1Paulo , mutume , apana kupitiya bantu , wala kupitiya muntu , lakini kupitiya Yesu Kristo na Mungu baba, ule ari mulamusha mubafu, 2Na banduku bote beko na miye , ku makanisa ya Galatia .3Neema na salama imi pewe kupitiya Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo , 4ari dji leta yemo dju ma zambi yetu , dju atu epuche mu iyi wakati mubaya, kwa mapenzi ya Mungu Baba yetu, 5Kwa ule utukufu ina pewa mile na mile ! Amina !6Mina shanga vile muna geukiya mbiyo kwa ule ari mi ita kupitiya neema ya Kristo, dju ya pita ku idjili ingine . 7Apana ku kuye indjili ingine , lakini kuku bantu beko na mi jungulusha kitsha , na bana penda kwangu indjili ya Kristo .8lakini , pale shi benyewe , kama malayi moya wa bingu leta indji ingine ya kwatchana ile turi miubiri , a ukumiwe ! 9Tu ri miambiya bele , na mina rudiririamo mu iyi wakati : kama muntu ana mi ubiri indjili ingine ya sho pamoya na ile muri pata , a lainiwe! 10Na sasa , ni neema ya bantu wala ya Mungu mina taka ? na tafuta ku furaisha bantu ? kama mina furaisha tena bantu , mista kuya mutumishi wa Kristo :11Mina miambiya , banduku , ile indjili bari mi ubiri kuptiya miye ayina ya muntu ; 12kwamana sshiku ipate wale kuyifunda kwa muntu , lakini kupitiya ufunuwo ya Yesu Kristo .13Muri yuwa , ile irikuya mwenedo yangu mu buyuda , sa vile kuteswa kwa nguvu na kwalabisha indjili ya Mungu . 14Na sa vile miriku wa kushimama dani buyuda kuliko bamingi ba mu miaka yangu na ba mu mukini , barikuya na bidi ya kupita dju ma magizo ya ba baba yangu .15Lakini , pale ba na mufuraisha ule ari niweka pembeni tangu mutumbo ya maman yangu, na ari nita kupitiya neema yake, 16mu ufunuwo dani yangu mtoto yake, dju ni iseme ku ba pagano, mishi kwangarie wala mwili wala damu , 17Na mishi kwanze kupanda ku Yerusalema kule kurikuya ba mitume bale bari pakaliwa bele yangu, lakini mirienda mu Arabia . kisha miri rudiya tena ku Damaso .18Mwaka tatu kupita , Mi ri panda ku Yerusalema dju ya ku famia Cephas , na miri ikala mashiku makumi moya na ine kwake . 19Lakini mishi kuwone mwingi kati ya ba mitume . kama ayina Jacque , nduku ya Bwana. 20Mu bile miri miandikiya, mone , bele ya Mungu , mi shi lante apana .21Mirienza tena na ku mwisho ya mukini ya Syria na ya Cilicia . 22kwalakini , mirikuya wa sho kudjulikanaku uso mu ma kanisa ya Yude beko mwa Kristo; 23Paka , bo barishi kusema : ule arianza ku tuteswa ana ubiri sasa imani ile arianza ku fanya nguvu dju ya kuyalabisha . 24Na bana tukuza Mungu dju yangu .
1miaka makumi moya na ine kupita , miri penda tena ku Yerusalema na Barnaba, na mirimubebe naye Tito na miye; 2Na iri fanyihika sa ufunuwo ile mirianza kupanda . mina ba onesha indjili ile miri ubiri katchikatchi ya bapagano , mirionesha bele sana kwabale beko na beyi, kwalakini dju ni shi kimbiye wala kubimya mu bule .3Kwalakini Tito , arikuya na miye , na arikuya Greco , ashi kukatale ku dji tawahiriwa. 4Na ile , dju ya banduku ba bongo baringiya mukimia katchikatchi yetu mu Yesu Kristo , na mawazo ya kutufanya batumua . 5A tu kuba atchiye ata wakati kiloko na turishimamia bile bari tulomba kufanya , kwalaki dju ya ukweri ya indjili ina ikala katchi yenu .6Bale beko na beyi sana vile bariku zamani , il ayi omgoze kintu kwangu : Mungu ashi fanya butshakuzi kwa bantu, bale beko na beyi a ba nyambiya kintu . 7Kinyume , kona indjili miri pewa dju ya basho kutahiriwa , sa vile Petro dju ya ba kutahiriwa, 8kwamana yeye djo arimufanya Petro mutume wa ba kutahiriwa djo ville na miye mutume wa bapagano ,9Na mukudjuwa neema ile miri pata , Jacques , Cephas na yowane , bana bangariya sa vile bashimamizi, ba na nipa, miye na Barnaba , mukono ya kusaidiya , kwalakini dju twende , shiye ku bapagano, na bo bende ku ba kutahiriwa. 10bana tupa mipango ya ku kumbuka ba mashikini paka , na ile miri fanya vile ina pasha .11lakini pale Cephas ana kuya mu Antiocha , mina mu shimamia bele yake , kwamana ari kuya muntu wa sho paku shimamia . 12kwalakini , bele ya bantu bale Jacaues ari tuma bakuye, ariansa kuria na ba pagano ; na , pale barikuya , ana atcha na ana ikala kupembeni, muku ongopa ba kutahiriwa .13Yeye na Yuda bengine bana fanya nabo bana toka , Barnaba na yeye ana enda pembeni kupitiya unafiki yabo. 14Mu kuhona vile aba tembeye vile ina pasha mu ukweri ya indjili , mina mwambiya Cephas , bele ya bantu bote : kama weye Muyuda , una ishi sa ba pagano na apana sa bayuda, dju ya nini uku na bambiya bapagano kudji tahiriwa ?15Shiye , tuku ba Yuda ba kizarikiyo , na apanaa ba tenda zambi mukatchi ya ba pagano . 16Kwalakini , mukudjuwa asema ayina kupitiya matendo ya sheria djo muntu ana okolewa, lakini kupitiya imani mwa Yesu Kristo , na shiye turi amini mwa Yesu Kristo , dju ya ku okolewa kupitiya imani mwa Yesu Kristo na apana kupitiya matendo ya sheria, kwamana akuna muntu ita okolewa kupitiya matendo ya sheria .17Lakini , tu na tafuta ku okolwe kupitiya Kristo , kama shi benye turiutiwa ba tenda zambi , Kristo Kristo arita kuya mwaziri ya Zambi ? bari ya kule , 18Kwamana , kama mina yenga bintu bile miri alabisha , mina dji fanya kuya mi moya mwarabifu, 19kwamana ni kupitiya imani djo miriku mu sheria , dju ya ku ishi dju Mungu .20Muri kufwa na Kristo ; na kama mina ishi , ayina miye niku na ishi , ni Kristo eko na ishi mwangu; mina ishi sasa dani ya mwili , na ishi daani imani kwa Mtoto ya Mungu, ule ari ni penda na ule ari djitowa dju yangu. 21Mishi tupe neema ya Mungu ;kwamana kama aki inapatiwa kupitiya sheria , Kristo seke ari kufa mu bule .
1Ku ba Galato , ba akiri ya kugeuka ! ile pari mitupiya ina migeuza , mweye , bale Yoesus Kristo ari oneshiwa ku bantu bote sa vile wa kutujikiwa ku mantcho yenu ? 2Mune paka ile mina penda kufuda kwenu : ni kwa matendo ya sheria dju muri pata Roh , wala kupitiya maubiri ya imani ? 3Muko benye akili ya kugeuka biakweri? Mukwaza mu kiroh , munapenda sasakuhisha kupitiya mwili ?4Muri teswa sana mubule ? kama kila wakati ni mu bule . 5Yeye djo arimipa Roh , na yeye djo ana fanya midjiza katchikatchi yenu, ana ifanya ce que kupitiya matendo ya sheria , wala kupitiya maubiri ya imani ?6Sa vile Ibrahimu ariaminiya Mungu , na ile iri mu onesha mwenye Aki , 7Mu yuwe asema ni bale beko na imani beko batoto ya Ibrahimu. 8na miandjiko , ina sema ni Mungu djo ana okolwewa ba pagano kupitiya imani , ari mwanbiya iyi abari muzu Ibrahimu bele ya kufika : Matayifa yote ita barikiwa mwako! 9Dju ya bale ba ta amini baku baku barikiwe na mwaminifu Ibrahimu .10Kwamana bale bote bana riunga ku matendo ya sheria be tshini ya ukumu ; kwamana iri andjikiwa : a ukumiwe ule wote a shi angaririye bile biote bisha ku andjikiwa dani ya kitabu kia sheria , na ashi bi weke mu matendo . 11Na akuna ule ari okolwewa bele ya Mungu kupitiya Sheria, djo vile biko , dju iri semewa : wa aki ata ishi kupitiya imani. 12kwalakini , sheria ayi semeye imani ; kwalakini ina sema : ule ata weka ibi bintu mu mutendo ata ishi kupitiya bio .13Kristo ari tu wokowa mu ukumu ya sheria , muku rifanya ukumu dju yetu kwamana ime andji kiwa : y ukumiwe ule wote ba na mutudjika ku banwo, 14dju ya baraka ya Ibraimu ikuye dju ya ba pagano ifanyishi mwa Yesu Kristo , na dju tu pate kupitiya imani Roh ile iri lakiwa .15Nduku ( mina sema munamuna ya bantu), kuweka munamuna muzuri , lakini ata iri fanyika kupitiya muntu, ayi ta shimama ( atshiwa) kupitiya muntu, na muntu ashi wezi kongeza. 16Lakini malako ari semewa dju ya Ibrahimu na kizazi kiake . Ayi semwe asema : na ku ma bizazi, sa vile iri kuya ni ya ba mingi , lakini iri samewa dju ya muntu moya : na kwa kizazi kiako , ni ku sema , Kristo .17Mone ile mina shikiya : kuweka (kushimamisha) , ile Mungu ari akikisha , ayi ta shimamizq(atshiwa) , na vile malako etakuya ya bule , kupitiya sheria ina rudi tena kuko mwaka . 18Kwalakini kama uriti ina toka ku sheria, akustakuya malako; lakini , ni kupitiya ile Mungu ari fanya kwa Ibrahimu ile kipadji ya neema yake .19dju ya nini sheria? iri letewa djo ma kosa , paka pale kile kizazi kia malako iiri fanyiwa kitakuya; djo sheria iri anza kutumika kupitiya ba malaika, kupitiya mushimazi moya . 20kwalakini , mushimamizi ana mushimamizi ya moya , lakini Mungu eko moya .21Sheria iko seke na shimamia malako ya Mungu? bari na ile ! kama iri letewa sheria moya dju ya kuleta bujima , aki ita ta toko biakweri ku sheria . 22Lakini mwandjiko ina funga yote tshini ya zambi, djo ya bale bari lakiwa ba okolewe kupitiya imani mwa Yesu Kristo kwa bale ba na amini .23Bele ya imani ikuye , turi fungiwa tshiya gereza ya sheria , paka pale imani iri rionesha . 24vile vile sheria irikuya kama vile ya kutu onesha djiya dju ya ku tupeleka kwa Kristo , dju tu okolewe kupitiya imani . 25Imani iri kuya , atuna te tshini ya kutu onesha . 26kwamana muko mwebote batoto ya Mungu kupitiya imani mwa Yesu Kristo .27Mweye bote , muri batiziwa mwa Kristo , muri vala Kristo . 28Akuna wala Mu Yuda wala Greco , akuna wala mutumwa wa wa uru , akuna tena wala muntu wa mwanamuke ; kwamana mwe bote muko mukimoya mwa Yesu Kristo . 29Na kama muko mwa Kristo , muko seke kizazi kia Ibrahimu , muriti kwa malako .
1Kwa lakini , tena kuna kawa muriti eko mtoto , mina sema ashi atsha mutumwakukintu , ata eko mwenye biote; 2Lakini eko tshini ya ba tshunga na ba ku ongoza paka pale wakati ile Baba ari sema ita fika .3Shiye tena ,kwa mufano moya moya , pale turikuya batioto , turikuya tshini ya butumwa mipango ya dunia; 4Lakini , pale ma wakati iri fika , Mungu ari tuma Mtoto yake, ana zarika kwa mwana muke, ana zarika tshini ya sheria, 5dju ya ku okowa bale beko tshi ya sheria, dju tu pate kombolewa ( kutu uza) .6Na dju muko batoto , Mungu ari tuma dani ya ma roh yetu Roh ya ya mtoto yake , ku ile iko na lalamika : Abba ! Baba ! 7djo kwamana awuna tena mutumwa, lakini mtoto ; na kama uko mtoto , uko tene muriti kupitiya neema ya Mungu .8ile wakati , amu ku muyuwe Mungu , murianza kutumikia ba mwungu abana ba mufano yabo ; 9Lakini sasa muna yuwa Mungu , wala tena Mungu ari mi djuwa, namuna kani muna rudiya ile bizaifu na mashikini mipango , ku ile muna penda tena kutumikia ?10Muna angaria mashiku, ma mwenji , ma wakati na ma miaka ! 11Mina ongopa kwa kutumiga bule dju yenu.12Mukuye sa vile miye, kwamana miye niko sa vile mweye. nduku , mina milomba . A mu ku ni fanisheye kibaya ata . 13Muna djuwa asema iri fanyishika dju ya kilema ya mwili ile miri mipata dju ya mala ya kwanza mihubiri Indjili . 14na kuwekewa muku pimwa kupitiya mwili , a mu kuseme wala mubaya wala kuniitshukiya ; muri ni, kwa kinyume , murini pokeleya sa vile malaika ya Mungu , sa vile Yesu Kristo .15Wapi sasa muna shudiya mashi ya furah yenu ? kwamana mina miambiya asema , kama ile iri weekana , baripasha ku mi tosha mantsho dju ya kunipa yo . 16mina kuya adwi wenu mu ku mi onesha ukweri ?17ile bidi bana kuya nayo dju yenu ayina safi, lakini bana penda ku mi kabula na shiye , dju mu kuye na bidi dju yabo . 18Ni muzuri kuya na bidi dju ya ile iko muzuri na wakati yote , na ayina paka kama niko katchi katchi yenu .19Batoto yangu , bale mina shikiriya maumivu ya kuzala , paka pale Kristo ata ikala dani yenu , 20Mina penda sasa kuya pebeni yenu , na ku badirisha misemo , kwamana niko dani ya maunguniko dju yenu .21Munyambiye , mweye muripenda kuya tshini ya sheria, amushikie sheria ? 22Kwamana iri andjikiwa asema Ibraimu ana pata batoto ba wiri, moya wa kwa mwana muke mutumwa , na moya wa kwa mwanamuke wa uru , 23Lakini ule wa mutumwa ari mupata kwa mwili , na ule wa uru ari mupata kupitiya malako .24Ibi bintu biko bia kutafsiri ; kwamana bale bana muke beko ma agano bili. moya wa mulima ya Sïnaya , anazala dju ya utumwa , ni Agara , 25kwamana Agara , ni mulima ya Sinaya mu ki arabia , na ana wonesha Yerusalema ya leo , iko dani ya butumwa na batoto yake .26Lakini Yerusalema ya yulu iko uru , ni mama yetu,; 27kwamana ime andjikwa asema : Furayi weye , tasa , weye awu zale apana ! Pasuka na lalamika na makele ya mingi , weye awu kushikiye maumivu ya kuzala ! kwamana batoto ya ule baratsha ba ta kuya ba mingi kupita batoto ya ule eko wa kolewa .28Dju yenu , ba dunku , sa vile Isaaka , muko batoto ya malako ; 29Na tena ule ari zarikwa kupitiya mwili ana uwa ule ana zarika kupitiya Roh , vile vile eko tena sasa .30Lakini mwandjiko ina sema nini ? Andama mutumwa na mtoto yake , kwamana mtoto wa mutumwa ashi riti na mtoto ya mwanamuke ule eko uru . 31Djo kwamana , banduku , atuna batoto ya mutumwa, lakini ya mwanamuke ya uru .
