Ngasa: Bible for Yohana

Formatted for Translators

©2022 Wycliffe Associates
Released under a Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Bible Text: The English Unlocked Literal Bible (ULB)
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English Unlocked Literal Bible is based on the unfoldingWord® Literal Text, CC BY-SA 4.0. The original work of the unfoldingWord® Literal Text is available at https://unfoldingword.bible/ult/.
The ULB is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Notes: English ULB Translation Notes
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English ULB Translation Notes is based on the unfoldingWord translationNotes, under CC BY-SA 4.0. The original unfoldingWord work is available at https://unfoldingword.bible/utn.
The ULB Notes is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Below is a human-readable summary of (and not a substitute for) the license.
You are free to:
The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following conditions:
Notices:
You do not have to comply with the license for elements of the material in the public domain or where your use is permitted by an applicable exception or limitation.
No warranties are given. The license may not give you all of the permissions necessary for your intended use. For example, other rights such as publicity, privacy, or moral rights may limit how you use the material.

Yohana

11Hokira kuvete iteta, na iteta aveli kimi na Abaa, na iteta ni aveli Abaa. 2Ishu, Iteta na aveli kimi na Abaa. 3Findo fose filerundika kwa ihitia fee, itaveli ni fe kuvete kindo chose kivelirundika kwi.4Kati kwakwe kuvete uzima, nma uzima wo uveli ni saa ya vandu vose. 5Saa yeaka mlemeni, wala mleme teuleidima iirumia.6Kuvete mndu aveli mtume aduka kwa Abaa, ambao rina lakwe vemwamkua Yohani. 7Aleshaa sha ngoviro aleamba ihusu saa iya, ili lee vose vaamini ihitia fee. 8Yohani aveli nife saa iya kwi, bali ni alesha ili aambe ihusu saa iya.9Iyo hoyo iveli ni saa ya loli ambao ilesha kunu urukeni nayo yemwikia kila umi saa.10Ni aveli kunu urukeni, na uruka uu uleitobirwa kwa ihitia fee, na uruka u teulemmanya. 11Ni aleshaa na findo fyakwe na vandu fakwe tavalemkaribisha.12Namu vaya vengi valemkaribisha, amba ni vaya valemini rina lakwe, namu ivohovo nialevaininga haki yeva kona wa Abaa,. 13Ambao valevonika, shi kwa samu, wala shii ikunda la moo. Bali ni kwa Abaa mweni ikunda lakwe.14Nafe Iteta alerundika moo na kaishi katikati ya motu, na tukaulolea utukufu wakwe sha fe mweni wa kikwa kwe kwakwe alesha iduka kwa Abaa aishule neema na loli. 15Yohana aleshuhudia ihusu fee, na nialeteta kwa sauti nduwe keamba, ''Ishu hoshu nife ngileamba mateta akwe ngeamba,'' uya alisha baada ya kwa ni mtue kuliko ini, namu niavelifo kabla yakwa.''16Hatakuto iduka utimilifu wakwe, sue vose tweiria vesho kipawa baada ya kipawa. 17Namu sheri ilenndwe ihitia Musa. Neema na loli vilesha ihitia Kristo Yesu. 18Tekwete mndu alemlolea Abaa weri wose uya. Mndu fe mweni ambao ni Abaa, alikifuveni kwa Abaa amemrundia amanyikane.1920Na uhou niwo ungoviro wa ma-Yohana weri makuhani na walawi vattetumwa na vayahudi immbesa,''Ife ni vii?'' Bali ihuma huma na taalelea, bali alejibu ''ini shi Kristo'' 21Hokuto vakambesa, ''kwakuto ife ni iviikahindi,'' ife ni Eliya? Kaamba ''ini shife'' Vakaamba ife ni vii? Wejiamba kuta ife mweni?''22Hokuto vakammbia, ''Ife nivii ili tunevaininga ijibu vaya valetutuma;? 23Kaamba, ''ini ni sauti yakwe ya mndu ngilikisekeni;'' 'uroreni mkoo wa Abaa, shakundu mkimbi Isaya aleamba.''24Basi haya kuvete vandu valetumwa iduka kwa Mafarisayo, vakammbesa na iamba 25''Nikili uliininga vandu marina kwakolea ife utali Kristo au Eliya mkimbii?''26Yohani nialevajibu, keamba Niingiliininga marina kwa mringa. Hatakuto katikati ya mwanu aimusi mndu mtamuishi. 27Ishu hoshu nife alisha baada yakwa. Ini tekiveva ngilegese urusu sa fiatu fyakwe'' 28Findo fyo hofyo filerundika Bethania,mwelya mwa Jordani, handu haya Yohani aveliininga marina29Mfiri uya uleiduvisa Yohani alemlolea Yesu kesha kwakwe kaamba, ''Ambulia ibore la ikondi la Abaa lesheiria mbiao ya urukauu! 31Ishu hoshu nife ngileamba mateta akwe, ngeamba, ''Ishu alisha numa ya kwa ni mtue kuliko ini, namu avelifo kabla yakwa. 30Tengivelimwishi fee, hatakuto kilerundika kuto ili amanyike na Vaisraeli, kwamba ngilisha ngiininge vandu marina kwa marina.32Yohani nialeamba, ''Ngilelolea Roho yesoka iduka doka kwa Abaa, yakaa sha mbeta, na ikamtamilia doka yakwwe. 33Ini ngilemmanya kwi hatakuti fe niali ngituma ili ngiininge vandu marina kwa mringa kangivia,''uya walolea Roho ilesoka na ikaa doka yakwe. Isho hosho nifee eininga vandu marina kwa Roho Mtakatifu.' 34Ningalolea na ningaamba kwa ishu hoshu ni kona wa Abaa.35Mfiri uya uleiduvisa see ke lee, Yohani kaimusi na moshivirwa vavili; 36Valemlolea Yesu ketambuka na Yohani kaamba, ''Ambulia ibore la ikondi la Abaa!''37Moshivirwa vavili valemuishua Yohani keamba iya hoa vakamduvisa Yesu. 38Hokuto Yesu alehunduka na ivalolea mavoshirwa vaya vemduvisa, na kavavia, ''mwori choiki''? 39Vakamjibu, ''Rabi'' maana yake ''mwalimu'' iveka kwii? Kavavia, '' Njooni na mlolee'' Hokuto kaenda kalolea handu eka; vale kaa nafe mfiri wo howo, namu ivelisha saa kumi kuti.40Umi kati ya vaya vavili valemwishua Yohani keteta na hokuto vakamduvisa Yesu ni aveli Anderea mwanamae na Simoni Petiri. 41Kamlolea mwanamae na Simoni na kammbia,'' Tumemkolea masihi maanake yeamba Kristo). 42Kamnde kwa Yesu. Yesu kamwambulia na iamba, ''Ife ni Simoni kona wa Yohani'' vekwamkua Kefa'' (maana yakwe Petro).43Mfiri uya uleiduvisa Yesu kaori iukia ienda Galilaya, ni alemlolea Filipi na kammbia, Ngiduvisa ini'' 44Filipi niaveli ni mndu wa Bethania, mri wa Anderea na Petiri. 45Filipi nialemkolea Nathanieli na kambia, Tumemkolea uya Musa aleandika abari yakwe katika sheria na vakimbii. Yesu kona wa Yusufu aduka Nasareti.46Nathanieli kambia, ''Okahindi kindo kishia cheidima idukia Nasareti?'' Filipi kambia, Njio ulolee''. 47Yesu kamlolea Nathanieli kesha kwakwe na kaamba, ''Ambulia Mwisraeli wa loli etete mboru kati yakwe.'' 48Nathanieli kaamba , ''wangimanya kuta ini''? Yesu kamjibu na kambia, ''Kabla Filipo atakwmkua kuli haya shii ya mtini uya, ngivekuweni''.49Nathanieli kajibu, '' Rabi ife ni kona wa Abaa'' ife ni mangi wa Israeli''! 50Yesu kajibu na imbia, kwakuto nilingilekuvia, ''Ngilekulolea shii ya mtini' okahindi weamini? welolea findo firunde vitue kuliko ifi''. 51Yesu kaamba, ''Amini amini ningakuvieni mwelolea fo doka kwa Abaa kweruika na walolea kona va ma Abaa vetua na isoka shii doka ya kona wa Adamu.''
21Kushike sia mfiri isatu, kuvwtw arusi ivo kana ya Galilaya na maeya Yesu nyavelivo. 2Yesu na moshivirw wakwe valealikwa arusini.3Weri uya valeuwa diva, maeya Yesu kammbia, ''vete divai kwi''. 4Mae kavavia verunda choose ekuvieni rundeni. 5Yesu kaalua, mdu mvele ichohocho nichengiva inikuta? Weri wakwa niwengiva ini kutaa.6Kwakuto nikuvete mabiba sita amawe alevikwa aya ili vandu vasammbire mavoko wakati wa sikukuu ya vayahudi, kilalimii liveete ujaso wa nzio ivili na isatu. 7Yesu kavavia; ishureni mringa mabibao amawe'' vakaishura mpaka doka. 8Ihokuto kavavia vatumishi vaya, ''irieni kin do kididi mumkamatie mhudumu wa mesa.'' Vakarunda shakundu valeviwa.9Muudumu uya edua huduma kalola mringa uya kalolea umeva divai, kwakuto tialemanya ni kwi uledukia (kwakuto vandu vaya valetaha mringa nivalemanya kundu ule duka.) 10Kwakuto kamwamkua mweni arusi na. Kwakuto kammbia , ''kila umi navaininge divai ngisha na vakamenangwa nyevaininga divai ya italingisha. Kwakuto ivewairinga divai ya ngisha mpaka kahindi.''11Muujisa wagana ya Galilaya, iveli niivokira la ishara la muujisa aleirunda Yesu ,keshukua utukufu waikwe kwakuto vamoshivirwa wake vaka mlolea mndu mshaa.12Baada yakuto ,Yesu na maewakwe na vana mae vakwe na moshivirwa vakwe vakaenda mriuya wakapernaumu vakaba kifo kwa mviringi vuhi13Kwakuto mfiri uyawa paska ya vayahudi iveli karibu ishike ,kwakuto Yesu kaenda Yerusalemu. 14Kavalolea vekumba umbe,makondi,na mbeta kati ya veroni, na vaya vebadilisha besa nivaveli veroni.15Yesu kaitobira msengewete vikuru,kavadua voose vaveli veroni,na kuveete umbena maikondi kabusua besa za vaya vebadilisha besa naialua mesa sa mwavo. 16Navaya vekumba mbeta kavavia ,dueni vindo vikinasha na ihakuti,lekaneni naifanya numba yama auyakwa nisoko".17Vamoshivirina bakwe vakamanya kumbekiveli kiandike ,wivu wa numba yavo niwengija". 18Vameku vavayahudi vakaamba ,vakammbia ,nihalamayovia werora kwala umerunda vindovi hovi?. 19Yesu kavavia ,ibomeni numbai nanitngeijenga kwa mfiri isatu'20Kwakuto vameku vavayahudi vakaamba ,lile itobirina kwa muda wa mwaka arobaini na ive uliamba niinelibomoa na ilijenga kwa mfiri isatu? 21Kwakuto venyaleteta keamba hekalu kerora kua nimowo wakwe. 22Hatakuto kashikeduka kilomeni,vamoshivirina vakwevakamanya nyaleamba kuto,vakakubali maandiko aya Yesu aveli ameamba.23Ikavakali Yerusalemu mviri uya wa Pasaka ,weri wa sikukuu vanduvengi valeamini rina lakwe.Vashike ilolea isharaiya ya miujisa ya alerunda. 24Hatakuto Yesu alevaamini kwi na munyaleva manya vandu vakwe voose. 25Alekunda mundu woose emmbia ihusu vanadamukini na munyalema nya kindokili ndani ya ngoo ya mwavo.
31Ikava kuvete na Farisayo ambao rina lakwe vemwamkua Nikodemu,ni umii katika wajumbe va barasa la vayahudi. 2Mndu shu hoshuu alimshelea Abaa Yesu kioo na kavavia ,"Rabii,tuishi ni uli mwalimu waduka kwa Abaa,namu twekwete mndu eidima irunda ishara isi sose atamevaa na Abaa".3Yesu kamjibu,"amini ,amini,mndu teidima ihita umangi wa Abaa atamevonika mara ya kavili". 4Nikodemu,kaamba "mndu meidima ivonika kuta kali mmeku? Teidima ihitia ndeumi see kwa mae avonika mara ya kavili,okahindi eidima?."5Yesu kajibu,"Amini,amini mndu atamevonika kwa mringa na kwa ngoo,teidima ihita umangini kwa Abaa. 6Kia kelevonika kwa moo ni moo,na kia kilevonika kwa ngoo ni ngoo.7Utariwa namu ngilekuvia,"ni lasima uvonike mara ya kavili". 8Mkumaa wedukia uraa uya wose wakunda,na sauti yakwe weiishwa ,hatakuto temwishi kundu waduka wala ulienda. Nikuto kilali kila alevonika na ngoo.9Nikodemu kajibu, kwa iamba,"Findo fi hofi fudimika kitaa". 10Yesu kajibu ,"ife ni uli mwalimu wa Israeli nafe tevishi findo fi hofu?. 11Amini,amini mkakuvia,kiya tukiishi twekiamba kwa kia tukelilolea temweuria ungovirou wa motu.12Shakundu ngilekuvieni findo fihofi ha urukeni na temwelolea ni loli,mweidima ilolea ni loli kwalolea ngakuvieni fa fadoka kwa Abaa?. 13Namu tekwete aletua doka kwa Abaa kitalia nifee uya alesoka ,kona wa Adamu.14Shakundu Musa alemwirilia njoka iya kuya ureni,kwa kuto kona wa Adamu ni iasema vamwirilie. 15Ili vose vaya vemwamini vakole uzima wa kirere.16Sha kundu kilshi kutii Abaa alekundaa urukau,hokuto kamdua mwana wakwe mweni,ili kwamba mndu wose emwamini atateke ,bali ave na usima wa kirere. 17Namu Abaa taalemtuma mwanawakwe kunu urukeni ili amrukumie uyana uu. 18Emwamini fee teerukumiwa. Uya etemwamini tayari amemeirukumiwa namu taameliamini rina la kona wa Abaa mweni.19Ilihoki nicho kitevo cha irukumiwa ,namu saa imesha kunu urukeni ,hatakuto vakakunda mleam saidi ya saa namu findo fa mwavo verunda ni fivishwa. 20Kila mndu erunda mavishwa meisua saa wala teesha saeni ili findo fia fivishwa vakwe fitatolikane. 21Hata kuto,fee erunda loli niesha saeni ili irunda lakwe lilolikane larundika kwa ulifu wa Abaa.22Na kutolee,Yesu na moshivirwa valeenda uruka wa Yudea.Fokuto aletumia weri kali navoo na niaveliininga vandu marina. 23Weri wo howo Yohani nafe niaveliiningwa marina fo Ainea kufuli na salimu namu kuvete mringa wingi haya handu vandu vavelisha kwakwe vainingwe marima. 24Namu Yohani teaveli ameriliwa veroni.25Hatakuto kuleadukia isingana kati ya moshivirwa va ma Yohanina myahudi ihusu ya utakaso. 26Vakaenda kwa Yohana vakambia,"Rabi,uya uveli nafe mweha ya mfashi Yordani,uye uleamba findo fakwe,ambulia nialiininga vandu marina na vose valienda vemduvisa.27Yohani kajibu mndu teeidimeiiria kindo choose kiya kitevaa nikia ainingwa iduka doka kwa Abaa. 28Nyue veni mweamba kuwa nialeamba kutii ini shii Kristo ,"na hoto kuto nileamba vangituma mbele yakwe."29Uya ete mwali wa ndoa ni bwana ndoa .kahindi mbuya wa bwana ndoa, aimukia na ihotamia niekunda mnu namu lee sauti ya bwana ndoa.ihoi ni ikunda lakwa lashilea. 30Kitakikane kiongereke, nani kitakikane ngibungue.31Uya aduka doka,nialidoka ya fose ;uya aduka fo uyaneni ni aduka fo uyaneni na nieteta findo fa kunu uyaneni uya aduka fo doka kwa Abaa ni ali doka ya ose. 32Ve inaleamba aya alealolea na na iaishwa hatakuto tekwete eiria ungoviro uya wakwe nialeololea Abaa na waloli . 33Yeye aliye pokea ushuhuda wake amehakikisha kuwa Mungu ni mkweli.34Namu uya mtume na Abaa meteta findo fa maa-Abaa namu teemninga ngoo kwa imibimia. 35Abaa ni emkunda kona na amemninga findo fose mavokoni kwakwe. 36Uya emwamini kona niete uzima wa kirere,hata kuto uya ete mtii kona teeulolea uzima ,bali isua la Abaa lerana nafee.
