Dhaiso: Bible for 1 John, 2 John, 2 Peter, 2 Thessalonians, 2 Timothy, 3 John, Colossians, Jude, Philemon, Titus

Formatted for Translators

©2022 Wycliffe Associates
Released under a Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Bible Text: The English Unlocked Literal Bible (ULB)
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English Unlocked Literal Bible is based on the unfoldingWord® Literal Text, CC BY-SA 4.0. The original work of the unfoldingWord® Literal Text is available at https://unfoldingword.bible/ult/.
The ULB is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Notes: English ULB Translation Notes
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English ULB Translation Notes is based on the unfoldingWord translationNotes, under CC BY-SA 4.0. The original unfoldingWord work is available at https://unfoldingword.bible/utn.
The ULB Notes is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Below is a human-readable summary of (and not a substitute for) the license.
You are free to:
The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following conditions:
Notices:
You do not have to comply with the license for elements of the material in the public domain or where your use is permitted by an applicable exception or limitation.
No warranties are given. The license may not give you all of the permissions necessary for your intended use. For example, other rights such as publicity, privacy, or moral rights may limit how you use the material.

Colossians

Chapter 1

1Paulo mtumwa wa Yesu Kristo kwa mpenzi ya Mrungu na Timotheo ndungu yetu. 2Kwa aumini na ndugu aaminifukwa Kristo makakalevo Kolosai, neema ikale kwenu na amani kudumu kwa Mrungu Papa yetu. 3Natidinye shukuranikwa Mrungu Papa wa Bwana wetu YesuKristona tikwaombea mara kwamara.4Tigua imani yenyu Yesu Risto na upendo mnago kwa araonde mategwa kwa ajili ya Mrungu. Mna upendo oyu kwasababu ya ningu tarajia uhakika wahifadhiwa kwa Mrungu kwa ajili yenyu. 5Mwauwakuhusu taraja eso ya uhakika kabla nenola kweli injili, ambayo isasa kwenyu. Injili eno naishara tunda naiyena ulimwengu gonde. 6Ikali ikiketaao ndeni yoo pia tangu erasiku mkauwa nagwifunza kuhus neema ya Mrungu kweli.7Eno ndeiyo injili mwaifunza kuduma kwa Epafra ndugu yetu mtumishi aruwetuambae ni mtumishi mwaminifu waKristo kwa niaba yetu. 8Epafra akuuketa umenyekane kwetu upendo wenu wa ngoro.9Kwasababu ya upendo oyu, tangu mdenya oro tikauwa ao tatikatia kwaombe. Takalatikaomba kwamba msao sojwa na kumenya kwa ngoro. Taritikivoya kwamba msalata kwa usanilivu wa Bwana Sarani shipendeza. 10Tarekitivoya kwamba msashara tunda kwa kila pata nzurimsakara na maarifa ya Mrungu.11Nativoya mpate mvinya kwa kila uwezo kulingana na mvinyesha mtukufu wake kuvumilila na kustahimili onde. 12Nativoya kwamba kwa furaha msadinyashukrani kwa Papa, aketa imwi mweze kukala sehemuya ulithi wa umini anuru.13Atidinya katika utawalawa kivundu na na kudavijwa katika ufalme wa mwana wake mpendwa. 14Katika mwana wake tinaukombozi msamaha wa dhambi.15Mwana ni mfano wa Mrungu atiakonekana ni mshalwa wa kwanza aombaji onde. 16Kaogo kwake yeto shonde shaundwa ija shikala mbinguni na shikala duniani ito onekana na itoshikia konekana. Ikalanisha kala matuku mengi au mamlaka au usatawala au enemvinya, itoshonde shaundwa ni walewekwa ajili yake. 17Warewe aliwavayo kabla ya itoshonde kwaora werwe, itoshonde na shikwatama vamwe.18Werewe ndewe motwe wa mweli yaani kanisa werwe ni mwanzo mshara wa kwanza kuduma miongoni ma agwa, ogo ananafasi ya kwanza miongoni mwaito shonde. 19Kwa kuwa Mrungu apendezwa kwamba utimilifu wke wonde kukala ndeni yake, 20nakupatanisha itoshonde kwa sera ya mwana wake. Mrungu aketa amani kapalela ndakame ya msalaba wake, Mrungu apatanisha itoshonde kwake mwene ikikala ni itosha duniani au itosha mbinguni.21Imwi pia kwa wakati omwe mwari ayeni a Mrungu na mwali maadui yake katika akili na maneno maovu. 22Lakini ndevo mpatanisha imwi na mweli wake kupalela engwa. Aketao ili kuwaleta imwi atakatifu, matari lawama na bila dosali moja yake. 23Kama ukiendelea na imani yaimalishwa kukalathabiti pasipokochwambali kuduma kwenye taraja la ujasirila injili mwanyua. Enonde injili yatangazwa kwa kila motu undwa endi ya mbingu, eno ndeyo injili ambayo kwaogo inye, Paulo ningukala mtumishi.24Ndevo ningu furahamateso akwa kwa ajili yenu. Nami nngutimiza mweri wakwa nngupunguakwamateso aKristo kwa ajiliyamweli wakwa ambao ni kanisa. 25Inje ni mtumishi wakanisa reriswa sawa na wajibu na vawa kuduma kwa Mrungu kwa ajiliyenu kulosoja neno la Mrungu. 26Oyu ni ukweli wa siri ya vidwa kwa miaka mengina ushar. Lakini ndevo ijolwa kwa wondemaamini kwa oso. Ni 27kwa ara ambao Mrungualacha kujoraurevo utajili wa mtukufu kwa siri ya ukweli eno mongoni mwa mataifa. Nikwamba Kristo avayondeni yenuujasiri na utukufu ukosa.28Oyu ndwe tikumtangaza. Natimonya kila motu na kufundishakila motu na kumfundisha kila motu kwa hekima yonde ili kwamba timrete kila motu mkamilifu kwa Kristo. 29Kwaajili yeno nnye ngwijibisha na ngwijitahidi kiligana na mvinya yake iketapata kwa kuweza,

Chapter 2

1Kwakukala ni ngulacha mmenye jinsi ogo ni kesi taabau nyengi kwa ajili yenu kwaonde mkeri Laodikia na na kwaonde ambao tavika kona kidango chakwa katika mweri. 2Ninguketa pata ili ngoro shoo shiweze kufarijiwa kwakuletwavamwe katika upendona katikaujasiri wonde kwaengi wauhakika kamili wa maarifa katika kuimenya siri yakweli ya Mrungu ambae ni Kristo. 3Katika warewehazina shonde sha hekima na maarifa shirindwa.4Nikwamba ao ili motu yoyoteatiekusa kuwa ketera hila kwa hotuba yene ushswishi. Naingawa sirevo vamwe na imwi katika mweri lakini ni vamwe na imwi katika ngoro. 5Ningufwaerwa kona utaratibuwenyu mzuri na mvinya ya imani yenyu katika Kristo.6Kamaongomwamvokera Kristo Bwanawehanivamwe nake. 7Mwimarishwe katika werewe mwaakwe vanwe nake, mwimarishwe katka imani kama ogo mwafundishwa na kovwa katika shukurani nyengi.8Lolani kwamba motu atie akwata kwa falfasa maneno maderi ya udanganyifu kulingana na mapokeo ya anaadamu kulingana na kanuni sha kidunia nasego kulinganana Kristo. 9Kwakula katika wareweukamilifu wonde wa Mrungu nauishikatika mweri.10Nanyi mkosojwa katika warewe, warewe ni motwe wakilauweza na mamlaka. 11Kwa warewe pia mlitahiniwa kwatohara itiaketwa ni Adamu katika kochwa mweri wanyama lakini ni katika toharaya Kristo. 12Mrindwa vamwe nake katika ubatizo na kwa seraya imani katika warewe mkafufuliwa liwa kuduma kwa afu.13Namkeri mkogwa kwa makose enyu na kutiakutahiriwa kwa mieri yenyu akaaketa hai vamwe nake na atisamehe makosa etu onde. 14Akafuta kumbukumbu ya madeni ya andikwa na taratibu shakalakinyumenaije.Akaocha onde na kuagota msalabani. 15Akaucha mvinya na mamlaka akaeka mwazina kuaketa kukala sherehe ya ushindi kwasera ya msalaba wake.16Kwaogo motu yoyote atie kuwa humu imwi katika koya au konywa na kuhusu mondu wa wa sikukuu au mweri movya au mondu wa sabato. 17Injo ni mvevo sha mambo makosa lakini ni Kristo.18Motu yoyote atie venwatunzo yake kwa kutani unyenyevu na kwa kwabudu malaika. motu wa jinsi eso adongora katika mambo aona na kushawishiwana mawazo ake akimweri. 19Warewe takuukwa telela mwotwe, nikuduma katika mwotwe kwamba mweri wonde kuwatelela iyungo shake na mavindi nashiungwanaishikatana yamwenashikonakukora ulinywani Mrungu.20Ikikala mkongwa vamwe na kristo kwa tabia sha dunia mbona na muwajibikwa kwa dunia.. 21Mtie kwata wala kuonja wala kugusa . 22Ayaonde makwa amriwa kwaajili uharibifu oso ukusa na matumizi kutokana na maelekezo na mafundisho anadamu.Sheria ijo shina hekima ya dini shaketwa kwa ubinafsi na unyenyekevu na mateso a mwesi. 23Lakini tasheri thamani zidi ya tamaa sha mweri.