1Ni dju ya uru djo Kristo ari tukombola . ikala wa kushimama ( fashi moya) , na mu shatche ba mweke tena tshini ya bifungo ya butumwa . 2Mone , mie Paulo , na miabiya asema , kama mu na dji tahiriwa , Kristo ashi mi saidiye kintu .3Mi na sema tena tena kwa mutu wote ule ritahiri, ana pasha kutumikia kutumikia ( ku eshimia) sheria yote mujima . 4Muko ba kukabulana na Kristo , mwe bote muna tafuta ku okolewa dani ya sheria; amusta pata neema.5Dju yetu , ni kwa imani djo tu natshunga , kupitiya Roh , kitumaini ya aki. 6kwamana , mwa Yesu Kristo , wala kutahiri wala pasho kutahiriwa a bina na mana, lakini imani ile ina tumika kupitiya mapendo. 7Muna kimbia muzuri : nani ana mishi mamisha, dju ya ku mipushinsha kweshimia ukweri ? 8Iyi kusukumwa aku toke kwa ule ari mi ita .9Tchatcho kiloko ina vimbisha buyi bote . 10Niko na tumainiya kwe nu , dqni ya Bwana , asema amusta waza bingine . Lakini ule eko na mi vuruka , akuye nani , ata pata maripo yake.11Dju yangu , banduku , kama mina ubirite tena ku tahiriwa , dju ya nini tena ba na ni tshukiya ? muvuruko ya ku musalaba ina poteya ! 12Tu ba toshe , bale beko na leta fudjo katchi katchi yenu !13Banduku , muri itiwa kuya uru , kwalakini mu shi fanya ile uru ikuye tundu (djiya) ya ku ishi munamuna ya ki mwili; lakini muri lete , kupitiya mapendo , batumwa ya ba moya na bengine. 14Kwa mana sheria yote ina ikala dani ya neno moya , dani ya iyi : uta penda djirani wako sa we moya 15Lakini ka muna riluma na kuri kuria ba moya na begine , mudji tchunge dju mushirialabishe ba moya na bengine.16Mina sema seke : Mutembeye Munamuna ya Roh , na a musta fanya mapezi ya mwili. 17Kwamana mwili iko na mapenzi ya kwatchana na Roh , na Roh iko iko na bia kwatchana na mwili ; bilko bia kwatchana , dju mushi fanye bile bile muna penda . 18Kama Muna ongoziwa na Roh , amuna tshini ya sheria .19Kwa lakini , matendo ya mwili ina rionesha , ni : busharati , butchafu , kutchantchanga , 20Kwabudu , buloji , kukosa burafiki , mabukonvi , ma tchuki , ma buniama , ma kukota ku sauti, ma kukabulana, makanisa ya buloji . 21Kutamania , bulevi , Ma kuria kwa kulafi , na bintu bia kufanana . Na miambiya bele , sa vile misha ku sema , bale beko na fanya ibi bintu a ba tariti ufalm ya Mungu .22Lakini ma tunda ya Roh , ni : mapendo , furah , salama , kutuliya , buzuri , bunene , bwaminifu , 23Utulivu , unyenyekevu ; sheria ayi pinge dju ya ibi bintu. 24Bale beko ba Yesu Kristo ba sha kuwa mwili na ma tama na mapenzi yake .25Kama tu na ishi kupitiya Roh , tu tembeye tena munamuna ya Roh . 26Mu shi tafute utukufu ya bule , mu kuri tshokoza ba moya na bengine .
1Banduku , kama mumtu ba na mukuta mu bubaya , mweye muku ba kiroh , mu muongoze na roh ya utulivu . Uri tchunge we moya , dju kintu kishi kupime na weye . 2Mu bebeyane bujito ba moya na bengine . Na muta ta timiza sheria ya Kristo .3Kama muntu ana waza kuya ma mana ,ashi kuye kintu , eko na rialabishiya ye moya . 4mutu wote atshunguze ma tendo yake , na apa dju ya mwingine ; 5Kwamana muntu wote ata beba bujito bwake .6Ule beko na fundisha neno a saidiye mu bintu biake biote kwa ule eko na fundisha . 7Mu shi rilande : aba mupimake Mungu. kile muntu ata otesha , ata kivuna teni . 8Ule a na otesha dju ya mwili yake ata vuna dju ya mwili mabaya ; lakini ule eko na otesha dju ya roh ata vuna dju ya roh maisha ya milele .9Tu shi atche ku fanya bizuri ; kwamana tuta vuna mu wakati muzuri kama a tu riatchiriye . 10kwa vile sasa, pale tuko na wakati , tu tende bizuri kwa bantu bote , na sana sana kwa banduku mu imani .11Mwangarie na mukanda kani munene miri miandjikiya ku mikono yangu . 12Bale bote bana penda ku dji fanya bazuri mu mwili ba na mi sukuma mu dji tahiriwe , dju tu ya kwepuka ba teswe dju ya musalaba ya Kristo . 13Kwamana bale beko bakutahiriwa bo benye we aba eshimiye sheria ; lakini bana penda mu dji tahiriwe , dju ya ku ri tukuza dani ya mwili yenu .14Dju ya ile ina nyangaria , bari na miye ma wazo ya kuri tukuza kubintu bingi bia ku musalaba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kupiti yeye dunia iri kufa dju yangu , sa vile niko dju ya dunia ! 15Kwamana ayina na mana ukuye wa kutahiriwa wala washo ku tahiriwa ; ile iko ya mana , ni kuya ki umbe kia sasa . 16Salama na reema kwabale bote beko na fata iyi magizo, na kwa Israeli ya Mungu !17Muntu kwanziya leo ashi ni vuruke , Kwamana ni na vala ku maungu yangu alama ya Yesu . 18Banduku , neema ya Bwana Yesu Kristo ikuye na roh yenu ! Amina !
1Paulo , mutume wa Yesu Kristo kupitiya mapenzi ya Mungu, ku ba takatifu bale beko mu Epheso na ba kamilifu mwa Yesu kristo: 2Neema na salama y mi pewe kupitiya Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo!3U barikiwe Mungu , Baba wa Bwana Yesu Kristo, ari tu bariki mu manamuna yote na mabaraka ya ki roho mu mafashi ya yulu mwa Kristo ! 4Dani yake Mungu ari tu tshakula bele ya ku umba dunia , dju tu kuye batakatifu na ba sho kutenkatenka bele yake.5Shiye tu ritshakuliwa mu mapendo yake kuya ba toto yake kupitiya Yesu Kristo , vile aritaka kwa mapenzi yake, 6mu kusifu ya utukufu ya neemaa ile ari tupa mwa mupendwa wake.7Mwake tuko na ku okolewa kupitiya damu yake , kutukombola mu zambi, vile utadjiri ya neema , 8Mungu ari pungusha ya tele yule yetu kupitiya ekima ya namuna yote na akiri,9A na tu djuwisha siri ya mapenzi yake, kwa vile a na taka mu kuhumba mwake ye moya , 10Djo ya kuyeka mu matendo pale wakati ita fika , ya kuweka pamoya bintu biote mwa Kristo, ble biko mu bingu na bille biko pa dunia.11Mwake tu na kuya tena bariti, tu ri tshakuliwa bele kufatana na kutaka ya ule eko na fanya bintu biote kufata na mashauri ya mapenzi yake, 12Dju tu tumike mu ke shangiliya ya utukufu yake , shiye bale bele tu ri tumainiya mwa Kristo.13Mwake mweye tena , mu kushikiya neno ya kweri , indjili ya okovu yenu , mwake muri amini na bari mitshandja Roho Mutakati ile bari lakaka, 14ile iko ahadi ya uriti , dju kombola bale Mungu ari tshakula, kwa ku shangiliya ya utukufu yake.15Ni pale miye tena , Muku shikiya kusema ya imani yenu kwa Yesu na kwa mapendo yenu dju batakatifu bote , 16Mi shi atche ku murudishiya neema dju mweye , mina mikumbuka mu mahombi ,17Dju ya Mungu wa Bwana Yesu Kristo wetu , Baba ya utukufu , a mipe Roho ya ekima na ya ufunuwo , mu ku djuwa kwake , 18Na engaze matcho ya roho yenu , dju mu yuwe kitumaini kani kina riunga ku mwito yake , butadjiri kani ya utukufu ya kuriti kwake ana tchungiya batakatifu,19Na iko dju yetu shiye tu amini bunene ya Nguvu yake ya sho mwisho, ina djonesha na nguvu kupitiya buzuri ya nguvu yake. 20ile ari weka mwa Kristo , mu ku mulamusha mu bafu , na muku mwikarisha ku mukono ya mwanaume yake mu ma fashi ya yulu , 21Yulu ya utawa yote , ya madaraka yote , ya nguvu yote, ya makustaili, na ya ma djina ile ba tezi kutaya , apana paka mu wakati ya sasa , lakini tena mu waka ya ku mbele.22Ana weka biote tchini ya mikulu yake, na leta dju ya mukubwa wa yulu ya kanisa , 23ile ni Mwili yake , utawa ya ule ana yaja yote mu biote.
1Murikuya ba kufa kupitiya ma bubaya yenu na kupitiya ma zambi yenu, 2Mule murianza kutembelele yamo, vile mandjiya ya dunia , vile kyongozi a madaraka ya mu pempo , pempo mutshafu ile iko na tumika dani ya mtoto ya butomboji. 3Shiye bote tena , turi kuya ba ile kikundji , na turianza ku ishi vile mapenzi ya mwili yetu , muku fanya mapenzi ya mwili na mawazo yetu, na tu rikuya kupitiya mufano ya batoto ya makari , sa bengine...4Lakini Mungu , eko mutadjiri mu reema , dju ya mapendo munene ile ari tu penda , 5Shiye turi kufa kupitiya bubaya yetu , ana tu rudishiya bujima na Kristo5 (ni kupitiya neema djo tu riokolewa ) ; 6Ari tu fufula pamoya , na ana tu ikarisha pamoya mu ma fashi ya yulu, mwa Yesu Kristo, 7dju ya ku onesha mu mashiku ya kumbele utadjiri ya sho kwisha ya neema yake kupitiya buzuri yake kwe tu shiye mwa Yesu Kristo.8Kwamana ni kupitiya neema dju muri okolewa , kupiya imani . Na ile ayi toke kwenu , ni kipadji kia Mungu. 9Ayina kupiti matendo , djo muntu ashi ri tukuze. 10Kwamana tuko biumbe biake, tu riumbiwa mwa Yesu - Kristo dju ya matendo muzuri, ile Mungu ari tayarisha ku mwandjo, djo tu y weke mu matendo.11Ni dju ya ile , mweye murikuya ba pagano dani ya mwili , bari mita ba sho kutahiriwa kwa bale beko ba ku tahiriwa na na beko bakutahiriwa mukimwili kupitiya mikono ya muntu, mu kumbuke 12Ile murikuya mu ile wakati pashipo Kristo, ku katariwa kustaili ya mukini mu israeli , bageni ku magano ya malako , pashipo kitumaini na pashipo Mungu mu dunia.13Lakini sasa , mwa=Yesu Kristo , mweye murikuya banri , muna kuya karibu kupitiya damu ya Kristo. 14Kwamana eko salama yetu, yeye kwake ya biwiri ana fanya bikuyu mukimoya, na ana angusha kibumbashi kiritukabula, 15Bu adwi, iri labiki kupitiya mwili yake sheria ya mipango dani ya miandjiko yayo , dju ya ku umba mwake ye moya na yo biri muntu wa sasa moya, mu ku weka salama , 16Na ku ba roudisha , moya na ule mu mwili moya, na Mungu kupitiya musalaba , mu ku aribisha kupitiya yeye bu adwi.17Ari kuya kuleta salama kwa mweye muri kuya bari, na kwa bale bari kuya karibu, 18kwamana kupitiya yeye tu na kuya ba moya kwa bengine kufika (kwingiya) karibu na Baba, dani ya Roho moyan .19Vile seke , amuna tena bageni , wala bantu ba indje ; lakini muko pamoya na batakatifu, bantu ba munyumba ya Mungu. 20Bari mifudisha yulu ya madjengo ya ba mitume na ya nabi , Yesu-Kristo ye moya eko ribwe ria kushimamisha. 21Mwake yeye ekulu yote, bina angariwa muzuri, kulamuka djoya kuya ekalu takatifu dani ya Bwana. 22Mwake tena muna fundichiwa djo ya kuya nyumba ya Mungu mu kiroho.
1Dju ya ile , miye Paulo, mufungwa ya Kristo djo yenu meye ba pagano... 2Kama muri yuwa ku bembelesha neema ya Mungu , ile ari nipa dju yenu.3Ni kupitiya ufunuwo djo ni riyuwa bia kufutshama ku bile mina miandjikiya mu misemo kiloko . 4Muku bisoma , mutezi ku onesha akiri ile niko nayo ya bia kufuntshama bia Kristo. 5A bi kurionesha ku batoto ya bantu mu ma wakati ingine , sa vile iri funguriwa apa sasa kupitiya roho ku ba takatifu mitume na nabie ya Kristo.6Iyi siri , ni kusema ba pagano beko nabo ba riti , bana kuya tena mwili moya na bana ingiya tena ku malako mwa Yesu - Kristo kupitiya endjili, 7Djo miri fanyiwa waziri kwa kipadji ya neema ya Mungu, ile iri ni pewa kupiya nguvu ya uwezo yake.8Kwa miye , niko wa mwisho ku batakatifu bote, iyi neema niri pata kusema ku bapagano ma butadjiri ya sho ya Kristo, 9Na kuweka ku mwangaza ni nini matayarisho ya siri ya kufuntchama ya wakati yote mwa Mungu ari umba bintu biote.10Dju ya butawala na waongozi mu ma fashi ya yulu kudjuwa leo kupitiya kanisa ekima ya kwendeleya pashipo mwisho ya Mungu, 11kwa vile mipango ya milele ile ari weka mu matendo kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu.12Mwa ule tuku na , kupitiya imani mwake yeye , uru ya tu tshofe kwa Mungu na kitumaini , 13Tena mina milomba mu shipoteshe bidi dju ya mateso yangu djo yenu : ni utuku yenu.14Dju ya ile , mina twanga magootshi bele ya Baba , 15kwakew ma djama yote ina beba djina mu bingu na pa dunia, 16dju a mipe , kwa vile utadjiri ya utukufu yake , ikuye na uwezo ya nguvu kupitiya roho yakedani ya muntu.17Djo Yesu a ikale dani ya ma roho yenu kupitiya imani , dju mukuya wa kushimama na kwila dani ya mapendo , 18Mu shikiye na ba takatifu bote nini bufupi , bulefu , bu nene , na bulefu , 19Na kudjuwa mapendo ya Kristo , ina pita kudjuwa kote , dju ya kusema mu kuye benye ku ya jiwa paka mu ku tawala ya Mungu.20kwamana , kwa ule atezi kufanya , kupitiya uwezo ina tenda dani yetu , pashipo mwisho yulu ya biote bile ana tu nalomba wala kuwaza, 21Kwa yeye utuku dani ya kanisa na mwa Yesu-Kristo , mu ma wakati yote , mile na mile ! Amina!
