Bondei: Bible for Matthew

Formatted for Translators

©2022 Wycliffe Associates
Released under a Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Bible Text: The English Unlocked Literal Bible (ULB)
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English Unlocked Literal Bible is based on the unfoldingWord® Literal Text, CC BY-SA 4.0. The original work of the unfoldingWord® Literal Text is available at https://unfoldingword.bible/ult/.
The ULB is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Notes: English ULB Translation Notes
©2017 Wycliffe Associates
Available at https://bibleineverylanguage.org/translations
The English ULB Translation Notes is based on the unfoldingWord translationNotes, under CC BY-SA 4.0. The original unfoldingWord work is available at https://unfoldingword.bible/utn.
The ULB Notes is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
To view a copy of the CC BY-SA 4.0 license visit http://creativecommons.org/licenses/by-sa/4.0/
Below is a human-readable summary of (and not a substitute for) the license.
You are free to:
The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following conditions:
Notices:
You do not have to comply with the license for elements of the material in the public domain or where your use is permitted by an applicable exception or limitation.
No warranties are given. The license may not give you all of the permissions necessary for your intended use. For example, other rights such as publicity, privacy, or moral rights may limit how you use the material.

Matthew

Chapter 1

1 Kitabu cha muango wa yesu kwistu mwaaangwa ya daudi, mwana wa bwaahimu. 2 Bwaahimu neni tatiakwe da isaka, na isaka neni tatiakwe da yakobo a yakobo neni tatiakwe da yuda na nduguze. 3 Yuda nentatiakwe da pelesi na sea kwa tamali, pelesi tatiakwe da hezelini, na hezeloni tatiakwe da lamu. 4 Lamu nenitatiakwe da aminadabu, amina dabu tatiakwe da nashoni, na nashoni tatiakwe da salimoni. 5 Salimoni nen'tatiakwe da boazi tatiakwe da obedi kwa luti, obedi tatiakwe da yese, 6 Yese nen'tatiakwe da mfaume daudi. dandi nen'tatiakwe da seemani kwa mkaziwe ulia. 7 Seemani nen'tatiakwe da lehoboamu tatie da abiya, abiya tatiakwe da asa. 8 Asa nen'tatiakwe da yehoshafati, yeshafati tatiakwe da yolamu, na yolamu tatiakwe da uzia. 9 Uzia nen'tatiakwe da yosamu, yosamu tatiakwe da ahazi, ahazi tatiakwe da hezekia. 10 Hezekia nenitatiakwe da manase, manase tatiakwe da amoni na amoni tatiakwe da yosia. 11 Yosia nenitatiakwe da yekonua na kakize wakati wa kudoigwa kwita babeli. 12 Na baada ya kudoigwa kwitu babeli, yekonia nenitatiakwe da shatiedi, shatiedi nenibaba yakwe da zehibabeli. 13 Zulubabeli nenitatiakwe da abiudi, abiudi tatiakwe da eliakimu, na eliakimu tatiakwe da azoli. 14 Azoli nenitatiakwe da zadoki, zadoki tatiakwe da akimu, na akimu tatiakwe da eliudi. 15 Eliudi nenitatiakwe da elieza, elieza taiakwe da matani na matani tatiakwe da yakobo. 16 Yakobo nenitaiakwe da yusufu mumewe da maliamu, mwekuaye kwa yeye zumbe yesu kavyaigwa, mwetangwaye kwistu. 17 Uvyasi wose tauklia bwaahimu hai daudi neni vivyazi kumi na vinne. 18 Kaombigwa ni yusufu, mia wekuahonkawa zati kaneka kuwa na ndaa kwa udahi wa loho mtakatifu. 19 Yusufu mmumwe, ne ni mntu mwenye haki nkekunda kugewa soni cha zae. kaamna kuhma uchumba wakwe kwa sii. 20 Mbui izi malaika ya bwana akamlawi mwesozi, akamba, yusufu mwanangwa kumdoa maliamu kama mkazio kwa sibabu mimba eneayo ni kwa mweza wa loho mtakaifu. 21 Nndaavyee mwana kigosi undaumwetange zina dakwe zumbe yesu kwa ajii endawahonye wantu wakwe na zambi zao.'' 22 Yosemndee yawia kutumiza kia chekutamwii wacho n'bwana kwa sia ya nabii, akamba, 23 ''Kaua mnde mpaa endadoe ndaa na kuvyaamwana kigosi na wondawamwetange zina dakwe manue!''--mungu yuhmwe naswi.'' 24 Yusufu kenuka kuawa mweusisiza na kugosoa kama malaika wa bwana ekumuamua uyo na kamdoa igna nkaziwe. 25 Ivyo, nkekugona nae mpaka ekuvyaaho mwana kigosi na kumwetanga zina dakwe zumbe yesu.

Chapter 2

1 Zumbe Yesu ekubindaho kuvywagwa mwe Beselehemu ya Uyahudi mwe misi ya mfaume Helode, want wekusemao kuawa mashaliki ya hae wabua Yelusalemu wakammbwa, 2 Yukuhi uyo mwekuvaigwa mfaume ya Wayahudi? Tiona ntoondo yakwe Mashaliki nasi teza kumvikia. 3 Aho Mfaume Helode ekusikiaho ayo akasininika na Yelusalemu yose hamwe nae. 4 Helode akawakonga wakuu wa Makuhani wose na wagonda wa wantu akawauza ''kwistu n'ndaavyaigwe hahi? 5 Wakamwamba, mwe Beselehemu ya Uyahudi, kwa ajili ivi nee yekogondwavyo n'nabu, 6 Nawe Beselehemu, mwe sii ya Yuda, nkuwe mdodo mwe viongozi wa Yuda, kwa kuwa kuawa kwako n'ndaeze mtawala ndieawwaise wantu wangu izilaeli''. 7 Ivyo Helode kawetanga wada wasomi kwa sii na kuwauza ni ukati uhi haswa ntoondo yekuonekaho. 8 Akawaagiia Beselehemu, akagombeka, ''Hitani npaahoe mkamuonde mwana mwe kuwyaigwa aho ndihommuone, nieteani habai ili nami n'dahe kweza na kumvikia. 9 Wekwendaho kumva Mfaume, wasongwa n'kuita ntambo yao, na ntoondo ida wekuyo waiona mashaliki iwaongoea mpaka yakugookaho uanga ya hantu mwana mwekuvyaigwa ekuwaho. 10 Ukati wekuionaho ntoondo, watamiwa kwa nyemi nkuu muno. 11 Wengia nyumbai na kumuona mwana mwekuvyaigwa n'maliamu mamikwe wakwemsujudai na kumvikia. wakachapoa hazina na kkumua geeka da zhabu uvumba, na manemane. 12 Muungu kawahaza mwe sozi, wesekuuya kwa helode, ivyo wahauka kuuya kwe sii yao kwa sia tuhu. 13 Wekuhaukho malaika ya bwana akamuawiia yusufu mwe sozi na kumwamba, ''enuka mdoe mwana na mamiakwe mgukie mishi. msigae uko 'ndaamunde mwana ili amdagamize. 14 Kio icho yusufu akenuka n kundoa mwan n mamiakwe na kuguukia misli. 15 Kekaa ukoo mpaka helode ekuumbwaho mzimu inu ntimia kia bwana ekugombekacho kwembokea nabii, ''kauwa misli nkimwetanga mwanangu.'' 16 Mia helode ekuonaho kua kabeawa ni wantu wasomi kakimwa sana, kaagiwa kukomwa kwa wan wose wa vigosi wekuao. betelehemu na wose nendeo zia ambazo nee wana ika da miaka miid na sii yakwe kuigana na ukati ekuao kasibiyisha kuawawa wada wantu wasomi. 17 Nee yekutimiaho ida, mbui yekutamwiiwayo mwe kanwa cha nabii yelemia, 18 ''Sauti isikika lamah, kuia na kweyayata laheli ekuwauyaho wanawe na kaemea kuhembeezwa kwa aj wana nee nkawaho vituhu.'' 19 Helode ekuubwaho mzimu malaika ya bwana kamwawiia yusufu mwe sozi uko misli akamwamba, 20 ''Enuka umdoe mwana na mamiakwe muite mwe sii ya izlaeli kwa ajii wekuao wakaonda ugima wa mwanwa waumbwa mzimu.'' 21 Yusufu nee enuka akamdoa mwana hamwe na mamiakwe, ee weza kwe sii ya izilaeli. 22 Mia ekusiikiaho kua alikelau nee akatawala yuda handu ha tatiakwe helode, kagoha kuita uko muungu eukbindaho kumkanya mwe sozi, akahaukakuita mzi wa galilaya. 23 Nee enda kwekaa mwe mzi wetangwao nazaleti. idi ditimiza kia chekuwacho kibindwa kutawiiwa kwa sia ya manabii,kwamba n'ndaetangwe mnazaleti.

Chapter 3

1 Mwe misi ida yohana mbatizaji keza akabiikia mwe nyika ya yuda akamba, 2 ''Sosoani kwa ajii ufaume wa mbinguni u hehi.'' 3 Kwa mana uyo nee mwekutamwiiwa nanabii isaya akamba, sauti ya muntu mwetanga kuawa jangwani, ikana tayali sia ya zumbe, nyoshani mapiito yakwe.''' 4 Sasa yohana nee kavaa mazoya ya ngamia na mkanda wa babu mwe kigudi chakwe nkande yakwe nee ni sige na woki ya mzitui. 5 Ikaawaaho yelusalemu, yuda yose, na ntendeo zose zizunguukazo mto yolodani wakaita kwakwe. 6 Nee wakawabatiiza mwe mto olodani uku wasosoa zambi zao. 7 Akini ekuwaonaho wangi wa mafalisayo na masadukayo weza kwakwe kubatizwa akawambia, ''nywie uvyazi wa nyoka wenye sumu mndui mwekuwafingiza kuiguuka mbifya yezayo? 8 Vyaani matunda yondigwayo mwe toba. 9 Namwesekuafya na kutambaisana miongoni mwenu, tinae bwaahimu kana tatietu kwa kua namyahudi zumbe muungu adaha kumwenuia bwaahimu wana hata kuawa mwe maiwe aya. 10 Tayali hya ibinda kae kuikwa mwe mazido ya miti kwa iyo kia mti wesaokuvyaa matunda yedi wasengwa na kwasigwa kwe moto. 11 Namibatiza kwa mazi kwa ajii ya tiba. akini yeye ndie eze baada yangu ni mkuu kuliko mumi nami kistahili hata kwenua viatu vyakwe yee n'ndaawabatize kwa loho mtakatifu na kwa moto. 12 Na heteo dakwe di mwe mkono wakwe kusunta kabisa uwanda wakwe na kuikuba ngan yakwe taai iya n'ndaayoke makapi kwa mot ambao nkaudaha kufa. 13 Akaawaaho zumbe yesu akeza kuawa galilaya mpaka mto yolodani kubatizwa n' yohana. 14 Akini yohana konda amkindie akagombeka, mie nafaigwa nibatizwe ni wewe, nawe weza kwangu?'' 15 Zumbe yesu akamtambaisa akamwamba, ''luhusa iwe ivi sasa, kwa kua nee yondigwavyo kuitimiza haki yose.'' akaawaaho yohana akamluhusu. 16 Ekubindaho kubaiizwa, mala zumbe yesu akaawa mwe mazi na kaua, mbingu zikavuguka kwakwe. na kamuona roho wa zumbe muungu akaseea kwa kiiganyo cha ngiwa na kutuia wanga yakwe. 17 Kaua sauti iawa mbinguni ikamba ''uyu i mwanangu nimkundaye ntamiwae nae sana.''

Chapter 4

1 Akabinda umbe yesu akaongozwa ni loho mpaka jangwani ili ibilisi angeeze. 2 Ekuaho kafunga kwa siku alubaini kio na muzi akauwmwe nsaa. 3 Mlakungeeza akezaa akamwamba, kanakwei umwana mungu, hitua aya maiwe yatende makate.'' 4 Akini zumbe yesu akamjibu akamwamba, igondwa mntu mkaishi kwa mkate ukedu, bali kia neno dia wdo mwe kanwa cha mungu.''' 5 Kisha bilisi akamwegaa kwe mzi mtakatifu na kumbonda hantu he mtakatifu na kumabda hantu he uanga ana mmwe zengo da hekalu, 6 Na kumwamba, kana wewe ni mwana mungu, etambike si, kwa maana igondwa, ''ondaamulu malaika wakwe weze wakudake, na nndawakwewe kwa mikono yaa, ui usekwekungwaa muundi wako mwe iwe.'' 7 Zumbe yesu akamwamwamba igondwa vituhu usekungeeza bwana mungu wako, 8 Badaye bilisi akamdoa na kumwengaa sehemu za unga sana akamuonyesha falme zose za ulimwengu na fahali ya ivyo vyose. 9 Akamwamba, nnda nikwenke vintu yose ivi ukamisujudia na kuniabudu.'' 10 Vituhu zumbe yseu akamwamba, hita uhauke aha shetani, kwa maana igondwa yakupa kumwabudu bwana munu yako na umtumikie yeyedu ikedu.''' 11 Baadaye nilizi akambada, na kauwa malaika wakeza wakamliazikia. 12 Basi zumbe yesu ekusikiaho kuwo yohana kagwilwa akahauka mpaka galilaya. 13 Akahauka nazaleti akenda kwekaa kapelaumu ye nkandankanda na bahali ya galilaya mwe mihak ya majibmo ya zabuloni na naftali. 15 Ivi viaiwia ili kutimiza via vye kugombekavyo ni nabii isaya, 14 Mwe mzi wa zabuloni na wa nafatali kuitia bahalini ng'ambo ya yolodani, galilaya ya mataifa. 16 Wantu wekuao mwe kiza wakauna mng'ao mkuu na wada we kuao mwe maeneno ya kizui cha mauti nuru ikawangaia uwanga yao.'' 17 Tangia ukati uo zumbe yesu ekuwokaho kubiikia na kusema, sosoani kwa vi ufalme wa mbinguni uhehi.'' 18 Ekuaho akemboka nkandankanda ya bahali ya galilaya kawaona ndugu aidi simoni mwekua aketangwa petuo na andwea kakie, nee wakodega ynavu zao bahalini kwa kuwa ne ni wavuviwa samaki. 19 Zumbe yesu akawamba, sooni mnitongee, mndanuwe wavuvi wa wantu. 20 Saa ida ida wakabada nyavu zao wakamtongea. 21 Na zumbe yesu ekuaho akahauka akawaona matuhu ndugu waidi, yakobo mwana wa zebebdayo na yohana kakie wamwemtumbunini hamwe na zebedayo tai yao uku washona nyavu zao, akawetanga. 22 Saa ida wakabada mtumbani na tati yao. nao wakamtongea. 23 Zumbe yesu uku y hehi na kuibinda galilaya yose, uku awafundisha mwe masinagogi yao, uku waawabiikia injili ya ufalme uku ahonya kia ana ya matami na malazi mwe wantu. 24 Mbui zakwe zikagemea sikra yose na wantu wakamwetea wada wose wahunao uku wa matau ya kia aina na maumiv wenye mapepo na wenye kugwa mtwi na wekuhoawao zumbe yesi akawahonya. 25 Uifii kuu a wantu ukawa wamtongea vokea galilaya na dekapoli, na yelisalmu na uyahudi na hata ng'ambo ya yoldani.

Chapter 5

1 Yesu akuunaho uifii akahauka akaitia mimani ekuaho kekaasi ahinywa wakwe wekeza kwakwe. 2 Akagubua mwomo wakwe na kuwahinya akagombeka. 3 Ebae awa wakiwa wa loho kwa ajii ufaume wa uanga ni wao. 4 Ebae wenao na uzuni ana wendawahongezwe. 5 Ebae enao uovu mana wenda walisi iyosi. 6 Ebae wenao saa na nkiu ya haki maa ao wendaweguswe. 7 Ebae wenao na lehema mana ae wendawenkwe lehema. 8 Ebae wenao moyo wedi mana wamuone muungu. 9 Ebae wahi mana ae wenda mana wendawamunne mungu. 10 Ebae wada wasuubiwao kwa ajii ya haki mana ufaume wa uanga ni wao. 11 Ebae nywinywi ambao wantu wenda wawatukane na kuwasuubisha au kugombeka kia aina ya uabanasi zidi yenu kwa umbea kwa ajii yangu. 12 Tamiwani na kuona mwiiwe mwana sawabu yenu ni nkuu uanga mbinguni kwa kuwa ivi nee wantu wekuwasuubishayo manabii wekuishio kabla enu 13 Nywinywi nee munyu wa dunia akini etiho munyi u mwiie wakwe yendaidahike kugosoka mnyu vituhu? chee nkaidahika kuwa yedi kwa kintu kituhu chocose vituhu iya ni kwasi kwasigwa chongoi na kujawa mwe mundi ya wantu. 14 Nywinywi ni ungeaazi wa uimwengu mzi ukuzengwao uanga ya muima nkawefisaka. 15 Iya wanu nkawasha taa kuziikasi ya ngahu bali mwe kinaa nayo yawangaza wose waimo mwe nyumba. 16 Eka ungaazi wenu ungaze hee wantu kwa namana ambayo kuwa wayakauwe magosozi yenu matana na kumgimbka tati yenu mweuko uanga mbinguni. 17 Msekufikii ncheza kuibananga shaia wala manabii nchekweza kuibananga miya kuitimiza. 18 Kwa kwei nawamba mpaka mbingu na dunia zose zembo ke nkakuna yadi mwenga wala nkuta mwenga ya sheia yendiyoisigwe mwe shaia kiamuo niaho kia kintu chendoho kibiikie kutimia. 19 Ivyo yeyose mbananga ali ndodo mwezia amli na kuwahinya watuhu kugosoa ivyo endaetangwe mdodo mwe ufaume wa mbinguni akini yoyose mzikone na kuzihinya enda etagwe mku mwe ufaume wa mbinguni. 20 Kwa mana nawamba haki yenu ikesekwemboka haki ya wgndi na mafalisayo kwa vyivyse viankama mwengie mwe ufaume wa muungu. 21 Msikia yekutamwiivyo aho kae kuwa, ''uekukoma'' na yeyose mikono yuu mwe hatai ya kuahwa. 22 Akii nawamba yoyose mwesekukundu nduguye enda awe mwe hatai ya kuahwa, na yeyose amwambae nduguye kuwa weee ni mntu mwesekutama, endaawe mmwe hatai ya baazi na yeyose agombekae, wee ubahau! endaawe mwe hatai ya moto wa jehanamu. 23 Naho kama walavya kafaa yake hemkia na ukakumbuka kuwa nduuyo ana mbui yoyose zidi yako, 24 Uibade kafaa mbele ya hemvika, ukabinda eza sia yako ukezave kwanza na nduguye, na ukabinda weze uilavye kafaa yako. 25 Evanani na mnkuu yako kinyanyi ukawa hamwe nae mwesia kuhia kwe maahio naho mnkuu yako abuza akubade mwe mikono ya muaha na akubade mwe mikon ya asikai, nawe wenda wasigwe geezani. 26 Amini nawamba bue nkunaukewe hulu mpaka uziike hea utigiwazo. 27 Msikia itamwiiwa kuwa ueke kianga. 28 Akini nawamba yoyose mumkaua mvyee kwa kumkuda kaheza ae kizini nee mwe moyo wakwe. 29 Na kama ziso dko da kuumwe dakuhosa kwekugwaa digombee ukadise hae muno, kwa kuwa enae kimama kimwe mwe mwii wako kibanka kwiko mwii mgimo kwasigwa jehanamu. 30 Na mkono wake wa kume wakuhosa kwekungwa uusengo ukabinda ukawazi hae mun mana ni kuba kimamo kimwe mwe mwii wako kibanike kuliko mwii mgima kwasigwa jehenamu. 31 Itamwiiwa naho, yoyose mumguusa mkaziwa na amwenke hai ya talaka. 32 Akini mie nawamba yoyose ndie amwase mkaziwe isayokuwa kwa sibabu ya kianga amtenda kuwa mkianga na yoyose umteguu baada ya kwenkigwa talaka agosoa ukianga. 33 Vituhu msikia itamwiwa kwa wada wakae, msekweisa kwa umbea, iya egaani viapo vyenu kwa zumbe. 34 Akini nawamba, mswekweisa kabisa ama kwa mbingu kwa sibabu ni enzi ya muungu. 35 Hata kwa dunia mana nee hantu he kuikia kiti cha kujatia nyayo zzakwe ama kwa jelusalemu mana nee mzi wa mafaume mkuu. 36 Naho wesekweisa mwe mutwi wako, mana nkudaha kugosoa uvii umwe kuwa wangaa na mzize. 37 Iya mbui zenu ziwe ehe ehe chuchu kwa kuwa yatendesayo aye ya kwa yuda mbanasi. 38 Msikia itamwiiwa kuwa, ziso kwa ziso na zino kwa zino. 39 Akini mie namyamba, msekuhigona na muntu mbanasi akini mntu akakuoa funda da kuume mhitwie na tuhu. 40 Na yoyose matmiwa ni kuit a wewe kwe aahie na akakuhoka nkazu yako mbadie na joho duka. 41 Na yoyose mkukungumiza uita nawewe maili mwenga hiya nae mailia mbii. 42 Kwa yoyose mkuombeza mwenek na use yoyose mkunda kukukopa. 43 Msikia itamwiiwa, mkunde jilani yako na umuemee mnkuu yako. 44 Akini naambwa wakundeni wankuu wenu waombe zeeni wamikimao 45 Ili kwamba mtende wana wa tati enu mweuko mbinguni kwa kuwa agosoa zua diwangaie wabanasi na watana naho awagwisia fua wabanasi na watana. 46 Kama mkawkunda wawakundao nywinyi mwahekea sawabu yani? kwani watizao ushuu nkawagosoa ivyo? 47 Na kama makwaugusa ngugu zenudu mwahokaani kwemboka watuhu? je! wantu wa mataifa nkawagosoa ivyo? 48 Kwa ijo yakundwa muwe wakmiifu kama tai yenu wa mbinguni eivyo mkaamiifu.