41Kwakuto Yesu kashike manya mafarisayo vame manya Yesu nyaveli fanya ibatisha zaidi yama Yohana. 2(Kwakuto Yesu tiaveli batisa ila vamoshivirwa vakwe). 3Nyale duka Judea kaenda Galilaya.4Kahindi nuveli niundusha ahite Samaria. 5Nakashika mriuya wa Samaria ,veuamuka sikari,karibu na handu yakobu alemninga mwana wakwe Yusufu.6Nakisima chama Yakobu kiveliho.Yesu nyaveli ameshoka kwaajili ya safari katamia karibu na kisima ,iveliweri wakamsanya. 7Mundu mvele msamaria nyalesha keshe taha mringa ,na Yesu kaambia ,nginingamri nganginye?. 8Namu vamoshivirwa vakwe nivaveli vameenda mrini ineula chao.9Mfele uya kaaambia;niche vakuta ivemya hudi,ingihemba ininmndu mfele Msamaria ,kindo chenywa?namu vayahudi tive sandikana na vasambaria. 10Yesu kaambia,shauveshi karama ya ma Ruva ,na uya alikuvia ngininga mringa,"uveli mhemba ,na nyavelikuninga mringa wete usima.11Mfele uya kaamba ,Abaa tiurile ideveletahira, nakisima nikiasha. wekolea kini mringa weteusima?. 12Hokahindi iveulimtwe kuliko auyamotu Yakobu, aletuninga kisimaki ,navena vanavakwe na mifugo sakwe vakanywa mringa wakisimakii?.13Yesu kaamba ,'woose enywa mringau tieishwa nyotase. 14Kwakuto nauya enywa mringa ngemninga tieshwa nyotase,badala yakwe uya enywa mringa ngemninga weva iyorulilesa mringa hata milele15Mfele uya kammbia,Aba,ngilihemba mringa wona ngitaishe nyotase ,nangitahangaike isha seiha ishteaha mringase. 16Yesu kaambia,ene mwamkue mmiafu alafu uye".17Mfele uya kaambia,'ngetemmikwi' Yesu kaambia,'waamba undusha ,tiwetemmi. 18Namu uveete vasero tano,naisho ulinave shiwavo.Kkwakuto waamba undusha,'.19Mfele uya kaamba,aba angiweni iveni mkimbi. 20Auya motu nivalehamba katikaifumbuli holi.Nanyemuliamba Yerusalemu nihohandu vanduva takiwe nave abudu".21Yesu kaalua mndu mvele ;ngiishina mvirisilishika mtalaki minabuduse Aba haya kidongeni ama Yerusalemu. 22Nywe vandu mliabudu kiamtakiishi , kwakuto swetuliabudu kia tuishi,namuusha waduka kwa vayahudi."23Hatakuto ,weri washa ,nakahindi nihakuti ulali wakati vayaabudu lolinive mwabudu Aba katika roho na loli,namu Aba nyalivasengeta vandu valikuto namunivandu vakwe veabudu. 24Ruva ni ngoo na vayemhemba itakwevamhembe katika roho ya loli.25Mfele uya kaambia ;ngiishi masihi nyalisha ,(nivemwamkua 26Kristo).Ishohosho kasikesha nyetuvia vyoose'. yesu kaambia,'ini uliteta nainu nini".27Weriwo howo vamushivirwa vakwe vakauya.Navovale rina nikili eta na mndu mvele kwakuto tikwete alekaria imbesa,niuorikii?,nanikili uteta nafee?.28Kwakuto mfele uya katelea ideve lakwekaenda mrini kavavia vandu vakwe. 29Etesheni mulole mundu angivia mateta akwe ose ngile arunda,nilolicheva nive Kristo?. 30Vakaduka mrini vaka enda kwakwe.31Weri wakamsanya vamoshivirwa vakwe vaka mmbia,"Rabi jaa chao". 32Nave kavavia,ini ningirile chao mtakiishi nywe". 33Vamoshivirwa vakaviana, ni loli tumeamba ,nikwabaki mweri tano na iduanileva limeshikaa? ningilikuvieni ambulieni tikwete mundu ale mndele jindo choose" nilolivaleinde.34Yesu kavavia ,"chao chakwa niirunda kindokia ngileviwa na uya alengituma na irunda mateta akwe. 35Honiloli timweamba bado mweri tano na chao nicheva kimeva? ningili kuvieni ambulieni mteme sili ngitobire kwa ajili yevuna. 36Isho mwevuna nyeiria besa na iumbira matunda ili ukole usima wa milele .Kwakuto isho mweyaa na sho mwevuna vakundevoose.37Namu matetaa ni aloli ,'uminyeyaa ungika vuna. 38Ngilevatuma vaneinde kindo vatalekirudia vengivakarunda rumate na vengi vakakunda rumate iya ya mwavo.39Vandu vesha kuya mrini veengivalekunda shakundu mfele uya aveliambulia "keambia mateta oose aveliarunda. 40Kwakuto vasamaria vashikesha nivale muhemba vakae nave nakakaa navokwa mfiri ivili41Navengi munu vaka mkunda idukana na mateta akwe. 42Vakammbia mfele uya ,"twakunda shitiki kwa mateta avo,namu sweveni tumehotania,na kahindi tumemanya veni mndu eturia kundu urukeni.43Weriwo ishikeshika mfiri ivili,kaukia kaenda Galilaya. 44Namu vemweni nyaveli ameamba mkimbitive mlolea msha katika mrina kwe mweni. 45Kashikeiduka iduka Galilaya vagalilaya nivale mpokea.Nivaveli vamelolea mateta oose alerunda kuya Yerusalemu weri wa sikukuu namu hatavo nivaveli katika sikukuyo.46Nyaleshase gana ya Glilaya kuya kundu alebadilisha mringa ukava diva .Nikuveete mwana umiina mndu mtine avelele ivo kapernaumu. 47Kashikeishua Yesu nyaleduka Judea kaenda Galilaya , nyaleenda kwa Yesu na imuhembea na sose na muhore mwana wakwe,namu nyaveli karibu ifa.48Nilo Yesu kavavia 'nywe mtamelolea vindo vyadoka vindo mwe virwa timweidima ilolea niyaloli. 49Mwerunga kaamba "sokashi mwanawakwa nyalifa". 50Yesu kaammbia ,"endatiki mwanafo etemwandukini"mundu uya kalolea itetalia niisha Yesu kaenda sakwe.51Werikesoka ,vamoshivirwa vakwe nivalemdu vanaimbia kona wakwe nyali mzima. 52Kwakuto kava veza niindihi alehoaa.Vakammbia ,nihiyo muda wa sasaba ndwari imemlekea"53Nilo auye alemanya na weri uya Yesu aleamba ,"kona wavo nyalina wari."kwakuto vena vana vakwe vakalolea niloli. 54Ikiveli nikindo chakavili Yesu alekirunda kaduke Yudea keenda Galilaya
514Kabla ya ihokuto kuvete sikuku ya vayahudi, na Yesu nyaletwaa ienda Yerusalemu. 2Na kuya bYerusalemu nikuveete shuba kihete nicha makondi, liveli amukuliwa kwaki kwa mwavo. kiebrania, nalo nilete vindo tano. 3Vandu vengi vaveli haya nivaveli nivandu vetelolea, veteidima iimuka, nivaveli valelala haya katika matanoo. ("veveta mringa vabusuliwe.") Kwakuto kona wa maruva nyalesoka kuya mringeni kafura mringa uya. Kwakuto, uyaa aleva wa mbele ihita kabala ya mringa iduliwa nyalevikwa mundu msha iduka kindo kile mra weriwo.5Na mndu ungii aveli luele kwa muda wa mfiri selasini na nane na nyaleveli handuo. 6Yesu kashike mlolea nyalele handuoo nakashikemanya nyaveli amelala ho mfiri uashaa Yesu nyale mmbia, ''niloli uori uve na warii?''7Mundu uya aluele kammbia, '' Aba tingirile mndu, wemmbikia shubeni weri mringa weduka. Weri ngiori ngihite nikete mundu ekaa mbele yakwa.'' 8Yesu kambia, ''imuka alafu uirie isambi lafo uukie.''9Kwakuto mundu uya kahoa, kairia isambilakwe kaukia. Namfiriwo kuveli ni mfiri wa sabato.10Kwakuto vayahudi vakambia mundu uya alehoa, ''linu ni mfiri wa sabato, na tiitakiwe uirie isambi lafo. 11Nave kavavia isho angihora nive angivia ngiirie, ''iria sambi lafo na uende''.12Vakavesa, nivi akuvia iria isambi lafo na uende?. 13Kwakuto, uya alehorwa tialemmanya, namu Yesu nyale ukia kwa siri. Namu nikuveete vandu vengi handu ho.14Kabla ya iho Yesu nyalemkolea mundu uya numbeni kammbia, ''ambulia, umehoa! utarunde mbakase utasherewe na mbaka nduwe zaidi. 15Mundu uya kaenda kanevavia vayahudi Yesu nife alemhora.16Kwakuto, idukana na mateta ohoo vayahudi nivale mtesa Yesu, namu nyale runda matetao mfiri wa sabato. 17Yesu kavavia, auyaakwa nyalerunda kazi naini kahindi ngilakirunda kazi.'' 18Kwakuto vayahudi nivaveli msengeta vambwae shilitiki alemunja sabato, niliale mwamkuwa Ruva aue wakwe, kevanyave nyali kuhelensana na Ruva19Yesu kavavia, ambulieni, kona tieidima irunda bkindo choose bila kiaamlolea aue kerunda namu kia choose Aba ekirunda nicho na kona ekirunda. 20Namu Aba nya mkundi mwana, na nanyemrora kia choose alikirunda na nyemrora vindo vitwe kuliko ivyo ilimsidi irina.21Nashakundu Aba avarukua vaya vamefa naiva ininga vakae hatakuto kona pia nyemninga uya amkundi. 22Namu Aba tiemrukumia mundu woose, na kuto nyamninga mwana vindo vyoose. 23Kwakuto vandu voose vamkunde kona sha kundu kona amkundi Aba. Woose uya atamuori kona tiamuori Aba uya ale mtuma.24Ambulieni, ambulieni, uya ehotania iteta lakwa na imhotania uya aleningituma nyeka kunu urukeni milele na tierukumiwa. Hatakuto nyeva nyahitia ifeni kaenda ikieni.25Ambulieni, ambulieni, ngilikuvieniu mviri ulisha na vayavalefa nive hotania sauti yama kona wa maruva, navoose vaya vehotania niveka.26Nashakundu Aba ete uzima kati yake vemweni. 27Kwakuto nyamninga kona nakae kati yakwe vemweni, na Aba nyamninga kona kaziyo ili na varukumie namu nikona wa ma Adamu.28Mtariwe na ilo, namu mfiri ulisha na vaya voose vali makaburini nive hotania iteta lakwe. 29Navi niveduka nja; Kwavaya va;lerunda mesha vakae na uzima, na vaya valerunda mavishwa varukumiwe.30Tingeidima runda kindu choose iduka kwakwa inimweni, namu shakundu mlingihotania, nikuto ngilirukumimia na irukumia lakwa ni laloli namu tingili sengeta ikunda lakwa, bali ikunda la ma uya alengituma. 31Kwakolea ngekuamba ini mweni, kwakuto ikuamba lakwa tileva nilaloli. 32Nikwetw ungini alingiambaa ini nani loli ngiisi iamba lakwe ihusu ini ni laloli.33Mwatumwa kwa Yohana navenya ambaloli. 34Hatakuto, iteta ngililiiria tileduka kwa mndu. Ngiliamba iyahoa namu idime iokolewa. 35Yohana nyaveli nikoroboi iliaka na ing'ara, namuveli ikundi kwa muda shakundu ilidua saa.36Kindi ngiliamba nikilikituwe kuliko kia cha ma Yohana, kwa rumate Aba angininga isirora, shakundu Aba ale singirora rumateso. 37Shakundu Aba alengituma vemweni nyasilolea ihusu ini. Timle ishue keteta wala timuishi shakundu alali muda woose. 38Tikwete iteta lakwe lekaa kati kwa mwanu namu temwehotania shakundu alengituma.39Mweachungusa mateta akwe mwevikiria kwakwe ni kwete uzima wamilele, na mateta akwe nyerora habari zakwa na 40Timuori mshe kwakwa na mkie milele.41Tingeiria utwe iduka kwa vandu. 42Kwakuto ngiweni timumkundi Ruva ivo ngooni kwa mwanu nywe veni.43Ngasha kwa rina la ma Aba akwa, timwaidima ingikaribisha. Shaungi asha kwa rina lakwe nimveliidima imkaribisha. 44Hokwakuto mweidima kuta? Iiria sifa iduka kwa kilaumi wa mwanu mteidima iiria sifa yeduka kwa Aba wa mwanu?45Mtavikirie ini ngilikusitikini mbele za ma Aba. Alikusitakini nywe ni Musa, namu nywe mwalolea veni msha. 46Kwakolea mveli mhotania Musa, nimuveli ngihotania ini namu nyale andika mateta akwa ihusu ini. 47Kwakolea mteamini shakundu aleandika, mweidima kuta iamini mateta akwaa?.