1Mina na misubutisha seke , miye , mufungwa mwa Bwana , ari tembeya munamuna inapasha kwa ku mitiwa ile iri miangariria , 2Mu kurishusha kote na bupole , na utulivu , muku ritshikiya ba moya na bengine na mapendo, 3muri weka mu kutchunga mukimoya ya roho kupiliya kifungo ya salama.4Kuku mwili moya na roho moya , sa vile tena muri itiwa ku kitumaini moya kupitiya mwito yenu ; 5Kuku Bwana moya , imani moya , ubatizo moya, 6Mungu moya na Baba moya wa bote, eko yulu ya biote , na kati ya bote , na mwa bote.7Lakini kwa kila muntu kati yetu aripata neema kwa kipimo ya kipadji ya Kristo. 8Ni kwamana ime sema : muku panda yulu , ari beba bafungwa , na ari fanya makipadji ku bantu.9kwa lakini , ina sema nini : ari panda , kama siyo ari shuka tena mu ma fashi ya tshini ya bulongo? 10Yeye djo ari shuka , ni yeye paka ari panda yulu ya ma bingu yote, djo ya kuyaja bintu biote.11Na arikabula bamoya sa vile batumes , bengine sa vile banabi, bengine sa baengiliste , bengine sa batshungadji na batuzadji, 12Dju ya kushima kwa kweri ya batakatifu djo ya kaji ya uduma na kufundisha ya mwili ya Kristu, 13Paka pale shiye bote tu tafika mukuya mukimoya mu imani na mukudjuwa Mtoto ya Mungu, mu ali ya muntu kufanyiwa , mu kipimo ya mufano ya vile inapasha ya Kristo,14Djo tu shi bakiye paka batoto , yulu yulu na kubebewa ku ma pempo yote ya mamafundisho , kupitiya bongo ya bantu , kupitiya bukalamushi mu mufano ya kudanganyiwa 15Lakini , tumikiya ukweri dani ya mapendo, tuna endeleyagambo yote mwa ule ni mukubwa , Kristo. 16Ni kwake , na neema ku bifungo biote ya usaidizi , mwili yote , inogonziwa muzuri na ina kuya nguvu muku riunga, ina kokota kwendeleya yake kwa vile nguvu inapasha kwa bipande yake , na ina rifundisha yo yenyewe dani ya mapendo.17Ona seke ile mina sema na ile mina semeseya dani ya Bwana, ni kusema amu wezi ku tembe tena sa bapagano, beko na tembeya sa vile mawazo yabo ina ba peleka kubintu bia sho mana. 18Beko na akili ya kufunika , beko bageni ku maisha ya Mungu, djo ya kukosa kuyuwa ile iko dani yabo, djo ya roh yabo ya nguvu . 19ba na potesha amu , ba na ripeleka mu bia kutchangatchanga, dju ya kufanya mambo ya butchafu yote ile ina riunga ku taama.20Lakini mweye , ayina vile barimifundisha kwa Kristo, 21Kama bele muri mushikiya , na kama , muri riweka vile inapasha ku ukweri ile iko mwa Yesu, ni mwake djo murifundishiwa, 22ku ritosha , kumitosha , ku weka penbeni ku maisha yenu ya zamani , kwa muntu wa zamani ari landiwa kupitiya taama ya bongo.23Kwa kuya wa kuzarika tena dani ya roho ya akiri yenu, 24Na kuvala muntu wa sasa , ku umbiwa kwa vile Mungu dani aki na butakatifu ile ina zala ukweri.25Ni kwamana , katala bongo , na ile kila muntu katshi yenu aseme kwa ukweri kwa djirani wake ; kwamana tuku wa member ba moya na bengine. 26Kama muna shikiya makari , ushi fanye zambi; djuwa ishi lale uko paka na kishilani, 27Na ushi kabule shetani djiya.28Ule eko na iba ashi ibe tena; lakini a tumike , mukufanya na mikono yake bile biko bizuri, dju ya kupata nini ya kukabula ule eko nayo lazima na yo . 29Mukinya yenu mushi toke misemo mubaya, lakini , mutoke, ma misemo muzuri , ile ina saidiya kuyenga na kuleta neema kwa bale bana ishikiya. 30Mushi sikitishe Roho - Mutakatifu ya Mungu, kupitiya ile muri pikiwa djo ya shiku ya ukombozi.31Butshungu boyte , bunyama bote , na makari ya namuna yote , y poteye katshi katshi yenu. 32Mukuye bazuri ba moya kwa bengine, musaidiyane , mu rumiyane bengi na bengine , sa vile Mungu ari mi rumia mwa Risto.
1Mukuye seke ba bana mufatirisha Mungu; sa batoto bapendwa; 2Na mutembeye dani ya mapendo, kwa mufano ya Kristo, ule ari tupenda , na ari ritowa ye moya kwa Mungu djo yetu sa sadaka na matolewo ya arufu muzuri.3Bucharati , kushikuye butshafu iyi namuna , na taama , ishi taiwa ata katchikatchi yenu, djo vile ina pasha kwa batakatifu. 4Bashi shikiye wala misemon ya sho eshima , wala mitshezo ya bubumbafu, wala mamitshezo , bintu biko kinyume ku buzuri ; tushi kiye matendo ya shukrani.5Kwamana , mudjuwe muzuri , busharati ata bumoya , wala butshafu , wala taama , ni ku sema , wa kwabudu , ayina na uriti mu bufalme ya Kristo na ya Mungu. 6Muntu ashi mi lande kupitiya ma misemo ya sho mana; kwamana ni djo ya bile bintu makari ya Mungu ita anguka kwa batoto ya butomboji. 7Mushikuye seke na semu na mweye.8Murikuya ngiza zamani , na sasa muko mwangaza dani ya Bwana. Mutembeye sa vile batoto ya mwangaza! 9Kwamana ma tunda ya mwangaza ina elekewa mu buzuri yote ya kila namuna, ya aki na ya ukweri. 10Tshunguza ile iko muzuri kwa Bwana ; 11Na mushi riunge ku matendo mubaya ya ngiza, lakini mu yi ukumu. 12Kwamana ina leta aya ya kusema bile beko na fanya muku futchama;13Lakini bile biote bina ukumiwa ina onekana kupitiya mwangaza , kwamana bile biote bina rionesha ni mwangaza. 14Ni dju ya vile iriendikiwa : lamuka , weye uko na lala , lamuka weye mu bafu, na Kristo ana kwangaza.15Mwepuke kuritebesha na ekima , apana kama vile ba bumbafu , lakini sa vile bantu ya akiri; 16mu uze wakati , kwamana mashiku iko mubaya. 17Ni djo mana mushi kuye ba sho beyi , lakini mushikiye ni nini mapenzi ya Bwana.18mushi lewe vinio : ni bucharati. mukuye , kwanza , benye ku djaziwa na Roho Mutakatifu ; 19mu patane kupitiya ma zaburi , mamimbo , na kupitiya mimbo ya kiroho , mu imbe na kushukuru na roho yenu yote matukuzo ya Bwana; 20Murudishi kila wakati neema dju ya bintu biote kwa Mungu Baba, mu djina ya Bwana wetu Yesu-Kristo, 21Mu rishushe ba moya kwa bengi dani ya Boka bwa Kristo.22Mwana muke , muti ba bwana yenu , sa vile kwa Bwana; 23Kwamana Bwana ni chefu wa mwana muke, sa vile Kristo ni chefu ya kanisa, ile ni mwili yake , na ile eko Mukombozi. 24kwa lakini , sa vile kanisa ina ti kwa Kristo, bana muke nabo bana pasha kuya vile kwa ba bwanabo mu bintu biote.25Bwana , mupede ba bibiyenu , sa vile Kristo ana penda kanisa, na kuri peleka yemo dju yayo , 26Djo ya kutakasa kupitiya neno , kisha ku itakasa kupitiya ubatizo ya mayi, 27Djo ya ku onesha bele yake ile kanisa utukufu , pashipo butshafu , wala zagila , wala pashipo kufana nisha, lakini butakatifu na shaba.28Ni djo vile babwana panapasha kupenda ba bibi yabo sa vile mwili yabo . Ule ana penda bibi yake ana ripenda ye moya. 29Kwamana akuna muntu atezi ku tchukiya mwili yake ; lakini ana irishaka na ku itengeneza ,sa vile Kristo ana fanyaka dju ya kanisa, 30djo tuko bipande ya mwile yake.31Djo kwamana mwanaume ata atcha baba na mama yake , na kuriunga kwa bibi yake , na bo bawiri batakuya mwili moya. 32Iyi Siri iko munene ; mina sema dju ya Kristo na ya kanisa. 33Mu kinyume , muntu wote katiyenu a pende bibi yake sa vile ye moya, na bibi a echimiye bwana yake.
1Batoto , mushikiye bazazi yenu , vile Bwana , kwamana ile iko aki , 2Echimiya baba yako na mama yako ( ni embri ya kwanza na malako) , 3Djo ukuye na furah na u ishi mwaka mingi pa dunia.4Na mweye , ba baba , mushi tshokoze batoto yenu , lakini mu ba fudishi mu ku batengeneza na mu ku ba fudisha mwa Bwana.5Bafanya kazi , mweshimiye ba kubwa benu mu ki mwili , na boka na kutetemeka, mu ku rishusha ya roho yenu, sa vile kwa Kristo, 6Apana paka bele yabo , sa vile kufuraisha bantu, lakini sa vile ba fanya kaji ya Kristo , banafanya na roho muzuri mapenzi ya Mungu. 7Mu ba tumikiye na roho yote , sa vile munatumikiya Bwana na apana bantu, 8Muyuwe asema mutu wote , akuye mutumwa , wala uru , atapata kwa Bwana mu ile ata fanya ya muzuri.9Na muye , bakubwa , mu fanya na mweye vile kwabo, na mu epuke fudjo , mu djuwe asema mukubwa wabo na wenu eko mu bingu, na kumbele yake akuna butchakuzi ya bantu.10Kwa ina bakiya , Muri kabule nguvu mwa Bwana , na kupitiya nguvu yake uwezo yote . 11Mu vale ma sila yote ya Mungu , djo mu shimame imara ku bukalamushi ya shetani.12Kwamana a tuna apa dju ya ku kombana na mwili na damu , kwalakini ni na matawala , na uongozi , na bariti ya iyi dunia ya ginza, na ma pempo ya makari mu mafashi ya yulu. 13ni vile , mubebe ma sila ya Mungu , djo ya kushimama mu machiku ya mubaya , na kuchimama imara kisha kutambuka.14Muchimame seke imara : mukuye na ukweri kama muchipi mukivuno yenu; muvale gambo ya aki; 15Muvale dju ya bilato kumikulu yenu mabao ile ina leta engili ya salama ; 16Mubebe yulu ya biote ukingo ya imani, na ile mutezi kujima ma djiya yote ya moto ya mukalamushi;17Mubebe tena chapo ya kokolewa , na mupanga ya kiroho , ile ni neno ya Mungu. 18Mufanye mu wakati yo kupitiya roho mahombi ya namuna yote na ya buluma . muchimame ku ile na kwedeleya beleyote , na muhombe djo ya batakatifu bote.19Muhombe djo yangu , dju ni pewe , pale mitafungula kinya , ya kudjuwisha vile inapasha na uru siri ya engili , 20Djo ya ile niko mushimamizi dani ya bifungo , na ile mina sema na kwakikisha sa vile mina pasha mu kusema21Dju na mweye , muyuwe ile ina nyangariria , iyi ni na fanya , Tychike , mupendwa nduku na mukamilifu na mwaziri dani ya Bwana , ata mionesha biote. 22Mina mutuma biyobiyo kwenu , djo mu yuwe ali yetu , na djo a poleshe ma roho yenu.23Salama na mapendo na imani imi pewe ku banduku kutoka kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu - Kristo! 24Neema ikuye na na mwebote muna pemda Bwana Yesu - Kristo kwa mapendo ya mushimamo.
1Paulo , mutumishi ya Yesu Kristo kupitiya mapezi ya Mungu , na ndu Timothe , 2Ku batakatifu na ba nduku baminifu dani ya Kristo beko ku kolosayi; asema neema na salama imipewe kwa Mungu Baba yetu, 3tuna mudisha shukrani kwa Mungu , Baba wa bwana yetu Yesu Christo , na atwache ku omba dju yenu,4Turiweza kupata habhari ya imani dani ya Yesu Kristo na mapendo dju ya batakatifu , 5Dju ya kitumaini ile barimitshungiya ku bingu , na neno ya kweri, neno ile ya endjili baritudjilisha. 6eko katchikatchi yetu , na dani ya dunia yote ; ana kuya na maotunda , na ata komeya , kama vile tena katchikatchi yenu , kwaziya shiku murishikiya na kuwona neema ya Mungu kufata na ukweri,7Kupitiya magizo ile muripata kwa Epefra , mupendwa mwetu rafiki ya mukaji, ule eko dju yenu mutumishi mwaminifu ya Kristo , 8na ile aritu fundisha mapendo roh imisukume.9dju kwamana na shiye , kwaziya shiku ile turipata , atwatche kumopmba Mungu dju yenu, na kulomba asema mudjazwe na kudjuwa mapezi , mu ekima yote na akiri ya kiroh, 10dju ya kutepmbeya munamuna ya Bwana na kumupendeza shibote , kuya na matunda ya kwadjana mumatendo na kwedeleya kupitiya kudjuwa Mungu,11tukabulane nguvu fashi yote dju la utukufu ya nguvu , dju kwamana tukuye paka na furah ya kwedelea na utulivu' 12tushukuru Baba , ule aritufanya tukuya nafashi ku uriti ya batakatifu dani ya mwangaza,13Iritukombola ku nguvu ya magiza na kutu peleka dani ya ufaleme ya mapen ya Mutoto yake, 14dani yake turiokolowa , na kwatchiliwa ya zambi yetu .15Eko mufano ya Mungu washo konekana, muzalikwa wa kwanza ya biumbe biote. 16kwamana dani yake bintu biote biriumbiwa mubingu na padunia, biaku onekana na biasho kuonekana , kitshi , bukubwa , butukufu, butawala . biote biriumbiwa kwake na dju yake. 17Arikuyako kumwanzo ya bintu biote, na bintu biate bina tokeya kwake.18Eko kitcha kia kanisa ; eko mwandjo , muzaliwa wa kwanza ku bafu , dju akuye wakwanza 19kwa mana Mungu aripenda utala yote ikuye dani yake, 20Aripenda dani yakwe kurundisha bintu biote naye , bile biko padunia na bile biko mumbingu, mukufanya salama kupitiya yeye , kwa damu ya musalaba yake,21na mweye , murikuyaka bageni na ba adwi kupitiya mawazo na kupitiya mifano mubaya yenu , aritu unga sasa . 22kupitiya lufu lwake mumili , dju ya kutuonesha batakatifu bele yake, ba aki na pashipo kosa , 23kamatu muna shimamia pa musingi na pasho kutenka dani ya imani, pashipo kweda pembeni ya kitumaini ya endjili ile murishikiya , ile barifundisha bi umbe biote tshini ya bingu , na ile miye Paulo , mirifaniwa mutumishi.24MInafurayi sasa dani ya mateso yangu dju yenu; na ile ina kosa ku mateso ya Kristo, mina yuwa mu mwili , dju ya mwili yake , kanisa. 25ni kwake dju iridjifanya kuya mutumishi , kufatana na kaji mungu Mungu arinipa kwenu, dju ya ku hubiri sana sauti ya Mungu, 26Uduma ya kufutshama mu wakati nyote na miaka yote, anaoshe sasa ba takatifu bake , 27kwa ule Mungu aripenda kudjulisha nini utukufu ya butadjiri ya ile Uduma katchikatchi ya bapagano, kudjuwa ; Kristo dani yenu , kitumaini ya utukufu.28Ule ana tutangaza , na kusubutisha muntu yote, na ana fundisha muntu yote ekima , dju ya ku onesha Mungu kwa muntu yote, kuya muzuri dani ya Kristu. 29ni kwa nini na tumika, muku kombana na nguvu , ina tumika nguvu dani yangu.
1Minapenda , kwama , mudjuwe kwamala bukovi bule mina mikombaniya buko bunene, na dju yenu muna ikala ku Laodikia, na dju ya bale bote aba kuone sula yangu mukimwili, 2Dju ya bakuye na roh ya kimia , bakuye mukimoya dani ya mapendo, na kupata akiri dju ya kuyuwa bile Mungu arifutshika , kumuyuwa Kristo, 3Mubile biakufutchama dani yabio munafutchama butadjiri bwa ekima na kujuwa .4Mina sema vile dju muntu ashi milande na misemo yabongo, 5kwamana ka shina na mweye mu kimwili niko na mweye mu ki roh, mukuona na furah vile usawa iko katchikatchi yenu, na bwaminifu ya imani dani ya Kristo.6Kama vile bashi , vile muri pata Bwana Ynesu Kristo , kutembeya dani yake , 7Vile tuku benye ku ikalqa dani yake, na bukamilifu dani kupitiya imani, kufatana na magizo ile bari tupa , na dani ya upako yakuyala na neema.98mukebe ange dju mutu ashimifanie kiakuria kiake kupiya mafudisho na bongo bwabule , buneka pa mafundisho ya bantu, pa bukalamushi ya dunia , na apasna kwa Kristo. kwamana dani maungu yake muna ikale bumungu bwake bote.10Muku na biate dani yake , eko yule ya utawala yote na uwezo yote. 11Na ni dani yake muritahiria kwa kutauriwa ile mukono ya muntu ayitaweza kufanya, kwalakini na kutahiriwa ya Kristo , ile ina kuya dani ya kutosha maungu ku mwiri ; 12Muku mijika naye kupitiya ubatizo , mukiri fufuka dani yake na yeye , kupitiya 2imani ya nguvu ya Mungu , irimulamusha kubafu.13Mweye murikufu kupitiya ma zambi yenu na kupitiya kutahiriwa ya mwiri, aritu rudisha ku bujima na yeye , mukutu fanya neema dju ya mazambi yetu yote ; 14arijimisha tendo ile iriyanza kutu ukumu na ile irikuya yulu yetu , na ariaribisha mukuyi tudjika kumusalabani; 15Arinyanganya utawala na madara , na ana batcha waji muku bashutusha , na kubawina kupitiya musalaba.16Muntu ashi miukumu dju ya kiakuria wa dju ya kunya , wala dju ya feti , wala shiku yaya, ya sabato; 17Ni kinvuri ya bintu bia kuya , lakini mwili iko dani yesu.18Akuna muntu ata moya , tshini ya mufano ya kurishusha na kupitiya mukoniko ya ba malaika , ashi minyanganye beyi ya biyo , kwalakini ana djasha ku ma onyo na kudi yaja na kiburi kia bule kupitiya ma wazo ya kimwili, 19Pashipo kuriunga kwa chefu , na mwili yote , inasaidiya na nguvu kupitiya maungano na bifungo , inakokota maendeleo ile Mungu ana leta.20kama murikufa na Yesu ku mapasha ya dunia, dju ya nini, savile muna ishi dani ya dunia, inamilomba magizo yake ; 21ushi bebe , ushi pime , ushi bambe, 22Mambo yote ile inaribika , mukufata magizo na mafundisho ya Mungu, 23bana djonesha beko naukweri , na ekima , bana rileta ku makutano , ya kurishusha na kubeula maungu , lakini aba fanye kintu na kurileta kufurah ya maungu.
