1Shitabu sha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu. 2Ibrahimu paaliji awawa wa Isaka, na Isaka awawa wa Yakobo, na Yakobo awawa wa Yuda na ndugu zake. 3Yuda paaliji awawa wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi awawa wa Hezeroni, na Hezeroni awawa wa Ramu.4Ramu paaliji awawa wa Aminadabu awawa wa Nashoni, na Nashoni awawa wa Salimoni. 5Salimoni aaliji awawa wa balozi kwa Rahabu, Boazi awawa wa Obedi gwa Ruth, Obedi awawa wa Yese, 6Yese aaliji awawa wa mfalme Daudi. Daudi paaliji awawa wa Sulemani kwa wakongwe wa Uria.7Sulemani paaliji na awawa wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya awawa wa Asa. 8Asa aaliji awawa wa Yehoshafati, Yehoshafati awawa wa Yoramu, na Yoramu awawa wa Uzia.9Uzia paaliji na awawa wa Yothamu, Yothamu awawa wa Ahazi, Ahazi awawa wa Hezekia. 10Hezekia aaliji awawa wa Manase, Manase awawa wa Amaoni na Amoni awawa wa Yosia. 11Yosia aaliji awawa wa Yekonia na kaka zake wakati kuchukuliwa kwenda Babeli.12Na baada ja tolwa jenda Babeli, Yekonia aali na awawa jao Shatieli, paliji na awawa jake na Zerubabeli. 13Zerubabeli paaliji na awawa yao Abiudi, Abiudi awawa jao Eliakimu, na Eliakimu, awawa wa Azori. 14Azori paaliji na awawa jao Zadoki, Zadoki awawa wa Akimu, na Akimu awawa wa Eliudi.15Eliudi, paaliji awawa jao Elieza, Elieza awawa wa Matani na Matani na awawa wa Yakobo. 16Yakobo aaliji awawa wa Yusufu mnarume wa mariamu, ambaye kwa Ineyi Yesu awelekwe na achemilwe Kristo. 17Vizazi vyowe kopoka ibrahimu hadi Daudi vyaaliji vizazi kumi na ncheshe, na kopoka kuwatwalile jenda Babeli hadi Kristo vizazi vya kumi na ncheshe.18Pawelekwe kwa Yesu Kristo paaliji kwa Namna janeyi. amama jake, Mariamu, achumbilwe na Yusufu, lakini kabnla ja kutanika, aoneshele kuwa na shitumbo kwa uwezo gwa Roho mtakatifu. 19Nnarume gwake Yusufu, paalijin mundu akwete haki jwangapinga kumwahaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba gwake kwa siri.20Pakuwapo akifikiria juu ga mambo aga malaika wa Bwana akoposhele katika ndoto anashiweleketa, "Yusufu mwana jwa Daudi, unajogope kumjigala mariamu kama mkongwe jwako, kwasababu shitumbo akwete nacho ni kwa uwezo gwa Roho mtakatifu. 21Atajiugula mwana jwa nnume na mumcheme lina lyake Yesu kwa maana mung'okoe wandu wake wa dhambi jao."22Gowega gakoposhele timizwa sheshila kinenilwe na Bwana kwa mpanda gwa unabii, akiweleketa, 23"Mnole Bikira ajigere shitumbo na kuwelekwa mwana jwa nnume na kuchema lina lyake Imanueli" -- maana jake ni "Nnungu pamo na uwe"24Yusufu ashijumuka kopoka kulugono na kutend mbuti malaika ga Bwana alivyomwamuru na amjigere malinga akongowao. 25Hata ineyo, jwangagona naye mpaka pajiugwire mwana jwa nnume na kumchema lyina lyake Yesu.
1Bada ja Yesu kuwelekwa katika Bathelem ja Uyahudi katika moga ga mfalme Herode, vandu wasomi kopoka mashariki ga mbali waishile Yerusalemu washikuweleketa, 2Kuali kweyi jwejula ambaye awelekwe mfalme waWayahudi? Tunonele nyota jake mashariki nasi tuiche kumwadubu. 3Pindi mfalme Herode papilikene aga afadhaike na Yerusalemu yowe pamoo naye.4Herode awakusanyile wakurungwa wa makuhani wowena na wajandikanga vandu naye akawauya, "Kristo awelekwe kwei? 5washikumlugulila katika Bethelemu ya uyahudi kwakuwa Ineyo ndivyo jijandishwe na nabii, 6Namwe Bethekehemu katika nchi ja Yuda si mshoko miongoni mwa viongozi gwa yuda. pakuwa tunakoposhe kwene nnaisha mtawala awachungile vandu Israeli."7Ineyo Herode awachemile washomi kwa siri na kuwawuya ni wakati gwei hasa nyota jipaliji jionyeshe. 8Ashikuwatumwa Bethelem, ashikuweleketa, "Mjendanje kwa uangalifu mkaloleange mwana aweleshwe wakati mumonile nnetele habari ili kwamba nne pia niweza ika na kumwabudu."9Baada pakuwa wapilikene mfalme waliendelea na safari jao, na nyota jejila wapaliji kuiwona mashariki ulitangushila hadi jihimike kunani ya mahali mwana aweleshwe paliji. 10Wakati paonile nyota washifurahi kwa furaha jikurungwa mno.11Wajinjilenje kumui na kumuoananga mwana awelekwe na mariamu amama jake . walimsujudia na kumwabudu waunguleje hazina jao na kumtolea zawadi ja dhahabu, uvumba, na manemane. 12Nnungu hawaonjile katika ndoto wanauje kwa Herode, pakuwa washoshile na wauja katika nchi jao kwa mpanda gwengine.13Baada ya kuwa washishokanga malaika wa Bwana washikushoshela Yusufu klatika ndoto na kuweleketa, "Ujinuke, mtole mwana na mama jake na mutushile Misri. mtamange kweneko peko mpaka nirungurange pakuwa Herode wanakutafuta mwana ili wamwangamize. 14Shilo sho Yusufu ajumwishe na kujigala mwana na mama jake na utushila Kumisri. 15Ashitama kweneko hadi Herode awile, hii itimize sheshila Bwana paaliji anenile pitila nabii, "kukopoka kumisri nishikumchema mwanmangu.''16Kisha Herode haonele kuwa amedhihakiwa na vandu washomi, walikasirika sana. Aliagiza kuuwawa kwa vana vangu wowe wa wanarume na wakwekula Bethelehemu, ba wowe katika maeneo gegala ambnao wapaliji na umri gwa iyaka iwili na pai jake kulingana na wakati ngupali wamalile thibitisha kabisa shoka kwa wale wandu washomile.17Penepo atimishiwe lyelila lilowe linenilwe kwa kingwa cha nabii Yeremia. 18Sauti japilikana Ramah, shilio na maombolezo makuru, Raheli akiwalilia wana gwake, na ashikana kufarijiwa, kwasababu wakwa kawili."19Herode baada ja kuwa, mnolange malika jwa Bwana amkoposhele Yusufu katiika ndoto kweneko Misri na kuweleketa, 20Inushe muijigele mwana na mama jake na mjende katika nchi ja Israeli kwa maana waliokuwa washiloleanga uhai gwa mwana waulugwe." 21Yusufu aliinuka, nakumjigala mwana pamoo na mama jake na wajire katika nchi ja Israeli.22Lakini papilikene kuwa Arikelau paaliji anawatawala Yuda maali pa awawa jake Herode, aliogopa kwenda kweneko, baada ja Nnungu kumuonya katiika ndoto ashoshele kwenda mkoa wa galilaya. 23Na ajendile katiia mji Nazareti. halino limizwe shile lyelila kunenwa kwaajili ja manabii achemilwe Mnazareti.
1Katika moga gegala Yohana mbatizaji paaliji akihubiri katika nyika ja Yuda awelekete, 2"Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni ukaribu. 3"Kwa maana jwejuno ndiye aliyenenwa na nabii isaya aweleketwe "Sauti ga munu achemilwe kopoka jangwani imishe tayari mpanda gwa Bwana inyooshangew mapito gawe."4Ineyo Yohana awete manyoya ga ngamia na nkanda gwake ngwa ngozi kiunoni gwake shalya shake shaliji nzige na asali ja mwihitu. 5Kisha Yerusalemu yuda yowe na eneo lowe lizungukenge mto Yorodani wajendile kungwake. 6Wapalinji wabatizwanga naye katika mto Yorodani hakuno wakihutubu yambi yao.7Lakini washikwaonanga kwa ungwinji wawafarisayo na masudukayo waishe kwao kuubatizwa, parungulilwe, "Enyi mmelekwe na lijoka lyene sumu gani hawaonyile washihutuka ghadhabu jikwia ajo? 8Imeleshe matunda yaipasayo toba. 9Mnafikirie na kuweleketanga miongoni mwenu jupali ibrahimu kama awawa jetu. pakuwa nakuwalungulilanga Nnungu anaweza kumwinulia Ibrahimu vana hata koposhela katika maganga aga.10Tayari lishoka liishile bikwa kwenye mzizi ngwa mkongo kwa ineyo kila mkongo usiozaa matunda gambone kukatwa na kutupwa kwa moto. 11Nina wabatiza kwa mashi kwaajili ya toba Lakini yeye ajile badala ngangu ni mkurungwa kuliko nami, nami ngastahili hata kunyakula ilatu yake yeye atawabatiza kwa Roho mtakatifu na kwa moto. 12Na pepeto lyake ili mmakono ngwao kusafirisha kabisa uwanda gwake na kuikusanya ngano gake ghalani. lakini achemile makapi kwa moto ambapo hauwezi jimika .13Kisha Yesu aishile kopoka Galilaya mpaka mto Yorodani kubatizwa na Yohana. 14Lakini Yohana ashipinga kumzuia pawelekete nne nahitaji kubatizwa uwe nawe waishe kwangune?" 15Yesu akajibu akarungura, Ruhusaiwe iyene inaona pakuwa ineyo itupasavyo timiza haki jowe." Kisha Yohana akamruhusu.16Baada pakuwa wabatizwe, mara Yesu ashoshile kwenye mashi na kumuona mbinguni jiliunguluka kwake na kumwona Roho Nnungu ashitelemka kwa mfano gwa njiwa na lulia juu jake. 17Kulola sauti jikoposhe mbinguni na inaweleketa, "Jwejuno ni mwanangu mpendwa. ninaye pendezwa sana naye."
1Kisha Yesu aongezwele na Roho mpaka jangwani ili ajaribiwe na ibilisi. 2Paliji augere kwa mowa arobaini muhi na shilo apatie shiwanga. 3Mjarabu ajile na kumrugulila, "kama mmwe ni mwana gwa Nnungu, amuru maganga genega gawe mkate.'' 4Lakini Yesu washikujibu na kuwalugurila"jijandishwe, mundu jwangaishi kwa mkate jika pe, bali kwa kila lilowe lishokako kinywani mwa Nnungu.'''5Kisha ibilisi wapeleshe katika mji mtakatifu na kumwika mahali panani sana paliyengo la hekalu, 6nakurungulila kama mmwe ni mwana wa Nnungu, mruguke pai kwa maana jijandishwe "Ataamuru malaika gao bwaishe wakutole na kumwinua kwa mikono gwao ili wajikwalange maguli gao katika liganga."7Yesu palugwire "Kawili jijandishwe, mwajaribie Bwana wa Nnungu gwako." 8Kisha ibilisi wanitolile na kupeleshela sehemu ja kunani zaidi na kumwonesha falme jowe ja ulimwengu na fahari ya yeneyo yowe. 9Palugwire, shinimpe indu yowe ineyi ukunisujudia na kuniabudu,"10Kisha Yesu ashikuwalugulila, "Ujende ako na ishoshe penepa, Shetani! Kwmaana ishijandikwa, Yakupasa kumwabudu Bwana Nnungu jwako, na umtumishile nnyene jika pe." 11Kisha Kisha ibilisi aneshile na kumnola malaika waishile kuwatumikia.12Bai Yesu papilikene kuwa Yohana akamwile, akooposhele mpaka Galilaya. 13Akoposheke Nazareti na ajendile kuishi kuperanaumu jibile kandokando na bahari ja galilaya mmipaka mwa majnimbo ga Zabuloni na Nftali.14Ajino jikoposhele kutimiza shile kinenilwa na nabii isaya. 15Katika mji wa Zabuloni na mji wa Naftali . kuelekea baharini ng'ambo ja Yorodani, Galilaya ja wamataifa. 16Vandu vatamilenje gizani wauwonenje mwanga gwa mkuru na wale wapaliji watamilenjen katika maeneo na kivuli cha mauti mnani jao nuru jiwaangazie."17Shoshela wakati go Yesu atandwiwe kuhubiri na aweleketa, "Tubuni kwa maana ufalme gwa mbinguni gukaribie."18Paaliji akiotembea kandokando ja bahari ja Galilaya ashikwalolanga ndugu wawili, simoni paaliji anashemwa petro na Andrea akaka jake, Wakitega nyavu baharini, pava washikuwa wavuvi wa yamaki. 19Yesu ashikuwalugulila, "Njie mnikagulanje, shiniwatende kuwa wavuvi wa wandu." 20Mara jimo waleshile nyavu na kumkagula.21Yesu paalioji akiendelea shoka penepo ashikuwona ndugu wawili wana, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana kaka jake. Wapaliji katika mtumbwi pamoo na Zebedayo na awawajo wanashoananga nyavu jao ashikwashemanga 22na mara jumo waleshile mtumbwi na awawa yao na kuwakaguranga.23Yesu ashijenda na akaribie Galilaya gowe, anafundisha katika masinagogi gao akihubiri injili ja ufalme na ashiponya kila aina ja maradhi na magonjwa miongoni mwa vandu. 24Habari jake jienele kusiria jowe na vandu washikwatenga kwake wale wowe wapaliji wanguranga, wapagwanga na maradhi mbalimbali na maumivu, wapaliji na mapepo na wakwete kifafa na waliopooza yesu ashikwaponyanga. 25Umati ngwamkurungwa ngwa vandu ulikumkagura shoka Galilaya na Dekapoli, na Yerusalemu na Uyahuda na shoka ng'ambo ya Yorodani.
1Yesu paonile umati, ashikushoya na paelekea mliamni, paliji atamile pai, na wanafunzi gwake waishe kungwao. Ashikuwavuranga shinywa na ashiweleketa. 2Heri wakwilenje umaskini gwa mtima maana ufalme wa mbinguni ni ngwao. 3Heri wakwilenje umaskini gwa mtima maana ufalme wa mbinguni ni gwao, 4Heri wakwelenje na huzuni maana watafarijiwa.5Heri wakolile na upole maana watarithi nchi. 6Heri wakolile na chivanga na kiu ya Haki, maana weneo watajukutanga. 7Heri wakwelenje na Rehema. 8Heri wakolile na moyo safi maana wamonile Nnungu.9Heri wapatanishi maana ngwao wanashemwa na wana wa Nnungu. 10Heri wale wateswanga kwaajili ja haki maana ufalme wa mbinguni ni ngwao.11Heri mmwe ambao vandu watukanike na kuwatesa au kuweleketa kila aina ja ubaya dhidi jene kwa unami kwaajili jangu. 12Furahini na kushangalia maana thawabu jenu jikurungwa mnani mbinguni, pakuwa ineyo ndivyo vandu watesilwe manabii waishilo kabla jenu.13Mmwe ni mwisho ja dunia, Lakini kama mwiyo jipoteze labda jake, iwezekanile tendeka mwiyo halisi tena? kamwe jikaweza kuwa jambone kwa shindu shina sheshowe tena japokuwa jatupwa palanga na kunyangwa na maguru ga vandu. 14Mwe ni nuru ja ulimwengu, mji ujengirwe nnani mwa mlima ngafichika.15Wala wandu wakawashanga taa na kuwika paija kikapu, bali pa kinara, ineyo jawatangaza wowe walio nkati mwa nyumba. 16Acha nuru jenu jiangaze mbele ja vandu kwa maana namna ambayo kwamba wayaone matendo genu mema na kumtukuza awawa jenu aliye mbinguni.17Msifikiri muishile kuharibu sheria wala manabii nng'ishe kuharibu lakininkutimiza. 18Kwa kweli nakuwalugulila kwamba mpaka mbingu na dunia yowe zipite hapana yodi jumo wala nukta jumo ja sheria jiondoshwe katika sheria hadi hapo kila shindu kitakapokuwa shimalile timizwa.19Ineyo jojowe avunjaye amri jishoko jimo pe ja amri yaneyi na kuwafundisha wanakutenda ineyo atashemwa jwa mshoko katikan ufalme wa mbinguni, lakini yeyowe akamwire na kuzifundisha atashemwa jwa mkurungwa katika ufalme wa mbinguni. 20Kwa maana nakuwagulila haki jenu isipozidi haki ja waandishi na mafarisayo kwa vyevyowe vile mkajinjila katika ufalme wa mbinguni.21Impilikene jinenilwe ukala kuwa, "unabulaje' na yeyowe abulaje jako katika hatari ja hukumu. 22Lakini nakuwalugulila jojowe amchukwaye mnungunu jwake paaliji katika hatari ja hukumu, Na yeyowe awapelenje "mmwe mmajinga" paaliji katika hatari ja moto wa jehanamu.23Ineyo kama mtolile sadakan jako katika madhabahu na unakumbuka kuwa Nnungu nayo jako ana lijumbo loloewe dhidi jako,. 24Mneshe sadaka mbele ja madhabahu kisha inshike mpanda gwenu. ikapatane kwanza na anungunayo nankisha nng'ishile kuitoa sadaka jako.25Mpatanaje na mshitaki wako upesi ukiwa pamoo naye mupanda, kuelekea mahakamani, pakuti ineyo mshitaki yako anaweza kukuleka mmakono mwa hakimu na hakimu anakuneka mkoni mwa askari, nawe shipeleshwe gerezani. 26Amini nakuwalugulila, kamwe tukabikwa huru hadi mlipe senti ja mwisho ja pesa ukudaiwa.27Mpilikene jinenilwe kuwa, 'Usizini. 28Lakini mwalugulile yeyowe amuonile wandonya kwa kuwatamani wamalile kuzini naye moyoni gwake.29Na kama liyo lyako lya kulia linakusababisha kujikwwaa, ling'ole na mjae mbali namwe kwa kuwa ni afadhali chilungo shimo katika mwili gwako kiharibike kuliko mwili gowe utupwe jihanamu. 30Nakama mkono gwako gwa kuume un akusababisha kuikwala nkate utupilie mbali na mwe maana afadhali shiungio shimo katika mwili gwako kiharibike kuliko mwili gowe kutupwa jihanamu.31Jinenilwe pia jejowe awawinganje akongo wao na kumpa hati ja talaka 32Lakini nne ngunakuwalugulila yeyowe aweleshile wakongo gwao isipokuwa kwasababu ja zinaa antende kuwa mzizi na yeyowe amuoaye baada ja pegwa talaka anatenda uzinzi.33Kawili, mpilikene jinenilwe kwa wale waukwale, mnagape unami, bali mpelshe viapo vyema kwa Bwana. 34Lakini nakuwalugulila, msiape hata hata kashoko ama kwa mbingu, kwa sababu ni enzi ja Nnungu; 35Wala kwa dunia, maana ni mahali bika chitengu cha kunyagia nyayo jake, ama kwa jerusalemu, maana namji wa mfalme gwa mkurungwa.36Wala usiape kwa mtwe gwenu, maana ukamanya kutenda unywele gumo kuwa mweupe na mweusi. 37Bali malowe genu gawe, inepeyo, inepeyo, hapana, hapana, kwakuwa yazidiyo hayo yashoshikle kwa yule mwovu.38Mbilikene jinenilwe kuwa, 'liyo kwa liyo, na lino kwa lino. 39Lakini nne nakurungulila, mnashindane na mundu akomile shavu na kulia mgeuzia na jingine pia.40Na kama yeyowe anatamani jenda na mmwe mahakamani na akukanyang'anya kanzun jako mwachie na joho jakonpia. 41Na yeyowe akulazimishe kwenda na yane maili jimo ijenda naye maili gawili. 42Kwa yeyowe akujugaye mumpe na mumwepuke yeyowe anayehitajin kukopoa.43mbilikene imenenwa, umpende jirani yajo, na umchukie adui yako,' 44Lakini nakulugurila, wapendeni adui jenu waombeeni wanao waudhi, 45Ili kwamba muwe wana wa awawa jenu aliye mbinguni kwa watendile lyuwa liwaangazie wabaya na wema na anawanyesheaula maovu na wema.46Kama mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? kwani watozanga ushuru wangatendwa ineyo? 47Na kama mkiwasalimia ndugu jenu pe, mnapata hindi zaidi ja wengine? je vandu wa mataifa wakatundwa inepeyo? 48Kwa ineyo jawapasa kwa kuwa wakamilifu kama awawa jenu wa mbinguni paliji wakamilifu.
1Mzingatiange kutokutenga haki mmujo ja vandu ili kuionyesha, vinginevyo twangapata thawabu koposhela kwa awaa jetu aaliji mbinguni. 2Ineyo bai unapotoa unapige tarumbeta na kujisifu wayene kama wanafiki watendile katika masinagogi na katika mitaa ili kwamba vandu wawasifu kweli nna warunguranga waishile poshelela thawabub jao.3Lakini mmwe mshoyanga mkono gwako gwa kushoto mmanyile na shinkutenda na mkono gwa nnilo, 4Ili kwamba zawadi jako jishoshile kwa siri, ndipo awawa jako awaone sirini awapele tghawabu jako.5Na upaliji kujuganga, usiwe kama mnafiki pakuwa wapendile kujima na kujuga jwenye masinagogi na kwenye kona ja mitaani, ili kwamba vandu wakololanje kweli nakumrugulila waposhele thawabu jao. 6Lakini mmwe kumjuganga ijinjile kuchumba na itawe mnango na mjunge kwa awawa jalio ajile wa sirini Ndipo awawa jako aonile sirini atupatile thawabu jako. 7Na upaliji ikinjuganga, inarudie rudiwe malowe jangali gamaana kama mataifa watendile pa kuwa wanafiki kwamba watasikilizwa kwasababu ja malowe ngamagwinji8Kwa Ineyo inakole kama gwao. pakuwa awawa jao watambwile mahitaji gao hata kabla jajuganga kwake. 9Ineyo basi mjuge ineyi, awawa jetu ujile mbinguni ulitukuze lina lyako. 10Ufalme gwake ujile mapenzi gako gatendeke pamo duniani kama kweneko mbinguni.11Mtupele lelo mkate gwetu gwa kila siku. 12mtusamehe madeni getu malinga uwe tunavyo wasemehe wadeni vetu. 13Na inatupeleshe katioka maajabu lakini mtuepushe kukopoka kwa jwejula muovu.'14Pakuwa mtawasamehe vandu makosa gao, awawa jako aliye mbinguni atawasamehe nnyi. 15Lakini pakua hamtawasamehe vandu makosa jao wala awawa yenu hatawasamahe makosa genu.16Zaidi ya gowe mpaliji nngugele mnaboleshe sura ja huzuni kama wanafki watendile pakuwa wanakunjansura jao ili kwamba vandu vatambue waungwele kweli nina kumlugulila wamalile poshela thawabu jao. 17Lakini mmwe mupaliji nngugele mpashe mauta mumtwe gwenu na ngoneshe uso gwako. 18Ineyo jikaonekana mbele ja wandu kuwa mtawile lakini tu ipaliji kwa awawa jako aliye Sirini, na awawa jako wapatile thawabu jako.19Usijifunzie hazina jako mmanyene hapa duniani ambapo nondo na kutu huharibu, ambapo wezi huvunja na jiwa. 20Badala jake jitiunzie hazina jako mmanyene mbinguni. ambapo wala nondo wala kutu wangaweza haribu na ambapo wehi ngawezanga kuvunja na jiwa. Na 21kuwa hazina jako jipali ndipo na mtimagwenu gupaliji pia.22Liyo ni taa ja mwili. kwa ineyo ikiwa liyo lyenu ni lyambone mwili wowe utajirwe na nuru. 23Lakini ikiwa liyo lyako ni bowu mwili gwenu gowe ugumbale giza totoro kwa ineyo ikiwa nuru ambayo imo nkati yao ni giza jajikurungwa kiasi gani. 24Hakun a hata jumo amanyile kuwatumikia mabwana wawili, pakuwa amjingele jumo jwenu na bkumpenda jwingine au la ineyo anajishoya kuwa jumo jwenu na kumdharau juna. mkakombolaga kumtumikia Nnungu na mali.25Kwa ineyo ngunakummalanjila, ngakole na mashaka kuhusu maisha genu. kuwa shinye indiashi au shingwe indiashi je maisha si zaidi ya shalya na shiilu zaidi ya mavazi? 26Inole ijuni wapaliji kuangani wangapanda na wangauna na ngakusanyika nankutunza kughala. Lakini awawa jenu wa mbinguni huwalisha bwao Je mwe si wathamani zaidi kuliko wao?27Na ni gani miongoni jwenu jwa kujiahangaisha awezile jenjeshela dhiraa jimom kwenye uhai wa maisha gake? 28Na kwa indiashi mnakolanga na wasiwasi kuhusu mavazi? mfikirie kuhusu maua ga kumngunda jinsi ngakulile. yangatendile maengo gangaweza kujivisha. 29Bado ninakumlugulila hata mmwe Suleimani katika utukufu gwenu gowe mkavikwanga kama mojawapo ya haya.30Ikiwa Nnungu anakugavisha maamba kumngunda ambayo yadumu lyawa limo na keshon jake wanajahanga katika moto, je ni kwa kiasi gani hakawalishjanga nnye wenye Imani jajishoko? 31Kwa ineyo nnawe na wasiwasi na kuweleketa, Je shitulye ndiashi? au "Je" tunalya au "Je tunawala nguo ngani?"32Kwa ineyo mataifa ganaloleyanga mambo aga, na awawa yenu mbinguni wanamanya bkuwa mnahitaji genego. 33Lakini kwanza Inoleye ufalme gwake na aga gowe yatakabidhiwa kungwenu. 34Kwa ineyo inaone shaka kwaajili ja malawi, pakuwa malawi jinakujhishughulikia wayene kila lyua jitoshile kuwa na tatizo lyake liyene.
1Nnahukumu namwe unaishe hukumiwa. 2Kwa hukumu gukuhumu namwe shihukumiwe kwashipimo shapimwa na mwe pia shipimwe na shosho.3Na kwa indi unalola shipande sha mkongo shipali pa liyo lya anunguna jako. Lakini mktambuanga shipande sha gogo shilishopo katika liyo lyake? 4Mnawezaje kuweleketa kwa anungunayo. ngoja nikushoye shipande shishipangwa pa liyo lyako wakati shipande shagogo shiupali nkati mwa liyo lyako? 5Mnafiki mwe kwanza ishoye gogo shilishomo pa liyo lyako na ndipo imanyile kulola ukoto nakushoya shipande sha mkongo shilishomo pa liyo lya anungunayo.6Mnawape mbwa shilisho kitakatifu, na usiwaruhusu nguruwe lulu mmujo jako. vinginevyo nngalibie na kuikaknyanga kwa miguu na tena wapiga kugeushila mwe na kurarua ipande ipande.7Ujuge, na ugwe shiupegwe. Inoleye namwe shimpate, mbishe hodi namwe shimguriwe. 8Kwa yeyowe anayejuga, haposhele na kwa yeyowe aloleyaye hupata, kwa mundu ambaye jwabisha hodi shauguliwe. 9Au apali mundu miongoni mwenu ambaye pakuwa mwana jwake ajugire shipande sha mkate shapengwe liwe? 10Au ikiwa shimwajuge shamaki, na mwe shampe lyiyoka?11Kwa ineyo iwaga na nlilo muovu nahamaje kuwapa vana venu zawadi jambone, Je! Ni kiasi gani zaidi awawa waliye mbinguni washipengwa indu ya mbone kwa wale wanao muomba yeye? 12Kwasababu janeyo kupinganga tundeleva shindu shoshowe na wandu wana, namwe pia jinakumpasa tendelwa ineye na ineneyo wao. kwakuwa bineyo ni sheria ja manabii.13Njinjilanje kwa pilia geti jembamba. pakuwa geni pana na mpanda gupanushwe jikujiongoza kwenye uharibifu na wapali wandu wawagwinji wapitanga mpanda ago. Ligeti jembamba, 14Geti jembamba, ligeti jembamba ni mpanga gunakuwaongoza katika uzima, na wanashoko wakombolanga kuilola.15Njihadhirishe na manabii wa uongo, wanaisha wawete ngozi ja kondoo. lakini kwakweli ni mbweha wakali. 16Kwa matunda gao muwatembwile je wandu wawezile una matunda kwenye miiba au mumkongo kwenye imbenju ja mbaruti? 17Kwa jinsi joo kila mkongo wambone huwelekwa matunda gambone. Lakini mkongo gwa mbya huweleka matunda mabaya.18Na mkongo gwambone ukawelekwa matunda mabaya, wala mkongo mbaya ukaweleka matunda gambone. 19kila mkongo ambao ngawelekwa matunda gambone unakatwa na nkujaa katika moto. 20Kwa ineyo basi uwatumbwile kushokanga na matunda gao.21Si kila mundu anugurila nne Bwana, Bwana,' wajinjile katika ufalme wa mbinguni, bali jwejula pekee atendaye mapenzi ga awawa jangu aliye mbinguni. 22Wandu wawagwinji wanarugula lyua halyo Bwana, Bwana, jwangashoya unabii kwa lina lyako. tungashoya mapepo kwa lina lyako na kwa lina lyako itendile matendo magwinji gamakurungwa? 23Ndipo nawarugulile wazi, nganawe watambu nnyie shokeni kwangune nyie shokeni kwangune, mwe mtenda maovu!'24Kwa ineyo kila jumo anatame na malowe gangu na kutii, wanalandana na mundu mwenye hekima ashenjile nyumba jake juu ja mwamba. 25Ula jinyeshile mafuriko gajinjile, nabnupepo ujile, na muikomile nyumba ajo, lakini jingaweza janguka pakuwa jipaliji jishenjilwe juu ya mwamba.26Lkaini kila mundu ambikanile lilowe lyangu na asilitii analandanishwa na wandu wapumbavu, ashenjile nyumba jake juu ya mnganga. 27Ula jiishile na mafuriko gaishile na upepo uishile na kuikoma nyumba ajo na janguka na uharibifu gwake gukamilike."28Uishile wakati ambao Yesu pamalie kulongola malowe ago makutano walishangazwa na mafundisho gake, 29Kwakuwa afundishe kama mundu mwenye mamlaka na sikama waandishi gwao.
1Wakati Yesu patalemwishwe pai koposhela mlimani, umati gwa mkurungwa kulikagura. 2Inole mkoma aishe na sujudu mbele jake. naashiweleketa "Bwana, ikiwa mbile tayari unaweza itendile niwe safi". 3Yesu akanyoosha mkono gwake na kumgusa, ashiweleketa "Niko tayari mwe safi" hapo hapo naliteswa ukoma gwake.4Yesu amlugulile, "Mnole kwamba unawelekete na mundu jojowe mkamule mpanda gwako na jioneshe mmayene kwa kuhani na itole zawadi ambayo Musa agizie, kwaajili ja ushuhuda gwao"5Wakati Yesu paishile Kapernaumu, Jemedari aishile kwake na kumuyanga 6awelekete, "Bwana, mtumishi gwangu mgonile pa nyumba ashipooza na awe na maumivu ga tsiha." 7Yesu arugulilwe, naisha na kumponya".8Jemedari akajibu na kumlugulila, "Bwana, nne si wathamani hata ijile na jinjila mkati nan dari jangu imelekete lilowe tu na mtumishi gwangu mnaponywa. 9Pava nne pia ni mundu niliye na mamlaka na ngwete askari walio npai jangu. Nashikuweleketa kwa jweneju"Ijende na hujenda na kwa juna, 'Ijile na yeye huja, na kwa mtumishi gwangu, 'Utende nnei,' na nnyene anatenda nnei" 10Wakati UYesu apilikene genega, aliwashangaza na kuwalugulila wale walikumkaguranga, "Kweli nguna kuwawalanjila, nganawepata pata mundu akwete imani kuwa jweneju katika Israeli.11Ngunakummalanjila, wawagwinji shiwajie kopoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoo na Abrahamu, Isaka, na Yakobo, katika ufalme wa mbinguni. 12Lakini watoto wa ufalme watatuopwa katika luwindu lya palanga, ambapo shijipagwe kilio na kusaga meno. 13Yesu ashikumnugulila Jemedari, "Ujende! malinga ulivyoamini na itendeke nneyo kwako". na mtumishi ashiponywa katika saa jenejo.14Wakati Yesu aishile kumui kwa Petro, ashikumwona mama mkwe wake na Petro ashigona akiwa analwala homa. 15Yesu ashikumkamula mkono gwake, na homa ikamwacha. Kisha ashijumuka na kuanza kumuhudumia.16Na puishile jioni, vandu washikumletea Yesu wandu wawagwinji washitawaliwa na pepo. Ashiokuwafukuza mapepo na akawaponya. 17Kwa jinsi nnei yashimilila gegala gaweleketwe na Isaya nabii, "Nnyene ashitola magonjwa getu na ashijigara maradhi getu"18Kisha Yesu paonile kusanyiko limemzunguka, ashitoa maelekezo ga kwenda upande guna wa bahari ja Galilaya. 19Kisha mwandishi aishe kungwake na kumlugulila, 20"Yesu ashikummlalanjila," mbweha washikola maiimo, na ijuni wa aangani washikola viota, lakini mwana jwa Adamu jwangali sehemu ja kulaza mtwe gwake."21Mwanafunzi juna ashikummalanjila, "Bwana, niruhusu kwanzqa nijende kumzika awawa jangu." 22Lakini Yesu ashikumlugulila, "Nifuaten uleshe wafu wazike wafu wao."23Yesu paajinjile kwenye mtumbwi, wanafunzi gwake washikumkagula mtumbwini. 24Inole, ishijinuka dhoruba kunani mwa bahari, kiasi kwamba mtumbwi ushiunikwa na mawimbi. Lakinin Yesu ashiwaga ashigona. 25Wanafunzi washijia kungwake na kumjumuya wakiweleketa, "Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kuwa!"26Yesu ashikuwalugulila, "Kwa inbdin mnajogopa, mmwe mkwete imani jajishoko?" Ndipo ajumushwe na kukeme upepo gwa bahari. Kisha kukawa nan utulivu mkuu, 27wanarume washikola mshangao wakaweleketa, "Jwejuno ni mundu njwa namna jashi, kwamba hata pepo na bahari vinakumtii nnyene?"28Wakati Yesu paishile ashikwia upande guna wa nchi na magadala, wanarume wawili washitawaliwa na pepo washikutana naye. waaliji washikoposhela makaburini na washitendanga vurugu kaje, kiasi kwamba jwakwapi amanyile kupita gwegula mpanda. 29Inole, washipaza sauti na kuweleketa, "Tukwete indi cha kutenda kwako, Mwana jwa Nnungu? ushwiya penepa kututesa kabla ja wakati kuika?"30Inaino likundi kubwa lya nguruwe lishiwa likijichunga, pangawa mbali sana na pawaliji, 31pepo washijendela kwa Yesu nan kuweleketa. "Ivaga utatuamuru kushoka, mtupeleshe kwenye kundi lya nguruwe." 32Yesu ashikuwalugulila, "Mjendanje!" pepo wajaul;e na kwenda kwa nguruwe. Na mnole, kundi lote lishishuka kopoka kumlima kuteremkia baharini na lote likafia majini.33Wanarume wapaliji wanawinga nguruwe washikuwutuka. na waishile kumbwanin washielezea kila shindu, hususani shikoposhele kwa wanalume watawaliwen je na mapepo. 34Inole mjin mzima ukakwiya kukutana na Yesu. walipomwona walimsihi ajaule kwenye mkoa gwao.
1Yesu paajinjile kweny boti, akavuka na akafika kwenye mji paaliji anaishi. 2Inolaje washikupeleshela mundu apoozwile na agonekwe na godoro, pajionile imanin jao Yesu ashikuwalugulila apoozwile "Mwanangu muwe na furaha, Dhambi jako jisamehewe"3Inole, Baadhi ja walimu wa sheria washikuweleketanga wao kwa wao. "Hajuno anakufuru" 4Yesu atambwile mawazo gao na awelekete "Kwa indi ngwazile maovu moyoni mwenu? 5Shei kikolile rahisi kuweleketa, Dhambi jako jisamehewe au awelekete 'mjime na mtembee? 6Lakini mtambwile ja kwamba mwana wa Adamu ashikola uwezo wa kusamehe dahambi? pawelekete aga kwa wewala wapoozwe, "Injinushe injigare ligodoro njako na ujende kumui kwenu"7Ndipo jwejulam mundu ajimilena jaula na kwenda kumui kwako. 8Pamakutano wapoozwele ago washikushangaa na kumsifu Nnungu ambaye awapele uwezo gwa wandu. 9Na Yesu paaliji anapita pepala shoshela kweneko na kumwona mundu ashemilwe kwa lina lya mathayo ambaye paaliji atamile sehemu ya watoza ushuru. Naye ashikwalugulila "ngagulange nne" naye pajimile na kumkagura.10Nab Yesu alipoketi shoshela kweneko nan kumwona mundu ashemilwe kwa lina lya mathayo ambaye paaliji atemile sehemu ya bwatoza ushuru. wawagwinji na wandu waovu walishiriki shalya pamoo na Yesu na wanafunzi gwao. 11Ndipo mafalisayo waonile nneyo washikwalugurila wanafunzi "kwa indi m walimu jwenu wanalya shalya pamoo na watoza ushuru na wandu waovu?"12Yesu papilikene ineyo, naye ashikuweleketa Wandu walio na afya jambone wangahitaji mganga ile wowe walio wanalwala. 13Jinakupasa ijende mkajifunze maana gake. 'Napendile rehema na siyo dhahabu" pava najile sb kwa wenye haki ja tabu, pakua wenye dhambi.14Ndipob wanafunzi wa kwa Yohana waishe kungwao na kuweleketa, "Kwa indi uwe na mafarisayo, tunaugula, lakini wanafunzi wenu wakaugulanga?. 15Yesu ashikuwalugulila je waindishe e arusi wanaweze kuwa na huzuni pindi Bwana harusi wapaliji pamoo nao? Lakini moga ganaisha ambapo Bwana harusi ashijigalwa kopoka kungwao na ndipo shiwaulange.16Jwakwapi mundubawika shipande sha nguo ja yambi kwenyeb nguo ja bukala. shilaka shitatuliwe koposhela kwenye nguo na mp[asuko gwa mkurungwa unakoposhela.17Wakwapi vandu wawishile mvinyo gwa yambin katika shombo sha mvinyo wa ukala. ikiwa watendile ngozi jinachanika mvinyo ngunakopoka na ngozi jinaharibika. Badla jake, mmiche mvinyo ngwayambi katika ngozi jayambi na wowe upaliji salama.18Wakati Yesu apaliji ashikwalugulila mambo ago, Inole, afisa ajile na kusujudu mbele jao, naye ashikuweleketa, "Binti jangu ashiwa punde, lakini ijile nan imishe mikono jako juu jake na nnyene haishile kawili. 19Ndipo Yesu ajimile na kuwakagula na wanafunzi wake pia.20Inole, wandonya ambae apaliji anakopoka minyai kwa muda wa miaka kumi nan iwili aishile karibu na "Yesu na kumgusa sehemu ja pindo la vazi lyake. 21Kwakuwa ashikuweleketa, jendapo nigusile vazi lyake namwe shipate uponyaji." 22Yesu pageushilile kumnola na kumlugulila. "Binti ijipe moyo, imani jakon jitendile upone" na muda huo huo jwandonya apatile uponyaji muda ago.23Na Yesu paishiole na nyumba ja ofisa, naye awaonile wanakomanga tarumbeta na umati gwa vandu upaliji unakomanga kelele. 24Naye ashiweleketa, "Mshoshange pano, kwakua binti akanawe uwa, bali agonile, lakini wenewo washiekenga na kumkebehi.25Na wale vandu washoshile palanga naye ajinjile kuchumba na kukamula mkono na jwandonya ajumwishe. 26Na ahabari jino jijenele katika mji mzima.27Ndipo Yesu apaliji ashipitka kopoka kwekula, wanarume wawili vipofu washikumkagula na waliendelea kupaza sauti wanaweleketa "Tunajuga uturehemu, mwana wa Daudi. 28Pindi Yesu paaliji aishile pa nyumba wale vipofu waishe kungwao. Yesu ashikuwalugulila "Mnaamini kwamba mnaweza kutenda? nao wakarugulanga "Ineyo Bwana"29Ineyo Yesu agusile meyo gao na kuweleketa "Itendeke nnei kungwenu malinga imani jenu jilivyo" 30na meyo gao galifumbuka, ineyo Yesu asisistiza na nakumwamuru na kuwweleketa, "nngalieni mundu jojowe akatambwile kuhusu lijambo lyenelyo." 31Lakini vandu wenewo wawili walijaula nan kutangaza habari jejino sehemu jowe ja mji.32Ineyo wale warume wawili wapaliji wajendile jao, Inolanje, mundu jumo bubu aliepagawa pepo aletwile kwa yesu. 33Na pepo wakopweshe jwejula mundu bubu atanduwe longela, umati ulishangazwa na kuweleketa "jejino jikanawe koposhela katika israeili. 34Lakini mafarisayo wapaliji washiweleketanga, kwa wakurungwa wa pepo, na kuwawinganga mapepo"35Yesu pajendile kwenye mijigowe na vijiji, Naye ashiendelea ufundisho katika masinagogi akihubiri injili ja ufalme, na kuwaponya magonjwa ga kila aina na udhaifu wa aina jowe. 36wakati palolile umatinaye ashikwa onelanga huruma, kwasababu wasumbwike na kuvunjika mtima gwao. wapaliji kama kondoo wangali na mchungaji.37Naye ashiwakuwalugulila wanafunzi gwake. "mavuno ni wawagwinji, lakini watenda maengo ni wawashoko. 38Ineyo basi ulaka mjiganje kwa Bwana wa mavuno, kwakuwa kwamba atume matunda maengo katika mauno gake."
1Yesu ashikwashemanga wanafunzi gwake kumina wawili pamoo na kuwapanganga mamlaka juu ja pepo wachafu, na kuwakomanga na kuwawinganga, na kuponya aina za magonjwa .2Mena ga m itume kumi na miwili ni aga, kwanza simeoni(ambaye vpia pashimilwe patro), na Andrea kaka jake, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kakajake. 3Philipo na Bartelemayo, Thomaso, na Mathayo mtoza ushuru, Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo, 4Simoni mkananayo, na Yuda Iskariote, ambaye alimsaliti.5Hawa kumi na wawili Yesu ashikuwatumanga naye ashikuwaelekeza na awelekete "Mnajende sehemu wanakwishi wamataifa na mnajinjilanje kwenye miji ya wasamalia. 6Badala jake mjenda kwa kondoo wapotele kunyumba ja Israeli. 7Na kujenda hubiri na imerekete ufalme wa mbinguniushikaribia.8Mnaponyange wagonjwa, mfufueni wafu, ntakaseni wenye ukoma na mminje pepo. mposhele bure, mshoye bure. 9Msichue dhahabu, Almasi au shaba kwenye pochi jenunji. 10Mnajigare mkoba katika safari jenu, au nguo ja ziada, ilatu au fimbo, pakuwa watenda maengo wanastahili shalya shake.1112Mji gogowe au kijiji shimjinjile, mnoleyange ambae wanastahili na mtame na mtame pepala mpaka mtakaposhoka. Mnapojinjilanga katika nyumbna musalimie, 13Endapo nyumba jikastahili Amani jenu jibaki pepala, lakini kama nyumba jikastahili amani jenu jijaule pamoo nanyi.14Kwa wewala wangaposhala nanyi au mnapilikana malowe genu wakati wajaula kwenye nyumba au mmi ago, mjipanguse mavumbi ga nyayo genu mahali penepo. 15Kweli nakuwalugulila jipali ja stamili zaidi mii ja sodoma na gomora moga ja hukumu kuliko mii guno.16Mnolanje ninakumtuma kama kondoo katika ja mbwa mwitu, kwa ineyo iwe na werevu kama lyiyoka na wapole malinga njiwa. 17Muwe waangalifu na vandu, muwaposhele kwenye mabaraza na kuwakomanga kwenye masinagogi. 18Na shannetwe mbele ja wakuru na wafalme kwaajili jangu. kama ushuhuda gwao na kwa mataifa.19Pindi watakapo washutumu, mnakole wasiwasi jinsi gani au indin shalongolela, pakuwa shindu sha weleketa mpegwile kwa wakati gwenego. 20Kwakuwe ingawa mmwe muwulongele, lakini mtima wa awawa yenu unalogela nkati gwenu.21Anungunayo shajunushie mnunguna jake na kummulaha, na awawa kwa mwana jwake, vana wainushilwe dhidi ja wazazi, nasababisha kuwa. 22Nnyie shimshukiwe na kila mundu kwasababu ja lina lyangu, lakini jojowe atakayevumilia mpaka mwisho jwenejo mundu shaokolewe. 23Pindi wanapowatisha katika mii ngunammutushile mii unagokuraga, kwakweli ngunakuwalugulila, pakuwa mjendile kwenye mii jowe ja israeli kabla ja mwana jwa Adamu akanawe uja.24Mwanafunzi nga jwa mkuru kwa mwalimu jwake, na wala mtumwa alie juu ja Bwana jwake. 25Jitoshile kwa wanafunzi kwamba awe kama mwalimu gwake, ikiwa washichemwanga Bwana jwa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi jashi zaidi mwanakashifu pa nyumba jake!26Ineyo basi mshiwahofu wao kwakuwa jakwapi jambo likaunukurwa, na shakwapi lyangafichika ambalo linakajulikana. 27Sheshile niwarugulila pagiza, mmelekete nuruni, na shimpilikene kwa ulaini mmaikilo gwenu mkitangaze mbile juu ja nyumba.28Mnajongope wewala ambao mnakuwaunga mwili. lakini wangakola uwezo ngwa bulaya mtima. Badala jake mujogope jwejula ambaye awezaye kuangamiza mwili na mtima gwa kule kuzimu. 29Je kasuku wawili wakauzwaga kwa senti jajishoko? Hata ineyo shakwapi amanyile janguka pai bila awawa jenu fahamu. 30Lakini hata idadi ja nywele jenu jinahesabiwa. 31Mnakole na hofu pakuwa mnathamani Zaidi kuliko kasuku wagwinji.32Ineyo bai kila jumo atakae nikiri mbele ja vandu nne pia mbele ja awawa jangu alie mbinguni. 33Lakini jwejula atakayenikana mbele ja vandu nami pia nakukana mbele ja awawa jangu alie m,binguni.34Mnafikiri kwamba nilikwia leta amani duniani. naishe kuleta amani lakini kwa upanga. 35Pava naishile kungwenu mundu nanakomanange na awawa yake, na binti dhidi ja mama jake, na mkwe dhidi jwa mama jake. 36Adui jwa mundu waliji wewala wa kumui kwake.37Jwejula mabae apendile awawa au amama zaidi kuliko mwwe jwenejo anastahili na jwejula apendile kijana au binti zaidi kuliko nne jwenejo hanistahili. 38Jwejula ambaye shajigare msalaba na kumkagura nne hanistahili. 39Jwejula jwa loleyanga maisha wapingapoteza, lakini jwejula apoteza maisha kwaajili jangu ayapatile.40Jwejula atakayewakaribisha ananikaribisha nne, na jwejula atakayenikaribisha nne amkaribishe jwejula andumile nne. 41Na jwejula atakayemkaribisha nabii kwasababu ni nabii aposhele thawabu ja unabii, Na jwejula atakayemkaribisha akwete haki kwasababu ni mundu jwa haki aposhele thawabu ja mundu jwa haki.42Jejowe apaile jumo jwa washoko hawa, hata shikombe sha mashi ga ang'wa ga baridi kwasababu jwejula ni mwanafunzi kweli mnakulugulila jwejula hawezile koksa kwa mpanda gogowe thawabu jake."
1Ikiwa baada ja Yesu kumalila kuelekeza wanafunzi gwake kumi na wawili washoshile pepala na kwenda kufundisha na kuhubiri katika mii jao, 2na Yohana ali gerezani aplikane juu ja matendo ga Kristo, atumile ujumbe pilia kwa wanafunzi gwake. 3na washimmuyanga, "Mmwe ni jwejula aishe auau kuna juna tunapaswa kumnongolela?"4Yesu ajangwile na kuweleketa kwao "Jendeni mkataarifu Yohana agale mkugawona na gale mgu yapilikene. 5Vandu wakokolanga wanapata kulola viwete vinajenda wakoma wakoma wanatakaswa, vandu wangapilikana kawili, vandu wawile wanafufuliwa na kupata uhai na wandu wahitaji wahubiriwe habari njema. 6Na abarikiwe jwejula jwangalola shaka juu jangu.7Pindi vandu hawa wajawile, Yesu atandwiwe kuweleketa na umati juu ja Yohana, "ni indi mwajendile kulola katika jangwa tate likitikiswa na upepo? 8Lakini indi mwajendile kulola__mundu awete mavazi mololo? Hakika wale wawetenje mavazi mololo utama katika nyumba ja wafalme.9Lakini mwajawile kulola indi-Nabii?,Ineyo, nakumlugulila na zaidi ja nabii. 10Hajuno ni jwejula ajandishwe, Inolanje nakumtuma mjumbe jwangu mbele ja uso gwako, ambaye atandaa mpanda gwao mbele jako.11Nne nakuwarugulila kweli kati ja wawelekwe na wandonya jwakwapi aliye mkuru kuliko Yohana mbatizaji. Lakini aliye jwamshoko katikan ufalme wa mbinguni ni mkurungwa kuliko jwejula. 12Shoka moga ga Yohana mbatizaji mpaka inaino, ufalme wa mbinguni ni wamashili, na vandu wenye mashili, hujiingete kwa mashili.13Pakuwa manabii na sheria, jipaliji wakitabiri mpaka wa Yohana. 14Na kamamko tayari kubali ajuno ni Eliya jwejula aishele, 15Aliye na makilo ga pilikana apilikene.16Nilinganishe na indi kizazi shino? Ni mfano wa vana wanaong'anda maeneo ga sokoni, wanaotama 17na shemana na ashiweleketa "Twakomile zomari na mkangandanga, tuliomboleza na mkagutanga.'18Pava Yohana aishile bila kulya mkate au mvinyo, na wakawa wanaweleketa, 'Ana pepo.' 19Mwana wa Adamu aishile analya, na kungwa na ashikuwweleketa 'Mnolanje, ni mundu mlaji na mlevi, ni marafiki na watoza ushuruna washikola yambi! Lkaini hekima inadhihirishwa kwa itendo jake,."20Yesu atandwile kuikemea mii ambamo baadhi ja ,atendo gake ga ajabu galitendeka kwasababu wapaliji wakanawe tubu, 21Ole wako, Kolozini, ole wao Bathsaidia! malinga matendo makuru gatendeke Tiro na Sidoni gale gatendeke hapo wapaliji watubu ukala pe kwa wala magunia na kuipoka majivu. 22Lakini ipaliji uvumilivu kwa Tiro na Sidoni moga ga hukumu kulikon kungwenu.23Mmwe, Kapernaum, unadhani utajinushilwa hadi mbinguni? Hapana unashushwa hadi pai kuzimu. malinga pa sodoma patendeshe matendo makuru, malinga gatendeka kungwenu, shijipali hadi lelo. 24Bali naweleketa kungwenu kwamba jipaliji rahisi kwa nchi ja sodoma kujima moga ga hukumu kuliko mmwe.25Katika muda ago Yesu awelekete, "Nakumsifu mwe, awawa Bwana wa mbingu na Nchi, kwasababu uliwaficha mambo genego na wenye hekima na ufahamu na kuyaunukulakwa wangali elimu, kama vana vashoko. 26Awawa pava jiliwapendeza ineyo meyoni pako. 27Mambo gowe gakabidhiwe kungwenu kopoka kwa awawa na jwakwapi amanyile mwana paaliji awawa, na jwakwapi ammanyile awawa paaliji mwana, na jejowe ambaye mwana washikola hamu ja kumnukulila.28Ijianje kwangune, nyie nyowe mnaosumbuka na mnaolemewa na nngigo nzito, nami nitawapumzisha. 29Mtaganje nira jangu na mjifunza koposhela kwangune. pava nne ni mnyenyekevu na mpole gwa mtima na mnapatanga pumziko la nafsi jenu. 30Pava nira jangu ni laini na mzigo gwangu ni mwepesi.
1Wakati gwenego Yesu ajendile moga ga sabato kupitila kumngunda, wanafunzi gwake, wapaliji na shiwanga na watandwiwe kutamanga masuke na kulya. 2Lakini mafarisayo paonilanje ago washikurugulila Yesu "Mnolanje wanafunzi gwao wanatemanga sheria watende moga ganago ruhusiwa moga ga sabato"3Lakini Yesu ashikuwalugulila, "Mkanawesoma jinsi Daudi atendile, wakati wapaliji na shiwanga, pamoo na vandu wapaliji nao? 4Namna ajinjile nkati ja nyumba ja Nnungu na kulya mikate ja maonyesho, ambayo jipaliji ngali halali, jake kulya na wale wapaliji nago ila halali kwa makuhani?5Bado mkanawe soma katikan sheria kwamba katika moga ga sabato makuhani mkati mwa hekalu hainajisi sabato. lakini wangakola hatia? 6Lakini naweleketa kungwenu kuwa aliye jwamkuru kuliko hekalu jako penepo.7Kama mkamanyilenje jenejo jinamainisha indi, wanapinga rehema na wala nga dhabihu, msingaliwa hukumu wangali na hatia, 8Pava mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato."9Kisha Yesu akopweshe pale nijenda katika sinagogi lyao. 10Inole paaliji na mundu apoozwe mkono, Mafarisayo kuwawuyanga Yesu, washikuweleketa. "Je ni halali kuwaponya moga ga sabato? ili kwamba waweze kuwashitaki kwa kutenda dhambi.11Yesu ashikuwalugulila "ni gani kati jenu, ambaye ikiwa na kondoo jumo, na jwenejo kondoo nijanguka nkati ga limoo moga ga sabato, washikukamula na kushoya kwa mashili mkati mwa liimo? 12Je ni shapi shenye thamani, zaidi shei, si zaidi ja kondoo kwa ineyo ni halali kutenda maana moga ga sabato."13Kisha Yesu akamlugulila jwejula mundu,"Nyoosha mkono gwake" ashikunyoosha na apatile afya, malinga jwejulajuna. 14Lakini mafarisayo wakoposha njema wakapanga jinsi ja kumwangamiza wajendile palenga kupanga shinyume shake wapaliji wandonya jinsi ja kumulaga.15Yesu alipoelewa hili ajawile penepo. wandu wawagwinji washikurugura, na kuwaponya wowe. 16Aliwaagiza wanakwie wakamfanya afahamike kwe wengine, 17Kwamba jitimie jejila kweli, wapaliji washiweleketwa na nabii Isaya, ashikuweleketa,18Inole mtumishi gwenu achanguliwe mpendwa jangu katika jwenejo nafsi jangun jipendezwe, nakuwika mtima gwangu juu jake na ninatangaza hukumu kwa mataifa.19Washiangaika wala kuguta kwa mashili, wala awaye jowe kupilikana sauti jake mitaani. 20Shiwatemanje tete lijingwerewe, nizima utambi wowowe ushoshao lyoi mpaka atakapoleta hukumu ja jishindile. 21Na mataifa wapaliji na ujasiri katika lina lyake.22Mundu fualani kipofu na bubu, jwapagawe na pepo ashiletwa mmujo mwa Yesu.na akamponya, pamoo na maokoto ja kwamba mundu bubu ashikuweleketa na kulola. 23Makutano wowe walishangaa na kuweleketa, "Jaweza jwejuno mundu kuwa mwana wa Daudi?"24Lakini pindi mafarisayo waplikene muujiza gwenegu, washikuweleketa, "Jweneju mundu akashoya pepo kwa mashili jake nnyene isipokuwa kwa mashili za Belzebuli, mkuru jwa pepo. 25Lakini Yesu jwafahamu fikra jaona kuwalugulila kila ufalme gugawanyike gwenyewe unaharibika na kila mji au nyumba jigawanyike jenyewe jikajima.26Ikiwa shetani ashoshilwe na shetani basi anakupinga katika nafsi jake wayene. 27Ni namna gani ufalme gwake ulijima? nakama nashoshie pepo kwa mashili ja Belizabuli, wafuasi gwenu washoshile kwa nija ga ndi? kwaajili ja jeneji wapaliji mahakimu wenu.28Na kama wanashoya pepo kwa mashili ga Roho jwa Nnungu, Basi ufalme gwa Nnungu guykumanyile kunngwao. 29Na mundu atawezae jinjila nkati mwa nyumba ya wayene kwa mashili ja kujiwa bila kutawa na akwete mashili kwnza? Ineyo wajibile mali jake koposhela nkati mwa nyumba. 30Jejowe jula kuwa pamoo nami juko shinyume shangu, naye jwejula akusanye pamoo nami jwejula hatawanya.31Kwa ineyo naweleketa kungwenu, kila dhambi na kufuru wandu watasamahewa, ila kumkufuru Roho mtakatifu jwangasamehewa 32Na yeyowe awelekete lilowe kinyume sha mwana wa Adamu, lyenelyo atasamahewa. lakini yeyowe awelekete kinyume cha Roho mtakatifu jweneju nhatasamahewa katika ulimwengu guu, na gwegula gwakwiya33Ama mtende mkongo guwe gwa mkoto na tunda lyake likoto au ngaribie mkongo na tunda lyake. kwakua mkongo ukatambulika kwa tunda lyake. 34Nyie kizazi cha lyoka, nyie ni waovu, mnawezaje kuweleketa mambo gaukoto? Pava shinywa hunenwa koposhela katika aikba ja galigo moyoni. 35Mundu mwema katika akiba njema ga mtima gwake shoka mema na mundu muovu katika akiba ovu ja moyo gwake hushoya kilicho shiovu.36Nakurugulila katika moga ga hukumu ga wandu watoile hesabu ja kila lilowe linga na maana pawelekete. 37Pava malowe gao inayosababishwa haki na kwa malowe gako utahukumiwa.'38Kisha baadhi ya waandishi na mafarisayo walimjibu Yesu washiweleketa" Mwalimu tupendelee kulola ishara kopoka kungwenu. 39Lakini Yesu ajangwile na kuwarugulila, 'Kiovu na cha zinaa kinaloleya ishara lakini jwakwapi ishara jitolewe kwao japokuwa jwwejula ishara ja Yona nabii. 40kama jejila nabii Yona wapaliji mkati jwa litumbo ja samaki mkurungwa kwa moga matatu muhi na shilo, nneyo mwana jwa Adamu atakavyo kuwa nkati kwa mtima wa nchi kwa moga matatu muhi na shilo.41Vandu niwani wanajima mbele ja hukumu pamoo na kizazi cha vandu wenewo wataki hukumu pava washikutubu kwa mahubiri ga Yona, na kumnola mundu fulani jwa mkuru kuliko Yona hapalin penepa,42Malkia wa kusini shajinushe kwenye hukumu pamoo na vandu wa kizazi sheshino hikhukumu. Aishe na shoka miisho ga dunia kwiya kuskia hekima ja Selemani, na kumnola mundu fulani jwa mkuru kuliko selemani jwapali penepo.43Wakati pepo mchafu ashokapo kwa mundu, kupita mahali pangali na mashi analoleya kupumzika lakini jwangalola 44Kisha ashiweleketa, "Ninawuja kopoka kwa nyumba jangu nikopweshwe baada ja uja naimene jejila nyumba jisafirishwa na jingali tayari. 45Kisha huenda na kuwapeleka wenenji wachafu saba wabele wabaya zaidi kuliko jwejula na wauja kuishi na wowe pepala na hali jake ja mwishohuwa mbaya kuliko jwa kwanza, genego galivyo koposhela kizazi hiki kiovu.46Wakati Yesu wapaliji wanalanjra na umati inole amama gwake na anunguynaye wajimile palanga washiloleyanga kongela naye. 47Mundu jumo ashikwalugulila, "Inolanje amama ajake na anungunaye wajima palanga wanaloleya longela naye."48Lakini Yesu ajangwire na kunugulila aliyemjulisha "mama jangu na indi? na anungunaye na ashigani? 49jwejula anyooshe mkono gwake kwa wanafubnzi na kuweleketa, "Inole wenewo ni amama na anungunayo! 50Pava jojowe atendile mapenzi na awawa jangu aliye mbinguni, jwene mundu ndiye mnungunangu, adada jangu na amama jangu".
1Katika moga ago Yesu ashoshile kumui na hatamile kando ja bahari, 2Umati gwa m kurungwa gwakusanyike na kunguruka, pa jinjile mkati ja mtumbwi na tama nkati jake, umati wowe mnwajinjile kando ja bahari.3Kisha Yesu awekelekete malowe ga magwinji kwa mfano, awelekete "Inolempanzi jaendile kupanda. 4Apaliji apandile baadhi ja mbeju idondoshwe kando ja mpanda na ijuni waishile donoanga. 5mbeju ina jidondoshee juu ja mwamba ambapo ngwaupandile unami gwa tisha. Gafla jiipishe kwasababu ja udongo upaliji na kina. 6Lakini wakati lyua likoposhe zilichomna kwasababu jipaliji na mzizi na zijumwile.7Mmbeju jina zidondoshwe kati ja mkongo gwenye miwa jirefurishe juu na kuisonga. Mmbaju jinadondoshweshe pa udongo gwa mkoto welekwa
1Yesu wakati gweguno Herode aplikane habari juu ya Yesu. 2ashikwalugulila watumishi gwaonji. jwejuno ni Yohana mbatizaji afufikwe kopoka katika wafu, kwa ineyo mashiuli jejino jake."3Kwakuwa herode hapaliji amkamwile Yohana nakumugala na kujaa gerezani kwasababu ja Herode, akongo wa felingo kaka jake. 4Kwakuwa Yohana ashikuwalugulila nga halali kumjigara jwenejo kuwa wakongo wao. 5Herode wamuleje lakini washijogopanga vandu kwasababu wamoniolenje Yohana kuwa nabii.6Lakini wakati ja lyua welekwa Herode paishile binti wa Herode angandile katikati ja Vandu na kumpendeza Herode. 7Katikati jangura lyeneli aliahidi kwa chuiapo kwamba shiwapeleshe shoshowe shile shiwaombile.8Baada ja shauriwa na amama yaje ashiweleketa, "mbene penepa katika shikombe mumtumwe wa Yohana mbatizaji. 9Mfalme apaliji na masikitiko kwa maombi ga binti lakini waajili ga kiapo shake, kwasababu ja wowe wapaliji chakulani pamoo naye na kumwamuru kwamba inapaswa jitendeke.10Atume Yohana aishe shoka gerezani. 11ili akwete mtwe gwake na shipeleshwe juu ja sinia na bkupengwa binti na kushipeleka kwa mama jake. 12Kisha wanafunzi gwaonji waishile kutola sheshila shiilu na kuuzika baada gwa lenali wajendile kuwalugulila Yesu13Naye Yesu papilikene genega ashikujitenga kushoka mahali wapaliji nikwera nkati ga mashuka pajendile sehemu jitangirwe wakati umati gumanyilenge mupaliji washikumkagura kwa maguru shoka mijini. 14Kisha Yesu aishile mbele jao nilola umati gwa mkurungwa nikuwaonela huruma na kuwaponya magonjwa gao.15Ligulo pujitimie wanafunzi waishile kungwai na kuweleketa, "Jeneji ni sehemu ja jangwa na lyuwa tayari jipitile, watawanyishe makutano gao ili wajende wakaumanje shalyab kwaajili jao.16Lakini Yesu ashikuwarugulila, "jakwapi haja jakwenda jao wapegange manganji shalya" 17Washikumrugulila, "Penepo tukwete mikate mitano na samaki wawili pe."" 18Yesu ashikuweleketa, "Ileteni kwangune."19Kisha Yesu akauamuru umati kutama pai pa manyai Ajigere mikate mitano na samaki wawili nilola juu mbinguni na kubariki nan kumega mikate nipegwanga wanafunzi, wanafunzi kuwapanganga umati. 20Walile wowe na kujikuta kisha nikusanya vipande vyowe vya shalya na kujaza vikapu kumi na mbili. 21Wale wowe walile shalya washikukadiriwa kuwa warume alfu tano bila ja hesabu wandonya na vana.22Mala jimo aliwaamuru wanafunzi wajinjile nkati mwa mashua wakati go jwejula akawaaga umati wajende zao. 23Baada ja agana umati kwenda zao shikwera juu jan mlimani kuombe jika pee, wakati jipaliji ligulo apaliji kweneko jika pee. 24Lakini inaino mashua jipaliji katikati ja bahari ukiyumbayumba kwasababu ja mawimbi kwani upepo gupaliji kwa mpisho.25Katika shilo cha zamu ja nne, Yesu ashikuwarugulila akitembea juu ja mashi. 26Wakati wanafunzi wake wamwonilenje akitembea juu ja bahari washikuhofu na weleketa, "Ni mzuka" na kupaaza sauti katikan hali ja uoga. 27Yesu nikuwalugulila malan jumoo akaweleketa, 'Mjipanganje mtima ni nne mnajogope"28Petro pajangwire kwa kuweleketa, "Bwana kama ni mwe niamuru njie kungwenu juu ja mashi." 29Yesu ashikuweleketa "Nyie" Ineyo petro nikopoka nkati mwa mashua na tembea juu ja mashi kwenda kwa Yesu. 30Lakini Petro agawonile mawimbi ashikujogopa natanduwa kudidimiya pai, nishemanga kwa sauti na nkuweleketa "Bwana nng'okole!"31Harakan Yesu ninyoosha mkono ngwake na kumnyakula Petro na kumrugulila, "Mmwe mwenye imanin jajishoko, kwa indi wsapaliji na mashaka? 32Ndipo Yesu na Petro puwajinjile katika mashua, upepo ulikomaa kuvuma. 33Wanafunzi ,mashuanin wakamwabudu Yesu na kuweleketa, "kweli mmwe ni mwana wa Nnungu."34Na wamalienje kuuka waishile katika nchi ya Genesareti. 35Na wandu katika eneo jejila walipotambwile Yesu, washituma ujumbe, kila sehemu ja kondo na kuleta wapalinji mgonjwa. 36Walimsihi kwamba wawezile kugusa pindo la vazi lyake, na wagwinji walionigusa waponyilwe.
1Ndipo mafarisayo na waandishi waishila kwa Yesu, koposhela Yerusalemu. na kuweleketa, 2Kwa indi wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? pakuwa wakanawanga mikono jao wapaliji wanalya shalya. " 3Yesu ajangwire na kuwarugulila "Nanyi__kwa indi mnaihalifu, sheria Bwana kwaajili ja maposhelo genu?4Pava Nnungu awelekete, mheshimiwa awawa jako namama jako na awelekete, uovu kwa awawa jake hakika ashikuwa. 5Lakini njowe mmelekete kila awelekete na awawa jake nan mama jake " kila msaada ambayo haupatile kopoka kwangu inaino ni zawadi kopoka kwa Nnungu," 6Mundu jwenejo hana haja kumuheshimu awawa jake. katika namna jeneji mutegulenye lilowe lya Nnungu kwaajili ja maposhelo jenu.7Enyi wanafiki ni vyema kama Isaya jwangali tabiri juu jenu haweleketwe, 8'Vandu hawa wananiheshimu nne kwa midomo jao lakini mioyo jao jiiko mbali na nne. 9Wananiabudu bure kwasababu wanafundisha mafundisho galiyo maagizo ga wanadamu.10Ndipo washemwile makutano na kuwalugulila mplikenenji na kumanya. 11Shakwapi shindu shajiacho mdomoni mwa mundu na kutenda najisi, Bali, sheshila kishokasho kinywani, Sheneshi ndicho itendo ifanyacho mundu kwa najisi."12Ndipo wanafunzi na kuwajendela na kuweleketa na Yesu je mmanyire mafarisayo wapilikene lyelila lilowe walikwazika? 13Yesu wajangwire na kuweleketa, "Kila mmea ambao awawa jangu wa mbinguni akanawe pandwa shiung'olewe. 14Muwaweleshe jika pee wao ni viongozi vipofu shimwongoze vipofu wenzake. wowe wawili wajangwishe ilihimo."15Petro ajangwile na kumlugulilab Yesu, "Tuwelekete mfano guno kungwetu, 16Yesu ajangwire nanyi pia bado mkaelewanga? 17Mmanganyanji mkawaona kila kijendacho kukinywa hupitila kutumbo na jenda kyoo?18Lakini indu yowe ikoposhwe kukinywa hushoka mkati mwa mtima, Ndivyo indu vimekapo mundu unajisi, 19Pava katika mtima hushoka mawazo mabaya, Uaji, uzinzi, uasherati, gwihi, ushuhuda wa unami, na matusi. 20Aga ndivo mambo gamtiayo mundu unajisi, Lakini kulya bila nawa mahano hagatende mundu kuwa najisi."21Ndivyo Yesu ashoshile mahali pepala na kutenga na kutenga kuelekea pande ja mji wa Tiro na Sidoni. 22Inole aishe jandonya mkanani shoka pande hajo. Nipanza lilowe na kuweleketa, "Mnihurumie, Bwana, mwana wa Daudi binti jangu anateswa sana na pepo" 23Lakini Yesu jwangajangula lilowe wanafunzi gwake waishile wakimsihi washikuweleketa, "Mumshoyanje ajende zake"24Yesu pajangwire na kuweleketa nangatumwa kwa mundu jojowe japokua kwa kondoo jwa mnyumba mwa Israeli. 25"Lakini aishile najinama mbele jao. na kuweleketa, "Bwana nisaidie" 26Pa ajangwire na kuweleketa "G avema jigare shalya cha vana na kuwajaira mbwa,"27Ashikuweleketa "Ndivo Bwana hata jwenejo mbwa mshoko hulya shalya shijangushasho mezani mwa Bwana gwao." 28Ndivo Yesu ajangwire nan kuweleketa "jwandonyab imani jao ni jajikurungwa na mtende kungwako kama mmbingavyo" na binti jake paliji aponywile katika wakati gwenego.29Yesu pa ashoshile mahali pala na kujenda karibuni na bahari ja Galilaya kisha ajendile juu ja mlima na kukati kweneko. 30Likundi lya likurungwa lyaishile kungwake na kumpeleshela viwete, vipofu, bubu, vilema, wana wagwinji wapalioji wagonjwa. washikwawikanga katika makongono ga Yesu na kuwaponya. 31Nago umati gukashangaa puwaonile mababu wanalongela, na vulema watendwile kuwa wakoto, viwete wanajenda, na vipofu wanalola walimsifu Nnungu wa Israeli.32Yesu ashikwasema wanafunzi gwake na kuweleketa, "Nishikuwaonea huruma umati, kwasababu wapaliji na nne kwa moga gatatu bila shalya shindu shoshowe, shawaaga wajende kungwaobila kulya, wajile kuimile mumpanda." 33Wanafunzi gwake nikuwalugulila "Ni kwapi twaweza pata mikate jatosha penepo nyikani na kujukutanga umati gwamkurungwa agu? 34Yesu palugulilwe "Mshikola na mikate mingapi? washikuweleketa " saba na samaki washoko na wachache" 35Yesu akawaamuru umati uketi pai.36Atwaile jejila mikate saba na yamaki na baada ja shukuru, akaimega na kuwapea wanafunzi, wanafunzi kuwapanganga umati. 37Vandu wowe washilyanganga na kutosheka na kukusanyanga mabaki ga vipande vya shalya kilepeshe vipande, vipande, vijwaziwe vikapu saba. 38Wowe wapegwile shalya wapaliji wanarume elfu nne bila wakongwe na vana. 39Kisha Yesu nilajila umati ujende zao na jinjila nkati mwa mashua na njenda sehemu za magadini.
1Mafarisayo na Masadukayowaishile na nkumjaribu Yesu aboneshe ishara jikwope angani. 2Lakini Yesu pajangwire na kuwarugulila pava, "Paaliji nin ligulo mnaweleketa hali ja hewa ni jamkoto pakua anga ni jekundu.3Na lyamba mnaweleketa hali ja hewa ja lelo si jambone pakuwa anga ni jekundu na mawingu gaihunishe anga jowe mmanyile kufasiri mwonekano gwa anga lakini mkamanyile kufasiri ishara ja nyakati. 4Kizazi kiovu na cha uzinzi kinaloleya ishara, lakini jakwapi ishara jojowe ikupengwangwa. japokuwa jejila ja Yona kisha Yesu ashikwalekanga na ajende zake.5Wanafunzi waishile upande gwa pililakini wapali waliwele jigara 6mikate.Yesu ashikuwarugulila "Jitahadharini na muwange makini na chachu ja mafarisayo na Masudukayo." 7Wanafunzi wakahojiana miongoni mwao nan kuweleketa "Nikwasababu twangajigara mikate" 8Yesu atambwile genego na kuweleketa "Mmanganyanji mkolile imani jishoko kwa indi nngwazile nankuweleketanga miongoniu mwenu na kuweleketa pava ni kwasababu mkajigaranga mikate?9Je bado mkamanyan ga wala mkakumbushilanga jejila mikate mitani kwa vandu elfu tano, na vikapu ilingwa muikusanyile? 10Au mikate saba kwa vandu elfu nne na ni ikapu ingapi mjigaranje?11Imekuaje pava shakwa shamanyanga pava wapaliji wakalongela na mmwe juu ga mikate? jitunzeni na jihadharini na chachu ja Mafarisayo na Masadukayo" 12Kisha watambwile pava wapaliji wakarugulilwa juu ja kujihadhari na mikate jipali na chachu, bali kujihadhari na mafundisho ga mafarisayo na masadukayo.13Wakati Yesu waishile sehemu za kaisaria ja Filipi, nikwauyanga wanafunzi gwake, akiweleketa, "Vandu wanaweleketa kuwa mwana jwa mundu nin gani?" 14Washikuweleketa, "Wana wanaweleketa pava ni Yohana mbatizaji, wana Eliya; na wana Yeremia au jumo gwa manabii. 15Ashikwarugulila jwejula wanawereketa nne ni gani? 16Palugwire, Simoni Petro ashikuweleketa, "Mmwe ni Kristo mnwana jwa Nnungu jwangali hai"17Yesu ajagwile na kurugulila "Umebarikiwa mmwe simoni Bar Yona, Pava minyai na nyama vingaukunulwa lyeneli bali awawa jangu wabile mbinguni. 18Na nne kawili ninakuwarugulila pava mmwe ni Petro na kunani mwa mwamba gwenego nitaishenga kanisa lyangu, milango ja kuzimu haitashinda.19Nakupe mmwe ungulo ja ufalme wa mbinguni. shoshowe shiugalile pa duniani shipaliji shiugwele mbinguni na shoshowe shiugulilwe duniani shiugwale na mbinguni. 20Kisha Yesu akawaamuru wanafunzi wanamlugulile mundu jojowe pava jwwejula apaliji nib Kristo.21Tngu wakati go Yesu atandwile kuwalugulila wanafunzi pava ni lazima ajende Yerusalemu, kuteswa kwa mambo gamagwinji katika mikono ga wazee na wakuru wa makuhani na waandishi, kuulaga na kufufuka lyuwa lya tatu. 22Kisha Petro ajigare Yesu pembeni na kumkemea kwa kuweleketa, "lijambo lyelino na liwe mbali nawe, Bwana, lynali linakoposhela kweneko. 23Lakini Yesu pageushe na kumlugulila Petro, "mmuje nnyuma jangu shetani! mmwe ni kizuizi kwangune, kwamaana ikaliji mambo ga Nnungu bali mambo ga wanadamu."24Kisha Yesu ashikuwalugulila wansfunzi gwake, "Kama mundu jojowe apinjile kunikagula nne, ni lazima ajikane nnyene. ajigare msalaba gwake na angagule. 25Pava apinjile kugawokola maisha gake atayapoteza, na kwa yeyowe anayepoteza maisha gake kwaajili jangune atayaokoa. 26Je ni faida jashi shiapate mundu apatile dunia jowe lakini akapoteza maisha gake? Je! Ni shindu shashi ashoshile mundu katika kubadilishana na maisha gake?27Pava mwana wa Adamu shaishe katika utukufu gwa awawa jake na malaika gake. Naye shamlipe kila mundu lingana na matendo gake. 28Kweli nakuwalugulila kwa baadhi jenu mjimilenge penepo ambapo mkaonjanga mnauti mpaka mumonenje mwana wa Adamu aishe katika ufalme gwake.
1Lyuwa lya sita baadae awajigerenje pamoo jweneju Petro, na Yakobo na anungunaye na hawajingerenje mpaka kunani mwa mlima mrehu gwao wayene. 2Ashikubadilishwa mbele jao uso gwake unang'aa malinga lyua na nnguo jake zioneshe zenye kung'aa malinga nuru.3Inole pepala wakopweshe Musa na Eliya wanalongelela naye. 4Petro ajangwire na kuwalugulila Yesu. "Bwana ni vyema kungwetu huwe tuibile mahali pepano kama ushitamani kushenge hapano ibanda itatu. shimo shako, na shimo kwaajili ja Musa na shimo kwaajili ja Eliya."5Wakati wanalonjera, Inole wingu jeupe na kuwataga kivuli na Inole jikoposhele sauti shoka pa liwingu. jishiweleketa "Jweneju mwanangu mpendwa ninayempendezwa nay.e mumpilikene jwejula." 6Wanafunzi waplikene genego washikungwa kifudifudi na kujogopa sana. 7Kisha Yesu aishile na kuwagusa na bkuweleketa, "mjinushe wala mnajogope." 8Nao ni shumuka nyuso jao juu lakini jwangamuona mundu japokua Yesu jika pee.9Na wapaliji wanatelemka mlimani, Yesu na nkuwaagiza, na weleketa, "Mnashoye habari ga maono agano mpaka mwana jwa Adamu atakapofufuka kopoka katika wafu." 10Wanafunzi gwake nikwauyanga, na kuweleketa"Kwa indi waandishi wanaweleketa kuwa Eliya aishile kwanza?11Yesu ajagwire na kuweleketa, "Eliya aishile kweli na shaujenago mambo gowe. 12Lakini nakuwalugulilanga mmanganyanji Eliya tayari aishile, lakini jwangatambuliwa badala jake watendilenje mambo wapinganga wao. Na kwa ineyo ndivo mwana wa Adamu atakavyoteswa katika mikono jao." 13Ndipo wanafunzi watambiwe kuwa apaliji wanalogela habari ja Yohana mbatizaji.14Waishile katika umati gwa vandu, mundu jumo ashikwajendela, nikoma magoti mbele jake na kuwaluguliola, 15Bwana umhurumie mwanangu maana wapaliji nan kifafa na kuteseka sana. pava malagwinji mjagula mototni au kwenye mashi. 16Namletile kwa wanafunzi gwako, lakini njwangaweza kumponya .17Yesu ajagwire na kuweleketa, "Enyi kizazi kisichoamini na kilichoharibika, shinitame pamoo na nnyi mpaka lini? Nitavumiliana na nnyi hatab lini? mpeleshe penepo kwangune." 18Yesu alimkemea na pepo ashoshile Kijana aponywile tangu saa jejila.19Kisha wanafunzi wajinjile kwa Yesu kwa siri na kummuyanga, "Kwa indi twangaweza kuminganga?" 20Yesu ashukwalugulila "kwasababu ja imani jenu jajishoko. kweli nakuwalugulilanga kama mpaliji na imani hata kashokon kama punje ja mmbeju ja haradali, mwangaweza kuulugulila mlima gweguno, hama shoka penepa ujende kwekula gwenego utahama na mwapaliji na shindu shoshowe shashindikana kungwenu. 21(Nzingatiange malowe ga mstari gwa 21 "Lakini, ainan jeneji ja pepo ikawezekana kopoka, ila kwa kujuga na kutawa" ikaonekana katika nakala bora ja bukala).22Wakati wapaliji Galilaya. Yesu ashikuwalugulila wanafunzi gwake, "Mwana wa Adamu shatajwe mikononi mwa vandu. 23Na shiwammulaje lyuwa lya tatu shafufuke." wanafunzi washihuzunika sana.24Nao waishile Kapenaumu, vandu wakusanyao kodi ja nusu shekeli wakamjendela Petro na lugula, Je mwalimu jwenu hulipa kodi ja nusu shekeli?" 25Ashikuweleketa "Ndivo" Lakini Petro pajinjile nkati mwa nyumba, Yesu alongile na Petro kwanza na kuweleketa, "unafikiria indi Simon? wafamle wa dunia unaposhela kodi au ushuru kopoka kwa gani? kwa wale wanaowatawa kushoka kwa wajeni?26Na wakati Petro ashikuweleketa, "kushokan kwa wajeni" Yesu ashukumlugulila, nneyo watawaliwa washiondolewa katioka ulipaji. 27Lakini tunaishe tuwatendele watoza ushuru watende dhambi, ijende baharini. ijae ndoana na umtwae jwejula shamaki jiele kwanza. Baada ja ugura shinywa shake, mukogile mle shekeli jumo ijigare na muwapere watoza ushuru kwaajili jangu na mmwe.
1Muda gwenego wanafunzi waishile kwa Yesu na kuwalugulila, "ni jwapi alie mkurungwa katika ufalme gwa mbinguni? 2Yesu ashemile mwana jwa mshoko na kummika katikati jao. 3na weleketa, kweli ngunakuwalugulila msipotubu na pava kama vana washoko mwangaweza jinjila katika ufalme gwa Nnungu.4Ineyo yowe ajishushayo malinga mwana jwa mshoko mundu malinga aju ni mkuru katika ufalme gwa mbinguni. 5Na jejoye aposheyaye mwana jwa mshoko kwa lyina lyangu aposhele na nne. 6Lakini jejowe asbabishaye jumo kati kati ja washoko awo wanaoamini kuasi jipaliji ja mkoto kwa mundu jwejuno liganga lyablikulu lya lyaga likaugwala shingoni mwao. na kuyaminiwa kilindini mwa bahari.7Ole pa dunia kwasababu ja wakati gwa kukwaza! pakwa jwangali budi kwa nyakati jenejo kumala. lakini jwejula kwa mundu jwejula nyakatijo zilikwia kwaajili jake! 8Kama mkono gwake na mguru gwake ukikusababishia kukwazika mkate na mjaanje mbalina mmwe, ni jambone zaidi kungwenu na mmwe kujinjila kwenuye uzima gwangali bila mkono au kilema pakuwa jawa kwenye moto gwa milele upaliji na mkono yowe au makongono gowe.9Kama lyiyo lyako likikukwaza, uling'ole na ukajae mbali na mmwe. ni jambone zaidi kungwenu mmwe ujinjile kwenye uzima na lyiyo limo kuliko jawa pamoto gwa milele ukiwa na meyo jowe.10Inolanje kwamba mnaishe kadharau jumo jwa washoko hawa kwa maana ngunakuwalugulila kuwa mbinguni wapaliji malaika gwao lyuwa lyowe washikulola uso gwa awawa jangu aliye mbinguni. 11(Mzingatie malowe ganagoonekana mbuti mstari gwa 11, "pava mwana wa Adamu asihile kuokoa shile shipaliji kiwowile" ganaonekana katika nakala bora ja kale).12Mbnafikiri indi? ikiwa mundu wakolile kondoo miamoja na jumo gwao apotele je mkaweleke tisisni na tisa ja mlimani na kwenda kumlolea jumo awolile? 13Na akiisha kumpata, kweli ngunakuwalugulila, anamfurahia kuliko wewala tisini na tisa wangapotea. 14Vivyo hivyo ga mapenzi ga awawa jenu wa mbinguni pava jumo jwa washoko wenewa aangamie.15Kama mnunguna jakoa akikukosea, ujende, ukamwoneshe dosari jipali kati jako na nnyene apaliji jika pee. 16Lakini kama jwapilikana, mumjigare mnunguna jumoo au wawili zaidi pamoo nawe. pava kwa hinywa vya mashahidi wawili au watatu kila lilowe linaweza kuthibitishwa.17Na kama ukipuuza kuwapilikanila mligulile kanisa jambo lyenelyo, kama akipuuza nnepei kulipilikanila kanisa basi na awe kama mundu jwa mataifa na mtoza ushuru.18Kweli nakumlugulila shoshowe shila mtakachon kiugara duniani na mbinguni kinatawa, na shoshowe mtakacho kiugulila duniani na mbinguni shimgurange. 19Kawili nakuwalugulila kwamba kama vandu wawili kati jenu wakikubaliana juu ja jambo lolowe duniani waliombalo lyenelyo awawa jangu wa mbinguni wanakulitenda. 20Pava wawili na watatu wakikusanyika pamoo kwa lina lyangu, na nne niko katikati jao.21Kawili Petron aishe na kumlugulila Yesu, "Bwana ni mara ngapi mnunguna jangu akanikosea nami nimsamahe hata mara saba? 22Yesu akamlugulila "ngalugulila mara saba, lakini hata sabini mara saba.23Kwasababu jenejo ufalme wa mbinguni ni sawa na mfalme fulani apingile kusahihisha kopoka kwa watumwa gwake. 24Patwandwile kusahihusha hesabu, mtumwa jumo ashiletwa kungwake ambaye wapaliji talanta elfu kumi. 25Pava gukapagwa mpanda gwa lipa, bwana jwake ashilajila auzwe na kila shindu apaliji nacho, na malipo gatendike.26Ineyo mtumwa ashikugwa, nikoma maghoti mbele jake, ashiweleketa, 'Bwana muwe na uvumulivu pamoo nami na shikulipe kila shindu.' 27Ineyo bwana na jwejula mtumwa pava ashikusukumwa sana na hurumanineshikle na kumsamahe lideni lyenelyo.28Lakini jwejula mtumwaaishile na kuoata jimo kati ja watumwa nnjako apaliji analonga dinari mia, ashikunguta kukaba kooni na kunugulila "nilipe sheshila shikulongwa. 29Lakini jwejula mtumwa nnjako ashikungwa na kumsihi sana, akiweleketa "Muwe na uvumilivu na nne, shinikulipe.'30Lakini mtumwa jwejula jwa kwanza ashikana, Badala jake ajendile na kujaa gerezani mpaka atakapo mlipa shindu anachomdai. 31Na pawawaonile watumwa wenzie sheshila shikoposhwe, wasikitishwa sana, waishile na kuwalugulila bwana jwao kila shindu shikopweshe.32Ndivo jwejula Bwana na mtumwa jwejula amshemile, na kumlugulila 'Ewe mtumwa muovu njikukusamahe mwe lideni lyangu lyowe kwasbabu ulinisihin sana. 33Je! ukapinga kuwa na huruma kwa mtumwa nnjako, kama nne ningurumie mmwe?34Bwana jwake alikasirika na kuwakabidhi kwa wale watusafi mpaka alipe kiasi chowe apaliji analongwa. 35Ineyo ndivo awawa jangu wa mbinguni wapinga kuwatendile, kama kila jumon jwenu jwangamsamahe mnungunaye shoka mumtima gwenu."
1Ishoshile wakati Yesu wamaliapo malowe genego. ashikujaula Galilaya na nijenda mpakani mwa Yudea, mbele ja nto jordan. 2Umati gwamkurungwa ulikagura na kuwaponyanga kweneko.3Mafarisayo waishile kuwajaribu, na kuwalugulila "je ni halali kwa mundu kunileka mkongwe gwake kwasababu jojowe? 4Yesu ajangwire na kuweleketa mkashomanga kwamba jwejula angumbile mmujo ashikwaumba mmarume na mkongwe?5Na kawili ashikuweleketa, kwasababu jenejo mwanarume wapinga kuwelesha awawa jake na amama jake na kuungana na mkongwe gwake na wenewo wawili wapaliji shiilun shimo? 6Ineyo nga wawili kawili bali shiilu shimo bayi sheshila shiwaunganiusheni Nnungu, mundu jojowe ngakitenganisha."7Nikamrugulila, "Inaino kwa indi Musa alituamuru kushoya hati ja talaka na kumneka? 8Ashikuwalugulila, "kwa ugumu gwenu gwa mitioma Musa ashikuwaruhusu kuwaleka wakongwe gwao, lakini tangub walongelele japaliji nga ineyo. 9Nakuwalugulila kwamba yeyowe apingaye kumneka mkongwe gwake, jwangapaliji kwasbabub ja uzinzi, na akamwoa juna azinile na mwanarume apingaye kumuoa mkongwe alechilwe azinile."10Wanafunzi nwashikumlugulila Yesu, Ndivyo ilivyo kwa mnarume na mkongwe ga jwambone kuoa." 11Lakini Yesu ashikuwalugulila, "Nga kila mundu anaweza poshela mafundisho aga bali kwa wewala tu waruhusiwe kuposhela. 12Pa ineyo wapali matowashin wawelekwe shoka kulipitiu mwa mama jao na ineila wapali matomashi watendile iwena vandu, na wapali matomashi kwaajili ja ufalme gwa mbinguni. amanyire poshela mafundisho aga na kugaposhela."13Kisha ashipeleshwelwa Baadhi ja vana vya washoko ili awawishile mikono juu jao na kujugav lakini wanafunzi gwake washikwakemea. 14Bali Yesu ashikuweleketa, "Muwaruhusu wana wawashoko mukawakanile kuika kwangune. kwa maana ufalme gwa mbinguni ni kwa vandu kama wenewo. 15Naye pawishile mikono jake juu jao nan kisha ashijaula pepala.16Inole mundu jumo aishile kwa Yesu na kuweleketa "Mwalimu, ni shindu shashi sha mbone nipingacho kutenda ili nikwete kuwa na uzima gwa milele? 17Yesu ashikuwalugulila kwa indi unauya shindu shashi ni shambone? apaliji jumo pe abile mwema, lakini kama mnapinga kukola uzima shaeria ja Nnungu.'18Jwejula mundu akamuya, "Ni sheria jei? Yesu awelekete, nnaulage, nnazini, nnajiwe, nnashuhudie ulongo, 19Waheshimu awawa jako na amama jako na muwapende jirani jako, malinga nafsi jako.'20Mundu jwejula ashikwalugulila, "Mambo gowe aganimeyatii, bado napinga indi? 21Yesu ashikuwalugulila, "Kama mwapinjile kuwa mkamilifu, ijende ikauze ungalinavyo. na uwagere maskini na mpaliji na hazina mbinguni. kisha ijile nngagure." 22Lakini kijana jwejula papilikene gegara Yesu anugulile ashikujaula kwa huzuni, kwasababu apaliji na amemiliki mali jajigwinji.23Yesu ashikuwalugulila wanafunzi gwake, "Kweli nnakuwalugulilanga ni vigumu kwa mundu kujinjila katika ufalme wa mbinguni. 24Kawili nnakuwalugulilanga ni rahisi kwa ngamia kupita katika shitundu lya indano kuliko mundu tajiri kujinjila katika ufalme gwa Nnungu."25Wanafunzi papilikene genego washikushangaa sana na kuweleketa, "Ni jwapi bayi atakayeokoka?" 26Yesu ashikuwalolanga na kuweleketa, "Kwa mwanadamu lyenelyo likawezekana, lakini kwa Nnungu yowen yanawezekana." 27Kisha Petro ashijangura na kumlugulila "Inole tuleshile yowe na kumkagula mmwe. ni shindu shashi tutakachopata?"28Yesu Ashirugura, "Kweli ninakulugulila jwejula angagwile nne katika welekwa upya wakati mwana wa Adamu atakapoketi katika shitengu sha enzi cha utukufu gwake wanganyanji pia mkati juu ja itengu kumi na iwili vya enzi kuwahukumu makabila kumi na mawili ga Israeli.29Kila jumo jwetu aleshile nyumba, ja kaka adada, awawa, amama, vana au mgundakwaajili ya lina lyangu shaposhele mara mia na kurithi uzima wa milele. 30Lakini wawagwinji wabile wa kwanza inaino wapaliji na mwisho na wabile wa mwisho wapaliji wa kwanza.
1Kwa maana ufalme wa mbinguni unalandana na mmliki jwa nngunda, Pajimwishe lyamba na mapema nnei kualiji watenda maengo katika mgunda lyake lya mzabibu. 2Baada pakuwa wakubaliane na watenda maengo dinari jimo kwa kutwa, ashikwatuma katika mgunda gwake gwa mizabibu.3Ajendile kawili baada ja masaa matatu ineyo na kuwaona watenda maengo wana wapaliji wajimirenge bila maengo katika eneno la soko. 4Ashikuwalugulila mmanganyanji pia ijendanje katika mgunda gwa mizabibu na shoshowe shibile sha halali mnapegwanwa hivo pajaulwenje kutenda maengo.5Ajendile kawili baada ga masaa tisa na kawili baada ga masaa sita na kawili katika saa tisa na atendile inepeyo. 6Mara jejino kawili mnamo saa kumi na moja ajendile na kuwaimana vandu wana wajamile bila maengo Ashikuwalugulila, "Kwa indi mjimilanje penepa bila maengo kwa lyuwa zima? 7Washikuwalugulila kwasababu jwakwapi mundu jojowe hatuajiri. Ashikuwalugulila, 'mmanganyanji pia mjendanje katika mgunda gwa mizabibu.'8Wakati gwa ligulo puishile wenye mgunda gwa mizabibu nikumlugulila msimamizi jwake, 'Uwashemanje watenda maengo na uwalipe mishahara kwatandua na wewala wa mwisho hadi wa kwanza.' 9Waishile wewala waajiriwe saa kumi na moja jna kila jumo jwao ashiposhela dinari. 10Waishilewatenda maengo wa kwanza washikufikiri kuwa shiwaposhelenje Zaidi lakini waposhelenje pia kila jumo dinari jimo kila mundu.11Baada ja poshele malipo gao washikuwalalamikia wamiliki wa mgunda. 12Washikuwalugulila "wenewo watenda maengo wa mwisho washitumia lisaa limo pe katika kutenda maengo lakini muwalinganishie na uwe, uwe tushijigara mizigo kwa lyua lizima na kuungua na lyoto.'13Lakini mwenye mgunda ajangwire na kuweleketa kwa jumo gwao, 'Ijango nangatenda jambo baya twangakubaliana na nne kwa dinari jimo? 14Mposhele sheshila halali jako na ujende zako. ni furaha jangu kuwapea wenewa watenda maengo wajawire mwishe sawa sawa na mmwe.15Je nga haki jangu kutenda sheshila mpinjile na mali gangu? au lyiyo lyake ni liovu kwasababu nne ni mwema? 16Ineyo jwa mwisho apaliji wakwanza na jwa kwanza na mwisho"17Yesu apaliji wanapanda kujenda Yerusalemu, ashikuwajigara wanafunzi wanafunzi gwake kumi na mbili pembeni na mumpanda ashikuwalugulila, 18Inole tunaeleketa kuyerusalemu, na mwana wa Adamu atajilwe katika mikono ja wakuru wa makuhani na waandishi shiwamuhukumu shiwo 19Na shewashowanje kwa vandu wa mataifa ili kudhihaki na kumkomanga na kumsulubisha Lakini katika lyuwa lya tatushafufuke."20Kisha na amama na wana wa Zebedayo aishile kwa Yesu na wana wake. Apigile magoti mbele jake na kumjuga shindu kopoka kungwao. 21Yesu ashikuwalugulila, "Unapinga indi? Ashikuwalugulila, "Ngamuru pava wenewe wanangu wawili watame jumo mkono gwako gwa kulia na jumo mkono gwako gwa kushoto katika ufalme gwake."22Lakini Yesu ajangwire na kuweleketa, "Mkamanyanga sheshila shikujuganga, je mnakombole kushikwela shikombe ambacho nnywele? nikumrugulila, "Tunamanya." 23Ashikuwalugulila, shikombe shangu shangu hakika shimkwangage, lakini kutama mkono gwangu gwa kulia na mkono gwa kushoto ga jukumu lyangu kuwapanganga lakini kwa wewala ambao wamalile andaliwa na awawa jangu." 24Wanafunzi wanakumi piwapilikene ineyo wangauzunishwa sana na wewala anungunu awawili.25Lakini Yesu awashemile wayene na kuwalugulila, pava watawala wa mataifa huwatilisha na wakuru gwao hutekelezwa mamlaka juu jao. 26Lakini gaakanawe ineyo kungwenu Badala jake yeyewe apinjile kuwa mkurungwa miongoni mwenu lazima awe mtumishi gwenu. 27Na apinjile kuwa wakwanza miongoni mwenu lazima awe mtumishi gwenu. 28Kama jejila mwana wa Adamu ngwagaika kutumikiwab bali watumika na kutola uhai gwake kuwa ukombozi gwa wawagwinji."29Wakati washoshile Yeriko, umati mkurungwa ushikumkagura. 30Na kuwawonanga vipofu wawili wameketi kando ja mpanda, wapilikene je kuwa Yesu paaliji anapita wapaile lilowe na weleketa, "Bwana mwana wa Daudi uthurumie." 31Lakini umati ushikuwakemea na kuwalugulila,"Nyamazeni" Hata ineyo wenewo nipayanga lilowe zaidi na kuweleketa,"Bwana mwana wa Daudi utuhurumie."32Kisha Yesu pahajimile na kuwashema na kuwawuyanga,"Mnapinga niwatendele nndi?" 33Nikwarugulila, Bwana meyo getu gafumbuliwe." 34Bayi Yesu apali anatumwa nan huruma. nikuyagusa meyo gao mere ineyo shiwaposhelenje uwezo gwa lola na kumkaguranga.
1Yesu na wanafunzi gwake waishile waishile karibu na Jerusalemu na walijendanga mpaka Bethfage, katika mlima mizeituni kisha Yesu ashikwatumanga wanafunzi wawili, 2ashikuwarugulila, "Mjendaje kushikujiji kikaguracho na mara jimo shimkogane punda atawile pepala, na mwanapunda pamoo naye muwarugulanje na mjiananje kwangune. 3Iwaga mundu jojowe shiwarugulilanje shoshowe kuhusu lyenelyo, shimuweleketenje, "Bwana anakuchemenga, na mundu jwenejo mara moja atawaruhusu mjie pamoo weneo"4Lyenelyo lijambo lilokoposhela ni lyelila kuweleketwe kupitila kwa nabii lazima litimizwe Ashikuwalugulila, 5mumnugulile binti sayuni, anole, mfalme gwako alikwia kungwenu. mnyenyekevu na aliwa ampendile punda na mwana jwa punda mnume na mwana jwa punda jwamchanga.6Kisha wanafunzi washoshilenge nan kutenda malinga Yesu hawajangirenje. 7Wawaletanje punda na mwanapunda na kuwawika nguo jao panani jao naye Yesu atame pepala. 8Wawagwinji katika mikusanyiko washikutandaza nnguo jao mumpanda na wananji watemile watawi kushoka kumkongo na tandazanga kumpanda.9Umati gulongolele na Yesu na wewala wamkagulanje washikupaza lilowe na kuweleketa, "Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa aishe kwa lyina lya Bwana Hosana kunaninzaidi!" 10Yesu aishile Yerusalemu, mji mzima ushikugutuka na kuweleketa, "Jwenejo ni gani? 11"Umati ushikujibu, "Jweneju ni Yesu nabii koposhela Nazareti ja Galilaya."12Kisha Yesu alijinjila katika hekalu ja Nnungu, ashikwawinga palanga wowe wapaliji wakiumanga na kuuza hekaluni. Pia ashikupindua meza ja badilisha inapanje na itengu vya wauza njiwa. 13Ashikuwalugulila, "jijandishwe nyumba jangu jinashemwa nyumba ja maombi, lakini mmanganyanji mujiutendile pango la wanyabg'anyi." 14Kisha vipofu na vilema wakamwishila hekaluni, naye niponywanga.15Lakini wakati wakuru na makuhani na waandishi waonile maajabu ayatendile na wapilikanapo Vana wakomanga kelele hekalunina kuweleketa, "Hosana kwa mwana wa Daudi" wakamulenje na hasira. 16Washikuwalugulila, "Mpilikene sheshila shiweleketwe na wenewa vandu? Yesu ashikuwalugulila "Ineyo lakini mkanawe longolela kusoma, kushoka kukonywa kwa vana na vana wachanga wanyonyao mkolanje sifa? jikamilike? 17Kisha Yesu aweshelenje na kujenda palanga pa mji katika Bethania na kugona kweneko.18Lyamba apaliji anawuja mjinkj, paaliji na shiwanga. 19Awonile mkongo kandokando ja kumpanda akaujendela, lakini jwangakola shindu mnani jake japokuwa mayani. Ashilugula, "kunawe na matunda gwake daima kawili." Na mara gwegula mkongo gwegula ninyauka.20Wanafunzi waonelenje, Wakastaajabu na kuwelekete, "Jipali mkongo gunywawishe mara jimo? 21Yesu pajangwire na kuwalugulila, "kweli nakuwalugulilanga kama mwabile na imani na bila wasiwasi, mkatendile sheshila shitendeke kwa gwenego mkongo pe lakini mtarugula hata gwenego mlima, ujigwalwe na ujawe baharini na itendeshe. 22Shoshowe shiwajuganje kwa sala, hakuno mnaamini, shimposhele"23Yesu waishile hekaluni, wakuru wa makuhani na wazee wa vandu nakumjila wakati wapaliji akifundisha na kumuyanga, "Ni kwa mamlaka gei kutenda mambo aga? na ni gani apeile mamlaka aga? 24Yesu ajangwire na kuwalugulila, "Nanne kawili ninauyunga liswali limo. kama mkilugulila ni kwa mamlaka gei nitendile genega mambo aga.25Ubatizo gwa Yohana ukoposhwe kwei, mbinguni au kwa mwanadamu?" washikuhojiana wayene, washikuweleketa, tushikuweleketa ukopoke mbinguni atulugulile kwa indi jwangamwamini? 26Lakini tuliweketa ukoposhwe kwa mwanadamu wanawajogopa makutano, kwasababu wowe watamwona Yohana malinga nabii." 27Kisha pajangwire Yesu na kuweleketa "Mkamanyanga" Nikwalugulila bpia, wala nne nganawelugulila ni kwa mamlaka gei mtendile mambo aga.28Lakini mnafiki indi? Mundu mwene wana wawili ajendile kwa jumo na kumlugulila, mwanangu mjende ukatende maengo katika mgunda gwa mizabibu 29Lelo. mwana ajangwire na kuweleketa, ngajenda. Lakini baadaye nibadilisha mawazo gake na ajendile. 30Na mundu jwejula ajendile kwa mwana jwapili na kuweleketa shindu sheshila, sheshila mwana jwenejo niweleketa "Ninajenda, Bwana', lakini jwangajenda.31Jwapi kati ja wana wawili atendile matakwa ga awawa jake? niwelekete, "Mwana wa kwanza" Yesu ashikuwalugulila, "Kweli nawalugulila, mkusanye ushuru na makahab watajinjila kwenye ufalme wa Nnungu, kabla jenu kujinjila. 32Kwa maana Yohana aishile kungwenu kwa mpanda gulio mnyoofu, lakini jwangamwamini, wakati wanakusanya ushuru na makahaba wamwamini. na mmanganyanyi mwawonile lyenelyo litendeka mungaweza kutubu ili baadaye mumwamini.33Mplikananje mfano gungwire paaliji na mundu, mundu mwenye eneo lyalikurungwa lya Ardhi. apandile mizabibu, niwekanga uzio, nitengeneza shombo sha kamulila divai , mshenga na mnara gwa walinzi, na kulikodisha kwa watunza zabibu kisha nijenda katika nchi jina. 34Wakati wa mauno ga mizabibu gukaribie, ashikwatuma baadhi ja watumishikwa wakulima wa mizabibu kujigara mizabibu jake.35Lakini wakulima wa zabibu nikwajigara watumishi gwake, nakumkoma jumo, nakumulaga juna na kumkoma jumo kwa mawe. Kwa mara jina mmiliki ashikwatuma watumishi wana, 36wawagwinji zaidi na wewala wa kwanza lakini wakulima wa mizababu nakuwatendela inepei. 37Baada ga penepo Bwana jwejula ni kumtuma kwao mwana gwake niweleketa, "Watamheshimu mwananangu"38Lakini wakulima wa mizabibu wamwonile kijana jwejula, nilugulananga, "Jwejuno ni mrithi, njianje tumlagange na tumiliki urithi.' 39Ineyo mkujigara na kujaa palanga ja mgunda la mizabibu na kumulaga.40Je mmliki jwa mgunda la mizabibu paishepo shatende indi kwa wakulima wa mizabibu?" 41Nishikumlugulila "Atawaharibu wenewo wandu waovu katika mpanda gwa ukali zaidi, na kisha nikodisha mgunda gwa mizabibu vandu ambao watalipa kwaajili ja mizabibu jiivaga."42Yesu nikwalugulila, mkashomanga katika maandiko liwe walilolikana waashi lipaliji liwe likuru la msingi. lyeneli likopweshe kwa Bwana, linashangaza mmeyo gatu?43Ineyo nakuwalugulila ufalme gwa Nnungu utatwaliwa kushoka kungwenu na kupegwa taifa linalojali matunda gake. 44Yeyowe shajangwishe kunani mwa liwe lynelyo shavunjwe ipande ipande yeyowe shimpangushile, nikuyaga."45Wakuru wa makuhani na mafarisayo puwapilikene mifano jake, nilola kuwa wanawakunguluka wenewo. 46Lakini kila wapendile kunyosha mikono mnani jake, washikujogopa amkutano kwasababu vandu wamnolile malinga nabii.