61Imevaa findo fo hofole, Yesu nialeenda urua wa mringa wingi wa Galilaya, nayosee veiamkua mringa wingi wa Tiberia. 2Mkutano utue uvelimduvisa namu valelolea ishara alesirunda kwa vaya vavelwele. 3Yesu nialetua doka uraa wa doka wa kidongea na kahuma fo na moshivirwa vakwe.49Na paska, sikuku ya vayahudi iveli imesha kufuhi) 5''Tweenda kwi tuneula mkate ili iva vaidie iyaa?'' 6(Hata kuto Yesu nialeamba iya hoa kwa Filipi kwa imjaribu namu fe mweni naishi kiyaa erunda).7Filipi kamjibu ''Hata kuto mkate ya besa dinari mia iuvili tesilishika kila umi ainingwe kiranjwe kididi.'' 8Andrea kali umi wa moshivirwa vakwe mwanamae na Simoni Petiri kambia. 9Yesu, ''kwete msero ali hakuti ete mkate tanu na samaki vavili, hata kuto yevashika choiki vandu va vengi kutii?''10Yesu kavavia, ''vatamire vandu shii (kuvete maraa mengi handu haya) Hokuto vasero veshika elfu tanu vakatamia shii. 11Hokuto Yesu kairia mikate sia tanu kasihembea kavagawaia vaya vavetamile. Kutokuto kavagawia samaki shakundu kila umi aveori. 12Vanda vashikeyuta, nialevavia moshivirwa vakwe, ''Viumbireni viranjwe fia fabaki, kitateke hata chose kia''.13Hokuto vakahumbira na iishura vikabu ikumi na vivili firanjwe va mkate tanu ya shayiri firanjwe valesara vaya valeya. 14Hokuto vandu vashikelolea ishara ihoi alerunda valeamba ''Ni loli ishu hoshu nifee mkimbi uya alishaa kunu uyaneni'. 15Yesu kashikemanya vaori vamree ili vamrudie ave mangi wa mwavo, aleka kwasha navoo, tena katua kidongeni fee mweni".16Ishikeshika kwakwa ini, Moshivirwa vakwe valesoka veenda ibashubashuni la mringa. 17Vakatua mbongoni na vaveli runduka vaende Kapemaumu (mlema uveli umesha na Yesu taamesha kwa mwavo). 18Weri uya mkumaa uvavi uvelishaa, na mringo uvelichafuka.19Moshivirwa vakwe see vaveli valekaba makasia ishirina tanu au selasini, vakamlolea Yesu ketambuka doka ya mringa wingi kesha kufuhi na mbongo na vakaihova. 20Hokuto kavavia, ''Ni nini, mtaihove''. 21Hatakuto vaveli undusha ili vamkutike mbongoni, na weri wo mbongo uya uuleshika uruka uya vavelienda.22Mfiri uya uleiduvisa, mkutano uveimusi ura wa mringa wingi valelolea tekwete mbongo ungi kiti na uya Yesu na moshivirwa vakwe vatameutua hata kuto moshivirwa vakwe valeenda kwa mwavo vo veni. 23(Kuvete baadhi ya mbongoo siledukia Tiberia kufuhi na handu haya valeyaa mate baada ya Abaa iuhembea).24Weri uya irindu la vandu lilemanya shi Yesu wala moshivirwa wakwe vaveli kuyaa, vo veni valetua kati ya mbongo vakaenda Kapernaumu venduvisa Yesu. 25Vakashike imkolea uraa uya ungi wa ibashubashuni la mringa vakambesa, ''Rabi niuleshaa indihi kunuu?".26Yesu kavajibu, kavavia amini amini mlingiduvisa ini, shi shakundu mleloloea ishara, nili mleyaa mkate na iyuta. 27Teni ikurundia chao rumate nacho cheharibika, bali mkirundie rumate chao lia chekaa na mkuu na kirere kia kona wa Adamu alekuningeni. Namu Abaa niamevakia mhuri doka yakwe''.28Hokuto vakambia, ''Ni choiki uori turunda ili turunde rumate sa Abaa? 29''Yesu kajibu, "Ihoi niyo rumate ya Abaa; kwamba mumuamini uya alengituma".30Hatakuto vakambia, '' Ni ishara sivi weturundia, ili tusilolee na tukuamini? Werunda kii?. 31Auya motu valeya mana ureni, shakunu kivelikiandike,"Alevaininga mkate iduka doka kwa Abaa ili vayee''.32Hokuto Yesu kavajibu , " Amini, amini shi Musa alevaininga mkate iduka doka kwa Abaa, Bali ni auyakwa nifee alekuningeni mkate wa loli iduka doka kwa Abaa. 33Namu mkate wa Abaa niuya wasoka iduka doka kwa Abaa na iuninga uyana u uzima. 34Ikava vakambia, "Abaa utuininge mkate uweri wose".35Yesu kambia, " ini nife mkate uya wa uzima, uya esha kwakwa teeliwa na haratu na uya engiamini teeishua nyota kabisa. 36Namu ngilekuvieni lee, mlengilolea, na bado temlengiamini. 37Vose Abaa alengininga vesha kwakwa, na mndu wose asha kwakwa tengemkiria njaa kabisa.38Namu ningasoka iduka doka kwa Abaa, shi ngishe ili ngirunde findo fakwa mweni, bali ngirunde findo fa mauya alengituma. 39Na iya hoa nio akundu ngimrundie uya alengituma yanilee ndamtese hata umi vaya ulengininga, bali ngivarukue mfiri uya wa mwisho. 40Namu iya hoa nia Abaa akundi, yanilee uya wose emwambulia kona na imwamini, ainingwe uzima wa kirere, nani ningemrukua mfiri uya wa mwisho.41Hokuto vayahudi vakaing'unia imhusu fee kitevo nialeamba lee, ''ini nini mkate wa duka doka kwa Abaa. 42Vakaamba, ''Ishu shi Yesu kona wa Yosefu, ambao auwe na mae tu mwishi? cheva kuta kahindi aambe, ''Nningasoka iduka doka kwa Abaa?''.43Yesu kajibu, kavavia, ''Mtaing'une nyue veni 44Tekwete mndu esha kwakwa atamekotwa na auyakwa uya alengituma, nani ningemrukua mfiri uya wa mwisho. 45Namu kilikiandike kwa vakimbi, ''Abaa nife evafundisha mweni'' KIla aleishua na amejifunsa iduka kwa Abaa, niesha kwakwa.46Shikwamba kwetebmndu alemlolea Abaa, kitalii niuya aleduka kwa Abaa nife Abaa. 47Amini, amini uya eamini ni ete uzima wa kirere.48Ini ni mkate wa uzima. 49Vaauya mwanu valeya mana ureni na vakafa.50Iuhiou niwo mkate wasoka iduka kwa Abaa, ili lee mndu kaya kipande chakwe atafe. 51Ini nini mkate wekaa tiki ulesoka iduka fo doka kwa Abaa. Kwa kolea mndu wose kaya kipande chakwe cha mkate uhou, niekaa na mkuu na kirere. Mkate uya ngeudua ni moo uwa kwa kwaajili ua uzima wa ukerer.52Vayahudi vakasua voveni kwa veni na vakaansa ibishana na iamba, ''Mndu shu hoshu nieidima kuta ituininga moo wakwe tuyee?''. 53Hokuto see Yesu kavavia, ''Amini, amini mtameuya moo wa kona wa Adamu na irita samu yakwe temwete uzima fo kati kwa mwanu.54Mndu wose euya moo wakwa na irita samu yakwa niete uzima wa kirere, nami ningemrukua mfiri uya wa mwisho. 55Namu moo wakwa ni chao cha loli, na samu yakwa ni kindo che rita cha loli. 56Uya eya moo wakwa na irita samu yakkwa nietamia kwakwa, nami ningetamia kwakwe.57Shakundu Abaa ete uzima alengituma na shakundu ngeisha kitevo ni Abaa, nafee see nieishikitevo nini. 58Iu hou ni woo mkate wesoka iduka doka kwa Abaa, shi shakundu uya vaauya moto valeya vakafa, uya euya mkate uhou niekaa na mkuu na kirere. 59Yesu nialeamba findo fihofi kali kati ya Sinagogi weri kefundisha foo Kapernaumu.60Nilo moshivirwa vengi valeishua iya hoa, vakaamba, ''Ili holi ni ifundisho idomari nivisho eidima iliiria?'' 61Namu Yesu niaveishi moshivirwavakwe valimng'unia ili chaambwa kuto, kavavia ole kahindi iteta loholo leidimika?.62Hokuto chevakuta mkashike imlolea kona wa Adamu kesoka iduka kundu kuya aveli kabla? 63Ni ngoo niyo yedua uzima. Moo teweidima kindo chose. Findo fia ngileamba kwa mwanu ni ngoo na ni uzima.64Bodo kwete vandu valifo kwa mwanu veteamini, ''namu Yesu nialemanya tangu kiraa uya eteidima iamini nafe uya eshamsaliti. 65Kavavia, kitevo ni kihoki nili ngilevavia lee tekwete mndu aidima isha kwakwa kitevo atameiningwa na Abaa."66Amesia hoa lee moshivirwa vakwe vengi valeuya numa na tevaleiduvisana nafe see. 67Yesu kavavia vaya ikumi na vavili, "Holekahindi na nyue mwori iukia''?. 68Simioni Petiri kamjibu, "Abaa tuende kwa ivii ife wete mateta a uzima wa kirere, 69na tumeamini na tuishi ife ni mtakatifu wa Abaa.70Yesu kavavia, "Okahindi lee ini tengilevatala nyueni na umi kati ya mwanu ni imrimu? 71Weri wo niaveliteta imhusu Yuda, mwan wa Simioni Iskarioti, namu niaveli nife ali miongoni ya vaya ikumi na vavili, ambao nife aveshemsaliti Yesu.
71Hatakuto Yesu aleukia keenda Galilaya, namu tialeenda kwa Vayaudi namu valeungana vambwae. 2Kahindi sikukuu ya vayahudi, sikukuu ya Vibanda, iveli kufuhi.3Nakuto vanamae vakammbia, "ukia handu ha ulali uende uyahudini ili vamoshivirwa vafo valolie vindo via verunda. 4Kwete erunda kindo kwa ikwama. Kahindi fe na kundi vammanye. Kwa kuto nerunda mateta a, jirore mweni kwa uruka."5Hata mwanamae tialemwamini. 6Na kuto Yesu kammbia, ''weri waka tiumeshika bado lakini weri wa mwanu umeshika. 7Uruka tiweidima ivasua nyweni mgiishi ungusuleini kwa mateta afo alimavishwa.8Tueni mweenda sikukuu, ini ngileenda katika sikukuu kwi kwa sababu weri umeshika kwii. 9Kamenen amba ioo kwa mwavo, alebaki Galilaya.10Hatakuto vanamae vaende katika sikukuu, katakuto naleenda, kwa muanua kwi kwa uhova. 11Vayahudi v alemsengeta katika sikukuu na iamba, '' nikwi ali?''.12Kuveliete mateta mengihandu ete marundu la vanduvengi vakaamba, ''ni mndu msha'' vengi valeamba, ''ee, ivaharibu marundu ayaa. 13Hata kuto tikwete aleamba kindo doka ya mwavo kwa ivaihova vayahudi.14Weri uya sikukuu ishikeshika katikati, Yesu aletua handu haya ehembia na iansa isali. 15Vayahudi valeriwa na iamba, ''nikili mndu shu aishi vindo vingi? Tiameenda shule hata kidoko". 16Yesu lkamjibu kammbia, mateta akwa ni akwa bali ni kwa isho angiangua.17Ambapo kila umi nakundi nakundi irunda mateta akwe, nemanya ihusu mateta a hoa, kahusa nyeduka kwa Aba, au kama veteta iduka kwakwa mweni. 18Kila uya eteta vindo vyakwe mwenui nyetafuta sifa kwakwe, hatakuto uya alitafuta utukufu kwa uya amtuma, mndu shu ni wa loli, na ndani yakwe tikwete kindo kwi.19Musa tiavaininga sheria? Lakini tikwete atta umi katikati amwanu ete sheria ni kili mkundi ikuiria. 20Marundo aya akaamba, "wete warimu nivi akundi ikbwaa.21Yesu kavajibu kaalua, ngarunda rumate imi, na nywe voose mwariwa kwa sababu yakwe. 22Musa alevatina (nikwamba ya diuka kwa Musa kwi, bali ni iya yaduka kwa maababa,) na katika sabato ntakiwe mndu.23Sha cheva mndu netinwa mfiri wa sababto ili mateta ama Aba ataharibike, nikili mlin'gigusa ini kwasababu ngamhora mndu kava msha katika mfiri wa sabato. 24Mtasherukumie kulingana shakundu mwelolea bali rukumieni kwa loli.25Shandu valeduka Yerusalemu vakaamba, '' shife uya valimtafuta vambwae.? 26Na hotania,valiama, kabisa valiamba choose doka yakwe tivamemanya vose veamba ishu hoshu ni Kristo, yeidima iva? 27Tiushi mndu shu nyalidukia kwi Kristu weri uya kesha, hata kuto, tikwete aishi handu alidukia."28Yesu navelitetahekaluni, alevarora na iamba,"nywe vose miungiishi inii na mwishi kundu mwaduka. Tingilesha kwa ikundo lakwa namu uya alengituma niwa loli na mumwishi nywee kwi. 29Ngimwishi fe namu ngileduka kwakwe na alengituma".30Vavelieria imra, lakini tikwete ata umi aleora kivoko doka yakwe hata kuto weri wakwe uveli umeshika kwi. 31Hatakuto, vengi katika marundo valemkubali. Valeamba, "Yesu kashikesha, erunda mateta matuie kuliko io arunda mndu shu?''

32Mafarisayo valevaishua marundu vevavashiana mateta a ihusu Yesu na vatue vamakuhani na mafarisayo vakammbavasa maaskari ili vamree.33Nilo Yesu kaamba, ''Bado ngete weri kidpgp ngilina nywe, na hata ngeenda kwa uya alengituma. 34Mwen'gisengeta wala temen'gilolea, kuya ngilienda timweidima ishika".35Kahindi vayahudi vakavianavoo kwa voo, "mndu shu ni kwi eenda mte mlolea? nyeenda kwa waliotawanjika kati ya wayunani na wafundisha Vayuhani? 36Ni iteta lovi aleamba, mwen'gisengeta timwen'gilolea, kuya ngilienda, timweidima ishika./37Kahindi mfiri wo wesia, mfiriutuwe wa sikukuu,, Yesu naleamba nekaba momu keamba, "kimeva kila mndu naishule nyota, na ashe kwakwa ashenywa". 38Uya angiishi ini, shandu mateta aamba, iduka kati kwakwe kwehinga mringa wa uzima.39Kimevaa naleamba hoo kuhusu ngoo, kimeva woo vamwishi vemwiria, isha wa Mungu tiuveli umeduliwa kwasababu tiuveli umeduliwa.40Marundu a vandu, washikeishua mateta oohoo, valeamba, "loli shu ni mkimbi". 41Vengi valeamba, "ishuhoshu ni Yesu" lakini vengi valeamba "mkili, Yesu neidima iduka Galilaya? 42Mateta a Mungu naamba Yesu nyeduka mbari ya ma Daudi na iduka Bethlehemu, ura Daudi avelikaa.43Kwakuto, vandu vehongwa valekane katika marundu kwaajili yakwe. 44Wengi valemraa, kameva tikwete aleoroa kivoko doka yakwe.45Nilo vatuwe vaya valeukia vakauya kwa mwavo na vatue va mafarisayo vakammbia, "nikili mtamemuninde?" 46Vatue vaya vakammbesa, "tikwete mndu ameletete mateta amndushu kabla"47Nilo Mafarisayo valemwalua, "nanywee mlivalembe? 48Kwete mtuwe wose kati ya vatue vamwishi, au mndu voose wama Farisayo.? 49Au marundu vataishi maateta veamba valivatelie mbiao.50Nikodemu kavavia (fe uya aleenda kwa Yesu kira kali umi wa mafarisayo) 51Sheria yamrukumia mmbu vatamemhotania kwanza na aveliishi kindo avelirunda? 52Valemwalua na immbia, '' na ife wadukia Galilaya? sengeta na uambulie tikwete mkimbi alidukia Galilaya."53(Ambulia; baadhi ya mateta ama Yohana 7:53-8:11 tiali katika mateta mesha akira). Kwakuto kila mndu aende kaa kwakwe.