Chapter 6

1 Tozeeza kweeskugosoa mbui ya haki mbele za wantu ilikweonyehsa vituhu nkunapate maiho kuawa ka tate mwe mbinguni. 2 Ivyo basi uavayho wese gunda na kwetogoza mwenye kana vibigiizi wagosoavyo wantu wawatogoe, kwei nawamba wabinda kuhokea maiho yao. 3 Akini wewe uavyaho kno wakumoso wesekumanya ugosoach na mkono wako wa kudiiia. 4 Ilikwamba ngeeko yako iavigwe kwa sii nee aho tati yako muona kwa sii enda akawenke maiho yako. 5 Naho ukambeza usekua kana vibigiizi kwaajii wakunda kugooka na kumbeza mwe masunagogi na npasinpasi za mitaa, ii kwamba wantu wawakaue kwei na wamba wabinda kuhokea maiho yao. 6 Iya wewe upbmezaho, enia gati. fugaa uvi, na uombeze kwa tati yako mwe sii. neaho tai ako aonae sii enda akwenke maiho yako. 7 Naaho uombezaho, usekuiuia mbui zesekuana maana enga wamataifa wagosoavyo kwaajii wafikii inga wonda wasikiwe kwaajii ya mbui nyingi wasemazo. 8 Kwaiyo useuakana woo kwaajii teti yako amanya mahitaji yako hata kabla nkuzati kuombeza kwakwe. 9 Ivyo basi ambeza ivi tati yetu mweuanga kwe zunde, zina dako digimbikwe. 10 Ufaume wako weze ukumdiso ako ugosoke hanu mwe dunia inya uko kwe zunde. 11 Utenke iyoo mkate wetu we kia siku. 12 Utifii mbazi deni zetu inga nasi tiwafiiavyo mbazi wadeni wetu. 13 Usekutengea mwe kugeezwa, akini utiepushe kuawana na yuda mbaya.' 14 Ikagatinatiwafii mbazi wantu ubaya wao, tati ako wekwezunde pia enda awafii mbazi nywinywi. 15 Akini mkiwa nhama muwafiie mbazi uabaya wenao wala tati yenu nkana awa fiie mbazi mwe ubaya wenu. 16 Zaidi ya yose, ukawa kufunga usekuonyesha cheni cha huzuni inga wahafiki wagoso avyo, kwakua wakunja sala zao ili kwamba wantu wawamanye wafunga. kwei nawandaa, wabinda kuhokea muiho yao. 17 Akini wewe, wondaho ufunge ebuunge mavuta mwe mtwi wako na usunte cheni chako. 18 Ivyo nhaina ikuonyeshse mbele ya wantu kua kufunga, akini tu yenda iwe kwa tati yako kwa sii. natati yako muona kwe sii enda akwenke maiho yako. 19 Weskuikia hazina yako mwenye hanu duniani, ambaho nodno na kutu vya ananga ambaho wabavi watua na kabawa. 20 Badii yakwe itunzie kwezunde, ambako nkakuna nondo wala kutu nkaidaha kubananga, ambako wabavi nkawadaha kutua na kubawa. 21 Kwaaaji hazina yako yeiho,nee na moyo wako wendahouwe pia. 22 Ziso ntaayamwii, kwahiyo ikiwa ziso dako`ngima mwii wose wenda umeme ezwemntu. 23 Akini inga ziso dako mbovu, mwii wako wose umema kiza totoro. kwaiyo, ikiwa nulu yeiu ndani yako nkiza hasa, nkiza kikuu kiasi chani! 24 Nhakuna hata yumwe madaa kutumukia wantu waidi, kwaajii enda amchukie yumwe na kumkunda mtuhu au ;laa nkivyo onda aavye kayumwe na kuzalau mtuhu nkandaha kumtumikia muuungu na mai. 25 Kwaiyo nakwamba, wesekua na mashska kuawana na maisha yako, kua wenda udeni au wenda unyweni au na kuhusu mwii wako, wenda uvaeni. je! maisha nkizaidi ya nkande na mwii nkizaidi ya nguo? 26 Kauwa wadege weuko uwanga nkawahunda nkawa bonda nkawa kuba na kugea metaa, akini tati yetu wa kwezune nde awenka nkande wao. je nywinywi nkiwa nisamani zaidi kuliko wowo? 27 Ndai miongoni mwenu wakwesumbua mdaha kuongeza khimo kowe wa uhai wa maisha yakwe? 28 Nakwambwai mwawa na wasiwasi kuhusu nguo fanyanya kuhusu mauwa mwe mndo jini yakuavyo nkaya gosoa ndima na nkayedaha kwevika. 29 Bado nawamba, nhaa seemani mwe utukufu wakwe wose nkekvika inga yumwe wa ayo. 30 Ikiwa mungu ayavika mani mweminda ambayo yekaa siku mwenga n kioi yasigwa mwemmoto, je nikwakiasi chni enda awavike nywonywo wenye imani ndodo? 31 Kwa hiyo mwesekua na wasiwasi na kwamba, 'je tenda ide mbwai? ''je tend tivae nguo yani'' 32 Kwakua mataifa waondeza mbui izi na tati yetu ywa mbinguni amanya kua tinamahi taji ayo. 33 Akini bosi ondeni ufaue wakwe na haki yakwe na ayo yose yonda abadae kwakwe. 34 Kwaiyo usekuona shaka kwaajii ya kioi kwakuwa kioi yenda yemanye mwenye kia siku yatosha kuwa na tatizo dakwe wenye.

Chapter 7

1 Wesekuaha nawe wesekweza kuahwa. 2 Kwa kuaha uwahako nawe wenda uahwe na kihimo uhimiacho nawe wenda uhimiwe ichoiho. 3 4 Na kwani kukauwa katii kwa mi mwe ziso dandu guyo akini nkumanya ntii ya gogo ye mwe ziso dako? Wadaho viivihi kugombeka kwa nduuyo goja n kuavye ntii ye mweziso dako nawe una ntii ya gogo mwe ziswi dako? 5 Kibogiizi wee, voka kuavya ntii ya gogo mwe ziso dako nee ndiho udahe kuona vitana katii ka mti ke mweziso da nduguyo. 6 Wesekuwenka makui kintu kitakatifu na useku watambikia nguuwe mbele yao. au nkivyo wenda wavibbanange na kuvijata kwa miundi nahodi wenda wakuhitukie na kukudumwa dumua. 7 Ombeza nawe wenda wenkwe ondeza nawe wenda upate towa hodi nawe weda uvuguiwe. 8 Kwa vyovyose muombez ahokea na kwa yoyose muondeza apata na mutnu mtoa hodi avuguiwa. 9 Au kuna muntu ndai gati yen ambae mwanawe aka muombeza mkate enda amwenke iwe. 10 Au akamuombeza samaki yeye enda amwenke nyoka? 11 Kwaiyo kana nywinywi wantu wabaya mwamanya kuwenka wana wenu mageeko matana je i kiasi chanu kwemboka tati yenu mwe mbinguni ea amyenke vintu vitana wada wamuombezo yeye. 12 Kwaiyo ukakunda kugosweeswa kintu chochose ni mntu nawe pia wakundwa kuwagosweeea ivyoliyo kwai wakuwa iyo ni shaia ya manabii. 13 Embokani kwa kwembokea uvi msisii kwaku uvi mzangaamu na sia ni ngagamu ukayo kwe ubanasi na kuna wangi wembokao siya iyo. 14 Uvi ni msisii na sia iitayo kweugima ni wachehce wadahao kuiona. 15 Enegeni na manabii wa umbea weza wehamba mababu ya ngot akini kwei ni makui makai. 16 Mwenda muwamanye kwa matuunda yao. je muntu adahe kutund matunda matana mwe miwa au mtini mwe mbeyu ya mbauti? 17 Kwaiyo kia mti mtana wavyaa matunda matana akin mbaya wavyaa matunda mabaya. 18 Muti mtana naudaha kuvyaa matunda mabaya n mutu mbaya nkaudaha kuvyaa matunda matana. 19 Kia muti ambao nkauvyaa matunda matana wenda usengwe na kwasigwa mwe nkenengo ya moto. 20 Ivyo basi mwenda muwamanye kuigana na atunda yao. 21 Nkio kia muntu mnamba 'bwana bwana enda engie mweuzumbe wa mbinguni iya yuda mgosoa akundavyo tate mwe mbinguni. 22 Siku iyo wange wend wanambe ''bwana bwana nkatekulavya uabii kwa zina dako, nkatekulavya mapepo kwa zina dako tigosoa mbui nyingi nkui?' 23 Nee ndiho niwambie pwii nkimimanya nywinywi haukeni kwangu nywinywi mgosoao mabaya!' 24 Kwa iyo ki yumwe msiki mbui zangu na kuzitonngea enda aigane na muntu mwenye viungo mwekuzenga nyumba yawe uwanga ya bawe. 25 Fua ikanya mazi nee yabohoa na npeho nee yeza nee yaitowa ida nyumba akini nkayekuidaha kuigwisa si kwakuwa nee izengwa uwanga ya bawe. 26 Akini muntu muisikia mbui na akesekuitonga enda aiga nywe na muntu bahau mwekuzenga nyumba yakwe uwanga mwe msanga. 27 Fua nee yeza mazi nee yeza na npeho na kuutawa nyumba iyo nee yagwa na ubanasi nee wakamiiika.'' 28 Ukabua ukati ambao yesu ekubindaho kutamwiia mbui izi madungano wakehewa ni mahinyo yakwe. 29 Kwakuwa kahinya kana mntu mwenye mamlaka nkio kana wagonda wao.

Chapter 8

1 Zumbe yesu ekusako asi kalawa kwe mwima, utifii wa wantu mkuu weumbasao. 2 Kauwa nkoma keza kusuudu he meso yakwe kamba, ''bwana ati utayai kuning'aza.'' 3 Zumbe yesu akanyoosha mkono wake na kumdoangazwa ukma wakwe. 4 Zumbe yesu akumwamba, kauwa use kusema kwa mntu yeyose toza sia yako, kaonyeshe kwa akuhani na lavye funge ambado msa kaagiiya kwaajii ya ushuda ako. 5 Ukati zumbe yesu ekubuaho kapetanaumu, jemadai keza kwakwe kumuuza. 6 Akamba ''bwana mtumwa wangu kagona kaya kahooa na ahuma kwei'' 7 Zumbe yeu akamwamba, ''naodeza kumhoyna, nimwohoe. 8 Jemadai aketika na kugombeka ''zumbe, mie kiya kinu hata weze na kwengia nyumbani wangu, iya ombeka mmbui na mtumwa wangu endahone. 9 Kwa ajii mie pia ni mntu mwenye mamlaka na nna wagokezi wa asi yangu, nikwamba uyu, ''hita'' hita, na mtuhu ''soo'' nae eza, na kwa mtumwa wangu ''gosoa ivi ivyo.'' 10 Nee aho zumbe yesu ekuonaho ayo, nee adenduwaa na kuwamba wada wekuwao wakamtongea. ''ukweii nawaamb nkizati kuona mntu mwe imana inga uyu me islaeli. 11 Nawamba ivi, wangi wondaweze kuawa mawio ya zua na weo da zua wonda wekae meza mwnega hamwe na ablaamu, isaka na yakobo, mwe ufaume wa muungu. 12 Akini wana wa ufaume wonda waasigwe mwe kiza chongoi, ne kwendako kuwe nandio na kugigina mweno.'' 13 Zumbe yesu kagombeka jemadai hika! iinga wekuaibivyo na itendeke ivyo kwako'' na mtumwa kahona saa iyo iyo. 14 Inga zumbe yesu ekubuaho kwe nnyumba ya petuo, kamwona mami yakwe da mvyee ya petuo kagona ahuma homa. 15 Zumbe yesu kamdonta na mkon wakwe. ne utamu wa homa wa mwekeya nee enuka na kuvoka kuwahudumia. 16 Nee zua dekuswaho wantu wakamweta kwa zumbe yesu wantu wenao npepo ekuadontaho wnye npepo na watamu wose waoholwa. 17 Kwa ajii inu yatimia yada yekugombekwayo ni isaya nabii ''yeye mwenye kadoa ntamu zetu.'' 18 Naho zumbe yesu kuonaho wantu wamzunguk nee aita upane mtuhu wa bahai ya galilaya. 19 Nee mwandisi eza kwakwe na kugombeka. ''mwaimu nonda nikutonge hohose witaho.'' 20 Zumbe yesu nee agombeka, ''mbweha ana tubi na wadege wana masasa, akini mwana wa adamu nkana hantu hakugoneza mtwi wakwe.'' 21 Mhima mtuhu ne agombeka zumbe nenka uhusa nikamzike tate.'' 22 Nee zumbe yesu agombeka.'' vitongea eka wafu wenye kwa wenye.'' 23 Zumbe yesu ne engia ngalawa, mhinywa wakwe akambasa mwe ngalawa. 24 Kauwa kuwa na nkusi nkuu mwe bahali ne ngalawa ya gubikwa i mazi mawimbi ya bahai akini zumbe yesu ne yumwe usisiza kagona. 25 Wahinywa nee weza kwakwe na kwenua na kugombeka ''zumbe, tihonye swiswi tafa!'' 26 Zumbe yesu nee agombeka, kwa mbwii mwaogoha? nywinywi wenye imani ndodo?'' nee enuka na kukemea npeho ne bahali ya tuiya tuli. 27 Wagosi wapatwa ni kudunduwaa nee wagobeka. ''uyu ni mntu we vivihi hata npeho za bahali zamtegeeza?'' 28 Inga zumbe yesu ekwitaho upande mtuhu wa sia ya magadala wagosi waidi wenao npepo wakintana naye wakawa kwe makabui na kugosoa fujo sana tu, kiasi cha kwamba nkakuna mwemboka mwe sia iyo. 29 Nee watoa vuzo na kugombeka, tinani? titendani kwako, mwana muungu kweza aha ili kutisubu mbona ukati nkauzati kubua?'' 30 Nee hawa na tintimo kuu da nguuwe ikada nkawekuwa hae sana na we kuwaho, 31 Wada npeo waendeeya kunuunika kwa zumbe yesu na kugombeka ''inga wonda utiavye, tegae mwe di tintimo da nguuwe'' 32 Zumbe yesu akagombeka, ''hitani!'' npepo wakaawa na kuita kwe nguuwe. na kauwa, tintimo dose diseeya kuawa kwe mwima kusea bahlini difa dose mwe mazi. 33 Wagosi waisi wa wada nguuwe waguuka. na kuita kuombeka kwe mzii ida mbuii yekuawiayo kwe wagosi wezwao wekaoo na npepo. 34 Nee mzii mgima weza kukintana na zumbe yesu. wekumwonaho wagombeka hauke mwe mkoa wetu.

Chapter 9

1 Zumbe yesu nee engia mwe boti nee asooka akabua he mzi ekuao akekaa. 2 Kaua nee wamueta mntu mwekuhooa mwe tandiko, ekwendaho kuona imani yao, zumbe yesu nee amwamba mntu mwekuhooae, ''mwanag utende kinyemi zambi zako zisamehewa.'' 3 Kaua wahinya wa shaia wekumwe wakatambaisana wenye kwa wenye.'' uyu muntu akufui'' 4 Zumbe yesu akamanya waafyayo nee agombeka amba, ''kwa mbwai mwaafya mbui mbaya mwe myoyo yenu?' 5 Ni iki kihufu kugombeka ''zambi zako zifiiwa mbazi hambu kwamba ''gooka nahoo wende?'' 6 Akini manye ati mwana adamu adaha kufiia mbazi zambi katamwuia mbui izi kwa yuda mwekuhoa ''gooka udoe tandiko dako naho uite kwako kaya.'' 7 Yuda mntu nee agoka akkaita koo kaya. 8 Dia zumwe zumwe wekwendaho kuona yada nee wamaka na kumtogoa muungu mwekuwenka wantu uweza wao. 9 Naho zumbe yesu ekuaho akombookakuawa aho nee amuona muntu mwetangwa matinya nee kekaa hantu ha mataishi. nae akamwamba ''nongea mimi.'' nae nee agooka amtongea. 10 Zumbe yesu ekwekaaho nyubai ade nkande wakeza mataishi wangi na wantu wesio wedi wakada hamwe na zumbe yesu na wahinywa wakwe. 11 Mafalisayo wekwendaho kuona via nee wawamba wada wahinywa ''kwa mbwai mhinya ywenu ada nkande na mataishi na wantu wesio wedi?'' 12 Zumbe yesu ekwendaho kusikia yada nee awatambaisa awamba wantu wagima kawakunda waaguzi mia wada wahumao. 13 Mwondigwa muite mkahine mana yakwe.'' nakunda lehema na nkio zabihu kwa ajii nchekweza kwa wada wenao haki kusosoa iyakini ni wenao zambi. 14 Wahinya wa yohana wakeza kwakwe wakamba ''kwa mbwai swiswi na mafalisayo tafunga mia wahinywa wako nkawafunga?'' 15 Zumbe yesu nee awatambaisa awamba'' je wada viambaa wa mwai wadaha kuwa wakiwa wakamwegaa mwai? mia siku zeza mwai onda adoigwe kuawa kwao aho nee ndih wafunge. 16 Nkakuna muntu mika kapande ka nguo mphyahamu mwe bwende, kimambi chonda kitatuwe kuawa mwe nguo naho yonda itatuke hakuu. 17 Nkakuna wantu wegeao npombe mpya we kia cha npombe ya kae ati kama wonda wavigosoe babu donda dikatuke, npombe yonda yage na babu donda dibanike badii yakwe waika npombe mpya mwebabu hya na vyose vyonda viwe hedi. 18 Zumbe yesu ekuao akawahinya mbui izo, kaua nee kweza afisa akenama mbele yakwe. nae nee agombeka, ''mwanangu ywa kivyee kaumbwa mzimu ivi aha, iya soku weze umbadikie mkono wako, onda enuke vituhu. 19 Nee zumbe yesu agooka akatongea na wahinywa wakwe. 20 Kaua mvyee mwekuae akajoomokwa ninpme kwa myaka kumi na miidi akeza hehi na zumbe yesu akdonta he msa wa nguo yakwe. 21 Kwa ajii nee kagombeka ''nkadonta nazi dakwe nami n'nda nihome. 22 Zumbe yesu nee ahituka, akamkaua akamtagusia ''mndee tintimaza imani yako ikutenda kuona.'' hada hada yuda mvyee akahona. 23 Zumbe Yesu ekubuaho he nyumba ya afisa akawaona watoa magunda na bunga da wantu nee wakatoa vuzo. 24 Nae nee agombeka,''halaweni aha kwa aii uyu mwana kivyee nkazati kuumbwa mzimu, iya kagona mia woo nee waseka na kumbehua. 25 Wada wantu wekwendaho kuavingwa chongoi yee nee engia gati akamtoza mkono uda mndee nee enuka. 26 Mbui nee zenda mzi mgima. 27 Nee zumbe yesu ekuaho akomboka kuawa hada wagosi waidi tunu wakamtongea nee wakweza sauti wakamba, ''taombeza utilehemu mwana ywa daudi. 28 Zumbe yesu ekubuaho nyumbai wada tuntu wakeza kwakwe. zumbe yesu akawamba, ''mwaamini ati nadaha kugosoa? woo nee wamtambaisa '''ehe zumbe.'' 29 Zumbe yesu nee adonta meso yao na kugombeka, '' na vitende ivyo inga imani yenu yeivyo.'' 30 Na meso yao yagubuka. nee zumbe yesu akakong'ontea ''akaagiia'' na kuwamba 'kauwani muntu yeyose esekuimanya buia inu.'' 31 Mia wantu awa waidi nee wahauka na kubiika mbui izi mwemzi wose. 32 Naho wada wagosi waidi wekuaho wakaita kaua mutu yumwe mwesekudaha kutamuia mwekukwewa ni npepo akaetigwa kwa zumbe yesu. 33 Npepo yekumuawaho kaua yuda muntu mwesekudaha kutanwia akavoka kutamuia bunga dikamaka wakamba ''inu nkaizati kulawiia mwe islaeli. 34 Akini mafalisayo nee wakagombeka ''mwe wakuu wa npepo waguusa npepo.'' 35 Zumbe yesu nee aita mizi yosenamizi mituhu akasongwa ni kuhinya me masinagogi akabiika injii ya ufaume, na kuhonya matamu ya kianamna na ubovu wa aina zose. 36 Ukati ekukauaho bunga nee awaonea mbazi kwa ajii waishwa, waelewa wenga ngoto wesao muisi. 37 Akagombeka na wahinywa wakwe ''tiozoa mia wandima ni wacheche. 38 Savyo basi kinyanyi muombeezeni zumbe ya kuozoa atietee wandima mwe kuozoa kwakwe.''