1Yesu awelekete nago kawili katika mifano, niweleketa, 2"Ufalme gwa mbinguni unalandana na mfalme andaae sherehe ja harusi ja wandonyanji. 3Nikuwatuma watumishi gwake na kuwakaribisha wapaliji waalikwa kuika katikan sherhr ja harusi, lakini nwangaukanga.4Mfalme ashikuwatuma kawili watumishi wana, niwwleketa. "Nakuwarugulilaga wowe walioalikwa, Inolange, nikumwandalia shalya, fahari na dama jwangu wanono, waingilwe, na mambon gowe gabile tayari Nnjianje katika sherehe ja harusi."5Lakini vandu weneo wangazingatia kwa dhati mwaliko gwake, Baadhi walejile katika migunda lyao. na wana waujile katika sehemu jao za biashara. 6Wajine washiinushia atumishi wa mfalme na kuwadharirisha na kuwaulaga. 7Lakini mfalme alikashirika, ashiyuma jeshi lyake. nikuwaulaga wewala wauaji na kuwateketea mji gwao kwa moto.8Kisha ashikuwalugulila watumishingwake Harusi ibile tayari lakini waalikwa wangastahili. 9Kwa ineyo jendeni kwenye mikutano ja mpanda mkuru, mualikanje vandu wawagwinji kadri iwezekanavyo waishe kwenye sherehe ja harusi. 10Watumishi wajendile kumpanda mkuru na kuwakaribisha vandu wowowe wawaonile, wema na wabaya, Ineyo ukumbi gwa harusi ugumbele wajeni.11Lakini mfalme pajinjile kuwalolanga wajeni nikumuona mundu jumoo amabaye jwangawala vazi rasmi ja harusi! 12Mfalme nikummuya, 'Injangu, ulipataje kuisha nkati bila vazi lya harusi?' Na mundu jwene jwangamjagula shoshiwe.13Ndipo mfalme pawalugulile watumishi gwake, "mumugale mundu jumo mikono na migulu na mujae palanga katika luwindu, kweneko ambako kupaliji na shililo na nkuyaga meno. 14Pava wandu wawagwinji wanashemwa, lakini wateule ni wachache."15Ndipo Mafarisayo wajawele na kupanga jinsi ja kukamula Yesu katika malowe gake nnyene. 16Ndipo wawatumile wanafunzi gao pamoo na Maherode na kunugulila Yesu, "Mwalimu tumanyiore kuwa mmwe ni mundu wa kweli na unafundisha matakwa ga Nnungu katika ukweli. Ukajali maoni ga mundu juna na ungaonesha upendeleo kwa vandu. 17Kwa ineyo ntulugulile unafikiria indi? Jes ni sahihi kisheria kulipa kodi kwa Kaisari au laa?"18Yesu amanyile uovu gwao na kuweleketa, "Kwa indi mnajiharibu enyi wanafiki? 19Ngoneshanje inapanje itumikayo kulipia kodi." ndivo nikuwaletela dinari.20Yesu nikuwawuyanga, "sura na lyina lyenelin ni vya gani?" 21Nikuwajangula "Vya kaisari." ndipo Yesu awalugulile, "Mumpe Kaisari indu ili yake na ya Nnungu mumpe Nnungu. 22Puwapilikene ineyo nishangaa, kisha wanneshile na jenda zao.23Lyua linelyo baadhi ga Masudukayo waishile kwa Yesu, wewala wawelekete nao kuwa gwakwapi ufufuo gwa wafu, Washikummuya, 24Washiweleketa, "Mwalimu, M,usa awelekete ivaga mundu afariki bila veleka vana, nimleshele mkongo jwake kwa mnungunaye na ampatiloe mwana kwaajilin ja mnungunaye.252627Wapaliji wanunguna saba wa kwanza aoile kisha ashifariki bila kuveleka vana. mnimleshela mkongo jwake mnungunaye. Kisha mnunguna jake wa pili naye atendile inepei, kisha jwejula jwa tatu ikawa inepeyo hadi jwejula jwa saba. Baada ja tenda nneyo wowe jwejula jwandonya naye ashikufariki. 28Inaiona katika ufufuo jwejuno jwandonyab apaliji mkongwe jwa gani katika wananguna wowe saba? kwasababu wowe washikumuona."29Lakini Yesu nijangura na kulugulila, "Mnakosea kwasababu mkamanyanga maandiko wala mashili ga Nnungu. 30Pava katika ufufuo, vandu hawawi wala wakaolewa Badala ajake vandu huwa kama malaika gakweneko mbinguni.31Lakini kuhusu ufufuo gwa wafu, hamajawai kusoma sheshila ambacho Nnungu ashikuweleketwa kungwenu, ashiweleketa. 32Nne ni Nnungu wa Ibrahimu, Nnungu wa Isaka, na Nnungu wa Yakobo? Nnungu nga Nnungu wa wafu bali ni Nnungu wa wewala walio hai." 33Wakati wa mkusanyiko papilikene lyeneli, waliyashangaa mafundishisho gake.34Lakini Mafarisayo piwapilikene kuwa Yesu amewanyamazisha Masadukayo, washikujikusanya wao wayene kwa pamoo. 35Jumoo gwao apaliji mwanasheria, Alimuyanga liswali kwa kumjaribu. 36Mwalimu ni amri japi jilijo jajikuriu kuliko yowe katika sheria?37Yesu nikuwajangula, "Lazimja umpende Bwana kwa mtima gwako gowe kwa Roho jako yowe, na kwa akili jako yowe. 38Jeneji ndivo amri iliyo jikuru na ja kwanza.39Na japioli jinafanana na jenejo, Ni lazima kumpenda jirani jako kama ujipendile mmayene. 40Sheria yowe manabii hutegemea amri yeneyi mbili."41Na Mafarisayo wapaliji bado wakusanyike pamoo, Yesu nikuwawuyanga swali. 42Ashikuweketa "Je mwafikiri indi juu ja Kristo? jwejula ni mwana jwa gani? Nao nikujangura" Ni mwana jwa Daudi."43Yesu nijangwire, Ni kwamaana shei Daudi katika roho ashenile Bwana, niweleketa. 44Bwana ashikuwalugulila Bwana jwangu, "Mtame mkono gwangu gwa kuume, hadi niwatendeapo maadui jako wawikwe pai ja magulu gako?"45Kma Daudi achemilwe Kristo. "Bwana jinsin gani apaliji mwana jwake?" 46Jwakwapi awewzile kumjangura lilowe kawili. na jwakwapi athubutu kawili kumuya swali zaidi tangu lyuwa lyenelyo na jendela.
1Baadaye ashikulonjela na umati gwa vandu na wanafunzi gwake, Ashikuweleketa, 2"Waandishi na Mafarisayo wanatamila shitengu sha Musa. 3Kwa ineyo shoshowe wakwete nasho waamuru kutenda, itendanje kwekunon mliwachunguza. Lakini mnaishe jinjila matendio ga, kwasababu wenewo hutamka mambo wangayetenda.4Kweli, wenewo hutawa miingo mizito ambayo ni igumu kuinyakula na kishab kuwabebesha vandu mabegani mwao. Lkinin wenewo wayene ngayogelela hata kidole na nyakula. 5Matendo gawo gowe atendile ili walolanjwe na vandu, kwasababu wao hupanula msanduku gao na jongezo ukurungwa na mapindo gav mavazi gao.6Wenewo hupendelea kutama maeneo ga kifahari katika sherhr na bkatika vitengu vya heshima nkati mwa masinagogi, 7na kuwasalimiwa kwa heshima maeneo ga sokoni na kusjhemwa "Walimu" na vandu.8Lakini mmanganyanji mkapaswa kushemwa, " Walimu" na pakluwa mkwete mwalimu jumoo na nmmanganyanji wowe ni ndugu. 9Mnachemanje mundu yoyowe penepo pa duniani kuwa awawa jenu. pakuwa mkolile awawa jumo pe naye apaliji mbinguni. 10Wala mnaishe kushemwa, "Walimu" pa va mkwete mwalimu jumo pe yaani Kristo.11Bali abile jwa mkurungwa miongoni mwenu apaliji mtumishi jwenu. 12Yeyowe ajiinuae shashushwe. na yeyowe ajishushae shainuliwe.13Lakini ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafki mnakuwaugalila wandiu ufalme wa mbinguni. mmanganyanji mkawaza kujinjila nanmkawaruhusu wanaojinila kutenda yeneyo. (Mzingatie: mastari wa 14 gukaoneka katika nakala bora za kale. Baadhi ja nakala ujenjeshea mistari gwenegu baada ja mistari wa 12, mstari wa 14, 14ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafiki, pava mnawameya wajane") 15Ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafiki mnauka ngambo ja bahari na kuika kutenda mundu jumo aamini gegala munayofundisha na wapaliji kama mmanganyanji mnatenda mala mbili mwana wa jehanamu kama mmanganyanji wayene mlivyo.16Ole gwenu viongozi vipofu mmanganyanji mmeleketanje, yeyowe aapaye kwa hekalu nga shindu, lakini aapile kwa dhahabu ya hekalu, atawalwe na kiapo shake. 17Mmanghanyanji vipofu, wapumbavu shapi nin kikulungwa kuliko shengine. dhahabu au hekalu ambalo liwikile wakfu dhahabu kwa Nnungu?18N ayeyowe aapaye kwa madhabahu nga shindu, Baalin aapile kwa sadaka jilijo nnani jake, ashitawa na shiapo shake. 19Mmanganyanji vandu vipofu shapi nishikurungwa kuliko shingine. sadaka au madhabahu ambayo huwekwa wakfu sadaka zinatolewa kwa Nnungu?20Kwa ineyo jwejula aapaye kwa madhabahu huapa kwa meyo na kwa indu vyowe vilivyo mnani jake. 21Jwejula aapaye kwa hekalu, huapa kwa lyenelyo na kwa jwejula atamile mkati gwake. 22Na jwejula aapaye kwa mbingu, huapa kwa shitengu sha enzi sha Nnungu na kwa jweju;lan aketia mnanin jake.23Ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafiki na pava mnalipa zaka kwa bizali, Mnaana na mchicha lakini mneshile mambo mazito ga sheria, haki, rehema na imani, lakini aga mnapaswa kuwa muyatendile na gangali leka gana bila kuyatekeleza. 24Mmanganyanji viongozi vipofu, mmanganyanji ambao mnashuja mdudu jwa mshoko lakini mnameya ngamia!25Ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafiki kwakuwa munaukanga palanga na ikombe na palanga na sahani lakini mkati pagumbele dhuluma na kutokola na kiasi. 26Mmanganyanji Mafarisayo vipofu mmukange kwanza mkati ya ikombe na nkati mwa sahani. ili upande wa palanga nao pia uwe safi.27Ole gwenu Waandishi na mafarisayo wanafiki pakuwa mnalandana na makaburi yapashile chokaa, ambaye kwa palanga huoneshela gambone, lakini kwa mkati gagumbele miupa ja wafu nankila shindu kilicho cha nyata. 28Inepeyo mmanganyanji kwa palanga munaonekana wenye haki mbele ja vandu lakini kwa mkati mgumbele unafiki nab udhalimu.29Ole gwenu waandishi na mafarisayo wanafiki,. pava mwashenjile makaburi ga manabii na kugapamba makaburi ga webnye haki. 30Mmanganyanji mnaweleketa kama tungeishi moga ga awawa jetu, twangapaliji tumesjhiriki pamo nao kujita minyai ja manabii. 31Kwa ineyo mwajishuhudia wayene kwamba mmanganyanji ni vana wenewo wawauleje manabii.32Piua mmanganyanji mnakamilisha kugumbaya sehemu jinajostahili dhambi ja awawa jenu. 33Mmanganyanji lyoka wana wa vipiribao kwa namna jei mtaikwepa hukumu ja jehanamu?34Kwa ineyo Inolanje, nakuwatuma kungwenu manabii, vandu wenye hekima na waandishi, Baadhi jao mutawabulaga na nakuwasulubisha, Na Baadhi jao nitawachapa nkati mwa masinagogi jenu na kuwawinganga kushoka mji gumo hadi guna. 35Matokeo ni kwamba juu jenu pakopwehse minyai yowe za wenyezilizomwaga duniani, kutandua minyai ja Habili akwete haki hadi kwa minyai ja Zakaria mwanan jwa Barakia, jwejula mu mulege kati ja patakatifu nan madhabahu. 36Kweli nakuwalugulila mambo aga gowe mkakipatile kizazi sheshino.37Yerusalemu, Yerusalemu, mmwe unawaulaga manabii na kuwakomanga maganga wewala ambao wanatumwa kungwako! mara ngapi niwakusanyile vana wako pamoo malinga nnguku awakusanyayo vifaranga vyake pai ja mbawa jake, lakini nngakubali! 38Inole, nyumba jako jipeleshe ukiwa. 39Na nne ngunakuwalugulila kutanduwa inaino na kuendelea hautamuona hadi shimmelekete, "Amebarikiwa jwejula aishile kwa lina lya Bwana."
1Yesu ashoshile hekaluni na nijenda jake, Wanafunzi gwake nikwajendela na kummonesha maengo ga hekalu. 2Lakini pajangwire na kulugulila, "Je mkakolanga mambo gowe aga? kweli nakuwalugulila lyakwapi liwe lilepeshe kunani ja jengine bila ja bomolewa."3Na paatamile katiika mlima gwa mizeituni, wanafunzi gwake ni kuwajendela kwa faraja na kuweleketa, "Mtulugulile mambo aga gakoposhe lini? gakoposhwe kwei? Shindu shashi kipaliji dalili kwia kungwenu na mwisho gwa ulimwengu? 4Yesu ashikwajangura na kuwalugulila, nbilenajo makini kwamba anaishe mundu kuwapotosha. 5Pava wawagwinji wataiika kwa lina lyangu, na kuweleketa, nne ndiye kristo na kuwapotoshanga wawagwinji.6Shimpilekene vita na btaarifa ja vita, Mnolanje mkaishe kubila nago na wasiwasi, pava mambo aga gangakola budi kukoposhela lakini gwegule mwisho unaisha bado. 7Pava taifa linajinuka dhidi ja taifa lina ufalme dhidi jan ufalme kupaliji na shiwanga na mtetemko ga ardhi katika sehemu mbalimbali. 8Lakini aga gowe ni kutanduwa pe kwa uchungu gwa kuigula.9Ndivo shiwashoyange kwaajili mateso na kuwabulaga, shimshuliwe na mataifa gowe kwasababu ja lina lyangu. 10Ndivyo wawagwinji wapinga kujikwala nankusalitiana na kushukiwa wayene kwa wayene. 11Manabii wawagwinji waunami shiwakoposhe na kuwatembanga wawagwinji.12Kwa sababu uovu upinga jenjeshea upendo gwa wagwinji shiupole. 13Lakini apingaye vumilia mpaka mwisho shaokolewe. 14Jeneji injili janufalme shiubiriwe katika ulimwengu mzima malinga ushuhuda kwa ,mataifa gowe. na ndivo gwegula mwisho sheushe.15Na ineyo shilolanje chukizo la uharibifu, liliowweleketwa na nabii Daniel lijimile mahali patakatifu [asomaye atambwele], 16Ndivo wapaliji yuda wautushile milimani. 17Na jwejula abile kunani ja paa lyab nyumba ashikombole kutelemka pai na kutola shindu shoshowe shika mkati mwa nyumba jake, 18Na abile kumgunda anauje kopoka vazi lyake.19Lakini ole gwao ambao washikolanga mwana na wewala ambao wananyonyesha katika lyua lyelino. 20Mjuganje kwamba kuutuka kungwenu kunawe wakati wa mmbepo wala lyua lya sabato. 21Pava kupaliji na dhiki jikuru, ambaye jikawe kopoka tangu kuumbwa kwa ulimwengu hadi inaino, na wala jikapali kawili. 22Kama moga ago gangefupishwa, jwakwapi ambaye shaokoke, lakini kwasababu ja wateule moga ago gafupishwe.23Kisha ikiwa mundun jojowe shawalugulile 'Inole, Kristo abile kweneko au Kristo abiule kwekula mmngamini malowe ago. 24Pava makristo wa unami na manabii wa unami waishile na kubonesha ishara jajikurungwa ja maajabu kwa kusudi jwapotosha kama ingewezekana hata kwa wateule. 25Inolanje nishikuwatahadharisha kabla ja mambo gowe shoshola.26Pa ineyo ikiwa shawalugulile, "Kristo apaliji jangwani. Au 'Mlolanje, ashiwa nkati mwa nyumba,' msiamini malowe genego. 27Malinga jejila radi jinavomulika shoshela mashariki na kuangamiza hadi magharibi. ndivo gupaliji kuisha kwa mwana jwa Adamu. 28Popowe upaliji mzoga, kweneko ndivo tai wakusanyikapo.29Lakini mara baada ya dhiki jikuriu nan moga gake, lyua shilitagwe luwindu, Mwei ukashoka mwanga gwake, nnyota zinang'aa shoka angani, na mashili ga mbinguni zitatikisika.31Ndipo ishara ja mwana jwa Adamu jinaoneshela angani, na makabila gowe ga dunia gataomboleza. wataloleanga mwana jwa Adamu alikwia katika mawingu ga angani kwa mashili ga utukufu mkuru. 30Shiwatume nalaika gwake kwa lilowe likuru na tarumbeta, nao shiwakusanyike pamoo wateule gwake kushoka pande ncheshe ja dunia kopoka mwisho jumo hadi jina.32Muijuganje somo kopoka mkongo kumkongo. mara pe tawi litakapochipuka na kushosha maamba, mnamanya kwamba kiangazi kinakaribia, 33Ineyo pia shimlolange mambo aga gowe mnapaswe, kumanya kwamba akaribie karibu ja milango.34Kweli ninakuwalugulila kizazi hiki shikapita hadi mambo gowe gapaliji gakoposhele. 35Mbingu na nchi zilipita lakini malowe gangu gangapita kamwe.36Lkini kuhusu lyua lyelila na saa shakwapi mundu atambwile, hata malaika wambinguni, wala mwana, bali awawa jika pe.37Malinga ipaliji katika moga ga Nuhu. ndivyo ipaliji kuisha kwa mwana jwa Adamu. 38Pava katika moga ago kabla ya gharika vandu vapaliji washilya nan kung'wa, washioa na kuolewa hadi lyuwa lyelila ambayo nuhu jinjile katika safina. 39Na wangamanyile shindu shoshowe hadi gharika jishile nakuwasomba wowe - Ndivo wapalijinkuika kwa ,mwana jwa Adamu.40Ndivo vandu vawili wapalijin kungunda- jumo shajigarwe na jumo shaleshwe nyuma. 41Wandonyanji wawili wapaliji wanayaga pamoo - jumo shajigarwe na jumo shalepeshe. 42Kwa ineyo muwage meyo kwasababu mkamanya lyua gani ambayo shaishile Bwana wenu.43Lakini mmanyile kwamba, ivaga Bwana mwenye nyumba atambwile nisaa japi ambayo mwii shaike, angekesha nan asingeruhusu nyumba yake kuvamiwa. 44Kwa ineyo pia mnapaswa kuwa tayari pava mwana jwa Adamu shaishe katika saa mkanawe tarajia.45Ineyo ni gani aliye mwaminifu mtumwa akwete lunda, ambaye bwana jwake apeile mafdaraka juu ja walio katiika nyumba jake, ili awapele shalya kwa wakati ufaao? 46Abarishiwe mtumishi jwenejo ambaye Bwana jwake shiwamkomange akitenda ineyo wakati uishapo. 47Kweli nakuwalugulila kwamba bwana shamwishe kunani na lika shindu kilicho shake.48Lakini malinga mtumwa mwovu awelekete mumtima gwake, bwana jwangu akawile. 49Na nitanduwa kuwakomanga watumishi gwake na kulya na kulewa vileo, 50Bwana wa mtumwa jwenejo shaike katioka lyuwa ambayo jikatarajiwa na katika saa ambayo jikamanyika. 51Bwana jwake shamkate ipande iwili na kuwika katika nafasi jimo sawa na wanafiki ambako wapaliji na shililo na kuyaga meno.
1Ndivyo ufalme wa mbinguni unalinganishwa na wanawali kumi wajigerenje laa jao na kujaula kujenda kuposhela Bwana harusi, 2Watano miongoni mwao wapaliji wapumbavu na watano wana wapaliji werevu. 3Wanawali wapumbavu wajigere taa jao, wangajigala mauta yeyowe. 4Bali wanali welevu wajigere yombo yenye mauta pamoo na taa jao.5Inaino wakati bwana harusi ashelewe kuika, wowe wakamwile lugono na ni gonanga. 6Lakini wakati wa shilo gwa manane wapaliji na yowe, 'Inole bwana harusi "mshokanje palanga mkaposhele.'7Ndivo wenewo wanawali wajimwishe wowe na kukolea taa jao, 8Wewala wapumbavu washikuwalugulila wewala walemavu, mtupegwanje sehemu ja mauta genu kwasababu taa jenu yayimika. 9Lakini wewala walemavu puwajangwire na kuwalugulila pava gangatisha uwe na mmanganyanji badala jake ijendaye kwa wanaouza mngumanje kiasi kwaajili jenu.'10Wakati wajendile kweneko kuuma, bwana harusi aishile na wowe wapalijitayari kujenda nago kwenye sherehe ja harusi na mlango uugwele. 11Baadaye wewala wanawali wana pia waishile na nkuweleketa, "Bwana, bwana mtuhugulile.' 12Lakini alijibu nan kuweleketa, 'kweli nakuwammalanjila, nne ngakuwamanya.' 13Kwa ineyo mnolanje na kuwa mkamanyi lyuwa au saa.14Pava ni sawa na mundu apinjile kusafiri kusafiri kujenda nchi jina, ashikwashema watumwa gwake na kuwakabidhi utajiri gwake. 15Jumo jwao ashikumpa talanta tano juna apeile mbiuli na jwejula juna apeile talanta jimo, kila jumo aposhele kiasi kulingana na uwezo gwake na jwejula mundu asafiri nijenda jake. 16Mapema jwejula aposhele talanta tano atendile kuwika na kuzalisha talanta ina tano.17Inepele jwejula aposhele talanta iwili ashikuzalisha ina iwili. 18Lakini mtumwa aposhele talanta jimo, ajendile jake, kuimba lyimo ardhini, na kuiya ipanje ya bwana jwake.19Na baada ja mundu gwa mleu, bwana wawatumwa wao aujile na kutengeneza mahesabau nao. 20Jwejula mtumwa aposhele talanta tano aishile na aletile talanta niweleketa, Bwana mwambele talanta tano Inolre mbatile faida ja talanta ina tano. 21Bwana jwake ashikulugulila, "Hongera. mtumwa jwambone na mwaminifu! upaliji mwaminifu kwa indu ishoko, nishimpe madaraka juu ja indu ingi ijinjile katika furaha ja bwana jwako.'22Mtumwa aposhele talanta iwili aishe na kuweleketa, "Bwana mmbele talanta iwili inole nipatile faida ja talanta jina iwili, 23Bwana jwake ashilugulila 'Hongera mtumwa jwambone na mwaminifu, Upaliji mwaminifu kwa indu ichache, shinimpe madaraka juu ja indu ingi, ijinile katika furaha ja bwana jwako.'24Baadaye mtumwa aposhele talanta jimo aishile na kuweleketa, Bwana mmanyile kuwa mmwe ni mundu mkali anachuma mahali ambapo pangapandwa, na unauna mahali ambapo hukusia. 25Nne najogwepe nijenda jangu na kwiya talanta jako katika udongo, inole ikwete pepano jejila jilijo jako.'26Lakini bwana wake pajangwile na kuweleketa, mmwe mtumwa mwovu na mmayembe, ukamanyi kwamba ninachumba mahali ambapo nganawe panda na kuuna mahali ambapo nangakusia. 27Kwa ineyo ulipaswa kuwapea ipanje jangu vandu wa benki na wakati gwa uja kwangune ngaposhele sheshila shangu pamoo na faida.28Kwa ineyo mnyang'anyeni jenejo talanta na mupeyange jwejula mtumwa aliye na talanta kumi. 29Kila mundu aliye nacho shajenjeshewe zaidi hata kwa zidishiwa sana. lakini kwa yeyowe jwangali na shindu, hata abile nacho atanyang'anywa. 30Mujaanje palanga gizani jwenejo mtumwa jwangafaa ambako gupaliji na shiliolo na kuyaga meno.'31Wakati mwan wa Adamu waishile katika utukufu gwake na malaika wowe pamo naye ndivyo puwatamile juu ja shitengu shake sha utukufu. 32Mataifa gowe gakusanyike mbele jake naye nikuwatenganisha vandu, kama vevala mchungaji wanavyo watenganisha kondoo na mmbui. 33Ashikwawika kondoo mono gwake gwa kuume. bali mmbui shawawikwe mkono wa kushoto.34Kisha mfalme shiwalugulile wewala walio mkono gwake gwa kulia ijinjianje mubarikiwe na awawa jangu urithi ufalme uandaliwe kwaajili jenu langu kuwikwa msingi wa ulimwengu. 35Pava napaliji na shiwanga na mumbele shalya, nipaliji mjeni na mngalibishe. 36Nipaliji uchi na mkinivika nnguo, nipaliji mgonjwa na mkanitunza nipaliji ndawilwe na mkaikanga. '37Ndivyo wenye haki wajangwire na kumlugulila Bwana lyua lyashi tumonile ukwete na shiwanga na kukulisha? Au ukwete na kiu na tupeke mashi? 38Na lyuwa lyashi tukuonile upali mjeni na tukukaribishe? Au upaliji uchi na tukakuvisha nnguo? 39Na lyuwa lyashi tukuwonile mupaliji mgonjwa au katika kiunga na tukakuishila? 40Na mfalme pajangwire na kumlugulila kweli nakuwalugulila mupendile pepano kwa jumo na anunguna jangu washoko mndendele nne.41Ndivo nikuwalugulila wenewo walilo mkono gwake wa kushoto mshokanje kwangune, mugonilanje ijendanje katika moto wa milele uandaliwe kwaajili ja shetani na malaikan gake. 42Kwasababu nipaliji na shiwanga lakini mwanganipeya shalya, nipaliji na kiu lakinin mwanganipeya mashi; 43Napaliji mgeni lakini mwanganikaribisha, nipaliji uchi lakini mwanganipeya mavazi, nipaliji mgonjwa na nipaliji kifungoni, lakini mwanganitunza.'44Ndivo wenewo pia pajangwile na kuwa kuweleketa, Bwana lyuwa lyashi tukuwonile upaliji na shiwanga au upaliji na kiu au mjeni au upaliji uchi au upali mgonjwa au upaliji kifungoni na twangahudumia? 45Kisha pajangwiole na kuweleketa, kweli nawalugulile kile ambacho mukatendanga kwa jumoo wa wenewo washoko ngatendewa nne, 46Wanewo Shiwajendanje katika adhabu ja milele bali wenye haki katika uzima gwa milele."
1Wakati Yesu puwamalianje kuweleketa malowe gowe ago, akiwalugulila wanafunzi gwake. 2"Mmanyile kwamba baada ja moga gawili kupaliji na shikukuu ja pasaka na mwana jwa Adamu ashonywe ili asulibiwe."3Baadaye wakuru wa makuhani wazee wa vandu paimananenje pamoo katika makao ga kuhani mkuru, apaliji anashemwa kayafa. 4Kwa pamoo washipanga njama ja kumkamata Yesu kwa siri na kummuluga. 5Pava wawelekete, "Inatendeshe wakati gwa shikuru, kusudi ikanawe ikazuka ghasia miongoni mwa vandu."6Wakati Yesu apaliji Bethania katika nyumba ja simoni mkoma. 7apaliji ajibweneshe mezaniMwanandonbya jumo aishile kungwake apaliji ajigele mkebe wa alabasta jipaliji na mauta genye thamani jikurungwa, na jwamimine mnani mwa mtwe gwake. 8Lakini wanafunzi gwake waonile jambo lyenelyo, washichukuliwa na kuweleketa "indi sababu ja hasara hii? 9Genega gawezile kuuzwa kwa kiasi kikurungwa na kupengwa maskini."10Lakini Yesu apaliji amanyile lyeneli, ashikuwalugulila, "kwa indi mnakumbua jwandonya jweneju? pava atendile shindu shambone kwangu. 11Maskini apali moga gowe lakinimwapaliji pamoo nami daima.12Kwasababu alipomimina mauta gake mnani mwa shiilu shangu. atendile ineyo kwaajili ja maziko gangu. 13Kweli nakuwalugulila popowe jejino injili jipingapo kuhubiriwa katika ulimwengu mzima. shitendo atendile jwejuno jwandonya pia kipaliji shinaweleketwa kwaajili ja kumkumbuka."14Ndivyo jumoo wa wewala kumi na wawili achemwile Yuda Iskariote, ajendile kwa wakuru wa makuhani 15na kuweleketa, "Shimbneanje indi nikimsaliti? nikuwapimia Yuda ipande thelathini vya fedha. 16Tangu muda ago washikunolea nafasi ja kumsaliti.17Hata lyuwa lya kwanza ja mikate jitajwile chachu, wanafunzi walimwendea Yesu na kuweleketa, "Kwapi mnapinga kungandila mkalye shalya sha pasaka? 18Ashikuwalugulila, Mjendile mnjini kwa mundu fulani na mulugulile, mwalimu anaweleketa, "Muda gwangu gukaribie. Nitaitimiza pasaka pamoo na wanafunzi gwangu katika nyumba jako" 19Wanafunzi watendile kama Yesu pahajile na waliabndaa shalya sha pasaka.20Paishile ligulo ashikuketi na halya shalya pamoo na wewala wanafunzi kumi na wawili. 21Wapaliji wanalyanganga shalya awelekete, "Kweli nakuwalugulila kwamba jumo jwenu atanisaliti" 22Washikuhuzunika sana na kila jumo atandwiwe kumuya, " je hakika ngawa nne, Bwana"23Pajangwile , "jwejula ambaye jwashoya vya mkono pamoo na nne, katika bakuli ndiye apingaye kumsaliti. 24Mwana wa Adamu ajawile kama jijandwishe, lakini Ole gwake mundu ambaye atamsaliti mwana wa Adamu jwangapaliji jwamkoto kwa mundu jwejula kama jwangaweleketa" 25Yuda ambaye angemsaliti ashikuweleketa, "Je nne rabi?" Yesu ashikuwalugulila, "Uwelekete jambo lyenelo mmwe mmayene."26Wapaliji wanalyanganga shalya, Yesu pautwalile mkate, akaubariki na kuumega, ashikupea wanafunzi gwake ashikuweleketa, "Mtolanje, mlye, gweguno ni mwili gwangu."27Akatwa shikombe na kushukuru, nakuwapea na kuweleketa, "mkwangange wowekatika sheneshi. 28Pava jeneji ni minyai ja agano lyangu, inayojita kwaajili ja wagwinji kwa msamaha gwa yambi. 29Lakini nakuwalugulila ngapinga kung'wa kawili matunda ga mzabibu gweguno hadi lyuwa lyelila shangwele mpya pamoo na mmanganyanji katika ufalmne gwa awawa jangu."30Wapaliji wamalienje kujimba nyimbo, walishoka kujenda mlima kwa Mizeituni. 31Kisha Yesu palugwile, "Shilo sheshino mmanganyanji nyowe mnakuikwaa kwasababu jangu pava jijandishwe nitakumkoma mchungaji na kondoo gwa kundi watatawanyika. 32Lakini baada ja uuka kwangu gupinga kulongolela kujengda galilaya."33Lakini Petro alilugula, "hata kama wowe wakukanile kwasababu ja mambo gapinga kumpata, nne ngakukanile" 34Yesu palugwile, "Kweli nalugula shilo ashi kabla jogoo akanawewika, shingane mara tatu." 35Petro akamlugulila, "Hatakama ingenipasa kuwa na mmwe, sitakukana." na wanafunzi wana wowe washikuweleketa inepeyo.36Baadaye Yesu ajendile nago mahalin panaposhemwas Gathsemane na alikuwalugulila wanafunzi gwake, "Mtamanje penepo wakati najendile kwneko na kumjuga" 37Ashikumjigara Petro na wana wawili wa Zebedayo na apatwandiwe kuhuzunika na kusononeka. 38Kisha alikumlugulila, "Roho jangu jangali na huzuni jajikurungwa sana hata kiasi cha kuwa, mlepeshe penepa na mkeshe pamoo namii."39Ajendile mmujo kidogo nigwa kifudifudina kujuga ashiweleketa, "Awawa jangu kama inawezekana kikombe sheshino kiniepukeinawe 40kama mkupinga mmwe bali kama mkolavyo mmwe. Nikuwajendela wanafunzi nikuwaimana wagonileneje usingizi, na kumlugulila Petro "kuwa indin mkweza kukesha namii kwasaa jimo? 41Mkeshange na kujuga kusudi mnajinjile majaribuni Roho radhi lakini shiilu shishi dhaifu."42NI jenda zake mara japilinkujuga kwa kuwqweleketa, "Awawa jangu ksms jumo lyenely likakombola kuepukika na nilazima nikunywee shikombe ashino kwa mapenzi gako nyatimizwe." 43Niwuja kawili nikuwakungana Niwuja kawili kuwakongana wagonanje lugonopava mmeyo Niwuja kawili nan kuwakongana wagoneneje. 44Kisha akawaacha tena akaenda zake. Akaomba mara ya tatu akisema maneno yaleyale.45Baadaye Yesuashikwajendela wanafunzi gwake na kuwalugulila, "Awawa mgonilenje pe na kupumulila? Inolanje saa saa jikaribie na mwana wa Adamu anasalitiwa mikononi mwa jwejula akwete dhambi" 46Mjimushanje tujaule Inole jwejula anaye nisaliti akaribie."47Wakati wapaliji bado wanalonjela Yuda jumo wa wewala kumi na wawili, aishile, kundi likulungwa liishe pamoo nawe linakopposhela kwa wakuru wa makuhani na wazee Vandu, waishile na mapanga na marungu. 48Kawili mundu alieyekusuidia kumnsaliti Yesu apaliji hawapele Isharta ja kuweleketa, "Jwejula nitakayemuumbua ndiyo jwejula mkamateni."49Mara Ineyoaishile kwa Yesu na kuweleketa, "Mwalimu" Na akambusu. 50Yesu akamlugulila, "Injangu, itendile lyelila ambalikuletile, "Ndivo waishile na kumyooshea mikono Yesu, na kukamula.51Mnoole mundu jumo apaliji pamoo na Yesu alinyoosha mkono gwake, nichomoa upanga gwake na kumkoma mtumishi wa kuhani mkuru nab kumkata lisikilo lyake. 52Ndivyo Yesu ashilugula mmujenao upanga gwako pepala utolile, Pava wowe watumiao upanga wataangamizwa kwa upanga. 53Mnadhani kuwa ngaweza kumchema awawa jangu naye akanitumila majeshi zaidi na kumi na mawili ga malaika? 54Lakini basi jinsi jei maandiko gangeweza kutimizwa, ineyo ndivo inapasa kukoposhela?"55Wakati gwenegu Yesu ashikuwalugulila umati, "Je! muishile na mupanga marungu kungamula malinga mnyanganyanji? kila jumo hatamile hekaluni nikafundisha na mkang'amula. 56Lakini gowe aga gatendile ili maandiko ga manabii gatimie, ndivo wanafunzi gwake wakamneka na kuwutuka.57Wewala wakamulenje Yesu apeleshele kwa kuyafa, kuhani mkuru mahali ambapo waandishi na wazee wapaliji wakusanyike pamoo. 58Lakini Petro ashikulugula inyuma kwa mbali hadi katika ukumbi wa kuhani mkuru, Ashijinjila nkati na kutama na walinzi aone kinawe koposhela.59Basi wakuru wa makuhani na Baraza lowe wapaliji wakiloleanga ushindi gwa unami dhidi ja Yesu, kusudi wapateje kummulaga. 60Ingawa wajishoshile mashahidi wawagwinji lakini wangakola sababu jejowe, lakini baadaye mashahidi washishoshile mmujo 61na kuweleketa, "Napinga kutama hekalu lya Nnungu na kulishenga kawili kwa moga ga tatu."62Kuhani jwa mkuru ashijima na kumuyanga, "Napinga kujaula? Wenewo wanakushuhudia nchi dhidi jako?" 63Lakini Yesu atamile kimya. Kuhani mkuu ashikulugulila , "Malinga ashipanganya aishivo, Nakumwamuru ulugulile, kama mmwe ni Kristo, Mwana jwa Nnungu." 64Yesu pajangwire, "Mmwe mmayene unaweleketa lijambo nlyenelyo. Lakini nakulugulila shoka nnaino na kuendelea shimuone mwana jwa Adamu aketile mkono gwa kulia wenye mashili na alikwia katika mawingu ga mbinguni."65Ndivo kuhani jwa mkuru alirarua mavazi gake na kuweleketa, "Ashikufuru! Je, tunahitajib ushindi kawili gwa indi? Aangali tayari mbilikene ashikufuru. 66Je! Mnawazanga indi? Pajangwire na kuweleketa, "Anastahili kiwo."67Kisha nikuwatemela mata Usoni na kukoma nngumi na kumchapa makofi kwa mikono jao, 68"na kuweleketa, "Ntabiri mmwe kristo ni gani achapile?"69Wakati gwenego Petro apaliji atemi palanga katika ukumbi na mtumishi jwandonya ashikujendela nakuweleketa, "mmwe pia mupaliji pamoo na Yesu Galilaya." 70Lakini akanile mbele ja wowe, na kuweleketa, Ngamanya shindu shikuwelekete."71Pajendile palanga na lango, Mtumishi juna jwandonya amonile na kumlugulila wapaliji penepo. "mundu jwejuno pia apaliji pamoo na Yesu wa Nazareti." 72Ashikana kawili kwa shiapo, "Nne ngakumanya mundu jweneju."73Muda nngupi baadaye wewala wapaliji wajimile karibu, washikujendela na kuweleketa na Petro. "Kwa hakika mmwe pia ni mmoja jwao. pa kuwa hata hafidhi jako jinaonesha." 74Ndivo atandwiwe kuhani na kuapa "Nne ngakumanya Mundu jwenojo." na ,mara jenejo jogoo ashiwika. 75Petro ashikukumbuka malowe awalanjilwe na Yesu, "Kabla jogoo kuwika shininkane mara tatu."
1Muda gwa lyamba puishilile, wakuru wa makuhani na wazee wa vandu walile njama dhidi ja Yesu wapatanje kumulaga. 2Washikumtawa, nakumwongoza na kuikanao kwa liwali pilato.3Kisha wakati Yuda ambaye apaliji amemsaliti, aonile kwamba Yesu amalile kuhukumiwa mjuta na kuujanayo ipande thelethini ja ipande kwa mkuru wa makuhani na wazee. 4Na kuweleketa, "Natendile dhambi kwa kuisaliti minyai jikanawe hatia" Lakini nijagula Inatuyhusu indi uwe mgalole genego mmayene" 5Kisha nikwirusha pia, yeila ipande vya ipande katikan hekalu. na nijaula jake nab kuinyonga mmayene.6Mkuru wa makuhani atolile yeila ipande ya ipanje na kuweleketa "Nga halali kuibika ipanje yenei katika hazina kwasababu ni gharama ja minyai" 7Wajadiliane kwa pamoo na ipanje nitumikia kuumila mgunda gwa mfinyanzi la ikila wajeni. 8Kwasababu jejino mgunda gwenego jipaliji linashemwa, "Mgunda gwa minyai" hadi lelo jeneji.9Kisha lyelila lilowe linenilwe na nabii Yeremia litimile na kuwelejeta, "Watwaile ipande thelathini ya ipanje, gharama jipanjwile na vandu wa israelin kwaajili jake, 10na washikuwatumianga kwa mgunda gwa mfinyanzi, malinga Bwana apaliji amenielekeza."11Inaino Yesu ashijima mmujo wa liwali na liwali nikumuya, "Je! mmwe ni mfalme wa Mayahudi? Yesu pajangwile, "Mmwe mnaweleketa ineyo." 12Lakini wakati paashitakiwe na wakuru wa makuhani na wazee, hakujagula shoshowe. 13Kisha pilato kuwalugulila, "Mkanawe pilikana mashitaka gowe dhidi jako? 14Lakini jwangajangula hata lilowe limo, Ineyo liwali abile na mshangao.15Inaino katika sikukuu apaliji desturi ja liwali kumnugulila mfungwa jumo aangwile na umati. 16wakati gwenego wapaliji na mfungwa ugu linan lyake Baraba.17Ineyo wakati wapaliji wakusanyike pamoo, Pilato aliwauya, "Ni gani mnapinga tumugulile kwaajili jenu? Baraba au Yesu ashemwayo Kristo. 18Kwasababu wamanyile kwamba waishile kukamula kwasababu ja chuki. 19Wakati apaliji aketile na shitengu shake sha hukumu, mkongo gwake ashikumtumia lilowe lya weleketa, Unatende jambo lolowe kwa mundu jwejula angali na hatia. kwani ndeswele mno hata lelo pa ndoto kwasababu jake.''20Ndivo mkuru wa makuhani wa wazee washikumshawishi makutano wamjuge baraba na Yesu aulagwe. 21Liwali ashikuwauya, "Ni jwapi kati ja wawili mnapinga nne nimwachie kungwenu?" Pawajagwile, "baraba" 22Pilato ashikuwalugulila, "Nndende indi Yesu ashemilwe Kristo?" wowe wajangwile, "Mumsulubishe"23Naye ashikuweleketa, "Kwa indi kilosa lyapi jatendile? Lakini wazidile kupaya sauti lya kunani mno. "Mumsulubishe" 24Ineyo wakati pilato paonile jwangamanya kutenda lilowe, lakini badala jake Vurugu zipaliji zitandwile ashitawala mashi ninawa mmakono gwake mbele ja umati na kuweleketa, "Nne nangali hatia juu ja minyai ja mundu jweneju jwangali nan hatia mugalolanje aga wayene.''25Vandu wowe washikuweleketa, "Minyai jake in awe juu jenu na vana wetu." 26Kisha nikuwalugulila Braba jwao lakini pamkomilenje mijeredi Yesu na kumkabaidhi kwawonje kujenda kusubiliwa.27Kisha askali wa liwali nikujigalaga Yesu mpaka Praitotorio na kando likurungwa lya maaskali wowe wakakusanyika. 28Nikulanga nnguo jake na kumvika kanzu nyekundu. 29Kisha bnitengeneza taji la miiwa na kuwika kunani pa mtwe gwake na kumikila mwanzi katika mkono gwake gwa kuume, nikomanga magoti mbele jake na kumkejeri, wakiweleketa "Salamu mfalme wa wayahudi?"30Na kumtemelanga mate na walitwalanga mwanzi na kumkoma kumtwe, 31Wakati wapaliji wakimkejeri, Wangulenge jejila kanzu na kumvika nnguo jake na kumwongoza kujenda kumsubisha.32Pashoshilenge pilange walimwongoza mundu kushoka krene lyina lyake Simeoni, ambaye wamlazimishaye kujenda nago ili apegwe kujigara msalaba gwake. 33Waishile mahali pachemilapo Galigotha maana jake, "Eneo la fuvu la mtwe." 34Washikupeyenga siki jichenganywe na nyongo anywe. Lakini paionjile jwangaweza kung'wa.35Wakati wapaliji wamsubilishe ni gawananga mavazi gake kwa kupiga kura. 36Na waketile na kumnolela. Mnani mwa mtwe wawikile mashitaka dhidi jake gasomeke, 37"Jwejuno ni Yesu mfalme wa wayahudi."38Wanyang'anyi wawili wasulibile pamo naye jumo upande wa kulia gwake na juna gwa kushoka. 39Wewala wapaliji wanapita walimdhihaki, wakiitishia mtwe gwao, na 40kuweleketa, "Mmwe mwapaliji mnapinga kuharibia hekalu na kulishenga katika moga gatatu, ijokoe mmayene kama ni mwana wa Nnungu, inguluke pai ushoke msalabani!"41Katika hali jejila wakuru wa makuhani wapaliji wakimkashifu pamoo na waandishi na wazee na kuweleketa, 42Aokwele wana lakini wangaweza, mmwene jwejula ni mfalme wa wayahudi na atelemshe pai shoka msalabani ndivo tutakapomwani.43Amtumaini Nnungu, mneshe Nnungu amwokoe Inaino malinga apingile, kwasababu akuweleketa, nne ni mwana wa Nnungu. 44Na wewala wamanyinji wapaliji wasulubiwe pamoo naye washikuweleketa malowe ga kumdhihaki.45Inaino koposhela saa sita papali na luwindu katika nchi yowe hadi saa tisa, 46Puishile saa tisa Yesu ni guta kwa sauti kuu, "Eloi, Eloi, lama Thabakithan? Akimaanisha , "Nnungu jwangu, Nnungu jwangu, kwa indi uneshile?" 47Wakati gwenego baadhinjao nwapaliji wajimike pepala wapilikene washiweleketa, "Mnakunshema Eliya."48Mara jimo, jumo gwao ashikuutuka kujigara sifongo na kugumbaya mumkinywa kwa ushungu, na kukiweka mnani mwa mkongo na kumpea apate kung'wa. 49Nao wasalianje washiweleketa, "Mneshanje jikia pee, mneche tuwone malinga Eliya shaishe kumwokoa. 50Kisha Yesu agutile kawili kwa sauti kuu na kuishoya roho jake.51Inole, Pazila la hekalu lilipasuka sehemu iwili kopoka kunanin mpaka pai. Na ardhi jitetemeke na miamba papuka ipande. 52Makaburi gaungwile na miili ja watakatifu wawagwinji wapaliji wagonile lugomo wafufuliwe. 53Washoshile kwenye makaburi baadhi ya ufufuo gwake, puwajinjile mji mtakatifu niwaonekana na wagwinji.54Basi jwejula akida na wewala ambao wapaliji wakilolanga Yesu waonile tetemeko na mambo yapaliji gakikoposhela, wagumbele na woga sana na kuweleketa, "Kweli jwejula apaliji mwana jwa Nnungu." 55Wawandonyanji wawagwinji wapaliji wakimkagula Yesu shoka Galilaya ili kumhudumia wapaliji pepala wakilolanga shoka kwa mbali. 56Miongoni mwao wapaliji Mariamu Magdarena, Mariamu mama jake Yakobo na Joseph na mama wa vana wa Zebedayo57Jieshile ligulo aishile mundu btajiri kushoka Arimathayo achemilwe Yusufu ambaye pia apaliji mwanafunzi wa Yesu. 58Ashikujendela pilato na kujuga mwili gwa Yesu kisha pilato kulajila apate kupegwa.59Yusufu ashikujigala shiilu na kuugala na nguo ja sufi safi, 60na kugoneka katiika kaburi jayambi lyake lipaliji lichongwile mwambani kisha niingilia liwe lyalikurungwa niunika mlango gwa kabuli na jenda zake. 61Mariamu Magdalena na mariam juna wapaliji pepala, watumilenje kuelekea nkaburi.62Lyuwa likagwile ambayo jipaliji moga badala ga maandalio wakuru wa makuhani na Mafarisayo wakusanyike pamoo uwe pilato. 63Puwamlugulile, "Bwana twakumbuka kuwa wakati jwejula mdanganyifu apaliji hai ashikuweleketa, "Baada ya moga ga tatu anafufuka kawili,' 64Kwa ineyo lagila kwamba kaburi lilindwe salam mpaka lyuwa lya tatu. Inepeyo wanafunzi gwake wanaweza kwiya kujiwa na kuweketa kwa Vandu, "Afufushe kopoka kwa wafu na udanganyifu wa mwisho upaliji mbaya kulikon gwegula gwa kwanza."65Pilato ashikulugula, "Mjigalanje walinzi. mjendanje mkatende hali ja usalama kama mkombwele." 66Ineyo wajendile na kulitenda kaburi kuwa salama liwe ligongwile mhuri na kuwikwa walinzi.
1Baadaye ligulo lyu lya sabato lyua lipaliji lishele na kuendela lyuwa lya kwanza lya juma, Mariamu Magdalena na jwejula mariamu juna waishile kulilola kaburi. 2Inole kulipali na litetemeko likurungwa kwasababu malaika wa Bwana aliuruka na kuingilia lyelila liwe kisha nikutamila.3Sura jake jipaliji kama ja umeme na mavazi gake galiji meupe kama theluji. 4Wewala walinzi wajawile na hofu na kuwa kama wafu.5Jwejula malaika nikuwafafanulia wanawake ashikuweleketa, "Mnajogope kwa maana namanya kuwa mkunoleyanga Yesu jwasubiliwe. 6Jwangapali pepala, lakini afufushwe kama palugulile, Nnjianje mumuone mahali ambapo Bwana agonile. 7Ijendanje haraka mkalugulile wanafunzi gwake, Afufushe shoka wafu, Inole alomngolele Galilaya kweneko ndivo munamnolanga! inolange nne niwalugulile."8Wewala wandonya wajawile pepala kaburini haraka wangali na hofu na furaha jikulungwa na wautushile kuwalugulila wanafunzi gwake. 9Inole Yesu nikongananao na kuweleketa, "Saklamu" wewala wandonya waishile na kukamula magula gake na kisha wakamwabudu. 10Kisha Yesu akawalugulila, 'Mnajogope ijendaje mkawalugulile anunguna jangu walongele Galilaya. kweneko shiwamonanje.11Wakatin wewala wandonya wapaliji wanajenda, Inole baadhi ja walinzi wajendile mjini na kuwalugulila wakuru wa makuhani mambo yowe gapaliji gakoposhele. 12Nao makuhani wapaliji wainemena na wazee nakujali jambo lyenelo pamoo nao, washoshile kwasi shashikulungwa sha mbiya kwa wewala askari na kuwalugulila, 13"muwalugulilanje wenjine kuwa wanafunzi wa Yesu waishile shilo na kujiwa mwili gwa Yesu wakati uwe tupaliji tugonile.'14Kama taarifa jejino jiishile kwa liwali uwe tunakuwashawishi na kuwashoyanja mmanganyanji mashaka gowe." 15Kwa ineyo wewala askari nitolaga yeila mmbia na kutenda kama wapaliji waelekezwe, Habari jeneji jijenele sana kuwa wayahudi na ipaliji ineyo hadi lelo.16Lakiniwewala mitume kumi na jumo wajendile Galilaya kwekula kumlima wapaliji waelekezwe. 17Nao wamonile walimwabudu lakini jao waonile shaka.18Yesu paishile kungwao nakuwalugulila akiweleketa, "pengwile mamlaka gowe duniani na mbinguni. 19Kwa ineyo jindaje mkawatendile mataifa gowe kuwa wanafunzi mukawa batizeni kwa lina lya awawa na la mwana na la Roho mtakatifu.20Muwafundisheni kugatii mambo gowe muwaaramu, Na mnole nne nnaliji pamoo mmanganyanji daima hata mpaka mwisho wa dunia.
1Huu ni mwanzo gw ainjili ya Yesu Kristo mwana jwa Mnungu. 2Kam ashishile jandikwa na manabii Isaya,"Mnole, ninakwatuma au jumbe wangu mbele, jako jumo kipinga kuyalishwa njia yako. 3Sauti jakamundu ja shema nyikani,"Ikamilisheni njia ya bwana; muinyooshanje njia yake."4Yohana ashikwia, akibatiza nyikani nahubili ubatizo wa toba kwa msamaha wa dhambi. 5Nchi jowe ja Yudea na vandu bowe wa Yerusalemu washinkwendanga kungwake.washinkuwa walibatizwa naye katika mto Yordani, waliungana dhambi zao. 6Yohana ashikwa anawala livazi lya mavetya ga ngamia na mkanda gw angozi mchibunu mwake, na ashunkuwa analya nzige na bushi gwa mukonde.7Alihubiri na kusema,"Yupo mmoja anakwia baada ya jangu na mwene zaidi kuliko nne, na nangalihadhi hata ja kotina pai na hukula migoji ja ilatu yake. 8Mimi niliwabatiza kwa mashi, lakini jwemngo atawabatiza manganya kwa Roho Mtakatifu."9Ikitokea katika siku hila ya kwmaba Yesu bashinkwia kushoka Nazzareti ya Galilaya, na ashikunibatizwa na Yohana katika mto Yordani. 10Wakati Yesu pajinmwishe shoka mmashi. Bashinkujiwona mbiingu kishigawanyika wazi na Roho alutuluka pai kunani jake kama liganga. 11Na sauti jinshinkushoka kumbinguni,"Ugwe ni Mwanangu mpendwa.Ninakonjelewa jana ugwe."12Kila mara moja Roho gwamlazimishe kwenda nyikani. 13Alikuwako nyikani siku arobaini, akijaribiwa na shetani.Alikuwa pamoja na wanyama wa mwituni, na malaika walimhudumia.14Sasa baada ya Yohana kukamulwa, Yesu bashinkwiga Galilaya alitangaza injili ja Mnungu, 15akisema," Muda gujende na ufalme gwa Mnungu gubandishila. Tubuni na hamini katika injili."16Na akipiti kando ya bahari ya Galilaya, alimwona Simoni na Andrea ndugu wa Simoni wakitupa nyavu zao katika bahari, kwa kuwa walikuwa wavuvi. 17Yesu ashikwa walanjilanga,"Njianje ngagulanje nashitendanje wavuvi wa wandu." 18Na mara moja bashikulenga nguvu na gwangankagwilenge.19Wakati Yesu puwa howile kutalika kashoko. Ashi kumwona Yakobo mwan wa Zebedayo na Yohana ndugu yake; mwalinginji mumtumbwi waliyanga nyavu. 20Mara ashikwashemanga na hangawa bashi nkwalenga abab yawo Zebedayo ndani ya mtumbwi na watumishi wakati lwenje, nikunkagulanga.21N apaikengeneje Kapernaumu, siku ya sabatoYesu bashinkujinjila nsinagogi nafundisha. 22Walilishangaa fundisho lyake kwa vile ashinkuwa alikwafundisha kama bandu ambaye ana mamlka na ngawa kama waandishi.23Wakati huo huo hushinkuwa na mundu kati ya sinagogi lao aliji na roho gwagwanyata, na ashingomba nyenye, 24akasema," Tuna nini cha tena na ugwe Yesu wa nazareti ? ushikwia kutuangamiza? nakumumanya u gani ugwe ni mtakatifu pekee wa Nnungu!" 25Yesu alimkemea pepo na taya." nyamaza na ushoshe nketi jake!" 26Na roho mchafu ashikungwia pai na gwa hoslile kungwake wakati ashikuguta kwa sauti ja kunani.27Na wandu wote washikuinkomonga, hivyo gwawashienje kila jumo,"Hili ni nini? Lifundisha lyumpiya lenye mamlka? Hata kuammuru pepo wachafu nao wanakumtii!" 28Na habari kuhusu jwenejo mara moja guijene kila maahali ndani ja mkoa gowe wa Galilaya.29na mara moja baada ja shoka nje ja sinagigi washukunjiji langa nyumwa mwa Simoni na Andrea walinginji na Y akobo na Yohana. 30Sasa mam mkwe wake Simoni bashiwagonile balwele homa, na mara moja washinkwa walanji langa Yesu habari yake. 31Hivyo ashikwia, ashikukamula, kw amkono, na kunjinula nnani; homa kujijawale kungwake, nagwatandwiwe kwaudumia.32Jioni hiyo wakati lyua litiwile wampaleshenje kungwake bowe balinginji balwele au wapegenje na pepo. 33Mji wote wakusanyikenje pamo katika mnango. 34Aliwaponya wawa gunjinji walinginji walwelenji wa walwenji mbalimbali na shoka pepo bawagwinji, bali jwangurahusu pepo kubeketa na sababu washindwa mmanyanganya.35Aliamka asubuhi na mapema, wkati kishinkua bado luwindi; ashikwenda na kwenda mahali pa faragha na ashijuga kweneko. 36Simoni na balue wa lingingi pamo naye washikunoleanga. 37Walimpata na guwa mmalanjilenje, "Kila jumo ana kukuloleya"38Aliwaambia,"Twendeni mahali pana, nje katika mji jitimbilila, ili gombole kuhubiri kweneko pia, ndiyo sababu nahishe penepo." 39Alikwenda ashinkupita Galilaya yowe alihubili kkatika masinagogi gawo na kemea pepo.40Mwenye ukoma jumo ashikwia kungwake. Alikuwa alikumsihi; ashinkuma magoti na kummala njila."Kama upinga waweza ndenda mme safi." 41Akisukumwa na huruma, Yesu bashinkwanyoosha nkono gwake na kumkwaya alikummalanjila." Nguna pinga huwe gwako. " 42Mara moja ukoma gugumko pweshe, na ashikutendwa kwa safi.43Yesu ashinkunkalapila vikali na gwamala njile ajende mara moja, 44alimwambia,"hakikisha kubeleketa lineno kwa jojoe. Lakini jenda, ukailanguye kwa kuhani, na ushoye Dhabihu kuwa kwaajili ja utakaso ambayop ,Musa alajiye kama ushuhuda kwao."45Lakini ashinkwenda natandua kumalanji la kila jumo na keneza lineno zaidi hata Yesu bangamkombola tena kijingila kumjini kwa uhuru. Hivyo ashitama mahali pa faragha na bandu baikenje kungwake kushoka kila mahali.
1Aliporudi Kaperanaumu daada ja siku hicheche ashinkupili kankiakwambia kumui. 2Watu wengi sana bashinkusanyikanga pepala na yangapagwa nafasi tena, hata yeila ya yepepala panango, na Yesu balugwile lineno kuungwa.3Kisha baadhi ja wandu bahikenje kumgwake bashi nkwia na jonji mundu haliji; nangulibandu nchshe bamjigelenje. 4Wakati pulapelenje kumkalibisha kwa sababu ja likundi lya wandu , bashashienje paa juu ja mahali pepala paliji. Na pawalinji batawalenje litundu, bashinkutuluyanga shitabu ambacho mundu jwa lyanagulu aliji agonile.5Alipoiona imani yao, Yesu ashakumalanjila mundu jwa lyanangulu."Mwanangu, dhambi zako samehewe." 6Lakini baadhi ya waandishi hangonya wala balinginji bateminji hapala bashinku kiwuyanga mumtima mkawonji, 7"Anawezaje mundu haju baleketa nneino? Anakufulu!Gani akombolasamehe shambi isipokuwa jika pe?"8Mara Yesu muwaimanyi tangu mumtima mwake, shiwafiki liangaga miungoni mwaonji hashayene. Ashinkwa balanjilanga,"Kwa hindi nnagani shianga nnei mumtima jenu? 9Lipi ni jepesi zaidi kusema kukamundu apalalaizi,' Dhambi zako hishisamehewa' au 'kutayajima, tola shitanda shako, na ujendejende?'10Lakini ali bapatanije kumumanya mwana wa Adamu ana mamlaka gasemehe dhambi katika dunia. Hashinkumalanjila jwejula apapahizi, 11"Nakuambia ugwe jinuka. Tola likai lyako na lijende kumgwako." 12Alisimama na mara moja gwatolile likai lyake, na kwenda palanga kila mundu nneyo bowe bashi nkuimonganga na kwapanganga Mnungu utukufu, na gwalungilenje,"Kamwe, tukunawe lola lijambo ka lyeneli."13Alienda kavili kando ja ziwa na umatti gowe gwa wandu bashikwianga kungwake, na gwa wajigenyenje. 14Alipokuwa kapita ashikumuona Lawi mwana wa Alfayo ameketi kweneye sehemu ja kusanyika kodi na akamwambia,!Ungagule." Ashinkujima na kumkagula.15N awakati Yesu puwaliji balipata shalya katika nyumba ya lawi , wakusanya kodi wawagwinji na bandu washambi puwa lyanganga na Yesu na wanafunzi bake kw akuwa palinginji bashinku kagulanga. 16Wakati waandishi, ambao washi mafaroisayo ,puwaweninji kwamba Yesu puwaliji bali na wandu wa shambi na kuwakusanya kodi, waliwaambia wanafunzi wake," Kwa indi analya na wakusanya kodi na wandu wakweteje dhambi?"17Wakati Yesu papilikene hivi hashi kwa walanyira ,"Bandu bilinginji na afya katika shihilu hawamhitaji tabibu; ni vandu balwala pekee ndiyo wanamhitaji. Namgajia kumshema vandu va haki, lakini vandu vana dhambi."18Wanafunzi na mafarisayo washakuwa nganga waliugalanga na baaadhi ja wandu bashi kwianga kumgwake na kumalaniila," kwa indi wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hugala, lakini wnafunzi wako bakatawanyika? 19Yesu hashi kuwa walanjilanga,"Buli bahuzu lienje ndoa banaweza tawanga abana bahusi bado hali pamo nao? Kwa vyovyote abwana harusi bawagaga bado bali pamo nao bakaweza tawanga."20Lakini siku shihishe wakati abana harusi pushiwashoywe kumgwawo, na katika siku yeneyo wangawa shiwaugalanje. 21Hakuna mundu ashonaye shipande shampaiga shanguwo kulivazi likuhu, vinginevyo shwamba shishitata kushe kushoka katika lyenelo lyampia tukakuka shoka katika kikuukuu, na shipagwe mpasuko mbaya.22Hakuna mtu atiaye divai katika viriba vikuukuu, vinginevyo divai shipapushe viliba na yowe kiwili divai na viriba shiyowe. badala jake divai japiga katika viriba vipya."23Katika siku ya sabato Yesu bashikupita kweneye baadhi ya mashamba, na wanafunzi wake wangakutola baadhi ja masuke gangano. 24Na mafarisayo bashinkamula njilanga,"Lola, kwa hindi wanatenda ambayo kinyume ja sheria katika siku ya sabato?"25Aliwaambia ,Hamkusoma sheshila shatendile Daudi paliji katika uhitaji na njaa-- jwenejo pamoja na wandu walingiji pamo naka jwenejo? 26Jinsi shashite kwenda katika nyumba ja akungu wakati Abiathari paliji kuhani mkuu na gwalile mkate guwishilwe mujo--ambao puyaliji kinyume ja sheria kwa mundu jojowe kulya isipokuwa makuhani-- na ashikwapa hata baadhi ja wanganya walinginji pamo naye?"27Yesu atashiye,"Sabato kishitendwa kjwaajili ja mwana adamu, siyo mwana adamu kwaajili ja sabato. 28Kwa hiyo, mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato."
1Na tena ashikujingila nkati ja sinagogi na mwemula pashikua na mundu jwa mkono upalaizi. 2Baadhi ja wandu bashinda kumkagulilanga kwa kukalibu kuona kama shamponye siku ja sabato ili kwamba wamshitaki.3Yesu ashukumalanji mundu akwete mkono uliopooza," Inuka na ujime pakati ja umati agu." 4Kisha gwa malanjile mundu,"Buli ni halali kutenda tendo jema siku ja sababto au tenda gangali haki; hokoa maisha , au kubuluga?" Lakini bashinkuigulanga kimya.5Akawaangalia kwa hasira alihuzunika kwa sababu ja nonopa kwa mitima jawo, na gwa molanjile jwejula mundu,"Nyoosha mkono gwako." Gwagunyoweshe na ayesu akamponya mkono gwake. 6mafarisayo gw apitenje palanga mara gwatendilenje njama pamoja na maherode dhidi jake kumulanga.7Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi bake bashi nkwendanga kubaali na umauti mkubwa gwa wandu gushi nkwa kugulanga gukoposhelaga galilaya na Uyahudi 8na kutoka Yerusalemu na kushoka idumaya na mbel;e ja Yordani na jirani ya tiro na Sidoni umati gwa mkulungwa gupilikene kila shindu shailiji anatenda baikenje kumgwake.9Na ashinkwa wanjilenje wanafunzi wake kuandaa mtumbwi gwamchoko kwa ajili jake kwa sababu ja umati ili kwamba banajie kwa songa. 10Kwa kuwa ashikumponya wawagwinji, ili kila mundu hali na mateso hashikua na shauku ja kishila ili hakwaye.11Popote roho wachafu puwa mweniji, washinkugwa wa nganga pahi mbele jake naguta, na washinkutyanga,"Hugwe ni mwana wa Anunga." 12Aliwaamuru kwa msisitizo wanatendanje kamanyikane.13Alienda juu ya mlima, na gwa washemilenje wawapinjelenje, nagwaopitenje kumgwake. 14Akawachukua kumi na wawili( wawashe milenje mitume)., ili kwamba bawanganje pamo naye na akombole kwwatuma kuhubiri, 15na kuwa mashaka gashoya mapepo. 16Na gwa wagwilenje kumi na wilinji,ASimoni, hampelili lya Petro,17Yakobo mwana wa zebedayo, na Yohana agweile jina lya Bonagesi hao ni wana wa ngurumo, 18na Andrea, Filipo, Barthalomayo, mathayo, Tomaso, Yakobo mwan wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkakanayo, 19na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.20Ashikwenda kumui, na umati gwa wandu bashikwi yangananga pamokawili, bana kombolanje kuliya mkate. 21Familia jakwe papilikenenjehabari jenejo, bashikwendanga kumkamulanga, kwani washikuvereke tanga,"Bashishywa lunda." 22Waandishi baikenenjenje kushoka Yerusalemu washikuveretanga,"Bashipagawa na Belzebuli," na," Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo."23Yesu ashikweshemanga kumgwake na kuvereketa nao kwa mifano,"Jinsi gani shetani anaweza kumtoa Shetani? 24Kama ufalme ugawanyika ga guyene, ufalme huo auwezi kusimama. 25Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.26Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake. 27Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mweneye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.28Kweli nawaambieni,mdhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka, 29lakini yeyote atakayekufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele." 30Yesu alilisema hili kwa sababu walisema,"Ana roho chafu."31Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita. 32Umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia,"Mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe."33Aliwajibu,"Ni nani mama yangu na ndugu zangu?" 34Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema,"Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu! 35Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu."
1Kawili atenduwe kupundisha kandokando ja bahari. Na umati mkolongwa ukusanyike ukizunguka pajinjile mkati ja mtumbwi baharini, na ukutama umate wowe wapaliji pembeni mwa bahari ufukweni. 2Na kuwapundisha mambo gamangwinji kwa mifano, na niweleketa kukwao kwa mafundisho gake.3Mupilikene mpanzi ajendile kupanda. 4Paliji akipanda baadhi ja mbegu zagwile mupanda na njuni waishile kupanda. 5Mbeju inazigwile kwenye mwamba ambako pankawa na udongo gwanngwinji. mara ninyauka kwa sababu zangapagwa na udongo watosha.6Lakini lyua lilipochomoza zinyawishe na kkwa sababu zangapagwe na mizizi, zijumwile. 7Mbeju jina zigwile katikati ja miiba. Miiba ipaliji na ilizizonga na zangawelekwa matunda gegowe.8Mbeju jinga zigwile na udongo gwambona na kuweleka matunda wakati zikuwile na kujeshea zina ziwelekwe mara thelathini zaidi, na zina sitina na zina mia." 9Na kuweleketa,"Yoyewe mwenye mwenye maikilo ga gapilikana, na apilikane!"10Yesu paliji jika pe, wewala wapaliji karibu naye na wewala kumi na wawili wamuyenge kuhusu mpano. 11Niwelekete kukwao,"Kuliwenu mpengwele siri ja ufalme gwa Mnungu, lakini kwa wapali paranga kila shindu ni mpafano, 12ili walolile , ndiyo hulola lakini wangalola na kwa ineyo wanapopilikana ndiyo upilikana, lakini wangaelewa amasivyo wangwewishe na Mnungu angewasamehe."13Na niweleketa kugwao,"Je mwangaelewa mpano gweneju? Mupingawezaje kuelewa mfanob jina? 14Mpanzi alipanda neno. 15Baadhi ni wewala wagwile pembeni mwa mpanda, mahali lilowe lilipopandwa na pailikene mara shetani paishe na kulijigara lilowe ambalo lipandwile mkati jao.16Na baadhi ni wewala waliopandwa kunani ja mwamba ambao papilikane lilowe, kwa haraka waliposhele kwa furaha. 17Na wangakola mizizi jejowe mkati jao, lakini huwavumilia kwa muda gwa mngupi, halafu tabu na masumbufu vanapoika kwa sababu ja lilowe , mara hujikwaa.18Na wana wewala wapandwle katika miiba. wanalipikana lilowe, 19Lakini masumbufu ga dunia, kukimbilila gwa mali, na tamaa ja mambo gamagwinji huwajinjila na kulisonga lilowe, na linashindwa kuwekela matunda. 20Kisha kupali weala ambao wapandwile uwenye udongo gwambone .Wanapilikana lilowe na kuliposhela na kuweleka matunda baadhi thelethini, na baadhi sitini, na baadhi mia moja."21Yesu nikwarugulila,"Je huwa munapelesha taa makti ja nyumba ya kuwika pai ja shikapu ,au pai pa shinanda? Hupelesha mkati na kuwika kunani ja kiango. 22Pa kuwa shakwapi shoshowe kiishile ambacho shingajulikana, na jwakwapi siriambayo hingawiluwa wazi. 23Paliji mwenye maikili ga kupilikana na apilikene.24Nikwarugulila iweni makini kwa sheshila mupilikene pa kuwa shipimo mpimasho ndisho mutakachopimwila, na mjenjeshewa kukwenu. 25Kwa sabau jwejula apalinacho shaposhele zaidi na jwejula jwangalinacho kopoka kukwake vipingajigarwa hata yeila apalinavyo."26Na niwelekete,"Ufalme gwa Mnungu unalinganishwa na mundu apandile mbeju katika udongo. 27Nagonile shilo na kujimuka lyamba na mbju ziipwile na kukula, ingawa jikamanya jikopweshe. 28Dunia ushoya mbeju yenyewe kwanza maamba, halafu maua, halafu mbeju zikomee. 29Na wakati mbeju jipaliji imeiva mara hupeleshe mundu kwa mauno gawadie."30Na kuweketa,"Tuulinganishe ufalme gwa Mnungu na shindu gani, au tutumile mapano hgani kuelezea? 31Ni kama mbeju ja haradari, ambapo jipandikwe ni jisholo sana kuliko mbeju yowe duniani. 32Hata wakatiipandwile inakula kuwa jikulugwa zaidi ja mimea yowe ja bustani na matenda, malawi makurungwa, hata ijuni ja mbinguni humanya kutenda iota vyao kwenye kivuli shake."33Kwa mipano migwinji alipundisha na kuweleketa lilowe kukwao kwa kadri wamanyire kuelewa, 34na jwangawelekta nao bila mapano, lakini wakati apaliji jika pe, nikuwarugulila kila shindu wanafunzi wake.35Katika lyua lyenelo, wakati wa ligulo puwandie niwelekete lugwao,"Tujende upande gwa pili." 36Ineyo nikukuleka umati,umjigare Yesu, wakati gwenego, tayari apaliji mkati gwa mtumbwi. Mitu7mbwi jina apaliji pamo naye. 37Na upepo mkali gwa dhoruba na mawimbi gapaliji mkati ga mtumbwi na mtumbwi tayali upaliji ugumbele.38lakini Yesu mmayene apaliji kwenye sherti agonile pa mto nikwajimuya wakiwelekete,"Mwalimu mukajali uwe tunawa?" 39Na akajimuka naukemea upepo na kuirugulila bahari, "iwe shwari, amani upepo nkoma, na paliji na utulivu mkubwa.40Na niwiwelekete kukwao," Kwa indi mnajogopa? Je jwangali imani bado?" 41Wabile na hofu mkurungwa mkati jao na welletezana gukwao na kugwao, jweneja ni gani kawili, kwa sababu hata upepo na bahari vya mtii?"
1Waishile mpaka upande guna gwa bahari katika mkoa wa Gerasi 2na ghafla wakati Yesu apaliji akishoka paranga ja mtumbwi, mundu mwenye mtima gwambii aishile kukwake kopoka makaburini.3Mundu jwejeno aliishi makaburini. Jwakwapi awezile kumzuia zaidi, jwaluwapi hata kwa minyororo. 4Apaliji augwele nyakati jajingwinjii kwa pingu na minyororo. Akatile minyororo na pingu jake itemwile jwakwaji hata jumo apaliji na nguvu ja kumshinda.5Shilo na muyi apali makaburini na milimani, agiutite na kujikata jweneju mmayene kwa maganga makali. 6Pamlolile Yesu kwa mbali, niwukuta kulewake na kujinama mmujo jake.7Niguta lewe lilowe likuru," Munapika Nikundele indi, Yesu mwana jwa Mnungu apali kunani sana? Ninakusihi kwa Mnungu mmayene, unganitese." 8Pa kuwa apaliji amrugulile," Mshoshe mundu jweneju, mmwe mtima mbii."9Naye nikamuya," lina lyako gani?" Naye nijagura,"Lina lyangu ni Legion, kwa kuwa tupali wawagwinji." 10Alimsihi tena na tena anawepeleshe paranga ja mkoa.11Inaono likundi la likurungwa lya nguruwe lipaliji likilishwa juu ya kilima, 12Nao walimsihi, wakilonga,"Mtutume kwa nguruwe; tujingile mkati jao." 13Ineyo aliwaruhusu; mitima yayibii washikushoka na kuyingila mkati ya nguruwe. naweneo niwutukila pai ja kilima mpaka baharini, na karibia nguruwe elfu mbili wazamile baharini.14Na wewala wapaliji wakiwalisha nguruwe wautekenje na kushoa taarifa ka kikoposhele katika mji na katika nchi. ndio vandu wawagwinji washoshile kujenda kulola kikopeshele. 15Ndivo waishile kwa Yesu na kulola mundu apengwele na pepo-- apaliji na jeshi-- atamile pai, avikwele, na apali katika malango gake timamu, nao wajogwepe.16Wewala wapaliji walolile kikoposhele kwa mundu apaliji apwegele na mapepo nikwarugulila kukoposhele kungwake na pia kuhusu nguruwe. 17Nao watandwiwe kumsihi ashole katoha mkoa gwao.18Na apiliji akijingila mkati mwa mtumbwi, mundu apaliji apegwele na mapepo alimsihi kwamba ajende pamoja naye. 19Lakini jwangamruhusu , lakini amrugulile,"Mjende kumuhi kwenu na kwa vandu vako, na uwarugulile akutendile Bwana, na rehema 20akupepele. Ineyo ajendile na kutanduwa kutangaza mambo makuru ambayo Yesu atendile kungwake katika Dekapoli, na kila shimo akistaajabu.21N awakati Yesu paukakile kawili upande guna mkati ja mtumbwi umati mkulungwa gukusanyika na kunguruka apaliji kamlao ja bahari. 22Na jumo jwa kiongozi jwa sinagogi, ashemirwe Yairo, aishile, na pamlolile nigwa mmkongono gake. 23Akamsihi zaidi na zaidi niwelekete,"Binti jangu jwamshoko anakaribia kuwa. Nakusihi, njie na mmike mokono jenu kunani jake ili kwamba aweze kupegwa na afya ja kuishi." 24Ineyo nijaule pamo naye, na umati mkulungwa ulukagura nao walimzonga karibu wakimgurulia.25Kupaliji na jwandonya ambaye damu jako ipaliji ikopweshwe kwa miaka kumi na miwili. 26Ateseke vya kutosha pai pa matabibu gamagwinji na atumile kila shindu ajigewra nacho. hata ineyo haikusaidiaka kwa shoshowe lakini badala jake apandile kuwa na hali mbaya. 27Apilikane habari kuhusu Yesu ineyo aishile nyuma jako wakati paliji akitembea mkati ya umati, naye aliligusa vazi lyake.28Pa kuwa aweleketa," kama aguile mavaazi gake pe nipaliji, namkoto." 29Pamgguile kusholwa na damu kukomile, na ajipilikene katika mwili gwake kwamba apanilwe kopoka kwenye mateso gake.30Na ghafla Yesu pagundwile mkati gake mmmafane kwwamba nguvu zimshile. na pagwewishe lwekuna na uwekeno katika lumati wa wandu na kuwuya,"Ni gani agusile vazi lyangu?" 31Wanafunzi gwake ni kumrugulila ,"Unalola umati gweguno kusongile ukinguruka, nawe wakiweleleala Ni gani anigusile?"' 32Lakini Yesu nilola kweneku na kweneku kulola ambaye apaliji atendile lyeneli.33Jwandonya, amanyire kikokweshe kukwake, nijogopa na kuttemeka. Aishile na kugwapai mmujo jake na kumgulila ukweli wowe. 34Aweleketa kuykwake,"Binti jako ikutendile muwe mmakoto. Enenga kwa amani na uponywe kopoka pa ugonjwa gwako."35Apaliji akiweleketa, baadhi ja wandu waikile kwa kopola kiongozi jwa sinagogi. Wakiweleketa,"Binti jako awile. kwa indi kuendelea kumsumbua mwalimu?"36Lakini Yesu papilikane ambacho waliwelekete, nikulugulila kiongozi jwa sinagogi," Njogope nngaamini pe." 37Jwangamuruhusu jejowe kuongoza naye, ijapokuwa Petro, Yakobo, na Yohana, mnungunaye Yakobo. 38Waishile kumuhi kwa kiongozi naye alolile vurugu, kugutta kw alungwinji na kuomboleza.39Panjingile kumuhi, nikugulila ,"kwa indi musikitike na kwa indi mnaguta? Mwana akanawe bali agonile." 40Ningekungakanga, lakini jwejula nikuwashoa wowe paranga, panijigere awawa jwa mwana na amama na wewala wapaliji pamoo naye ,na nijingira mkati paliji mwana.41Paujere mkono gw amwana na kumrugulila,"Talitha koum,", ambayo ni kuweleketa ,"Binti mshoko nakurugulila jimuka." 42Ghafla mwana aliaka na kutembea( Kwa kuwa alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Ghafla nikamula na mshangao mkurungwa. 43Aliwaamuru kwa ngulu kwamba jwakwapi yeyowe anapaswa kumanya kuhusu lijeneli. Na kuwarugulila wampalanje jwejula binti shalya.
1Ni jaula penepo na kujende mjini kukwao na wan.funzi gwake nikuwakagula. 2Sabato jiishile, atanduwe kupundisha katika sinagogi. Vandu wawagwinji wampilikene na wakeshangazwa, niwelekete,"Apatile gwehi mapundisho aga?" "Ni hekima gani jweneji apegwire? Anatendaje miujiza jeneji jeneji kwa mikono gake?" 3"Je jweneju nga jwejula selemala, mwana wa Mariamu na mnunaye kina Yakobo, Yose, Yuda na Simioni? Je adda jake nga wanaishi wangafurahishwa na Yesu.4Yesu nikwawarugulila,"Nabii hakori heshima, japokuwa katika mji gwake na miongoni mwa anungunaye na kumuhi mwake." 5Twangamanya kutenda miujiza penepo, ila awawawishile mikono wagonjwa wachache nakuwaponya. 6Alishangazwa sana kwa sababu ja kutoamini lugwao. kisha aliwajendela vijiji vya jirani nipundisha.7Nikwachwema wewala wanafunzi kumi na wawili nitanduwa, Kuwatuma wawili wawili. Nipwegwanga mamlaka juu ja pepo wawabii, 8na kuwaamuru wanajigare shoshowe pa kujendanga ijapokuwa imbo pe. Wanajigare mkate, wala mkoba, wala ipanje kibindoni; 9lakini wawete ilatu, na nga kanzu mbili.10Nakuwarugulile,"Nyumba yeyowe munjijirrapo mtame penepo mpaka mujaulapo. 11Na mji wowowe ungakuwaposhela wala kuwapilikanila mjaulanje kukwao. Mnguteni maumbi ga migulu jenu ipali ushuhuda lugwao."12Nao nijenda wakitangaza vandu watubu na kuleka yambi jao. 13Wakiwawainganya pepo, wawagwinji na wawapashile mauta wagonjwa na niponywa.14Mfalme Herode pailikane genego, pa kuwa lina lya Yesu lipaliji linamanyoikana sana Baadhi niweleketa,"Yohana mbatizaji auwikwe na kwa sababau ineyo hii nguvu ya miujiza inatenda maengo mkati gake." 15Baadhi gao niwlekete,"Jwenejuni Eliya," Bado wna niweleketa,"Jweneju ni nabii jumo wa wewala manabii wa ukala."16Lakini Herode papilikane genega niwelekete,"Yohana amkatile mtwe awuwishe." 17Maana Herode mmayene niagize Yohana akamulwe na amtamwile gerezani kwa sababu ja Herodia( mkongwe jwa kaka jake Filipo) Kwa sababu jweneji apalijo amuwowile.18Kwa maana maana Yohana amrugulile Herode," nga halali kumuoa mkongwe gwa kati jake." 19lakini Herodia patandwile kumchukia na apaliji anapinga kumulaga, lakini jwangakombola, 20maana Herode amjogwepe Yohana; amanyire kwamba ni mwenye haki mundu matakatifu, na amnekile salama. Na paendile kumpilikanila alihuzunika sana, lakini alifurahi na kumpilikanila.21Hata paishile wakati mwafaka ipali imekaribia lyua ja welekwa Herode niwaandalia maofisa gwake karamu, na makamanda na iongozi hgwa Galilaya. 22Ndipo binti jwa Herode pajingile na kunganda mmujo jao, alifurahishe Herode na wageni waketile wakati wa shal;ya sha ligulo. Ndivo, mfalme nikumrugulila binti,"Nijuge shoshowe upingacho nami nimepele."23Akamwapia nikuweleketa, shoshowe upingachpo kunijuga nakupea, hata nusu ja ufalme jwangu." 24Nikopoka paranga na kumuya mama jake,"Nijuge namani?" Niwelekela ,"mtwe cha Yohana mbatizaji." 25Na mara jimo nijingira lwa mfalme nitandua kuweleketa," Napinga unipee mkati ja sahani mtwe gwa Yohana mbatizaji."26Mfalme msikitishwa sana, lakinio kwa sbabu ya kiapo shake na kwaajili ya wageni, hakuweza kumkatalia ombi lyake. 27Ineyo, mfalme mtuma askari kati ja walinzi gwake na kulajira kujenda kumletera mtwe gwa Yohana. Mlinzi ajendile kumkati mtwe apali kifungoni. 28Nipeleshela mtwe gwake kwenye sahani na kupea binti, na binti akampea amama jake. 29Na wanafunzi gwake papilikane ago, wajendile kuujigare mwili gwake mjenda kuuzika kaburini.30Na mitume wakusanyike pamoo mmuja ja Yesu, nimrugulila gowe gatendeshe na walipogapandisha. 31Naye nikwangwilila,"Njiange wayene mahali pa faragha tupumulile kwa muda," Wandu wawagwinji wapaliji wanaika na kujaula hata wangajipata nafasi ja kulya. 32Ineyo nikwera mashua nijenda mahali pa faragha jika jao.33Lakini wawalolile walijaula na wawagwinji nitambula, kw apamoo wakiutuka kwa magulu kopoka mji yowe, na miika kabla jao. 34Paishile kupwani, alolile umati ngwamkurungwa na akawahurummila kwa sababu wapaliji kama ngondolo wangali na mchungaji. Na nitandwa kuwapundisha mambo gamagwinji.35Muda ungaliendelea sana, wanafunzi kumishira nakuwarugulila,"Hapa ni mahali pa faragha na muda gunaendelea. 36Uwarajile wajende miji ya jirani na vijiji ili wakapimile shalya."37Lakini nijagura kw akuweleketa,"Muwapegwanje mmanganyanji shalya nikwanigula,"Tunaweza kijenda na kuuma mikati jangali na thamani ja dinari mia mbili na kuwapela walyangange?" 38Nikuwarugulial,"Mupali na mikate ilingwa? Mjendandanje mmlolanje." Pawapatile nikwarugulila,"Mikate mitano na yamaki wawili."39Akawamuru vandu wakete kunani makundi kunani mwa maamba ngamabii. 40Nikwetisha katika makundu; makundi ga gamamia kwa hamsini. 41Kisha nijigara mkate mitano na yamaki wawili, ma kulola mbinguni akaibarikikisha nipengwe wanafunzi wawike mmujo ja umati. na kisha nigawila samaki wawili kwa vandu wowe.42Walilenje wowe hadi watosheke. 43Nikusanya ipande vya mikate ijegere, nigumbalaikapu kumi na wawili na pia ipande vya yamaki. 44Na wapaliji wanarume elfu tano walile mikate.45Mara nikawalagulila wapande kwenye mashua wajende sehemu jina, hadi Berthaida wakati jweneji niragila makutano. 46Wapaliji wamalile kujaula, nijenda mlimani kujuga. 47Kupaliji ligulo na mashua gao wakati gwenego ipali katikati ja bahari, naye apaliji jika jake nchi kavu.48Na niliwalola walitaabika kukoma makasia kwasaabbau ja upepo uliwazuia ilipokaribia lyamba akawajendela, akitembea kunani mwa mashi, na apingile kuwapita. 49Lakimi wamlolile atejende kunani mwa mashi, ni jinjira na wasiwasi wadhanile ni mzimu hata nikoma mayowe. 50Kwa sababu wamlolile wakajawa na hofu mara niweketa nao na kuwarugulila,"Muwe wajasiri! ni nnne!Mnakole na hofu."51Nijingila mkati ya mashua, na upepo mleka kuvuma, nao wakamshangaza kabisa. 52Ineyo wapaliji wamanyire maana ga yeyira mkate.Maana malango gao zipaliji na umanytire gwa nashoko.53Nao paushile ng'ambo waikile nchii ya Genesareti mashua nitaga nanga. 54Pawushile paranga pa mashua, mara wakamtanbwile. 55Niwukuta kutangaza mkoa gwa mbone na wakatandua wapelesha wagonjwa kwa machela, papilikane waishile.56Popote pajingile katika vijiji au mjinia au katika nchi, wawiwikile wagonjwa mahali pa soko, na wakamsihi awaruhusu kugusa pindo ja vazi lyake. Na wowe wamgusile waponile.
1Mafarisayo na baadhi ya wandishi ambao wapaliji wakopeshele Yerusalemu pawakusanyika kuguruka jwejula.2Na walolile baadhi ja wanfunzi gwake walilenje mkate kw amikono najisi ambayo jingashapwa. 3(Ipali ,mafrisayo na Wayahudu wowe wangalya mpaka waoshenge mikono jao mimukono, wanshikilia utamaduni wa wazee. wakati 4mafarisayo paijile kopoka mahali pa soko, wangalya mpaka waonganje kwanza. na jwakwapi sheria jina ambazo wakuigwa kabisa ipali ni pamoo na kuuluya ikombe, masifuni, yombo vya shaba, na hata viti itumikayo wakati wa shalya.)5Mafarisayo na wandisi walimuuliza Yesu,"Kwa indi wanafuzni gwako wangaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanalya mkate pangali nawa makono?"6Lakini jwejula nikurungulila,"Isaya atabirie uko kuhusu wanafiki,ajandishe vandu wenewa wanamheshimu kwa midomo jao, Lakini mitima jao ipo mbali na nne. 7Wanitendile ibaada zingali na maana, walipundisha sheria ja wanadamu kama maposhelo gao.'8Mneshile Sheria ja Mnungu ja kumulila kw awepesi tamaduni ja wanadamu." 9Na niwelekete kukwao," Muikanilenge amri ja Mnungu kw aurahisi ili kwamba mtunzege tamaduni jenu! 10Kwa kuwa Musa awelekete,' Mheshimu awawa jako na amaa jako,' na' jwejula aweleketavyo mabaya kunaniya baba yake na amama yake hakika shawe.'11Lakini mnawelekete ,'Kama mundu awelekete kwa wabija jake au amama,"Msaada wowowe ambao muupoishele kopoka kwangu ni hazina ja hekalu,"' ( ineyo ni kuweleketa kwmaba jishoshile kwa Mnungu') 12Ineyo wangalikuruhusu kutenda jambo lolowe kwa ajili ja awawa au amama jake. 13Muitendile amri ja Mnungu kuwa ja bure lw akuperesha tamaduni jenu. Na mambo gamagwinji ja jinsi ineyo mweneyo yatendile."14Awachemile makutano kawili na kuwalugulila," Mumbirikane nne, mmanyanji, na nyowe munimanyire. 15Shakwapi shoshowe kopolea mundu amacho nymanyire kunichafua mundu kijinjilacho kukwake bali ni sheshila kishokacho mundu ndicho kimchafuacho. 16(Zingatia: Nstari gwenugo,"Kama jojowe akwete masikio na apilikane." Mwangali pa nakali za kale).17Yesu paleshile makutano na nijingila kumui, wanafunzi gwke nikumuyanga kuhusu gweguno mfano. 18Yesu niwelekete,"na mmanganyanji pia bado mukanawe kumanya? Mukalola kwmaba shoshowe kimjinjilacho mundu jikamanya kumchafua, 19Kwa sababu jikamanya kujenda pa mtima gwake, lakini linajingiula katika tumbo lyake na kinapitila kujende kuchwao." Kwa maelezo aga Yesu avitendile vyalya vyowe kuwa safi.20Aweleketa ni sheshila ambacho shinakopola mundu ndicho kumchafuacho. 21Pa kuwa ukopoka mumkati ja mundu, paranga ja mitima, ukopoka mawazo maovu, zinzz, gwii, mauaji, 22uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiina , wivu, kasha , majivuno, ujinga. 23Maovu aga gow gapokopa mukati, ndiyo gegala gamchafuacho mundu."24Piajumwishe kopoka pepala na kujaula kujenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Pajingile mkati na jwangapinga mundu jojowe amanyire kuw aapaliji penepo, lakini jiwezekakeleana kuingia. 25Lakini ghafla jwandonya, ambaye mwana jwake jwamshoko apaliji na mtima kwa mchafu, apilikene habari jake mika, ni gwila mumakongono gake. 26Jwandonga jweneju apaliji myunani, wa kabila la Kofoeniki. Alimsihi jwejula amingange pepo kopoka kwa binti jake.27Yesu pamulugulile nywandonga,"Niweleshe wana walishwe kwanza, pa kuwa nga sawa kuujigala mkate na wana wa wajaita mmbwa." 28lakini jwandonga nijagura na kuweleketa ,"Ndiyo Bwana,a hata mbwa pai ja meza hulya mabaki ga shalya sha wana."29Nikuwarugulial,"Pa kuwa unaweleketa ineyi uko huru kujenda. Pepo amshoshile binti jako." 30Jwandonga awiyile kumuhi kukwake na kumuomama binti jake, agonile pashinanda, na pepo apaliji ashoshile.31Yesu akopeshe kawili paranga ja mkoa wa Jino na kupitila Sidoni kuelekela Bahari ja Galilaya mpaka kanda ja Dikapolisi. 32Na kumpeleshela mundu apaliji kiziwi na apaliji jwangakombola kuweleketa ukoto, walimshi Yesu aweshe mikono juu yake.33Nikushoa paranga ja kusanyiko kwa siri, na kumika vidole vyake pa masikio gake, na baada ja kutema mate, aligusa ulimi gwake. 34Nilola kunani mbinguni nihema na kumrugulila,"Efata," Ineyo ni kuweleketa "Ingugule!" 35Na muda gwegula gwegula masikio niuguka, na shipaliji limezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza ukoto.36Na kumwamuru wapinge kumrugulila mundu jojowe. Lakinikadri amwamuru, ndivyo walivyotangaza habari yeneyo kwa jingwinji." 37Hakika nishangazwa, na kuwleketa,"Nitendile leila shindu mkoto, hata mwatendile viziwi, wapilikane na mabubu walongele."
1Katika lyua jenejo, pajili kawili na umati mkurungwa na wangali na shaliya . Yesu nikuwashema wanafunzi gwake n akuwarugulula, 2"Ninahurunia umati gweguno, umeendelua kuna nami kwa lyua tatu na wangali shalya. 3Nikiwatawanya wauje majumbani mwao bila kulya shalya wanapinga kuzimia mupande kwashiwanga. N abaadhi jao wakopweshe mbali sana." 4Wanafunzi gwake nikuwajangura,"Tushipate kwei mikate jatosha kuwashibisha vandu, wenewa katika eneo lyeneli lililoleshilwe?5Nikuwawuya mkwete ipande ilingwa ja mikate? Niwelekete,"Saba." 6Aliamuru umati uatame pahi. Nijigala mkate saba nakumshukuru Mungu, na kuivunja. Nipegwa wanafunzi gwake wakawike mnduja jao nao waiweke mmujo ja umati.7Pia wapaliji na yakaki washoko wachache, na baada ya kushukuru, aliwaamuru gwake wawagawire ineyi pia. 8Walilenje na watosheke. Na wakusasanyile upande vilepeshe, ikapu kurungwa saba. 9Wakaribie vandu elfu nne.Kuwaleka wajende. 10Mara nijingila pa mashua na wanafunzi gwake, na nijenda katika ukanda ja Daimanuta.11Kisha mafarisayo nikopoka paranga nitandua kubishana. Nipinga kupigwa ishara kopoka mbinguni, kwa kumjaribu. 12Nitafakari kw alina moyoni niweleketa,"Kwa indi kizazi sheshimu linalolea ishara? Nakuwarugulila mmanyanganyi kweli, jwakwapi ishara jipingakoposhela kw akizazi sheneshi." 13Kisha nikwerekanga najingira mkati ja mashua kawili, nijaula kuelekea upande guna.14Wakati gwenego wanafunzi waliwelele kkujigara mikate . wangapangwa na mikate zaidi ja shipande shimo kuipaliji pa mashua. 15Aliwaonya na kuweleketa,"Mwe na meyo na mjilinde dhidi ja chachu ja mafarisayo na chachu ja Herode.16Wanafunzi niweleketanga wenewo kwa wenewo, "Ni kwa sababu twangali mikate." 17Yesu alitamwile ali, na kuwarugulila,"Kwa indi inaweweketanga kuhusu kungali na mikate? Mukanawe manyanga bado? Mukaelewa? Mitima jenu ipali miepesi?18Mkwete meyo, mukalola?Mukwete masikiop mukapilikana? Munakumbuka? 19Nilipoigawa mikate mitano kwa vandu elfu tano, mujigere ikape ilingwa nigumbele ipande ja mikate?" Nijagura ,"Kumi na mbili."20"na nilipoigawa mikate saba na kwa vandu elfu nne mujigere ikapu ilingwa?" 21Niwelekete,"Saba." Nikwarugulila,"Bado mukaelewa?"22Nikwia Berthaida vandu weneo kupelesha kwa Yesu mundu kipofu na wakamsihi Yesu amguse. 23Yesu nikamula kwa mkonu yula kipofu, na kumwongoza paranja ja kijiji. Patemile mate kunani pa mayo gake na kunyosha mikono gake juu jake, nikumuya,"Unalola shoshowe?"24Niulola kunani na kuweleketa,"Nalola wandu wamkolela kama mikongo inajenda." 25Ndivo ninyosha kawili mikono jake kunani ja meyo gake mundu jwejula Niugula meyo gake, nilola kawili na nilola, kila shindu shambone. 26Yesu aneshile ajende kumuhi na kumrugulila ,"Unajangile mjini."27Yesu nijaula na wanfunzi gwake nijende vijiji vya kaiseria ja Filipi wapali mupanda mkuwauya wanafunzi,"Vandu wamnaweleketa nnne ni gani?" 28Nijangura kwakuwelekete,"Yohana mbatizaji. wana wanaweleketa 'Eliya' na wana 'jumo mwa manabii."29Nikukuya,"Lakini mmanganyanji muna weleketa nnne ni gani? Petro nirugulila,"Mwe ni Kristo." 30Yesu nikuwaonya wamgarulile mundo yoyowe kumuhusu jwejula.31Na nitandua kupundile ja kuwa mwana wa Adamu lazima ateseke kamambo gamagwinji, na nikanwa na viongozi na makuhani wakuru, na wajandikanga na nibulagwa na baada ja moga gatatu atafufuka. 32Niweleketa genega kw auwazi, ndipo Petro nikumjigara pembeni na nitandua kukemea.33Lakini Yesu nigeuka na kuwalolalanga wanafunzi gwake na akamkemea Petro na kuweketa,"Mpite nyuma jangu shetani! Hujali mambo ga Mnungu, japokuwa mambo ga vandu." 34Kisha akaushema umati na wanafunzi gwake pamoo, na kuwarugulila,"Kama kuna mundu anapinga kumkagula ajikane mmayene, ajigale msalaba gwake na angagule.35Pa luwa yeyowe anayepinga kuyaokoa maisha gake apingaye kuyaowila na yeyowe apingaye kuyaowa maisha gake kwaajili gangu na kwaa jili ya injili, apinga kuyaokoa. 36Inamfaidia nini mundu, kupata ulimwengu wote, na kisha kupwega hasara ga maisha gake? 37Mundu anapinga kushoa indi badala ja maisha gake?38Yeyowe amunile aibu na malowe gangu katika kizazi sheneshi sha wazinzi na kizazi cha wapingile yambi mwana jwa Adamu shiwamlolile aibu wapingaapo kwisha katika ufalme gwa Awawa jake pamoo na malaika watakatifu.
1Na awalekete kukwao,"Hakika naweleketa kukwenu baadhi jenu wapali vandu wanjimilenje penepa wanakawe kuonja mauti kabla ja lola ufalme wa mnungu uikile kwa nguvu." 2Na baada ja lyua lya sita Yesu awajigele Petro, Yakobo na Yohanapamoo naye mlimani, jika pee. Ndio nitandue kubadilika na myo jao. 3Mavazi gake nitandua sana, meupe sana, meupe kuliko mng'arishaji jojowe duniani.4Ndivo Eliya pamoo na Musa wakopeshele mmuja jao, na wapaliji wanalogela na Yesu. 5Petro nijagura nakumgarurile Yesu," Mwalimu, ni vyema uwekuwa penepa na tushonjile ibanda itatu, shimo kwa ajili jako,, shimo kwa ajili ja Musa na Shimo kiwa kwaajili ja Eliya." 6(Pa kuwa mwangamanya indi shawaweleketa njogopa sana.)7Wingu likoposhele na kuwunika .|Ndivo lilowe kopoka mawinguni niweleketa,"Jwejeno ni mwanagwangu mpendwe mupikanile jwejula." 8Ghafla, wapaliji wakilola wangamlola yeyowe pambo nao, ingapaliji Yesu pe.9Wapaliji wnateremka kopoka mlimani aliwaamuru kutokumrugulila mundu yoyowe gagala gowe wayalolile, mapka mwana jwa Adamu atakapofufuka kopoka kwa wafu. 10Ndivo wayatuzile mambo gawo wayene .lakini wajadiliane wewo lwa wenewo ni indi maana gake"Kufufuliwa kopoka kwa wafu"11Nikumuyanga Yesu,"Kwa ndi wajandika kuweleketa lazima Eliya aishe kwanza?" 12Nikawwarugulila,"Hakika Eliya apingakwia kwanza kulokola indu yowe. Kwa indi jijandishwe mwana jwa Adamu lazima apegwe mateso gamanjinji na achukiwe? 13Lakini naweleketa Eliya amalile kwiya, na watendile kama walivyopendo kama majandiko gaweleketavyo kuhusu jwejula."14Na paujile kwa wanafunzi nilola likundi lyakulungwa linguruke na masadukayo wapaliji wanasababisha nago. 15Na mara wamlolile likundi lyowe lilishangaa na kumutukila mna kumzsalimia. 16Nawawuya wanafunzi gwake,"Mnabishananga nao juu ya indi?"17Jumoo jwao katika likundi nijangura,"Mwalimu napeleshe mwanangu kukwako angali na mtuma gwabulila amayo mnatende angamanya kulonjela, 18na sababisha kutetemeka na kumgwia pai, na kopoka lipovu mdomoni na kuyaga mmeno na kukakamaa, nawajugire wanafunzi gwako kushoa pepo lakini wangamanya. 19Awajangule,"Kizazi lingaamini, shindame na mmanganyanji kwa muda gani? Najingaranga nammanganuanji hadi pakuwa? Mpeleshe kwangwine."20Wapeleshe mwana jwake mtima gwabililaamlolile Yesu ghafla jimtajile katika kuttemeka. Mwanalume ni gwa pai na kupoka pai mdomoni. 21Yesu nikumuye awawa jake," Apaliji katika hali jeneji kwa muda gani? Awawa miwelekete,"Kopoka utoto. 22Mara jina nigwa katika moto au pa mashi, na kujaribu kumwangamiza kama unamanya kutenda shoshowe ntuhurumia na tujangutane."23Yesu nikuwarugalila,"Kama mpali tayari? Kila shindu shingamanyanga kiwa yeyowe aminie." 24Ghafla awawa wa mwana agutile na kuwleketa,"Nalungamini njangutile wangaliamini kwangune." 25Wakati Yesu palolile likundi linakaribia kugwao pamkee mtima gwahilili na kuweleketa,"Mwe mtima bubu na kiziwi nakuamuru mneke,m unajinjile kugwake kawili."26Niguta kw anguvu na kumuhangaisha mwana na mtima nishoka. mwana mlolile kama awile, ndivyo wawagwibji niweleketa,"Awile," 27lakini Yesu amjigere kwa mkono akamwinula, na mwana ajimile.28Wakati Yesu pajingile mkati, wanafunzi wake nikumuyanga faragha,"Kwa ndi twangamanyaga kumshoa?" 29Nikwaruguila,"Kwa namna jeneji ngake poka japokuwa kwa kujuganga."30Washoshile pepala na kupitila galilaya. Jwangapinga mundu jojoye amanyire wapalinji, 31Kwa kuwa apaliji anapundisha wanafunzi gwake nikwarugulila,"Mwana wa Adamu shailile mikononi mwa vandu na kumulaga. Apaliji awile baada ga moga gatatu niwuwuka kawili." 32Lakini wangaelewa maelekezo aga, na wajogwepe kumuya.33Ndivo waishile Kapernaumu. Wakati apali mkati pa nyumba nikwawuya ,"Mupaliji mnajadili indi mupanda?" 34Lakini wapaliji jii kwani wapaliji wanabishana mupande3 kwamba gani apaliji mkulungwa zaidi. 35Atamile pai nikweshema kumi na wawili pamoo na kuwleketa nao,"Kama jojowe amnapinga kuwa gwa kwanza ni lazima, awe jwa mwisho na mtumishi gwa wowe."36Amjigere mwana jwa mshoko na kumlila, katikati jao. Amjigere katika mikono jake, niweleketa, 37"Yeyowe aposhele mwana kama jweneju kwa lina lyangu pia amboshele nnne na apali mundu ,amboshele, nnne pe lakini pia anitumile."38Yohana nikurugulila,"Mwalimu tuna mlolile mundu ashoshea pepo kw alina lyako na tukamzuia, kwa sababu kumkagula." 39Lakini Yesu niweleketa,"Msimuzuie, pakuwa jwakwapi atendile maengo makurungwa kwa lina lyangu na ndivo baadaye awelekete lilowe baya lolowe juu jangune40Yeyowe apaliji kinyume nasi jwangali upande gwetu. 41Yeyowe apelile shikombe sha mashigangwa kwa sababu upali nasi na Kristo, kweli nakwarugulila, tunawowile thawabu jake.42Yeyowe awakoseshawa wenewa, washoko waniamonia nne upaliji, vyema kugwake kuungwalwa liwe lya kuyagilashingoni na kujawa baharini. 43Kama mkono gwako ukikukosesha muukate. Ni heri kujinjira katika uzima bila mkono kuliko kujingira kwenye hukumu kukwerete na mikono jowe. katika moto "gunganamika". 44(Nzingatie: mstari jeneji,"Mahali ambapo funza wangawa na moto ukanaweimika.", gwangali katika nakala za kale).45Kama mguu gwako ukikukosesha, mukate. Ni vyema kugwake kijingila uzimani upali kilema, kuliko kujawa hukumuni, na migulu miwili. 46(Nzingatie: Mstari jeneji "mahali ambapo funza wangawana moto gukanawe kuimika" haumo pa nakala za kale).47Kama liyo lyako lilikukosesha ling'ole. Ni vyema kugwako kujingila katika ufalme wa Mnungu kupali na liyo limo kuliko kuwa mneyo mawili na kujawa kuzimu. 48mahali pangali na funza, wangawa na moto ukanawe imika.49Kwa kuwa kila jumo nikoleywa na moto. 50Chumvi ni jambone, kama munyu jiwowile ladha jake, unajitendile iwe na ladha jake kawili? Mukole na mwinyo miongoni mwetu wayene na mupali na amani kw akila jimo."