Chapter 3

1Ikikala kenja Mrungu akuafufula vamwe na Kristo alacheni mambo ya ora ambako Ktisto akala koko kwakuroma wa Mrungu. 2Fikirini mambo ya ora seo mambo a duniani. 3Kwa kukala mkogwa na maisha enyu mavidwa vamwe na Kristokatika Mrungu. 4wakati Kristo akionekana ambayo ni maisha yenyu ndevo imwi msaonekana nake katika utukufu.5Kwa ogo avideni mambo marevo katika endiyaani zinaa uchafu shauku nia mbei na tamaa ambayo ni ibada ya sanamu. 6Ni kwa ajili yamambo ayo ghathabu ya Mrungu naikusa oru ya ana matiatii. 7Ni kwa ajili ya mambo ayo imwipia muheha kwa aso na mkaishi kati yenyu. 8Lakini ndevo muyaachi mambo aso onde, vaanighathabu hasira , nia mbei matusi na maneno matokayo maduma miromoni mwenyu.9Titie kengana imwi kwa imani kwa kukala mkuudora utuwenyu wa kara na matendo ake. 10Mgui ova utu movya ambao naketwa ovya katika maarifa kwa mfano wa ura aamba. 11Katika maarifa aya takarimyunani walamyahudi kutahiliwa na kuto tahiliwa msomi na atari msomi mtumwa na atari mtimwa lakini badala yake Kristo ni mambo onde katika onde.12Kama ateule a Mrungu atakatifu malachwa iyoveri utu mzuri ukarimu unyenyekevu upole na uvumilivu. 13Gweranani imwi kwa imwi hurumianeni kila motu na aru ake kama motu analalamika zaidi ya wongi umsamehe kwa jinsiera era kama ura Bwana aasamehe imwi. 14Zaidi ya mambo aya onde mikale na upendo ambacho ndechokigezo cha ukamilifu.15Amani ya Kristo na iwalongoze ngoroni mwenyu ikeri ni kwa ajiliya amani eno kwamba mkweta katika mweri womwe mkale na shikurani. 16Na neno ra Kristo rikale ndeni yenyu kwautajiri kwa hekima yondefundishaneni na kushauriana imwi kwa imwi kwa zaburimaravo na maravo a ngoroni ina kwa shukurani ngoro shenyu kwa Mrungu. 17Na chochote kira mketa katika maneno au katika matendo keteni onde katika jetwa la Bwana Yesu mooveni shukurani Mrungu Papa kupalela warewe.18Aka anyenyekeeni arome enyu kama ogo ikwayera katika Bwana. 19Na imwi arome aendeni aka enyu na mtiekala akali uro yoo. Ana anaheshimuni asheri enyu katika mambo 20onde maana ndego shimfuaija Bwana. 21Akina Papa mtiekuwachokoza ana enyu ili mtiekata tamaa.22Atumwa atiini mabwana shenyu katika mweri kwa mambo ondeseo kwa huduma ya medo kama atu mafurahisha tu bali kwa ngoro ya kweli msesini Mrungu. 23Chocote kura mkete ketani kuduma nafsini mwenyu kamakwa Bwana na si kama kwa wanadamu. 24Na mwenya ya kwamba msavokera tunza ya umilikaji kuduma kwa Bwana. Ni Krisro Bwana timtumikira. 25Kwasababu yoyote aketa maseohaki asavokera hukumu kwa matendo matari hakiaaketa na takuri upendeleo.

Chapter 4

1Mabwana dinyani kwa watumwa mambo ya hakina ya adiri nammenya pia kwamba mnae Bwana wa mbinguni.2Endeleani kuwa dhabiti katika maombi kalani mendo kwa leso kwa shukurani. 3Ombani ni vamwe kwa ajili ya neno kwamba siri ya kweri ya Kristo. Kwasababu ya neno ikovwa miuyororo. 4Voeani kwamba niweze kureka wazi kama ogo inipasa kwamba.5Enda kwa hekima kwa ara maesa na mukombole wakati. 6Maneno yenu makale naneema wakati wowote makolee munyu majila onde ili kwamba mweze kumenya jinsi ikwapasa kumjibu motu.7Kwa mambo manihusu inye Tikiko asaaketa mamenyekana kwenyu.Warewe ni ndugu akwendwa,Mtumishi mwaminifu,namtumwa aruetu kwa Bwana. 8Ningemtoma kwenu kwaajili ya revi,kwamba mweze kumenya mambo kuhusu ije na pia kwamba aweze kuwadongoja ngoro. 9Ningumtoa mavamwe na onesimo,ndugu yete akwendwa mwaminifu,na omwe wenu,masaela gito chadumela ava.10Aristarko marwa aluwakwa,na kwakeja,pia na Marko binamu yake Barnaba mwamvokela utaratibu kuduma kwake kama akesa kweu,mvokela," 11Na pia Yesu akwetwa Yusto.Aya mawengwa wa tohara niya keta kazi angetu kwa sera ya ufalme wa Mrungu.Makala ni faraja kwakwa.12Epafra na kwakeja,warewe omwe wenyu mtumwa wa Kristo Yesu warewe na keta bidii kufanya maombi kwaajili yeno kwamba mweze kurama kwa ukamilifu na kuhakikishwa kiukamilifu na mapenzi yonde ya Murungu. 13Kwaogo ningu mshuhudia,kwamba naketa kazi kwa bidii kwaajili kwaosomawavayo Mierapoli. 14Luka ora tabibu akwendwa ,na dema nama kwa keja.15Kwakeja ndugu shakwa makelevo Leodekia,na nimja ,na kanisa rerari nyombani kwake. 16Barua eneo ikisomwa miongoni mwenu,isomwe pia kwa kanisa la walaodekia,imwi pia haki kishani namnyi soma ela barua kuduma Laodekia. 17Amba kwa Arkipo,lolaela huduma ambayo ivokelwa katika Bwana kwamba ipaswa kutimiza."18Salamu eneo ni kwa koko kwakwa mwene Paulo kumbukani minyororo yakwa.Neema na ikale na imwi.

2 Thessalonians

Chapter 1

1Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa la Wathasalonike katika Mrungu Papa yetuna Bwana Yesu Kristo. 2Neema naikale kwenyu na amani iduma kwa Mrungu Papa yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.3Naitipasa ijekumshukuru Mrungu matuku onde kwa ajili yenyu, ndugu maana eno ndeyo itihusu, kwakula imani yenyu naikura sana na upendo wenyu kwa kila motu aongereke enyi mono. 4ogo ije ene na tikwamba kwa fahari oru yengu katika makanisa a Mrungu, natikwamba habari sha sabwi yenyu na amana eso mnayo katika mateso yonde, natikwamba kwa habari ya mateso aso mvumirira. 5Eno ndeyoishara ya hukumu ya haki ya Mrungu madumero ya afya ni kukala imwi mhesabiwe kwamba mnasitahili kudugura kwene ufalme wa Mrungu kwa ogo kwa ajili yake namteswa.6Kwa kukala ni hakikwa Mrungu kuwarera mateso ara makuwatesa imwi. 7Na kuwaava raha imwi mteswa vamwe naije asaketa aya wakati wakujorwa kwake Bwana Yesu kuduma Mrungu ne vamwe na malaika wa uweza wake. 8Vene mvuke wa mongi asarevija kisasi aso matiammenya Mrungu na aso matianyitii injili ya Bwana wetu Yesu.9Masataseka kwa maangamizo ya milele makikala matengwa na mvinya sha Bwana na utukufuwa mvinya shake. 10Asaketa wakati akesa ili atukuzwe na atu ake na ningustajabishwa na onde maamini kwa sababuushuhuda wetu kwenyu usadikiwa kwenyu.11Kwasababu eno nitakuwavoyera imwi matuku onde, nativoya kwamba Mrungu ahesabu kwamba na mstahili kwetwa, nativoya kwamba apate kutimiza kila haja ya uzuri na kila pata ya imani kwa mvinya. 12Nativoya mambo aya ili mpate kulitukuzajetwa ra Bwana Yesu, nativoya mpate kutukuzwa anake kwa sababu ya neema ya Mrungunaya Bwana Yesu Kristo.

Chapter 2

1Ndevo kuhusu kosa kwa Bwana wetu Yesu Kristo natikusanywa vamwe ili tikale nake natikuwa vaya imwi ndugu shetu. 2kwa mtiekusumbuliwa wa kutaabishwa kwa urahisi kwa ngoro au kwa ujumbe au kwa barua ikonekana kwamba naiduma kwetu ikiamba mwodu wa Bwana tayari ikosa.3Motu atie akenga kwanamna yoyose kwamba taiyesa mpaka rira rakowa ridumeri kwanza namotu wa uwasi anjorerwi ora mwana wakubalanga. 4Oyu ndewe apinga na kuripokela mwene akimpinga Mrungu na chochote kera chikuabuorewa na matokeo akoe nakala vene Hekalu la Mrungu na gwionyesha warewe kukala kama Mrungu.5Je takumbuka wakati ni keri nina imwi nikaaera oru ya mambo aya? 6Je nammenya kera chimzuia ili kwamba aweze kunjorwa kwa wakati sahi wakati ukivika. 7Kwakukala la siri yara motu mwene kwasi naiketa pata mpaka mondi ila tuu, anake amkwata vinoao ndero mpaka akidinywa serani.8Ndevo ura mwene kuasi asanjorwa ambaye Bwana Yesu asamora kwa pumzi ya miromo yake, Bwana asamketa silolote kwa ufunu akosa kwake. 9Kosa kwa ora mwene kuasi usakala kwa sababu yapate ya shetani kwamvinya shonde ishara na maajabu ya uvongu. 10Na urovu wonde wene udhalimu mamboaya nasakala kwa ara makwarakwa sababu tamaka uvokera upendo wa kweli kwaajili ya kuolewa koo.11Kwasababu eso Mrungu na kwatomera pata ya upei ili maamini uvongu. 12Matokeo ake ni kwamba onde masahukuniwa ara mo tia kwanini ukweli bali asosha namagwifurahisha katika udhalimu.13Lakini naitipasa kumshukuru Mrungu kwa kila wakati kwa ajili yenyu ndugu mkwendwa ni bwanakwa sababu akudura imwi kama malimbukoya wokovu kwa utakaso wa ngorona imani katika era kweli. 14Kekindecha aetesa imwi kwamba kupalela injili mwenze kuupata utukufuwa Bwana wetu Yesu Kristo. 15Kwa ogo ndugu ramani imara umenyeni ora utamaduni mwafundishakwa neno au kwa barua yetu.16Ndevo Bwana wetu YesuKristo mwene na Mrungu Papa yetuatenda na kuteva faraja ya milele na ujasiri mzuri kwa ajili ya maisha makosa kupelela neema, 17afariji na kuiketa imara ngoro shenyu kwa kila neno na pata ndoro.