Chapter 10

1 Zumbe yesu akawetanga wahinywa wakwe kumi na waidi hamwe akawenka mamlaka uanga ya npepo wachana, kuegeza na kuguusa na kuhonya mbai zose za kuhuma na aina zose za ntamu. 2 Mazina ya mitume kumi na waidi nee aya da bosi, saimovu ( mwekua akaetangwa petuo ) na ana kakie, yakobo mwanawe da zebedayo, na yohana kakie. 3 Fiipo na batoomayo, tomasi na matayo mndoa ushuu, yakobo mwana alifayo, na tadeo, 4 Simoni mkananyo, na yuda isikaliote, mwekumsaliti. 5 Awa kumi na waidi zumbe yesu akawaagiia. nae akawaelekeza akagombeka mwe mzi wa wasamalia. 6 Badii yakwe, muite na ngoto wekuago wa nyumba ya izilaeli. 7 Na muitaho biikiani mwambe ufaume wa mbinguni hehi.' 8 Honyani watamu, fufuani watakufa, wang'azeni wena ukoma na guusani mpeho mumhokea bue avyani bue. 9 Mwesekudoa zahabu, alimasi, au shaba mwe pochi zenu. 10 Wesekudoa mkoba mwe ntambo yenu, au nguo nuhu, viatu au ngonda kwa kua mgosozi ya ndima astahili nkande yakwe. 11 Mzi wowoseau kijiji mwendachomwengie ondezani mdaha na mwekae hada mpaka mwendahoruhauke. 12 Mwendahomwengie mwe nyumba ugusani, 13 Ati nyumba yadaha, npeho yenu isigae hada, iya ati nyumba nkaidaha, npepo yenu ihauke hamwe nanywi. 14 Na wada wesaokuwahokea nywinywi au kuwategeeza mbui zenu, mkawa mwahauka mwe nyumba au mzi uo, ehanguseni mavumbi ya majato yenu ho hantu. 15 Kwei nawamba, yenda iwe ya kustahili kwembosa mizi ya sodoma na gomola misi ya kuahwa kuliko mzi uo. 16 Kaua nawaagiia inga gatigati ya kuida da mzitui savyo, mtende wanyanyi enga ngiwa. 17 Mwe meso na wantu wenda wawegaekwe mabaaz, wenda wawatoe mwe masingogi. 18 Na mwendamuetwe he wakuu na wafaume kwa ajiii yangu enga ushuhuda kwao na kwe mataifa. 19 Mwendahomlaumiwe mwesekua nageegezi jinsi mwendavyomtamwiie kwa ua kintu cha kutamwiia nondamwenkigwe kwa ukati uo. 20 Kwa via nkio nywinywi mwendao mtamwiie iya loho ya tatienu yendaitamwiie mwe nywinywi. 21 Ndugu endaamwenukie nduguye na kumkoma, na taiya mntu na mwanawe, wana wendawe nukezidi ya wavyazi na kuwa koma. 22 Nanywi mwendamuifigwe ni kia muntu kwa mbui ya zina dnagu iya yyose mwendaazizimize kubua kihea uyo muntu endaaholwe. 23 Mwendahompate suuba mwe mzi unu guukiani kwe mzi mtuu, ukwei nawahinya, nkamtzamuite kwe mzi yose ya izilaeli kabla ya mwana adamu nkazati kuuya. 24 Mhina nkie mkuu enga mhinya yawe wala mtumwa mwe uanga ya zumbe yakwe. 25 Yatosha kwa mhinya yakwe na mndima enga zumbe yakwe ati wamwetanga zumbe ya nyumba bezebui ui kwa kiasi chani wenda wawafyuie wa nyumba yakwe! 26 Savyo basi mwesekuwaogoha wowo, kwa kua nkakuna mbui ambayo nkainaigumbulwe na nkauna yendayo ifiswe yesayokumanyikana. 27 Kia niwahinyaaho kwe kiza mtaamwiie ung'azi na mtegeezacho kwa ulaini mwe mmagutwi yenu mkibiikie mkawa uanga ya nyumba. 28 Mwesekuwaogoha wada wakomao mwii iya nkawadaha kukoma loho. badii yakwe mmuogohe yuda mdaha kudogamuza mwii naloho kuda kuzimu. 29 Je kasuku waidi nkawatagwa kwa senti ndodo? vyeivyo nkakuna mdaha kugwa aho si pasi tate yetu kuanya. 30 Iya hata ungi wa fiii zetu zitaaziwa. 31 Mwesekua na geegezi kwa via mna wasamaki kuiko kasuku weumemao. 32 Savyo kia yumwe mwenda asosoe he wantu nami pia endanimsosoee he taet mwe mbinguni. 33 Iya yee mwendamiemee he meso ya wantu na n'ndanimuemee he tate mwe mbinguni. 34 Mwesekuafya kua nchezakueta npeho duniani ncheekweza kueta npeho, iya uhamba. 35 Kwa mana ncheza kumuika muntu atoane na tatiakwe, na mndee zidi ya mamiakwe na mkwe zidi ya mkwewe. 36 Mnkuu ya muntu n'ndaawe yuda ya uyumbai mwakwe. 37 Yee ambae amkunda tate au mame kwembosa mii nkanista hii. na yee mkunda mbwanga au mndee kwembosa mimi uyo nkanistahili. 38 Yeee mwesekwenua msaaba wakwe na kunitongea mii mkanistahii. 39 Yee mwenda aondeze maisha endaagaze, ya ye mwenda aze maisha kwa mbui yangu endaayapate. 40 Yee mwendaawakaibbishe, kanikaibisha mii na yee mwenda anikaibishe mimi, kamkabaisha yeye mwekuniangiia mimi. 41 Na yeye mwenda amkaibishe nabii kwa kua ni nabii endaahokee sawabu ya nabii na ye mwenda amkaibishe mwena haki kwa ni mutu ya haki. 42 Yoyose mwenda amwenke yumwe ya wadodo awa kikombe cha mazi ya kunywa ye npeho kwa sibabu yee vi mhinywa kweinamyamba, yee nkadaha kukosa kwa sia yoyose sawabu yakwe.''

Chapter 11

1 Nee yesu ekubindaho kuwaaavikiza wahina wakwe kumi na waidi akahauka hada kuita kwe kuhinnya na kubiikia mwe mizi yao, 2 Na yohana ukati yu geezani ekusikiaho akawa uu ya matendo ya kwistu akatuma ugiosi kwembokea wa hina wakwe. 3 Na wakamuuza ''wewe ni yuda mweza hambu kuna mtuhu tikundwae kumkauwi?'' 4 Yesu akatambaisa ni kwamba ''hitani mkamwambie yohan yada muyaonayo na yada muyasikiayo. 5 Wantu matuntu wapata kuona, viwete wenda wakoma wanga'zwa namasito wasikio vituhu wantu wekufao wafufu wapata ugima awakiwawabiikiwa mbui ntana. 6 Na kabalikiwa yuda mwesekuona futofuto juu yangu. 7 Ukati wantu awa wakahauka yesu nee avoka kugombeka na utifii wa wantu juu ya ya yohana mbasa kukauwa mbwai - tete dikasingiswa ni npeho? 8 Akini mbasa kukauwa mbwai? muntu mwekwehamba nguo ziteeazo? kwei wada wehambao nguo ziteeazo wekaa mwe nyumba za mazunde. 9 Akini mhauka kuona mbwai manabii? ehe namyamba ni kwemboka nabii. 10 Uyu nee mwekugondwa kauwa mmtuma mjumbe ywangu mbele ya cheni chako ambae enda aike vitana sia yako mbele yako. 11 Mimi namyambia kwei gati ya wekuvyaigwao ni wavyee nkakuna mkuu kwmboka yohana mbatiizaji akini mdodo mwe ufaume wa mbinguni ni mkuu kwemboka yeye. 12 Tangia siku za yohana mbatiizaji kiamuo ivi sasa uzumbe wa mbinguni ni wa nguvu na wantu wenao nguvu waudoa kwa nguvu. 13 Kwakuwa manabii wa shaia wawa wakatabii kiamuo kwa yohana. 14 Na kana mtayali kuzumia uyu ni elia yuda mweza. 15 Mwenye magutwi ya kusikia na asikie. 16 Niuiganye na mbwai uvyazi unu? ni mfani wa wana wasizigao maeneo ya gwiiyo wekaao na kwetangana. 17 Nakwamba ''tiitweea gunda nlamwekuvina tisininika nkamwekwiiya.' 18 Kwakuwa yohana nee keza bila ya kuda mkate wala kunywa mpobe wakawa wamba ana npepo.' 19 Mwana ywa adamu keza ada na kuvata wakamba ''kaua ni muntu ma na wakozi mbuyaye da watoza ushuu na watazambi ''akini viugo vyaonyeza kwa matendo.'' 20 Yesu akavoka kuigezea mizi ambayo matendo yakwe matuhu ya ajabu yagosoka kwa ajii nkawazati kusugusa. 21 Nimbui zako kolazini n'mbui zako betisaida kana matendo nee yakagosoka tilo na sidoni yada yekugosokayo aha nee wasugusa tangu kae kwe kwehamba magunia na kwebuunga zeu. 22 Akini yenda iwe kuzizimiza kwa tilo na sidoni siku ya kuahwa kwemboka kwako. 23 Wewe kapelnaumu wenda wenulwe kiaga mbinguni huwao wenda useezwe kiaga sii kuzimu kana kwa sodoma nee kugosoka matendo makuu kana nee yagosoka kwako nee iyaha kiga iveeo. 24 Iya namba kwako yenda iwe vihifu kwa sii ya sodoma kugooka siku yakuahwa kwemboka nywinywi. 25 Mwe ukati uo yesu akamba, ''nakugimbika wewe tate bwana ywa mbinguni na si kwakuwa nee kuwafisa mbui izi za viungo na umanyi na kuwagubiakwa useao na ilimu kana wateke. 26 Tate ka kuwa vikuagiza ivyo he meso yako. 27 Mbui zose zabiikiwa kwangu kulawa kwa tate na nkakuna mummanya mwana iyo tate na nkakuna mummanya tate iya mwana yoyose ambae ana hamu ya kumwiiya. 28 Soani kwangu nywie mkantukao na kuzamiwa na mizigo nami nenda nimyenke kuhumuiza. 29 Egeeeni nila yagu na mwehinye kulawa kwangu mimi na mzizitizi na mhovu ywa moyo mwenda mpate kuhumuiza kwa nafsi zenu. 30 Kwakuwa nila yangu yateeya na mzigo wanguni mhufu.

Chapter 12

1 Ukati uo ekuitaho siku ya sabato kwembokea minda, wahinywa wakwe nee wawa na saa nee wavoka kuyabonda masuke na kuyada. 2 Akini mafalisayo wekuonaho ayo, wakawamba sheia wagosoa yada wekuemezwayo mwe sabato'' 3 Akini yesu akawamba, ''nkamwekusoma jinsi daudi ekugosoavyo, ukati ekuuumwaho n saa, hamwe na wantu ekuona nao? 4 Namna ekwengiavyo nyumbai mwe nyumba ya muungu na kuda mikate ya wonyesho, ambayo nkaikua halali kwakwe kuida na wada ekuanao iya halai kwa makuhani? 5 Nkamzati kusoma mwe shia, kwamba mwe siku ya sbato makuhani mwe hekalu wabananga sabato, akini khawana makosa? 6 Akini nagombeka kwenu akini aliye mkuu kwemboka hekalu yuhanu. 7 Kana mwamamanya inu ya maanisha mbwai naonda lehema na nkio zabihu nee mwe kuwahukumu wasio na hatia 8 Kwakua mwana ywa adamu nee bwana ywa sabato.'' 9 Akabinda yesu akawa hada akaita musunagogi dao. 10 Kaua nee kuwa na muntu mwekuhooa mkono mafalisayo wakamuuza yesu, wakamba, ''je, nvyedi kumhonya muntu siku ya sabato? ''ili kwamba wadahe kushitaki kwa kugosoa zambi. 11 Yesu akamwaamba, ''nndai gatigati yenu ambae akiwa ana ng'oto yumwe, na uyo ng'oto akagwa mwe tubwi siku ya sabato nkana atende ivyo ng'oto kumuavya kwa nguvu mwe tubwi? 12 Je nkihi cha samani, zaidi kwani si zaidi ya ng'oto kwahiyo nkalaki kugosoa vitana siku ya sabato.'' 13 Kisha yesu kawamba yuda muntu nyoosha mkono wako'' akaunyoosha, na akahona kana uda mtuhu. 14 Akini mafalisayo wakaawa chongoi wakagosoa mitingi jinsi ya kumdagamiza waota chongoi kinyume chakwe jinsi ya kumdagamiza. 15 Yesu ekung'amuaho idi akahauka wantu wangi wakambasa, na akawahonya wose. 16 Nee awaaga wasekweza kutenda amanyikane kwa watuhu, 17 Kwamba itimu ida kwei, yekuavyo ika tamuiwa na nabii isaya, akamba, 18 Kaua mtandima wangu nekumsaguae, mkundwa wangu mwe yeye nafsi yangu iagizwa nenda niike loho yangu uanga yakwe na enda atangaze sauti yakwe mwe mataifa mitaani. 19 Nkana aangadike wala kukema kwa nguvu wala awaye yose kutegeeza sauti yakwe mitaani. 20 Khana adibonde tete dekufukwado, khana akome un'tambi wowose uavyao mosi, hata endaho egae utahwe ikashinda. 21 Na mataifa wenda wawe na ujasii mwe zina dakwe. 22 Muntu msiku tuntu na bubu, mwekupagawa na npepo nee aetigwa mbele ya yesu akamhonya hamwe na matokeo ya kwamba muntu bubu atamwiie na kukawa. 23 Utifii ose udundwa na kwamba '' yadahikana muntu uyu kuwa mwana ywa daudi?'' 24 Akini kipindi mafalisayo wekusikiaho mjuza unu wakatamua, uy muntu nkaavya npepo kwa nguvu zakwe mwenye, isipokua kwa nguvu za belzebuli, mkuu wa npepo.'' 25 Akini yesu kamanya kufanyanya kwao na kwamba, '' kia ufaume wekugawanyikao wenye wabanika na kia mizi igawanyika yenye nkaina igooke. 26 Ikiwa npepo enda amuuse npepo basi epingamwe nafasi yakwe mwenye. 27 Ni namna yani aavya npepo kwa nguvu za zelizabuli, wafuasi wenu khanawalavye kuzina da ndai? kwa ajii ya idi wenda wawe watahwa wenu. 28 Kana naavya npepo kwa nguvu za loho wa muungu, basi ufaume wa muungu weza kwenu. 29 Na muntu endaahauke kwengia mwe nyumba ya mwenye nguvu na kubawa, bila kumvugaia mwenye nguvu kwanza?Ndiho endaho abawe mali yakwe kuawa mwe nyumba. 30 yoyose mwesekua hamwe nami yukinyume changu, nae mwesekukusanya hamwe nami uyo atawanya. 31 Kwaiyo nagombeka kwenu,kia zambi na kufuu wantu wenda wafiiwembazi iya kumkufuu loho mtakatifu nkawaa wafiwe mbazi. 32 Na yoyose msema mbui kinyume cha mwana nywa adamu,ido endaafiiwembazi. 33 Ama ugosoe mti kuwa mta na tunda dkwe, tana au uubanange mti na tunda dakwe humanyika kwa tunda dakwe. 34 Nywinywi uvyazi wa yoka, nywie n wabanasi mwamanya viivihi ntana? n kwakua husema kuawa mwe akiba ya yayada yeumo mwe moyo. 35 Muntu yedi mwe akiba ntna ya moyo wakwe nkuawa matana na mutu mbaya mwe akiba ovu ya moyo wakwe nkuawa mabaya. 36 Nkaamba kua mwe siku ya kutahwa wanu wenda waavye hisabu ya kia mbui yesayokua na maana wesayokuisema. 37 Kwakuwa kwambui zako wenda uhisabiwe haki na kwambui wenda utahwe.'' 38 Naho yesu akataumia na wagonda na mafalisayo wwakamwamba yesu.''mwaimutakundwa ishaa kuawa kwako.'' 39 Akini yesu kajibu na kuwamba, '' uvyaziuovu a cha kianga chaondeza ishaa, kwao isipokuwa ya yona nabii akini khakuna ishaa iavigwayo. 40 Kana via nabiiyona ekuavyo nyumba ya ifu da samaki mkuu kwa siku ntatu musi na kio, ivyo nee mwana ywa adamu endaavyokuwa nyumbai ya moyo wa siii kwa siku ntatu musi na kio. 41 Muntu wa ninawi wenda wagooke mbele ya tahwa hamwe na uvyazi a wantu awa nawonda watahwe kwaajii wafiiwe mbazi kwa mahubii ya yona yuaha. 42 Malikia wa kusii endaaenuke mwe utahwa hamwe na wantu wa uvyazi unu na kukitahwa keza kaua miisho ya dunia keza kutekeezaviungo ya suleimani na kuawa muntu fulani mkuu kwemboka seemani yuaha aha. 43 Ukati npepo mbaya amuawaho muntu kwemboka hantu hesekuaho na mazi akaombeza kutahwa kweza. 44 Naho amba nendaniuye mwe nyumba yangu nekuayo, nkiiluia yuma isawishwa na itayali. 45 Naho aita na kudowa watuhu loho nchafu saba ambao niwabaya kwemboka yeye, kweza kwekaa nao wose hada nahali yakwe ya mwisho yatenda mbaya kwemboka losi ivyo nee vyendavyo viwe mwe uvyazi inu mbaya. 46 Ukati yesu ekuaho akatamui na utifii kauwa, mami ako na duguze wagooka chongoi wakaonda kutamuia nae. 47 Muntu yumwe akamwamba, ''kauwa mamio na nduguzi wagooka' chongoi waondeza kutamuia nawe.'' 48 Akii yesu agombeka na kumwamba mwekumwambia, ''mmaa yangu nndai? na ndugu zangu ni akini ndai?'' 49 Nee anyoosha mkono wakwe kwa wahinywa na kwamba, ''kauwa, awa ni mmaa na ndugu zangu. 50 Kwakwa yoyose agosoae ekundiso wa mbinguni, mntu uyu nee ndugu yangu na ''mmaa yangu.''