1Yesu ajawile eneo lyenelo na ajandile katika mkoa wa Uyahudi na eneo la mmunjo ja mto Yordani, na makutanowashikukagula kawili. Awapundishe vawilikana japalijiu kawaida jake kutenda . 2Na mafarisayo waishile kumjaribu na kumuya,"Ni halali kwa mwanarume kulekana na mkongwe jwake?" 3Yesu nijangura,"Musa awamurenje indi?" 4Niwelekete,"Musa aruhusu kujandile cheti sha kuwekana na kuminga jwandonga."5"ni kwa sababui ja mitima jenu migumu ndivyo maana awajandishile sheria jeneji ," Yesu nikwarugulila. 6"Lakini kjopoka mwanzo gwa uumabji Mnungu awarugulile mwanarume na jwandonga.'7Kwa sababu jeneji mwanarume shamweleshe awawa jake na amama jake na kuungana 8na mkongwe wake, na wenewo wawili wapaliji mwili gumo na kuwa nga wawili bali mwili gumo. 9Kwa ineyo alichokiunganisha Mnungu mwanadamu angakukitenganisha."10Wapaliji m,kati mwa nyumba wanafunzi gwaleo nikumuyanga kawili kuhusu lyeneli. 11NIkwagulula,"Yeyowe amnekile mkongwe gwake na kumtola mkongwe juna anatenda uzinzi dhidi yake. 12Mkongwe naye amneshile mrume jwake na kuolewa na mwana rume june, anatenda uzinzi."13Na wenewo washikupeleshela vana wao washoko ili awaguse lakini wanafunzi nikuwakemea. 14Lakini Yesu patambwile lyenelo wangafurahishwa nayo kabisa nikwwarugulila ,"Muwaruhusu vana vashoko waishe kwangune na muwaangamiza kwa sababuwalio kama wenewa falme wa Mnungu ni gwao.15Ukweli niwarugulila , jejowe wangauposhele ufalme waMnungu kama mwana jwashoko hakika mwangamanya kuyingira katika ufaalme jwa Mnungu. 16Kisha awajigere kana mikononi mwake na kuwabariki akiwawishila mikono jake kunani jao.17Napawandwiwe safari jake mundu jumo amutashile na mkoma magoti mmunjo jake nakumuya,"Mwalimu mwema, ndende indi ili nimanyile kurithi uzima ja milele?" 18Na yesu niwekete,"Kwa indi unanishema mwema? Jwakwapi apali mwema ingapaliji Mnungu jika pe. 19Uzimanyire amri:'Unalage, unazini, najiwe unashuhudie unami, unatembanje, Muheshimu awawa na amama jako'.'''20Mundu jwejula niwekete,"Mwalimu aga gowe nimeyatii kopoka ningali kijana." 21Yesu nikumlola na kumpende nakumrugulila,"Unapungushila shindu shimo. Unapaswa kuuza vyowe upali navyo na uwapele maskini,mna upali na hazina mbinguni ndivo lishe kunikagula." 22Lakini akatile tamaa kwa sababu ja maelezo aga; nijaula apali mwenye huzuni, pa kuwa apaliji na mali jajingwinji.23Yesu nilola pande na kuwarugulila wanafunzi gwake,"Ni jinsi gani ungali vigumu kw atajiri kujingira katika ufalme gwa Mnungu! 24Wanafunzi nishangaza na malowe aga, Lkaini Yesu nikuwarugulila kawili,"Vna ni jinsi gani ingali vigumu kujingila katika gwa Mnungu! 25Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu lya indano, kuliko mundu tajiri kujingira katika ufalme gwa Mnungu."26Wakishangazwa sana na niwelekeketana ineyo gani shaokoke" 27Yesu nikuwalolanga na kuwekeleketa,"Kwa binadamu haliwezekana lakini ngakwa Mnungu, pa kuwa katika Mnungu yowe ganawezekana." 28Petro nitandwa kubelekta naye,"Mnole kuleshile yowe na tukukagule."29Yesu niwelekete,"Ukweli nakuwaragulila mmanganyanji jukwapi aleshile nyumba au kaka, au dada,au mama,au awawa, au vana, au ardhi, kwaajili jangu, na kwaajili ja injili, 30ambaye shaposhele mara mia zaidi ja inaino penepa duniani, nyumba , kaka, dada, amama, vana na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu mishalo,uzima wa milele. 31Lakini wawagwinji walio wa kwanza wapaliji wa mwisho na walio wa mwisho wapaliji wa kwanza."32Wapaliji mupanda kujenda Yerusalemu, Yesu apaliji alongellee mmujo jao, wanafunzi walishangaa na wewala wapaliji wanakukagula nyuma wajogwepe. Ndivpo Yesu nikwashoa pembeni kawili wewala kumi na wawili na nitanduwa kuwawaranjira ambacho shipinga koposhela inaino karibuni: " 33Mnole tunajenda mpaka Yewrusalemu, na mwana jwa Adamu shafikishwe kwa makuhani wakuru na wajndikwa, wapinga kumuhukumu, awe na wapinga lushoa kwa vandu wa mataifa. 34Wapingakudhihaki, na watamtuma mate, watamkoma imbo na kumulaga. lakini baada ja moga gaatu shaushuke."35Yakobo na Yohana,wan wa Zebedayo waikile kukwake na kuweketela,"Mwalimu tunakuhitaji ututendele shoshowe tukujugacho." 36Nikwangula,"Munapinga niwatendele indi?" 37Niwelekete,"Nturuhusu tutame nawe katika utukufu gwako, jumo katika mkono gwako gwa kuume na juna mkono gwako gwa kushoto."38Lakini Yesu nijagura,"Mkamanya mujangacho munaweza kukingwela shikombe ambacho nitakinywea au kustahili ubatizo ambao nitabatizwa?" 39Nikwarugulila,"Tumanyire" Yesu nikwarugulila,"Shikombe pangichangwela, mtakingwela na ubatizo ambao kugwao nimebatizwa mtaustahimili. 40Lakini atamile mkono gwangu wa kuume na mkono gwangu wa kushoto ga nne gwa kushoa, lakini ni kwa wewala ambao kukwao wamalile andaliwa."41Wewala wanafunzi wanakumi na papilikane aga nitandwa kuwakasirilwa Yakobo na Yohana. 42Yesu nikweshema kukwake na kuwaleketa," Mnamanya kuwa wewala wanaodhaniwa kuwa watawala wa andu wawo mashuhuri huwabonesha maamlaka juu jao."43Lakini jwangapaswa kuwa ineyi kati jenu yoyowe apingae kuwa jwa mkurungwa kati jenu lazima awatumikie, 44na yeyowe apingae kuwa wa kwanza kati jenu ni lazima awe mtumwa kwa wowe. 45Kwa kuwa mwana wa Adamu shaishe kutumikiwa na kuyashoa maisha gake kuwa fidia kwa wangwinji."46Wakaika Yeriko, apaliji akijagula Yeriko na wanaafunzi gwake na likundi lyalikurungwa, mwana wa Tomayo, Batimayo, kipofu mjugaji, atamile kando ja mupanda. 47Pikakene kuwa Yesui Mnazarethoi nitandauwakukoma mayowe na kuweleketa,"Yesu, mwana wa Daudi nngurumie!" 48Wawangwinji wamkemela jwejula kipofu wakirugulila anyamaze, lakini aliguta kw alilowe zaidi , mwana wa Daudi, nngurumie!"49Yesu mjima na kuamuru ashemwe, nikumshema jwejula kipofu, wakiwaleketa," kuwa shujaa mwinushe!Yesu Nkushema." 50Ajaile pembeni koti lyake niwutuka zaid, na kwia kwa Yesu.51Yesu nijangura na kuweleketa,"Unapinga nikutendele indi? Jwejula mwanarume kipofu nijagura."Mwalimu ninapinga kulola." 52Yesu nikwarugulila,"Ijende imani jako jikaponyile"Penepo pepo meyo gake yakalola na kumkagula Yesu mupanda.
1Wakati gwenegu waishile Yerusalemu, walipokaribia Berthfage na Bethania, katika mlima wa Mizeituni, Yesu awatumile wawili miongoni mwa wanafunzi wake 2na aliwarugulila,"Njedange katika kijiji kinachokalibiana nasi. Mara mtakapoajingila mwenemo, mushimkongane mwanapunda ambaye jwakanawepandwa. na mumu gule na mpeleshe lwangane. 3Na kama yeyowe aliwarugulila, 'kwa indi mnatenda hivi,'? Mnapaswa kuweleketa,,'Bwana namhitaji na mara mukaujanae penepa'.''4Wajendile na kukwimana mwanapunda atawle paranga pamnango kweneye mtaa gungali wazi, nao wamugule. 5Na baadhi ja vandu wapaliji wajimilenje pepala na kuwarugulila,"Mantenda indi, kuugula mwanapunda jweneju?" 6Wawarugulile kama Yesu awarugulile, na vandu wakawaacha wayende.7Wanafunzi wawili wampeleshe mwanapunda kwa Yesu na watandikenje mavazi gao kunani jake ili Yesu amanye kukwela. 8Vandu wawagwinji nitandika mavazi gao mupanda, na wana watandikeje matawi, wayakatile kopoka kumgunda. 9Wewala wajendile mmujo jake na wewala wakagulenje wakikoma mayowe,"Hosana! Amebarikiwa anayeika kw alina lya Bwana. 10Ubarikiwe ufalme unaoika wa Awawa jetu Daudi! Hosana kwa apali kunani"11Ndipo Yesu ajinjile Yerusalemu na ajendile hekaluni na alolie kila sindu, ianaino, wakati upaliji ujendile, ajendile Berthania pamoo nao kumi na wawili. 12Lyua likwagwile, wakati wapaliji wakuya kopoka Berthania apaliji na shiwanga.13Na kulola mkongo gw amukongo upaliji na mahambi kwa mbali, ajenda kuulola kama awezile kupata shoshowe juu jake. na wakati ajendile kw ajwejuno jwangapata shoshowe ijapokuwa mahamba kwa kuwa gapali majira ga mkongoni. 14Paugulile,"Jwakwapi jjejowa shalye tundakopoka kukwao kawili." Na wanafunzi wake nipilikana.15Waishe Yerusalemu, naye njingila hekaluni na kutandua kuwashoa paranga wauzaji na waumanga mkati ja hekalu. Papindule meza za wabadilishaji wa ela na itengu vya wewala wapaliji wakiuza njiwa. 16Jwangamruhusu jejowe kujigara shoshowe hekaluni kimanyire kuuzwa.17Aliwapundisha na kuweleketa,"Je jangajandikwa nyumba jangu jishemilwe nyumba ja sala kw amataifa gowe'? Lakini muitesandile pango la wanyang'anyi." 18makuhani wakuru na wajandikwa wapilikene apaliji awelekete, nao niloleya mpandaja mumlaga, hata ineyo wamjogwepe kwa sababu umati ulishangazwa na mapundisho gake. 19na kila wakati liguro paishile nijaula mjini.20Wapaliji wakijendelea lyamba, waulolile mkongo wa mkongoni ujumwile mpaka mizizi jake. 21Petro nikumbuka na kuweleketa,"Rabi!Mnole, mkongo gwa mkongoni uliolaani ujumwile."22Yesu nijangwa,"Mupali na imani katika Mnungu. 23Amini nawarugulila kwamba kiula auraguliaye mlima gwenegu, mjaule ma ukajijae mmeyene baharini, na kama jwangali mashaka mumtima gwake lakini anaamini kwamba akiwerekete kitakopeshele ineyo ndiyo Mnungu atakavyotenda.24Kwa imeyo niwarugulila, kila shindu mujugacho na kuwuya kwaajili jake,mngaamini kwamba mumposhele ineyo vipaliji kukwenu. 25Wakati mujimapo na kujuga, munapaswa kusamehe shoshowe mubilenacho dhidi ga yeyowe ili kwamba awawajenu apali mbinguni awasamehe pia mamanganyi makosa genu. 26(Nzingatie: mstari gweguno,"Lakini mungaposamehe, wala awawa jenu apali mbinguni hatasamehe yambi jenu" gwakwapi pa nakala za kale).27Waushile Yerusalemu kawili. na Yesu apaliji akijendela hekaluni, makuhani wakuru, waandishi na wazee waishile kukwake. 28Waliwarugulula," kwa mamlaka gani munatenda mambo aga? Na ni gani apele mamlaka kuyatenda aga?"29Yesu nikwawarugulila,"Nitawauya liswali limo munirugulile na nnne nitawarugulila kwa mamlaka gani niyatenda mambo aga. 30Je, ubatizo wa Yohana ukopweshe mbunguni au ukopweshe kwa wnadamu?Munijagure."31Walijadiliana miongoni mwao na kushindana na kuweketa," Kama tukisema,'Kutoka mbinguni,'niweketa, kwa indi basi hamkumwamini?' 32Lakini kama tukiweleketa,' kopoka kwa wanadamu,'..." Waliwanjogopa vandu pa kuwa wowe wakamulenje kwmaba Yohana apaliji Nabii. 33Ndipo wamjangwire Yesu na kuweleta ,"Tukamanya. Ndipo Yesu akawarugulila,"Wala nne ngawarugulila ni kwa mamllaka gani ganatenda mambo aga.
1Kisha Yesu nitandua kuwafundisha kwa mifano. Niweleketa," Mundu apandile mgunda la mzabibu akiungashila uzio na kuimba limo lya indika mvinyo. Achenjile mnara na uisha kulipangishe maunda la mzabibu uwa wakulima wa mizabibu kisha nisafiri safari ja mbali. 2Wakati kuishile amtumite Mtumishi kw awakulima wa mizabibu kuposhe;la kopoka kungwao baadhi ja matunda ga kumgunda la mizabibu. 3lakini wakiukamulanga, wakamkoma na wakawawinga bila shoshowe.4Akamtuma kukwao mtumishi juna wakamjeruhi mumtwe na kumtendela mambo ga aibu. 5Bado pamtumile juna jweneju jumo wamulege ,wawatendela wana wawagwinji mambo kama genego genego. Wakiwakomanga na wana kuwalaga.6Apaliji bado na mundu jumo zaidi wa kunituma mwana mpendwa. Naye apaliji Jwa mwisho atumwile kukwao .niwelekete" watamheshimu mwanangu." 7Lakini wapangaji washikuweleketa wenewo uwa wenewo,"Ujweneju ndiye mrithi, njianje hebu Tumlage, na urithi upaliji kukwetu."8Walimvam,ia, wakamulaga na kuijaa paranga ja mgunda la mizabibu. 9Kwa ineyo je shatende indi mmiliki gw amgunda la mizabibu? Shaishe na kuwaangamiza wakulima wa mizabibu na kukabidhi mgunda la mizabibu kwa wana.10Wangapata kusoma andiko uyeneli? Liwe ambalo washenga walikanile, liishile liwe lya pembeni. 11Lyeneli likopweshe kwa Bwana na ni la ajabu meyoni mwetu." 12Walimloleya kumkamula Yesu, lakini wajogwepe makutano, kwani wamanyire kuwa apaliji amenena mfano gwenegu dhidi yao. Hivyo nikumneka na nijenda jao.13Kisha nikuwatuma baadhi ya mafarisayo na maherodia kumkwake ili kumtega kw amalowe. 14Waishile nikwarugulila,"Mwalimu, tunamanya kwamba ukajali maoni ga yeyowe na huonyeshi upendeleo kati ya vandu. Unapundisha mpanda ja Mnungu katika ukweli. Je!Ni haki kulipa kodi kwa Kaisari au la? Je! Twaweza kulipa au la? 15Lakini Yesu amanyire unafiki gwao na kuwagururila," kwa indi mnanijaribu? Mmbanganje dinari mimanye kuilola."16Nipelesha jumo kwa Yesu, nikwarugulila,"Je ni sura ya gani namaandishi yapali penepa ni ya gani? Niweleketa ,"Ya Kaisari." 17Yesu nikwarugulila,"Muwangange Kaisari vitu vya Kaisari na Mnungu Vindu vya Mnungu." Wakastaajabia.18Kisa masadukayo, waasemao jwkawapi ufufuo, wamjendile kuwawuya, wakiweleketa, 19"Mwalimu Musa atujandikila kuwa ipali ndugu jwa mundu niwa na kumleka mkongwe nyuma jake. Lakini jwangareka mwana, mundu amjigere mkongwe waanungunaye jake, na kupwega nana kwaaajili ja mnnguna jake.'20Kupaliji na anungunaye saba, wa kwanza atwaa mkongwe na kisha kuwa, jwangaleka vana. 21Kisha wa puiliu amjigere naye niwa,wangaleka vana na wa tatu hali kadsharika. 22N awa saba awile bila kuleka vana mwishowe na jwandonga pia niwa. 23Wakati wa ufufuo, wapingafufuka kawili, Je!Apalijimkongwe jwa gani? Kwani anunganao wowe saba wapaliji wanarume gwake."24Yesu pawarugulile,"Je jeneji nga sababu kuwa mmepotoshwa, kwa sababu mukmanya maandiko wala nguvu ja Mnungu?" 25Wakati gwa ufufuko kopoka kw awafu hatawtawa wale kujinjila katika ndoa, bali apaliji kaka malaika wa mbinguni.26Lakini kuhusu wafu ambao wanafufuliwa Je! mkanawasoma kopoke katika shitabu cha Musa katika habari ja kichaka jinsi Mnungu awelekete na kumrugulila, Nnne ni Mnungu wa Ibrahimu na Mnungu jwa Isaka, Na Mnungu jwa Yakobo?' 27Jwejula nga Mnungu wa wafu, bali wa walio hai. Ni dhahiri mupwekete."28Jumo jwa waandishi aishile na kuyapilikanila mazungumzo gao. Alolile kwamba Yesu awajagure vema. Nikumuya,"Je! ni amri japi iliyo ja muhimu zaidi katika yowe?" 29Yesu amjangwe galiyo ga muhimu ni jeneji, "Mpilikane , Israeli, Bwana Mnungu Gwetu, Bwana ni jumoo. 30Lazima umpendile Bwana Mnungu jwako, kwa mtima gwako gowe, kwa mtima jako yowe, kwa akili jako yowe, na klwa nguvu jako yowe.' 31Amri ja pili ni jeneji,' Lazima upendile jirani jako kama unavyojipendile mmayene. Jwakwapi amri jina nakuru zaidi ja yeneyi."32Mjandika niweleketa,"Vema mwalimu!Uwalekete kweli kwamba Mnungu ni Jumo, na Kwamba jwakwapi juna zaidi jake. 33Kumpenda jweneju kwa mtima gowe na kwa ufahamu wowe na kwa nguvu yowe, na kupendela jirani kama mmayene, ni muhimu mno kuliko matoleo na dhabihu ja kuteketeza." 34Wakati Yesu palolile ashoshile lijibu lya busara, nikwarugulila,mmmwe mwangali mbali na ufalme gw aMnungu. Baada ja penepo jakwapi hata jumo apali thubutu kumuya Yesu maswali yoyowe.35na Yesu pajagwire wakati apaliji akipundisha katika hekalu, niwelekete,"Je wajandikwa uwelekelajem kuwa Kristo ni m,wana jwa Daudi? 36Daudi mmayene katika mtima mtakatifu awelekete, Bwana awelekete kwa Bwana jwangu, nketi katika mkono gwangu gwa kuume, mpaka niwatende maadui jwako kuwa pai ja miguu jako.' 37Daudi mmayene humshema Kristo, Bwana' Je ni mwana Daudi kwa jinsi gani? Na mkusanyiko mkuru wampilikane uwa furaha.38Katika mapundisho gake Yesu awelekete,"Jihadharini na wajindikanga, wnaotam,ani kujendela na kanzu kjajirea na kusalimiwa na masoko 39na kuketi pa itengu vya wakurukatika masinagogi na katika sikukuu kwa maeneo ga wakuru. 40Pia wanalya nyumba ja wanjane na wanajuga maombi mareu ili vandu wawalolanje. Wenewa vandu shiwaposhele hukumu jingali jikuru."41Kisha Yesu aketile pai karibu na lisanduku lya sadaka mkati ja eneo la hekalu; apaliji akilola vandu wapaliji, wataganga ipanje jao ja sanduku. Vandu wana matajiri wawikile kiasi sheshiokurugwa sha panje. 42Kisha mwanamoka mjane maskini aishile na kutaga ipande iwili thamani ja senti.43Kisha nikushemanga wanafunzi wake na kuwarugulila,"Amini nawarugulila jwandonga jweneju mjane atajile kasi shashikurugwa zaidi ja wowe ambao washoshienje katika sanduku la sadaka. 44Kwani wowe washoshienje kutokana na ugwinji gwa mapato gao. Lakini jwandonga mjane jweneju kupoka katika umaskini gwake, kataga ipanje yowe ambayo alipaswa kuitumia kw amaisha gake."
1Yesu alipaliji akijendera kopoka hekaluni, jumo jw awanafuzni gwake nikuwawuya ,"Mwalimu, mnole maganga aga gashangazana majengo!" 2Akawarugulila, unalola majengo agamekurungwa? jwakwapi hata liwe limo likana igala kunani ga gana ambalo lingaunganishwe pai."3Naye apaliji atemi kunani ja mlima gwa mizeituni kunyuma ja hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea nikwawuya kwa Siri, 4"Ntuwaranjire mamboa aga yapaliji lyua gani? Ni indi dalili ga mambo aga koposhele?"5Yesu atandwiwe kuwawaranjira,"Kuweni makini kwamba mundu yeyowe anawapotosha. 6Wawagwinji wataika kw alina lyangu waliweleketa,'Nne ndiye,' ma kuwapotosha wawagwinji.7Mutakopilikana vita na tetesi ja vita, mnajogope; mambo aga gakwapi budi koposhele, lakini mwisho bado. 8TaifaTaifa linajinuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Paliji na matetemeko sehemu mbalimbali, na shivanga. Gwenegu ni mwanzo gwa utungu.9Mupali meyo shiwepeleshe hadi mabarazani na munakomwanya katika masinagogi. Mutajimishwa mmujo ja watala na wafalme kw ajili jangu, kama ushuhuda gwao. 10Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe na mataifa gowe.11Wapingapo kuwakamula na kuwakabidhi munajogope kuhusu sheshila shiweleketa, ndani ja muda gwenegu, munapegwa; indi sha welekete. Mukapali mmanganji mpingao longela, bali mtima Mtakatifu. 12Mnunguna shiwamshita mnunguna kuulagwa awawa na mwana jwake. Vana shiwajime kinyume sha awawa jao na kuwasababisha kwalagwa. 13Mupingachukiwe ana kila mundu kwa sababu ja lina lyangu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mundu jweneju shaokoke.14Mupingapo kulola chukizo kwa uharibifu lijimile pepala lingalipopingwa kujima( Asomeye na afahamu). Ndivo wapaliji mkati ja Yuda watushile mlimani, 15naye apali kunani ja nyumba anauluke pai ja nyumba au kujigara shoshowe kipali paranga, 16na apali kumgunda anauje kujigara vazi lyake.17Lakini ole gwao wandonya wangali na shitumbo na wanyonyeshao katika lyua jenejo! 18Mjugange kwamba jinakoposhele wakati gwa mmbepo. 19Kwani papaliji na mateso, gamakurungwa ambayo jwangawahi koposhele kopoka Mnungu paumbile ulimwenguni, mpaka inaino jwakwapi wala jikanawe kposhela kawili. 20Mpaka Bwana shiwapunguze lyua givakwapi mwili upingao okoka. Lakini kwa ajili ja wateule wapingao kuwagula shiwapunguze namba za lyua.21Wakati gweguno kama mundu yeyowe atawaranjira,Mnole Kristo apali penepa! au mnole apali penepa! mnajamini. 22Kwani wakristo wa unami na manabii wa unami watakophela na washoa ishara na maajabu ili kwamba wawatembanje yamkini hata wateule. 23Muwe na meyo! Namalie kuwarugulila aga gowe kabla ja wakati.24Lakini baada ja mateso ga moga ago lyuwa litagirwe shiza, mwei hautashoa mwanga gwake, 25nyota zinagwa kupoka angani na nguvu zipaliji mbinguni zitatikisika. 26Ndivo wapingapo kumlola mwana wa Adamu aishe mawinguni kwa nguvu jajikurungwa na utukufu. 27Ndivo nituma malaika jake na kuwasanya pamoo na wateule gwake kopoka panda jikuru ncheche ja dunia, kopoka mwisho mwa dunia mpaka mwisho gwa mbingu.28Kwa mkongoni muipunze katika tawi liwezayo kushoa na kuwika haraka mahamba gake ndivo mmanyire kwamba apali karibu. 29Ndivo ipaliji mtakapolola mambo aga gakoposhele, mmanyaje kwamba apali karibu na milango.30Kweli na kwarugulila sheshino kizazi shikapita mbali kabla mambo aga gakanawe koposhela. 31Mbingu an nchi zinapita lakini malowe gangu gangapiata kamwe. 32Lakini kuhusu moja ago au saa, jwakwapi amanyire hata malaika jwa mbinguni, wala mwana, ila Awawa.33Muwe meyo mnole kwa sababu mkamanya, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea.(Zingatia: Mstari huu,"Muwe waangalifu, tazameni na ombeni kwa sababu.." haumo kwenye nakala za kale). 34Ni kama mundu ajendie safarini nileke nyumba jake na kuwika mtumwa jwake kuwa mtawala jwa nyumba, kila jumo na maengo gake, na kumwamuru mlinzi kutama meyo.35Kwa ineyo muwe na meyo! Kwani mumanyire ni lyua gani Bwana jwa Nyumba shaujire kumuhi ganawezekana na ligulo, shilo gw amanane, wakati jogoo wapingapo wika au lyamba. 36Kama aikile asikuimane mgonile. 37Sheshila shiweleketacho kukwako naweleketa kwa kila mundu nkeshanje!"
1Ipaliji lyua lya wawilibaada ja sikukuu ja pasaka na ja mikate jikanawe tagwachachu. Makuhani wakuru na wjandikwa wapaliji walolea namna ja kumkamula Yesu kw ahila na kumulaga . 2pa kuwa wawelekete,"Nga wakati gweguni gwa sikuu vandu wanaika kutenda ghaasia."3Wakati Yesu apaliji Berthania kumuhi kwa Simoni mkoma, na apaliji akielekea mezani, jwandonga jumo aishile kukwake apali na shupa ja marashi ja nardo shafi genge gharama yajirungwa sana mkaa shupa na kuimimina juu ja mtwe gwake. 4Lakinio paliji na baadhi jao wapaliji wakasirike. wakarugulilana wenewo lwa wenewo wakiweleketa,"Ni indi sababu ja upotevu gwenegu? 5manukato aga gamanyire kuuzwa kwa zaidi ja dinari mia tatu, na kupwegwa masikini." Napo wamkemeanje.6Lakini Yesu niwelekete,"Munikange jika pe. Kwa indi mnasumbua? Atendite jambo julikoto kwangune. 7Moga gowe maskini wapali, na wakati wowowe mnapotamani munagamanya kutenda makoto kungwao lakini mungapaliji nami wakati wote. 8Atendile sheshila amanyire apakile mwili gwangu mauta kwaajili ja maikilo. 9Kweli nawarugulila , kila mahaliu injili jinapo hubiriwa katika ulimwengu wowe, sheshile ashitendi8ke jwnadonga jwejuno kuitazungumza kwa ukumbusho gwake.10Kisha Yuda Iskariote, jumo jwa wewala kumi na wawili ajendile kwa wakuru wa makuhani ili kwamba apegwe kumkabidhi kugwao. 11Wakati wakuru wa makuhani wapilikane genego wapikalikane genego, walifurahi na kuwakaihidi kupwegwa ipanje . Atandwine kulolea nafasi ja kukabidhi kugwao.12Katika lyua lya kwanza ga mkate ukanawe tagwa chachu. Wakati washoshie mwana ngondoro hjwa pasaka, wanafunzi gwake awarugulile,"Unapinga kujenda kwei tukandae ili upate kulya mlo gwa pasaka? 13Awatumile wanafunzi gwake wawili na kuwarugulila,"Mjendange mjini na mwanarume mbaye ajigere mtungi atalolana na mmanganyanji mukaguranje. 14Nyumba pajinjilapo mukagulanje na mugurugulile mwenye nyumba jwenejo,' mwalimi anaweleketa,"Shipali kwei chumba sha wajeni mahali nipingapo kulya pasaka na wanafunzi jwangu?"15Atawabonesha shumba sha juu shikurungwa shenye samani ambacho kipali tayari. Mtendanje maandalizi kwaajili jetu pepala." 16Wanafunzi wajawile nijendanga mjini; walikuta kila shindu kama apaliji amewarugulila na waandaa mlo wa pasaka.17Wakati jipaliji, ligulo aishile na wewala kumi na wawili. 18Na wapaliji wakiikaribia meza ya kulya, Yesu niwelekete,"Kweli nawarugulila , jumo kati jenu anayekula pamoo nami atamsaliti." 19Wowe walisikitika, na jumo baada ja juna nawarugulila,"Hakika nga nnne?"20Yesu pajjagwirew na kuwarugulila,"Ni jumo hjwa kumi na wawili kati Yenu, jumo jw akumi na wawili kati jenu, jumo ambaye inaino anachovya tonge katika bakuli pamoo nami. 21Pa kuwa mwana wa Adamu nijenda kama vile maandiko gaweleketavyo juu jake. Lakini aole gwake mundu jweju;la ambaye kupitila jwejula mwana jwa Adamu atasalitiwa! Ingepali jikotop zaidi kukwake kama mundu jwejula angaliwelekwa."22Na wapailiji walya, Yesu ajigere mkate, akaubariki, na kuumega. Nipegwa niwelekte,"Mjigaleni. Gweguno ni mwili gwangu." 23Nijigara jikombe, akasahukuru, na kuwapegwa, na wowe wakaingwela. 24Awarugulile,"Jeneji ni damu ya agano, damu imwagikayo kwaajili ya wangwinji. 25Kweli nawarugulila, ningangwa kawili katika zao lyeneli la mizabibu mpaka siku lyelila apingapo kungwa upya katika ufalme jwa Mnungu."26Wamalipo kujimba wimbo, wajendile nje katika mlima jwa mzeituni. 27Yesu nikwawarugulila,"Mamanganyi nyowe mtajitenga kw ambali kwa sababu jangu, kwa kuwa jijandikwe,' Nitamkoma mchungaji na kondolo wapinga kutawanyika.'28Lakini baaada ya kufufuka kwangune, napinga kuwatangulia mmujo jenu Galilaya." 29Petro niukwawarugulila," Hata kama wowe wakuleshile, nnne ngakuleka."30Yesu aliwarugulila,"Kweli nakurugulila, shilo jejino, kabla ya jogoo hakanawewika mara mbili upaliji unganile mara tatu." 31Lakini Petro awelekete,"Hata itanilazimu kuwa pamoja nawe, ngakukana." Wowe washoshie ahadi jejila jejila.32Waishile kwenye eneo liloshemwa Gethemane, na Yesu nikwarugulila wanafunzi gwake," Mtame hapa wakati munasali." 33Awajigere Petro, Yakobo, na Yohana pamoo naye, nitandua kuhuzunika na kutaabika sana. 34Parugulire,"nafsi jangu jingali na huzuni sana hata, hata kuwa. Bakini penepa na mkeshange."35Yesu ajendile mumujo kashoko,nigwa pai, na kujuga, kama jiwezekana, kwamba saa hii ingemwepuka. 36Niweleketa,"Aba, Baba, mambo gowe uhukwao ganawezekana. Nishoe shikombe sheneshi. Lakini nga kwa mapenzi gangu bali mapenzi gangu, bal;i kwma mapenzi gako."37Aujile na kuwaimana wagonile nna kuwarugulila Petro, Simoni, je ugonile? Mwangamanya kukesha hata saa jimo? 38Kesheni na mujuge kwamba mnaike mkajinjila katika majaribu. Hakika mtima inadhi lakiini mwili ni dhaifu." 39Ajendile kawili na kujuga na atumilenje malowe galegegala.40Waikile kawili nikwaimana wagonile, pa kuwa meyo gao gapaliji mazito na wangamanya indi sha kuwarugulila. 41Aike mara ja tatu na kuweleketa,"Bado mgonile na kupumulila? Gatisha saa jiishile mnole mwana jwa Adamu atasalitiwa mikononi mwa wakwete na yambi. 42Mjimukange, tuyendeje. Mnole jwejula anayenisaliti apali karibu."43Mara apaliji bado analogela, Yuda, jumo jwa wewala kumi na wawili, paishile, na likundi lyalikurungwa kopoka kwa wakururu wa makuhani, wajandikwa na wazee wangali na mapanga na marungu. 44Wakati gweguno msaliti jwake apaliji awapeile ishara, niwelekete,Jwejula nitakayembusu ndiye . Mkamulage na kumpelesha pai ja ulinzi." 45Wakati Yuda paishile, jumo kwa jumo ajendile kwa Yesu na kusema,"Mwalimu!" Na akambusu. 46Kisha kutaga pai ja ulinzi na kumkamula.47Lakini jumo kati gao ajimile karibu naye alichomoa upanga gwake nikumkoma mtumishi gw akuhani mkuru na kumkata lisikio. 48Yesu alliwarugulila," muishile kunikamula panga na marungu kama mnyang'anyi? 49Wakati kila moga nipaliji na mmangananji nikiwapundisha hekaluni, mwanganikamula. Lakini lyeneli litendeshe ili maandiko gatimie. 50Na wewala wowe wapaliji na Yesui wamneshile na kuwutuka.51Kijana jumo nikumkagula apaliji awete, shuka pe apaliji ajinishile kuzunguruka; wakamulanje 52lakini awapokonya mileka shuku pepala niutuka uchi.53Walimwongoza Yesu kwa kuhani mkru. Pepala wakusanyike pamoo na makuhani wakuru wowe, wazee, na wajandika. 54Petro naye nikukugula Yesu kwa mbali, kuelekela pa ua wa kuhani wakuru. Aliketi pamoo na walinzi, wapaliji karibu na moto wakiota ili kupata lyoto.55Wakati gwenegu makuhani wakuru wowe na baraza lowe wapaliji wakilolaa ushahidi dhidi ja Yesu ili wapate kumulaga. Lakini wangaupata.Pa 56kuwa vandu wawagwinji wapeleshe ushuhuda gwa uanami dhidi jake, lakini hata ushahidi gwao gwangalandana.57Baadhi wajimile na kupelesha ushahidi gwa unani dhidi jake; wakuiweleketa, 58"Tumpilikene akiweleketa,' Nitaharibu hekalu lyeneli lishenjelwe kwa mikono, na mkati mwa moga gatatu na nshenga lina lingalilesahengwa kwa mkono."' 59Lakini hata ushahidi gwao gwalandana.60Kuhani mkuru ajimile katikati jao na kumuya Yesu,"Je, gwangali lyajagura? Vandu wenewa wanamshuhudia indi dhidi jako?" 61Lakini atamile linnki na jwangajangwura shindu shoshowe. Mara kuhani mkuryu nikumuya kawili,"Je , mmwe ni Kristo,mwana wa Mbarikiwa?" 62Yesu niwelekete,"Nne ndiye. Na utamlola mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa nguvu aishe na mawingu ga mbinguni."63Kuhani mkuru nilarua mavazi gake na kuweleketa,"Je bado tunapinga mashahidi? 64Mmesikia kufuru. Uamuzi gwenu ni upi?" Na wowe walimhukumu kama jumo amayestahili kiwo. 65Baaadhi nitandua kutemela mate na kungunika uso na kumkoma na kurugulila,"Tabiri!" Maafisa wamjigere na kumkoma.66Na petro apaliji bado jwangali pai uano, mtumishi jumo wa wandonya wa kuhani aishile kukwake. 67Amlolile Petro apaliji ajim,ile amiota moto, na alimlola kwa kumkaribia kisha niweleketa."Na mwe pia mwaliji na Mnazareti, Yesu." 68Lakini nikana niweleketa,"Ngamanya wala ngaelewa kuhusu sheshila unassho weleketa!"Kisha nishoka na kujenda paranga uani.(Nzingatie, msatri jwejeno ,"Na jogoo awikile" jwangali pa nakala za kale).69Lakini mtumishi jwa kike opepala, amlolile na atanduwi kumrugulila kawili wewala ambao wapaliji wajimile pepala,"Mundu jwejuno ni jumo jwao!" 70Lakini nikana kawili. Baadaye kashoko wewala wapaliji wajimile pepala wapaliji wakimrugulila Petro,"Hakika mmwe mjumo jwao, kwa maana mmwe pia ni Mgalilaya."71Lakini atandwie kujiwika mmayene pai ja laana na kuapa," Ngamanya mundu mundu jweneju mnayemmeleketa." 72Kisha jogoo awikile mara ja pili, kisha Petro akumbwishe malowe ambayo Yesui apaliji amemrugulila,"Kabla jogoo akanewika mara mbili, shiunikane mara tatu." Na nigwa pai na kuguta.
1Lyamba na mapema wakuru wamakuhani waimenenje pamoo na wazee na wajandika na baraza lyambone lya wazee. Kisha wakamtawa Yesu kupelesha kwa Pilato. Pilato nikumuya,"Mmwe ni mfalme wa Wayahudi?" 2"Nijangwa"mwe uwelekete ineyo." 3Wakuru wa makuhani niwelekete mashitaka gamagwinji juu ja Yesu.4Pilato nikumuta kavili,"Hukajagura shoshowe? Hukalola jinsi wanavyoleshitaki kwa mambo gamagwinji? 5Lakini Yesu jwangamjangara PIlato, na ineyo jilimshangaza.6Kwa kawaida wakati gw asikukuu kumugulila mfungwa jumo mfungwa waliyekujuga. 7Kupaliji na wafungwa gerezani, miongoni mwa waulagaji kati walioasi wanaotumikia makosa gao. Apaliji jumo achemitwe Baraba. 8Umati hikile kwa Piulato na kumjuga atende kama atendile kweneko kumyuma.9Pilato nijangwa na kuweketa,"Mnapinga niwaugulile mfalm e wa Wayahudi?" 10Kwa kuwa amanyire ni kwa sababu ja wivu wakuru wa makuhani wakamulenge Yesu na kupelesha kwake. 11Lakini wakuru wa makuhani walishoshea umati kukoma mayowe lkwa lilowe kwmaba aguliwe Baraba badala jake.12Pilato nijangwa na kuweketa,"Nimtende indi mfalme wa Wayahudi? 13Nikoma mayowe kawili,"Msulubishe!"14Pilato niweleketa,"Atendile jambo gani baya? Lakini wakazidi kukoma mayowe zaidi"Msulubishe." 15Pilato apingile kuwaridhisha umati, nikumgulila Baraba nikumkoma Yesu mijeredi kisha wakamshoa ili asulubiwe.16Askari wamwongoza hadi mkati ja ua( Gwegula upali mkati ja kambi).na walikusanyika pamoo kikosi sha askari. 17Wakamvika Yesu kanzu ja rangi ja zambarau, na nisokota taji ja miiba na kumvika. 18Nitandua kumdhihaki na kuweleketa,"Salam, mfalme gwa Wayahudi!"19Nikukoma mumtwe kwa milai na kumtemela mate. Nikoma magoti mmujo gwake kwwa kumuheshimu. 20Hata wamalile kumdhihaki, wakavula jejila kanzu ja rangi ja zambarau na kumvika mavazi gake na kushoa paranga kujenda kumsulubisha. 21wakamlazimisha apitile mupanda kumsaidia apaliji anajingila mjini kopoka kumgunda.Ashemilwe Simoni Mkirene(Awawayake Iskanda na Rufo); nakumlazimisha kujigara msalaba gwa Yesu.22Askari wakapelesha Yesu mahali pachemilwapo Goligotha(maana ja tafsiri jeneji ni sehemu ja fuvu la mtwe). 23Nipengwa mvinyo guengenye na manemane, lakini jwangagwa. 24Wakamsulubisha na wakagawana mavazi gake, wakayakomea kura kuamua shipande shapwegele kila askari.25Yapata saa tatu lyamba pamsuubishe. 26Niwika juu jake ubao ujandikwe shitaka,"Mfalme gwa Wayahudi." 27Walimsulubisha pamoo na majambazi wawili jumo upande gwake na kulia na juna wa kushoto kwake. 28(Zingatia: mstari gwenegu,"Na maandiko gatimie ganenitwe" jwangali katika nakala ja kale).29Nao wapaliji wanapita walimtukana wakitikinya mitwe jao wakiweleketa,"Aha! MMwe mukaile hekalu na kulichenga moga gatatu, 30mjokoe mmayene na mguruke pai shoka msalabani!"31Kwa namna jejila wakuru wa makuhani walimdhihaki wakiweleketozana pamoo na wajandika na kuweleketa,"Awaokwele wana, lakini jwangamanya kujiokola mmayene. 32Kristo Mfalme wa Israeli, nguluka pai inaino shoka msalabani ili tuweze kulola na kuamini." Na wewala wasulibiwe pamoo naye pia walimdhihaki.33Paishile saa sita, shiza likile kunani ja nchi jowe hadi saa tisa. 34Wakati wa saa tisa Yesu nikoma mayowe kwa lilowe lyakulungwa,"Eloi, Eloi, lamasabakitani?" Ipali na maana,"Mnungu wangu, Mnungu gwangu kwa indi umleka?" 35Baadhi ja genego pajimilenje papilikene wawaweleketa,"Inole ,anamshema Eliya."36Mundu jumo niwukuta mgumbala siki katika sponji na kuwika kunani, mwa mkongo gwa milai, nkumpee ili angwe mundu jumo niwelekete,"Nnninde tutole tulole kama Eliya shaishe kumtelemsha pai." 37Kisha Yesu niguta kwa Lilowe lyalikurungwa niwa." 38Pazia la hekalu nigawanyika ipande iwili shoka kunani mpaka pai.39Ofisa jumo apaliji ajimile alimwelekea Yesu palolile awile kwa jinsi jejila niwelekete,"Kweli jeneju mundu apaliji Mwana jwa Mnungu." 40Wapaliji pia wandonya wapaliji wakilola kw ambali, miongoni mwao apaliji mariamu magdalena, Mariamu( Mama jake Yakobo mdogo jwa Yose), na Salome. 41Wakati wapaliji Galiulaya walimkagura na kumtumishila na wandonya wawagwinji pia waliambatana naye hadi Yerusalemu.42Kupaliji ligulo na kuwa ipaliji lyua lya maandalio, lyua kabla ja sababto, 43Yusufu wa Arimathaya aishiel pepala. Apaliji ni mjumbe jwa baraza anayeheshimu mundu anayeutarajia ufalme gwa Mnungu kwa ujasiri mjenda kwa Piulato na kumjuga mwili gwa Yesu. 44Pilato nishangazwa kwamba Yesu tayari awile; nikumshema jwejula afisa nakumuya kama Yesu awile.45Alipopata uhakika kwa afisa kwamba awile pamruhusu Yusufu kuujigara mwili. 46Yusufu apaliji aumile sanda, nikumlungul;ua kopoka msalabani, na kumtawa kwa sanda na kumika makati ja kabuli liimbwingwe katika mwamba Kisha akaingilia liwa mlangongoni mwa kaburi. 47Mariamu Magdalena na Mariamu mam jake Yose walolile sehemu sehemu paikwile Yesu.
1Wakati sabato jimalile, Mariamu Magdalena na Mariamu amama yke na yakobo, na Solome, niungama manukato gambone, ili waweze kwia na kuupaka mauta mlili gwa Yesu kwa ajili ja maziko. 2Asubuhi na mapema lyua ja kwanza ja juma, wajendile pa kabuli wakati lyua lilipaliji lichommweze.3Wakiweleketanga wenewo kwa wenewo,"Gani shaingirie liwe kwa ajili jetu ili tujingile kaburini?" 4Wakati palilonge, washikulola mundu amalie kuingiria liwe, ambalo lipaliji lyakurungwa sana.5Njinjila pa kaburi na wakalola kijana aweto joho jeupe, aketile upande gwa kulia, na wakashangazwa. 6Nikwarugulila,"Manjogope, munakumlolea Yesu ,Gwa Nazaareti, asulubiwe, afufushwe! jwakwai penepa. Inole mahali penepa wapaliji wamikele. 7Mjendange, mukawarugulile wanafunzi gwake na Petro ja kuwa alongelele kuelekea Galilaya. Kweneko shawamlolanje kama apaliji awaragulile."8Nijaula na kuutuka kopoka pa kaburi; walittemeka na kushangazwa. Wangaweleketa shoshowe kwa mundu yeyowe sababu wajogopwe sana.9(Zingatie: Nakala za kale yangali Marko 16: 9-20) Mapema katika lyua lya kwanza ja juma baada ya fufuka, amkoposhele kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kopoka kukwake nishoa mapepo saba. 10Pajawile na kuwarugulila wewala ambao pamoo naye wakati wapaliji wakihuzunika na kushoa machozi. 11Wapilikene kwamba ni mkoto na aonelwe naye lakiniwangamwamini.12(Nzingatie: n akala za kale yangali Marko16:9- 20) Baada ya genego pakopweshe katika namna tofauti kwa vandu vana wawili, wakati wapaliji wanatembea kopoka katika nchi. 13Wajendile na kuwarugulila wanafunzi wana warepeshe, lakini wangakuamini.14(Nzingatie:Nakala za kale hazinaMarko 16:9-20|) Yesu baadaye nikopeshele kwa wewala kumi na jumo wapaliji wameegama katika meza na akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu gwa mitima, kwa sababu jwangaamini wewala wamlolile baada ya kufufuka kopoka kwa wafu. 15Nikwarugulila,"Mjendanje ulimwengu jowe na kuhubiri injili kwa iumbe yowe. 16Yoyowe aaminiye na kubatizwa shaokolewa , na jwejula jwangaamini atahukumiwa.17(Nzingatie:Nakala za kale hazina Marko 16:9-20) Isahara yeneyi iambatane nawowe waaminio kwa lina lyangu shawashoe pepo, shiwawelekete kwa lugha jayambi. 18Shikawakamure lijoka kwa mikono jao, na hata wakingwa shindu shoshowe sha kuia shingawdahuru. Wawika mikono kw awagonjwa, nao wapingakuwa wawakoto."19Baada ja Bwana kuweleketa ago nijiga ra kunani mbinguni na kuketi mkono gwa kuume gwa Mnungu. 20Wanafunzi nijaula na kuhubiri kila mahali bwana, wakati Bwana anatenda maengo gao kulithibitisha lillowe kwa miujiza na ishara zikikagulana nago.
1Vajijinji vashi kwitahidinji kuvika katika mpangilio simulii kuhusu masuala amabo gatimizwe kati jetu, 2kama pavutupelenja uwe, ambao tangia mwanzo ni mashahidi ga meyo na watumishi wa ujumbe. 3Kwa mneyo na mne mnepaile baada ja kuchunguza kw auangalifu chanzo cha aga mambo ga gowe tokea mwanzo kujiona ni ukoto kuvangu kumjhandishila katika mpangilio gwake-mheshimiwa Theofilo. 4Ili wakmba mmanye kugamanya ukweli mambo gamfundishwe.5Katika mova ya Herode, mfalme wa Yudea, pashikupagwa na kuhani fulani ashemwaga Zekaria, jwa ukoo Abiya. Mkongo jwake ashikushoka kw abinti za Haruni, na lina lyake ashikushemmwa Elizabeti. 6Wowe washikuvanganga vakwetewnje haki mbele ja Mmungu vashikuowanga bila lawama katika amri yoe ya maagizo ya Awawa. 7Lakini vakwetendeje mwana kwa sababu Elizabethi asahikwa tasa, na kwa gwene muda gu wowe wawiliji washikuvaganga wazee kaje.8Lelo ishijushoishela kwamba Zakaria ashikwa katika kupanga na Mnungu, aliendelea na wajibu gwa kukuhani katika utaratibu gw azamu jake. 9Kulinga na na desturi jaagula ni kuhani jwei apinga khudumia, aagwawile kw akila kujingila katika hekalu lya Bwana namneyo akatutumie uvumba. 10Likundi lyowa lya vandu litendagajuga pilangu muda gwa kufukiza uvumba.11Lelo malaika gwa Bwana gashikwa shoshela na kujima upande gwa kulia gwa madhabahu ga kufukizia. 12Zakaria ashikujogopa baada ja kummana; hofu gujigumbele. 13Lakini malaika gwammalanjile,"Unojogope Zakaria , kwa sababumaombi genu gapilikanishe. Akongo venu Elizabeth amkololele mwana. Lina lyake shashemwe Yohana.14Shime na furaha na uchangamfu, na vananji ishivaifurahienje kuwelekwa kwawo. 15Pava apinga va jwamkulungwa mmojo ja meyo ja Bwana. Shapapile divai au shinywaji shikali, na shagumba ywe na Roho mtakatifu tangia mnipitiu lya amama yake.16Na vandu vavanjinji vya Israeli shivageuzwanje kwa Bwana Nungu wao. 17Shajenje mmojo ja kumeyo ja Bwana katika roho nanguvu ya Eliya. Shatende mnei ili kuujanajo mitima ja awawa kwa vana, ili kwamba wangatiinji shivajendande katika hekima ja wakwetenje haki. Shatendemnei kuvika tayari kwa Bwana vandu ambao waandaliwenje kwa ajili jawo."18Zakaria gwammalanjile malaika,"Shingombole buli kulimanya hali? Kwa sababu mneni mzee na akangu miaka jawo jishiva janjijinjio kaje." 19Malaika gwajangwile na kummala njila," Mne Gabrieli, ambae najima mmojo ja Mnungu. Njikutumwa kummmalanjila, na kumpeleshela aji habari ja mmbone. 20Na mnole, mkavekete, shimtame kimya, mkakombola kuweleketa mpaka lyuwa shigakopeshele aga mambo aga haji. Ni kwa sababu mchikushindwa kuamini malowe gangu ambago gashikutimizwa kwa muda mwafaka."21Lelo wandu watendakumnindaga Zakaria. Watendashaangwa kwamba atendaya tumia muda gwa mjinji hekaluni. 22Lakini pashoshile pilanga, hanga kombole kuveleketa na vavalenjili. Guvaumanyinji kwamba ashikupata maono paliji hekaluni ashikuendelea kulanguya ishara na ashikuigala kimya. 23Gwikaposhele kwamba lyuva lya huduma yake pwimalile ashikujaula kuuja kuumnbangwake.24Baada ya Zakaria kuuja kumngwake kushoka kuhuma jake hekaluni, mkangwe niva na shitumbo. na jwene angashoka mnyumba jake kwa muda gwa miei tano. Gwalugwile, 25"Ali ndio Bwana vashi kulitenda kwangu vashikunola kwa upendeleo ili kujishoya aibu jangu mmujo ja vandu."26Lola, katika mwei gwa sita gwa shitumboshika Elizabeti, Mnungu ashikummana la niila malaika Gabrieli kwenda kuu mji gwa Galilaya gushemwa Nazareti, 27kwa bikra ambaye ashikulombwa na mwaumume ambaye lina lyake Yusufu. Jwene ashikwa jwa ukoo gwa Daudi, na lina lya bikra lishikuwa ni Mariamu. 28Gwaishe kwavo na kulugula,"Salamu, ugwe uposhele neema kuu! Bwana vashikonjewa na mmwe." 29Lakini malowe ya malaika gashimchanganya na angaelewa kwa indi malaika ashikulugula salaamja ajabu kwawo.30Malaika gwammalanjile,"Unajogope, mariamu, maana ushipata nee kushoka kwa Mnungu. 31Na lola, shujigale shitumbo katika lipitiu lyako na shukole mwana, na shugumsheme lina lyake 'Yesu'. 32Shave mkuu na shashwemwe mwana ali kunani kaje . Bwana Mnungu shivammpe kiti cha enzi sha Daudi abab yake. 33Shatawale juu ja ukoo guka Yakobo milele na ufalme gwake ukawa na mwisho.34Mariamu gwammalanjile malaika, hali shilikoposhele kwa namna jeshikwa, maana ngawegonan mwanaume jejowe? 35Malaika gwajangwile na kwavalanjila,"Roho Mtakatifu shajile juu jenu, na nguvu ja vali kunani shijiishe juu jenu kwa mneyo, Mtakatifu apingwa velekwa shashemwe mwana jwa Mnungu.36Na mnole, mpwenu Elizabethi ashikola shimtumbo sha mwaka kuu umri gwake gwa uzee. Hagu ni mwei gwa sita kwako, ambao vatendashe mwa mgumba. 37Kwa maana lyakwa lyangawezekana kwa Mnungu." 38Mariamu gwalugwile," Mnole, mneni mtumishi jwa ndonya jwa Bwana. Mneshe iwe mneyo kwangu sawasawa na ujumbe gweno." Kisha malaika gwamneshile.39Na ndipoi katika gwene muda gula mariamu ashikujaula kwa haraka alikwenda katika mchi ja itumbi, ku mji katika mchi ja Yudea. 40Ashikwenda kunyumba jika Zakaria na kumsalimu Elizabeti. 41Lelo, Elizabeti baada ja kupilikana salaamu jika mariamu, mwana mnipitiu lyake niguluka, na Elizabethi gwagumbweywe na Roho Mtakatifu.42Gwavelekete kwa nguvu na lisauti likulungwa, "Ushibarikiwa ugwe zaidi ja mmiongoni ya wandonya, na mwana ali mnipitiu lyenu ashibasikiwa. 43Na pwili uli kwangu kwamba, amani wa Bwana wanguvashikupingwa kwia kwangu? 44Kwa kumnolanga, pulipilikanishe lisauti mmasikio gangu lya salimi kwako, mwana mnipitiu lyangu ashikuguruka kwa furaha. 45Kwa ashibarikiwa mwanamke ambaye ashiaminui ja kwamba ukakoposhele ukamilifu gwa mambo gegala galugulilwe kushoka kwa Bwana."46Mariamu gwalugwole, nafsi jangu jina kumsifu Bwana, 47na mtima gwangu gushifurahi katika Mnungu Mwokozi jwangu.48Kwa maan ashiukujijola hali ja pai ja mtumishi jwake jwa ndonya. Mnole,mkwaazia mneino katika vizazi yowe shivanjemanje mbarikiwa. 49Kwamaana vene valokombola vashitenda mambo gamakulungwa kwangu, na lihina lyawo ni takatifu.50Rehema yawo inatama toka kizazi hata kizazi kwa vevala vakivaheshimunji vene. 51Vashilangu ya nguvu kwa mkono gwavo ashikwatawanyanga vevala ambao bashikufananga juu ja mawzo ga mtima jawonji.52Ashikwatele muyanga pai vana vya wafalme kushoka katika itengu yaonji ya enzi na kwajinulanga kunani valinginjii na hali ja pai. 53Ashikwajikutianga wakwetenje shivanga indu ya mmbone, bali matajiri ashi kuvavinganga mikono jika.54Ashishoya msaada kwa Israeli mtumishi jwake, ili kukumbuka kulanguya rehema 55( kama puvalugwile kwa ashawawa yetu)kwa Abrahamu na uzzao gwae yakana yaka."56Mariamu ashikutama na Elizabeti yapata miezi mitatu mnei na ndio gwavujile kumngwake. 57Lelo muda gwaishe kwa Elizabeti kujiugula mwana jwake na gwaiugwile mwana jwa shielu. 58Majirani gake na ashapwake vashikupilikananga jinsi Bwana puvajikushie rehema kuwavo, na guvafurahinji pamo na jwene.59Lelo ishikukopeshela kwamba lyuva lya nane ni kwa kumtahiri mwana. Na ishi kuvapasanga kumchema lina lyake"Zekaria,"kwa kuzingatia lina lya awawa yake, 60Lakini amama yake guvajangavile na kuwaleketa,"hapana; anashemwa Yohana." 61Guvavanjwile, jwakwa wala jumo katika ashapwako ashemwa kwaali lina li."62Guvamtendenjilanje ishara awawa yake kuashiria vene vashikupinga lina ashermwe gani. 63Awawa yake guvapinjile shibao sha jandika, na guvajandishe,"Lina lyake ni Yohana."Wowe ni shangazwanga kwa hali.64Ghafla lugomo lwawo gwagwilena ulimi gwaivo niva huru. Guvavelekete na asifu a Mnungu. 65Hofu gujaishilenje wowe wateminji tomenawo. Aga mambo ga kujajenele katika mchi jowe ja itumbi ya Yudea. 66Na wowe wagapilikenenje ni kugatupia mmitima jawonjwi, valivaketanga," Haju mwana ju jwanamna jashi ?" Kwa sababu mkono gwa Bwana pugwaliji pamo na vene.67Awawa yake Zekaria vashikugumbaywa na Roho Mtakatifu, na kushoya unabii, gwalugwile, 68"Vasifiwe Bwana,Mnungu wa Israeli, kwasababu vasshisaidia na vashikughulishia wokovuvu kwa vandu vawo.69Vashikutuijinushia pembe ya wokovu katika nyumba ja mtumishi jwake Daudi, kushoka mmiongoni mwa ukoo gwa mtumishi jwake Daudi, 70Mbuti palugwile kwa lufumo lwa manabii wake vapalinji katika muda gwa bukala. 71Shatuokoe kushoka kwa adui yetu na kushoka mmikono mwa wowe wakatutumba.72Shatende mnei kulanguya rehema kwa ashawawa Yetu, na kukumbuka liagano lyawo litakatifu, 73kiapo jajilugwile kwa Abrahamu Awawa Yetu. 74Vashikuapa kuthibitishwa kuvamba ikawezekene kumtumikia jwene wala hofu , baada ja kuokolewa kushoka katika mikono ja adui wetu. 75Katika utakatifu na haki mbele jake muva getu gowe.76Helo, na ugwe mwana, shushemwe nabii jwa ali kunani kaje, kwa kuwa shimjende pamujo ja meyo ga Bwana ili kumng'andalia mpanda, kuvaandaanga vandu Kwa ajili ja ujio gwawo, 77Kwa fahamishanga vandu vawo kwamba, shivaokolewanje kwa mpande gwa samehewa mazambi gaivonji.78Haji jishikukoposhela kwa sababu ja huruma ja Mnungu jwetu, sababu ambajo luvatokea kunani shilituishile, 79kuangaza kuvao watamanga palivindu na katika uviligwa mauti. Shivatende mnei ili kwamba kugaongoza makongo nagetu ku mpanda giva amani."80Lelo, jwejala mwana ashikuykula na kuva akwete nguvu mumtima na ashikutama mnika mpaka lyuva lya kuviulanguya kwake kwa Israeli.
1Lelo katika gwene muda go, avikaposhele kwamba Kaisari Agusto ashi kushoya maagizo ashi;elekeza kwamba jitolwe sensa ja wandu wowe watamanga pa dunia. 2Haji ni jishikuwa sensa ja kwanza jatendeshe muda Krenio aliji gavana wa Siria. 3Kwa mneyo kila jumo ni kwenda kumji gwake kujandikishwa Sensa.4Na Yusufuashikujavela mnepeila katika mji gwa Nazareti kwene Galilaya na gwa safiri Yudea katika mji gwa Bethelehemu, gumanyikaka kama mji giva Daudi, kwa sababu ashikukopeshela katika ukoo gwa Daudi. 5Ashikwenda kwene kwakujiandikisha pamo na mariamu, ambae ashikumnomba na atenda kunoleshea mwana.6Lelo ishikopokela kwamba, kwekula kuvalinginyi gishikwika muda gwa kwigombola mwana ukawadia. 7Gwaigombwele mwana shileu, mzaliwa gwake kwanza, gwamzungushie mmnguo mchiilu kumkinga na mbepo mwana. Na ndipo gwamishile kushihori sha kulishia wana mnyama, kwa sababu jikapaliji nafasi kunyumba ja vajaninji.8katika lyene lieneo, vashikupwanga wachungaji vatamanangnaga mmigunda valilindanga makundi gaivonji ga ngondolo yawonji shilo. 9Ghafla, malaika jwa Bwanagiwawashoshelenje, na utukufu gwa Bwana gung'alile kwawazunguka, na guvakwelenje hofu kaje.10Ndipo malaika gwavavalanjilenje," Mnanyogopanje, kwa sababu na kumpeleshelanga habari, jambone ambajo shijijianajo furaha jikulungwa kwa wandu wowe. 11Lelo mwakozi jevenunji ashivelekwa kwa ajili jenunji mjini mwa Daudi! Jwene ndio Kristo Bwana! 12Haji ndo ishara ambayo shimpegwanje, shimungimananje mwana atavilwe mnguo na agonile kuhori lya lishia wananyama"13Ghafla niva na lijeshi lkulungwa lya kumbingu niungana na malaika jo ni kumsifu Mnungu, valiveleketanga, 14"Utukufu kwa Mnungu ali kunani kaje, na amani jiwe kudunia kwa wowe ambao vanependezwa nao."15Ikawa baada ja maia kumala kwenda kumbingu, wachungaji ni lugulilananga vene kwa vene," Twendaje lelo kwekula Betheelhemu, na tukalole ashi shindu shikoposhele, ambacho Bwana vashikufahamisha." 16Guvaharakishenje kwekula, guvamng'ime nenje Mariamu na Yusufu, na guvammweninji mwana agonile kuholi lya lishia wanyamba.17Na baada ja ona mnei, wandu guvavala njilenje sheshila shilugwile kuhusu mwana. 18Wowe wapilikeenje haji abariji, vashikushangazwa na sheshila shiveleketwe na wachungwa. 19Lakini Mariamu aliendeela kufikiri kuhusu gowe ambayo gapilikene, alikuja tunza mumtima gwake. 20Wachungaji guvaujilenge valikumtukuzanga na kumsifu Mnungu kwaajili sheshila shindu shivashipilikeennje na kushiona, mbuti pwialijipe ni kuveleketwa kuvaonji.21Puliishi lyuva lya nae na ishikuwa muda gwa kumtahiri mwana, Nikumchema lina Yesu, lina ambalyo ashikupegwa na malaika kabla shitmbo shikanawetungwa mnipitiu.22zao lipinjilwe lya utakaso lyapitile, kulingana na sheria jika Musa, Yusufu na Mariamu guvampelekenje kuhekaluni kwekula ku Yerusalemu kummika mmujo ja Bwana. 23Mbuti pujijandikwe katika sheria ja Bwana,"Kila Mwanamume augula lipitiu shashemwe ashoshiwe wakfu kwa Bwana." 24Na venevonji vashikwiashoyanga Sadaka kulingana na sheshili shiveleketwa katika sheria ja Bwana,"Jozi ja ngunda au makinda gaivili ga ngunda."25Mnole, pashikupagiuva na mundu katika Yerusalemu ambaye linalyake atendashemwa Simeoni. Huju mundu ju ashikuwa akwete haki na mcha Mungu. 26Jwene ashikuwa jwalindila kwaajili ja mfarijiwa jwa Israeli, na Roho Mtakatifu ashikuwa panani jake. Jaliji jaunukwile kwavo kupitila Roho Mtakatifu kwamba vene vakavile kabla ja kummona Kristo wa Bwana.27Lyuva limo ashikwia mnyumba ja hekalu, aishiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi vashikumjianagonji mwana, Yesu, kumtendela agala gapinjilwe kawaida ja sheria, 28ndipo Simeoni gwamposhele mmikono jake, na gwavasifie a Mnungu ni lugula, 29"Lelo mnuhusu mtumishi jwenu ajende kwa amani Bwana, kulingana na lilowe lyenu.30Kwa kuwa meyo gangu gashikuona wokovu gwenu, 31ambao mchionekana kwa meyo ga vandu wowe. 32Ve ni nuru kwaajili ja ufuuo gwa wamataifa na utukufu gwa wandu wa Israeli."33Awawa na Amama vya mwana vashikushangazwa kwa mambo ambago gatendaveleketwa jinu jake. 34Na ndio Simeoni gwavabarikinji na kulugula kwa Mariamu amama yake," Mpili kane kwa umakini!Mwana ju shave sababu ja kuova na kuokoka kwa wanduwawajinji katika Israeli na ni ishara amajo vandu vavajinji shivajikanane. 35Mnepeile ni upanga gupinga oma nafsi jenu mmayene, ili kwamba mawazo ga mitima ja vanjiji gadhihirishe."36Nabii mwanamke ashemwaga Ana aishikupagwa mnepeile hekaluni. Jwene ashikwa binti waFanueli kushoka kabila lya Asheri. Ashikwa na yaka yainjiji kaje. Na jwene ashikulama na muime jwake kuva muda geva yakasababaada ya kulombana, 37na ndipo gwa mjane kwa miaka themenini na minne. Na angashoka kuhekaluni na atenda endelea na kumjuga Mnungu pamoja na kuugala na kujuga, shilo na mui. 38Na gwene muda go, ashikwia papala puvalinginji nitandwa kwashukuru a Mnungu. Ashikuweeleketa kung'usu mwana kwa kila mundu ambae alindalaga ukombozi wa Yerusalemu.39Puvamalienje kila shindu shivapinjilwenje kushitenda kulingana na sheria ya Bwana, vashikuujangananga Galilaya, kujini kwao nji, Nazarethi. 40Mwana ashi kukula, na ashikuva na nguvu, aliongezeka katika hekima, na neema ya Mnungu palaliji panani jake.41Wazazi wake kila shaka washikwendanga Yerusalemu kwaajili ja sikukuu ya Pasaka. 42Paliji na umri wa mika kumi na miwili, vashikwendanga tena muda mwasaka kidesturi kwaajili ya sikuuu. 43Baada jaigala mwagowe kwaajili ja sikuuu, guvatanduivenje kuuja kumui. Lakini mvulana Yesu ashikuiga la myuma mwemula Yerusalemu na wazzazi wake wakalimanyinjiji hali. 44Vashilumanya kwamba apali mlikundi ambalo vatendasafirinji najo, na vashikusafirinji safari ja siku. Ndipo guvalandwevenje kumnolea mmiongoni mwa ndugu na marafiki zao.45Puvashindilwenje kumpata, guva ujilenje Yerusalemu na kutendwa kumnolea hamo, 46Gwikoposhere kwamba baadhi ja mova gatatu, guvampatilenje hekaluni, aliatemi pakati ja vaalimu, ali kwa pili kanilanga na kwa vuyanga maswali. 47Wowe vampikanileje vashangazwa na ufahamu gwake na majibu gake.48Puvamweninji, vashikusitaajabunji. Amama yake gwavavala njilenje," Mwanangu,kwa ndi ushitenda mnei? Pilikana, Awawa yako na mne tutenda kulolea kwa wasiwasi mkulungwa." 49Gavalugwililenje,"Kwa indi mtenda nole yanga? mwangaumanyanga kwamba lazima mmekunyumba ja Awawa wangu? 50Lakini vangaelewanga indi shamaanishe kwa aga malowega.51Na ndio guvapile nawo mpaka kumui kunazareti na ashikuwa mtiifu kwawonji .Amama yake vashikugavika mambo gowe mumtima gwawo. 52lakini Yesu ashikwendelea kukula katika heshima na kimo, na gwazidilwe kupinga na vandu vake.
2Lelo katika mwaka wa kumi na tano wa utawla wa Kaisaria Tiberia, wakati Pontio Pilatop ashikuwa Gavana jwa Uyahudi, Herode ashikwa mkuu jwa mkoa jwa Galilaya, na Filipo mpwake ashikwa mkuu jwa mkoa hgwa iturea na Trakoniti, na Lisania ashikuwa mkuu jwa mkoa gwa Abilene, 1na muda wa kuhani mkuu gwa Anasi na Kayafa, lilowe na Mnungu lishikumjilia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.3Ashikusafiri mkoa gove kuzunguka Tushi Yordani, alitangaza ubatizo gwa toba kwaajili ja msamaha gwa dhambi4Mbuti pwijandishwewe katika shitabu sha malowe ga isaya nabii," Lilowe likamundu alilikamundu aki kunjika,"Mjialayange tayari mpanda gura Bwana. Mgaalayanje mapito gake ganyoashwe.5Kila likote shiligumbaywe, na kila mlima na shilima shisawazishwe, mipanda jipindi lwe shijinyooshwe, na mipanda jipeleywe shijilainishwe. 6Vandu vowe shivauananje wokovu gwa Mnungu."7Kwa mneyo, Yohana gwavavavalanjilenje makutano gamakulungwa ga vandu vangashilenje vapatanje kubatizwa pamo." Mmananya ni mzao gwa majoka gakwete sumu, gani ambilenjilenji kujiutuka ghadhabu jiwiya?8Mkolanje matunda gakwendana na toba, na mnatanduvanje kulugula ndani jenunji,"Tukwete Ibrahimu, ambaye ni mng'wa yetu kwa sababu na kumlanjilanga ya kwamba, Mnungu anaweza kumjinulia Ibrahimu vana hata kushokana na aga magangaga.9Tayari livago livishilwe ku mnjiga ja mikongo, kwa mneyo kila mkongo kukakola matunda gambone, shigukatwe na kujawa pamoto.10Halafu vandu katika makutano guvamushienje niveketanga,"Lelo patupingwa tetende uli?" 11Ashikujangula nikwalugulilanga, "Mwanaga mundu ashikola kazuivili anapingwa ashoye kanzu jimo kwa angali kabisa, na ambaye anga shalya atende mneyopeyo."12Halafu baadhi ta watoza ushuru washikuasinganaga mnepaile kubatizwa, na guva mmalanjilenje,"Mwalimu tutende indi?" 13Gwavavalanjilenje,"Mankusanyanje ela zaidi kuliko shimkupingwanga kushikusanya."14Baadhi ja maaskari mnepeile guvammashie nje. Valilunganga ,"Na uwe buli? Tunapinguvu tutende ndi?!Gwavavalanjilenje ,"Mtolalenje ela kwa jojowe kwa nguvu, na mnatuhuhumunji mundu jojowe kwa unami mnizikanje na mishahara jenunji."15Lelopava vandu vashikukolangahamu ja kumnindilila Kristo akupinga kwia kila jumo atendakuwaza mumtima gwake kuhusu Yohana mbutijwene ndio Kristo. 16Yohana gwajangwile kwa kuvalanjilanga wowe," Mnekumbatizanga mmanganja kwa mashi, lakini apalijumoakwia ambaye ashiokola nguvu kuliko mne, mnangastahili mkali kuugula migoji ja ilatu yavo. Sahambatizanje mmanganya kwa Riho Matakatifu na kwa moto.17Lipepeto lyawo lili mumukono gwawo ili kusafisa ukoto uwanda gwawo peptela ngano na kujikusanya ngano kulagala lyawo. lakini, apingateketeza makapi kwa moto ambao gukaweza kuuamika.18Kwa maonyo gana, ganganjinji, vasikutangaza habari jambone kwa vandu. 19Yohana ashikumkalipila mnepaile Herode mkuu jwa mkoa kwa kummona Herode, ashigatenda. 20Lakini baadaye Herode ashikutenda uwovu guna mngaa gwambone ashikumtava Yohana kujela.21Halafu nikopeshela kwamba, muda gw avandu vyowe puvanainji alibatizwanga na yohana, na Yesu ashikubatizwa mnepaile. Muda galiji alijuga, mbingu gwiugwishe. 22Roho Mtakatifu gwatulwishwe kunani jake mfano gwa kiwiliwili mbuti ngundu, na mudagulapegula lilowe gulieshi ni mwana mpendwa. Nakonjewa kaje na mmwe."23Lelo Yesu mnywene patandiwe kufundisha, paliji na umri gavapata yaka thelathini. Ashikwa ni mwana ( kama inavyotafsiriwa) wa Yusufu, mwana wa Eli, 24Mwan wa mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa yana, mwana wa Yusufu,25Mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai, 26mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,27Mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri, 28mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri, 29mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,30Mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu, 31mwana wa melea, mwana wa mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi, 32mwana wa Yese, mwana waobedi, mwana wa boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,33Mwana waAbinadabu, mwana waAramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda, 34mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori, 35mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,36mwana wa kenani, mwna wa Afasadi, mwana wa shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki, 37mwana wa Mathusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana wa mahalalei, mwan wa Kenani, 38mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mnungu.
1Kisha Yesu paliji agumbele Roho Mtakatifu, ashukuja kushoka kumto Jordani, na ashikulongolelwa na Roho kulijanwa 2kwa siku arobaini, na kwene ashikulingwa na Ibilisi. gwene muda gwa angalya shoshowe na mwisho gwa gwegula muda ashikuisi shivanga.3Ibilisi gwammalanjile,"Mwanaga mmweni mwana jwa Nnungu, mliamua ali ligangali kuwa mkate." 4Yesu gwajangwila,"Ishajandikwa,'mundu akatama kwa mkate jikape."5Kisha ibilisi ashijumng'oza kunai kumwisho ja shitumbi, na kwalanguya falme yowe ya padunia kw amuda gwa mng'upi. 6Ibilisi gwammalanjile,"Shinimpe mamlaka kutawala falme yowe pamo nafahari yake. Naweza kutenda mneyo kwa sababu indu yowe ishakabidhiwa kwangune niitawale, na naweza kumpa jojoru mngupinga kumpa. 7Kwa mneyo, mwanga siangamini na kuyuga, ai ndi yowe shiwe Yenu."8lakini Yesu ashikujangula ni kwa valanjile," ishjandikwa," Lazimamumnjunje Bwana Mnungu nwenu, na lazima mumtumikie jwene jikape."9Baadaye ibilisi ashikumng'ongoza Yesu mapaka Yerusalemu na kuvavika sehemu kunani kabisa pa lijengo lya hekalu na nakwalavalanjia,"Mwanaga mmwe ni mwana jwa Mnungu mwigulaye kutoka apa. 10Kwa sababu ijandikwe," Shanigavalanjile malaika gake, vamtukuze na kumninda, 11na shivamjinu yanje kunani mmikono jawonji ili kwambamna makongono genu juu ya maganga."12Yesu ashikujangula na kummalanjila,"Ishevelekwa ,"Mnamninje Bwana Mnungu jwenu." 13Ibilisi pamaliye kumninga yesu, ashikujaula na kumneka hadi wakati mwingine.14Kisha Yesu gwavujile Galilaya kwa nguvu ja mtima, na habari kumngusu jwene ishikujenela na kusambaa katika mkoa jirani jowe. 15Ashikufundisha katika makanisa gawonji, na kila jumo ashikumsifu.16Luva limo ashikwenda Nazareti, mji ambo ashikullelwa na kukulila, mbuti pwialiji desturi jake ashikujinjila kusinagogi lyuva lya sababto,na ashikujima kushoma maandiko. 17Ashikukamuya ligombo lika nabii Isaya, kwa mneyo alikuliunukula ligombp na ashikukoleya sehemu jajndikwe,18"roho ya Bwana alipanani jangu, kwa sababu vashikundanga mauta, kutangaza habari ja mmbonekwa maskini. Vashikundsma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuvatendanga vangalolanga vavaganje valola tena na kwavikanga uhuru vevala vakandamizwanga, 19Kuutangaza mwaka ambago Bwana shivalanguye wema gwao."20Alafu gutalitavile ligombo, guvavujishie akiongozi vya msikiti, na guvatemi pai meyo ga vandu vyowe valinginji mni kanisa nikumnolanga jwene." 21Ashiokutanduwa kuveleketa nawonji alilugula,"Lelo ali liandiko litimilike mmaskini genunji." 22Kila jumo pepala ashikushuhudia sheshila shashilugwile Yesu, na vavajinji mmiongoni hjawonji vashi kushangazwanga na malowe ga heshima galuji galishoka katika mnugumo lwao. watendaveketanga,"Haja ni kijana pajuka Yusufu, mngaa mneyo?"23Yesu gwavavalanjilenje,"Hakika shimmeleketanje methali aji kwa ngune,"Tabibu, mwilamye mmayene. Shoshowe shutupilikene anakweshitenda Kapernaumu shitende, mnepeile apano pa shijiji shako." 24Pia ashikulugula,"Hakika ni kummalanjilanga mmanganya, jakwa mnabii akubalika katika nchi jake."25Lakini nakummalanjilanga mmanganya kweli kwamba kushipangwa na wajane avavajinji Israeli katika kipindi sha Eliya, muda gwa mbingu pwiyatweile kunevena ula kwa muda nbingu pwiyatwaile kunaneva ula muda gwa yaka itatu na nusu, muda gupaliji na shivanga sikulungwa katika nchi jowe. 26Pia Eliya angatumwa kwa jojowe kwa jumo jwajo, lakini mjane jumo petamanga Sareptatome na mji gwa Sidoni. 27Mnepaile kushikupagawa na wakoma vavajinji Israeli katika kipindi cha Elisha nabii, lakini jwakwa wala jumo kati jawonji alamywe, isipokuwa Naamani mundu jira Siria.28Vandu vowe mnyumba ja kanisa vashikugambalwanga na ghadhabu puvapilikenenje aga gowe. 29Vashikujimanga na kumnokola pilanga gwa mji, na kumnongolea mpaka kumwisho gwa shitumbi ambao mji gwawo gushikushengwa kunani jake, ili vakombolanje kumneshela pai. 30Lakini ashi kupita salama pakali jawonji gwajawile.31Kisha gwatelemshile Kapernaumu, katika mji gwa Galilaya. Sabato jimo atendafundisha vandu mnyumba ja kanisa. 32Vashikushangazwanga na mafundisho gake, kwa sababu atendakufundisha kwa mamlaka.33Lelo lyene lyuva lya mnyumba ja kanisa, ashikupagwa mundu aliji ni mashetani ashikuguta kwa lisauti likulungwa, 34"Tukwete indi na ugwe, Yesu jwa Nazareti? Ushikwia kutumalya? Numumanyi ugwe ni gani! ugwe ni mtakatifu jwa Mnungu!"35Yesu ashikumkalapia lishetani alilugula,"Pumula kimya, na umushoshe aju mundu!" jula lishetani pamjaile ajula mundu jula paikakati jawonji,ashi kumchoka ajula mundu jula bisa kumsababishia maumivu gogowe. 36Vandu vyowe vashi kushangaanga, na vashikueleanga kuveleketa ali lijambo lila kila jumo na kamnjake valilugulanga,"Ni malowe ga aina jashiaga?" Ana kwa anualianga mashetani machafu kwa mamlaka na nguvu shigajaule." 37Kwa mneyo habari kuhusu Yesu ishi kujenela kila sehemu katika maeneo gazunguka agula mkoa gula.38Alafu Yesu gwajawile katika agula mji na gwajinjile katika nyumba jika Simoni. Lelo amama mkwe vyaka Simoni vatenda lwala homa jikulungwa, na guvamsijiinji kwa maba jake. 39Yesu gwavaakaribie, ni kujikalipila ajila homa jila gujivaleshile. Ghafla gwajimi nitandua kwatumikianga.40Luvapulizamile, vandu vashikumpelekeshanga kila jumo alijina jwamnwele jwa maradhi mbalimbai. Ashikuvika mikono jake panaja ja kila gwavalamienje wowe. 41Mapepo mnepaile gashi kwa kopokanga katika jaonji galiguta kwa lisauti na kulugula ,"Ugwe ni mwana jwa Mnungu!" Yesu ashikuga kalipila mapepo na angagaluhusu gavelekete, kwa sababu vashikumu manganya kwamba jweneni Kristo.42Muda gwa kupoambazuka, ashikwenda lieneo lyaliji na vandu. Manukato ga vandu vatenda kumnoleanga na guvajile nje katika lieneo paliji. Vashikulinganga kummngivilila ana jende mbali na venevonji. 43Lakini gwavavala njilenje," Lazima mnepaile melekete habari ya mmbone ya ufalme gwa Mnungu katika miji jina jaji jinji, kwa kuwa aji ndio sababu jinalumilwe hapano." 44Kisha ashikuendelea kutangaza mnyumba ja makanisa katika Uyahudi gowe.
1Bai ishikushotela muda vandu puvamkusanieje n akumzunguka Yesu na kupilikanila lilowe la Mnungu, ambapo ashikujima kando ja ziwa Genesareti. 2Ashikuona mashua gavili galigatajile nanga panyenje ja ziwa. Wavuvi washikujiulanga vatendaukanganga nyavu yaoni. 3Yesu gwajinjile mmashua jimo, ambao jalijika Somoni na kunjuga ajipeleshe mmashi mbali kashoko na nchi kavu. Kisha gwatemi nitandua kufundisha kuanzia mmashua.4Kuveleketa, gwammalankile Simoni,"Ipe;emashua jako mpaka kukilindi cha mashi na utelemshe nyavu yako ili yamaki." 5Simoni gwajangwile na kuveketa,"Bwana, tushitenda liengo shilo showe tuvangakamula shoshowe, lakini kwa lillowe lyenu, shindelemuya nyavu. 6Puvatendilenje mneila vashikukusanya yamaki yaijinji na nyavu yao gwitandwiwe kukatika. 7Kwa hiyo guvajujilenje washirika waonji ku mashua jina ili wajianje kiwasaidianga. Guvagumbeyenje mashua yowe, mpaka gwitandwiwe huzama.8Lakini SAimoni Petro , paweni mneila, ashikugwa magoti gaka Yesu aliveleketa," Jaula kwangu, kwa sababu mne ni mundu ngwete dhambi Bwana." 9Kwa sababu ashikutangazwa, na wowe alijipamo nanjo kwa uvuvi gwa yamaki guvautendilenje. 10Haji jishijumlishanga Yakobo na Yohana vana va Zebedayo, ambao vayshikuvanganga washirika waka Simoni,"Unajogope, kwa sababau kuanzia mneino na kuendelea shuvue vandu." 11Puvajianagonji mashua yowe pia mchi kavu, vashikulekanga kila shindu na kumkagula jwene.12Ishikopeshela kwamba paliji katika mji gumongwa we mundu aliji agumbelelukoma ashikuwa kwenevo. Muda ginimweni Yesu, ashikugwa alikushigoneka uso gwake mpaka pai na kwajuga valitenda," bwana, mwanagamnipinga, manweza kundakasa." 13Kisha Yesu ashikuunyoosha mkono gwake na kumkwaya alilugula,"napiunga. Nakasika." Na muda gula pegula ukoma gugumneshile.14"Ashikumngagisa anammalanjile mundu jojowa, lakini ashikummalanjila,"Jenda na ukasilanguye kwa makuhani na ushoye sadaka ja utakaso gwako, sawaswa na kile Musa shashiamuru, kwa ushuhuda gwago."15Lakini habari kugusu jwene gwijenel;e mbali kaje, na umati gwamkulungwa gwa wandu gwishe pamo na kumpikanila alifundisha na alimlaya magonjwa gawonji. 16Lakini mara kw amara ashikwilenga ku faragha na alijuga.17Ishikoposhela lyuva limo kati ya jene mova atendakufundisha, na vashikupagwana mafarisayo na waalimu wa Sheria wateminji hapa ambao vashikwiananga valikopeshelanga kuijiji yaijinji tofauti katika mkoa gwa Galilaya na Yudea, na pia kushoka katika mji gwa Yerusalemu. Nguvu ja Bwana pujaliji pamo na venenji kwaponyanga.18Wandu kadhaa washikwianga, vashikumjilaga kumkeka mundu apeze, na na guvalolenje mpanda gwa kumjinjia mnyumba ili kumgoneka pai na mmujo jika Yesu. 19Vangapatanga njiagwa kujinjia mnyumba kwa sababu ya umati, kwa mneyo washikwelenga kunani ja lipaa lya nyumba na kumtuluya jwejula mundu pai kupitila kuigae, panani ja mkeka pakati ja vandu, mmujo kabisa jika Yesu.20Alilola imani jawonji, Yesu ashikulugula,"Rafiki, na dhambi yenu mchisamehewa." 21Waandishi na mafarisayo vashikutanga kuhoji hali, valiveleketanga,"Haju ni gani9 aveleketa makufuru? Ni gani anaweza kusamehe dhambi ila Nnungu jikape?"22Lakini Yesu, atendakushimanya shiva kufikirianga, ashikwajangulanga na kwa 23valanjilanga,"Kwa indi mnavuyananga hali mmtimi jenunji? Shei ni rahisi kuveleketa,' Dhambi yenu isamehewa au kuveleketa jima uowe?' 24Lakini muumanyanje kwamba mwana wa Adamu akwete mamlaka pa dunia ga kusamehe dhambi, na kwamba mmwe,' Jinuka, tola mkeka gwako na ujende kwa mngwawako.'''25Muda gula pe gula gwajinwishe mmoju jaonji gwatolile mkeka gwake ambao ashikugugonela. Halafu gwaujile kumgwake alikumjuga Mnungu. 26Kila jumo ashikushangazwa na kwaatukuza Mnungu. Washikugombalwanga na hofu, valilulanga,"Tushikugaona mambo, mng'aa hga kawaida lelo."27Baada ya kukoposhela aga mambo ga," Yesu ashikushoka akula na gwa mweni mtoza ushuru ashemwagwa Lawi atenmi lieneo lya kukusanyia kodi. Gwammalanjile,"Ngagula." 28Kwa ineyo Lawi gwajinwishwe na kumkagula ,gwaleshila kila shindu mnyuma.29Kisha Lawi ashikuandaa karamu kumngwake jikulungwa kwaajili jika Yesu vashi kupagagwanga watoza ushuru wwajinji kwekula na vandu wawanjinji wateminji pameza valiyangangapamo nawe. 30Lakini mafarisayo na waandishi wao vatendang'unikanga kwa wanafunzi waliveleketanga," Kwa ndi mnalyangaga na kupapila pamo na watoza ushuru na vandu vananji vakwetenje dhambi?" 31Yesu gwavajangwilenje," Vnadu vali na afya jambone vakahitajinji tabibu, ni vevala pe vala lwanga na ndio vapinga kumpinganga jumo. 32Nangaika kwa shemanga vandu vakwetenje haki vapatanje kutubu, bali kwashemanga wenye dhambi vapatanje kutubu."33Guvammalanjilenje,"Wanafunzi wa Yohana mala nyingi vanatavanga na kujuga, na wanafunzi wa mafarisayo nao kutenda mnepeile. Lakini wanafunzi venu vana lyanganga na kunywa." 34Yesu gwavavalanjilenje ," Inawezekana mundu jojowe kutendanga waudhariwenje harusi ja Bwana arusi kuugala waka Bwana arusi wali pamo na vennevonji? 35Laakini mowa shigaishe wakati Bwana arusi pavupingashoywa kuumngwao, na ndio katika gene movago shivaugalenje."36Kisha Yesu ashukuveleketa kawaonji kwa mfano." Jwakwa apapila mnguo kushoka kulivazi lya mpya, na shipande sha maguo kushoka kushoka kulivazi lya mpya, shikanabe kutumika na nguo ja livazi lya bukara.37Mnepeile jwakwa mundu ambae anavika divai ja mpya kuviriba vikuukuu. Mwana ga atendaga mneyo, divai ja mpa jikapapwile. sheshile shombo, na divai jikajitishe pai na viriba ikaharibiwe. 38Lakini divai jampya lazima jivishiwe kuviriba ya mpya. 39Na javakwa mundu baada ja papila divai ja bukara, shapinje jampa, kwa sababu huguluka,' jabukara ni bora.'''
1Lelo ishi kukoposhela kusababto kwamba Yesu atenda pita katika lishamba lya nafaka na wanafunzi wake watekavanga masuke, guvasungue suguenje katika mikoa jaoni uguvalilenje shalya. 2Lakini baadhi ja mafarisayo guvalugwilenje," Kwa indi mnatenganga shindu ambasho sha halali kisheria kushitenda lyuva lya sabato?"3Yesu, gwavajangwilenje, alilugula,"Mwanga wainji kushishoma sheshila Daudi ashikushitenda pakwerete shivanga, jwene na wanaume alijipamonajo? 4Ashikwenda ku nyumba ja Mungu, na ashi kutola mikate mitakatifu na kujiliya baadhi, na kijishoya baadhi kwa wandu alijinawonji kujilya, mkali kama jaliji halali makuhani kujilya." 5Kisha gwavavalanjilenje,"Mwana ja Adamu ni Bwana wa Sabato."6Ishikuposhela kwamba katika sababto jina ashikwenda mnyumba ja kanisa na kuvafundishanga vandu kwene. pashikupagawa mundu mkono gwake guva kulia gushikupooza. 7Waandishi na Mafarisayo watendakunolanga kwa makini kuona kama akanamie mundu lyuvalya sabato, ili wakombolanje kupata sababu ja kumshitaki na kutenda likosa. 8Lakini ashikumumanya shii shivafikirianga na gwalugwile kwa mundu apooze mkono," Jimuka, jima apa pakati ja kila jumo." Kwa mneyo jweene mundu jula gwajinwishe na kujima pepala.9Yesu gwalugwile kwaonji,"Na hukumu yanga mmangani, ni halali siku ya sababto kutenda mema au kutenda madhara, kuokoa maisha au kuharibia?" Kisha gwava lolilenje wowe na kummalanjila ajula mundu, 10"Nyoosha mkono gwako." Gwatendile mneile na mkono gwake gwalamiywe. 11Lakini washi kugumbalwanga na hasira, guvaveketenenje wenewonji kwa wenewonji kuhusu shindi shatenda kuku Yesu.12Ishikuposhela lyene lyuva lya kwamba aishikwenda kushitumbi kuujuga. Ashikuendelea shilo showe kumjunga Mnungu. 13Pivaijili lyamba, ashi kuvashemana wanafunzi wake kumngwake, na gwavaa gwilenje kumi na mbili kati ya yaonji, ambao mnepeile ashikwashemanga" mitume."14Majina ga gegala mitume gashikuwa Simoni( Ambaye mnepeiule ashi kumcheme Petro) na Andrea ndugu jwake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, 15Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye ashemilwe Zelote, 16Yuda mwana yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.17Alafu Yesu gwatelemwishe pamo nao pashitumbi na kujima mahala tambarare. Idadi jikulungwa ja wanafunzi wake walijinji kwene, pamonga na idadi jikulungwa ja wandu kushoka Uyahudi na Yerusalemu, ana kushoka pwani ja Tiro na Sidoni. 18Vashikuwia kumpikanila na kila mnywe magonjwa gawo. Vandu vatenda sumbuliwanga na mapepo machafu washikulangwa mnepeile. 19Kila jumo kwa hali n alikusanyiko ashikulinga kumkwaya klwa sababu nguvu ya uponyaji itendakushoka kwake, na ashikwa wianga wowe.20Alafu gwavalolililenje wanafunzi wake, na kuveketela,"Mchabarikiwawanga mmanganya mninginji maskini, kwa maan ufalme jwa Mnungu ni wenu. 21Mchibarikiwanga mmanganya mninginji n ashivanga mneino, kwa maan shimji kutatanje. Mabrikiwenje mmanga nya mnuinginji mgutanga mneino, kwa maan shimngekanje.22Mchibarikiwa mmanganya ambao wandu pavapinga kumchukia nga na kumtenganga na kumshutumunji mmanganya kwamba ni waovu, kwaajili ja mwana wa Adamu. 23Mfurahinji katika ali lyuvali na kugarakaguruka kwa furaha, kwa sababu shimokokalanje thawabu jikulugwa mbinguni, kwa maana ashawawahonji washikwate ndelanga mnepeile na manabii.24Lakini ole jenuni matajiri!Kwa maana mpatilenje faraja jenunji. 25Ole jenumjikwetenje!Kwa maaana shimokolanje shivanga baadaye ole jenuni mkwekanga mneino! kwa maaan shimugutanje baadaye.26Ole jenunji, pumpinga sifiwanga na vandu vowe! kwa maan ushawawa washikwatendalanga manabii vya unami mnepeyo.27Maveleketa kwenunji mmanganye mkumbilikanilanga mwapendanje adui wenu nji na kutenda gambone kwa wakumchukianga. 28Mwabarikini vavla vakumlaaninji na mwajuganje vakummonelanga.29Akumkoma lishavu limo, mwageuzie na lya vili. Kama mundu amnyang'anya lijoko au aknzu, mnamngavilile. 30Mumpe kila akumjuga. Kama mundu amnyang'anyana shindwa ambasho ni mali jenu, mnajige vamnudishie.31Kama pumpkumpikangana vandu vamtendalanje, na mmanganya mwalendalanje mnepeyo. 32Kama mwapingaga vandu vakumpinganga mmanganjape, jengeo ni thawabu jashi? Kwa maana mkali akwete dhambi vana kwapinganga vevala wawapendao Piganga vevala wawapenda. 33Mwangamwatendalanganga mema vavala vakukumtendalanga mema vavala vaku mtendalanga mema, jene ni thawabu jashi kwenunji? Kwa maana wakwetenje dhambi vanatendanga mnepeyo. 34Mwanga shimkopeshanje indu kwa wandu ambao hiva mrudishianje jene nni tahawabu jashi jene ? Mkali vakwetenje zambi na kutegemea kushipata kiasi shitapeshila.35Lakini muvapiungaje adui yenunji na mwatendalenjae mema. Mwakoposheshanje na mnahofunji kuhusu kurusishiwa, na thawabu jenunji shijiwe jajishungwa kulungwa. Shimmanganye wana elya kunani, kwa sababu jwene ni mwene kwa vandu wangalingji shukurani na waovu. 36Mkolanje na huruma, mbuti awawa yenu nji puvali na huruma.37Mnahukumunji, nanyi mmanyanganya mkahukumumiwanga. Mnalaani, na mamanganya mkalaani wanga. Musameeni vananji na mumanya simsamehewanje.38Mwapanganje vananji na mmanganya shimpegwa nje. Kiasi cha ukarimu- shishindiliwe, mkutawata na kujitika- shishijitishe mmagoti genuni kwa sababu sha vipimo shoshowe shimkutumianga kupima, shipimo shosho shishitumishe kumpimila mmanganya."39Kisha gwavavalanjilenje mfano,Je mundu ali kipofu anaweza kumnongoza kipofu juna ? mwana ga alendile mneyo, bai wowe wakajinjilenje mniimbo, bali wakanajinjilanje? 40Mwanafunzi akawa jwamkulungwa kuliko mwalimu jwake, lakini hela mundu afundishiwaga kw aukamilifu shawe mbuti a mwalimu wake.41na kuva indi watendakulolanga kibanzi shili mnyumba ja lio likampwaka, na boriti li mnyumba ja lio lyenu mkakulilola? 42Shimkombole buli kuvalangila apweni; apwanga na juga na juga nishowewega shipande shili mnyumba ja lio lyenu , na mwe nkajilola boriti jilikana lio lyenu mmayene, nandio shimnole ukoto kushoya kibanzi katika lio lya apwenu.43Kwa sababu gwa kwa mkongo jwambone guogole matunda gangalimaha, wala gwaka mkongo gwangalimana gukola matunda gamboke. 44Kwasababu kila mkongo gunamanyikana kwa matunda gake. kwa sababu wandu wakakavanja tini kushoka mmimba, wala wakakivanga zabibu kushoka kumichongona.45Mundu mwema katika hazina jake ja mtima gwake anashoya gali mema , na mundu mivoya katika hazina mbovu ja mtima anashoya gali maovu. Kwa sababu shinjwa shawo kulugulagegala gakugumbaya mtima gwake.46Kwa ndi mnajemanga,'Bwana,Bwana', na bado makakgatendanga agala gunguvkeketa? 47Kila mundu ekaria kuwanga na kugapilakana malowe gangu na kugalendela liengo shimomnanguya nje jinsi pali. 48Analandana na mundu ashenga nyumba jake, ambae anaola pai kaje, na kushenga msingi gwa nyumba jake kum wamba imara. Mafuriko pugaishe, maporomoko ga mashi gashikukoma nyumba, lakini gangakombola kutekesa kwa sababu jishi kutimilika.49Lakini jonowe apilikana lilowe lyangu na mkaliti, mfano gwake na mundu shenjile nyuma parudhidhi pangali msingi, mto puguuluwshia kura nguva, nyumba jishikupata maangamizi gamakulungwa.
1Baada ya Yesu kaumalia kila shindu shashilugugakwa wandu wakampikanilanganga, gwajingile Kapernaumu.2Mtumwa fulani jwa akida, aliji na thamani kaje kaake,aliji jwa mnwele kaje na paliji tome na kuwa. 3Lakini ashikuwa apilikananga kuhusu Yesu, yula akida ashikumtuma kiongozi jiva kiyahudi, kumjuga ajie kumeng'okoa mtumwa jwake ili anawe. 4Puvaishilenje tome na Yesu, washikumsihinji, kwa bidii na kulugula ,"Anastahili kwamba kutenda mnei kwaajili jake, 5kwa sababu anakulipinga litaifa lyetu na ndio ashenjile likanisa kwaajili yetu."6Yesu gwaendelea na safari jake pamo na wenewonji. Lakini kabla akawekwenda mbali na nyumba, afisa jumo ashikwatumanga marafiki wake na kukunguluka najo."Bwana, mnaichoshe mmayene kwa sababu mne ngastahili ugwe ijinjile mdari jangu. 7Kwa jwene sababu ji nangafikiria mkali mne kuwa ninafaa kuvia kwenu, lakini lilowepe na mtumishi jwangu alame. 8Kwani mkali mne ni mundu mishilwe kumamlaka na njikola askari chini jangu kulugula kwa vva,"Jenda na uenda, na kwa juna,"Jia" na kuwia, na mtumishi jwangu tenda ashi na kutenda."9Yesu papilikene aga ashikushangaa, na kugaukianga makutano wakamkagulangaga na kulugulana kulugula," Mkali katika Israeli, nganawe kummona mundu akwete imani mbuti aju. 10Kisha wawela watumilwenje washikuujanga mnyuma na kumning'imana mtumishi alijwa mkoto.11fulani baada ja aja, ishakukoposhela kuwa Yesu alendasafiri kwenda kumji gwashemwanga Naina. Wanafunzi wake guvapitenje pamo valinginji na umati gwa wandu. 12Paishetome na mnango gwa shijiji mnole, mundu awile ashikugalwa, na ni mwana jwa jikape jwa amama yake. Aliji mjane, na umati gwaa wawakilishi kushoka kushijiji walinginji pamo na wanewonji. 13Baada ya kumwona, Bwana gwamnogolelo na kummalanjila kwa huruma jikulungwa kaje juu jake na kummalanjila,"Unagule." 14Gwaegelele mmujo gwalikwashie lijeneza ambalo vashikujamulanga shiilu, na wewala wajigelenje guvajiminji gwalugwile," Kijana jimuka" 15Mofu givajinwishe na kutama pai na gwatandwiwe kuveleketa. Kisha Yesu gwampeleshe kwa amama yake.16Kisha hofu gujivagu mbelenje wowe guvapitenje kutukuza a Mnungu walilugulanga,"Nabii jwamkulungwa ashijinulwa mmiongoni jetu" na "Mnungu ashi kuvalolanga wandu wake" 17Hai habari ya mbone za Yesu ishikujenela Yudea kowe na mikoa jowe ja jirani.18Wanafunzi wake Yohana wawishikummalanjilanga aga mambo gowe. 19Na ndio Yohana gwawashemilenjr wanafunzi wake wawili na kuwatumanga kuva Bwana kuulugula"Mmmwe ndio mkwia au ashipagwa mundu juna akwia tumnolele? 20Puvaishilenje tome na ka Yesu guvalugwile nje," Yohana mbatizaji washikututuma kwenu kulugula, mwe ndio mundu akwia au ashipangwa juna tumnindilile?"21Kwa gwene muda go ashikwalamianga wandu wawajinja kushoka katika magonjwa na matesoi, na wandu wakalolangaga ashikwapanganga kulola. 22Yesu gwajangwile na kuluguka kwao."Baada ja kwenda kumkopeshelenje shimumala njila nje Yohana shimshiweninji na kushipilikana. Wenye upofu wanalolanga na viwete wanaowanga, wenye ukoma wanatakasikanga na wawilenje wanafufuliwa nga kuwa hai tena, maskani wanalugulitura mambo mema. 23Na mundu ambae akaleka kumangamini mne kwa sababu ja matendo gangu abarikiwe."24Baada ja watumilwenje na ka Yohana kuuja kuvashoshilenje, Yesu gwatandwine kuvelekete kwa makutano juu jika, Yohana,"Mchi kwendanga pilanga, kulola indi, mwanzi gulitikinywa na upepo? 25Lakini mchi kwendanga pilanga kulola indi, mundu ali ukoto? Mnole, wandu aala wawala mavazi ga kifalme na kutama maisha ga starehe wali ku nafasi ya wafalme. 26Lakini mnakwendanga pilanga kulola, indi, nabii? Helo, naligula kwenunji kaje zaidi kuliko nabii.27Haju ndio ajashilwe,"Mnole, nakutuma mjumbe jwangu mbele ja meyo genu, apinga andaa mpanda kwaajili jangu, 28Nalugula kwenenji, kati ya wenewonji wawe lekwenje na mwanamke jwakwa mkurumbuti Yohana, lakini mundu angali muhimu kaje apinga tama na Mnungu ma halipali jwen, shawe mkuu kuliko Yohana."29Wandu wawepilikenenje aga pamoja na watoza ushuru, washikulangazanga tuti Mnungu akwete haki vaashikuparanga kati jaonji wabatizweje kwa ubatizo guka Yohana. 30lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria ya kuyahudi, ambao vakabatizwenje na wenewo vashikukananga heshima ya Mnungu kwaajili jao vayene.31Tena naweza kunalinganishanga na ndi wandu wa kizazi ashi? Watinginji buliashi hasai? 32Wanalingananga na wana wangandanga ku lieneo lya soko, watamana na kushemana jumo baada ja jana walilugulenga,' tushigomba filimbi kwaajili jenuji, na mwanga ng'andanga. Tushikuombeleza na mwangagutanga.'33Yohana mbatizaji ashikuwia angalya mkate wala anganywa divai, na gummele ketenje "ashikola pepo. 34Mwana wa mundu ashikwia ashilya na kunywa na gumnwigwilenje,"Mnole ni malfi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi! 35lakini heshima jishimanyikana kuwa jinsi kola haki kwa wana wake wowa."36Jumo wa mafarisayo ashakumjua Yesu ajende kulya pamo najo. Baada ja Yesu kujingila mnyumba ja farisayo, ashikujagamila pameza ili alye. 37Mnole ashikupagwa mwanamke jumo jiji halyo ashikwa na dhambi. Gwamamumanyi kwamba ashikulama kwa farisayo, gwajianago chupa ya manukato. 38Ashikujima mnyuma jake tome na makongono gake akuno aliguta. Tena ashikutundua kulowanisha makongono gake kwa minyoi, na kuifuta kwa umbo ya mtwe gwake, alikujiburu makongono gake na kugapaka manukato.39Na jwejula farisayo amang'alike Yesu paweni mneyo, gwalugwile mnyene,"Kama ajumundu akaliji nabii, akamumanyi aju ni Gani na ni aina gani ja mwanam alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, "Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi. 4040Yesu akajibu na kumwambia, "Simoni nina kitu cha kukuambia. "Akasema" "Kiseme tu mwalimu!"41Yesu gwalugwile"kushikupagwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji jumo. Jumo atendalongwa dinari mia tano jwa wili atendalongwa dinari hamsini. 42Na puvalinginji wangalinji ela ya kumpa ashi kwa samehenji wowe. Leleno gani apinga kumpinga kaje? 43Simoni guvamjangwile na kulugula,"Nimmanyi asamehehe kaje." Yesu gwammalanjile,"Uhukumu kwa usahihi."44Yesu gwangamgeukia mwanamke na kulugula kwa Simoni," Ulikumona ajujwa ndonya. Njijinjila ku nyumba jenu. mwangamba mashi kwaajili ja makongono gangu, lakini aju, kwa machozi gake, ashilowanisha umbo yake na na kugafuta makongono gangu kw aumbo yake., 45Hukunibusu , lakini jwene, tangu pajinjile hamu angaleka kubusu makongono gangu.46Mwangajipaka miguu jangu kkwa mauta, lakini ashakujipaka miguu jangu kwa manukato. 47Kwa jambo hali, na nakummalanila ashikukola dhambi yainjinji na ashisamehewe kaje, mnepaile ashikupinga kaje. Lakini asamehewa kashoka, anapinga kashoke pe."48Baadaye gwammalanjile mwanamke,"Dham,bi yako ishiosamehewa." 49Wewala aleminji pameza na jwene guvatandivalenje kuvelkana wayenenji kwa weyenenji,"Hayu ni gani mpaka anasamehe dhambi?" 50Na yesu gwammalanjile mwanamke,"Imani jako jishosholokoa jendu kwa amani"
1Gushukupokela Muda Yesu ashikusafiri katika miji na ijiji mbalimbali, alihubiri na kulangaza ufalme guva Mnungu na wale kumi na mbili walikwenda ajonji, 2mnepaile wanawake fulani walamiywenjwe kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali walijini Mariamu ashemilwe Magda;elna ambaye ashikushoweye mapepo saba. 3Yoana mke wa Kuza na meneje jwa Herode, Susana, na wanawa
1Gwavashemilenje avala kumi na mbili pamo, gwavapelenje uwezo na mamlaka juu ja mapepo gowe na kulanga magonjwa. 2Gwawatumile nje wakatangazanje ufalme gwa Nnungu na kulamya wagonjwa.3Gwavavalanjilenje,"Manatolanje shoshowe kwaajili ja safari jenunji wala imbo, wala mkoba, wala mkate, wala ela wala mnatolanje kanzu iwili. 4Nyumba jojowe jimpinga jinjilanga, mkamanje mwene mpaka pumpinga shokanga mahala apo.5Na kwa wanga mposhelanga pumpinga jaulanga kumji ago, muvi kung'unda nje makongono vumbi kwa ushuhuda juu jaonji." 6Guvawilenje na kwenda kupitila kwii ijiji walitangazanga habari ya mbone na kulamya vandu kila mahala.7Lelo Herode, matawala, ashikupili kanagowe gakoposhele na ashikulaga kaje, kwa sababu ishiweleketwa kwa wandu kwamba Yohana mbatizaji ayushiwe kushoka kwa wafu 8,na baati kwamba Elia akoposhele kuva wananji kwamba jumo jwa manabii gabukara alamiyeve katika wafu tena. 9Herode ashikulugula,"Njikumnginga Yohana, lakini aju ni gana mngwipilika na habari yake? N aHerode ashikullolea mpanda giva kummona Yesu.10Pavuujilenje watumilwenje wala, guvammalanjilenje kila shindu shivslendilenge gwawatolilenje pamo najo, gwapite jikape katika mji gwashemwaguva Berthaida. 11Lakini makutano guvapili kenenje hali guvamkagwilenje na ashi kwakaribishangaa, gwakungulwishe naonji kuhusu ufalme gwa Mnungu, na ashi kuwapoyanga wewala wapinjilenje kuponywa.12Luva gulimalile, na wewala kumi na mbili guvapilenje kumngwake na kulugula," Mwatawanyanje makutano wajendanje katika miji yatome na mijini guvaloleyenje mapumziko na shalya, kwa sababu mutuli mukonde. 13Lakini gabammalanjile,"Mwapangine shinsu shalya." Guvalingwilenje"Twangali ipande ya mikate zaidi ja mikate jiwili na yamaki iwili, isipokuwa tukapile kuuma shalya kwa ajili ja likusanyiko hali lya wandu." 14Washikupangwa wanaume kama elfu tano pala. gwava vala njilenje wanafunzi wake," muwata mienje pai katika makundi ga wandu wapata hamsini kila likundi.15Guvatendilenje mneila na watu guvaleminji pai. 16Gwatolile mikate tana na yamaki ivili na gavalolile kumbingu, gwaibariki, na kugawanya ipande, gwavapelenje wanafunzi wake ili vaiwekanje mmujo ja makutano. 17Guvalilenje na kujikuta, na vipande ya shalya yaigele , ishikulokotwa na kugumba ya ikapu kumi na imbili.18na gwili kwamba pajugaga jikape, wanifunzi wake walinginji pamo na jwene, na alikwauyanga na kulugula, " Wandu wanalugulanga mne ni gani?" 19Guvajangwilenje na kulugula," Yohana Mbatizaji, lakini wanananji kulugula Elia, na wananji kulugula jumo jwa manabii jwa nayakati ya bukala ashiyuka tena."20Gwangawalanjilenje,"Lakini mnalunulanga mneni gani?" Alijangula Petro alilugula," Kristo kushoka kwa Mnungu." 21Lakini kwa kwaonyanga Yesugwawaelekezenje wanammalanjilange mundu juu ya hali, 22gwalugwile mwana jwa Adamu lazima ateseke kwa mambo aga na akanwe na wazee na makuhani wakuu na waandishi, na shawe, na lyuva lya tatu shayushe.23Gwawawalanjilenje wowe,"Mwanga mundu jojowe apingangagula, lazima aikane mnyene, atole msalaba gwake kila siku na angagule. 24Jojowe alinga kuokoa maisha gake shagaovie, lakini jojowe aovia maisha gake kwa faida jangu, shagaokoe. 25Je shishimfaidie shindi muvanadamu mwana ga aupataga ulimwengu gowe, lakini apolezaga au apataga hasara ja nafsi yake?26Jojowe apinga monela aibu mne na malowe gangu, kukamwana jw aAdamu shammonele aibu papinga va katika utukufu gwake, na utukufu gwa baba na malaika watakatifu. 27Lakini nakammalalanjilanga ukweli, kuna baadhi jenunji mjimingi hapa, mkapayanga umauti mpaka muguonanje ufalme wa Nnungu."28Gwikopeshele kama mowa nani baada ja Yesu kulugula aga maluwe kwamba ashikwatolanga pamoja nae Petro, Yohana, na Yakoboguvakwelilenje kumlima kujuga. 29Na paliji alijuga, muonekano givake uso ushi kubadilika, na mavazi gake ganawana gang'aa.30Na washikupagwanga wanaume wawili aliveleketa najo! Walinginji Musa na Elia, 31washikuonekananga katika utukufu. Watendaveleketanga kuhusu kujaula kwake, lijambo ambalyo ashikukaribia kulitimiza Yerusalemu.32Lelo Petro na wale waliji pamo na jwene walinginji katika lugono likulungwa. lakini puvajimukenje, washikuguonana utukufu gwake na wnaume wawili wajiminji pamo na jwene. 33Na ishikukopeshela kwamba puvajaulanga kwa Yesu, Petro gwammalanjile,"Bwana, ni vizuri kwetu kutama apano na inakupasa tualaye makazi ga wandu watatu . Tualaye makazi ga wandu watatu. Tua;laye limo kwa ajili jako, limo kwaajili jika Musa, na limo kwaajili jika Elia." Angaelewa shashiveleketelaga.34Paveleketaga ago, guliishe ni kwaunikanga; na washikojogopana puvaveninjii wazongwilenjwe na kuzungukwa na liunde. 35Lisauti gulishoshile mniunde tuligula," Haju ni mwanangu mteule. Mumpilikananje gwene." 36Lisauti palipumwile, Yesu palijikape washiikutamanga kimya nakatika gene mowago wangammalanjilanga jojowe mmingoni mwangu ga weninji.37Lyuva likagwile, baada ja shoka kushitumbi likusanyiko likulunga lya wandu washikuimanga. 38Mnole, mwanaume kushoka kulikusanyika ashikugula kwa lisauti, alilugula,"Amwalimu na kumjuga mumnole mwana jwangu, kwa sababu mwanajwangu jwa jikape. 39Mniona roho mchafu anakumkamula, na mara anakoma nyenye,mna anachanganyikiwa na kushokwa na mapovu mumkang'wa na kumchoka kwa shida, ili kumsababishia maumivu gama kulungwa. 40Njwasihi wanafunzi wako kujikemea jishoshe. lakini wangakombolanga."41Yesu gwajangwile na kuweleketa,"Enyi mmanganya wa kizazi shangaamini na shipotweeshwe, mpaka shakari shindame na mmanganya na kutolana na mmanganya? 42Munjiana jo mwana jwenu hapana." Kijana ajiaga, roho cha gujimgwishie pai na kumkinya kw afujo lakini Yesu ashikujikalipila roho chafu, ashikumnanya mvulana na kumkabidhi kwa baba yake.43Wowe washikushangazwa na ukuu gwa Mnungu. Lakini pu wakashaangaga mambo gowe gatendekaga, givalugwile kwa wanafunzi wake, 44"Malove gamtamanje mmasikio genunji, kwa kuva mwana gwa Adamu shaishoywe mmikono mwenunji." 45Lakini wangaelewanga maana ja maneno aga, na gashikunywa mmeyo gawonji, ili wakujielewanga. Washi kujopanga kumuya kuhusu ali lilowe.46Kisha mgogoro gushitandua mmiongoniu jao ja gani akaliji mkuu. 47Lakini Yesu pashimanyi shivaogiaana nga mmitima jaonji, ashikumtola mwana jiva nachoko nikummika upande gwake, 48na givaveleketa," mwana ga mundu jojowe amposhelega mwana jwa mchoko kawu ajukiwa lina lyangu, anambosheke mne pia, na jojowe amboshelaga mne, anakumposhe la pia andumile, kwa kuwa ali jwa mchoko kati jenunji wowe ndio ali mkuu"49Yohana gavajangwile gavalugwile,"Bwana, tushikumuona mundu alifukuza pepo kwa lina lyako na gutumngwile, kwa sababu akaambatana na uwe." 50Lakini Yesu gwammalanjile," Mnamng'iwila nje, kwa kuwa angawa kinyume na mmanganya ni jwenunji"51Gwikoposhele kwamba, kulingana na mova gakaribiaga mova gakwenela kumbingu, kwa uimara ashikulunguya uso gwake Yerusalemu. 52Gwawatumilenje wajumbe mbele jeke, na guvapitenje na kujingila katika shijiji sha wasamalia ili wamtayarishe nje mahali. 53Lakini wangu kwene wwangamposhelanga, kwa sababu ashikula nguya usogwa Yerusalemu.54Wanafunzi wake Yakobo na Yohana puvagwenini aga, guvalugwelenje,"Bwana mnapinga moto tuaganua guturushe pai guvateketezanje?" 55Lakini ashikwageu kianga nikwakalipilanga. 56Alafu gwapite ku kijiji shina.57Puvalingiaje walikwendanga katika mpanda givaonji, mundu jumo givammalanjile," Shinu mkagule popowe pumpinga kwenda." 58Yesu gavammalanjlele,"Mnacheto jwa mmaimbo, ijuni ya mng'aa ishikola iota, lakini mwana jwa Adamu angalipagoneka mtwe gwake."59Na ndio guvammalanjile mundu juna," Nglula." Lakini jwene gwalugwile,"Bwana mnuusuti nyende kwa shika awawa yangu," 60Lakini jwene gwammalanile," Mwelekanje wafu washikanje wafu wajaonji, lakini ugue jenda ukatangaze ufalme Mnungu kila mahali."61Pia mundu juna gwalugwile,"Shinimkagule, Bwanalakini mnihusuti ngaaganje wali katika nyumba jangu." 62Lakini Yesu givammalanjile jivakwa mundu, jwataga mkono gwake kulima na kulola mnyumba apingafaa kwa ufalme gwa Mnungu."