1Kama unafufuka na Kristo , mutafute bintu bia yulu , kule Yesu anekala ku ume ya Mungu. 2mwangariye bintu bia yulu , na apana bile bia dunia. 3kwamana murikufa , na maisha yenu iko yakufutshika na Yesu dani ya Mungu. 4Pale Yesu , mqisha yenu , inaonekana, kisha mutaonekana tena dqni ya utukufu.5Mu uwe mifano ya dunia , busharati , butchafu , tamaa , mambo mubaya , na tamaa , ile ina kuya kwabudu salamu. 6ni kupiti ibi bintu djo makari ya Mungu ina anguka ku baba batonboji, 7mule murikuya muku na tembeyaka , pale murianza ku ishi mu ile ma zambi. 8kwanzi apa sasa , mukatale bintu biote , ku makari , ku buniama , ku makarikari, ku kosana , ku misemo yasho eshima etezi ku toka mukinya yako.9Mushi lande mudja kwa begine , muritoshewa na muntu wa zamani na matendo yake. 10Na murivale muntu wa sasa, ana geuka ,dani ya kudjuwa , kwa uso ya ule arimu umba . 11akuna apa ata Mugrec ata muyuda , ata waku tahiriwa , ata washo kutahiriwa , ata wa mafudjo , ata mufanya kaji ata wa huru , kwalakini Kristo eko biote na dani ya biote .12Kwa vile sasa , sa batshakuliwa ya mungu , batakatifu na bapendwa , ya buzuri , kurishusha , na unyenyekevu , ya kutshunga . 13Muritshikiye mumoya na bengine, na kama moya eko na biakuririya dju ya mwingine , murirumiye moya na mwingine. sa vile Kristo arimirumiya, murirumiye na mweye. 14 Lakini yulu ya biote mukuye na mapendo, dju maunganisho ya kweri.15na amani ya Kristo, kwa ile muri itiwadju ya kuya maungu moya, itawale dani ya ma roh yenu. Na mukuye na ku itshikiya . 16Na neno ya Kristo ikale dani yenu ya mingi sana ; murifundishe na kudjisubutisha bamoya na bengine mu ekima yote , kupitiya ma mimbo , kupitiya ma mimbo ya kiroh, muyimbi Mungu dani ya maroh yenu tshinyi ya neema. 17Na kwa ile yote muta fanya , kwa sauti wala kwa matendo , muyi fanye yote mu djina ya Bwana Yesu , kwa kumurudishiya matendo ya neema ya :Mungu Baba.18Banamuke , mukuyez na kurishusha kwa babwana yenu , sa vile ina kuya dani ya Bwana , 19Babwana , mupendez ba bibienu, mushikuye na makari nabo. 20Batoto , mweshimiye mu mambo yote bazazi yenu, kwamana ile ipendeze dani ya Bwana. 21Bababa , mushishirikishe batoto yenu , dju ba shitoke mu djiya .22Batumishi , mweshiye mu mambo yote ba mwarimu benu munamu ya kimwili, apana pakaka kubele yabo , sa vile dju ya kufuraisha bantu, kwalakini na kurishusha roh, dani ya boka ya bwana . 23Bile , murifanye, muyifanye na roh muzuri, sa vile dju ya Swana na apana dju ya bantu. 24Mudjuwe asema muripata kwa Bwana , uriti dju . Mutumikiye Kristo , Bwana. 25kwamana ule ana tenda vile ayipashe ata pata spaka kufatana matendo yake , na akuna kwitshikiya bantu.
1Mwarimu , itshikiya ba tumishi kile kiko aki na pamoya , muku djuwa asema uko na we na mwarimu dani bingu.2Mwedeleye dani ya maombi, mushimame na ma tendo ya shukurqni. 3Mu tuombeye na shiye , kwamana dju Mungu a fugule mulango , dju ni semezeye mambo ya kufutshama ya Kristo , dju ya ile niku dani ya geresa 4Na ku mu djuwisha vile ina pasha.5Mu tembeye na ekima kumbele ya bapagano, na mutumikishe muzuri wakati yenu. 6Misemo yako ikuye yenye kushidiki na neema , ya kufuraisha , dju udjuwe vile uta djibu mutu yote .7Tychike , nduku mupedwa na mutumishi mukamilifu rafikiya yangu wa mukaji dani ya Bwana , museme biote bile bina sema dju yangu. 8Mi na ituma nbiyo nbiyo kwenu, dju muyuwe vile tuna ishi, na dju imipe nguvu mu maroh yenu, 9Na ituma na Onesimu , mukamilikwa na nduku mupendwa , ule eko wenu , ata mi onesha biote .10Aristake , rafiki yangu wa mugeresa , ana milamukiya , na Marko , nduku yake mwanamuke ya Barnaba , kupitiya ile muri pata magizo ( kama ana kuya kwenu mumu pokeleye); 11Yesu , ari mwita Justus , ana milamukiya na yeye. Bana kuya mu bwingi ya bale basha ku tahiriwa , na bale peke baritumika na mimi dju ya ufalme ya bingu ya Mungu , na bqrikuya dju yangu ba kunipa nguvu.12Epafra , eko wenu , ana milamukiya : mutumishi ya Yesu , ashatshe ku kombana dju yenu dani ya maombi , dju ya , ya mukomeye , na kushima dani ya unyenyekevu yote ku mapezi ya Mungu . 13Kwamana mina murudishiya ushuda , ana tumika sana dju yenu, dju ya bale ba mu Laodicia, na bale ba mu Hierapolicia . 14Luka , mutuza ba malari mupendwa , ana milamukiya , na Demacia.15Lamukiya ba nduku beko ku Laodicia , na Nymphacia , na kanisa iko dani ya nyuba yake. 16pale iyi mukanda ita somewa kwe , mu fanye nguvu tena dju ya kuyi soma mu kanisa ya Laodiciayo , na muyi some na mweye ile ita toka ku Laodicia. 17na umwambi Archippe : Angarishisha mu uduma ile unapata dani ya Bwana , dju ya kuyitshunga muzuri.18Na milamukiya , miye Paulo , kwa mikono yangu , mukubuke bifungo biangu, neema ikuye na mweye.
1Paulo , mutume ya Yesu Kristo , kupitiya magizo ya Mungu mukobozi wetu na kwa Yesu Kristo imani yetu, 2Kwa Timoteo , mutoto yangu wa upeke dani ya imani : neema , uruma na salama , ikupewe kupitiya Mungu Baba na Yesus Kristo Bwana !3Na ku kumbusha masubutisho ile miri ku onesha , mukweda dju ya Marcedwa, pale niriku onesha ubakiye mu Epheso , dju ya kwambiya bantu bengine bashi fundishe mafundisho ingine , 4Na bashi riunge kuma historia na misemo ya sho mana , ina leta makokotana dju ya kaji ya Mungu ishende kumbele dani ya imani.5Shaba ya magiso , ni mapendo ile ina toka ku roho ya kutakata, ku mawozo muzuri, na imani ya biakweri. 6Bengi bariyenda ku pembeni ya bile bintu , ba na enda pebemni na missemo ya sho mana ; 7Bana penda kuya bafundishadji ya sheria, na aba shikiye kitu wala bile bana sema, wala bile bana akikisha. 8Atukatale asema seriya iko muzuri, dju tu itumiki yo peke.9tu djuwe asema sheria ayi ku fanyiwe dju ya benye aki, lakini dju ya bantu ba makari na batomboji , batenda zambi , bale abapende mambo ya Mungu na ba pagano , ba uwadji, 10basharati , bale baku geuza mambo ya Mungu mu mapenzi yabo , ba mwinji ya bantu , baku landa , na bale bote beko na pinga mafundisho takatifu , 11kufatana na endjili ya utukufu ya Mungu , endjili ile ari nipa.12Na tukuza ule ari nipa nguvu , kwa Yesu Kristo Bwana wegu , kwa ile a na ni ona mukamilifu , muku nyeka dani ya uduma , 13Miye mu uwadji , muntu wa fudjo . kwalakini minapata uruma , kwamana mirianza kufunya abio muku kosa kudjuwa, dani ya kupoteya; 14na neema ya Bwana wetu iri ni pitiya , na imani na mapendo ile iko dani ya Yesu Kristo.15Ni Neno ya kweri na yote ina staili kuyi pokeleya , asema Yesu Kristo arikuya pa duniya dju ya ku okowa bantu ba zambi , kwaili niku wa kwanza. 16kwalakini miripata reema , dju ya Yesus Kristo a wone mwangu , dju ya ku onesha mufano kwa bale bana amini kwake dju ya maisha ya milele . 17kwa mufalme wa milele , wa shipo lufu , ashi onekane , Mungu peke , a eshimiwe na kutukuziwa , mukila wakati na wakati! amina!18Ma kanuni ile ni rikwambiya , Timoteo , mutoto yangu , kupitiya matabiri iri semewa dju yako, kupitiya yo , tumika file inapasha sa askari, 19Muku tshunga imani na mawazo muzuri. iyi mawazo , bamingi bari ipotesha , na barianguka dju ya imani. 20Mu ile bwingi tuku na Hymene na Alexandre , miri ba towa kwa shetani , dju ba yuwe kurieshiya.
1Mina subutisha , bele ya bintu biote , kwa kufanya mahombi , kuriria , ma tendo ya shukrani , dju ya bantu bote , 2Dju ya bafalme na dju ya bale bote bana nanyuriwa yulu , dju ya ku onesha maisha ya salama na kimia , mu eshima . 3Ile iko bien na furah bele ya Mungu mukombozi wetu, 4ina penda bantu bote bakombolewe na kufika mukudju ukweri.5Kwamana kuna kuya Mugu moya , na tenant wa pakatchikatchi ya Mungu na bantu , Yesu Kristo muntu 6Ari ritowa ye moya dju ya bantu bote. dju ile ushuda barileta muwakati yake, 7Na dju ya ile miri wekewa mu ubiri na mutume , mi na sema ukweri , mishi lande , bujito ya kufundisha bapagano dani ya imani na ukwei.8Na penda bantu ba hombe fashi yote, muku nyanyuwa mikono yenye kutakasiwa, pqshipo makari ata mawazo mubaya. 9Na penda tena banamuke , ba vale mumufano ya eshima , na muzuri , bashi kabule ata kushuka , ata zaabu, ata bikomo , ata manguwo yasho eshima, 10kwalakini bakuye mifano muzuri, sa vile ina pendezwa kwa banamuke bale beko na tumikiya Mungu.11Na mwanamuke ashikiye mafudisho mu kimia, na kurishusha , 12Mi shi rusu mwanamuke afundishe , ata ku beba madaraka yulu ya mwanaume ; kwalakini a ikale dani ya kimia.13Kwamana Adamu ariumbiwa wa kwanza , Eva anafata; 14na ayina Adamu arivutiwa , ni mwanamuke dju , arivutiwa , a na ri ukumu kupitiya kosa laque . 15Ata okolewa mukuya maman , kama ana endeleya na imara dani ya imani , dani ya mapendo , na dani butakatifu.
1Iyi neno iko ya kweri : kama muntu anataka kuya mzee wa kanisa , ana tshakula kaji muzuri . 2Ina pasha mzee wa kanisa akuye wa kurieshimia , bwana wa bibi moya , wa kuwaza bien , ashi kuye na bia kufanyafanya , ana angaria mwenedo yake , wa furah na bageni , ana tembeya kufatana na mafundisho , 3na pasha ashikuye wa kunya kunya pombe , ata wa fudjo , kwalakini kimia na amani.4Ina pasha a fundiche muzuri bantu ba munyumba yake, na atshunge batoto yake mukurishusha na dani ya eshima ; 5kwalakini kaman muntu ashi yuwe fundisha nyumba yake , namuna kani ata tshunga kanisa ya Mungu?6Ina pasha ashikuye wa sasa muku muyuwa Mungu , dju ashi kuye na kiburi , na a ukumiliwe , 7Ina pasha akuye na ushuda muzuri kwa bale ba indje, dju ashi anguke dani ya kukosa neema na dani ya miteko ya shetani.8basimamisi nabo inapasha bakuye baku tembeya mu ukweri , ba epuke kusema sema mingi , basho kunya pombe sana , kupata bintu pashipo kutumika, 9Kutshunga ukweli ya ufunuwo ya imani dani ya mawazo ya butakatifu, 10Ba batshunguze bele , na batumique sasa mu uduma yabo , kama abana pashipo kosa.11Banamuke , nabo , banapasha kuye na mwenedo muzuri, a pana baku kosana na bantu, ba kamilifu mu bintu biote . 12Basimamizi banapasha ku na bibi moya , na kuyuwa ku ongoza batoto na nyumba yabo; 13kwamana bale bana weza vile ina pasha uduma yabo bana pata fashi ya eshima, na kwitshikiya kwa nguvu dani ya imani mwa Yesu Kristo.14Mina kwandjikiya ibi bintu , na kutaka kuya sasa kwako , 15kwalakini dju udjuwe , kama mina kawa , vile inapasha kutembeya dani ya nyumba ya Mungu, ile na kuya kanisa ya Mungu muzima , guzo na ushimamisho ya ukweri.16Na , pashipo kupinga , ukweli iri onekana kupitiya Mungu iko munene ,: yeye dju aridjonesha dani ya mwili, kwakikisha kupitiya Roh , bamalaika bariona , kufundisha ku bagentils , kwitshikiya dani ya duniya , kunyanuliwa dani ya utukufu.
1Kwalakini Roho ina sema biyo biyo , muwakati ya mwisho , bengine bata atcha imani , dju ya ku riunga ku ma roho ya bongo na mafundisho ya bademona , 2kupitiya kurifutshamisha kama ba mwarimu babongo beko na alama yenye kufanyiwa na kwuma kia moto dani ya mawazo yabo,3Kufundi ya kusema bashiowe , na bashikurie biakuria bile Mungu ariumba dju baonekane na matendo ya shukrani kupitiya bale beko bakamilifu na bari djuwa ukweli. 4Kwamana bile biote Mungu ariumba biko bizuri, na akuna kintu kitezi kutupiwa , kama tuna kuria na matenda ya shukrani, 5kwamana biote bime takasiwa kupitiya neno ya Mungu na kupitiya mahombi.6Mu fundishe ibi bintu ku ba nduku, utakuya waziri ya Yesu Kristo , ku barisha maneno ya imani na mafudisho muzuri ile barikufundisha muzuri. 7Mukatale ma arishi yasho ukweri na ya bubumbafu. Mudji weke mukufanya bintu bina pendeza Mungu; 8Kwamana kutumikisha maungu ni kwa lazima kubintu kiloko, kwamana kufuraisha Mungu ni kwalazima ku biote, ina kuya na malako ya maisha ya leo na ya kesho.9Ni ile neno ya kjweri na inapendeza kupokeya. 10Tuna tumika , na tuna kombana dani ya Mungu mujima , ule eko Mukombozi ya bantu bote , kwa bale bana mwitshikiya.11Sema ibi bindu , na uba fundishe. 12Muntu ashi beule bujana bwako; kwalakini kuya mufano dju bakamilifu , mu neno , mu kutembeya , mu mapendo , mu imani na mubutakatifu. 13Paka pale ta kuya , udjiweke muku soma , muku subutisha , na ku mafundisho.14Ushi beule ile iko dani yako, na ile uripata kupitaya matabiri na ku kuweka mikono kwa kinkudji kia bazee. 15Tshunga muzuri bile bintu , udjiweke weye wote kwabio , dju kwedeleya kwako kusaidiye bantu bote , 16Uritshunge we moya na ku mafundisho yako ; endeleya dani yabio , kwamana , muku tenda vile , uta djokowa we moya , na bale ba na kushikiya.