Chapter 13

1 Mwe siku iyo zumbe yesu kahauka kaya na kuita kwe kaa nkanda nkada ya bahali. 2 Utifii mkuu ukusanyika nakumzuguka kengia mwe ngalawa na kwekaa umondai utifii wose ugooka nkanda nkanda ya bahali. 3 Naha zumbe yesu ne amba mbui nyingi kwa mfano kamba ''kauwa mhasi kaawa kaita kuhanda. 4 Ekuwaho akahanda mbeyu ntuhu zigwa nkanda nkanda ya sia wadege ne wazida. 5 Mbeyu ntuhu zigwa uwanga ya iwe, izo mbeyu nkazo kukintana na msanga mwingi zihita kwa haaka iya kwaajii msanga ni mdodo. 6 Iya zua dekuwakaho zihya mna nkazina mazindo n zanyaa. 7 Mbeyu ntuhu zigwa mwe miti yenye miwa miti yenye miwa ne ya kuwa yatendaa milefu uwanga ne ya minya zia mbeyu. 8 Mbeyu ntuhu zigwa mwe msanga mtana na kuvyaa mbeyu, ntuhu mia, ntuhu sitini na ntuhu saasini. 9 Mwe magutwi ategeezee. 10 Wahinywa weza na kumwmba zumbe yesu''kwa ajiyani watamwiya na mkuntano kwa mifano?'' 11 Zumbe yesu ne atagsa kuwamba. ''mwenkigwa upendeleo wa kumayna sii za ufaume wa mbingu, iya ao nkawaodi kwenkigwa. 12 Iya yeyise mwenacho kwa yeye onda aongezwe zaidi na kupata faida nkuu iya mwesenacho hata kiya enacho ahokwa. . 13 Ivyo yeyeose mwenacho kwa yeye onda aongezwe zaidi na kupata faida nkuu iya mwesenacho hata kiya enacho ahokwa 14 Unabii wa isaya uimia kwo, uda esumao, mtegezaho mmanye, akin kwa nana yeyose nkamana mwelewe.' inga mwonaho mdahe kuona akini kwa nana yeyose ida msekumanya. 15 Na mioyo ya wantu awa ina kiza ni vugumu utegeeza, na wafumba meso yao ili wasekudaha kukauwa kwa meso yao, au kutegeza kwa magutwi yao n kumanya kwa mioyo yao, ivyo ne wahouka vituhu ne kiwahonya.' 16 Iya meso yenu yabaikiwa, kwa ajii yaona na magutwi yenu yasikiya. 17 Ni ukweii niwaambiao manabii wangi na wantu nawenao haki wawa na hamu ya kukauwa mbui ida muiyonayo na nkaokudaha kuyaona wakinda kumanya mbui zia mwekusikiazo nkaokusikiya. 18 Ni ivi tegezani mfano mhasi. 19 Ukati wowose amanyaho mbui a ufaume na asekudimanya, aho shetani ezaho a kukidoa che kuhandwacho mwe mioyo yakwe inu ne mbeyu ida yeuhandwayo nkandankanda ya sia. 20 Mwe kuhanda gati ya maiwe ni yuda msikia mbuiina kuihokea upesi kwa nyemi. 21 Akini nkana mazindo asi yakwe iya azizimiza ka mda mdodo iya kiyangayanga nasuuba ziawiaho kwa ajiiya mbui akungwa ghafla. 22 Mwe kuhandwa mwe msanga mtana uyu ni yuda ategeezaye mbui akini misukosuko ya dunia na utiizi wa mai vya vigaviga ida mbui ise kweza kuvyaa matunda. 23 Mwe kuhandwa mwe msanga wedi uyuni yuda ategeezaye mbui na kuimanya uyu ni yuda avyaaye matunda na kuendelea kuvyaa dumwe zaidi ya mia nuhu sitini ntuhu sasini.'' 24 Zumbe yesu kawenka mfabo mtuhu, kagombeka ufaume wa mbingu uigana na mntu mwe kuhanda mbeyu ntana mwe mnda wakwe. 25 Iya wantu wekusingaho adui wakwe kuza nae ahanda mai gatigati ya mbeyu za ngano akahauka. 26 Badaye ngano yekuhotaho n kuvy nkande yakiwe ne mani yaonekana naya. 27 Na wandima mwe mnda weza kumwamba bwana kwekuhanda mbeyu ntana mwe mnda wako? yenda vivihi sasa nna mani? 28 Aka gombeka adui kagosoa idi wandima wamwamba, basi tiyause tiyang'oe?'' 29 Mwenye mnda ne agombeka aa, ukati mngoaho mani mwendamng'oe hamwe na ngano. 30 Yaekeni yakuwe hamwe mpaka ukali wa kubonda nkande nonda ni wambe wabosi bosi ngoai mani myafunge miganda kwa miganda na myok moto iya kubani ngan mwe taa dangu.'''''''' 31 Ne zumbe yesu awavivyo msemo mtuhu amba ufaume wa mbingu ufanana na mbeyu ya haladali mntu ne adoa na kuhanda mwe mnda wakwe. 32 Mbeu inu ne ni ndodo kuuloko mbeyu ntuhu zose akini ihotaho yatenda nkuu kuliko miiti yose mwe mnda, watenda mtu hata wafdefeweza kuzenga matundu yao mwe matambi yawe.''' 33 Akagombeka mbuii ntuu vituhu.'' ufaume wa mbinguni enga simbi da npome de kudoigwa do ni mvyee na kunganywa na nga wa ngano vihimo viati maka viumulr. 34 Ayo yose kamba he utifii wa wantu msemo uo na bila msemo nkekwamba chochose kwao. 35 Inu iwa kwamba kiya cheleubindacho kwambigwa ni nabii kidahe kutimia, hada ekusemaho nonda nigombeke mbui zia zekuwazo zifiiiwa aho dunia ya kuumbwahi.'' 36 Ne zumbe yesu awabada bunga na diita kaya wahinya wakwe wambasa na kumwamba tigubuye masemo w amani ya mwenda. 37 Zumbe yesu kajibu na kwamba 'ahande bey nlana ni mwana wa adamu. 38 Mnda ni dunis na mbeyu ntana, awaw ni ana waufumemani ni wana wa yuda pepo adui mwe kuhanda ni npepo. 39 Na uozo ni mwisho wa dunia na wabosi ni malaika. 40 Kana via yakubwavyo na kuokwa moto nnee ivyo yondavyo iwe mwisho wa dunia. 41 Mwana wa adamu onda awatume malaika wakwe na kuukba kuawa ma ufaue wakwe buii zose zekusababishazo ni zambi na waa wagosoao mbui mbaya. 42 Wonda waasigwe wose mwe tanu ya moto, uko kwenda kuwe na ndio na kugigina meno. 43 Nee wantu wenao haki wondaho wangae enga zua mwe ufaume wa tati yao yeye mwenye magutwi na ategeeze. 44 Uufaume wa mbinguni enga bene dekufiswado mwe mnda mntu akadiona na kufisa mwe kinyemi chakwe akaita kutaga vyose ekuwavyo navyo, na kugua mnda. 45 Naho ufaume wa mbingu ni enga mntu osoa biashaa aondaye lulu yeye thamani. 46 Ukati ekuonaho ida ye thamani kaita kutgakiya kintu ekuwacho nacho akagua. 47 Ufaume wa mbingu ni kana wavu a mwe bahali na kwamba wakusanya vintu vye uhai vya kia aina. 48 Ukamema wavuao waubuuta mwe ufukwe, wakabinda wekaa asi kudodoa vintu vitana na kugea mwe vyombo akini vyesivyo na maana vyaasigwa hae. 49 Yonda iwe mwe misho wa dunia, malaika wondaweze wa wasague wantu wabaya kuawa mwe wenao haki. 50 Na kuwaasa we tanuli da moto, uko konda kuwe na kuiya na kugigin meno. 51 Mmanya mambo yose aya? wahinywa wamwamba ehe.'' 52 Naho zumbe yesu ikawamba, kiya mwandika ambae kawa hnywa wa ufaume kafanana na mwenye nyumba aavyae mwe bene dakwe vintu vyahamu na vya kae.'' 53 Aho zumbe yesu ekubindaho misemo yose iyo akahauka mwe sehemu iyo. 54 Naho zumbe yesu ne abua mkoa wakwe na kuwahinya wantu mwe sinagogi i hahi mntu uyu ekudoaho viuga ivi na miujiza inu? 55 Mntu uyu nkiyo mwana semaa? maiyamu nkiye mami yakwe? na nduguye nkiye yakobo, yusufu simoni na yuda? 56 Na dadize tinao hanu hetu? enga mntu uyu kapata mangi ayo yose?''. 57 kawauza akini zumbe yesu kawamba ''nabii nkkana hesima kwao na mwe sii yakwe. 58 Na nkekudaha kugosoa mijuza mingi kwa ajii nkaokuwa na imani naye.

Chapter 14

1 Kwa ukati uwo herode kasikia mbui za yesu.. 2 Akawamba wadima wakwe, uyu ni yohana mbatizaji kafufuka kulawa kwa wafu, kwaiyo nguvu izo ziaho uanga yakwe.'' 3 Kwakuwa elode kawa kamgia yohana akamfunga na kumwasa geezani kwa sibabu ya helidia, mkazafiipo kakie. 4 Kwakuwa yohana kawmba nkio vitana kumdoa yeye akamtenda mkazie.'' 5 Helode kaonda amkome iya kawaogoha wantu kwa sibabu wamwona yohana kuwa n'nabii. 6 Akini ukati wa siku ya kuvyaigwa helode yakubuaho mndee ya hleode akavina gatigati ya wantu na kumtamiza helode. 7 Mwe kuandwa nee akaahidi ka kweapiza ati endaamwenke chochose ndichaatunde. 8 Baada ya kushauliwa ni mami yakwe, akagombeka, ''unenke mimi hanu mwe kombe mtwi wa yohana mbatizaji.'' 9 Mfaume akawa na huzuni kwa maombi ya mndee akini kwa ajii kiapo chakwe, kwa sibabu ya wose wekuao he kande hamwe nao akaamulu kamba yakundwa igosoke, 10 Akatuma yohana aetwe kulawa geezani. 11 Ili adumulwe mtwi wakwe na ukaetwa mwe sinia na akenkigwa mndee na akawegaa kwa mami akwe. 12 Ikabinda wahinywa wakwe wakeza kuudoa mwii na kuuzika baada ya aho wakaita kwamwambia yesu. 13 Nae yesu ekwendaho kusikia ayo akenenga kulawa hantu hada akakwea mwe mashwa ata hantu heku hekugwaho. ukati utifii wekumanyaha eiko wakambasa kwa miundi kulawa kwe mizi. 14 Ikabida yesu akeza mbele yao akauona utifii mkuu akawaonea mbazi na kuwahonya matamu yao. 15 Guoni yekubuaho ahinywa wakeza kwakwe na kugombeka, ''inu ni sehemu ya jangwa, na siku tiyali yemboka watawanyise kuntano ili waite vijijini wakagae n'kande kwa ajii yao. 16 Akini yesu akawamba, ''nkawana haja ya kuita wenkeni nywinyi n'kande. 17 Wakamwamba ''hanu tenayo ni mikate mishana na samaki waidu'''' 18 Yesu akagombeka iyeteni kwngu.'' 19 Abinda yesu akaamul umati wekaesi ya nyosi akadoa mikate mishan na samaki waidi akakauwa uanga mbinuni akaubalii na kuimega mikate akawenka wahinywa, wahinywa wakawenka utifii. 20 Wakala wose na wakeguta, ikabinda wakavikuba vyekusigaavyo vyose vya nkande na kumemeeeza mwe ngahu kumi na mbii. 21 Wada wekudao wakadiiwa kuwa ni wagosi elfu shano bila ya kutaazia wavyee na wana. 22 Maa mwenga akawaamulu wahinywa wengie mwe mashua ukati uwo yee akawaaga utifii waite. 23 Baada ya kuuga utifii kuhauka, akakwea uanga ya muima kuomba yee ikedu ukubuaho guoni kawa ukouko ikedu. 24 Akini sasa mashua yekuaho gaigati ya bahali ikazengazega kwa sibabu ya mawimbikwani npeho iwa nkai. 25 Mwe kio cha uzoo a nneyesu akawa hehi nao uku endea unaga ya mazi. 26 kati ahinya wakwe weumuanaho akenda uanga ya mazi wakaogoka na kwamba ''ni mzimu, ''na wakakweza nkoo kwa hali ya wengee. 27 Yesu akagombeka kamwe, akagombeka ''tozani myoyo ni mimi msekuogoha.'' 28 Petuo akamtambaisa kwa kugombeka, ''zumbe kama ni wewe niamuli neze kwako uanga ya mazi.'' 29 Yesu akagombeka, ''soo nee petuo akalawa mwe masua na kwendea mwe mazi kuita kwa yesu. 30 Iya peto ekunaho mawimbi akaogoha na kuvoka kudidimiasi aketanga kwa sauti na kugombeka, ''zumbe nihonya!'' 31 Kinyanyi yesu akegaa mkono wakwe akamyemua petuo na kumwamba, wee wenye imani dodo, kwa mbwai kuwa kuteda wengee? 32 Nee yesu na petuo wekwegiaho me mashua, npeho kahea kuvuma. 33 Wahinywa mashuani wakamuabud yesu na kwamba, ''kwei wee umwana wa muungu.'' 34 Na wekubindaho kuvuka wakabua mwesii ya genesaleti. 35 Na wantu mwe eneo dia wekummnyaho yesu, wkalavya habai kia hantu nkandankanda na kuete kia mwekua mtamu. 36 Wakamhembeeza kwamba wadahe kudonda pindo da vazi dakw na wangi wekudidontao wakahonywa.

Chapter 15

1 Ne aho mafalisayo na wagonda wekwezaho ka zumbe yesu kuawa yelusalemu na kusema. 2 Kwa ajii yani wahina wayahalifu mahokeo ya wazee nkawanawa mikono yao wadaho nkade? 3 Zumbe yesu akawjibu akawamba, nanyi kwambwai mwaihalifu sheia ya bwana kwa ajii ya mahokeo yenu? 4 Kwa kuwa mungu nekamba mheshim tati yako na mani yako na mgombeka mabaya kwa tati yakwe na mami yakwe kwei anda afe. 5 Akini nywinywi mwamba kia mmwambia tati yakwe na nami yakwe kia msaada ambao ne kaupata kuawa kwangu sasa ni ngeeko kuawa kwa mungu. 6 ntu uyo nkana haja ya kumheshimu tati yakwe, kwa nmana inu mkaditengua nen da mungu kwa aji a mwekudihokeavyo. 7 Nyie vibigiizi mi vitana kana isaya keutabilivyo juuu yenu akamba, 8 ''Wantu awe wanihesimu mimi mwe miomo yao, akini mioyo yao ihae na mimi. 9 Waniabudu bue kw kuwa wanihinya wahinyo ya maangizo ya mwanadamu.''' 10 Ne aho akawatenga madungani na kuwamba. tegeezani na mmanye__ 11 Nkakuna kntu chengiacho mwe muomo wa muntu na kumgosoa majisi, iya ni kilawacho mwe muono iki ne kimgosoa majisi.'' 12 Ne aho waina wakanibasa na kugombeka na zumbe ysu, je wamanya mafalisayo wekusikiaho ida mbui kuna iwakima?'' 13 Zumbe yesu akawatambaisa na kuwamba kia mti ambao tate wa mbinguni nkazati kuuhada undaung'olwe. 14 Wabadeni ukedu wao ni viongozi matuntu, kama mntu ni tuntu amuongoza tuntu mweziwe, wose waidi nundawagwe mwe tubwi.'' 15 Petuo akatambaisa na kumambia zumbe yesu jihinye mfano unu kwetu, 16 Zumbe yesu akamtambaisa, nanyi pia nkamzati kuelewa? 17 Nyinywi nkamuona kuwa kia kiitacho mwe muomo chembokea mwe ifu na kuita chooni? 18 Akini vintu vyose via avyo kwe muomo vyalawa ndani ya moo n e vintu vimgeavyo mntu najisi. 19 Kwa kuwa kwe moyo kwalawa mawazo mabaya ukomaji ukianga umalaya ubavi ushuhuda wa umbea na matusi. 20 Izi zee mbui zingeazo muntu unajisi, akini kuda bila ya kwehaka mazi ya mikono nkakumgosoa mntu kuwa najisi.'' 21 Ne zumbe ekulawaho hantu hada na akenega kuelekea npande za mizi ya tilo na sidoni. 22 Kauwa kukeza mvyee mkanani kuawa npande izo, akakena, nifiia mbazi bwana wana wa daudi, binti yangu asuubika sana na mapepo.'' 23 Akini zumbe yesu nkekumtambaisa neno wahina wakwe wakamhembeeza na kumwambia muuse aauke maana atitoea vuzo.'' 24 Zumbe yesu akawatambaisa na kuwambia, nkiho aha kwa ajii ya muntu yeyose iya kwa ngoto wekwegao mwe nyumba ya isreli.'' 25 Akini akeza, akenanama mbele yakwe akamba, bwana mfiiambazi.'' 26 Nkiyo vitana kudoa nkade ya wana wayaisa makuu.'' 27 Akamba, niyo bwana hata ivyo makui waodo wada kia kigwacho he meza ya bwana ywao.'' 28 Ne aho zumbe yesu akajibu akawamba we mvyee imani yako ni mkuu na vigosoke kana yako ukudavyo na biti yakwe akahona wakati uda uda. 29 Zumbeyesu akahauka hada na kuita na bahari galilaya, na baadaye akakwea kwe miiima na kwekaa uko. 30 Kundi kuu dikeza na uko na kumweta viwete, vipafu, bubu, vlema na watuhu wengi wekuao watamu, wakwawaika mwe miundi ya yesu na akawahonya. 31 Na umati ukashangaa wekuonaho mabubu watamuia, na vilewa kuhituka wagiima, viwete kwenda, vipofu kuoona. wakamtogoa mugu wa israeli. 32 Zumbe yesu akawatenga wanafunzi wakwe na kuwombia, nkiwaonea mbazi umati kwa sababu tiwose kwa siku ya ntantu bila ya kuda chochose nkina niwaage waite kokaya bila ya kuda wasekweza wakagwa msae siai. 33 Wahina wakwe wakamwabia, ni kuhitadaha kupata mikate ya kutosha aha nyikai mpaka umati wose unu weze wegute? 34 Zumbe yesu akawauza, mna mikate mingahi? wakajibu, saba na samki waschehce wadodo. 35 Zumbe yesu akaamuru uda utifii wekae. 36 Akadoo ida mikate saba na samaki na baada ya kushuuku, akaimega na kuwenka wahinya wakatunda ne wapangi kwe uda utifii. 37 Wantu wose wakada na kutosheka, na wakakusanya mabaki ya vipande vyekubanikiavyo ipande vipande vikamema ngahu saba. 38 Wose wekudao wawa wagosi elfu mwe bila ya wavyee na wana. 39 Kisha yesu akauaga uda utifii uhauke naye akengia mwe nashuu na kuita sehemu za magadani.