81Ambukia; uimehiye Yohana 7:53-8:11 iho doka) Yesu nyaledua ifumbi ifumbu lamatunda. 2Kangama shuru kasha see numba. yemhemba Aba, na wandu woose, vakamduvisa, vakatamia vakavarora. 3Vandu veandika na mafarisayo vakamndele mndu mfele alerewa kali irukuruku. Kamvikia katikati.4Ambulia; (imehia mateta ama Yohana 7:53-8:11 iho doka) nakuto kammbia Yesu, " mwefundisha,mfeleshu nyarewa kerunda urukuruku, katika kerunda. 5Kahindi, katika sheria, Musa nyaletuvia tuvakabe mawe vandu shaa va, uliamba kuta doka yakwe. 6Waleamba kuto ili valekane nafe vakolie kindo chemshitaki, lakini Yesu kainama shii kaandika mnyweni na ninywe vyakwe.7Ambulia; (imehia mateta ama Yohana 7:53-8:11 iho doka) vaende vammbese, aleimuka kammbia, ''isho atete sambi kati ya mwanu, ave wa kwanza imkaba mawe." 8Kainama shii, kaandika ndoheni na vinywe vakwe.9Ambulia; imehia mateta ama Yohana 7;53-8;11 iho doka) vaishue iho hoo, valeukia umi baada ya ungi ianza na vameku. Mwishoni Yesu vakamtelia mweni, na mfele uya aveli katikati ya mwavo. 10Yesu kaimuka kaamba, "mndu mfele, vaya vakushitaki vaenda kwi? tikwete ata umi alekuhukumu?'' 11Kaamba, ''tikwete ata umi Abaa'. Yesu kaamba, "hata ini tingekuhukumu. Enda mko wafo; iansa dakika enda na utatende sambise.12Tena Yesu kateta na vandu kaamba, ini ni mwangasa wa uyano ivu, uya engiduvisa tietambuka mlemeni nyeva na saa ya uzima. 13Mafarisayo vakammbia, "ulijishuhudia mweni, mateta afo ni aloli kwii".14Yesu kaalua kaamba, "hata kola ngejiamba mweni, mateta akwa ni aloli. ngiishi kundu ngaduka na kuya ngilienda, ila nyweni mweishi kundu ngaduka kwi na kuya ngilienda kwii. 15Nyweni mwehukumu kimoo, ini ngerukumuia mndu voose kwi. 16Ini hata ngarukumia, hukumu yakwa ni ya loli kwa kuto tingili mweni, balio ngili na Aba alengivavasa.17Iye, na katika sheria ya mwanu yaandika kuti mateta au vandu vavili ni loli. 18Ini nini ngilejivia mweni, na Aba angituma engivia."19Vakammbia, "Aba afo alikwi?" Yesu kaalua, ini mwengimanya kwi wala Aba akwa mwemmanya kwi, mveli ngiishi ini, mveli mmanya Aba akwa nafe". 20Aleamba mateta a keli na aveli mtueni kwakwe karibu kefundisha, na tikwete mndu alemra kwakuto mfiri wakwe tiuveli umeshika.21Basi kammbia se, ''ngilienda sakwa; mwengisengeta katika sambi sa mwanu kuya ngilienda, timweidima isha." 22Wayahudi vakaamba, "ejibwaa mweni, isho aamba, ''kuya ngilienda timweidima isha?''23Yesu kavavia, "mweduka shii nyweni mli va urukau, ini ngiliwa uyana kwi. 24Kwakuto, ngilivavia mwefa katika sambi samwanu timweamini ini nife mwefa katika sambi samwanu".25Kwakuto vakammbia, '"ife nivi?" Yesu kammbia aya ngavavia tangu mwanzo. 26Ngete mateta mengi eteta pamoja na irukumia doka ya mwanu. hata kuto, isho angivavasa ni wa loli, na mateta ngaishua iduka kwakwe, mateta a ngiliamba kwa uyana. 27Valemmanya kwi aleteta navo ihusu Aba.28Yesu kaamba, "mkashe mwirilia doka kona wa mndu, na kuto mwemanya INI NIFE, na kwakuto tingerunda choose kwa nafdi yakwa. Shakundu Aba angifundisha, ngeteta mateta a. 29Uya angivavasa ali na ini, nafe tiamengitelea mweni, kwakuto ngerunda io aori. 30Wakati Yesu keamba matetaa, vengi valemwamini.31Yesu kaamba kwa vayahudi vaya valemuamini, "ikava mwetamia katika iteta lakwa, nikuto mweva vamoshivirwa vakwa va loli. 32Nanywe mweimanya loli, na loloi yevaikia huru. 33Valemwalua, "sue ni mweatwa na Ibrahimu na kamwena titumelewahi iva shunya mtumwa voose, weamba kuta, "tweikwa huru?".34Yesu kamwalua, "Manyeni mmanyeni ngilivavia, kila erunda sambi ni mtumwa wa sambi. 35Mtumwa tiekaa weri voose, wala teidumu mfiri soose. 36Kwakuto. ikiwa kona kevikwa huru, mwevikwa huru loli".37Mwishi kuti nyweni ni mweatwa na Ibrahumu ni mlengisengeta ingibwaa kwa sababu mateta akwa tiete nafasi kati ya mwanu. 38Ngiliamba mateta ngimelolia ini na Aba na nywe nwerunda mateta mleaishua iduka kwa Aba amwanu.39Valemwalua vakammbia, Aba amwanu Ibrahimu." Yesu kamba shngiveli mwana a Ibrahimu mvelirunda rumate yama Ibrahimu. 40Hata dakikai mlisengeta mngibwae, mndu alivavia loli kwakuto mleishua iduka kwa Mungu. Abrahamu alerunda kuto kwi. 41Mwerunda rumate ya ma Aba amwanu. "Vakambia, ''tulevonika katika urukuruku kwi, twete Aba umu, Mungu.42Yewsu kammbia, "ikava Mungu ni Aba amotu, mveli ngikunda ini, kwa kuto ngaduka kwa Mungu, wala ni kwa nafsi yakwa kwi Bali nife angivavasa. 43Nikili mtemanya mateta akwa sababu timweidima ifumilia mateta akwa. 44Nyweni ni vama Aba amwanu,mrimu,na mwori irunda tamaa zama Aba amwanu. naveli ebwa tangu mwanzo na timweidima iimuka katika loli namu loli tiili ndani yamwanu. Keteta mboru,nyeteta iduka Asili na niwa mboru na ni Aba wa mboru45Hata dakika, kwakuto ngiliamba ili loli, timwengiamini. 46Nivi kati ya mwanu alengishuhudia ngete sambi? ikava mweamba loli, nikili mtengiammini? 47Isho aliwa, Mungu eaishua mateta a Mungu; timweishua kwa sababu timli va Mungu48Vayahudi vakamwalua,titumeamba loli ife ni msamaria na mwete mrimu?". 49Yesu kaalua, ngete mrimu kwi; lakini nyemheshimu Aba akwa, na nywe timwemweshimu.50Ngesengeta usha wakwa kwi na kwete umi asengeta na irukumia. 51Manyeni na mmanye ngilivavia, "dakai, iwapo mndu kara mateta akwa, teifa.52Vayahudi vakammbia, "Kahindi twamanya wete warimu. Abrahamu na vakimbi valefa, lakini mwaamba, ikava mndu nalera mateta akwa efa kwi; 53Ife shi mtue sha Aba fo Abrahamu alefa, nikuto kwi? Vakimbi navo valefa, ife wengifanya iva ivi?"54Yesu kaalua, "ikava ngejimanya mweni, ijimanya lakwa ni bure ni Aba nife aengininga imanya-uya mwemuamba ni Mungu wa mwanu. 55Nyweni timumwishi fe, lakini ini ngimwishi kwa mateta akwe na mmeara. 56Aba amwanu Ibrahimu akunda kalolie mfiri safo, alelolia kakunda,".59Vayahudi vakammbia, 'Tiumesisa umri wa mwaka hamsini bado, na ife umemlolia Ibrahimu? 58Yesu kammbia, "Manyeni mmanye ngilivavia, kabla Ibrahimu atamevonika, INI NGILIFO." 57Na kuto valetotua mawe ili vamkabe na Yesu kaji kwama kaduka mmba yemhemba Aba.
91Weri, kusa Ysu kavelikehita,nyalemlolea mndu atamelolia tangu uvonika lakwe. 2Moshivirwa vakwe vakambesa "Rabi,nivi alerunda sambi ,mndu sho au vasasi vakwe,hata kavonike atelolia?."3Yesu kava aluwa,"Shimndu shu wala vasasi vakwe valerunda sambi,ila kasi sa Ruva sikole ilolika ihitia kwake. 4Kitakiwe turunde rumate swakwe fesho alengituma bado kulimsanya .Mlema washa kuli tekwete mweidima urunda kasi. 5Weri ngevafo urukeni ini ni saa yakunu urukeni".6Kashike amba Yesu matetao hoo,nyalefushia ndohe karudia itoto kwa mataa,naka mfia mndu ulya mesoni na itoto lya. 7Kambia,enda ushekusambia kisimani kwa siloam(chava shaali 'mkimbi')"Kwakuto mndusho nyaleenda,kakusambia ,na kauya ,kelolia.8Mamrasa vamndu ulya navaya valemlolea lia kaande shaali mndu wehamba vakaamba,olee! ishu shiulya aveli ketamia naihemba?"vengi vekaamba "nife". 9Na vengi valaamba ,"Ehe,ila vausani nafe" lakini hatakuto nyaveliamba "nini".10Vakammbia ,"Kahindi mesoa afo nyalelolia kuta.? 11Nyalevaalua mndu eankuliwa Yesu nyalekoroka itoto na kafia meso akwa nakangivia, ''Enda siloam ushekusambia,' Kwakuto ngaenda, na ngakusambia, ngaidima ilolia see.'' 12Vakambia, ''Nikwi alali?'' Kavajibu, ''Ngiishi kwi'' vakamkamata mndu ulya atavelolia kwa mafarisayo.13Vakamkamata mndulya ataveliolia kwa mafarisayo. 14Nafo kuveli mfiri wa sabato weri Yesu kakoroke itotolia na kamfungua meso akwe. 15Nilose Mafarisayo vakamvesa aleidima kuta ilolia. Nyalevavia, ''Nyalengifia matoto mesoni kwakwa, ngakusambia, na kahindi ngeidima ilolia.''16Mafarisayo vengi vakaamba, ''Mndushu ameduuka kwa Ruva kwii kwa maana eira sabato kwi.'' vengi vakaamba, ''chevakuta mndu ete sambi irunda mariuri shaiya howa? Kwakuto kukava ubarika kati yavo. 17Nilo valemvesa mndu ulya etelolia se, ''Waamba kii doka yakwe kwa sababu nyalekufungua mesoa afo?" Etelolia kaamba, ''Ni nabii.'' 18Hata weri uhou vayahudi vale mwamini kwi niloli aveli ameruma meso mpaka weri valevaamkua vasasivakwe kwaisho aleidima ilolia.19Valevavesa vasasi, olee, ishu ni mwana wamwanu mleamaba nyalewonika etelolia? 20Kwakuto vasasi vakwe vakamjibu, ''Tuishi kuto luwa ishuni mwana wamotu na nyalewonika etelolia. 21Nikuta kahindi elolia, tuteishi, nafe nyalemfumbua meso akwe, tumwiishi kwi. Mveseni fee. Ni mndu msima. Nyeidima ijielesa mweni.''22Vasasi vakwe valeamba mateta iyahoa, kwakuto valeihova vayahudi. Kwa maana vayahudi vaveli vamekubaliana tayari kwamba, ikava mndu mwoose eamba loli kwamba Yesi ni Kristo, vemtenga na sinagogi. 23Kwasababu ihoi, vauwe vakwe valeamba, mndu msima mveseni fee.''24Kwakuto kwa mara ya kavili, vakamwamkua mndu ameleve kipofu na imvia, ''mninge Ruva utukufu. Tuishi mndu shuu ni mndu wa sambi.'' 25Nilo mndu ulya kaaluwa kavavia, ''Ave ni ete sambi, ini ngiishi kwi. Kindo kimii ngiishi ngiveli kipofu, na kahindi ngelolia.''26Nilo valemmbia, ''Nyalekurundia kii? Nyalekurundia kuta meso afo? 27Kavaalua, ''Ngimeme vavia lia weri, nywe temweishuwa.! Nikili mkundi iishwa see? Nywe te mkundi iva moshivirwa vakwe nanywe, shikuto? 28Valemtukana na imbia, ''Ife ni moshivirwa wakwe, lakini swe ni moshivirwa vakwe na Musa. 29Tuishule Ruva nyaleteta na Musa, lakini mndu shu, tuishi ifo kundu adukia kwi.''30Mndu uya kavajibu na ivavia, ''Nikii, ikini kindo che riwa, kwakuto temwishi kundu adukia, na bado nyerulia meso akwa. 31Tuishi kuto Ruva evaishwa vete sambi kwi, lakini ikava mndu woose kamwabudu Ruva na karunda mapensi akwe, Ruva nyemwishwa.32Tangulo ianse uruka umeledukie kwi iishwa mwoose amfunguwa meso amndu alewonika kali ameruma meso. 33Kwa mndushu ameduka wa Ruva kwi, averunda kindo choose kwi.'' 34Valemwalua naimbia, ''Ulevonika sambini kabisa, na ulitu ishivira swee.? Nilo valemtishira iduka kulya isinagogini.35Yesu nyaleishwa kuwa valemduwa ifo isinagogini. Nyalemkolya naimvia, ''Wemwamini mwana wa mndu?" 36Kamwalua na invia, ''Ni ivi, Aba, ili naini ngikole niani imwamini.?" 37Yesu kamvia, ''Umememlolia, naishu uliteta nafe nife." 38Mndu ulya kaamba, ''Aba, Ngaamini,'' Nilo kamwinamia.39Yesu kaamba, ''Kwaikumu ngasha kunu urukeni kunu ili kwa vaya vetelolia vaidime ilolia navaya vave fipofu vatalolie see.'' 40Mafarisayo vengi vailihandu hami nafe valeishwa matetao na imvesa, Naswe voose nifipofu? 41Yesu kavavia, ''Shamveli vipofu mveva na sambi kwi. Hatakuto, mweamba, ''Twelolia,'' sambi ya mwanu ikava fo.''
101Amini, amini ningakuvieni, uya etehitia kwa ihita ikona wa kirii cha makondi, kwakolea niehita kwa mko ungi, mndu sho hosho nieiva na niesoka. 2Uya ehita ihekoni ni uya eringa makondi.3Kwakwe fe uya eringa haya ihekoni nievarulia. Makondi nieishua sauti yakwe na niamkua makondi akwe kwa marina amwavo na ivadua njaa. 4Kashike ivadua njaa ivo vali vakwe,enda mbele ya mwavo, na makondi niemduvisa, namu vaishi sauti yakwe.5Tevemduvisa mwenu, hata kuto badala yakwe vemtisha, namu tevasiishi sauti sa mwanu" 6Yesu nialeamba mfano uhou kwa mwavo, hatakuto tevalemanya finfo fi hofi fia avelivavia.7Yesu kateta navo see, 'Amini, amini ningakuvieni ini ni iheko. 8Vose vayavavelimbele yakwa ni vaisi na vesoka, hata kuto makondi taaveishwa.9Ini ni iheko, uya wose ehita kwa ihitia kwakwa, vemwokoa, naihita numba na iduka, nafe nielolea cheliwa. 10Mrango teesha kili ashe na iiva, iwa na iangamiza. Ini ni ngasha ili vave na uzima tena vave nao uishule.11Ini ni mweringa mshaa, mweringa mshaa niedua uhai wakwe kwa ajili ya makondi. 12Mtumishi mwajiri, na shi mweringa, ambao makondi shiakwe, nielolea sui sesha na itelea makondi na itisha. 13Na sui sera makondi aya na ivatawanya. Nietisha namu ni mtumishi weajiriwa na teeaihova makondi.14Ini ni mweringa mshaa, na ngivaishi vaya vali vakwa, navo vaya vali vakwa vangiishi. 15Abaa niangiishi, nani ngimwishi nani ningedua uhai wakwa kwa ajili ya makondi. 16Ningete makondi engi ambao shii vakirii ki hoki. Ivo ho navohe yebidi ngivande, navo veishua sauti yakwa ili kuvee na irundu limi na mweringa umi.17Ikihoki nicho kitevo Abaa angkundi; Ngidue uhai wakwa halafu ngiure see. 18Tekwete eidima iuiria iduka kwakwa, hata kuto ningeudua mweni, na ngete mamlaka eudua na ningete mamlaka euria seke. Ningileliiria agizo ili holi iduka kwa Abaa."19Vandu vakagawanyika see kati ya Vayahudi kwa ajili ya mateta iya hoa. 20Vengi kati ya mwavovakaamba, "Niete varimu na niesukwa nikili mlimhotania?" 21Vengi vakaamba, "Iya hoa shi mateta a mndu ete mavarimu. Mrimu niedima irulia meso amndu etelolea?"22Hokuto kukashika sikukuu ya kuweka wafu Yerusalemu. 23Iveli ni weri wa mbeho, na Yesu niavelitambuka fo kali inumba la Suleimani. 24Hokuto Vayahudi vakamrimbitia na imbia,"Mpaka indihi wetuvikia mashakeni? Kwakolea ife ni Kristo tuvie loli.25Yesu kavajibu, 'Ngimekuvieni hatakuto temlengiishwa. Namu rumate sia ngerunda niso sengirora ini nivii. 26Hatakuto temwengiamini namu nyue shii makondi akwa.27Makondi akwa nieshua sauti yakwa, ngiaishi, nao niengiduvisa ini. 28Ningakuningeni uzima wa kirere, temwete kabisa na tekwete hata umi eima ingisoka iduka mavokoni kwakwa.29Auyakwa,alengininga ivohovo, ni mtue kuliko vengi vose, na tekwete hata uwi eidima imsoka iduka mavokoni kwa Abaa. 30Ini na Abaa tulikimii'. 31Vakakutika mawe ili vamkabe nao see.32Yesu kavajibu,''Ngimekuroreni rumate ng'ingi ng'isha iduka Abaa. Kwa rumate yovi ngivishwa mlingikaba mawe"? 33Vayahudi vakamjibu, "Tetulikukaba mawe kwa rumate yose iya ngisha, hatakuto kwa ikufura, namu ife, uli mndu, wejitolea shalii Abaa."34Yesu kavajibu, "Tekivelikiandike katika sheria ya mwanu," Ngileamba "Nyue ni Abaa"?" 35Kwakolea nialevaamkua Abaa, kwa vaya neno la Abaa lilevashelea (na maandiko teemunjwa). 36Mliamba doka ya uya ambaoAbaa aleamdua na imtuma kunu uyaneni; Wakufuru namu ngileamba 'ini ni kona wa Abaa'?37Kwakolea nderunda rumate za Abaa wakwa, mtangiamini. 38Hatakuto, kwakolea ngimesirunda, hata kwakolea temwengiamini, siamini rumate sia ili muidime imanya ni loli Abaa niali kati yakwa nani ngilikati ya Abaa." 39Vakaingeria see imraa Yesu, hatakuto aleduka mavokoni kwa mwavo.40Yewsu kaenda sakwe kuya mwelya ya Jordani handu ambao Yohani aveliininga marina vandu kimbele na kakaa foo. 41Vandu vengi vakasha kwa Yesu. Vakaendelea iamba, ''Yohani loli tialerunda ishara yode, hatakuto dindo fose aleamba Yohani doka ya mndu shu hoshu ni fya loli." 42Vandu vengi vakamwamini Yesu hokuto.