1Baada ja mabo aga, Bwana guvaagwile sabini wananji, na kuwatumanga wawili wamnongolelanje katika mji na lieneo lyatarajiaga kwenda. 2Gwammalanjile,"Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi wachache. Kwa mneyo mvajuganje Bwana na mavuno, iuli kwamba watume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.3Enendeni katika miji.Mnolanje nakumtumanga kama ngondolo pakati ja mbwa mwitu. 4Mnajigalanje mng;uko wal ela, wala mikoba ja wasafiri, wala ilatu, wala mnasalimianje jojowe mumpanda.5Katika nyumba jojowe jimpa jinilanga, kwanza mnugulanje, 'amani jiwe katika nyumba aji.' 6Mwanaga mundu jwa amani apali pepala ., amni jenuni shijiigale juu jawo, lakini kama sivyo shijiwe kwenunji. 7Mng'alanje katika nyumba ajo, mnyanganje na kunywa shiwakupinga shoyanga, kwa maana mfinyakazi anastahili mshahara wake. ,Mnahamanje kushoka mnyumba aji kwenda nyumba jina.8Mji gogowe gumpinganjilanga, na kumpashelanga, mnanganja shoshowe shipingwe mmujo jenunji, 9na aponyeni wagonjwa wali mwenemo mmeleketanje kwao; ufalme gwa Mnungu gwishe tome jenunji'10Lkaini katika mji gogowe gumpinga jinjilanga na vanamposhelanje, mjendanje pilanga katika barabara na mmeleketenje, 11'Hata vumbi katika mji gwenunji ligandile mmakongono genunjishutuli kung'unde dhidi jenunji! Mtambuaje hali, ufalme gwa Mnungu ukaribie.' 12Nakummalanjilanga kwamba lyuva lya ukumu shive ni ustahimilivu zaidi ja Sodoma kuliko mji go.13Ole kwako Korazini, ole kwako Berthaida! kama kazi kuu itendeshe mnyumba jako jikatendeshe Tiro na Sidoni, wakatubulenje bukalakaje, walitamanga mnyumba ja mnguo ya liguni na majivu. 14Lakini shiwe na ustahimilivu lyuva lya hukumu kwa Toro na Sidoni zaidi jenu. 15Wewe Kapraumu, unafikiria shinijinulwe mpaka kumbingu mpaka kuzimu16Apina kumpikanilakanga mmanganya anapiulikana mne, na wowe wapinga kumkananga anangana mne, na jojowe angana mne anakumkana andamile."17Wewala sabaini washikujanga kwa furaha, waliveleketanga,"Bwana, mkali mapepo gana kututii katika lina lyenu." 18Yesu gwawalanjilenje,"Nikummona Shetani aligwa kushoka kumbingu mbuti radi. 19Mnole, njikumpanga mamlaka ga kunyata majoka na mnge, na nguvu yowe ya adui, na shakwa shoshowe shipinga kumzurunji. 20Mkali mneyo mnafurahinji pe katika hali, kwamba roho imtinji, lakini mfurahinji kaje kwamba majina genunji gajandikwe kumbinguni."21Katika muda gulapegula ashikufurahi kaje katika Roho Mtakatifu, na kulugula,"Nakumsifu, mwe Baba, Bwana wa Mbingu na Dunia, kwa sababu mchikujanga aga mambo kushoka kwa wakwete heshima na akili, na kuganukula kwa wangali fundishwanga, kama wana wawashoko. ndio Baba, kwa kuwa ishikukonja katika meyo gako."22"Kila shindu shikabidhiwa kwangu na Baba yangu, na jwa afahamu mwana ni gani ila Baba, na jakwa afahamu Baba gani ila mwana, na jojowe ali mwana anatamani kwiunukula kwawo."23Gwagwawaukienja wanafunzi, gwalugwile ku faragha,"Wabarikiwenje wakugaonanga aga ambayo mmmanganya mnakugamanga. 24Nakumalanjilanga kwamba, manabii wawanjiji na wafalme washikutamaninji kugaona, na vangaonanga na kupilikana pilikana mkagapilikananga na wangagapilikananga."25Mnole, mwalimu fulani jwa sheria ya kiyahudi ashikujima na kulimba, aliveketa,"Mwalimu, ndende indi uruthi uzimma gwa milele?" 26Yesu gwamalanjile,"Shijandikwe shandi katika sheria? Pakujishona buli?" 27Gwajangwile gwaluygwile,"Shimumpinje Bwana na Mnungu jwenu kwa mtima gwenu gowe kwa mtima gwenu gowe, kwa nguvu yako yowe na kuva akili yako yowe, na jiorani wako kama nafasi jako gumyene." 28Yesu gwajangwile,"Ujangwile kwa usahihi tenda mnei na shalame."29Lakini mwalimu, atendatamani kuihesabia haki myene, gwammalanjile Yesu,"Na jirani jwanguni gani? 30Yesu alijangula alilugula,"Mundu fulani atendaturuka kushoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Abwagile katikati ja wanyang'anyi guvamnyengenyenje nje mali yake, na kumneka tome aliruhusu ja wa.31Kwa bahati fulani kuhani atendakuturuka katika ago mpande, pamweni ashikupita upande gone. 32Mnepeyo Malawi, paisha pepala na kummona gwapitile upande guna.33Lakini msamalia jumo, pasafiriji ashikuria apala ashikumona. Pamweni, ashikunokolwa kwa huruma. 34Ashikumng'engejela na kumtava ilonda yake, alijita mauta na divai juu yake. Ashikumkwea panani ja namnyama jwake, na kumpeleka katika nyumba ja wageni. 35Lyuva likagwile ashikutola dinari iwili, na kumpa mmiliki jwa nyumba ja wajanii na kummalanjila, 'Muhudumie na shashowe sha ziada shapingatumia, shinipe pambinga.'36Najwei kati ja awawatatu, aliji ni jirani kwake jwene agwilile pakati ja wanyang'anyi?" 37Mwalimu ashikulugula,"Ni jwejula alangwiye huruma kwake."Yesu gwammalanjile,"Jenda na ukatende mnepeyo"38Lelo pavasafirinjinji, washikujinjilanga katika kijiji fulani, na manamke jumoo lina lyake Martha ashikumkaribisha kumgwake. 39Aliji na dad yake ashemwaga Mariamu, atemi pamakongono Bwana na kusikiliza lilowe lyawo.40Lakini Martha atendakuandaa shalya. Ashikwenda kuka Yesu, na kulugula,"Bwana, mkajali kwamba dada yangu vashineshela ng'udumie jikape?" Mwavalanjile vazaidie." 41Lakini Bwana ashikwajangula,"Martha, Martha, unashambuka juu ja mambo gamanjinji, 42Lakini Shindu shimopo sha muhimu Mariamu ashiagula shili shammbone, ambacho shikashonywa kushoka kwake."
1Isikupokela muda Yesu pajugaga mahala fulani, mwanafunzi jwake jumo ashikummalanjila,"Bwana , mtufundishe uwe kujuga mbuti Yohana pavafundisheje nje wanafunzi wake.'2Yesu gwawalanjilenje, msalipo, mnugulanje,'Baba, lina lyenu litukuzwe. Ufalme gwenu gwise.3Mtupe mkate gwetu gwa kila siku. 4Mtusamehe makosa getu, kama na uwe putu kwasamehenji watukosehenje. Mantuongoze katika majaribu."5Yesu gwammalanjile,"Ni gani kwenunji shame na rafiki, ambae shamjendela shilo na kummmalanjila, rafiki niazime mikate jitatu. 6Kwa sababu rafiki yangu ashinjiila mnei na kushoka msafari, na mme nangalishalya sha kumnfang'andandalia.' 7Na jwajula aliji mmnyumba gwajangwile, mnandambishe, mnango gwagolwe, na wanawangu, pamoja na mne tugonile pashinanda. Ngajumu na kumpa mmwe mikate. 8Nakummalanjilenga, japo kuwa akajunuka na kukupa mikate kwa rafikijwako, k.wa sababu ya endelea kumgongela bila aibu, shajimwishe ni kumpa ipinde ya mikate kulingana uitaji wake.9Na nne nakummalinjilanga, mjuganje, nashimpegwanje; mpoleyanje, shimpatanje mkomanje hodi shimng'ungulilwanje. 10Kwa kuwa kila ajuga shapokele, na kila mundu aloleye shapate, na kila mundu agomba hodi, mlangfo shiguugulwe kwawo.11Ni babjwe miongoni mwenu, mwanajwake shamijiye yamaki shampe njoka badala jake? 12Au shamjuje liji shampe nge badala jake?. 13Kwa hiyo, iwaga mmanyanga waovu mnamanyage kuwapaga zawadi ya mbone, je mngaa zaidi kaje Awawa yenu wa kumbinguni kwamba shampangile Roho Mtakatifu awo wakumganga?"14Baadaye Yesu alikemea pepo, na mundu akwete pepo ashikwa bubu. Baada ja pepo kumshoka, ashikuveleketa, na umati ushikushiharibika. 15Wandu wananjii guvalugivilenje, hujau mundu ashoya mapepo kwa Belzebuli, mkuu jwa mapepo.16Wanajii washikumningana na kumpinga alanguyanje ishara kushoka mbinguni. 17Lakini Yesu ashikugamanya mawzo gaoni na kwawalanjilanga,"Kila ufalme gipingagawanyika shiwe ukiwa, na nyumba jigavanishee shijigwe.18Mwanaga shetani shaga wanishe, ufalme gwake shigujime buli? Kwa sababu mnalungwala nashoya mapepo kwa Belzebuli. 19Mwana gwa mne nashoya mapepo kwa Belizebuli, Je wajenunji wanashoyanga mapepo kwaajilisababuji ween shiwamkumunji mmanganya. 20Lakini, muvanga nashoya mapepo kwa shikowe sha Mnungu , bai ufalme gwa Mnungu gumngishilenje.21Mundu akwete nguvu na silaha alindaga nyumba jake, induyake shitame salama. 22Lakini avamivaga na mundu jwa nguvu shanyang'anywa silaha yake na kutolwa mali yake. 23Jwene angawa pamo na mne pali kinyume na mne, na jwene akakusanya na mne anatapanya.24Pepo mchafu papinga kumshoka mundu,anakwenda na kuloileya mahali pamngali mashili apumulile. Apakosaga, shalugile ,' shimuje kungopweshe. 25Aujagana kujiimana jipejilwe na jitemi ukoto. 26Shajenje kulolea mapepo saba walinginji waovu kuliko jwane mnyene na kwajiana jonji kuvatazamiye mahali apa. Na hali ja jwejula mundu kuwa mbaya kuliko mara ja kwanza."27Ishikupokela kwamba paveleketa gaaga malowe, Mwanamke jumo ashikupazalisauti zaidi ja wowe kumkutani gwa wandu na kuveketera," Libarikiwe lipitiu limkolile na mawete gumjonjile" 28Lakini jwene gwalugwile, wabarikiwe nje wene wapilikananga lilowe lya Mnungu na kulitunza.29Muda gwa kukusanyika wandu na kuongezeka, Yesu gwatandwine kuveleketa,"Kizazi ashi ni kizazi sha uovu. Kulngela ishara, na jakiva jivapigwa pegwanga zaidi ishara jika Yona. 30Maana kwa Yona ashikwa ishara kwa wandu wa Ninawi, na ndiop mvana jwa Adamu papinga va ishara kwa kizazi ashi.31Malikia jwa Kusini shajime lyuva lya hukumu na wandu wa kizzi ashi na kuvaukumunji wene, kwani jwene Ashikushoka kumwisho gwa nchi ili kuwapilikane heshima ika Solomoni, na apano apali ali mkuu kuliko Solomoni.32Wandu wa NInawi shiwajimanye katika hukumu pamoja na wandu wa kizazi ashi lyuva lya hukumu, kwani wenewonji washikutubunji kwa mahubiri gaka Yona, na mnole, hapana apali mkuu kuloko Yona.33Jwakuwa mundu, akolea taa niwika sehemu ja pai ja livindu jionekana au maija kikapu, ila ukolea na kuvika panani ja shindu ili kila mundu ajinjila aguone mwanga. 34Lio lyenu ni taa ja shiili. Lio lyenu livagalya mmbone, bai shiilu shenu showe shishiwe ku mwanga. Lakini lio lyenu livavaga lya mngali mana shiilishenu showe shishiwe paluwindi. 35Kwa mneyo mwaihadharinji ili mwanga gulimnyumba jenunji gunatagwe luvindu. 36Kwa mneyo, mwana gwa shiilu shenu showe shili pa mwanga, bai shiilu shenu shishiweshaila na taa jikoleka na kushoga na taa jikolela na kushoya mwanga kwenunji."37Pamalije kuveleketa, farisayo ashikumng'alika akalye shalya kuumngwake, na Yesu gwajinjile mnyumba pamoja nao. 38Na Mafarisayo washikushangaa kuva jinsi ambavyo anganawa kwanza kabla ya shalya sha ligulo.39Lakini Bwana gwawawalanjilenje,"Mmanganya Mafarisayo mnaukanganga ukombepilanga na bakuli, lakini mnyumba jenunji mchigumbalwangwa na taana uovu. 40Mmanganya wandu mmangalinji ufahamu, je jwene aumbilepianga angaumba na mnyumba? 41Mmanganya masikini walinginyi mnyumba , na mambo gowe shigawe safi kwenunji.42Lkaini ole winu mafarisayo, kwani mnashoyanga zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ja mmboya ja bustani . Lakini mchilekanga mambo ga haki na kumpinga Mnungu,Ni muhimu zaidi kutenda gali ga haki ya kumpinga Mnungu, bila kuleka kutenda ogo gana.43Le jinuji mafarisayo, kwa kuva mnapingaga kutama katika viti vya mmujo kwa makanisa na kuamkiwa kwa salamu ya heshima kusoko. 44Ole jenunji, kwani mnalandananga na makaburi gangali na alama ambayo wandu wanatembeanga panani bila kugamanya."45Mwalimu jumo wa sheria za Kiyahudi gwa mjangwile na kummalanjila," Mwalimu, shimkumshilugula shina kutuudhi uwemnepaile." 46Yesu givagivile,"Ole jenunji, walimu wa Sheria!Kwani na kwapanganga wandumishigo jikulugwa ambajo wanashindwanga kujijamula, wala kini mkakamulanga ajimisha hata kwa lukoe.47Ole jinuji, kwa sababu mnashengangana na kuwika kumbukumbu kumakaburi ya manabii' ambao wawilenje na ashababu wenunji. 48Kwa mneyo mmanganya mnashuhudianga na kukubaliana na kazi iwaitendeilenje ashababu yenunji, kwa sababu waishi kwa uluganga manabii ambao mnashenganga manabii ambao mnashenganga kumbukumbu katika makaburi gaonji.49Kwa jene sababu jo, mnepaile heshima ja Mnungu jivaveleketa,' Shina tumianje mitume na manabiiu watesanja na kwaula ganga baadhi jaonji. 50Kizazi ashi shishiwajibike kwa minya, ja manabii wawilenje tangu kutandua kwa dunia, 51Kushoka minyai jika Abeli hadi minyai jika Zakaria, aqwile pakati ja madhabahu na patakatifu. Na ndiop na kummala njila nga mmanganya kizazi zshi shishiwajibike.52Ole jenunji walimu wa Shewria ja kiyahudi, kwa sababu mchitolanga funguo ja ufahamu; mmemkajingilanga; na wala wapingajingilaja mnakuvawilanga."53Baada ja Yesu kujaula apala, waaniti shina mafarisayo washikumpiganga na kubishana na jwene juu ja mambo gambajinji. 54Walilinganga kumnava kwa malowe gake.
1kwa gwene mudago, maelfu ga wandu gashikukusanyika pamo, mpaka kukanyalana, gwatandwiwe kuveketa na wanfunzi wake kwanza,"Jihadharini na chachu ya mafarisayo ambayo ni unafiki"2na kukupagwa na siri jiishie ambayo jika unukulwa, wala lijambo liishiwe likamanyikana. 3Na lyolowe liminugwilenje pa liwindu, shilipili kanwe katika mvanga. Na shoshiwe shimnong'onenje mmasikio geminji, mnyumba jenunji, shitangazwe kunani ja paa ja nyumba.4Nakummalanjilanga rafiki wangu, mnajogopanje wawagane shulu na kisha wangalinji shindu shina shatenda, 5Lakini shini mnanguyanje jwakumjogopa. Mumnjogopanje ajula ambaye baada ja kulaga, ashikala mamlaka ga kutupa Jehanamu. na ndio, nakummalanjilanga mummnjopanje.6Je shomoro watano wakavazwanga kuva sarafu iwili? Mkati mneyo juva kwa mundu wala jumo apangalivalika mbele ja Mnungu. 7L;akini muumanyage kwmaba umbo yakamitwe jeninji ikesabiwa. Manjogopa nje. Mmanganya mmnathamani jikulunwa kuliko shomoro wananji.8Nakukummalanjilanga kwamba, jojowa apingiri mne, mbele ja wandunji, mwana jwa Adamu shamkiri mbele ja malaika ga Mnungu. 9Lakini jojowe apikukungana mne mbele ja wandu naye shakanwe mbele ja malaika ga Mnungu. 10Jojowe apinga veleketa lilowe lya ngalimana, juu ya mwana Jwa Adamu , shasamehewe, lakini jojowe apinga kumkufuru Roho Mtakatifu, hakasamehewa.11Puvapinga kuvapelekana mbele ja wakuu wa makanisa, watawala na wenye mamlaka , mnajogopanje namna ya kuveleketa katika kuvitetea au shindi shampinga lugulanga, 12kwa kuwa Roho Mtakatifu shamfundishanje, namna javeleketa kwa gwene muda go."13Mundu jumo katika kusanyiko gwawalanjilenje,"Mwalimu, mummalanjile angawile sehemu ja urithi wangu." 14Yesu givamjangwile, ni gani amishite kuwa muamuzi na mpatanisha kati jenunji? 15Na ndio gwawawalanjilenje, mwita hazalinji na kila namna tamaa, kwa sababu uzima gwa mundu gwakwa katika wingingwa indu gwakwetu."16Yesuj gwawalugwililenje mfano, gwalugwile, mnangunda gwa mundu jumo tajiri gushikola kaje, 17na gaishie mnyumba jake, alilugula, shinde nde bali kwani nangali mahala pa kuhifadshia mazao gangu? 18Gwalugwile, shindende mnei, shingalibie ligala lyangu lishoko na kushenga likulungwa na kuwika mazao gangugowe na indu ina. 19Shinijivalanjile nafsi jangu,"Nafsi, mchi kwiwishila, akiba ja indu yaijinji kuva yaka yaijinji pamulila, uliye, upapile na kustarehe."20Lakini Mnungu gwammala njile, ewe ugwe mundu mpumbavu, shilo shalelo wanapinganga mtima kushoka kwenu, na indu yowe imwindee? 21Na ndio shiwe kila mundu akwiwishi mali na mngaa na kujitajirisha kwa ajili ja Bwana.23Yesu gwawawalanjilenje wanafunzi wake, kwamneyo na kummalanjilanga mnahofunji juu aja maisha genu nji__ ya kuwa shimnanganje indi au juu ja iilu yenunji ya kuwa shimung'awalanje indi 22kwa kuwa maisha nizaidi ja shalya, na shili ni zaidi ja mavazi.24Mwilolange ijuni ya mganga wakulimanga wala wakukavunanga. Wangalinginji chumba wala ligata lya kuhifadhia, lakini Awawa Yenu ni wanakuwalishanga. Mmanganya mngaa bora zaidi kuliko ijuni! 25Ni jwei kali jenunji ambae asumbuaga shakombole kuongezwa dhiraaa jimo katika maisha gake? 26Mwanga mkakombolanga kutenda shindu shishoko shili rahisi kwa ndi basi kusumbukis hayo mengine?.27Mnolanje maua- pugameya gakatenda liengo wala gakasokota. Lakini nakumnugulilanga, mkali Sulemani katika utukufu gwake gowe hangavikwa kama jimo ja aga, 28Kama Mnungu anavika ukoto maamba ga kondeni, ambavyo lelo gapali, na malwi kujawa kumoto ule ngaaa zaidi shamavikanje mmanganya? Mkwetenje iman i jishoko!29Mnasumbukianje juu ja kuwa shimnyanga nje indi au shimngwinganje indi, wala mnawanganje na hofu. 30Kwa kuwa mataifa gowe ga dunia ganasumbukia mambo gawonji. Na Awawa yenunji walikuumanaya kwamba mnapinganga ago.31Lakini mnole ya njeti ufalme gawakwanza, na ago gana shimzidishiwanje, 32mnajogopanje, enyi likundi lishoko, kwa sababu Awawa yenunji wanafurahi kumpanganga mamnganya ago ufalme.33Mng'azanje malai genunji na mkapanganje masikini, mwitendelanje miuko jikamalilawa__ hazina ja mbinguni jikakoma, shehemu ambapo wezi wakakaribianga wala nondo jikakombola kuharibia. Kwa punjili hazina jenu, na ndio mtima gwenu pugupinga kuva. 34Kwa kuwa pujili na hazina jenu, na ndio mtima gwenu pagupingakuva.35Mnguo yenunji ya ileu ilawe na mikanda, na taa yenu ihakikishwe kwa inaenda elea kuikolea, 36na mmanganje kama wandu wakumtazamianga Bwana waikaga na kugomba hodi, shiwa kombolanje kwa ugulile mnanga kwa haraka.37Wabalikiwanje wale watumishi, ambao bwana shawaimananje walinginji meyo. hakika shivatewe mnguo yao yaileu bna mkanda alafu shawatamianje pai kwa shalya na kuwahudumianga. 38Kama Bwana shiwajie kwa zamu jiwili ja ulizi ya usiku, na kwwainanaga walingibji tayari, shiwe ni heri kwa wene watumishi.39Zaidi ago, mnimanyaje hali, kama vayene nyumba wakumanya saa ja mwizi pakwia, akanaruhusu nyumba jake jiugalwe. 40Mmangganje tayari pua kwnai mkakumanyanga ni muda gwashi mwana jwa Adamu.41Petro gwalugwile,"Bwana mnakutulugulila uwe tuvayene aji mifano, au mna kummala njila kila mundu? 42Bwana gwawawalangilenje," Ni gani mtumwa mwaminifu au mwenye heshima ambaye bwana wake shammishe panani ja watumishi wananji, ili awagawilanje shalya shaonji kw amuda mwafaka? 43Abarikiwe mtumishi ajula, ambae bwana wake ajiaga shamingane alitenda galajinywe. 44Hakika nakummalanjilanga mmanga vya kuwa shammishe panani ja mali gake gowe.45lakini mrtumishi jula alilagula mumtima gwake,"Bwana wangu anakava kuuja; kwa mneyo gwatandwine kulya, kupapita na kukolelwa, 46bwana wake ajula mtumwa shaishe lyuva lyangalilegemea na saaa akajimanya, na shamkate ipande na kummika katika pamo na wangalinji waaminifu'47Mtumishi akungamanya mapenzi ga bwana wake, naye angaiandaa wala angatenda sawasawa napenzi gake, shakomwe iboko yaijinji. 48Lakini mtumishi angangamanya mapenzi ya bwana wake, lakini atendaga gastahili adhabu, shakomwe iboko ishokope, kwa kuwa jwene apagwile ya ijinji, yaijinji kulongwa kushoka kusakokwake, na jwene aaaminiwe kwa wingi, kwake shiilongwe yaijingi.49Njikwia korea moto, kudumia na anatamani guve gukolele, 50lakini njikola ubatizo ambao shibatizwe, na njikula huzuni mpaka pupinga kamilika!51Je, mnafikirianga kwamba nji kwaanajo amnani pa dunia? Hapana, N akammmlanganjilanga, badala jake njikwianago mgawanyiko. 52Tangia mneino na kuendelea kushipawe na wandu tano katika nyumba jino wagawanyikanye, na watatu shivavanganje kinyume na wawiliu shivanganje kinyume sha watatu. 53Shivagawanyikanje, bab shawe kinyume na mwanangwe, na mwanangwe shawe kinyume na awawa yake, amama shiwawe kinyume kinyume na binti jwajo, na binti shawe kinyume na amama yake, mama mkwe shiwawe kinyume na mkwe wake naye mkwe shawe kinyume na mama mkwe jwake.54Yesu alikwalugalilanga manukato mnepaile, mmonangaga maunde galikopeshela magharibu, mnalugal;ulanga muda gwa ula guishe; na ndio puvikwa, 55Na upepo gwa kusini uvumaga kusini, mna lugulanga shilipangwa lyoto kaje, na ndio pwiwika. 56Enyi wanafiki, mnaweza kutafsiri muonekano guva nchi na nga nchi na anga, lakini kwa ndi mnakombolange jkutafsiri muda gupali?57Ni kwa ndi kila jumo anapambanue lilisahihi kwake kulitenda nuda ambapoaangali na nafsi ja kugatenda mneyo? 58Maana mjendangaga na mshitakinjinji walinginji mmojo ja hakimu, na hakimu angapeleka kwa ofisa, na ofisa shamjee kuligereza. 59Nakummmala njila, mkashoka kwene mpaka mnipe adi senti ja mwisho.
1Kwa muda gulepagula kulikuwa na vandu vamtaarifunji juu wagalilaya ambao Pilato ashikuulaganga nianganya minyai jaivo na sadaka yao. 2Yesu gwajangwile nikwalugulilanga,"Je mnigashianga kuti wagalilaya hao vashilukolanga na dhambi kuliko wagalilaya wananji wowe ndio maana vashipatwanga na mabaya aga? 3Walaa, nakumayinjilanga, lakini mkatubu njiinji, manganya shimalange mnepeyo.4Au wandu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ushikugwa na kuvaulanganga, pumkujilanga kwani washikwanganga na dhambi zaidi kuliko wananji Yerusalemu? 5Walaa, mne naveleketa, lakini kama katubunjiji, mmowe shimalanje.6Yesu ashikivalanjilanga mfano agu," Mundu jumo ashikola n a mkongo gushikupandwa katika ng'unda gwake na ashikwenda kunani kuloleya matunda panani lakini gangapatikana. 7Gwammalanjile mtunza bustani, 'Lola, kwa miaka jitatu njikwia ni kwia loleya matunda mtini amu lakini ngapaya. Mgukate. Kwanimnjia najo kalibifu wa aridhi?8Mtunza Bustani gwajangwile na kutugula,' uguleshe agu mwakagu ili niufatilie na kuvika mbolea juu jake. 9Kama jikolaga matunda mwake gukuvia, ni bora, lakini mvanaga ukakola, ukate.!"10Lola Yesu atendafundisha katika lisinagogi limo muda gwa sabato. 11Mnole, ashikupagwa mama jumo ambae kwa miaka kumi na minane vasichokola na roho mchafu, jwa udhaifu, na jweno ashikupinda na akweteje uwezo gwa jima.12Yesu pammweni, ashikwashema gwavavalanjile,"Mama, mchivikwa huru kushoka kuu udhaifu gwenu." 13Gwavishile mikono jake panani, na marashiilu shake nakushinyoosha na kuwatukuza Mnungu. 14Lakini mkuu wa kanisa ashikutumbala kwa sababu ashikumnavya lyuva lya sabato. Kwa mneyo mtawala gwajungwile na kwavalanjilanga, makutano," kuna siku sita ambayo lazima kutendalihengo. Njiane kulamya, bai, mngaa lyuva lya sabato.'15Bwana gwavajangwile na kulugula,"Wanafiki! Jwakwa kila jumo jwenunji kwiugala punda au ngombe kushoka mchitundu, na kuviongoza kuvipeleka kuyuva lya sabato? 16Kwa nneyo binti wa Abrahanu, ambao ya shetani ashikumta va muda gwa yak kumi na nae, Je yangampasa shifungo shake kuugulwa lyuva la sabato?"17Paeleketwa aga malowega, wowenji vambi shilenje washikuonanga aibu, bali manukato wowe na wananji walishangilinga kwaajili ja mambo ga ajabu gagalendile.18Yesu gwalugwite,"Ufalme gwa Mnungu gulandana na ndi, na mnaweza kulandana na indi? 19Ni kama mmbeju ya haradari jajishiye mundu jumo na kujipanda mumng'unda mwake, na gujimelile gijili mikongo jajikulungwa, na ijuna ya kumbingu gwishenjile lota mmatawi jake.20Tena gwalugwile,"Nigulandanje na indi ufalme gwa Mnungu? 21Ni kama chachu ambayo mwanmke ashikutola na kuanganya na ipimo itatu ya utendi mkati guumukaga."22Yesu ashikuwela kila mji na shijiji mumpanda alikwenda Yerusalemu na kufundishana. 23Mundu jumo gwaushie,"Bwana, ni wandu wachachenjepe vapingao kolewanga? kwa mneyo gwawawalanjilenje, 24"Mwitahidi kujinjila kwa kupitila mnango mwembamba, kwasababu wengi shivalinganje na wakakombolanga kujijila.25Baada ja veyene nyumba kujima pa mnango, na kuugala, bai shinjibna nje pilanga na kukoma hodi pamnango na kukugula Bwana,Bwana mtuugulile ngamkamanyanga mmanyanganya wala kumkopeshellanga. 26Na ndio shimnulanje, tushikulya na kupapila mbele jenu na mchikufundisha katika mitaa jetu." 27Lakini vene shavajangulanje, nakummalanjilanga, ngukummanyanga kumkopokanga, mjaulenge kwangu, mmanganya mmatendanga maovu!'28Kushipagawe na kilio na kusaga meno muda gumpinga kuwaonanga Ibrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wowe katika ufalme gwa Mnungu, lakini mmanganya mnyeyenenji mchijaangwa pilanga. 29Shivaikanje kushoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, na kupumulila pameza ja shalya sha ligulo katika ufalme gwa Mnungu. 30Na kulimanya hali, jwa mwisho ni jwa kwanza na jwa kwanza ni jwa mwisho."31Muda guva mng'upi, baadhi ja mafarisayop vashikuvianangana na kummalanjila,"Jenda na jaula apano kwa sababu Herode apinga kuulaga." 32Yesu gwalugwile,"Mnjendanje mkamalanjilange ajula libweya,Mnole , nakwagawinganga mapepo na kutenda uponyaji lelo na malawi, na lyuva lya tatu shindimike malengo gangu. 33katika hali jojowe, ni muhimu kwaajili jangu kuendelea lelo, malawi na lyuva likagula, kwa vile ikakubalika kumulaga mnabii mbali na Yerusalemu.34Yerusalemu,Yerusalemu, gani akwaulaganga manabii na kuwakomanga maganga wewala watumwileje kwenu. Mara ngapi njipinga kwa kusanganya vana venu mbuti mneila mnguku pakusanya ifaranga yake paija mabawa gake, lakini niwangalipinganga hali. 35Mnole, nyumba jenu jitoshelekezwa na mne hakummala njilanga, mkakombolanga kumona mkali mmelekete nje. Ashibarikiwa aju akwia kwa lina la Bwana.""
1Ishikukoposhela lyuva lya sabato, pajenda pamwi pa jumo jwa mafarisayo kulya mkate, na watenda kumchunguzanga kwa ukaribu. 2Mnole, pepala pamujo ashikupagwa mundu asumbuliwaga na uvimbe. 3Yesu ashikuvuga wataalamu katika sheria ya wayahudi na mafarisayo,"Je, ni halali kumponya lyuva lya sababto au sivyo?"4Lakini wene walingingi kimya, kwa neyo Yesu gwamkamwile, gwamnamiye na gwamruhusu ajaule. 5Na gwawawalanjil;enje,"Ni gani kati jenunji ambaye ashikola mwana au ng'ombe atumbushila mnushi lyuva lya sabato shamg'ule pilanga mara moja?" 6Wenevonji vakakwetenjeje uwezo gwa kushowa lijibu kwa mambo aga.7Yesu pagunduwe kwamba waalikwa washiagulanga viti ya heshima, gwawawalanjilenje mfano,akawaambia, 8"Muda gumkakwanga na mundu harusini, mnatamaje katika nafasi ya heshima, kwa sababu pana ashialikwa mundu jwa heshima kuliko mmwe. 9Mundu amngalikenje mmanganya mmawili aikaga, shammalinjile mmmwe," Mumpishe aju mundu nadasi jenu," na kwa aibu shimtanduwe kutoka nafasi ja mwisho.10Lakini mmwe mng'alikwaga, mnjende mkatame mahala pa mwisho, ili wamng'alike vajianga, vamamalanjile mmwe, Rafiki jenda mmujikaje." Ndio shimng'eshimishe mbele ja wowe vumteminajo pameza. 11Kwa maana kila akwikweza shatuluywe, na jwene akwituluya shakwezwe.'12Yesu ashikummalanjila mundu amngalike, 'pumkushoya shalya sha miu au ligilo, mnaalikanje rafiki yenu au ndugu yenu au jamaa yenu au majirani wenu matajiri, ili kwamba wanakung'alika mmwe nipata malipo.13Badala jake, mumkutenda sherehe mwaalike maskini, vilema, viwete na vipofu, 14na mmwe shimbarikiwe, kwa sababu wakaweza kumnipa. Kwa maan shimnipwe katika ufufuo gwa gwene wenye haki."15Jumo jwa wewala watemanji pameza pamwina Yesu paili kene aga, na gwavavavalanjilenje,"Abarikiwe apinga lya mkate katika mfalme gwa Mnungu!" 16Lakini Yesu gwavavalanjilenje,"Mundu jumo ashikuandaa sherehe jikulungwa, na ashikualika wandu wawajinji. 17Baada ja Sherehe kuwa tayari,"Mundu jumo ashi kuandaa sherehe jikulungwa, na ashikualika wandu wawajinji.'18Wowe, guvatanduvivenje kujuga ardhi jw akwanza gwamlalanjile mtumishi, njiuma mngunda, lazima nyende kulilola. Tafadhari nisamehe.' 19Na juna gwalugwile,"Njiuma jozi tano ya ng'ombe, na mnena kwenda kwilinga. Tafadhari mniwie radhi.' 20na mundu juna gwalugwile, 'njilomba mke, kuva mneyo ngakombola kwia.'21Mtumishi gwaujile ni kwenda kwavalanjila Bwana aa mambo aga. Mnyene nyumba ashikutambala guvammmalanjile mtumishi jwake jenda haraka mmitaa na kalika vichochoro ya mji gwajianonji maskini, Vilema na vipofu." 22Mtumishi gwalugwile,' Bwanam, ago gumgaajile gagatendesha, na mkali mneina jishipagwa nafasi.'23Bwana gwammalanjile mtumishi, jene katika mpanda mkulungwa vichochoro na gwashirutisha nje wandu wajingalenje, ili nyumba jangu jigumbele. 24Kwa maana nakummalanjilanga, katika wewala waalikwenje wa kwanza ja kwa apingapa ya sherehe jangu.'25Lelo umati gwa mkulu nguva gutenda kwenda pamoja na jwene, na gwagewishe na kwawalajilanga, 26'Mwanaga mundu ajiaga kwangu na mng'aa tola Awawa yake, amama yake, mke jwake, wana wake, ndugu yake, wanaume na wanawake- ndio na hata maisha gake mnepiele- jhakuweza wa wanafunzi jwangu. 27Mundu akatole msalaba gwake na kuvia mnyuma jangu akaweza wa mwanafunzi jwangu.28Maana gani kati jenunji, ambae apingashenga mnara na shatame ti niganishia gharama kw amahesabu kama akwete ashila shakushipinga ili kukamilisha balyo? 29Vinginevyo, baada ja kuvika msingi na kushindwa kumaliija, wowe washikuonanga wapinga kumtanianga, 30Waliluganga, aju mundu alilanndwa kwashengu, akawa anga nguvu ya kumalia.'31Au mfalme gani, apingaga kwenda kukomana na mfalme juna kuvita , ambae shatame ti pai na kulola ushauri kuhusu kamashakombole, pamoja na wandu elfu kumi kukomana na mfalme juna akuvia panani jake na wandu ishirini elfu? 33Na kama mneyo, lijeshi lya wananji mbali, kumtuma balozi kupinga maaskari ga amani. 32Kwa mneyo, jojowe kati jenunji shaleshe yowe ya kwete, akaweza kwa mwanafunzi jwangu.34Chumvi ni jambone, lakini jivagaga mnjetre jiovile ladha jake, jinsi jashishijiwe mnjete lena? 35Jangali matumizi kwa utope au hata kwa mbolea. Kujawa mbali jweneali na masikio gapilikane, na apilikane."
1Bai watoza ushuru wowe na wana wapali n ayambi waishile kwa Yesu na kupilikana. 2Mafarisayo wate na waandishi wakamnungunika na kuwelekete,"Jweneju mundu kuwakaribisha wangali na yambi na hata kulya nao."3Yesu ashiweleketa mfano gwenego kwao,akisema 4"Gani kugwenu kama agwete hondolo mia moja, na awowile na jumo jwao, nikwelelanga wewala tisini na tisa kunyika, na ajendile kukolea jwejula awowile hadi kumwona? 5Naye akisha kumpata na kumwika mabegani pake na luhangalala.6Aishile pamuyi, nikwashembanga ambwiga jao na jirani jako nikuwarugulila tuangalale pamo, kwa kuwa nimpatile kondolo jangu awowile.' 7bnakawarugulila nnepeyo twapalijina luangalal kumbinguni kwaajili jwa jwejula angali yambi jumo akubuye zaidi ya mewala wangali na hali tisini na tisa ambao wangali hajatubu8Au apali jwandonya gani akolile na sarafu kumi za fedha awowile na sarafu jimo hata mkolee taa kupajila nyumba na kumleya kwa bidii badi atakapo ipata? 9Na akiisha kuiona kuwashemanaga ambwiga jalu na jirani jake ni kuwahugulila kuangalia pamoo na nne. Liwe kwa niipatile kuwili sarafu jangu japaliliji jowowile. 10Hata ineyo nakuwangarugulila pangali na kuangalala mmujo mwa malaika wa Mnungu kwa ajili ja wewala wangali na yambi atubuye."11Na Yesu niwekleketa,"Mundu jumo apaliji na wana wawili 12jwejula jwa mashoko nkwarugulila awawajake, Awawa nipele sehemu ja mali inayonistahili kurithi. Ineyo kuwagawila mali jake kati jao ga gao.13Moga ga magwiji jwejula jwa mshoko ni kusanyanga nyowe anavyomilika na jenda nchi ya mbali, na kweneko nitapanya hela jake, kwa huumangaindu jwangalihitaji, na kutawanya fedha yake lwa anasa. 14Nae apaliji amalila tumia yowe njale jajikulungwa janjinjile jenjila nzhi naye mtanduwa kuwa hitaji uhitaji.15Ajendile na kujiajiri mmayene kwa jumo raia wa inchi jejila, na jwejula kupelesha kunagunda kwake na kuwalisha nguruwe. 16Na apali akitamani kujushibisha kwa kulya maganda alie nguruwe kwa sababu jwangali mundu ampele shoshowe apatile kulya.17Ila jwejula mwana mshoko alipozingatia mumtima mwake mweleketa 'ni watumishi waligwa na awawa yangu wapali na shalya shashingwinji shatosha na nnne nipali pepepa nawa na nnjala! 18Na soshile na kujenda kwa Awawa jangu na kumlugulila,"Awawa nakosile kunani ga mbingu na mmujo ga meyo gako. 19Ningasitahili kushemwa mwana jwako kawili nitende kama jumo jwa watumishi jwako."20Ndipo nijaula nijenda kwa awawa jake, apaliji angaki mbali awaa jake nikumwana nikumwonela huruma nijenda mbio na kumkumbatia na kumbusu. 21Jwejula mwana ni kwalugulila ,'Awawa nikosile kunani jambingu na mmujo ja meyo gako nangastahili kushemwa mwana jwaleo.'22Jwajula Awawa nikwalugulila watumishi jwake,' mpeleshe vazi lililo bora na mkamvike na mmikange na pete kidoleni na ilatu mmagulu. 23Kisha mupeleshe ndamajwejula amonile mkangangange kulye na kuangalala. 24Kwa kuwa mwanangu apaliji awile yungali hai. Apaliji awowile nae aoneshe ni tanduwa kushangilia.25Bai jwejula mwana jwamkulungwa apalifi kungunga aishile na kukaribia pa nyumba apilikene lilowe la nyimbo na michezo. 26Ashemile mtumishi jumo na kumuya mambo aga maana gake ni indi? 27Mtumishi nikulugulila mshoko jako aishe na awawa jako waingile ndama anonile kwa sababu aujile salama.'28Mwana jwa mkulungwa nakasilika na kukana kujingila mkati na awawajake nikopoka palanga nakumsihi. 29Ila nijangula awawajake niweleketa,' Mnole nnne nishekutumikia miaka migwiji wala nikanawe kosa amri jako lakini mukanawe nipeya mbui ili tende sherehe na ambwiga jangu. 30Lakini aishile mwan jwajo aliyetapanya mali jako jowe pamoo na makahaba umuhingile ndama aliyenona.31Baba nikurugulila,' Mwanangu mmwe u pamoo nnne lyuya yowe na nyowe ningali nayo ni jako. 32Ila japali vyema kwetu kutenda sherehe ja kufurahia, jweneju munungununa jako apaliji awile, na inaino yu hai; apaliji awowile naye awoneshe."
1Yesu awalugulile kuwili wanafunzi gwake,"Apaliji na mundu jumo tajiri apaliji na meneja, na alitwarifiwa ja kwamba neneja jwejula anatapanya mali gake. 2Ineyo tajiri nikushema na kumrugulila,"Ni mali jeljino nipilikane juu yako? Ishoye hesabu ja umeneja jwako pa kuwa ukakola kuwa meneja kuwili.'3Jwejula meneja niwelekete mumtima mwake tenda indi maana bwana jwangu anishoshela kazi jwangu ja umeneja? nangali nguvu ja lima, na kujuga, nalolile haya. 4Namanya nitakolitendile ili mipangengashoywa katika maengo gangu ga uwakili vangu wanikaribishe kumuhi kwao.5Ineyo wakili nikuwashema wadeni wa bwana jwake kila jumo Nikumlugulila wa kwanza unadaiwa kiasi gani na bwana jwangu. 6Niweleketa ipimo Mia moja vya mauta nikulugulila mtole hatri jako upesi nnjandishe hamsini.' 7Kisha nikalugulila juna na mmwe unadaiwa kiasi gani? Niwelekete'ipimo mia moja na utandi gwa ngano nikulugulugulila,' mtole hati jako nnjandishe themanini.'8Jwejula bwana nikumsifi meneja dhalimu kwa yeyila aliyotendele kwa wereu pa kuwa wana wa ulimwengu gwenegu na werevu ngwamgwinji na hushughulika ujanja wa vandu kw aupande wao kukangali walivyo wana wa nuru. 9Namme nakuluwalugulila utendanje bwiga kwa mali ga udhalimu ili wawakaribishe katika makao ya milele.10Abile mwaminifu kat ika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo lalilungwa pia na abile dhalimu katika lililo lishoko huwa dhalimu katika lililo la likurungwa pia. 11kama mmanganyanji mupaliji mwaminifu katika mali ga udhalimu ni gani atakayewaamini katika mali ga kweli? 12N akama mupaliji waaminifu katika kutumia mali ga mundu juna ni gani awapele galiyo gene wayene?13Pakwapi mtumishi awezele kutumikia mabwana wawili kwa maana apinga kumchukiza jamo na kumpenda juna ama shashikumane na jwejeno na kumdharau jwejura. Mukuweza kumtumikia na mali."14Bai mafarisayo ambao wapaliji wanapendanga fedha wapapilikene aga gowe na wakamdhihaki. 15Na kuwarugulila,"Mmanganyanji ndivo mnaojidai hake mmojpo mwa wandamu. lakini Mnungu amanyile mitima genu pa kuwa lililotukuka kwa wana damu wenewo chukizo mmujo ja Mnungu.16Sheria na manabii vipaliji mpaka Yohana aishile. Tangu wakati ago habari njema ja ufalme wa Mnungu hutangazwa, na kila mundu hutandwa kuingira kwa nguvu. 17Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vishoshile kuliko hata herufi jimo sheria jinakosekane.18Kila amneshile mkongwe gwalee na kumwa mkongwe juna azini, naye amwonaaye jwenejo areshirwe na mmumege azini.19Papaliji na mundu jumoo tajiri awete nguo ja rangi ja zambarau na kitani shambone na apali ashiwangalala kila lyua utajiri gwake mkurungwa. 20Na maskini jumo lina lyake Lazaro awishiwe getini pake, nauilonda. 21Naye apaliji akitamani kushibishwa kwa makombo yagwire katika meza ya jwejula tajiri hata mbwa waishile na ulamba uilonda vyake.22Ikwa jwejula masikuni awile na njigarwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Jwejura tajiri naye awile na kuihika. 23Na kwekula kuzimu apaliji katika mateso niinula meyo gake na mlola Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake.24Ni guta naluweleketa,"Awawa Ibrahimu, nihurumie mutume Lazaro achovye ncha ja shidole shake mmashi, amburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto gwegweno.25Lakini Ibrahimu niwelekete,"Mwanangu mkumbuka ga kwamba katika maisha gako uyapushele mambo gako uyaposhele mambo gako mema, na lazaro inepeyo apatile mabaya ila inaino apali penenepa anafarijiwe na mmwe unaumwiza. 26Na zaidi ya aga ga genego kuwaishilwe limo lyalikulugwa na lileu kati jetu, ili wewala wapendile kukopoka kwelweno na kujenda kukwenu wangaweza wala vandu wa kukwenu wakule na kuya kukwetu.'27Yula tajiri niweketera, "Najuga awawa Ibrahimu kwamba mutume kumuyi kwa Awawa jangu 28kwa nangali wanganguna watano ili awaonye kwa hofu kwamba wenewo pia shiwaishile mahali penepo pa mateso.'29Lakini Ibrahimu niweleketa wanawao Musa na manabii waleshe huwapilikanila wenewo. 30Jwejula tajiri niwelekete' jwakwapi Awawa Ibrahimu ,lakini kama uwajendelea mundu akopokweuwa wafu watatubu.' 31Lakini Ibrahimu nikwarugulila,'Wangawapilikana Musa na anabii wangalishawishiwa hata mundu afufushe katika wafu.
1Yesu nikuwarugulila wanfunzi gwake," mambo gasababishashayo vandu, watenda yambi yangali budu kushoshela lakini olele gwake mundu anayeyesababisha! 2Ingali ga heri kama mundu jwenejo angelwe liwe nzito lya yagila pashimo na kujaawa baharini kuliko kumtenda jumo na wenewo washoko atende yambi.3Njilindeni. Kama mnunguna jako akosile mumuonye naye akitubu musamehe. 4Kama akukosele mara saba kwa lyua limo na mara saba lya lyua limo aishile kukwako niwelekete ,'ninatubu musamehe!"5Mitume gwake wakamragulial Bwana,"Mtujenjeshee imani jetu." 6Bwana niwelekete," Kama mungapeliji na imani kama punje ja haradari, Mukombolwe kuwarugulila mkongo gwenegu wa mluyu,' ngoke na ukamele baharini nao,' ungwatii.7Lakini gani miongoni mwenu, ambaye akwete mtumishi anayelima kumaunda au achungulia kondolo, atawarugulila ajile kumgunda, 'njie haraka ba nketi mlye shalya? 8Je hatuwalugulila nyandalie shalya nilye na mjitume mkanda na umantumikie mapka napinga kumalia kulya na kungwa. Baada ga penepo shulye na kungwa?9Hata mushukuru mtumishi jweneju kwa sababu kutimaya gagala gaamriwe? 10Vingali ineyo mmanganyaji mmalie kutenda muliyoagizwa imeleketa uwe tu watumishi tungalistahili tutendile tu gegala yapaswile tendeka.'11Jikoposhele kwamba apaliji alisafiri kuyenda Yerusalemu, apitile mpakani mwa Samaria na Galilaya. 12Apalijakijingila pa shijiji shimo uweneko nikomgana na vandu kumi wangali na ukoma, mjima mbali. 13Nipayanga lilowe waliweleketa,"Yesu, Bwana nturuhumie."14Palolile nikuwalagulila,"Njendanje mkaboneshe kwa makuhani nao wapaliji wajendile wakatakasika. 15Jumo jwao alolile kwamba aponile niwuja, kwa lilowe liuluulu lyakumsifu Mnungu. 16Nikoma magoti mmagulu mwa Yesu akamshukuru jwejula apaliji msamaria.17Yesu nijangula nakuweleketa,"Je Wangatuhasika wowe humi? wapali gwei wewala wana tisa? 18Jwakwapi hata jumo aoneshe kuwunja ili kumtukuza Mnunga, japokuwa jweneju mjeni?" 19Akawangulila,"Ijinuke na ujende jako imani jako iponile."20Kuwuya na mafarisayo ufalme wa Mnungu liniukaika Yesu miyongura na kuwaleketera,"Ufalme gwa Mnungu nga shindu ambacho himananya kulilola. 21Wala vandu wangaweleketa,"Mlolanje penopa!au Mlolanje kwekula! kwa maana ufalme wa Mnungu upali mkati jenu."22Yesu nkarugulila wanafunzi gwake," wakatiunaika ambapo munatama kuilola jimo ja lyua ja mwana wa Adamu. Lakini mungali kuilola. 23Watawarugila,' Mnole uwekula! Mnole penepa! Lakini mnajendo lulola wala kuwakagula kagula, 24kama umeme gwa radiumulikapo katika anga hutandua upande jumo hadi juna. Ineyo hata mwana wa Adamu apaliji ineyo katika lyua lyake.25Lakini kwanza inakupasa huteseka katika mambo gamagwinji na kukanwa na kizazi sheshino. 26Kama apaliji lyua ja Nuhu ndivo apaliji katika lyua ja mwana wa Adamu. 27Walile, wanywele, walioa na kuolewa mpaka lyua hjejila ambayo Nuhu pajingile katika safina na gharika paishile na kuwaaangamiza wowe.28Ndivo upaliji katika lyua ja Lutu, walile, hunywa, wakiumanga na kuuza, kulima na shenga. 29Lakini lyua lyalila Lutu pajawile Sodoma minya ula ja moto na liberiti kopoka mbinguni ukawaaangamiza wowe.30Ineyo ndivo jipaliji lyua lyelili ja mwana wa Adamu atakapo unukula. 31Lyua ungemruhusu abile kwenye dari ja nyumba aharuka kujigara bidhaa jake mkati mwa nyumba.Na ungalikuru nusu abile kumgunda luwunja kumuji.32Mukumbukwe mkongwe wa Lutu. 33Yeyowe amejaribu lujaolwe maisha galee lunyawowile lakini yeyowe atakayewawowile maisha gake atayatoa.34Naluwarugulalila shilo shenesho hupalili na vandu wawili katika shinanda shimo, shimo ashajiga rwe na juno milelwa. 35Wapaliji na wandonya wawili wamayapa nafaka pamoo, jumo shajigarwe na juna shaleshwe."37Wakamwuliza,"Wap, Mnungu?" Akawaambia,"Pale ulipo mzoga, ndipo tai hukusanyika pamoo."
1Kisha nikwarugulila mfano gw anamna wakanawepaswa kujuga daima, na manukato tamaa. 2Niwelekete , wapaliji na hakimu katika muji fulani ambaye apali wangamjogopa ,Mnungu na kuwaheshimu vandu.3Wapaliji na mjane katika jiji jenejo, naye ajendile mara jingiji, na kuweleketa,' Nsaidie kupengwa haki dhidi ja mpinzani jwangu.' 4Kwa muda kwa mleu jwangali tayari kunisaidia, lakini baada ja muda niwelelela mutima mwake, Ingawa nnne ngakujokopa Mnungu au kumuheshimu mundu, 5lakini pa kuwa jwejumo mjane ananisumbua nikusaidia kupengwa haki jake, ili anaishe kunishishe kwa kwia mara kwa mara."6Kisha Bwana awelekete,' Mpilikane awelekete mpilikaneawelekete jwenejo hakimu dhalimu. 7Je Mnungu pia apeleshe haki uwa wateule gwake ambao wanagula muhi na shilo? Je jwejula apaliji jwamvumilivu hukwao? 8Nakuwalugulila kwamba apeleshe haki kutwao kw aupesi. Lakini mwana wa Adamu paishile je aimene imani duniani?'9Ndipo nikwarugulila mfano gweneju kwa baadhi ja vandu ambao wanakuilola wenewo kuwa wangali haki na kuwadharau vandu wana, 10'Vandu wawili wapandile kujende hekaluni kusali jumo mfarisayo juna mtoza ushuru.11Farisayo mjima najuga mambo aga juu jake wayene,' Mnungu nakushukuru kwa yeyila nnnenga kama vandu wana ambao ni wanyanganyi vandu wangali wadilifu, wazinzi au kama jwejula mtoza ushuru. 12Naugala mara mbili kila wiki. nashoya zaka katika mapato gowe ngwete.'13Lkaini jwejukla mtoza ushuru ajimile uweneko bila ngokola bata pajinula meyo gake mbinguni, nikoma kufua shake niwelekete ,'Mnungu nirehemu nnne nibile na yambi.' 14Nakuwarugulila mundu jwenejo anawuja kumuhi apali ahesabiwe haki kuliko jwejula juna, kwa sababu kila ajikwezaye mteremshwa lakini, kila mundu anayejinyenyekeza shainuliwe.'15Wandu wapelishe wana wao wachanga ili amanyile kuwagusa lakini wnafunzi gwake walolile genego wakawazuia. 16Lakini Yesu awashemile kukwake niwelekete,'Walekange wana washoko waike kwangune, wala msawazuie maana ufalme wa Mnungu ni wa vandu kama wenewo. 17Amini, nakiwarugulila mundu yeyewe jwangali liposhela ufalme wa Mnungu kama mwana ni dhahiri hatangajinjila.'18Mtawala jumo niwuya nakuweleketa,'Mwalimu mwema, atende indi ili niurithi uzima wa milele?' 19Yesu nikuwalugulila,"Kwa indi uchemwile mwema? Jwangali mundu apali mwema, ila Mnungu peke jake. 20Umanyile amri- usizini, unaulage, unajiwe, usishuhudie unami, ningeshimu awawa jako na amama jako. 21Jwejula mtawala niwelekete ,' Mambo aga gowe hayakamwile tangu apaliji, kijana.'22Yesu papilikane aga nirugula," Upungushile jambo jimbo lazima nnguze yowe mubile nayo na uwagawile masikini, na mwe mupaliji na hazina mbinguni- kisha nngishe, unikagule.' 23Lakini tajiri papilikane genego, alihuzunika sana, kwa sababu apaliji tajiri sana.24Kisha Yesu amlolile abile huzunika sana niwleketa jinsi gani ipaliji ngumu kwa matajiri luyinjira katika ufalme wa Mnungu! 25Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupitila katika tundu la indano kuliko kwa tajiri kuyingira katika ufalme wa Mnungu.'26Wewala wapilikane ago, wakawalekete,' gani bai, amanyile kuokolewa?' 27Yesu nijagula ,'Mambo gangali shindikana kwa mwnadamu kwa Mnungu gamanyile."28Petro niwelekete naam huwa kuleshe kila shinda na tumkagule mmwe.' 29Kisha Yesu nikuwalugulila,Amini, nakuwalugulila kwamba jwakwapi mundu alieshile nyumba au mkongwe au mnunguna, au wazazi au wana kwaajili ga ufalme wa Mnungu, 30ambaye shapokela gamagwinji zaidi katika ulimwengu gwenego, na katika ulimwengu ujao, uzima gwa milele.'31Baada ja kuwakusanya wewala kumi na wawili, nikuwalugulila ,'Mnole tunapanda kujenda Yerusalemu na mambo yowe ambaye gajandiwishe na manabii kuhusu mwana wa Adamu yatakamilishwa. 32Kwa maana wapegwire mikononi mwa vandu wa mataifana atendilwe dhihaka na jeuri na kushemewa mate. 33Baada ya komwa iboko nikumulaga na lyua lya tatu atafufuka.'34Wangaeleweka mambo aga na lilowe lyeneli lipaliji liiki we kukwao, na wangaelewa mambo galiyoweleketwa.35Ipaliji Yesu alipokaribia Yeriko, mundu jumo kipofu apaliji atamile kando ya barabara anajuga msaada, 36Papilikene umati gwa vandu upitile ni wuya indi kikopeshele. 37Nikwarugulila kwamba Yesu wa Nazareti anapita.38Ineyo jwejula kipofu nu gutu kwa lilowe ,niweelkete ,'Yesu mwana wa Daudi, unirehemu.' 39Wewala wapaliji walijenda pu kumkemele jwejula kipofu, mkumlugulila anyamaza lakini jwejula nizidi guta kw alilowe, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.40Yesu mjima na kuamuru mundu jwejula apeleshwe kukwangwake kisha jwejula kipofu alipomkaribia,Yesu nikumuya, 41'Unapinga nitendele indi?'Niwelekete Bwana napinga kulola.'42Yesu nilugula,' Upatile kulola imana jako imekuponya.' 43Mara jwejula nipala kulola nakumkagula Yesu akimtukuza Mnungu waonile lyeneli vandu wowe wakimsifu Mnungu.
1Yesu ajingile na pita katikati ja Yeriko. 2Na hapo paliji na mundu jumo achemaye Zakayo. Ambaye paliji mkuru wa watoza ushuru kawili mundu tajiri.3Paliji anajaribu kumlola Yesu ni mundu wa namna gani. lakini jwakamanya kulola kwa sababu ja umati wa vandu pa kuwa paliji jwa muhupi wa shimo. 4Ineyo olongolele utuka mmujo ja vandu ni kwela kunani ja mkuyub iliaweze kumlola, kwa sbaabu Yesu akaribia kupita ndila jenejo.5Wakati Yesu paishile mahali pepala, palolile kunani nirugula Zakayo, interemshe upesi maana lelo ni lazima niinde kumuhi kwenu.' 6Nitenda haraka, kuteremka na kukaribisha kwa kwaangalala. 7vandu wwowoye walolile meyo nilalamika, na kuweleketa, ajendile kutombelea mundu alolile na yambi.'8Zakayo mijima na kumlugulile Bwana, nole bwan nusu ja mali hjangu awapeele maskini,Na ipali mmenyanganya mundu jojowe shindu, makumrudishi mara ncheche.' 9Yesu nikurugulila 'lelo wokovu liishile katika nyumba jejino, kwa sababu jwejula pia ni mwana wa Ibrahimu. 10Kwa maana mwana wa mundu aishile kulalaya na kulokola vandu wahowile.'11Wapilikane genejo aliendelea kulongera na shoa mfano liwa sababu paliji karibu na Yerusalemu na wenewo wadhanile pa kuwa ufalme wa Mnungu upaliji karibu kuwoneka mara jineo. 12Ineyo nikwarugulila ,'Ofisa jumo ajendile nchi ja mbali ili aposhele ufalme na kosha niwuja.13Nikwachemanga watu ishi gwake kumi na kuwapea mafungu kumi, nikuwarugulila,'itendayo biashara mpaka niujapo' 14lakini wananchi gwake wachukienge na ineyo kuwatuma wajumbe wajende kumkagula na kuwelekete,'Tukapinga mundu jwejumo atutawale.' 15Ipaliji paujile kumuhi baada ja tendwa mfalme, niamuru wewala watumishi wapaliji waleshile Fedha wachwemwe kukuwake, apate kumanya faida gani waipatilenje kw akutenda biashara.16Jwa kwanza misha niwelekete , Bwana fungu lyako lyatendile mafungu kumi na zaidi.' 17Jwejula ofisa nikurugulila vema, mtumishi mwema. kwa sababu upaliji mwaminifu katika jambo la lishoko upali na madaraka juu ja miji kumi.'18Wa pili niika, niwelekete,'Bwana fungu lyako litendile mafungu ingano.' 19Jwenujo afisa nikurugulila njigale mamlaka juu ya miji mingano.'20Na juna niika niwelekete,Bwana jeneji hapa fedha jako ambayo muhifadhi salama katika shitamba, 21kwa maana najogopa kwa sababu mmwe ni mundu mkali. mshoe sheshils mksnswe wika na kuuna ungalipandile.'22Jwejula Ofisa nikumruguliula kwa malowe gako mayene nitahukumu, mwe mtumishi mbaya. Umanyile kwamba nnne ni mundu mkali, natola nikanawewika na kuuma ambacho nikapandile. 23Bai, mbona mukawika fedha jangu katika benki, ili niwijile ndole pamoo na faida?24Ofisa nikuwarugulila vandu wapaliji wajimile penepo, munyanganyeni lyeneo fungu na kupea jwejula apaliji na mafungu kumi.' 25Nikwarugulila,' Bwan jwenejo angali na mafungu kumi.'26' Nakuwaragulila mundu ambaye akolinacho. Sahapegwe zaidi, lakini ambaye jwangali sheshila abilenacho shitolilwe. 27Lakini wenewa maadui jangu ambao wangapinga niwe mfalme wao, Muwepeleshe penepa na kuwaulaga mbele jangu.28Baada ja welekete ineyo, aliendelea mmujo apandile kujenda Yerusalemu.29Ipaliji pakalibia Berfgage na Bethania, karibia na mlima wa mizeitumia, nikuwatumanaga wanafunzi wake wawili, 30Niweelekete: Mjendanje katika kijiji cha jirani mkijingila shimtente mwana punda jwangalikwela bado mumuugule mupeleshe kwangune. 31Kama mundu apinga kuwawuya mbona mumwingwile?' mmelekete,"Bwana anamhitaji."32Wewala watumwile nijende kuwalola mwana-punda kama Yesu apaliji awarugulile. 33Wapaliji wakimuugula mwana-punda wamiliki nikuwraugulila kwa indi munamuugula mwana-punda jweneju?' 34Niwelekete, Bwana anamhitaji. 35'Bai wapeleshele Yesu nitandikanga nguo jao kunani mwa mwanapunda na wakampandisha Yesu kunani mwake. 36Apaliji ajendile vandu nitandaya mavazi gao mundila.37Apaliji anateremka kumkulima wa mizeituni, jumuiya jowe ja wanafunzi watendwiwe kushangilia na kumtukuza Mnungu kw alilowe likulungwa, kwa sababu ga mambo makuru wayolile, 38Niwelekete,'Ndiye mbarikiwa mfalme aishile kwa lina lya Bwana.' Amani mbinguni na utukufu juu!'39Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano nikwarugulila, Mwalimu muwanyamazishe wanafunzi gwako.' 40Yesu nijangula, niwelekete, nakuwalugulila kama mmmwe wakinyamaza, maganga yatapaza lilowe.'41Yesu alipoukaribia mji aliulilia, 42niwelekete, laiti ukamanyile hata mmwe ,katika lyua lyeneli mambo ambayo ganagokupeleshela amani! lakini maine gafichike meyoni pako.43Pa kuwe lyua ziishile ambapo adui jako shiwashenje boma karibu na mwe, na kjunguluka na kukukandamiza kop[oka kila upande.Shiwagwie pai na mwe na wana wako. 44Wangakuheshila hata liwe limo kunani ja lina,kwa sababu haukutambui wakati Mnungu apaliji anajaribu kukulokoa.'45Yesu apanjile hekaluni mfadhiwe kuwakwinganga wawala wapaliji waliuza, 46nikwarugulila,"Ijandikwe, 'Nyumba jangu jipali nyumba ja sala lakini mnganyanji mutendile kuwa pango ja wanyang'anyi."47Kwa ineyo, Yesu apaliji alifundisha kwa lyua hekaluni. Makuhani wakuru na walimu wa sheria na viongozi wa vandu wapiunga kumulaga, 48laikini ngakombola kupengwa mpanda ja tenda inayo kwa sababu vandu wowe wapaliji wakipilikanila kwa makini.
1Ipali lyua limo, Yesu apaliji akifundisha vandu hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuuu na walimu wa sheria wajendele pamoo na wazee. Nilongera 2nakuwarugulila,"Mtewalanjile ni kwa mamlaka gani ganatenda mambo aga? Au ni gani jwenejo ambaye anawapeya mamlaka aga?"3Naye nijangula, ' Nakuwalugulila nami pia ninakumuya swali. Munulugulanje 4ubatizo gwa Yohana. Je, ukopweshe mbinguni ama lwa vandu?'5Lakini nijadiliana wao kwa wao, washiweleketa, Tuwelekete jishoshile mbinguni niwuya mbona mukanawe kumwamini?' 6Na tukiweleketa jishoshile kwa mwandamu; Vandu wowe penepa shiwatukomanje maganga, maana wowe wanaamini kwamba Yohana apaliji nabii.'7Bai, nijangula ja kwamba hawanga manyanga ashoshile. 8Yesu nikwarugulila," wala nnne ngawarugulila mmanganyanji ni kwa mamlaka gani nitendile mambo aga."9Ararugulile vandu mfano gwenegu,"Mundu jumo apandile mgunda gwa mizabibu, nikodisha gw amizabibu na kujenda nchi jirani kw amuda mreu. 10Kwa muda upangwile, nikumtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu kwmaba wampele sehemu ja matunda ga kugunda gwamizabibu lakini wakulima wa mizabibuy ni kukoma, niujanao mikono- mitupu.11Kisha nikumtuma kawili mtumishi juna na nao nikukomanga na kumtendea vibaya, na nijanao mikono- mitupu. 12Nikumtuma kawili jwa tatu na nao wakamjeruhi na kujaa paranga.13Ineyo bwana jwa kumngunda niwelekete,' nndende indi? Ninakumtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu.' 14Lakini wakulima wa mizabibu wanolile, nijadili wenewo lwa wenewo njweleketa jweneju ndiye mrithi. Tumulage, ili warithi gwake kwe gwelu.'15Wakamshoya parange mwa mgunda mizabibu na kumulaga. Je bwana jw amgunda shatende indi? 16Shaishe kkuangamiza wakulima gwa mizabibu, na kuwapea mgunda gwenegowana". ' nao papilikehene ago niwelekete,' Mnungu akanile'17Lakini Yesu nilola na kuweleketa ,"Je andiko lyeneli lina maana gani? 'Jiwe walikanilenje wajenzi lipaliji liwe lya pembeni'? 18Kila mundu kungwa panani mwa liwe lyenelo, mtemeka ipandeipande. Lakini Jwejula ambaye kugwanaye na kumponda.'19Ineyo wajandika na wakuru wa makuhani waliloleya mpanda gwa kukamula wakati gwenego, wamanjile kwamba apaliji awelekete mfano gwenegu dhidi jao. lakini washijongopa vandu. 20Washikumnola kwa makini, na kuwatuma wapelelezi. Wajitendile kuwa vandu wa haki ili wapegwe kosa lwa hotubayake, ili kukwepeshela kwa watawal na wabile na mamlaka.21Nao nikuwawuya na kuwaleketa ,"Mwalimu, tunamanya kwamba unawaleketa na kufundisha mambo ga kwe;lli na ga kushawishiwa na mundu jejowe, hufundisha ukweli kuhusu mpande gw aMnungu. 22Je, ni halali kukweta kulipa kodi ja Kaisari, au la?"23Lakini Yesu atambuwile mtego gwao, nikuwarugulila, 24"Nilolanje dinari sura na chapa ja gani jinali kunani kwake? " Niwelekete,' " ya Kaisari."25Naye nikuwarugulile,'Bai mupei Kaisari yaliyo gake Kaisari na Mnungu yyaliyo gake Mnungu.' 26Wajandikwa na wakuru wa makuhani wangali na uwezo gwa kosoa sheshila awelekete mbele ja vandu. Wakastaajabia majabu gake na wangaweleketa shoshowe.27Baadhi ja masadukayo nikuwajendela, wewala ambao wanawaweleketa kwamba gwakwapi ufufuo, 28nikuwawuya, na kuweleketa,"Mwalimu M,usa atujandishie kwamba kama mundu akifiwe na anunganao mwene mkongwe amaye apali na mwana baianapaswa kumtola mkongwe na mkunguna jake na kuweleka nae kwaajili ja akaka jjake.29Kupaliji na ndugu saba jw akwanza haoile, niwa bila reka mwana, 30na wa piuli inepeyo. 31Wa tatu nijigala inepeyo, hadi jwa saba gwangaleka wana niwa. 32Baadaye jwejula mkongwe awile. 33Katika ufufuo apaliji mkongwa jwa gani? Maana wowe saba wapaliji wamuolanje.'34Yesu akawambia," Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. 35Lakini wewala wanaostahili kuposhela ufufuo wa wafu na kujingira uzima wa milele hawawi wala ngaolewa. 36Wala wakamanyanga kuwa kawili, kwa sababu huwa sawaswa na malaika ni wana wa Mnungu, wana wa ufufuo.37Lakini jeneji wafu wanafufuliwa, hata Musa aboneshe mahali katika habari ja chijaka, pepala achemile Bwana kama Mnungu jwa Ibrahimuna Mnungu ja Isaka na Yakobo. 38Inaino jwejula ga Mnungu wa wafu bali jwa wapali hai, kwa sababu wowe hishi kukwakwe."39Baadhio ga walimu wa sheria mjangula,'Mwalimu ujangwile vema. 40'Wangathubutu kumuya maswali gana zaidi.41Yesu nikuwarugulila,"Kivipi vandu wanaweleketa kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? 42Maana Daudi wayene niwelekete katika zaburi: Bwana anugulile Bwana jangu keti mumkono gwa kuuma, 43mpaka niwikile adui jako pai mwa migulu jako. 44'Daudi akakuchema Kristo, 'Bwana' bai apalijiwe mwana jwa Daudi?"45Vandu vowe wapaliji washikupikanila nikuwarugulila wanafunzi gwake, 46'Mjihadhari na wajandika, wapendao kujenda wawete mavazi mareu, na wapenda salamu maalumusokoni na vitengu vya heshima katika masinagog,i na maeneo ga heshima karamuni. 47Weeneo pia ulya pa nyumba ja wajane, na wajitenda wanasali sala ndeu .Wenewa wapinga noshole hukumu jajikurungwa zaidi.'
1Yesu nilola alolite wanalume matajiri wapaliji wawikile zawadi jao kwenye hazina. 2Nimlolile mjane jamo maskini aliwika senti jake mbili. 3Ineyo niweelkete,"Kweli nakuawarugugulieni jweneju majane maskini awikile yajingwinji kuliko wena wowe. 4Wenewa wowe washoshie yeneyi zawadi kupoka katika yingwiyi wabilenavyo lakini mjane katika umaskini gwae ashoshie fedha yowe abilenazo uwa kwaajili ja kuishi kukwake."5Wakati wana wapaliji wakiwelekela juu ya hekalu namna ipaliji lipambwile na maganga gambone na matoleo, awelekete, 6"Kwa habari ja mambo aga muyalilile, lyua zipinga ilea ambazo jwakwapi liwe jimo ambalo linalekwa juu ja maganga gana ambalo likapali libomolewa."7Ineyo nikumuyawakiwelekete," mwalimu mambo aga gakoposhela pa kuwa? Na indi jipaliji ishara kwamba aga mambo gakaribu kopeshela?" 8Yesu nijangura," Muwe waangalifu kwamba mtembwanje. kwa sababu wangwinji shiwaishe kw alina lyangu, wakiweleketa,' nnne ndiye.' na' muda ukaribia'. munawakagulanje. 9Mupiukakene vita na vuguvugu mnajogope, kwa sababu aga mambo lazima gakopeshele kwanza, lakini mwisho gukanaweloposhela upesi."10Kisha nikuwaragalila,"Taifa lijinuke kukokama na taifa jina, na ufalme juu jja ufalme guna. 11Kupaliji na matetemeko makulungwa, na shiwanga na tauni katika maeneo mablimbali. Kupaliji na matukio ga kutisha na ishara ja kutisha kopoka mbinguni.12Lakini kabla ya mambo aga gowe shiwawikange mikopo jao kunani jenu na kuwatesa ,kuwapelesha kweneye masinagogi na magereza,kuwapepepea mmujo ja wafalme na wenye mamlaka kwa lina lyangu. 13Jeneji ni ugulila Fursa kwa ushuhuda gwenu.14Kwa ineyo inaamulanje mitima mwenu kutandaa mtetezi gwenu mapema, 15Kwa saababu nikuwapea maloe ga hekima, ambayo adui jenu wowe wangamanyanga kuipinga au kuileana.16lakini mukanilenje pia wzazi gwenu, ndugu jenu, jamaa jenu na mbwiga jwenu na kuwau;laga baadhi jenu. 17Shimchukiwe na kila jumo kwa sababu ja lina lyangu. 18lakini gwakwapi hata umbo jimo gwa mutwe gwenu shiwowile. 19katika uvumilia mupinga kuiponya nafsi jenu.20Mulolile Yerusalemu ingiliwe na majeshi, bai mmajange kwamba uharibifu gwake gukaribie . 21Penepo wewala wapali Yudea wakimbilia milimani, na wwala wapali katika ya jiji washashe, na wangawakanje wapali vijijini kujingila. 22Maana jeneji ni lyua la kisasi, ili kwamba mambo gowe gajandishwe gapate kutimilika.23Ole kwa wewala wapali na shitumbo na lewa wewala wanyonyeshao katika lyua yeneyo! Kwa maa wapali na adha jikuru juu ya nchi na gadhabu kwa vandu wenewa. 24Na kuugwa kwa ncha ya upanga na kujigarwa mateka kw amataifa gowe, mna Yerusalemu shuikanyagwe na wandu wa mataifa, mapaka wakati wa vandu wa mataifa utakapotimilika.25Kupaliji na ishara katika lyuwa, mwezi na nyota. na katika nchi kupaliji na dhiki ja mataifa, katika kukataa tamaa kulopokela na mlilo gw abahari na mawimbi. 26Kupaliji na vandu wakizimioa kwa hofu na kutaraji mambo gapiga kopeshela juu ya dunia. Kwa maana nguvu ja mbingu zikatikisika.2728Kisha wamlolile wama wa Adamu akiika mawinguni katika nguvu ja utukufu mkuru. Lakini mambo aga gatendwire kopeshela inimanje, inginuemitwe, jenu kwa sababu ukombozi gwenu gujongele karibu."29Yesu nikawarugulila kwa mfano,"Mnolanjeni mkongo gwa mikongo yowe. 30Inakopeshela machipukizi, mlilanje mmayene na kutambua kwamba kiangazi kiko karibu. 31Vivyo mulolile mambo aga ganakopeshela, mmanganyanjija kwamba ufalme gwa Mnungu gukaribie.32Kweli, nawarugulikeni , kizazi sheshima kikanewepita, mpaka mambo aga gowe kapinga kopeshela. 33Mbingu na nchi zinapita, lakini malowe gangu gangapita kamwe.34Lakini mujilolanje mmayene, ili kwamba mitima jenu jinaishe jikaelemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ga maisha aga. Kwa sababu lyelila lywa shiishe ghafla 35kama mtego. Kwa sababu ipaliji juu ja liila jumoaishiyer katika uso wa dunia nzima.36Lakini mwe tayari wakati wowe mujuge kwamba mupaliji imara vya tosha kuepuka aga gowe gapingakopesheka na kujima mmujo ya mwana wa Adamu."37Ineyo wakati gwa pamuhi, paliji afundisha hekaluni na shilo , akopweshe paranga na kujenda kukesha katika mlima uchemwile mzeituni. 38Vandu wowe wamuishile lyamba na mapema ili kuwapilikanila mkati ja hekalu.
1Bai sikuuu ja mkate gunatajiriwe chachu jipaliji jikaribie amavyo anachemwa pasaka. 2makuhani wakuru na wajandika nikajadiliana namna ja kumulaga Yesu kwa sababu wapinga kuwajogopa vandu.3Shetani ajingile mkati gwa Yuda Iskariote, jumoo wa wala wanafunzi kumi na mbili. 4Yuda nijenda kujadiuliana wakuru wa makuhani na wakuru namna ambavyo shiwakabidhi Yesu kukwao.5Walifurahi na kukubaliana kupea fedha. 6Jwejula aliridhie, na lilolea fdursa ja kukabidhi Yesu kukwao na kundi la vandu.7Lya lya mikate itajiriwe chachu nfika ambapo kondoko jwa pasaka lazima ashoywe. 8Yesu nikuwatunga Petro na Yohana niwelekete ,"Mjendanje mkatuandalia shalya sha pasaka ili tuishe tulye." 9Nikuwauya,"Kwei mnapinga kutenda genego maandalizi?"10Nijangwa,"Mpilikane mupalili mjinjilenje mjini mnalume ambaye ajigele mtungi gwa mashi wapinga kukongana na mmanganyanji mukaguranje pa nyumba ambayo pajingile. 11Kisha munugulile Bwana jwa nyumba,"Mwalimu anawaliugalila shipali kwe shumba sha wageni mahali ambapo nalya pasaka na wanafunzi gwangu?"12Nitawalolesha shumba sha ghorofa ambacho kingali tayari mtendanje maandalizi mwanema." 13Ineyo mjenda na kuwakongana kila shindu kama alivyowalugulila kisha niandaa shalya sha pasaka.14Muda hishile atemi na wewala mitume, 15Kisha nikwaruguliula,"Nangali na shauku jajikurungwa ja kulyapasaka na mmanyanganji kabla ja kuteswa kwangune. 16Kwa maana nawaruguliuleni, nikalya kawili mpaka itakapotimizwa katika ufalme gwa Mnungu."17Kisha Yesu mjigara shikombe, na Wamalienje kushukuru, niweketa,"Mtolanke shenenji, na mgawane mmanganyi kwa mmanganyanji. 18Kwa maana nakuwarugulila ngangwa kawili mzao gwa mzabibu, mpaka ufalme gwa Mungu paishile."19Kisha nijigara mkate na pamaliapo kushukuru akaumega na kuwapea niwelekete,"Gweguno ni mwili gwangu ambao ushoshiwe kwaajili jenu mtendanje ineyi kwa kunikumbushila nnne." 20Nijigara shikombe vivyo inepeyo baada ja shalya sha ligulo niweleketa ,"Shikombe sheneshi ni agano jayambi, katika damu jangu ambayo jimagwishe kwaajili jenu.21lakini mnolanje. jwejula anisalitiye yungali pamoo nami mezani. 22Kwa maana mwana jwa Adamu kwa kweli ajende jake kama pamalile kuamuliwa lakini ole kwa mundu jwejula ambaye kupitila jwejula mwana wa Adamu asalitiwe!" 23Nitandwa kuunyana wenewo kwa wenewo gani miongoni mweo, ambaye alitendile lyeneli lijambo.24Kisha nikop[oshela mabishano katikati yao kwamba ni gani apaliji dhaniwe kuwa mkuru kuliko wowe. 25Nikawarugulila,"Wafalme wa vandu wa mataifa wapali ubwana juu jao na wewala wangali na mamlaka juu jao pakushemwa waheshimiwa watawala.26Lakini jikapingwa kabisa ineyo kugwenu mmanganyanji. badala jake mneshe jwejula ambaye ni mkulungwa kati jenu awe kama jwamshoko. na jwejula ambaye ni wa muhimu sana awe kama atumikaye. 27Kwa sababu japi jajikurungwa jwejula atamila mezani au jwejula anatumike je ga jwejula aketie mezani? Na nnne bado ni kati jenu kama atumikaye.28Lakini mmanganyanji ndio ambayo munaendelea kuwa nanne katika majaribu gangu. 29Nakuwapee mmanganyanji ufalme kama ineyi awawa ambele nnne ufalme, 30kwamba mbele kulya na kungwa mezani kwagume ufalme gwangu. na mutamile na itengu vya enzi mkizi hukumu kabla kumi na mbili ja Israeli.31Simoni, Simoni mfahamu kwmaba, shetani ajugine apegwe ili pepete kama ngano. 32Lakini nalujugalile kwamba imani jaho nkaweshindwa. Baada ja kuwa mmujile kawili muwaimarishe anungu nayo."33Petro nalimlugulila,"Bwana nangali tayari kujenda na mwe gerezani na hata kama mauti." 34Yesu nijagura," Nakumrugulila Petro, jogoo shawika lelo,kabla mukanawe mara tatu kwamba unanimanya."35Kisha Yesu nikuwarurugula,"Nilipokuwa pelesha mmanganyanji bila nkuko, shikapu sha shalya, na ilatu je mpumngushile na shindu?" Nijagura "Shakwapi." 36Kisha nikwarugulila,"Lakini inaimolila akwete anguko, na autole pamoo na shikapu sha shalya. Jwejula ambaye jwangali na upanga inakupasa auze joho lyake aulume jumo.37Kwa sababu nawalangile, yowe ambayo gajandishwe kwaajili jangu lazima gatimie. na ajegelwe kama mundu amayeatamile toroti. Kwa sababu sheshivila kilichotabiliwa kwaajili jangu kinatimizwa." 38Kisha niwareketa ,"Bwana mnole!Yeneyi penepa panga mbili. na kuwalugulila"Gatoshile."39Baada ya shalya sha ligulo, Yesu ashoshile, kama ambavyo apaliji akitenda mara kwa mara, nijenda mlimani mwa mzeituni na mwafunzi nikuwakagula. 40Paishile nikuwalugalile,"Nngombache kwamba mnajingile majaribuni."41Nijenda mbali na wenewo kama liguluke kama ligulule na liwe, nikoma magoti nijuga, 42Niweleketa,"Awawa, kama mnapinga mishoye shikombe shino lakini ga kama nipendile nnne lakini mapenzi gako gatendeke."43Kisha malaika kopoka mbinguni, nikushoshela nakumtaga nguvu. 44Paliji katika kutimika, nijuga kwa dhati zaidi, na lijasho lyake lipaliji kama matone makulungwa ga damu galidondoka pahi.45Wakati pajimwishe kopoka katika mambo gake paishile kw awanafunzi na akawakuta, wagonile kwa wanafunzi na akawaukutu wagonile kwa sabaabu ja huzuni jao, 46na kuwawuya,"Kwa indi munagona? mjimuka munjwige, kwamba mnajinjile majaribuni."47Wakati paliji bado walilonjela , inole, kundi lyalikulungwa lya vandu lishoshile na Yuda jumo jwa mitume kumi na wawili akiwaongoza. Nikwia karibu na Yesu ili ambusu, 48lakini Yesu nikamrugulila,"Yuda, je unamsaliti mwana wa Adamu kwa busu?"49Wakati wewala wapaliji karibu na Yesu walolile genego gakapokea niweleketa,"Bwana je tuwakomanja kwa upanga?" 50Kisha jumo jwao nikumkoma mtumishi wa kuhani mkuru, akamkata liikilo lyake lya kuume. 51Yesu niweleketa," jeneji inatosha. Na akagusa hikilo lyake nakumponya.52Yesu niwelekete kwa kuhani mkuru na kwa wakuru wa hekalu na kwa wazee waishile kinyume shake,"Je mnaika kana kwamba mnaila kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga? 53Nipaliji pamoo mmanganyaji lyua yowe na hekalu ,mwangawikamikono jenu kunani jangu. lakini jenaji ni saa jaleo na mamlaka ga giza."54Nikukamula, nikuwalogea kupelesha kumuhi mwe kuhani mkuru. Lakiniu Petro nikukagulia kwa mbali. 55Baada ga kuwa wakolee moto katika gwegula uwanda gw ankati na wamaliapo kutama pai pamoo, Petro nitama katikati jao.56Mtumishi jumo jwadonya nikunola Petro paliji atemi, katika mwanga ukopweshe na moto, nikumnola nakumlugulila ,"Jwenejo mundu pia apaliji pamoo naye." 57Lakini Petro ni kama akiweleketa,"jwandonnga mmnime ngakumanya ." 58Baada ja muda kashoko mundu juna nikulola niwelekete" mmwe pia ni jumo jwao. lakini Petro nijagura,"Mwanarume, nne ngawa."59Baada ya saa jimo inayo, mwanalume jumoo akasitiza mkwelelketa,"Kweli kabisa jweneju mundu pia apaliji pamoo naye, maana ni Maglilaya." 60Lakini Petro niwelekete," mnarume ngakumanya kwelekete" na mara wakati alilonjela, jogoo akawika.61Natundika, Bwana na kumlola Petro. Na Petro akakimbuka lilowe lya Bwana pepala pamlugulile kabla ja jogoo kuwika lelo shinikane mmne mara tatu." 62Nijenda paranga. Petro miguta kwa uchungu kwa uchungu gwamgwinji.63Kisha wewala wanarume wapaliji wakimlinda Yesu wakamdhihaki na kumkoma. 64Baada ja kungunika meyo nikumu ya wakiweleketa,"Ntabiri ni gani akukomile?" 65Nilongela mambo gamagwinji, gama gwinji kinyume cha Yesu na kumkufuru jwejula.66Mara ipaliji lyamba, wazee na vandu walikusanyika pamoo wakuru wa makuhani na wajandika. wakampeleka kwenye baraza, 67niwelekete,"Kama mmwe ni Kristo mlugule lakini jweneju nikulugulila"Kama mikiwalugulila hamtaamini, 68na kama nipinga wuya mukanawe jangula."69Lakini kutonduwa inaino na kujendelea mwana wa Adamu apalijitemi mkono gwa kuume gwa nguvu ja Mnungu." 70Wowe niwelekete," Kwa ineyo mmwe ni mwana wa Mnungu?" na Yesu nikarugulila,"Mmanganyanji mmelekete nnne ndiye." 71Niwelekete," Kwa indi bado tunahitaji kawili ushahidi? Kwa sababu tuwewayene tupilikene kopoka katika shinywa shake wayene."
1Mkutano wowe mjimanga wakapeleshea Yesu mbele ja Pilato. 2Wakatandua kumshukuru, wakiweleketa," Tuemene jwenejomundu alipotosha taifa lyetu kwa kuletuza tumashe kodi kw aKaisari, na niwelekela kwamba jwejula mmayene ni Kristo Mfalme."3Pilato nikumuya, akiweleketa," Je mmweni mfalme wa Wayahudi? Na Yesau mijagura,"Mwe imelelekete ineyo." 4Pilato nikulugalila kuhani mkuru na mikutano," Nikalola likosa kwa mundu jwenejui." 5Lakini wenewo msisitiza wakiweleketa mupaliji mukiwachochea vandu apundishwa katika uyahudi gowe, kuanzia Galilaya na maino apali penepa."6Pilato papilikene aga miwuya leama mundu jweneju niwa Galilaya? 7Patumbwile kuwaapalijipai na utawala wa Herode, nikupepelesha Yesu kwa Herode ambaye naye apaliji Yerusalemu kwa lyua genego.8Herode pamlolile Yesu, alifurahi sana kwa sababu apingile kumlola kwa moga gamgwinji. Apilikane habari jako na alitamani kulola jimo ja miujiza itendwile na jwejula. 9Herode alimhoji Yesu malowe gamagwinji, lakini Yesu jwangajangura shoshowe. 10Makuhani wakuru pamoo na wjandikwa mjimanga kwa ukali wakamshitaki.11Herode pamoo na maaskari gwake, wangimena na kumdhihaki, na kumvika mavazi gambono, kisha niwuja nao Yesu kwa Pilato. 12Herode na Pilato wanga wa marafiki kuanzia siku linelo,( Kabla ya penepo wapaliji maadui).13Pilato nikuwashemanga pamoo makuhani wakuru na watawala na umati gwa vandu, 14Nikawarugulila,"Munipeleshele mundu jweneju kama mundu anayewaongozawandu . Watende mabaya, na mlole, baada ya kuwa mimuhojile mbele jenu, nangalola likosa kwa mundu jwenejo kuhusu mambo gowe ambayo mmanganyanji mnamshitaki jwejula.15Jwaluwapi wala Herode kwa maana ajenaye kukwetu, na Mlole shakuwapi shoshowe akitendile kinachostahili adhabu ja lwiwo. 16Kwa ineyo bai nitamuadhibu na kumleleanga. 17(Inaino, Pil;ato anawajibika kunengela mtamwa jumo kwa makuhani wakati wa chikukuu).18Lakini wowo nikomanga makelle pamoo, niwelekeeta,"Mushoye jweneju, na mumamugulile Baraba!" 19Baraba paliji na mundu ambaye awikwile gerezani kwa sababau ya uasi fulani katika jiji ja kuulaga.20Pilato mrugula kawili, akitamani kenekela Yesu. 21Lakini weenyo nikomanga leelele, kwa kuweleketa,"Msulubishe." 22Nikuwauyanga kwa mara ya tatu," Kwa ndi,jweneyi mundu atendile maovu gani? Nganawepata likosa linalostahili adhabu ja lwiwo shake. Kwa ineyo nipingapo kumalia kumuadhibu mnakusheshela."23lakini wakasisitiza kwa lilowe lya kunani, wapinganga asulubiwe. Na lilowe jao zikamshawishi Pilato. 24Ineyo Pilato niamua lwepea matakwa gao. 25Nikamneshela jwejula wapingilenje ambaye atwivike kwa sababisha ghasia na kuulaga. Lakini washoshile Yesu liwa matelewa gao.26Wapaliji wakuipelesha, wakamwile mundu jumo achemwile Simoni wa Ukirene, akikoposhela katika nchi nikimwisha msalaba ili ajigale, alimlegwa Yesu.27Umati mkulungwa wa vandu , na wakongwe ambao walihuzunika na kumuomboleza kwaajili jake, wapaliji wakimkagua. 28Lakini nikuwajeushila Yesu nikwarugulila,'Mabinti wa Yerusalemu, munagutite nnne, bali mugatanje wayene na kwaajili ja wana wanawenu.29Mnole, moga ganaika ambazo niweleketa,"Wamebarikiwa wabarikiwa wapali tasa na matumbo gangaweleka, na matiti ambayo gakanyonyesha. 30Ndivo wapingapo tachua kuirugulila milima,"Tugwalanje na vilima, 31'mtuhunike.'Mana kama watendite mambo aga ipali mkongo gwa mbii, jikanawe upaliji gwa jumula?"32Wanarume wana, wahalifu wawili, wapeleshwa pamwo naye ili wawailage.33Waishile mahali pachemilapo fuvu la mtwe, ndipo pawamsulubisha pamoo na wewalawahalifu, jumo upande gwa kulia na juuma upande gwa kushoto. 34Yesu awelekete,"Awawa, muwasamehe na kiuwa wakamanyanga watundalo." Nao nikomanga luira lugawa mavazu gake.35Vandu wapaliji wajimile walololanga kweneku watawla wakimdhiaki, lwaweleketa,"Awaokwile wana inaino, ajiokoe mmayene kama jwejula ni Kreisto wa Mnungu mteule."36Askari pia wamdharau, wakaribia jwejula na kupea siki, 37niwelketa"kama mwe ni mfalme wa Wayahudi mjiokoe mmeyene" 38Kupaliji pia na alama kunani jake jijandishwe,"JENEJU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI."39Jumo wa wahalifu jwasulubisha alimtukana naweleketa,"Mwe ga Kristo? njiokoe mmayeen na uwe" 40lakini jwejula juna nijagura akimkemea na kuweleketa,"Je mmwe mukajo mukajogopa Mnungu, nawe kweneko katika hukumu jenejo jenejo? 41Uwe tupali pepano kwa haki kwa maan uwe unaposhela sheshila tunachostahili kw amatendo getu. Lakini mundu jweneju ngatenda shoshowe libaya."42Na ajenjeshee,"Yesu, nikumbuke upingapo kujingila katika ufalme gwako." 43Yesu nikwarugulila," Amini niwarugulila, lelo jeneji upaliji pamoo nami paradiso."44Penepo papliji karibu saa sita, shizoliishe kunani ja nchi yowe hadi saa ya itisa, 45Mwanga gwa lyuwa kuguimike. kisha pazia la hekalu nigawanyika katikati kutundua kunani.46Jinaguta kwa lilowe likuru, Yesu niwelekete," Awawa makono gwako ninawika roho jangu," Baada ya weleketa genego, niwa. 47Wakati Akida palolile galigoendelea alimtukuza Mnungu lwa weleketa,"Hakika mundu apaliji mundu abile na haki."48Wakati umati wa
1Mapema sana lyua lya kwanza ja juma, waishile kaburini , wakipelesha manukato ambayo wapaliji gaandaliwe. 2Waimene liwe liingiliwe mbali na kaburi. 3Njingile mkati, lakini wakaukukengana mwili wa Bwana Yesu.4Jokopeshele kwamba, wakati wamechanganyikiwa kuhusu lyeneli, ghafla, vandu wawili wajimile katikati yao wawete mavazi ga lung'ala. 5Wandoya wapaliji wagumbele hofu na kuimarisha nyuso jao pai , nikwarugulila wandonya lwa indi mnamnolea apali hai miongfoni mwa wafu?6Jwalewapi penepa, ila afufwishe! mkumbukanje awelekete na mmanganyi paliji apali Galilaya, 7Niweleketa kwamba mwana wa Adamu lazima ashoywe pa mikono ja vandu wapali na yambi na sulubishwe, na lyua ja tatu afufuke kawili."8Wewala wakongwe nikumbusha malowe gake, 9na hiujanga kopoka kabrini na kuwalugulila mambo aga gowe wewala kumi na limo na wana wowe. 10Bai maria Magdalena, Joana, Maria mam wa Yakobo, na wakongwe wana pamoo nao nishoa taarifa yeneyi kwa mitume.11Lakini ujumbe gwenegu nilolela kama mzahatu kwa mitume, na na wangalilwamini wewala wakongwe. 12Hata meyo Petro nijinula na kuwutuka, kueelshela kaburini na kungulia na kulola mkati alolile sanda jika pe. Petro kisha jijaula nijenda kumuhi lwingwake, akistaajabu indi ambacho kikoposhele.13Na mnole wawili miongoni wpaliji wanajenda lyua jenejo katika kijiji shimo kichemilwacho Emmau, ambacho kipali maili sitini Yerusalemu. 14Nijadiliana wenewo kuhusu mambo gowe gakoposhele.15Nikopeshela kwamba, wakati wapaliji wakijadiliana kuuyowa maswali Yesu niegelela karibu niambatana nao. 16Lakini meyo gao gazuiliwe katika kutambula jwejula.17Yesu nikwarugulila," Indi ambacho mmanyanyanji wawili munalongela wakati munajenda? Mijima pepala wantolana na huzuni. 18Jumo wao, lina lyake Cleopa, nijagura,"Je mmwe ni mundu pekee penepo Yerusalemu ambaye ukamanya mambo gakopeshele kweneko moga aga?"19Yesu nikumrugulila,"Mambo gani?" Nijangura,"Mambo kuhusu Yesu Yesu Mnazarethi, Ambaye apaliji nabii mumanyi katika matendo na maneno mbele ja Mnungui na vandu wowe. 20Na kwa jinsi wakuru wa makuhani na iongozi gwetu wamshoshile kuhukumiwa shiwo na kumsulubisha.21Lakini tulitumaini kwamba jwejula ndiyo apingaye luwawika huru Israeli. Ndiyo, mbali na aga gowe inaino na lyua ja tatu mambo aga gasholile.22Lakinin pia, baadhi ya wakongwe kopoka katika kundi lyetu walitushangaza, baada ja kupali kaburini lyamba na mapema. 23Walipoukoa mwili gwake, niika, wakweleketa kwamba walolile pia maono ga malaika wawelenje uwamba ngali hai. 24Baadhi ya wanarume ambao wapaliji pamoo nasi wajendile kukaburi, na niimana na kama vile wakongwe wawelekete. Lakini wangalumbola jwejula."25Yesu nikawarugulila,"Mmanganyanji vandu wajinga na mungali na mituma mizeituni ga kuaminigawe ambayo manabii wawelekete! 26Je shaluwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo aga, na kujingila katika utukufu gwake?" 27Kisha hutendua kopoka kwa Musa na manabii wowe, Yesu nikuwatafsiria mabo ganagohusu jweenja katika maandiko gowe.28Wakakaribianje sheshila kijiji, kweneko wapaliji walijenda Yesu mitendeleana kwamba anaendelea mmujo. 29Lakini wamlazimishe, niwelekela,"Mtame pamoo nasi, maana inalelekea ligulo na lyua ni kama jimalile."Ineyo Yesu nijinjila lujenda kutama nao.30Ikopeshele kwamba, wakati atomimi na kulya mkate, na kutama, na nikuwapea. 31Kisha mayo gao gaigulilwe, wakamkamnya, na ko[poka ghafla mmujo mwa meyo gao. 32Niwaleketana wenewo kwa wenewo,"Ineyo mitima jetu jangaleolela mkati geti, wakati palongele nasi mupanda, wakati paigwile maandiko?"33Najinukanga saa jenejo kwa jenejo, na luwuja Yerusalemu. Kuwakongana wewala kumi na jumo wakusanyike pamoo, na wewala wapaliji pamoo nao, 34Nuwelekete,"Bwana amefufuka kwelikweli, na amkoposhele Simoni." 35Ineyo nikwarugulila mambo gakopweshe mupanda, na namna Yesu alivyodhihilishwa kukwao katika kuumega mkate.36Wakati palonjela mambo aga, Yesu mmayene mjima katikati jao na kuwarugulila,"Amani jipali kukwenu." 37Lakini walijogopa na kugumbula na hofu wakafikiwi, kwamba walolile roho.38Yesu nikawarugalila,Kwa ndi munafadhaika? Kwa ndi maswali ganajinuka mmitima mwenu? 39Mnolanje mikono jangu na miguu gangu, kwamba na nne mmayene, ngusanje na mulole. Kwa maana roho jangali nyama na miupa, maana roho jangali nyama na miupa kama munilolanje nne luwa navyo." 40Pamalie kuweleketa inayi, akawaonyesha mikono gake na magulu gake.41Wapaliji bado kupulaika jichanganyiko na kutokuamini na kustaajabu, Yesu nikawarugulila,"Je mkwete shindu shoshowe sha kulya?" 42Nipengwe shipende sha samaki kichomwile. 43Yesu nijigala, na kulya mmujo jao.44Nikarurugulila,"Nipaliji, na mmaganyanji niliwanengulila lwamba yowe yajandikwe kwenye sheria ya Musa na manabii na Zaburi lazima gatimilike."45Kisha niugura akili jao ,uwamba wamanyike kugaelewa majandiko. 46Nikwaarugulila ,"Kwamba ijandishwe, Kristo lazima ateseka na kufufuka kawilikopoka katika wafu lya lya tatu. 47Na tiba na msamaha gwa jambi lazima ihubiriwe kw alisha lyake kwa mataifa gowe, lutandua kopoka Yerusalemu.48Mmmanganyanji ni mashahidi ga mambo aga. 49Mlole, nakwapeleshela ahadi ja Awawa jangu juu jenu. Lakini musubiri panepa jijini, mpaka mupingapouishi wanguvu kopoka kunani.50Kisha Yesu nikuwaongoza paranga mpaka wakaribie Bethania. Nijinula mikono jake lunani na kuwabariki. 51Ikoposhele kwamba, wakati apaliji aliwabariki, nikwaleka na njgalwa kunani kuelekea mbinguni.52Bai kumwabudu, na luwuja Yerusalemu na furaha jikuru. 53Waendelea kubaki hekaluni, wakimbariki Mnungu.