1Ushi fokeye bantu bakubwa, lakini ubasubutishe kama baba ; subutisha bidjana kama ba nduku, 2Ba mama bakubwa kama ba mama , bale beko babijana kama ba nduku banamuke, mubutakaso bote.3Eshumu wa mama wadjane bale beko ba djane ba kweri. 4kama mudjane moya eko na batoto wala bankana , bafunde bele ya biote kutembeya muboka bwa Mungu ku ma famille yabo , na kurudishiya bazazi yabo ile baripata kwabo ; kwamana djo ile iko muzuri kwa Mungu.5Bale beko badjane babiakweri , na bale bana na familia , ba weke kitumaini dani ya Mungu na kwedeleya bushiku na mudjuwa dani ya kuria na maombi. 6kwalakini bale ba naishi dani ya furah nbeko bakufa , ata eko na ishi.7Ubambiye ibi bintu , dju bakuye na mwenendo muzuri. 8Kama muntu ashi saidiye banduku yake , na bele bale ba famille yake , anatenda kinyume ya imani , na eko mubaya ku pita na mupagano.9Mudjane , dju adjandikishe mukazi , ashikuye tshini ya miaka makumi sita, arikuya bibi wa bwana moya, 10awekewe kupitiya matendo muzuri, akuye wa ku tshunga batoto , wa kupokeleya bageni , ku nausha mukulu ya batakatifu, ana saidiya bakuteswa , kutumikia mambo muzuri yote.11Kwalakini kataria ba bidja badjane , kwamana , baha kudjunka kufurah ya mwili na kolewa, 12na aba eshimiye vile ina pasha misemo yabo bele ya Mungu. 13Na ile , beko bakusema matushi , apana paka ba kusema matushi , kwalakini tenant beko na djiweka mukusema bintu bile ayipasha kusema.14Napenda bakidjana ba olewe , bakuye na batoto, ba ongoze nyumba yabo , na bashi atshe djiya kuba adwi ; 15kwamana bengine basha kugeuka dju ya kumufata shetani. 16Kama bakamilifu , mwanaume wala mwanamuke , eko na ba djane , aba saidiye , na kanisa ishi basaidiye, dju isaidi bale beko ba djane bakweri.17Bazee bale beko na ongoza kama banapasha eshima mala biri, bele bale beko na tumika ku maubiri na ku mafundisho. 18kwamana mwandjiko ina sema : a usta uwa gombe pale eko na toshe beko, na mufanya kazi inapasha apate maripo yake.19Mutshike mambo yote ile bata sema dju mzee wa kanisa , kwalakini kama akuna ushuda ya bantu ba wiri wala batatu. 20Bale beko nafanya zambi , ubasubutishe kumbele ya bantu bote , kwamana bingi bakuye na boka.21Mina kusubutisha bele ya Mungu , bele ya Yesu Kristo na bele ya bamalaika batshakuliwa, bangarishishe ibi bintu pashipo , na bashi fanye kintu na butchakuzi , 22Mushi weke mikono kwa muntu na biyo , na saidiye ku mazambi yabenyewe , we moya uri tshunge wa sasa.23Mu shendele kunya paka mayi,; kwalakini kunya tu vigno tkiloko, dju ya estoma na . 24Mazambi ya bantu bengine ina onekana , vile tena bele ya kumukumu , lakini kubengi , ina onekana ku mwenda mashiku. 25vile vile matendo muzuri ina djonesha , na ile ayina muzuri ayezi kufutchama.
1Bale bote beko tshini ya kifungo ya butumwa bana angaria ba mwarimu yabo sa baku eshimiya sana , dju djina ya Mungu na mafundisho ishi beuliwe. 2Na bale beko benie kukamilika dju ya bamwarimu bashi beuliwe , mukuyuwa asema beko banduku; kwalakini ba tumike bien sa bakamilifu na bapendwa badjiunge ku ba fanishiya bizuri. Fundisha ibi bintu na ku bilomba.3Kama muntu ana fundicha mafundisho ya bongo , na ashi djiunge ku neno takatifu ya Bwana Yesu Kristo na mafundisho ile iko mudjiya ya Mungu, 4Ana yazwa na kiburi , ashi yuwe kintu , eko na malari ya ma ulizo na makukokotana ya misemo, kule kuna toka tamaa , makukokotana, na mawazo mubaya , 5Ma misemo ya sho mana ya bantu bakorofi na kushikiya, bakupotesha ukweri , na kuwaza a semant kufurahisaha Mungu ni tchemtchem ya kupata makuta.6Ni , djo vile ,tchemtchem munene ya kupata bintu biamingi kuliko kufurashisha na kufurayi ; 7kwamana atuna na kiakuleta dani ya dunia, na iko vile atuwezi kuleta kintu mu dunia; 8Kama seke tuko na biakuria na manguwo, inatweneya.9Kwalakini bale bana penda kuya batadjiri banguke dani ya majaribu na dani ya muteko, na dani ya furah ya mingi ya bububafu na ina angusha bantu dani ya kwalabika na kupoteya. 10kwamana mapendo ya makuta ni mujiji ya bubaya,; na bantu bengi , bari , bana enda pembeni na bari ya imani, na bana ritupa bobenyewe dani ya manuguniko.11Dju yako , muntu wa Mungu , kimbiya bile bintu , na tafuta aki , kufuraisha Mungu , imani , mapemdo , kutuliya , utulivu. 12kombana bukovi bwa imani , tshakula maisha ya milele, ku ile iritiwa , na dju ya ile uri tubu muzuri kumbele ya bashuda .13Mi na kutowa , bele ya Mungu ule analeta bujima kubintu biote , na bele ya Yesu Kristo , ari tubu muzuri bele Ponce pilato, 14ya kutshunga mapasha , na ku ishi pashipo butshafu , pashipo kukusemeya mubaya, paka kuya kwa Bwana Yesu Kristo,15Ina djonesha mu wakati yake anapasha kutukuziwa na ku eshiwa ye moya, mfalme wa bafalme, na Bwana wa babwana, 16peke eko na bujima bwa milele, ana ikala mu mwangaza ile muntu ashi wezi kwingiya , ile ata muntu ashi one na ashi wezi kona, ule kueshimia ni yake na nguvu ya milele. Amina!17U bambiye batadjiri ba wakati ya sasa bashikuye na kiburi, na bashi weke kitumani yabo dani yamari ayina na bujima , kwalakini ba riweke mwa Mungu, ana tupa na utele bintu biote dju tufurai nabio. 18Ubambiye banye bizuri , bakuye batadjiri mu matendo muzuri, kakuye uru , na furah, 19Na batshunge bingine dju ya mashiku ya kumbele zawadi unekala yulu ya musingi ya nguvu , dju ya kupata maisha ya kweri.20O Timoteo, tshunga ile barikupa , muku epuka ma misemo ya sho mana na ya pagano , na makukokotana ya mafudisho ya bongo 21ile begine beko na tumikiya , na bana geukiya imani. Neema iku na mweye!
1Paulo , mutume wa Yesu Kristo , kupitiya mapenzi ya Mungu, dju ya kupelepka malako ya usima ile iko dqni ya Yesu Kristo, 2kwa Timoteo , mutoto yangu mupendwa : neema , uruma na salama iku pewe kupitiya Mungu Baba na Yesu Kristo bwana wetu!3Na rudisha neema kwa Mungu , ule bakambo yangu bari tumikia, na ule niko na tumikia na roh ya kutakata , dju ya ile bushiku na mudjuwa mina kukumba dani ya mahombi yangu kilasa, 4mna kumbukamatshozi yako, na kupenda kukuhona dju ni djazwe na furah, 5kutunga mawazo ya imani ya kweri iko dani yako, ile inekala mbele dani ya kambo yako Loïs na dani ya mama yako Eunice , na ule , mina hona , ina ikala tene dani yako.6dju pale niko na kusubutisha u lamushe zawadi ya Mungu ile uri pata kupitiya kukuwekeya mikono yangu, 7Kwalakini ayina rho ya baridi baridi ile Mungu ari tupa, lakini roh ya nguvu , ya mapendo na ya ekima.8Ushikuye na aya ya ushuda ya kumurudishiya Bwana wetu , ata ya miye mufungwa wake, lakini teswa na miye dju ya endjili , kupitiya uwezo ya Mungu 9ule ari tuhokowa, na kutu honesha mwito ua butakatifu, apana dju ya matendo yetu , lakini kwa mapenzi yake ye moya , na kwa neema ile iritu upiwa dani ya Yesu Kristo kumwazo ya wakati ya milele, 10Na ile iridji honesha kupitiya kuhonekana kwa mukombozi wetu Yesu Kristo , arialabisha lufu na anaweka dani maisha na bujima bwa lote kupitiya endjili. 11ni kwa iyi endjili djo miriwekewa mupasha abari na mutume, wa kupewa muziko ya kufundisha bapagano.12na ni dju ya ile bintu djo miriteswa ,lakini shina na aya , kwamana mina djuwa mwa nani miri itshikiya, na mia hona ya kusema eko na uwezo ya kutshunga akiba yangu pqkq na leo . 13Bamba dani ya imani na dani ya mapendo nani djo Yesu Kristo mufano ya neno ile uripata kwangu . 14Tshunga akiba muzuri ,kupitiya Roh Mutakatifu dani yetu.15Una dju asema bale bote beko mu Asia bariniatsha , kati yabo muku Phygelle na Hemog ne . 16Bwana ashushe uruma yulu ya nyumba ya Onesime , kwamana arianza kwa kunihona na ashi kushikiye aya ya bifungu biangu ; 17kwa nyume , pqle arikuya mu Roma, ari nitafuta na roh yake yote , na ari ni pata. 18Bwana amupe kupata uruma karibu ya Bwana shiku ya ile shiku. una djuwa muzuri ile ma kaji ari ni fanishiya mu Epheso.
1We sasa , mutoto yangu , udji kaze dani ya neema ile eko mwa Yesu Kristo. 2na ile uri shikiya dju yangu bele ya bashuda , udji unge ku bantu bakamilifu , bale batezi kufundji tena bengine.3Teswa na miye , sa vile soda muzuri wa Yesu Kristo. 4Akuna soda ata moya ataweza kutumika kama ashatchane na membo ya mumaisha, kama ana penda kufuraisha chefu yake; 5na ule ana kimbiyaka ashi wezi kupata taji , kama ashi combane kufatana na magizo.6ina pasha mulimadji a tumike bele ya kuvuna matunda. 7Shikiya ibi mina sema , kwamana Bwana a ta kupa akiri mu bintu biote.8Ukumbuke Yesu Kristo , ana toka mu kizazi ya Daudi, ari fufuka mu bafu , kama vile Engili yangu, 9dju yake mina teswa na kufika mukufungiwa sa mwizi. kwalakini neno ya Mungu ayina ya kufungiwa. 10Djo kwamana mina vumiliya biote dju ya batchakuliwa, kwamana bo na bo bapate okovu ile iko dani ya Yesu Kristo, na utukufu ya milele.11iyi neneo iko ya kweri, kama turi kufa na ye , tu na ishi na ye; 12kama tu na endeleya , tu ta tawala naye kama tu na mukatala , na yeye a ta tu katala ; 13Kama atuna bakamilifu , ana ikala mukamilifu , kwamana ashi wezi kurikata ye moya.14Kumbusha ibi bintu, mukulapa bele ya Mungu tu katale makukokotana mu masauti, ile ina saidiye kwalabika kwa bale bana ishikiya. 15Udji kaze ku djionesha bele ya Mungusa sa vile muntu ule ana fuisha, mufanya kaji ule ashi nune nune ana leta vile ina pasha neno ya ukweri.16Atsha ma zungumozo ya sho mana na ya kipagano ; kwamana bale beko na itchunga banendeleya dani ya bubaya, 17na maneno ita banakuria sa vile kilulu katshi yabo tuko na Hymenee na philete, 18bari tupiya mukongo ukweri , mukusema ufufuko isha kufika , na twangushe imani ya bamoya.19lakini , musingi ya nguvu ya Mungu ina bakiya ya kushimama, na maneno uli ina musaidiya ya alama : Bwana ana djuwa bale beko bake; na : uke wote sema djina ya Bwana , a tshofe banri na zambi . 20dani ya nyumba munene, amuna paka mitungi ya zaabu na ya makuta , lakini muko tena ya nbawo na ya bulongo ; ba moya ni ya eshima , na ingine ni ya sho eshima. 21kama seke mumodja ina djitunga ya sasa , mukuritshunga kubile bintu , ata kuya mutungi ya eshima , ya kudji towa, ya mana dju ya chefu yake , wa sasa ku matendo yote muzuri.22Kimbiya tamaa ya bujana , na tafuta aki , imani , mapendo , salama , na bale beko na muhomba B wana na roh mweupe. 23Tshofesha bari misemo ya majimu na bule , na kudjuwa ina zala makokotano.24Ina pasha mutumishi wa Bwana ashikuye na makukokotano ; ina pasha , kinyume , akuye utulivu dju ya bote , akuye safi mukufundisha , wa kuyaja na kurishusha; 25Ana pasha kufundi na na utulifu ba adwi , dani ya kitumaini ile Mungu ata bapa kuhomba buluma dju ya kufika muku djuwa ukweri, 26Na barudi mudjiya , bata toka mu miteko ya shetani , ari bafunga dju ba itshikiye mapenzi yake.
1Yuwa asema , mu wakati ya mwisho , kutakuya ma wakati mybaya. 2kwamana bantu bata kuya ba kuripedeleleya, barafiki ya makuta , basho mapendo ya kweri , ba roh nguvu , ba ku geuza ukweri , batombozi ku ba zazi yabo, basho ku djuwa bizuri, basho ku penda mambo ya Mungu, 3basho mapendo , basho eshima , baku shimangana , basho kurishusha , baku kosana , adwi wa bantu bazuri , 4baku geukiyana , ba kunyanguriwa , benye ku yajiwa na kiburi , bakupenda furah ya dinia kupita Mungu5Bana onesha asema beko na mufuraisha Mungu , lakini bana katala bile bina fanya nguvu yabio. Kuya bari na bale bantu bale . 6kuku katshikatshi yabo banahingiya munyumba , na bana oneya banamuke bale bekona roh nguvu na ya kukamilika , benye ku yajiwa na mazambi , beko yulu yulu kupitiya ma mawazo ya manamuna yote, 7Bana funda paka na abezi kufika mukudjuwa ukweri.8Sa vile Jannes na Jambres bari kombanisha Musa , sa vile bale bantu bari kombanisha ukweri , benye ku geukiwa na kushikiya , tshunguza (kuba pima) kuyile ina semezeya imani. 9Kwalakini abata endeleyaka mbele ; kwamanamajimu yabo ita rihonesha dju yabote , sa vile irifanyika na bale bantu bawiri.10Dju yako , uri fata karibu mafundisho yangu , mwededo yangu , matokeyo yangu , imani yangu , kurishusha kwangu , mapendo yangu , kukamilika kwangu , 11Kuteswa teswa kyangu , matso yangu , kuteswa kani kule mishi kuhone mu Antiocha , kwa Lystre ? kuteswa kani shi kubebe? na Bwana ari ni toksha mote. 12kwamana , bale bote ba na penda ku ishi ya kufuraisha dani ya Yesu Kristo bata bateswa. 13kwalakini bantu bamakari na kurifutchamisha bana endela tena sana dani ya bubaya , na kupotesha bengine na kudjipotasha bobe nyewe.14Weye , ikala mubintu bile uri funda , na djuwa ile , sakuyuwa kwa nani urifundishiwa. 15Kwanziya butoto bwako , una djuwa mwikanda takatifu, ile itezi kuku kuisha na ekima ku okovu kupitiya imani mwa Yesu Kristo .16Mwandiko yote inatoka kwa Mungu , na yamana dju ya kufundi , dju ya ku akikisha , dju ya kutengeneza , dju ya kuyengewa dani ya aki, 17kwahile muntu wa Mungu akuye wa kweneyana na safi kumate yote muzuri.