Chapter 16

1 Mafarisayo na masadukao wamweza na kumjaibu yesu awaangize ishara iawayouwanga. 2 Mia yesu akawajibu na kuwahinya kua ikawa ni guoni mwasema kuwa hali ya hewa ni ntana kwa kuwa anga ni dekundu. 3 Na keo mwasema hali nkio ntana kwa kuwa anga ni dekundu na mazunde yaigubika anga dose; mwamanya kutafasiri muonekano wa anga, mia hamdaha kutafasri ishaa za nyakati. 4 Uvyazi wa uovu na chaukinga chatafasri ishara mia hakuna yoyose chenda chochenkigwe isipokuwa zakwe. 5 Wanafunzi wakeza upane wa kaidi mia newajana kudoa mikate. 6 Yesu akawahinya mjihadhari na muwe makini na chachu ya mafarisayo na masadukayo. 7 Wanafunzi wakehoji wenye kwa wenye wakasema, ni kwa sababu nketokudoa mikate.'' 8 Yesu kuwamanya kaye na kuwahinya nywie wenye imani ndodo kwa mbwai mwawazana kusemezana nywinywi kwa nywinywi miongoi mwenu na kkusema kuwa ni kwa mbwai hamnkodoa mikate? 9 Yani bado nkammenya na wala hamkumbu ka ida mikate mishano kwa wantu elfushano na ningewa nyingahi nyekukusanywavyo? 10 Au mikate saba kwa wantu na ngaahu nyigahi mwekudoazo? 11 Iwa vivihi hata nkamuelewa ne nkitamuiya na nywinywi juu ya mikate? mwetunze na mwegumwe na chachu ya mafarisayo na masadukayo.'' 12 Kisha wakamanya kuwa ne nkawaambia juu ya kujihadhari na mikate yenye chachu bali ni kujihadhari na mafunsisho ya mafarisayo ona masadukayo. 13 Wakati yesu ekubuaho sehemu za kusaria ya filipo akawauza wanafunzi wako, akawaambiza wantu wasema kuwa mwana wa mtu ni ndai? '' 14 Wakasema wtuhu wsema kuwa ni yohana mbatizaji na watuhu elia, na watuhu yeremia au ni yumwe na yumwe wa manabii. 15 Akawauza, nywinywi mwasema mimi ni ndai? 16 Akajibu simoni petuo akatagusa wwe ni kwistu mwana wa zumbe mwe hai.'' 17 Yesu akamjibu nakumuambia ubarikiwe wwe, simni kwa kuwe na nyama nkavyokugumbuia idi bali tate yangu mwe mbinguni. 18 Nami pia nakuhnya kuwa wewe nipetuo na uwanga ya mwamba umi nda nzege kanisa dangu miango ya kuzimu nkadinadishindwe. 19 Nnda mkwenke wewe funguo za ufalme wa mbinguni chochose wendacho ukifungue duniani kinda kifungulwe na mbinguni. 20 Kisha yesu akawamuru wanafunzi wasekumwambia mtu yeyose kuwa yeye ne nkwistu. 21 Tangia wakati huo yesu akaanza kuwahinya wanafunzi akwe ni lazima aite jerusalemu kutaswa kwa mambo mengi ikono ya wazee na makuu na makuhani na waandishi kukomwa na kugabuka siku ya ntantu. 22 Ne petuo akamdoa yesu nkandai akamwandusa kwa kusema mbui nu na iwe hae na wewe, tate, idi disekuawiiiya kwako. 23 Mia yesu akageuka na kumhinya petuo, ''uya nyuma yangu shetani wewe ni kizuizi kwangu kwa maana nkujali mbui za mungu bali mbui za wanadamu.'' 24 Kisha yesu akawainya wanafunzi wakwe, kama mtu yoyose akakanda kunibasa imi, ni lazima ekane yeye mwenye, audoe msaaba wake, aibase. 25 Kwa kuwa mkunda kunyaokoa maisha yakwe andayaze na kwa yooyose mnyaza maisha yakwe kwa ajii yangu endaayaokee. 26 je ni faida yani endayo aipate mntu akaije ni kintu chani endacho akiavye mtu kaika kubadiishana na maisha yake? 27 Kwa kuwa mwana wa aadamu anda ozo katika utukufu wa tat yakwe na malaika wakwe nae ionda amuihe kila mntu na matendo yako. 28 Kwei nawaambia kuna baadhi yenu msee kugookoa hanu ambao hawana waonjo manti mpaka wendahowamuone mwaza wa adamu akazamwe mfalme wako.

Chapter 17

1 Misi sita yekwembokaho zumbeyesu akawadoa hamwe nae petuo,na yakobo na ohana nduguye, akawadoa mpaka uanga ya mwiima mlefu wao wenye. 2 Kahitulwa mbele yao cheni chakwe kikang'aa inga zia, na nguo zakwe zioneka zang'aa inga ung'azi. 3 Kaua hada waawiia msa na elia wakatamwiia nae. 4 Petuo akaandua akamwamba zumbe yesu ''bwana ni vyedi kwetu swiswi kuw hantu aha ati ukatamiwa n'ndanizenge hanu vituhu vitatu kimwe chako, na kimwe kwa ajii ya msa,na kimwe kwa ajii ya elia.'' 5 Ukati wakatamwiia kaua zunde dekung'aado dikawagea kuzui, na kaua ikaawiia sauti kuawa kwe zunde, ikamba uyu ni mwanangu nimkudaye nitamiwae nae '' mtegeezeni yeye.'' 6 Wahinya wekusikiaho ayo wakagwa kifudifudi wakaogoha sana. 7 Zumbe yesu akawadonta na akagombeka, ''enukani wala mwesekuogoha.'' 8 Naowekunua vyeni vyao uanga mia nkawokumuona muntu ila zumbe yesu ikedu. 9 Na wekuahowakaseea kwe mwiima, zumbe yesu akawaagua na akagombeka, ''mwesekuavya habai inu maono mwana ya adamu ndiho afufuke kuawa mwe watakufa. 10 Wahinywa wakwe wakamuuza wakamba, '''n'nkwambwai wagonda wamba elia n'nda avoke kweza? 11 Zumbe yesu akawaandua na kugombeka, elia n'ndaeze kwei na n'ndaavuze mbui zose. 12 Mia namyamba nywinywi, elia keza kae mia nkamokumtanga badii yakwe wamgosoa mbui wakundazo wowo. na uyo nee mwana ya adamu ndivyo asuubishwe mwe mikono yao.'' 13 Nee wahinywa wekumanyaho kua nee akatamwiia habai za yohana mbatiizaji. 14 Wekubuaho mwe utifii wa wantu, muntu yumwe akambasa akakika mavindi mbele yakwe na kumwamba, 15 Bwana mfiie mbazi mwanangu mana agwa mwi na kusuubika sana kwa kua kia maa agwa mwe moto au mwe mazi. 16 Nkimweeta mwe wahinywa wako, mia nkaokudaha kumhonya. 17 Zumbe yesu akamwandua, akagombeka, ''nyie uvyazi wesaokuamini na wekubanikao, n'ndanekae nanywi mpaka ini? n'ndanzizimizane nanywi hata ini? mweeteni aha hangu.'' 18 Zumbe yesu akamkemea, na npepo akamuawa. mbwanhga kahonywa tangia ukati uda. 19 Akabinda wahinywa wakamwezea zumbe esu kwa sii na kumuuza, kwa mbwai nkatokudaha kumguusa?'' 20 Zumbe yesu akawamba, kwa sibabu ya imani yenu ndodo. kwei namyambia ati n'nda muwe na imani hata ndodo inga npuye mbeyu ya haladali, n'ndamdahe kuwamba mwiima unu, sama kuawa aha uite kuda,nao n'ndausame, na nkauna kuwe na kintu chochose chesachokudahika kwenu. 21 ( Tozeeza mbui za mnjooza wazi ''mia, mbai inu ya npepo nkaidahika kuawa, ila kwa maombi na kufunga na nkayaoneka mwe nakala zedi za kae ). 22 Ukati wakawa wake galilaya, zumbe yesu akawamba wahinywa wakwe, ''mwana ya adamu n'ndaagewe mwe mikono ya wantu. 23 Na n'ndawamkome musi wa ntatu n'ndaafufuke'' wahinywa wasininika sana. 24 Nao wekubuaho kapenaumu, wantu watozao kodi ya nusu shekeli wakambasa petuo na kumwamba; ivi mhinya yenu aiha kodi ya nusu shekeli?'' 25 Akamba ''ehe'' mia petuo ekwengiaho nyumbai zumbe yesu akatamwiia na petuo bosi na kugombeka ''waafya mbwai simoni?'' wafaume wa dunia wahokea kodi au ushuu kuawa kwa ndai? kwa wada waawtawalao kuawa kwa waeni? 26 Na ukai petuo ekuombekaho ''kuawa kwa wageni zumbe yesu akamwamba, ivyo watawaliwa wausigwa mwe uihaji. 27 Mia tesekweza kuwatenda watoza ushuu wakagosoa zambi, hita bahalini, wase ndoano, na umuavye yuda saaki mongoa kkweza akabinda kugubua muomo wakwe, umo n'ndaubwiie shekeli mwenga. idoe na uwenke watoza ushuu kwa ajii yanu na wewe.

Chapter 18

1 Mda uono wahini wakeza kwa zumbe na kumwamba, ''n'ndai nkuu mwe ufalme wa mbinguni?'' 2 Zumbe yesu akamwetanga mwana mteke, akamwiika gatigati yao. 3 Nakugombeka, ''kwei namyambia, mkesekusosoa na kuwa inga wana wateke nkamna mdahe kwengia mwe ufalme wa mungu. 4 Ivyo yeyose mweseega inga mwana mteke muntu, inga uyo ni mkuu mwe ufalme wa mbinguni. 5 Na yeyose mumhokea mwana mteke kwa zina dangu anihoke mimi. 6 Mia yoyose msababisha yumwe mwewadodo awa waaminio kuasi yondaiwe vyedi kwa muntu iyo iwe kuu da kusagia dikatahwa mwe singo yakwe na kudidimizwa mwekundi cha bahali. 7 Ole kwa dunia kwa sibabu ya kukwazwa! kwa kuwa nkaina budi kwa nyakat izo kea, mia ole kwake kwa mntu yuda nyakati izo n'ndazeze kwa ajii yakwe! 8 Ati mkono wako au muundi wako ukakusababishia kukwazika, uusenga na uuase hae na wewe ni vyedi kwembosa kwak wewe kwengia mwe ugima ukawa nkuna mkono nu muwete, kuliko kwasigwa kwe moto wa kae ukawa na mkono na miundi yose. 9 Ati ziso dako dakukwza, ding'oe na ubase hae na wewe, ni vyedi kwembosa kwako wewe wengie kwe ugima na ziso dimwe, kuliko kwasigwa kwe moto wa kae ukawa na meso yose. 10 Kauani kwamba msekweza mkanibeua umwe wa wadodo awa kwa maana namyambia kuwa mbinguni kuna malaika wao misi yose wakakikaua cheni cha tate yangu mweuko mbinguni. 11 ( Gegeega mbui zionekanazo kama za unjooza wa 11, ''kwa kuwa mwana wa adamu keza kuohoa kia chekuacho chaga, nkayokuonekamwe nakala bola za kae ). 12 Mwaafya mbwai? ikiwa muntu anangoto mia mwenga na yumwe wao akaga je nkanaawaeke tisini na kenda? ya mwiima na kwenda kumuondeza yumwe mwekwega? 13 Naakabinda kumpata kwei namyambia endaa tamiwe kwemboka wada tisini na kenda wasao kwaga. 14 Ivyoivyo nkio ukundiso wa tatienu wa mbinguni kuwa yumwe mwe wadodo awa adagamie. 15 Ati mvunao akakukosea, hia kamuonyese dosai yeiho gati yako na yeye akawa ikeu. endaakutegeza endauwe kumvuza mvunao. 16 Akini kama nkanaakutegeeza, moe mvunao yumwe au waidi zaidi hamwe nawe, ka kuwa vyanwa vya mashahidi waidi au watat kia mbui yenda idahe kusibitishwa. 17 Na kama akabeua kuwategeeza dambie kanisa mbui iyo, kama akabeua viavia kuditegeeza kanisa, basi nawe kama muntu wa mataifa na mtoza ushuu. 18 Kwei namyambia, chochose kia mndachomkivugae duniani na mbinguni chendakivugalwe na chochose mndaachonkivugue duniani na mbinguni chenda kivuguiwe. 19 Naho namyamba kwamba ati wantu waidi gati yenu wakevana uanga ya mbui yeyose duniani wadiombezado, ido tate yangu wa mbinguni edaaadigosoe. 20 Kwa kuwa waidi au watatu wakadugana hamwe kwa zina dangu, mie niaho gatigati yao. 21 Naho petuo akeza na kumwamba yesu, ''zumbe ni maanyigahi mvunangu akanikosea nami nimfii mbazi? hata maa saba?'' 22 Yesu akamwamba nkikwamba maa saba, akini hata sabini maa saba. 23 Kwa sibabu iyo ufaume wa mbinguni ni nsawa na mfaume fulani mwekumkunde kusaiisha hesabu kulawa kwa watumwa wakwe. 24 Ekuvokaho kusaaiisha hesabu, mtumwa umwe akaetwa kwake ambae kawa akamtigiia talanta elfu kumi. 25 Kwa kuwa nkekua na sia kuiha bwana wakwe akaagia atagwe, mkaaziwe hamwe na wanawe na kia kintu ekuachonacho, na maio yagosoke. 26 Ivyo mtumwa akagwa, akakika mavindi mbele yakwe akagombeka bwana, uwe na uzizimizi hamwe nami, na nendaiknihe kia kintu.' 27 Ivyo bwana ya yuda mtumwa, kwa kua kenguwa ana ni mbazi, akamwekea na kumfua mbazi deni iido. 28 Akini mtumwa yuda aka hauka na kumpata yumwe gati ya watumwa weziwe, ekuae akamtigia dinali mia neamvuta, kumked mmeo, na kumwamba niiha kia nikutigiiacho, 29 Akini yuda mtumwa mweziwe akagwa na kumhembeza sana akagombeka, uwe na uzizimzi na mimi, na nendanikuihe.' 30 Akini mtumwa yuda a bosi akaemea badii yakwe akaita na kumwasa mwegeeza hadi aho endaho amwiihe kia amtigiaho. 31 Na wekuonacho watumwa weziwe kia chekulawiacho e wasininishwa sana na wakeza kumwamba bwana yao chekulawiacho. 32 Ndiho yuda bwana ya mtumwa yuda akamwetanga, na kumwamba, ewe mtumwa mbanasi nkikufiia mbazi wewe deni dangu dose kwa sibabu kuniombeza. 33 Je! nkqwkukundwa kuwa na mbazi kwa mtumwa mwezio, kama mimi nekukuoneavyo mbazi wewe? 34 Bwana yakwe akakimwa nakumwenkia kwa wada wasubiishaji hadi aho endahoaihe kiasi chose ekuacho akatigiwa. 35 Ivyo ne tate ya mbinguni endavyo awagoswee, kama kia yumwe wenu nkama amfiie mvunawe kulawa kwe myoyo yenu.''

Chapter 19

1 Ikaawia zumbe yesu ekubindaho mbui izo, akahauka galilaya nee aita mwe mhaka wa yudea mbele ya mto joodani. 2 Bunga ku wakamtongea naho nee awahonya uko. 3 Mafalisayo wakamwezea, wakamgeeza wakamwamba ''ivi ni vyedi mutnu kumuenka mkaziwe kwa sibabu yo yose?'' 4 Zumbe yesu akawatambaisa akawamba, ''nkamokusoma ati yuda mwekumiumba basi kamiumba mgosi na mvyee? 5 Naho nee awamba kwa ajiii iyo ona ambade tati yakwe na mami yakwe na wakekae hamwe na mkaziwe nah awa waidi watende mwii umwe?' 6 Naho nkio waidi vituhu iya ni mwii umwe savyo kia chekudaganywaacho ni muungu muutnu yoyose esekukisangua.'' 7 Wakatambaisa, ''miya kwa mbwai msa atiangiiza kuavya talaka na kumweka?'' 8 Akawatambaisa, ''kwa ida myoyo yenu iogayo mis kamyenka uhusa kuekene na wavyee wenu miya tangu aho bosi nkiyo vyekwavyo. 9 Namyamba yoyose monda amwase mkaziwe ila kwa ajii ya ukianga na akategua mtuhu nae kazini na mgosi mwonda ategue mvyee mwe kuekwa naye kazini.'' 10 Wahinywa wakamtambaisa zumbe yesu, ati nee vyeivyo kwa mdosi na maziwe basi nkio vyedi kutegua.'' 11 Mia zumbe yeu akawamba nkio kia moneka adaha kuhokea aya nihinyyo iya ni moneka adaha kuhokea aya nihinyayo iya ni kwa wada kuhokea aya kuhokea. 12 Kwa via waaha matowashi wekuvyaigwao tangu mwe maifu ya mami zao. nahodu viavia wauko matowashi wekugosolwao ni wantu naho kuna watowashi wekwegosoao matowashi kwa ajii ya ufaume wa mbinguni mdaha kuhokea aya nimihinyayo na ahokee.'' 13 Abinda nee aetewa wana wateke awakie mikono uwanga na kuombeza akini wahinywa wakwe wakawaegezea. 14 Mia zumbe yesu nee agombeka amba ''waekeni wnawateke du mwessekuwaemeza kweza kwangu kwa ajii ufaume wa mbingui ni wa wantu inga wowo. 15 Nee awabadikia mikono yakwe mwe mitwi yao abinda akahaawa hada. 16 Kuwa muntu yumwe nee eza kwa zumbe yesu ne amba, ''minya ni kintu kihi chedi n'nkundacho nigosoe ili nikookee ugima wa kue?'' 17 Zumbe yesu ne atambaisa akamwamba ''kwa ajii yani waniuza ni kintu chani chedi kuna yumwe tu nee yedi iya ati wondeza uupate ugima toza shaia za muungu.'' 18 Yuda muntu nee amuuza, ''ni shaia zihi?'' zumbe yesu akamwamba ''wesekukoma, wesekuwa mkinga wasekubauwa, wesekutamwiia umbea. 19 Waheshimu tati yako na mami yako naho umkunde jilani yako inga via wekundavyo we mwenye.'' 20 Yuda muntu akamwamba ''mbui zose izo nkizitoza kusigaa mbwai? 21 ''Zumbe yesu akamtambaisa ''ati wonda uwe kugenyea hita ukatage wenavyo uwenke wakiwa na wonda uwe a bene mbingun ukabinda soo weze unitongee. 22 Mia yuda yesu akahauka npaahoe kwa ajii nee ana mai nyingi. 23 Zumbe yesu akagombeka na waina wakwe ''kwei namanya nkivihufu kwa muntu mwenye mai kwengia mwe ufaume wa mbinguni. 24 Nahodu namyambia ni vihufu kwa ngamia kwemboka he ntudu ya singano kuliko muntu mwenye ma kwengia kwe ufaume wa mbinguni.'' 25 Zumbe yesu akawakaua akawamba mwe mwanaadamu ido nkadidahika iya mwe muungu yose yadahika?'' 26 Zumbe yesu akawakaua akawamba mwe mwanaadamu dio nkadidahika iya mwe muungu yose yadahika. 27 Abindaaho petuo akamtambaisa akamwamba ''kaua tibada vyose nee takutongea wewe tonda tiakie mbwai?'' 28 Zumbe yesu akawatambaisa ''kwei kabisa namyamba yuda mwekunitongea mimi mwe uvyazi mhya ukati mwanauya adamu ndihoekae he kiti cha enzi cha utukufu wakwe nanyi pia mwonda mwekae uwanga ya viti kumi na viidi ya islaeli. 29 Kia mwoneka mwekbado muntu mnda na umbude, tatiyakwe, mami yakwe, wanawe ama mna kwa ajii ya zina dangu onda ahoke maa mia na kupaa ugima wa kue. 30 Mia wangi wa bosi kwa isasa wonda wawe wa kiheo na wakiheo wonda wawe a bosi.