1Pamwazo lishikupagwa lilowe,,na lilowe likaliji pamoja na Mnungu, na lilowe likaliji Mnungu. 2Haju, lilowe,m pamwanzo likaliji pamoja na Mnungu. 3Indu yowe nitendeka kupitiula venevyo, na bila venevo shakuwa shindu wala shimo shgitendeshe.4Nnyumba jake gushikupagwa uzima, na gwene uzima gushikukola na nuru ja vandunji wowenji. 5Nuru jikakung'ara paluvindu, wala luwindi lwangaimya.6Apaliji na mundu ashikushemwa kushoka kwa Mnungu, lina lyake Yohana. 7Ashikwia mbuti shahidi kushuhudia kuhusu jejila nuru, ili kutii wewonji kaamininji kupitila jwenejo. 8Yohana akaliji jejila nuru, bali ashikwia ili ashuhudie kuhusu jejila nuru9Kwa nneyo pujaliji nuru ja kweli jajiaga kudunia kukumtaga kila mundu nuru na kila jumo10Kuvaliji kudunia, na dunia jashikuarangwa kupitila venevo, na dunia jangamanya. 11Bashikwiya kwa indu yawo, na vandu vavo vangaposhelanga.12Bali bevala vavaposhelenje, bashikuamininji lina lyake, nikwapayanga haki jakuti vana va Mnungu, 13bavelekwenje, ngaa kwa minyai wa jijnjilana mchiilu, wala kwajinjilalana nakamundu, bali kuka Mnungu mnyene.14Na lilowe lishikutendeka mchiilu nitama miongoni jetu, tuguweni utukufu gwake,nutukufu gwa mundu jikape guishe kushoka kwa Awawa, vagumbele baraka na kweli. 15Yohana ashikushuhudia kuhusu jwejula, na ashikupaza lisauti niveleketa," Hahju ndio juna baleketa bahari yake niveleketa,"Jwajula akwiya baada jangu jwa mkulungwa kumbita nne, pava ashikupagwa kaburi jangu."16Pava ashikukamilika, uwe tubowe tushikumposhela gwa yoyo nguvu kwa nguvu. 17Kwa kuwa sheria jishikwianajo kupitila kaka Musa. Baraka yambone ishikuwa kupitila Yesu Kristo. 18Jwakwa jojowe amweni Mnungu muda gogowe. Mundu jikape ni Mnungu, valipakifua sha Awawa, vashikwalenda venevo vamanyikene.19Na gweneju ndio ushuhuda gwa Yohana muda gwa makuhani na walawi batumilenjwe na Wayahudi nikwavuya," Ugwe ni gani?" 20Bila kusitasita wala kukana, bali nikwajangula,"Nnne ngaa Kristo." 21Nneyo nikwavuya,"Kwa nneyo mwe agani lelo?" Mwe a Eliya? iGuvalugwile,"Nne ngaa." Niveleketanga ugwe ni nabii? Njiagula,"Walaa."22Kisha nikwabaranjira," Ugwe gani, ili twapanganje majibu batimilenje?" Bani kumshuhudia mwemmayene?" 23Guvalugwile,"Nne lilowe lyake lili kungwiti,"Munyooshange mpanda gwa Bwana,' kama nabii pavaleketwa."24Bai bashikutumwanga kushoka mafarisayo. Ni kwa buya na niveleketa, 25"Kwa indi mnabatiza mbuti mwe ngaa mana Kristo wala Eliya wala nabii?"26Yohana ashikwajangula nivelekete,"Nguna kubatizanga kwa mashi. Mkali nneyo, apinga jima mundu jukamanyanga. 27Hayju apinga kwiabadala jangu. Mne ngastahili kutegelea migoji ja indu yawo." 28Aga mamboga gatendeshe kwene ku Berthania, ng'ambo ya Yordani, mahala pabatizwaga Yohana.29Lyuwa lyakagwile Yohana ashikummona Yesu alikwiya kumgwake nivelekete,"Mnole mwankondoo jwa Mnungu ashitola yambi ya ulimwengu! 30Hava ndio baveleketa mammbo gawo nivelekete,"Venevyo bakwi jangu kuliko nne, puvaliji kabula jangu.' 31Nangamamnaya venevyo, lakini ishikutendeka mnepeyo ili kwamba baunukwile katika Israeli, kwamba njikwa njibatizwa na mashi."32Yohana ashikushuhudia,"Roho njikuona alituluka kushoka kumbingumfano gwwa lihua, na jingala panani jake. 33Nnge nangamanya lakini venevo bashikundwa nibatize na mashi nimalanjila,'Jwejula mtima shimumone alituluka nitama na pamtu jake, veneva ndio babatiza kw amtima Mtakatifu.' 34Njilola na kushuhudia kuti veneva vana vaka Mnungu."35Tena lyuwa lyakagwile Yohana ashikujima pamo na banafunzi vyakebavilinji, 36vaashikummonga Yesu alioa na naka Yohana nivelekete,"Mundanje, mwana jwa ngondolo jwa Mnungu!"37Wanafunzi vavilinji bashikumpilikananga Yohana alibeleketa agano na kumkagula Yesu. 38Tena Yesu ashikugeuka na kwa wonanga wanafunzi walikumkagulanga, na kwa valanjilanga, kupingana indi?" Guvajangwilenje, Rabi,( a mwalimu,' kukatama kwei?" 39Guvavalanjilenje,"Nnjianje na kumnolanje,"Kisha ni kwenda maala puavatamaga; nitamanajo pamo kwa lyene lyuva lyo, pawa puvaliji kwa muda gwa saa kwenu nneyi.,40Jumo kati ja vavili bashikumpilikananga Yohana alibereketa na kumkagula Yesu paliji na Andrea, na mpwake Simoni Petro. 41Nikummoja mpwake Simoni na valanjila tupatile Masihi( Jitafariwe na Kristo). 42Nkwajianajo kwa Yesu. Yesu ashikwalola niveleketa,"Mwe ni Simoni mwana juka Yohana" (shushemwe 'Petro').43Lyu livapinjile jeula a Yesu kwende ku galilaya, vashikumpata Filipo nukummalanjila,"Ngagule indi." 44Filipo ashikuwa mwenyeji jwa Berthaida, kumwi kuka Andrea na Petro. 45Filipo ashikumpata Nathanaeli nikumamlanjila,"Tumpatile jwejula ambae Musa ajandishe habari yaka katika sheria na manabii. Yesu mwana juka Yusufu , kushoka ku Nazarethi.46Nathanaeli akamwambia ,"Shindu sha mbone shinaweza koposhera ku Nazareti ? Filipo guvavaranjie nnjie na kumnole." 47Yesu gwa mmweni nathanaeli akikwia ngumgwake niveleketa,"Mnole ,Mwisraeli jwa kweli kweli na angali unami mnyumba jake!" 48Nathanaeli ashikwavalanjila,"Pumnanyinne buri?" Yesu gwajangwile nikwavalanjila,"Kabla Filipo akanawe kumchema pai gw amkongo, njikummona."49Nathanaeli gwajangwile,"Rabi ugwe mwana jwa Mnungu! Ugwe ni mfalme jwa Israeli!" 50Yesu gwajangwile nukummalanjila,pava 'nikummona pai gwa mkongo' Buli mniamini? shimwione indu ya ikulungwa kuliko haino." 51Yesu nivelekete,"Mng'amingi mng'amingi nguna kumalanjilanga shimwionanje mbingu iliguka, na kwiona malaika barikwelanga na tunika na pamoni jw amawana wa Adamu."
1Baada ya ga mova ga tatu, jishikupwaga ndoa kweneko kukana ja Galilaya na amama yake Yesu kupaliji kweneko. 2Yesu na vanafunzi vake bashikushemwanga jene ndoajo.3Baada ja malilwa divai, amama yake Yesu guwawalanjilenje," Vangali divai." 4Yesu gwajangwile,"Jwandonga jo nne akang'usu? Muda gwangu nne gukana wetimilila." 5Mama yake guvalanjilenje vatumishi, Shoshowe shimpingwa lugulilwanga mtendaji."6Bai jishikupagwa mitungi sita ja maganga ja vishilwe kwajili ja nava muda gw asikukuu jashi wayahudi, kial jumo gushikukola ujazo gwa nzio iwili itatu. 7Yesu gwavavalanjilenje," Mgumbambayanje mashi mitungi ja maganga." nigumbayanga mpaka panani. 8Ni kwa valanjilanga vatumishi,"Mtolanje kiasi mpelekanje kukamuhudumu mkuu jwa meza. Guvatendilenje mbuti puvavalanjilwenje.9Mhudumu mkuu ashikupaya mashi gala gabadilishe niva divai, ila vangakumanya kugakopweshwe ila wahudumu vakumanyinji kugakopweshe) Ni kwa shema vayene ndoa 10nikwabalanjila," Kila jumo atunduwe kuwahudumianga divai ja mbone na wakolelwangaga ni kwapangangaa jambone. Lakini mmwe mchi kujiwika divai ukoto mpaka mneino"11Muujiza huu wa kana ya Galilaya, gwaliji ndio mwanzo gwa miujiza jaitendile Yesu, niinukula utukufu gwake, kwa nneyo wanafunzi wake, bashikumngamininji.12Baada ya nnei, Yesu, mama yake, ndugu wake na wanafunzi wake bashikwendangana kwa mji gwa Kapernaumu ni tama mova gashiki.13Bai na pasaka ja Wayahudi pujaliji tome, kwa nneye Yesu gwapite Yerusalemu. 14Ni kwa imananga wauzaji wa ng'ombe, ngondole nangunda mnyumba ja hekalu. Na bavadilishanga ela bashikutamanga mnyumba ja hekalu.15Yesu ashikualaya shiboko, nikwishoya yowe kwa hekalu yani ,ng'ombe na ngandolo. Nijaa ela yabadilishwaga na kujinula meza yowe. 16Wauzangaya ngunda nikwavalanjilanga," Mchoya nje indu ino mbali na pepano, pa nne kanje kujilenda nyumba ja Awawa yangu kwa mahali paushia inchi."17Wanafunzi wake nikumbushalanga kutii ishijikujandikwa,"Wivu gwa nyumba jenu utanila." 18Wakuu wa Kiyahudi guwajangwilenje , nikwabalanjila, ni ishara jashi jimpinga kujilanguya kwa kugatenda mambo ga?" 19Yesu gwavalengulenje, mbomole hekalu ji na nne shinjenje baada ja moga ga tatu pe."20Kisha wakuu wa Wayahudi wakasema,"Lishi kughalimu yaka arobaini na sita kushenga hekalu jino na mmwe mnivelakta shini lishenje mova gatatu pe?" 21Pava venevo yashikuveleketa hekalu bashikumanisha shiilu shawo. 22Kwa nneyo baadae baada ja yuka kwa wailenje, wanafunzi vake nikumbushilanga kuti bashikuweleketa nneyo, nia mini majandiko na kuveleketa, kwa veleketa Yesu.23Bai paliji ku Yerusalemu muda gwa pasaka muda gwa sikukuu vandunji vawanjinji washikuamininji lina lyake, baada jajola miujiza jajitendile. 24Lakini Yesu akakweteje imani na venevonji kwa sababu wanadamu wowe ashukwa manyanja. 25Hanangapinga kumalanjila mundu jojowe puvalinginji vandunji kwa sababu ashimanyi shaliji mnyumba yao.
1Bai ashikupangwa Farisayo ambae lina lyake Nikodemu, jumo jwa Wajumbe wa baraza lya Wayahudi. 2Aju mundu ashikujendela Bwana Yesu nikwavalanjila,"Rabi tunikummanya kati mwalimu kushoka kwa Mnungu, kwa maana jwakwa mundu anaweza tenda indu yowe mwanaga jwakwa Mnungu pamoja nae."3Yesu gwajangwile,"Amini, amini mundu mngako mbola jinjilla kwa ufalme gwa Mnungu mwanga akavelekwa gwa vili." 4Nikodemu gwalugwile,"Mundu buli shavelekwe tena aliakopele?"Mngakombole jinjila mnipitiu lya mama yao mara ja vili nivelekwa,je hanaweza?"5Yesu gwajangwile,"Amini, mng'ami mundu hakavelekwa kwwa mashi namtima, mngajinjila kwa ufalme gwa Mnungu. 6Shivelekwa kwa shilu ni shiilu, nashivelekwa kwa mtiima ni mtima.7Mnashangae pawa namlanjile,'ni lazima kuweka mara ja pili.' 8Mmbepo kuvuma popowe pijipinga na lisauti lyake kulipilikana, ila mngakumanya kukukopeshela wala kugukwenda. Na ndio hali jipali kila avelekwa na mtima.9Nikodemu gwajangwile, kwa velekete,"Aga mambo ga gakawezekane?" 10Yesu gwajangwile, kwa veleketa,"Aga mambo ga gakawezekana?" 11Amini, amini nakumlanjila, sheshila tukushimanya tunashikushuhudia kwa sheshils tushiweni lakini mkaposhelanga ushahidi gwetu.12Pana nimmlanjilenje aga mamboga pa dunia na mkaamininji shing'amininji buli nimmalanjilangaga mambo ga kuwa mbingu? 13Maana jwakwa akwelile kunani kushoka kumbingu bali jwenejo latalwishe, mwana jwa Adamu.14Mbuti mneila Musa palijimwile lijoka, kulijangwa, mnepeile mwana juka Adamu lazima ajinuliwe, 15ili kwamba wowenji shivaamininji bapatanje uzima gwa yaka.16Kwa maana jejino Mnungu ashikupuinga ulimwengu, nikkumshoya mwana jwapikape, ili kwmaba mundu akupingakumngamini anaangamie ila awe na uzima wa yakanayaka. 17Kwa sababu Mnungu angamtuma mwanawe pa dunia kwaukumu ulimwengu, bali ulimwengu kugaokolowe kati jake. 18Waapinga kwa amini venevyo vakaukumiwa venevo vangaamini tayari vaukumiwe kw asababu vangaluiamini lina jikape lika mwana juka Mnungu.19Jejino ndio sababu ja ukumiwa na kwamba nuru jiishe pa ulimwengu, lakini vandunji nnipinganga luwindu zaidi ja nuru kwa sababu matendo hgawonji mngagambone. 20Kila mundu atenda yangalimana anakijitumbulila nuru wala lakakwiya mnufu kwa sababu matendo gake gunawikwa wazi. 21Lakini, jwenejo atenda kweli alikwia ku nuru na matendo gake gaoneke kuti gatendwilwe kwa utiifu gwa Mnungu.22Baada ja gegala, Yesu na wnafunzi wake bashikwendanganana katika nchi ja Yudea. Kweneko nitumia muda gwa pamo alibatizwa. 23Lelo naka Yohana atendaga batiza kweneko ku Ainea tome na ku salimu kwa maana gashikupagwa mashi gamajinji pepala vandu vatenda gawangana kwawo na kubatizwa, 24na pava Yohana angatagwa mmagereza.25Alafu nipagwa mabishano kati ja wanafunzi wake Yohana na myahudi kwa kuru sikukuu ja utakaso. 26Ni kwenda kuka Yohana nikumalanji ila,"Rabi, mmwe pumwaliji pang'ambo kwa mto Yordani, ba mmwe mwashahudie habari yake mnole, anabatiza na wowe wanakwenda wanakumkagulanga."27Yohana awajangwile mundu mngaposhela shindu shoshowe ila shikoposhele na apegwile kushoka kumbingu. 28Mmanganya mmayene mnishuhudianga na njikavelekete kuti,'nnengaa Kristo,'badala jake nji kubeleketa, njitumwa pamujo jake.'29Venevyo wali na abibi harusi na bwana harusi. Lelo rafiki wa bwana harusi, vajimi nipilikana na kufurahia kwa sababu ja lisauti lya bwana harusi aji lelo furaha jangu jitimilile. 30Wanapaswa kujenjesheka na nne napaswa kupunguka.31Venevo vakopoka kumtundu, valipaniwa ya yowe. Venevo bali pa ulimwengu na kushoka pa ulimwengu bai vanaveleketa mambo ga ulimwengu 32venevo vakopoka kumbingu puvali pamtundu ya yowe. Venevo bashishuhudia gegala guvagaweno na kugapilikana, lakini jwakwapi aposhele ushuhuda gwake. 33Venevo vaposhele ushuhuda gwake vaakikishe kuti Mnungu jwa Kweli.34Kwa sababu vevevo bashitumwa na Mnungu bai kuwelekete malowe hga Mnungu. Pava vakwakwapa mtima kwa shipimo. 35Baba humpenda mwana na vashikwapa indu yowe mmikono mwake. 36Vevevo vakwaaminia mwana na vakwete uzima kwa yaka na yaka, lakini kwa venevo vakakwaeshimu mwana wakauona ukoto, bali gazabu ja mnungu kkulamulana panani jawo.
1Basi Yesu pamumanyi kuti mafarisayo bashipilikananga kuwa Yesu ashikulola vakwabatizanga zaidi jika Yohana, 2(Yesu mnyene hakabatizwa ila vanafunzi vyake), 3ashikushoka ku yudea nikwenda Galilaya.4Kwa mneyo ishikuwa muhimu kupitila samaria. 5Na njika katika mji gwa msamaria, gwashemwaga sikari. Tome na lieneo ambalo Yakobo ashikumpa mwan gwe Yusufu.6Na liiko lika Yakobo pulyaliji pepala. Yesu ashikutotshela kwaajili ja safari bai nitama tome na liko pwiyaliji mui. 7Jwandonga masamaria gwaishe kuteka mashi, na Yesu nikwavalanjile," Mmbe mashimbapile." 8Kwa sababu wanafunzi vyake bashikwendengana kumjini kuuma shalya.9Vevala vandonga nikummalanjila,"Pwilipa buli mmwe mmayahudi, kunyuga mnnejwandonga Msamaria, shindu sha papila? Kwa sababu Wayahudi vakashangamananga na Wasamaria. 10Yesu gwajangwile,"Kama mkamumanyi umuhimu gwa Mnungu, na jwejula akamalanjila, mme mashi,' Mkajujile na vakampee mashi ga uzima."11Jwandonga gwajangwile," Mmwe mwangali lidoo lyateshela,a na liko lyali leu. Shingapate ku mashi ga uzima? 12Je mmwe mmakulungwa, kulikop Awawa Yetu a yakobo, amabe vatupele ashi shishemushi, na venevo vayene vanavavo na mifugo jawa nipali mashii ali liiko li?"13Yesu gwajangwile," Jojoe apingapila aga mashiga akupinga pati mnjota tena, 14lakini jwenejo apingapapila mashi ga kumpa nne kakapta mnjota tena. badala jake, mashi gungakumpa mnejipinga wa chemchem jibubujika yaka na yaka."15Vevala bandonga ni kwavalanjila,"Bwana, nguna juka gene mashigo ili mnapange mnjota, na mnalaje kwiya apano kuteka mashi." 16Yesu nikulugulilya mnjende," Mkasheme ambajevene, alafu mmuje."17Jwandonga nikwavalanila,"Nangali jwashi leu." Yesu akajibu," Mmeleketa ukoto,'mmangali jwanume;' 18Kwa maana mchikola valume tano, na jumo jumkwete nneino ngaa, mnume jwenu. Kwa lyelino mchiveleketa ukoto!"19Jwandonga nikwabalanjila,"A bwana nakummona mmwe anabii. 20Asha wawa yetu bashikuabudunji apano pashitumbi pano. lakini mmanganya nilugulanga kutii ku Yerusalemu ndio sehemu jipingwa kuabadiwa."21Yesu gwajangwile,"Mmandonga, mngaamini, muda gwa kwia penepo mkahabudunji, awawa pashitumbi pano au Yerusalemu. 22Mmanganya vandu mchiabudunji sheshila shinkakushimanyanga, lakini uwe tuna kushiabudui shutu shutukushumanaya , kwa sababu kuokolewa kushishoka kwa Wayahudi."23Mkali nneyo, muda gumwajiaga, na lelo puniapano, wakati baabudunji kweli shivaabudunji Awawa kwa mtima na kweli, kwa sababu Awawa vanakwaloleyanga vandu va nneyo kuva vandu vavo vakwaabudu. 24Mnungu ni mtima, na vevala bashikwaabudunji waabudunji kwa mtima na kweli."25Jwandonga nikwalugulila," Numumanya kutii masihi anakwia,( ashemwa Kristo). Veneyo puvapinga kwia shivatu valanjile yawe." 26Yesu gwavavalanjile,"Mne mkubeeleketa na nne ndi nne."27Gwene mudago wanafunzi wake guvavajilenje. na bashikudhangaanga kwa indi banaveleketa na kwa ndonya, lakini jwajwa athubutu kuvavuya, "Shimkupinga shindi? Au "kwa Indi mnaveleketa najo.?"28Kwa nneyo jwandonga nileka lulo lwake ni kwenda kumjini ni kwa valanjilanga vandunji, 29"Mnjiangananje kummonanje mundu amalanjie mambo gangu gowe gunitendile, je inawezekana kuwa jweneju ni Kristo?" 30Guvashoshilenej kumjini nikwia kumgwake.31Muda gwa mui wanafunzi wake naikumsihi niveleketanga,"Rabi lya shalya." 32Lakini jwenejo ashikwavalanjilanga,"Mne ngweteshalya shimkukishimanyanga mmanyanga." 33Wanafunzi guvavalanjilenenje jwa kwa avapeleshele shalya shoshowe kulya," Buli vajienajonji?"34Yesu gwavavalanjilenje,"Shalya shangu ni kutenda mapenzi na venevo bandumile na kutimilya liengo lyawo. 35Buli, mveleketanga,' Bado miezi mitano na mauno shigawe tayari?' Nakummalanjiilanga mnola nje migunda jiili tayari kwa unwa! 36Venevo vauna koposhera mishahara matunda kwaajili ja uzima gwa yaka na yaka, ili kuti vene vapandile na vauna wafurahinji pamo.37Kwa ava agu mmeleketo agu gw akweli, jumo ashipanda na juna ashikuwa.' 38Njikwatumanga kwa shimwanga, angashilanga, vananji vashitendanga liengo na mmanganya mjinjila nje katika furaha ja liuengo lwawonji."39Wasamalia vavjinji katika mji gula bashi ku mngwaninji kwa sababu ja taarifa jika jweju jwandonga ashuhudiaga, "Amalanjile mambo gowe gunitendile." 40Nneyo wasamaria pawajiengenenje bashi kumsihinji atame na ashikutama kwa mova gavii.41Na vavajinji bashikumng'amininji kwa sababu ja lineno lyake. 42Nikwabalanjila veva la vandinya,"Tunaamininga kw amalowe genu, kwa sababu we tu vayene tupilikaene, na nneino tumumanyi kuti jwenejo ni mwokozi jwa ulimwengu."43Baada ya gene mowa gavili, gwajawile ni kwenda ku Galilaya. 44Kwa sababu venevo vyayene vashikutangaza kutii nabii hangali heshima kumchi jake mnyene. 45Pavaishe kushoka Galilaya, Wagalilaya bashikumkalibishanga. Bashikugaoananga mambo gowe gatendile Yerusalemu ku sikukuu, kwa sababu na venevonji bashi kwiyangana kusikuu.46Ashikwia tena ku kana ya Galilaya kweneko ashikubadilisha mashi niva divai. Bashikupagwa a ofisa ambae mwana jwawa atendaga lwala kweneko ku Kaperanaumu. 47Pavapilikane kati Yesu ashishoka ku Judea nikwenda ku Galilaya, ashikwenda kuka Yesu na kumsihi atelemshe anamye mwana jwake, ambaye aliji tome na kuwa.48Ndipo Yesu guwammalanjile," Mmanganya mkaonanje ishara ja maajabu mkaanininji. 49Kiongozi gwaveleketa,"Bwana mturushe pai kabla mwanagu hakanawe kuwa." 50Yesu gwavalanjile,"Mjenda mwana jwenu jwa mkoto." Jwejula gwa amini maneno gavelekete Yesu gwajawile.51Patulukaga , watumishi wake bashikumposhelanga mwana jwake jwa mkoto. 52NNeyo nikwavuyanga ni muda gwashi gwapitile nafuu,"Liyo muda gwa saa saba homa jishi kweleka."53Ndio awawa yake guvamumanyi kuti ni muda gule pegula Yesu gwatashie," mwana jwenu jwa mkoto." Venevo na familia jawo guvaamini. 54Haji pujaliji ni ishara ja vili jajitendile Yesu kushoka ku Yudea kwenda kugalilaya.
1Baada janpenepo jishikupangwa sikukuu ja Wayahudi, na Yesu ashikukwela kwenda Yerusalemu. 2NA kwekula pashikukolana birika kumnango gwa ngondolo, lyashemwaga kw alugha ja Kiebrania Berthazatha, na lishikukola matao mngao. 3Idadi jukulungwa ja valelelwenji japali, vipofu, viwete, au wapoonzanje bashikugonanga katika matao gala.( Zingatie: malowage mstari gwa 3 gakaonekana katika nyalaka ya mbone ya bukala." N alindika mashi gatibuliwe) Kwa hakika muda guna malaika ashikutelemka kwa Bwana nikugatimulanya mashi. 4Kwa nneyo, jwejula aliji jwa kwanza kujinjila mnyumba nabaada ja mashi kutibuliwa ashikutendwa jwa mkoto kushoka na shoshowe shanmkamwile gwene muda guala.5Na mundu juma alivalile kwa muda gw ayaka thelathini na nane aliji mnyuma ja matao. 6Yesu baada ja kummona agovile mnyumba ja matao na baada ja kumumanya kuti ashikugona kwa muda gwa mneu Yesu nikumalanjila,"Mnapinga kwa mmakoto?"7Velwele njijangula,"Bwana ngalimundu, jwa mika kubirika wakati mashi galitibulilanywa. Mudagunalingaga kujingila mundu juna alinongolela." Yesu gwamamlanjile," juna alinongolela." 8Yesu gwamamalaniile,"Jinuka na utole ligodoro lyako ujaele."9Mara gwalamiwe, gwatolile shinanda shake gwajawile na line lyuva lya pulyaliji lyuva lya sabato.10Hivyo wayahudi nikummalanjila ajula, mundu alamiwe jula,"Lelo ni lyuva lya sabato, na mkaruhusiwa kujigala ligodoro lyenu." 11Gwajangwile , venevo vanamie ndiuo bamalanjile,"Ndole ligodoro lyangu na nyaule."12Guvashienje,"Ni gani amamalanjile ,Mtole ligodoro lyenu na mjaule?"' 13Ingawa, jwejula amnamie banagammanya pava Yesu ashikushoka kwa Siri. Pava bashikugumkalanga vandunji pepala.14Baada ja penepo Yesu ashikumngimana ajula mundu jula kwa hekalu nikumwalanjira,"Lola, ulamile!" Unatende tena shambi unapatwa mambo gangalimana kaje." 15Jwejula mundu gwapite kukawapanganga taarifa wayahudi kutii Yesu ndio avalamie.16Kwa sababu, ga gene mambogo wayahudi washikumteenga Yesu, kw asababu ashikutenda aga mamboga lyuva la sabato. 17Yesu gwavavalanjilenje," Awawa yangu banatenda liengo na mkali mne ngunatenda liongo." 18Kwa sababu jenejo wayahudi vana kunole,myanga uli bammalaganje na ngaa kwa sababu ja tenmani sbato, bali ga kwashema a Mnungu Awawa yawo, nikwilenda kuti sawa a Mnungu.19Yesu gwavavajangilenje,"Mnangamininji, mngamininji mwana kawesa tenda shiindu shoshoe ila sheshils shashiwene kwa Awawa yake valitenda, kwava shoshowe shivakushitenda Awawa na mwana akukushitenda. 20Kwa kuwa Awawa wanakumpinga ,mwana, vanakumnangua kila shindu shivakushitenda na kumnanguya mambo gamakulalungwa kuliko agano mzidi shangaanga."21Pava mbuti Awawa mneila puvakwafufuanga wawilenje na kuwapanganga uzima, mnepaile mwana alikumpa jojowe akumpinga. 22Kwava Awawa vakavahukumu vovowa, bali ampele mwana ukumu jowe 23ili kwmaba vowenji wangeshimunji mwana mbuti mwana pakwaheshimu Awawa. Venevo vangatuheshimu mwana avaheshimu Awawa vavmtumile.24Amini, amini, venevo vipilikana lilowe lyangu na kumngamini jwejula andumile akwete uzima gw ayaka na yaka na hakaukumiwa. Badala jake, ashikupita kushoka mautini na kujinjila kuuzimani.25Amini, amini venevo vipilikane nakumalanjilanga muda gumvaji angabaga na mneino mpali vandu shiwapilikanane lisauti lika mwana jwa Mnungu,na wowenjivapilikananana shivalamanje.26Pawa Awawa bashikukola bashikukola uzima gwao mnyumba jake, 27mnepeo ashikupegwa mwana kuwa na uzima mnyumba jake, na Awawa mikumpa mwana mamlaka ga uhumu pawa mnwa jwa Adamu.28Mnalishangazwe halimno,mpawa kushipagwa muda ambao wawilenje wowe vakupinga pilikana lilowe lyake. 29Na shivashokanje pilanga: kwa batendilenge gangalimana kw aufufuo gwa hukumu.30Ngakombola kutenda shindu shoshowe kushoka kwangu namwene. Mbuti p[angupilikana, Ndio punguukuku na hukumu jangu ni ja kweli pavangalilewa kupuingwa kwangu, bali kwa mapenzi gawo bandumile. 31Mwanaga ngaishuhudie ne mwene, ushuhuda gwangu gukaliji mgaa gwambone. 32Hapali juna ashuhudia kwaajajili jangu na nakunumanaya ushuhuda gwake gwa njuudia gwa Kweli.33Mjitumila kuka Yohana na ajishuhudie kweli. 34Mkali neyo, ushuhuda gunguguposhela ngaa kushoshile kwa wandunji. Ngunaveleketa agano ngunapinga mng'oko welwanje. 35Yohana paliji taa jakolega na kung'aa, na pumwalinginji tayari kufurahia kwa muda gw abukara nuru jake.36Ushuhuda gungwete awa mkulungw akuliko gwegula guka Yohana,mkw aliengo livambele Awawakulikamilisha , gene maengo ngugatendayo ganashuhudia kutii Awawa vashinduma. 37Awawa vandumile bashikushuhudia kuhusu nne, Nkanevepilikananga lilowe lyawo wala liumbo lyawo muda gowe. 38Lyakuwa lilowe lyake lyatemi mnyumba jenunji pava m,wangamngamininji jwejula atumilwe.39Mlendaga kugachunguzanga maandiko mniganishianga kati mnyumba jiko kushipwaga kulama kwa yaka na yaka, na gene maandiko ganashuhudia habari jangu 40na mkapinganga kwia kwangu mpatanje kutama kwa yaka na yaka.41Ngapoposhela sifa kushoka kw awandunji,, 42lakini mnakumumanya mwangalinginji naupendo gwa Mnungu kati jenunji mmanganya mmayene.43Njikwia kw alina lya Awawa yangu, mwangakombolanga komboshela. kam juna akaishe na lina lyake mkaposhelenje. 44Je pumkumwanyanga buli kuposhela sifa kushoka kwa kila jumo jwenunji wala ngalolaya sifa jikapoka kwaMnungu vajikape?45Mnaumanyanje kuti nne shinimshitakinji kwa Awawa. Akupinga kumshitakingi mmangamanya ni Musa, ambae mmangamanya mchivakanga matumaini genunji kwawo. 46Kam nkangangamininji Musa , mkangamininji na nne kwa sababu ashikujandika kuhusu habari zangu. 47Kama hamuamininji maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu.?
1Baada ga agano mambo gano, Yesu alikwenda upande gw abahari ja Galilaya, pana ushemwa bahari ja Tibberia. 2Mkutano gwamkulungwa gutenda kumkagula, kwa sbabau bashikuonanga ishara jajitendekele jwa walwenji. 3Yesu alikukwela kunani mpaka upande gwa kunani gw ashitumbi na nitama na wanfuzni wake4(Na pasaka , sikuu ja wayahudi pujaliji tome). 5Yesu gwajamwile meyo gake kunani nikuguona umati gwa mkulungwa gulikwia kungwake, gwa mmalanjile Filipo," Shitujende kwei kuuma mikate ili avanji kuvalyanganje"? 6(Lakini Yesu ashikuveleketa agano kuka Filipo kwa kumninga pava mnyene alimanya shakushitenda).7Flipo gwajangwile,"Mkali mikate ja thamani ja chinai miambili jinakatoshe mkali wala jumo kupata shipane sashishoko." 8Andrea, jumo jwa wanfuzni vake mpwake Simoni Petro gwammalanjile 9Yesu,"Apali mvulana apano ashikola mikate mngano na yamaki ivili, lakini yenei shifae indi kwa vandunji vavanjinji nneila?"10Yesu gwavavalanjilenje," Mwatamianje vandu pai"( gashikupagawa manyai gamanjinji pepala). Kwa nneyo valume mbuti elfu tano guvatemingeneneje pai. 11Baada japenepo Yesu gwatetemwishe na mkate tano nikwagawilanga vevala vatemingenenje vala. Nne peyo nikwaga wanyanga yamaki kwa kadri ivaipinjilenje. 12Vandu baada ya vikuta, ashikwabalanjilanga wanfuzni vyake,"Mkusanyanje ipande ya mabaki, iigele ili shino ove shoshowe.13Bai nikusanyanga nigumbaya ikapu kumi nambili, vipande ya mikate ya shayiri- ipande yaleshilwe na vevala valilenje. 14Alafu vandu puwaveeninji aji ishara jajitenda vashuikuvaleketanga," Kweli aju ndio nabii ajiile kuulimwengu." 15Yesu baada ja kuuanya kuti vapinga kumkamulanga vamtendanje awe mfalme wajwenji, ashikwetenganya, tena nakwenda kushitumbijikape.16Puishile ligulo wanafunzi vake nitulukanga nikwenda kulivele. 17Nkwelanga mumtumbwi nijombokanga kwenda Kapernaumu.(luvindu kushijinjila na Yesu akaisheje kwawonji). 18Gqwene mudago mbungo jitendaga vuma, na bahari nuitendangendelea kunyata.19Tena wanafunzi vake bashikukomanga makasia kama ishirini na tano au thelathini, nikummonanga Yesu alioa pamtumbu ja bahari alikuegejela mtumbwi, nijogopanga. 20Lakini gwavavalanjilenje," Nne! mnayogopanje." 21Na puvalingingi tayari kumjamula mumtumbwi, na mara mtumbwi gugishe mahara puvajendange anaga.22Lyuva likagwile, mktano gwamji upande gwa mbahari bashikuonanga gwakwa mtumbwi guna isipokuwa gwegula ambao Yesu na wanafunzi vake vangaukwelanga lakii wanafunzi vashikwenda vaenenji. 23(Na jishikupagwa baadhi ja mitumbwi jikopweshe Tibera tome na mahali puvalilenje mikate baada ja Awawa kushoya shukrani).24Wakti gwa makutano washi kunumuyanga kutin gaa Yesu wala wanafuzni wake kuvalinginji kwekula, bayenenji bashikukwelanga mumtumbwi nikwenda Kapernaumu kumnolea Yesu. 25Baada ja kumpata upande guna kwa liveleguwamushionje,"Rabbi pugwawishe shakani akuno?"26Yesu gwajajangwilenje, nikwabalanjilanga, Amini, amini, mnaloleyanga nne, ngaa kwa sababu mchikwionanga ishara, bali kwa sabbau mchikulyanganga mikate nijikuta. 27Mnekanje kushitendela liengo shalya shipingaalibika, bali mchilendelanje liengo shalya jwa Adamu shampanganje, pava a Mnungu Awawa bavishile muhuri panani jake."28Alafu guvamalanjilenje,"Indi ipingwa twitende ili kutenda maengo ga Mnungu?" 29Yesu gwajangwile, alino ndio liengo lya Mnungu: Kwamba mungamininji jwenejo atumwile."30Bai nkumalanjilanga,"Ni ishara yei impinga kwitenda, itupinga kwiona nuikungamini? Mshitende indi? 31Asha Awawa yeto valilenje manna kulijangwa, kama pwijandikwe," Ashikwapanganga mikate kushoka kumbinguni ila balyanganje."32bai Yesu gwawajangilenje,"Amini, amini, ngaa Musa avepetenje mkate kushoka kumbinguni, bali Awwa yangu ndio vampelenje mikate ja kweli kushoka kumbinguni. 33Kwa pava mkate jwa Mnungu ni gwegula gushoka kumbingu ni kumpa kulama ulimwengu. 34Bai nikwavalanjile,"Bwana mtupe agu mkate muda gogowe."35Yesu gwavavlanjilenje,"Mne ndio mkate gwa ukoto, jojowe apinga kwia kwangu hakapata shivanga na akupinga kungamini akahisi mnjota wal kashiki." 36Mkali nammalanjilenje kuti, mmwenjininji, na wala mkang'amininji. 37Wowe ambao Awwa vanamba shivajiange kwangu na jojowe apinga kwia kumgwangu ngamjaa pilanga kabisa.38Pava njituluka kushoka kumbinguni, nangaa kwaaajili ja tenda mapenzi gangu, bali mapenzi gawo vyandumile. 39Na genego ndio mapenzi gawo vandumile, kwamba anaova wala jumo kw avevala bhnapegwile, bali shinafufuanje lyuva lya mwisho. 40Pava aga ndio mapenzi ga Awawa yango, kwamba wowowe vakuvalola na kwaamini bapale kulama kwa yaka na yaka; na nne shinafufue lya lya misho.41Kisha vayahudi bashikummbalilanga kumhusu jwenejo kwa sababu ashikulugula," Mne ni mkate gule lwishe kushoka kumbinguni." 42Guvavaleketenje," Aju ngaa Yesu mwana ju ka Tusuphu, amabye Awawa yake na amama yake tunakwamanya? buli lelo vanalugula,'njiluluka kushoka kumbinguni'?"43Yesu gwajangwile , gwavavalanjilenje,"Mnakatimbali lananje mmayenenji. 44Jwakwa mundu akwia kw anguno angautwa na awawa yangu bandumile; nanne shinimfufue lyuva lya mwisho. 45Pavaishikujandikwa kwa manabii, shivafundishwanje na Mnungu; kila apilikene na kuifandisha kushoka kwa Awawa, nikwia kwangu.46Mngaa kuti apali mundu avaweni awawa, isipokuwa jwenejo ashokwa kwa Mnungu- ashikwaona Awawa. 47Amini, amini jwenejo aamini akwete uzima gwa yaka na yaka.48Mne ni mkate gw auzima. 49Ashawawa yenu bashikulyanganga manna jangwani, ni wanganga.50Aguno ndio mkate gutuluka, kushoka kumbinguni , ili kwamba mundu alye sehemu jake ili nawe. 51Mne ni mkate gutama gutulwishe kushoko ku mbinguni. kama mundu jojowe alyaga sehemu ja mkate guno, shalame, yakana haki. Mkate gungupinga shoya ni shiulu shangu kwaajili ja uzima gwa ulimwengu."52Wayahudi guvatembelenje bayenenji kw abeyenenji na guvatandwivenje kubishana valiveketanga,"Aju mundu jushakombole buli kutupa shiilu shake tushilye?" 53Yesu gwavavalanjilenje,"Amini, amini, mkalyanganje shiilu shika mwana jwa Adamu,na kunywa minyai jake, mkakolomnga na uzima mnyumba jenunji.54Jojowe apingalya shiilu shangu na kupapile minyai jangushakole uzima gw ayaka na yaka, na mme shinimfufue lyuva lya mwisho. 55Pava shiilu shangu shalya sha kweli, na minyai jangu shindu shapapila sha kweli. 56Jwenejo apinga lya shiile shangu na kupapila minyai jangu apingatama mnyumba jangu, na nne mnyumba jake.57Mbuti AAwawa wakwete uzima puvandumile, na mbuti pungutama kwa sbaabu ja Awawa, na venevo shivatame kwa sababu jangu. 58Agundio mkate guturuka kushoka kumbinguni, ngaa mbuti nne ila ashawawa puvalilenje niwa. Jwene apingalya agu mkate apingatama yaka na ya ka. 59Yesu ashikuveleketa aga mambo ga mnyumba ja likanissa alifundisha kweneko kukapernaumu.60Na ndio wanafunzi wake vavajinjinji gwapilikene nje agano, guvalugwilenje, ali lifundisho lya komara gani akupinga kuluposhela?" 61Yesu kwa sababu ashikumumanya kutii wnafunzi wake kuti vashikulitumbatilenga, lijambo lino, gwavavalanjilenje alino lijambo lino kumkwazanga?62Lelo shiwe buli pushimumonsnje mwana jwa Adamu alitubuka kushoka kwaliji kabla? 63Ni Mtima ndio gushoya uzima. Shiilu shikafaidia shindu shoshowe. Malowe gunigavelekete kwenunji ni mtima na ga uzima.64Bado vanalinji vandunji bakamininji." Kwa sababu Yesu ashikumumannay kuti jwejula tangu mwanzo angaamini na jwenejo akamsaliti. 65Gwavavalanjilenje, ni kwa sabbau ashikumalanjilanga kwamba jwakwa mundu apinga kombola kwiya kumngo wangu mnyuma isipokuwa apegwile na Awawa."66Bada ya gegeno wanfunzi vyake vavjinji bashikujanga mnyuma na mkakagulanga tena. 67Yesu gwavavalanjilenje vevalanji kumi na wawili,"Buli na mmanganyanji mkupinga jaulanga?" 68Simoni Petro gwajangwile,"Bwana tujende kukagani kwani mmwe mchikola malowe ga uzima gw ayaka, 69na tushiami na kumumanya kutimanya kuti mmwe ni matakatifu jwa Mnungu."70Yesu gwavavalanjilenje," Je nne nangamngagulanga mmanganyanji, na jumo jwenunji ni ibilisi? 71Lelo atendagaveleketa kuhusu Yuda, mwana jwa Simoni Iskariote, pawa ashikuwa jenejo kati jwa jumio jw awewala kumi na mbili. Na ndio apingaga kumsaliti Yesu.
1Na baada ga agano mabo gano Yesu alisafiri Galilaya, kwa sababu angapinga kwenda uyahudi kwa sababu wayahudi batendanga mipango ja kumulaga. 2Lelo sikuu wayahudi, sikuu ja ibanda, pujaliji tome.3Na ndio ashapwake guvamamalanjilenje,"Jaula apano ujende uyahudi ili wanafunzi wake nnepaile vagonanje ,matendo gaukatenda. 4Jwakwapingatende shoshowa kwa siri kw akuwa mnyepe anapinga kumanyikana gwa wazi. Mwanaga mnitenda agano mambo gano, mwila nguye mmayene kwa ulimwengu."5Mkali ashakwapwe mnepaile vangamjanginyi nji. 6Na ndio Yesu gwavalugulilwe,"Muda gwangu gukanaweika bado, lakini muda gwenunji kila puguli tayari. 7Ulimwengu mngamtumbulilanga mangayanji, bali gunandumbalila nne kwa sababu kuna kuumanya kuti matendo gake ngaa gammbone.8Mkwendaje mendanje kusikukuu,"Mne ngajenda kusikuu kwa sababu muda gwangu ukaneweika bado." 9Baada ya kuvelketa aga mambo kwawo, gwaigele Galilaya.10Mkati nneye, ashakwape puvapitengenenje kusikukuu, na ndio na jwenejo gwapite, ngaa kwamanyikana bali kwangamanyina. 11Wayahudi vatendaga kumnoleyanga kusikuu na valoketanga,"Kuvali kwei?"12Gushikupagwa majadiliano gamanjinji mmiongoni ga makutano juu yake. Vananji bashikulugulanga," Mundu jwambone." Vananji bashikugulanga,"Walaa, anaaribia makutano." 13Mkati nneyo jwakwa avelenje ukweli juu jake kwa kuwajogopanga wayahudi.14Baada ja sikukuu kuika pakati, Yesu ashikukwela kuhekalu nitandua kwafundishanga. 15Wayahudi bashikushangaanga nivelekete," Kwa jinsi jashi ajumundu ju anakumanya mambo gamanjinji? Wala angashoma." 16Yesu gwavajangwilenje nikwalugulilanga,"Mafundisho gangu ngaa gangu, bali gawo venevo bandumile.17Jojowe akupingapinga mapenzi gawenewo, shangamanye agano mafundisho gano, kama gakopoko kwa Mnungu, au kungavelekta kushoka kwa ngune nemwene. 18Kila aveleta kushoka kumngwake mnyene analolea utukufu gwake, bali kila alolea utukufu gwake atumwile, bai jwene mundu ju jwa kweli, na mnyumba jake kwakwa kutotenda haki.19Musa angampanganga mmanganyanji sheria? lakini wala jumo kati yenunji atenda sheria. Kwa indi mpiku mulaganga? 20Makutano guvajangwilenje,"Mchikola upepo?"21Yesu gwajangwilke na nkavavalanjilanga," Njitendsa liengo limo , na mmowenji mchishaanga kwa ajili jake. 22Musa ashikuwapanganga tohara( ngaa kutijinashaka kuka Musa, bali jishoshoka kwa mabba), na katika sababto mnakung'andanga mundu.23Pava mundu anganda lyuva lya sababto ili sheria ika Musa inatemanywe, kwa indi mchindumbaliulanga nne kwa sababu ja kumtenda mundu awe jwa mkoto kabisa katika sabato? 24Mnaukumunji kkalingana na kuonekana kwake, bali mng'ukumunji kw ahaki.25Baadhi jawonji kushuka Yerusalemu bashikuveleketenga,"Naga aju vakumloleanga kumulaga? 26Na mnole, anaveleketa waziwzi, na vakaveleketatanga shoshowe ku juu jake. Ikaweza kuwa kutii viongozi valikumanayanga kweli kuti aju ni Kristo, inaweza kuwa? 27Tunakumanya aju mundu kwakoposhela kwei. Kristo pakupinga kwiya , mkali mneyo jwakwapi akupinga kumumanya kwei kwakoposhera."28Yesu atendaga kulipaza lilowe lyake kuheka ku alifundisha na liveleketa,"Mmanganya mmowenji mmanyinji nne na kungukoposhela. Nangaija namwene, bali vevala vandumile ni va kweli, na mkwakumnayanga venevo. 29Mna kwamanya venevo kwa sababu njikopoka kumngwao na vashikunduma."30Batendaga lkiganga kumkamula, lakini wala jimo ajinwile mkono gwake kapuni kwa sababu muda gwake bado gukaishilege. 31Mkali mneyo, bavajinji pa makutano bashikumng'amininji, bashikulugulanga,"Kristo pashaishe, shatende ishara ya ijinji kuliko yaitendile aju?" 32Mafarisayo bashikwapilikananga makutano bali nong'onelalanga mambo ga kuhusu Yesu, na vakulungwa va makuhani namafarisayo nikwatumanga maafisa bakamkwamwile.33Ndio Yesu gwavelenje,"Bado gushipagwa muda gwa bukara puni pamo na mmanganya, na baadae shinyende kwawo wenawo bandumile. 34Shimnoleanje wala mkamonanga; kwe kula kungwenda, na mkakovalanga kuwia."35Wayahudi guvavanjilenje bayenenji kw abeyenenji,"Aju mundu ju shajende kwei na tummone? Shajende kwa watawanyishenje kati ja wayunani na kuwafundishanga wayunani? 36Lilowe lyashi alino liwalugwile," Shimnoleanje wala mkomonga," Kungwenda kula nkakombolanga ika'?"37Lelo katika mwisho, luva likulungwa lya sikuu, Yesu ashikujima nivelekete kwa nguvu, wagaga jojowe ashikola mnjota ajie kwangunne kw apapile. 38Jojowe angaamini nne, kama maandiko pugavelenje, kushoka mnyumba jake shijituririshe mito ja mashi ga uzima."39Ashigaveleketa aga, kuhusu mtima, ambao vakumngamininji shivamposhelenje; Mtima gulijiji bado kushowa kwa sababu Yesu aliji bado kutukuzwa.40Baadhi ga makutano, puvapilikenenje agano mallowe gako, bashikuveleketanga,"Kweli aju ni nabii." 41Bananji bashikulugulanga,"Aju ni Kristo." Lakini baranji niveleketanga,"indi, Kristo aweza shoka Galilaya? 42Maandiko gangalugula kuti Kristo shakoposhile katika ukoo gw aDaudi na kushoka Bethelehemu, shijiji shaliji Daudi?43Kwa mneyo, nijinuka mgawanyo katikati ja makutano kwaajili jake. 44Vananji bakamkamwilenje lakini jwakwa anyoeshe miukono jake panani jake.45Na ndio maofisa guvajilenje kwa wakulunji ba makuhani namafarisayo, nikwabalanjilanga, "Kwa indi mwangamjinagonji?" 46Maofisa guvajangwilenje,"Jwakwa mundu avelekete mbuti aju kabla."47Na ndio mafarisayo guvajangwilenje," Na mmanganya mchipotoshwanga? 48Apali jojowe kati ja watawala akumngamini, au jojowe jwa mafarisayo? 49Bali ja aga makutano gakakujimanya sheria -wamelaaniwa."50Nikodemu gwavavalanjilenje( jwenejo ashikunje ndela Yesu bukalam, kali jumo jw amafarisayo), 51"Je sheria yetu jina hukumu mundu apilikenwe na kushimanga shakushitenda?" 52Bashimjangulanga nakummalajilanga ,"Na mwe mnashoka Galilaya? Mnoleye na mmone kuti jwa kwa nabii ashoshile Galilaya."53(Zingatie: Baadhi ga mallowe agha Yohana 7: 53-8: 11 gakwapo katika nakala bora ya bukala). Baada ja mneyo kila mundu ashikwenda kumgwake.
1(Zingatia: Ufafanuzzi wa Yohana 7: 53- 8:11 hapo juu). Yesu ashikwenda kuitumbi ya mizeituni. 2Mapema lyambapo gwaishe tena kuhekaluni, na vandu wowe ni kumjendelanga ; gwatemi ni kwafundishanga. 3Waandishi na mafarisayo nikumpelesha helanga jwandonga akamwile kuuzinifu. Gwavammishilenje pakati.4(Zingatie: Mnole ufafanuzi wa Yohana 7: 53-8: 111 hapo juu). Na ndio guvamalinjelenje Ywesu,"Mwalimu, ajuna jwandonga jumo ashikamula lwa pa uzinzi, pashitendo kabisa. 5Lelo kisheria, Musa ashikutuvalanjila twapondaje maganga , mkuti buli juu jake. 6Bashikuveleketanga agano ili kuteganga vapata nje shindu shakumshitaki, lakini Yesu gwajungeme pai nijandika pai na lukowe lwake.7(Zingatie: Mnole ufafanuzi wa Yohana 7: 53- 8:11 hapu juu). Puvaendeleeje kumuyanga, ashikunjima nikwabalanjilanga, uweneyo angali yambi miongoni mwenunji, awe jwa kwanza kumponda maganga." 8Gwaungeme tena pai, gwajandishi pai kwa lukowa lwake.9(Zingatie: Mnole ufafanuzi wa Yohana 7: 53- 8:11 apo kunani). Baada japilikana agala njaula jumo badala jw ajuna, kwanzia amzee, na mwisho Yesu ashikule kwa jikape, na jwamndonga aliji pakati jawo. 10Yesu ashikujinuka nikummalanjila," Jwandonya, bamshitakinji kuvalinginji kweli? Kwa wala jumo hang'aukumu?" 11Gwavelenje," Jwakwa wala jumo Bwana." Yesu gwalugile," Mkali nne ngakungukumu. Mpite mumpanda gwenu. Kwanza nneino na kuendelea mnatende mashambi tena."12Tena Yesu alibelekta na vandu alikutu,"Mne ni nuru ja ulimwengu; jwene akupigangagula akaowa mnuwindu, bali apinga vana nuru ja uzima." 13Mafarisayo guvammalanjilenje," Mnakwishuhudia mmayene; ushuhuda gwenu mngaa gwa kweli."14Yesu ashikujangula nikwavalanjilanga,"Makli nishuhudia nemwene, ushuhuda gwangu gw akweli nikumanyi kingopweshe na kungwenda, lakini mamanganya mkakuku manyanga kungopweshe au kungwenda. 15Mmanganya mnaukumunji kwa shiilu; mnengakumng'ukumu jojowe. 16Mne mkali ng'ukumuji, ukumu jangu ja kweli kwa sababu ngaa puni jikape, bali puni pamo na Awawa vandumile.17Heloo, na katika sheria yenunji ishijandikwa kuta ushuhuda gwa vandu vavili ni gwa kweli. 18Mne ndio mnngwishuhudia, na awawa vandumile bana njuchuhudia."19Guwammalanjilenje,"Awawa yako kuvali kwei?" Yesu gwajangwile,"Mne mkamanyanga na Awawa yangu mkwakwamanyanga; kaliji mnimanyanga mne na Awawa mkamanyinji mnezeila." 20Ashikuveleketa aga malowe ga ali tome na hazina paliji alifundisha ku hekaluni, na wala jumo jwa kumkamula kwa sababu muda gwake bado gukaisheleje.21Ashikuvelekea aga malowe ga alitome na hazina paliji alifundisha ku hekaluni, na wala jumo jwa kumkamula kwa sababu muda gwake bado gukaishileje." 22Wayahudi guvalugwilenje,"Sahibulaje na shimunywanjwaje na mashambi genunji,'Kwekula kumngwenda, mkombolanga kwia'?"23Yesu gwavavalanjilenje,"Mnishikanga pai, mne mnikopoka kunani. Mmanganya mmapeponinji, mnengaa jwa kwe kuno. 24Kwa nneyo, njukumalanjilanga shamng'wanje katika mashambi genunji, mwanaga nneyo mngamininnji kuti MNE NDIO, shingwangwanje katika mashambi genunji."25Kwa mneyo mikumalanjilanga,"Ugwe gani?" Yesu gwavavalanjilenje, gega gunimmalnjilenje tangia mwanzo. 26Ngwete mambo gamajinji ga kumgukumunji kwenunji. Mkli mneyo, venevyo vandumile ni va kweli; namambo gunugapilikene kushoka kwawo, gene mambo go guna kuyagataya kuulimwengu." 27Vangamng'elwenga kwamba atendagaveleketa nawo kuhusu Awawa.28Yesu gwalugwile,"Pumkijunula mwana jw amundu, ndio psushimumanya nje kwa MNE NDIO, na kwamba ngatenda shoshowe kw anafsi jangu. Mbuli Awawa puavamndishe, ngunaveleketa aga mamboga. 29Venevo bandumile puvali pamoja na nne, na venevo banganeka jikape, kwani kila mara ngauanatenda gakwakonja." 30Wakati Yesu paveleketega aga mambo ga, vavajinji bashikumngamini.31Yesu gwalugwile kwa vevvala wayahudi bangamininji, iwaga shimtamanje na malowe gangu, shimuganje wanafunzi vangu va kweli, 32na mmanganya shimujimnyanje kweli na kweli shijimmikanje huru." 33Bashikumjangulanga,"Uwe ni uzao gwa Ibrahimu na wala tukanawe kwa pai gwa utumwa gogowe," Shimnmelekete, shituvikwe huru?"34Yesu ashikwajangulanga,"Amini, amini, nakummalanjilanga, kutaatenda mashambi ni mtumwa ja mashambi. 35Mtumwa akatama pamwi muda gowe; mwana anadumu mowa gowe. 36Kwa nneyo, ivigaga mwana ashikumikanga huru, shimunganye huru kweli kabisa."37Nakumanya kuti mmanyanga na kuwele kuva kuka Ibrahimu, mnaloleyanga muilaga kwa sababu, lilowe lyangu lyangali nafasi kwenunji. 38Ngunalugula mambo guniwena pamoja na Awawa yangu, na mmanganya mnepaile mnatenda mambo gumgapilikenge kushoka kwa awawa yenunji."39Bashikujangulanga na kummlanjila,"Awawa yenunji ni Abrahanu," Yesu gwavavalanjilenge, kama mkalinginji vana vaka Ibrahimu mkate ndilenje indi ika Ibrahimu. 40Mkali nneino mnaloleyanga kumulaga, mundu avavanjilenje uweli kwamba njikupili kana kushoka kwa Mnungu. Abrahamu angatenda mneyi. 41Mnatendanga maengo ga Awawa yenunji, guvavammalanjilenje," Twangavelekwa kuumalaya, tukwete, Awawa vamo, Mnungu."42Yesu gwavavanjilenje,"Mwanaga a Mnungu Awawa yenunji, mkambingelenje mne, kwa maana njikopoka kwa Mnungu, wala nganika kwa nafsi jangu, bali vevala vashikunduma. 43Kwa indi mkagaelewanga malowe gangu? Kwa sababu mkakombolanga kuvumilia malowe gangu. 44Mmanganya ni awawa yenunji, lishetani, na mkupinga kuvitendanga tamaa ya awawa yenunji. Aliji mwaji tangu mwanzo kw amneyo akaweza jima katika kweli sababu kweli jakwapi mnyumba jake. Paveleketa unami, anabeleketa kushoka kuasili jake kwa sababu ja unami na awawa jake va unami.45Mkali mneino, kwa sababu naveleketa ili ya kweli mkangamininji. 46Gani kati jenunji anjuchuhudia kuti njikola mashambi? Wakati mnivelekete ya kweli kwa indi mkangamininji? 47Jwenejo ali jwa Mnungu anapikupilikana malowe ga Mnungu; mmanganya mngagapitikana kw asababu mngaa mna Mnungu."48Wayahudi gwivamjangwilenje na kumalanila, twangaveleketa kweli kuti ugwe msamaria na ushikora pepo?" 49Yesu gwajangwile , jwangali pepo, lakini ngunakwaheshimu Awawa yangu, na mmanganya mkaeshimunji.50Nglolea utukufu gwangu; apali jumo aloleya nukumu. 51Amini, amini, nakumalanjilanga, kama jojowe akupinga kamula lilowe lyangu, akakuona kw awlaa kashiki."52Wayahudi guvammalanjilenje,"Lelo tumumanyi kila mchikola pepo. Abrahamu na manabii wawilenje; lakini mnigula, mwanaga mundu alikamulaga liulowe lyenu, hakapaya kuwa.' 53Mwengaa mnakulungwa kwapila awawa yetu Abrahamu vawile, ngaaneyo? Manabii pia gashikuwa. Ugwe ukwitenda gani?"54Yesu gwajangwile,"Mwanga shinitukuze nemwene,utukufu gwangu ni gw ayoyo: ni Awawa yangu vandukuza- avala mkwalugulanga kuti aMnungu wenu. 55Mmanganya mwangamanyanga venevo, lakini mne nakuwamnya ,' Shime mbuti mmanganya na malowe gawo nigakamwile. 56Awawa yenunji Abrahamu shivashangilie puvakupajiona siku jangu; ashikujena nifurahi."57Wayahudi nikummuyanga," Gwangaishira umri gw ayaka hamsini bado, na ugwe ushikummona Ibrahimu?" 58Yesu gwavavlanjilenje,"Amini, amini nakumalanjilanga, kabla Abrahamu akanave velekwa,MNE NAAPALI." 59Na ndio guvalokwetenje maganga ili bamkomanje, lakini Yesu ashikwiya na ashikushoka pilanga ja hekalu.
1Muda, kama gwapitagwa Yesu , ashikummu mundu akalola tangu kuvelektwa kwake. 2Wanafunzi wake nikumuyanga,"Rabi, gani atendile mashambi, aju mundu au wazazi wake, mkali avelekwa akalola?"3Yesu gwavajangilenje,"Mngaa aju mundu wala wazazi wake batendilenje dhambi, bali maengo ga Mnungu gapate kuunu kulwa pitila kwawo. 5Tunapingwa kutenda maengo gawo vene bandumile wakati bado mui. Shilo shina kwia jwaka akupinga maanya kutenda liengo. 4Muda gunguwa paulimwengu, mne ni nuru ja ulimwengu."6Baada ja Yesukuve;eketa aga malowe ga, ashikuwa paaridhi, nialaya matope kwa mata na kumpaka mundu jula matope mmeyo gake. 7Gwa mmalanjile, jenda ukajoje kukisima shika Siloamu( jitafsiriwa muti, 'atumilwe')." Kwa mneyo aju mundu gwapite, gwanavile, nagwaujile, alilola.8Majirani bake na vandunji vyaweninji mbuti ombaomba bashikuveleketanga, kwaaju ngaa ajula mundu atamaga akuno alijuga?" Bavajinga nigululanga," Ndio jwenejo." 9Na bananji bashikugulanga,"Walaa, bali ashilendanapo." Lakini atendaga valeketa,"Ndio nne."10Guvammalanjilenje,"Lelo meyo gako paguugwile buli?" 11Ashikujangula,Yesu ashikualya matope niimbaka mmeyo gangu nimalanjila," Nyende Siloamu nganavei; kw aineyo njikwenda, ninava, na ngumbatile kulola tena." 12Gubammalanjilenje,"Kweli kwei?" Ashikujangula," Ngakumanya."13Guvamplekenje ajula aliji kipofu kw amafarisayo. 14Na pulyaliji lyuva lya sababto muda gwaeleye matopo Yesu nikumng'unukula meyo gake. 15Na ndio Mafarisayo kuvamushienje tena, buli pugwapatile kulola. Ashikwalugulilanga,"Ashikuvika matope mmeyo gangu, gunavile, na mneino ngunamanya lola."16Baadhi ya mafarisayo bashikuveleketanga,"Aju mundu angashoka kwa Mnungu kwa sababu akakujikamula sababtio. Bananji bashikuveleketanga," Shiwezekane buli mundu akwete mashambi atende ishara kama yenei?" 17Kwa mneyo nipagwa mgawanyiko kati jawonji. Na ndio guvammushienje kipofu jula tena," Yukavelekete indi tena kwa sababu ashikugauga meyo gako?" Kipofu gwalugwile,"Ni nabii." 18Mpka nneino wayahudi vangang'aminiji kuti ashikwa kipofu na mneiono analola mpaka puvashemilenje wazazi weke apatile kulola.19Bashikuvayunga wazazi, kwani aju mwana jwenunji avelekwe akalolo? pakombwele buli kulola?" 20Wazazi vake guvamjangwilenje,"Tunakumumanya kutii aju mwana jwetu na ashikuvelekwa akalola. 21Kwa indi lello analola, tukakumumanya, na jwene ang'umkwile meyo gake, tukakumanya mummauyanje mnyene. Mana jwamkulungwa. Anaweza kuvileleza mwene."22Wazazi wake bashikweleketenga agano mambo gano, kwa sababu bana kwajogopanga Wayahudiu. Pava wayahudi vakubalienenje tayari kutii jojowe apinga kubali kwa Yesu Kristo, apinga vikwambali na kanisa. 23Kwa jene sababu ji wazazi wake bashikuweleketanga,"Ni mundu jwa mkulungwa, mummuyanje mnyene."24Kwa ineyo mara ja vili, bashikumchemanga ajua aliji akalola na kummalanjila,"Gumpe Mnungu utukufu. Tunakumumanya kwmaba aju mundu jwa mashambi." 25Na ndio gwajangwile," Awe akwete dhani, mne ngakumumanya. Sindu shingushimsnys: Mne ngalolanga na mneino nalola."26Na ndio guvammalanjilenje," Ahikumtendela indi? Meyo genu pagaumukwile buli?" 27Gwajangwile,"Tayari nimmalanjilenje, na mwangapilikananga !Kwa indi mnapinganga kupilikana tena? Na mmanganga kwa wanafunzi wake, ngaa mneyo? 28Bashikumtakananga na kuweleeketa,"Ugwe ni mwanafunzi jwake, lakini uwe wanafunzi waka Musa. 29Tunakumanya kuti Mnungu ashikuveleketa na ka Musa, lakini kwa juju, tukakumanaya kwakoposhela ko."30Ajula mundu gwjangwile nikwavalanjilanga," Kwa indi, ali ni lijambo lya shangaza,kutii mkakumumanayanga kukopoka, na bado ashikugaunu kila meyo gangu. 31Tumumanyi kuti Mnungu akakwapili kananga bakwetenje mashambi, lakini mundo jojowe akwajuga a Mnungu na kutenda mapenzi gawo, Mnungu anakwapilikana.33Tangia ulimwengu pagutandwiwe tukana vipilikana wala kashiki kuti mundu kumukulwa meyo ali avelekwa akalola. 32Mwnaga aju mundu ju angashoka kwa Mnungu akanatenda shoshowe." 34Bashikujangula nikummalanjila," Ushikuvelekwa kumashambi kabisa, na ugwe unakutufundisha uwe?" Ndipo guvammilenje ashoshe mkanisa.35Yesu ashikupilikana kutii bashikumchoyanga mkanisa. Ashikumpata nikummalanjie," Unakung'amni mwana jwa Mundu?" 36Ashikujangula niveleketa,"Gani, Bwana, ili na mne mbate kuamini?" 37Yesu gwavavalanjile," Muumweni, jwene jukukungukwa najo ndio jwene." 38Jwejula mundu gwalugwile,"Bwana , ngunaamini." Na ndio guvasujudie.39Yesu gwalugwile,"Njikwia kuulimwengu ili kuti vevala bakalolanga valolanje na vevala valolanga vanalolanje." 40Baadhi ja mafarisayo balinginji pamo na jwenejo vashikupilikananga agala maluwe wegala nikumuyanga," N auwe mnepeyo tukalola?" 41Yesu gwavavalonjilenje,"Kama mkalinginji mkanakolanje na mashambi. Makali mneyo, mnalugulanga,'Tunalola," mashambi genunji ganatama."
1Amini, amini nakumamalanjilanga,mjwejula akanavejinjila, kupitila mnanga gwa shilundu sha ngondoro, lakini alikwela kwa mpanda guna, aju ni mgwii namnyang'anyi. 2Jwene ajinjila pamnango ni mchungaji jwa ngondolo.3Kwao mlinzi jw amnango alikumng'ugulila. Ngondolo ilipilikana lisauti lyawo na kwishema ngondolo mena nikwishoya pilanga. 4Papinga kwishoya pilanga yene ili yake alilongolela na ngondoro ili kumkagula, kwa sababu valimanyimji lilowe lyake.5Bakamkagulanga, mnjani lakini badala jake shivampishanje kwa sababu bakulimanyanga lilowe lyake." 6Yesu ashikugalugula agu mfano kwa wonji, lakini bangaelewangaaga mambo gavaveleketegaga.7Yesu gwawalulenje tena,"Amini, amini nakumalanjilanga, mne ni mnango gwa ngondolo. 8Wowenji wanongololanje ni vavgwii na wanyang'anyi, lakini ngondolo yangaipilikana.9Mne ni mnango. Jojowe ajinjila kupitila kwa nguna, shaokolewe; shajinjile mnyumba nikopoka na shipata kulya. 10Jwamgwiwii mngajia, bila kujiva, kuulaga nakwangamiza. Njikwia ili bapatanje uzima na wawanganja kibao.11Mne ni mchungaji jwambone. Mchungaji jwa mmbone anashoya kulama kwake kwaajili ja ngondolo. 12Mtumishi aajiriwe , na ngaa mchungaji, amabae ngondolo ngaa mali jake, hashikwiona mbwa mwitu nakwileka na kwiutuka ngondolo. 13Na mbwa mwitu vanakwimulanga na kwita wanyisha. Ashikuutukuka kwa sababu mtumishi jwa ajiri na mngaijali ngondolo.14Mne ni mchungaji mwema na kwa kuwamanyanga balinginji vangu,m na valinginji vangu banimanayanga nne. 15Awawa valimanya, na nne mnikwamanya, na mne ngunakushoya uhai gwangu kwa ajili jangondolo. 16Ngwete ngondolo ina mngara ya shitundu ashino; ayo mnepeyo, ngunapaswa kwijianajo, na shivapilikenenje lilowe lyangu ili kkwmaba liwe likundi limo namchungaji jumo.17haji ndio sababu ja Awawa kumbingu nigushoye uhai gwangu alafu nuujanago tena. 18Jwakwa akutola kushoka kwangu, lakini mnenashoya nemwene. Ngwete mamlaka gashoshaya,m na ngwete mamalaka ga ujaganajo tena. Nnjikuliposhela ali liagizo hii kushoka kwa Awawa."19Mgawanyiko guguykoposhele tena kati ja wayahudi kwa sababu ja malowe ga. 20Wananji guvaveleketenje,"Angali pepo nanalafu kichaa. Kwa indi mnakumpilikanilanga?" 21Wanganji guvagwilenje," Aga ngaa malowe ga ka mundu apagawawe na mapepo. Pepo jinaweza kugaugula meyo gakalolo?"22na ndio gujiishe sikukuu ja kuvikwa wakfu Yerusalemu. 23Pugwaliji muda gw ambepo, na Yesu atendanga kuoa kuhekalukatika ukumbi guka Selemani. 24Na ndioWayahudi guvamzungukaenje na kummlanjila," Mpaka shakani shimtuvishe mmashaka? Kama ugwe ni Kristo , tugulile Ukoto.25Yesu gwavajangwilenej,"Nimmalanjilenje lakini mkaamininji, maengo gungugatenda kwa lina lya Awawa yangu, ali ainashuhidi juu jangu. 26Mkali mneyo mkaamininji kwa sababu mmanganganya nnga ngondolo yangu.27Ngondolo yangu inapilikana lisauti lyangu; ngunikwamayanga, na bana ngangulana mne. 28Njikupanganga kulamna kw ayaka na yaka; wakaanganianga wala kashiki, na jwa kwa wla jumo apinga kwanya kulanga kushoka mmikono jangu.29Awawa yangu, bembele venevonji, ni bakulungwa kuliko wewonji, na jwakwa akwete uwezo kuva muakula kushoka kumkono gwa Awwa. 30Mne na Awawa jumo pe bai." 31Guvajigelenje maganga tena bampondanje.32Yesu gwavajangwilenje, "Nimnangwienje maengo ga mmbone kushoka kwa Awawa. Kwa maengo gei kati gavgegano gumpingambondanga maganga?" 33Wayahudu guvamjengileje,"Tukuponda maganga kwa liengo lya mbone, bali ni sababu ja kukufuru, kwa sababu ugwe, uli mundu, unakwitende kuti Mnungu."34Yesu gwavajangwilenje,"jangajandika katika sheria yenunji,'njikulugula," Mmanganya ni Miungu"?" 35Mwanaga bashikushimwenga miungu, kwa vavalanji amnbao lilowe kya Mnungu lishikwia (na maandalio ganaweza kutemangwa), 36mnaveleketa kwaajili ja Awawa bamshishie nikumtuma kuulimwengu,"Unakufaru,' Kwa sababu njivelekete,"Mne ni mwana jwa Mnungu'?37"Mwanga ngalenda maengo ga Awawa yangu, mbngamininji. 38Hata mkalineyo, pugwitenda, mkali mkangamininji,mwiamini kazi ili muumnayanje kuti Awawa muvali mnyumba jangu na mne muni mnyumba jawo Awawa." 39Nilijanga tena kumkamula Yesu, lakini gwajawile kushoka mikono jawonji.40Yesu gwajawile kung'ambo ja Yordani sehemu jabatizaga Yohana, na gwatemi kweneko. 41Bandu vavjinji guvajiilenje kuka Yesu; guvaendeleaje kuveleketwa,"Yohana kweli anagatenda ishara jojowe,mlakinbi mambo gowe gagavelekete Yohana juu jwa jwejula ni ja kweli." 42Na wandu wawajinji guwamng'amininji Yesu penepo.
1Lazaro atendaga lwala, na kwakoposhele ku Berthania, shijiji shika Mariamu na adada yake Martha. 2Aliji Mariamu julape jula avapashile aBwana Marhamu na kuwafuta mamkongono gawa kwa umbo yake, ambae mpwaka Lazaro atendaga kulwala.3Na ndio vene ashidda va nitumani meseji na kuweleketa,"Awawa mnole jwejula , mkupinga analwala." 4Yesu baada ja kupilikana ashikulugula,"Ashishilwele shi ngaa gw aumauti, lakini, badala jake ni kwajiuli ja utukufu gwa Mnungu ili mwana jwa Mnungu apate kutukuzwa kwa shilwele shini."5Yesu ashikumpinga Martha na adda yake na lazaro. 6Baada ja pilikana Lazaro analwala, Yesu ashikutama mova gawili pepala paliji. 7Baada ja mnei gwavavalanjilenje wanafunzi wake," Twendange kuu uyahudi tena."8Wanafunzi gwammalanjilenje,"Rabi, Wayahudi batendalunganga kumponda maganga, na mmwe mnapinga kuuja tena?" 9Yesu gwavavangwilenje,"Muda gwa miu mnga kwa saa kumi na mbili? Mundu aowaga mui hakaweza kukwivala, kwa sababu balilola kw amwangaza gwa mui.10Mkali mneyo, iwaga shaowe shili, shai shaikunale kwa sababu mwangaza gwa kwapi." 11Yesu gwaligwile aga mambo go, na baada ja aga mambo ga, gwavavalanjilenje," Rafiki jwetu Lazaro vashigona, lakini nakwenda kumjumuya ashoshe kulugone."12Na ndio wanafunzi guvammalanjilenje," Bwan, kama ashigona, shajumushe. 13Gwene muda gu Yesu atensagaveleketa habari ja shwo shake Lazaro, lazima venevo nji batendanganishia kutiatendalugula juu ja gona lugono. 14Na ndio Yesu gwavalugwilenjelenje ukweli kuti, "Lazaro awile.15Njikola furaha kwaajili jenunji, kwamba ngapaliji kwekula ili mpatanje kuamini. Twendangananje kumgwake." 16Bai Tomaso, ashemwaga pacha, gwavalugwililanje wanafunzi vajakenji," Na uwe twendangananje tukawe pamo na ka Yesu."17Muda guvaishe Yesu, ashikamana kwamaba Lazaro tayari avikwile mnikaburi mova kama mcheche. 18Na Berthania paliji tome na Yerusalemu kama kilometa arubaini na tano nne. 19Wayahudi vavangwinjinji nikwiangana kuka m artha na Mariamu kukwapanganga Pol;e kwa ajili ja mpwawonji. 20Na ndio Martha papilikene kuti Yesu anakwia, nikwenda uima na najo, lakkini Mariamu ashikuendelea kutama pamui.21Ndipo Martha gwamalanjile Yesu,"Bwana, mwanaga mkaliji apano akaka yangu vakanawe. 22Mkali mneino, numumanyi lyolyowe limkupinga kwa juga a mnunga vakampa." 23Yesu gwavavalanjilenje, akaka yenu shivayushe tena."24Martha gwavavalanjilenjile, nakumumanya kuti shiva yushe she lyuva lya mwisho." 25Yesu gwavavalanjile,"Mne ni ufufuo gwa uzima; jwene ang'amini, mkali shawe, mkali mneyo shatame; 26Na jwene atama na ning'amini mne hakawa. mniamini lyelino?"27Gwamamalanjile,"Elo, Bwana mniamini kwamba mmwe ni Kristo, mwana jwa Mnungu, vene vakwaiya kuulimwengu." 28Baada ja malia kuveleketa agala, jwajawile na kumchema mdda yake Mariamu kufaragha. Gwalugwile," mwalimu puvali apano na bana ku mchema." 29Mariamu baada ja pilikana agano, gwajimwishe haraka nikwenda kuka Yesu.30Na Yesu aliji bado kuika pa kijiji, bali ashikuva mahali paimenena ka Martha. 31Na ndio Wayahudi balingingi namariamu mnyumba na vevala vampangaga pole, baada ja kummona vashikujinukanga haraka na shoka pilanga, nukumkagula; bashikuganishianga kuti anakwenda kulikaburi akagute kweneko. 32Na ndio Mariamu, gwaishe pepala paliji Yesu na ashikugwa pai ja makongono gake na kumlanjila,"Bwana, mwanaga mkaliji apano mpwanga akanawe."33Yesu baada ja kummona aliguta, na Wayahudi balinginji pamo najo baligutanga, ashikuomboleza mumtimana ashikufadhaika; 34gwalugwile," Kumumgomeshenje kwei? Guvammalanjilenje," Bwana, mnjile kumnole." 35Yesu gwagutile.36Na ndio wayahudi guvalugwilenje,"Mnole pampinile Lazaro!" 37Lakini vananji kati yawonji gwaveleketenje," Mngaa, aju agaunukwile meyo hga mundu akalolaga jula, angakombola kumtenda aju mundu anawe?"38Na ndio Yesu, gwaomboleze mnafsi jake, gwapite tena palikaburi. Lelo lishikwa lipango, na liganga lyashivikwa panani jake. 40Yesu gwalugwile,"Mnishoye liganga,"Martha, adada yake Lazaro, jwejula awile jula, gwamalanjileYesu,"Bwana, kwa aguno muda guno shiili shibolile, kwa sababu awile mova mcheshe." 39Yesu gwamalanjile," Mne nangamnugulila kuti, kama mngamininji, shimuguone utukufu gwa Mnungu?"41Na guvalishienje liganga. Yesu gwajinwile meyo gake kunani niveleketa," Awawa, nakumshukuru pawa mnambilikana. 42Namumanyi kuti mnambilikana muda gowe, lakini kwa sababu ya kukusanyika kuno na kundi mbitilila kwamba njilugula agano, ili kwamba vapate kuamninji kuti mmwe mchikunduma."43Bada ya velekete aga, ashikuguta kwa lisauti likurungwa,"lazatro, shoka pilanga!" 44Mfu ashikushoka pilanga na ashikutwa mikono na makongono kwa sanada ya shishula, na kumeyo bashikutawa na shitambaa." Yesu gwavavalanjilenje," Mumngugulanje na mnekanje ajende."45Na ndio Wayahudi vavanjini baishengenenje kwa Mariamu na kugaona Yesu gagatendile, nikumng'amininji; 46lakini baadhi jawonji bashikwendaga kw amafarisayo na kuwalugulilanga mambo gaga tendile Yesu.47Na ndio bakulungwa wa makuhani na mafarisayop guvateminenje pamo ni lugula," Shimtende indi? Mundu aju anatenda ishara ya ijinji. 48Iavaga shatuimneshe mnei jikape, wowe guwamg'amininji; warumi shivajietolanga yowe ya mahali petu litaifa lyetu."49Mkali nneyo, mundu jumo kati jawonji, kayafa, aliji kuhani mkuu gwene mwakago ashikuvalanjilanga," Mkakushimnaya shoshowe kabisa. 50Mkafikilianga kuti mundu jumo awe, kwaajili ja vandui kuliko kumala litaifa lyowe."51Anga angagulakw asababu jake mnyene, badala jake, kwava ashikuva kuhani jwa mkulungwa ashilu shaka shila, ashikutabiri kuti Yesu shawe kwaajili jalitaifa; 52na ngaa kw alitaifa jikape, bali apate mnepeile kwakusanyanya vana va Mnungu valinginji mbalimbali. 53Kwa mneyo toka lene lyuvalyo na kuendelea nitenda mpango gw akumulaga Yesu.54Yesu angaowa tena kati ja wayahudi, bali ashikujaula pepala ni kwenda tome namchi nalijangwa kumji gwashemnwaga Efraimu. Hapo ashikutama na wanafunzi. 55Basi pasaka ja wayahudi pujaliji tome, na bavajinjenji bashikujawanga ni kwende Yerusalemu mnje gwa mji kabla ya pasaka ili vapatanje kwitakasa bayenenji.56Bali kumoleyanga Yesu, na kuweleketa kila jumo baada ya jima kuhekalu," Imkufikirianga indi? Kwmaba mkajianga kusikukuu?" 57Gwene muda gu wakulungwa wamakuhani na mafarisayo bashikushoyanga amri kuti ivagag mundu jumo shampanye pali Yesu, anapingwa kushoya taarifa iliu vapatanje kumkamula.
1Siku sita kabla ya pasaka, Yesu ashikwenda Berthania, paliji Lazaro, ambaye anyushie kutoka kwa wawilenje. 2Basi nikangandalianga shalya shi ligulo kwene, na Martha gwamtumishile, gwene mudago lazaro alikutama na ka Yesu pamo. 3Mariamu gwatolile ratli ja manukato gaeleywe na nardo jammbone, na ja samani jikulungwa, na kumpaka Yesu mmakongono, na kumfuta makongono umbo yake; nyumba jowe jashigumbala harufu ja manukato.4Yuda Iskariote, jumo kati ja wanafunzi wake, ambae apinga kumsaliti Yesu, gwalugwile, 5"Kwa indi aga manukato ga ganeuzwa kw adinari mia tatu na kwapanganga masikini?" 6Na shikugulula agano ngao kwaajili jawakwahurumianga masikini, bali kwa sababu ashikuwa mngwii: Jwejula ndio akamwile mng'uko gwa ela na atenda tola baadhi ya indu ili mwemula kwaajili jake mnyene.7Yesu ashikulugula,"Mnekanje avishi shakwete kwaajili ya lyuva lya mashiko gangu. 8Maskini shimenavo mowa gowe; lakini mkavanganga na mne movagowe."9Bai umati gwa mjinji gwa Wayahudi bashikumanyanga kuti Yesu kwaajili kwekula na guvajie ngenenje, nangaa kwa ajili jika Yesu pe na mkali Lazro afufuliwe katika wawilenje. 10Na wakulungwa wa makuhani guvatendilenge mpango ili vamulaganje Lazaro; 11maana wayahudi bavajiji vashikujwanga na nikamng'amini Yesu.12Na lyuva lya vili lyake umati gwa mkulungwa gushikuika kusikuuu. Baada japilikana Yesu anakwia Yerusalemu, 13bashikutolanga matawi ga mishi ja mtende na kushoka nnajo pilinga kumlaki na guvagomilenje nyenye," Hosana! Jwena ashukubalikiwa mnyene aishe kw alina lya Bwana, mfalme wa Israeli."14Yesu ashikumpata mwana-punda gwa mkwelile; mbuti mneila pwijandishwe, 15"Manjogope, binti sayuni; mnole, mfalme jwenu anakwia, ashikumpanda mwana- punda."16Wanafunzi wake vangagaelewa aga ,ammbo ga kwanza; lakini Yesu baada ja kutukizwa, na kuti aga mambo ga ashikujandishilwa na kwamba vashikutendanja aga mambo ga kwake.17Bai likundi lyowe lyaliji pamo na ka Yesu muda gwa mchemile lazaro kushoka kulikaburi, guvashuhudienje kwa vananji. 18N akwa jejino sababu jina likundi lya vandinji bashikwenda kumlaki kwa sababu bashikupilikananga kuti ashikutenda jene ishara jila. 19Mafarisayo gwaveleketenje venevonji kwa venevonji," Mnalolanje lelo mkakombolanga kutenda shoshowe; mnole, ulimwengu gupite kwake."20Na baadhi ja Wayahudi bashikupagwanga miongoni mwaonji wajendangana kuabudu ku sikukuu. 21Na bashikumjendelangaFilipo, amabye ashikushoka Berthaida ja Galilalaya, nkumjuganga nikumnugulilanga,"Bwana, uwe tushikola hamu ja kumona Yesu." 22Filipo gwapite na gwangamalanjile Andera; Andrea na Filipo guvapitekummalanjilanga Yesu.23Yesu gwavavajangwilenje nivelekete,"Muda guishe kwaajili ya mwana juka Adamu kutukuzwa. 24Amini, amini, nakumanjilanga, shipande sha ngano jikagwe nchi niwa, kutama jene hali jo jikape; ila jigaga, shijikole matunda gamanjinji.25Jwene akupinga uhai gwake shaguowie; bali jwene akuchukia uhai gwakepa ulimwengu shagusalimisha mkali uzima gwa yaka. 26Mundu jojowe apingakutumikia mne, na ngagula; nnepuni, na ndio mtumishi jwangu paingapagwa mundu jojowe andumikiaga, na Awawa shavaheshimu.27Lelo mtima gwangu gushifadhaika: na melekete buli? ' Awawa, mngokowe aguno muda guno'? Laki ni kw akukusudia njika aguno muda guno. 28Awawa, mnitukuze lina lyenu." Na lilove guliishe kushoka kumbinguni na kuveleketa," Nilitukwize, na mne shinilitukuze tena." 29Bai mkutano gwaliji tome guvapilikenje, guvavelektenje kutitishiwa mngurumo. Wananji guvalugwilenje," Malaika ashilugula na jweneje."30Yesu gwajangwile nivelekete," Ali lilowe li lyangajia kwaajili jangu, bali kwa ajili jenunji. 31Lelo hukumu ja ulimwengu jipali: Lelo vakulungwa ba ulimwengu guno shivajawepelanga.32Na nne nyinukwaga panani jaz nchi, shinauatanje wowe kwangu." 33Atendavelketa agano alilanguya shawe shiwo shasha.34Mkutano guvamjangwilenje,"Uwe tupilikene katika sheria kwamba Kristoi shadumu hata yaka na yaka. Na mmwe mnalugula,' Mwan jwa Adamu lazima ajinuliwe kunani'? Aju mwana jwa mundu ni gani?" 35Bai Yesu gwavavalanjilenje," Nuru puliji pamo na mmanganya muda kashoko. Mnajindange pawa mketeve mwangaza, ili kwamba luwindu lunakombolanga. Jwene akwenda kuluvindu akukumanaya kwa kwenda. 36Mwanaga amkwetenje mwangaza, muguamininji mwangaza ili mpatanje kuva wana wa mwangaza." Yesu alikuveleketa agala na gwajawile nikwiiya baan mmonanje.37Ingawa Yesu ashikutenda ishara ya ijinji mmujo jawonji, badio vangamng'amininji 38Ili litimilike lilowe lya nabii Isaya, lyaligwile," Bwana, gani ashuhudie bahari yenu? Na mkono gwa Awawa aunukwile gani?"39Na ndio sababu vangamininji, maana Isaya ashikuveleketa tena. 40"Ashikwatobolanga meyo na, kujitenda mitima jawanji vanalolanga kwa meyo na kumumanya kw amitimajawonji, na kuokokanga na nne nikwalamyanga."41Isaya ashikuvelekete aga malowega kuva ashikuguona utukufu gwake na Yesu gwaveekete habari jake. 42Walakini, mkali bakulungwanji bashing'amini Yesu, lakini ni kwa sababu ja mafarisayo, vangakubalinji ili banatengwanga na makanisa. 43Bashikupinganga sifa ya vandunji kuliko sifa ikopoka kwa Mnungu.44Yesu gwaongeze lisauti gwalugwile," Jwene ang'aamini nne, akang'amini nnepone bali anikumng'amini na andumile mne, 45na amona nne na anakumwona andumile.46Mne njikwia mbuti mwangaza gwa ulimwengu ila kila mundu ang'aamini mna anatame paluwindu. 47Iwaga mundu jojowe shagapilikane malowe gani anagakamule,mmne bgammkumwi; maana nangapiga ila kunguhukumui ulimwengu, bali nigwokoe ulimwengu.48Jwene angana nne na akakubali malowe gandu, apali apinga kumang'ukumhu: lene lilowe lilililugwile lyo ndio lipinga kwa ukumu lyuva lya mwisho. 49Maana mmne nangaveleketa kwa nafsi jangu pe. Bali Awawa vambeleshe, vene bashikunanjila na kugatenda na kugaveleketa. 50Na mne mumanyi kuti maagizo gawo ni uzima gwa yaka na yaka; bai na gene gugatenda nne- kama Awawa puvamulanjile, na ndio gugnugaveleketa kwa wonji."
1Lelo kabla ya pasaka, Yesu ashikumumanya kutii muda gwake guishe gw ashoka pa dunia na kwenda kwa Awawa, avaga likukwapinganga vandu vake valinginji pa dunia, ashikwapinganga keje. 2Na Ibilisi tayari avishilwe kumtima guka Yuda Iskariote, mwna ja Simoni, kusaliti Yesu.3Yesu asikumumanaya kwamba awawa vashishile induy yowe. Mmikono jake na kwmaba ashi kushoka kwa Mnungu na atenda kwenda tena kwa Mnungu. 4Ashikujimuka pashalya na gwatandishe pai livazi lyake lya pilanga. Na gavatolile litaulo gwaitavile mnyene. 5Kisha gwatjile mashi mbakuli na kutandua kwana ianga wanfunzi wake na kuwafutanga na litaulo lyake lyaitawile mnyene.6Gwaishe kuka Simoni Petro, na Petro gwamamlanjile,"Bwana, mnapiungang'u kanga makongono gangu?" 7Yesu gwajangwile nikumnugulila,"Ngulilenda ukalimanya mneino, lakini shigulielewe baadae." 8Petro gwammalanjile,"Mkang'uknaga makongono gangu wala kashoko." Yesu gamnjwangile,"Mwanaga ngakuukango shuwe pamo na mne." 9Simoni Petro gwammaka njile,"Bwana, mnang'ukanje makongono gangu pe, bali na mikono na mtwe gwangu."10Yesu gwammalanjile," Jojowe ajojile na akapinga kujoga ila makongono gake , na pali safi shiilu shakeshowe; mmanganya punijingi safi lakini mngaa mmowe." 11Kwa kuwa Yesu ashikummanya apinga kumsaliti na ndio mana ashikuveleketa agala; ngaa mmowe punijungi safi."12Mundu Yesu gwavaukangagaga makongono gawonji, na ashikutola ;ivazi lyake nitama tena, ashikwavalanjilanga,"Je mahimamnyinji sheshila shinitendelenje? 13Mnanjema nne,"Mwalimu" N Bwana aji mnavelekelanga kweli, maana ndio puni. 14Iwaga nne Bwana na mwalimu, njikungukanganga makongono genunji , na mmanganga mnapingwanga mwa ukenganje vajenunji makongono. 15Pava nimpenjilenje mfano baina mmaganga mtendanje mbuti pendendile kwenu nji.16Amini, amini, nakummalanjilanga, mtumwa mngaa jwamkulungwa kuliko Bwana jwake; na wala atumilwe mngaa jwamkulungwa kuliko atumile. 17Mwenaga mgamanyaga anano mambo gano, bai mbalishiwe mgatendaga. 18Naweleketa kuhusu mmanganya mmowenji, kwa kuwa namanyinji naagwilenje- nguna bolekete agano ili maandiko gapingwa kutimililwa:' Jwene alya mkate gwangu ashijinula kisigina chake.'19Nguna kumkamalanjilanga alino ili kabla ikanave koposhelya, ili kwamba pulipinga koposhela, mmanyanje kuamini kutine nne NDIYE. 20"Amini, amini nakummalanjilanga, amboshela nne anamkop[oshela na jwejula amdumile, na jaguta amboshele mne na anakumposhela jwejula andumile nne."21Muda jova velekete aga Yesu, ashukumbuka mumtima, ashikushuhudia na kulugula,"Amini, amini na kummalanjilanga kwamba jumo kati jenunji apinga kusaliti." 22Wanafunzi gwake guvalolenenje, ni kwaajili jikagoni ashikwelekete.23Puvaliji pameza, jumo kati ja wanafunzi wake ashikwinamila pa shifua shika Yesu jwejula ambae ashikumpinga Yesu. 24Simoni Petro ashikumuya mwanafunzi nilugula," Twalanjile ni jwai avelekataga kumngake?" 25Mwanafunzi jula atemi pa shivua shika Yesu na kummalanjila,"Bwana, ni gani?"26Kisha Yesu gwajangwile ,"Ni kukajweju mngupinga na kushovyanga shipandasha mkate nakumpa." Baada ja kunyovia mkate, ashikumpa Yuda mwana jwa Simoni Iskariote. 27Na baada ja mkate, lishetani kwajinjila. Alafu Yesu gwammalanjile,"Sheshila shipingi kushitende ushitende haraka."28Lelo jwakuwa mundu pameza ashikuumaya sababu ja Yesu kulugula ali lijambo kwake. 29Baadhi jawonji bashikuganganishianga kutii, pava, Yuda ashikukamula mngiko gw aEla. Yesu gwammammalniile,"Uma indu yutukipinga kwaajili ja sikuu,"Au ashoye shundu kw amaskini. 30Baada ya Yuda koposhela mkale gwashoshile pilanga haraka; na pwiyalijishilo.31Muda gwa jawile, Yuda, Yesu ashikulugula,"Mwana jwa Adamu,ashitukuzwa na 32Mnungu aishikutukuzwa kati jake. Mnungu shamtukuza katika mnyene, na haraka. 33Vana vavashikipuni, na mmanganya toka busara kushiki. Shindayene mbuti pinalugulilenje wayahudi, kukwindako, mnakombolanga kwia.' na nakummalanjilange mmanganya mnepeile.34Na kumpananganga amri ja mpya, kutii mpinga na nje; mbuti punimpinjilenje mmanganya, mneyo kwa nne nammanganya mnepeile mnapasangwa kupinganana. 35Kwaajili ya ayi vandu shivamumanyanje kwamba mmanganya ni wanafunzi wangu, ivaga mnipinganaga baada ja jumo mpaka juna."36Simoni Petro ashikummalanjila,"Bwana, kumkwenda kwei?" Yesu gwajanjwile,"Mahala pangwenda mneino ukaweza kung'auga, lakini sgungagule baadae." 37Petro gwammalanjile,"Bwana, kwa indi mnamkagule mneino? Mneshinigashoye maisha gangu kwaajili jenu." 38Yesu gwajangiule ,"Je shimungashoye maisha genu kwaajili jangu? Amini amini nakumalaniile, lipongo likakongowela kabla mkanawe ngana mara tatu."
1"Mkanaruhusu mtima gwenu guve gwa lagalaga. Mnakwaamini Mnungu na pia mme. 2Kunyumba ja Awawa yangu gashipagwa makazi gamanjinji gatama; kama ikaliji mneila ngamalanjile, kwa ineyo nakwenda kumngandalia maala kwaajili jenu. 3Mwanaja nyendanga kumkang'andelianga mahala shinyie tena kumkalibishanga kwangu ili mahala puni pepo na mmanganya.4Mgananyinyi mpanda mahala kungwenda." 5Tomaso ashikummalanjila Yesu,"Bwana, tukukunmanya makala kumkwendi, buli!Tunaweza kuumanaya mpanda? 6Yesu gwavavalanjileneje,"Mne ndio mpanda, kweli, na guva gwa mmbone; jwaka apingaika kw aAwawa bila kupitila kwangunne. 7Kama mkamanyinji nne, na Awawa pia mkamanyilenje mnepeile; kwaanzia mneino mpaka kuendelea mummanyiingi na mummweninji jwejula."8Philipo ashikummlalanjila Yesu,"Bwana, mtula ngivie Awawa, na mneyo shitutushe." 9Yesu gwamlungulile,"Ngalijiji pomona mmanyanganji muda gw amneu, na bado ukamanya nne, Philipo? Jojoqwe amweni nne bai aweni Awawa; kw aindi mnalugula, ninanguya nje Awawa'?10Mkaamininji kuti nne ni myumba ja Awawa, na Awawa puvali ,mnyum,ba jangu? Malowe gunguveleketa nga vetekula kw akusudi jangu, bali ni Awawa mam mnyumba gangu ni tenda liengu lyake. 11Mngamini nne kuti mnyumba ja Awawa, awawa muvali mnyumba jangu; mnepeile mng'amini mne kw asababu ja maengo guguyatenda.12Amini,amini nakummalanjilanga, jwene angaminijo, maengo gashitende, shaitendew aino mne ingwitenda; na shitende, mkali liengo likulungwa kw asababu ninakwenda kwa Awawa. 13Shoshowe shimpinga juganga kw alina lyangu, shinijitenda ili Awawa bamanye kutukuza katika vana. 14Mwanaga mjugangaga shindu shoshowe kwa lina lyangu,lyene shinilitende.15Mwanaga shimbambinganje, shimwi kamulanje amri jangu. 16Na shinajuje Awawa, na shivampanganje msaidizi juna ali ave pamo na manganya yaka na yaka, 17Roho jivakweli. Ulimwengu ukaweza kumposhela kwa sababu gukakumuona, au kummanya.Hala hivyo ninyi mnamjua yeye kwa sababu mnakaa nae pamoja na shave nnyumba jenunji.18Ngamnekanga jikape; shimuje kwenunji. 19Kwa muda gwaa, mjinji ulimwengu hautaniona tena, lakini mmanganya mnionanga. Kwa sababu ninaishi, nanyi mataishi. 20Kwa lyene lyuva lya shimumanyanje kuti nne muni mnyumba ja Awawa, na mmanganya shimanganje mnyumba jangu, na kuwapa nne muni mnyumba jenunji.21Jojoe akamula amri jangu na kuvitenda, na ndio jumo ambinga mne; na kambinga mne shapinjwe na Awawa yangu, na shinipinje na shinilangwire kwake." 22Yuda( siyo Iskariote) Gwammalanjile Yesu,"Bwana, shindi shipings koposhele kwilanguya mmayenenji kweduwe na ngaa kuulimwengu?23Yesu gwajabgwile nakulugulilanga,"Kama jojowe akupina mbinga shakamule lilowe lyangu. Awawa yangu shivapinje na shaturishe kungwao na shitutame pamo. 24Jojoe akambinga nne, na akakamula molo ve gangu. Lilove likupilikananga ngaa lyandu bali lya Awawa bandumile.25Njikugalula aga mamboga kwa nunji, wakati maitama miongoni jenunji. 26Mkali mneyo, mfariji Roho Mtakatifu, ambae apingwatumwa na Awawa kw alina lyangu. Shamfundishaje mammbo gowe na shavamtendaje mkumbushilanje yowe yaiovelekete kwenunji. 27Amani nakumpanganga amani janhu. Ngampanga aji mbuti ulimwengu pagushoya . Mnajitendanje mitima jenunji jiwe jaangaike,a na woga.28Mwapilikane nenje puna mmalanjilenje. Nganajaule na shimuye kwenunji. Kama mkambinjilenje mne, mkakwetenje furaha kwa sababau nguna kwenda kw aAwawa, kwa kuwa Awawa wakulungwa kuliko mne. 29Lelo nammalanjilenje kabla ikanawekoposhele kwmaba, muda ikoposhelaga mng'amininji. 30Ngaveleketa nammanganya malowe gamanjinji, pavajivajwa mkulungwa jwa dunia anakwia. Vene wangali nguvu kwangune, 31Lakini kwa kupinga ulimwengu gupate kumanya kutinguna kuwaapinga Awawa, nakukushitenda shivanajie mne, mbuti mneila puvambele amri mnjinukange na .
1Mne ni mzabibu gwa ukweli, na awawa yangu ni vakulima ba mzabibu. 2Kila litawi mnyumba likakola matunda, naukanga kila mtawi ambao gukola na litunda kushoya ili likombole kukola kaje.3Mmanganya tayari mkonjilenje kwa sababu ja ujumbe gunamnugulilenje. 4Mtamanje mnyumba jangu, namne mnyumba jenunji. Mbuti litawi likaweza kukola jikape puli kanawe katika mzabibu, mbuti na mmanganya, makatamanje mnyumba jangu.5Mne ni mzabibu; mmanganya matawi. Mkudumunji mnyumba jangu na mmanganya mnyumba jenunji, ajumundu ju ana kola matunda gamajinji, pava bila mne mkatendanje mambo gogowe. 6Iwaga mundu jojowe shasali mnyumba jangu, shajawe litawi na shajamule, bai nikusanyanga matawi na kugajaa pa moto, na kumala kabisa. 7Mwanaga shitamanje mnyumba janu, na malowe jgangu gadumunji kwenunji, mnanga nje lyolowe likupingaga, shimtendelwanje.8Kwa lyelino awawa yangu bashi kumtukuza, kwamba mnakolanga matunda ga manjinji na wakati wanafunzi wangu. 9Mbuti awawa yangu puvambinjile nne, na mne njikumpinganga mmanganya; mdumunji kuupendo gwangu.10Iwaga shimkkamulanje amri jangu, shimdumunji katika upendo gwangu kama pungamwile amri ya awawa na kudumu kuupendo gwao. 11Njiveleketa aga mamboga ili furaha jangu jiwe kwenunji jiwe timilifu.12Hajino ndio amri jangu, kwamba mpingannje mmayenenji kwa mmayanenenji buti punipinjilenje mmanganya. 13Jwakwa mundu akwete upendo mkuru kuliko huu, kwamba ayatoe maisha gake kwaajili yamarafiki jake.14mwenga ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo. 15Ngakamchemanga watumwa, kwa kuwa mtumwa, akakushimanya shakutendeka bwana wake. Nikakushimanga kuti marafiki kwa sababu nimgulilenje mambo gowe kushoka kwa Awawa.16Mwang'angulange mne, bali mne njikumng'agulanga mmanyanganya na kumminikanga kuti mmanganje kwenda mkalolenje matunda, na litunda lyenuji lipate kutama, ili kwamba shoshowe shikupinga kushijuganga, shimpatanje. 17Aga mambo ga kumnajianga, kwammba napinga nanje kila mundu na kamnjaka.18Mwanaga ulimwengu shigumtolanje mmumanyanje kuti gushikungana nne kabla jenunji. 19Mwanaga mkalinginji na ulimwengu gukampinjilenje mbuti venunji; lakini kw asababu mmanyanga mngaa wa ulimwengu nandio sababu nji kumng'agulana kushoka katika ulimwengu, ni kwa ajili jino ulimwengu una kumtumbalilanga.20Mkumbushilange lilowe linammiugiulilenje, mtumwa mngaa jwamkulungwa kuliko bwana wake; kama vandesenje mne na mmanganya shivamtesanje mnepeile ; kama mnikulikamula lilowe lyangu, balikamwilenje lenunji mnepaile. 21Shivamtendelekanje aga mambo gowe kw aajili ja lina lyangu kw asababau bakakummanyanga jwejula andumile. 22Mwanaga ngaisheje nikummalanjilanga kummalinganilanga, wakanatendanje yambi; laikni bangaliji udhuru kwa dhambi yawonji.23Akambinga mne akakwapinga Awawa mnepeile. 24Nangatenda maengo miongoni mwa ambapo wala jumo angagatenda, wakalinginji kola dhammbi; lakini bashitendanga gowe gawili na balilenje na bandumbalilenje nne na Awawa yangu. 25Ajino kwasababu lilowe litimilke ambalo lijandikwe katika sheria jawonji; banandu mbalilanga nne bila sababu.'26Muda gwa ishe mfariji, ambaye shinimtume kwenunji kushoka kwa Awawa, aju ndio Roho wa kweli, ambaye ashoka kwa Awawa, shivanjuludie. 27Nammanganya mnajuhudianga kwa sababu mchikuvanganga pamo na mne tangu mwazno.
1Njikumnugulkilanga aga mambo ga ili mnakombolanje kukwazwa. 2Shivamchoyanje pilanga ja makanisa, muda guishe ambaye kila apingaulaga shaganishie kutika kazi jatenda jambone kwaajili ja Mnungu.3Shivamtendalanje aga mamboga kwa sababu vakamanyanga Awawa wa vakamanyanga nane. 4Njikumalanjilanga aga mambo ga ili kwmaba muda guikaga gwakoposhele, mnaweza kugakumbukanga na jinsi punimmalanjilenje mwakombolanje venevonji. Nangammalanjilanga aga mamboga tangia mwanzo kw asababu punaliji pamoja na mmanganya.5Mkali nneino, ngunakwende kw avevale bandumile; lakini wala jumo akamuya," Kukwenda kwei?" 6Kwa sababu njiveleketa aga malowega kwenunji, na huzuni gushikugambala mmitima jenunji. 7Mkalinne, nakummalanjilanga ukweli: ni yambone kwenunji nyaulaga; kwa maana nijaule, mfariji akijia kwenu niji, lakini nyendaga shinindume kwenunji.8Ajiaga , jwene mfariji shavelekete na ulimwengu kuhusu mashambi, haki na ukumu. 9Kuhusiana mashambi; ni kwa sababu vangang'amininji nne, 10kuhusiana na haki, ni kwa sababu nguna kwenda kwa Awawa, na mkamonanga tena; na kuhusuna na hukumu, 11ni kwa ja mkulungwa jwa ulimwengu jwa ulimwengu ashikuhukumiwa.12Ngwete gamajinji ga kummalanjilanga, lakini mkagaelewanga mneino. 13Lakini, jwene, Roho jwa kweli, ajiaga, sha,mung'ongozanje katika kweli yote; kwa kuwa shavelekete kwaajili jako mnyene; lakini jojowe apinga kugapilikana, shagalugule mambogo; na shagahakikishe kwenunji mambo gapinga kwiya. 14Jwene apingandukuza nne, kwa sababu shagatole mambo gangu na shangatangazwe kwenuni.15Indi yowe ivakweto Awawa ni yangu; kwa nneyo njilugula kuti Roho shagatole mambo gangu na shagahabakie kwenunji. 16Bado muda mfupi, mkamonanga tena; na baada ja muda gwa mng'upi tena shimmonanje."17Baadhi ja wanfunzi wake nivuyanaga,"Shakutuvalanjila indi,"Muda gwa mngupi, na nkamonanga tena,' n, alafu, muda gwa mng'upi shimonanje,' kwa sababu nakwende kwa Awawa?" 18Kwa mneyo guvalugwilenje,"Shindu shashi shakushiveleketa,' Bado muda gwa mngupi? Tukukumanya paveleketa."19Yesu ashikuona kuti bashikolanga hamu ja kummuya, na gavavalanjilenje,"Mnakwivuyanga mmayenenji kuhusu ali, pumeleketa,'Bado muda gwa mangupi mkamomananga tena; baada ja muda gwa mng'upi shimonanje,? 20Amini, amini, nakumalanjilanga , shimgutanje na kuomboleza, lakini ulimwengu shigushangilie, shimkolanje huzuni lakini huzuni gwenunji shigugeuke niwa furaha. 21Jwandonga anakola na huzuni muda gwa uchungu kwa sababu muda gwa kuigula gwishe; lakini pakwiugula mwana, hakakumbushila tena maumivu kwa sababu ja furaha kwamba mwana avelekekwe kudunia.22Na mmannganya mmnepeile mchikolanga huzuni, lakini shinimonaje tena; na mitiima jenunji shijifurahi na jwakwa apinga kombola kujishoya furaha jenunji. 23Lyene mkumuyanga maswali. Amini,mamini nakumalanjilanga; mnanjugangaga lyolyome kwa Awawa, shivampanganje kw alina lyangu. 24Mpaka mneino mwangajuganga shoshowe kw alina lyangu; mhjugange, na shimoshelanje ili kwamba furaha jenunji jikamilishe.25Njivelekete na mmanganya kwa luga jikamanyikana, lakini lelo shipupagwe muda shimeleketelugha jikammanyikana lakini badala jake shinimmalanjilenje waziwazi kuhusu Awawa.26Lyene lyuvalo shimujange kw alina lyangu, na ngakumnugulilanga kuti ngajuga awawa kwaajili jenunji; 27kwa kuwa Awawa vtayeni vanakumpinganga kwa sababu ja mbinga nne na kwa sababu mchingamininji kutinjikopoka kwa Awawa. 28Njikopoka kwa Awawa na njikwia paulimwengu; tena, najaula paulimwengu na nguna kwenda kwa Awawa."29Wanafunzi wake guvammmalanjilenje,"Ulilola, mneino mnaveleketa waziwazi na mkatumia mmafumbo. 30Lelo tugamanyi kuti mnakugamanaya mambo genu gowe, na ukapinga mundu jojowe kubuye maswali. kwa jene sababu tunakumanya mnashoka kwa Mnungu. 31Yesu gwavajangwilenje,"Lelo mgamininji?"32Mnole , saa jiklikwia, na ndio jiishe,ambapo shimjaulanje kila jumo kumgweke na shimnekanje ne mwene. Lakini ngaajikape kwa Sababu Awawa puvali na mne, 33Nakummalanjilanga aga mamboga ili kwamba mnyumba jangu muwe na amani. Padunia mchikolanga matatizo,mlakini mwipange mtima, nigushindwile ulimwengu.