1Mina kulapiya mbele ya Mungu na Mbele ya Yesu Kristo , ule anapasha ku ukumu bajima na bakufwa , na mundjina ya konekana kwake na ufalme yake 2ubiri neno , kazisha mu wakati yote, muzuri wala apana , rudisha , subutisha , na utulivu yote na mu kuyenga.3Kwamana kuta kuya wakati ile bantu aba ta penda mafundisho takatifu ; kwalakini , bana kuya lazima ya kushikiya bintu bizuri , ba ta djikabila makudji ya tuzadjin kufata na mapezi yabo, 4Ba ta geuza mashi ku ukweri , na ita geuka ku ma arishi . 5Lakini weye , kuya , wa kukalamuka mumambo yote, itshikiya mateso , fanya kaji ya mupeleka enjili, yaja uduma yako muzuri.6Kwamana dju yangu , mi sha kwanza ku telemuka , na wakati yangu ya kwenda iko karibu. 7Miri kombana bukonvi buzuri, na mina isha mwendo yangu , miri tshunga imani. 8Kwaziya leo tadji ya aki basha kunitshungiya ; Bwana , musambishadji wa aki , ata nipa ayo mu ile shiku , na apana paka miye , lakini tena kwa bale bote ba ripenda kurudiya kwake.9Kuya biyo kwangu ; 10kwamana Demas ari ni atsha , kupitiya mapendo dju wakati ya sasa , na arienda ku Thessalonisia ; Crescens arienda ku galatia , Tito mu Dalmatie.11Luka yemoya eko na miye . Beba Marco , na akuye na weye , kwamana eko wa mana dju ya uduma , 12Miri mutuma Tychike mu Epheso. 13Pale utakuya, leta kotshi ile miri atsha mu Troas kwa Carpus , na bitabu , yamana sana kia ku onesha djiya.14Alexandre , mutegeneshadji wa biuma , ari nifanyiya bubaya bwa mingi. Bwana ata murudisha kufata na matendo yake , 15udjeouke na yeye, kwamana ari tu kombanisha sana mu maneno yetu . 16Wakati ya kusamba kwangu kwa kwanza , akuna muntu ari kuya na miye , lakini bote bari ni atsha. bashi ukumiwe.17Ni Bwana djo ari ni saidiya na arini pas nguvu , djo ya kupitiya miye neno i ubiriwe na bapagano bote ba ishikiye . Na miri okolwa mukinya kia simba. 18Bwana ari ni okowa mu mambo mubaya yote, na ata niwokowaka dju ya kuni ingisha dani ya bufalme bwake bwabingu. kwake apewe utukufu milele na mile ! Amina!19Umu lamukiye Prisca na Aquilas , na familia ya Onesiphore. 20Eraste aribakiya ku Corinto , na miriatsha Trophime malari ku Milet. 21Fanya nguvu ukuye bele ya wakati ya baridi. Eubulus , Pudens , Linus , Claudia , na banduku bote bana kulamukia. 22Bwana akuye na roh yako ! Neeme ikuye na mweye.
31Paulo , mutumishi , wa Mungu, na mutume wa yesu Kristo dju ya imani ya batshakuliwa ba mungu ba Mungu na kudjua ukweri ya kufundisha na utakatifu. 2. Fashi ina ikaliya kitu;aini ya uzima ya milele , ile irilakiwa kutoka zamani na mungu ashiladake. Na aridjonesha na neno yake mu wakati yake kupitiya mahubiri ile miripokeya kufatana na sheria ya Mungu mukombozi wetu.4Kwa Tito , mutoto yangu wa upeke dani ya Yesu moya ; neema na salama uyipokeye kutoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mokozi wetu. 5Mirikwatsha ku pKrete , dju utegene bile biribakioya , na kufatana na mafudisho yangu , uweke bazee mumidji yote.6Kama unakuta muntu mwenye aki, bwana wa bibi moya , akuye na batoto baminifu , bashibakute mubusharati na mubutomboji. 7Kwa mana inastahili muoshimamizi akuye mwwenye aki sa myenye ekima wa mungu , ashikuye muntu wa kiburi wala kishilani , mulevi wala wa fudjo , ashikuye muntu wa kupata makuta mudjiya ya shipo staili.8Lakini akuye muntu wa kupokeya bageni , rafiki wa salama na bantu bote , mwenye aki , mutakatifu. 9Ambatane na neno ya kweri vile arifundishiwa , dju akuye na uzadji ya subutisha kufatana na mafudisho takatifu na ushibatshiye benye kubishana weye wakati.10Kwa sababu , kunakuya abati , bakuya batombozi kwabule , na weko wadanganifu. 11Na ufunge kinya yako bele yabo bana kokota ma djama yote , bana fundisha dju ya faida yabo bile abiwezi kufudishiwa.12Moya katikati yabo , nabi wabo arisema ; Bakrete ni babongo shiku yote , banyama na beko ba vivu. 13iyi ushuda ni ya biakweri dju kwamana ubafokeye sana , dju bakuye na imani takatifu.14bashikiye ma arishi ya bayuda , na makanuni ya bantu na ina batosha ku ukuri.15Bintu biote biko isafi kubale beko safi , akuna kia safi kubale banesha kudjitchafuwa na moyo mugumu , akiri yabo na zamiri yaba iko yenye kutshafuka. 16Banadifanya ku mudjuwa Mungu , lakini ba na ;ukatala kupitiya matendo yabo , ni benye machukizo , batombozi , na aba wezi kutenda matendo .muzuri.
1Dju yako, sema bitu bienye kwambatana na mafundisho takatifu. 2Ubambiye bazee na bidi , benye aki , bapole , batakatifu dani ya imara , na dani ya mapendo , dani ya uvumilivu.3Ubambiye banamuke bakubwa banapasha kuya na mwenedo ya butakatifu , bashikuye bakusema bongo , ni balevi , banapasha kuleta mafundisho muzuri. 4Bakuye ba kufidisha babidjana banamuke namuna ya kupenda babwana na batoto yabo. 5Bakuye na akiri , na usafi , bakutumika makaji ya munyumba , ba eshimiye babwana yabo , dju neno ya Mungu ishitshamburiwe.6Na ubasubutishe ba biyana vile vile kuya na mwenedo muzuri. 7Na udji woneshe we moya kuya mufano na matendo muzuri, na ulete mafudisho safi , yenye kustahiri. 8Ukuye na neno ina leta bujima , na yenye aki dju adwi apate aya , ashikuye na bubaya bule ata sema dju yetu.9Ubasubutishe batumishi bakuye batihifu kubamwarimu yabo , na kubafuraishabmubintu biote , bashikuye ba kubishana nabo. 10Bashihibe , lakini bakuye paka bantu bakuhonesha bwaminifu bwabo , dju ya kuleta eshima kumafundisho ya Mungu Mukombozi wetu.11Kwamana neema ya Mungu , ni Tchemutchemu ya okovu kwa bantu bote , iridjonesha. 12ina tufundisha kukata tama ya dunia , na ku ishi muwakati ya sasa ku tafutana na ekima , uwaki na usafi, 13Mukutshunga baraka dani ya kitumaini , na kuonesha utukufu ya Mungu Mukubwa na mukombozi wetu Yesu Kristo,14Aridjitawa yemoya dju yetu , dju ya kutukombola kububaya bote , na kutufanya kuya bantu bake , tuna takasiwa kupitiya yeye na tuna bidi dju ya muzuri.15Sema ibi bintu , subutisha , na ubafokeye na guvu yote. Muntu ashi kuzarau.
1Ubakumbushe wakuye na eshima kumbele ya baamzi na benye kutawala ,na bakuye kutawa , bakuye tayari ku kaji yote. 2Bashi binge muntu , bakuye bakuhishi muzuri na bantu,3Kwamana nashiye , Turikuya bashipo akiri, basho eshima , benye kudanganyika , turitumikiya tama na buzuri bwa dunia bwanamuna yote , tunatshukiya ba moya kwa bengine.4Lakini , wakati buzuri bwa Mungu mukombozi wetu na mapendo yake irionekana dju ya bantu. 5Iri tukombola , shiyo kwa matendo yetu ya aki turitenda , lakini kufatatana na reema yake , kwa ubatizo ya kuzarika wa sasa kwa roh Mutakatifu.6Ile arimwanga dju yetu na utele kupiya Yesu Kristo Mukombozi wetu, 7Dju , na turiesabiwa kupitiya yake , tu nakuya , dani ya kitumaini ya uriti ya uzima ya milele,8Iyi neno ni yakweri , Minapenda wakikishe ibi bintu , dju bale batahamini dani ya Mungu batumikiye na weka matendo mazuri.9Mwangarie bile biko bizuri , na fahida ku bantu; lakini mwatchane na mabishano , bisasi , kukokotana , kukosana kufatana na sheria , kwamana ni biabule na abina fahida. 10Kuya banri , kisha kukushauriya mala ya kwanza na ya piri , ule eko na leta kukokotana. 11Updjuwe ya kwamba muntu wa iyi namuna eko mwenye kupoteya , anafanya zambi , na adji ukumu yemoya.12Pqle mitakutumiya Artema , awo Tikiko, ukuye araka kwa kunikuta Nikopoli , lakini nikule miritengeza djo ya kupita waka ya baridi. 13Ukuye tayari kwa kutengeneza safari ya Zenasi , mwarimu ya sheria , na Apolo , ili kusikose kintu.14inapasha betu nabo ba tu;ikiye matendo muzuri dju ya ku djibiya kumaitadji ile tuku nayo , ili bashikuyu pashipo kuzala ma tunda.15Bote beko pqmoya na miye bana kulamukiya , lamukiya bale bana tupenda dani ya imani, neema ikuye pamoya na mweye.
1Paolo,mufungwa wa Yesu-Kristo,na ndugu Timoteo,kua Filemona,mupenua wetu na mufuanya kazi pamodia na sisi, 2kua dada Apphia,kua Archippo,mupikavita pamodja na sheye,na kua kanisa iko mu nyumba yako: 3nema na salama iletewe kwenu kutoka kua Mungu Baba na Bwana Yesu-Kristo!4Mina mushukuru kuashipo kuchoka Mungu wangu,na kukutaya mu maombi yangu, 5dju banesha kunyambiya dju ya imani uko nayo ndani ya Bwana Yesu na dju ya mapendo yako dju ya batakatifu. 6Mi namuomba kudimgisha kuako mu imani kuwe kua ngufu dju ya Kristo,kua konesha ndani yetu bintu biote bizuri. 7Niko,kualakini,na fura saana na faradia dju ya mapendo yako;sababu kupitiya weye,ndugu,ma roho ya batakatifu ili tulizikika.8Ndjo kuamana,ata kama ndani ya kristo niko na huuru yote ya ku kuandikiya ile inastaili, 9ni kua kutaka kua djina ya mapendo nakutumiya ombi modia,kua kuwa kile niko,Paulo,Mzee,na tena sasa mufungwa wa Yesu-Kristo.10Mi na kuomba dju ya mutotuangu,ule milizala mwenye kuya mu minyololo,Onesime, 11ule zamani alikuya kuako washipo faida,kualakini ule sasa eko wa faida, na kuako na kuangu. 12Mina kurudishiya ye tena yeye,buzazi buangu. 13Militamani ku muchunga karibu nsa miye,pa fashi yako,wakati niko mu minyololo dju ya enjili.14Kualakini,shikupende kufuanya kintu kuasho mawazo yako,dju ya tendo muzuri yako ishikuye sa ya kukankamisha,kua lakini ikuye ya kupenda kuako we moya. 15Pengine ali kuya mwenye kuachanisha na weye kua wakati,dju upate ku mupokeleleya bialote, 16apana tena kama mutumwa,kualakini kama mukubua kua mutumwa,kama nduku mupendua sana,kuangu kua upeke,na kuako tena ata ku mwili ata ndani ya Bwana17Kama bashi une nibeba kama rafikiako,umupokeye sa mi mwenyewe. 18n weyw kama ali kukoseya,wala kama anakupasha kintu fulani,inipindekio miye. 19Miye Paulo,minakuandikiya na mukono yangu mi mwenyewe,mitalipa,dju ni shi kuambiye aseme,unedipasha mwenyewe kuangu. 20Ndjio,ndugu,nipateko kuako iyi faida,ndani ya Bwana;tulisha roho yangu ndani ya Kristo.21Ni kua kuesabiya utiifu wako mina kuandikiya,mwenye kudjua aseme utafuanya kushindiya bile mina kuambiya. 22Kisha tena,unitayarishiye nyumba,kuasababu,mina tumaniya kuya na mweye kupitiya maombi yenu.23Epaphras,mufungwa pamoya na miye ndani ya Yesu-Kristo,anakulamukia, 24na Marko,Aristarque,Demas,Luka,bafuanya kazi pamoya na miye. 25Neema ya Bwana yetu Yesu-Kristo iwe na roho yenu.
1Petro , Mutume ya Yesu-Kristo , kwa bale beko bageni na bakurikabula mu Pont , Galatia , Cappadoce , Asia na Bithynia, 2Na beko batchakuliwa mukudjuwa ya Mungu Baba , kupitiya kutakasiwa ya Roho , djo bakuye bakuti , na bariunge mu ku mwangika kwa damu ya Yesu-Kristo ; neema na salama yongozike kenu.3Mungu a barikiwe , Baba ya Bwana wetu Yesu-Kristo, ule , vile rehema yake munene , ana tupa kuzarika kwa sasa, dju ya kitumaini kijima, kupitiya kufufuka ya Yesu-Kristo mu bakufa, 4Dju ya uriti bule a uwezi ku oza , wala kutchafuka, wala kupoteya, ile bana mitchungiya mu bingu, 5Kwa mweye bale , kupitiya nguvu ya Mungu , mutchungiwe kupitiya imani dju ku okolewa karibu na kurionesha mu mawakati ya mwisho.6Ni ile ina fanya furah yenu , ata vile sasa , djo ina pasha , mukuye na susi dju mu wakati kilo kupitiya kutshunguza kanamuna yakwatshana , 7Djo kutshungu ya imani yako , iko na beyi kupiti zaabu ya kwalabika ( ata kama ina pita mu moto) , na dju matokewo kutukuza , utukufu na eshima , pale Yesus- Kristo ata kuya ,8Ule muna penda pashipo ku muona , mwa ule muna aminiya pashipo ku mu ona tena , mu na furayi furah isiyoelezekana utukufu , 9Kwamana mu mu tapata kuokolewa ya ma nafsi yenu kwa beyi ya imani yenu. 10Ba nabi , bari tabiri bana neema ile iri tchungiwa dju yenu , bari fanya kuokolewa kama kintu kia kufunda na kutafuta.11Mukutafuta kuyuwa wakati na makutano iriwekewa kupiti roho ya Kristo ile iri kuya dani yabo, na ile iri onesha bele mateso ya Kristo na utukufu ile ita fata . 12Bari ba onshe asema ayina dju yabo bobenyewe, lakini dju mweye murikuya ba kukabula bile bintu, ile bari mionesha sasa bale bari mi onesha endjili kupitiya Roho-Mutakatifu kutoka ku bingu, na mu ile ba malaika bana tamaniya kona.13Ni kwa vile , bamba kitsho kiako ba pashi, weka akiri kwa bile uku na waza , na kuya kitumaini kiote dani ya neema ile ba ta mi leteya , pale Yesu-Kristo atakuya. 14Sa vile batoto ya kutin, mushi ishi dju ya ku furaisha taama , pale murikuya mu ku kosa kuyuwa.15Lakini , Kwamana ule ari mi ita eko mutakatifu , Na mweye mukuye batakatifu mu mwenedo yenu yote, 16Sa vile ina endjikiwa : Muta kuya batakatifu, kwamana niko mutakatifu. 17Na kama muna ita sa vile Baba ule eko na sambisha vile matendo ya kila mutu , pashipo butshakuzi ya bantu, Mu tembeye na boka mu iyi wakati kupita kwenu.18Mu djuwe asema ayina kupitiya bintu bia kwalabika, kupitiya makuta wala zaabu , djo muriuziwa mu mifano ya bule ya ku ishi ile mu ririti kutokeya bababa yenu, 19Lakini kupitiya Damu ya beyi ya Kristo, sa vile kondo wa shipo bubaya na wa shipo butchafu.20Tayarishiwa bele ya ku umba dunia , na konesha ku mwisho ya ma wakati, dju yenu, 21dju kupitiya yeye mu tumainiye mwa Mungu, kwaule ari lamusha mu bafu na ana mupa utukufu, dju imani yenu na kitumaini yenu ikale mwake Mungu.22Mukuya na ma nafsi ya kutasiwa mu kuti ku ukeri dju ya kuya na mapendo ya bu dunku ya kweri , muri pemde mu biakeri ba moya na bengine , na roho yenu yote, 23kwamana murizarika ba sasa, a ina kupitiya beko ya ku woza , lakini kupitiya beko ya sho ku oza , kupitiya neno ya bujima na ya lote ya Mungu.24Kwamana mwili yote iko sa vile mutshi, na utukufu yayo sa vile Mauwa ya Mutshi; 25LAkini neno ya Bwana ina ishi milele na milele. Na ile neno iko ile bari mi ubiri kupitiya Endjili.