Chapter 20

1 Kwa kua mfaume ya bminguni waigana na wenye munda mkwenuka keokeo kuika wagosozi w ndima mwe nda wakwe wa mizabibu. 2 Wekuwaho wabinda kwevana na wagosozi wa ndima dinali mwenga dii mpaka siwe, akawaagiia mwe wakwe wa mizabibu. 3 Nee aita vituhu zekwembohakosaa ntatu akakaua wagosozi watuhu wagooka pasi ndima kwe ntendeo za gwiio. 4 Akawamba nywinyw nanywi hitani mwe mnda wa mizabibu na chochose che halali nndaniwenke nee wenda kugosoa ndima. 5 Akaita vituhu yekwembokaho masaa sita naho mwe saa kenda nee agosoa ivyo. 6 Vituhu mwe saa kumi na mwenga akaita akawabwiia wantu watuhu wagooka bila ya ndima akawamba kwani mgooka hanu bila ndima oyose kwa kutwa ngima? 7 Wakamamba kwa kua nkakuna mntu yoyose me kutiajii akawamba nanywinywi nanywi hitani kwe minda ya mizabibu.' 8 Yekubuaho guoni, mwenye munda wa mizbibu akamwamba mgookezi yakwe, ''wetange wagosozi wa ndima uwenke mishahau uvok na ya kihea mpaka ya bosi.' 9 Wekwezaho wada wagosozi a ndima saa kumi na mwenga kia mwooneka ne akahokea dinali. 10 Wekwezaho wagosozi wa bosi ne waafya ka wondawahokae zaidi iya wahokea kia yumwe dinali mwenga kia mntu. 11 Wekuwaho wahokea kae maiho yao, nee wamfifikia mwenye munda. 12 Akagombeka awa wagosozi wa ndima wa kihea watumia saa mwenga du kwe kugosoa ndima miya waigana naswi swiswi tenua miigo kwa siku ngima na kuhya na zuguto.' 13 Miya mwenye munda akagombeka na kutamwiia kwa yumwe wao, mbuyangu, nchekugosoa mbui yesayokutama je nkatekwevana na mi dinali mwenga? 14 Hokea che halali yako uhauke. naona mwie kuwenka awa wandima nekuwenkao ndima kihea enga wewe. 15 Je nkio haki yangu kugosoa kia nikundacho kwa mai zangu? 16 vyeivyo wa kiha endaawe ya bosi na ya bosi endaawe wa kihea'' 17 Zumbe yesu ekuwaho akakwea kuita yeusaleu akawadoa wahinywa wakwe kumi na waidi nkandani na siai akagombeka, 18 ''Kaua taita yelusalemu mwana ya adamu enda agewe mikno ya wakuu wa makuhani na wagondi gundaahwe kuubwa mzimu. 19 Na wenda wamuavyekwa wantu wa mataifa ili wamfyuie, kumtoa na kumsuubisha miya kwe siku ya ntatu endaafufuke.'' 20 Naho mamiao da wana wa zebedayo nee keza kwa zumbe yesu na wanawe akatoa mavundi mbele yakwe na kuombeza kintu kuawa kwakwe. 21 Zumbe yesu akagombeka, ''woondani'' akaamba ''amuli'' kua awa wanangu waidi wekae, yumwe mkono wa kudiia na yumwe mkono wa kumoso kwe ufaume wako.''' 22 Miya zumbe yesu akazumia akamba nkumanya uombezacho je wadaa kukinywa kikombe nendacho nikinywie wakaamb, ''tadaha.'' 23 Akagomeka, kikombe cangu kwei mndamkinywiie iya kwekaa mkono wangu wa kudiia na mkono wangu wa kumoso nikio wagazi wangu kuwenka miya ni kwa wada wekubindao kae kuandaiwa ni tate yangu.'' 24 Wahinya watuhu kumi wekuivaho ivyo uukahuzunishwa sana ni wada ndugu waidi. 25 Miya zumbe yesu kawetanga mwenye akagombeka ''mwamanya ya kua watawala wa mataifa wwatiisha na wakuu wao wagosoa mamlaka uanga yao. 26 Miya gesekua ivyokwenu badii yakwe yoyose mwenda awe mkuu baina yenu lazima ahituke mgosozi yenu. 27 Na mwenda atende ya bosi mwe nywinywi lazima atende mgosozi yenu. 28 Enga viia mwana ya adamu nkekweza kutamikiwa miya kitumika na kuavya ugima wakwe kua ukombozi kwa wengi.'' 29 Wekuawaho yeliko bunga kuu dikamtongea. 30 Na wakawaona na matuntu waidi wekaa nkandani he bbaabaa wekusikiaho kua zumbe yesu nee akemboka, wakakema wakamba, bwana, mwana ya daudi utifiiie mbazi.'' 31 Mia bunga dikawakemea na kuwamba nyamaani vyeivyo wakakema kwembosa na kugombeka bwana, mwana a daudi tifiie mbazi.'' 32 Aho zumbe yesu akagooka akawetanga na kuwauza, ''mwoonda niwagosoee mbwai'' 33 Wakamwamba, ''bwana meso yetu yavugulwe.'' 34 Ikawa zumbe yesu kengiwe ni mbai akadonita meso yao saa iyo wakahokea uweza wakadaha kukaua na wakamtongea.

Chapter 21

1 Yesu na wahina wakwe wakabua hehi na yesalemu na wakaita besifag mwe mwiima wa mizituni akabinda yesu akaagia whina waidi, 2 Akawamba 'hitani mwenga mbwiie npunda katahwa na mwana npunda hamwe nae mchopoeni na kuwaeta kwngu. 3 Kana muntu yoyose akamyambia chochose kuhusu ido mwambe bwana ana ndima nao na muntu uyo maa mwenga enda amyenke mweze nao'' 4 Mbui inu yekwawiaho na dia dekugombekwaho kwembokea kwa nabii kiaga ditimizwe akawambia, 5 Waambie wandee wa sayani kauwa zumbe ywko eza kwenu mzizitizi naho kakwea npunda na mwana npunda mgosi npunda mteke. 6 Nee wanafunzi wahauka na kugosoa kana yesu ekuwaagiavyo. 7 Wakamweta npunda na mwana npundo na kuika nguo zao uwanga yao naye yesu akekaa hada uwanga. 8 Wengi mwe wadugano wamyaya nguo zao siai na wantu watuhu wabonda matambi kulawa mwe miti na kumyamyaga baabani. 9 Utifii wekumuongweao yesu na wada wekumtongeao wakamema wakmba ''hosana kwa mwana ywa daudi ni mbalikiwa kwa zina da bwana hosana uanga kwembosa!'' 10 Yesu ekubuaho yeluwalemu mzi mgima uvituka na kugombeka ''uyu n'ndai. 11 Utifii ukaamaisa uyu ni yesu kwistu nabii kulawa, nazaleti ya galilaya.'' 12 Naho yesu akengia mwe hekalu da mungu akawaguusa chongoi wose wekuwao wakagua na kutaga mwe hekalu pia akabindua meza zao wahituwao hea na viti vya watagao ngiwa. 13 Akawamba ''igondwa nyumba yangu yenda yetangwe nyumbe ya maombi akini nywinywi muitenda kana npanga ya mabagaa. 14 Nee matuntu na viemo wakamweza mwe hekalu naye akawahonya. 15 Akini ukati wwakuu wa makuan na wgondwa wkonaho vihii ekugosoavyo na wekusikiaho waa wakotowa vuo mwe hekalu na kwamba hosana kwa mwana ywa daudi'' wakatozwa ni maya. 16 Wakamwamba, ''kusikia kia kigombekwacho ni awa wantu? yesu akawamba, ''ehe! akini nkawazati kusama, kulawa kwe miomo ya wana na wana wteke wonkao mna sifa kamii. 17 Nee yesu awabanda na kuita chongoi ya mzi gatigati besania na kugona uko. 18 Keokeo ekuwaho akauya mjini nee akaumwa n'saa. 19 Akaona mti nkandankanda ya baabaa akaubasa akini nkeekupata kintu uwanga yakwe iya mani, akawamba kwesekuwa na matunda kwako kae vituhu na maa iyo uda muti ukanyaa. 20 Wahina wekuonaho wakaba vyenavihi mtini unyaa maa mwenga?'' 21 Yesu akaambaisa na kkwamba namyamba kana mkawa na imani na bila wengee nkamna mgosoe kia chekugosokacho kwa uo mtini du akini mwenda muwambe hata uo mwiima udoigwe ukasigwe bahalini na vyenda vigosoke. 22 Chochose mwendacho muombeze kwa kuvika uku mkaamini mwenda mhokoe.'' 23 Yesu ekubuaho hekaluni wakuu wa makuhani na wazee na wntu wakamwezea uati ekuwaho akahinya na kumuuza ni kwa mamlaka yani wagosoa mbui izi na n'nda mwe kukwenka mamlaka aya?'' 24 Yesu akatambaisa akawamba, nami vituhu nenda nimiuze swali dimwe kana mkanambai viavia nenda nimyambie ni kwa mamlka yani nagosoa mbui izi. 25 Ubatizo wa yohana ulawa kuhi mbinguni hambu kwa wanadamu? ''wakauzana wenye kwa wenye wakamba, tikamba ulawa mbinguni ena atambe mbona nkamwekumwaamini. 26 Akini tikamba ulawa kwa wanadamu ''tgoha maduga no kwakua wamuona yohana kona nabii.'' 27 Vituhu wakamtambaisa yesu wakamba nkatimanya akawambia vituhu wala mimi nkina nimyambie kwa mamlaka yai nagosoa mbui izi. 28 Akini mwaaafya mbwai? muntu yumwe mwenye wana waidi akaita kwa yumwe akamwamba ''mwanangu hita ukagasoe ndima mwe munda wangu wa mizabibu. 29 Ivyeeo ''mwana akatambaisa na kwamba ''nkunaniite akini baadaye akahitua mawazo ykwe akaita. 30 Na mntu yuda akaita kwa ywa kaidi na kugombeka kintu kiahia mwana uyu akatambais akamba nenda niite bana akini nkeekuiko. 31 Yuhi mwe awa waidi kagosoa ekukundavyo tatiakwe wakamba ''mwana ywa bosi'' yesu akawamba kwei namyamba wakubao ushuu na wakibebe wenda wengie mwe uzumbe wa muungu kabla yenu kwengia. 32 Kwa mana yohana keza kwenu kwa sia ambayo inyooka akini nkamwekumwaamini ni ukati wa kukuba ushuu na wakibebe wamwaamini na nywinywi mwekuonaho ido dikagosoka nkamwekusugusa ili baadaye mmuamini. 33 Tegeezani mfano mtuhu nee kuna muntu mwenye eneo kuu da alizi kahanda mizabibu akaiikia gwegwe akagosoa na kia cha kukamwiia divai akaze nga na ingo da waamizi na akakodi kwa akunduoo zabibu ekubindaho akaita kwe si ntuhu. 34 Ukatiwa ubosi wekuwaho akawatuma wantu kwa waimu wa mizabibu kudoa zabibu zakwe. 35 Akini waimi wa zabibu wakwadoa andima wakwe wako watowa yumwe wakamkama mtuhu na wakamtowa na maiwe. 36 Vituhu mwenye munda akatuma wandima watuhu wangi kwemboka wad wa bosi akini waimi wa mizabibu wakawagosoa ivyoivyo. 37 Baada ya aho yuda bwana akamtuma mwanawe kwao akamba wnda wamuogohe mwanangu.' 38 Akini waimi wamizabibu wekumuonaho yuda mbwanga wakambiana ''uyu nee mlisi sooni ki mkome timiikiulisi.' 39 Ivyo bsi wakamdoa wakamwasa chongoi ya munda wa kamkoma. 40 Je mwenye munda wa mizabibu akezakweza enda awagosoe mbwai waimi wa mizabibu?'' 41 Wakamwamba ''endo awabanage wada wantu wabaya kwa sia ya ukatiii akabinda aukodishe munda wa mizabibu kwa waimi watuuhu wa mizabibu wantu ambao wenda waihe kwa ajii ya mizabibu ndio ivee.'' 42 Yesu akawamba ''nkamwekusoma mwe maandiko ''iwe dekumawado ni wazengo ditenda iwe kuu da nkandai. idi dilawa kwa bwana dahooza mwe meso yetu?' 43 Ivyo namyamba uzumbe wa muungu weda udoigwe kulawa kweni na kwenkwa taifa dijalido matunda yakwe. 44 Yoyose mwenda agwe mwe iwe ido enda abondwe ntiitniii akin yoyose mwenda agwiiwe ni iwe ido dende dimdsage.'' 45 Wakuu wa makuhani na mafalisayo wekusikiaho mifano yakwe wakaona kana awatamwiia wawo. 46 Akini kia wekukundaho kunyoosha mikono uwanga yakwe waaogoha madugano kwakuwa wantu wamkaua kana nabii.

Chapter 22

1 Zumbe yesu kagombeka vituhu mwe mifano akamba. 2 Ufaume wa binguni ufananao na ufaume yumwe mwekuandaa shelehe ya wia wa mwanae. 3 Akawaagia wandima wakwe kuwakaibisha wkwtangwao kweza kwe shelehe ya wia, akini nkawakuieza. 4 Mfaume nee aagia vituhu wandima watuhu akamba wambieni wose wekualikwao, kauani, nkiandaa nkanda. Fahali na ndama wekunonao wachichwa na mbui zose tayali, soni mwe shelehe ya wia.'' 5 Akini wantu hao nkawakuzingatia kwa hakika zati mwetagno wakwe watuhu waita mweminda yao, na watuhu wauya mwe ndima zao za biashaa zao. 6 Watuhu wawagubukia watumishi wa mfaume na kuwagwiza sonina kuwakoma. 7 Akini mfaume akakimwa neee atuma jeshi, dakwe, akawakoma wada majangii na mzi wao kwa moto kuwoka motomzi wao wose. 8 Akawamba watandicha wakwe wia utayali akini wekwetangwao nkawafaa. 9 Kwa hyo itani kwe mikutano ya sia nkuu, wakaibishano wantu wangi kadi idahikanavyo weza mwe shelehe ya wia'' 10 Wandima nee waita mwe sia nkuu na kuwakaibisha wantu wose wekuwaonaowia ukamema wageni. 11 Akini mfaume akwengiaho kukaua wageni kaona munu yumwe mwesekuva nguo ya wia! 12 Mfaume nee amuuza mbuyangu kufata viivihi kubua umu nyumbai bila nguo ya ia? namuntu huyu nkakuandua dodose. 13 Mfaume akawambia wandima wakwe mvugaiani muntu uyu mikono na miundi na mkamwasae chongoi mwe kiza ukovya wia? ambako kwenda kuwe na ndio na kusaguna meno. 14 Kwakua wantu wangi wetangwa iya wateule waceche.'' 15 Ne mafalisayo wekuhaukaho na kupanga mitigi ya kumgwia yesu mwe mbui zakwe mwenye. 16 Nee wekuwatumaho wahnywa wao hamwe na mahelode nee wamwambia yesu ''mwaimu, ''tamanya kuwa wewe umuntu ya kwei na kwamba wahinya mbaui ya mungu wa ukwei nkaukaua maoni ya muntu na nkuonyesa ukundiso kwa wantu. 17 Kwa hiyo tambie, waayani? je nsahihi kishelia kuiha kodi kwa kaisali au nkioivyo?'' 18 Yesu nee kamanya uvaya wao na kwamba, ''kwambwa manigeeza enyi wambea? 19 Nionyesani hea itumikayo kuiha kodi, wakamwietea dinai. 20 Yesu akawauza ''cheni na zina idi nvyandai. 21 Wakamwamba ivya kaisali ndiho yesu akwamba ''mwekeni kaisali vintu vyeivyo vyakwe na vya mungu mwenkeni muungu.'' 22 Wekusikiaho iyo nee wengewa kisha wamweeka na kuhauka zao. 23 Siku iy baazi ya masadukayo weza kwa yesu, wada waemao kuwa nkakuna ugubuo wa wafu wakamuuza, 24 Wakamba mwaimu ''musa ekugombekavyo ikawa muntu mwekufa bila mwesekuvyaa mwana umbude enda ampae uyo mvyee na kumwenka wana kwa ajii ya umbu dakwe. 25 Waaho ndugu saba, ywa bosi nee kamona a kisha akafa bila kuyvaa wana akambadia mvyee umbude. 26 Kisha umbude wa kaidi nae akagosoa vivyo ivyo, kisha yuda wa nattu, ikawa ivyo hadi ka yuda ywa saba. 27 Badii ya kugosoa ivyo wose yuda mvyee nae akafa. 28 Sasa mwe ugubuo yuda nvyee enda awe nvyee ya ndai? gatigat ya ndugu hao saba kwa ajii wose wamtegua.'' 29 Akini yesu akawamba kwa mkosea kwa ajii nkammanya maandiko wala nguvu za muungu. 30 Kwakua mwa ugubuo, wanu nkhawategua wala kuteulwa badii yakwe wantu watenda inga malaika uko mbinguni. 31 Akini kuhusu ugbuo wa wakufao nkamzai kusoma kia ambacho munu akukigombeka kwenu, 32 Mimi ni muungu wa bwaaimu muungu wa isaka, a muungu wa yakobo? muungu wa basi ni muungu a wakagumu.'' 33 Ukati kusanyiko wekusikaho idi wengewa mafundiso yakwe. 34 Akini mafalisayo wekusikiaho kua yesu akawanyamaisha masadukayo watengana wao wenyekwa hamwe. 35 Yumwe atenda mana sheia nee amuza sai kwa kumgeeza. 36 Mwaimu ni amli ini yekuayo nkuu kwemboka zose mwe shalia?'' 37 Yesu nee amwamba, ''lazima umkunde bwana kwa moyo wako wose kwa loo yako yose. 38 Inu nee amli nkuu na ya bosi. 39 Na yakaidi ifananayo na inu ni kumkunda jilani yako kana wekundavyo mwenye. 40 Shelia zose namanabii hutegemea aml hizi mbii.'' 41 Mafalisayo nkawazati bado kwekuba hamwe, yesu akawauza swali. 42 Akamba ''je mwaaya mbwai kwaajii ya kwistu? yeye i mwana ndai? nao wakamba ''nmwano daudi.'' 43 Yesu akamba, ninamna yaani daudi mwe loho amwetangae bwana akamba, 44 Bwana ne amwamba bwana wangu kaa mkoo wangu wa kudiia mpaka nendaho niwaike wankando wangu waikwe asi ya miundi yako'''?'' 45 Kana daudi amwetanga kwistu ''bwana,'' namna yani enda awe mwana wakwe?'' 46 Nkakuna mwekudahae kumjibu bui vituhu na nkakuna mwekugeeza vituhu kumuza maswali zaidi tangu siku iyo na kuendela.