1Yesu ashikuveleketa aga mamboga, lafu gwajinilwe mayo gake nielekeze mbinguni na kulugula,"Awawa, saa jiishe; mumtukuze mwanajumwe ili na mwana amtukuze mwee- 2Mbuti pumumpele mamlaka juu ya indu yowe , ikwete shiilu ili avapangange uzima gwa yaka na yaka vowenji.3Agu ndio uzima gwa yaka na yaka: kwamba gwakumanyammwe, Mungu wa kweli na mwajikape, najwene mumtumile , Yesu Kristo. 4Njikumtukuza apano pa dunia, na kukamilisha liengo limwambelele nilitende. 5Lelo, Awawa, mdukuze mne pamoja na mmwe kwa utukufu gungwetu, pamoja na mmwe kabla ja ulimwengu kuumbwa.6Njikulinukula lina lyenu kw awandu vumbele pa dunia. Puvalinginji vandu venu lakini mchkuchungamuya mne. Na venevo nji balikamwilenje lilowe lyenu. 7Na vavumanyinji kuti kila shindu shimambele mne kushikopeshele kwenu, 8Kwa malowe gumbele mne- nivapelenje venevonji malowe gowe. Basikugaposhelanga na kweli nikumanya kati mne- kunjwile kwenu ,na guvaminiji kuti mwe ndio mndumile.9Nakwajujilanga vene vonji, ngakujujila ulimwengu, bali vevala vumbele pava vevala venu. 10Indu yowe ambayo yangu ni yenu, na yeila imkwete mwe ni yangu; namne nakumtuukuza Kwa yene. 11Mne najwakwapi tena kuulimwengu, bali vene vo valingiji kuulimwengu, namna lelo nakwia kumgwenu. Awawa matakatishe, mwatunzanje kw alina lyenu lyelila limbelle nne, ili na venevonji bavabgabje na umoja , mbuli mneila mne na mmwe putukwete umoja.12Punaliji najonji, njikwalindanga kw alina limbelel, njikwalenda na jivakwa wala jumo aovila ila mwana jw aova, ili kwamba maandiko galimilile. 13Lelo nguna kwia kwenu; lakini ngunalegula agagano kuulimwengu, ili kwmaba furaha jangu jikamilishwe myumba jawo vayene. 14Njikwepanganga lilowe lyenu; ulimwengu gushitumbala kwa sababu venevonji mngaa ba ulimwengu, kama nne punangali jwa ulimwengu15Nangajujilanga kwamba mwashoyanje pa ulimwengu bali mwalindanje na waaribifu. 16Venevonji mngaa wa dunia mbuti nne puningaa jw aulimwengu. 17Mwavikenje kuuwakfu gwenu mnaijene katika ukweli; lilowe lyenu ndio lya kweli.18Mchikunduma kuulimwengu, na na mme natumilenje paulimwengu. 19Kwaajili jawonji mne ne mwene nakwishoya kumngwenu ili kwmaba na venevonji vaishoya nje kumgwenu kwa kweli.20NGaa avanjipe ngwajujilanga, bali na vevalanji vapingaamininji kupilika lilowe lyao 21ili kwamba na venevonji bavanganje na umoja, mbuti mneila mmwe Awawa, puni myumba jangu na mne myumba jenu. Ngunakwajujilanga ili kwmaba vavangenje mnyumba jetu ili ulimwengu uamini kuti mmwe ndio mndwile.22Utukufu gummbele ua mne- napelenje venevonji, ili kwamba vakolanje kuwa na umoja , mbuti uwe mneila putili na umoja- 23Mne mnyumba jaonji, na mwe mnyumba jangu,ili vakombolanje kukamilishwa katika umoja; ili ulimwengu umanye kutummwe ndio mndumile, na kuwapinga mbuti mneila mmwe pummbinjile, mne.24Awawa, sheshila shimbelemne- Natamani kwamba venevonji bakombolanje kuguona utukufu gwangu, gwegula gummbee: Kwa kuwa mchikumbinga mne kabula ja kuumbwa ulimwengu.25Awawa mkwete haki, ulimwengu gwangammanya mwe,mlakini mne nakummanya mmwe; na vana kumumanyanga kuti mchi kunduma. 26Njikulitenda lilowe lyenu limanyikane kwaonji, na shinilitende limanytikane ili kwamba gwegula upendo ambago gwambilinje mne gukombele kuwa myumba jawonji, na mne ngombole kuwa mnyumba jawonji."
1Baada ya Yesu kuweleketa aga malowega, ashikujaula na wanfunzi wake na kwenda kulikote lya Kidron, ambako jishi kupagwa bustani, ambakojwene na wanafunzi wake guvajinjelenje myumba jake. 2Lelo jwejula Yuda, apinjele kumsaliti, na jwenejo ashikulimanya lyene lieneo lila, kwani Yesu atendiga kwenda kulyelila lieneo lila kila mara kadhaa na wanafunzi wake. 3Na yuda, baada ja kwa shipata likundi lya maaskari na maofisa kushoka kwa bakulungwa wa makuhani, gwavaikenenge na taa, kurunzi na silaha.4Na yesu, ashikushimanya kila shindu shitendeka kwaajili jake, ashikwishoya mmujo ni kwavuyanga,"gani mkumnoleyanga?" 5Gwavajangwilenje,"Yesu Mnazarethi."Yesu gwavalanjilenje,"Mne ndio" Naye Yuda amsaliti,ashikujuma pamo na vavelanji askari.6Kwa mneyo baada ja kwavalanjilanga,"Mne ndio" Bashikujanga mnyuma ningwanganga pai. 7Halafu gwavavushienje tena,"Gani mkunoleyanga?" Guvamjangwilenje tena,"Yesu Mnazarethi."8Yesu gwahangwile,"Nimnugulilenje kutomne ndio; kwa mneyo mwanaga mkunole yanga mne, mwa;lekanje avanji bajaulanje." 9Aga pugaliji mneila ili kwamba alilalilowe liukatimilile; Pepala palugwile;"katika veva;la vumwambele ngangamgovia wala jumo."10Ndipo Simoni Petro ashikukoloala upanga, nikufuta na kumkata lishikilo lya kulia mtumishi jw akuhani mkuu. Na lina lyake lyaliji Marko. 11Yesu gwavalanjilenje Petro,"Ujanajo upanga gwako ku ala jake. Kwa indi mnanywe shikombe shivambele Awawa?"12Bai likundi lya askari na jemedari, na watumishi wa wayahudi, bashikumkamulanga Yesuy nukumtava. 13Na vashikumnongeleyanga mpaka kwa Anasi, kwani jwenejo ashikuwa mkwe jwa Kayafa, ambaye aliji kuhani jwa mkulungwa shene shakashila. 14Lelo Kayafa kwapanganga ushauri wayahudi kuti inapingwa mundu jumo awe kwa ajili ja wandu.15Simoni Petro ashikumkagula Yesu, na mnepeyo mwnafunzi juna. Na jwejula mwanafunzi atendamanyikana kw akuhani mkuu, na gwanjinjile pamo na ka Yesu katika libewa lya kuhani mkuu; 16lakini Petro ashikumjima pamnagngopilanga bai jwejula mwanafunzi amanyinaga kw akuhani mkuu, ashiukushoka pilanga nikwenda kunguluka na jwejula jwandonga mtumishi alindaga pepala pa mnango na kumjinjia Petro mnyumba.17Bai jwejula jwandonya alinagula pamnango, ashikummalanjila petro," Ugwe ngajumo jwa wafusi wa aju mundu ju?" 18Na jwene gwalugwile,"Mne ngaa." Na vevala vatumishi vya wakuuu batendiji mangapepala, na baashikukolenga moto gwa maana, kwaajili ja mbepo, na batendajotanga moto ili vapatanje lyoto. Na Petro alijipepala, alijota moto akuno ajimi.19Kuhani mkuu ashikumkg'onji Yesu juu ja wanafunzi wake na mafundisho gake. 20Yesu gwamjangwile,"Niguvalanjile waziwazi ulimwengu, mnenjifundisha mara kwa mara mmakanisa na hekalu mahala ambapo Wayahudi vanakusinyikanag. na mnenanga lugula lyolyowe kwa ia. 21Kwa indi mchikumuyanga? Mwavuyanje vambili kenenje juu ja sheshila shimelekete. Hawa wandu wagamanjinji agala mambo gumelekete.22Yesu baada ja veleketa mneila,mjumo jwa wakuu ashikujima na kumkoma Yesu kw amkono gwake na niveleketa,"Mneyo ndio pikangwa gumjangule kuhani jwa mkulungwa?" 23Naye Yesu gwamjwngwile,"Kama njiveleketa shindu shoshowe shangalimana bai uwe shahidi kwaajili ja uharibifu, na kama nimjangwile ukoto kw aindi vangome? 24Na ndipo Anasi gwangampelesha Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akuno atavilwe.25Sasa Simoni Petro ashikujima alijato moto mnyepe akuni ajimi, halafu vevala vandu guvammalanjilenje,"Ugwe ngaa jumo jwa wanafunzi wake?" Ashikukena ni lugula, "mnengaa." 26Jumo jwa watu ishi wa kuhani mkuu, aliji mpwake jwa shileu jwejula amkatile Petro lishikilo, ashikulugul;a,"Kwani mngaa mmwe na mweni najo kabustani?" 27Petro gwakanile, na mara lipongo gulikongowele.28Na guvamtolilenje Yesu kushoka kwa Kayafa mpaka ku praitoria. Pulyaliji lyambape, bayenenji bangajinjilanga kwa Pritoria ili babananajisikanga nilya pasaka. 29Kwa hiyo Pilato gwavajendelenje alilugula,"Ni lishitaka lyashi likumgusu sju munduju?" 30Guvamjangwilenje na kummalanjila,"Kama aju mundu akatendilenje gangali tukanamnjina kwenu."31Pilato gwavavakalenjilenje,"Mumtolanje mmanganya mmayenenji mkamngukamunji kulingana ba sheria yenunji." Na wayahudi gwammalanjilenje,"Sheria jikaturuhusu awe kummlaga mundu jojowe." 32Bashikuveketanga agano ili lilowe lika Yesu litimilile, lilowe ambalo llyalugwile juu ja aina ja shiwo shake.33Basi Pilato gwajinjile tenaPraitoria angamchema Yesu; gwangammalanjile,"Ugwe ni mfalme gwa Wayahudi?" 34Yesu gwamjangile,"Je ugwe unamuya ali liswali ili kwa sababu wanapingnga kumumanyanga au kwa sababu vanapinganga umuyyepe mne?" 35Na pilato gwamjangwile ,"Mnengaa myahudi, au angaa mneyo?" Litaifa lyenu lya kuhani mkuu na ndio bamjinagonji kwangu; ugwe yutendile indi?36Yesu gwajangwile ,"Ufalme gwangu mngaa gw aulimwengu aguno, mwanaga ufalme gwangu ukaliji katika agu ulimwengu watumwa vangu wagangomelenje ili mnashoshe kwa Wayahud. Kw akweli ufalme gwangu ukoakopoka apano" Basi 37Pilato gwamlanjnjile,"Ugwakwani ni mfalme?"Yesu gwajangwile,"Ugwe ndio leveleketa kuti mne ni mfalme, kwa sababu nne njivelekwa pailimwengu ili mme shahiidi jwa kweli. Jojowe ali jwa kweli anakujipilikana sauti jangu.38Pilato gwamnugulile,"Ukweli ni indi?"Na pamaliye kuveleketa aga gwapile kwa waya hudi kwavalanjilanga,"Nangaona shindu shoshowe kukkajiya. 39Mmanganya mchikolanga uatamaduni undenda nimgulile mfungwa jumo kwa muda gwa pasaka. Buli mnapinganga nimgulile mfungwa jumo jwa wayahudi." 40Na bashikukomanga nyenye balilulanga mngaa aju, tumgulile Baraba." Kwasababu Baraba ashikuva mnyang'anyi.
1Pilato ashikumtola Yesu nikumkoma. 2Maaskari guvasokotanje miba na kwalaya taji guvavisheleje panani ja mtwae guka Yesu na kumvalishanga livazi rangi ja zambarau. 3Guvanjilenge na kuvelekta,"Mwe ni mfalme wa Wayahudi! na nkumkomanga na mikono jawonji.4Alafu Piulato ashikushokapilanga na kuvavalanjilanga vandunji,"Mnolanje nakuupoleshelanga aju mundu kwenunji ili muumanyanje kuti mne nangaona hatia jojowe kukajwene." 5Kwa mneyo Yesu gwakapweshe pilanga; ashikuwala taji lya miba na livazi lya zambarau. Na ndio Poilato gwavavalanjilenge,"Monolanje mundu aju apa!" 6Kwa mneyo muda kuhani mkuu na wakuu puvammweninji Yesu, nitaganga nyenje na baliveleketanga,"Mumtesanje, mumtesanje." Pilato gwavavalanjilenje,"Mumtolanje mmayenji mkatesanje, kw akuwa nne ngakujiona hatia ndani jake."7Wayahudi guvamjangwilenje Pilato,"Uwe tukwete sheria, na kwa jena sheria ja anapaswa kuwa kwa sababu jwenejo ashikutenda kuti mwan jwa Mnungu." 8Pilato papilikene aga malowe ga ashikupunda kuveleketa, 9guvajinjile tena ku praitoria na kummalanjila Yesu,"Ugwe kukoposheka kwei?" Mkali mneyo, Yesu angajangula.10Alafu Pilato gammalanjile,"Kwani ugwe ukavelekete na mne? Kwani ugwe ukakumumanaya kuti mne njikola mamlaka ga kukuguula na mamlaka ga kukutesa?" 11Yesu gwajangwile,"Ukanakole nguvu kwa ngune mwanaga ukapwileje kushoka kunani. Kwa mneyo, mundu anjoishe kumgwenu ashikola dhambi jikulungwa."12Kushokana na lijibu alino, Pilato gwapingile kumneka huru, lakini wayahudi bashikugombanga nyenye balikutinji,"Mwanaga mumkekaga uhuru bai mmwe mngaa rafiki jwa Kaisari: Kila akwitenda mfalme anaveleketa kinyume shika Kaisari." 13Pilato pagapilikene aga malowe ga, gwamnjinajo Yesu pilanga gwateminajo pa kiti sha hukumu, pepala pamanyikene kama sakafu, lakini kwa kiebrania, Gabatha.14Lyuva lya maandalizi ga pasaka kuika, muda gwa saa sita. Pilato gwavavalanjilenje wayahudi," Mnalolanje mfalme jwenunji aju apa!" 15Gwakomilenje nyenye," Mumchoyanje, muchoyanje, mumtesanje!" Pilato gwavavalanjilenje,"Buli nimtese mfalme jwenunji?" na kuhani mkuu gwajangwile," Uwe twangali mfalme isipokuwa Kaisari." 16Na ndio Pilato pamshoshie Yesu ili ateswe.17Na guvamtolilenje Yesu, na jwene gwashoshile, akuno autolile msalaba gwake mnyene mpaka, ku lieneo lyashemwagwa lifuvu lya mtwe, kw akiebrania linashemwa Golgotha. 18Na ndio puvamtesalenje Yesu, na valume bavilinji, jumo agu upande na juna agu upende, na Yesu pakati jawonji.19Na Pilato gwajandishe alama ja kujivika panani ja msalaba. Pene pushikujandikwa: YESU MNAZALETHI, MFALME JWA WAYAHUDI. 20Wayahudi vavanjinji vashikushomanga jene alama jila, kw apepala pasulubishwe Yesu pupaliji lome namji. Jene alama jojishi kujandikwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.21Na bakuru ba makuhani na wayahudi guvammlanjilenje Pilato,"Unajandishe mfalme wa Wayahudi; bali jwene ashikulugula mne ni mfalme wa Wayahudi." 22Naye pilato gwavajangwilenje," Gunigajandishe nigajandishe."23Baada ja askari kumtesanga Yesu, bashikutolanga mavazi gake na kugagawanya mafungu mcheche, na kla skari lifungu limo, mnepeyo na kanzu,mlelo jene kanzu jila jikashonilweje, bali jishifumwe jowe shoka kunani. 24Alafu guvalagulilenje vanavonji kwa venevonji," Tunajipapule,ila kukomanje kila ili tulole shijiwe jika gani." Alino lishikukoposheka ili alila liandiko litimilile, lilugula kuti bashikugawanga mnguo yangu, na livazi lyangu guvalokomelenje kura."25Askari bashikutenda aga mambo aga. Amama yake Yesu, adada wa amam yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena- vene vandonyanji va bashikujimanga tome na msalaba guka Yesu. 26Yesu baada ja kuwona amama yake na jwejula mwanafunzi ampinjile bajimindi tome, gwavavalanjile amam yake," Mmandonya, mnole, mwana jwenu aju apa!" 27Na gwammalanjile ajula mwanfunzi,"Lola ava apa amama yako,"Tokea gwenemuda gula mwanafunzi gwamtolite kwenda kumngwake.28Baada ja lyelila, Yesu ashikumumanya gowe gamalishishe ili kumaliya maandiko, gwavelekete,"Naona mnjota." 29Chombo shagumbele ndimu pushaliji pepala, kwa kijo guvavishilenje sifongo jigumbele timu panani gw aufito gwa hisopo, guvamishilenje pa lugomo lwake. 30Na Yesu papashiejejila, gwalugwile,"Jimalie." Na gwainamishe mtwe gwake, gwaukabidhi mtima gwake.31Kwa kuwa pugwaliji muda gwa maandiko, na kwa sababu ila ikapigangwa igala panani ja msalaba muda gwa sababto( pawa sabato pajaliji lyuva lya muhimu), wayahudi vashikumjuganga Pilato kuwa makongono gawonji vevala valindilwenje, gatemeshe na kwamba ilii yawonji itulushwe. 32Na ndio askari guvaikenengenje nikwia temanya makongono jwa kwabza na jwa witi aliji alilindiluilwa nako Yesu. 33Puvamng'ishilenje Yesu, bashikumng'imananga tayari awilke, kwa mneyo vangalemanyanga makongono gake.34Mkali mneyo askari jumo ashikumangoma Yesu mkuki paubavu, na mara gugashoshile mashiga minyai. 35Na alolile gegala ashiishoya ushahidi, na ushahidi gwake ni gwa kweli jwene aumanyi kuti shivelekete ni sha kweli na mmanganya mngamininji.36Aga mambo aga gashitendeka ili lyelila lilowe liligwile lila lipate kutimilika," Gwakwa wala gwake gumo gupinga temywa." 37Tena liandio linaveleketa," Shivamnolanje jwene juvamchomilenje"38Baada ja aga mambo ga Yusufu jwa Armathaya, kwa vile ashikuwa mwanafunzi juka Yesu, lakini kwa kuiiya kwajogopanga Wayahudi, ashikumnmjuga Pilato kwamb aautole mwili guka Yesu. Nayer jwene gwamnpele ruhusa, kwa mneyo Yusufu gwaishe nikwya kushoya shiilu shika Yesu. 39Na jwajwene Nikodemu na apoa pamwaza ashikumkagula Yesu ashikukagula Yesu ya kwamba shilo na jwene gwaishe. N aashikwia najo mchanganyiko gwa manemane na udi, gwampatile uzito gwa ralili mia moja.40Kwa mneyo guvautolilenje mwili guka Yesu guvautavilenje msanda ja kitani pamoja na gegala manukato, mbuti pujaliji desturi ja wayahudi muda gw akushika. 41Mahala pateswaga Yesu jishikupagwa bustani; na pepala pa busatani kulikua na likaburi lya mpia, ambalo jwakwa mundu aliji aliwai kushikwa mwenula. 42Bai, kw akuwa ishi kw asiku ja maandalio kw aWayahudi, na kw amneila lyelila likaburi pulyaliji tome, bai nikuyonekanga Yesu mnyumba jake.
1Mapema lyuva lya kwanza lya juma , kuli bado luwindu, mariamu magdalena ishikwia kulikaburi; gwa;liwene liganga lichoshiwe palikaburui. 2Kwa mneyo niutuka kwa nguvu nikwenda kuka Simoni Petro na kukajwejula mwanafunzi amnbaye Yesu ashikumpinga, na gwammalanjile,"Washikumtolanga Bwana kulikaburi, na uwe tukakumanya kuwa mgoneshe."3Kisha Petro na jwejula mwanafunzi juna guvashoshilenje, nikwenda kulikaburi. 4Wowenji vashikuutanga kwa pamo,; jwejula mwanafunzi juna ashikuutuka kwa nguvu kaje ni nikumpita Petro nivajwa kwanza kuika kulikaburi. 5Gubvajimi na gwalolile mnikaburi; gwajiweni sanda ja kitani jigonile, lakini hangajinjila mnyumba.6Kisha Simoni Petro gwaishe na gwijingile mnikaburi, gwajiweni jejile sanda ja kitani jigonie pepala 7na leso jaliji mutwe gwake jikagonileje pamo na sanda ja kitani ila jishikugona panyenje jikape.8Na ndio jwejula mwanafunzi juna gwanjile mnyumba ja likaburi; gw aweni na gwaamini. 9Kwa kuwa mpaka gwegula muda gula puvalinginji bado kugamanya maandiko kwamba ishi kupingwa Yesu ayushe Tena katika vandu vawilenje. 10Alafu wanafunzi guvajaulenje tena kumngwa wonji.11Hata hivyo, Mariamu ashikujima palikaburi aliguta, paendelea kuguta ashikujima na kulola mnikaburi. 12Gwagaweni malaika gawili vakwetenje sura janawa vatemini jumo kumtwe na juna kumakongono mahala pagonile 13Yesu. Guvammalanjilenje,"Jwandonga kw aindi unaguta ,"Gwavavalanjilenje,"Ni kwa sababu vashikumtolanga Bwana jwangu, na nne ngakummanya kuvamishilenje."14Pamaliye kuweleketa agala, ashikugeuka nikumona Yesu ajimi. Lakini angaumanya kuti ashikuwa Yesu. 15Na yesu gwammaalanjile,"Amama, kwa indi mnaguta?" Mkomnolaye gani?".Na atendaga kumanaya kuti mtumza bustani gwammalanjile,"Bwana, mwanaga mmwe mnumtolile, mmalanjile kummuishile, na mme shinimtole."16Yesu gwammalanjile," Mariamu.". Na gwegawishe mnyene na kumnugulila kwa kiaramu,"Raboni," Yaani sawa na kulugula,"Mwalimu." 17Yesu gwamalanjile,"Unagwaye, kwani bado nangaguruka kwenda kwa Awawa; bali ujende kwa ashapwanji ukavalanjile kuti mbingaguluka kwenda kwa Awawa yangu a,mbaye pia ni Awawa yenunji, Mnungu jwangu na Mnungu jwenunji." 18Mariamu Magdalena gwaishe nikwavalanjila nga wanafunzi wake,"Njikwaona Abwana," Na bashimalanjila agano mambo gano.19Na pwiyaliji ligulo, lyene lyuva , lyuva lya kwanza lya juma, na milango jishikuugalwa mahala wanafunzi puvalinginji kkwa kuwaofia wayahudi, Yesu ashikwiya na kujima pakati ni kwa valanjilanga,"Amani jiwe kwenunji." 20Pamalie kuweketa aga gwavalagwiyebje mikono jake na ubavu gwake. Na wanafunzi puvaweninji Awawa baashikufurahinji.21Alafu Yesu gavamalanjile tena," Amani jive na mmanganya. Mbuti mneila Awawa puvandaumile mne, na mnepeyo mne na nakumtumanaga mmanganga." 22Yesu baada ja kuveleketa aga, gwavavuvienje na kwa lugulilanga,"Mposhelenje Roho Mtakatifu. 23Jojowe asamaehe dhambi, asamewe; na vevala mpinga kwaugalilanga shivaugalilwanje."24Thomaso, jumo jwa wewalanji kumi na mbili, ashemwagwa Didimas, akaliji na wanafunzi vyajakenji paishe Yesu. 25Wanafunzi vananji gwammlalanjilenje baadaye," Twaveni Abwana." Na gwavavalanjilenje," Kama bgaiona alama ya mishumari katika mikono, na kuvika ikowe yangu kwenen kualama, na kuvika mikono jangu kuubavu gwake ngaamini."26Baada ya mova nane wanafunzi balinginji kuchumba tena, Na thomaso aliji pamo na onji muda gwa milango ugalwa Yesu ashikujima pakati jawonji. na kuveleketa,"Amani najiwe na mmanganya." 27Na gwammalanjile Thomaso, eu lokowe lwako na uone mikono jangu; eu apano mikono jako na uvishe ku ubavu gwangu; wala unakose kuamini bali uamini."28Na thomaso gwajangwile na kuwalulilanga," Bwana wangu na Mungu wangu." 29Yesu gwamnugulile, kwa kwaa mchomonamngamini. Wabarikiwenje vene vaamininji, wa kumona."30Na yesu ashikutenda ishara ya injiji pamujo ja wanafunzi, ambayo ikajandishwe je katika ashino shitabu; 31baliaino kuyandikwa ili tupate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana jwa Mnungu, na kwamba pumpinga amininjipo mkolanje uzima katika lina lyake.
1Baada ga aga mambo Yesu ashikwihidhidhirisha kwa wanafunzi katika bahari ija Tiberia; mnei ndio paidhihirishe mnyene: 2Simoni Pewtro aliji pamo na Tomaso ashemwa Didimas, Nathanaeli jwa kana ja Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi vananji vavilingi baka Yesu. 3Simoni Petro gwavavalanjilenje,"Mne nakwenda kuvua yamaki."Na venevonji guvammalanjilenje, nauwe, mnepaile tupinga kwenda ugwe."Guvapitengenenje na guvajinjelenge mmashua lakini shene shilo showe vangapatanga shindu shoshowe.4Na lyamba pugushele, Yesu ashikujima muufukwe, na wanafunzi vangaumanyanga kuti paliji Yesu. 5Kisha Yesu gwavalanjilenje,"Vijana, mkwetenje shoshowe sha lya?" Na guvamjangwilenje,"Hapana." 6Gwavalanjilenje,"Mtelemshanje nayavu upande gw akulia gwa mashua, na shumpatanje kiasi." Kwa mneyo guvalelemuyenje nyavu na vangakombolanga kuitwa tena kwa ajili ja gwinji gwa samaki.7Bai jwejula mwanfunzi ampinjile Yesu gummalanjile Petro,"Ni bwana." Na Simoni Petro papilikene kuti Bwana, gwaitawile livazi lyake( maana akawalileje ukoto), na gwaigulwije mbahari. 8Wanafunzi wananji guvajiilenje kumashua( Kwani vakalinjinjiji mbali na pwani, kama mita mia moja kushoka ufukweni), na batenda utanga yene nyavu ila yagumbele yamaki. 9Puvaisheni pa ufukwe bashikuonanga moto gwa makala pepala na panani ishikupagwa yamaki na mkate.10Yesu gwavavalanjilenje ," Mjianajinji baadhi ya yamaki mvuvi lilenje mneino." 11Simoni Petro gwavalekete na kugulo kota agula wavu gwagumbele yamaki yaikulungwa, kiasi ja yamaki 153; japo pwiyaliji yanjinj, ila wavu gwangapapuka.12Yesu gwavavalanjilenje,"Njilangananje kumpatanje shaliya sha lyamba." Jwa kwa mwanafunzi wal jumo alinjile kumuya, ugwe gani?"Bamumanyinji kuti puvaliji Bwana. 13Yesu gwaishe, gwatolile gwene mkate gwa gwavapelenje na gwavetendite mnepeyo yamaki. 14Aji ni mara ja tau Yesu kuidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ja kuyuka toka kwa wawilenje.15Baada ja kuwa shalya sha lyamba, Yesu gwamalanjile Simoni Petro,"Simoni mwana jw aYohana je uklimbinga?" Petro gwammalanjile,"Hero, Bwana;"Ugwe ulikumanya kuti nakupinga."Yesu gwammalanjile," Ili henaya ya ngondolo yangu." 16Gwamamalanjile gw avili,"Simoni mwan juka Yona, Buli ulimbinga/" Petro gwamalanjile," Hero, Bwana, ugwe ulikumanya kutii nakupinga." Yesu gwa mmalanjile,"Shunga ngondolo yangu."17Gwa mmalanjile tena mara ja tatu," Simoni, mwana jwa Yohana,Je ulimbinga?" Na Petro ashikukola aibu kwa mneila ashikummalanjila mara tatu, buli ugweunimbinga?" Na gwammalanjile,"Bwana, ulikuigamanaya gowe; ulikummanya kwa nakukupinga."Yesu gwammala, lisha ngondolo yangu. 18Amini, amini, nakuambia, mpumwaliji kijana mchikuovelela kuwala mnguo ammayene na kwenda kokowe kumwapingaaga; lakini pushiwe mzee, shimnyoohe mikono jenu, na juna shamgwashe mnguo na kumpeleka kumkapinga kwenda."19Yesu ashikugalalula agano ili kulangauya ni aina janshi ja shivo ambacho Petro akamtwize Mnungu; Baada ja veleketa aga, gwanumnugulile Petro," Ngagula."20Petro ashikugeuke nakummona jwejula mwanaafunzi ambaye Yesu ashi kumpinga gwawakagwilenje- Aju ndio agonile pa shivua shika Yesu wakati gwa shalya sha ligulo na kummuya,"Bwana, gani akupinga kumsaliti?" 21Petro ashimmona na gwammushie Yesu,"Bwana, aju mundu shatende indi?"22Yesu gwamjangwile,"Kama mngupinga aigale mpaka pungakwia, iyene likamgusa indi?" Mngagule." 23Kwa mneyo aji habari ji gujiyyenale mwa wemelanji ndugu, kw ajwene mwanafunzi hakawa. Lakini Yesu angammalanjila Petro kutii, aju mwanafunzi ju akawa," Kama napinga jwene aigale mpaka pungakwia unakumng'usu indi?"24Aju ndio mwanafunzi ashoya ushahili kwa aga mamboga, na tunakumanya kutii ushahidi gwake ni gwa kweli. 25Gashikupagwana mabo gana gamanjinji Yesu ashikugatenda. Kama kilalimo likajandishwe , namumanyi ulimwengu guyene gukanakombole na gukanatoshe kuvika itabu ijandikwe.
1Shitabu sha bukala shikujandikwa, Theofilo, Nugulaga yowe Yesu patandwiwe kurtebda na kufundisha, 2Mpaka lyuva jwenejo papoashwelele kunanin jeneji baada ya kushoa amri kupitila Roho mtakatifu kwa mtume avaagulenje. 3Baada ja mateso gake, Jwenejo ashikuonekana Kwaonji akuwa hai na vithibitisho vyagumbala vikishuhudia kwa mova arobaini ashikujidhihirisha kwaonji na shikurugula kuhusu ufalme gwa Nnungu.4Ashikuimana pamoo na vanevo ashikuamuru wanajaulanje Yerusalemu, lakinivajindilile kwaajili ja ahadi, ja awawa, palugwile "Mshikupilikana kushoka kwangune 5Kwamba Yohana ashikubatizwa kwa mashi, lakini shimbatizenje kwa Roho mtakatifu katika mova gachache."6Pavaimene pamoo washikuuya, "Bwana gwenegu ndio muda pumpinganga ujanago ufalme gwa wa Israeli?" 7Gwavalugulenje, "ngava sawa kwenunji kumanya wakati au majila ambayo awawa vashikusudia kwa mamlaka gake" 8Lakini shimposhelanje mashili wakati Roho mtakatifu papingakwiya juu jenunji na mmanganyanji shimve mashahidi wangu kawe Yesrusalemu na uyahudi na samaria mpaka mwisho wa nchi."9Bwana Yesu baada ja lugula genega wakati walilonga kunani jwenejo ashikunyakulwa kunani na liunde lishikumfunika ili wanamwone kwa meyo gao. 10Wakati walilonga kunani kwa makini alikwenda ghafla vandu vavili vashikujimanga katikati jaonji vashivala mavazi ganawe. 11Vashikulugulila, "Enyi vandu va galilaya, kwasababu jashi manjimanga pepano na kulola kunani?" jwenenju Yesu apalile kunani shavuje malinga pumkumonanga malinga pakwenda kunani.12Ndipo shivaujanje Yerusalemu kushoka kwewnye shitumbo sha mizeituni, toome na Yerusalemu, mwendo gwa miova ga sabato. 13Pavaishilenje vashimkwendanga kuligoro fa kuvitamilenje Veneo ni Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Thomaso, Batholomayo, Mathayo, Yakobo, mwana jwa ALfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana jwa Yakobo. 14Vowe vashikuungana malinga mundu jumo, kwa juhudi vashikujendelela katika maombi. pamoo na venevo vashikumpangwanga vandonyanji, Mariamu amama jake Yesu na Akaka jake.15Katika gene mova gala Petro ashikumjima katikati ja ashapwanga jake, kama vandu 120, akalugula, 16Ashapwanga jishikuva lazima kwamba maandiko gatimizwe, ambapo vukala roho mtakatifuashikumlulgulila kwa kang'wa ja Daudi kuhusiana na Yuda, ambaye ashikuwatelekezanga wamkamulanje Yesu.17Kwava jwenejo ashikuwa jumo jwetu lienalo kwasheshila shaposhele kwa uovu gwake na penepo 18ashikumlugulila gwatanguliye mtwe, shiilu shishikupapuka na matumbo gake gowe gashikuwa wazi na gashikummwagika, 19Vowe watemenji Yerusalemu vashikupilikana kuhusu Yeneyi, kwa nneyo likaja lyao vashikulishemanga kwa lugha jao "Akeldama" ngunda gwa minyai'')20Kwenye shitabu sha Zaburi jishijandikwa Mninde lieneo lyake live lihama na anapagwe jwa ruhusiwa hata jumo kutama kuishi pepala na ruhusu mundu juna atole nafasi jake ja uongozi.'21Jenejo ni muhimu kwa nneyo, jumo jwa shileu ambao ashikuwaubana na uwe wakati Bwana Yesu pashoshile na kujinjila kati jetu, 22Kutandiwa kwa ubatizo gwa Yohana mpaka lyuwa lwatwaliwe kunani, lazima ave shahidi jwa ufufuo pamoo na uwe, 23Gavavishiulenje mmujo vashileu vawili, Yusufu ashemilwe Barnaba pia ashikuitwa Yusto na Mathia.24Venevo vashikujuganga guvalugulenje, "Gwegwejo, BNwana umanyile mitima ja wandu wowe, nneyo uvike wazi gani kati ja wawili ambaye ushikumgagula. 25Kutola nafasi katika huduma na utume, ambapo Yuda ashikutenda uovu na kwenda mahali pake" 26Guvagombilenje kura kwaaajili jao na kura jishikummwagika Mathia ambaye ashikuhesabiwa pamoo na vevala mitume kumi na moja.
1Pujishile mova ga Pentekoste vowe washukutamanga pamoo sehemu jimo. 2Ghafla gashikumkoposhela muungurumo kushoka kumbinguni malinga mbungo jajikali, Gashimkuguubala nyumba mowe puvaliji puvatemanje. 3Penepo jishikukoposhela ndimi malinga ndimi ja moto igavanyishe kunani kwao kila jumo. 4Venevo wowe vangumbelenjwe na Roho mtakatifu na vatandulenje kuveleketa kwa lugha jina malinga roho mtakatifu pawajile kukunguruka.56Inaino washikumpagwangwa Mayahudi vatamanganga Yerusalemu, vashikumcha Nnungu kushoka kila litaifa pai ja mbingu. Ngurumo yeneyi puipilikene, likundilya vandu lishikwiya pamoo na vashikumvanganga na wasiwasi kwasababu kila mundu ashikwapilikananga valitongola kwa lugha jaonji vayenenji. 7Vashikuduwaa na kushangazwa wao watendalugula, "Kweti" veneva vowe valugula ngava wa Galilaya?8Kwanini uwe tunakuwapilikana kila jumo na lugha javelekwenayo? 9Waparthia na Wamedi na walemavu na venevo vatamanga Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, na katika Ponto na Asia, 10Katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ja Libya hata Kirene, na wageni kushoka Rumi, 11Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunapilikana washiweleketanga katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza gwa Nnungu."12Wowe washidumaanga na kutatanishwa; washiweleketanga wao kwa wao, vayenenji kwa vayenenji "Jenenji jishikola maana jashi? 13Lakini vananji vashikudhihaki na lugula, "Veneva Vashikugumbalangwa kwa mvinyo gwa yambi."14Lakini petro ashikujima pamo na vevala kumi na moja, na kupaza lilowe gwalugwile, "Vandu va Yudea na vowe mkutamanga penepa Yerusalemu, hili limanyikene Kwenunji mpilikashianje kwa makini malove gangu. 15Vandu hava vangalelwa ma;linga pakuza nianga, Sababu nnaino lyamba saa tatu.16Lakini lyeneli lishikulugulwa kupitila kwa Nabii Yoeli: 17Shiive katika mova ga mwisho, Nnungu analugula Wana Shinyae Roho wanga kwa vandu vowe, Wana venu na binti zenu shuvashoye unabii, Vijana venunji shivalole Maono, na wazee venunji Shivashoye Ndoto.18Vilevile juu ja watumishi wangu na watumishi wangu vandonya katika mova genego, Shinyae mtima gwangu na venevo shivatabiri. 19Nitaonyesha maajabu Kuangani na ishara pai padunia, Minyai, Moto na mafusho ga moshi.20Na lyuva lipingabadishwa kuwa luvindu na mwei, kuva minyai, Kabla jikanave ika sikukuu na ya ajabu ja Bwana. 21Shiive kwauba Kila mundu shaashewe lina la Bwana shaokoke,'22Vandu va Israeli mpilikenje gea malove ga Yesu wa Nazareti, Mundu athibitishwe na Nnungu kwenunji kwa matendo ya uwezo na maajabu, 23ashoshiwe na mmanganyanji kwa mikono ja Vandu wahalifu, Mlimsubilisha na kummulaga, 24Ambaye Nnungu ashimkujinula, na kushoya uchungu wa mauti kwake, Kwasababu yangawezekana kwake kumilikiwa na huo.25Nneyo Daudi analugula kuhusu jwejeno, "Njikuwaona Bwana daima kumeyo kwangu, Jwenejo pali mmakono mwangugwa Kulia nneyo ngaegejela. 26Nneyo mtima gwangu ushikuva na Furaha na uhuni gwangu ulifurahishwa pia shiilu shangu shiishi katika niujasiri.27Shiujila nafsi jangu jijende kuzimu wala hatutaruhusu mtakatifu jwako kulola uozo. 28Ugwe Ushidhiwisha kwangune mpanda gwa uzima, Shiuende ngumbale furaha mbele ja Uso gwako.'29Ashapwanga ninaweza kuungunika kwanunji kwa ujasiri kuhusu Awawa yetu Daudi, Ashikuwa na zikwa na likabuli nlyake live pamo na uwe mpaka lelo. 30Nneyo Ashikuva Nabii na ashikummanya kuva Nnungu ashikuapila kwa kiapo shake kwamba shavishe jumo katika uzao wake kwenye shitengu sha enzi. 31Ashikulilola lyeneli shaangupe na sshikuwalugulila kuhusu ufufuo wa Kristo wala jwangalekwa kuzimu wala shiilu shake shangabola.'32Aju Yesu Nnungu ashikumfufua ambao tuwowe ni mashahidi. 33Kwa nneyo ashikuiniuliwa katika mkono bwa kuume wa Nnungu na akiwa aposhele ahadi ja Roho Mtakatifu kushoka kwa Awawa, jwenejo ashikjumiminia jeneji ahadi, ambayo mmanganyanji nnakujilola na kupilikana.34Daudi jwangapaa kwenda kumbinguni lakinminashikulugula, "Bwana aliosemsa kwa Bwana wangu, 35Tama mkono gwangu gwa nnilo, mpaka pangatwendanga adui zako Shitengu kwaajili ja makongono gako. 36Kwa nneyo nyumba yote ya Israeli na jimanye kwa hakika kwamba Nnungu ashitenda jwenejo kuwa kuwa Bwana na Kristo, jweneju Yesu ambaye mkusulubisha."37Pvapilikenenje nneyo, Vashikiuvchoma katika mitima gao, guvamlanjiloe Petrop na mitume wengine Mpwanga tutendevuli? 38Na Petro ashikuvalanjilanga Tubuni mna mbatizwe kila jumo jwenunji katika jinan la Yesu Kristo kwaajilin ja msamaha na dhambi zenu na shimposhelanje Zawadi ja roho mtakatifu. 39Kungwenunji ni ahadi ja kwa vana venu na vevala vowe valinginni kwa talika vandu vavagwinji kadri Bwana nnungu papinga kwashemanga."40Kwa malowe gamagwimnji alioshuhudia na kuiguala "Muikongolanje na mshokanje katika kizazi sheneshin kiovu." 41Ndipo puvavopinga poshelanga malowe, gake na vapinga batizwa, Penepo vashikuongezeka katika mova genego kama nafsi elfu tatu. 42Vashikujendelela katika mafundisho ga mitume na ushirikiano, katika kugava mikate na katika maombi.434445Hofu jishikwiya juu ja kila nafsi, na maajabu gamagwinji na ishara ishikutendeka kupitila mitume. Vowe vaamininji vashikuwa pamoo na kuva na indu yaonji kwa pamoo. Na vashikuushanga indu na milkinzao kugavanya kwa wove kulingana na hitajin la kila jumo.4647Kwa nneyo mova baada ja mova vashikujendelela na lengo limo katika hekalu na vashikugava mkate kwenye kaya na vashikushiriki shaalya kwa furaha na unyenyekevu gwa mtima; Vashikumsifia Nnungu na vashikuva na kibali na vandu vowe, Awawa ashikuwajenjeshea mova kwa mova ambao vashikuwa wakiokolewa.
1Nnaino Petro na Yohana vashikuva vanalekea katika hekalu wakati wa maombi, saa tisa. 2Mundu fulani kiwete tangu velekwa ashikujamulwa kila mova na shikuva amnagonekwa katika mlango wa hekalu ushemilwe Mzuri, ili aweze kujuga sadaka kushokankwa vandu vaelekea hekaluni. 3Pavaonile Petro Yohana Vanakaribia kujinjila hekaluni, ashikujuga sadaka.4Petro ashikumkazia meyo pamoo na Yohana, gwalugwile "mtulolanje uwe" 5Kiwete ashikwalolanga akitazamia kuposhela shindu fulani kushoka kwaonji. 6Lakini Petro gwalugwile, "Mmbya na dhahabu nne nangali lakini sheshila shitengwe shinjoye kwako. katika lina lya Yesu Kristo wa nazareth, tembea."7Petro ashikumtola kwa mkono gwake gwa nnilo, na kumnyakula kunani mara jimo makongono gake na vifundo vya maupa gake gashikupata mashili. 8Ashikuguruka kunani, mundu nkiwete ashikujima na tanduwa kwenda; gwa jinjile hekaluni pamoo na Petro na Yohana, akitembea na guruka guruka na kumsifu Mungu.9Vandu vowe vashikumuona alijenda jenda na ashikumsifu Nnungu. 10Vashikutambuanga kuva ashikuva ni jwejula mundu ambaye ashikuva anatama na kujuga sadaka kwenye mnango gwambone na hekalu vashikugumbalangwa na mshangao na kustaajabu kwasababu ja sheshila shisholile kwake.11Namna paliji ashikwakamulanga Petro na Yohana, Vandu vowe kwa pamoo vashikuutukanga kwenye ukumbi kitwao wa Selemani, wakishangaa sana 12Petro paliwene lyenelyi ashikwajibu vandu, "Enyi vandu va Israeli, kwa ndi mnashangaa? kwanini mnayachekeza meyo genunji kumngwetu, amalinga tushi aju ajendejende kwa mashili getu tuvayene au uchaji gwetu?"13Nnungu wa Ibrahimu na wa Isaka, na wa Yakobo, Nnungu jwa awawa zetu ashikumtukuza mtumishi wake Yesu, Jweneju ndiye ambaye mmanganyanji mshikumkabudhi na kumkana mbele ja uso wa Pilato, japo jweneju ashikuamua kumneshela huru. 14Mshikukana Mtakatifu na akwete haki, na badala jake mshitaka muuaji aleshe huru.15Mmanganyanji mshikumlaga mfalem wa uzima, ambaye Nnungu ashikumfufua kushoka kwa Wafu, uwe ni mashahidi wa lyeneli. 16Kwa imani katika lina lyake, mundu jweneju ambaye mnakumwonanga na kummanya ashikutendwa kuwa na mashili. Imani ambayo jishipita kwa Yesu jishikumpa Afya jeneji kamilifu, mbele jenunji mmanganyanji mmowe.17Ashapwanga namanya kwamba mshikutendanga katika ujinga ndivo pia puwatendilenje viongozi wenu. 18Lakini mambo ambayo Nnungu ashikwalugulilanga mapema kwa vinywa vya manabii wowe, Kwamba jweneju Kristo shateseke, Nnaino gatimile.19Kwa anneyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba madhambi genunjingaweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakatinza kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana; 20na kwamba akombole kumtuma Kristo ambaye ameshateuliwa kwaajilin jenunji, Yesu.21Jwenejo ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpakan wakati wa kurejeshwa kwa indu yowe, ambayo Nnungu ashikuzungumzia vukala za kalw kwa kang'wa ja manabii watakatifu. 22Hakika Musa ashikulugula, Bwana Nnungu shajinule Nabii malinga nne kushoka katika apwanga jwenu,. shimumpilikene kila shindu ambacho shimmalanjile mmanganyanji. 23Itatokea kwamba kila mundu ambaye hakamplikana nabii huyo apinga angamizwa kabisa ashoshe kati ja vandu.'24Ndiyo, na manabii wowe tokea samweli na wewala wajile badala jake, washikukunguruka na washikutangaza mova ga nnaino. 25Mmanganyanji ni vana wa manabii na waagano ambalo Nnungu ashikulitenda pamoo na mababu, malinga palugwile kwa Abrahamu, "Katika mbegy jako familia yowe ya dunia zitabarikiwa; 26Baada ja Nnungu kumjinula mtumishi wake, ashikumtuma kwenunji kwanza, ili awabariki mmanganyanji kwa kugeuka kushoka katika uovu gwenunji."
1Wakati Petro pavaliji wankunguruka na vandu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masudukayo vashikwajendelela. 2Vashikudhikanga sana kwasababu Petro na Yohana vashikuwafundishanga vandu kuhusu Yesu na kutangaza juu ja fufuka kwako kushoka kwa wafu. 3Vashikuwakamulanga gerezani hadi lyamba jiishile, kwani tayari puyaliji ligulo. 4Lakini vatu vavagwinji puvapilikene ujumbe vashikuamini na idadi ja vashileu vashiamini vashikukadiriwa kuwa elfu tano.5Hata puishile lyamba siku iliofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoo washikukusanyika Yerusalamu. 6Anasi kuhani mkuu ashikupagwa na kayafa na Yohana, na Iskanda vowe washikuwa ashapwanga na kuhani mkuu. 7Walipokuwa wamewaweka Petro n yohana katikaji jao, Vashikwauyanga "Kwa uwezo gani au kwa lina gani mshetendanga lyeneli?"8Kisha, Petro, ashikugumbala Roho mtakatifu, gwavavalilenje, mmanganyanjji wakuu Vandu, na wazee. 9Malinga uwe lyuva lya lelo tunahojiwa kuhusu tendo jema litendwile kwa mundu haju mnwele, kwa namna gani undu haju ashikutendwa mzima, 10Hebu imanyikane lyenelo kwenunji na kwa vandu vowe katika Israeli kwamba kwa lina lya Yesu Kristo wa Nazareti ambaye ambaye mshikumsubilisha, ambaye Nnungu ashikumfufua kushoka kwa wafu, ni kwa mpanda gwake kwamba mundu haju anajima penepa mmoja jenunji akuwa akwete afya.11Yesu Kristo ni liganga ambalo mmanganyanji wajenzi mshikulidharau, lakini ambalo lishitendwakuwa liganga likuu lya pembeni. 12Gwakwa wokovu katika mundu juna awaye yote kwa maana lyakwa lina chini mbingu vapegwilenje vandu ambalo kwa lyenelo tunamanya kuokolewa."13Pavalolilenje ujasiri wa Petro na Yohana na washikugundua kwamba vashikuwa ni vandu va kawaida wasio na elimu, Walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana vashiwwa pamoo na Yesu. 14Kwasababu vashikumuonanga mundu aponywile ashijima pamoo na waonji, vangalinginji na shindu sha lugula dhidi ja lyenely.15Lakini puvaliginji wamekwisha kuwaamuru mitume vajondokanje mmujo ja mkutano wa baraza, 16washikunguruka vayenenji kwa vayenenji. Vashikulugulilanga, tushiatenda indi vandu veneva Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu ushitendeka kupitila venevo unamanyikana na kila ujumo atama Yerusalemu tukakombola kulikana lyenelyo. 17Lakini lyeneli lijambon linajenela miongoni mwa vandu, hebu tuwaonye wasinene kaviuli kwa mundu jojiowe kwa lina lyeneli. 18Vashikuwashemanga Petro na Yohana nkati nan kuwaamuru kamwe wasinene ewala kufundisha kwa lina lya Yesu.19Lakini Petro na Yohana washikujibu na kuwalugulilanga "Kama ninsahihi mmeyo pa Nnungu kuwatii mmanganyanji kuliko Nnungu, hukumuni mmayenenji. 20Maana uwe tukakombola kugaleka kuyanena mambo ambayo tushikugalola na kugapilikana."21Baada ja kuygalola sana Petro na Yohana, Vashikwalekanga vajende vangakombolanga kupata sababu jojowe ja kuwaadhibu, kwasababu vandu vowe vashiukuwa wakimsifu Nnungu kwasheshila shitendenshe. 22Mundu aposhele muujiza wa uponyaji ashikuapata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.23Baada ja kuwalekanga huru Petro na Yohana, washikwiyanga kwa vandu vaona kuwataarifu yowe ambayo makuhani wakuu na wazee walikua wamewaaambia. 24Puvapilikenen nje walipaza sauti zao kwa pamoo na Nnungu na lugula, "Bwana mmwe muumbile mbingu na dunia na bahari na kila shindu nkati mwake, 25Ugwe ambaye kwa Roho mtakatifu kwa king'wa cha awawa yetu Daudi, mtumishi gwako ushikulugula, "Kwanini vabndu wa mataifa washitendanga ghasia, na vandu vashitafakari mambo yaasiofaa?26Wafalme wa dunia vashikuipanganga pamoo na watawala washikukusanyika kwa pamoo dhidi ja bwana na dhidi ja masihi jwake."27Ni hakika vowe Herode na Pontio Pilato, pamoo na vandu wa mataifa, na vandu wa israeli vashikukusanyika pamoo katika mji huu dhidi ja mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ashiukumpaka mauta. 28Vashikuksanyika kwa pamoo kutenda yowe ambayo mkono gwako na mapenzi gako gashikuamuru tangu awalin kabla gakanave koposhela.29Nnaiono Bwana nnole matisho gao, na ukawajalie watumishi wako kulinena lilowe lyako kwa ujasiri gowe. Ili 30kwamba pakunyoosha mkono gwako kuponya, Ishara bna maajabu gaweze kukoposhela kupitila lina lya mtumishi jwako mtakatifu Yesu." 31Puvamaliyenje kujuga eneo ambalo vashikukusanyikangab kwa pamoo lishikupukunywa na vowe vashikugumbalangwa na Roho mtakatifu, na walinena lilowe lya Nnungu kwa ujasiri.32Idadi jajigwinji ja vevala walioamini washikuva na mtima gumo na roho jimo na jwangapagwa hata jumo jwalugwile kwamba shoshowe shamiliki shshikuwa shake mmwene, badala jake vashikuwa na ibndu yowe shirika. 33Kwa mashili gamakulungwa mitume washikuwa wakiutangaza ushuhuda gwao kuhusu ufufuo gwa Bwana Yesu, na neema jajikurungwa jishikuwa juu jaonji vowe.34Jwangapagwa na mundu jojowe jwapungushwile na mahitaji, Kwasababu vandu vowe vashikuwa na hati ja viwanja au Nyumba, vashikuushanga 35na kujianajo mmbiya ja indu waushiyenje Na kuviwika pai kwa makongono ga mitume. na mgawanyo ushikutendwa kwakila muumini, kulingana na kila jumoo paaliji na liitaji lyake.36Yusufu, mlawi, mundu kushoka kipro ashikupegwa lina lya Barnabasi na mitume (Ishikutafsiriwa, ni mwana wa Faraja). 37Paliji na mgunda, ashikuusha na kwiyanaago mbiya na kuivika pai pa makongono ga mitume.
1Hivyo mundu jumo ashemilwe Anania na Safira mkongwe jwake vashikuuya sehemu ja mali, 2na ashikuiiya sehemu ja mbya vaushiyenje (mkongwe jwake pia ashikulimanya lyeneli) na ashikujianago sehemu jiekele na kujivuka kwenye makongono ga mitume.3Lakini Petro gwalugulila, "Anania kwanini shetani ashigumbala mtima gwako kulugula unami kwa Roho mtakatifu na kuiiya sehemu ja mali ja mgunda.? 4Wakati likanaweuzwa yangava mali gako? na baada ja uzwa halikua chini ya uwamuzi wako? puyaliji buliganishia jambo lyeneli mumtima gwako?gwangatemba wanadamu bali ushikutemba Nnungu." 5Katika katika kupilikana malowe ngenega, Ananania ashikugwa pai na akakatab Roho na hofu jajikurungwa jishikwajinjila vowe valipilikenen jje lyeneli. 6Vijana vashikwiya nnujo na kumtaga katika sanda, na kumpeleka palanga na kumzika.7Baada ja masaa matatu nneyi, mkongwe jwake ashikujinjila nkati, anamanye shindu shashi shikoposhele. 8Petro gwammalanjile, "Nugulile, kama nishikuushanga mgunda kwa thamani jenejo.''9Kisha Petro ashikummalanjila, "Puiva buli kwamba mshipata kwa pamoo kumjaribu roho jwa Bwana? Lola makongono ga vevala vashishimile ambauje wako puliji pamlango na shivakujamulanje na kukupeleka palanga." 10Gafla gwagwile pa makongono pa Petro, akakata roho na vevala vijana washikwiya nkati guvamngimene awile. guvamjamulanje na kumpeleka pilanga na kumshika karibu na ambuje vake. 11Hofu jajikurungwa jishikwiya juu ja kanisa zima, na juu ja vowe wapilikenenje mambo aga.12Ishara jajigwinji na maajabu ishikukoposhela miongoni nmwa vandu kupitila mikono ja mitume. vashikuva pamoo katika ukumbi wa suleimani. 13Lakini jwakwa mundu juna tofauti aaliji na ujasiri gwa ambatanago, haqtabnneyo vashikupengwangwa heshima juu ja vandu.14Na pia waamini wawagwinji washikuva ongezeka kwa Bwana, idadi jajigwinji javashileu na vandonya. 15Kiasi kwamba vashikwajigalanga valwele mitaani, na kwagoneshanga pashinanda na kwewnye makochi ili kwamba Petro akiwa anapita, shivuli shake shimanye juuluka kunani nkwaonji. 16Penepo pia idadi jajigwanji ja vandu vashikwiya kushoka miji jitimbilile Yerusalemu, vashikwinago valwele na vowe vapagawenje na mtima mchafu, na vowe waponywilenje.17Lakinin kunani mkuu ashikujima na vowe waliji pamoo(ambao nin wadhehebu la masadukayo); na washigumbalwa wivu 18Vashikunyoosha mikono jao na nkuwakamula mitume na kuvavikangab nkati mwa gereza la jumla.19Na wakati gwa shilo malaika wa Bwana gwaugwile milango ja gereza na kuwaongoza palanga na kuwalugulila, 20"Mjendanje, mkajimanje hekaluni na kuvavalanjiola vandun malowe gowe ga uzima agu. 21Puvapilikene lyeneli, vashikujinjila hekaluni wakati wa kupambazuka na kufundisha. Lakini, kuhani mkuu ashikwiya na vowe valijinajo na kuitisha baraza lote kwa pamoo, na wazee vowwe vandu va Israeli, na kuwatuma gerezani ili kuwatuma kwiyanayo mitume.22Lakini vatumishi vajendilenje, vangaimanangab gerezani, vashikuuja na kushoya taarifa, 23"Tushimana gereza vizuri lishitawa na valinzi vashikujimanga langoni lakini putwaliji tunaugula, twangammona mundu nkati."24Nnaino wakati jemedari wa hekalu na makuhani wakuu puvapilikenenje malowe aga, vashikujinjilangwa na shaka jajigwinji kwaajili njao wakiwaza shiive buli jambo lyeneli. 25Kisha jumoo ashikwiya nan kuwalugulilanga, "Vandu mmavishilenje kuligereza vashikujimanga kuhekaluni na wanafundisha vandu"26Hivyo jemedari ashikwenda pamoo na watumishi, na Vashikwiyanago, lakini bilamnkutenda vurugu, kwasababu vashikujogopanga vandu vangeweza kuwakomanga na maganga. 27Puvamaliyenjhe kwiyanago, washikwawikanga mbele ja baraza. kuhani mkuu ashikuwahoji 28akilugula, "Tuliwaamuru mnafundishe kwa lina lyeneli, na bado mshikujigumbalanga Yerusalemu kwa fundisho lyenunji, na kutamanin kuviganago minyai ja mundu haju kunani jetu."29Lakini Petro na mitume wakajibu, "Lazimabtumtii Nnungu kuliko vandu. 30Nnungu jwa Awawa yetu washikumfufua Yesu, mummlegenje kwa kumtundika pananin pa mkongo. 31Nnungu ashikumtukuza katika mkonon gwake gwa kuume na kumtenda kuwa mkuu na mwokozi, kushoya toba kwa Israeli, na msamaha gwa shambi. 32Uwe ni mashahidi wa mambo genego, na Roho mtakatifu ambaye Nnungu ashikumshoya kwa vevala walikumtii."33Wajumbe wa baraza pavapilikenenje nnei washikukamulangwa na hasira guvatakilenje kwavulaganga mitume. 34Lakini Pharisayo ashemilwe Gamalieli, amwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na vandu vowe, ashikujima nakuwaamuru mitume watolanjwa palanga kwa muda mfupi.35Kisha gwavalugulilenje, "Vashileu va Israeli, iweni makini sana na sheshila shimkupendekezanga kuwatendela vandu hawa. 36Kwasababu vakala, Theudiaashikujinuka nan kujidai kuwa mundu mkuu, na idadi ja vandu vapata mianne walimfuata. Ashikuvulagwa na vowe valiginji wakimtii walitawanyika na kupotea. 37Baada ja mundu aju, Yuda mgalilaya shikujinuka mova gegala kujandika sensa, gwavautile vandu vavagwinji nyuma jake. naye ashikuova na vowe valiginji wakimtii washikutawanyika.38Nnaino nngunakuwakugulilanga, jiepusheni na vandu hawa bna muwalekanje vayenenji, kwasababu malinga mpango agu aub liengo hali li lya vandu shilijave. 39Lakini kama ni ja Nnungu, nikakombolanga kuwazuiyanga; shimuonanje mnashindana na Nnungu, "Hivyo vashikushawishika na malowe gake.40Kisha vashikuwashemanga mitume nkati na kuwachapanga na kuwaamuru wasinene kwa lina lya Yesu, na vavalekenje vajende. 41Vashikujaulanga mmujo nmwa baraza wakifurahi kwasbabu vashihesabiwa kuwa wamestahili kuteseka na kutoheshimiwa kwaajili ja lyina lyenelo. 42Kwahiyo kila mova, nkati ja hekalu na kukamula nyumba hadi nyumbavashikujendelela kufundisha na nkuhubiri Yesu kuwa ni mashi.
1Nnaino katika gene moga aga, wakati idadi ja wanafunzi pujaliji jinaongezeka, lalamikila Wayahudi wa Kiyunani lishikutanduwa dhidi jwa Waebrania, kwasababu wajane wao walikua wanasahahulikan katika kila mgao wa kila mova gwa shaalya.2Mitume kumi na miwili waliwaitav kusanyiko lote la wanafunzi nakulugula "Ngava kumngwetu kulilekan lilowe lika Nnungu na kuhudumia pameza, 3Kwaiyo ashapwanga mngagulanje, valume saba kushoko miongoni mwenunji, vandu wema vagumbelenje Roho na hekima, ambao tunakombola kuwakabidhi huduma jeneji. 4Na uwe tushijendeleladaima katika kujuga na katika huduma jan lilowe."5"Hotuba jaonji jishikukonja nkuta ja gowe, Hivyo Vashikumkagulanga Stefano, mundu agumbele imani na Roho mtakatifu, na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mwongofu kopoka Antiokia. 6Waumini washikwiyanago vandu veneva mmujo ja mitume, vashikujuga na baadae guvavishilenje mikono jaonji.7Hivyo lilowe lya Nnungu lishikujenda na idadi ja wanafunzi jishikupunda kujenjesheka kweneko Yerusalemu; na idadi jajigwinji ja makuhani wakaitii imani.8Na Stefano, agumbele neema na mashili ashikuwa anatenda maajabu na ishara jajikurungwa miongoni mwa vandu. 9Lakini penepo vashikujimanga baadhi ja vandu vafuasi wa sinagogi liitwalo linagogi la Mahuru, na la Wakirene na la Waeskanderia, na baadhi kopoka Kilikia na Asia. vandu veneva waaliji wakihojiana na Stefano.10Lakini wakakombolanga kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano ashikuwa akiitumiakatika nkukunguruka. 11Kisha vashikuwashawishingi baadhi ja vandu kwa siri kulugula, "Tushipilikana Stefano anakunguruka malowe gakufuru dhidi ja Musa na Nnungu.'12Waliwashurutisha vandu, wazee, na waandishi, na kumjendelela Stefano, washikumkamulanga anakunguruka malowe gakufuru mmujo ja baraza. 13Washikwiyanago mashahidi va unami walugwile, "Mundu aju akaleka kunena malove mabaya dhidi ja eneno takatifu na sheria. 14Kwani tushikumpilikana analugula kwamba jweneju Yesu jwa Nazareti ataharibu mahali penepa na kudhibadili desturi tulizo kabidhiwa na Musa." 15Kila jumo aalijin katika baraza ashikuelekeza meyo gake kumnola Stefano, nao washikuonangab kumeyo kwake kushikuva malinga kumeyo kwa malaika.
1Kuhani mkuu gwalugwile, "Aga mambo aga ni ga kweli"? 2Stephano gwalugwile, "Ashapwanga na mababa zangu, mpilikanishianje nne, Nnungu wa utukufu ashimshoshela awawa yetu Abarahamu wakati paaliji Mesopotania, kabala akawe ishi harami, ' 3Gwammlanjile shoka katika nchi jako na jamaa zako na nijende katika nchi jingapinga kukulanguya.'4Kisha ashikujaula katika nchi ja Ukaldayo na jen da ishi Harani, kushoka penepo baada ya awawa jake kuuuwa, Nnungu gwajianajo kwenye nchi aji puvatamanga nnaino. 5Jwangampa shoshowe kama urithi gwake, pangapagwa na sehemu hata jivika lukongono, Lakini Abrahamnu aliahidiwa hata kabla akanawe pata mwana kuwa shapegwe shilambo kama miliki jake na uzao gwake.6Nnungu ashikunenena nae nnei, yakwamba wazao wao wangeishi katika nchi ja ugeni na kwamba vayenenji na kweneko shivatendanje malinga watumwa wao na kutendanga vibaya kwa muda na miaka mianne. 7Na Nnungu palugwile nitalihukumu taifa ambalo litawafanya mateka na baada ya penepo shivajaulanje na kuniabudu katika sehemua aji pavatamanga nnaino. 8Na ashikumpa Abrahamu agano la tohara, nneyo Abrahamu ashiva baba jwa isaka ashikumtahiri mova ga nncheshe Isaka ashikuva awawa jwa Yakobo Na Yakobo ashikuva awawa jwa mababu jetu kumi na wawili.9Ashambuje washikummonela gele Yusufuguvammushienje katika nchi ja Misri na Nnungu ashikuva pamoo. 10Na akamwokoa katika mateso gake na ashikumpa fadhili na hekima mmujo ja Farao mfalme wa Misri. Farao gwamtindile awe mtawala juu ja Misri na kunanin mwa nyumba jake jowe.11Bai kushikuwa na shivanga shashikuu na mateso gamagwinji katika nchi ja misri na kanani ashawa vangapatanga shalya. 12Lakini Yakobo papilikene jishipagwa nafaka kumsiri, ashikwatumanga ashgawawa kwa mara ja kwanza. 13Katika safari ja pili Yufufu ashikujilanguya kwaashapwanga vake, Familia ja Yusufu jishikumanyikana kwa Farao.14Yusufu ashikwatumanga ashapwanga vake kwenda kummalanjila Yakobo awawa jake aishe Misri, pamoo na jamaa yake jumla na vandu vowe ni sabini na tano. 15Ineyo Yakobo ashkuuluka kumisri, kisha ashikulugulwa pamoo na ashawawa yetu. 16Vashikutolangwa hata shekemu na vashikukamulwa katika likaburi ambalo Abrahamu ashiikuwa kwa vipande vya mmbiya kushoka kwa vana va Homori kweneko mkushekemu.17Wakati wa jejila ambayo Nnungu ashikumuahidi Brahamu pujikaribiye vandu washikujenjeshea kweneko kumisri, 18Wakati gwenego ashikujinuka mfalme juna juu ja misri, Mfalme jwangamanya kuhusu Yusufu. 19Jwenejo mfalme juna ashikwatembanga vandu vetu na nkuwatendanga mabaya ashawawa jetu, na kuwajayanga vana vao vashoko ili wanaishinji.20Katika gegala mova Musa ashikuwelekwa, ashikuva jwambone mmujo jika Nnungu ashikulelewa miei jita tu katika nyymba ja awawa jake. 21Wakati gwajwaile binti jwa Faraoashikumtola na kumnela malinga mwana jwake.22Musa ashikujiganya mafundisho gowe ga Misri, ashikuva na mashili katika malove na matendo. 23Lakini baada ja kutimkza miaka arobaini ishikumjila katrika mtima gwake kuvatembelela ashapwanga vake vamna va Israeli. 24Pamwonile mwiisraeli alitendelwa mabaya Musa ashikumtetea na kulipa kisasi kwa jwejula kwa kumpinga Mmisri. 25Ashikufikili kuwa ashapwanga wake shivafahamu kwamba Nnungu anakuokanga kwa mkonon gwake, lakinin wangafahamunji.26Lyuva lina ashikwenda kwa baadhi ja Waisraeli puvaliji wanapwatanga ashikujaribuakuno alilugula Mabwana mmanganyanji ni ashapwanga mbona mnapatwanga mmanganyanji kwa mmanganyanji,? 28Lakini ashikumkosea jirani jwake na ashikumnokola kwa taalika na kulugula, "Gani akutendile mtawala na muhukumu jwetu? 27Ugwe unapinga kumulaga, malinga pummulaje Mmisri liyo?29Musa ashikuutuka baada ja pilikana ibneyo, ashikuva mjeni katika nchi ja midiani, ambapo ashikuva awawa na vana vavili. 30Baada ja miaka arobaini kupita malaika akamtokea katika jangwa31Waakati Musa pawene moto ashikushangaa na kustaajabu sheshila shashiwene na papinjile egejela ili ashoshile lilowe lya Bwana lishikushoka nna lugula, 32Nne ni Nnungu jwa awawa jako, Nnungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo Musa, ashikutetemala na jwangathubutu kulola.33Bwana gwammalanjila ula ilatu yako jejino sehemu ujimile ni mahali patakatifu. 34Njilola mateso ga vandu vangu valiji Kumisri, Njipilikana kulwala kwao na nne njiulukwa ili niwaokoe; nnaino jia shinikutume ugwe misri,'35Jweneju Musa ambaye wamkanilenje wakati puvalugulenje, gani akutendile kuwa mtawala na mwamuzi gwetu? ashikuva ndiye ambae nnungu ashikumtuma kwa mkono wa malaika ambaye ashikumshoshela Musa kichakani. 36Musa ashikuwaongozanga kutokan misri baada ja kutenda miujiza na ishara katika Misri na katikan Bahari ya shamu, na katika jangwa kwa kipindi sha miaka arobaini. 37Ni Musa jweneju ndiye avavalanjile vandu va Israeli kuva, Nnungu shavajinule nabii kushoka miongoni mwa ashapwanga venunji, nabii malinga nne'.38Jweneju ni mudnu ambaye ashikuva katika mkutano jangwani na malaika ambaye ashikulonjela naye katika shitumbi sinai, Jweneju ndiye mundu ambaye ashikuva na awawa yetu, jweneju ni mundu ambaye ashikuposhela lilowe lililo hai na kutupatia uwe. 39Jweneju ni mundu ambaye ashawawa zetu washikukana kumtii, washikumnokolanga kwatalika na katika mtima jaonji jishikugeukila Misri. 40Katika kipindi shenesho vashikumlanjila Haruni. tualaye miungu itakayo tuongoza. Jwenejo Musa aliji akituongoza kushoka katika nchi ja Misri, tukamanya shimpatile.'41Vashikualayanga ndawa kwa movagenego na vashikushoyanga sadaka kwa nneyo sanamu na Vashikufurahi kwasababu ja maengo ja mikono jao. 42Lakini Nnungu ashikwageuza na kuvapa waabudu ndondwe wa angani malinga puijandikwe kwenye kitabu cha manabii, Je mshijonjesheanga sadaka nne ja wanyama, muijenjilenje pajangwa ani kwa muda wa miaka arobaini nyumba ja Israeli?43Mshikubalinji hema ja kutanila ya moleki na ndondwe ja Nnungu refani na picha mujialayenje na kuwaabudu wao na shinivapelekanje kwa talika zaidi ja Babeli.'44Ashawawa yetu vashikuva na hema ja kutanila ja ushuhuda jangwani, malinga Nnungu alivyoamuru palonjele na Musa, kwamba akaeleya kwa mfano gwa gwegula aulolile. 45Lyeneli ni hema ambalo ashawawa zetu kwa wakati gwao waliletwa kqatika nchi na Joshua, Jeneji jishikushoshila wakati pavajijlenje kumiliki taifa ambalo Nnungu ashikwalinganga kabla ja uwepo wa awawa yetu, ishikuva nneyi hadi mova ga Daudi, 46Ambaye ashikupata kibali kumeyo kwa Nnungu, na ashikujuga kuleleya makao kwa Nnungu wa Yakobo.47Lakini Selemani ashikumshenjela nyumba ja Nnungu. 48Hata nneyo avele kunani akaishi kwenye nyumba jishenjilwe kwa mikono nnei kama nabii palugwile, 49Mbingu ni shitengu shangu sha enzi, na dunia ni sehemu jangu ja kuvika makongono gangu, Nyumba ja aina gani shimunishenjelanje? Bwana gwagwile au ni kwei sehemu jangu ja pumulila? 50Ngava mkono gwangu utendile yeneyi indu yowe?51Enyi vandu mkwetenje shingo ja nonopa msiotahiriwa mitima na masikio, kila mara mnakupinga Roho Mtakatifu, mnatendanga malinga ashawawa puvatendile? 52Ni nabii jwei katika manabii ambaye awawa zenu vangamtesanga? vashikwalugulilanga manabii voiwe vakoposhilenje kabla ja ujio wa jumo mmwenye Haki na Nnaino mshivanganga wasaliti na wauwaji wake pia, 53enyi vandu mposhelenje sheria jejila jiagwize na malaika lakini mwangakamulanga."54Kisha wajumbe wa baraza pavapilikene mambo genega washikujo kwa mitima jaonji na kumnyajila meno Stefano. 55Lakini jwenejo ashikugumbala Roho mtakatifu, ashikulola kumbingu kwa makini na shikulola utukufu gwa Nnungu na kumnola Yesu ajimile mkono gwa kuume gwa Nnungu. 56Stefano gwalugwile "mnolanje njikujilola mbingu jishiuguka na mwana jwa Adamu ashijima mkono gwa kuume gwa Nnungu."57Lakini wajumbe wa baraza vashikugombanga nyenye kwa sauti ja juu, vashikuvanga maskio gaonji vashikummutyshila kwa pamoo, 58Washikumjaanga pilanga pa mji na washikumgombanga maganga na mashahidi washikulanga nnguo yaonji ya pilanga na kuvika pai karibu na makongono ga kijana ashemilwe Sauli.59Puvaliginji walikukomangab maganga Stefano, ashikujendelela kumshema Bwana ma kulugula, "Bwana Yesu, poshela roho jangu," 60Akapiga magoti na kushema kwa lilowe likurungwa, "Bwana unawahesabie dhambi aji. " palugwile genega gwawile na kukata roho.
1Sauli ashikuva kwenye makubaliano ga kifo shake. Lyene lyuva ndipo patandwive kuwatesa kinyowe cha kanisa lipali Yerusalemu na vowe waaminio washikutawanyika katika majimbo ya Yudea na Samaria, isipokuwa mitume. 2vandu vacha Nnungu washikushika Stefano na kutenda maombolezo gamakurungwa juu jake. 3Lakini sauli ashikuzuru sana kanisa ashikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza pilanga vandonya na vashileu na kwatupilanga nnigereza.4Waamini ambao washikutawanyika bado washikuhubiri lilowe. 5Filipo ashikuuluka katikammji wa samaria na ashikumtangaza Kristo kweneko.6Baada ja mkutano kupilikana na kulola ishara yatendile Filipo; washikuwika umakini juu ja sheshila shalugwile. 7Kushoka penepo vandu vavagwinji wapilikenenje, pepo wachafu waliwatoka vandu akuna waligutanga kwa lilowe likulungwa, na vavagwinji vashikupooza na viwete waliponywa. 8Na kushikuva na furaha jajikulungwa katika mji.9Lakini pashikuva mundu jumo katika shilambo sheshile lyina lyake Simoni ambaye ashikuva anatenda uwavi; ambao ashikutumila kuwashangaza vandu va taifa la Samaria, wakati analugula kuwa jwenejo ni mudnu wa umuhimu. 10Wasamaria wowe tangu mwana hata jwamkurungwa, washikumsikiliza, guvalugulenje; mundu aju ni gegala mashili ga Nnungu ambayo kuu." 11Washikumpilikana kwa maana ashikuwashangaza muda gwa mleu kwa uwawi gwake.1213Lakini wakati walipoamini kuwa Filipo ashikuhubiri juu ja ufalme gwa Nnungu na juu ja lina la Yesu Kristo vashikubatizwa washileu kwa vandonyanji. Na Simoni mwenyewe ashikuamaini baada ja kubatizwa, ashikujendelela kuva na Filipo, pawenib Ishara na miujiza jaliji jinatendeka, alishangaa.14Wakati wa mitume na Yerusalemu puvapilikenenje kuwa samaria ishiposhela lilowe lika Nnungu, vashikwatumanga Petro na Yohana. 15Wakati puvaligwinji wanauluka vashikwaombea kwamba wamposhele Roho mtakatifu. 16Mpaka muda gwenego Roho mtakatifu aliji bado akanave uluka hata mundu jumo: pavalinji wabatizwenjwe kwa lina lya Bwana Yesu. 17Ndipo Petro na Yohana guvavishilenje mikono na venevo wakamposhele Roho mtakatifu.18Wakati Simoni panawe kwamba Roho mtakatifu ashishoywa kupitia kuri kwa mikono na mitume. ashikupinga kwapanganga mbya. 19Gwalugwile "mmbanganje haga mashili ili kila ngupinga kummishila makono aposhele Roho mtakatifu."20Lakini Petro gwamlugulile, mbya yako pamo na ugwe ipotelee kwatalika kwasababu ushiganishia kuwa karama ja Nnungu inapatikana kwa mbya. 21Gwangali sehemu katika jambo lyeneli kwasababu mtima gwako si mnyoofu mmujo ja Nnungu. 22Nneyo bahi tubu maovu gako na kumjuga Nnungu labda shiusamehe fikra ja mtima gwako. 23Kwa maana nalola uko katika sumu ja uchungu na kifungo cha dhsmbi."24"Simoni ashikujibu na kulugula, "Mumjuganje Bwana kwaajili jangu, kwa kuava mambno gowe mmeleketanje yaweza kunishoshela.25Wakati Petro na Yohana puvalinginji wamemshudia na kuhubiri lilowe lya Bwana vashikuuja Yerusalemu kwa mpanda gwenego walihubiri injili katika vijiji vya wasamaria.26Bai malaika wa Bwana ashikunena na Filipo na kulugula, "Angaza wa ujende kusini kusini mpanda ukienda pai ja Yerusalemu kuelekea Gaza. " (Agu mpanda upali katika jangwa) 27Akaaaugaza na kuenda lola kushikuva na mundu wa Ethiopia, tuwashimwenye mamlaka kuu pai ja kandase, malkia wa Ethiopia. Ashikuvikwa kunani ja hazina yawe yowe; naye ashikwenda Yerusalemu kuabudu. 28Ashikuva akirejea ashikuketi mmutuka mwake akishoma chuo cha nabii Isaya.29Roho ashilugula na Filipo, "Sogea karibu na garii hili ukashikamane nalo. 30Ineyo Filipo ashikwenda mbiyo nabkumpilikana anashoma katika chuo cha nabii Isaya; Gwalugwile buli unamanya shiukushoma?" Muethipia gwalugwile," shimanye buli bila mundu kuniongoza? 31Akamsihi Filipo akwele mutuka na kutama pamo.32Nnaino lifungu la maandiko lyaliji anashowa malinga kondoo kwenda machinjioni kuingwa; na malinga kondoo ashikutama jii jwangaugula kang'wa shake: 33Kwa huzunishwa kwake hukumu jake jishikuondolewa: Gani shaeleze kizazi shake? Maisha gake gashiondolewa katika nchi."34Nneyo towashi ashikumuuliza Filiopo, na kulugula" nakujuga ni nabii jwei ambaye anaongelewa habari jake kuhusu jwenejo au za mundu juna? 35Filipo ashikutandula kulonjela, ashikutandiuva kwa andiko lyeneli lya Isaya kumuhubiria habari za Yesu.36Walinginji mumpanda, puwashilenje penye mashi, towashi gwalugwile, lola pashikola mashi hapa shindushashi shinazuia ngunabatizwe? 37Malove genega, Nneyo muethiopia ashikujibu "Naamini kwamba Yesu Kristo ni mwana njuka Nnungu" gakwa kwenye maandiko gakale). Ndipo Muethipia ashikuamuru mutoka jijime. 38Vashikwenda nkati ja mashi, pamo na Filipo na towashi Filipo akambatizia.39Wakati puvashoshilenje kwenye mashi, Roho ja Bwana jishikumpeleka Filipo kwatalika towashi jwangamwona, ashikwenda mpanda gwako akishangilia. 40Lakini Filipo ashikushoshila Azoto. ashikupita katika mkoa gwegula na kuhubiri injiili katika miji jowe mpaka paishile kaisaria.
1Lakini Sauli, ashikujendelela kulugula vitisho hata vya awa kwa wanafunzi wa Bwana, ashikwenda kwa kuhani mkuu 2na kumjuga barua kwaajili ja masinagogi kweneko Dameski, ili kwamba akimpata mundu aliye katika mpanda gwegula, awe jwashileu au jwandonya avatawe na kujianago Yrusalemu.3Hata paliji anasafiri ishikushoshela kwamba paegejele Damaski, ghafla jishikumwangaza kowe kowe nuru kushoka mbinguni,' 4Naye gwagwile pai na gwapilikene lilowe likimtashia, "Sauli, Sauli, mbona wanitesa nne?"5Sauli akajibu, U nani ugwe Bwana? Bwana guvalugwile, "nne ndiye Yesu anaeniudhi; 6Lakini jinuka, jinjila kumjini nawe shiulugwilwe yakupasayokutenda. 7Vevala vandu vasafirinji pamo na Sauli vashikulia jii watendapili kanishianga lilove, wanamlole mundu.8Sauli gwajimile katika shilambo na paugwile meyo gake jwangakombola kulola shindu, washikumkamulanga mikono nan kwiyanago mpaka Dameski. 9Kwa mova gatatu jwangalola, akalya wala kupalila.10Basi pashikuva na mwanafunzi Dameski lina lyake Anania, Bwana ashikulugula naye katika maono, "Anania. "Na ashikiulugula "Lola punili apano Bwana. 11"Bwana gwamlugulilenje jinuka ujende katika mtaa uushemwea Nyofu na katika nyumba ya Yuda na ukauje mundu kushoka Tarso ashemilwe sauli, maana angali anajuga; 12na ashikumwona katika maono mundu lina lyake Anania. anajinjila na kummishila mkono juu jake ili kwamba apate kulola.13Lakini Anania akajibu, "Bwana, jimbilikana habari za mundub jweneju kwa vandu vavagwinji kwa kiasi gani shavatendenje mabaya watakatifu wa kweneko Yerusalemu; 14Penepo ashikulola mamlaka kushoka kwa kuhani mkuu kumkamula kila jumo akulishemela lina lyako. 15Lakini Bwana gwammalanjile, jenda kwa maana jweneji ni shombo teule kwangune, atole lina lyangu mmujo ja mataifa na wafalme na vana va Israeli. 16Maana shinimmalanjilenje gali gamagwinji yatayo nmpasa kuteswa kwaajilib ja lina lyangu."17Anania gwajendile mwemula mnyumba; Gwammishile mikono gwalugwile mpwanga Sauli, Bwana Yesu akushoshile katika mpanda gwaliji unakunja ashindu ma pate kulola kavili na ugumbale Roho mtakatifu. 18Gafla ishikugwa indu pameyo pako mahinga magamba ashikupata kulola, gwajimile, gwabatizwe ashikulya shaalya na kupata mashili. 19Ashikutama pamo na wanafunzi kweneko Dameski kwa mova gumagwinji.20Wakati gwenego pego ashikumtangaza Yesu katika masinagogi, alilugula kwamba jwenejo ni mwana juka Nnungu. 21Na vowe vapilikenenje Vashikushangaa na kulugula, Gava mundu haju avaenge venye vowe vashemile lina hali kweneko Yerusalemu? Na penepo ashikwiya kwa kusudi la kuwatava na kwa pelekanga kwa Makuhani." 22Lakini Sauli ashikwezeshwa kuhubiri na kuwatenda Wayene Wayudi vatemilenje Dameski wachanganikiwe na Kuthibitisha na kuwa jweneju ndiye Kristo.23Baada ja mova gamagwinji, Wayahudi washikutendanga shauri pamoo ili wa mmuleye. 24Lakini mpango gwaonji ushikumanyika na na sauli, washikumvizia pamlango mui na shilo wapate kummulaga. 25Lakini wanafunzi wako washikumtola shilo na kumshusha kupitila ukutani, Guvamtelemshenje pai katika shikapu.26Na Sauli paishile Yerusalemu, ashikulinga na wanafunzi kuiyunga na wanafunzi lakini vashikumjogopanga, vanasadiki kuva jwenejo ni mwanafunzi. 27Lakini Barnaba ashikumtola na kumpeleka kwa Mitume, Na ashikwaeleza jinsi Sauli pamwonele Bwana mupanda na Bwana palugwilenje na jisni sauli pahubiri kwa ujasiri kwa lina lya Yesu kweneko Dameski.28Ashikuimanago puvajinjile na kushokan Yerusalemu ashikunena kwa ujasiri lyina lya Bwana Yesu, 29Akihojiana na wayahudiwa kiyunani lakini wakijaribu mara kwa mara kummulaga. 30Wakati ashapwanga puvamanyilenje jambo lyenelo washikumtolanga mpaka kaiosari na vampeleshe ajenda Tarso.31Bai likanisa lyowe katika uyahudi, Galilaya na Samaria, lishikuva na amani na lishengwa na kujendajenda katika hofu ya Bwana na faraja ja Roho mtakatifu, kanisa lishikule kwa kwa kujenjesheka idadi. 32Kisha ishikushoshela Petro paaliji anatimbilatimbila pande yowena mkoa na katerenkia waumini vatamanga katika shilambo sha Lida.33Ashimwona mundu jumo kweneko lina lyako Ainea, jwenu mundu hujiashiva pashinanda miaka minane, maana ashikupooza. 34Petro gwamlugulila, "Ainea Yesu Kristo akuponye; jinuka na utandishe shinanda shako," Mara gwajimishe. 35Na vandu vowe vatemilenje Lida na sharoni puwamwoananje mundu jwenejo vashikumgeukia Bwana.36Pashikuwa na mwanafunzi Yafa ashemilwe Tabitha, lyene lina maana gake ni "Dorcas" Jweneju jwandonya ashikugumbala liengo njema na matendo ga rehema atendile kwa maskini. 37Ishikushoshela katika gene mova ago ashikulwala na kuva puva msafirirshe nje washikumpandisha katika ja kunani nankumgoneya.38Pava Lida ishikuva tome na Yafu, na wanafunzi washikupilikana kuwa Petro alikweneko, vashikwatumanga vandu vawili kumngwake wakimshih, "Jia kungwetu bila kukava" 39Petro ashikujinuka na ashikushoka pamoo nao. Baada ja ika washikujanago katika ja kunani na wajane vowe vashikujima tome akuno waliguta, watenda kumlanguya likoti na nguo ambayo Dorcas ashikwashoshelanga wakati paaliji pamo na vaonji.40Petro ashikuwashoyanga vowe pilanga pa kati ashikugomba magoti na kujuga, kisha ashikugeushila shiilu gwalugwile, Tabitha jimuka" Gwaugwile meyo gake na pamwonile Petro ashikutama pai. 41Kisha petro ashikumpa mkono gwake na kumjinula na pawashemile waamini na wajane, akawakabidhi kwaonji akiwa hai 42Jambo Lyeneli lijambo lishikumanyikana Yafa, yowe vandu vavagwinji wakamwamini Bwana . 43Ishikushoshela Petro ashikutama mova gamagwinji Yafa vavagwinji Yfa pamoo na mundu ashemilwe Simoni mwala ya lipende.
1Ashikuva mundu fulani katika shilambo sha Kaisari, lina lyake ashikushemwa Kornelio, ashikuva mkuu ja kikosi cha Kiitali. 2Ashikuva mchamungu na shikumwabudu Nnungu na nyumba jake yowe, ashikushoya mbya yaigwinji kwa Nnungu mova gowe.3Muda Muda gwa saa tisa muii ashikulola maono malaika wa Nnungu anakwiya kumngwake Malaika gwammalanjile 4"Kernelio! Kornelio gwamlolile malaika na ashikuva na hofu jajikulungwa sana gwahugwile "Yenei ni indu yashi mkuu?" 5malaika gwammalanjile Mombi gako na zawadi jako kwa maskini ishikumela kunani malinga kumkumbuka kwenye uwepo wa Nnungu" 6.Anatama na mudnu aalaya lipende ashemilwe Simoni ambayo lijumba lyako kuliko kando ja bahari."7Baada ja malaika aliji analugula naye kujaula Kornrlio ashikwashema watumishi watumshi wa nyumba kwake kavili na askari aliji akimwabudu Nnungu kati ja maaskari valiginji wanamtumikia. 8Kornelio ashikwalugulilanga yowe ishoshele na gwamtumile Yafa.9Mova iliofuata muda gwa saa sita valinginji mumpanda na wamekaribia mjini, Petro ashikuukwela kunani darini kujuga. 10Na pia ashikuva na shivanga na shikuhitaji shindu shalya lakini wakati vandu vanatelekanga shaalya, ashikulangunywa maono, 11ashikulolanga lishinguka na chombo kinauchuka na shindu gani malinga nguo jajikulungwa jinauluka pai kwa nje ardhi katika kona yake yowe ncheshe. 12Nkati mwake washikuva na aina yowe na wanyama wakwetenje makongono ncheshe na watambaao kunani ja ardhi, na ijuni wa angani.13Tena lilowe guligula kungwake "jinuka Petro inga na ulye." 14Lakini Petro ashikulugula "Ngva nneyo, Bwana kwava nganave kulya shindu shoshowe najisi na shanyata. 15Lakini lilowe guliishikle kumngwako kavili kwa mara ja vili "Alichotakasa Nnungu unashisheme najisi wala shanyata" 16.Nnei ishikushoshela wara gatatu na sheshika chombo shishikujamulwa kavili kuangani.17Na wakati Petro ali katika wakati gwa changanyikiwa juu ja genego maono ganamaanisha indi, Lola vandu vatumwilenje na Kornelio washikujiwa mmujo ja Lango, wanauyanga mpanda gwa kwenda kunyumba. 18Na washikushema na kuuya malinga Simoni ambaye ashemilwe Petro malinga anatama pepala.19Wakati gwenego Petro paaliji anawaza ja genego maoni, Roho ashikulugula nago, Lola vandu vatatu vanakuloleya. 20Jimuka na uuishile pai na ujende nao Unajogope kwenda nago, kwasababu njikwatumanga. 21Petro gwaulugwishe pai kwao na kulugula Nnei ni jwejula mukumloleyanga kwanini mshwiyanga?"22Guvagulenje, "Akida jumo lina lyake Kornelio, mundu wa haki na anapenda kumuabudu Nnungu, na vandu humlugula vyema katika taifa lyowe la kiyahudi, ashilugulilwa na malaika na Nnungu kukutuma ili kujenda kwenye nyumba jake, ili apilikene ujumbe ushoka kwaonji." 23Petro ashikuwakaribishanga kujinjila nkati kutama pamo nango. lyamba gwajimishwe na kwenda pamo nae na vapwanga vachache kushoka yafa washiukuambatana nae.24Lyuva lifate washikwiyanga Kaisaria. na Kornrlio ashiva akiwasubiri; na alikuwa amewaita na shikwashema pamo na ashapwanga na marafiki jake va tome.25Wakati Petro alijinjila nkati, Kornelio ashikumkalia na kutepa mpaka pai kwenye makongono gake kwa kumuheshimu. 26Lakini Petro ashikumjinula na kulugula "Jima nne namwene pia ni mwanadamu."27Wakati Petro anakungurukanago ashikwenda nkati na kuinama vandu vakusanyike pamo. 28Gwavavalanjile, "Mmanganyanji mnamanyanga kuva ngava sheria ja kiyahudi kushirikiana au kutembeleana na mundu ambaye ngava wa shilambo sheneshi, Lakini Nnungu ashinilanguya nne kuva ngapaswa kumshemna mundu jojowe ni najisi na jwanyata. 29Na ndivo maana njikwiya gwangalibisha panatumwile kwaajili ja jenejo, kwa Nneyo niwauyanyanje kwanini mashikumtyumanga kwaajili jangune,"30Kornrlio ashilugula, "mova ncheshe gapitile, wakati malinga gwenegu njikuva najuga muda gwa saa tisa muii nkati mwa nyumba jangu; Njikulola mmujo mwangu mundu ashijima paaliji na mavazi ganawe. 31Gwanugulile "Kornelio Maombi gako gashipilikanwa na Nnungu na zawadi jako kwa maskini zishiva ukumbusho mmujo mwa Nnungu, 32Kwa nneyo Mtume mundu Yafa Naaka msheme mundu jumo anashemwa Simoni aishe kungwako, Ambaye pia anashemwa Petro amabaye anatama kwa mundu aalaya lipende jumo ashemnwa Simoni ambaye nyumba jake puliji kando ja abahari. 33Zingatia msari huu, "Naya papingaika shslugule na mmanganyanji haumo kwenye maandiko ga kale.34Ndipo Petro gwaugwile lugomo gwake na lugula kweli njiamini Nnungun jwangali upendeleo. 35Baada jake kila shilambo mundun jojowe anayemwabudu na kutenda matendo ga haki shakubalishie kungwake.36Unamanya ujumbe ashoshie kwa vandu va Israeli, paaliji anatangaza habari njema na amani kupitila Yesu kristo ambaye ni Bwana jwa wowe- 37mmanganyanji mmayene mnamanya tukio likoposhele ambalo likoposhele Yudea yowe na lishikutanduva Falilaya, Baada ja ubotizo ambao Yohana ashikutangaza. 38Tukio pulialiji linakumuhusu Yesu Kristo Jinsi Nnungu pamtajile mauta ga Roho mtakatifu na kwa mashili ashikwenda na kutenda yakonja naponya vowe vatesilwenje na ibilisi kwa kuwa Nnungu asshikuva pamoo naye.39Uwe ni mashahidi wa mambo gowe gatendiole katika shilambo sha uyahudi na katika Yerusalemu, jweneju ni Yesu ambaye washikummolanga na kumtundika mumkongo. 40Aju mundu Nnungu ashikumfufua siku ja jatatu na kumpa kumanyikana. 41Ngava kwa vandu vowe, lakini kwa mashahidi waugulilwe kabla na Nnungu uwe tuvayene, twalile nago nan kungwanago baada ja yuka kushoka kwa wafu.42Ashitulajila kuhubiri kwa vandu kuwa jweneju ndiye aumbaye Nnungu ashikumgagula kuwa mwamuzi wa valinginji hai na wawilenje. 43katika jwenejo mnabii vowe vashuhudie, ili kwamba kila aamini katika jwenejo shaposhele msamaha gwa dhambi kupitila lyin alyake."44Wakati Petro atenda jendelela kulugula genega, Roho mtakatifu ashikwagumbayanga vowe valinginji vanapali kanishianga ujumbe gwake. 45Vandu vevala wanaohusika nan kikundi cha waaamini wajalukenje vevbala vowe vashikwiya na Petro washikuushangazwa, kwasababu karama ja Roho mtakatifu ajailwe pia kwa mataifa.46Kwakuwa washipilikana hawa wa mataifa wanaweleketa lugha zingine na kumwabudu Nnungu. Petro akijibu, 47kuna mundu jojowe anaweza kuzuia mashi ili vandu vanabatizwe, vandu venava washikumposhelanga Roho mtakatifu malinga uwe? 48Ndipo akamwamuru wabatizwe kwa lina lya Yesu Kristo baadaye washikumjuga atuwenao kwa mova kadhaa.
1Mitume na ashapwanga valinginji kweneko, Yudea washikupilika kuva mataifa washiposhelanga lilowe lika Nnungu. 2Petro paishe kweneko Yerusalemu, lyelila likundi lya Vandu vajalukonje vashikutanduwa kumkosoa watenda lugula, 3Ukishikamana na vandu vanajukanga na kulya nao!"4Lakinin Petro anatanduwa kuwaeleza tukio kwa kina, atenda lugula, 5"Nikuva najuga katika shilambo sha Yafu, na njikulola maono ya bshombo shitendaulika pai malinga nguvu jaikulungwa jitenda uluka kushoka kumbinguni katika pembe yake yowe ncheshe. shishikuluka kungwangu. 6Njikushilola na kufikiri juu jake Gnunionajjeb vanyama wakwetenje makongono ncheshe vatamanga katika shilambo na vanayma va makonde na vanyama vajendaje7Kisha njipilikana lilowe litenda lugula nanne, Jimuke Petro inga na ulye! 8Gunigwile ngava nneyo Bwana mdomoni mwangu hakujawai nkujinjila shindu shoshowe shangali kitakatifu au shanyata" 9Lakini lilowe lishikujangula kavili kushuka kumbinguni, sheshila Nnungu alichokitangaza kuvi ni shambone unashishema najisi. 10Yenei ishikushoshela mara gatatu na kila shindu shishitolwe kavili kumbinguni.11Lola gwene wakati vandu vatatu vashikujimanga mmujo ja nyumba ja jejila twaaliji vashitumwanga kushoka Kaisaria kwiya kungwangu. 12Roho gwamalanjile kwenda nago na nisitofautiane nago veneva vashileu siatavashikwenda pamoo na nne na tushikwenda kwenye nyumba ja mundu jumo. 13Ashikutumalanjila pamwene malaika ashijima nkati ja nyumba jake atenda luguala "Najila Yafa nijenago Simoni ambaye lina lyake punakumshemanga petro. 14Shalugule ujumbe kwako katika gwenego utaokoka ugwe na nyumba jako jowe,."15Pudwandwive kulugula nao Roho mtakatifu ashikwiya kunani kwaonji malinga paishe kungwetunji mwanzoni. 16Nakumbuka malowe ga Bwana pulugwile, "Yohana ashikubatizwa kwa mashi lakini shibatizwanje katika Roho mtakatifu."17Pia malinga Nnungu ashishoya zawadi mahunga yatupele uwe putamani, katika Bwana Yesu Kristo, nne ni gani kwamba nakombola kumpinga Nnungu? 18Puwapilikenenje genega mambo, vangarudishanga bali vashikumsifu MNnungu na kugula, "Nnungu ashishoya toba kwajili ja mataifa pia."19Basi waamini ambao mateso gashikuotanduwa kwenye kifo cha Stefano vashikutawanyika kushoka Yerusalemu waani hawa vashikujendanga kwa talika hadi mpaka Foinike, Kipro na Antiokia.washikuwalugulila ujumbe kuhusu Yesu pekeake kwa wayahudi na ngava kwa juna awaya yowe 20Lakini baadhi jaonji ni kushoka Kipro na Krene, vashikwiya Antiokia na kulugula na wayunani na kumuhubiri Bwana Yesu. 21Na mkono gwa Bwana ushikuva pamo nao, na vandu vavagwinji vashikuamini na kumgesushila Bwana.22Habari zao zishikuika mmasikio kwa kanisa ya Yerusalemu, na vashikumtuma Barnabaajende mpaka Antokia. 23Paishe na nkulola karama ja Nnungu ashikufurai na aliwatia moyo vowe kuigala na Bwana katika mitima jaonji. 24Kwava ashikuva mundu ashigumbalwa na Roho mtakatifu na imani na vandu vavagwinji vashikujenjeshea katika Bwana.25Baadaye Barnaba ashikwenda Tarso kumnola Sauli. 26Pampatile ashikujianago Antiokia. Ishikuva kwashaka nzima vashikukusanyika pamo na kanisa kuwajiganya vandu vavagwinji. na wanafunzi vashikushemwa Wakristo jwa mara ja kwanza kweneko Antiokia.27N akatika genega mova manabii vashikuluka kushoka Yerusalemu mpaka Antiokia. 28Jumo jwao ni Agabao ndilo lina lyake, ashikujima akiashiriwa na Roho kwa shivanga shipinga shoshela ulimwenguni kote. Yeneyi ishikiushoshela mova ga Klaudio.29Kwa nneyo wanafunzi kila jumo alivyo fanikiwa, Vashikuamua kupeleka misaada kwa ashapwanga valinginji Uyahudi. 30Vashikutendanga nnei, vashikutuma mbyakwa mkono wa Barnaba na Sauli.
1Wakati gwenego Mfalme Herode ashikunyoosha mkono gwake kwa baadhi ja vevala vashokanga kwenye kusanyiko ili kuwatesa. 2Gwamuleje Yakobo mpwweke Yohana kwa upanga.3Baada ja kulola kuva inakwapendezanga Mayahudi, Gwamkamwile na Petro kavili, Hii ishikuva wakati wa mikate isiyochachwa. 4Pamkamwile ashikumwika mnigereza na ashikuvika vikosi ncheshe vya askari ili kumlinda, ashikuva akitarajia kumpeleka kwa vandu baada ja Pasaka.5Petro akamweka mnigereza, lakini maombi gashikutendwa kwa bidii na kusanyiko nkwaajili ja ka Nnungu. 6Mova kabla Herode akanave kwenda kumshoya, shilo Petro aashikugona katikati ja maaskari vawili, akiwa ashitawa na minyororo miwili na walinzi mmujo ja nnango vashikuvanganga wankulinda gereza.7Lola malaika wa Bwana gafla akamtokea na Nuru ikang'aa nkati Gwamkomile Petro ubavuni na kumjimuya gwalugwile, "Jimuka haraka." ndipo minyororo jatavilwe jishikuuguka kushoka mmkono mwake. 8Malaika gwamamnyile, wala livazi lyako na wala ilatu yako. "Petro gwatendile nneyo malaika gwamammalanjile wala livazi lyako na ungagule."9Nneyo ashikumkagula malaika na gwashoshile pilanga. Jwangaamini shitendwile na malaika malinga ni shakuli. Ashakuganishia analola maono. 10Baada ja pitav lindo lya kwanza na lya pili guvaishilenje kwenye geti lya chuma kujinjila kwenda kumjini lishikuuguka lyene kwaajili jao. washikushoshangab pilanga na uhuka wkeneko kwenye mitaa, mara malaika gwamleshile.11Petro puimanyile gwalugwile nnaino njiamini kuwa Bwana ashikumtuma malaika wake ili kumshoya katika mikono ja Herode, na kwa matarajio ga vandu vowe wa uyahudi." 12Baada ja manya genega gwaishe kwenye nyumba ja Mariamu amama yake Yohana ambaye ni Marko Wakristo vavagwinji vashikukusanyika watenda juganga.13Pagombile hodi kwenye mlango wa kizuizi, mtumishi jumo jwandonya aashemwa Roda ashikwiya na kuugula. 14Pamanyile ninsauti ja Petro kwa furaha ashikushindwa kuugula nnango; badala jake ashikutuka nkati mwa chumba 15Nneyo washikuugula kungwake ugwe unalwala shaluva, lakini alikazia kuwa ni kweli ni yeye, Guvalugulenje jwenejo ni malaika jwake."16Lkaini Petro ashikujendelela kubisha na puvaugulenje nnango guvamnolile palanga na vashikushangaanga sana. Petro akawanyamazisha kwa mkono kimya na shikuwalugulilanga jinsi Bwana pamshoshiye kushoka Gerezani, gwalugwile, 17"Wajulishe genega mambo Yakobo na ashapwanga vake, "Kisha gwajawile gwapite sehemu jina.18Puishe muii kushikuva na huzuni jajikurungwa kati ja askari, kuhusiana na shikoposhele kwa Petro. 19Baada ja Herodekumloleya na jwangamwona gwavaushilenje walinzi na ashikumuamuru vavulajwe, gwapitilemkushoka Wayahudi mpaka kasaria na kutama kweneko.20Herode ashiva na Hasira juu ja vandu va Tiro na Sidoni. Guvajendilenje pamo kungwake, vashikuvanganga na mbingu na blasto msaidizi wa mfalme ili awajangutile, kisha guvajujile nje ja amani, kwasababu shilambo shao shishikuposhela shaalya, kushoka katika shilambo katika shilambo sha mfalme. 21Mova gakusudiwe Herode ashiukuwala mavazi ga mfalme, na ashimlugulila.22Vandu vashikugombanga nyenye, lyeneli ni lilowe lyangu wala ngava lilowe lya mundu!" 23Mara ghafla malaika akampinga, kwasababu jwangampa Nnungu utukufu; ashikuligwa na chango kwavile24Lakini lilowe likaNnungulishikukulan na kujenela. 25Baada ja Barnaba na sauli kukamilisha huduma jaonji vashikushokanga pepala nabkuuja Yerusalemu guvamtolilenje na Yohana ambaye lina lyake lyavelekwa ni Marko.
