonu, mwanave amtereva samaki kamninga shoka badala yakwe?. 12Au kamtereva iyai kamniinga kshusha badala yakwe?. 13Kwa acho, kolia nyohonyo mkeri vavishwa mweininga vana venu vindo visha , je si uhera sana Ndie wenu wa mbinguni kwamba ekuiningeni Roho Mtakatifu voo vemtereva?"14Baadaye, Yesu kava nehongolia ipepo, na mndu ere ipepo nevekeri bubu. Ikava pepo lia lishikeimfuma, mndu ula aledima ichecha. Isanga vakastaajabu sana. 15Lakini vandu veengi vakaamba, shwahashu nefuna mapepo kwa Beelzebul, mshili wa mapepo.16Veengi vakamueria na vekundi avarore ishara ifuma mbinguni. 17Lakini Yesu alemanya mavaso avo na kavavia, "Kila ufalme vekuana weva ukiva, na mmba ilekuava yeuwa.18Kolia Shetani eva alekuava, ufalme wakwe wetotona aja? Cha kfa mwaamba ngafuna mapepo kwa Belzebuli. 20Kolia Nahani ngefuna mapepo kwa Belizebul, je wenzenu mwefuna mapepo kwa shia yonkii? Cha kfa hiyai, voo vekhukumuni nyohonyo. 19Lakini, kolia ngefuna mapepo kwa kamnyo ka Ruva, basi ufalme wa Ruva wevashelia.21Mndu ere oru echuche silaha karinga mmba yakwe, nndo vyake vyekaa salama. 22Lakini akivamiwa na mndu ere oru uhera, mndu ula ere oru nemsoka silaha zila zakwe na iira mali ala akwe piu. 23Na msa etekeri handu hamu nahani, ekeri kinyume nahani, na msa etesandiria handu hamu naani netarara.24Ipepo ishafu likafuma mndu, leenda na kasengecha handu hetere mringa ili lihumweo. Kasheva nasheua, neamba, 'ngiuulia hala ngilefuma. 25Kauya na kakoliya mmba ing'haiye na ikakaa usha. 26Ado neenda na indesengecha mapepo engi saba vesa vaviishwa zaidi ya vee emeni, na ivahende veshekaa handu ho. Na hali ya mndu sho yeva ng'viishwa unera kuliko ilivyokuwa mara ya kwanza."27Ikafumia kwamba lo ekeri eamba machecha yahoo mfele fulani kabeeka kwa sauti yakwe ya voose hala isanga wa vandu na kaamba, "Limebarikiwa ndeu yo ilekufee na mavaleo uleonga". 28Lakini vee kaamba, vabarikiwa vala vesa vahuchani ichecha la Ruva na ilitunsa.29Wakati isanga wa vandu lukuumbania na iengereka, Yesu kaanza iamba, "Kizazi kihaki ni kizazi cha uofu. vesengecha ishara, na kuure ishara vesheiningwa zaidi ya ishara yama Yona ku. 30Maana kolia Yona nevere ishara kwa vandu va Ninawi, ni kdo Mwana wa Adamu era ishara kwa kizazi kihaki.31Malaika wa Kusini netotona mfiri wa hukumu na vandu wa kizazi kihaki na ivahukumu vo, kwani ve alefuma katika mwisho wa uruka ili ashe ahuchanie hekima za Solomoni, na haadi here mkuu ihera Solomoni.32Vandu va Ninawi vetotona katika hukumu handu hamu na vandu va kizazi kihaki mfiri wa hukumu veshekihukumu, kwani vo valetubu kwa mahubiri aa Yona, na sakulia, haadi here msa ekeri mkuu zaidi Yona.33Kuure Mndu woose, easa taa na iivikia sumbai kure mlama itelolika au sumbai ya kikabu, ila neasha taa kavikia dooka ya nndo ili kila mndu kahicha adime ilolia mwanga. 34Riso lafo ni taa ya mmbili, riso lafo likava isha basi mmbili sho wafo woose veva katika mwanga. Lakini riso lafo likava liviishwa basi na mmbili sho wafo woose veva kwenye mlema. 35Kwa acho, mumanye ilolia ili saa yo ikeri kiidi yenu itashevikwa mlema. 36Kwa acho luva, kolia mmbili sho wafo woose ukeri saeni, kutere sehemu ire mlema, basi mmbili sho woose weva sava na taa iaka na ifuna saa kwenu."37Ashikeimaria ichecha, Farisayo kamlaha andela kyao kaa kwakwe, nave Yesu kahicha mmba na iva handu hamu navo. 38Na Mafarisayo vakariiwa shali atelesamba maoko kabla yela kyao cha kashini.39Lakini Bwana kavavia, "Nyohonyo Mafarisayo mwesambia sha ya kikombe na vibakuri, lakini kiidi yenu muishwe tamaa na uovu. 40Nyohonyo vandu mtere na ufahamu, lee sho aleumba sha aleumba na mmba fo? 41Iningeni masikini mesa ekeri mmba, na mambo yoose eva mesha kwenu.42Lakini ole wenu Mafarisayo, kwani mwefuma zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboka ya bustani. Lakini mkaacha mambo ya haki na ekunda Ruva. Ni muhimu uhera irunda mesa aa haki na ekunda Ruva bila icha irunda se na yo engise.43He kivi chenu Mafarisayo, kwa kfa mukundi ichaami madenguyo aa mbele fo mmba ya Ruva na iidikirwa kwa salamu za heshima fo tela. 44Hee kivi chenu, kwani muusaani na makaburi etere alama ambayo vandu vechambuka dooka yakwe vetemanya."45Mwalimu umu wa sharia za Kiyahudi kamjibu kammbia, "Mwalimu, cho ksa uamba kiduusi na sohoso piu." 46Yesu kaamba, "Hee kivi chenu, vaalimu va sheria! kwani mweininga vandu mziko miduve vetedima iira, walakini nyohonyo mweacha mziko yoku hata kwa imu ya vimnyo vyenu.47Hee kivi chenu, kwa sababu mwejenga na ivikia kumbukumbu fo makaburi ya manabii' vesa valewaawa na vasahoyo venu. 48Ado nyohonyo mwalolia na ikubaliana na kaso so valerunda vasahoyo venu, kwa sababu hakika valewaa vashili vo vesa mujenga kumbukumbu ho makaburini kwavo.49Kwa sababu yoyoyo nayo, hekima ya Ruva iamba, 'Ngevadumia vashili na mitume navo vevatesa na ivawaa baadhi yamwao. 50Kizazi kihaki chewajibika kwa samu ya vashili vo vesa valewawa tangu iwooka kwa uruka shu, 51Ifuma samu ya Abeli mpaka samu ya Zakaria, alewawa kiidi ya mbuho ya Ruva na patakatifu. Niilo, ngakvieni nyohonyo, kizazi kihaki chewajibika.52Hee kivi vaalimu va sheria sa Kiyahudi, kwa sababu muleira funguo za ufahamu; nyohonyo mumoni mwehicha ku, na vala vekundi ihicha muvashiingia."53Baada ya Yesu ifuma hala, Vaandishi na Mafarisayo valempinga na ibishana nave dooka ya mambo mengi. 54Vakaeria imteka kwa machecha yakwe.
121Kwa wakati shohosho, maelfu mengi ya vandu livekuumbania handu hamu, kiasi cha kuanza ivachana, kawooka iamba na vanafunzi vakwe kwanza, "Kurukukuu manyeni ilolya chachu ya Mafarisayo ambavo ni vanyeesi."2Na kwera na siri yekrika ambayo itefunuliwa ku, wala jambo isa lekrika isa litemanyika ku. 3Na loose mwaamba katika mlema, lehuchaniwa katika mwanga. Na woose mweamba mui fo mmba kwenu kiidi mkakshiingia, etangaswa dooka ipaa loo la mmba yo.4Ngakuvieni mamruya vakwa mtaihove vala vesa vewaa mmbili vakamaa verese nndo kingi verunda ku, 5Lakini ngekukanyeni msa mwemhova. Ihoveni ula msa baada yeva ameiwaa, ere mamlaka yekukumba jehanamu. Niilo, ngikuvieni nyohonyo, ihoveni shohosho.6Je shomoro vatanu fekubwa kwa mabeni avili? hata ado kuure hata umu tiki msa etumlwe mbele za Ruva ku. 7lakini mumanye se, mashui yoo aa madweni imatale piu. Mtaihove. Nyohonyo ni va samani nduve kuliko shomoro veengi.8Ngikuvienu, woose piu msa eng'kiri nahani mbele sa vandu, Mwana wa Adamu emkiri mbele sa malaika wa Ruva. 9Lakini msa enbira mbele sa vandu na vehe nebirwa mbele sa Malaika wa Ruva. 10Woose echecha ichecha iviishwa dooka ya Mwana wa adamu, nesamehewa, lakini woose ekfuru Roho Mtakatifu, esamehewa ku.11Vakakukamacheni mbele sa wakuu wa Masinagogi, vatawala, na vere mamlaka, mtahove dooka na namna ya mwechecha na ijitetea au ni choiki mweamba, 12Kwa kfa Roho mMtakatifu akfindisheni shali mweamba kwa wakati shohosho."13Mndu umu katika isanga akammbia, "Mwalimu, via mwanandie wakwa angiavie urisi wakwa." 14Yesu kamjibu, ni veivi alenvikia ngive mpatanishi kati yenu? 15Niilo kavavia, jihadharini na kila namna ya tamaa, cha kfa usima wa mndu ukeri katika wingu wa vindo ere ku."16Yesu kavavia mfano, kaamba, shamba la mndu umu tajiri lilehende klimu sana, 17na kajivesa fo moni kwakwe kaamba, ngevika aja kwani ngiire handu hekaama klimu chakwa ku? 18Kaamba, ngevika adi. Ngemisha mmba si sakwa nginana na ngijenge nduve, ngidime ikaama fo klimu ki choose na vindo vingi. 19Ngevia nafsi yakwa, nafsi, wajikaamia akiba ya vindo viingi kwa mwaka nyiingi. Humwa, ule, unywe na istarehe."20Lakini Ruva kammbia, vee mndu mlema,kio ki cha luni dukundi roho yo yafo na vindo vyo vyoose uleanda veva vya iki? 21Ni kdo cheva kwa kila mndu ekaama mali na etejitajirisha kwa ajili ya Bwana.22Yesu kavia vanafunzi vala vakwe, kwaaacho ngikvieni mtariiwe dooka ya maisha yenu ya kuwa choiki mwela, au dooka ya mmbili ---yo yenu, ya kuwa choiki mwerara. 