1Mu tupe seke bubaya bote na bukalamishi bote , bunafiki, tama, na bunafiki bote , 2Mutake , sa vile batoto bana zarika sasa , maziwa ya kiroho na kutakasiwa, djo kupitiya yeye mwendeleye dju ya ku okolewa, 3Kama muri pima Bwana eko muzuri.4Mu tshofe karibu na ye , Ribwe ria bujima , ile bantu bari tupa , Lakini iri tshakuliwa na kufuraiwa kumbele ya Mungu; 5Na mwebenyyewe , sa maibwe ya bujima , murifundishe dju ya kuya nyumba ya kiroho , kaji takatifu, djo ya ku towa ya kiroho, ya kupendeza Mungu kupitiya Yesu-Kristo.6Kwamana Mwandjiko ina sema : Ona , mina weka mu Siona Ribbwe ya ushimamo , ile iri tshakuliwa , ya lazima ; Na ule ana aminiya mwake ashi takuya na aya.7Echima iko seke dju yenu , muna aminiya. Lakini , dju ya basho kwamini , ribwe ile bana tupa kwa bale barianza ku yenga ina kuya Ushimamo, 8Na ribwe ya kuterezika na ribwe rinene ya muvuroko, beko na ribuntula dju aba echimiye wala ku amini neno , na ni kwa ile bari batayarishiya.9Mweye , muko bantu ba ku tshakuliwa , kikudji kia bafalme , mataifa ya batakatfu, bantu yake , djo ya sema buzuri ya ule ari mi ita kutoka ngiza paka mwanga yake ya furah, 10mweye ku mashiku ya kumukongo amu kukuye bantu ba Mungu , na bale sasa munakuya bantu ba Mungu, mweye a mu kupate rehema , na sasa muna pata rehema.11Mupendua , mi na misubutisha , sa vile bageni na ba kupita apa ba dunia, mu kuye bari na furah ya kimwili ile iku na kombanisha nafsi . 12Mu kuye na mifano muzuri, djo kama bana misema mu bubaya , ba one mifano yenu muzuri , na ba tukuze Mungu, shiku ile ata batembeleya.13Mukuye baku ti , djo ya Bwana , ku ba uongozi bote bari ba weka kwa bantu, wala Mufalme sa vile bakubwa, 14wala ku ba tchungadji vile bari batuma kupitiya yeye dju ku nyolosha bale bana fanya mambo mubaya na dju ya ku onesha bantu bazuri. 15Kwamana ni mapenzi ya Mungu muku fanya bizuri mu na epusha bantu ba bumbafu ba seme ile a ba djuwe, 16Mukuya uru , pashipo ku fanya ile uru guwo ina funika bubaya , lakini mu ishi sa ba tumishi ya Mungu. 17Mwe shimiye bantu bote ; mupendez ba nduku ; mongope Mungu ; mwe shimiya mufalme.18Batumishi , mukuye ba kurishusha kwa ba mwarimu yenu , ayina paka kwa bae beko bien na kimia , lakini tena kwa bale bko na mifano ya nguvu. 19Kwalakini ni neema kuliko ku itshikiya mateso kupitiya matokewo ya samiri kwa Mungu ,kama tu na teswa mubaya bila aki . 20Lakini , ni `utukufukani iko pale kwitshikiya kuteswa dju uri fanya ma kosa? Lakini kama muna itshikiya mateso pale muna fanya ile iko muzuri, ni neema bele ya Mungu.21Na Ni kwa ile bari mi itiya , djo Kristo tena ari teswa dju yenu , ana miatshiya mwenedo, djo mu fate ma djiya yake , 22Yeye ashi ku fanye zambi, na mu kinya kile a mu kutoke bongo; 23Yeye ule , bari mutshambula , ashi kwanze ku rudisha ma matushi ; ba na muteswa , ashi ku fanye fudjo , lakini ariangaria ule ana sambishaka na ukweli.24Yeye ari beba ye moya ma zambi mu mwili yake ku mu salaba , djo akufe mu zambi shiye tu ishi dju ya aki ; Yeye kupitiya bilonda biake bile muri pata matuzo . 25Kwamana muri kuya sa vile ba kondo ba sha kwenda ku pepeni . Lakini sasa muna rudiya kwa mutshungadji na mutshungadji ya ma nafsi yenu.
1Ba namuke , mukuye ba ku rishusha kwa ba bwana yenu, djo , kama ba moya a ba echimiye neno, ba okolwe pa shipo neno kupitia mwendedo ya ba bibi yabo. 2mu ku ona namuna yenu ya ku ishi mu ukweli na eshima.3Mukuye , apana bu muntu bwa indje ile ina wonesha mu nyele ya kushuka , bia ku mashikiyo na mu shingo bia zaabu , wa ma nguwo ile tu na wazaka, 4Lakini bu muntu bwa dani na bwa kufutshama dani ya roho, bu muntu bule a bezi ku landa bwa roho mupole na ya kimia, ile iko na beyi bele ya Mungu.5Kisha kurionesha ile wakati banamuke batakatifu bale barianza kutumainiya mwa Mungu, ba kurisha kwa ba bwana yabo, 6Sa vile Sarayi , arianza kweshimiya Ibraimu na ku mwita Bwana wangu. Ni kwake djo munakuya ba namuke, mu ku fanya bile biko bizuri, pashipo kuriatsha ku vurikiwa kwa boka ata bu moya.7Ba bwana , mu oneshe na mweye Ekima mu kupatana na ba bibi yenu , sa vile na bundji bwa sho nguvu ; mu beshimie , sa vile mbele tena kuriti na mweye neema . y kuye vile , djo kushikuye kintu ki tezi kwalabisha maombi yenu.8Mwisho , mukuye bakutshangamukiwa mweye bote na mawazo moya na , mapendo ya mingi ya bunduku , ya buruma , kurishusha. 9Mu shi rudishe bubaya kwa bubaya , wala matushi kwa matushi ; mu bariki , kwamana ni kwa ile mu ritiwa , djo ya kuriti baraka.10Kama muntu , kwa ile , penda maisha na kona mashiku muzuri , a epushe lurimi yake mukusema bi bayana milo yake ku bongo, 11Ende bari na bubaya na a fanye bizuri, atafute sala na ku ifata ; 12Kwamana matcho ya Bwana iko nangaria aki na mashikiyo yake iko na shikiya maombi yabo , lakini uso ya Bwana iko na shimamia bale bana fanya mubaya.13Na ba miteswe , kama muku na bidi dju ya bizuri ? 14kwalakini , pale muku na teswa dju ya aki , muta kuya na furah . Mushi bashikiye ata boka , na mushi vurukiwe;15Lakini mutakase mu roho Kristo Bwana , iko pale dju ya ku mi kombaniya , na bupole na eshima , mbele ya ule wote muna lomba sheria ya kitumaini ile iko dani yenu, 16Na mukuya na mawazo muzuri , dju , paka pale bana mi tshukiya sa vile kama muri kuya mutenda maovu, bale beko na sema mwenendo yenu mwa Kristo ifunikiwe na fudjo, 17Kwamana ana pasha ata ku teswa , ka ile ni mapenzi ya Mungu , mu kufanya bizuri , kuliko mukufanya bubaya.18Kristo na yeye ari teswa mala moya dju ya ma zambi , yeye aki dju ya ba sho aki , djo ya ku tu peleka kwa Mungu , mukuya ba ku wekewa ku lufu mukimwili, lakini mukuya ba kurudiwa bujima mu Kiroho, 19Mu arienda na ku ubiri ma roho yile iri kuya mu Guereza , 20Bale barikuya ba sho imani , pale kuvumilia ya Mungu ina endeleya , mu wakati ya Nowa, pale arianza ku yenga buato , mule bantu kidoko , ni kusema ,bantu ba munane, bari okolewa kupitiya mayi.21Ile mayi iri kuya kionesho ya ubatizo , ayina kutakaziwa na butshafu y amwili , lakini mwito ya zamiri muzuri kwa Mungu, na ile sasa ina mikobola , na mweye tena , kupitiya kufufuka ya Yesu-Kristo , 22Eko ku ume ya Mungu , paka pale arienda ku bingu, na ba malaika , ba ongozi na ba nguvu , bari mu ti.
1Vile seke , Kristo ari teswa mu mwili , na mweye muritayarishe kuya na mawazo moya , Kwamana yeye ariteswa mu mwili ari kabulana na zambi, 2Dju ya ku ishi , apana dju ya kupenda kwa bantu , lakini kwa mapenzi ya Mungu, mu mashiku ile ina iri bakiya mu kwishi mu mwili.3Kuna isha sasa , mu vile , mu wakati ile isha kupita kufanya mapenzi ya bapagano, mu kutembeya dani ya kukabulana , ma tamaa , bulevi , kuria kwa kupita na kunya , na kwabudu salamu kwa kupita. 4Tena muna ona kigeni a mu kimbiye na bo mu buchafu bu oya bwa kupita, Na bana mi shimanga . 5Ba ta kwa ule eko pale djo ya kusambisha bajima na ba kufa. 6Kwalakini Engili iri ubiriwa na kwa bale bashakufa, djo , kisha ku sambi sa vile bantu mu mwili , ba ishi vile Mungu mu kiroho7Mwisho ya bintu biote iko karibu , mukuye seke na ekima na kurifutshika , dju ya kuriweka ku maombi. 8Bele ya bote, mukuye ba moya na begine mapendo ya nguvu, kwamana mapemdo ina funika ma zambi ya mingi. 9mukuye ba furah na kupokeleya muzuri ba moya kwa bengine, poshipo kununanuna.10Sa vile bale baripata kipadji kizuri ya Ma neema ya kwatsha ya Mungu , Kila muntu katshi yenu a weke mu matendo kwa bengine kipadji kile aripata , 11Kama muntu ana sema , y kuye sa vile eko na leta madjibu ya Mungu ; kama muntu ana yaja uduma , ayi yaje kufatana na nguvu ile Mungu ari mupa , djo mu bintu biote Mungu a tukuziwe kupitiya Yesu-Kristo, ule ana pewa utukufu na uwezo , kwa milele na mulele amina.12Ba pendwa, mushi shutuke , sa vile mu na one kintu kia sasa ki na mifikiya , kia moto ile iko katshi katshi yenu dju ya ku mi onesha. 13Mufurayi na sana , kwa kuriunga ku mateso ya Kristo, djo mukuye tena mu furah na mu furah ya nguvu pale utukufu yake ita onekana. 14Kama ba na miteswa dju ya djina ya Kristo, muku na hery , kwamana Roho ya Utuku na Roho ya Mungu ina ikala yulu yenu.15Kushiku katshi yenu , muntu eko na teswa sa muhuwadji, wala mwiji , wala muovu, wa ule eko na ingiya mu mambo ya benyewe. 16Lakini kama muntu eko na teswa sa vile Mukristo, ashikuye na aya, na kwa ile a tukuze Mungu do ya iyi djina.17Kwalaki ni wakati ile kusamba kuta anza mu nyumba ya Mungu. Lakini , kama ni kwetu ita anziya , mwisho ya bale aba ti endjili ya Mungu ita kuya djee ? 18Na kama ba aki beko na okolewa na mateso, sasa bantu ba baya na ba tenda zambi itakuya djee? 19Kwa vile , bale beko na teswa mu mapenzi ya Mungu ba rudishe nafsi yabo kwa Mumbadji wema, Mu kufanya ile iko muzuri.
1Mone masubutisho ile mina ambiya kwa baze bale beko katshi yenu, miye muze sa bo, mushuda wa mateso ya Kristo, na kuriunga ku utukufu ile ina pasha konekana: 2Mukuye batshungadji na kivuko ya Mungu kile kiko tshini ya butshungadji yenu, apana kupiya kiziwizi, lakini kwa mapenzi , ya Mungu; dju ya matokewo mchafu lakini na ukweli; 3Apana s vile wa kutawala yulu ya bale bari miangu mu kukabula, lakini mukuya mufano ya kivuko. 4Na bale Mutshungadji mukubwa ata kuya , mu tapata taji y sho ku ibiya yq utukufu.5Munamuna moya , muye murikuya ba kijana , mukuye ba kurishusha kwa bazee . Na mwebote, mu kinkundji, mukuye na kurishusha ; kwamana Mungu ana shimama kwa bakiburi , lakini ana fanyaka neema kwa bakurishusha. 6Murishushe seke tshini ya mukono ya Mungu, djo a mi pandi mu wakati ile inapasha; 7na mutule yulu yake ma bujito yenu , kwamana ye moya ata mitshunga.8Mukuye bakufutshama , mushi lale, adwi wenu , Shetani , eko na junguluka sa vile simba wa makari , mukutafuta nani wakuria. 9mumushimamiye na imani ya nguvu, muyuwe asema mateso moya moya ina shimamiya ba nduku yenu mu dunia.10Mungu wa ma neeema yote , ana mita mwa Yesu-Kristo kwa utukufu ya milele , kisha kuteswa muwakati kiloko, ata kufanya wa kweli ye moya , mishikamisha , kumipa nguvu, misha bakushima . 11Kwake yeye uwezo milele na milele ! Amina!12Ni kupitiya Silvain , eko ku matsho yangu nduku wakweri, iyi mina miandjikiya eko ni neema ya biakeri ya Mungu . 13Kanisa ya batshakuliwa bale beko ku Babylona bana milamukiya, na Marko , mtoto yangu . 14Mulamukiya ba moya na bengine kwa busu ya mapendo.
1Kile kirikuya tagiya mwanzo , kile turishikiya , turiona na mantcho , turiona na mikono iri bamba , kupitiya neno ya bujima . 2na bujima buridjionesha , turiona na turishudiya , na turimiubiri bujima bwa milele , iri kuya pembeni ya Baba na irionekana kwetu'3bile turiona na kushikiya , turimioneshayo, kwenu na mweye , dju mukuye poya na shiye mukimoya, kwalakini , umodja wetu iko na Baba na mutotoyake Yesu Kristo. 4Na shiye tuandjike ibi bintu , kwamana furah yetu ikuye ya kweri.5Habari ile turipata kwake , na turimiubiri , asema Mungu ni mwangaza, na na akuna ginza dani yake. 6Kama tunasema tuko pamoya naye , na tuna tembeya mungiza , tunalanda , na atutembeye ukweri. 7Kama tunatembeya mu mwangaza , sa vile eko yemoya dani ya mwangaza , tuko shibote pamoya, na damu ya Mutoto yake ina tunausha kububaya bote.8Kama tunasema atuna na zambi , tunarilanda shibenyewe , na ukweri ayina dani yetu. 9Kama tunatubu ma zambi yetu , eko mwaminifu na mwenye aki dju yaku turumiya, na kututakasa kububaya bwetu bote . 10Kama tu na sema atukufyanwe zambi , tu na mufanya wa bongo, na neno yake ayina dani mwetu.