111Ikava mndu umi rina lakwe vemwamkua Lazaro alelwala. Aledukia Bethania, kijiji cha Maria na mshi akwe Marta. 2Niaveli na Maria uya alemfia Abaa mafuta Marham na imhangua matende akwe na merisakwe sa mtweni, ambao mwanamae na Lazaro niavelwele.3Nilo vashiki vahova valetumwa ndumwa kwa Yesu veamba, "Abaa, ambulia uya umkundi nialwele". 4Yesu kashike ishua nialeamba, "Ndwari ihoi shi yefafo, hata kuto, badala yakwe ni kwa ajili ya utukufu wa Abaa ili kona wa Abaa vamtukuse fo ndwarini".5Yesu nialemkunda Martha na mshiki akwe na Lazaro. 6Kashike iishwa Lazaro nialwele. Yesu nialetaienda kaka mfiri ivili handu haya aveli. 7Nilo likamesia ili holi alevavia moshivirwa wakwe, "Hondeni Uyahudini see"8Moshivirwa vakambia, "Rabi vaveori vakuneng'ene ikukaba mawe nafe wori uuye fo seke"? 9Yesu kavajibu, "Weri wa kamsanya shii masaa ikumi na avili? Mndu ketambuka kamsanya teetunywa namu nielolea kwa saa ya kamsanya.10Hatakuto kwakolea ketambuka kioonietunywa namu saateili kati yakwe. 11Yesu kavavia, findo fi hofi, na baada ya findo fii, kavavia 'Mbiuya wa motu Lazaro nialele, hata kuto ngilienda ili kwamba ngimwamse aamke aduke mationi."12Hokuto moshivirwa vakammbia, "Abaa kwakola nialele, nieamka. 13Weri uhou Yesu niaveliteta habari sa ifaa la ma Lazaro, hata kuto voo vaveliishi nialiteta matio akawaida. 14Nilo kateta navo loli loli, ';Lazaro niamefa.15Ningete raha kwa ajili ya mwanu, namu tengivelikuya ili muamini. Hondeni kwakwe. 16Ikava Tomasi, vemwamkua Pacha, nialevavia moshivirwa vakwe. Nasue hondeni nafe tunefa he sue na Yesu'17Weri wo Yesu alesha, nialemkolea Lazaro amekaa kilomeni mfiri inya. 18Nayo Bethania uveli kifuhi na Yerusalemu sha kilometa arobaini na tano kutii. 19Vayahudi vengi vakasha kwa Martha na Maria vemlilia kwa ifa la mwanamae. 20Nilo Matha aleishua UYesu nialisha, nialekomana nsana nafee, hata kuto Maria maleka kaatiki.21Nilo Matha kambia Yesu, Abaa kwa kolea niuveli hakuti kaka wakwa avelifaa kwi. 22Hatakahindi ngiishi kindo kia chose wehemba kwa Abaa niekuninga." 23Yesu kambia kaka wafo nieruka see."24Martha kambia, 'Ngiishi nieruka katika iruke lia la mfiri sa mwisho." 25Yesu kambia, 'Ini nini irukalo na uzima, uya engiamini, kwa kolea niefaa, hata kuto nievaa nieishi; 26na nafe uya eishi na ingiamini ini teefa weamini ili?"27Kambia, "Yee Abaa ngeamini lee ife ni Kristo, kona wa Abaa uya avelisha kunu urukeni." 28Kamema iteta iliholi, nialeenda sakwe na imwamkua mshiki wakwe Mariamu handu hasiri, kambia, "Mwalimu ni ali hakuti na nialikwamkua". 29Mariamu kashikeishwa iya hoa, nialaeimuka buru na ienda kwa Yesu.30Nafe Yesu taaveli ameshika katiya kijiji cho bali niaveli handu haya alekomansana na martha. 31Nili Vayahudi vaveli na Mariamu vaveli kuya numbeni vemlilioa, vashikeimlolea valeimuka buru na iduka njaa, vakamduvisa, vaveliishi nialienda kilomeni anelia foo. 32Nilo Mariamu aleshika handu haya Yesu aveli alemlolea, kawa shii ya matende akwe na kambia, "Abaa kwa kolea uvelihakuti, mwana mayakwa taavelifa".33Yesu kashikemlolea ni alelia, na vayahudi valesha nafe vavelilia hee, nialelia ngooni na isumbuka; 34Kaamba, "Mwamrara kwii? Vakambia, Abaa njio uambulie". 35Yesu kalia.36Nilo Vayahudi valeamba, "Ambulia shakundu avelimkundi Lazaro." 37Navaya vengivaveli katikati ya mwavo valeamba, "Ni shu hoshu kwi, mndu uya alemrua kipofu uya meso, taalidima imrundia ishuhoshu atafee?"38Nilo Yesu, kali kelia foo mgooni kwakwe see, nisleenda kuya kilomeni. Weri wo liveli ni imreshe, na iwe lilevikwa doka yakwe. 39Yesu kaamba, "Lidueni iwe lo" Martha mshiki akwe na Lazaro uya alefa, kambia Yesu, Abaa kahindi moo uya umeboa, namu nialefaa tangu mfiri inya. 40Yesu kambuia, "Ini tengilekuvia lee kwakolea kwaamini welolea utukufu wa Abaa."41Kwakuto vakairia iwe lya, Yesu kaambulia doka na iamba, Abaa ni ngakunda namu ungiishule. 42Ngiishi lee ni wengishwa mfiri sose, hata kuto namu irundu lila vandu laimuka ihakuti kwa kia ngaamba, ili vaidime iamini kwamba ife ulengituma."43Kamema iamba iya hoa, nialelia kwa sauti ndue, ''Lazaro duka kunu nja" 44Uya alefa nialeduka njaa kalimtuduvile mavoko na matende kwa kiserenje kia che rikia na chamu chakwe kilikishie na na kitambao, Yesu kambia "mfungueni mumlekee aemde."45Nilo vayahudi vengi valesha kwa Mariamu na ilolea kindo kia alerunda valemwamini. 46Hatakuto vengi valeenda kwa Mafarisayo na ivavia aya ose Yesu alerunda.47Nilo vatue vamakuhani na Mafarisayo vakaitisha irundu na iamkua ibarasa na iamba, '"Twerunda kii? Mndu shu hoshu nierunda ishara nyingi. 48Kwakolea tukamtelea kuto fee mweni, vose vemwamini varumi na vesha na iiria fyose hakwa motu na taifa li la motui."49Hatakuto, mndu umi fo katikati ya mwavo, Kayafa, aveli kuhani mtue mwaka uya, kavavia, 'Temwishi chose kia. 50''Temwishi afadhali afe mndu umi kwaajili ya vandu kuliko veangamia taifa lose isima."51Iya hoa tealeamba kwa ajili yakwe mweni, badala yakwe, niliaveli kuhani mtue mwaka uya, nialetabiri Yesu niefa kwaajili ya taifa 52nashi kwa Taifa likifo, bali Yesu aidima uvaumbira vana va Abaa ambao valesasarika handu kwasha kwasha. 53Namu iansia mfiriso hoso na iendelea vakaitobira shakundu vembwa Yesu.54Yesu tealetambuka see kejirora kati ya Vayahudi namu nialeukia ho na ienda urilia ulikufuhi na ureni katika mrii veuamkua Efraimu.Hokuto nialetamia na moshivirwa. 55Ikava paska ya Vayahudi ni ieli kufuhi, na vandu vengi vakatua ienda Yerusalemu njia ya mrii kabla ya paska ili vaidime ijitakasa voveni.56Vavelimduvisa Yesu, na iteta kila umi weri vaveliimusi hekaluni, "Mlifikiria choiki? kwamba teesha kunu sukukuni?" 57Weri uya vatue va Makuhani na Mafarisayo vavelivaleduka amri kwamba kwa kolea kwete mndu aishi Yesu handu alalii,chevaaadue taarifa ili vaidime imraa.
121Mfiri sita kabla ya ppaska, Yesu nyaleenda Bethania, kundu kuya Lazaro aveli, vealemdua iduka vandu vaya vamefa. 2Kwakuto vakamtengenesea chao cha kwakwa ini foo, na Martha kamwaria, naihokiuto Lazaro nyaveli navo vaya valetamilia chao na Yesu. 3Kwakuto Mariamu kairua ratu ya marashi alama yenhe kwa nadro ndisha, etebesa nyingi, kamfia Yesu matendeni, na imuhangua matende na meriakwe; numba yose ileishwa arufu ya marashi.4Yuda Iskarioti, umi wa moshivirwa vakwe, namu niuya embwaa Yesu kaamba 5Nikili marashia atakumbwe kwa heleri miasatu halafu vakainingwa maskini?. 6Nasho aleamba kuto, shikwaivahurumia maskini, namunyaveli nyeiva; Ve nive alera mkoba wevikia eleri nanyaveliria icho vavelivikafo kiveni chakwe mweni.7Yesu kaamba, ''mleke na vikevo ichoarile kive kwa ajili ya mfiriuya ngerikwa. 8Maskini mweva navo mfiri sose;9Kwakuto weriwo marundo meengi avayahudi nivalemanya Yesu nyaliho, navovakasha, shikwa ajili ya ma Yesu tiki.namu nava mlolena Lazaro uya alefufuliwa iduka wafu. 10Weri wo vatwe va vamobia vakateteana ili vambwae Lazaro; 11Namu kwaajili yakwe vengi vavayahudi nivaleukiya na imuishwa Yesu.12Na mfiri wa kavili marundo avandu alesha kwa ajili ya sikukuu. Vakeshieshwa Yesu nyalisha Yerusalemu. 13Nivaleiria mahata aikiti la mitende vakaduka njaa na ikundaveamba kwa ngaro; Hosana; nyali mbariki uyaasha kwa rina lama Aba mtwe wa Israeli!14Yesu nyalekolea ibore la punda kalibakya; shakundu kivelikiandike, 15Utaihove mlifu wa Sayuni; Mtuwe wavo nyalisha, nyatwa ibore -la punda."16Vamoshivirwa vakwe tivalemanya matetao handuo; kwaluto Yesu kashike tozwa, nihovalemanya matetaa nyaleandikwave nanilovarunda mateta kwaajili yakwe.17Kwakuto irundu lia liveli na Yesu weri kemwamkuwa Lazaro iduka ishimoni, vakelolea voose. 18Nani valemanyakuto namu marundo avandu nivalenemshangailia namu nivaleishwa nyalerunda matetaohoo. 19Mafarisayo vakateteana vokwavo,; ambulia kahindi titweidima kindo hoose; ambyulia, vandu voose urukeni vameenda kwakwe;20Kahindi baadhi ya vayahudi nivaveli navaya vaveli enda weabudu sikukuu. 21Ivahova nivale mweendea Filipo, uya aleduka Bethaida ya Galilaya, vakamhemba veamba; Aba swe tuori tumlolee Yesu. 22Filipo kaenda kanemmbia Andrea; Andrea na Filipo vakaenda na imhembia Yesu.23Yesu kavavia keamba, "weri umeshika wa ma kona wama Adamu itukuzwa. 24Hotanieni,hotanieni,ningilikuvieni, kipande cha ngano kitametonea handu haumu kikafa, nichekaa kutokuto handu hakwe; kwakuto kikafaa nicheata matunda mengi.25Uya akundi ikiya lakwe nyelitesa; nauya euria uhai wakwe kunu urukeni nyeukira hata uruka ungi hata milele. 26MUndu woose engitumikia ini, naingiduva, nani ngavana mndusho kali nani. Na mundu woose engitumikia na Aba nyemheshimufee.27Kahindi ngoo yakwa yahangaika; kahindi ngaamba kii? Aba ungidue kaytika weriu? namu nichashika katika weriu; 28Aba uliirilie rina lovo; kwakuto iteta likaduka doka mbinguni leamba, "ngalitukuza na ini ngelitukuzase." 29Kwakuto vandu vavelitamile karibu nave vakaishua,vakaamba kahindi kumeva na sauti vengivakaamba; mwana wa ruva ameteta nave."30Yesu kavatetea kavavia, "mateta aasha kwaajili yakwa kwi, niyasha kwaajli ya mwanu. 31Kahindi, irukumia lauruka lilivo; nakahindi mtwe wa uruka nyalikiriwa nja.32Na nivengiirilia doka ya uruka, ngevakota vose kwakwa. 33Nyaleteta kutio kerora niifa lakuta efa.34Vandu vakambia; swetwaishua katika sheria Kristo nyeka hata milele.Hoive waamba kuta; kona wa ma Adamu nilasma va muirilie Doka? Mundu shu vemwamkua kona wa mndu nivi? 35Weri wo Yesu kavavia," Nuru yeaka ilikaribu na nye kidoko. Endeni namu kahindi murile nuru, na kuto mlema utashe vaidime uya alienda mlemeni tiashi kundu alienda. 36Mlali murile nuru, iringeni nuru yo namu vekona va nuru." Yesu nyaleamba kuto alafu kaukia kaneova vatamlole.37Nashakundu Yesu alerunda matetaoho odoka ya mwavo, hatakuto tivalemhotania. 38Iliiteta la mamkimbi Isaya limanyike, lia aleamba. "Ab/, nivialemanya mateta amotu? nakuvoko kwa ma Aba nivisho aruliwaa?"39Nicho vo wataleishwa, namu Isaya nyaleambase." 40Nyavabara meso, na nya sivanyangoo za mwavo; vatashelolea na meso amwavo na vaka manya kwa ngoo samwavo, na vaka omngoka nani ngavahora."41Isaya nyaleamba mateta ohoo namu nyalelolea utwewama Yesuna kaamba mayeya akwe. 42Nalkwakuto,hata kuto vandu vatwevengi nivalemhotania Yesu; na kwakuto sha moshi mafarisayo, tivalekaa undusha na vatashe tishirwe na makanisa. 43Nivalekunda vindo vya vandu kuliko ikunda vindo iduka kwa Ruva.44Yesu kaamba kwa ngaro na iamba, "isho engihotania, tiengihotania ini tiki namu ni hata nave alengitumaini, 45Nauya engilolea ini nyemlolea uya alengituma.46Ini ngasha sha nuru kunu urukeni na munduuya engihotania ini atakae mlemeni. 47Kwakuto kila mndu woose ehautania mateta akwa na eteara, ini tingemrukumia namu tengilesha ngisherukumia uruka kangidue uruka.48Mundu sho engilea na etehotania mateta akwa; iteta lo ngaliamba nilo lemrukumia mfiri wa mwisho. 49Namu initingateta kwaajili ya kwa tikii. Namu ni Aba alengikamata, vemweni nyale ngivavasa kindo ngeamba na ngeteta. 50Naini ngiishi kindo cho aleamba nikindo cha urukau, kwakuto iyo ininhiliamba---shakundu Aba alengivia, nikuto ngilivavia kwamwavo."