23Cha kfa maisha nbi uhera ya kiyao, na mmbili ni uhera ya irarra nguo.24Sakulieni mache wa angani, echema ku wala efuna klimu ku, eere mmba wala ikumbi lekaama kyao ku, lakini ndie wenu evaininga kyao. Nyohonyo mukeri bora kuliko mache fo! 25Ni ungau kati yenu m sa ejisumbua kwamba edima iengera dhiraa imu katika maisha yo akwe? 26Ikava kolia mtedima irunda kando ko kanana ado kekeri karahisi kwa choiki cho msumbukia yo engi?.27Sakulieni maua shali eng'ana. Erunda kazi ku wala esokota ku. Lakini ngakvieni, hata Sulemani katika utukufu sho wakwe woose alerarawa sha hata mojawapo wa yahaya ku, 28shali Ruva nearara usha mara oo aa fo kondeni, mesa luni eho ngama ameikubwa fo mochoni. Lee shi uhera ekurareni nyohonyo? Nyo mure imani ng'nana!29Mtasumbukie dooka ya kuwa choiki mwela au choiki mwenywa wala mtave na hofu. 30Kwa kfa Mataifa oose ya uruka esumbukia mambo avo. Na Ndie wenu neishi kuwa muhitaji yohoyo.31Lakini sengecheni ufalme wakwe kvooka, na yo engi mweengerwa, 32mtaihove, nyohonyo kundi inana, kwa kfa Ndie wenu nekunda kakuniingeni nyohonyo ufalme sho.33Kumbeni mali yo enu na mndeininga masikini, mjirundieni mifuko iteishiwa____hazina ya mbinguni itekoma, handu ambapo varango veteshikaho wala nondo etedima iiharibu. 34Niilo ho here na hazina yafo, niilo na moo sho wafo weshekaa.35Nguo zenu ngiasha zive sing'ifunge na mkanda, na taa zenu muhakikishe kuwa zeendelaa iaka, 36na muve sha vandu vevech Bwana wavo ifuma fo sherehe ya harusi, ili kwamba kashekaba hodi, vedima imruiya mlango wa buru.37Valebarikiwa vala vatumishi, vo vesa Bwana esha avakolie vekeri meso. Hakika efunga nguo yakwa kwa mkanda kamaa avadamire sumbai kwa ila kyao, na kamaa avahudumie. 38Kolia Bwana veshase kwa ikamba lingi kwa ulinzi wa kiyo, au hata ikamba la karadu la ulinzi, kavakolia vekeri tayari, yeva ni heri kwa vatumishi vo.39Uhera ya yohoyo, mmanye lihali, sha moni mmba evemanya saa msa mrango esha, everuhusu mmba yaakwe imishwe ku. 40Veni tayari nyo kwani muishi ni wakati shouki mwana wa Adamu euya ku.41Petro kaamba, ''Bwana, waduvia sohoso dumeni hii mifano, au uvia kila mndu.? 42Bwana kammbiya, ''Ni veivi mdumwa mwaminifu au msa ere hekimaa msa Bwana edima immbikiya dooka ya vatumishi vengi, ili avaavie kiyao chavo kwa wakati muafaka? 43Nabarikiwa mtumishi ula ambae Bwana wakwe kasha nemkolia erunda kila avavaswa. 44Hakika ngakvieni nyohonyo ya kuwa nemmbikia dooka ya mali akwe piu.45Lakini mtumishi ula kaamba fo moni kwakwe, Bwana shu wakwa nekeliwa iuya, ado kaanza ikaba vatumishi vala va ksoro na kfele, kisha kaanza ila, inywa na inangwa, 46Bwana wakwe ula mtumwa nesha katika mfiri eteutegemee na saa eteishi, nave nemdumwa vitumbure vitumbure kamaa nevivikya handu hamu na vo vetevaavaaminifu.'47Mtumishi, msa eishi mapenzi ya bwana wakwe, nave alejiandaa ku wala arunda sava sava na mapenzi akwe emanya fimbo nyiingi. 48Lakini mtumishi eteishi mapenzi yo a bwana wakwe, lakini karunda mesa estahili adhabu, emanywa fimbo ng'nana. Kwa kuwa vee aleningwa vingi, vingi edaiwa ifuma kwakwe, na sho aleaminiwa kwa viingi, kwakwe vyedaiwa viingi uhera.49Ngasha ngisheasa mocho kuni urukeni, na ngitamani ukolie wameiyaka, 50Lakini ngire ubatizo ambao ngishebatizwa, na ngiire ukiva mpaka lo washekamilika.!51Lee mwafikiri kuwa ngilesha ngishehende amani kuni urukeni? Ehe, Ngikuvieni, badala yakwe ngileshehende mgawanyiko. 52Tangu luvaha na iendelie kwera vandu vatani va mmba imu valekuava, voo varadu veva kinyume na vo vavili, na voo vavili veva kinyume na vo varadu. 53Vekuava, ndie neva kinyume na mwana, na mwana neva kinyume na ndie, mae neva kinyume na mwanamka, na mwanamka neva kinyume na mae mama mkwe neva kinyume na vatoi wakwe na vatoi nev kinyume na mama mkwe wakwe.54Yesu kava neevia isanga lia mara mkalolia maruhu afumia fo ndoho, mweamba nyakati za mfua wafuuhiya; na nikdo cheva. 55Na muho ukafumia fo ngaata yo ya klo mweamba kwera mrike ukali, na ni kido cheva. 56Enyi vanafiki, mwedima itafsiri mlilokano wa uruka na uiyana, lakini cheva aja mtedima iutafsiri wakati shu dukeri nasho luuva?57Niiki kila umu wenu atapambanue isa likeri sahihi kwakwe alirunde wakati usa ere nafasi yerunda ado? 58Maana kwaena na mshtaki wafo mbele ya hakimu, jitahidi mpatane na mshatakiwa sho wafo mukeri mkoni atashekukama kwa hakimu, na hakimu akukamache kwa ofisa, na ofisa akumbe magereza. 59Nakuvia, weshefuma fo ku mpaka utae ibeni lo liletiika mpaka senti ya mwisho.
131Kwa wakati shohosho, kuveere na baadhi vandu valemtaarifu dooka ya Vagalilaya vesa Pilato alewa na isasa samu yavo na sadaka savo. 2Yesu kavajibu na kavavia, "Lee mwadhani kuwa Vagalilaya vo vevere sambi kuliko vaagalilaya vengi voose nicho maana valekuliwa na maviishwa ohoo? 3Ehee, ngikuvieni, mtavetubu nyohonyo nanyo na akdo musia sha voo .4Au vala vandu ikumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na uleuwa, mwafikiri vo vovere sambi uhera kuliko vandu vengi katiak Yerusalemu.? 5Ehee nihani ngiamba, lakini kolia mtavetubu, naanyo piu muangamia.6Yesu kavavia mfano shwahashu, "mndu umu evere na mtini ulechongwa foo shambeni kwakwe, kaenda isengecha matunda fo dooka ya mdi sho lakini alekolia kuu. 7Kavia ula mtunza bustani, 'Sakulia, kwa miaka iradu ngilesha ngaeria isengecha matunda ha mdi shwahashu lakiniu ngilekolia ku. Uumanye. Kwani unyamaria ndohe tiki?8Mtunsa bustani kamjibu na kaambia, 'uleke mwaka shwahashu ili ngiuvike boru na iuchemia se dooka yakwe. 9Kolia uta matunda mwaka ujao ni ush; lakini kolia utera matunda, uumanye!"10Luvaha Yesu evekeri efundisha katika imuwafo ya Masinagogi wakati wa sabato. 11Sakulia, evekerifo mama umu ambaye kwa miaka ikimi na minane nevere roho shafu wa udhaifu, na vee elekolia akkoma na here uweso wedima itotona ku.12Yesu ashikeimlolia, kamlaha, kammbia, "Mama, wavikwa huru ifuma kwenye udhaifu wafo." 13Kavikia maoko yakwe dooka yakwe, na mara mmbili wakwe kakuorwa na akamtukuza Ruva. 14Lakini mkuu wa sinagogi alesua kwa kfa Yesu alehaira mndu mfiri wa Sabato. Ado mtavala kamjibu kavavia isanga lia, "Kure mfiri sita ambazo ni lazima irunda kazi. Shioni muhairwe, si katika mfiri ya Sabato.'15Bwana kamjibu na kaambia, " Vanafiki! Kuure kila umu wenu efutwa knongo wakwe au umbe yakwe ifuma krini na iziongoza ikamacha inywa mfiri ya Sabato? 16Ado pia mwanamka wa Abarhamu, msa Shetani alemfumga kwa miaka ikumi na manane, lee cheveva kifungo chakwe kitafutuliwe mfiri ya Sabato?"17Ekeri echecha machecha ohoo, vala voose valemliaa vakalolia aibu, bali isanga loose na vo vengi valeshangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu yo aletenda.18Yesu kaamba, "Ufalme wa Ruva uusani na choiki, na ngedima iulinganisha na choiki? 19Ni shali mbeu ya haradani nsa alefuna mndu umu kandeichonga mndeni kwakwe, na ikang'aana ikava imdi iduve, na mache aa fo mbinguni akajenga mmba zavio fo matavini kwakwe.20Se kaamba, "Ngausanisha na choiki ufalme wa Ruva? 21Ni shali chachu ambayo mfele aleiira na kaisasa va vibimo viradu vya msua hata ukaduusa."22yesu kachambukia kila mji na kijiji mkoni akielekea Yerusalemu na ifindisha. 24Mndu umu kavesa, "bwana, ni vandu vanaana tiki veokolewa ado kavavia, 23"Jitahidi ihiche kwa ihidia mlango usise, kwa sababu veengi veerina na vedima iicha ku.25Mara baada ya mmiliki wa mmba itotona na ishinga mlango, basi mototona shaa na ikaba hodi mlangoni na iamba, Bwana , Bwana, duruiye vee nejibu ku na iamba, ngikuishini nyohonyo ku wala fo mwafuma ku.' 26Niilo mweamba, Dulela na inywa mbele yafo na vehave uledufindisha katika mitaa yedu." 27Lakini vee ekujibuni, 'ngakuvieni, ngikuishini fo mwafuma ku, fumeni kwakwa, nyohonyo mwetenda maviishwa!'28Kweshera na kilio na isaga mayo wakati mweshelolia Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii woose katika ufalme wa Ruva, Lakini nyohonyo mumoni mwakubwa shaa. 29Veshika ifuma mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, na ihumwa katika meza ya kyao cha kashini katikan ufalme wa Ruva. 30Na manya lihali, sha msa atiika neva wa kvooka na wa kooka netiika."31Muda mfuhi baadaye, baadhi ya Mafarisayo valesha vakammbia, "Enda na fuma haadi cha kfa Herode ekundi kuwaa." 32Yesu kaamba, "Endeni mndevia isisi lia la msudu, 'Sakulia, ngidishira pepo na ihaira luni na ngama, na mfiri wa karadu ngetimiza malengo yo akwa. 33katika hali yoose, ni muhimu kwa ajili yakwa iendelea luni, ngama, na mfiri sho wefatia, cheli itekubalika iwaa nabii kwasha na Yerusalemu.34Yerusalemu, Yerusalemu, nihani manabii na ivakaba mawe vala vesa valedumwa kwanu. Mara inagi ngivekundi isandiria vana venu shali vile nguku yesandiria vana vakwe sumbai ya makungo yo akwe, lakini mlelikunda lihali ku. 35Sakulia, mmba yafo ilefundiwa. Nahani ngikuvieni, mwedima inlolia hata mkaamba, 'Alebarikiwa sho neesha kwa rina la Bwana."'