Chapter 3

1Ndevo, ndugu, tiombeeni kwamba neno ra Bwana rikale kujena na kurora, kana irevo pia kwenyu. 2Ombani kwamba tiweze kuokolewa kuduma katika uovu na atu mahasi kwa kukala se wonde ene imani. 3Lakini Bwana ni mwaminifu ambae asaimarisha imwi nakuwaringa kuduma kwa ora mwovu.4Tina ujasiri katikati ya Bwana kwa ajili yenu kwamba na mketa ne msaendeleakuketa maneno ambayo tikuwalagiza. 5Bwana aweze kutiongoza ngoroshetu katika kwendana katika uvumilivu wa Kristo6Ndeva ndu kutoma ndugu katika jetwa la Bwana Yesu Kristokwamba umwepuke kila ndugu ambaye naishimaisha ya uvivu seo aduma na desturi ambasho mshivokera kuduma kwetu. 7Kwa ogo imwi ene nammenyani sawa kwenu kutiiga ije, tafaishi mongoni kwenyu kama ara ambao tamari nidhamu. 8Na tata aya ngande ya motu yoyote bila kureva. Badala yake taketa kazikivunda na mndenyakwa kazi nyomu na shida ili titiekara mizigo kwa wowote kati ya imwi. 9Maketao si kwasababu tateri mamlaka. Badala yake tikaketao ili tikale mfano kwenu ili kwa mweze kutiiga ije.10Wakati tikakara vamwe naimwi taaragiza ikikaramotu wenyu wowe taiada kuketa kazi atie koya." 11Kwakuwa natigua kwamba baadhi namakojinauvivu miongoni moo, tamaketapata baada yake ni atu matari utaratibu. 12Ndevo asonao natikwatoma natikwaera jetwa ra Bwana Yesu Krito lazima maketepatakwa utulivunakoya ngande shoene.13Lakini imwi ndugu, mtie kogwa ngoro tisaketa sahihi. 14Ikikara motu yoyote taracha kupatiliza neno retu wavaka oyu amakere makere makini nake mtie kara na ushirika nake ili aweze kudongorwa ni ndoni. 15Mtie mgeurekama adui lakini mwonyeni kama ndugu.16Bwana wa amani mwene aave amani wakati wowote na sherashonde, Bwana akare na imwionde. 17Eno ni salamu yakwa, Paulokwa kokokwakwa mwene ambayo ni alama yawaraka. Ogondego nigwandika. 18Neema ua Bwana wetu Yesu Kristo iweze kara naimwi onde.

2 Timothy

Chapter 1

1Paulo mtumwa wa Yessu Kristo kwa mapenzi ya Mrungu ni sawa ahadi ya uima undeni ya Kristo Yesu. 2Kwa Timotheo mwan akwendwa Neema, rehemana amani kuduma kwa Mrungu Papa na Kristo Yesu Bwana wetu.3Ningu mshukuru Mrungu ngu mtumikia kwa nia nzuri kamaaweza keta Papa wakwa, nikikumbukadaima maombi yakwa. 4Kivundu na mdenya ningu tamani kukona nioseje furaha. Ningu akumbuka medori yechu. 5Nalinkikumbushwa kuhusu imani yechu halisi vayo kwanza yari kikarakwawawa yechu Loisi na nyinya wayunisi. Na nina hakika kwamba imani eso naikala ndeni kwechi pia.6Enide yo sababu ningu kukumbusha ningu chochea karama ya Mrungu ikara ndeni yakwa kwa sera ya kwekewa moko wakwa. 7Kwakuwa Mrungu tandeva ngoro ya ugoa, ateva mvinya na kwenda nana nidhamu.8Kwa ogo utionera ndoni ushahidi kuhusu Bwana wetu wala waka inye Paulo movwa wechu. Bali ashirikimateso kwa ajili ya injili sawasawa nauweza wa Mrungu. 9Ni Mrungu atiokoa na kutieta kwa wito mtakatifu. Taketao kilinganana kazi shetu. Bli kulinga na Neema na mpango wake wene. Atipatila mambo aya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. 10Lakini ndevo wokovu wa Mrungu ukenga kujolwa kwa kosa mwokozi yetu Kristo Yesu. Kristo akakomesha magwa nakuleta uima utia kenga kwa nuru ya injili. 11Kwasababu eso adulwa kukara mhubri, mtume na mwalimu.12Kwasababu eso ningu teseka pia, lakini sikona aya, kwakuwa ningummenya warewe nakeja ngumwamini. Nina hakika kwamba warewa naweza kukitunza kera nakabithi kwake hata mondora. 13Kumbuka mfano wa ujumbe kwa uwaminifu wauwa kuduma kwakwa. Namwe na imani na upendo undeniya Kristo Yesu. 14Atunze mambo mazuri akabidhiwa ni Mrungukupalalela ngoro mtakatifu aishi ndeni yetu.15Numenya kuwa onde maishe ndeni ya Asia mani bwaga. kundireri mawavayo Figelo na Henogene. 16Bwana airehemu nyomba ya Onesiforo kwaogo mara nyingi nani burudisha tanyonera ndoni minyororo yakwa. 17Baada yake akare Roma anilacha kwa bidii akanipata. 18Mrungu amjalie kupata rehema kuduma kwake sikuera. kana ogo anisaidia nikare nikikara Efeso, uwenumenya nesa.

Chapter 2

1Kwaogo uwe mwanokwa udongojwi mvinyaa katika neenma ndeni ya Kristo Yesu. 2Na ndanga wa shuwa kwakwa nilongoni mwamashahidiengi uyakabidhi kwa atu aminifu ambao masaweza kuafundisha angi pia.3Shriki mateso vamwe na inye kama askari mzuri wa Kristo Yesu. 4Takori askari atumikae wati aso oo akishughulisha kawaida sha maisha aya ili apendeze afisa wake mkoru. 5Pia kama motu akishindana kama anariadha tavawa taji kama akitia kwata kanuni.6Ni muhumukwamba mremi mwene bidii akale wakwanza kuvokera kuwanyenjwa mazao ake. 7Tafakari kuhusu kera ni ngwamba kwa ana Bwana asokora uwelewa vene mambo onde.8Kumbukeni Yesu Kristo kuduma uzao wa Daudi ambae afufuliwa kuduma kwa afu, eno ni kulinganana ujumbe wakwa wa injili. 9Ambao kwasababu ya oso ni nguteswa hata kovwani minyororo kama mahalifu, lakini nenola Mrungu tarikovwa kwa minyororo. 10Kwa ogo ni nguvumirira mambo onde kwa ajili ya ara Mrungu adura ili kwamba nao pia maupate wokovu urgokatika Kristo Yesu vamwo na utukufu wa milele.11Wambi oyu ni wa kwaminika ikikala tigogwa vamwe nake nake nisaishi vamwe nake pia. 12Kama tikivumirira tisatawala vamwe nake pia kama tikimleya warewe nake pia kama tikimleya werewe nake pia asatilea nake. 13Kama tisakala aminifu warere asatiala kukala mwaminifu maana taweza gwilea mwene.14Endelea kuwakumbusha oru ya mambo ayaaonye monja sha Mrungu matie kubishana kuhusu maneno kwa sababu takori manufaa katika jambo reso kudumera reri kuna uharibifu kwa aso mamwetekeja. 15Ketabidii uionyeshe ukubalika kwa Mrungu kama mkaeta pata atari na sababu ya kulaumiwa. Ritumeri neno ra kweli kwa usahihi.16Epuka majadiliano akidunia ambayo namakongera zaidi na zaidi upei. 17Majadiliano yoo masambaa kama kironda ndugu, mirongoni mwoo ni Himenayo na Fileto. 18Aya ni maikosa kweli. Nama kwamba ufunuo tayari udumera na mapeindu a imani ya badhi atu.19Hata ogo msingi imara wa Mrungu na urama wene uwandishi oyu Bwana nakwa menya akwakena kila ariye tajetwa ra Bwana ni lazima aitenge na udhalimu. 20Kwene nyomba kitajiri seo kwamba kuna ito shadhahabu na shaba tu pia kuna ito shameti na

mindanga baadhi ya isho ni ni kwa ajili ya matumizi ya heshima.

21Akikala mutu nanguitaka mwene kuduma kwene matumizi ambayo seyo ya heshima warewe ni chombo chombo chenye kuheshimika, atengwa maalumu mwenye manufaa kwa Bwana, naakwa ndaliwa kwa kila pata nzuri.22Shigodoki tama sha ujanani. Ukitua haki, imani, upendo na amani, vamwe naara mamweta Bwana kwa ngoto nzuri. 23Lakini lea upumbavu na maswali akipuuzi kwani numenya tusashara ita.24Mtumishi wa Bwana tapaswa kwalana baadala yake naimpasakukala mtoro na atu onde aweza kufundisha na mkuvumirira. 25Ni lazima aaeri kavola ara mambi shera Mrungu naweza kuapatera toba kwakuimenya kweli. 26Maweza kupata ufahamu kenja nakuepuka mteyo wa shetani baada kutawa ni warewe kwa ajili ya mapenzi ake.