131Kwakuto kabla sikukuu ya pasaka, namu Yesu nyalemanya weri wakwe umeshika mfiri weukia katika uruka uhou wenda kwa Ruva, kalinyamevakunda vandu vakwe vaveli kunu urukeni, nyalevakunda munui. 2Navarimu nyaveli amevikwa tayari katika ngoo ya maYuda Iskarioti kona wa Masimioni na wamkumbe Yesu.3Yesu nyalemanya Aba nyamevika vindovyose mavokoni kwakwe namu nyale duka kwa ruva na nyaveli enda kwa ruva. 4Nyaleimuka vejachao na kayala shi nguo yakwe ya doka. Kwakuto myaleiria taulo kakushikia mweni. 5Weriwo kavika mringa bakurini kaanza ivasambya vamoshivirwa vakwe na iva na taulo iya alekufunga nayo vemweni.6Kasha kwa Simioni Petro, na Petro kammbia, ''Aba uoriungi sambye matende akwaa?''' 7Yesu kamtetea kambia, ''kindocho ngilirunda tiukiishi kahindi, kwakuto wemanya weri ungi." 8Petro kammbia, "tiwengisambia matende akwa kabisa," Yesu kamtetea, " kwakolea tingekusambya, tiweva uli na ini. 9Simoni Petro kammbia," Abaa, utangisambie matende aakwa tiki, ngisambya na mavoko aakwa namtweu wakwa,""10Yesu kambia, ''woose uya ameoga tichevase naoge ilama tende akwe, nanyala moo mwakwe woose; nyemmeva vesha na shinye voose," 11Namu Yesu nyale manya uya emkumba, kwakuto nicho aleemba, siose alimesha,"12Wakati Yesu kamemaa iva sambaya matende amwavo na iiria nguo yakwe naitamia see, nyalevavia, ''Niloli? mwamanya kindocho ngavarundia? 13Mwengiamkua ''nimwefundisha'' na Abaa icho nimwaamba loli, namu nikuto kilali. 14Kili nini Abaa na ndili mweringa ngimeva sambye ni matende amwanu nanywehe itakiwe muvasambye vengi vamwanu matende. 15Namuini ngavarora shakundu mweunda nanywe murunde shakundu ngakurundieni nywe.16Ambulieni, ambulieni ningilikuvieni, mundu eviwa enda shi mtwe sha Abaa wakwe, kwakuto uyaeviwa enda nive mywe kuliko uya ammbia enda. 17Kwakolea niushi mateta hoa, Ruva nyekulolea kwa arunda. 18Tengeamba kwa ura wamwanu voose, namunivaishi vaya ngile vatala--- namu ngiliamba kuto na kindo kiandike kiidime irundika," vee ejaibofla la kwa nyairilia udingi wakwe.19Ningilikuvieni kahindi kabla kitaduka na wakati kikamedukia, muidime manya nini. 20Ambulia, ambulia, ngilikuvieni uya engiiria ini nyemuiria uya nge mmbia enda, na uya engiiria ini nive emuiria uya angitumaini21Weri Yesu aleamba iyo nyaleangaika ngooni, nyaleambuliana na iamba; ambulia, ambulia ningilikuvieni umi kati ya mwanu ninyengikumba. 22Vamoshivirwa vakwe vakaambuliana, vakariwa nyateta kuto kwa njia yamaivi.23Nivaveli mezeni, umii na moshivirwa vakwe kaliamelalia kifua cha ma Yesu uya Yesu alemkunda. 24Simioni Petro nyalemmbesa moshivirwa shokemmbia bna iama, "niungayu kwa mwavo aliteta". 25Moshivirwa uya alelalia kifua chama Yesu kammbia ''Abaa, nivii?26Kwakuto Yesu kavavia, nikwauya ngeiria iboflo ngilivikekikombeni kwakwe namuuiningia'' kwa kuto kameiria iboflo kamelivikia kikombeni nyalemningia kona wama Simoni Iskarioti. 27Nabaada ya iboflo, varimu nyalemhitia. Weri wo Yesu kammbia, '' kiindocho uori ukirunde ukirunde buru"28Kwakuto tikqwete mundu aveli meseni alemanya nikili Yesu aamba itetalo kwakwe. 29Navengi vamwavo nivalelolea, nili Yuda averile mfuko wa eleri, Yesu kammbia, 'Ula vindo tuviori kwaajili ya sikukuu," auniuori udue kindo kwa uya etet. 30Kwakuto Yuda kameiria iboflo, nyaleduka nja buru, nani kuveli nikio.31Weriuya Yuda kameukia, Yesu kaamba, "kahindi kona wa ma Adammu nyavawa doka, na Ruva vyavawadoka yave. 32Ruva nyendua doka vemweni, nanye mdua buru. 33Vanavadidi, ngilina nywe chakleha hadidi. Nimwengisengeta, na shakundu ngilevavia vayahudi, '' kundungilienda, timweidima iaha! kwakuto ngilikuvieni nywe, kahindi34Ngilikuningeni iteta isha, kwakuto mkundane na shakundu iningilevakunda nywe, kwakuto nanywe he mkundane nywe kwa nywe. 35Kwakuto vandu nivemanya nyweni vamoshivirwa va kwa, kwakolea mkundini nakila mundu.36Simoni Petro kambia, ''Abaa, nikwiulienda/'' Yesu kammbia, ''handungilienda kwakahindi tiweidima ingiduvisa, kwakuto niwengiiduva mfurungi." 37Petro kammbia, ''Abaa nikilinitakuduve hatakahindoi? iningedua ngoo iyakwa kwaajili yavo." 38Yesu kambia, "niloli wedua ngoo yoo yafo kwaajili yakwa? Ambulia, ambulia ijokoo tilekaba kabla utangilea mara katatu."
141Utakubali ngoo yavo ive yesumbuliwa muhotanie Ruva ngihotanieni naini. 2Kuya numbeni kwa Abaa akwa nikwete andu hengi hetimia; nakolea itavelikuto, niwekolea ngimekuvia, kwakuto ngili nekutobiria handu hafo wetamia. 3Kwakolea ngivelienda na wevaitobiria handu ngeshasee ngishe kukondeni, kwakuto haya handu ngilali nanywe muvemuliho.4Namuishi njia na handu ngileenda. 5Tomasi nyalemmbia Yesu, ''Abaa, tituishi handu ulienda hokhindi? tweidima kuta imanya njia? 6Yesu kammbia, ''ini nini njia, niloli, na usima; tikwete eidima imanya kwa Abaa hatameitia kwakwa. 7Shamwakolea mvengiishini, wekolea mveli mmanya na auya kwahe; iansia kahindi na mfiri sose mumuishina mmemaimlolea ve."8Philipo nyalembia Yesu, '' Aba, turore Aba, na kwakuto nicheva kimetushika," 9Yesu kammbia, " tingimeva na nywe mfiri uasha, na hatakuto timmengimanya ini, Philipo? woose angilolea ini nyamlolea Aba; nikuta uliamba; turore Aba/10Timuweni ini ngili kati ya Aba na Aba ali kati yakwa? Mata ngiliamba kwa mwanu tingiliamba kwa kifa chakwa mweni; kwakuto, ni Abaa alikati kwakwa alirunda kazi yakwe. 11Ngiishuweni ini, namu ngili kati ya Abaa, na Abaa nyali ndani yakwa; nahatakuto ngihotanieni ini na shakundu ngerunda rumate sakwa.12Ambulieni, ambulieni ngilikuvieni, uya hengihotania, inirumate sia ngesurunda, nyave nyesurunda; na nyerunda hata ndue namu ngileenda kwa Aba. 13Kindo choose mwehemba kwa rina lakwa, ngekirunda ili Aba na aidime inganiswa kwa rina la ma kona. 14Kwakolea mwehemba kindo choose kwa rina lakwa, kwakuto ngekirunda.15Kwakolea mungikundi, nimwera mateta akwa. 16Ningemuhemba Aba, nave nyevaininga mundungi ekuarieni ili nave na nywe mfiri sose. 17Ngoo yaloli, uruka tiweidima imuria namu timumuweni, au immanyave. Hatakuto nywe, nimumuishive, namu nyali na nywe na nyali kayyti ya mwanu.18Tingekuteleeni nyweveni, ngeuya kwa mwanu. 19Kwa mfiri ufuhi, uruka tiwengilolease, kwakuto nywe mwengilolea. namu ngilivo na nywe mulifohe. 20Kwakuto mfiri so mwemanya niloli ngili kati yama Abaa, na nywe mulikati ya kwa, nani ngilikati ya mwanu.21Woose uya era mateta akwa na iarunda, nive umi angikundi ini! na uya angikundi ini nave nyekundwa na Aba akwa, na ini ngemkunda na ini ngekurora ini mweni kwakwe." 22Yuda(shi Iskarioti) kammbia Yesu, "Aba, niloli?" nichoiki kilidukia naukurore ive mweni kwa motu na shikwa urukeni?23Yesu nyale jibu kammbia; Na uya woose angikundi, nyelira iteta lakwa na auyakwa nyemkunda, na twesha kwakwe na twekanave. 24Wose uya atangikundiini, tiera mateta akwa. Itetali mulihotania nilakwa kwi nilama Aba wakwa uya alengituma.25Ningiveliteta matetaa kwa mwanu, weri uyangilinanye. 26Kwakuto, mfariji ngoo njewa, namu ni uya Aba emtuma kwa rina lakwa, nyeva findisha mateta ose na nyeva fanya mmanye mateta ose ngile kuvieni nweni. 27Ngaambeni mukae undusha nyweni. Tingakuiningeni shakundu urukau wekuningeni. Mtafanyeni ngoo ya mwanu isumbuke, na uhova.28Mleishua shakundu ngilevavia; ngiliukia ini, na ngeuya see kwa mwanu; kwakolea mungikundi ini, muveli kunda na mungilienda kwa Baba, namu Aba nimutwe kuliko ini. 29Kahindi ngavokiria kuvieni kabla kitadukia kikamedukia, muidime imanya. 30Tinngileteta nanywe mateta mengi, namu mtuwe wa urukau nyalisha. Vetiete utwe doka yakwa. 31Ili uruka umanye niloli ngimkundi Aba, ngilirunda kia Aba angituma ini, shakundu alengivavasa, ukieni natuduke iha.
151Ini ni mzabibu wa loli, na auyakwa netema msabibu. 2Kila itana kati kwakwa litevika matunda, na ilisambia kila hana velidua ili liidime iata mnuu.3Nyweni nanywe mwava undusha kwa sababu ya mateta ngavavia. 4Mtamie kati yakwa shaa itana liteidima iata leni litali na msabibu, shaanywe, mtametamia kwakwa.5Ini ni msabibu, nyweni ni matana etamia kwa kwa nani kwakwe, mndushuoshu nyeata matunda mengi, kimeva shaashini tiweidima irunda kindo chosee. 6Kwa kolea mndu voose tiebaki katiyakwa, ekiriliwa sha itana na euma, vandu vesannda matana vakakiria makaeni, na isia. 7Kwakolea mweka kati yakwa, na matyeta akwa akakaa kati kwa mwanu, hambeni loose mwekunda, nanywe mweiningwa.8Kwa ili holi Aba kwa atukuzwa yani aliata matuna mengi kwa kuto ni moshivirwa wakwa. 9Shakundu Aba kwa alengikunda ini, ini naini ngakukunda nyweni, tamieni katika ikundwa lakwa.10Ikava mwera amri sakwa, mwekaa katika ushawakwa, shandu ngilera mateta ama Aba kwa na ikaa katika ikunda lakwe. 11Ngaamba mateta a kwa mwanu ili mkunde ngooni kwa mwanu ili ikunda la mwanu likae undusha.12Ii hoi niyo amri yakwa, kwa kuto mkundane nyweni kwa nywee shandu ngilekukundeni nyweni. 13Tikwete mndu voose arile ikunda kuliko iuu kwa kuto adue maisha akwe kwa ajili ya marafiki sakwe.14Nyweni ni mambuya vakwa kwakolia mwerunda aya ngavavasana. 15Ngekwangueni maboi kwa, kimeva iboi tiliishi mtuie wakwe alirunda ngavaaningueni nywee mambuya kwa kuto ngakukumbureni mateta ose mwaishua iduka kwa Aba.16Timlengitala, ini ngilekushakueni mwende mneata matunda, na itunda lamwanu litamie ii ili kuli choose mwahemba kwa Aba mkolie. 17Mateta ia hoa ngilikuvavaseni, mkundane kila mndu na wakwe.18Kama uruka wevasua, mmanye ulengisua ini kabla utavasua nyweni. 19Shaa mleva va uruka, uruka ivelivakundasha mli vakwamwavo; lakini nyweni mliva ulimwengu kwi na kwakuto ngilevatala iduka kwa urukeni, kwa ajili ihoi uruka ukavasua.20Kumbukeni iteta ngilevavia, iboi ni mtue kuliko mtue wakwe kwii; shakundu mlenginyarisa ini, vavanyariseni na nywee, kama valera mateta akwa, vaveliraa na amwanu. 21Vevarundia mateta akwa ajili ya irina lakwa, kwa kuto vamwishi uya angivavasa kwi. 22Kama ngitalesha na ivavia, vavelirunda se sambi kwi, kwa kuto dakai veterukusa kwi kwa sambi samwavo.23Uya angisule ini nemsua Aba. 24Ikava tingerunda rumate iwapo tikwete umierunda, vaveli vete sambi, kwa kuto varunda ose avili valolea vangisua ini Aba kwa. 25Ili holi ladukia na lishike lie lileandikwa na sheria ya mwavo; vengisua ini bila sababu.26Weri mfariji asha, ambapo ngemtuma kwa mwanu iduka kwa Aba, ishu nife, n'goo yaloli, ambae nadukia kwa Aba, atanishuhudia. 27Nywe na nywe mwengiamba kwa sababu ngiveli na nywe tandu kira.