141Ikafumia mfiri ya Sabato, alipokuwa neveenda kaa kwa umu wa viongozi va Mafarisayo ila mkate, navo nevekeri vemdaala kwa kfuhi. 2Sakulia, ho mbele kwakwe hevere mndu msa evesumbuliwa na uvimbe. 3Yesu kavavesa vataalamu katika sharia ya Vayahudi na Mafarisayo, "Lee, ni halali ihaira mndu mfiri ya Sabato, au ehee?'4Lakini voo vakasia sii, kwaacho Yesu kamwacha, kamhaira na kamruhusu aende sakwe. 5Nave kavavia, "Ni veivi kati yenu msa ere mwana au umbe ikachonia kisimeni mfiri ya Sabato hata elemkoocha sha mara imu?" 6Voo vevere uwezo wa ifuma jibu kwa mambo yahaya.7Wakati Yesu aa manye shau vala evalahe kwamba vale shakua videngu vya heshima, kavavia mfano, kavavia, 8"Wakati mwelahwa na mndu harusini, utachaamiye nafasi ya heshima ku, cha kfa yedima ikolia kure mndu ni wa kuheshimiwa ikuhera kuliko vehave. 9Wakati mndu alekulaheni nyo vavili kashika, nekvia vehave, "Mseye shwahashu nafasi yavo," na kisha kwa aibu weanza mra nafasi yo ya mwisho.10Lakini vahave kwalahua, enda uchaamie handu ha mwisho, ili wakati ula aklaha kasha, edima ikuvia vahave, 'Rafiki seria mbekle uhera niilo weva waheshimika mbele ya voose vechaamie handu hamu naave meseni. 11Kwa maana kila mndu ekudosa nemashuliwa, na sho ejimashua nedoswa.'12Yesu pia kavavia mndu elemlaha, 'Kwafuna kyao cha kwaya au cha kashini, utalahe rafiki zafo, au vanandio vafo au jamaa vafo au mamrasa vafo matajiri, ili kwamba voo wasije kuvalaha vahave ukapata malipo.13Badala yakwe, kwafanya sherehe, laha masikini, vilema, viwete na vipofu, 14na vehave webarikiwa, cha kfa vedima ishekutaa ku. Kwa maana weshetawa katika ufufuo wa vesa haki.''15Wakati umu wa vala vesa vechamie meseni handu hamu na Yesu vaishwe ado, nave kavavia, abarikiwe ula msa ela mkate katika Ufalme wa Ruva.!'' 16Lakini Yesu kavavia, "Mndu umu aleandaa sherehe nduve, kalaha vandu veengi. 17Wakati sherehe ishike iva tayari, kaduma mtumishi wakwe indevia vala valahe, 'Shioni , cha kfa vindo vyoose vyameiva tayari.'18Voose, vakaanda itereva radhi. Wa kvooka kavia mtumishi ula, 'Ngileola mcheme, lazima ngiende nginde liloliya. Hai na hai nsamehe.' 19Na ungi kaamba, 'Ngilola jozi tanu za umbe, na nahani ngienda ngindevaeria. Hai na hai uniwie radhi.' 20Na mndu ungi kaamba, 'Ngilealika mfele, kwa acho ngedima isha ku.'21Mtumishi ula kauya kandevia Bwana sho wakwe mambo yohoyo. Ula moni mmba kasua sana kavia mtumishi sho wakwe, enda buru mtaeni na fo mko ya vishoshoro vya mji undehende haadi masikini, vilema, vandu veteloliya na valemavu.'' 22Mtumishi ula kaamba, Bwana , yo mesa waagiza ngameiarunda tayari, na hata luvaha bado kure nafasi.'23Bwana kavia se mtumishi ula, 'Enda katika njia nduve na vishoshoro na uvashurutishe vandu vaingie ili mmba ii iishwe. 24Kwa maana ngivavia, katika vala ngalaha kvooka kure msa eshela sherehe ii yakwa ku.'25Luvaha isanga mduve livekeri lienda handu hamu nave, nave kahunduka kavavia, 26'Kolia mndu kasha kwakwa nave esuiye ndie yakwe, mae wakwe, mfele wakwe, vanandie vakwe vaksoro na vakfele - iyee, na hata maisha yakwe edima iva mwanafunzi wakwa ku. 27Mndu ataveira msalaba wakwe na kasha kuni mmba kwakwa edima iva mwanafunzi wakwa ku.28Maana ni veivi kati yenu, msa ekundi ijenga mnara etechaamia sumbai kvooka akadirie karama na ikaba maisabu kolia nere kila ksa chedima imaa loholo? 29Che sile ado, baada ya yejenga msingi elemwa imaa, vo vesa valelolia veanza immena, 30vakaamba, Mndu shwahashu aleanza ijenga, kava ere oru wemaa ku.'31Au mfalme ungau, ekundi ienda vicheni vandekabana na Mfalme ungi katika vicha, msa etechamia sumbai kvooka na iira ushauri ihusu kolia edima, handu hamu na vandu elufu ikumi akabane na mfa;me sho ungi vandu elfu ishirini? 32Na te sile ado, wakati jeshi lo la vo vengi bado likeri kwasha, eduma balozi andeitereva mashariti aa amani. 33Kwa acho basi, mndu woose kati yenu msa etecha vyoose visa ere, edima iva mwanafunzi wakwa.34Shumbi ni nsha, lakini ikava shumbi yacheza lasa yo yakwe, jinsi yoonki yedima iva se shumbi? 35Ire matumisi kwa ndohe ku wala kwa boru ku. Yekubwa kwasha. Msa ere madu ehuchania na ahuchanie.''
1512Basi vasura na voose na vesa vere sanbi valesha na kwa Yesu ishemhuchania na vaandishi vakang'unya vakaamba, ''Mndu shwahashu ekaribisha vandu vere sambi na hata nela navo."3Yesu kaamba mfano shwahashu kwavo, kaamba 4Niveivi kwenu ere mahorima mia imu na likacheka ho limu echa yo tisini na tisa sakeu, aende andesengecha lia lacheka mpaka alilolie? 5Nave kashika ilikolia ngivikia ho nguru kwakwe kakunda.6Kashika foo kaa, nelana marafiki vakwe na mamrasa vakwe kavavia kundeni handu hamu naani, kwa maana ngakolia ihorima zakwa lilecheka.' 7Ngakuvieni nakdo kwera furaha fo mbinguni kwa ajili ya mndu umu ere sambi katubu, uhera ya vala haki tisini na tisa ambao vetere haja ya yetubu.8Au kure mfele ungau ere besa shilingi ikumi ikacheka ho imu, eteasa taa na ihaya fo mmba na iisengecha kwa bidii mpaka aikorie? 9Kameikolia nelaha mamrasa na marafiki vakwe kavavia kundeni handu hamu naani, kwa kfa ngakolia se besa ya ilecheka. 10Hata ado ngakuvieni kure furaha mbele ya malaika va Ruva kwa ajili ya msa are sambi umu katubu."11Na Yesu kaamba, "Mndu umu eveere na vana vavili. 12Ula mnana kamvia ndie, Baba ninga sehemu ya maliyo nsa ngestahili irisi. Kwa acho kaava mali akwe kwamwao.13Mfiri si nyingi ula mnana kasandiria vyoose erevimiliki akaenda nchi ya mbali, na foodo akatapanya besa zakwe, kwa iola vindo etevihoitaji, na inyanya besa zakwe kwa anasa. 14Nave avekeri ashike itumia vyoose piu shaa nduve ikasha ikaingia kula nchi ya evekeri nave kaanza iva katika uhitaji.15Kaena na kujiajiri emeni kwa umu wa raia wa nchi ila, nave kamkamacha shambeni kwakwe andelisha nguruwe. 16Na ikava etamani ijishibisha kwa makanda waliyokula nguruwe kwa sababu kuure mndu alemninga nndo choose adime ila ku.17Ila ula mwana mnana alipozingatia moyoni mwakwe, kaamba 'ni vatumishi wa ndie akwa vela kyao kiingi cheshika na nihani ngikeri kuni ngishefa shaa! 18Ngiuya ngiende kwa ndiakwa na ngimmbie, "Baba ngakosa dooka ya mbingu na mbele ya meso yafo. 19Ngestahili ilahwa mwana wafo se; ngifanya sha umu wa vatumishi vafo."20Niilo kaondoka kaenda kwa ndie yakwe. Ekeri angali mbali ndie yakwe kamloliya kamlirilia huruma kaenda mteeria kamkumbatia na imbusu. 21Ula mwana kavia, 'ndie nimekosa dooka ya mbingu na mbele ya meso yafo sistahili ilahwa mwana wafo ku.'22Ula ndie kavia vatumishi wakwe, "Ngihendieni upesi vazi likeri bora, mndemrara mumrare na pete mnyoni na fiadu machendeni. 23Mkamaa mndehende ingashe inyooru mndeshisha dule na dukunde. 24Kwa kfa mwanaakwa alekolia aafa nave kumbe ekeri hai. Alekolia aacheka nave alolika se vakaanza ishangilia.25Basi ula mwanae mduve evekeri fo mchemeni. Ekeri mkoni eesha kfuhi na kaa kaishwa sauti za mafina mesha na michezo. 26Kalaha mtumishi umu kammbesa mamba yahaya maana yakwe ni choiki? 27Mtumishi kammbia mnana wafo asha na ndie yafop ashisha ingashe lia inyoori kwa kfa auya salama.'28Mwana mduve kasua kaliyaa ihicha na mmba na ndie kafuma na sha kachecha nave. 29Ila kajibu ndieakwe kaamba, 'Sakulia nihani ngilekutumikia mwaka nyiingui, kuure nanga mfiri ngilekosa amri yafo, lakini uleninga nanga ichana la mburu ku, ili ngidime isherekea na marafiki vakwa ku. 30Lakini asha shwahashu mwana wafo alenyanyasa mali afo oose handu hamu na makahaba wamshishia ingashe inyooru.31Ndie kammbia, 'Mwanakwa, vehave u handu hamu nahani mfiri soose na vyoose visa ngikeri navyo ni vyako. 32Ila ivekeri vyema kwedu ifanya sherehe na ikunda, shwahashu mwanandio wafo alekoli aafa, na luvaha yu hai; aacheka nave alolikase."