Chapter 3

1Lakini menya reri, mochi wa mwisho kusekala na nyakati nyomu. 2Kwasababu atu masakala na maguyenda ene, ene kulacha pesa ene kujisifuene majivuno, mene dhihaka, matiatii ashari oo, matari shukulani na apei. 3Matari na decha ra asili, matia kwenda kuishi kwa amani nayoyote, achunga nishi asingiziaji matiawezaguizuia mene rurugu matialachamazuri. 4Masakara asaliti akaidimeneguienda ene, na makwenda mapei na malacha anasa kulikokmwenda Mrungu.5Kwaesa namakonekana kwa sura ya kumwabudu Mrungu, lakini masanyileamvinya yake . Tepushe na atu aso. 6Kwakuwa baathi yoo ni ya ni ya arome na madungura vene familia sha atu na kuwashawishi aka ajinga. Ayani yaka mausura dhambi nao malongozwani tamaa sha kila aina. 7Atuaka aya namaguifunza matuku onde lakini kamwe tamaweza kuuvikila ufahamu wa kweli.8Kamaura irego vane na yambre makarama kinyume na Musa. kwa sira ene alimu aya auvongu marama kinyume na kweli. Ni atu maba nangwa vene fikra shoo, matiakubalika kuhusiana na imani. 9Lakini tamaeji mbali kwa upumbavu woo usaikwa esa kwa atu onde kama ogo makala ara atu.10Lakini uwe ukuwatua mafundisho akwa, mwenendo wakwa makusudi akwa, imani yakwa uvumilivu wakwa upendowakwa naustahimilia wakwa. 11Mateso , maumivu na sao manipata kura Antikia Ikonio na Listra. ningwa vumilia mateso. Bwana akaniokwa vene onde aso. 12Onde malacha kuishi katika maisha ya kumwabudu Mrungu, katika KristoYesu makateswa. 13Atu apei na adanganyifumasazidi kukala apei zaidi ya kukala apei mono. Masawapotosha angi. Aso ene mapotoshwa.14Lakiniuwe dumu katika mamboaso waifundishana kuaamini kwa uthabiti kwa ogo umenya waifundisha kwa omwe. 15Numenya kwamba tangu udodo wechu, ukwamenya maandiko matakatifu . Aso na sakura heshima kwa ajili ya wokovu kwa sira ya imani katika Kristo Yesu16Kila andiko lidungojwa punzi na Mrungu na rifwaakwa mafundisho mene faida, kwa kushawishi kwa kurekebisha makosa na kufundisha katika haki. 17Eno ni kwa motu wa Mrungu akale kamili akikala avawa silaha shonde kwa ajili ya kuketa kila pata nzuri.

Chapter 4

1Ningukova agizo reri rene wito moja ya Mrungu na Kristo Yesu akilacha ahudumu mahai na maagwa na kwasababu ya kujorwa kweke na ufalme wake. 2Hubiri neno ukate tayri kwa wakatiufaa na usifaa. Aeri atu dhambi shoo, kemea humiza kwa uvumilivu onde na mafundisho.3Kwa maan wakati usasa ambao atu tamagwerana na mafundisho a kweli. Baada ya vayo wanamlacha mwalimu wakufundisha kulinganana tamaa shoo kwa sera eneo matoo yoo masakala mapokoswa. 4Masatia kutekeja mafundisho a kweli na kualoka hadithi. 5Lakini uwe ukale mwaminifu katika mambo onde, vumiriramomu, keta pata ya mwinjilisiti timiza huduma yacho.6Kwa maana inye tayari ningukenga kumiminwa muda wa kaka kwakwauwadia. 7nungushenda kwa haki mwendo ninguukeja imani ninguiringa. 8Amba haki shawekwa ajili yakwa ambayo Bwana ahukumu kwa haki a ndeva mondu ora. Na sio kwakwatu bali kwa onde magizo kwa shauku kuonekana koo.9Jitahidi kosa kwakwa haraka. Kwa ogoDema anitia. 10Na lacha ulimwengu wavinoo akoji Thesalonike, Kreseni akoji Galatia na Tito araji Dalmatia.11Luka ndewe avamwe na inye umgue Marko wese nake warewe ni muhimu kwakwa katika 12huduma. Ningemtoma Tikito Efeso. 13Rera joho ambaro ningu ribwaga Troa kwa Karpo ukesa Rirete vamwe na ija itabu hasa isho sha ndwara14Alekezanda na fula chuma aniketera ampei mono. Bwana asamreva kulingana na matendo ake. 15Uwe pia jihadhari nao kwaniaapinga sana maneno etu. 16Utetezi wakwa wa moja tavari motu yoyote arama vane na inye. Badala yake kila omwe aritia Mrungu atie kuwahasa hatia.17Lakini Bwana arama vamwe na inye akanidongoja mvinya ili kupalewa kwako neno riambwe kwa ukamilifu na mataifa mapate gua , na okolewa miromoni mwa simba. 18Bwana asaniepushana mambo onde mapei na kuniokoa kwa ajiliya ufalme wake wa mrunguni. Utukufu ukale kwechu milele na milele. Amina.19Mkejera Priska, Akila na nyombe ya Onesiforo. 20Erasto atiyala koyo Koritho, lakini Trifimo na usatiara Mileto eri ni mrwari. 21Keta haraka wese kabla ya kipindi cha mvevo. Eubule na kukeja pia pude, Lino, Claudia na ndugu onde. 22Mrungu akale vame na ngoro yechu, neema ikale nauwe

Titus

Chapter 1

1Paulo mtumishi wa Mrungu na mtumwa wa Yesu Kristo kwaimaniya teule ya Mrungu na maarifa kweli na ureta utauwa. 2Mawavayo katika tumaini la ujima wa milele ambao Mrungu atiyaweza kwamba uvonguakuwahidi tangu milele. 3Kwa wakati mwafaka ajona neno lake katika ujumbe akanoleva inyi kuhubiri inipasa kuketa ogo kwa amriya Mrungu mwekozi wetu .4Kwa Tito mwana wa kweli katika imani yetu . Neema, huruma na amani kuduma kwa Mrungu Papa na Yesu Kristo mwokozi wetu. 5Kwa sababu ino ningukubwaga krete kwamba uyatengeneze mambo onde makalata makamilika na kwaeka azee akanisa kwa moshi kama ogo nakulagiza.6Mzee wakanisa aliakalana lawama mrome wamoka amwe mwene ana aminifu matari shuhudiwa mapei au matari nidhamu. 7Nimuhimu kwa mota aramera kama msimamizi wa nyomba ya Mrungu atiakalana lawama atiakala motu wajogo au atiya izuiya, atiyekalamwepesi wa kureja atiyekala mlevi atiyekala motu wa kusababisha ita atiyekala na tama.8Badala yake akale motu mkaribishaji alacha wema, lazima akale motu mwene akili timamu, mwene haki kumvoeya Mrungu , agwitawala mwene. 9Aweza kuramera mafundisho akweli afundishwa, ili aweze kuwadogoja mayo kwa mafundisho mazuri aweza kuwarekibisha onde mambishira.10Kwa ora kuna maaso mengi hasa ara atohara, maneno oo ni ya upuuzi na makenga na kuwalongoza atu katika upotofu. 11Ni lazima kuwazuia atu kama aso, namafundisha yale matiakwendwa kwa faida sha ndoni na kubananga familia shonde.12Omwe wo motu mwenye busara aamba "Wakrete mana uvongutari mwisho apei anyama ahatari avivu alafi. 13Aso maelezoni ya kweli kwa ogo uwazuie kwa mvinye ili kwamba maweze kwamba kweli katika imani14Uwe utiye ihusisha na hadithi italevo ya ukwelisha kiyahudi au amri sha atu ambao na mashokija tina kweli.15Kwa onde asafi itoshande ni shafi, lakini kwa onde marevo achafu na matia kuamini, tavari kirevo kisafi kwa ogo mawazo oo na dhamira shoo shichafuliwa. 16Na makiri kummenya Mrungu, lakini kwa matendo oo namamkana, wreoni yaovu matiatii tamdhibitishwa kwa tendo lolote zuri.

Chapter 2

1Lakini uwe yaambe ara mavwanana maelekezo makwaminika. 2Azee makele na kiasi hesha busara imani zuri katika upendo na katika uvumilivu.3Ora ora azee lazima daima maiyoyeshe aso ene kama ogo maogo mangu, heshimu na seo asenge nyaja lazima matiekala utumwaa oki. 4Namapawsa kufundisha maneno mazuri kueka sawa ili kuwaanda eretu, kwabusara kuwaenda aromwe oona anaoo. 5Namapaswa kuwafundisha malena busara asafi atunzaji azuri nyomba shoo na makale atii kwa aromwe oo ene, naikuwalazimu keta mambo aya ili kwamba neno la Mrungu ritie ru mangwa.6Katika namna eso esoatieni ngoro ijana akivesi makale na busara. 7Katika sera shonde iyekeni ene mkale na mfano wa pata ndoro navoyo mkifundisha onyanyani uwandilifu na heshima. 8Ambani ujumbe wene afya na utari na dosari ili kwamba yeyote oso akipinga aone ndoni kwasababu tari pei rakwamba oru yetu.9Atumwa naamini mabwaoo kwala gito namapaswa kuafundisha seo kubishana. 10Tamapaswa kweya, badala yake nampaswa kunyonesha imani yonde ndoro ili kwamba katika sera shonde maapambe mafundisho yetu kuhusu Mrungu mwakozi wetu.11Kwakula neemaya Mrungu ikonekana kwa atu onde. 12Naifundisha kulea mambo onde ambayo seyo ya Kimrungu na tamaa shakidunia , naitifundisha kuishi kwa busara kwa haki na katika sera shakimrungu kwa wakatiou. 13Wakati natitarajia kuvokera tumaini retu rene baraka kwa mwonekano wa utukufu waMrungu wetu mbau na mwokozi wetuYesu Kristo.14Yesu ngwidinya mwene kwa ajili yetu ili atikomboe kuduma katika uwasi na nakutuketa asafi kwa ajili ayake , atu maalumu menehamu yakuketa pata ndoro.15Aambe na kuwasisitizamambo aya, kemera kwa mamla yonde , utie kubali motu akupuuze