1Nnaino katika likanisa lya Antokia, pashikuva na baadhi ja manabii na walimu, Vashikuva Barnaba, Simeoni (Ashemwile Nigeri) Lukio wa Kirene, Mnaeni(ndugu jwangali minyai wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli. 2Puvalinginji wanakumwabudu Bwana na kutawa, Roho mtakatifu ashikulugula, "Mmishilanje panyenje Barnaba na Sauli watendanje liengonlinimishilenje." 3Baada ja likanisa kutawa, kujuga na kuvika mikono njaonji juu ja vandu veneva washikwalekanga vajende.4Kwa nneyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na washoikuulukanga kuelekea Selenkia; kushoka kweneko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha kipro. 5Puvalinginji katika shilambo sha salami, washikutangaza, lilowe Lya Nnungu katika katiika masinagogi ga Wayahudi. pia washikuva pamo na Yohana Marko malinga msaidizi jwaonji.6Puvajendilenje katika kisiwa showe mpaka Pafo, washikumg'iamana mundu fulani ng'avi , Myahudi nabii jwa unami ambaye lina lyake lishikuva Bar Yesu. 7Jwene mng'avi ashikushiriki ana na liwali Sergio Paulus, aliji mundu akwete akili. mundu jweneju ashikwaalikanga Barnaba na Sauli, kwasababu ashikuhitaji kupilikana lilowe lika Nnungu. 8Lakini elima jwejula ng'avi (Nneyo ndio lina lyake pulitafsiriwa) aliwapinga ashikulinga kumpindikula jwejula liwali ashoashe kwenye Imani.9Lakini Sauli ashemilwe Paulo ashikugumbalwa na Roho mtakatifu, akamkazia macho 10na gwagwile, "Ewe mwana wa ibilisi ushigumbalwa na aina yowe yaunami aina ja haki. Hautokoma kupindikula mpanda gwa Bwana, zilizonyooka bulishiukombole?11Nnaino lola, mkono gwa Bwana puuli kunani kwako, na shiuve kipofu. Ukalilole lyuva kwa muda, mara moja ndambwe nab luvindu vishikugwa kunani ya Elimas, ashikutanduvba kutimbiliola pepala anajuga vandu wamwongoze kwa kumkamula mkono. 12Baada ja livali kulola shikoposhele aliamini kwasababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.13Nnaino Paulo na ashambinga jake walisafiri mmashi kuelekea Pafo na guvaishilenje Perge katika Pamfilia lakini Yohana ashikwalenga na kuuja Yerusalemu. 14Paulo na mbinga jwake washikusafiri kushoka perge na vashikuika Antaokia ya Pisidia. kweneko vashikwendanga katika sinagogi mova ga sabato kutama pai. 15Baada ja shoma sheria na manabii viongozi wa sinagogi ashikwatumilanga ujumbe vatenda lugula"Ashiapwanga malinga mkweteshe ujumbe gwa kwataganga mtima vandu penepa, mnugulanje"16Kwa nneyo Paulo ashikujima na kumpangila mkono, ashikulugula, "Vashileu wa Israeli na mmanganyanji mnaomtii Nnungu, mpilikanishianje. 17Nnungu jwa veneva vandu va Israeli ashikulugula awawa jetu na kwatendanga vanduvavagwinji puvatimilenje katika shilambo sha Misri na kwa mkomno gwake kuinuliwa ashikwaongozanga palanga. 18Kwa yaka arobaini ashikwavumilianga katika jwanga.19Baada ja angavanja mataifa saba katika shilambo sha kanani, ashikwapa vandu shilambo shao kwa urithi. 20Matukio gowe ga gashikukoposhela zaidi ja mika mianne na hamsini. Baada ya indu yowe, Nnungu ashikwapanganga waamuzi mpaka samweli Nabii.21Baada ja genega vandu, vashikujuga mfalme, nneyo Nnungu ashikwapanganga Sauli mwana wa Kishi, mundu jwa kabila la Benjamini, kuva mfalme kwa yuka arobaini. 22Kisha baada ja Nnungu kumshoya katika ufalme, ashikujinula Daudi kuwa mfalme jwao. ishikuva kuhusu Daudikwamba Nnungu ashikulugula, "Njikumpata Daudi mwana wa Yese kwa mundu apendezwaye na mtima gwangu amabye shatende kila shindu shingupinga,'23Kushoka katika shipinga sha mundu jweneju Nnungu ashikwiyanago Israeli mkombozi, Yesu malinga shashidi kutenda. 24Lyeneli lishikutanduwa kushoshela kabla ja Yesu kwiya, Yohana kwanza ashikutangaza ubatizo wa toba kwa vandu va israeli. 25Naye Yohana paaliji anamaliya maengo gake, ashikulugula, "Mnaganishianga nne nin gani? nne ngacva jwejula. lakini mpilikanishianje akwiya nnyuma jangu ngastahili kulegeya italu ya makongono gake,'26Ashapwanga vana wa shipinga sha Abrahamuna vevala kati jenunji mnakumwabudu Nnungu, ni kwaajili jetu kwamba ujumbe gwenegu gwa ukombozi ushitumwa. 27Kwa vevala watamanga Yerusalemu na watawala wao wangammanyanga kwa uhalisia na wala wangamanyanga ujumbe wa Mnabii ambao husimwa kila sabato, kwa nneyo walitimliza ujumbe wa manabii kwa kumuhukumu kifo Yesu.28Japokuwa wangapatanga sababu jambone kwa kifo nkati jake, vashikumjuganga Pilato ammulaje. 29Pavamaliyenje mambo gowe gajandishwe kuhusu jwenejo vashikummikanga pai kushoka mukongo na kumgoneya nnikaburi.30Lakini Nnungu ashikumyuya kushoka wafu. Ashikuonekana kwa mova gamagwinji kwa vevala vajendenje pamo naye kushoka Galilaya kuelekea Yerusalemu, 31vandu veneva ni mashahidi va vandu.32Nneyo tunakwiyanago habari njema kuhusu ahadi wapegwile ashambuje. 33Nnungu ashikumvika ahadi yeneyi kungwetuvanavao katika ashikumyuya Yesu na kumujanago kawili katika uhaio Lyeneli pia lishikujandukwa katika zaburi javili ugwe ni mwanangu lelo njiwa awawa jako. 34Pia kuhusu ukweli ni kwamba ashikumyuya kushoka wafu ili kwamba shiilu shajke shinaharibiwe, ashilugula nneyi shinikupatile utyakatifu na barajka halisi za Daudi'35Jneji ndiyo sababukulugulan pia, katika zaburi jina, 36Hautaruhusiwa mtakatifu wako kulola wako kulola uozo. 37Lakini afufuliwe na Nnungu jwangalola uharibifu,38Nneyo na ifahamike nan kungwenunji ashapwanga, Kupitila jweneju mundun msamaha gwa dhambi ushuhubiriwa. 39Kwa jwenejo kila aaminiye amehesabiwa haki na mambo gowe ambayo sheria ja Musa isingewapatia haki.40Nneyo bahi mmanganje waangalifu kwamba shindu shivakungulushe mje manabii shinakoposhela kumngwenunji: 41Mnolanje mmanganyanji mnadharau na mkashangaa na mkangaanfamie kuvile natenda liengo ambalo mkakombolanga kuhamini, hata malinga mundu avatushiyanje."42Wakati Paulo na Barnaba pavajaulenje, vandu washikujuganga wa kumkungulishe malove genega mova ga sabato gakwiya. 43Wakati mkutano Gwa sinagogi puumalile, Wayahudi vavagwinji na wao ngofu thabiti vashikwakagualanga Paulo na Barnaba, ambao vashikukugumuka nago waliwahimiza vajendelele katika neema ja Nnungu.44Sabato jina karibu mji gowe ushikukusanyika kupilikana lilowe lya Nnungu. 45Wayahudi puvalolianje makutane vashikukugumbalwanga na wivu na kulugula malowe galiyopingaindu yaliguliwe na Paulo na vashikumtukana.46Lakini Paulo na Barnaba vashikukunguruka kwa ujasiri na kulugula, Ishikuva ni muhimu kwamba lilowelya Nnungu likungulushwe kwanza kumngwenunji, pava mnakulikonolanga kwa talika kusheka kwenunjina kuilola kuva mwangastahili uzima wa milele, mnolanje shitupindikushe Mataifa. 47Malinga Bwana vatiamuru, atenda lugula, njikummikanga mmanganyanji malinga nuru kwa vandu va mataifa, mjianago uokovu kwa pande yowe ya dunia."48Mataifa puwapilikenenje lyeneli walifurahi na kumsifu, lilowe lya Abrahamu lilowe lya Bwana vavagwinji vaagulenje kwa uzima gwa milele waliamini. 49Lilowe lya Bwana lishikujenela shilambo showe.50Lakini Wayahudi waliwasihiwaliojitoa na wandonya muhimu, pia na viongozi wa mji, Genega gashikushoshela mateso dhidi ja Paulo na barnaba na vashikwanjaa pilanga na mipaka ja shilambo. 51Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ja makongono jaonji kisha vashikwendanga kwenye shilambo sha Ikonia. 52Na wanafunzi washikugumbalwangwa na furaha na roho mtakatifu.
12Ishikushoshela nkati ja Ikoniokwamba Paulo na Barnaba vashikujinjila pamo nkati ja Sinagogi la Wayahudi na kukunguruka namna ambayo kundi lilikurungwa la vandu wayahudi vashikuamini. Lakini wayahudi wasiotii walichochea akili wa mataifa na kwatendanga kuva vabaya dhdi ja ashapwanga.3Kwa nneyo washikutama kweneko muda gwamleu vashikunguruka kwa ujasiri kwa mashili ga Bwana kwekuno atendashoya uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema jake. Ashikutenda nneyi kwa kushoya Ishara na maajabu vitendwe kwa mikono ja Paulo na Barnaba. 4Lakini lieneo lyalikulungwa lya shilambo lishikugavanyika pamo na Wayahudi, na Baadhi pamo na mitume.5Wakati gwa mataifa na wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kwatendelanga vibaya na kwapondanga maganga Paulona Barnaba, 6Washikumanyanga lyenelo na kuwutushila katika shilambo sha Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo gatimbilila pepala, 7na kweneko vashikuhubiri injili.8Na kweneko Listra pashikuva na mundu jumo ateni jwangakola mashili mmakongono mwake, kilema koshoka mmatumbe mmatumbo mwa amama yake akanawejendajenda. 9Jweneju ashimpilikana Paulo atenda kunguruka. Paulo ashikumkazia meyo na kulola kuva ashikulola imani ja ponywa. 10Nneyo ashikulugula kumngwake lilowe lya kunani, "Jima kwa makongoni gako, "na jwajula mundu ashikunguruka kunani na kutanduwa kujendajenda.11Umati Puwaonile shatendile Paulo, vashikujimula lilowe lyao na kulugula Katika lahaja ja Kilikaonio, "mirugu imetushukia kwa namna ja binadamu. " 12Vashikumshema Barnaba "Zeu"na Paulo "Herme" kwasababu ashikuva msemaji mkuu. 13Kuhani wa zeu ambayo hekalu lyake lishikuwa pilanga ja shilambo ashikwiyanago liluwe lya ng'ombe na mtungo gwa maluwa mpaka kwenye lango lya shilambo na jwenejo na umatyi vashikupanga kushoya sadaka.14Lakini mitume, Barnaba na Paulo puvapilikenenje lyeneli Waliraua, movazi gaonji na kwa haraka washikwenda pilanga kwenye umati, watendaguta. 15na kulugula, Enyi vandu kwanini mnatendanga indu yeneyi? na uwe pia ni vandu likwete hisia malinga yenunji, Tunakwiyanago habari njema kwamba mgeukanje kushoka kwenda Nnungu aliye hai, aumbile mbingu dunia na bahari na kila shindu shivele katika dunia. 16Katika nyakati ipitile ashikuruhusu mataifa kujendajenda katika mipanda jaonji vayene.17Lakini bado jwanga jaula gwangali shahidi katika lyenelyo ashikutenda mbone na shikwapanganga ula kushoka kunani na nyakati za mazao, ashikwagumbayanga mitima kwa yaalya na furaha" 18Hata ka malove genega, Paulo na Barnaba kwashida vashikuvila umati kuwashoya bsadaka.19Lakini baadhi ja wayahudikushoka Antiokia na Ikonio washikwiya kushawishi umatiguvamgombilenje maganga Paulo na nkumburuta hadi pilanga ja shilambo, watendanganishia ashiwa. 20Hata kwa nneyo wanafunzi washikujimanga tome nago, ashikujimka, guvajilijile nje kumjini Lyuva lya pili ashikwenda Derbe na Barnaba.21Baada jajiganya injili katika sheshila shilambo na kuwatendanga wanafunzi vavagwinji vashikuuya Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia. 22Vashikujendelela kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutagwa mtima kujendelela katika imani gwalugwile , "Lazima tujinjile katika ufalme gwa Nnungu kwa kupitila mateso gamagwinji."23Walipowateua kwaajili jaonji ashambuje wa kila kusanyiko la waaminio na wakuwa washijuga bna kutovu, waliwakabidhi kwa Bwana ambao vaonji vashikumwamini. 24Kisha washikupita katika pisdia vashikuika Pamfilia. 25Wakati puvakungurukenje malowe katika Perga, vashikuulukanga kwenda Atalia. 26Kushoka kweneko vashikukwela meli hadi Antiokia ambako vashikuva vashikuishoyanga kwa neema ja Nnungu kwaajili ja maengo ambayo nnaino puvalinginji vaikamishile.27Puvaishilenje kweneko Antiokia na kulikusanya kusanyiko lya pamo washikushoya lya bpamo washikushoya taarifa ga mambo ambayo Nnungu ashitenda kwaonji na jinsi pawaugulile mlango gwa imani kwa vandu wa Mataifa. 28Vashikutamanga kwa muda gwamleu na wanafunzi.
1Vandu fulani vashikuulukanga kushoka uyahudi nan kwajiganya ashapwanga, watenda lugula, "msipotahiriwa malinga desturi ja musa mkamkombolanga kuokolewa." 2Wakati Paulo na Barnaba puvaliginji na mapambano na ,mjadala pamo nao ashapwanga vashikuamua kuva paulo Barnaba na vana kadhaa vajenda Yerusalemu kwa mitume na wazee kwaajili swali hili.3Kwa nneyo, kwakutumwa kwao nalikanisa vashikupitila Foinike na samaria watenda tangaza kupindikulania kwa mataifa washikujianago furaha kwa ashapwanga vowe, 4Puvaishenje Yerusalemu, waliwalikaribishwa na kanisa na mitume na ashambunje, na waliwasilisha taarifa ya mambo gowe ambayo Nnungu ashitenda pamo nao.5Lakini vandu fulaniwalioaminmi vashikuwa katika kundi la Mafarisayo, vashikujima na kulugula, "ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru vakamulanje sheria jika Musa." 6Nneyo mitum,e na ashambuje vashikujima pamo kuliganisha lyeneli liswala.789Baada ja majadiliano gamaleu, Petro ashikujima na kulugula kwaonji, "Ashapwanga mwatambua kwamba kitambpo kizuri shipitile Nnungu ashikutenda chaguo kati jenunji, kwamba kwa mdomo wangu Mataifa wapilikene lilowe lya injili na kuamini. Nnungu amanya mitima anashuhudia anakwapanganga Roho mtakatifu, malinga patendile kungwetu; nab kuulaga utofauti kati jenu na venevo ashitenda mitima jambnone.10Kwa nneyo, kwanini mnajaribu Nnungu kwamba mmikanje nira juu ja shingo za wanafunzi ambao hata awawa yetu wala uwe twangakombola kustahimili? 11Lakini twaamini kwamba, tutaokolewa kwa nnema ja Bwana Yesu, malinga puvalinji."12Kusanyiko lyowe lishikupumulila puvalinginji wanakumpalikanishia Barnaba na Paulo puvalinginji wanashoya taarifa ya ishara na maajabu ambayo Nnungu ashikutenda pamoo kati ja vabdu wa Mataifa.13Pavaleshilenje kukunguruka, Yakobo alijibu na kulugula, "Ashapwanga mbilikanishianje. 14Simoni ashikunguruka jisni kwanza Nnungu kwa neema ashikwajangutikla Mataifa ili kwamba apate kushoka kwao vandu ja lyina lya lyake.15Malove ga Manabaii yanakubaliana na lyenelyi malinga puijandishwe, 16Baada ya genega mamumbu shimnywe nankuishenga kavili hewa ja Daudi, pujingwile pai, shinijunule na kuisha uharibifu wake, 17Ili kwamba vandu vaigelenje wamloleye Bwana, pamoo na vandu va mataifa washemwile kwa lina lyangu,' 18Nnei ndiyo palugwile Bwana atendile mambop genega gamanyikana tangu enzi ja bukala.19Nneyo basi ushauri gwangu ni kwamba tunapanganje shida vandu va mataifa wamgeukiao Nmungu; 20Lakini tujandishe kwao kwamba watame kwa talika na uharibifu gwa sanamu, tamaa za N a vilivyonyongwa,Kushoka vizazi na minyai. 21kushoka vizazi vya ashambuje kuna vandu katika kila shilambo wahubirio na kumshoma Musa katika masinagogi kila Sabato."22Kwa nneyo ishikuloleka kuwa imependeza mitume na shambuje pamo na likanisa lyowe kumng'agula Yuda ashemwile Barnaba na Silas, Valiji viongozi wa likanisa na kuwatangaza Antiokia na Paulo na Barnaba. 23Vashikujandika Nneyi, "Mitume, wazee na ashapwanga, kwa ashapwanga wa mataifa waaliji Antonia, Shamu na kilikia, salamu.24Tushikupilikana kwamba vandu fulani ambao twangapanganga amri jenejo, washikushoka kungwetu na washikwatabishanga kwa mafundisho gajianago shida nafsi mwenunji. 25Kwa nneyo ishionekana vyema kwetu tuwowe kuagula vandu na kuwatuma kwenunji pamoo na wapendwa veta Barnaba na Paulo, 26Vandu valinginji hatarisha maisha gao kwaajili ya lina lya Bwana Yesu Kristo.27Kwaz nneyo tushikumtuma Yuda na Sila shivalugulanje mambo genego pego. 28Pava ishikuonekana vyema kwsa roho mtakatifu na kungwetu kuto kuweka kunani mshingo gwamkulungwa kuliko genega mambo ga lazima: 29Kwamba mgeukanje kushoka kwenye indu vitolewavyo kwa sanamu, minyai indu ya nyongwa na uesherati, malinga shimuvikanje kwa talika nnei, ya mbone kwenunji kwa herini."30Nneyo bahi, walivyotawanyishwa, vashikutemshila Antiokia, baada ja kusanyiko pamo waliwasilisha barua. 31pwaliginji wanashona washikufurahi kwasababu ya kutagwa mitima. 32Yuda na Sila na manabii, waliwatia moyo ashapwangakwa malove gamagwinji na kuwataganga mashili.33Baada ja tama muda fulani kwenekon washikutawanyishwa kwa amani kushoka ashapwanga kwa vevala watamilenje. 34[lakini ishikuonekana yambone ila kuigala kweneko] 35Lakini paulo vandu vashikutama Antokia pamo na vana vavagwinji ambapo vashikiujiganya na kuhubiri lilowe lya Bwana.36Baada ja mova kadhaaPaulo ashikulugula kwa Barnaba, na tuuje nnaino na kuwowela ashapwanga katika kiula shilambo yulipohubiri lilowe lya Bwana na kuwaonanga puvalinginji. 37Barnaba ashipinga kumtola pamoo na Yohana ashemilwe Marko. 38Lakini Paulo ashikuganishia ngava mbone kumtola Marko avaleshilenje kweneko pamfilia na jwangajendelela kavili na maengo.39Kisha penepo kushikushola mabishano gamakurungwa kwa nneyo vashikulekanana Barnaba ashikumtola Marko na kusafrir kwa nneyi nchi mpaka Kipro, 40Lakini Pauloashikumng'agula Sila na kushoka, baada ja pegwa na ashapwanga katika neema ja Bwana. 41Na ashikwenda kupitila shamu na kilikia atenda imarisha makanisa.
1Paulo pasishe Debre na Lystra; na lola pepala paaliji na mwanafunzi ashemiwe, Timotheo ni kijana avaeleshwe na maana na kujahidi ambaye ni muuminijwa awawa yake ni Mgiriki. 2Vandu wa Listra na Ikonia walimshuhudia vizuri. 3Paulo ashikumpinga ili asifiri nago nneyo ashikumtola na kumtahiri kwasababu ja wayahudi waliginji kweneko kwani vowe vashikummanyanga kwa awawa jake ni Mgiriki.4Puvaliginji wanakwendanga vashikupita kwenye shilambo na kushoya maagizo kwa makanisa ili kuyatii maagizo genego gashikujandikwa na mitume na ashambuje kwenko Yerusalemu. 5Kwa nneyo makanisa gashikuimarishwa katika imani na waliobaini vashikujendeshela kwa idadi kila mova.6Paulo na mnjake guvajendilenje Firigia na Galatia, kwa Roho jwa Nnungu ashikwakanmiyanga kuhubiri lilowe kweneko kwenye jumba la Asia. 7Puvaliji tome Misia vashikulinga kwenda Bithinia, lakini Roho jwa Yesu ashikwakataza, 8Kwa nneyo washikupitanga Misia na kwiya mpaka shilambo sha Troa.9Maono gashikumshoshela Paulo shilo kushikuwa na mundu wa Makedonia ashijima, gwamshemile na kulugula "Mjianje mtuijangutilanje mtujangutilan je kweneku Makedonia." 10Paulo paweni maono, mara tushikujiandaa kwenda Makedonia, atendamanya kuwa Nnungu ashikutushema kwenda kuwahubiria injili.11Nneyo tushikujaula kushoka Troa, tushikwenda moja kwa moja Samothrake, na mova gaishe tushikwika shilambo sha Neapoli. 12Kushoka penepo tushikwenda Filipi ambayo moja ja shilambo sha Makedonia, shilambo muhimu katika wilaya ya utawala na wakunani na tushikutama mova kadha. 13Mova ga sabato tushikwenda palanga ja lango kwa mpanda gwa mto, sehemu ambayo tushikuganishia tushive na mahali patenda maombi. tushikutama pai na kukunguruka na vandinya vaishilenje pamoo.14Jwandonya jumo ashemilwe Lydia, ausha zambarau, kushoka katika shilambo sha Tiatira, mwenye kumuabudu Nnungu ashikupilikana. Bwana ashikuugula mtima gwake na kuwika maanani malowe galugwilwe na Paulo, 15Baada ja batizwa jwenejo na nyumba jake jowe ashikutusihi nan kulugula, "malinga mshilolanga nne kuwa ni mwaminiufu katika Bwana basi nawasihi mjinjilanje na kutama kwangune ashikutusihi sana.16Ishikuwa kwamba twaaliji tunakwenda mahali na kujuga jwandonya jumo aliji pepola utambuzi ashikuimana na uwe, Ashikumpeleshela Bwana faida jajigwinji kwa kubashiri. Jwene 17jwandonya ashikumkagula Paulo pamo na uwe na ashikugomba nyenye na kulugula, "Veneva vashikeu ni watumishi wa Nnungu apali mkuu wanaowatangazaia nyinyi habari ya wokovu". 18Ashikutenda nneyo kwa mova gamagwinji lakini paulo ashikushimwa na tendo lyenelyo, ashikugeuka na kuwalugulila pepo, "Nakuamauru kwa lina lya Yesu umshoshe nkati mwake" naye ashikushoka na kuweleka mara jimo.19Mabwana zake puwaonile yakuwa tu maini la faida jao lishijaula, vashikwakamulanga Paulo na Sila na kuwamburuza sokoni mmujo ja wwnye mamlaka. 20Puvaishilenje kwa ,mahakimu, washikulugula, "Veneva vashileu ni wayahudi na wanasababisha ghasia jajikurungwa katika shilambo shetu. 21Wanajiganya mambo ambayo ngava sheria uwe kuyaposhela wala kugakagura malinga warumi."22Umati ushikuwajiruhushianga kinyume Paulo na Sila, mahakimu wakarama nguon zao na kwaulanga na kuamuru wagombwe viboko. 23Baada ja kwagombanga iboko yaigwinji vashikuwajaanga nnigereza na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vyema. 24Baada japoshela amri jenejo, askari jwa gereza ashikwajaa katika chumba cha nkati ja gereza na kuvatangaza makongono jao kwenye sehemu pava hifadhi.25Wakati gwa shilo sha manane, Paulo na Sila, wakawa wanajuganga nakujimba nyimbo ya kumsifu Nnungu, akuno wafungwa vana watendapilikanishia, 26Ghafla kushikushoshela tetemeko kuu na misingi ja gereza ishikupukunywa, milango ja gereza gajiugushe, na minyororo ja wafungwa wowe jishikulegezwa.27Mlinzi jwa gereza ashikujinuka kushoka katika lugono na ashikulola milango jowe ja gereza jishiuguka nneyo ashikutola upanga gwake maana ashikupinga kuivulaga kwasababu ashikuganishia wafungwa vowe vashitorokanga, 28Lakini Paulo ashigomba nyenye kwa lilove kuu atenda lugula "unaizuru tuwowe putuli pano".29Mlinzi jwa gereza ashikujuga taa na ashikujinjila nkati ja gereza kwa aharaka, ashikutetemela na kujogopa, ashikwagwilanga Paulo na Sila, 30na kwashoyanga pilanga ja gereza na kulugula, "Waheshimiwa, ndende indi ili mbate kuokoka?' 31Nao guvalugulenje mwamini Bwana Yesu nawe Utaokoka pamoo na nyumba jako."32Vashikunenanga lilovye lya Bwana kungwake, pamoo na vandu vowe na kunyumba jake, 33Mlinzi jwa gereza ashikwatolanga shilo na kuwaukanga sehemu walizoumia jwenenjo pamo na vandu wa kunyumba mwake wakabatizwa mara. 34Ashikwianago Paulo na Sila kumngwake na kuwatengea shaalya, Naye ashikuwa na furaha kuu pamoo na vandu na kunyumba kwasababu washikumamini Nnungu.35Pujalijinmui, mahakimu walituma ujumbe kwa yule mlinzi wa gereza watenda lugula, "Waruhusu vevala vandu vajende", 36Mlinzi wa gereza akamjulisha Paulo juu ga malove genego kuwa, "Mahakimu washinugulilanga niruhusu mjaulanje nneyo mshoshanje pilanga nkwa amani."37Lakini Paulo gwavalugulilanje, "Vashikutukomanga hadharani, vandu ambao ni Warumi bila kutuhukumu na washikuamunga kutujaa mnigereza, halafu nnaino wanapinganga kutushoya kwa siri, Hapana ikawezekana venevo vayenenji vajiyanje kutushoya mahali penepa". 38Walinzi wakawajulisha mahakimujuu ja malowe hayo, mahakimu washikujogopa sanan pepala puvamanjilenje kuva Paulo na Sila warumi. 39Mahakimu washikwiya na kuwasihi vajaulanje na puvawashoshilenje pilanga ja Gereza vashikwajuganga Paulo na Sila vashoye pilanga ja shilambo shao.40Kwa nneyo Paulo na Sila washikushoka pilanga ja gereza vashikwiya kumjui kwa Lidia. Paulo na sila puwaonilenji ndugu waliwatia moyo na kisha kujaula katika shilambo shenesho.
1Na puvapitilanje katika ilambo ya Amfipoliana Apolonia, washikwiya mpaka shilambo sha Thesalonike ambao washiwa na sinagogi la wayahudi. 2Malinga puili kawaida ja Paulo, ashikwenda kumngwao na kwa muda gwa mova ga sabato ashikujadili ni juu ja maandiko.3Ashikuwa anakwalugulilanga Maandiko na kuwaeleza kuva ishikumpasa Kristo ateseke na kisha kuyuka kavili kushoka kwa wafu. Ashikwalugulilanga, Jweneju Yesu nikumnugulilanga habari jake ndiuye Kristo." 4Baadhi ja Wayahudi vashikushawishi shika na kuva pamoo na Wagiriki wacha Nnungu, ashimama vavagwinji waongofu na likundi likurungwa lya Vandu.5Lakini baadhi ya Wayahudi wasiobamiwa vashikugumbalanhwa na wivu, vashikwenda kusokoni na kwatolanga baadhi ja vandu waovu, wakakusanya umati wa vandu pamoo na kusababisha ghasia pashilambo kisha wakavusha ghasia pashilambo, kisha vakama nyumba ja Jason, vashikupinga kwakamulanga Paulo na Sila ili vikanga mmujo ja vandu. 6Lakini walipowakosa vashikumkamula Yason na baadhi ja ashapwanga na kwapeleka mmujo ja maafisa wa shilambo vatenda komanga nyenye, veneva vashileu waliopindua ulimwengu washikanga kweneko kavili. 7Vashileu venewa waliokaribishwa na Yasoni wanaihalifu sheria ya Kaisari wanalugulanga ashapwanga Mfalame juna ashemwa Yesu"8Umati na waofisa wa shilambo, puvaliji kenje mambo genego vashikujinjilwa na wasiwasi. 9Baada java watolilenje mbya ja thamani ya ulinzi kushoka kwa lasoni na vandu vana vashikwalekanga vajende.10Sheshilo shilo ashapwanga vashikumtuma Paulo na Sila Beroya, na puvaishile nje kwekula vashikwenda katika sinagogi la Wayahudi. 11Vevala vandu vashikuwa wenye werevu gwamkurungwa kuliko vandu va Thesalonike kwasababu vashikuwa na utayali wa kuliposhela lilowe kwa akili jaonjina kuchunguza maandiko kila siku ili kulola malinga malowe ganenilwe ndiyo pugali. 12kwa nneyo vavagwinjji vashikuamini wakiwemo vandonya wenye ushawishi gwa mkurungwa wa kigiriki na vashileu vavagwinji.13Lakini Wayahudi wa Wa Thesalonike puvamanyile kwamba Paulo anatangaza lilowe lya Nnungu kweneko Bero ya washikwenda kweneko na kuchochea na kutanduwa ghasia kwa vandu. 14Kwa haraka ashapwanga vashikumpelekanga Paulo kwa mpanda gwa ziwa Lakini Sila na Timotheo vashikuigalanga pepala. 15Vevala ashapwanga vampleshenje Paulo vashikwenda naye mpaka Athene vashikumleka Paulo kweneko vashikumposhela maagizo kushoka kuwa Sila na Timotheo vaishe kumngwake kwa haraka iwezekanavyo.16Na wakati alikwalindanga kweneko Athene, mtima gwake ushikutumbala nkati mwake mwa jinsi paonile shilambo shsishsigumbala sanamu nyaigwinji. 17Nneyo ashikujadiliana katika sinagogi na wayahudi vevala waliomcha Nnungu na kwa vevala vowe aimanago kila moga kusokoni18Lakini baadhi ya wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. na vana guvalugulenje ni shindu shashi shaalugula jweneju mwongeaji mchanga? vana guvalugulenje "inaonekana inahubiri habari ja Nnungu mgeni," kwasababu anahubiri habari ja Yesu na ufufuo.19Wanakumtola Paulo na kujianago Areogapo, watendalugula, "Tunamanya haga mafundisho mapya gukukuruka? 20Kwasababu unakwiyanago mambo mapya katika maskio getu. kwa nneyo tunapinga kumanya genego mambo gashikola maana gani?" 21(Na vandu vowe wa Athene pamo na vajeni valiginji hutumia muda gwao aidha katika kukunguruka na kupilikanishia juu ja jambo jipya.)22Kwa nneyo Paulo ashikujima katikati ja vandu va Areopago na kulugula, " Enyi vandu va Athene, nalola mmanganyanji vandu va dini kwa kila namna, 23Kwani kjatika kupita kwangu na kulola indu jenunji vya kuabudu, njilola malove gajanjishwe kwenye moja ya madhabahu genunjii, itenda lugula "KWA NNUNGU ASIYEJULIKANA" nneyo bai jweneju mnaemwabudu pangalimanya ndiye ninaye wajulisha mmanganyanji.24Nnungu aumbile dunia na kila shindu shipali nkati, kwava ni Bwana wa mbinguni na nchi, akakomboola kutama katika mahekalu yaliyotengenezwa na mikono. 25Na pia hatumikiwa na mikono ya wanadamu kana kwamba anapinga shindu kwani jwenejo mmwene huwapa wandu uzima na pumzi na indu nina yowe.26Kupitila mundu jumo ashikutenda mataifa gowe ga vandu vatamanga kumeyo kwa dunia na ashikwashilanga nyakati na mipaka katika maemneo gwatamanga. 27Kwa nneyo wanapingwanga kumloleya Nnungu na yamkini wamng'imanena kwa uhakika jakwa taalika na kila jumo jwetu.28Kwake tunaishi, tunajendajenda mna kuva na uzima gwetu, malinga mtunzi jwenunji jumo wa shairi pulugwile tu vaveleka vake.' 29Kwa nneyo pavauwe ni vavelekwa wa Nnungu hatupaswi kuganishia kuwa Uungu malinga dhahabu, au shaba au maganga sanamu iliyochongwa kwa ustadi na mawazo ga vandu.30Kwa nneyo Nnungu ashikupumula nyakati yeila ya ujinga, lakini Nnaino anaamuru vandu vowe kila mahali wapate kutubu. 31Yenei ni kwasababu ashikiva lyuva atakayo ihukumu dunia kwa mundu ambaye ashikumkagula Nnungu ashikushoya uhakika wa muda jweneju kwa kila mundu pepala pamnyushie kushoka kwa wafu.32Na vandu va Athene puvapilikene habari ja lyuwa kwa wafu, baadhi jaonji wakamdhihaki Paulo, ila vana guvalugulenje, "Tutakusikiliza tena kwa habari ya jambo lyeneli" 33Baada ja penepa Paulo gwavaleshile. 34Lakini baadhi ja vandu waliungana naye wakaamini. akiwemo Dionisio Mwareopago, na jwandonya anashemwa Damari na wengine pamo nao.
1Baada ya genego mambo, Paulo ashikujaula Athene kwenda Korintho. 2Kweneko gwamnpatile myahudi ashemilwe akwila mundu jwa kabiola la ponto jwenejo na mmkongwe jwake ashemilwe Prisila washikwiya kushoka kweneko hatia kjwasababu ja Klaudia ashikuamauru Wayahudi vowe wajondoshe Roma Paulo gwaishe kungwaonji; 3Paulo akaishe na kutenda maengo nago kwani jwenejo anatenda maengo gafanana na gaonji venevo vashikuva vanahalaya mahewa.4Paulo akajadiliananao katika simnagogi kila mova ga sabato, Aliwashawishi wayahudi pamoo na wagiriki. 5Lakini Sila na Timotheo puvaishilenje kushoka Makedonia, Paulo ashikunokolwa na Roho kuwashuhudia wayahudi kuwa Yesu ndiye Kristo. 6Wakati wayahudi walipompinga na kumdhihaki, neyo Paulo ashikumng'unda livazi lyake, mbele yao na kuvalugulila, "Minyai jenunji jiwe kunani mwa mitwe jenunji mmayene; Nne nangali hatia kushoka nnaino na kujendelela nakwajendela mataifa"7Nneyo gwatawile kushoka pepala gwapite kwenye mjumba ja Tito Yusto, mundu akumwabudu Nnungu . nyumba jake piliji tome na sinagogi. 8Kristo, kiongozi wa sinagogi jake wakamwamini Bwana vandu vavagwinjji wa Korintho wampilikene Paulo atenda kuguruka waliamini na kubatizwa.9Bwana amlugulile Paulo shilo klwa mpanda gwa maono, Unajogiope, lakini kunguruka na unapumule 10Kwani nne nilipamo nanugwe jwakwapingalinga kukudhuru, mana njikola vandu vavagwinjji katika sheshimo shilambo". 11Paulo ashitama kweneko kwa muda gwa shaka shimo na myei sita atenda jiganya lilowe lya Nnungu miongoni mwao.12Lakini Galio patendilwe mtawala wa Akaya, WQayahudi vashikujima pamo kinyume na paulo nakumpeleka mmujo mwa kiti cha hukumu, 13Guvalugulenje, "Mundu jweneju huwashawishi vandu wamwabudu Nnungu kinyume cha sheria".14Wakati paulo papilenje kulugula Galio gwavavalanjile Wayahudi, "Ninyi Wayahudi, ,Mmanganyanji Wayahudi, malinga ikaliji ni kosa au uhalifu ikaliji halali kuvashughulikia. 15Lakini kwasababu ni maswali gahusu malove na meana na sheria yenunji basi muhukumu mmanganyanjji Nne napinga kuva hakimu kwa habari ja mambo genega."16Galio akawaamuru wajaule mmujo ja kiti cha hukumu, 17Nneyo gumkamulenje Sothene kiongozi wa sinagogi na kumkoma mmujo mwa shitengu sha hukumu. lakini Galio jwangajali shivatendele.18Paulo baada ja tama pepala kwa muda gwamleu ashikwaleka ashapwanga na kwenda kwa meli Siria pamo na Prisila na akwila. Kabla ja jaula bandari na ashikumuga umbo yake kwani ashikuwapa kuva mnadhiri. 19Puvaishilenje Efeso, Paulo ashikumleka Prisila na Akwila pepala lakini jwenejo mmwene ashikujinjila kwenye sinagogi na kujadiliana na Wayahudi.20Puvamnugulilenje Paulo atame nao kwa muda gwamleu jwenejo ashikukana. 21Lakini ashikujaula kwaonji gwavalugulilenje, "Shimuje kavili kumngwenunji ikiwa ni mapenzi ga Nnungu" baada ja penepo gwajawile kwa meli kushoka Efeso.22Paulo paishe Kaisaria ashikukwela kwenda kusalimia kanisa la Yerusalemu kisha gwalwishe pai kwa kanisa la Antokia. 23Baada ja tama kwa juda pepala, Paulo ashikujaula kupitia maneno ya Galatia na Frigia na kuwataganga mitima wanafunzi wowe.24Myahudi jumo ashemilwe Apolo aveleshwe kweneko Alexandria ashikwiya Efeso Ashikuva afasaha katika kukunguruka na hodari katika maandiko. 25Apollo ashikuelekezwa katika mafundisho ya Bwana kwa jinsi alivyokuwa na bidii katika Roho, ashikukunguruka na kujiganya kwa usahihi mambo gakumuhusu Yesu ila ashikumanya ubatizo gwa Yohana. 26Apolo ashikutanduva kuweleketa kwa ujasiri katika hekalu. lakini Prisila na Akwila puvampilikene, washikutenda urafiki naye na wakamwelekezea juu ja mipanda ja Nnungu kwa usahihi.27Papinjile kujaula kwenda Akaya ashapwanga vashikumtaga mtima na kwajandishila barua wanafunzi walinginjji Akaya ili wapate kumposhela, Paaishe kwa neema ashikwajangutilanga sana walioamini. 28Kwa mashili gake na maarifa, Apolo aliwazidi Wayahudi hadharani atenda languya kupitila maandiko ya kuwa Yesu ndiyo Kristo.
1Ishikuva kwamba Apolo paliji Korintho, Paulo ashikupita nyanda za kunani na kushila katika shilambo sha Efeso na ashikuimana wanafunzi kadhaa kweneko. 2Paulo gwavalugulenje, "Je mshikuposhelanga Roho mtakatifu mlipoamini? Guvamnugulilenje, Hapana twangakombola hata pilikana kuhusu Roho mtakatifu."Paulo ashikulugula igala mmanganyanji mlibatizwaje? Guvawelekete katika ubatizo wa Yohana. Bai Paulo akajibu, Yohana ashikubatizwa kwa ubatizo wa toba. gwavalugulenje vandu kwamba kumwamini 5Vandu vapilikene habari jeneji vashikubatizwa kwa lina lya Bwana Yesu. 6Na ishikuva Paulo pavishile mikono jake juu jaonji, Roho mtakatifu ashikwiya juu jaonji na vashikutanduva kunena kwa lugha na kutabiri. 7Jumla vashikuva vashiuleu kumi na vawili.8Paulo ashikwenda sinagogi na akanena kwa ujasiri kwa muda wa miyei jitatu, Ashikuva anaongoza majadilianao na kuwauta wabndu kuhusu mambon yanayohusu ufalme gwa Nnungu. 9Lakini wayahudi vana vashikuva wakaidi na wasiotii, vashikutanduwa kulugula mabaya kuhusu njia ya Kristo mmujo ja umati, Basi Paulo ashikulekana nago na akawatenga waaminio mbali nao na ashikutanduva anaweleketa kila mova katika ukumbi Tirano. 10Yenei ishikujendelela kwa Yaka iwili Kwa nneyi vowe valiginji wanataman katika Asia washikupilikana lilowe lya Bwana vowe Wayahudi na Wayunani.11Nnungu ashikuva anatenda maengo makuu kwa mikono ya Paulo, 12kwamba hata valwele vashikuponywa na Roho chafu waliwatoka, wakati puvatolilenje leso na nnguo zishoshile mshiilu mwa Paulo.13Lakini pashikuva na Wayahudi wapunga mbungo wakisafiri, kupitia eneo hilo vatendatumila lina lya Yesu kwaajili ja matuzmizi yao vayenenji, vatenda kuwalugulilanga vevela valinginji na pepo chafu, vatenda lugula, "Ninawaamuru mshoshe kwa lina lya Yesu ambaye ananihubiri." 14Vatendilenje genega vashikuva wanasaba wa kuhani mkuu wa Kiyahudi shekwa.15Roho wachafu wakawajibu, "Yesu anakuwamanya Paulo lakini mmanganyanji ashi gani? " 16Jwejula Roho mtakatifunkati ja mundu ashikurukianga wapanga mbunga na ashikuwashinda Mashili na kwakoma Ndipo guvautuykenje kushoka katika jejila nyumba vali makono na kujeruhiwa. 17Lyeneli lijambo lishikumanyikana kwa vowe, Wayahudi na Wayunani ambao washikutama kwenekoEfeso. wakawa na hofu sana na lina lya Bwana lishikuzidi kuheshimiwa.18Pia wahumini vavagwinjji vashikwiya na kuungana na kudhihirisha matendo mabaya guvatendilenje. 19Vavagwinjji valinginjji wanatenda uganga wanakusanya vitabu vyao na kujoka moto mmujo ja kila mundu. Wakati wao walipohesabu thamani ya indu yeneyo ishijkuva ipande hamsini elfu ya mbiya. 20Nneyo lilowe lya Bwana gulijenele kwa Upana sana katika mashili.21ya Paulo kukamilisha huduma jake kwekula Efeso, Roho akamwongoza kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia ana Akaya; gwalugwile Baada ja ava kweneko yanipasa akushoka Rumi pia." 22Paulo ashikwatuma Makedonia wanafunzi vake vavili, Timotheo na Erasto ambao vashikumjangutila lakini jwenejo ng'ene ashikuigala Asia kwa muda.23Wakati gwenego ishikukop[oshela ghasia jajikulungwa kweneko Efeso kuhusu gwegula mpanda. 24Sonara jumo lina lyake Demetro, ambaye ashikulaya visanamu vya mbya vya Nnungu Diana, ashikwiyanago biashara jajikurungwa kwa mafundi. 25Hivyo akawakusanya mafundi wa maengo genego na kulugula, waheshimiwa mnaimanya kwamba katika biashara jeneji uwe tunajinjila mbiya yaigwinjji.26Mnalolanga nab kupilikana kwamba si tu hapa Efeso, bahi tome Asia yowe ajub Paulo amewashawishi na kuwapindikula vandu vavagwinji. Analugula kwamba jwakwa miungu ambayo ishitendwa kwa makono. 27Na uwe tu iko hatari kwamba biashara jetu shijive jikaitajika kavili lakini pia na hekalu lya Nnungu jwandonya lie mkuu Diana anakombola kuchukuliwa kuwa jwangali maana. Tena akakombwele kupoteza ukuu gwake, jwenejo ambaye Asia na Dunia humwabudu."28Puvapilikenje genega vashikugulwa na hasira na washikugombanganga nyenyewatenda lugula, Diana wa Efeso ni mkuu." 29Shilambo showe shishikugumbala ghasia na vandu vashikuutuka pamoo nkati ja ukumbi wa michezo, guvawakamule nje wasafiri wenzake na Paulo Gayo na Aristariko, waposhelenje Makedonia.30Paulo ashikukana kujinjila katika umati gwa vandu, lakini wanafunzi walimzuia. 31Pia baadhi ja maafisa wa mkoa wa Asia ambao walikuwa marafikin zake wakampelekea ujumbe kwa mashili kumjuga anajinjile katika ukumbi gwa michezo. 32Baadhi ja vandu watenda lugula shindu sheshila na vananji jambo lyelila, kwa sababu umati gwa vandu, ushikuva ushichanganyikiwa vavagwinjji vangamanyanga kwanini vashikuika pamoo.33Wayahudi gyuvajianago Iskanda pilangaja umati gwa vandu. 34Lakini baada jamanya kuva jwenejo ni Myahudi, vowe guvagombilenje nyenye kwa sauti jimo kwa muda wa saa mbili, Diana ni mkuu wa Waefeso.35Baada ja karani wa shilambo kunyamazisha umati ashikulugula, Enyi vashuleu wa Efeso, "nin gani kwangamanya kwamba shilambo ni sha Efeso ni mtumiaji wa hekalu la Diana mkuu nan jejila picha pujijaishe kushoka kumbinguni? 36Kulola bai kwambo mambo genega shigawezekane, tunapaswa kuva na utulivu na mnatebndanje shoshowe kwa haraka. 37Kwa maana mshikwashemanga vandu veneva penepa mahakamani ambao siwezi wa hekalu wala si wenye kumkufuru Nnungu jwetu jwandonya.38Kwa nneyo malinga Demetrio na mafundi valinginjii pamoo naye vakwetenje mashitaka dhidi ja mundu jojowe, mahakama ziko wazi na maliwali vapagwinji na vajinago mbele ja shauri. 39Lakini malinga ugwe unaloleya shoshowe kuhusu mambo gana shigashugulikiwe katika kikao halali. 40kwakweli tuli katika hatari ja kutuhumiwa kuhusu ghasia lyuva lyeneli Jakwa sababu ja machafuko genega na twangali uwezo gwa kulugula. 41Baada ga lugula genega aliwatawanya makutano.
1Baada jamala ghasia, Paulo ashikwashoma na kuwataganga mtima. Kisha kuvalajila na shijaula kwenda Makedonia. 2Naye ashikupita ni kwa jwenejo na kwa anakwataganga mtima waumini, gwajinjile Uyunani. 3Baada ja jwenejo kuvav pepela kwa muda wa miyei jitatu njama jishikuulaywa dhidi jake na wayahudi paaliji tome na kusafiri kwa mpanda jwa bahari kuelekea shamu, nneyo aliazimu kuuja kupitila Makedonia.4Vashikuandamango mpaka Asia vashikuva Sapatro, mwana wa Pirho kushoka Berea; Aristariko na Sekundo wowe, kushoka waamini wa Wathelasonike; Gayo wa Derbe; Timotheo; Tikiko na Trofimo kushoka Asia. 5Lakini vandu veneva wamekwisha longolela na vashikuva wanatulindilila kwekula Troa. 6kwa mpanda gwa bahari kushoka Filipi baada ja mova ja mikate jangatagwa chachu, na katika mova ng'ano gutuashilenje kweneko Troa,. tushikutama kweneko kwa mova saba.7Hata lyuva lya kwanza lya juma putualiji tushikukusanyika pamo ili kuugava mkate, Paulo ashikukunguruka na waumini. Atendanga kujaula malavi gake nneyo ashikukunguruka hadi shilo sha manane. 8Kushikuwa na taa jaigwinji katika chumba cha kunani ambapo putwakusanyike pamo.9Katika lidirisha ashikutama kijana jumo lina lyake utiko, ambaye ashikuelemewa na lugono lwatopa, Hata paulo paaliji anahutubu kwa muda gwamleu, kijana jweneju paaliji ashikugona, gwagwile pai kushoka ghorofa jatatu na shikulokotwa aliwile. 10Lakini Paulo ashikuruka pai ashikuwanyoosha mmwene juu jake, gwamkumbatile kisha ashikulugula "Mnakatanje tamaa kwakua yu hai."11Kisha ashikukwera kawili ghorofani na kuugava mkate, gwalile. Baada ja kunguruka kwa muda gwamleu hadi lyamba, gwajawile. 12Guvaishenago jwejula kijana alihai vashikufarijika sana.13Uwe tuvayene tushikulongolela mmujo ja Paulo kwa nchi na tushikuelekea Aso, ambapo uwe tushikupanga kumtola Paulo kweneko. Sheneshi ndicho mmwene ashikupinga kutenda kwasababu ashikupanga kupitila nchi kavu. 14Patuishile kweneko Aso, tukampikia kwenye nchi gupitile mitilene.15Kisha uwe tushikutweka kushoka kweneko na mara ga pili wa kisiwa cha kio. lyuva lina tushikuwasili kisiwa cha samo na kesho yake tukafika njiwa Mileto. 16Kwasababu Paulo ashikuamua kusafiri kupitila Efeso, ili kwamba anatumie muda gogowe katika Asia kwamaana ashikuva na haraka ja wahi Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ja pentekoste malinga ingewezekana jwenejo kutenda nneyo.17Kushoka mileto ashikutuma vandu hadi Efeso na ashikwashema ashambuje wa likanisa. 18Puvaishiolenje kungwake gwavavalenje mmanganyanji mmayene mnamanya mnamanya tangu moga ga kwanza pungishe pepano Asia jinsi punili kungwenunji muda gowe. 19Njikumtumishila Bwana kwa unyenyekevu gowe kwa minyoi, na mateso gambatile nne kwa hila za wayahudi. 20Mnamanya ambayo nangaizuia kutangaza kwenun shindun shoshowe ambacho shishikuva muhimu. na jisni nne puniajiganyenje asha awawa na pia kwenda nyumba kwa nyumba. 21Mnamanya jinsi nne punyendelele kuwaonya Wayahudi na Wayuhani juu ja toba kwa Nnungu na imani katika Bwana wetu Yesu.22Na nnaino mnolanje nne nikiwa ninamtii Roho mtakatifu kuelekea Yerusalemu, gunagawanye mambo gapinga kunishoshela nne kweneko, 23ila pava Roho mtakatifu hunishuhudia nne katika kila shilambo na analugula kwamba minyororo na mateso ndivyo inakunilindilila. 24Lakini ngava naikufikria kwamba maisha gangu gowe ni mpanda gogowe thamani kwangu ili ngomboole kumaliya mwendo gwangu na huduma njiposhele kushoka Bwana Yesu, kushuhudia injili ja neema ja Nnungu.25Na nnaino lola namanya kwamba vowe miongoni mwa vevala gumbile kuva hubiri ufalme, mkamonanga kumeyo kawili. 26Kwa nneyo nawashuhudia lelo kwamba nangali kwa minyai ja mundu jojowe. 27kwa maana nangaivila kuwatnagzaia mapenzi gowe ga Nnungu.28Kwa nneyo ineni waangalifu juu jenunjji mmanganyanjji mmayene na juu ya kundi lolote ambalo Rohi mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi. iweni Bwana ambalo ashikuliuma kwa minyai jake nnyene. 29Namanya kwamba baada ja kushoka kwangu mbwa mwitu wakati shivajinjjile kungwenunjji na wasilihurumie kundi; 30Namanya kwamba hata miongoni mwenunjji mmayene baadhi ja vandu shivajinjile na kulugula mambno mapotevu, ili kwatanga wanafunzi wawakagule venevo.31Kwa nneyo mmanganyanje meyo, mkumbukanje kwamba shakan itatu nangaakombola kuleka kuwafundisha kila jumo kwa minyoi shilo na mui. 32Na nnaino nne nakuwakabidhi kwa Nnungu na kwa lilowe lya neema jake, ambalo linakombola kushenga na kuwapa uriithi pamo na vowe vavishilenjwe wakfu kwa Nnungu.33Nangapinga mmbya, dhahabu au mavazi. 34mnamanyanga mmanganyanjji mmanyene kwamba mikono jeneji jishimbatila mahitaji gangu namwene na mahitaji ga vevala valinginji pamo na nne. 35Katika mambo gowe njikupanganga mfano wa jinsi inavyopaswa kuvajangutila wanyonge kwa kutenda maengo na jinsi mnavyopaswa kukumbuka malovega Bwana Yesu, malove ambayo jwenejo mmwene ashikulugula. "Ni heri kushoya kuliko kuposhela."36Baada jalugula nnei alipiga magoti nakujuga pamo nao. 37vowe vashikuguta sana na kumgwila Paulo palukoi na kumbusu. 38Walihuzunika zaidi ya yowenkwasababu ya kile ambacho ashikulugula, Kwamba kamwe vakammonaga kumeyo kavili kisha wakamsindikiza Marekabuni.
1Wakati putwalekene tushilekanao, na tunafiri baharini gutishe moja kwa kwenye shilambo sha kosi,na malavi jake gutuishe shilambo sha Roho na kushiko kweneko gutishe shilambo Patara. 2Tupatile meli jakwenda Fonike tushikukwera na kusafiri.3Ptutishe mmujoja kisiwa ja kisiwa cha kipro tushikujileka upande gwa nshinda gutusafiri mpaka Siria, gutuvushile nanga katika shilambo sha Tiro, kwasababu kwenekondiko meli jitenda pakula shehena jake. 4Baada ja kwakola wanafunzi, tushikutama mova saba, wanafunzi guvamnugulilenje Paulo kupitila kwa Roho kwa kwamba jwenejo analivate Yerusalemu.5Hata tulipotimiza siku zile, uwe gutujamile. vowe pamo na vandonya na vana vao vashikutusindikiza katika mpanda gwetu hadi putushoshile pilanga ja shilambo, kisha tukapiga magoti pwani, gutujujile, gutulajile kila jumo. 6Tushikukwela meli, kwenekon nao vashikwiya kumui kawili.7Hata putumaliye safari jetu kushoka Tiro gutuishe Tolemai. pepala salimia ashapwanga na tushikutamanago kwa lyuva limo. 8Malavi gake tushikujaula kwenda Kasaria. uwe gutujinjile nyumbani mwa Filipo, mhubiri wa injili, aliji jumo kati ja vevala saba, na uwe tushikutamanago pamo. 9Mundu jweneju ashikuva na mabinti ncheshe mabarikiwa ambao walitabiri.10Baada ja tama kweneko kwa mova kadhaa gwaulwishe kushoka Uyahudi nabii jumo ashemilwe Agabo. 11Jwenejo ashikwiya kungwetu na akautwaa mkanda mkanda wa Paulo, kwa kuwa ashikuiatava mmakongono na mmakono gake mmwene na kulagula "Roho mtakatifu alugula nnei" Wayahudi wa Yerusalemu shuvamtavanje mundu amiliki mkanda gwenego na watamkabidhi mmakono mwa vandu na Mataifa."12Putupilkene mambo genego uwe na vandu vanatamanga mahali pepala tulimsihi Paulo anajende Yerusalemu. 13Ndipo Paulo alijibu, "mnatendanga indu mnagutanga na kuutema mtima gwangu? Kwa maana njiva tayari ngavatu, lakini pia kuwaila kweneko Yerusalemu kwaajili lina lya Bwana Yesu." 14Kwa vile Paulo jwangapinga kushawishi wa tushikuleka na kulugula, Basi mapenzi ja Bwana yatendeshe."15Baada ja mova aga tushikutola nmiuko jetu na tukapanda Yerusalemu. 16Baada ja wanafunzi kushoka Kaisaria pia vashikulongona na uwe, Guvajiananga mundu jumo aashimwe Mnasoni, mundu wa Kipro, mwanafunzi jwa wakala ambaye tushikutamanga.17Putuishile Yerusalemu, ashapwanga vashikuturibisha kwa furaha. 18Malavi gake Paulo ashikwenda pamo na uwe kwa Yakobo, na ashambuje vowe valiginji. 19Baada ja kuwasalimu gwavapelenje taarifa jimo baada ja jina ja mambo ambayo Nnungu gatendile miongoni mwana mataifa kwa pitila.20Wakati guvapilikenenje genego wakamsifu Nnungu na guvammalanjile, "Unalola ashapwanga kuna maelfu wangapi wameamini miongoni mwa Wayahudi, venevo vowe vakwetenje nia ja kukamula Sheria. 21Vashikulugulilangwa kuhusu ugwe, kwamba unajniganya wayahudi wanatamanga kati ja mataifa kulekana na Musa, nan kwamba unakwalugulilanga wanawatahiri vana vao na wanakagule desturi ja bukala.23Tunapaswa kutenda indi? Bila shaka shivapilikane kwamba ugwe ushiika. 22Nneyo tenda sheshila uwe tukukulugulila nnaino tukwete vandu ncheshe ambao vashikuvikanga nadhiri. 24Vatole vene vandu na ujitekese gumwene pamo nao, na uwalipie gaharama zao ili wakombole kumoga mtume gwao. Nneyo kila jumo apate apate kumanya kuwa mambo guvalugulilenje kuhusu ugwe ni ga unami. Shivaijiganye kwamba ugwe pia unakagula sheria.25Lakini kwa habari za Mataifa ambao washiwa waumini, tushikujandika na kushoya maagizo kwamba wanapaswa kujiepusha nan indu ishoshiwe dhabibu kwa sanamu, na minyai kushoka na sheshila kilichonyongwa, na wajiepushanje na uesharati." 26Ndipo Paulo aliwatwaa vashileu na mlova ga pili akajitakasa mweneywe pamoja nao, gwajinjile Hekaluni, kutangaza kipindi cha mova ga kuitakasa hadi sadaka jishoshe kwaajili ja kila jumo.27Mova genego saba pugagejele kumala baadhi pugaigejele kumala baadhi ja wayahudi kushoka Asia guvammonilenje Paulo Hekaluni na makutano guvatumbelenje na guvamanguye mkono. 28Puvaliji avanagombanga nyenye, vandu va Israeli, Mtujangule sheneju ni jwejula mundu mambo ambayo na kinyume na vandu, sheria na mahali penepo pia ashikwiyanago Wayahudi katika Hekalu na kupanaji mahalinpenepa patakatifu." 29Kwava mwanzoni vashikumnola Trofimo Muefeso ashikuva pamo kushilambo nao vashikuganishia kwamba Paulo ashikwiyanago hakeluni.30Shilambo showe shishikuva na taharuki, na vandu vaqshikuutuka pamoo na kumkamula Paulo. Guvamshoshiye nje pilanga ja Hekalu na ,milango jishikutawa. 31Puvalinginji vanalinga kummulaga habari zimfikie nmkuu wa jeshi la waklizni kuwa Yerusalemu jowe jishikugumbala ghasia.32Mara gwavatolile askari na jemedari gwautushe umati. Wakati vandu puwamwonile mkuu wa jeshi na askari guvaleshilenje kumkoma Paulo. 33Kisha mkuu wa jeshi ashikuegejela na kumkamula Paulo nan kuamuru atawe minyororo jivili. Gwamuishie jwenejo ni gani na shatendile indi.34Baadhi ja vandu kwenye umati vatenda payuka shindu sheneshi na vana shindu shina. Kwa kuwa jemedari jwangakombola kuwalugulila shoshowe kwasababu ya yeila nyenye, akaamuru Paulo aleytwe nkati ja ngome. 35Bai paishile kwenye ugazi ashikutolwa na askari kwasababu ja ghasia za umati. 36Maana umati gwa vandu vashikumkagula na bvashikujendelela kutaga nyenye, "Mushoyanje jweneju!"37Paulo aaliji anakwiya na nkati ja ngowe ashikumlugulila mkuu wa jeshi, "nakombola kukulugulila shindu?" Jwejula mkuu wa jeshi gwalugwile Buli unakunguruka Kiyunani?" 38Je, ugwe si jwejula Mmisri ambaye awali aliongoza uasi na ashikutola magaidi elfu nne nyikani?"39Paulo gwalugwile, "Nne ni Myahudi, kushoka shilambo sha Tarso ya Kiilikia. Nne ni raia wa shilambo maarufu. nakwajuganga mniruhusu ngungurushe na vandu." 40Wakati Jemedari pampele ruhusa, Paulo ashikujima penye ngazi na ashikushoya ishara kwa vandu kwa mkono gwake. Wakati kulipokuwa na ukimya sana, gwakungurushe naokwa Kihebrania gwalugwile,
1Ashapwanga na awawa zangu,mpili kanishiyanje utetezi gwangu gupinga tenda kwenunji nnaini.'' 2Makutano pavapilijenenje Paulo anakungukuruka nago kwanza kiebrania,guvapumulenje Gwalugwile,3Nne ni Myahudi,njivelekwa shilambo sha,Tarso eneo la kilikia,ila njikupata elimu katika shilambo sheneshi,pamakongono ga Gamalieli,jikujiganywa kulingana na mpanda sahihi za sheria za awawa yetu. 4Nne ninabiidii ja mungu,malinga mmanganyanji mmowe pumlinginji lelo. Njikwatesanga kwa mpanda gwenegu mpaka kuwa gunivatavilenje washileu na wandonya na kuwajayaga nnigereza. 5Hata kuhani mkuu na ashambuje vowe wanakombola kushoya ushahidi kwamba njikuposhela barua kushoka kwao kwa ajili ya ashapwanga valinginyi Dameski kwangu nne kusafiri kwenda kweneko.Ishikuva ngianago vandu Yerusalemu wa Mpanda hwegula ili watawe na kuadhubiwa.6Ishikushoshela kwamba pepala penalyi ni kisafiri kuegejela Dameski;Majira ga mui ghafla nuni kuu ishikushoshela kumbinguni na kutanduva kuniangaza. 7Njikugwa pai na kupilikana lilove litenda nungulila,Sauli,Sauli kwa nini unanjima?' 8Gunyangwile,ugwe ni gani,Bwana?'Gwanugulile nne ni Yesu mnazareti ambaye ugwe unanjima.'9Vevala valinginyi na nne vashikujilola nuru ila wangapilikana lilove lya jwe jula akunguvwishe na nne. 10Njikuweleketa ndende indi Abwana?'Abwana guvanigulile jima na ujinjile Dameski,Kweneko shiumalanjilwe kila shindu shiupinjikwa kutenda.' 11Nangakombola kulola kwa sababu ja muangaza wa nuru jejila ndipo punajenandile Dameski kwa kuongozwa na mikono ja vevala valinginji na nne.12Kweneko njikuimana na mundu ashemwa Anania,ashikuva mundu akamnile sheria na mwenye kuheshiuka mmnjo ja wayahudi vome vatemenje kweneko. 13Ashikwiya kumngwangu gwajimile mnujo jangu na kulugula mpwanga sauli upate kulola kwa muda gwegula pegula gunimmnonile.14Gwalugwile Nnnungu wa ababa ashikuagula ugwe upate kumanya mapenzi gake,kumnola jwejula mwenye haki na kupilikana lilove lishoka mumkangwa mnweke. 15Kwa sababu utakuwa shahidi kwake kwa vandu juu ga gowe ulolile upilikene. Basi nnaino kwa nini 16unalinda?Jimuka ubatizwe,ukaukanje dhambi zako uli kuishema lina lyake.'17Baada ja uja Yerusalemu na punaliji nasali nkatgi ja hekalu njikupingwa maono. 18Gunimmonile atendanugulile Hima na ujaule Yerusalemu haraka kwa sababu hawatakubali ushuhuda gwako kuhusu nne.'19Gunugwile,''Bwana,Venevo vayenenji vanamanya njikwatava gerezani na kwakimanga vevali waliokuamini katika kila sinagogi. 20Na minyai ja stefano shahidi jwako pujijaishe,nne pia nikiyima tome na kukubali ndendalinda nguo ya vevala wammule genje.' 21Lakini ashikunugulila,Ejenda kwa sababu nne shinikutume ujende mbali kwa vandu va Mataifa.''22Vandu guvamruhusu akungurushe juu ya lilove lyeneli:Lakini baada walipaza sauti na kugulugulu mshoye mundu jweneju katika shilambo kwa sababu sio salulu aishi.'' 23Puvaliginji wanapaza lilove na kujaa mavazi gao na kujaa mavumbi kunani, 24jemedari mkuu akaamuru Paulo aletwe ngomeni.Akaamuru au ywe akummwene amanye kwa sababu jashi vatenda gombaga nyenye namna jejila.25Hata puvaliginji vamtavilenje kwa migoji,Paulo gwavalugulile jmejula akida ajimule fome,je ni haki kwenunji kumkoama mundu aliye mnunui na bado hajahukumiwa?'' 26Jwejula akida papilikene malove genega gwapite kwa jemedari mkuu na ku mnugulila,Upinga tenda indi kwa maana mundu jweneju ni mrumi.''27Jemedari mkuu gwaishe na kumnugulila,unungulile je ugwe ni raia na Rumi?'' Paulo gwalugwile.''Elo''. 28Jemedari akajibu.Ni kupila kwasi shashikulungwa sha mbya ndipo pu mbatile Uraia.''Lakini Paulo gwamlungu lile nne ni mrumi jwavelekwa.'' 29Basi vevala valiginji tayari kwenda kumuya vashikujaula na kumleka wakati gmenegopego.Iva jemedari naye ashi kujogopa,pamanyile kuwa Paulo ni Mrumi na kwa sababu ashikumtuva.30Lyuva lina,jemedari mkuu ashikupinga kumanya ukweli kuhusu mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo.Hivyo gwamugwile vifungo vyake akaamuru wakuu wa makuhani na baraza lole waimane. Ashikuiyanago Paulo chini na kumvika katikati jaonji.
1Paulo gwavalolile vandu va baraza moja kwa moja na kulugula ashapwanga nimeishi mnuja ja Nnungu kwa dhamira jambona mpaka lelo.'' 2Kuhani mkuu Anania akawaamuni vevala vajimulenge tome naye vamkome kangwa shake. 3Ndipo Paulo gwavalugulile Nnungu shakukome uhme,ukuta ulipakwa chokaa.Ushitama ukini hukumu kwa sheria,nawe unaamuni ngomwe kinyume cha sheria?''4Vevala vajimilenje tome guvalughile,''Nneyi ndivyo puku mtukana kuhani mkuu jwa Nnungu?'' 5Paulo gwalugwile ashapwanga nne nangamanya kwamba jweneju ni kuhani mkuu.Kwavu ishi jandikwa,tuka kunguruka vibaya juu ja mtawala wa vandu vako.''6Paulo panene ya kwamba upande gumona baraza ni masadukayo na vananji Mafarisayo,akapaza sauti na kulugula ashapwanga''nne ni mfarisayo mwana wa Mafarisayo.Ni kwa sababu jeneji nategemea kwa ujasiri ufufuo na wafu ninao hukumiwa nao.'' 7Palugwile genega malumbano gamaku lungwa gashikukoposhela baina ja Mafarisayo na Masadukayo,na mkutano ushikugavanjika. 8Kwani Masadukayo hulugula gwa kwa ufufuo,malaika wala gwakwamtima,ila mafarisayo hulugula genega gowe gapali.9Ghasia jajikulungwa jishikushoshela na baadhi ja waandishi.Valinginji upande gwa Mfarisayo vashikujima na kujadili watendalugula,twangalola,shoshowe kibaya dhidi ja mundu jweneju.Vipi malinga roho au malaika ashikungurukanago?'' 10Wakati kushikushoshela hoja jajikulungwa,mkuu wa majeshi ashikuyogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipande vipande na wao,hivyo akaamuru wanajeshi waulukaye pai na kumtola kwa nguvu kushoka kwa na jumbe na baraza na kuviyanayo katika ngome.11Pushiishe shilo Abwana vashikujima tome na kumgula,''Unajogope kwava ushinishuhudia katika yerusalemu,nneyo shiushoye ushaidi pia katika Roma.''12Kulipokucha,baadhi ya wayahudi vashikutenda agano na kushema laana juu yao vayenenji,vashikulugula ya kwamba vakalyanganga wala kupapila shoshowe mpaka puvapinga kummulaga Paulo. 13Kushikuva na vandu zaidi ya arobaini ambao vashikutendanga njama jeneji.14Guvajendilevye kwa wakuu wa makuhani na ashambuje na kulugula,Tushikuiivika tuvayene kwenye laana,tunalye shohsome hadi tu mmulaje Paulo. 15Nneyo nnaino baraza limnugulile jemedari mkuu ajianago kumngwetu,kara kwamba tunaamua kesi yake kwa usahihi.Ume tayari kummulaga kabla akanave kwiya peponi.''16Lakini mwana jwa dada yake na Paulo gwapilikene kwamba kushikuva na njema ashikwenda na kujinjila nkati ja ngome na kumnugulila Paulo. 17Paulo gwamshemile akida jumo gwalugwile,Mtale kijana jwe neju kwa jemedari maana ashikola lilove lya kumnugulila.''18Basi akida gwamtolile jwejula kijana gwampeleshe kwa jemedari mkuu gwamnu gulile,Paulo jwejula mfungwa ashi kunishema ashikupinga nyianago kijana jweneju kumngwako.Ashikola lilove lya kukulugulila.'' 19Jwejula jemedari mkuu gwamkamuile kwa mikono akajitenganae kando na gwamushiye,Mi shindu shashi shiukupinga nugulila?''20Kijana jwejula gwalugnile,''Wayahudi wamepatana kukujuga ujianago Paulo malavi kwenye baraza kana kwauba wanapinga kupata habari zake kwa usahihi zaidi. 21Basi ugwe unakubali kwa maana vandu zaidi ya arobaini wanamvizia.Vashikuitavangu kwa laana,vanalye wala vanapapile hata puvapinga kumulaganga.Hata nnaino valinginji tayari vanalindilila kibali kushoka ku mngwako.''22Basi jwejula jemedari mkuu gwamle shile kijana ajende,baada ya kumwagiza''Unamlugulile mundu jojowe ya kwamba uweni harifu haya.'' 23Gwavshemile maakila vavili gwalugwile wataarisheni askari miambili kwenda kaisaria na askari wapenda farasi sabini na menye mikuki mia mbili shimjaulanje zamu ja tatu ja shilo. 24Gwavalugulile kunika vanyama tayari ambaye Paulo atamtunia na kumtola salama kwa Feliki Gavana.25Gwajandishe barua kwa namna haji, 26Klaudio lisia kwa liwali mtukufu Feliki salamu. 27Mundu jweeneju ashikukamulwa na wayahudi na vashikupinga tome ku mmulaga,ndipo nji kwenda panuo na kikosi cha askari nikamwokoa,pumbatile habari ya kuwa jwenejo ni raia wa kirumi.28Njikupinga kumanya kwa nini wamemshitaki,hivyo nikampeleka kwenye barua. 29Gunolile kwambu ashikuwa ashitakiwa kwa ajili ja maswali ya sheria yao,wala hakushtakiwa neno lolote la kustahili kuvulagwa wala kutwa. 30Kishi ishikumanyikana kumngwagu kwamba kuna njama dhidi yake.Hivyo kwa haraka nikamtuma kwako na kwalajila wanaomshitaki pia wajianago mashitaka dhidi yake. mbele yako. wakagina.''31Basi wale askari wakatii amri guvamtolile Paulo gavampelishe hata Antipatri shilo. 32Mova gana maaskari vavagwinji guvaleshilenye vevala wapanda farasi vajende pamonago nao guvajile ku ngome. 33Na wapanda Farasi puvasishilenje kaisaria na kumpa liwale jeji la barua guvammishilenje Paulo mmujo.34Naye liwali baada ja shoma barua gwamushiye Paulo ashikuko posho la jimbo lyei;pamanyile ya kwamba ni mundu jwa kilikia, 35gwalugwile,''shirikupilikane ugwe puvapinga kwiya wale waliokushtaki akamuru amekwe katika ikulu ya Herode.
1Baadaja mova Ng'ano Anania kuhani mkuu,baadhi ja ashambuje na msemaji jumo ashemilue Tertulo, guvajendilenje papala.Vandu veneva vashikwinago mashitaka dhidi ja Paulo kwa gavana. 2Paulo pajimile mmuije ja gavana,Tertulo gwatandwire kumshitaki na kulugula kwa gavana,''Kwa sababu yako tuna amani kuu:na kwa maono gako ganakutuletela mageni gambone katika taifa letu; 3basi kwa shukrani tunaposhela kila shindu shiukutenda,Wasalam Mheshimiwa Feliki.4Lakini ngunakuchoshe zaidi nakusii umbilikane malove gamashoko kwa fadhili zako. 5Kwa maana tushikumpata mundu jweneju makorofi na anasababisha mayahudi wote kuasi duniani.Tena ni kiongozi wa Madhehebu ya wanazorayo.(Zingatia:Sehemu ja malove ga mstari gwenegu 24:6 6Na kavili ashikulinga kulitaga hekalu najisi nneyo gutumkamwile jwakwa kwenye nakala bora za kale).(Zinfatia:Mstari gwenegu7Lisiasa,afisa, ashikwiya na gwamtolile kwa nguvu mmakono mwetu.,jwakwa kwenye nakala bora za maandiko ya kale). 8Umuyaga Paulo kuhusu mambo genega hata shiukombole kuijiganya ni shindu shashi tumemshitakia.'' 9Wayahudi nao wakamshtaki Paulo,wayatendahegula kwamba genega mambo gashikuva kweli.10Liwali alipompungia mkono ili Paulo akungunishe,Paulo gwajangwile,Nina maya ya kwamba kwa yaka yaigwinji ushiva mwamuzi wa taifa hili na nina furaha kujieleza mwenyewe. kwako. 11Unakombola kuhakikisha kuwa jwangapata mova zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda kuabudu Yerusalemu. 12Na puvangimene katika hekalu ,nangabishana na mundu jojowe na nangatenda fujo katika mkutano,wala katika masinagogi wala nkati ja shilambo; 13na wala wakakombola kuhakikisha kwako mashitaka wanayoyashitaki dhidi yangu.14Ila nakiri lyeneli kumngwako,ya kwamba kwa mpanda gwegula wakuushe ma dhehebu,kwa mpanda gwenego ninakumtumikia nnungu na ashawawa yetu.Nne ni mwaminifu kwa gowe gali kwenye sheria na maandiko ya manabii. 15Njikola uyasiri gwegula pegula kwa nnengu ambao hata venevo wanakwelinda,kwiya kwa ufufuo wa wafu,kwa wowe wakwetenje haki na wangalinginji haki na wangalinginji haki pia; 16na kwa lyeneli ninatenda liengo ili nive na dhamira isiyo na hatia mmujo ja nnungu na mniyo ya vandu kupitia mambo gowe.17Nnaino baada ya shaka yaigwinji njikwiyanago msaada kwa taifa langu na zawadi ya mbya. 18Pundendile nnei wayahudi fulani wa Asia guvangimene nkati ja sherehe ya utakasi nkati ja hekalu gwangali likundi lya vandu wala ghasia. 19Vandu veneva ambao imewapasa kuwa mnunji jako nnaini na valugule sheshile shivakuetenje juu yangu malinga wakuetenje lilove lyolyowe.20Au vandu veneva vayenenji na valuguje ni kosa gani walilolile kwangune punijimile mnujo mwa baraza la kiyahudi; 21ikanava kwa ajili ja shindu shimu gunigwile kwa sauti pujimile katikati jaonji.ni kwa sababu ya ufufuo wa wafu mmnanganyanji mnanihukumu.''22Feliki alikuwa ametaarifiwa vizuri kuhusu mpanda na gwagilishe mkutano.Gwalugwile,''Lisia Jemedari papingakwiya pai kushoka Yerusalemu shinjoye mwamuzi dhidi ga mashitaka genunji.'' 23Ndipo akamwamuni akida amlinde Paulo,ili awe na nafasi na hata asiwepo mundu jwakwakaniya ashambugajake wanamjangutile wala wasimtembelee.24Baada ja mova kadhaa,Feliki gwanjile na Drusila jwamkongwe jwake aliji myahudi akatumwa kumshukuru Paulo na gwapilikanishie shoka kumngwake habari za imani mkati ja Kristo Yesu. 25Ila Paulo paliji anajadiliana naye kuhusu haki,kuwa na kiasi na hukumu jipingakwiya,Feliki gwapatile hofu gwajangwile''jenda kwa talika kwa nnaino ila mbataga muda kavili shinikusheme.''26Muda gwenego pego alitegemewa kwamba Paulo shampe mbya kwa nneyo ashi kumshema mara gamagwinji gwakunguruishe nae. 27Ila yaka ivili ipite porkio Festo akawa liwali baada ya Feliki,ila Feliki ashikupinga kuipendekeza kwa Wayahudi,nneyo gwa mleshile paulo chini ya vangalizi.
1Ndipo Festo gwajingile katika jimbo lyenelo na baada ya mova gatatu ashikwenda kushoka kaisaria madi Yerusalemu. 2Kuhani mkuu na wayahudi Mashuhuri vashikwiyanago shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo,na vashikukaunuka kwa nguvu kwa Festo. 3Na washikumjunga Festo fadhili juu ya habari za Paulo apate kumshema Yerusalemu ili wakombole kummulaga mumpanda.4Lakini Festo ashikujangula kwamba Paulo ashikuva mfungwa katika kaisaria,na kwaumba jwenejo mmwene shauje kweneko haraka. 5Ashikulugula,kwa nneyo vevala ambao wanakombola kwenda kweneko na uwe.Kama kuna shindu shibaya kwa mundu jweneju,mnapaswa kumshutaki.''6Baada ja tama mova nane au kunu zaidi gwanjile kaisaria.Na mova gofuete ashikutama katika kiti cha hukumu na kuamudu Paulo aletwe kwake. 7Paishile Wayahudi kushoka Yerusalemu guvaji milenye tome,guvashoshi yenje mushtaka gamagwinji gatopa ambayo wangakombolanga kuyathibitisha. 8Paulo ashikuitetea na kulugula,si dhidi ya lina lya Wayahudi;Si juu ya hekalu na si juu ya kaisari,njitenda mabaya.'9Lakini Festo ashikupinga kuipendekeza kwa wayahudi,na nneyo gwajangwile Paulo kwa kulugula,Buli unapinga kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa na nne kuhusu mambo genega kweneko?' 10Paulo ashikulugula ninajima mmujo ja kiti cha hukumu cha kaisari ambapo napaswa kuhukumiwa.Sijawakosea wayahudi;malinga pukumanya ugwe.11Ikiwa nimekosa na malinga njitenda shindu kinachostahili kifo,ngakana kuwa.Lakini malinga shutuma zao ngava shiindu,jwakwa mundu akombola kunikabidhi kwao.Ninakumjuga kaisari.' 12Baada ja Festo kukungunika na baraza gwajangwile,''Unakumjua kaisari shiujende kwa kaisari.''13Baaada ja mova kadhaa mfalme Agripa na Bernike washikuiya kaisari kutenda ziara rasmi kwa Festo. 14Baada ja tama penepo kwa mova gama gwinji,Festo ashikuwasilisha kesi ya Paulo kwa mfalme;Gwalugwile,Mundu jumo ashikulekwa penapo na Feliki kama mfungwa. 15Punaliji Yerusalemu makuhani wakuu na ashambuje wa wayahudi washikwiyamago mashtaka juu ya mundu jweneju kumngwangu,nao vashiku uyangu juu ya hukumu dhidi yake. 16Kwa lyeneli njikwajangulanga kwamba ngava desturi ja waroma kumshoya mundu kwa upendeleo badala yake,mtuhumiwa anapaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili washitakiwa wake na kujitetea dhidi ya tuhuma hizo.17Kwa nneyo puvaishilenje pamo nanga kombola kulinda lakini mova gaishe nji kutama katika kiti cha hukumu na kuamuni mundu jwenejo aishe nkati. 18Wakati washitaki puvajimilenje na kumshitaki njikuganishia kwamba gakwa mashitaka gamakulungwa gaishe dhidi yake. 19Badala jake vashi kuvanganga na mabishano fulani pamo naye kuhusu dini yao na kuhusu Yesu ambaye ashikuwa,Lakini Paulo analonga kuwa ya nai. 20Nilikuwa nimefumbwa jinsi ya kuchunguza suala,lyeneli gunimushie kama angeenda Yerusalemu kuchukumiwa kuhusu mambo genega.21Lakini Paulo pashemilwe avishwe chini ya ulinzi kwa ajili ya vamuzi wa mfalme,niliamuni avishwe hata pungupinga kumpeleka kwa kaisari.' 22Agripa ashikukungunika na Festo,Ngunapinjile pia kumpili kanishioa mundu jweneju.''Festo, gwalugwile,''Malavi shiumpilikanishie.''23Nneyo malavi gake Agripa na Bernike washi kwiya na sherehe jajigwinji:wa shikuika katika ukumbi na maafisa wa kijeshi na vandu mashuhuri wa shilambo.Na Festo pashoshiye amri Paulo ashikwiya kumngwaonji. 24Festo gwalugwile,''Mfalme Agripa na vandu vowe ambao yapalinji penepa pamo na ume mnakumwuona mundu jwenenji:Jumuiya yowe ya wayahudi kweneko Yerusalemu na penepa pia washipinga niwashauri,na venevo govagombilenje nyenye kwangune kwamba anaishi.25Nakulilola kwamba jwangatenda lyolyo we linalostahili kifo;lakini kwa sababu ashikumshema mfalme,nji kuamua kumpeleka kumngwake. 26Lakini naugalishindu dhahiri sha jandika kwa mfalme.Kwa sababu jeneji nimemleta kwako hasa kwako ugwe,Mfalme Agripa ili mbate shindu sha jandika kuhusu kasi. 27Kwava nalola haina maana kumpeleka mfingwa na bila kulanganya mashitaka yanayomkabili.
1Nneyo,Agripa gwamlugulile Paulo unanihusiwa kujitetea.Ndipo Paulo gwalangwiye mkono gwake na kuitetea nnei. 2''Nakuitola mwenye furaha,Mfalwe Agripa ili kutenda kesi jangu mnuujo jako lelo dhidi ya mashtaka gome ga wayahudi. 3Hasa kwa sababu ugwe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na maswali.Nneyo najuga umbilikane kwa uvumilivu.4Kweli wayahudi vowe wanamanya jinsi pundemile tangu ujana gwangu katika taifa langu kueneko Yerusalemu. 5Wanakunimanya tangu mwanzo na napaswa kukubali kwamba njikuishi malinga Mafarisayo,dhehebu lenye msimamo mkali kwenye dini yetu.6Nnaini njijima penepa ni hukumiwe kwa sababu nne nalola ahadi ambayo nnungu ashikutenda na ashawawa yetu. 7Jeneji ni ahadi ambayo makabila getu kumi na mbili yanatumaini kuposhela kama wakimwabudu nnungu kwa bidii shilo na mui.Ni kwa ajili ya tumaini lyeneli,Mfalme Agripa kwamba Wayahudi wanashitaki. 8Kwa nini jojowe kati jenunji anagani shia ni ajabu kwamba nnungu huyuya wawilenje?9Wakati mmoja njikuganishia namwene kwamba ngatendite mambo gamgwinji dhidi ya jina la Yesu wa Nazareti. 10Njikutenda genega katika Yerusalumu.Njikwatava waumini.Vavagwinji nnigereza na njikuva na mamlaka kushoka kwa wakuu wa makuhani kutenda nneyo na wakati valivulagwa njikugomba kura dhidi jaonji. 11Mara gamaguwinyi niliwahadhibu katika masinagogi gowe na njikulinga kuwatenda waikane imani yao.Njikuva na hasira sana juu jaonji na njikwa vinganga hata katika shilambo sha ujeni.12Wakati panaliji natenda,njikwenda Dameski,ni kiwa na mamlaka na maagizo kushoka kwa makuhani wakuu. 13punaliji mumpanda wakati gwa muu,mfalme njikulola mwanga kushoka mbinguni gwaliji mkali kuliko lyuva na ulingaa kutuzunguka na nne na vandu vatenda safiri pamo na nne. 14Ume wowe putugwile pai,njikupilikana,lilove litendakungunuka na nne katika lugha ya Kiebrania:Sauli,kwa nini unanitesa?Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo.15Ndipo gunugwile,ugwe ni gani Bwana?Bwana gwajangwile,nne Yesu au baye unanitesa. 16Nnani jinuka ujime kwa makongono yako;Sababu kwa kusudi lyeneli nne njionekana kumngwako,nimekutena kuwa mtumishi na shahidi juu ga mambo unakugawanya kuhusu nne mnaino na mambo ngupinga kukula nguya baadaye; 17na nitakuokoa kushoka kwa vandu na vandu va Mataifa ambapo ninakulajila, 18Kuugula meyo gao na kwashoyanga patuwindu kwenda kwenye mwanga na kushoka kwenye mashili ga shetani wamgeukia Nnungu.ili wapate kuposhela kusheka kwa Nnungu msamaha wa dhambi na urithi ambao njikwapa vevala nilio watenga kwa imani jili kwangune.19Nneyo mfalwe Agripa nangakambola kuasi maono ga mbinguni, 20Lakini, kwa vevala valinginji katika Dameski kwanza na kisha Yerusalemu na shilambo shohsowe sha Yudea na pia kwa vandu mataifa gana,nilihubiri kwamba watubu na kumgeukia Nnungu,vatende matendo gastahili toba. 21Kwasababu ashisaidia mpaka nnaini hivyo najima na kushuhudia kwa vandu va kawaida na kwa vevala vakulungwa juu ya yale ambayo manabii na Musa vashikulugula shigakopeshele na si vingine.22Nnungu ashisaidia mpaka nnaini hivyo najima na kushuhudia kwa vandu va kawaida na kwa vevala vakulungwa juu ya yale ambayo manabii na musa vashikulugula shigakopeshele na sivingine; 23Kwamba Kristo lazima atateseka na ata kuwa wa kwama kuyuka kushoka kwa wanilenje na kutangaza mwanga kwa wayahudi na vandu va mataifa.24Paulo pamaliye kuitetea,Festo ashikulugula kwa lilove likalungwa,paulo ugwe ni mwendawazimu!Paulo ungwe ni mwendawazimu!masomo gako gashikuutenda uwe mwendawazimu. 25Lakini Paulo gwalugwile,nne ngava mwendawazimu,Mheshimiwa Festo:Lakini kwa ujasiri nalugula malove ga ukweli mtupu. 26Kwava mfalme anamanya kuhusu mambo genegu,na nneyo nakunguruka kwa uhuru kwake,kwa maana nina hakika kwamba shakwa shoshowe shiishiwe kunangwake.Kuwa lyeneli lya ngatendwa kuna.27Je unaamini manabii,Mfalme Agripa?namanya unaamini.' 28Agripa gwammalanyile Paulo,kwa muda mfupi unakombola kunishauwishi nne na kunitenda mkristo? 29Paulo gwalugwile,''Nakumjuga Nnungu kwamba kwa muda gwamgupi au gwamleu ngava ugwe tu bali vowe vakumbilikana lelo,vawe malinga nne,lakini bila jeneji minyororo ya gerezani.''30Ndipo mfalme gwajinuli na liwali na Bernike pia,na vevala vatamile nje pamo nao, 31puvajaulanje pa ukumbi,vashikukukungumka nao kwa wao na kulugula,mundu jweneju hastahili kifo wala kifungo.' 32Agripa gwammalanjile Festo,mundu jweneju akokombwele kuwekwa huru malinga akanakane rufani kwa kaisari.''
1Puiamuliwe kwamba tunapingwa kusafiri kwa mashi kwenda Italia,walikabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa jumo wa jeshi la kiroma ashemilwe julio wa kikosi cha Agustani. 2Gutukuelile meli kushoka Adramitamu,ambayo jishikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia.Nneyo gutujinjile nnibahari.Aristaka kushoka Thesolanike ya Makedonia ashikwenda pamo nasi.3Siku iliyofuata tukatua nanga katika shilambo sha sidoni,ambapo julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na aka mruhusu kwenda kwa ashambunga jake kuposhela ukarimu gwao. 4Kushoka penepo gutupite baharini tukasafiri kuzunguka kusiwa cha kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo sababu mbungo jishikuva jina tukabili. 5Baada ya kuwa tumesafiri katika mashi gali tome na kilikia na pamfilia gutuishe mira,shilambo sha Lisia. 6Pepala jwejula afisa wa jeshi la kiriroma gwajiimene meli kushoko Alexandria ambayo jishikuva jinasafiri kuelekea Italia.Akatupandisha ndani yake.7Baada java tushisafiri mbolembole kwa mora gammagwinji na hatimaye tushikuika kwa taabu tome na kinidasmbungo jangaturuhusu kavili kuelekea mpanda gwenego,nneyo gutusafiri kaidokaido ya kivuli cha krete tukiukinga upepo mkabala na salmone. 8Tushikusafiri kandokando ya pwani kwa ugumu,mpaka putuishe mahali pashemilwe Fari Haven ambayo jili towe na shilambo sha Lasi.9Tushikutala muda gwamgwinji sana na muda wa mfungo wa kiyahudi ushikupita pia na jishikuva ni hatari kujendelela kusafiri.Nneyo Paulo gwatuonjile, 10na kulugula,''Vashileu,nalola safari ambayo tyunapinga kujitola jipingava na madhara na hasara yaingwinji ngava tu ja mishingo na meli lakini pia ja maisha getu.'' 11Lakini afisa wa jeshi la kiroma gwa mpilikene zaidi bwana wake na mmiliki wa meli kuliko mambo yale ambayo gashikuweketwa na Paulo.12Kwa sababu bandari jangava sehemu rahisi kutama wakati gwa mmbepo,mabaharia vavagwinji wakashauri tusafiri kushoka pepala,ili kwa na namna yoyote tukiweza kuufikia mjiwa.Foinike,tutame pepala wakati gwa mmbepo.Foinike ni bahari kimeneko krete na inalola kaskazini mashariki krete na inalola kaskazini mashariki na kusini mashariki. 13Mbungo ja kusini pujitanduve kuvuma mbolembole mabaharia guvaganishi enje kuva vashipatanga sheshila shi vapinganga.14Lakini baada ja muda gwamng'upi mbungo jikali ushemilwe wa kaskazini mashaviki;ushikutanduva kutukoma kushoka ng'ambo ya kisiwa. 15Wakati meli ilipo elemewa na kushindwa kujikabili mbungo tukakubaliana na hali jenejo.tukasafirishwa nao. 16Shituushe kupitila gwegula upande gwalyi unakinga mbungo ja kisiwa kishemwa kauda na kwa taabu sana tulifanikiwa kuokoa mtumbwi.17Baada ya kuwa wameivuta,vashi kutumila migoji kujitava meli,pava jogopenje kwauba tukakombwele kwenda kwenye eneo la.Mnganji gwamgwinji la syiti,nneyo gavauluke nje nanga na waliendeshwa kandokando. 18Tushikukomwa kwa nguvu sana na dhoruba,nneyo lyuva lina mabaharia guvata nduvenje kujaa mishigo kushoka mmeli.19Lyuva lya tatu mabaharia guvatandu venje kushoya mashi kwa mikono jao vayenenji. 20Wakati ambapo lyuva na ndondwe yangatua ngazia kwa muva gamagwiji,bado dhumba jajikulungwa jishi kutukoma na matumaini kwamba tungeokolewa yalitomeka.21Baada java kuwa washikwendanga muda gwamleu gwangali shalya penepo Paulo gwajimile katikati ja mabaharia gwalugwile,''Vashileu mlipaswa mmbilikani.shianje na tukanashoye nanga kushoka krete,ili kupata genega madhara na hasara. 22Na nnairo nawaunji mwitangaje mtima kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu,isipokuwa hasara ya meli tu.23Kwa sababu shilo shipitile malaika wa Nnungu,amnaye jwenejo Nnungu nne ni jwake,na ambaye ninakumwabudu pia malaika vake vashikujima tome 24na nne,'' kulugula,''Unajogope Paulo,lazima ujime mmujo ja kaisari na lola,Nnungu katika mema gwake ashikupa veneva vowe ambao wanasafiri pamo na ugwe. 25Nneyo vashileu muipaganje mtima kwa sababu na mwamini nnungu kwamba shine malinga pumalanjilwe. 26Lakini lazima tuumie kwa komwa katika baadhi ya visiwa.''27Puishile shilo sha kumi na ncheshe nnei mabaharia washikuganishwa kuwa va shigejela nchi kavu. 28Vashikutumila milio kupima kina sha mashi na guvapatilenje mita thelathini na sita,baada ja muda gwamng'upi guva pimilenje kavili guvapatilenje mita ishirini na saba. 29Vashikujogopa kwanza tunaweza kugonga miamba,nneyo guvauluye nanga ncheshe kushoka katika sehemu ja vika nanga na guvajujile kwamba lyamba jikanaishe mapema.30Vevala mabaharia vashikuva vanalole ya namna ja kujitelekeza jejila meli na walizishusha majini boti yaishokoishoko ya kuokolea maisha na vashikuitendanga kwamba wanajaanga nanga kushoka sehemu ja mmujo ja boti. 31Lakini Paulo gwamnugulile jwejula askari wa jeshi la kiroma na vevala askari.Mkako mbola kuokoka isipokuwa veneva vandu wanaigala katika meli. 32Kisha vevala askari gavakatilenje mgonji gwa boti na kujileka jitolwe na mashi.33Wakati mwanga lyamba pugwali unashoka,Paulo akawasihi vowe angalau vevala kidogo,gwalugwile ,jeneji ni mova ja kumi na ncheshe mnalinda bila kulya,mwangala shindu. 34Nneyo nawasihi mtolanje shalya kashoko kwa sababu hii ni kwa sababu ja kuishi kwenunji na hwakwa hata umbo jimo wa mtwe gwenunji gupinga ova. 35Palugwile genego gwatolile mkate igwa mshukuru Nnungu mnujo ja meya ga kila mundu.Kisha akaumega mkate gwatandwire kulya.36Kisha vowe guvatajilwenje mtima na venevo guvatolilenje shalya. 37Tushikuva vandu 276 nkati ja meli. 38Baada ja lya washikutenda meli kuna nyepesi kwa kujaa ngano nkati ja bahari.39Pujaliji mui vangamanyanga nchi kavu.Lakini guvalolile sehemu ja nchi kavu jijinjile mmashi jikuete na mng'anji gwamgwinji,wakajadiliana kama wanakombola kuendesha meli kuelekea penepo. 40Nneyo vashikulegeza nanya guvaileshile mbahari.Katika muda gwenego pego wakazilegeza migoji ja tanga na guvajinu lenje sehemu ja mmujo kuelekea kwenye mbungo guvalekee katika jenejo sehemu ja mnganji gwamgwinji. 41Lakini washikwiya mahali ambapo mikondo miwili ya mashi jinaimana na meli gujielekee kumng'anji.Na jejila sehemu ja mmujo ja meli jishiku kwama pepala na jangakombola kushoka lakini sehemu ja mmujo ja meli jishi kutanduva kutemeka ja meli jishi kutanduva kutemeka kwa sababu ukalu wa mawimbi.42Mpango gwa vevala askari ushikuva ni kwaulaga wafungwa ili kwamba jwa kwa aubaya jwa jojolela na kutoro. 43Lakini jwejula askari wa jeshi la kiroma ashikupinga kumwokoa Paulo nneyo gwajimishe mpango gwaonji,na akawaanuni vevala ambao wanakombola kujojolela wagurushe kushoka nmeli na vajenda nchi kavu. 44Kisha vashileu vana shivakagule,vana juu ya vipande vya mbao na vana kunani ya indu ina kushoka kwenye meli.Kwa mpanda gwenegu ikatokea kwamba vowe shituishe salama nchi kavu.
1Putuishile salama,tushikumanya kuwa kisiwa shina shemwa Malta. 2Vandu wenyeji wa pepala ngava tu kwamba vashi kutupa ukarimu wa kawaida bali vashikukoleya moto na kutukambisha tuwowe kwa sababu ya ula na mbepo jalyi jinaendelea.3Lakini Paulo alipokuwa amekusanya mzigo gwa neng'ene na kuuvika pa moto lijoka jwamshoko mmenye sumu gwashoshile katika yeyile neng'ene kwa sababu ya lyelila lyoto na akajizingusha katika mkono gwake. 4Vandu wenyeji wa pepala puvaonile mnyama ananinginia kushoka kwenye mkono gwake guvalugulemje venevo kwa venevo,''Mundu jweneju hakuka ni muuaji ambaye ashitoroka mbahari lakini hairuruhusu kuishi.''5Lakini jwenejogwamjaile jwenejo mnyama katika moto na jwagaputa madhara gogowe. 6Venero vashikumnindilila aimbe kwa homa au agwe ghafla na kuwa.Lakni baada ja kumnola muda gwamleu na kulola kwamba lyakwa jambo ambalo ngava la kawaida kumgwake,walibadilishana mawazo gaonji na kulugula ashikuva Nnungu.7Basi mahali pepala tome pashikuva na ardhi ambayo jishikuwa mali ja mkuu wa kisiwa,mundu ashemiwe pablio.Alitu karibisha na kutukarimu kwa mova gatatu. 8Ishikushoshela kwamba awawa yake Pablio ashikukamulwa na homa na ulevele gwa guruma.Na paulo pamjendele,ashikujuga gwacishile mikono kunani kwake,na kumponya. 9Baada ja lyeneli kushoshela vandu vana pepala pa kisiwa valingnji vanalwala pia vashikuenda nga na vashikuponywa. 10Vandu shivakuheshimu kwa heshima jajigwinji putwalyi funakuiandaa kusafiri vashi kupanganga yeyila tukupinga.11Baada ja miei jitatu tushikusafiri nkati ja meli ja Iskanda ambayo alikuwa imepigwa baridi penepo pakisiwa,ambayo viongozi wake vashiku ashapwanga vavili mapacha. 12Baada ja fula katika shilambo sha sirakusa tushikutama pepala mova gatatu.13Kushoka pepala tushikusafiri gutuishe katika shilambo sha Regio.Baada ja lyu valimo mbango ja Kusini ushikushoshela ghafla na baada ga mova gavili gutu ishe katika shilambo sha Putoli. 14Kweneko tushikwaimana baadhi ja ashapwanga na tulikaribishwa kutama nago kwa mova saba,kwa mpanda gwenegu gutaishe Rumi. 15Kushoka kueneko vevala ashapwanga baada ja pilikana habari zetu vashikuiya kutuposhela kweneko soko la Apias na Hotel tatu.Paulo pawaletile vevala ashapwanga ashikumshukuru nnungu kwaitajile ujasiri.16Putujinjile Roma,Paulo aliruhusiwa kutuma jikapamo na jwejula askari aliji anakumlinda. 17Basi ishikuwa baada ja mora gatatu Paulo ashikwashema pamo vevala vashileu valinginji viongozi kati kati ya wayahudi.Pavaishile nje pamo ashikulugula kwaonji,Ashapwanga pamoja nangatenda makosa gogowe kwa vatibu za ashawawa yetu waliotutangulia njikushoywa malinga mfungwa kushoka Yerusalemu chadi kwenye mikono ja waruni. 18Baada ya kunihoji,vashikumbinganga kunileka huru kwa sababu kushikuva jakwa sababu kwangune kustahili adhabu ja vulagwa.19Lakini vevala wayahudi puvakungurukevye kinyume cha shauku yao nililazimika kukala rufaa kwa kaisaria,japokuwa haikuwa kana kwamba nakuiyanayo mashitaka juu ya taifa langu. 20Kwa sababu ya kukata kwangu rufaa,hivyo njikujuga kuvalola na kukunguneka na mmanganyaji.Ni kwa sababu ya sheshila ambacho Israeli anaujasiri,njitawana kifungo sheneshi.21Kisha guvamnugulile,Tukanave kuposhela barua kushoka Yudea kuhusu ugwe wala jwakwa mpwanga aishe na kushoya taarifa au kulugula lilove libaya kuhusu ugwe. 22Lakini tunapinga kupilikana kushuka kumgwako unaganishia indi kuhusu lyeneli likundi lya vandu veneva,kwa sababu inamanyikana kwetu kwaumba linakunguruka kinyume kila mahali.''23Puvaliginji wanatenganga veva kwa ajili jake vandu vavagwinji zaidi vashikwiya mahali paliji anatuma.Ashikulugula lyelila lijambo kwao na kushuhudia kuhusu ufalme wa Nnungu.Ashikulinga kuwashamshi kuhusu Yesu,kwa namna yowe ivili kushoka katika sheria za Musa na kushoka kwa manabii,kutanduva lyamba mpaka ligulo. 24Baadhi yao walishawishika kuhusu mambo yale yaliyosemwa wakati wengine hawakwamini.25Waliposhindwa kukubaliana venevo kwa venevo vashi kujaula baada ya paulo kulilugula jambo lyeneli limo,Roho mtakatifu ashikulugulu vyema kupitila Isaya nabii kwa ashawa yetu. 26Ashikulugula Jenda kwa vandu veneva ulugule,''kwa masikio genunji shimpilikane,Lakini hamtaelewa.Na kwa meyo genushinolanje lakini mkamanyanga.27Kwa ajili ja mioyo ja vandu veneva jishiva dhaifu,masikio gaonji gashipilikana kwa tabu,wamefumba macho gashipilikana kwa tabu,wamefumba macho yao ili kwamba wasijekutambua kwa meyo gao na kupilikana kwa masikio gaonji na kuelewa kwa mitima jao na kugeuka kavili na ningeliwaponya. ''28Kwa nneyo mnapasua kumanya kwamba gwenengu wokovu gwa nnungu ushipelekwa kwa vandu va mataifa na shivapilikani shianje (Zingatia:Mstari gwenengu 29''Wakati palugwile mambo genega wayahudi vashi kujaula,vashikuva na mashindano gamakulungwa kati jaonji:Haumo kwenye nakala bora za kale).30Paulo ashikutama katika lijumba lyake lya kupanga kwa miaka miwili na aliwakaribisha vame vaishilenje kumngwake. 31Ashikuwa anahubiri ufalme gwa nnungu na ashi kujiyamya mambo juu ya Bwana Yesu Kristo kwa ujasiri wote.Hakuna aliyemzuia.