161Yesu kavavia se vanafunzi vakwe, "kuveere mndu umu tajiri msa evekeri na meneja, na kaviwa meneja shu wafo enyanyasa mali yaafo. 2Niilo tajiri kamlaha, kammbia, "Ni choiki ki ngiishwe dooka yafo? Funa hesabu ya umeneja wafo, kwa kfa wedima meneja se ku.'3Ula meneja kaamba mooni mwakwe, ngevika aja, maana bwana wakwa anfuna kazi yakwa ya umeneja? Ngiire oru za wechema ku na iitereva ngelolia yahaya. 4Ngemanya ksa ngarunda ili ngafunwa kuni kazi yakwa ya uwakili vandu vanikaribishe kaa kwa mwao.5Ado wakili kalaha vadeni kwa bwana wakwe kila umu kammbia wa kuvooka, 'udaiwa kiasi choiki na bwana wakwa?' 6Kaamba vipimo mia imu vya mafucha akammbia 'ira hati yafo chaamia buru andika hamsini.' 7Kisha kammbia ungi na vehave udaiwa kiasi choiki?' kaamba 'vipimo mia imu vya msua vya ngano.' Kammbia 'funa hati yafo andika themanini.'8Ula bwana kamsifu meneja dhalimu kwa vile aletenda kwa werevu. Kwa kfa vana va ulimwengu shwahashu ni werevu veengi na veshuhulika kwa ujanja na vandu wa upande wavo kuliko shali vekeri vana va nuru. 9Naani ngikuvieni jifanyieni marafiki kwa mali aa udhalimu ili akasheulika uvakaribishe katika makao aa milele.10Msa ekeri mwaminifu kwa lii inangana sana neva mwaminifu katika jambo iduve piu. Na msa dhalimu katika isa likeri inana neva dhalimu kwa isa likeri iduve piu. 11Kolia nyohonyo mtaleva vaaminifu katika mali ya udhalimu ni veivi eshekuamini katika mali ya loi? 12Na kolia mteleva vaaminifu katika itumia mali aa mndu ungi ni veivi eshekuiningeni mesa enu mumeni?13Kuure mtumishi edima itumikia vammi vavili ku, kwa maana esua shu umu kakunda sho ungi, ama nerama na shwahashu na imena sho ungi. Mwedima itumikia Ruva na mali ku."14Basi Mafarisayo, ambao vevekeri vekundi besa vaishwe yohoyo oose na vakammena. 15Na kavavia, "Nyohonyo niilo mwenda haki mbele ya vanadamu, lakini Ruva neono fo mooni yamonu. Kwa kfa latukuka kwa vanadamu kfa leva usuiro mbele za Ruva.16Sheria na manabii vivekerifo mpaka Yohana ashikeisha. Tangu wakati sho, habari nsha za ufalme wa Ruva ukatangazwa na kila mndu kaeria ikuhaka kwa oru. 17Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi imu ya sheria yeulika ho.18Kila esamira mfele na kaalika mfele ungi nezini, nave ealika vee afuma na mmi nezini.19Heveere na mndu umu tajiri erara nguo za rangi ya zambarau na kitani ksha na nevere ekunda kila mfiri utajiri sho wakwe uduve. 20Na masikini umu rina lakwe Lazaro alevikwa getini kwakwe, na nevere vidoda. 21Nave evekeri nevetamani ihucha kwa makombo yo mesa alechonia fo sumbai katika mesa yo ya tajiri ula hata makite akasha akakomba vidonda vila vyakwe.22Ikava ula masikini alefa na kaira na Malaika mpaka kifuheni kwa Ibrahimu. Ula tajiri nave akafa akazikwa. 23Na kula kuzimu ekeri matesoni kainua meso akwe kalolia Ibrahimu kwa kwasha na Lazaro kifuheni kwakwe24Akalia kaamba, 'Baba Ibrahimu, nihurumie umdume Lazaro ashomeke kamnyo kakwe mringeni, auburudishe ulimi wakwa; kwa sababu ngiteswa katika mocho shwahashu.25Lakini Ibrahimu kaamba, "Mwanaakwa kumbuka ya kwamba katika maisha yo afo uleambilia mambo afo mesha, na Lazaro na kdo alekoliya maviishwa ila luvaha nei haadi efarijiwa na vehave unaumizwa. 26Na zaidi ya yohoyo, hehavikye mruma uasha mduve kati yedu, ili vala vesa vekundi ifuma kuni ienda kwenu vatadime wala vandu na kwenu vatadime itoola isha kuni.'27Ula tajiri kaamba, 'Ngikutereva Baba Ibrahimu, kwamba umdume mmba kwa ndiakwa. 28Kwa kfa ngire mwanandiakwa vatanu ili avakanyie, kwa hofu kwamba navo pia veshesha handu hapa pa mateso.'29Lakini Ibrahimu kaamba, 'Vere Musa na manabii. Valeke vavahuchani wavo. 30Ula tajiri kaamba, 'Ehe, Baba Ibrahimu, lakini kolia kavaendia mndu afuma kwa vafu vetubu.' 31Lakini Ibrahimu akaamba, 'Vatavevahuchania Musa na manabii vedima iviwa nndo hata na mndu afufuka ifuma kwa vafu ku.
171Yesu kavia vanafunzi wakwe, "Mambo yasababishayo vandu vatende sambi edim icha ifumia ku, lakini he kivi chakwe mndu esababisha! 2Iveva heri sha mndu sho evefungiwa mkesa ulemeri fo uro amkumbe baharini, kuliko imfanya umu wa vana va vanana vatende sambi.3Kuringeni. Sha mwanandio wafo kakukosea mkanoie, nave katubu msamehe. 4Kolia nakukosea mara saba kwa mfiri umu na mara saba kwa mfiri umu kasha kwafo kaamba, 'ngatubu', msamehe!"5Mitume vakwe vakavia Bwana, "Duengere imani yedu." 6Bwana kaamba, sha muvere imani sha kambegu ka haradarii, muvedima ivi mdi shwhashu wa mkuyu, kuluka na undeng'ana baharini,' nasho uvevatii.7Lakinii veivi miongoni mwenu, msa ere mtumishi msa echema mcheme au eringa mahorima, emmbia lo euya mchemeni, 'Shio buru chaamia ule kiyao? 8Lee emmbia, 'Niandalie kyao ngile, na ukfunge mknda na umtumikie mpaka ngimae ila na inywa. Baada ya hoodo nilo wela na inywa?9Hata emshukuru mtumishi sho cha kfa atimiza ala aamriwa? 10Ado niilo naanyo mkamaa irunda yo mwaagizwa ambeni 'Sohoso ni vatumishi dutestahili. Dwerunda tiki ala dwapaswa irunda.'11Ikafumia kwamba ekeri esafiri eenda Yerusalemu, kahicha mraseni kwa Samaria na Galilaya. 12Ekeri eingia kijiji kimu, foodo kakoliana na vandu ikumi veere ukoma. Vakatotona kwasha. 13Vakalaha kwa sauti vakaamba "Yesu, Bwana duhurumie."14Ashike ivalolya akavavia, endeni kwa makuhani mndekurora." Navo wakati vetenda vakahairwa. 15Umu kati yavo alolie kwamba ameihai, kauya kwa sauti kuu kasifu Ruva. 16Kakaba makoti machendeni kwa Yesu kamshukuru. Vee nevekeri msamaria.17Yesu akamjibu, kaamba, "Lee mwahairwa voose ikumi? Ku vekeri vo vengi tisa? 18Kuure nanga umu alelolika euya ili amtukuze Ruva, isipokuwa shwahashu mgeni?' Akavavia, 19"Totona na uende zafo imani yafo yakhaira."20Ashikeiveswa na mafarisayo ufalme wa Ruva uusha indini, Yesu kajibu kaamba, "Ufalme wa Ruva shi nndo ksa chedima ilolika ku. 21Vala vandu veamba, 'Sakulia haadi! au, 'Sakulia kula kwa maana ufalme wa Ruva ukeri kiidi yenu."22Yesu kavavia vanafunzi vakwe, "Wakati uushika msa ambapo mwetamani iloliya mfiri umu wa mwana wa Adamu, lakini mweilolia ku. 23Veshevavia, 'Sakulia, kula, Sakulia, haadi!, Lakini mtaende mndelolia, wala ivafuata, 24shali umeme wa ibarangasa lelumika fo dooka ruveni likavooka uria umu mpaka uria ungi. Niilo hata Mwana wa Adamu neva ado katika mfiri sho wakwe.25Lakini kvooka yempasa ateseke katika mambo meengi na vemliyaa na kizazi kihaki. 26Shali ivekeri mfiri ya Nuhu, ni ado yesheva katika mfiri ya Mwana wa Adamu. 27Valela, vakanywa, vakaalika na ialikwa, mpaka mfiri ula usa Nuhu aleingia katika safina na ioru likasha vakafiiyafo piu.28Niikdo iveekeri katika mfiri ya Lutu, valela, vakanywa, vakaola na ikumba, vakachema na vakajenga. 29Lakini mfiri ula wa Lutu ashikeifumaa Sodoma, ikakaba mfua ya mocho wa kibiriti ifuma fo uwinguni ikavakomba kombi.30Ado ni ado isheva mfiri ula wa Mwana wa Adamu lo eshefunuliwa. 31Mfiri shohosho utaruhusu mndu msa ekeri kali fo mmba amashuke asheira vindo acha fo kiidi ya mmba. Na utaruhusu mndu ekeri mchemeni auye na kaa.32Mukumbwe mfele wa Lutu. 33Mndu woose piu ekundi iokoa maisha yo akwe neacheza, lakini mndu woose piu echeza maisha akwe neokoa.34Ngakvia, kio cho kwera vandu vavili katika ktara kimu. Umu neirwa na ungi nebaki. 35Kweshera vafele vavili veisa mahemba handu hamu, umu neirwa na ungi nebaki."37Vakamuuliza, "Wapi, Ruva?" Akavavia, "Pale ukeri mzoga, niilo tai hukusanyika kwa pamoja."
181Niilo alevavia mfano wa namna vepaswa iitereva daima na vatadumbue tamaa. 2kaamba, 'Kuuvere hakimu mri fulani, msa eteveihova Ruva na aeveheshimu vandu ku.3Kuveere mfele mkuzu katika mri sho, nve kamfatia mara nyiingi, kaamba, ng'heeka ngikolie haki yakwa shu wakwa'. 4Kwa muda uasha uvekeri tayari imheeka ku, lakini baada ya muda kafikiria fo moni kwakwe, au ngiteheshimu mndu, 5Lakini kwa vile shwahashu mfele mkuzu nensumbua ngemheeka ikolia haki yo yakwe, ili atashe nshokera kwa inshelia mara kwa mara."6Niilo Bwana kaamba, 'Huchanieni choo aamba hakimu shu dhalimu. 7Lee Ruva ehende haki kwa vateule vakwe vemlilia kwaya na kiyoo fo? Lee vee eva mfumilifu kwavo fo? 8Ngakuvieni kwamba nehende uvumilifu kwavo buru. Lakini Mwana wa Adamu kasha, lee nekolia imani kuni uiyameni?'9Niilo kavaviia mfano shwahashu kwa baadhi ya vandu vesa vejilolia vemeni kuwa vere haki vakamena vandu vengi, 10'Vandu vavili valeduwa na mmba ya Ruva isali sho: umu ni Mfarisayo na sho ungi nin msura.11Farisayo ula katotona kaitereva mambo yahaya dooka yakwe emeni, 'Ruva, ngakushukuru kwa vile nihani ngikeri sha vandu vengi ku vesa vesoka, vesa vetekeri vaadilifu, vazinzi au sha msura shu. 12Ngefunga mara kavili kilawiki. Ngefuna zaka katika kila nndo ngakolia.'13Lakini msura ula, aletotolia kwasha, aledima bila hata iira meso asakwe uwinguni ku, kakabakaba ho kfuveni kwakwe kaamba, 'Ruva, ungrehemu nihani ngiire sambi.' 14Ngakvieni mndu shwahashu aleuya na kaa ekeri naletaliwa haki kahera ula ungi, cha kfa kila mndu ekduusa nemashuliwa, lakini kila mndu eenda mbooha einuliwa."15Vandu vakamhendie vana vanana, ili adime ivafura, lakini vanafunzi vakwe valolie ado, vakavashiingia. 16Lakini Yesu kavalaha kwakwe kaamba, lekeni nava vo vanana vashe kwakwa, wala mtavashiingie. Maana ufalme wa Ruva ni wa vandu sha vohovo. 17Amin, ngakvieni, mndu woose ataveambilia ufalme wa Ruva sha mwana ni dhahiri ekaa aungie ku.'18Mtavala umu kavesa, kaamba, 'Mwalimu mwema, ngivika aja ili ngirisi uzima wa kasha na tene?' 19Yesu kammbia, 'Niiki li unlaha mwema? Kure mndu mwema ku isipokuwa Ruva emeni. 20Usiishi amri - utazini, utawae, utaive, utaambe nndo cha uongo, uheshimu ndio na mao afo. 21Ula mtavala kaamba, 'Mambo yahaya yoose nileara tangu ngikeri msangi.'22yesu ashikeishwa ado kammbia, "Kure nndo kumu chapungua ho, lasima ukumbe vindo vyoose ure undeininga masikini, naave wera hazina fo uwinguni -kisha shio, ungifate.' 23Lakini tajiri aishwe ado, alehuzunika sana, kwa sababu evekeri tajiri sana.24Niilo Yesu, amlilie shali ahuzunika sana kaamba, 'Ni jinsi yonki yeva ngiumu kwa mtajiri iingia katika Ufalme wa Ruva! 25Maana ni rahisi sana kwa ngamia ihicha katika itundu la sindano, kuliko tajiri eingia katika Ufalme wa Ruva,'26Vala valeishwa ado, vakaamba, 'Ni veivi taa, edima iokolewa?' 27Yesu kamjibu, 'Mambo mweloliya maumu kwani kwa Ruva oose piu nedima."28Petro kammbia, 'Naam, sohoso dwacha kila nndo dwakfata vehave.' 29Niilo Yesu kammbia, Amin, ngakuvieni kwamba kuure mndu echa mmba, au mfele, au vanandie, au wazazi au vana, kwa ajili ya Ufalme wa Ruva, 30msa eteambilia meengi uhera katika uruka shu, na katika uruka wesha, kasha na tene.'31Baada yevasandiria vala ikumi na vavili, kavavia, 'Sakulia, duduwa ienda Yerusalemu, na mambo oose emaandike na manabii ihusu mwana wa Adamu eendekamilishwa. 32Kwa maana neendevikwa maokoni kwa vandu va Mataifa na vemdaala dhihaka na jeuri, na imfushia macha. 33Baada yemmanya viboko vemuwaa na mfiri wa karadu efufuka.'34Valemanya mambo yahaya, na checha lihali liveirike kwavo, na valemanya mambo aleamba ku.35Ikava Yesu ekfuhi ishika Yeriko, mndu umu etolia nevekeri echamie mbahi ya barabara eitereva msaada, 36ashikeishwa isanga la vandu lihicha kavesa ni choiki kifumia. 37Vakammbia kwamba ni Yesu wa Nazareti nehiicha.38Niilo mndu ula etelolia kalia kwa sauti kaamba, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.' 39Vala vesa vevekeri vechambuka vakamkemia mndu ula etelolia, vakammbia asie. Lakini ve kaengera ilia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, nirehemu.40Yesu katotona kaamuru mndu sho vamhende na kwakwe. Niilo ashike kfuhi na Yesu kammbesa, 41'Ukundi ngikrundie choiki?' Kaamba, 'Bwana, ngikundi ngilolie.'42Yesu kammbia, 'Ukolie ilolia. Imani yafo yakuhaira.' 43Mara yohoyo kalolia ilolia, kamfata Yesu kamtukuza Ruva. Vakashikeilolia lihali, vandu voose vakasifu Ruva.