Chapter 3

1Uwakumbushe kunyenyekea iyongozi na mamlaka, kuwaatii, kukala tayari katika kila pata njama. 2Wakumbushe kutia mketera motu yoyote mapei waepuke mabishano maave nafaa atu angi katika kuketa maamuzi na kuonya unyenyekevu onde.3Kwa ogo ije pia tari tinamawazo mapei na makaidi, tari kwara na taketwa atumwa kwa tamaa nyengi na starehe, tuishi kwa weru na mapei tisugisana na kuoyarana. 4Lakini wakati huruma ya Mrungu mwokozi wetu na upendo wake kwa anadamu ukonekana, 5takala kwa matendo atu a haki tayaketabali atiokoa kwa neemayake, atiokoa kwa kutidambija kwa kusharwa ovyo na kuketwa ovyo kwa ngoro mtakatifu.6Mrungu abwaga ngoro mtakatifu kwa wingi oru yetu kupalela Yesu Kristo mwokozi wetu. 7Aketa ogo kwamba tikikala tihesabiwa haki kwa neema yake tikale ashirikavene uhakika wa maisha ya milele.8Ovu ni ujumbe ukwaminika ningualacha mwamba kwa ujasiri mambo aya ili kwamba ara namwamini Mrungu makale na dhamira mzuri oru aya pata wao ambayo manyeka moja yoo, mambo aya ni madoro na manafaida kwa ajili ya atu onde.9Lakini iepusheni na majadala ya kipambavu, nasaha, mashindano na mavuruganokuhusu sheria, mambo aso tamari maana wafaida. 10Mteeni yoyote asababisha miwanyo kati yenyu, baada ya onyo remweau eri. 11Menyani kwamba motu wa jinsi eso anyitia sera sahihi na naketa dhambi na hukumumwene.12Vayo nikunimtoma kwechu Artani au Tikiko, harakisha wese kwakwa kono nikopoli ambako ninguamua kukula wakati wa mvevo. 13Harakisha na umtomi Zena mtaalamu katika sheria ns Apolo bila kupungukirwa na gito.14Atu etu lazima maifundishe kujishuhulisha kwene pata nzuri ambasho nashikwata mahitaji muhimu ili kwamba matiekalaatu matiasharamatunda.15Onde mavamwe na inye na makukeja , akejeonde asa matunda katika imani. Neema naikale na ije onde.

Philemon

Chapter 1

1Paulo akovwa na Kristo Yesu na ndugu Timotheo kwa Filemoni nyasu yetuna niketa pata vamwe na inje. 2Na kwa Afia tata yetu na Arkipas asikari aruetu na kwa kanisa rera rikutanamshenikwechu. 3Neema na ikale kwenyu na amani yadumakwa Mrungu Papa yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.4Wakati wowote ni ngumshukuru Mrungu ningukuyeta katika kuvoya kwakwa. 5Ningua upendo na amani unayo kwa Bwana Yesu na kwajili waamini onde. 6Ninguvoya kwamba uvamwe wenyu wa imani yenyu ikale na uzusi katika ujuzi kwa kila ngito kizuri nirevo ndeni yetu katika Kristo. 7Kwaogo ni ngukalo na ndecho na faraja kwasababu ya upendowechu, ngoro shaaunini shikeni shikiginjwa ni warumendugu.8Kwaongoni kikala na ujasini wonde katika Kristo kutoma uwe kera uweza kuketa. 9Lakini kwasababu upendo baadala yake ningukusihi inye Paulo mzee. Ndevo inye ni ngorwa kwa ajili ya Kristo Yesu.10Ningu kusihi kuhusu mwanokwa Onesmo.Namshahara ndeni yaifungo shakwa. 11Kwaongo ava mwanzotaka fwaa. Lakini ndevo nanifwaa uwe na inye. 12Ningumtoma warewe ambae ni wa ngoro ya kwahaswa kushoka kwakwa. 13Ningutaraji akeri kala vamwena inye iti anitumekeri badala yechu. wakati ni kifungoni kwaajili ya injili.14Lakini sikaenda ngito chochote bila ruhusayakwa. Nakuleta ao ili kwamba jambo lolote zuri ritieketwa sababu ningungukulazimisha bali walacha mwenekuriketa. 15Labda ni sababu atengwa nauwe kwamuda. Ikalaongo ili ukale vamwe nake milele. 16Ili kwamba atiekala kenja mtumwa bali bora zaidi ya mtumwa kamandugu nyasu hasa kwainye na zaidi sana kwechu vamwe na mweri na katika Bwana.17Naongo kama nuninguera inye mshirika nivokera kama ogo ukeri nivokera inye. 18Lakini kama akukosera gito chochote au numdai gito chochote kidai keyokuduma kwakwa. 19Inyi Paulo ningua ndika kwa koko kwakwa mwene inye nisakureva. sikwamba kwechu ningukudai, ningukudai maisha yechu haswa. 20Naamu ndugu, tia nipate furaha ya Bwana kuduma kwechu uburudishe ngoroyakwa katika Kristo.21Nikiva na imani kuhusu adabu yakwa ningekuwandekera ni kimenya kwamba usaketa hata zaidi ya ogo ningukuvoya. 22Wakati wosooso andaa chumba chaayeni kwa ajili yakwa kwakukala ninatumaini kupalela maombi echu nisakuwehera ava vanguve.23Epafra mfungwa aruakwa katika Kristo Yesu na kukenja. 24Nakama ogo aketa Marko, Aristako, Dema, Lukaaketa pata vamwena inye. 25Neema ya Bwana Yesu Kristoikale vamwe na ngoro yechu Amina.

2 Peter

Chapter 1

1Simoni Petro mtumwa na mtumewa Yesu Kristo kwa arama maivokera imani eva ya thamanikama ogo taivokera ije imani ikale ndeni ya haki ya Mrungu na mwokozi wetu Yesu Kristo. 2Neema ikale kwenyu amani iyongereke kuparela maarifa a Mrunguna Bwana wetu Yesu.3Kuparela maarifa amrungu tipata mambo ake onde kwaji ya chaji ya maisha. Kuduma kwa mrungu ateeta kwa sera ya uzuri kwa utukufu wake. 4Kwa sera eno atitumainisha kwa ahadi mbau sha samani. Aketa reli ili kutisho kija tikale alithi amrungu,kw kadili tikwendelea kutia maovu ya dunia eno.5Kasababu eno, ketani kwa bidii kwonge rela uzuri kwa sera ya imani yenyu,kwa sababu ya uzuri, maarifa. 6Kuparera maarifa, kiasi, na kuparera kiasi saburi, na kuparera, usaora. 7Kuparera usaora upendo wa ndugu, upendo.8Kama mambo aya mandeni yenyu, makiendelea kukora ndeni yenyu, basi imwi tamkara tasa au atu matia shara matunda katika maarifa ya Bwana wetu Yesu kristo. 9Lakini wowote ambae tari mambo aso naona mambo avaguve warewe ni kipofu Asahau kutakaswa dhambi shake shakara.10Kwaogo ndugu shaku ketani juhudi ili guihakikisahera uteulenakwetwa kwa ajili yangu, kamsaketa aya tamchatara. 11Ogo mseipatera wengi walango yakudongorera ufalme wa milele wa Bwana wetuna mwokoziYesu Kristo.12Kwaogo nye nsakara tayari kuwakumbusha mambo aya kila mara hata kama namkwamenya ndevu mkara imara na kweli. 13Kufikiri kuwa ni sahihikuwaokera na kuwakumbusha oru ya mambo aya bado ni keli ndani ya hema reri. 14Kwa maana ningumenya kwamba si muda mrasa nisaocha hema rakwa kama Bwana Yesu Kristo ogombonya. 15Nisajitahidi kwa bidiikwa ajili yenu ili mkumbuke mamba aya baada ya inye koka.16Kwaongo ije tatatua hadidhi shadongonjwa kwa ustadi varatikaera oru ya mvinyaa nagwidhihilishakwa Bwanawetu Yesu Kristo bali ije talimashahidi au utukufuwake. 17Warewe avokera utukufu na heshima idumakwa Mrungu Papa vara sautikiduma katika utukufumkoru akiamba oyu ndewe mwonokwa ningu mwenda ambaye ningupendezwa nake. 18Nungua sauti eno ikidumela kwa Mrungu vara tika kala nake vara lukokani mtakatifu.19Tinaro re neno la unabiiradhibitiwa ambalo kwa reso na maketa nesa ninguli tekereza, nikama taa ikwaka kivundumpaka keri na nyota sha kerikeri shikonekama ngoroni mwenyu. 20Menyani aya kwamba tavari unabii ukwandikwa sababu yakufikirisha kwa nabii mwene. 21Kwaora takori unabii ukasa kwa mpenziya mwanadamu isipokuwa mwanadamu awezeshwa ngoro mtakatifu aamba kuduma kwa Mrungu.