161Ngakuvieni mateta ahoa mtasue. 2Vekudueni nja ya manumba, longoli saa ilisha kila mndu akubwaeni efikiri fe nyarunda kasi ngisha kwaajili ya Mungu.3Vevarundia mateta aa kwa sababu tivavengimanya wala tivangiishi ini. 4Ngavavia mateta ilikwamba mda ukashika, weidima iakumbuka na shandu ngavavia muidime nyweni, Ngilevavia mateta a tangu kira kwa sababu mveli pamoja nanywe.5Kimeva, kahindi ngileenda kwa uya angituma, lakini tikwete kati ya mwanu alengivesa, "nikwi ulienda". 6Kwakuto ngaamba mateta akwa mwanu, uhanda lasha n'goo kwa mwanu. 7Hatakuto, ngilivavia loli ini undusha kwa mwanu mkaukia; kwa kuto ngitameukia, mwehurumia tiesha kwa mwanu, kimeva ngaenda ngemtuma kwa mwanu.8Kasha, mwehurumia euthuibitisha uruka ihusiana na sambi, idukana na kindo cha loli na irukumia. 9Imanyana la sambi, kwakuto tivalengiamini ini; 10Imanya la loli, kwakuto ngilienda kwa Aba, na timwengilolea se. 11Na kwasababu yerukiumia kwakuto mtue wa uruka uu arukumiwa.12Ngete mengi evavia, lakini timweamanya dakai. 13Lakini fe, ngoo ya loli, kasha, evarora loli yoose; kwakuto tieteta kwa ajili yakwe mweni, lakini voose vaishua, eamba matetao, na nevarora kwa mwanu mateta esha. 14Fe nalengishukuru ini, kwasababu neairia mateta akwa na iamba kwa mwanu.15Vindo vyose arile Aba ni vyakwa, kwakuto, ngaamba ngoo nieiria mateta akwa na ikamata kwa mwanu. 16Bado weri udidi, timlingilolea se, na kukamesia weri ufuhi, mwengilolea see."17Baadhi ya vamoshivirwa vakwe vakaviana, "nichoiki alituvia, ''weri ufuhi, mwengilolia see; na weri ufuhi mwengilolia; kwakuto ngilienda kwa Aba"?. 18Kwakuto vakaamba, "nikindo chovi aliamba, Bado weri ufuhi? tuishi shakundu aliamba kwi."19Yesu alelolia avavese, nafe kavavia, "mlijivesa nywe veni kwa li holi, mleamba, 'Bado weri ufuhi, tiwengilolea se, na baada ya weri ufuhi timwen'gilolea''?. 20Manyeni, mmanye, ngilikuvieni, mwelia na iishiriishiri, lakini uruka wekunda, mweva na ihanda na ihandaa la mwanu leva ikunda. 21Mndu mfele neva na ihanda weri uya keva na uchungu kwa sababu weri wejifungua umeshika, lakini kamejifungua mwana, tiekumbuka see husuni kwa sababu ikunda lakwe kwamba mwana avonika dunieni.22Nyweni na nyweni mwete sini, kimeva mwevalolia see, na n'goo sa mwanu sekunda na tikwete mndu eidima idua ikunda la mwanu. 23Timweshengivesa se, manyeni mmanye ngilivavia, mkahemba kindo choose kwa Aba, evaininga kwairina lakwa. 24Hadi kahindi timmehemba choose kwa irina lakwa hembeni, na nyweni mweiria ili kwamba ikunda la mwanu ishike.25Ngateta nanywe kwa mateta atemanyika, lakini ngilisha ambako ngeteta mateta mtemanya lakini Badala yakwe ngevavia ihusu Aba.26Mfiri woo mwehemba kwa irina lakwa, na tingevavia kwamba tingevavia ngehemba kwa Aba kwa ajili ya mwanu. 27Kwakuto Aba mweni nawapenda kwasababu mwangikunda ini kwa sababu mwanigiamini kwamba ngaduka kwa Aba. 28Ngaduka kwa Aba na ngasha urukeni, tena ngasha ngaduka urukeni na ngileenda kwa Aba.29Vamoshivirwa vakwe vakammbia, "uweni," kahindi uliteta wasi wasi nativetumia mafumbo. 30Kahindi, tuishi kwamba muishi mateta ose, na tewehitaji mndu woose ekuvesa mateta. Kwakuto tueamini kuwa waduka kwa Mungu. 31Yesu akajibu, "Kahindi mmeamini?".32Ambulia,saa ilisha, iye na imesha, ambako mwelekana kila umi na kwakwe mwengita mweni. Lakini ngilimweni kwi kwasababu Abakwa alifo. 33Ngilivavia mateta a kwamba kati yakwa muve na amani, uruka wete shida, lakini jiiningeni ngoo, mwaidime uruka.
171Yesu aliamba mateta ila kairilia meso doka kaamba, "Aba sa yashika, akundiriwe kona ili na kona na akundiriwe ife. 2Shandu alengininga mamlaka doka ya vyoose vyete vete moo wakolie uzima wa milele waya voose valio,patia.3Ivu ni vo usima wa milele; kwamba vakumanye ife, Mungu wa lol wa pekee, na uya amtuma Yesu Kristu. 4Ngilekutosa iha urukeni, na imaa rumate ulengininga ngirunde. 5Kahindi, Aba, alekuirilia fe na iutukufu uya uveli navo kabla ya uruka utue.6Ngileshukua irina lafo kwa vandu iha urukeni. Vaveli na vandu vafo, lakini valengininga ini navo valelira irina lafo. 7Kahindi mwishi kindo alengininga ini cheduka kwafo. 8Kwamateta aya ulengininga ini- ngimeme iva ininga mateta a-valeiria na niloli na aishi ini ngaduka kwafo, na vakamanya ife nife wangivavasa.9Ngilevahembea voo. Tingile vahemba uruka bali vyaya vanguininga kwa kuto ivo ni vafo. 10Vindo vyoose vilivyavo ni vyakwa, na via ulinavyo ife ni vyakwa, nani vengiirilia kwa hoo hoo. 11Ini ngilisee urukeni, bali voo vali urukeni, na ini kahindi ngilisha bkwafo. Abaa mtakatifu, wairiliwe kwa irina lafo laia watuininga sue ili navpo vave na umoja, shaandu nywe mlina umoja.12Ngili navo, ngilevaringa kwa irina lia ulengininga; ngilevaringa na tikwete ata umi aleteka ataveli ni mwana eteka, ili vindo via valeamba vishike. 13Kahindi ngilisha kwafo, lakini ngiliamba ia uruka ikunda lakwa lishiki numbeni kwa mwavo veni. 14Ngavaininga mateta akwa uruka vakusua kwa sababu uruka uni wamwavo kwi, shandu ini ngiveli va uruka.15Ngilivahembia mduke urukeni balli ngivakwame na uya mmbishwa. 16Wala niva uruka shandu ini ngiveli wa dunia kwi. 17Uvavikie wakfu kwafo katika loli, iteta lafo lili lilo.18Ulengituma urukeni, naini wangituma urukeni. 19Kwa ajili ya mwavo ini mweni ngilejidua kwafo ili kwamba navo vajidue kwa mwavo kwa loli.20Niva tiki ngilivahembia kwi, bali ni vyay veamini ihitia iteta loo. 21Ili kwamba navo vave na umoja, shandu ife Abaa, uveli na ini ndani yafo. Ngilivavia ili kwamba navo veni vaidime iva ndani ya mwavo, ili uruka umanye ife nife wangivavasa.22Usha uya ulengininga ini-ngavaninga voo, ili kwamba vave na umoja, shandu sue tuli na umoja. 23Ini ndani ya mwavo, na ife ndani yakwa, ili vaidime ikamilishwa katika umoja, ili uruka umanye hakika nife wangivavasa, na ivakunda, shandu ife wangikunda, ini.24Abaa, kia wangininga ini-ngiveloli ori wosee vave na ini nani handu ngili ili vaidime ilolia utukufu wakwa, uya wangininga; kwa kuto ulengikunda ini kaba italeumba misingi wa uruka..25Abaa ete loli, tiulekumanya ife, lakini ini ngakumanya ife, na uishi ulengituma. 26Ngilefanya irina lafo likamanyikana, na ngilerunda ngimanyike ili ikunda ambalo kwamba ulengikunda ini muidime kaa ndani yamwavo, na ini ndani ya mwavo."
181IKava Yesu kashiketeta mateta iya hoa nialeenda ifungo la kidroni, ambao kuvete kimshanda, hokuto fe na moshivirwa vakwe valehita foo. 2Kahindi lee Yuda uya aveori amsaliti, nafe niaveishi handu haya namu Yesu niavelienda ho mara kengi fe na moshivirwa vakwe. 3Nafe Yuda kashikeilolea irundu la vaaskari na maafisa iduka kwa vatue va Makuhani vakasha varile koroboi, na toshi na silaha.4Nafe Yesu kali ni aishi kila kindo kilirundika doka yakwe, aledukia mbele ya mwavo na ivavesa, "Nivii mlimsengeta"? 5Navo vakamjibu, "Yesu Mnasareti" Yesu kavavia "ini nife" Nafe Yuda uya alemsaliti, niaveliimusi na vaaskari vaya.6Kwacho kavavia, ''Ini nife'' valeuya kimanuma na iwa shii, 7Hokuto kavavesa se,"Nivii mlimsengeta?" Navo vakamjibu see "Yesu wa Nazarethi'.8Yesu kavajibu, "Ngimekuvieni ini nife; kwa kolea mlingisengeta ini, valekeni ivahova vaendesa mwavo" 9Iya hoa nialeva kuto ili lishike iteta lia, aleamba, "Idukana na vaya ulengininga lengilemlesa hata umi".10Hokuto Simioni Petiri averile ibanga, kaukotana kamtumbua kitui cha mtumishi wa kuhani mkuu. Na rina la mtumishi uya wa kuhani vemamkwa malko. 11Yesu kaambia petiri,"uraibanga lilafo fohaleni.Nikiri nderita kikombe kia, Aba alengininga?.12Ikashika irundu lialavaskari vaya na jemedari na vatumishi vaya vavayahudi valemraa Yesu na mtuduvilia. 13navoo vakamkata mpaka kwa Anasi,namufe niaveli mkoa kwe na kayafa ambao nife aveli kuhani mtue kwa mwaka uya. 14Kahindi lee kayafa nife alevaininga ushauri vayahudi kwamba kileva mndu umi afe kwa ajili ya vandu.15Simioni Peteri alemduvisa Yesu,naa kutokuto moshivirwa vengi.Na moshivirwa uya kuhani mtue aveli mwishi,nafe kahita na Yesu kuya ukumbini kwa kuhani mtue. 16Hatakuto Peteri nialeumuka ayanjaa ihekoni.Hokuto moshivirwa uya kuhani mtue aveli muhishi lee aleduka njaa kahenda katete na mafele uya aveliringa ihekoni na kamhisa Petiri numba.17Ikava kijakazi uya aveliringa iheko alembia petiri;ifete mveli kiminamndu shuu hoshu?"Nafe kahamba ,"ini nife kwi". 18Navatumishi vaya navatue valeimusi haya handu:vaveli vamehasa ngwii simedulia ngaa,namukuvete mbeho,vaveli otangaa na mukuvele mbeho namu vaveli otanga ilivave na moto mooni.Nafe Petiri ni aveli navo,kahota ngaa kahimusi.19Kuhani mtue alemselea Yesu ihusu moshivirwa vaya vakwe na kia ivavia. 20Yesu kaamjibu, "Ningilevavia uruka uloli; ini ngilevavia mara kengi masinagogini na hekaluni na handu haya vandu vekuumbira. Nani tengiteamba kindo chose kia ngilekwama. 21Nikili mlengivesa? Vaveseni vaya vaya valengihotania kia ngileamba. Vandu va vaishi kia ngileamb.22Yesu kashikemaa iamba kuto, kwete mndu umi aveliimusi nafe ni mtue alemkaba Yesu ikofi kwa kivoko chakwe na iamba, "Okahindi lee ni kuto cheva umururie kuhani myue?" 23Nafe Yesu kamjibu, "Kwakolea ngateta iteta lose lia ivishwa live ungoviro ka ajili ua uvishwa wakwa, na kwakolea ni ngamjibu undusha mkili wangikaba?. 24Nilo Anasi alemkamata Yesu kwa Kayafa kuhani mtue vaveliame mtuduvilia.25Kahindi Simoni Petiri niaveliimusi keota ngaa fee mweni ili akolee nyoru. Hokuto vandu vaya vakambia, "Okahindi lee ife teuveli kimii na moshivirwa vaya vakwe?" "kalea kaamba, ''ini shife''. 26Kali umi iduka kwa vatumishi vaya va kuhani mytue, ambao ni aveli mwanamae wa msero uya Petiri alemtumbua kitio, aleamba, "Shife ngakulolea nafe kuya kimshandeni?" 27Petiri kalea see, na hokuto ijoko likakaba.28Hokuto vakamwiria Yesu toka kwa Kayafa vakamsisa Prautiria. Na kuveli kan'gama shuru. Navo veni tevalehilia kuya Praitorioni vatachafuke vate iya paska. 29Kwakuto Pilato alevaandea na iamba, "Ni mwamusitaki ishu hoshu na choiki?'' 30Vakamjibu na iamba, :Kwa kolea mndu shu hoshu atali werunda uvishwa, tetuvelimnde kwafo"31Pilato kavavia, "Mwirieni nye veni mnemrrukumia idukana na sheria ya mwanu." Navo vayahudi vakambia, "sheria teyeturuhusu sue tuwe mndu wose uya" 32Ni valeamba iya hoa ili iteta la ma Yesu lishike, iteta aveli ameteta sha kunde fee efa..33Ika see Pilato nialehita Praitorio kamwamkua Yesu; naimbia, "Okahindi lee ife ni mangi wa Vayahudi?". 34Yesu kajibu,"Okahindi lee ulingivesa iswali loholo ili umanye au ulingivesa nami nivakuvia ungivese ini?" 35Nafe Pilato kamjibu, "Ini tengili myahudi au ehe? Taifa lafo na kuhani wafo mtue nivo vakunde iha kwakwa, ife ni choiki warunda?36Yesu kavajibu, "Umangi wakwa shiwa uyana uhou, kwa kwakolea umangi wakwa uvete sehemu kuni uyaneni vatumwa vakwa vavelingikabania ili vatangidue kwa vayahudi. Nichaloli umangi wakwa tawadukia ihakuti". 37Pilato kambia, 'Okahindi ife ni uli mangi?" Yesu kamjibu, "Nife uliamba kwamba ini ni mangi kwa cho hocho ini ngilevonika ngasha kunu uyaneni ili ngive ngiviro wa loli iyaa. Mndo wose alinayo loli yo hoyo nieihotania sauti yakwa.38Pilato kambia, "Loli ni choiki?" Nafe kashike iamba iyo hoyo kaenda kwa vayahudi na ivavia, "Tengimelolea kindo chose kwa mndu shu hoshu. 39Nyueni mwete utamaduni wa mwanu kwamba tukurulieni mndu umi mfunge weri wa paska. Okahindi mwori ngikurulieni mangi wa vayahudii" 40Hokuto valeishira veamba, nife idho hosho kwii turulie Baraba" nafe Baraba niave mrango esoka vandu.