191Yesu aliingia na ihicha kiidi ya Yeriko. Na hoodo hevere mndu umu elahua Zakayo. 2Msa evekeri mduve wa vasura tena mndu tajiri.3Hevekeri eiria ilolia Yesu ni mndu wa namna yonki, lakini aledima ku cha kfa nivekeri na isanga la vandu, nave nevekeri mfuhi wa kimo. 4Kwaacho katangulia mbele za vandu, kandedua na dooka ya imkui, ilki adime imloliya , kwa sababu Yesu evekeri ihicha mko shohosho.56Wakati Yesu ashike handu hala, kasakwa dooka kaloliya 'Zakayo, mashuka buru, maana luni ni lazima ngisinde kaa kwafo.' 7Kafanya haraka, kamashuka na kumkaribisha kwa furaha. Vandu voose vasheilolia yohoyo, vakang'unya, vakaamba, 'Andechambuka na kumtembelea mndu ere sambi.'8Zakayo katotona kammbia Bwana, Sakulia nusu ya mali yo akwa ngeininga masikini, na kolia ngasoka mndu woose piu nndo, ngemuuria mara kaana.' 9Yesu kammbia luni wokovu washika kaa kwafo cha kfa naave piu ni Mwana wa Ibrahimu. 10Kwa maana Mwana wa mndu aleshesengecha na iokoa vandu valecheka.'11Washikeishwa yohoyo, kaendelea ichecha na kafuna mfano, kwa sababu nevekeri kfuhi na Yerusalemu, na wavo veveishi ya kuwa ufalme wa Ruva uvekeri kfuhi ilolika mara imu. 12Niilo kammbia, 'Ofisa umu aleenda nchi ya kwasha ili andeambilia ufalme na kisha auye.13Kalaha vatumishi vakwe ikumi, kavaininga mafungu ikumi, kavavia ,'fanyeni biashara mpaka lo ngeuya.' 14Lakini vananchi vakw vevemsuiye kwaacho vakaduma vajumbe vaende vamfate na vandeamba, Dukundi mndu shu adutawale ku.' 15Ikava ashikeiuya na kaa baada yeva mfalme, kaamuru vatumishi vala elelolia avachelia besa valahue kwakwe, ili amanye faida yo nsa valekolia katika biashara.16Wa kvooka kasha, kaamba, 'Bwana, ifungu lia lafo lilekolia se mafungu endi ikumi uhera.' 17Shu Ofisa kammbia, vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ukeri mwaminifu kwa jambo linana, wera madaraka dooka ya miri ikumi.'18Wa kavili kasha, kaamba, Bwana, fungu lia lafo lilekolia mafungu matanu.' 19Shu Afisa kammbia, 'Weira mamlaka dooka ya miri mitanu.20Na ungi kasha, kaamba, 'Bwana hoi haadi besa ya yafo, ambayo ngilekheeka ikaama usha ngafungia ktambaeni, 21kwa maana ngileihova cha kfa vehave ni mndu mkali. Wefuna kila ksa utelekivikya na ivuna ksa utelechonga.'22Sho Ofisa kammbia, 'Kwa machecha yo afo umoni, ngikuhukumu, ve mtumishi mmbiishwa. Uveishi kwamba nihani ni mndu mkali, ngeira ksa utelekivikia na ivuna ks ngitelechonga. 23Basi, hali utdelevikia besa yakwa katika benki, ili ngauya ngiire pamoja na faida?24Ofisa ula kavia vandu vala vesa vevetotoni hoodo, 'Msokeni ifungu lo na muingie ula wa mafungu ikumi.' 25Vakammbia, 'Bwana, nere mafungu ikumi.'26'Ngakuvieni, kila mndu ere neinongwa uhera, lakini mndu etere hta kila knaana ere nesokwa. 27Lakini vahava ni maadui vakwa, vesa vetekundi ngive Mfalme wavo, vahendeni haadi muvawae mbele yakwa."28Baada ya yeamba yohoyo, aleendelea mbele kaduwa eenda Yerusalemu.29Ikava ekfuhi ishika Bethfage na Bathania, kfuhi na mlima wa Mizeituni, kaduma vanafunzi vakwe vavili, 30kaamba: 'Endeni katika kijiji ncha mraseni. Mkaingia mwekoli Mwana - punda etembakie bado. Mfutueni, mndemhende kwakwa. 31Kolia mndu ekveseni, 'Niiki mumfuata?' Ambeni, Bwana ere haja na vee."32Vala vesa valedumwa vakaenda vakalolia mwana- punda shali Yesu alivyokuwa alevavia. 33Vekeri veifutua mwana - punda ula moni kavavesa, 'Kwa niiki mufutua mwana punda shwahashu?' 34Vakaamba, 'Bwana emhitaji.' 35Basi, vakamkamadia Yesu, vakaala ngua savo dooka ya mwana punda vakamdosiria Yesu dooka yakwe. 36Ekeri eendaa vandu vakaala nguo zavo fo baribareni.37Ekeri esooka mlima sho Mizeituni, jumuiya yoose ya vanafunzi vala vakaanza ikaba ngululu, na itukuza Ruva kwa sauti nduve, cha kfa ni mambo makuu yo mesa valeloliya, 38vakaamba, 'Niive mbarikiwa mfalme eshelie kwa rina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu dooka.!'39Baadhi ya Mafarisayo katika ho isangeni vakammbia, Mwalimu, via vanafunzi vafo vasie.' 40Yesu kavajibu, kavavia, 'Ngakvieni, koliaa vahava vakasia, mawe yekaba kelele.'41Yesu ashike ishioka mri kaulilia, 42kaamba, laiti uvemanya hata vehave, katika mfiri ihai mambo ambayo ekhendie amani! Lakini luvaha akfika fo mesoni kwafo.43Kwa kfa mfiri iisha ambapo adui vafo vejenga boma kfuhi naavde, na ikutengeta vakshokere ifuma kila uria. 44Vekuchonsiria sumbai vehave na vana vafo. Vekucheli hata iwe limu dooka ya lingi, kwa sababu ulemanya wakati wa Ruva ekeri eieria ikuokoa.'45Yesu kahicha hekaluni, kaanza idishira vala vesa vekumba vindo, 46kavavia, "Ileandikwa, 'Mmba yakwa ikeri mmba ya sala,' lakini nyohonyo mwaalua ni pango la wanyang'anyi".47Kwa ado, Yesu kava nefindisha kila mfiri ho hekaluni. Makuhani vakuu na vaalimu va sheria na viongozi va vandu vevekundi imuwaa, 48lakini valedima ikolia shia yevika ado ku, cha kfa vandu voose vevemhuchania kwa maskini.