Chapter 2

1Manabii auvongu maidinyeja kwa waisraeli na alimu auvongu masasa pia kwenyu. kwa siri masaleta mafundisho auvongu nao masamlea Bwana adoja. Namakwileta kubananga ya haraka oru yoene. 2Engi masatua sera so shandoni na kupaleta aso masa nikufuru sera ya kweli. 3Kwa choyo masaonga atu makitumia maneno auvongu. Tavali hukumuyo taitula, uharibifu usaatua.4Maana mrungu taatia malaika maaloka. Bali aicha chuzimu ili maovwe minyorolo mpaka hukumu ikesa. 5Wala Mrungu tavumilila ulimwengu wakara bali amhifadhi Nuhu, mwene jetwa la haki, vamwe na angi sabaa, wakati akitiera gharika oru ya ulimwengu waasi. 6Mrungu ahukumu mwoshi wa sodoma na gomora kiasi cha kukala mau na kubananga ili ikale mfano kwaajili ya maovu siku shakidangoni.7Lakini akiketa reso amwokoa Lutu motu wa haki akehikala amsononesha na tabia bei shaatia tua sheria sha Mrungu. 8Kwaogoso motu haki, akaishi nao siku kwa siku akiitesa nafsi yake kwaajili ya ara akauwana kona. 9Kwa ogo Bwana namenya jinsi kuwaokoa atu ake wa mateso na jinsi ya kuavumilira aovu kwaajili ya hukumu ndeniya siku sha mwisho.10Kwa hakika oyu ndego ukweli kwa arama kwendelea kuishi katika tamaa shamweli oyu na kuyadharau mamlaka. Atumajinsi eno manaujasiri katika dhamiri shoo. Tamasesa kuwakufuru atakatifu. 11Ingawa malaika manauwezo na mvinya kuliko anadamu, lakini tamaweza kuleta hukumu zaidi yoo kwa Bwana.12Lakini aya anyama matari akili matengenezwa kwa ajili ya kukwatwa na makwangamia. 13Namaonojwa kwa ujira mapeioo. mdenya kutwa kukala kwa anasa.Makosora uchafu na mapei. Hufwaela anasa sha kukengana makusherekea na uwe. 14Medoo majekwa ni kuzini, tamatosheka kuketa dhambi. Namakwa kenga na kwa bwaga aumini asanga katika dhambi mana ngoro shaosora tamaa, niana malamwa.15Manyitia sera ya kweli. Makwara lakini manyitia sera ya Balaam mwana wa Beori, alacha kulevwa malipo ya kughalimu. 16Lakini aonywa kwa ajili ya kosa lake. Punda akari bubu aamba sauti ya motu, akwata kisala cha nabii.17Atu aya vene chemchem itari masi. Malumbe mawanywa ni vevo. Rumbe rito lijekwa kwa ajili yoo. Na kwamba kwa maringo maderi. 18Akwabwaga atu majeza kugodoka ara maishi katika kukosa. 19Makwaahidi atu uhuru wakati wareo ene niatumwa wa dhambi ya ufisadi. Mwanadamu aketwa Mtumwa kwa kera chamtawala.20Warewe agwiyeepusha na uchafu na uchafu wa ulimwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu kristo akashokera uchafu oso kenja, hali yake ni mbei kulikoni ya moja. 21Naifaa atu aso tamakeli imenya sera ya haki takerinimenya na kenja kunitia Amri takatifu mavawa. 22Mithali eno inaukweli koo. ''Nguro ashokela mataveka ake. Ngoloe adambijwa ashokela kenja matopeni.''

Chapter 3

1Ndevo,ningukuandera uwe, nyasu eno ni barua ya eli ili nikuokeli katika akili. 2Ili kwamba uweze kukumbuka maneno yaambwa kaaba na manabii atakatifu na kuhusu amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutomera mitume.3Umenye reri kwanza kwamba asaliti masasa wakati wa mwisho asaliti mwi makegi sawasawa matakwa oo. 4Naomasaamba ikoo ahadi ya kushokaa? Papa etu makongwa lakini itoshonde shikeri ogo langu mwanzo wa uumbaji.5Wakaiketa kusahau kwamba endi bna mbingu shikaanza kuduma masemi na kupalela masi wakati wakara kwa neno la Mrungu. 6Na kwamba kupalela neno rake na masi makala ulimwengu kwa kipindi keyo ikaosora masi ikabanangwa. 7Lakini ndevo mbingu na dunia shitunzwa kakwa reso reso kwaajili ya mogi shihifadhiwa kwaajili ya mondu wa hukumu na maangamizo ya atu matari na Mrungu.8Enotaiweza kukwepa ujumbe wechu anyasu mwondu wechu Bwana ni kama miaka elfu emwe. Na mwaka elfu emwe ni kama mwondu womwe. 9Seo kwa Bwana naketa kavola vola kutimiza ahadi kama ogo ifikiriwa kukala. Lakini warewe ni mvumilivu kwa ajili yenyu warewe tamani hata womwe aare. Lakini natamani kudija muda ili onde mapate mapate kutubu.10Ingawa mwondu wa Bwana usasa kama mwei, mbingu isapala kwagwicha ngemi. Ito shisaochwa kwa mogi. Endi na ito shonde shisajorwa wazi kwa ora itoshonde.11Kwakukala ito shonde shisaochwa kwa sera eno. Je usakala motu wa aina gani? Ukale kitakatifu na maisha ya kimrungu. 12Naikupasa kumenya kosa mondu wa Mrungu. Mwondu oso mbingu isateketezwa kwa mogi na itoshisayeyuka kwa kiruke mkali. 13Lakini kw ahadi yake natigoza mbingu evya na endi evya ambako mene haki masaishi.14Ogo amyasu ka kureta itoisho jitahidi kukala 15makini utie laumiwa na ukale na Amani vamwe nake. Ninguzingatera uvumilivu wa Bwana katika wokovu kama nyasutala yetu Paulo akuandekera imwi kwasababu ya hekima ambayo avawa. 16Paulo nakuelezea aso onde katika barua shakekunaito ambacho ninyumukushimenya atumatari na adabu na uimara mashibawariga ito isho. Nakama ogo maketa kwa maandiko kuelekea mangazi yoo.17Ogo anyasu kwakuwa na mkwamenya aso, iringeni ene ili kwamba mtiekengwa na uvongu woo wa walaghai na kwaja uwaminifu. 18Lakini mkori katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokoziYesu Kristo. Ndevo utukufu una warewe milele. Amina.

1 John

Chapter 1

1Kela chikeli chiwa vayo tangu ,mwanzo kela tachua,kela tachona namedo etu,kela tachilola na moko yetu ikwata kuhusu neno la uwima. 2Na ola uoma uketwa kumenyekana wazi,na tika ona,na kuushuhudia ,na kuwatangazia uima wa milele.,ambao ukati kwa papa uketwa kumenge kana kwetu.3Kera tachona na ghua natichitangaza kwenye pia,ili kwamba mueze kuyumika vamwe naije,na ushirika wetu vamwe na papa mwa Yesu Kristo. 4Nati kwandekera mambo aso ili imwi kwamba furaha yeetu yewe tulivu.5Oyu ndegu ujumbe tauwa kuduma kwake na kuwatangazera.Mrungu na nuru ndani yake tavari kivundu hata kidude. 6Kama tikiamba tinaushirika nake na asaweba kivundu,na timkenga tatimketera kweli. 7Lakini tikirata katika nuru kama arero katika nuru,natishirikiana ije kwa ije,ndakame ya Yesu Kristo,mwana wake atikasa kuduma dhambi shonde.8Kama tukiamba tavare dhambi,nati ikenga enye,na kweli tairevo ndani yetu. 9Lakini tikishitubu dhambi shetu,warewe ni mwaminifu ana haki kutisamehe dhambi shetu na kutindambiya na ma[pei yetu. 10Tikiamba kwamba taketa dhambi,nati mketa warewe akere mvongu,neno rake tarirevo ndeni yetu.

Chapter 2

1Anakwa apendwa,ngiwandikera mambo aya kwenu ili mtie kata dhambi.Lakini kama amwe wenyu akikata dhambi,tinake wakili arevo na papa,Yesu Kristo ambaye ni mwene haki. 2Warewe ni mpatanishi kwa dhambi shetu na si kwa dhambi shetu wengwa lakini pia kwa ulimwengu myima. 3Kwa riri natimenya kwamba nalimmenya warewe kama tukishitunza amri shake.4Warewe akwamba,"Ningummenya Mrungu lakini takweta amri shake ni Mrungu na kweli tairevo ndeni yake. 5Lakini yoyote atiekala na neno rake kweli katika motu aru upendo wa Mrungu ukamilishwa.Katika reri natimenya kwamba tindeni yake. 6Ura akwamba nakala ndeni ya Mrungu na paswa mwene kago kama ogo Yesu aagi.7Anyasu,sikuandikira imwi amri emuya,bali amri ya kara ambayo mkala nayo tangu kate.Amri ya kara ni ambalo mrua. 8Hata ogo ninguandikira imwi amri emuya ambayo ni kweli katika Kristo na kwenyu.Kwa sababu kivumbi na chipala na nuru ya kweli ukala tayari naikuangaza.9Ura akwamba a vene nuru na na msinywa ndugu yake akivunduni mpako mondi. 10Oso a mwenda ndugu yake naishi katika nuru na takwi jambo lolote rira riweza kumkwaza. 11Lakini ura a msingi ndugu yake akivunduni na nawela kivunduni,oso tamanya koyo akoji,kwa sababu kivundu chimbo vala medo ake.12Ningwandikira imwi,ana niaenda kwa sababu mmesamahewa dhambi shenyu kwa ajili ya jitwa rake. 13Ninguwandikira akina papa kwa sababu na mmenya ura akeri tangu mwanzo.Ninguandikira imwa vesi kwa sababu mmshuda kwa mpelo.Nikuwandikira imwi ana adodo kwa sababu na mumenya papa. 14Ninguwandikira akina papa kwa sababu na mumenya wa akeritangu mwanzo ndiwandwa imwi avasi kwa sababu mkeri imara,na neno la mrungu nankala ndeni yangu,na mumshunda mpei.15Mtae nyilacha dunia wala mambo ambayo marevo katika dunia.Akikala ura asanilacha dunia upendo wa kumlacha papa tausevo ndeni yake. 16Kwani kila gito cha ndeni duniani,tamaa ya mweri,tamaa ya medo na kaburi cha uyima tashiduma kwa papa lakini nashiduma duniani. 17Dunia na tamaa shike shisapala.Bali warewe aketa mapenzi ya Mrungu oso naduma milele.18Ana adedo,ni wakati wa mwisho.Kama ogo mwauma kwamba mpinga Kristo na kusa hata vinwao,apinga Kristo na makusa,kwa hali eno natimenyo kwamba ni wakati wa mwisho. 19Makoji kuduma kwetu,kwani maleeri seo akwetu.Kama ura,makeri nia kwetu maleri endelea kukala vamwena iji.Lakini wakati makeji vyoo,ki nachukuonyesha kwamba aya seo a kwetu.20Lakini udunguja maguta ni ura mtakatifu,nanyi onde mnyimenya kweli. 21Sakaandikira imwi kwa sababu tamnyimenya kweli,bali kwa sababu na mnyimenya na kwa sababu takori uvongo kwa ira kweli.22Wavo ni mvungu bali ni ara apinga kwamba Yesu ni Kristo?Oyu motu ni mpinga Kristo yara ampinga papa na mwana. 23Takuri amleya mwana akakala na papa.Yayate amkiri mwana anake papa24Kama kwa ajiri yenyu ,kwa mwauwa toka mwanzo tia chiendelee kukala ndeni yechu.Kama kira mwauwa tangu mwanzo kisakala nleni yechu pia,msakala ndeni ya mwana na Papa. 25Naeno ni ahadi atipatira ije uyima wa milele. 26Ninguwandikira aya imwi kuhusu ara ambao madeni kuwalongozo imwi katika mapai.27Na kwa ajili yenyu,ara maguta mwavokera kuduma kwake na makala ndeni yenyu,na tamumlacha motu yoyote amifundisha bali kama maguta ake na maafundisha kuhusu mambo onde na ni kweli seo uvangu na hata kama makaya kuwafundisha akni ndeni yake. 28Ndervo ana mkwendwa,kalani ndeni yake,ili vayo akidumira tiweze kala na ujasiri na seo kono naloni,moja yake wakati wa kusa kwake. 29Kama na mmenya kwamba warewe ni mwenye haki,na mmenya kwamba kila mmoja akata haki asharwa ni waryewe.