Chapter 23

1 Baadaye katamwiya n utifii wa wantu na winywa wakwe akamba. 2 Wagondi na mafalisayo wekaiya kti cha msa. 3 Kwa iyo chocose wondacho wawambe kugosoa, wagosoa uku ugosoi wao wasema mbui wesizokuzigosoa. 4 Kweii ao wafunganya mizigo izito ambayo wa nkaenua na kuwatwika wantu nwe nawenga yao akini wao wenye nakwasongeza hata kwa chaa kaseua. 5 Ugosozi wao wose wagosoa ili wakalwe ni wantu. Kwa ajii woo wagubua masanduku yao na kuongeza ukuu wa mapindo ya nguo zao. 6 Wao watamiwa nikwekao ntendeo za kifahai mwe shelehee na mwe vitu vya heshima mwe masinagogi, 7 na kuuguswa kwa adabu maeneo ya sokoni, na kwetangwa ''Mhinya'' wantu. 8 Ila nywinywi nkamkundwa kwetangwa ''Wahinya, ''Kwa ajii manaye Mhinya yumwe tu, nanywi wose ni ndugu. 9 Mwesekumwetanga mntu yeyose aha duniani kuwa nee tate yenu ni yuda wa mbinguni. 10 Naho msekweza kwetangwa 'Wahinya, 'Kwa kuwa mnaye Mhinya yumwe tuu, ni Kwistu. 11 Inga mwenda awe mkuu gatigati yenu ne mwenda awe mtandim wenu. 12 Yeyote mwekweza onda aseezwe na yeyose mwe seeza onda enulwe. 13 Akini mwonda mmanye wenye nyie mwandikao na Mafalisayo, wambeya! Mwawa vugaiya wantu ufaumewa mbinguni. Nywinywi nkhamdoha kwengia naho nkhamkunda wengiao kugosoa ivyo. 14 (Ni mbui yenu mwandikao na Mafalisayo wambeya! Kwa ajii mwawaza wekufiwao ni wagosi wao''), 15 Ni mbuii yenu mwandikao na Mafalisayo wambeya! Mwavuke ng'ambo ya bahali kubua, kumgosoa mntu yumwe akubai yada myahinyayo, na waaho inga nywinywi mwamgosoa maakaidi ya mntu wa kuzimu enga nywinywi mwe ivyo. 16 Ni mbuii yenu wagokezi mwesio na meso,, nywiywi mwambao,, yeyose eisaye mwe hekalu nkiye kintu. Iya eisaye mwe zahabu ya hekalu, kuvugaiya na kweigita kwakwe. 17 Nyie mwesio nameso wabahau, kihi ni kikuu kuliko kintu, Zahabu na hekalu ambado diikwa wakfu zahabu kwa Muungu? 18 Na yeyose eisayokwa mazabahu, kihi i kikuu kuliko kintu, zahabu na hekalu ambado diika wakfu zahabu kwa muungu. 19 Nyie wantu mwesio na meso, kihi ni kikuu kituhu, sadaka au hemviko haikwaho wakfu kwa sadaka ziavigwazo mwa muungu? 20 Ivyo, yeye eisaye mwe mviko eisa mwe iyo na kwa vintu vyose vye uwanga yakwe. 21 Naye eisaye mwe hekalu eisa kwa ido na kwa yeyose ekaye ndani yakwe. 22 Na yeyose eisaye mwe mbingu eisa mwe kiti cha enzi cha muungu na kwa yeyose mwekaa uwanga yakwe. 23 Ni mbui yenu mwandikao na mafalisayo wabeya! kwa ajii mwaiha zaka mwe zibali mnaa naa na mbwache, akini mwabada mbuii nkuu za shaiya haki mbazi, na imani akinia aya mwakundwa myagosoe, na nkiyo kubada matuhu bila kuyagosoa. 24 Nyie viongozi mwessio na meso mchujao mdudu mdodo akini mwameza ngamia! 25 Ni mbuii yenu, mwandikao na mafalisayo, wambeya! kwa ajii mwasunta chongoi vikombe na shani akin ndani mmema zuuma na kwesekuwa na kiasi. 26 Nyie mafalisayo wesio na meso, suntani ndani ya kikombe na ndani ya sahani ili upan wa chongoi no uwe matuna. 27 Ni mbuii yenu waandikao na mafafalisayo, wambeya kwa aiji mwafanana na makabui yekugewayo chokaa kwa ndani yaema mavuha ya watakufa na kiya kntu kichafu. 28 Ivyo ivyo nywinywi kwa hongoi mwaomekana mna haki mwe wantu, akin kwa ndani mmema ubeya na zuuma. 29 Ni mbuii yenu waandikao a mafalisayo, wameay kwa ajii mwazenga makabui ya manabii nakuyahamba akabuii ya wenye haki. 30 Nyie mwamba, inga nee tekaa sinkuzoatate zet ne nkhatokua kuwa tiishiki hamwe kwetia nome za manabii. 31 Ivyo mwasema kwamba nyinyi nii wana wao wekuwakomao manabii. 32 Iya nywinywi mwkmiisha kumemeuza sehemu inayo stahili zambi za tati yetu. 33 Nyie nyoka, wana wa vipilibao ni namna yani mwonda mhepe hukumu ya kuzimu? 34 Kwa iyo, kauwa natuma kwenu manabii, wantu we viugo, na waandikao wauhu mwonda muwakome na kuwasuubu na watuhu mwonda muwavye mwe masinagogi yenu na kuwaguusa kuwa mzii umwe mpaka mtuhu. 35 Chondacho kiawiye kwenu honda haae npme zose za wenao haki zekwetikazo mwe inu sii kuawa mpome ya habiu mwenye haki mpaka mpome ya zakiya mwananga wa baaka, mwe kumkomae gatigati hata kafiiya he mviko. 36 Kweii awama, mbuii inu yose ya wapata kivyazi iki. 37 Yelusalemi, yelusalemi, we ukome manabii na kuwa towa maiwe waa wekutumwao kwako! maa nyingi kusanya wanao wose hamwe inga ngukuku akusanyavyo vifaanga vyake asi ya mawawa yakwe akii nkamoku bai! 38 Kauwa nyumba yako ibaki ukiwa. 39 Nami na kwamba, kuvoka ivi sasa na kuita mbele nkama mruone. mpaka mondaho mgombeke yee mewza kwa zinada zumbe.'''

Chapter 24

1 Yesu akaawa mwe hekaluni na akahauka wahinywa wakwe wakambasa na kumwonyesha maengo ya hekalu. 2 Akini akawatambaisa na kuwamba ''je nkamziona mbui izi zose? kwei nkakuna iwe ndidodisague uanga ya tuu bila kuboolwa.''' 3 Na ekwekaaho mwe muima wa mzaituni wahinywa wakwe wakatongea kwa sii na kugombeka, tihinyem mbui izi zonda zilawie mweini? na kintu chani chendakiwe utangio wa kweza kwako na kiamuo cha ulimwengu?'' 4 Yesu akawatambaisa na kuwatamba, ''mwekae meso asekwezo mntu akaihotoa. 5 Kwa ajii wangi wenda weze kwa zina dangu wambe mie nee kristo, na wendawawahotoe wangi. 6 Mwenda msikie nkondo na mbui ya nkondo kauwani sekweza matenda wengee, kwa ajii mbui izi yabidi ziawie akini kia kiheo nndakiwe nkakizati. 7 Kwa kuwa taifa ndadenuke zidi ya taifa tuhu na ufaumu zidi ya ufaume, kwenda kuwe na gumbo na visingis vya alizi mwe hantu mbaimbai. 8 Akini mbui izi zose ni kivoko cha usungu a kwafungwa. 9 Aho mwenda mlavywe kwa ajii ya suuba na kukomwa mwonda mnukuwe mmataifa yose kwa sibabu ya zina dangu. 10 Aho wangu wenda wekungwae na kusalitiana kuchukianu wenyewe kwa wenye. 11 Manabii wangi wa utiizi wenda walawie kwa kuwahufya wangi. 12 Kwa sibabu ubanasi wenda ugenyee ukundano wa wangi wenda uhoe. 13 Akini mwendie azizimize mpaka kihee enda aoholwe. 14 Inu injii ya ufaume indaibiikiwe mwe ulimwengu mgima kama ushuhuda kwa mataifa yose aho nee kia kiheo ndiho kibue. 15 Aho nee ndiho muone mbifya za ubanasi yekugombekwayo nnabii danieli digeeka hantu hatakatifu ( msoma na amanye ), 16 Na wauko yuda waguukie kwe miima, 17 Na uyo mweuko uanga ya ppaa da nyumba wesekudaha kuseeasi kudea kintu chochose kulawa mwe yumba yakwe, 18 Na mweuko tanga asekuuya kudoa nguo yakwe. 19 Akini mmmbui zao ambao wana mwana na wada ambao wonkesao mwe siku iyo! 20 Ombezani kwamba kuguuka kwenu kusekuwa ukati wa npeho walo siku ya sabato. 21 Kwa ajii kunakwe na ziki nkuu ambay nkaizati kuoneka tangu kuumbwa kwa ulimwengu kiamuo isasa na wala nkainaiwenaho vituhu. 22 Kama misi iyo nee nkazekuheea hehi, nee nkakuna mwe mwekunona akini kwa sibabu ya wekusagulwao miis iyo iheea hehii. 23 Ikabindaho ati yoyose, akamyomba ''kauwani kristo yuu hau au kristo yuu kuda msekuamini mbui izo. 24 Kwa ajii makristo wa utiizi na manabii wa utiizi wodaweze na kuonyesa utangio mkuu na vihii kwa kusudu da kawahotoa kama ikadahikana haa na wekusaulwao. 25 Kauwani nkiwatazalisha kabla ya mbui izo kulawia. 26 Kwa iyo ati wonda wamyambe, ''kristo yuuko jangwani.' msekuhita uko jangwani kauwani yuuuko nyumbai mseku kuamini mbui iza. 27 Kama via umbauwa imwikavyo kuawa mashalia na kumwika mpaka mangalibi nee indavyoizwe kweza kwa wmana a adamu. 28 Hohose henaho kibudu, ukoneetai wakonganako. 29 Akini mala baada ya ziki ya misi ida, zua dendadegewe kiza mwengee nkauna uavye ungazi wakwe ntonda zonda zigwe kulawa uanga, na nguvu za mbiguni zenda zisingisike. 30 Nee utangio wa ana wa adamu wendauonekana uanga na makabila ya dunia waomboleze, wendawaumuone mwana wa adamu akeza mwe mazunde ya uanga kwa nguvu na utukufu mkuu. 31 Enda awatume malaika wakwe kwa sauti nku ya gunda nao wendawwakonge jamwe wekusagulwaa kulaa ntende nne za dunia kulawa uheeo umwe wa mbingu mpaka kihehi. 32 Mwehinyo sosmo kualwana na mtu wa mtini mala tambi disukaho na kulavya mani mwamanya kwamba kiangazi kihehi. 33 Ivyo naho wendaho muone mbui izo zose. wakundwa mmanya kwamba yuu hehi, na miango. 34 Kwei namyamba, uvyazi unu nkauna wemboke kuamua mbui zose izi zendaako kuwa zilaziia. 35 Mbingu na sii zonda zomboke, akini mbui zangu nkazinazombeka kamwe. 36 Akini kuhusu misi ida na ukati nkakuna mntu muimanya hata malaika wa mbiguni wala mwana bali tate ikedu. 37 Kama via yekuavyo mwe misi ya nuhu neeivyo yendivyoiwe kweza kwa mwana wa adamu. 38 Kwa kuwa mwe msi iyo kabla ghalika wantu wawe wakada na kunywa waketagua na kutegulwahadi misi ida ambao vuhu kengia mwe safina, 39 Na nkawekumanya kintu chochose mpaka ghalika yekwezaho ikawabuuuta wose neivyo yendavyoiwe kweza kwa mwana adamu. 40 Aho wantu waidi wenda wwe tanga, yumwe adoigwa na yumwe abadua nyuma. 41 Wavyee waidi wenda wawe wakabunduga hamwe adoigwa yumwe na yumwe asigaa. 42 Miya muwe meso kwa sibabu nkammanya ni misi ihi ambayo endaeze zumbe yenu. 43 Akini mmanye kwamba, ati zumbe mwenye yumba neua akamanya ni kat uhi ambaa mbavi endaezem neakacheeza na nkekua aekae nyumba yakwe ifuntiwe. 44 Mia naho mwakundwa kwekaa tayali kwa kuwa mwana wa adamu endaezee mwe ukati mwesaokumanya. 45 Ivo ni ndai mtumwa mwaminifu, mtumwe mwenye akii ambae zumbe kamwenia madalaka mwe wada wenyumbai mwakwe apate kuweka nkande kwa ukati ukundwao? 46 Kaozoa mndimo uyo ambae zumbe endaambwiie akasoa ivy ukati ezaho. 47 Kwa namyamba kwamba bwana enda amwiike uanga ya kia kintu chakwe. 48 Akini kama mndima mbanasi akagombeka mwe moyo wakwe, zumbe acheewa,' 49 Na kuvoka kiwatoa wandimi wakwe na akada na kusolwa npomba, 50 Zumbe wa mtumwa uyo endaeze mwe musi ambao nkeutaajia, na mwe ukati ambao nikekuumanya. 51 Zumbe yakwe endaamdumwe ntu mbii na kuwiika mwe nafasi mwenga kuigana na wanafiki ambako kunakuwe na ndio na kukuuta meno.

Chapter 25

1 Ne mdiho ufalume wa mbinguni ufananishwe na gonawali kumi wekudoa taa zao na kwenda kumhoke bwana harusi. 2 Washano iongoni mwao, wawa wabahau na washano watenda wanyanyi. 3 Wanawali wabahau wadoa taa zao mkawekudoa mavuta ya akiba. 4 Bali wada wanyanyi wadoa taa zao na vyombo vya mavuta ya akiba. 5 Sasa wakai bwana arusi kacheewa kweza wose wakagona. 6 Akini nakio ya saaa nane kukatenda kuna vuza, kayatiwana harusi, lawani chongoi mumhokee.' 7 Ne aho wanawali wekwe mukaho na kuwasha taa zao. 8 Wada wabahau wakawambia wada wanyanyi, mtipatie mavuta kidogo maana taa zetu zafa. 9 Akini wada wanyanyi wakawajibu na kuwambia, kwa kuwa ukaya yattoshe sisi na nywinywi, badala yakwe hitami kwa watagao mgue kiasi kwa ajii yenu.' 10 Wakati weda kugua, bwana harusi akabua, na wose wose ambao a tayari wakungia hayekwe harusi na miango ukavugalwa. 11 Baadaye wada wawawali watuhu pia wakabua wa kusema, bwana bwana tivugurieni. 12 Akini akawajibu na kusema, kwei nawambia mimi mkiwamanya. 13 Kwa iyo kanani kuwa nkammanya siku au saaa. 14 Kwa kuwa nisawa na muntu mkunda kutaba kwe si mtuhu. kutenga watumwa wakwe na kuwa kabidhi utaajii wakwe. 15 Yumwe akenkigwa talanta shano, mtuhu akaenkingwa mbii, na yuda mtuhu akamwenka talnta mwenga. 16 kia muntu kankingwa kulingana wa uwezo wakwe, haye akaita utambo zakwe. Mapema yuda mwekwenkingwa takuta shano, kenda kuziika na kuzivyaisa shano ntuhu. 17 Viavia yuda mwekwenkigwa mbii, naye akavyaisa mbii mtuhu. 18 Akini yude mwekwenkingwa mwenga kenda kuifkia na kuifisa hea ya bwana mkubwa. 19 Na baada ya muda mrefu yuda mtaaji akagtoka na kuonda ahesabu yao. 20 Yuda mwekkwenkigwa shano akeza akamwamba kaua kunenka shano nkeita na shamo zaidi Mtaajiii yakwe akamwambia, hongera mtumwa mtana na mwaminifu. 21 umwminifu kwa vintu vidodo. nndanikweuke madaraka ya vintu vingi engia we fueaha hamwe na mtaajii yako.' 22 Mtumwwa mwekwenkigwa talanta mbii naye akawia na akasema mtaajii kunenka talanta mbii,' kaua nkipata faida zaidi yatalana mbii ntuhu.' 23 Mtaajii yakwe akamwambia hongera mtmwa mtana na mwaminifu umwaminifu kwa vintu vidodo. nndanikwenke madaraka ya vintu vingi egia mwe furaha hamwe na mtoaji yako. 24 Badaye mtuma mwekuhokea talanta mwenga akeza na akmba ivi mtaajii na manya we umuntu mkai wabonda hada wesaho kuhanda na kwa kukia tu wabonda. 25 Mie mkiogoha kwa iyo nikaifukia talanta yako, kaua nnayo aha.' 26 Akini mtaajii akanjibu na kumwamba, wewe mtumwa muovu na mzembe, kumanya kwamba mie mapata hada ne wesahokuhanda na vabonda hada ambaho mkitakusikia. 27 Kwa iyo kuondigwa hea yangu uwenke wantu wa benki na wakati wa kugotoka nihokee ida yangu na faida. 28 Kwa iyo, mhokeni yo tkanta, na mmwenke yuda mtuma mwenye talanta kumi. 29 Kia mmntu mwenyemacho andaangezewe zaidi hata kama ni kua kuzishiwa sana akini yeyeso mwesema, hata kia enacho andaaahokwe. 30 Mbondeni kwe kiza ukochongoi, uyu mtuniwa muose kufaa ambako kuwa gmiiizi.' 31 Wwakati mwana wa adamu ndiho ezekwe utukufu wakwe, hamwe na malaika, ne ndiho ekae ha kiti chakwe cha utukufu. 32 Mbele yokwe mataifa yose nndayakusanyike naye andaaawatenganishe wantu kama via muisi atenganishavyo ngoto na mbuzi. 33 Ngoto nnda wawe kuume, bali mbuzi nndawawe mkono wa kumoso. 34 Kisha mfalme aandawambie wada wa mkono wa kuume, sooni nyie mwe kubanikiwao ntate, uritho ufalme we kuandaliwao kwa ajii yenu tangu kuikwa msingi wa ulimwengu. 35 Kwa kuwa na nua saaa mukanenika nkande mkiwa mgeni mkanikaibisha. 36 Nkiwa mwazi mkaniviika vyuo nkiwa mtuhu mkanituuza, kiwa kifungoni pia nkanivuia.' 37 Ne ndio wenye haki wakanjibu na kumwambia, bwana mwe ini tikuona una saaa, na kukuisa au una nkiu tikakwenku mazi? 38 Na ni ini wekuaho mgeni na fikakukaibisha? au umwazi tikakuvisa nguo? 39 Na mwe ini umtamu tikakuhumiza au ukifungoni tkakuvuia. 40 Na mfalme akawajibu akambia, kwei wawambia, mwekugosoacho aha kwa yumwe kati y ndugu zangu wadodo nnigosoea mimi.' 41 Ni ndiho akawambia awa wa mkono wa kumoso haukeni kwangu mwe kulaani wao, hitani kwa mit wa milele we kuandaliwa kwa ajii ya shetani na malaika zakwe. 42 Sababu ne na saa nkamwekunenka ukande na una nkiu kamwekunanka mazi. 43 We ni mageni uamwekumikaibisha, ne ni uwazi, ukamwekunivika ngu, ne ni mutamu a wakuaho kifungoni akini ukamwekuitunza.' 44 Ne ndiho nao pia wakanijibu na kusema, bwana mwe ini tikuona una saa, au una nkiu au mgeni au umwazi au umtamu au umfungwa na nkatekukuhudumia? 45 Kisha akawajibu na kuwambia, kwei kia ambacho nkamwe kuwagosea awa wadodo ukamwekunogosoea mimi. 46 Awa wandawaite kwe adhabu ya milele isipokuwa wenye haki nndawaite kwa ugima wa milele.''