201Ikavamfiri umu, Yesu evekeri efindisha vandu Hekaluni na ihubiri injili, makuhani vakuu na vaalimu va Sheria vakamshelia handu hamu na vameku. 2Vakachecha, vakaamba, 'Duvie ni kwa mamlaka omaki urunda mambo yahaya? Au ni veivi sho msa alekuininga mamlaka yahaya?"3Nave kavajibu, kavavi, 'Nanihani pia ngikveseni swali. 4Ngivieni ubatizo wa Yohana. Lee, ulefuma mbinguni ama kwa vandu?'5Lakini vakajadiliana voo kwa voo, yakaama, 'Dukaamba, 'Ulefuma mbinguni, eduvesa, 'Basi, hali dutemwamini?' 6Na dukaamba; ulefuma kwa vanadamu; vandu voose haadi vedukaba mawe, maana voose veamini kwamba Yohana nevekeri Nabii.'7Basi, vakamjibu ya kwamba veishi kundu ilefuma ku. 8Yesu kvavia, '''Wala nihani ngikvieni nyohonyo ni kwa mamlaka omaki ngirunda mambo yahaya ku.'''9Kavavia vandu mfano shwahashu, ''Mndu umu alechonga mcheme misabibu, kalikodish avakulima va msabibu, na kaenda nchi iingi kwa muda uasha. 10Kwa muda ula ubange, kaduma mtumishi wakwe kwa vakulima vala va misabibu, kwamba vamniinge masiro aa shamba lo la misabibu. Lakini vakulima vala va misabibu vakamkaba, vakamuura duhu maoko - maumu.11Niilo kaduma se mtumishi ungi navo vakamkbase, na imtendea vindo viviishwa, vakamuura duhu maoko -maumu. 12Kaduma se wa karadu navo vakamjeruhi na vakamkumba sha.13Nakdo moni wa shamba kaamba, 'Ngevika aja? Ngemduma mwana shu ngimkundi. Labda vemheshimu.' 14Lakini vakulima vala va misabibu vamlolie, vakaviana no kwa vo vakaamba, 'Shwahashu niive mrisi shu. Tumuue, ili urisi wakwe uve wedu.'15Vakamfuna sha ya shamba lo la misabibu vakamuwaa. Lee bwana shamba evarunda choiki? 16Esha avaangamise vakulima vo va misabibu, na eininga mcheme sho vandu vengi.'' 'Navo vaishwe ado, vakaamba, 'Ruva aliaa'17Lakini Yesu kavasakulia, kaamba, ''Lee andiko lihali lire maana yonki?' Iwe valelilyaa vandu vejenga lilesheva iwe la pembeni'? 18Kila mndu euwa dooka ya iwe lo, emishika vitumbure vitumbure. Lakini ula msa lemchonia, lembonda.'19Nikdo vaandishi na vakuu va makuhani valesengecha shia ya yemra saa sohoso, valemanya kwamba alemba mfano sho dhidi yavo. Lakini vakaihova vandu. 20Vakamsakwa kwa makini, vakaduma vedaala vakajifanya voo ni vandu vere haki, ili vadime ikolia ikosa kwa hotuba yakwe, ili vamkamache kwa vatavala na vere mamlaka.21Navo vakammbesa, vakaamba, ''Mwalimu, duishi kwamba uamba na ufindisha mambo aa loi na shi ulebwa na mndu woose ku, lakini vehave ufundisha uloi ihusu shia ya Ruva. 22Lee, ni halali kwedu itaa kodi kwa Kaisari, au ehe?''2324Lakini Yesu kamanya veshemdaala kwa mteko wavo, kavavia, "Ngiroreni dinari. Ibeni n chapa ihi ni ya ma ivi ikeri dooka yakwe?" Vakaamba, ''Ya Kaisari.''25Nave kavavia, 'Basi, iningeni Kaisari mesa ekeri akwe Kaisari, na a Ruva mningeni yo akwe Ruva.' 26Vaandishi na vakuu va makuhani vevere se uwezo we kosia cho ksa aleamba mbele sa vandu ku. Vakariiwa majibu ala akwe na valeamba se nndo choosa ku.27Maata ya Masadukayo vakamshelia, vala vesa veamba kwamba kuure ufufuo ku, 28Vakammbesa, vakaamba, ''Mwalimu, Musa aleduandikia kwamba kolia kure mndu alefiwa na mwanandie msa ere mfele msa etere mwana basi epaswa iira mfele wa mwanandie wakwe na ira nave mwana kwa ajili ya vavae wakwe.29Kuveere na ndugu saba wa kvooka kaalika, kafa alera mwana ku, 30na wa kavili ado. 31Wa karadu kaira ado ado, se vala vengi voose saba valera mwana hata umu ku voose vakafa. 32Baadaye ula mfele pia akafa. 33Katika ufufuo neva mfele wa ivi? Maana voose saba vavekeri valemwalika.'34Yesu kavavia, ''Vana wa ulimwengu shwahashu vealikwa na ialikwa. 35Lakini vala vestahili iambilia ufufuo wa vafu na iingia usima wa kasha na tene vealika wala vealikwa ku. 36Wala vedima ifa se ku, kwa sababu kfa savasava na malaika na ni vana va Ruva, vana wa ufufuo.37Lakini yohoyo vafu vefufuliwa, hata Musa alerora handu katika habari za sakeu, hala alelaha Bwana sha Ruva wa Ibrahimu na Ruva wa Isaka na Ruva wa Yakobo. 38Luvaha, vee ni Ruva wa vafu, bali ni vesa vekeri hai, kwa sababu voose veishi kwakwe.''39Maata ya vaalimu wa Sheria vakamjibu, 'Mwalimu, wajibu usha.' 40Valekaria immbesa maswali engi uhera ku.41Yesu kavavia, ''Ni kwa aja vandu veamba kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi? 42Maana Daudi emoni neamba katika Saburi : Bwana alevia Bwana wakwa: Chaamia koko ki cha klo, 43mpaka ngivikie adu vafo sumbai ya machende yo afo.' 44Daudi nelaha Kristo 'Bwana', basi neva aja se Mwana wa Daudi?''45Vandu voose vevekeri vemhachania kavavia vanafunzi vakwe, 46'Jihadharini na vaandishi, vo vesa vekundi ichambuka verare ngasu ngiasha, na vekundi iidikirwa salamu savo maalum tela na videngu vya heshima kiidi ya mmba ya Ruva na machecha aa heshima handu here sherehe. 47Voo pia vela kyao mmba za vakusu, na vejifanya vesali sala ngiasha. Vahava veambilia hukumu nduve uhera.'
211Yesu kasakulia kalolia vasoro matajiri vavekeri vevikia savadi savo fo azineni. 2Kaloliase mfele umu mkusu evikia masikini mabeni akwe avili. 3Kwaacho kaamba, "Loi ngakvieni, mfele shu masikini mkusu navikia nyiingi kuliko vengi voose piu. 4Vahava voose vafuna zavadi si ifuma katika vila viingi vere lakini mfele shu mkuzu, katika umasikini sho wakwe, nafuna besa soose piu so nsa ere kwa ajili ya kuishi kwakwe."5Wakati vengi vevekeri veamba dooka ya mmba ya Ruva, shali kukpambe na mawe mesha na matoleo, kaamba, 6"Kwa habari ya mambo yahaya yo mesa mwaloliya, mfiri yesha ambayo kwera iwe limu is lechwaa dooka ya iwe lingi isa lilebomolewa ku."7Niilo vakammbesa, vakaamba, "Mwalimu, mambo yahaya efumia indihi? Na ni choiki chewa cha ishara ya kwamba mambo yahaya ekeri kfuhi ifumia?" 8Yesu kavajibu, "Muve vaangalifu kwamba mtalembwe cha kfa veengi vesha kwa rina lakwa veamba, 'Nihani ni vee, 'na 'Muda wafuuhiya.' Mtavafate. 9Mkaishwa vicha, na vuruguvurugu mtaihove, kwa sababu yahaya mambo lazima afumie kvooka, lakini itiika lefumia buru ku."10Kisha kavavia, "Taifa letotona likakabana na Taifa lingi, na ufalme dooka ya ufalme ungi. 11Kwera machechemo maduve, na shaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kwera na matukio etisha na ishara zetisha ifuma fo uvinguni.12Lakini kabla ya mambo yahaya oose, vevikia maoko yo dooka yenu na ivatesa, vakukamacheni handu ha mmba ya Ruva na mageresa, na ivahende mbele za vafalme na vesa vere mamlaka kwa sababu ya rina lakwa. 13Hiyai yekfutulie fursa kwa ushuhuda sho wenu.14Kwa acho amueni fo moni kwenu mtasheandaa utetezi wenu buru, 15Kwaacho ngekuningeni machecha aa hekima, mesa adui zenu woose vetedima ialiayaa au iyakana.16Lakini vazavi vyenu vekuliaeeni, vanandie venu, jamaa venu na marafiki venu, na vewaa maata yenu. 17Vukusukieni na kila umu kwa sababu ya rina lakwa. 18Lakini kuure hata ifili limu fo mdueni kwani lecheka ku. 19Katika ifumilia mwekira nafsi senu.20Mkashelolia Yerusalemu yatengetwa na majeshi, basi mkae mumanya uharibifu ula wakwe wafuuhiya. 21Hoodo vala vakeri Yudea vadishilie mlimeni, na vala vekeri makiidi avilili aa mri vafume fo na matache vesa vekeri kijijini vaingie. 22Maana zihazi ni mfiri sa kisasi, ili kwamba mambo oose yo mesa emaandike adime itimilika.23Hee kivi ch vafele valemwa na kwa vala vesa veosa mfiri yohoyo! Kwa maana kwera ukiva uduve dooka ya uruka sho, na ndusano kwa vandu vahava. 24Na veuwa kwa mcho wa ishuu la kuvili na veirwa mateka kwa uruka sho woose, na Yerusalemu yevachwa na vandu va uruka ungi, mpaka wakati vandu va uruka ungi lo weshehumwa.25Kwera na ishara katika jua, mweri na ngengeri. Na katika nchi kwera na dhili ya mataifa, katika idubwa tamaa kwa ifumana iamia kwa bahari na mawimbi. 26Kwera vandu veuma nguku kwa idumbukwa ni mo kwa iveecha cho kishefumia dooka ya dunia. Kwa maana oru za mbingu wesikwasikwa.27Niilo veshelolia Mwana wa Adamu eisha fo maruhuni katika oru na utukufu uduve. 28Lakini mambo yahaya akavewooka ifumia, totoneni, muinue mdue yo yedu, kwa sababu ukombozi wenu waseriya kfuhi."29Yesu kavavia kwa mfano, "Sakulieni mdini, na midi yoose. 30Ikafuna matavi, mweloliya muweni na mkamanya kwamba kkwari tayari kikeri hafuhi. 31Niilo kdo, mkaloliya mambo yahaya efumia, nyohonyo mkae mumanya kwamba ufalme wa Ruva wafuuhiya.32Loi, ngikvieni, kisasi kihaki chechicha ku, mpaka mambo yahaya oose afumie. 33Uruka na uiyana wehicha, lakini machecha yakwa ehicha ku tukuulu.34Lakini chekusareni mumoni, ili kwamba mioyo yenu itashelemiwa na ufisadi, inangwa, na ihangaika na maisha yahaya cha kfa mfiri sho wesha shavi. 35Sha mtego. Kwa sababu yeva dooka ya kila umu msa eishi kuni urukeni koose.36Lakini muve tayari wakati sho woose, muitereve kwamba mweva imara handu heshika ili muepuke yahaya oose lo eshefumia, na indetotona mbele za Mwana wa Adamu."37Niilo wakati wa kwaya nevefindisha mmba ya Ruva na kiyo evefumia sha, kaenda ikesha handu here mlima welahua wa Mzeituni. 38Vandu voose vakasha shuru kutaharauka ili vamhuchanie fo mmba ya Ruva.