Chapter 3

1Onani pende la namna eneo atipatetea papa,kwamba tina tumaini ana a Mrungu,na ogondevo tilevo kwa sababu eno ulimwengu tau timenya kwa kuwa tauka mmenya walewe. 2Apendwa ije vino tiana amrungu,na tayavika menye kana bado ogo tikikala,natimenya kwamba Kristo akionekana tisau janana nake,kwani tisamwona kama ateje. 3Kila omwe ambae anajasili oyu kuhusu wakati ukosa waelekezwa kwake,agwidambi ja mwene kana walewe alevo mtakatifu.4Kila motu nakwendelea kuketa dhambi guna sheria.Kwa sababu dhambi ni uunaji wa sheria . 5Na mmenya Kristo adhihilishwa ili kusocha shambi kabisa.Ndeni yake tavari dhambi. 6Tavari hata omwe adumu ndani yake na kuendelea kuketa dhambi.Tavari hata matu omwe adumu katika dhambi akekala amwona au kumumenya walewe.7Ana akwendwa,mtiekubali kukengwa ni mutu yeyote.Aketa haki ni mwene haki,kanaogo Kristo nake akala mwene haki. 8Aketae dhambi niwabilisi,kwaogo ibilisi ni mketa dhambi tangu mogani Kwa sababu eno mwana wa Mrungu adhihilishwa ili aweze kubananga kazi ya ibilisi.9Yeyote asharwa ni Mrungu taketa dhambi ,kwasababu mbegu ya Mrungu inala ndeni yake.Taweza kuendelea kuketa dhambi kwa sababu asharwa ni Mrungu. 10Kati ya reri ana Mrungu na ana ibilisi na mame nyekana.Yeyote atia keta gito cha haki,sewe wa Mrungu,wala ora ambae taweza kumwenda ndugu yake.11Kwa oyu ndego ujumbe oo mwauwa kuduma,moja kwamba natipaswa kwendana inje kwa ije, 12See kana kaini akare na maovu amora ndugu yake.Kwajindo amwora?Kwa sababu matendo wake maovu,ara andugu yake mari na haki.13Ndugu shakwa msishangae endopo ulimwengu usalejela. 14Natimenya tikenga kuduma maitini na kudo ngora uimani,kwasababu natikwaenda ndugu.Yeyote ambae tari upendo na kala ndeni ya mauti. 15Matu yoyote amlea ndugu yake ni molaji,Naumenya kwamba uima wa milele teukara ndeni ya moraji.16Katika reri natimenya upendo,kwasababu Kristo adinya uima wake kwaajili yetu.Naji neitupasa tiokoe maisha yetu kwaajili ya ndugu. 17Lakini yeyote mwene ito,namwona ndugu yake mwene kumlacha,lakni azuia ngoro yake ya huruma kwaajiri je,Upendo wa Mlungu ukalata ndeni yake? 18Anokwa apenzi,Mtie kwenda milomo wala kwa maneno maderi bali kwa itendo shha kweli.19Kati ya reri natimenya kwamba ije tikati ya kweli ngoro shetu naige thibitika kwa warewe. 20Kana ngoro shitu hukumu Mrungu ni mbau kulikoni ngoro yetu warewe na menya mambo onde. 21Apenzi kaina ngoro shetu taitihikumu,tinao ujasiri kwa Mrungu. 22Na chochote tivoya tisavokela kwake,kwasababu natishi kwata amri shake natiketa mambo mapendeza moja yake.23Naene ndeyo amri yake na kwamba naitipasa kuamini jetwa la mwana wake Yesu Kristo na kwendona inje kwaije kama atipatela mwamri shake. 24Ashitii amri shake nadumu ndeni shake,na Mrungu akala ndeni yake.Kwa sababu eneo ningu menya nukala ndeni yetu,kwaela ngoro tavawa.

Chapter 4

1Nyasu mtie nyamini kila ngoro,lakini shijezeni ngoro ulole kama kama na shiduma na Mrungu,kwa sababu manabii engi au vongu mablumera duniani. 2Kwa kweri msaumenya ngoro wa mrungu kila ngoro eso ikikiri kwamba Yesu Kristo akosa katika mweri ni wa Mrungu. 3Na kila ngoro utia mkiri Yesu seyo ya mrungu eno ni ngoro ya mpinga kristo ambayo kwamba na mnyua kwamba naikosa na ndevo iwara duniani.4Imwi ni wa Mrungu na mkwe ndwa na mkeja kuwashinda kwa sababu oso wanyenyu ni mkoru kuliko warewe katika ulimwengu. 5Aso wasa ulimwengu kwa ogo keyo machamba ni cha ulimwengu na uaetekeja. 6Ije ni wa mrungu oso a mmenya Mrungu na tetekeja ije ura atari wa mrungu taweza kutua.Katika reri natimenya ngono wa kweli na ngoro wa uvongu.7Anyasu tiendane ije kwa ije kwa ura upendo niwa mrungu na kila womwe akwenda asharwa uimrungu na mmemungu. 8Osoatia fawaerwa tammenya Mrungu, kwasababu mrungu ni upendo.9Katika reri pendo la mrungu rikajorwa oru yetu kwamba mrungu a mroma mwana wake wawe ngwa ulimwenguwilu tuishi kupalela warewe. 10Katika reri pendo seo kwamba natimlacha mrungu lakini warewe atenda na akamtoma mwana wake ili akale fidia ya dhambi shetu.11Nyasu,ikala mrungu atemda ije oraora natipaswa kwenda ije kwa ije. 12Takori hata womwe amwona mrungu,kama tijienda ijendwa ije mrungu nakala ndeni yetu napendo rake rikamilika ndeni yetu. 13Katika reri natimenya kwamba na tikala ndeni yetu na warewe ndeni yetu,kwa sababu ateva Ngoro. 14Tikoona na kushuuhudia kwamba papa amtoma mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.15Kwa ora akiri klwamba Yesu ni mwana wa Mrungu,Mrungu nakala ndeni yake warewe ndeni ya Mrungu. 16Na tumenya na kuamini ni pendo,ware we akala ndeni ya upendo nakala ndeni ya Mrungu na Mrungu nakala ndeni kwake.17Ndeni ya upendo oyu ikenga kukamilisha ndeni yetu ,ili tikale na ujasiri siku ya hukumu,kwa sababu kama warewe arevo,na ije ndevo tirevo ulimwengu oyu. 18Tavari shaka ndeni ya Upendo.Lakini pendo kamili nugwicha wasiwasi esa,kwasababu hofu naihusiana na bukumu.Warawe asesa takamilisha katika upendo.19Natikwendana kwa sababu Mrungu atiumba kwanza. 20Ikikara omwe asaamba,"Ningumlacha Mrungu"Lakini namrejera ndugu yake,ni mvongu.kwa sababu atimracha ndugu yake,amuona,taweza kumracha Mrungu ambae atiamona. 21Na eno ndeyo amri tinayo kudumu kwake:Yeyote amracha Mrungu,apaswa kumwenda ndugu yake.