191Ikava Pilato nialemwiria Yesu na imkaba. 2Maaskari vaya vakatobira ivombo la minga likava sha itaji. Vakalimbikilia doka mtuweni kwa Yesu na imrara nguvo ishani zambarao. 3Vakashelea na iamba, "Ife mangi wa Vayahudi! Halafu see vakamkaba kwa mavoko a mwavo.4Hokuto Pilato kaduka njaa na ivavia vandu, "Ambulia ningilimnde mndu shu hoshu kwa mwanu ili mmanye ini tengimelolea ikosa lose kwakwe" 5Kwakuto Yesu kaduka nja niverere itaji la minga na nguvo ya zambaraoo. Nilo Pilato aleamba, "Mwambulieni mndushuu hakuti" 6Kwakuto weri uya kuhani mtue na vatue vashike imlolea Yesu vakaishira veamba, 'mtikinye, mtikinye' Pilato kavavia, "Mwirienoi nyue veni mnemtikinya, namu ini tengiweni ikosa lose kwakwe."7Vayahudi vakamjibu Pilato, "sue ni twete sheria, na kwa sheria yo hoyo yemtaka afe namu fe nialejitolea shali kona wa Abaa." 8Pilato kashikeishwa mateta iya hoa nialeihova mnu. 9Kahita Praitorio see na imbia Yesu , :Ife ni waduka kwii? Hata kuto, Yesu taalemjibu.10Hokuto Pilato kambia, "Okahindi lee ife teuliteta nani? kwani ife tuushi ini ngeidima ikulekelea au ini ni ngeidima ikusulubisha. 11Yesu kamjibu, "Teuveli vaa na njaro doka yakwa kwakolea utameiningwa iduka doka. Kwakuto mndu uya alengidua kwafo niete mbiao nduwe."12Idukana na ijibu li holi; Pilato niaveri amlekelee bure, hatakuto vayahudi vakaishira veamba, "kwakolea ulimlekelea bure ife ni mbuya wakwe, Kaisari kwii; kila ejilolea mangi nieteta kufuri na cha Kaisari. 13Pilato kashikeishwa mateta iya hoa, kamnde Yesu nja hokuto katamia kitenguni kia cherukumia handu haya veamkua sakafu, hata kuto kwa kiebrania veamkua Gabetha.14Mfiri uya weandaa paska ushikeshika ishikeshika saa sita. Pilato nialevavia vayahudi, "Ambulieni mangi wa mwanu hoshu hakuti" 15Vakakaba kishireti, ''Mwirie mwirie, mtikinye" Pilato kavavia "Okahindi ngamtikinya mangi wa vayahudi?" Nafe kuhani mtue kajibu, "sue tetwete mangi kitii ni Kaisari. 16Nilo Pilato alemdua Yesu kwa mwavo vamtikinye.17Navovakamwiria Yesu, nafe kaduka ameukutika msalaba uya wakwe mweni hadi handu veamkuwa Ifuha la mtue, kwa kiebrania veamkua Golgotha. 18Hokuto valemtikinya Yesu, kali na vasero vavili, umi ura uhou na shu ungi urau ungi na Yesu kaka katikati ya mwavo.19Hokuto Pilato kaandika kitambulisho haya msalabeni ho kuti valeandika, "YESU MNAZARETI MANGI WA VAYAHUDI. 20Vayahudi vengi valesoma kitambulisho cho namu handu haya valemtikinya kuveli kufuhi na mrii, kitambulisho cho kileandikwa kwa kiebrania kwa kirumi, na kwa kiyunani.21Hokuto vatue va makuhani va vayahudi vakambia Pilato, uytaandike mangi wa vayahudi; bali nife aleamba ni mangi wa vayahudi" 22Nafe Pilato kavajibu, "Shakundu ngaandika ngimeandika,"23Ishike askari vamema imtikinya Yesu, valeiria nguvo sia sakwe na igawa marundu ana, kila askari irundu limi, na ikansu lia valeverunda kutokuto. Hokuto ikansu lia teliveliishone isipokua liveli limi iansia doka mpaka shii. 24Hokuto vakateta voveni kwa veni, 'Tutaibare bali tukabe kura tulolee yeva ya mavii," Ili liledukia ili kia kiandike kidukie, na chaamba lee valegawanya nguvo sakwa, na nguvo yakwa ini vakakabia kura.25Vaaskari valerunda findo fi hofi,maya Yesu msiki wa mayakwa, Maria mfele wa Kleopa na Mariaa Mgdalena vafele vehova vaveimusi kufuhi na msalaba uya wa ma - Yesu. 26Yesu kashikemlolea mae na moshivirwa uya amkundi vaimusi kufuhi, kambia mae, ''Mfele ambulia ambulia kona wafo hoshu ihakuti. 27Hokuto kambia, moshivirwa uya, "Ambulia oshu ihakuti mayafo," Iduka weri uya houya moshivirwa uya kamwaria kamkamata kaa kwakwe.28Icho kishikeisia lee. Fe Yesu kaishi ose niamesia shakundu kivelikiambe katika maandiko, nialeamba, "ngiishule nyota". 29Kibakuli kiveishule siki kiveli haya, kwakuto vakavika sifongo iishue siki doka undingo wa hisopo vakambikilia momuni kwakwe. 30Nafe Yesu kashikeilolea iyo hoyo, nielemba, "Imekwisa" Hokuto kainamisira mtue shii, kainingia ngoo iya yakwe.31Namu niaveli weri wa maandalio, namu moo teitakiwe ibaki doka ya msalaba wesi wa sabato(namu sabato ni iveli ya muhimu) vayahudi valemhemba Pilato vamunje matende aya amwavo nalee moosi samwavoo siso swe msalabeni. 32Nilo askari valesha na imunja matende a mndu wa kwansa na wakavili uya valemtikinya na Yesu. 33Vashikemshikia Yesu valemkolea fee amefa, hokuto tevalemunja matende aya akwe.34Hata kuto, askari umi nialemtosa Yesu uvari na ifumu, na weri uya kukadukia mringa na samu. 35Na uya alelolea ni aledua ungoviro, na ungoviro wakwe ni waloli. Fe ni aishi kiaamba ni cha loli ili na nyue muamini.36Findo fi hofi fadukia ili iteta lia lileambua lishike." Tekwete ifuha lakwe hata limi lemunjwa" 37Seke lingi liliandike kutii, "vemwambulia fee uya vamtosha."38Ishike ishelea koto lee Yosefu wa Armathaya, namu niaveli moshivirwa wa ma-Yesu hata kuto alekovelea kavaihova vayahudi, alemhemba Pilato aurie moo uya wa ma-Yesu. Nafe pilato niallemninga ruhusa. Kwakuto Yosefu kasha kasheiuiria moo uya wa ma - Yesu. 39Nafe Nicodemu ambao ho kirua alemduvisa Yesu kioo nafe nialesha. Fee ilialende mafuta masande na ubani, ivete ratili mia imi urito.40Hokuto wakauiria moo wa ma-Yesu vakautuduvilia sanda ya katani na mafuta aya shakundu iveli ni desturi ya vayahudi weri werika. 41Handu haya valemtikinya Yesu kuvete kamshanda; nafokali mshindeni kuvete kilome kishia vatamerikia fo mndu. 42Ikava, namu lee ni iveli ni mffiri wa maandalio kwa vayahudi, namu kilome kiveli kifuhi vakaenda vamrika Yesu kuya kati.
201Kan'gama shuru mfiri wa kwansa wa juma, kwete kaubeba, Maria Mgdalena nialesha kilomeni; kakolea iwe lia liliibiringise kwasha na kilome. 2Kwakuto katisha mbio ienda kwa Simioni Petiri na kwa moshivirwa uya ungi Yesu avelimkundi hokuto kavavia, "vamwiria Abaa kilomeni, nasue tetuishi kundu kuya vanemrara."3Hokuto Petiri na moshivirwa uya ungi vakaduka, ienda kilomeni. 4Vose valelisha weri umi; moshivirwa uya ungi ni aletisha mbio mnu kuliko Petiri na ishika kilomeni wa kwansa. 5Kaimuka na hokuto kaambulia kilomeni, kalolea sanda iya katani ilele, hatakuto taalehita kuya kati.6Hokuto Simioni Petiri nafe nialeshika kalilia kuyakilomeni, kailolea sanda iya ya katani ilele haya. 7na kitambao kia kiveli mtueni kwakwe teiveli lele kimi na sanda iya ya katani bali ivelele pembeni yoo cheni.8Nilo moshivirwa uya ungi nafe kashike ihitia kati kilomeni; kalolea na iamini. 9Namu hadi weri wohowo tevaveli vamemanya maandiko kiveliva Yesu aruke see kwa vandu vamefa. 10Hokuto moshivirwa vakaenda see kaa kwa mwavo.11Hatakuto Maria niaveimusi kilomeni kelia, keendelea kilia lee nialeimuka hatakuto kaambulia kilomeni. 12Kalolea kona va ma-Aba vavili vete chamu chewa umi akaa mtueni na ungi kaka matendeni handu haya Yesu avelele. 13Navo vakambia, Mndu mfele nikili ulilia?"14Kashike imaa iamba iyohoyo, alehunduka kamlolea Yesu kaimusi. Hatakuto taalemanya kwa kolea fe ni ayaesu. 15Nafe Yesu kambia, "Mayo nikili ulilia? Nivisho ulimsengeta?" Nafe kunu kefikiri ni mndu uya eambulia kamshanda kambia, Abaa, kwalolea nife wa mwiria, ungivie kundu wambikia nani nginemwiria."16Yesu kambia, "Mariamu." Nafe kahunduka mweni na iamba kwa kiaramu, ''Raboni'' ihoi iamba ''mwalimu'' 17Yesu kambia, ''Utangifure, namu tengimeenda kwa Abaa, bali uende kwa vana mayakwa unevavia kwamba ngilipaa ngunde kwa auyakwa ambao seke ni Auya mwanu, Aba wakwa na ni Aba wa mwonu'' 18Mariamu Magdalena kasha kambia moshivirwa, ''Ngamlolea Abaa'' na hatakuto ningambia findo fi hofi.19Na ishikeshika kwakwaini, mfiri wohowo, mfiri wa kwansa wa juma, na maheko niavelimaurilie handu moshivirwa vaveli kahoo valeiova Vayahudi,Yesu nialesha na iimuka katikati ya mavo na ivavia, ''Amani ikae na nyue'' 20Kashike imaa iamba iyahoa kavarora uvari wakwe. Navo moshivirwa vashikemlolea Abaa valekunda.21Hokuto Yesu kavavia seke, "Amani ikae na nyue. shakundu Aba alengituma ini, kwa kuto nani ningekutumeni nyue'' 22Yesu kashike imaa iamba iyohoyo, kavavua kavavia, irieni Roho Mtakatifu. 23Vandu vose mwevadulia mbaka cheva yaduka na mndu wose mwemtuduvilia mbaka yeva mwamtuduvilia''.24Tomasi kali umi kati ya vaya ikumi na vavili, vavelimwamkua Didimasi, taaveli na moshivirwa vengi weri Yesu alesha. 25Moshivirwa vaya vakambia vaadaaye, ;;Twamlolea Abaa'' Nafe kambia, ''Kwakolea ndelolea alam sa msumari fo mavokoni kwakwe, na ivikia mnywe sakwa fo alamaneni na ivikia mavoko akwa haya mbarini kwakwwe tengeamini.26Sikashike hita mfiri sia nane moshivirwa vaveli chumbeni seke, nafe Tomasi niaveli kimii navo. Weri uya mahengo avelimaurile Yesu nialeimuka katikati ya mwavo, na kaamba, ''Amani ikee na nyue'' 27Hokuto kambia Tomasi nde mnyue wafo na ulolee mavoko iyaa akwa. Nde hakuti mavoko iya afo na uvikie ha uvari kwakwa; wala utavee mndu aleamini bali eamini"28Nafe Tomasi kajibu na ivavia, "Auya kwa na Abaa wakwa'' 29Yesu kavavia, namu wangelolea weamini. Vamebarikiwa voo valeamini, vatemengilolea''30Hokuto Yesu niarunda ishara ngingi mbele ya moshivirwa, ambazo tavamelesiandike katika kitabu kihoki; 31namu isihosi silingiandike ili muidime iamini kwamba Yesu ni Kristo, kona wa ma Abaa, na kwamba mkaamini muve na uzima wa kirere katika rina lakwe.
211Ikava findo fo hofo Yesu nialejirora see kw moshivirwa handu haya hete mringa uya wingi wa Tiberia; nikuto alejiroramweni. 2Simioni Petiri niaveli na Tomasi vemwamkua DIdimas, Nathanieli wa kona ya Galilaya, kona va Zebedayo na moshivirwa vengi va ma-Yesu. 3Simioni Petiri kambia, ''Ini ngilienda idua samaki'' Navo vakambia, ''nisue he tuleenda nafe'' vakaenda vakahite mbongoni, hata kuto kio cha tavalekolea kindo choose kia.4Na kan'gama kushikechaa, Yesu nialeimuka mlingirini, navo moshivirwa tevalemmanya kwakolea nife Yesu. 5Hokuto Yesu kavavia, ''vanakee, mwete chose kia cheyaa?" Navo vakamjibu, ''Ehe'' 6Kavavia, ''Soseni uteri ura wa kulio wa mbongo, na nyue mwekolea chochote'' kwakuto vakasosa uteri navo vakalemwa iukota see namu valekolea samaki vengi mnu.7Hokuto moshivirwa uya Yesu amkundi alembia Petiri ''Ni Abaa'' Nafe Simioni Petiri kashikeishua ni Abaa, karar nguo iya yakwe (namu taavelirere undu) kajikiria mringeni. 8Moshivirwa vaya vengi vakasha haya mbongoni (namu tevaveli kwasha na mkingirini wa mringa wingi, namu kwete mita mia imi iduka mkingirilni) navo vavelikota uteri sia siveliishule samaki. 9Vashikeshika mkingirini lee, valeloa ngaa zete vishinga na doka yakwe kwete samaki ili handu hami na mkato.10Yesu kavavia, ''Ndeni samaki sia mwadua kahindi kuti'' 11Kahindi Simioni Petiri katua na iukota uteri uya uveishule samaki vatue, sha samaki 153kuti, namu vaveli vengi uteri uya uletumbuka kwi.12Yesu kavavia, Njioni mrite shai ya kang'ama'' tekwete hata moshivirwa umi alekari imbesa, ''ife nivii?'' vaveliishi lee ni Abaa. 13Yesu kesha, kairia mkate uya hokuto kavaininga, karunda kuto kwa samaki sia see. 14Ili holi liveli ni mara ya katatu kejirora kwa moshivirwa vakwe tangu ileruka idukwa kwa vandu vamefa.15Vashikemaa inywa shaile, Yesu kambia Simioni Petiri, ''Simioni mwana wa Yohani, niloli ungikundi kuliko ivahova?" Petiri kamjibu, Yee Abaa, ''ife niushi ngikukundi'' Yesu kambia, ''vaininge chao makondi iya akwa''. 16Kambia mara ya kavili, ''Simioni kona wa Yona, okahindi ungikundi? petiri kambia Yee Abaa ife niushi ngikukundi, Yesu kaambia, ''Ringa makondi iya akwa''.17Kambia see mara ya katatu, '' Simioni kona wa Yohana okahindi ungikundi? nafe Petiri kasua namu nialembia safari ya katatu. Okahindi ungikundi? nafe kambia, ''Abaa uishi ose; niushi lee ngikukundi'' Yesu kambia iringa makondi iya akwa chao. 18Amini, amini ningakuvia, lia kuli mwanake niuvelikunda irara nguvo mweni na ienda handu hose uori, hata kuto kwashike iva mmeku weora mavoko iya afo na unginiekurara nguvo na ikukamata handu utaori ienda."19Yesu nialeamba iyahoa irora shakundu Petro efaa amtose Abaa doka.20Petiri nialehunduka na imlolea moshivirwa uya Yesu avelimkundi kamduvisa. Ishuhoshu ni uya alejihundusa katika kidari cha ma-Yesu, weri wa chao cha kwakwaini na imbesa, ''Abaa nivisho ekusaliti?" 21Petiri alemlolea na hokuto kambesa Yesu, ''Abaa mndu shu hoshu nierunda choikii?.22Yesu kamjibu, ''kwakolea ngiori akaefoo hadi ngiuye, ilo holo lekuhusu choiki?'' Ngiduvisa'' 23Kwakuto mateta iya hoa akasambaa kwa vanamae vaya kwamba lee moshivirwa shihoshu teefa. Hatakuto Yesu taalembia Petiri moshivirwa shohosho teefa. ''kwakolea ngiori fee akae foo hadi ngiuye yekuhusu choiki ife.24Ishu hoshu ni moshivirwa uya edua ungoviro wa findo fi hofi na nife aleandika findo fi hofi, na tuishi ungoviro wakwe ni wa loli. 25Kwete findo fakwe fingi ambao Yesu alerunda, kwa kolea kila kimi kileandikwa, kiveliva kwamba lee uyana u wose teuvelishika ifi vikia fitabu fya fiveliandikwa.