221Baasi sikukuu ya mkate iteleumuka ivekeri kfuhi yo nsa yelahuwa Pasaka. 2Makuhani vakuu na vaandishi vakajadiliana namna yemuwaa Yesu, cha kfa valeihova vandu.3Shetani kaingia kiidi ya Yuda Iskariote, umu wa vala vanafunzi ikumi na vavili. 4Yuda kaenda kujadiliana na vakuu na makuhani na vakuu namna nsa evakabisi Yesu kwavo.5Vakakunda, na vakakubaliana vemtaa besa. 6Vee kakubaliana, na kasengecha fursa yemkabisi Yesu kwavo kwasha na ikundi la vandu.7Mfiri ya mikate ya iteleumuka ukashika, ambapo ihorima wa Pasaka lazima lifunwe. 8Yesu kavaduma Petro na Yohana, kaamba, 'Endeni mndeduandalia kyao cha pasaka ili dushe dushekila.'' 9Vakammbesa, ''Hangaha ukundi dundefanyia ho maandalizi?''10Kavajibu, ''Huchanieni lo muingia mjini, msoro msa echuche mtungi wa mriinga esumana nanyo. Mfuateni mpaka foo mba yo eingia. 11Mkamaa mmbieni moni mmba, "Mwalimu nekuvia, ''Kiko wapi chumba cha wageni ku, ikeri hesa dwela Pasaka na vanafunzi vakwa?"12Kavarora chumba cha ghorofani nsa ikeri tayari. Fanyeni maandalizi kuni.'' 13Niilo vakaenda, na vakakolia, kila nndo kikeri shali alevavia. Niilo vakaandaa kyao cha Pasaka,14Muda ushikeishik kachamia na mitume vala. 15Niilo kavavia, ''Ngire masha nduve yela sikukuu ihai ya Pasaka na nyohonyo kabla yeteswa kwakwa. 16Kwa maana ngakuvieni, ngela se ingi ku mpaka lo yetimizwa katika ufalme wa Ruva.''17Niilo Yesu kaira kikombe, na ashike imha ishukuru, kaamba, ''Ireni kihaki, na muaviana nyo kwa nyo. 18Kwa maana ngakuvieni, ngeshenywa se ku mzao wa msabibu, mpaka ufalme wa Ruva weshesha.''19Niilo kaira mkate, ashike imaa ishukuru kaumisha kavaininga, kaamba, ''Shwahashu ni mmbili wakwa usa ufunwa ni mmbili wakwa usa ufunwa kwa ajili yenu. Rundeni adi kwa inikumbuka nihani.'' 20Kaira kikombe se do ado baada ya kyao cha kiyo kaamba, ''Kikombe kihaki ni agano ihiya katika samu yakwa, nsa ifuluka kwa ajili yenu.21Lakini sakulieni. Ula msa eshenisaliti ngikeri nave ha meseni. 22Kwa maana Mwana wa Adamu kwa loi eienda sakwe shali ilemeiamuliwa lakini he kivi cha mndu sho msa ihicha kwakwe Mwana wa Adamu nesalitiwa!'' 23Vakaanza ivesana vo kwa vo ni veivi sho msa dukeri nave msa erunda shikiro sihasi.24Niilo akafumiamabishano kiidi yavo kwamba ni veivi msa vemhisi ni mduve kuliko voose. 25Kavavia, ''Vafalme ni vandu, va mataifa vere ngula dooka yavo na vala vere mamlaka dooka yavo, velahuwa vashili vashili vatavala.26Lakini itakiwe kabisa ive adi kwani nyohonyo ku. Badala yakwe, leka ula msa mduve kati yenu ave sha mnana. Na ula msa ni wa muhimu uhera ave sha mndu erunda. 27Cha kfa ni veivi mduve, ni ula msa echamia meseni au ni ula msa etumikia? Lee shi ula echaamie meseni fo? Na nihani ngikeri bado kati yenu sha sho etumika.28Lakini nyohonyo niivo vesa muendelea iva nahani katika majaribu yo akwa. 29Ngikuiningeni nyohonyo ufalme, sha vile Ndiakwa aleninga nihani ufalme, 30kwamba mkolie ilaa na inywa meseni kwakwa ho ufalme sho wakwa ukeri. Na mwekaa mchaamie videngu vya enzi muhukumu makabila ikumi na avili aa fo Israeli.31Simoni, Simoni, manya kwamba, Shetani aleitereva akukolieni ili akueleni sha mndu eela ngano. 32Lakini Ngameikuterevia, kwamba imani yafo italemwe. Baada ya yeva wauya see, uimarishe vanandio.''33Petro kaambiya, ''Bwana, ngikeri tayari ienda na vee gerezani na hata kolia vekuwaa.'' 34Yesu kamjibu, ''Ngakuvia Petro, luni ijokoo lefua ku, kabla utankana mara karadu kwamba ungiishi.''35Niilo Yesu kavavia, ''Lia ngikamacheni nyohonyo mtecheche mfuko, au kikabu cha kyao, au viadu, lee kure nndo mleuwa? Vakamjibu ''Kure ku.'' 36Niilo kavavia, ''lakini luvaha, kila msa ere mfuko, na auire handu hamu na kikabu cha kyao. Ula msa etere upanga impasa akimbe ijoho lakwe andeola umu.37Cha kfa ngikuvieni, oose mesa amaandike kwa ajili yakwa lazima atimilike, 'Na aleirwa sha mndu emisha torati.' 38Cha kfa kila kiletabiriwa kwa ajili yakwa kiitimiswa.'' Niilo vakaamba, ''Bwana, sakulia! Hoya mabanfga avili haadi na Bwana kavavia ''eshika.''39Baada ya kyao cha kiyo, Yesu kafuma, shali ivekeri kvaka chakwe cha mara kwa mara neveenda mlima wa Mzeituni, na vanafunzi vala vakamfuata. 40Vashikeishika, kavavia, ''Itereveni kwamba mtaingie majaribuni.''41Kaseria mbahi hanaa kavachaho sha handu mndu ekumba iwe, kakaba makoti kaitereva, 42kamba, ''Ndiakwa, kolia ukundi , tenfundiria kikombe kihaki. Lakini ni shali ngikundi nihani ku,lakini kaoru ni kafo mapenzi afo arundike.''43Niilo malaika alesha ifuma fo mbinguni kamfumia, kamniingia oru. 44Ekeri eitereva kohoi, kaitereva kwa oru uheva, mpaka kavia jasho likava sha machoni maduve aa na samu echonia sumbai.45Ashike iamka ifuma hala eveitereva maombi ala akwe, kasha na hala vanafunzi vala vevekeri, kavalolia vameilaa cha kfa fo moni kwavo kuveere huzuni yamwao, 46na kavavesa, ''Niiki li mwalaa? Amkeni duitereve, kwamba mtasheingia majaribuni.''47Wakati ekeri echecha navo bado, sakulia, ikundi nduve la vandu likafumia, na Yuda, umu wa mitume vala ikumi na vavili evevaongoza. Kasha kfuhi na Yesu kambusu, 48lakini Yesu kammbiya, ''Yuda, lee usaliti Mwana wa Adamu kwa busu?'49Wakati vala vevekeri kfuhi na Yesu valolie ado yohoyo efumia, vakaamba, ''Bwana , lee dukavakaba kwa upanga?" 50Niilo umu wavo kakaba mtumishi wa kuhani mduve, kamtee na kdu cho cha klo. 51Yesu kaamba, ''Yohoyo ifure. Na kaacha kdu kila chakwe kikave hai.52Yesu kaamba kwa kuhani mduve, na kwa vaduve va mmba ya Ruva, na kwa vameku vo valesha kinyume chakwe, ''Lee mwasha sha kwamba mwasha shali maundepambana na varango na mahuri na mabanga? 53Lia dukeri handu hamu mfiri yo yoose kula mmba ya Ruva, mlevikia maoko yo enu dooka yakwa. Lakini ihai ni saa yafo, na mamlaka ya mlema.''54Vakamra, vakamuongoza, vakamhende kaa kwa kuhani mduve. Lakini Petro kamfatia kwa kwasha. 55Baada ya kuwa valeasa mocho katika idumwa lia fo mmba na vashike ichaamia sumbaihandu hamu, Petro kachamia kiidi yavo.56Mtumishi umu wa kfele kamlolia Petro ho evechaamie hevevaa saa ifumana na mocho ula, kamsakuliaa kammbia, ''Shwahashu mndu haadi ekeri handu hamu nave.'' 57Lakini Petro kakana, kaamba mndu mfele nihani ngimuishi ku.'' 58Baada ya muda ufuhi, mndu ungi kamloliya kaamba, ''Vehave ukeri ni umu wavo''. Lakini Petro kamjibu, ''Msoro, nihani ehe.''59Baada ya kama saa imu adi, msoro umu kamsisitiza kaamba, ''Loi kabisa shwahashu mndu pia nekeri handu hamu nave, maana ni Mgalilaya.'' 60Lakini Petro kaamba, ''Msoro, ngiishi nndo uamba ku.'' Na mara, wakati ichecha, ijokoo likafua.61Kahunduka, Bwana kasakulia Petro. Na Petro kakubwa ichecha la Bwana, hala alemmbiya, ''Kabla ya ijokoo litafua luni, wenkana nihani mara karadu.'' 62Kafumia fo sha, Petro kalia kwa ushungu mwiingi.63Niilo vala vasoro vevekeri veringa Yesu, vakamdaala vakamkaba. 64Baada ya yemshikia meso vakammbesa, eamba, ''Lafya! ni veivi sho msa akukaba?'' 65Vakachecha machecha engi meengi kaa kinyume na Yesu na imkufuru ve.66Mara kushike icha shuru, vameku va vandu valekumbania handu hamu, vakuu va makuhani na vaandishi. Vakamkamacha fo barazeni, 67vakaamba kolia vehave ni Kristo, duvie.'' Lakini vee kavavia, ''Kolia ngakuvieni nanga mweamini ku, 68na kolia ngakuveseni nanga mweng'jibu ku.''69Lakini ianza luvaha na iendelia, Mwana wa Adamu neva nachaamia koko cha klo cha oru cha Ruva.'' 70Voose vakaamba, "kwaacho vehave ni Mwana wa Ruva? Na Yesu kavavia nyohonyo mwaamba nihani niive.'' 71Vakaamba, ''Kure se nndo kingi dukundi se sha ushahidi? Cha kfa sohoso dumeni dwaishwa ifuma fo dumbuni kwakwe emeni.''