Chapter 5

1Yeyote akuamini Yesu ni Kristo asharwa ni Mrungu.Na yeyote amwenda warewe ambae aduma kwa papa pia na kwaenda anake. 2Kwa eli natimenya kwamba natia lacha ana a Mrungu-tikimracha Mrungu kwamba natsishikwata amri shake.Amri shake ni nyepesi. 3Ogo bdego timlacha Mrungu kwamba natshikwata amri shake.Amri shake ni nyepesi.4Kwa kera ashalwa na Mrungu kuushinda ulimwengu.Oya ndugu ushindi kuushinda ulimwengu,imani yetu. 5Nomwe akuushinda ulimwengu?Ni ola akwamini Yesu ni mwana wa Mrungu.6Huyu ndeweamasi na ndakame-Yesu Kristo.Taasa kwamasi bali kwa masinandakame. 7Kwa ogo kuna atatu mashuhudia: 8Ngoro,masi na ndakame.Aso atatu makubaliana.(Zingate:Maneno aga"papa,neno,na ngoro mtakatifu tamaonekana katika shakala bora za kare).9Kana tesa uvokera ushuhuda wa anadamu ushuhuda wa Mrungu ni mkoru kuliko wa oso.Kwakuwa ushuhuda wa Mrungu ni oso-kwamba ana ushuhuda kuhusiana na mwana wake. 10Warewe namwamini mwana wa Mrungu ana ushuhuda ndani yake mwene.Yeyote atimwamini Mrungu akala Mvungu,kwa ogo takwamini ushuhuda ambae Mrungu akureta kuhusu mwana wake.11Na ushuhuda ndeoi-kwamba Mrungu ateva wima wa milele,wima oyu undemi ya mwana wake. 12Anake mwana wa uzima.Atari nake mwana wa Mrungu tari wima.13Ningwaandikera aya muweze kumenya kwamba mnao wima wa milele-imwi mkwamini kwa jetwa ra mwana wa Mrungu. 14Oyu ndogo ujasiri tinao moja yetu,kwamba tikivoga gito chochotae sawasawa na mapenzi yake,aagua. 15Na kama natimenya kwamba aagua chochote timuoga naagua kwamba tinacho keo tamvoya.16Kama motu namona ndugu yake naketa dhambi itia kwelekea egwa naipasa avoye na Mrungu asamova uima.Ni kwamba kwa ara ambao dhambisho ni ire itiatora egwa-kuna dhambi itora matanga-sikwamba kwamba naimpasa kuvora kwa ajili dhambi teso. 17Uasi wonde ni ndambi-lakini kuna ndambi itiatora tanga.18Natimenya kwamba asharwa ni Mrungu tatenda ndambi.Bali asharwa ni Mrungu natunzwa nake salama daima,ora movu taweza kumdhuru. 19Natimenya kwamba ije ni ya Mrungu natimenya kwamba ulimwengu wonde uwendi ya utawala wa ora muovu.20Lakini natimenya kwamba Mwana wa Mrungu akosa na atipatera ujuzi,nalimenya warewe ndewe wa kweli na kwamba tiwavaya ndeni yake warewe wa ukweli,hata mwana wa Yesu Kristo.Ni Mrungu wa kweli na uima wa milele. 21Ana wapenzi iepusheni na sanamu.

2 John

Chapter 1

1Kuduma kwa mzee Koji kwa motu moka adurwa na anaake aso naaenda katika kweli na seoinye tu bali na onde maimenya kweli, 2Kwasababu ya kweli irevo ndenyi yetu na isadumu vemwe naye milele. 3Neema, Rehema, amani shusakala naiye kuduma kwa Mrungu Papa na kuduma kwa Yesu Kristo, mwana wa Papa vemwe katika kweli a pendo4Ningufwaerwa mono ningumenya baadhi ya ana namakoji katikakweli kama takokera amri eno kwa Papa. 5Ndavo ningukusihi uwe,motumoka seokwaamba ningukuandekera amri envya bali watinayo tangu mwanao, kwamba nitipaswatiendane ije kwaije na oyu ndego upendo tilachwa koji kurwanananaamriyake. 6Eno ndeyo amri kama ogomwanguatangu mwanzo namlachwa mwende katika eso.7Kwa ogo avongu niengi maaye na vene ulimwengu tamakeri kwamba Yesu Yesu Kristoakosa katika mweri oyu ndewa mvongu na mpinga Kristo. 8Iloleni ene kwamba tamkwajamambo ara takaya kwakatarapata, ili kwamba kuweza kuvokeera zawadi kamili.9Yayole atiakoji moja na atadumu katika fundisho la Kristo tareri Mrungu. 10Ora adumu ndeni ya mafundisho anake Paba na Mwana pia. Kama motu akosa kwenyu tareta fundisho rerimtemkalibisha nyombani kwenyu na mtie keja. 11Oso akimkeja ashiriki matendo ake mapei.12Ninayo mambo mengi ya kukuandikira na sikaenda kukuandikira kwakaratasi na wino. Lakini ningutumaini kosa kwechu na kwamba kidango, kwamba furaha yetu iketwe kamili. 13Ana atata yenu niteule namakuwakeja.

3 John

Chapter 1

1Mzee kwa Gayonyasu ni mwenda katika kweli . 2Nyasu ningukuvoyera ufanikiwe katika mamba onde na kukala na afyandoro,kama ogo ngaro Yechu ifanikiwa. 3Maana ningufwairwa mono wakati nikierwa na ndugu maasa na makindinya ushihuda oru ya kweli Yechu, kama ogo ukoji katika kweli. 4Seri furaha mbao zaidiya erri gua kwamba anokwa namaweha katika kweli.5Nyasu, nukoji kwa uwaminifu ukahudumia ndugu na ayeni. 6Ambao mwadinya ushuhuda wa upendo wechu moja ya kanisa.Nuketa uzurikuwatola katika safari shoo kwanamna eso imfuya Mrungu. 7Kwa sababu ya Jetwa, makajibila kugua gito chochote kuduma kwa atu amataifa. 8Ogo, ndegotilacha kuwakaribisha atu kama asoili tikale aketapaya vamwe kwa ajili yakweli9Ninguriandikira kundi jambo furani, lakiniDiotrefe, alacha kukala we kwanza mongoni vo tamakubaliananaije. 10Ogo tama nikesa nisaakumbuka matendo ake asoaketa, jina ogo akwamba ndanga mbeikinyume naije. Takaridhikana matendo aya, Waruwe mwenye takwarokera aso ndugu,hata kuwareja angi ambao na matamani kuwa karibisha aso ndugu angi na kuwagondocha maduma vene kusenyiko.11Ngasu uteigakirevo kipei baliuga gito kizuri, oso aketa mazurini wa Mrungu na Oso aketa mapei takamwona Mrungu. 12Demetrio ashuhudiwa ni onde na kweli yonde ije pia timashahidi na numenya kwamba ushuhuda wetu ni wakweli.13Ninao mambo mengi ya kukuandikira lakini silacha kukuandikira kwa kalamu na wino. 14Bali ningutarajia nikone ava vaguve na tisaamba na uwe ana kwe ana. 15Amani ikale vamwe na uwe. Anyusa namakukeja, akejaanyasu kilawomwe kwa jetwa rake.

Jude

Chapter 1

1Yuda mtumwa wa Yesu Kristo na ndugu yake Yakobo kwa anambao maetwa, maendwa vamwe na Mrungu Papa na ara matunwa kwa ajili ya Yesu Kristo, 2rehema na amani na upendo shiongerwe kwenu.3Nyasu wakati nikiketakila juhudi kuwaandekere imwi kuhusu wokovu wetu onde ikanilazimu niandikeri kwaajili ya kuwashauri ili mshindanie kwauaminifu imani ambayo ikeri ukabidhiwa maremwe tu kwa waamini. 4Kwasababu ya atu fulanimadungura kwa siri kati yenyu atu maekwa alama kwa ajili ya hukumu atu ambao seo atakatifu ambao namabadilisha mazuri a Mrungu wetu kukala ufisadi na kumlea Bwana wetu mwene na Bwana Yesu Kristo.5Ndevu ningulacha niakumbushe imwi ingawa kunawakati mkeri nammenya kwa ukamilifu kwamba Bwana akuakoa atu kuduma endi ya misri lakini baadaye akaangamiza ara onde ambao tamakaamini. 6Na malaika ambao tamakainga enzi yo ene lakini makatia makazi yo maotum Mrungu akaaeka vene mugororo ya milelendeni ya kivundu kwa ajili ya hukumu ya mondu ura mbali.7Kamaura Sodoma na Gomora na meshi ya azunguhuka amabyo yadongoja yene katika uasharati na makatua tamaa ambayo seo ya asili. 8Maonywa kama mifano ya ara ambaa mateseka katika hukumu ya mongi wa milele.9Lakini hata Mikaeli malaika mkuru wakati akeri akishindana na ibilisina kuambiyananake kwa ajili ya mweri wa Musa, tathubutu kureta hukumuya urongudhidi yake lakinibadalayake akamba Bwanaakuzomerere. 10Lakini atu aya makaleta uvongu dhidi ya chochote matia chimenya . Na kira matiachimenya kira ambachoanyama matari akili namamenya kwa asili yo haya ndeomaabananya. 11Ole yoo! kwasababu marata sera ya kaini na kurituwa kosa la Baalamu. Makwaangamia katika sera ya Kora.12Aya ni mawe katika sherehe shetu sha upenda , makisherekea bila ya ndoni wakiirisha ene tu. Ni marumbe matari na masina maguwewa ni mvevo ni metinaipakutikamareka tayari matunda ukungwa ng'ambi ijeri ikorwameri. 13Ni marumba abahari mene jogo makidunya ndoni shoo ene, ni nyota shurandaranda ambasho nikivundu cha utuke utunzwa kwaajli yo milele14Enoko ni wa sabaa kwene orodha ya Adamu atabirikwa ajili yo akaamba hola Bwana nakosa na maelfu kwa maelfu ya atekatifuake. 15Ili aketi hukumukwa kila motu na kudanguja hatia kwa onde matiammenya Mrungu oru ya matendo oo onde makenya kuaketa vene sira shidori inatauwa nakwamaneno onde ya ukali ambaoseo atauwa makwamba zaidi yoo. 16Aya ni warara ambao namatuwa tamaa shwo sha upei magwivuna mono aso kwa faida yoo namakenya angi.17Lakini imwi nyasu kumbukani maneno maambawa vuyo kara na mitume ya BwanaYesu Kristo. 18Makaamba kwenyu katika wakati wa mwisho kusekala na atu madhihaki ambao namatuwa tamaa sho shutari shakitauwa. 19Atu ayaniyatenganishaji na matawaliwani tamaa sha asili na tamari ngoro.20Lakini imwi nyasu kama ogo mgumwiyaka vene imani yenyu takatifu mono na kahoogo mvoya katika ngano mtekatifu. 21Itunzeni katika upendo wa Mrunguna mtelele rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo naipatikrauyima wa milele.22Onyesha rehema kwa ara mene mashaka. 23Okoani angi kwa kuwagua kuduma kati ya mongikwa ungi onyani huruma kwa ugowa mkireja hata vazila dungujwa doa na mweri24Ndevo kwake aweze kuwaringa matie chatara na kuwasababisha marame moja ya utukufuwake bila uchafu na kukalana decha mbau. 25Kwake Mrungu wengwa mwokozi kupaula Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu ukale kwake, ukoru, uwezo na uvinya kabla yanyakatishonde na vinwao hate milele Amina.