1Batoto yangu kiloko , na miandjikiya ibi bintu , dju mushifanye zambi. na kama muntu ana fanya zambi , tuko na wakutusambiya kumbele ya Baba , Yesu Kristo wa aki. 2Eko yemoya sadaka djo ya ma zambi yetu, apana paka dju yetu , na kwabale beko mu dunia yote. 3Kama tu natshunga mapasha yake , pale tuta sema tunamudjuwa.4Ule ana sema ; niri mudjuwa , na abatshunge mapasha , eko wa bongo , na ukweli ayina dani yake. 5lakini ule anatchunga neno yake , mapendo ya Mungu iko ya biari dani yake. 6ule ana sema eko dani yake anapasha kutembeya nayeye savile aritembeya yemoya.7Bapendwa , ayina mapsha ya sasa ile na miadikiya , kwalakini ni mapasha ya zamani ile muripata kwaziya mwandjo; ile mapasha ya zamani , ni ile neno murishikiya. 8Kwalakini, ni mapasha ya sasa ile mirimiandjikiya , kile kiku kia kweri dani yake na kiko dani yenu, kwamana ginza inapoteya na mwangaza yakweri ina onekana sasa.9Ule ana sema eko mu mwangaza , na ana mutukiya dunkwake , akingari dani ya ginza . 10Ule ana penda dunku yake eko mu mwangaza, na dani yake amustakuya bubaya. 11kwalakini ule ana tchukiya nduku yake eko mu ginza , na ana tembeya dani yayo , na ashi djuwe kule anenda, kwamana ginza inalabisha mantcho yake.12na miadjikiya , batoto kiloko , kwamana zambi yenu banairumia dju ya djina yake. 13Na miandjiikiya , bababa , kwamana murimudjuwa ule eko tangiya zamani. Na miandjikiya , bijana , kwamana muriwina mukalamushi. na mwandjikiya , batoto kiloko , kwamana muridjuwa Baba. 14na mwandjikiya , bababa , kwamana muriyuwa ule eko kwanziya mwanzo. Na miandjikiya , bidjana , kwamana muko na guvu , na neno ya Mugu inekala dani yenu, na muriwina mukalamushi.15Ushi pende dunia , wala bintu bia dunia . Kama muntu anapenda dunia , mapendo ya Baba ayina dani yake. 16kwamana biote bile biko dani ya dunia , tama ya mwili , abatoke kwa Baba, lakini ni ba mudunia. 17na dunia inapita , tama yayo nayo inapita ; kwalakini ule eko na fanya mapenzi ya Mungu ana ishi milele.18Batoto kiloko , ni wakati ya mwicho , na vile barimifundisha asema mupinga Kristo eko na kuya, ku nakuya sasa bapinga Kristo bamingi; kupitiya ile tuna djuwa asema tuko mu wakati ya mwisho. 19Baritoka katchikatchi yetu , kwalakini abakukuye ba shiye ; kwamana kama barikuya na shiye , bari pasha ku ikala na shiye, kwalakini anafika dju tujuwe asema bote abana na shiye .20dju yenu , muripata upako kupitiya ule eko mutakatifu , na mwebote munadjuwa. 21Na mwandikiya , ayina djo muyuwe ukweri, kwamana munamudjuwa, kwamana akuna bongo buna toka dani ya ukweri.22Nani Ule eko na bongo, kama ayina ule anabisha kama Yesu ni Kristo ? Ule ni mupinga Kristo, ana bisha Baba ns Mutoto. 23Ule wote ana bisha Mutoto ana ata na Baba ; Ule wote ana mwitchikiya Mutoto ana mwitchikiya na Baba.24Ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu . Kama ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu , na munekala dani ya Mutoto na dani ya Baba. 25Na malako ile aritulaka , ni uzimz ya milele. 26Namiandikiya ibi bintu kupitiya bile bina miangaria.27Dju yenu , upako ile muripata kwake ina ikala dani yenu , na amuna na lazima ba mifundishe , laki sa vile upako yake ina mifundisha kintu kiote , na iko ya biakweri na ina bongo , inekala dani yake kupitiya mafundisho ile arimipa. 28na sasa , batoto , mwikale dani yake , kwamana , pale atakuya , tukuye na imani , na mukatiya ya kuridi tushi kuye bari na yeye . 29kama munadjuwa asema ni mwenye aki , mudjuwe assement ulewote eko na tumikia aki ana zarika mwake.
1Mone mapendo ya Baba ina tu shudiya , dju batu ite batoto ya Mungu! nq tuko bqtoto yqke . kamq dunia ayi tudjuwe , nikusema qshi mudjuze. 2Bapendwa , tu na kuya sasa batoto ya Mungu , na ile tu takuya ayi ya onekana , tutakukuya sa yeye , kwama tuta mu ona vile eko. 3ule wote eko na ile imani dani yake aritakase , sa vile eko yemoya eko mutakatifu.4
1bapendwa , mushi itshike roh yoyote ; lakini mutshunguze maroh , dju ya kudjuwa kama ni ya Mungu , kwalakini banabi babongo bamingi bana kuya muduniya. 2Mudjuwe kwa iyi Roh ya Mungu; roh ile ina sema Yesu Kristu ule arikuya mu mwiri ana toka kwa mungu ; 3Na roh yote ayi seme dju ya Yesu ayina ya Mungu, ni ya mupinga Kristo , ile murifunda kuya , na sasa eko dani ya dunia .4Mweye , batoto , munakuya ba Mungu , na muriba wina , kwamana ule eko dani yenu eko munene kupita ule eko dunia. 5Bo, ni ba mudunia ; dju kwamana bana sema kufatana na dunia , na dunia ina mishikiya. 6shiye , tuko bamungu , ule ana mudjuwa Mungu ana tu shikiya ; dju kule tuta djuwa roh ya kweri na roh ya bongo.7Bapendwa , tupendane bamoya na begine ; kwamana mapendo na ya Mungu , na ule wote ana zarika na Mungu a na mudjuwa Mungu. 8Ule ashi pende ashi mudjuwe Mungu , Kwamana Mungu eko mapendo.9Mapendo ya Mungu iridjionesha kwetu kwa vile Mungu arituma Mutoto yake moya tu dani ya dunia , kwamana tu ishi kupitiya yeye. 10na ile mapendo iyina dju , kusema tu rimupenda Mungu, kwalakini kwa vile aritupenda na kututumia Mutoto yake kama sadaka ya kutukombola muzambi.11Mupendwa , kama Mungu aritupenda ivi , na shiye tunapasha kupendana bamoya na bengine. 12Akuna muntu asha kumonaka Mungu; kama tunaripenda bamoya na bengine , Mungu ata ikala dani yetu, na pendo yake ni ukweri dani yetu. 13tuna djuwa asema tuko dani yake , na yeye eko dani yetu , kwa ile aritupa roh yake. 14Na shiye , turiona na turiakikisha asema Baba arituma Mutoto ya kama Mukombozi ya dunia.15Ule ana sema Yesu ni Mutoto ya Mungu , Mungu eko dani yake , na yeye dani ya Mungu . 16Na shiye , turiona mapendo ile mungu eko nayo dju yetu , na turihitchikiya . Mungu eko mapendo; na ule eko na ikala dani ya Mungu , na Mungu eko dani yetu.17Vile eko , dju vile tuko na shiye dani ya dunia ; dju kwa ile mapendo ya mungu iko ya ukweri dani yetu . dju tu kuye na akika shiku ya mwisho . 18Boka ina dani ya mapendo , lakini mapendo ya ukweri ina angusha boka ; kwamana boka buna onesha mapiko, na ule ana eko na ongopa ashina kweri dani ya mapendo.19Dju yetu , tuna mupenda , kwamana aritupenda wa kwandja . 20Kama mutu ana sema ; mina mupenda Mungu , na ana mutshukiya nduku yake , ni wa bongo ; kwamana ule ahi mupende nduku yake ulen eko na wona , kwa mana kani atezi kumupenda Mungu ule ashi one? 21Na tuko na mapasha ina sema ; ule ana penda Mungu ana penda naye nduku yake.
1Ule wote ana itshikiya Yesu kama Kristo , arisarika na Mungu, na ule ote anapenda ule arimuzala anapenda ule arizarika kwake. 2Tuna djuwa asema tunapenda batoto ba mungu , kama tuna mupenda Mungu, na tuna tumikiya mapasha yake. 3kwamana mapendo ya Mungu ina djonesha mukutshunga mapasha yake . na mapasha ayine ya nguvu.4kwamana bote bale banazarika na Mungu bana weza dunia ; na ushindi ya kuwina ndunia , ni imani yetu. 5Nani ule ariwina dunia , kama ayina ule eko na aminiya asema Yesu ni Mutoto wa Mungu?6Ule , Yesu Kristo , arikuya na mayi na damu ; apana paka na mayi , lakini na mayi na damu ; na ni Roh dju ina shudiya , kwamana Roh ni ya kweri. 7kwalakini kunakuya tatu inashudiya ; 8Roh , mayi na damu , na yote tatu ina itshikiya.9Kama tuna pata ushuda ya bantu , ushuda ya Mungu iko munene sana ; kwamana ushuda ya Mugu ina semezeya ushuda dju ya Mutoto yake. 10Ule anamina Mutoto ya Mungu eko na ushuda dani hake yemoya ; ule ashi amini Mungu ana djifanya wa bongo, kwamana ashi itshikiye ushuda ya Mungu dju ya Mutoto yake.11na ona iyi ushuda , kusema Mungu anatupa maisha ya milele , na ile maisha iko dani ya Mutoto. 12Ule eko na Mutoto eko na maisha ; ule ana naye ana na maisha.13na miandjikiya ibi bintu, dju muyuwe asema muko na bujima bwa milele , mwe muna amiia ku djina yaMutoto ya Mungu. 14tuko karibu naye akika , ya kusema kama tuna lomba kintu kwa mapenzi yake , ata shikiya . 15na kama tunadjuwa asema anatushikiya , kintu kiote tuta lomba , tuna djuwa asema kintu kile tuna mulomba .16Kama muntu ana wona nduku kutenda zambi ile ayifikishake ku lufu , awombe , na Mu ngu ata leta maisha kwa ule nduku, ata bapa bale batatenda ma zambi ayi lete ku lufu, kuku zambi moya ina peleka ku lufu ; ayina djo ya ile zambi ile na sema omba . 17Bubaya bote ni zambi, na na kuna kuya zambi fulani ina ayi peleke ku lufu.18Tuna djuwa asema ule wote arizarika na Mungu ana dji tchunga ye moya , na mukalamushi ashi mu bambe apana . 19Tuna djuwa asema tuko ba Mungu , na dunia mujima iko tshini ya nguvu ya mukala mushi.20Tu na djuwa na shiye asema Mutoto ya Mungu arikuya , na aritupa akiri dju ya kudjuwa wa biakeri, dani ya Mutoto Yesu Kristo. niyeye dju Mungu wa biakweri, na maisha ya bujima ya milele. 21Batoto kidoko , mudji tshunge bele ya bapumbafu.
1Muzee , kwa Kiria mutchakuliwa wa mungu na watoto yake , bale na penda dani ya ukweri , na ayina paka miye moya na mipenda , lakini na wale wote wa na djuwa ukweri. 2kwadjili inekala dani yetu, na ita kuya na shiye kwa milele. 3Na neeama , reema na salama ikuye pamoya na mweye kutoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu kristo , mutoto wa Baba , dani ya ukweri na mapendo.4Ni rikuya na furah mingi sana kwa kupata batoto yako bana tembeya dani ya ukweri , kufatana na mapasha turipata kwa baba . 5Na sasa , ile na ku lomba , Kiria , ayina kama na kwandjikiya mapasha ya sasa , tu pendane aba na aba. 6Na mapendo ina lomba ku tembeya vile mapasha ina sema , djo ile mapasha dani yake kutembeleyamo , paka vile murishikiya ku mwanzo ya dunia .7kwamana badanganifu bamingi bana ingiya muduniya , aba itshikiye kama Yesu Kristo arikuya katika mwili , ni mundanganifu na mupinga Kristo. 8Kebeni ange mwebenyewe , ili mu shi potehe matunda ya kji yenu , lakini mupokeye ya mingi.9Ule wote ana enda bari na ashi ikale dani ya mafundisho ya musingi ya Kristo ashina na Mungu , ule ana ikala dani ya mafundisho ya musingi eko na Baba na Mwana. 10Kama mutu ana kuya kwenu na ashi mileteya ile mafundisho ya musingi , mu shi mupokeleye dani ya nyumba yenu , na ushi mulamukiye. 11Kwa mana ule ana mulamukiya ana tshangiya ku mabaya.12Ata niko na bintu mingi bia ku miandjikiya , shi ku pende ku yifania na ma kartasi na wino , lakini ni rikuya na tumainiwa ni kuye kwenu, na ku sumburia kwa kinya na kwinya , dju furah yetu ikamilike. 13Watoto ya dada yako mutshakuliwa bana kulamukiya.
1Mzee, Agayo mupendwa , ule na penda dani ya biakweri. 2M
1Yuda,mutumishi wa Yesu kristo,na nduku yake ya Yakobo,kua bale baritua,barisha kupendewa ndani ya Mungu baba,na benyekuchungiwa dju ya Yesu Kristo: 2rehema,salama na upendo yongezeke kuenu!3Bapendua,vile milipenda saana ku miandikiya dju ya wokovu ya she bote,minapasha ku ifuanya dju ya ku misukutisha dju ya kukombana dju ya imani ile ililetua kua batakatifu bote mala moya loote. 4Kuamana katikati yenu ku ne dingisha bantu bengine,bale ukumu iko enye ku bandikiya tangiya zamani,benye kuaribika,ba kubadulisha neema ya mungu wetu kuya ubakuzi,na ku mukatala wetu mualimu moya na Bwana Yesu-Kristo.5Nataka ni mikumbushe,mueye benye kudjua muzuribintu biote,yaka Bwana,kisha kokowa bantu na kubatosha mu inchi ya Misri,akauwa ba moyo mugumu; 6arinchungiya dju ya ukumuya shiku munene,benye kufungwa milele na milele na giza,kualakini benye kuacha nyumba yabo ya kueli;7sasa Sodoma na gomora na miji ya ku pembeni,yenye kujitoa sa bo ku busharati na ku ma nkosa ya kipindupindu na ali ya ku staili,benye kuletua kuwa mufano,wenyekuinshua mu mateso ya moto ya milele. 8Ata ile,bale bantu na bo,benye kusukumua na tabiya yabo mubaya,beko na chafusha vilevile mili yabo,banakufuru mamulaka na banachambula ma utukufu.10119Lakini,Mikaeli,wakati alikuya na bishana na diabolo na ekeo nakokotana naye mwili ya Musa,ashi kupime ku muchambula ata mala moya,kualakini ali sema:Bwana akufokeye. Bo kualakini,beko nasema na kibengo dju ya bintu abadjue,na banedilanda mu bile banadjua kuwa kama ya biakuanza. Wole kuabo!kuamana balifuata ndiya ya Kaina,ba na jingisha dju ya malipo mu kupotesha na Balama,banedipotesha kupitiya butombozi bua Corea.12Ni bantu ba hatari ku ma feti yenu,na bana fanyaka mambo muzuri ya kutakfuta kuvuma kuabo, 13bo ni mawimbi ya makari ya pa mai sho nvula inasukumua na pepo,ni miti ya kipua ya sho matunda,mara mbili balishakufwa,na balisha kukatua mizizi; pepo ya makali ya pa mayi ikonasukuma buchafu buamingi pembeni,matokeo mabaya inajungulaka na kupita ile ngiza ya weushi14Ni tena dju yaboEnocn,wa saba tangiya Adama,aritabiri kua misemo iyi:mone,Bwana alikuya na bake batakatifu bamingi, 15dju ya kufanya ukumu dju ya bote,na dju ya kuripisha babaya bote katikati yabo dju ya matendo yote ya machafuko baritenda na misemo yote ya kibengo ile misemo yabo yote ya kibengo ili taya dju yake batenda zambi benyekuya na zambi. 16Ni bantu banasema chinyichinyi,beko ne ditompoleya dju ya bile bita bafikiya,beko natembeya kufuatana na tama yabo,beko na misemo ya kiburi ku kinya yabo,benye kusifu bantu dju ya faida yabo.17Kualakini mweye,bapendua,mukumbukeni bintu bilisemewaka tangiya zamanikua ba mitume ya Bwana wetu Yesu-Kristo. 18Barianzaka kumiambayaka aseme wakati ya mwisho ku weza kuya bakazarau,bakutembeya kufuatana na tama ya bubaya bwabo; 19ni bale ba kuleta ma kukatanakatana,bantu ba kimwili,bashipo na roho.20Dju yenu,bapendua,na kudikamilisha mwe benyewe dju ya imani yenu takatifu,na ba kuomaka na Roho Mutakatifu, 21mubakiriye mu mapendo ya Mungu,kua kuchunga rehema ya Bwana wetu Yesu-Kristodju ya uzima ya milele.22Musaidiye bengini,bale beko nabisha; 23mokowe bo kua ku balopola mu moto;na dju ya bengine tena,mukuye na buluma yenye kuya na boka,nakuchukiya kufikisha na ku nguo yenye kuchafuka na mwili.24Bshi,kua ule anaweza ku michunga dju ya kuanguka kote na ku mionekanisha mbele ya utukufu yake ishipo onekana ivi na fura, 25kua Mungu pekeyake,Mokozi yetu,kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu,imwelwkwye utkufu,bukubwa,nguvu na uwezo,tangiya mbele ya nyakati yote,na sasa,na milele na milele! Amen!