231Isanga loose likatotona, vakamkamacha yesu mbele ya Pilato. 2Vakaansa imshutumu, vakaamba, ''Dwakolia mndu shu elemba taifa ledu, kwa kukatasa vandu vatatae kodi kwa Kaisari, na neamba kwamba ve emeni ni Kristo, Mfalme.''3Pilato kambesa, kaamba, ''Lee vehave ni Mfalme wa Vayahudi?'' Na Yesu kamjibu kaamba, ''Vehave waamba ado.'' 4Pilato kavia kuhani mduve wa isanga, "Ngwoni kosa kwa mndu shu ku.'' 5Lakini vo vakahika, vakaamba ''Evekeri eshoshia vandu, efundisha katika Uyahudi yoose, ivooka Galilaya na luvaha nei haadi.''6Pilato aishwe yayaha, kaveisurya kolia mndu shu ni wa Galilaya? 7Ashike imanya nevekeri sumbai ya utavala wa Herodi, kamkamacha Yesu kwa Herode, msao ambaye nevekeri Yerusalemu kwa mfiri yohoyo.8Herode ashike imlilia Yesu, alekunda navi chakfa evekundi imlolya kwa mfiri nyingi. Aleishwa habari sakwe evetamani alolye miujisa imu uterundwa na vee. 9Herode kahoji Yesu kwa machecha mengi, lakini Yesu alejibu nndo ku. 10Makuhani vaduve handu hamu na vandishi vakatotona kwa ukali vakamshitaki.11Herode handu hamu na maaskari wakwe, vakamlahilya na mmene, na imrara nguo nsha, kisha va mae vakamura Yesu kwa Pilato. 12Herode na Piulato vakava marafiki iyansa mfiri sho, (Kabla ya hodoho vevesuwane).13Pilato kavalaha handu hamu makuhani vaduve na vatavala va isanga li la vandu, 14Kavavia, ''Mwang'hendie mndu shu shali mndu eongosa vandu varunde uvishwa, na sakulia baa ngimemhoji mbele yenu ngalolia kosa kwa mndu shu ku ihusu mambo oose mesa mwamsitaki vee.15Ehe, wala Herode, kwa maana namuura kwedu, na sakuliya kure choose kosa alelunda kustahili adhabu yewaaa kuu. 16Kwaacho basi ngamwasibu na ngimlekie. 17(Luvaha, Pilato ewajibika ilekia mfungwa umu kwa Vayahudi wakati wa sikukuu).18Lakini voose vakakaba kelele handu hamu, vakaamba, ''Mfineni shu hashu, na mdufutulie Baraba!'' 19Baraba evekeri mndu msaa alevikwa geresani kwa sababu ya uwasi fulani katika jiji na kwa iwaa.20Pilato kavavia see etamani alekie Yesu. 21Lakini voo vakakaba kelele vakaamba, ''Msulubishe, msulubishe.'' 22Kavavesa kwa mara ya karadu, ''Niiki kwani mndu shu narunda uwofu shouki? Ngakolia kosa isa listahili asabu ya kifo kwakwe. Kwa choo ngamaria imwasibu ngemlekia."23Lakini vakhuka kwa sauti nduve, vekundi asulubiwe. Na sauti savo sikamshawishi Pilato. 24Ado Pilato kahamwa ivaininda choo vekundi. 25Kaamlekelia ula veve mkundi msaa alefungwa kwa isababisha ghasia na iwaa. Lakini kafina Yesu kwa matakwa yamwao.26Vekeri veimkamacha, vakara mndu umu alahwa Simoni wa Ukirene, ifumia katika nchi, vakamdika msalaba ili auire, emfuata Yesu.27Isanga iduve la vandu, na vafele vesa vehusunika na iombolesa kwa ajili akwe vevekeri vemfata. 28Lakini kavahundukia, Yesu kavavia, 'Vanavaka va Yerusalemu, mtalilie nihani, ndelieni nyohonyo mumeni na kwa ajili vana venu.29Sakulia, mfiri isha nsa veamba, ''Valebarikiw avesa vekeri vaumba na ndeu sitera vana, na mavele mesa veteleasa. 30Niilo veansa ivia mlima, 'Duangukie, na mafufu 'Adushikie.' 31Maana shali varunda mambo yahaya kwa kdi kvishi cheva aja kwa mdi uumu?''32Vasoro veengi, vahalifu vavili, valekamadwa handu hamu nave ili vavaawe.33Vashike ishika handu helawa Fufu la mdwe, niilo vakamsulubisha handu hamu na vahalifu, umu uria shu wa klo na ungi uria wa kmoso. 34Yesu kaamba, "Ndiakwa, vasamehe, kwa kuwa veishi nndo varunda ku. "Navo vakakaba kura, iava nguo sakwe.35Vandu vekeri vetotoni vesakwa kuni vatavala vee mmena, veamba, ''Aleokoa vengi. Luvaha ajiokoe emoni , shali vee ni Kristo wa Ruva, mteule.''36Askari pia vakammena, vakamserilia vee na vakamninga siki, 37vakaamba, ''Kolia vehave ni mfalme wa Vayahudi jiokoe umoni'' 38Kuvere pia na alama dooka yakwe angiandike ''SHWAHASHU NIVE MFALME WA VAYAHUDI.''39Umu wa vahalifu alesulubishwa alemlahia kaamba, ''Vahave shi Kristo foo? jiokoe umoni na sohoso'' 40Lakini ula ungi kamjibu, emhongolia na kammbia, ''Lee vehave weihova Ruva, foo nave ukeri katika hukumu yohoyo? 41Sohoso dukeri haadi kwa haki, kwa maana sohoso dweambilia kile dustahili kwa matendo yedu. Lakini mndu shwahashu alerunda nndo choose piu kviishwa ku."42Na kaengera, "Yesu, ukumbe uingia katika ufalme wafo.'' 43Yesu kavavia, ''Amini ngivia, luni dukaa handu hamu Paradiso.''44Hodo ivekeri karibu saa sita, mlema ukasha dooka ya uruka shu woose mpaka saa tisa, 45Mwanga wa jua uleruma. Niilo pasia la mmba likagawanyika katikati iwokaa dooka.46Akalia kwa sauti nduve, Yesu kaamba, ''Ndiakwa maokoni kwafo ndaivikia moshuu wakwa,'' Amaye uamba yahaya, akafa. 47Wakati Akida valalie yo alerundika vakalikusa Ruva vakamba, ''Hakika shwahashu nevekeri mndu ere haki.''48Wakati isanga la vandu valesha handu hamu ishuhudia valalia mambo yalerundika, valeuya kuni vakaba vifua fyamwao. 49Lakini marafiki vakwe, na vafele valemfata ifuma Galilaya, valetotona kwa kwsha vesakwa mambo yohoyo.50Sakulia, palikuwepo na mndu elawa Yusufu, msa umu wa barasa, mndu msha na ere haki, 51(evekeri elekubaliana na maamusi au matendo yamwao), Ifuma Armathaya, mri wa Kiyahudi, usa uvekeri uvecha ufalme wa Ruva.52Mndu shwahashu, kamserilia Pilato, kaitereva ainingwe mmbili wa Yesu. 53Kammasha, na kamhorosia sandu, na kauvikia katika kaburi livekeri lishonge katika iwe, isa literere mndu alewahi kuzikwa foo.54Ivekeri ni mfiri ya maandalizi, na Sabato ive fui. 55Vafele, elesha navo ifuma Galilaya, vesa valemfata, vakalolya kaburi na shali mmbili wakwe ulerarwa. 56Valeuya vakaanza iandaa marashi na manukato. Niilo mfiri wa sabato vakahumwa kwa mujibu wa sheria.
241Shuru kure kauriuri mfiri wa kvooka wa juma, valesha na kaburini, vakahende marashi yo valekoliya vaanda. 3Vakakolia iwe lia labiringiswa kwasha na kaburi. 2Vakahicha na mmba, lakini valekoliya mmbili ula wa Bwana Yesu ku.4Ikafumia kwamba, wakati vameishanganyikiwa ihusu lihali, ghafla vandu vavili vakatotonia kiidi yavo verare nguo ng'waa peru. 5Vafele wala vakaishwa hofu na uhova vakanamisha kiyamu sumbai, vakavia vafele vala, "Niiki li musengecha mndu ekeri hai miongoni mwa vafu?6Ekeri kuni ku, ila ameifufuka kumbueni shali alekvikieni ekeri Galilaya, 7kaamba kwamba, Mwana wa Adamu lazima afunwe kwenye maoko aa vandu vere sambi na isulubishwa, na mfiri wa karadu afufuke see''.8Vala vafele vakakumbwa machecha yakwe, 9na vakauya ifuma kaburini na vakandevavia mambo yo oose vala ikumi na imu na vo vengi piu. 10Baasi Maria Magdalena, Joana, Maria mae wa Yakobo, na vafele engi handu hamu navo vakafuna taarifa zihazi kwa mitume.11Lkini ujumbe shu ukalolika sha msaha tiki kwa mitume, na aleamini vafele vala ku. 12Hata ado Petro kaamka, kadisha mteriya kaelekea kula kaburini, kaimahiya na isakuliya fo mmba kaloliya sanda sikeri simeni yakwe. Petro amae kauya na kaa kwakwe, kariiwa ni choiki cho chafumiya.13Na sakulia, vavili miongoni mwavo vevekeri veenda mfiri shohosho katika kijiji kimu chelahua Emmau, ksa kivekeri maili sitini ifuma Yerusalemu. 14Vakajadiliana vo kwa vo ihusu mambo yoose alefumiya.15Ikafumiya kwamba, wakati vekeri vejadiliana na ivesana maswali, Yesu kaseria kfuhi kaambatana navo. 16Lakini meso yo avo aleshiingiwa katika imanya ve.17Yesu kavavia, "Ni choiki nyohonyo vavili mukichecha wakati muchambuka?'' vakatotona hala vakalolika vere huzuni. 18Umu wavo, rina lakwe Cleopa, kamjibu,''Lee vehave ni mndu pekee ha Yerusalemu msa uteishi mambo yo elefumiya foodo mfiri ihai?''19Yesu kavavia, ''Mambo yomaa?'' Vakajibu, ''Mambo ihusu Yesu Mnazareti, msa evekeri nabii, muweza katika matendo na machecha mbele za Ruva na vandu voose. 20Na kwa jinsi nsa vakuu na makuhani na viomngozi vedu valemfuna kahukumiwa kifo na vakamsulubisha.21Lakini duvetumaini kwamba ve edima vavikya huru Israeli. Niilo, kwasha na yahaya yoose, luvaha ni mfiri ya karadu tangu mambo yahaya afumiye.22Lakini pia, maata ya vafele ifuma katika ikundi li ledu vadushangaza, baada yeva kaburini shuru na kutecha. 23Valeuwa mmbili ula wakwe, vakasha, vakaamba kwamba valeloliya maono aa malaika vesa veamba ekeri yu hai. 24Maata ya vasoro vesa duvekeri handu hamu na sohoso vakaenda kaburini, vakakoliya shali vafele vo veamba. Lakini valemloliya vee ku.''25Yesu kavavia, Nyohonyo vandu valema na mure moo ng'lemeri ye amini oose yo mesa manabii vaamba! 26Lee ivekeri lazima Yesu ateseke kwa mambo yahaya, na iingia katika utukufu wakwe?'' 27Niilo ianzia ifuma kwa Musa na manabii voose, Yesu akavatafsiria mambo mesa emuhusu ve katika maandiko yoose.28vashike ishika kfuhi na kijiji kila fo vevekundi ienda, Yesu karunda shali ekundi iendelea mbele. 29Lakini vakamlasimisha, vakaamba ''Kaa handu hamu na sohoso, maana kwameenda kuila na mfiri ni shali wameisia. ''Niilo Yesu kahicha kaenda ikaa navo.30Ikafumia kwamba, wakati veechaamiye navo veela, kaiira mkate, kaubrikia, na kaumisha, kavaininga. 31Niilo mesa avo akaruika, vakammanya, na kavechekia shavi mbele ya meso yo avo. 32Vakaviana voo kwa voo, ''Hivi moo yedu yaaka kiidi yedu fo, wakati ashikeichecha na sohoso hala mkoni, wakati eduruhulie maandiko?"33Vakanyanyuka saa yahaya, na iuya na Yerusalemu. Vakavakolia vala ikumi na umu vakuumbania handu hamu, na vala vevekeri handu hamu navo, 34Vakaamba, Bwana ameifufuka loiloi, na amefumiya Simoni.'' 35Niilo vakavavia mambo mesa afumiya fo mkoni, na namna Yesu shali akrora kwavo katika imisha mkate.36Wakati vechecha mambo yohoyo, Yesu emeni katotona kiidi yavo, na kavavia, "Amani ive kwenu.'' 37Lakini vakaihova na vakaishwa hofu, na vakafikiri kwamba valeloliya roho.38Yesu kavavia, Niiki lii mwafadhaika ado? Niiki lii maswali einuka fo moni kwani? 39Sakulieni maoko akwa na machende yo akwa, kwamba ni nihani ngimoni. Ng'fureni na mulolie. Kwa maana roho iire nyama wala mafuha ku, shali mungioni nihani ngikeri navyo.'' 40Ashikeimaria iamba yohoyo, kavarora maoko akwe na machende yo akwe.41Vekeri bado na furaha ing'sase na iteamini, na istajabu, Yesu kavavia, ''lee mure nndo choose chela?' 42Vakamninga kakpande ka samaki ngioshe. 43Yesu kakiira, kakila mbele yavo.44Kavavia, ''lia dukeri naanyo, ngilekuvieni kwamba oose yo maandike fo sheria yo ya Musa na manabii na zaburi lazima yatimilike.''45Niilo karua akili zila zavo, kwamba vadime imanya maandiko. 46Kavavia, ''Kwamba ileandikwa, Kristo lazima ateseke, na ifufuka se ifuma kwa vafu katika mfiri wa karadu. 47Na toba na msamaha wa sambi lazima uhubiriwe kwa rina lakwe kwa mataifa yo oose, ianza ifuma Yerusalemu.48Nyohonyo ni mashahidi va mambo yahaya. 49Sakulia, ngikuhendieni ahadi ya Ndiakwa dooka yanu. Lakini veecheni haa jijini, mpaka murarwe oru ifuma dooka.50Niilo yesu kavaongoza ifuma sha mpaka vakashika kfuhi na Bethania. Akainua maoko yo akwe dooka, na akavabariki. 51Ikafumia kwamba, wakati ekeri evabarikia, alevacha kairwa dooka ielekea mbinguni.52Baasi vakamwabudu, na vakauya yerusalemu na furaha nduve. 53Vakaendelea ikaa mmba ya Ruva, vebarikia Ruva.