Chapter 26

1 Wakati yesu ekubindiizaho kutakuia maneno yose ayo, akawabwa wanfunizi wakwe, 2 ''Mwamanya kundakuwe na sikuukuu ya zasaka kwana ya adamu andaavigwe ui asulubiwe. " 3 Baadaye wakuu wa makuhanina wazee wa wantu wakadugana hamwe he makao ya kuhani mkuu, mwekuwa akufangwa kayafa. 4 Kwa hamwe wakapangwayebo za kumgwia yesu kwa siii na kumkoma. 5 Kwa kuwa wamba, ''isekuwa mwe wakati wa sikunkuu isekweza kueta vuungu nuwe wantu.'' 6 Wakati yesu ekuaho Bethania mwe nyumba yasimon mkoma, 7 Ekuaho ke nyoosha he meza, nyee yumbe akeza kwakwe uku kemua mkebe wa alabasta wekuaona mavut ya samani mkuu, akamwetiia mwe mutwi wakwe. 8 Akini wanafunzi wakwe wekuonaho mbui inu, wakiwa na wakwamba vyaitwa nini hesaa yose nu? . 9 Aya yadaha kutagwa kwa kiasi kihuu na wakenkigwa maskini.'' 10 Akini yesu uku amanya idi, akawamba, kwamimwamsumbua uyu mvyeengwa? kwa sibabu kagososa vyedi kwangu. 11 Maskini mnao siku zose, akini mimi mkaamnamui hamwe daima. 12 Kwa sibabu ekumetiiaho mavuta ayamwe mwii wangu, kagosoa ivi kwa ajiii ya mazikoyangu. 13 Niwambie kwei, hohose hada injili ndiho ihubiliwe nuwe ulimwengu mgima, mbui inu ekugosoayo uyu mvyee, pia ludaisemwe kwa ajii ya kumkumbuka.'' 14 Ne aho yumwe kati ya wada kumi na mbii, medangwa yuda iskariote akaita kwa wakuu wa makuhanii. 15 Na kuwamba, ''mwanenkani nimsaliti uyu?'' wakamhimia vioande seasimi vya hea. 16 Vokua muda uda akawa aondeza sibabu yakumsaliti. 17 Hada niwe siku ya bosi ya mukatu yesayo na hamila, wanafunzi wakwamwezea na kumwamba, '' ni hali ukundakatikuandalie ude mkande ya pasaka?'' 18 Akawamba,'' hitani kwe mzi kwa mmtufulani na mumwambe, mwaimu amba, ''muda wangu uheli, mimi na wanafunzi wangu pasaka imwenyumba yako.'''' 19 Wanafunzi wakagososa kama kama via wekuagiziwavyo niya pasaka. 20 Mwe guoi, kekaa hamwe na wada wanafunzi kumi na mbii uli wade mkande. 21 Uku wada nkande akawamba, ''kwei mawambia yumwe kati ya mnywinywi andaaanisaliti.'' 22 Wakaona mbazi sana, na kia yamwe akamuuza, ''je hakika mkie mimi bwana?'' 23 Akawajibu, ''yuda ndiye aginte mkono wakwe hamwe na minui niwe idi bukui ne ndiyeanisaliti. 24 Mwana wa Adamu andaahauke, sa nia ekuandikiwavyo. akini ole wakwe mntu ndiye amsaliti mwanan wa Adamu ne iwa vyedi kawamuntu myo ne nkekuvyaigwa.'' 25 Yuda, ambaye ne msaliti, akasema, je ni mimi Rabi?'' yesu akamwamba, ''vyedi kusema mwnye mbui inu.'' 26 Wekuaho wakada ukande, yesu akaudoa mukate, akaubaiki na kuumega akawemka wanafunzi wakwe uku asema,'' Doani, mde. unu ne mwii wangu.'' 27 Akadoa kikombe na kushukuu, akawemka na kuwambia, ''nywaani wose mwe iki. 28 Kwakuwa inu ni muphone ya kiaga changu, yetikayo kwa ajili ya wengi kwa misamaha wa zambi. 29 Akini nanywa mbieni, nkiwa inyw nituhu maunda ya mzabibu umu, hadi siku ida ndiho ninywe mhya hamwe nanywi mwe ufaume wa tate.'' 30 Wekubindaho kuimba wimbo, wakakwa kuita kwe muima wa mizeituni. 31 Kisha yeu akawambia, kio uki winywi nyose mndaamwekumgwae kwa ajii yangu, na kwa kuwa viandikwa, andaatoigwe mmuisi na ngoto nndawatawanyike. 32 Akini baada ya kufufuja kwangu, manignooea kuita galilaya.'' 33 Akini petuo akamwamba, ''hata kama wose mndawakuemee kwa ndivyo vikupate, mimi nkikuemea. 34 Yesu akamjibu kwei nakwamba, ''kio uki kabla ya zogoo kukema, undaunikane maa mtatu,.'' 35 Petuo akamwamba, hata na wewe, ''mkidaha kukuemea. na wanafunzi wose wtuhu wqkqmbq ivyoiyvo. 36 Baadaye yesu akaita kwetawawako gethsemane na akwamba, wanafunzi wakwe ekaani aha wakati naita uku nenda kusali.'' 37 Akandoa Petuo na wada wana wqidi wa zebedayo na akavoka kuhuzunika na kusononeka. 38 Kisha akamwamba, Roho yangu ina huzuni nkuu sana, hata kiasi cha kufa ekani aha na tikeshe wose na mimi.'' 39 Akaita mbele kidogo akagwa kifudifudi, uku asali akambwa, ''tate, kama vyadahika kikombe uki kama nikundavyo mimi, bali ukundavyo wewe.'' 40 Akagotoka kwa wanafunzi, kawabuia wagona akamwamba Petuo, ''kwani ukwamwekudaha hata kukesha na mimi hata kwa saa dimwe jaman?. 41 Keshani na kuomba kusudu nisekugeezwaa mwe wajaibu. koho lazi akini mwi nzaifu.'' 42 Akaita kaidi uku aombba amba, tate ti mbui inu nkaikwepeka, na ni lazima miyembokee,mapenzi yako nayatimizwe. 43 Akagotoka vituhu na kuwauia wagona usisiza, kwa kuwa meso yao yawa mazito. 44 Kisha akaabada vituhu, uhu aomba maneno yaada yadakwamaaya mau. 45 Baadaye yesu akawambia, bada ruke mgonee na kuhumuiza? kauani, saa ubua, na mwana wa Adamu asalitiwa mwe miono ya wenye zambi. 46 Emukami, tihauke. kauna, yuda mnisaliti yu heli.'' 47 Wakatu bado akekutamuia, yuda yumwe kat yo wada kumi na mbii akabua , bunga kuu keza nado uku daawia kwa wakuu wa mqkuhni nq wazee wa wantu. wezna mapaange na mwanungu. 48 Vyedi yuda mwe kukusudia kumsaliti yesu me kawenka utangio, uda ndiye mimbusus ne uyo. mgwieji.'' 49 Saa iyo kaawia kwa kwa yesu na kuwamba, salamu mwaimu, na akambusu. 50 Yesu akamwamba mbuyanga gosoa dia dekukuotaho ne aho wekwezaho na kumnyooshea mikono yesu, na kuningwia. 51 Kaua mutu yumwe mwekuwa na yesu, akanyoosha mukono wakwe, na kusoomoa uhambu wakwe na kumsenga mtumishi wa kuhani nukuu, na kumsenga guwi dakwe. 52 Ne aho ekumwambaho vuza uhamba wako hada wekuulavyaho, kwa kuwa wada wose watunuiao uhamba wandawa anganuizwe kwa uhamba. 53 Mwafikii kuwa mkidahah kumwetanga tate, naye akanitumia majeshi kumi na maidi nja malika? 54 Akini basi kwa viivihi yada manishi na ytimia, ivi yada me vyekuondwavyo viawie?'' 55 Wakati uo yesu akadambia dia banga,'' je mweza na mapaange na mwarungu kwani mwenda kugiwa mnyang'anyi? kia siku ni hekaluni ku namafundisho, na mkamwekunioza! 56 Akini yose aya yagosoke ili maandiko ya manabii yatimie: ne aho wanafunzi wekumbadaho na kuguuka. 57 Wada wekumgwiiao yesu wakamwegaa kwa kayafa, kuhani mkuu, hantu ambaho wagondi ha wazee ne wakusanyika hamwe. 58 Akini petuo ne akenyebanyeba kwa hae mpaka mwe uumbi wa kuhani mkuu ake ugia na kwekaa hamwe na walinzi ili aanye kiendeleacho. 59 Basi wakuu wa makuhani na dia baaza dose ne wakaondeza ushaidi hata kama ni wa umbea dhidi ya yesu, ni wa umbea kumkoma, 60 Japo weaviza mashaidi wengi, akini mkawekuizata sibaba yoyose. akini umo baadaye wakeaviza mashaidi waidi. 61 Na kwamba mutu uyu ne kasema,'' nadaha kuditua hekalu da muugu na kudizenga kwa siku ntatu.'' 62 Kuhani mkuuu akagokana kumuuza, nkudaha kujibu? awa wakushuhudia mbwai juuu yako wewe?'' 63 Kuhani yesu akanyamaa du kuhani mkuu akamwamba, kama muungu aishivyo mafaigwa utambie kama wewe ni kristo, mwana ya muungu. 64 Yesu akamjibu wewe mwenye waisema mbui iyo akini nakwamba vokea ivi sasa na kuendelea undaamuone mwana wa Adamu kekaaa mkono wa kudiia wenye nguvu, na uku eza mwe mazunde ya mbiguni.'' 65 Ne aho kuhani mkuuu ekuhaabua aho avazi yakwe na kwamba, '' mwaona kufuu yakwe! taonda ushaidi wa mbwai? kauani, tayari wenye muisikia kufuu yakwe. 66 Je mwaafyani? wakajibu na kusema, ''vyedi vyakwe akomwe.'' 67 Kisha wakamswiiia mate na kumtoa mguuuni, n kumzambua makofi kwa mikono yao. 68 Na kumwamba, haya titabiiie, wewe kwisto, mwekukuzabua h'ndai?'' 69 Wakati uo petuo ne yu chongoi ya uda ukumbi na mtumishi ya kivyee ne andosa na kumwamba, we pia ne uhamwe na yesu wa Galilaya. 70 Akini akaviemea katakata mbele yao wose, uku amba mie usemavyo nkivimanya kabisa.'' 71 Ekuitaho chongoi ya dia lango, mtumishi ya kivyee akamuona wa kuwambia wada wekuaoaho, mutu vyu pia ne yu hamwe na yesu wa nazareti.'' 72 Akaemea mahodu kwa kiapo, mimi muntu uyo mkimmanya.'' 73 Baada ya kitambo kidogo baadaye, wada wekuauo wagooka hehi nae, wakamsogeea na kusema na petuo, kwa hakika wewe pia uhamwe nae, kwa sibabu hata iyo sema yako yaonyesha. 74 Ne aho ekualaanisho na kweapiza; mimi muntu vyu mimmanya, na mara zogoo dikakema. 75 Petuo akakumbuka maneno ekwambigwayo ni yesu, kabla ya zogoo kukema undaniemee maaa mtatu.''

Chapter 27

1 Mda wa keo wekubuaho, wakuu wose wa makuhani na wagosi wagima wada yebo zidi ya zumbe yesu wapate kumkoma. 2 wamtafah awamwoza nee wambuza kwa liwale pilato. 3 Akabinda yuda ambaye nee kwamwehuguta, kaona kua zumbe yesu kaahwa kae, kagaya na vipande saasini vya hea kwa mkuu ya makuhani na wagosi wagima. 4 Na akaagombeka, nkigosoa zambi kwa kuyeuguta npome yesayo na masa.''mia wakamba, ''yatihusu mbwai swie? yakauwe mwenye ayo.'' 5 Akabinda akavitambika si via vipande vya hea mwe hekalu akahauka akenda kwetungika mwenye.'' 6 Mkuu ya makuhani nee avidoa via vipande vya hea nee amba: nkio vyedi kuuka hea inu mwe hazina, kwa sibabu ya galama ya npome.'' 7 Waafya kwa hamwe na hea ikatumika kuguiamnda wa mfinyanzi wa uzisi wa wageni. 8 Kwa sibabu inu mnda wo nee uketangwa, ''mnda wa npome'' mpaka ivieo. 9 Akabinda ida bui yekuwayo itamwiiwa n'nabii yelemia itimia; kua, walavya vipande saasini vya hea, galama yekupanywayo n'wantu wa izilaeli kwa ajii yakwe. 10 Na watumua mwe mnda wa mfunyanzi inga bwana ekuwavyo kaniangiiza.'' 11 Sasa zumbe yesu akagook mele ya liwali, ''na liwali akamuuza je wewe u mfaume ya wayahudi?'' zumbe yesu akamwamba, ''wewagombeka ivyo.'' 12 Mia ukati ekuhwaho masa niwakuuu ya makuhani na wagosi wagima nkekuandua chochose. 13 Akabinda pilato akamwamba, kizati ksikia masa yose zidi yako?'' 14 Mia nkekumuandua hata mbui mwenga, ivyo liwali nee aengemaa. 15 Sasa mwe sikunkuu iwa n'dastuli ya kiwali kumchopoa mtahwa yumwe wekusagulwa ni utifii. 16 Ukati wa nee wana mtahwa mwe kwenu zina dakwe ni balaba. 17 Iyo ukati wekwekongaho hamwe, pilato akawauza, n'ndai mwafaigwa timchopoe kwa ajii yenu? ''balaba au zumbe yesu mwetangwa kwistu?'' 18 Kwa sibabu kamanya kua wabinda kae kumgwia kwa sibabu ya mbifya. 19 Ukati ekuaho akekaa mwe kiti chakwe ha kuaha masa, mkaziwe kamwegaia mbui akamwamba, ''wesekugasoa mbui yoyose kwa muntu uyo mwes masa kwani nkisuubishwa mno hata ivyoo mwe sozi kwa ajii yakwe.'' 20 Ndiho wakuu wa makuhani na wagosi wagima nee wawagea nchonje bunga wamwombeze balaba na zumbe yesu akomwe. 21 Liwali akaauza, ''ni yuhi mwe waidi awa mwafaigiwa mie nimuekee kwenu? ''wakagombeka balaha.'' 22 Pilato akamwamba, ''nimtende mbwai zumbe yesu mwetangwa kwistu?'' wose wakamba, msumbishe'' 23 Naye akagombeka, ''kwa mbai, ni kosa dani ekugosoado?'' mia wasongwa n'kukema kwa sauti ya uanga muno msuubishe.'' 24 Ivyo ukati pilato ekuonaho nkadaha kugosoa dodose, mia badii yakw ngavungavu nee zivoka kae, kuavya mazi akehaka mwe mikono yakwe mbele ya utiifii,na kugombeka, mie akina masa uanga ya npome ya muntu uyu mese masa yakauwenu.'' 25 Wantu wose wakagombeka npome yakwe uwe uanga yetu nna wana wetu.'' 26 Akaawa aho aahumtohoa balaa kwao, mia kamtoa myeledi zumbe yesu nee awakabizii kwao kwenda kusuubiwa. 27 Akabinda asikai ya liwai wakumdoa uzumbe yesu mpaka plutolio na bunga kuu da maasikai wose akekonga. 28 Wakamhambua nguo zakwe wakamhamba akazu yekuungwiikayo. 29 Wekubindaho wakamgogosea taji ya miwa na kuiika uanga ya mutwi wakwe, na wakamwiikia muanzi me mkono wakwe wa kuume wakika mavindi mbele yakwe na kumbehua wakagombeka, ''saamu mmfaume ya wayahudi?'' 30 Na wamsua mate, wakaavya mianzi wakumtoa mwe mutwi. 31 Ukati wekuaho wakambekua, wamhambua ida nkazu na kumhamba nguo zakwe, nna kumwegaa kwenda kumswubisha. 32 Wekuawaho chongoi wamwena muntu kuawa kulene zina dakwe simeoni,ambaye wamkungumiza kuita nao ili npate kuwenua msaaba wakwe. 33 Wekubuahohandu hetangwaho goligola, maona yakwe npaamo za hea za mutwi.'' 34 Wamwenka siku yekuha na nyonyo anywemia ekugeezaho nkeekudaha kwinywa. 35 Ukati wekuwaho wakamsuubisha, wapanya ngu zakwe kwa kuzitoza kula. 37 Na wekaa na kumkaua. 36 Uanga ya mutwi wakwe waik msa zidi yakwe yasomeka ivi; uyu n;zumbe yesu mfaume ya wayahudi.'' 38 Wabgaa waidi wasuubishwa hamwe na yeye je yumwe tendeo ya kuuume kwakwe na mtuhu kumaso. 39 Wada wekuaho wakemboka wambea wakasingisa mwti yao. 40 Ne kugombeka, we mwekuaye waonda kudibananga hekalu na kudizenga kwa misi mitatu ehonye mwenye! ati u mwane ya muungu,seeena sii uawe he msaaba!'' 41 Mwe hai idaida wakuu a makuhani nee wakambea hamwe na wagonda na wagosi waimanakugombeka, 42 ''Kahonya watuhhu mia nkadahe kwahonyna mwenye. ye ni mfume ya wayahudi na aseesi kuaa kwa msaaba nee ndiho timwamini. 43 Kamtumainia muungu eka muungi amhonye sas ati akunda kwa sibabu kwamba, mie ni mwana ya muungu.''' 44 Na wada mabayaa wekuao wasubishwa hamwe na yeye pia wagombeka bmui za kumbehua. 45 Ivyo kuawa saa sita nee kuna kiza me sii yose mpaka saa kenda. 46 Yekubuaho saa kenda, zumbe yesu nee eie kwa sauti nkuu eloi, eloi, lama sabakitan?'' akamaanisha mungu wangu, mungu wangu, kwa mbwai kurubada?'' 47 Ukati uo mwe wada wekuao wagooka hada wakkategeeza wakamba amwetanga alia.'' 48 KInyany umwe nee aguuka endakudoa sifongo na kuimenzeeza kinywaji che usungu akakiika uanga ya mti na akamwenka apate kumea. 49 Ao wekusigaao wakamba, mbadeni ikedu tione ati elia n'ndaeze amwohoe.'' 50 Akaawa aho zumbe yesu akaia vituu kwa sauti nkuu n akaiavya loho yakwe. 51 Kaua pazia de hekalu dikatuka haidi kuawa uanga mipaka sii na alizi ikakakama ma miamba ikakasukka ntii ntu. 52 Makabui yakavuguka na mii ya watakatifu wangi wekuao wagona usisiza wafufutwa. 53 Wwaawa mwe makabuibaada ya ufufo wakwe, wengia mwe mzi mtakatifu na wakaonigwa ni zwangi. 54 Basi yuda akida na wada wekuao wakamkaua zumbe yesu waona zingizi na mbui zekuwazo zikaawiia wengima ni uenge muno na kugombeka, ''kwei uyu nee ni mwana ya muungu.'' 55 Wavyee wangi wekuao wakamtongea zumbe yesu kuaawa galilaya ili kumhudumia nee wahada wakakaua kuawa hae. 56 Wekuao aho nee n' makuhani magidalena, mahau mamiakwe da yakobo na josefu na mamiao da wana zebedayo 57 Yekubuaho guoni kweza muntu tajii kuawa alimasayo etangwa yusufu nae pia nee mtunywa ya zumbe yesu. 58 Kambasa plato nee amwombeza mwii wa zumbe yesu ekubindaho pilato akaajua apate kwenkingwa. 59 Yusufu akadoa mwii akautaha mwe nguo ya yusufu yekungaayo . 60 Akaogoneza mwe kabui dakwe pyeahumu ekudaho kadisongoa mwe mwamba, akawaaho akatongoosa uwe kuudikagubuka uvi wa kabia nee ahauka. 61 Mahamu magdalena na aliamu mtuu wahada wekaa kuelekea kabui. 62 Mia wekutongeao ambao ni msi baada ya maandalio wakuu wa mafalisayo wekonga hwamwe kwa pilato. 63 Wakamwamba, 'bana takumbuka kwa ukati guda mtiizi ekuao meso kaba ikemboka misi mitatu n'ndaafufuke viituhu. 64 Kwaiyo iyo nagiia kua kabui diindwe diwe npeho mpaka musi wa ntantu vituhu wahinywa wakwe wadaha kwez kumawa na ukgombka kwa wantu kafufuka kuawa kwa watakufa na utuuzi wa kiheo n'ndauwe nkautama kuliko uda wa bosi.'' 65 Pilato akawamba ''doani walinzi hitani mkagosoe hali ya usalama inga mdahavyo. 66 Ivyo nee waita na kutenda kabui kwa salama, iwe dekugondwado muli na kuika walinzi.

Chapter 28

1 Yekuawaho aho guoni wa sabato gwa okianaho dikaswa kwita siku ya bosi ya juma, maliamu magdalina, na yuda maliamu mtuhu wakega kudiona kabui. 2 Kaua kuwa na kisingisa kikuuu, kwa sibabu malaika wa zumbe kasea na kudifongoosa dia iwe, akabinda akadekaia, 3 Cheni ihakweiwa inga umweko na mavazi yakwe yawa meupe kama selujij. 4 Wada walinzi wakamemwa ni hofu na kuwa kama wafe. 5 Yuda malaika akawateganyia wada wavyee akagombeka msekuogoha ''kwa mana namanga kuwa mwamuonde za zumbe yesu mwekusubuwae, 6 Mkaho hanu akini kafufuka kama ekuwaambiavyo soni mkane hantu ambaho ekugonaho. 7 Hitani kinyanyi mkawaambe whinywa wakwe kafufuka kulawa watakufa kaua kawaongwe galilaya, uko nee ndiko mmuone inga nekumyambiavyo.'' 8 Wada wavyee wakahawe haahe kabui kinyanyi wakawa na wengeena nyemi nkuu na wakaguuka kuawaambia wahinywa wakwe. 9 Kana yesu akakintana nno nakugombeka, ''saamu ''wada wavyee wakeza na kuiteza miundi yakwe na akabinda wakamviia. 10 Akabinda yesu akawamba msekuogosha hitani mkawaambie wandugu wangu waongee galilaya, uko wendawanione, 11 Ukati wada wayee wekuaho wakaita kana baazi ya walinzi wakaita mwe mzi na kumwaambia wakuu wa makuhani mbui zose zekuago zilawia. 12 Na makuhani wekuaho wakintana na wadaa na kujadii mbui izo hamwe nao wakaaye kiasi kikuuu cha hea kwa wada asikai. 13 Ne awamba, ''waambieni watuhu kuwa, wahinywa wa zumbe yesu weza na kio wakambawa mwii wa zumbe yesu ukati swiswi tekuaho tigona.' 14 Kama taalifa inu ikambwiiia liwali, swiswi tenda timangee nchonjo na kuwasia nywinywi ''mat yose.'' 15 Kwa iyo wada askai wakazidoa zia hea, na kugosoa kama wekuavyo waelekezwa mbui inu ukatangaa sana kwa wayahudi na ikawa ivyo hadi ivyee. 16 Akii wada mitume kumi na mwenga wakaita galialaya, kwenda mwuma ekuao kawaelekeza. 17 Nawekumwonaho, wakamwabudu, akini wekumwewao wakaona matu. 18 Zumbe yesu akez kwao akawamba akagombeka, nchekigwa mamlaka nyose duniani na mbiguni. 19 Kwa iy hitani nkawagosoe mataifa nyose kuwa wakunywa, wabatu geni mwezina da tatu na da mwana na da loho mtakaifu. 20 Wahinyeni kuzitii mbui zose nekuziamulo na kaua, mie ni hamwe nanywi daima hata uheo wa dunia.