1Paulo mtumishi gwa Yesu Kristo, ashemilwe kuwa mtume natengwa kwaajili janinjilin ja Nnungu. 2Jejino ndio injili jalajile bukara kupitia manabiin gao katika majandiko matakatifu. 3Nikuhusu mwana gwao avelekwe kukoposhela shipinga sha Daudi kwa jinsin ja shiilu.4Jwenejo asjhikutangazwa kulea mwana mwana jwa Nnungu kwa mashili ga Ntimagwa utakatifukwa ufufuo gwa wafu, Yesu Kristo Bwana Vetu. 5Gwapitila kwa venevo tuposhele Neema na na Utume gwa utii na imani kati ja mataifa gowe kwaajili ja lyina lyake. 6Kati ja gene mataifa ga mmanganya pia nshishemwanga kuwa ba Yesu Kristo.7Barua aji ni kwa bowe balinginji Riumi, Bapingwanga na Nnungu, bashemilenje kuva vandu vatakatifu. Neema na jiwe kungwenunji na Amani koposhela kwa Nnungu Awawa yetu Bwana Yesu Kristo.8Kwanza ngunakunshukuru Nnungu vangu katika Yesu Kristo kwaajili jenunji bowe, kwasababu imani jenunji jinalugulwa katika dunia jowe. 9Kwamaana Nnungu ni shahidi vangu, pava nina kumtumishila kwa Mtima gwangu katika injilin ja mwana jwake, jinsi ngunadumu katika kuwalugiululanga. 10Daima ngunajuga katikan sala jangu kutia kwa mpanda gogowe mbate kumwisho kuva na mafanikipo lelo kwa mapenzi ga Nnungu katika kwiya kwenunji.11Maana ngunapinga kuwavonga, ili mbate kumpanganga mmanganya Baadhi ja makarama ga muntima, mbate kuwaimarishanga. 12Yaani ngunalola kutagwa mtima pa,moja na mmanganyanji, kwa mpanda gwa imani gwa kila mundu gwetu, jenunji na jangune.13Lelo ashapwanga ngapinga nnepelenje kumanya kuti, papalinji njikusudia kwiya jungwenunji lakini njiivilwa mpaka Nnaino. njikupinga nneili kuva na matunda kungwenunji kama kama pili pia miongoni ja vandu va mataifa. 14Nadaiwa na Wayunani na vajeni pia, Verevu na Vjinga. 15Kwa nneyo kwa upande gwangu nne nilitayari kutangaza injili kwa kungwenunji pia mmanganya mli ku Roma.16Kwa maana ngakujionela Oni injili, kwakua ni uwezo gwa Nnungu uletao wokovu kwakila vaamini, kwa Myahudi kwanza na kwa Mnyunani pia. 17Kwamaana haki ja Nnungu imedhihirishwa kukoposhela imani hadi imani kama jishikujandikwa, "Akwete haki shiatme kwa Imani".18Maana ghadhabu ja Nnungu jishidhihirishwa kukoposhela mbinguni dhidi ja uasi na uovu gowe gwa wandu, pava kwa njia ja udhalimu huficha kweli. 19Ajino ninkwasababu gowe gakomboleka kumanyika juu ja Nnungu ni wazi kungwao. Maana Nnungu ashikwafurahisha.20Maana mambo gao gakaonekana ukoto gali wali tangu kuvelekwa kwa ulimwengu. Ganaelweka kupitia indu ivelekwe. Aga mambo ga ni uwezo gwake gwa milele na asili na Uungu. matokeo gake bandu bangali udhuru. 21Ajino ni kwasababu, ingiwa vamumanyinji kuhusu Nnungu, hawakumtukuza yeye mbuti Nnungu, wala vangapanganga shukrani, Badala jake vashikuvanga vapumbavu katika mawazo gaonji na mitima jaonji ja ujinga jishikutungwa luwindu.22Bashikwishemanga kuva werevu lakini valinginji vajinganji. 23Bashikubadilinji Utukufu gwa Nnungu jwangali uharibifu kwa mfano gwa sura ja Binadamu akwete uharibifu, na shujuni na vanyama wakwete makongono ncheshe na viumbe vya kwava.24Kwa nneyo Nnungu ashikuwalekanga vakagulanje tamaa ja mitima jaonji kwa uchafu, kwa shiilu shaonji kufedheheshwa baina jaonji. 25Ni wenewo wabadilinji kweli ja Nnungu kuwa Unami, pava waabudunji na kuwatumishilanga viumbe badala ja Muumbaji, pava anasifiwa milele. Amina.26Kwasababu ajino Nnungu ashikuwaleka wakagule tamaa jaonji ga oni, pava wandonya baonji bashikiubadiliosha matumizi gaonji ga asili kwa sheshila shili kinyume na asili. 27Halikadhalika bashibaba pia washilekanga matumizi gaonji ga asili kwa ashimama na banakolelanga tamaa dhidi jaonji ashayene. Beneva balinginji bashileu bajaonji gakana kwapasa, pava bashikoposhelanga adhabu jili stahili na upotovu gwaonji.28Kwasababu bashikananga kuva na Nnungu katika fahamu yaonji, ashikwalekanga vakagulenje akili jaonji yangafaa, batende mambo gegala gangafaa.29Bashigumbalwanga na udhalimu gowe, uovu tamaa na ubaya. Bashigumbalwanga na wivu, uuaji, ugomvi udanganyifu na nia mbaya. 30Banganyao pia balung'wenyi , basingiziaji na vakunchimanga Nnungu. Bavurugu, kiburi, na ,majivuno, benevo ni batunga mabaya, na wakatii ashaina wao. 31Benevo wangali ufahamu bakaaminika, bangali mapenzi ga asili, na bangali na huruma.32Banganyanji kanuni ja Nnungu, pava Bandu batendaga mambo ga jinsi hiyo banastahilinji kuwa. lakini ngava pe batendaga gene mambogo benevo pia banakubaliananga na benevo banatenda mambo go
1Kwa nneyo mwangali udhuru , ugwe akuhukumiye, kwa maana katika gegala gakuhukumula juna mnakwitaga hatiani nnyene. kwamaana ugwe uhukumuye unatenda mambo gaala. 2Lakini tulikumumanya kuti hukumu ja Nnungu ni jakweli juu jaonjibatendaga mambo kama genego.3Lakini ugwe uganishie genega, ugwe pava uuhukumula bene batendanga gene mambo go ni ikiveje na ugwe unatende mambo gogo. Buli shimwepushe hukumu ja Nnungu. 4Au pukuganishia shashishoko kaje juu ja wingi gwa wema gwake, kuchelewa kwa adhabu jake, na uvumiliviu gwake? unapaswa kukuelekeza katika toba?5Bali kwa kadri ja ugumu gwako, na kwa mtima gwako gwangali toba kuivishila nnyene akiba ja ghadhabu kwa lyene lyuwa lya ghadhabu, yaani lyene lyua lya ufufuo gwa hukumu ja haki ja Nnungu. 6Jwenejo tamlipe kila mundu kipimo sawa na matendo gake 7Kwa venye anganya vala kwa udhibiti gwa matendo mema bashikagula sifa, heshima na kutokuharibika shavapanganje uzima wa milele.8Lakini kwa vele anganya vala niva binfsi, bangatii kweli bali utii dhuluma, ghadhabu na hasira kali shijikwiye. 9Nnungu shiapeleshe dhiki nashida juu jankila nafsi ja binadamu atendile uovu kwa Myahudi kwanza na kwa Myunani pia.10Lakini sifa, heshima na amani shijiiye kwa mila mundu atenda mema kwa Myahudi kwanza na kwa Myunani pia. 11Kwa maana gwakwapi upendeleo kwa Nnungu. 12Kwamaana malinga nneyi bavajinji bapelelenje pangali sheria, na kama nneila bavagwinji bapelelenje kulingana na sheria shivahukumilwanje kwa sheria.13Maana nga vapilikananga sheria balinginji na haki mbele ja Nnungu, Bali anganya batenda sheria watakaohesabiwa haki. 14Kwa maana wandu wa Mataifa pava wangalinji sheria banatendanga kwa asili mambo ga sheria, benevo, bashivanganga sheria kwa nafsi jaonji, ingawa benevo wangali sheria.15Kwa lyelino banaonekananga kuti matendo gao pinjikwa kwa mujibu wa sheria gajandikwe nkati mwa mitima jaonji. Dhamiri gaonji pia zinawashuhudia venevo, na mawazo gaonji ashayene kuwashitakianga na kuwalindanga ashayene 16na pia kwa Nnungu genega shigakoposhele lyuwa Nnungu atakazihukumu siri ya wandu bowe, sawasawa na injili jangu kwa mpanda gwa Yesu Kristo.17Tulugulile unakuishema nnyene Myahudi, aliekataa katika sheria, shangilia kwa kujisifu katika Nnungu, 18Ugamanye mapenzi gake na kupima mambo gatofautiana baada ja lajilwa na sheria. 19Na tulugule kuti una ujasiri kuti ugwe nnyene ni kiongozi jwa vipofu, lwei kwa valinginji kuluwindu, 20msahihishaji va vajinga, mwalimu jwa wana, na kuti ukwete katika sheria jinsi ja elimu ja kweli.21Ugwe bai, uhubirie juna, buli ukakujiganya nnyene? Ugwe uhubirie pangajiva, buli ugwe unajiva? 22ugwe ulugula usizini, buli nnazini? Ugwe shikuishima sanamu, buli ulijiva kuhekaluni?23Ugwe ukuisifia katika sheria, buli ukakwafedhehesha Nnugu katika kutemanya sheria? 24Kwa maana "lyina lya Nnungu linafedheheshwa katika vandu va matiafa kwasababu jenu" malinga puijandikwe.25Kwa nneyo kutahiriwa kweli kunafaa kama ukitii sheria, lakini malinga ugwe mkiukaji jwa sheria, kutairiwa kwako kunakuwa kuti gwangatairiwa. 26Bai iwaga, mundu jwangatahiriwa anaendelea kamula matakwa ga sheria, buli pava jwangatahiriwa kwakwe hakutavchukuliwa kana kwamba ametahiriwa? 27Na jwenejo jwangatahiriwa kwa asili akahukumu monaga atimizaga sheria? yenei ni kwasababu ashikola maandiko gajandikwe na tohara pia lakini mkiukaji jwa sheria!28Kwa nneyo nnyene nga Myahudi ali kwa hali ja palanga; wala kutahiriwa nnga akula ni palanga katika shiilu. 29Lakini jwenejo ni Myhudi jwa pankati, na tohara ni jantima, katika Roho, ngava katika andiko sifa jika mundu jwa nneyo haitokani na vandu ikawe ja kopoka kwa Nnungu.
1Kisha ni faida jashi yakwete Myahudi? na faida ja tohara ni nndi? Ni 2ya mbone sana kwa kila mpanda. Awali ja gowe, Wayahudi washikupegwanga ufunuo kukoposhela kwa Nnungu.3Lakini pushive buli pava bnaadhi ya Wayahudi bakakolanga na imani? Buli gwangamini gwaonji shiutende uamionifu gwa Nnungu kuva batili? 4La hasha. Badala jake, nneshe Nnungu avaoneshe kuva kweli, hata kama kila mundu ni nnami. mbuti puijandikwe, "pava unaweza kuonekana kuva mwenye haki katika malowe gako, na ukombole kushinda pushiujinjile katika hukumu"5Lakini avaga uovu gwetu shiuoneshe haki ja Nnungu, tulugule nndi? Nnungu ngava dhalimu paashoya ghadhabu jakwe, buli apali nneyo? mnakunguluka kutokana na mantiki ja kibinadamu. 6La hasha! ni namna jachi bai Nnungu pushahukumule ulimwengu?7Lakini ivaga kweli ja Nnungu kupitia unami gwangu hushoya sifa tele kwaajili jake, kwa nndi ningali bado nnahukumilwa mbuti nikwete shambi? 8Kwa nndi tunalugule, kama shitulambililwe na kama vaana shakuthibisha kuti tunaveleketa, "Tutende uovu ili gambone gaishe"? Hukumu juu jaonji ni ja haki.9Ni nndi bai? tunakuitetea kwaasheyene? Hapana kabisa. pava uwe tayari tumewaytuhumu Wayahudi na Wayunani bowe pamoo, pava palinginji pai ya shambi. 10Jeneji nikama puijandikwe: "Jwakwapi akwete haki, wala jumo.11Jwaka mundu aelewa. Jakwapi mundu alolea Nnungu. 12Bowenji batendebukenje. Bene anganya kwa pamo nga vandu va mbone. jakwapi atenda ga mbone, la, hata jumo.13Makoo jaonji ni kaburi liliwazi. Ndimi yaonji ishitemba. Sumu ja lijoka puili pai pa ikang'wa yaonji. 14Kang'wa yaonji ishigumbala laana na uchungu.15Makongono gaonji ishikola mbio kujita minyai. 16Uharibifu na mateso gapali mumipanda jaonji. 17Bene bandunji bakave kugumanya mpanda gwa imani. 18Jakwa hofu ja Nnungu mmujo mwa meyo gawo.19Nnaino tulikumanya shoshowe sheria jiitaya, kulugula na bene anganya balinginji pai pa sheria. Jeneji ni ikawe kuti kila kang'wa jitawe, na nneyo kuti ulimwengu gowe ukombole kuwajibioka kwa Nnungu. 20Yeneyi ni kwasababu shakwa shiilu shiuvalanganishiwe haki kwa matendo ga sheria mbele ga meyo gake. pava pitila sheria kwiya ufahamu gwa shambi.21Lakini nnaino pangali sheria, haki ja Nnungu jimanyishe. jishikushuhudiwa kwa sheria na Manabii. 22Jenejo ni haki ja Nnungu kupitila imani katika Yesu Kristo kwa bowe bala baamininji. Maana jakwapi tofauti.23Kwakua bowe batendilenje shambi, na kupungukiwa utukufu guka Nnungu. 24Bashibalanganywanga haki bure kwa neema jake kwa mpanda gwa ukombozi gupali katika Kristo Yesu.25Kwa maana Nnungu ashikumshoya Kristo Yesu ave upatanisho kwa mpanda gwa imani katika minyai jake. ashikushoya Kristo kama ushahidi gwa haki jake, pava jakuilechela shambi shipitile 26Katika uvumilivu gwake. genega gowe gakoposhele ili kulagula haki jake aguno wakati gwasasa. Jeneji puyaliji ili akombole kujithibitisha vayene kwa haki, na kuonesha kuti kummalanjila haki mundu jejowe kwasababu ja imani katika Yesu.27Kulikwapi bai kuisifu? Kushitengwa. Kwa misingi jashi? Misingi ja matendo? Hapana, lakinin kwa misingi ja imani. 28Nneyo tunahitimisha kuti mundu kuvalanjilwa kwa imani pangali matendo ga sheria.29Au Nnungu ni Nnungu va Wayahudi jika? Buli nnyene si Nnungu wa bandu va Mataifa pia? Ndiyo, gwa mataifa pia. 30Iwaga kwa kweli Nnungu ni jumo, tavaalanjile haki bali ba tohara kwa imani, na bangatahiriwa kwa mpanda gwa imani.31Buli uwe twaibatilisha sheria kwa imani? La hasha! kinyume cha nneyo uwe twaithibitisha sheria.
123Shitulugule nndi kawili kuti Abrahamu, awawa yetu kwa jinsi ja shiilu, apatikene? Kwa maana ivaga Abrahamu ashikuvalanganyishiwa haki kwa matendo, akaliji nasababu ja kujisifu, lakini ngava mmujo ja Nnungu. Kwani maandiko galugula buli? "Abrhamu ashikumwamini Nnungu, na kuvalanganyishiwa kungwake kuva haki"4Nnaino kwa mundu atende liengo, malipo gake gaka kuvalanganyishiwa kuwa ni Neema, bali kuwa ni deni. 5Lakini kwa mundu angatenda liengo ikawa ana kumwani jwenejo ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtaua, imani jake jwene mundu jo ishivalanganyiwa kuwa haki.6Daudi pia anaveleketa baraka juu ja mundu kuti Nnungu ashikumvalanganyishia haki pangali matendo. 7Ashikuwekeleta, "Bashikubarikiwa vene anganya maovu gaonji gashisamehewa na ambao shambi jaonji ishiunishilwa. 8Ashibarikiwa jwene mundu jula ambi Bwana vanga mmalanganyishia shambi"9Basi buli jene baraka jinpo ni vene anganya vatahiriwanje jika, au kuti kwa venye anganya bangatahiriwanga? Kwa maana tulilugula, "kwa Abrahamu imani jake ishikuvalanganyishiwa kuwa haki. 10Nneyo ilihesabiwaje basi? wakati Abrahamu waliji katika tohara, au kabla akanave tahiriwa? Ikaliji katika kutahiriwa, ikave katika kuto tahiriwa.11Abrahamu ashikuposhela alama ja tahiriwa. Gwenegu pungwaliji muhuli gwa jejila haki ja imani jaakwete tayari kabla ja tahiriwa. matokea ga jeneji ishara ni kuti balitendeka kuwa awawa ba bowe baaminio, hatakama bapalinji katika bangatahirwa. jeneji njina maana kuti haki shijivalanganyishiwe kungwaonji. 12Yenei pia ishikumaanisha kuva Abrahamu ashikutendeka awawa va tohara ngava pe kwa vanganya vatokana na tohara, pava kuti vene anganya wakuikagula yajo ja awawa yetu Abrahamu.Najeneji ni imani jakwete kwa bangatahirwa.13kwa maana ikali kwa sheria pava ahadi ilitolewa kwa Abrahamu na uzao gwake, jene ahadi jijakuti watakua warithi wa dunia. ikaveje puyaliji kupitia haki ja imani. 14Kwa maana kama vene sheria ndio varithi, imani jishiwa ja yoyo, na ahadi imebatilika. 15Kwasababu sheria huketa ghadhabu lakini pepala pangali sheria pia kwakwapi kutotii.16Kwasababu jenejilyeneli linakoposhela kwa imani, ili kwa neema. Matokeo gake, ahadi ni dhahiri kwa uzao gowe na veneva vazawa nga pe vene vamanya sheria Bali pia vene anganya vala ni va imani ja Abrahamu. kwa maana jwenejo ni awawa yetu uwe tubowe, 17Kama shiijandikwe "nimtendile mwe kuva awawa gwa mataifa mengi" Abrahamu paalioji katika uwepo gwaajula amwamini, yaani, Nnungu ambae kwapanganga wafu uzima na kutanga mambo amabyo gakwa ili gapagwe.18Licha ya hali jowe ja palanga, Abrahamu kwa ujasiri bashikumwamini Nnungu kwa moga ga kwiya. kwa nneyo ni ava awawa va mataifa gowe, kulingana na sheshila shiveleketwe,"... Ndivyo puikupinga na uzao gwake" 19Nnyene akanava dhaifu katika imani. Abrahamu ashikukiri kuti shiilu shake nnyene shashikuwa- paliji na umri gwa tome yaka miamoja. pia ashikubaliana hali jawa ja lipitiu lya Sara.20Lakini kwasababu ja Nnungu, Abrahamu jwangasita katika kutoamini, Bali, ashikutagwa mashili katika imani na ashikumsifu Nnungu. 21Paliji ashikuimanya hakika ja kuva sheshila shakuti Nnungu ashilajila paliji pia uwezo gwa kukamilisha. 22kwa nneyo jeneji pia ishikuvalanganyishiwa kungwake kuva ni haki.23Nnaino jangajandikwa kwa faida jake, kuti ishikuvalanganyishiwa kungwake. 24Ishikujandikwa kwaajili jetu pia, kwa waliowekewa kuvalanganyishiwa, uwe pava tunaamioni katika jwenejo annyushiye Bwana gwetu Yesu kukoposhela wafu. 25Jweneju ni jwejula ashoshiwe kwaajili ja makosa getu na kufufuliwa ili tupate kuvalanganyishilwa haki.
1Pava tushivalanganyilwa haki kwa haki kwa mpoadna gwa imani, tuyshikola amani na Nnungu kwa mpanda gwa Bwana gwetu Yesu Kristo. 2Kupitila venevo uwe pia tukwete fursa kwa mpanda gwa imani katika jejino neema ambajo tuanjima nkati gwake. Tunafurahia katika ujasiri atupele Nnungu kwaajili ja baadaye, ujasiri ambao tutashiriki katika utukufu gwa Nnungu.3Nga lyeneli pe, lakini pia tunafurahia mateso getu. tulimanya kuti mateso huzaa uvumilivu. 4Uvumilivu kunaveleka kukubalika, na kukubalika kunazaa ujasiri kwaajili ya baadaye. 5Ujasiri gwenu ukakatisha tamaa, kwasababu upendo gwa Nnungu ushibikwa katika mitima jetu kupitia Roho mtakatifu, ambae ashikushoywa kungwetu.6Kwa putwaaliji tungali tudhaifu, kwa wakayti muafaka Kristo ashikuwa kwaajili ja waovu. 7Kwakua shive ukomu jumo kuwa kwaajili ya mundu wakwete haki. jeneji nikuti, pana mundu akalinjile kuwa kwaajili ya mundu mwema.8Lakini Nnungu aakikishe upendo gwake nnyene kungwetu, kwasababu wakati gutwaaliji na shambi, Kristo ashikuwa kwaajili jetu. 9Kisha zaidi ja gowe lelo pava tuvelengenywe haki kwa minyai jao, shituokolewe kwa nneyo kukoposhela katika ghadhabu ja Nnungu.10Kwa kuwa, ikiwa wakati tulipokuwa maadui, atupatanishe Nnungu kwa mpanda gwa kifo cha mwana gwao, zaidi kaje,baada java tupatanishwe shituokolewe kwa maisha gao. 11Nga nnei pe, Bali tunafurahi katika Nnungu kupitia Bwana Yesu Kristo. kupitia jwenejo ambae lelo tuposhele upatanisho gu.12Kwa nneyo bai, kupitila mundu jumo shambi jishikujinjila duniani, kwa gwene mpanda shiwa shishijinjila kwa njia ya shambi, na shiwa kikasambaa kwa vandu bowe, kwasababu bowe watendile shambi. 13Kwakua hadi sheria, shambi shishikuva duniani, lakini shambi shikavalanganyika wakati jakwa sheria.14Hata nneyo shiwa shishitawala kukoposhela kwa Adamu hadi Musa, hata juu ja venye anganya vala ambao bangatendanga shambi kama kutotii kwa Adamu, ambaye ndo mfano gwa jwenejo ambikaishe. 15Lakini nkali nneyo zawadi ja yoyo nga kama kosa. kwa kuwa kosa lya jumo bawagwinji bashikuwanganga, zaidi kaje neema ja Nnungu na zawadi kwa neema ja mundu jumo, Yesu Kristo, ishipunda jenjesheka kwa bavajinji.16Pava zawadi nga kama matokeo ga ka jwejula atendile shambi, pava kwa upande guna, hukumu ja adhabu jishikwiya kwasababu ja kosa lya mundu jumo. lakini kwa upande guna kipawa cha yoyo shikopoka katika kuvalanganywa shishikwiya baada ja makosa gamajinji. 17Kwa nneyo, pava kwa kosa lya jumo, shiwa shishitawala kupitia jumo, zaidi kaje anganya vala shivaposhelanje neema jajigwinji pamoja kipawa cha haki shibatawalanje kupitila maisha ga jumo, yesu kristo.18Kwa nneyo bai, kama kupitila kosa limo bandu bowe bashikuyangana kukuhukiumu, ikaliji kupitila tendo limo lya haki kushikwiya kuhesabiwa haki ja maisha kwa bandu bowe. 19Kwa kuwa kupitila kutotii kwa mundu jomo bawajinji bashikutendwa wakwete yambi, kwa nneyo kupitila utii gwa jumo jwenu bawajinji shiwatendwe wakwete haki.20Lakini sheria jishikujinjila pamo, kaveje kosa ujenele. lakini mahali pujapundile shambi kuva jajijinji, neema jishikujenjeka hata zaidi. 21Yeneyi ishikushoshela ikave kuti kama shambi jitegwele katika shiwa, ndivyo nkalin neema inaweza tawala kupitila haki kwaajili ja maisha ga milele kupitila Yesu Kristo Bwana vetu.
1Tulugule ndin bai? Tuendelee katika shambi ili neema jijenjesheshe? 2La hasha. Uwe tuwile katika shambi, tukombole uli havili kutama katika nneyo? 3Buli mmumanyinji kuti anganya vabatizwenje katika Kristo bashikubatizwanga katika mauti jake?4Tushikushikwa pamoja na jwenejo kupitila ubatizo katika Kristo. Yenei ishikuitendeka kuti malinga nneile Kristo shahsitepajinulwa kutoka mauti kupitila utukufu gwa awawa, ili tubowe tukombole jimajima katika upya wa maisha. 5Maana tukundikenywe pamoja nae katika mfano gwa kifo jake, tutukundikanye katika ufufuo gwake.6Uwe tunamanya nnei, gundu gwetu gwa bukala ushikusulubiwa pamoja naye ivaga shiilu shashambi uharibiwe. yeneyi ishikukoposhela pava kuti tunaendelea kuva vatumwa wa shambi. 7Jweneji awile ashitendwa nnyene haki kulingana na shambi.8Lakini monaga tuwile pamoja na Kristo, kuti tuliamini tulitama pamo najo pia. 9Tunamanya kuti Kristo amefufuliwa kushoka katika wafu, na kwamba si mfu tena. Kifo shikamtawala kawili.10Maana kwa habari ja kifo pawile kwa shambi, pawile pamo kwaajili jabowe. Nkali nnei, maisha gatama patama kwaajili ya Nnungu. 11Kwa mpanda gwenego pego, numbe mmanganya pia mnapaswa kujihesabu kuwa vaawa katika dhambi, bali hai kwa Nnungu katika Kristo Yesu.12Kwa nneyo unaruhusu shambi itawaleshiilu shako ili kusudi uweze kuzitii tamaa zake, 13Unashoye sehemu ya shiilu shako katika shambi namlinga yombo yangali haki, bali muishoye mmayenen kwa Nnungu, malinga valinginji hai kushoka mautini. na muishoyanje sehemu ja iilu yenunji malinga yombo ya mbone kwa Nnungu. 14Nnajiruhusunji shambi jitawale pava nkanavanganga pai pa sheria, bali pai pa neema.15Nndi bai? tutende shamba pava tukanava pain ja sheria, bali bpai ja Neema? La hasha. 16Nkamanyanga kuti kuka jwenejo ju mkwishoyanga mwahsyene kama vatumishi ndie ambaye mmanganya nnavanganga vatumishi vake, jwenejo mnaepaswa kuwatii? Jweneji ni ja kweli hata kama mnangaya katika shambi jiipeleshela mauti, au batumwa wa utii ulipelekea haki.17Lakini ashukuriwe Nnungu! kwa kuwa mshikuvanganga watumwa wa shambi, lakinin mshitiinji kutoka miyoyoni jejila namna ja fundisho jimpatilenje. 18Nshitendwanga Huru kukoposhela m u shambi, na nshitendwanga kuva watumwa va haki.19Ngunalambaya mbuti mundu kwasababu ga madhifu ya iilu yenunji, kwa maana malinga nneila nshoshiyenje ibalo ya shiilu shenu kuva vatuma kwa uchafu na uovu, kwa nneyo, lelo nshoye ibalo ja shiilu shenunji kuva vatumwa wa haki kwa utakaso. 20Pava mwalinginji vatumwa wa shambi, mshikuvanga huru mbali na haki. 21Kwa gwene wakati go, mwalinginji na tunda jachi kwa mambo ambayo kwa kelo mnaonanga aibu kwa genego? pava matokeo ga mambogo ni kuwa.22Lakini pava lelo nshitendwanga huru mbali na shambi na nshitendekanga watumwa kuka Nnungu nkwetenje tunda kwaajili ja Utakaso. tokeo ninuzima gwa milele. 23Pava mshahara gwa shambi ni mauti, bali zawadi ja yoyo ja Nnungu ni uzima gwa milele katika Kristo Yesu Bwana gwetu.
1Au mkamanyanga, ashapwanga (pava ngunaveleka na vandu wamanya sheria) kwamba sheria jinakumtawala mundu alihai?2Kwa maana jwandonya aolewe atavilwe na sheria kwa jwejula ambujegwe ali jwa nkoto, lakini monaga ambujegwe shawe, shave huru kutoka sheria ja ndoa. 3Kwa nneyo, wakati ambaujegwe awe jwa nkoto, ivaga anatama na ka jwannume juna, shave huru dhidi ya sheria, nneyo avaka mzizi ivaga anatama na ka jwa nnume juna.4Kwa nneyo, mwashapwanga, mmanganya pia mshikutendwanga wafu gwa sheria kwa mpanda gwa shiilu sha Kristo. ili nnei ili mpate kulundanywa na kajuna, kwa kwajenejo ayushiwe kutoka wafu ili tukombole kumzalia Nnungu matunda. 5Kwa maana putwaliji katika hali ja shiilu, tamaa ja shambi jishikujumuywa katika viungo vyetukwa mpanda gwa sheria na nakuiveleshela mauti matunda.6Lakini nnaino tumefunguliwa kukoposhela katika sheria. Tuililwe jejila hali itupinjile. ili uwe tupata hutumika katika hali ja yambi ja ntima na ngava katika hali ja bukala ja andiko.7Tulugule buli bai? Sheria ni shambi? La hasha Hata nneyo ningajimanyinji shambi, nguikaliji kwa mpanda gwa sheria. pava ngngajimanyinji kutamani kama sheria ngangata shiyeye, "unapinje" 8Lakini shambi japatile nafasi kwa jene amri najipeleka nkati mwangu kila aina jaapinga. kwa nneyo shambi ishikupata sheria jiwile.9Numbe nne punalijilwa nkoto hapo kwanza vangali sheria, pujijile jene amri, shambi ishikupata uhai, numbe nne ni nguuwa. 10Jene amri na ambayo ikajie uzima nijitendeuka kuva mauti kungwangu.11Maana shambi ishapata nafasi kwa jene amri na jindemba. Kupitila jene amri jishikumulaga. 12Nneyo sheria nitakatifu, na jene amri ni takatifu ja haki na njema.13Kwa nneyo bai jejila jili ja mbone pagaliji mauti kwangune? inave nneyo kamwe. Lakini shambi ilijionesha kuva nishambi hasa kupitila jejila njema, jishikupeleka mauti, nkati mwangu, Nnei pupaliji ili kwamba kupitila jene amri, shambi jishikupunda kuva mbaya mno. 14Kwa maana tumumanyi kuti sheria asili jake ni rohoni lakini nne ni mundu jwa shiilu. njiuzwa pai pa utumwa gwa shambi.15Maana lingutendalyo, ngakulimanya dhahiri. pava lyelila ngulipinga kutenda, ngalitenda na lyelila ngakulipinga ni lyenelyo ngulitenda. 16Lakini monaga ngutenda lyelila ningakulipinga nnakubaliana nma sheria pava sheria ni njema.17Lakini lelo ngava nne nafasi jangu jitenda lyenelyo, ikaveje jene shambi jitama nkati gwangu. 18Kwamaana nimumanyi kuti nkati mwangu yaani nkati mwa shiilu shangu, likatama jambo jambone. pava tamaa jalilija mbone ipali nkati mang, lakini ngakulitenda.19Pava lyenelya lya mbone ngakulitenda, Bali lyelila ovu ngakulipinga ndo ningulitenda, 20Lelo monaga ngutenda lyelila ningakulipinga, nnga nne binafsi ngulitenda, ikave jene shambi jitama nkati mwangu. 21Nimanyile, tena, jipali kanuni nkati mwangu japinga kutenda lililojema, lakini uovu hakika upali mkati mwangu.22Kwa maana nguna furahia sheria ja Nnungu kwa undu gwa nkati. 23Lakini ninakujiona kanuni jili tofauti katika ibaloya nshiilu shangu, jinapiga vita dhidi ya kanuni ja yambi katika akili jangu. inandendela nne mateka kwa kanuni ja shambi iili katika nshiilu shangu.24Nne ni mundu jwa uzuni! Ni gani akapinga niokoa na sheshila shno shiilu sha mauti? 25Lakini shukrani kwa Nnungu kwa Yesu Kristo Bwana vetu! Nneyo bai. nne namwene kwaakili jangu ngunakuitumikia sheria jika Nnungu. Bali, kwa shilu nakujitumishila kanuni ja shambi.
1Kwa nneyo baijakwapi hukumu ja adhabu juu jao baali kaytika Kristo Yesu. 2Pava kanuni ja Roho ya uzima agula guuli katika Kristo Yesu ishingutenda nne kuwa mbali na kanuni ja shambi na mauti.3Kwa maana ashila ambacho sheria ishikulepela kutenda kwasababu jaaliji dhaifu katika shiilu, Nnungu ashikutenda. Ashikuntuma mwana gwake gwa pekee kwa mfano gwa shiilu gwa shambi ave sadaka ja shambi na kujihukumula shambi katika shiilu. 4Ashitenda nnei ili maagizo ga sheria gatimizwe nkati gwetu, uwe twangaenenda kwa kukagula mambo ga shiilu, bali kwa kukagula mambo ga Roho. 5Banevo ba kukagula shiilu huyafikiri mambo ga shiilu, lakini benevo ba kukagula Roho huyafikirini mambo ga Roho.6Pva nia ja shiilu ni mauti, bali nia ya Roho ni uzima na amani. 7Jeneji ni kwasababu jejile nia ja shiilu ni uadui juu ja Nnungu, kwa maana ngakuitii sheria ja Nnungu, wla ngakombola kujitii. 8Benevo bakagula shiilu bakakombola kumpendeza Nnungu.9Hta nneya nkapalinji katika shiilu bali katika Roho, ikave ni kweli kuti Roho gwa Nnungu gunatama nkati jenu. lakini kama mundu angali Roho jwa Kristo jwenejo ngava jwake. 10Ivaga Kristo alinkati mwenu, shiilu shishiwa kwa mabo ga shambi, bali Roho ni hali kwa mambo ga haki.11Iwaga Roho ja jwejula aliemfufua Yesu kushoka kwa wafu jinatama munkati jenu, taape pia shiilu shenu mauti uhai kwa mpanda gwa gwake aatama nkati mwenu.12Na nneyo bai, mwashapanga, uwe tuwadeni, lakini ngava kwa shiilu kuti tutame kwa jinsi ja shiilu. 13Mana ivaga mnatama kwa jinsi ja shiilu, mpali karibu kuwa, lakini ivaga kwa Roho mnayafisha matendo ga shiilu, mmanganya tintame.14Maana kama ambavyo bavajinji banaongozwa na Roho jwa Nnungu, beneva ni bana va Nnungu. 15Pava mwangakoposhela Roho gwa utumwa kavili hata mjogope . Badala jake mposhele roho ja kutendwa kuva vana ambayo kwa yeneyo tunaguta"Abba, Baba!"16Roho nnyene hushuhudia pamoja na roho jetu na kuva vana va Nnungu. 17Ivaga tu vana bai tu variyhi pia, varithi va Nnungu. na uwe tu varithi pamoja na Kristo, ivaga kwakweli tunateseka na venevo ili tupate kutukuzwa pamoja navo.18Pava mnavalanganya mateso ga wakati gwenegu kuva nga shindu nnalinganisha na utukufu gwa unukulilwa kungwetu. 19Kwa maana viumbe gowe pia inaloleya kwa shauku jajigwinji kuunukulilwa kwa vana va Nnungu.20Kwa maana uumbaji pia ushitiishwa pai pa ubatili, nga kwa hiarI jake, ila kwasababu jake jwenejo jwaituishile ,Ni katika tuamini 21kuti uumbaji gwene nao tiuvikwe huru na kukoposhelwa katika utumwa gwa uharibifu na kujinjilwa katika uhuru gwa utukufu kwa vana va Nnungu. 22Kwa maana tumanyinji kuti uumbaji nao pia unalwala na kuteseka kwa uchungu pamoja hata nnaino.23Nga nneyo pe, ila na uwe mmayene tulio na malimbuko ga Roho- uwe pia tiunalalwa katika nafsi jetu, tukisubili kutendwa vana, yaani ukombozi gwa shiilu shetu, 24Kwa maana ni tarajia ajino twaaokolewa. lakini shindu shiitsrajiwa shioneshe jakwa faraja kavili, kwa maana ni gani atarajia sheshila sheshiweni? 25Bali tukikitarajia shindu tungakiona , twakingojea kwa saburi.26Kwa jinsi nneyo, Roho nago utusaidia katika udhaifu gwetu. kwa maana ngatukumanya kuvenda jinsi itupasavyo, lakini Roho nnyene hutuombea kwalwala kwangakombo kutamkwa. Na 27venevo ya kuichunguza mitima banamanya akili ja Roho, kwasababu huomba kwa niaba jao baamini kulingana na mapenzi ga Nnungu.28Na uwe tunamanya kuti wowe bakumpinga Nnungu, jwenejo tunatenda mambo gowe pamoja na wema, kwa vene anganya bowe ushemilwe kwa kusudi jake. 29Kwasababu bene anganya bowe aamanyinji tangu asili, pia ashikuwaagulanga tangua asili bafananishwa na mfano gwa mwana gwake, ili jwenejo ave mzaliwa gwa kwanza miongoni mwa ashapwanga bavajinji. 30Na benevo avahesabianje haki, benevo pia atukuzenje.31Tulugule nndi bai juu ja gene mambo ga? Nnungu avaga upande gwetu, ni ganin ali juu jetu? 32Beneva banganneshela mwana gwake nnyene bali ashikunshoya kwaajili jetu uwe wowe shakose uli kutukirimia na mambo gowe pamoja na venevo?33Ni gani shivashitakingbi vateule va Nnungu? Nnungu ndio nnyene na kuvahesabia haki. 34Ni gani shivahukumie adhabu? Kristo Yesu jwenojo aliwe kwaajili jetu, na zaidi ja genego, jwenejo pia ashikufufuliwa. jwenejo anatawala pamoja na Nnungu mahali paheshima, na kavili ni jwa kutuombea uwe.35Ni gani shivatutenge na upendo gwa Kristo? dhiki, au shida, au mateso, au shiwanga, au uchi, au hatari, au upanga? 36Kama puijandikwe "kwa faida jenu tunauwawa mui gowe.Tushivalanganywa kama kondoo vaingwa.''37Katika mambo gowe uwe tuzaidi ja washindi katika venevo vatupinjile. 38Kwa maana nimalile kushawishika kuti wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala mamlaka, wala indu ipali, wala indu ikwiya, wala mashili. 39wala gali nnani, wala gali pai, wala kiumbe chiina chowe, shishikombole kututenga na upendo gwa Nnungu, ambaye ni Kristo Yesu Bwana gwetu.
1Navalekta ukweli katika Kristo. Ngaveleketa unami, na dhamira jangu kushuhudia pamo na nne katika Roho mtakatifu. 2Kuti ushipagwa huzuni kubwa na maumivu gangapela nkjati ja ntima gwangu.3Kuti ngapinjile nne namwene kulaaniwa na tenga mbali na Kristo kwaajili ja ashapwanga, bene anganya ba jamii jangu katika shiilu. 4Bene anganyao ni Waisraeli. bakwetenje na hali jatendeka bana, ba utukufu wa maagano, na zawadi ja sheria kumwabudu Nnungu, na ahadi. 5Bene anganya ni balongolela pava kristo ashikwiya kwaheshima kutawala shiilu shino pava jwenejo ni Nnungu jwa jowe. Numbe asifiwe, milele, Amina.6Lakini ngava kuti ahadi ja Nnungu jilepele jenela. mana ngava kila mundu ali Israeli ni Mwisraeli halisi. 7Ngava kuti kwa uzao wa Abrahamu kuva ni vana vake halisi. Lakini, "Nipitila isaka uzao gwako shiushemwe"8Yenei ni kuti b ana ba shiilu nga bana ba Nnungu. Lakini bana ba ahadi banalolwanga mbuti uzao. 9Mana lyeneli ni lilowe lya ahadi: "Katika aga majira ga nilikwiya, na mwana shiapegwe sara"10Ng lyeneli pei lakini baada ja Rebeka kupata shitumbo kuka mundu jumo, Isaka Baba jwetu- 11Kuti vana valinginji bado vakanave velekangwa na aliji akanave tenda jambo lyolyowe lya mmbone au lya libaya, ikava kuti suluari ja Nnungu kulingana na uchaguzi lijime, wala nga kwa matendo, lakini ni kwasababu ja jujula aashema. 12Ishikuveleketa kungwake, "Jwankulungwa shantumishile jwanchoko" 13Kama puijandikwe:Yakobo njikumpinga , lakini Esau njikunchima".14Bai kawili tushilugule nndi? buli upali udhalimu kwa Nnungbu? La hasaha. 15Pava anavalanga kuka Musa, "shingole na rehema kwa jwejula shineemu, na shimme na huruma kwa jwejula jushininhurumie" 16Kwa nneyo bai, nga kwasababu ja ka jwenejo apinga, wala nga sababu ja kajwenejo aautuka, lakini kwasababu ja Nnungu, ambi alangwile rehema.17Pava maandiko kulugula kwa Farao, "pava mele ga maalumu nashikujinula, ili kwamba nioneshe mashili gangu katika ugwe, ili kwamba lina lyangu litangazwe katika nchi yowe" 18Kwa nneyo bai, Nnungu kuva na rehema kwa jejeowe akumpinga, na kwa ambaye humpenda, kuntenda kuwa mkaidi.19Ivaga tulugule kungwangu, kwa nndi bado unaona likosa? ni gani alijinkustahimili matakwa jake? 20Kinyume jake, Mwanadamu, ugwe na gani ujibue kinyume na Nnungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, "Kwa nndi shikundenda nnei nne?" 21Buli mfinyazi jwangali haki juu ja udongo kuwalaya kitale kwaajili ja matumizi maalumu kutokana na libonji lila pelila, na shitale shina kwa matumizi ja kila siku?22Buli kama Nnungu, Pava ali tayari kuonesha ghadhabu jake na kutenda mashili gake manyika, ashikustahimili kwa uvumilivu gwa tosha itale ya ghadhabu iandaliwe kwa kuangamiza? 23Buli monaga alitenda nneyo pava kuti alangule gwinji gwa utukufu gwake juu ja itale ja rehema, pava ashikuviandaa kwaajili ja utukufu? 24Buli monaga atendile nnei kungwetu, pava kuva ashikutushema, ngava pe kukopoka kwa Wayahudi, lakini pia kukopoka kwa vandu gwa Mataifa?25Kma palugula pia katika Hosea: "Tinashemanje vandu vangu pava bakana vanaganga vandu vangu, na mpendwa jwake ambaye akanapigwa. 26Na shiive pepela pailugulwe kungwao, "Mmanganya nga vandu vangu" pepala shivashemwanje na Nnungu alie hai."27Isaya kuhusiana Israeli, "Monaga hesabu ja vana va Israeli ikaliji malinga mchanga gwa bahari, shiive masalia ga vaokolenjwe. 28Pava Bwana shivalitole lilowe lyake juu ja nchi, mapema na kwa utimilifu. 29Na kama jinsi Isaya pavelekete awali, kama Bwana wa majeshi jwangatuleshela nyuma uzao kwaajili jetu, putukaliji kama Sodoma, na kali tutendilwe mbuti Gomora.30Tulugule nndi bai? kuti bandu ba Mataifa pava palinji bakaloleyanga haki, haki kwa imani. 31Lakini Israeli ambaye ashikuloleya sheria ja haki, haikufikia.32Kwa ndii nga nneyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Bashikukulanga pantandu paliganga lya kuvala, 33Kama puijandikwe, "Lola njigoneka liganga lya kuvala Katika sayuni na mwamba gwa pelela. Jweneji aamini katika lyeneli hataaibika"
1Ashapwanga nia ja mtima gwangu na liombi lyangu kwa Nnungu ni kwaajili jaonji, kwaajili ja wokovu gwao. 2Pava nawashuhudia kuti wana juhudi kwaajili ja Nnungu, lakini ngava kwaajili ja ufahamu. 3Pava akaamanya haki ja Nnungu, na vanaloleyanga shenga haki jaonji ashayene. Hawakuwa watiifu kwa haki ja Nnungu.4Pava Kristo ndiyo vatimilifu va sheria kwaajili ja haki ja kila mundu aamini. 5Pava musa anajandika kuhus haki kuya kukopokana na sheria, "mundu atenda haki ja sheria shatame kwa haki hii"6Lakini ambayo inatokana na imani kuveleketya nnei, "Nnavelekete muntima gwako, 'Gani shagulushe kumbimguni?(Nnei ni kumpeleka Kristo pai) 7Na unavalanje, Gani shaulushe nnimbo?"'(Nnei ni kumpeleka Kristo kunani kushoka kwa wafu).8Lakini ilugula nndi? "Lilowe lilipatome na ugwe katika nkang'wa gwako na muntima gwako" lyenelyo ni lilowe lya imani, pava tunatangaza. 9Pava kama kwa kang'wa jako un akumkiri Yesu kuva na Bwana, na amini mumtima gwako kuti Nnungu ashukunnyuya kushoka kwa wafu, shiuokoke. 10Pava kwa ntima gwa mundu gunaamini na kupata haki, na kwa kang'wa hukiri na kupata wokovu.11"Pava lijandiko linalugula, "Kila akumwamini akapata aibu" 12Pava jakwapi tofauti kati ja Myahudi na Myunani. pava Bwana pe vala ni bwana ba bowe, na ni tajiri ba wowe bakweshemanga. 13Pava kila mundu ambaye kulishemela lyina lya Bwana shaokoke.14Kwa jinsi jachi banakombola kunshema jwenejo ambaye bakanave kumwamininji? Na jinsi gani shivakombolanje kuamini katika jwenejo bakanave kumpilikana? Na shivapilikananje buli pangali 15muhubiri? Na jinsi jachi banakombola kuhubiri, ikave bashitumwanga? - kama shiijandikwe, "Jinsi jachi ni yambone ngongonoja anganya valavatangaza habari za furaha za mambo mema!'16Lakini bowenji bakanave pilikanga injili. pava isaya anaveleketa, "Bwana ni ganiapilikene ujumbe gwetu? 17Nneyo imani jinakwiya kutokana na kupilikana, na pilikana kwa lilowe lya Kristo.18Lakini niveleketa, "Buli bangaipilikananga?" Elo, kwa hakika sana. Llilowe lyaonje likopweshe palanga katika nchi jowe, na malove gaonji kwenda mmisho ja dunia.''19Zaidi ja gowe ninaveleketa, "Buli Israeli jwangamanya" Kwanza Musa niaveleketa, "Nitawachokoza kuwatagaga wivukwa bandunji ambao nga taifa. kwa mpanda gwa taifa lyangali na uelewa, nitawachochea hadi ntumbale.''20Na isaya ni jasiri sana na aveleketa, "Nashikupatikana na vene anganya vala bakanakunnoleynga. Nashikuonekana kwa vene anganya vala bakanambinganga" 21Lakini kwa Israeli kuveleketa, "Mova gowe nishikulogola makono gangu kwa wasiotii na kwa bandunji ba nonopa".
1Bai nnalugula, buli, Nnungu ashikwakananga bandu bake? hata kachoko. pava nne pia ni Mwisraeli, washipinga sha Abrahamu, wa kabila ja Benyamini. 2Nnungu bangakanga bandu bakwe, Avamanyinji tangu bukala. buli nkamanya liveleketa nndi kuhusu Eliya, jinsi alivyomsii Nnungu juu ja Israeli? 3Bwana bashikwaulanga manabii gwenu, nao bashibomolanga madhabahu jako. Nne jika pe njipeleka, numbe banaloleyanga Uhai gwangu.4Lakini jambo lya Nnungu lalugula nndi kungwako? "Nimetunza kwaajili jangu bandu elfu saba ambao bakakumpigilanga malungo Baali. 5Hata nneyo, wakati guno gwa nnaino pia bapali bapelekenje kwaajili ja uchaguzi gwa neema.6Lakini ivaga ni kwa neema, ngava kavili kwa itendo. vinginevyo neema jikava kavili neema. 7Ni ndi bai? jambo ambalo Israeli anda kuiloleya, bali batende bashikushipatanga, na vana bashikuvikwanga kutopa. 8Ni malinga puijandikwe: "Nnungu ashikwapanga Roho ja Ubutu, meyo wanalolanje na maskio wanapilikanje, mpaka lelo jino."9Numbe Daudi anaveleketa "Nneshe meza jao jiwe wavu, mtego, sehemu jakuvala, na kuulipiza kisasi dhidi jaonji. 10Nneche meyo gaonji galole luwindu ili banakombole kulola. Ukatepyanje migongo jaonji daima.''11Bai naveleketa, "Buli bashikubalanga hata kugwa? Inave nneyo kamwe. Badala jake, kwa kushindwa kwaonji, wokovu ushiika kwa mataifa ili benevo ashayene batagwanje mashili. 12Lelo ivaga kushindwa kwaonji ni utajiri gwa ulimwengu, na kama hasara jaonji nin utajiri gwa Mataifa ni kiais jachi zaidi tiive kukamilika kwaonji?13Na lelo nnakungulukanga na mmanganyanji wandu wa Mataifa. pava njiva mtume kwa vandu va mataifa gana, najivunia huduma jangu. 14Pana shinataganje wivu vali shiilu shimo ni nne. Pana tutavaokoanga baadhi jao.15Maana ivaga kukanwanga kwaonji ni maridhiano ga dunia, koposhelwa kwaonji shiive buli ila uhai koposhela kwa wafu? 16Kama matunda ga kwanza ni akiba ndivyo ilivyokuwa kwa lidonge lya utandi. mbuti mzizi ni akiba, matawi gake kadhalika.17Lakini kama baadhi ya matawi gakatilwe, malinga ugwe, tawi pori lya mzaituni, ushipandikilwa kati jaonji nakama gwashiriki pamoja navo katika mizizi ya utajiri gwa mzaituni, 18usijisifu juu ja matawi. lakini kama unajisifu, ngava ugwe ambaye unaisaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia ugwe.19Bai ulugule, "Matawi ishikukatwa ili mbate kupandishilwa mnitepo." 20Jenejo nikweli kwasababu ja kutoamini kwaonji bashikatwa, lakini ugwe ushikujima imara kwasababu ja imani jako. Unaiganishie nnyene kwa hali ya juu sana, bali ujogope. 21Kwa maana ivaga Nnungu akanakuileka matawi ga asili, akahurumi ugwe pia.22Ulole, bai, matendo ga mbone na ukali guka Nnungu, kwa upande gumo, ukali ushikwiya juu ja Wayahudi ambao bashikungwanganga. Lakini kwa upande guna, wema gwa Nnungu kwiya juu jako, kama shiudumu katika wema gwake. vinginevyo ugwe pia shiukatiliwe mbali.23Na pia, kama vakendeleanga katika kutoamini kwaonji, shivapandishiwanje kavili. Maana Nnungu akwete uwezo kuvapandishilanga kavili. 24Kwa maana ivaga nwe mshikukatwanga palanga kwa ulio kwa asili mzaituni mwitu, Na kinyume cha asili mshipandishilwa katika mzaituni ulio mwema, nga zaidi sana ava Wayahudi ambao malinga matawi ga asili kukombola pandishilwa nkati gwa mzaituni gwao bayene?25Kwa maana ashapwanga ngapinga mshimanye, kuhusiana na siri jino, ili mnakolanje hekima katika kufikiri kwenunji mmanyene. siri jino ni kuti ukomu ushikoposhela katika Israeli, hadi kukamila kwa mataifa pushikuijie.26Nneyo Israeli wowe shivaokoke, kama puijandikwe. "kukopoka sayuni tajie mkombozi. shaondoe uovu kukoposhela kwa Yakobo. 27Na alino shilive agano lyangu pamoja navo, wakati nitakapoziondoa shambi shao"28Kwa upande gumo kuhusu injili, vanachukiwa kwasababu jenu. kwa upande guna kutokana na uchaguzi gwa Nnungu, vashipingwa kwasababu ja mababu. 29Kwa kuwa zawadi na wito gwa Nnungu ukabadilika.30Kwa kuwa awali mmanganya mwapali mmemwasinji Nnungu, lakini lelo nshikuiposhela rehema kwasababu ja kuasi kwaonji. 31Kwa mpanda gogo, nnaiona beneva Wayahudi bashiasi. matokeo gake ni kuti kutokana na huruma mjaaliwenje mmanganya banakombola pia kuposhela rehema. 32Maana Nnungu ashikwatawa bandu bowe katika uasi, ili bakombole kuwahurumia wowe.33Jin si ipali kuu utajiri na hekima na maarifa ja Nnungu! hazichunguziki hukumu jake, na mipanda jake ikagundulika! 34Maana ni nani ajiamanyile nia ja Bwana? Au gani pali mshauri gwake?35Au ni gani kwanza ampele shindu Nnunguili akipwe kavili? 36Kwa maana kukoposhela kungwake, na kwa mpanda gwake na kungwake, indu yowe ipali. Kungwake utukufu milele. Amina.
1Kwa nneyo ngunakuwasihi, ashapwanga, kwa huruma zake Nnungu, mwishonanje iilu yenunji jiwe dhahabu iliyo hai tatatifu, ikubalika kwa Nnungu. Jeneji ni ibada jenunji ja mbone. 2Wala nnaikagulanje namna ja dunia jino, ikave ntendeulwanjwe kwa tendwa upya nia jenu Ntendanje nnei mpatanje kumananya mapenzi ga Nnungu gali mema, gakumpendeza na kamilifu.3Kwa maana nalugula, kwasababu ja neema jimbatile, pava kila mundu pava alimiongoni mwenunjiakapingwa ganishia zaidi juu jake vayene kuliko puikupingwa ganishia. Bali, ishikumpasa kuganishia kwa hekima, kama nneyo Nnungu avapelenje kila jumo kiasi fulani cha imani.4Kwa kuwa tushikola ibalo jaijinji katiika shiilu shimo, lakini nga ibalo yowe ishikola liengo limo. 5Nnepeyo, uwe tulibavajinji tu shiilu shimo katika Kristo, na ibalo kila jumo kwa kukanjake.6Tushikola karama mbalimbali kwa kadri ja neema mpatyilenje. ivaga karama ja mundu ni unabii, na itendeshe kwa kadri ja imani jake, 8Ivaga karama ja mundu ni huduma, na atumike. ivaga junan akwete karama ja fundisha, bai afundishe. 7Ivaga karama ja mundu ni faraja, bai afariji. ivaga kamara ja mundu ni kushoya, atende nneyo kwa ukarimu. Ivaga karama ja mundu ni kuongoza, na litendeshe kwa uadilifu, ivaga karama ja mundu ni katika kuonesha huruma, na litendeshe kwa furaha.9Pendo linave na unafiki. muchimanje uovu, mkamulanje gali ga mbone. 10Kuhusu upendo gwa ashapwanga, mpingananje mmanganya kwa mmanganya. Kuhusu heshima, nshimiananje mmanganya.11Kuhusu bidii, mnavanganje valegevu. Kuhusu Roho nkolanje na shauku. Kuhusu Bwana, mumtumishilanje. 12Furahini katika iujasiri nkwetenji kuhusu moga ga kwiya.Nkolanje na subira katika matatizo genu. Mdumu katika kujuga. 13Mshiriki katika mahitaji ga waumini. Nnoleyanje mipanda ja mijinji ja onesha ukarimu.14Mwapinjilanje baraka bowenji bakuntesanga mmanganya; mwabarikinji na wala mnawalaaninji. 15Mfurahinji pamo na vanafurahinji, mgutanje pamo na vagutanga. 16Nkolanje nia jimo mmanganya. Mnaganishianje kwa kuifuna, lakini mwakubalinji vandu vya hali ja pai. Mnakole hekima juu ja mawazo genu mmayene.17Mnalipanje mundu jojowe ovu kwa ovu. Ntendanje mambo mema mmeyo mwa bandu bowe. 18Kama inakombolekana kama ulivowekwa kungwenu, mve na amani na bandu bowe.19Wapenzi mnalipizanje kisasi mmanyene, lakini ipisheni ghadhabu ja Nnungu. Kwa maana ishijandikwa, "Kisasi ni shangune; Nne shinipe; alugula Bwana. 20Lakini ivaga adui jako ashikola shiwanga, mlishe. Avaga na njota, mnyweshe. Kwa maana utendaga nneyo shigumpalile makala ga moto juu ja ntwe gwake. 21Unalepele na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.
1Kila nafsi na jiwe na utii kwa mamlaka ja juu, kwa kuwa jakwapi mamlaka ikaveje kukoposhela kwa Nnungu. na mamlaka jipali jishivikwa Nnungu. 2Kwa nneyo jwenejo apinga mamlaka jo kukana amri ja Nnungu; na bene bakananga vala baposhelanje hukumu juu jaonji ashayene.3Kwa kuwa watawala nga tishio kwa watenda gambone, bali kwa vatenda maovu. Buli unatamani kugajogopa mamlaka? Ntende gali gambone, na shiusifiwe nago. 4Kwa kuwa ni mtumishi jwa Nnungu kungwako kwaajili ja Neema. kama shiutende maovu, jogopa, kwa kuwa akajigala upanga bila sababu Kwa kuwa ni mtumishi jwa Nnungu, jwalipa kisasi kwa ghadhabu juu ja jwejula atenda uovu. 5Kwa nneyo inakupaswa utii, nga pe sababu ja ghadhabu, bali pia kwasababu ja dhamiri.6Kwaajili jenejo pia unalipa kodi. kwakua wakwete mamlaka na vatumishi gwa Nnungu, ikaveje banaendeleanga kutenda jmabo lino. 7Mumnipanje kila jumo cha kunnonga: kodi kwa astahiriyr kodi, ushuru kwa astahiriye ushuru, hofu kwa astahiriyr hofu, heshima kwa astahiriye heshima.8Mnalongwanjwe na mundu shindu sheshoye, ikave pingana mmanganya. Kwa kuwa jwenejo akumpinga jirani jake ametimiza sheria. 9Kwa kuwa, " nkazini, ukabulaga, ukajiva, ukatamani" na kama jipali jina amri pia, jijumulishwe katika jejino sentesi: Shiumpinje jirani yako malinga ugwe nnyene" 10Upendo ukakundhuru jirani juka mundu. upendo ni ukamilifu gwa sheria.11Kwasababu ja lyeneli, mgumanynji wakati, kuti tayari wakati gwa shoka nnugono, kwa kuwa wokovu gwetu unakaribia zaidi ja gwene wakati gula twaamini gwa kwanza. 12Shilo shinaenda na muhi umekaribia. na tuvishe kunyenje matendo ga luvindu, na tuwale silaha ja nuru.13Na tujende sawasawa, kama katika nuru, nga kwa sherehe ja uovu au kolelwa. na tunajende katika zinaa na tamaa jangakomboleka kudhibitiwa, na nga katika fitina au wivu. 14Bali tung'wale Yesu Kristo, na tunavishe nafasi kwaajili ja shiilu, kwa tamaa jake.
1Mumposhelanje jojowe ambaye ni dhaifu katika imani yakali kushoya hukumu mawazo gake. 2Mundu jumo ashikola imani yalya shoshowe, juna alidhaifu analya mboga pe.3Mundu ambaye analya kila shindu asimdharau jwenejo akalya kila shindu. na jwalake ambaye akalya kila shindu asihukumiwe juna aalya kila shindu pava Nnungu amposhele. 4Ugwe ni gani, ugwe ambaye unamuhukumu mtumishi pava miliki ja mundu juna? Ni mbele ja Bwana vake ikawa kujima au kugwa. lakini shijinulwe, Pava Bwana anakombola kumtenda ajime.5Mundu jumo kuthamini liuva limo kuliko jina. juna kuthamini kikla liuva sawasawa. Hebu kila mundu na ashawishike katika akili jake nnyene. 6Jwenejo akamula moga, Anakamula kwaajili ja Bwana na jwenejo alya kulya kwasababu ja Bwana, Pava anakumpa Nnungu shukrani. Jwenejo pava akalya kuivila kwangali kulya kwaajili ja Bwana jwenejo pia hushoya shukrani kwa Nnungu.7Pava jwakwapi atama kwa nafsi jake na jwakwapi aafa kwaajili jake Nnyene. 8Pava tunatama, tunatama kwaajili ja Bwana. bai ivaga tunatama au tunawa, tunawa kwaajili ja Bwana. 9Pava gene mele ga Kristo ashiwa na tama kavili, kuti ave Bwana jwa wowe wafu na waishio.10Lakini ugwe, kwa nndi unamuhukumu ndugu yako? Na ugwe kwa nndi, unamdharau ndugu yako? pava uwe tubowe tunajima mmujo jakiti ja hukumu cha Nnungu. 11Pava ishijandikwa, " kama shingutama," avalanga Bwana "Kwangune kila lilungo shilikomwe, na kila ulimi shiushoye sifa kwa Nnungu"12Nneyo bai, kila jumo jwetu shashoye hesabu jake nnyene kwa Nnungu. 13Kwa nneyo tunaendelee kavili kuhukumiana, lakini badala jake muamue nnei, kuti jwakwapi shavishe kikwazo au mtego kwa mpwake.14Nimumanyi na nishikushawishika katika Bwana Yesu, kuti shakwapi shindu shili najisi jiyene. Ni jwenejo pe aganishia kuti shoshowe ni najisi pava kungwake ni najisi. 15Ivaga kwasababu ya chalya mpwako anahuzunika, akaowa kavili katika upendo. Usimharibu kwa shalya shako mundu ambaye kwaajili jake Kristo ashiwa.16Nneyo nnaruhusu matendo genunji mema yakasababisha vandu kuvadhihaki. 17Pava ufalme gwa Nnungu nga kwaajili ja chalya na kinywaji, bali ni kwaajili ja haki, amani na furaha katika Roho Mtakatifu.18Pava jwenejo akuntumishila Kristo kwa jinsi nnei akubalishe kwa Nnungu na akubalishe kwa bandu. 19Kwa nneyo bai, na tukagule mambo ga amani na mambo ambayo ga kumjenga mundu na juna20Usiharibu liengo lya Nnungu kwasababu ya shalya. indu yowe kwakweli safi, lakini ni vibaya kwa mundu jula ambaye kulya na kumsababishia jwenejo kujikwaa. 21Ni ya mbone yangali kulya nnyama, wala kung'wa divai, wala shoshowe shili kwa shenesho mpwako chinakunchima.22Yeneyi imani maalumu ulinago, uivishe kati jako nnyene na Nnungu. Ashibalikiwa jwejula ambae ajihukumu nnyene katika sheshila shakushikubali. 23Akwete mashaka amehukumiwa ivaga aanalya, kwasababu ikakopoka na imani, Na shoshowe shangatokana na imani ni shambi.
1Lelo uwe tungali mashili tunapaswa kujigala udhaifu wa wangali dhaifu, na hatupaswi kuipendeza ashayene. 2Kila jumo jwetu ampinje jirani njake kwani ni jambo lya mbone, kwa lengo la kumjenga.3Kwani hata Kristo akanakunpinja nnyene. Badala jake puyaliji malinga pwijandikwe, "Matukano ga vene anganya bakutukenenje ganipoatile nne" 4Kwa sheshoye shilongolele kujandikwa, shajaandikwe kwa kutulugulila, kwa mele kupitila uvumilivu na kupitila kutagwa ntima na majandiko tukakwete ujasiri.5Lelo Nnungu jwa vumilia na vataga ntima awapanganje kuva na nia sawa kwakila jumo kulingana n a Yesu Kristo. 6Akombole kutenda nnei kwa nia jimo mkombolanje kumsifu kwa kang'wa sjhimo Nnungu na Awawa wa Bwana vetu Yesu Kristo. 7Kwa nneyo mumposhelanje kila jumo, malinga nneyo ashitekwamposhelanga, kwa utukufu gwa Nnungu.8Kwani nalugula kuti Kristo ashitendwa mtumishi wa tohara kwa niaba ja ukwelijwa Nnungu. Ashitenda nnei kuti akombole kuthibitisha ahadi shishoshiwe kwa mababa, 9Na kwa mataifa kumtukuza Nnungu kwa neema jake, kama malinga puijandikwe, "Kwa nneyo shinjoye sifa kwako miongini mwa Mataifa na jimba sifa katika lyina lyako.''10Kavili inalugula "Furahini mmanganya bandu ba mataifa, pamoja na vabdu vakwe" 11Na kavili "Munng'inyanje Bwana, mmanganya bandu ba mataifa gowe; mwalekanje bandu ba mataifa gowe banng'anyanje yeye"12Kavili Isaya alugula, "Shilipagwe na litepo lya Yese, na jumo shajime kutagwala juu ja mataifa. Mataifa shivakole na tumaini katika venevo".13Lelo Nnungu gwa tumaini awagwambalanje na furaha jowe na amani kwa kuamini, ili kwamba mkombolanje kushuluka katika tumaini, kwa mashili ga Roho Mtakatifu.14Nne namwene pia njishawishiwa na mmanganya ashapwanga. nshishawishiwanga kuti pia nkali mmanganya mwashayene nshugumbanyangwe na mema, nshigumbanyangwa na maarifa gowe. Njishawishiwa kutrti, mmanganya nnakombnola pia kuhimiza kila jumo na njake.15Lakini ninajandika kwa ujasiri zaidi kungwenu juu ja mambo fulani ili kwakumbushilanga kavili, sababu ja kipawa mbatile na Nnungu. 16Kipawa chino shaliji kuti nikombole kuti mtumishi gwa Yesu Kristo atumilwe na mataifa, kuishoya kama kuhani gwa injili ja Nnungu. kali ngakombolwe kutenda nnei ili kwishoya kungwangu kwa mataifa kuwe kupinjillwe, kushitengwa na Nnungu kwa mpanda gwa Roho Mtakatifu.17Nneyo furaha jangu jili katika Kristo Yesu na katika mambo ga Nnungu. 18Kwani ngakombola kuthubutu kuveleketa gogowe ikanave kuti Kristo ashakamilisha kupitila kungwangu utii gwa mataifa. Aga mambo gashitimizwa kwa lilowe na tendo. 19Kwa mashili ga ishara na maajabu, na kwa mashili ga Roho mtakatifu. Yenei puyaliji pava kuti koiposhela Yerusalemu, na timbilila kwa talika kama Ilirikop, ngombole kujijigala palanga kwa ukamilifu injili ja Kristo.20Kwa mpanda gwenegu, nia jangu jishiva kutanga injili, lakini ngava mahali Kristo anamanyikana kwa lina, ilio kuti mnakombole kushenga juu ja msingi gwa mundu juna. 21Kama puijandikwe: "Ambao kwa venevo bangakolanga habari jake alikwiya watamwona, na vevala ambao bangampilikana tabamanye."22Kwa nneyo naliji pia nishikuzuiliwa malajigwinji kwiya kungwenunji. 23Lakini lelo, nangali kavili sehemu jojowe katika mikoa jino, na njiva ndendapinga kwa yaka yejinji kwiya kungwenu.24Nneyo mara jowe ningwenda Hispania, njitumaini kuwaonanga mbitaga, na kukiombola kupelekwa mpanda gwangu na mmanganya, badala jaava njifurahi ushirika na mmanganya kwa muda. 25Lakini lelo ngungwenda Yerusalemu kwahudumianga waumini.26Maana ishikwavajilanga vandu na Makedonia na Akaya kutenda changizo maaalumu kwa maskini miongoni mwa waumini kweneko Yerusalemu. 27Elo ishikuva kwa upendo gwaonji, na hakika vashivavanganga wadeni waonji. Maana ivaga mataifa bashishiriki katika mambo gaonji ga kiroho, vanalongangwa na waonjib pia kwahudumianga katika mahitaji ga indu.28Kwa nneyo, wakati njikamilisha nnei pava na utoshelevu kwa alino litunda kungwaonji nne shinyende mumpanda pamoja na mmanganya huko Hispania. 29Nimumanyi kuti , wakati nyiaga kungwenunji, shinyie katika utimilifu gwa baraka ja Kristo.30Lelo ngunakwasihinnji, apwanga , kwa Bwana gwetu Yesu Kristo, na kwa upendo gwa Roho, kuti mshiriki pamo na nne katika maombi getu kwa Nnungu kessjili jangu. 31Mjuganje kuti mkombole kuokolewa kukoposhela kungwao bangali na utii katika Yudea, na kwamba huduma jangu kweneko Jerusalemu ikombole kuposhelewa na waumini. 32Mjuganje kuti ninakombola kwiya kungwenu kwa furaha kupitila mapenzi ga Nnungu, na kuti nikombole kuva pamoja na mwee, kupata kupumulila.33Na Nnungu jwa amani ave pamoja na mmwe bowe. Amina
1Na kumkamuyanga Fibi alumbu venunji, pava vatumishi va kanisa pava kulili Kenkrea, 2Ivaga kuti mnaweza kumposhelanga katika Bwana. ntendanje nnei katika kicho cha thamani sha waumini, na mjimangane pamo navo katika jambo lyolyowe ashapinje na uhitaji nago. Maana jwenejo nnyene ashiva mhudumu jwa vavajinji, kwaajili jangu nawene.3Munsalimie Prisca na Akila, watenda maeongo pamo na nne katika Kristo Yesu, 4kwakua maisha gangu bashikuhatarisha maisha gaonji ashayene, Nnashoya shukrani kungwaonji, na ngava nne penenne, bali pia kwa makanisa gowe ga Mataifa. 5Ulisalimie likanisa ambalo lili kungwaonji, Msalimie Epanieto mpendwa gwangu, mvelekwa gwa kwanza gwa Kristo katika Asia.6Gunsalimie Mariamu ambaye ashitenda liengo kwa bidii kwaajili jenu. 7Gunsalimie Androniko Yunia, ashalongo ajangu, na vatawanga pamo na nne ba muhimu miongoni mwa Mitume, ambao washikulongolele kummanya Kristo kabla jangu. 8Gunsalimie Ampliato, mpendwa gwangu katika Bwana.9Gunsalimie Urbano, mtenda liengo pamo na nne katika Kristo, na Stakisi mpendwa gwangu. 10Gunsalimie Apele, nnyene pingwa katika Kristo. Mwasalimianje wowenji ambao balinginji katika nyumba ja Aristobulo. 11Nisalimie Herodioni, nnongo nnjangu. Mwasalimie bowenji bali katika nyumba ja Narkiso, ambao bapalinji katika Bwana.12Gunsalimie Trifaina na Trifoso, batendanga kazi kwa bidii katika Bwana. msalimie Persis mpendwa, pava shitenda kazi zaidi kwa Bwana, 13Nisalimie Rufo, agwile kwa Bwana na akwave na jwangu. 14Gunsalimie Asinkristo, Flegon, Herme, Patroba, Herma, na shapwanga wowe wali pamo navo.Gunsalimie Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na na waumini wowe wali pamo nago. Nisalimie kila jumo kwa busu takatifu. makanisa gowe katika Kristo17Lelo nnkuwasihi, ashapwanga, kuganishaia juu ja anganyao kuti sababisha mgawanyiko na ipingamizi, banakwendanga kinyume na mafundisho ambayo kumwijegenyenje. mtendeukanje mkopoke kungwao. 18Kwamaana vandunji kama veneva banakuntumkia Kristo Bwana, bali matumbo gaonji ashayene. Kwa malowe gaonji galaini na pongezi ja unami banatembenga mitima ja bangali hatia.19Kwa mfano gwa utii gwenunji unakumfikia kila jumo. Kwa nneyo nafurahi juu jenunji, lakini ngunakumpinganga mmangannya mkolanje busara katika hali ja wema, na kutokua na hatia mmujo ja uovu. 20Nnungu jwa imani akakawa kumwangamiza shetani pai pa inyayo jenu. Neema ja Bwana Yesu Kristo jiwe pamo na mmanganya.21Timotheo, ntenda maengo pamo na nne, akwasalimia, na Lukio, Yasoni na Sospeter, ashalonga ajangu. 22Nne Tertio, nyandishe walaka gwenegu, na kunsalimunji katika lina lya Bwana.23Gayo, anaelile na kwa kanisa lyowe, linakwasalimu. Erasto, mytunza hazina gwa mji, anakwasalimia, pamo na Kwarto ali mpwake. 24(Zingatia: katika nakala halisi ja kwanza, aguno mstari gu gwakwaa. Nlolanje Warumi 16:20. "Neema ja Bwana Yesu Kristo itame na mmanganya bowe. Amina.'')25Lelo kukajwenejo akwete uwezo kutenda mjimangane kulinga na injili na mafundisho ga Yesu Kristo, kulingana na ufunuo gwa siri iliojificha kwa muda mrefu, 26lakini lelo jiunukulwe na kutendwa kumanyikana na maandiko ga unabii kulingana na amri ja Nnungu gwa milele, kwa utii gwa imani miongoni mwa mataifa gowe?27Kwa Nnungu jika akwete hekima, kupitila Yesu Kristo, kuve na utukufu milele jowe. Amina
1Paulo,ashikushemwa na Kristo Yesu kuti mtume kwa mapenzi ga Mnungu,Sostethene Mpwetu, 2Kwa likanisa lya Mnungu lili kukorintho,kwa likanisa lya Mnungu lili kukorintho,kwa vevalanji wawishi lwenjwe wakfu katika Yesu Kristo ambao vashemilowenje vandu watakatifu.Tunakwajandishilanga mnepeila vevalanji vakulitaganga lina lya Awawa yetu Yesu Kristo katika mahala popowe,Awawa wao na wetu. 3Baraka na amani ive kwenunji kushoka kwa a Mnungu awawa yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.4Mowa gowe nakwashukuru a Mnungu wangu kwa ajili jenunji kwa sababu ya baraka ja Mnungu ambayo Kristo Yesu ashikupengwa . 5Ashikumtendanga mmanganje matajili kila mpanda,katika kuveleketa na maarifa gowe. 6Ashikumlendanga matajiri,kama mshuhudia nje kuhusu Kristo kwamba ashithibitishwa kuwa jwa kweli mmiongoni mwenunji.7Kwa hiyo hakapungushiwanga karama ya Kiroho,mbuti pumkwetenje na hamu ja kulindila ufunuo gwa Bwana wetu Yesu Kristo. 8Shimmikwanje imara mmanganya mpaka mwisho ili mnalaumiwanje lyuva lya Bwana wetu Yesu kristo. 9Mnungu ni mwaminifu ambaye ashikumcheza manga mmanganya katika ushirika gwa mwana jwake,Yesu Kristo Bwana Wetu.10Lelo nakumjuaganga asha kaka na ashadada yangu,kupitila lina lya Bwana wetu Yesu Kristo,kwamba mmowe mumkubalinji na kunapangwe kugawanyika mmiongoni jenunji.Nakumjiganga kwamba mngungananje pamo katika nia jimo na katika likusudio limo. 11Kwani vandu va nyumba ja kloe vashitaarifarinji kuti gushipangwa mgawanyiko guendelea katika miongoni mwenunji.12Njikola ajinomaana:Kila jumo jwenunji anaveleketa,''Mne ni juka Paulo,''au''Mne ni juka Apolo,''au Mne ni juka Kefa,''au ''Mne ni juka Kristo.'' 13Je!Kristo ashigavanyika?Je!Paulo asjikuteswa kwa ajili jenunji?Je!mchikubatizwanga kwa lina lika Paulo?14Nakwashukuru a Mnungu kwamba nangambatiza jojowe,isipokuwa Krispo na Gayo. 15Aji ra kwamba jwakwa jojowe jwajugulu mchibatizwanga kwa lina lyangu. 16(Tena njikwabatizanga vanyumba ja Stephania.Zaidi ja pepala ngakumumanya kuti nji kumbatiza mundu juna jojowe).17Kwa kuwa,Kristo anganduma kubatiza bali kutangaza injili.Hanganduma kutangaza maneno ga hekima ga kibinadamu,ili kwamba nguvu ya msalaba gwa Kristo gunashoywe.18Kwa kuwa ujumbe gwa msalaba ni upuuzi kwa vene vawanganga.Lakini kwa vevala akwaokoanga Mnuni,ni nguvu ja Mnungu. 19Pawa ishikujandikwa,''shinijiharibu heshima jake akwete busara.Shiniuaribie ufahamu gwa wakwetenje akili.''20Kwali kwei mundu akwete busara?Kwali kwei akwete elimu?Kwali kwei jwavelekete na jwashawishi padunia ajino?Kwa jiyo Mnungu angajigeuza dunia kwa ujinga? 21Tangia dunia pujalijina hekima jake jangammanya Mnyngu,ishikumkonja Mnungu katika ujinga gwaonji gwa kutangaza ili kwaokoanga vaamininji.22Kwa Wayahudi vanavuyanga ishara ya miujiza na kwa Wayunani kuloleya heshima. 23Lakini tuna kumtangaza Krisho atesilwe,ali kikwazo kwa wayahudi na ni ujinga kwa Wayunani.24Lakini kwa vevala bashemilwenje na Mnungu wayahudi na Wayunan,tunakumtangaza Kristo mbuti nguvu na heshima ja Mnungu. 25Pava ujinga gwa Mnungu gushikola heshima kuliko gwa binadamu,na udhaifu gwa Mnungu gushikola nguvu kuliko gwa Wanadamu.26Mnolanje kushemwa kwa Mnungu juu jenunji,ashakaka na ashadada yangu.Mngaa gwinji gwenunji mchikuvele kwanga kwa ukulungwa. 27Lakini Mnungu ashikuagula indu ya ujinga ya dunia ili kuaibisha ya heshima .Mnungu ashikushiagula shizohofishe kudumia ili kushiabishisha shikwete nguvu.28Mnungu ashikushiaguka shaliji hali ja pai na shizalaulishe kudunia.Vashikuagula mkali indu yanga hesabiwa kuwa indu,na kuitenda mngaa indu kuimdu ya thamani. 29Bashikutenda mnei ili anapagwe akwete sababu ja kuifunila pammujo jawo.30Kwa sababu jejila Mnungu jajilendile,lelo muninginji muka Kristo Yesu,ambaye apegwilwe heshima kwa ajili jenunji kushoka kwa Mnungu. 31Mbuti matokeo,mbuti matokeo,mbuti liandiko puliveleketa,''Akwisifu,aisifu katika Bwana.''
1Punaishe kwenunji asha kaka na asha dada yangu,nangaika na malowe ga ushawishi na heshima mbuti pundengeshe kweli iishie kuhusu Mnungu. 2Njikuanwa mngashimanya shoshowe punaliji mmiongoni jenunji isipokuwa Yesu Kristo,na jwenejo ateswile.3Na punaliji na mmanganya katika udhaifu na hofu,na katika kutetemeka kaje. 4Na ujumbe gwangu na kutangaza kwangu kukalijiji katika malowe gu ushawishi na heshima.Badala jake galiji katika kumgazilisha Roho na jwa nguvu, 5Ili kwamba imani jenunji jinawe katika heshima ja wanadamu,bali katika nguvu ja Mnungu.6Lelo tunakujivelekete heshima miongoni mwa wandu wakulungwa,Lakini mnga heshima ja dunia jino,au ja watu wa langu aguno muda guno,ambao vapitanga. 7Badala jake,tunavelekete heshima ja Mnungu katika ukweli gwishie,Heshima jiishe ni ambayo Mnungu ashikujiagula kabla ja muda jwa utukufu gwetu.8Jwakwa jojowe jwa watawala wa aguno muda guno ajimanyi ajino heshima jino,kama vakajimanyinji agula mulagula,waka na mtesanje Bwana jwa utukufu. 9Lakini mbuti pwijandishwe we,''Mambo ambayo likwa liyo ligugaweno,na lyakwa lishikilo ligapilikene,mawazo gangafikiriya,ni mamba ambayo a Mnungu vashikugaa ndaa kwa ajili ja wewala wapinjilenje vene.''10Aga ni mambo ambayo a Mnungu vashikugaunukula kwetuwe kupitila Roho kwa kuwa Roho uchunguza kila shindu mkali mambo ga mnyumba ga Mnungu. 11Kwa kuwa jwakwa afahamu mawazo ga ka mundu Isipokuwa mtima gwa mundu mnyumba jake?Kwa mneyo gwakwa akugamanya mambo ga mnyumba ja Mnungu,isipokuwa mtima gwa Mnungu.12Lakini twanguposhela Roho jwa dunia,Lakini Roho ambaye anashoka kwa Mnungu,ili kwamba tukombole kugamanya kwa uhuru mambo gutugwilwe na Mnungu. 13Tunalugula aga mamboya kwa malowe,ambago heshima ja mundu akamanya kufundisha.Lakini ambago Roho anakutufundisha ha.Roho anatusafiri malowe ga kiroho kwa heshima ja Kiroho.14Mundu angava na kiroho akapashela mambogo ni ga Roho Mnungu,kwa kwa agani upuuzi kwake.Akaweza kugamanya kwa sababu gana manyikani Kiroho. 15Kwa jwene jwa kiroho anahukumu mambo gowe.Lakini kuhukumiwa na vananji. 16Ni gani anaweza kugamanya mawazo ga Bwana,ambayo guvakombola kufundisha vene!Lakini tushikola mawazo ga Kristo.
1Na mne,asha kakana na asha dada yangu,nangaveleketa na mmanganya nuti wandu wa Kiroho,lakini kama vandu vya kumwili, mbutina vana vasho ko katika Kristo. 2Njikungwe yanga mavele na mngaa mnyama kwa kuwa mkalinginjinji bado kwa kulya mnyama.3Kwa kuwa mmanganya bado mmwashilunji kwa kuwa wivu na majivuno ganaonekana mmiongoni mwenunji,Je ,mkatamanga kulingana na shiilu,na mkaowanga kama kawaida ja kibinadamu? 4Kwa kuwa jumo analigula,''Nakumkagula Paulo'' Juna alilugula,''Nakumkagula Apolo,''Mkatamanga mbuti binadamu? 5Apolo ni gani?na Paulo ni gani?vatumishi bavevala vangamininji,kwa kila ambaye Bwana ashikumpa majukumu.6Mne njikupata Apolo gwatajile mashi,lakini Mnungu gwaikuzie. 7Kwa mneyo,mngaa apandite wala alajile mashiangali shoshowe.Lakini Mnungu akuza.8Lelo apanda na atega mashi vowe sawa,na kita jumo shaposhele mshahara kulingana na kazi jake. 9Kwa kuwa uwe tunatenda maengo ga Mnungu,mmanganya ni bustani ja Mnungu,Lijengo lya Mnungu.10Kushokana na baraka ja Mnungu jimbe gwilwe kama mjezi jwa mkulungwa,punaliji msingi na juna anshenga panani jake.Lakini mundu awe makini pashenga pananipo. 11Kwa kuwa jwa kwa juna akombola kushenga msingi huna zaidi gushenjilwe,ambao ni Yesu Kristo.12Lelo kama jumo anashenga pananijake kwa dhabu,fedha,maganga ga thamani,mikogo,manyaki au maamba, 13Liengo lyake shiliungu kulwe ,kwa mwanga gwa mwi na shigwi hakikishe kwa kuwa shangwi hakikishe na moto moto shigilinje ubora gwa liengo lya kila jumo lyatendile.14Kama shindu shosho we shashe,njile shishigale,na jwene shapo shele zawadi. 15Lakini kazi jika mundu jipyagaga na moto shapate hasara.Lakini jwene mnyene shao kolewe ,mbuti mneila kuepuka pamoto.16Mkakumanyanga kuti mmanganya ni hekalu ja Mnungu na kwamba Roho jwa Mnungu anatama mnyamba jenunji? 17Mwanaga mundu aalibuji hekalu ja Mnungu ,Mnungu shamngalibie jwene mundu jula.Kwa kuwa hekalu ja Mnungu ni takatifu,na mneyo na mmanganya.18Mundu anaitembe mnyene kwamba jojowe miongoni mwenunji anaganishia kuti ashikula heshima aguno muda guno,awe mbuti,''Mnjinga ''na ndio shewe na heshima. 19Kwa kuwa heshima ja mneino kudunia ni ujinga pamujo ja Mnungu,Pawa ishijandikwa Banalanjilanga vakwetenje heshima kwa ila yawoni.'' 20Na tena,''Bwana va mumanyi kuti mawazo ga vakwetenje busara ni ubatili.''21Kwa mneyo mundu anaifunite wanadamu kwa kuwa indu yawe yetu. 22Kama ni Paulo au Apolo,au Kefa ,au dunia ,au maisha kuwa ,au indu ipali ,au ipingwapagwa.Yowe ni yetu, 23Na mmanganya ni jwa wa Kristo na Kristo ni jwa Mnungu.
1Mneyi ndio mundu pakutu hesabu uwe,kama vatumishi wa Kristo na mawakili wa siri ya kweli ya Mnungu. 2Katika hali shipinjikwa kwa uwakili ni kwamba bawe wa kutumaniwa.3Lakini kwangu mne nishindu shishoko kaje kuti ningukumiwa na mmanganya au ukumu ja kibinadamu.Kwa kuwa ngakwihukumu mne nemwene. 4Ngakwihukumu mne nemwene,haki jangali maana kuti mne njiko la haki.Ni Bwana bangukumuwo.5Kwa mneyo,mnahigulanje hukumu jojowe kabla ja mudu,kabla ja kwia kwa Bwana.Shivagajia najo mwaonekana mwamba gaishiwe palu windu na kuunukulwa makusudi ga mitima.Na ndipo kila jumo shaposhele sifu jake kushoka kwa Mnungu.6Lelo asha kaka na asha dada yangu,mne nemwenge na Apolo njitumia hai kanuni hii kwa ajili jenunji .Ili kwamba kushoka kwa tuwe mnaweza kwifundishanga maana ja usemi,''Unajende zaidi na pushijandishwe.''Haji ni kwamba jwakira wala jumo hakwifunila kukamnjake. 7Maana ni gani akujiona tafauti kati jenunji na juna?Ni shindi shimkwe mwanga shiposhelagwa yoyo?Mwanaga mwaposhelo gwa yoyo ,kwa indi mna kwifunanga kuti mwanga tendanga mneyo?8Tayazi mkwetenje yowe imwipinjile! Tayari mkwetenje utajili!Mtandwiwinje kutawala-na kwamba mnamilikinji zaidi jetu we!Kweli na kumpinjilanga umilikigwa mmone ili kwamba tumiliki pamo na mmanganya. 9Kwa mneyo nadhania a Mnungu vashikutuika uwe mitume mbuti kutulanguya wa mwisho katika mstari gwa maadamano na mbuti vandu vahukumiwenje kuwa.Putuli mbuti litamasha kuulimwengu,kwa malaika na kwa wanadamu.10Uwe ni vajinga kwa ajili ja Kristo,lakini mmanganya mma heshima katika Kristo.Putuli wanyonge,lakini mmanganya mchikolanga nguvu.Mnaheshiwanga,lakini uwe tunadharauliwa. 11Mkali agu muda gu tushikola shiwanga na mnjota,twangalimnguo,tushilkola mapigo,na tena twangali makazi.12Tunatenda liengo kwa bidii,na kwa mikono jetu tuvayene.Putizalauliwa,tunabariki.Muda gututeswa,tunavumilia. 13Pututukawa,tunaujajo kwa upole.Tukulile na bado tunahesabiwa kuwa kama kukamwa na dunia takalaka kwa mambo gowe.14Ngajandika aga mambo ga kumngaibishanga mmanganya,lakini kumrudianga mmanganya mbuti wana wangu mbumpinganga. 15Hata kama mkwetunje walimu elfu kumi.Katika Kristo,mwangalinji asha wawa vavajinji kwa kuwa niva awawa yenunji katika Yesu Kristo kupitila injili. 16Kwa mneyo na ku mjuganga mnandanje mne.17Na jene ndio sababu jina mtumile Timotheo,mpendwa jwangu na mwana mwaminifu katika bwana.Shamkumbushanje mipanda jangu katika Kristo,kama pungufundisha kila mahala na kila kanisa. 18Lelo baadhi jenunji wana kwisifunji,na bali tendanga kuti ngaika kwenunji.19Lakini shinyie kwenunji kitambo,kama Bwana apingaga,Na ndio shiniumanye mngaa malowe gawonji pe wakisifunji,lakini shinione nguvu yaonji. 20Kwakuwa ufalme gwa Mnungu gukawa katika malowe bali katika nguvu. 21Imkupinganga indi?Nyie kwenunji na shiboko au kwa upendo na katika mbima gwa upole?
1Tushipili kana taarifa kuti gushipangwa umalaya mmiongoni mwenunji,ainaja umalaya ambaye hwakwa hata pakatija wandu wa Mataifa Tushikola taarifa kuti jumo jwenunji anagona na gwandonya jwa awawa yawo. 2Na mmanganya mnakwisifunji!Badala ya kukola na huzuni?Jwene atendile mneyo anapingwa ashoywe mmiongoni jenunji.3Ingawa nangawa pamo na mmanganya kwa shiilu lakini puni pamo na mmanganya kwa mtima,nimpele adhabu jwene atendile mnei,kama mneile punaliji. 4Pumkuimananga pamo katika lina lya Bwana wetu Yesu,na mtima gwangu gupalipopala kwa nguvu ya Bwana wetu Yesu,na nimngu kumu aju mundu ju. 5Nimkabidhi aju mundu ju kwa mashetani ili kwamba shiilu shake shiharibiwe,ili mtima gwake,gukombolwe kuo kuolewa katika lyuwa lya Bwana.6Kwiuna kwenunji ngaa shindu sha mbone.Mkakumumanyanga kuti shangalimana shimo shinaharibia yambone yowe? 7Mwiukangane mmanyenenji ili kwamba ya shashama ya bukara,ili iwe a nonga ya mpya,ili mmanganje mkate gwa shashama.Kwa kuwa Kristo,mwana jwa ngondolo jwetu jwa pasaka ainjilwe. 8Kwa mneyo tusherekee karamu ngaa kwa shasha ma kwa bukara,kusha kwa tabia jangalimana na ngaa jambone.Badala jake,tusherekee na mkate gwangatagwa kushashama kwa kunyenyekee na kweli.9Njikujandika ku barua jangu kwamba mnaanganikanji na wamalaya. 10Nangali maana wamalaya wa dunia aji,au vakwetenje tamaa au vanyanganyanga au kumnjuga shanamu kwa tama mbali naonji,bai mnapingwanga mchokanje kudunia.11Lakini lelo na kumjandishilanga mnaianganyanje na jojowe ashemwa kaka au dada katika kristo,lakini anatama katika umalaya au ambaye anatamani,au mnyang'anyi au anaabudu sanamu,au jwatukana au jwakolelwa .Wala mnalyenangonji mundu jwa namna aji. 12Kwa mneyo shinishuhwinishe buri kwa huku munji valinginji pilanga ja likanisa?Badala jake,mmanganya mwanga ukumunji walinginji mnyumba ja kanisa? 13Lakini Mnungu ana kwahukumunji valinginji pilanga.''Mu chiyanje mundu mwalibifu miongoni jenunji''
1Jumo jwenunji pakola na litatizo na kamnjake,Ashikuthubutu kwenda kwa mahakama ga wangalinji haki kuliko mmojo ja waumini ? vatukananga-jwakwa mmiongoni jawonji apinga ridhi ufalme gwa Mnungu.
1Kuhusu mambo gumnyandishilenje:Gushipangwa muda ambapo ni vzuri mwanaume anagone na akongo wake. 2Lakini n kwasababu ja majaribu gamajinji ga zinaa bai kila mwanaume awena akongo wake,na kila jwandonja awe na mmbujegwe.3Mume anapingwa ape mkagwe haki ja ndoa,na mnepeyo gwandonya kwa ambujegwe. 4Mnga jwandonya akwete mamlaka juu jashilusheke,ni mme.Na mne peita mwanaume hangali mamlaka juu ja shiilu shake,bali mkangwe akwete.5Mnajimananje pumkugonanga pamo,ila mkubaliananje kwa muda maalumu.Mtendanje mneyo ili mpatanje muda gwa maombi.Na alafu mnaweza ludiananga tena pamo,ili kwamba lishetani ana kumninganga kwa kukosa kiasi. 6Lakini na veleketa aga mamboga kwa hiari na mngaa kwa amri. 7Natamani kila jumo akalijimbuti puni mne lakini kila jumo ashikola makarama gake kushoka kwa Mnungu.Aju ashikola karama aji na ajula ashikola karama ajila.8Kwa vangalombwanga vajane ngunaveleketa kwamba,ni vizuri kwaonji kama vaigalaganga bila kulombwa,mbuti puni mne. 9Lakini kama vakakombolanga kwiiwila,vana paswanga kulombwa.Kwa kuwa heri kulombwa kutiko kuwaka tamaa.10Lelo kwa vevala valo mbilwenje na kwapanga amri.,mngaa nne,bali Bwana.''Jwandonja analekane na jwa mnume.'' 11Lakini aitengaga na mbujegwe,aigale mneyo peyo bila kulombwa au labda apatane na mbujegwe.Na''jwa shileu anampe taraka mkangwe.''12Lakini kwa vaigelenje,naveleketa mne,mngaa Bwana-kwamba kama ndugu jojowe ashikola mkangwe akaamini na anaridhika kutama najo,akapingwa kumneka. 13Mwanaga jwandonya ashikola jwa shileu akaa,mini,na kama anaridhika kutama najo,Anamnoshe. 14Kwa jwashile angali imani anatakaswa kwa sababu ja imani ja akahwe .Na jwandonya angali na imani anatakaswa kwa sababu ja mmbujegwe aaminiyo.Kwa mneyo vana venunji bakaringingi mngaa safu,lakini kwa kweli bashi kutakaswanga.15Lakini mnjake akaamini ajaulaga na ajende.kwa namna aji kaka au dada hakatawa kwa viapo vyaonji mnungu ashikutoshema tutame kwa amani. 16Pumkumumanya bali kwa kuwa mmandonya pane shimumng'okoe Ambuje venu?Au shanimu manye buli mmashileu,shimwaokoe Akongo venu?17Kila jumo anapingwa atama na maisha mbuti Bwana puvatuge venye,Kila jumo mbuti Mnungu pava shemilenje venevonji.Haguno ni muongozogwa makanisagowe. 18Apali ang'andilwe pashe milwe kuamiini?Analinjo kujaula alama ja ujinga gwake.Apali jojowe ashemilwa katika imani angang'andwa?Hakapingwa kung'andwa. 19Kwa lyelino anga'andilwe wala angang'andwa gakwa matatizo.Ikwete matatizo ni kukubali amri ya Mnungu.20Kila humo aigale katika kushemwa na Mnungu kuamini. 21Mchikwa matumwa muda Mnungu pamche mile?Mnalaje kuhusu lyenelyo.Lakini mwanaga shimkombole kuwa huru katika Bwana.Mbuti mneila ali huru pashemilwe kuamini ni mtumwa jwa Kristo. 22Kwa jumo ashemilwe na Bwana kama mtumwa ni mundu huru katika Bwana.Kama mneila jumo ali huru pashemilwe kuamini ni mkimwa jwa Kristo. 23Mng'umilwenje kwa thamani kwa mneyo mnavanganje vatumwa wa wandunji. 24Kaka na dada zangu,katika maisha getu gogowe kila,jumo jwetu putushemilwe kuwa amini,bai tuigale mnepeila.25Lelo vevala vowenji ambao vangalombanga wala nangali amri kushoka kwa Bwana.Lakini na kumpanganga maoni gangu kama puni.Kwa huruma ya Bwana,iyamini 26Kwa mneyo nafikiria kwa sababu ja usumbufu,ni bora mwanaume aigale mbuti pali.27Mchiugalwa kwa jwandonywa kwa kuapa kwa ndoa?Mnapinje uhuru kusho ka kwajene.Mchikola uhuru kushoka kwa mke au angalombwa? Mnaloleye Mke. 28Lakini mwanaga mnombaga,mwangatenda dhambi.Na kama jwandonya angalombwa,alombwaga,angatenda dhambi.Bado vevala walombenenje vanapatanga masumbufu ga aina mbali mbali.Namne napinga nimpishanishenje na genego.29Lakini punguveleketa mneyi,asha kaka na ashadada gangu,muda ni gwamng'upi.Tangia mneino na kuendelea,vevala wakwetenje wandonya vatamanje mbuti vangalinji. 30Wowenji vakwete huzuni baitendanje ,buti vangalinji huzuni,na wowenji wafurahia njiji kama vangalinginji furaha,na wowenji vaumilenje shoshowe ,mbuti vangamili kinji shoshowe. 31Na wowowenji vashughulikane na ulimwengu,vavanganje mbuti vangashughulikanga nao.kwa kuwa mitindo ja dunia jinaika pa mwisho gwake.32Napinga mmanganje huru kwa masumbufugowe.Mwanaume angalomba aihusishe na indu ikwausu Bwana,namna ja kwa konjavene. 33Lakini mwanaume alombile anakwihusisha na mambo ga dunia,namna ja kwapendeza akongovavo. 34Jwandonya angalombwa au jwangajinjilililwa anakwihusisha na indu kuhusu Bwana,namna ja kwitenga katika shiilu na katika roho.Lakini jwandonya alombwilwe ana kwihusisha na indu ya dunia,namna ja kumfurahisha mume jwake .35Naveleketa mnei kwa faida jenunji,na ngavika mtengo kwenunji.Naveleketa mnei kwa vile ni haki,ili kwamba mnawezanga kwivika wakifu kwa Bwana bila shikwazo shoshowe.36Lakini kama mundu anafikilia hakakombola kumtendela kwa heshima mwana wali jwake,mneshe sababu ja hisia yake ishikola nguvu kaje,mneshea lombane najo mbuti paapinga.Nngaa shambi. 37Lakini mwanaga atendile maamuzi gangalomba, na jwakwa sababu ja lazima na kama anaweza kutawala hamu jake,shatende ukoto mwanaga shamnombe. 38Kwa mneyo,akumnomba mwanawali jwake anatenda yambone,na jojowe apingaagula mngalomba shatende yambone kaje.39Jwandonya ashilawa na mbujegeve ali jwa mkoto.Lakini mwanaga jashileu awagaga,shawe na uhuru gwa lombwa na jojowe akumpinga,lakini katika Bwana pe. 40Bado katika maamuzi gangu,shewenafuraha kaje kama shatame kama paaliji.Na ngunaganishia na mne njiko la Roho jwa Mnungu.
1Lelo kuhusu yalya ushoshewe sadaka kwa sanamu:tunikumumanya kwamba,''uwe tubowe tukwetu maarifa,''Maarifa ganakwianajo kwidai,na upendo gunashenga. 2Ifaga mundu jojowe anaganishia kwamba anakummanya shindu fudani,jwene mundu jo akakombola mbuti pwikupingwa kukombola. 3Lakini iwaga jumo jwawonji alikumpinga Mnungu,jwene munduju anamanyikana.4Bai kuhwa kula yalya yake ishoshiwe sadaka kwa sanamu:Tumumanyi kuiti,sanamu mngaa shindu katika dunia jino,Na kwa kuwa jwa kwa Mnungu ili jumopa.'' 5Kwa maana vapalinji vavajinji vashemwanga miungu paulimwengu na padumia mbuti mneila pubalingini miunguni na mabawana wawajinji.'' 6''Japo kuwa kwetuwe vashipagwa a Mnungu vamope ambae ni Baba,indu yowe ishishoka kwawo,na uwe tunatama kwawo,na Bwana vamo Yesu Kristo,ambaye kwawo indu yowe yapali,na kwa venevyo uwe tupali.''7Mkali mneo agu ujuzigu gwa kwapi kwa kila jumo,Badala jake vananji vashikushirikinji kumjuga sanamu hapo bukala, na mkali mneino vanalyanganga yalya aino kana kwamba ni shindu shishoshi we sadaka kwa sanamu.Makusudio gawonji gashiviywa kwa kuona ni dhaifu.8Lakii shalya shika kututhibitisha uwe kwa Mnungu.Uwe mngaa twavabaya kaji tukalye,wala wema kaje tulyagaga. 9Lakini mmanganje makini kwamba uhuru gwenunji gunave sababu ja kumkwaza ali dhaifu katika imani. 10Hebu mfikirieti kwamba mundu amweni ,mmwe mkwete na ujuzi,Mnilyashalya katika hekaluja sanamu.Thamila jawo awa jikathibitika mkali jwene alye yalya ishoshiwe sadaka kwa sanamui?11Kwa mneyo kwa sababu ja ufahamu gwa je gwa ukweli juu ja asili ja sanamu,kaka au dada yawo vali dhaofu,ambayo pia Kristo ashikuwa kwa ajili jake,atiange mizwa. 12Kwa mneyo pumkutenela dhambi dhidija akaka na adada yawo na kwiumiza dhambi na kuaribia dhambi yaonji yangalimana mnatendanja mashambi zaidi ja kuzidi dhidi ya Kristo. 13Kwa mneyo,ivaga shalya shinasababisha kumkwanza kaka au dada ngalya mnyama kamwe,ili mnamsababishashe akaka au au dada yangu kugwa.
1Mne nangali uhuru?Mne ngaa mtume? Mne nmangammona Yesu Bwana jwetu? Mmanganya mngaa matunda ga liengo lyangu katika Bwana? 2Ivaga mne mngaa mtume kwa vananji,angalau mtume jwenunji mmanganya kwa maana mmanganya ni uthibitisho gwa utumwe gwangu katika Bwana3Hakuna ndio kuteleya kwangu kwa vachunguzanga mne. 4Kwani twangali haki ja lya na kupapila? 5Twangali haki ja tola jwandonga aamini puwatendanga mitume vananji na ndugu va Bwana,na Kefa? 6Au mne jikape na Barnaba ambao tupingwa kutenda liengo?7Ni gani atenda liengo kama askari kwa gharama yake mnyene?Ni gani apanda Mzabibu na analye matunda gake?Au ni gani ashungu likundi na akapa pila maziwa? 8Je nguna veleketa agano kwa mamlaka ga binadamu?Sheria najalake jikalugula?9Kwa kuwa ishijanchikwa katika sheria jika Musa,''Mnatawe ngombe lugomo palya shalya.''Ni kweli kwamba apa Mnungu anajali ng'ombe? 10Au vakalugula aga kwa ajili jetu?Ishijandikwa kwa ajili jetu,kwa sababu jwene alima shalya ina kumpasa alime kwa matumaini,na jwene auna kwa matarijio ga shiriki katika mavuno. 11Iwaga tushikupanda indu ya Mmitima mongoni jetu,Je ni lilowe likulungwa kweliwe tuunaga indu kwa iilu kushoka kwenunji?12Lwaga vananji bashikupatanga aji haki ji kushoka kwenunji Je,uwe mngaa zaidi?Mkali mneyo,twangalongo aji haki ji. Badala jake,tushikuvumilia mambo gowe badala java shikwazo sha injili ja Kristo. 13Mkakumumanyanga kuti atenda liengo kuhekalu shalya shake shapate kushooka kuhekalu?Mkakuu manyanga kuwa wowe vatendanga maengo madhabauni vanapatanga sehemu ja shishoshiwe pam dhahabu? 14Kwa namna jene,Bwana vashi kuagiza kwamba vowenji vatangazanga injiri shani vapatande kutama kushokana na jene injili.15Lakini nanga mnonganga haki yowe hi.Na ngaja ndika aga kwa ajili kila shindu shoshowe shitendeshe kwa ajili jake.Ni heli mmne mngwe kuliko mundu jojowe apinga badilisha akuno kwisifu kwangu. 16Kwa maana ivanga mni kujilinda injili,nangali sababu ja kwisifu,kwa sababu lazima ndende mnei.Na ole gwangu kama ngatangaza injili!17Kwa maana ndenalaga mnei ni kwa hiari jangu,njikola thawabu.Lakini ivaga mngaa kwa hiari,Bado njikola lijukumu limbegwilwe kwa Wakili. 18Bai thawabu yangu ni indi?ya kuwa pungutangaza,shinijishoyo injili bila gharama na bila kutumia utimilifu gwa haki jangu jingwete katika injili.19Maana japo njiwa na uhuru kwa wowenji,Njikuwa mtumwa jwa wowe,ili kwamba ngombole kwapatanga vavajinjinji zaidi. 20Kwa wayahudi njikuwa mbuti Myahudi,ili naapatanje wayahudi.Kwa vevalanji vali nginji pai ja sheria,njikuwa mbuti jumo jwa wonji ali pai ja sheria ili naapatanje valingi nji paija sheria njikutenda mneila ingawa mna binafsi ngalijiji paija sheria.21Kwa vevalenji bali nginji pilanga ja sheria,Naliji mbuti jumo jwawonji pilanga ja sheria,Ingawa Mne binafsi ngalijiji pilanga ja sheria ja Mnungu,bali ja pai ja sheria ya Kristo.Njikutenda mneyo ilinaapatanje vangalinji pilangaja sheria. 22Kwa walinginji vanyonge njikuwa mnyonge,ili napatanje valinginji vanyonge.Njiwa hali jojowe kwa wowenji ili kwamba mipanda jowe mbate kwaokoanga bahadhi. 23Na mne natenda mambo gowe kwa ajili injili,ili mbate kushiriki katika baraka.24Mka kumumanyanga kwamba katika mbio ya kushindana kuutuka wowe wana shindanangambio,Lakini aposhe la zawadi jumope?Kwa mneyo mmutukanje .Kwa nguvu mpatanje zawadi. 25Mwana michezo anakwiivila katika yowe pavaga katika mafunzo.Venevonji vanatendanga mmneyo ili vaposheranje litaji liaribika,Lakini uwe tunatuka ili tupake litaji lyange haribika. 26Kwa hiyo mne ngautuka bila sababu au kukomana ngumi kama kukoma hewa. 27Lakini na kushitesa shiilu shangu na kuutenda mbuti mtumwa,ili kwamba pungamalia kwatangazianga vananji,mne nemwene mnawe na wa watawaliwa.
1Napinga mmanganya muumanyanje kaka na dada yangu,kwamba ashawawa yetu puvalingunji pai ja liunde na wowenji vyashi kupitanga katika bahari. 2Wowenji vya shikubatizwanga vavanganje naka Musa mnyumba ja maunde na mnyumba ja bahari. 3Na wowenji vyashikulya nganga shalya shila peshila sha mtima 4Wowenji vyashikupapilanga yapapila ilape ila ya mtima.Maana vyashikupapilanga kushoka katika mwamba gwa mtima gwawaka gulenje,na mwamba gwaliji ni Kristo.5Lakini Mnungu angakonjwa kaje gwinji gwaonji,na misiba jawonji jishi kusambazwa palijangwa. 6Bai aga mambo gowe gashikwa mifano kwetu,ili na uwe tunawe vandu vya tamani gangali mana kama puvatendilenje venevonji.7Mnavanganje mmakumjuganga sanamu,mbuti vananji puvalinginji.Haji ni kama pujijandikwa,''Vandu vashikutamangapai bali lyanganga na kupalila,na bashikujinukanga niganda kwa tamaa ja mapenzi.'' 8Tunatende umalaya ya mbuti vananji puvatendilenje.Guvawilenje vandui ishirini na tatu lyuva limo,kwa jene sababujo.9Wala tunamninje Kristo,mbuti wengi waonji puvatendilenje na guvaharibiyenjwe na lijoka. 10Na tena mnanungunikanje,mbuti wengi waonji puvanunguni kenje na kuharibiwa na malaika ga mauti.11Bai aga mamboga gashi kutendeka mbuti mifano kwetu.Na nijandikwa ili kutulanguya uwe-tufikilwe na miishoja bukara. 12Kwa mneyo kila akwionda ashijima ave makini ili anagwe. 13Gakwa majalibu kampatilenje mmanganya gangali kawaida ja binadamu.Ila mnungu ni mwaminifu.Vakamnekanga mjalibiwanje kupila uwezo gwenunji.Pamoja na majaribu venevo shivampanganje mnango gwa koposhela,ili mkombolanje kuvumilia.14Kwa hiyo,vapendwa wangu,mjiutu kanje ibada ja sanamu. 15Naveleketa na mmanganya kama vandu wenye akili,ili mng'amuanje juu ja ngulive leketa. 16Shikombe sha baraka shitushibariki ,mngaa ushirika gwa minyai ja Kristo?Mkate agula gutu kuukata,Mnga ushirika gwa shiilu sha Kristo? 17Pava mkate ni gumo pe,uwe tuli tuvavajinji ni shiilu shimo.Uwe tubowe tunaposhela mkate gumo kwa pamo.18Mwalolanje vandu wa Israel:Vevala vowe nji valyanganga dhabihu ngaa washirika katika madhabahu? 19Ingu veleketa indi bai?Ya kuwa sanamu ni shindu?Au yakuwa shalya shishoshiwe sadaka kwa sanamu shindu?20Lakini vaveleketa juu ja yeila indu ishoywa sada ka kwa wandu wapagani na mataifa,ya kuwa vanashoyanga hai indu kwa mapepo na mngaa kwa mnyngu.Na mne ngapinga mmanganya kushilikiana na mapepo. 21Mkawezanga kupapila shikombe sha Bwana na shikombesha mapepo. 22Au tunakwataga Bwana wivu?Tushiko la nguvu zaidi jao?23''Indu yowe ni halali,''Lakini mngaa yowe inafaa,''Indiyowe ni halali,''Lakini mngaa yowe ikwashenganga vandunji. 24Jwakwa wala jumo jwalolea gambone gake pe.Badala jake kila jumo akaloleye gambone gaka mnjake.25Mnaweza kulya kila shindu shiuzwa kusoko bila kuvuya-kuvuya kwa ajili ja dhamiri.'' 26Maana''dunia ni mali ja Bwana,na yowe igumbaya.'' 27Na mundu angaamini ashikuwa alikanga kulya na mnapinganga kwenda,mnyanganje shoshowe shimkupegwanga bila kuvuya maswali ga dhamiri.28Lakini mundu amnugulilangaga,''Ashino shalya shino shishisho kana na sadaka ja wapagani,''Mnalyanganje.Hajino ni kwa ajili jake amnungullilenje,na kwa ajili ja dhamiri. 29Na mne ngaa maanisha dhamili yenunji,balo dhamiri ja jwejula juna.Maana kwa indi uhuru gwangu guhukumiwe na dhamiri ja mundu juna? 30Iwaga mne natumia shalya kwa shukrani kwa indi ndu kanwe kwa shindu ambacho njishukuru kuwanacho?31Kwa mneyo,shoshowe shimkulya nganga,au kupapila,au shoshowe shimkutendanga,Mtendanje yowe ajili ja utukufu gwa Mnungu, 32Mnakoseshanje wayahudi au wayunani,au likanisa lya Mnungu. 33Mninganje mbuti mne pungulinga kwa pendezanga vandunji wowe kwa mambo gowe.Ngalolelya faida jangu nemwene,bali ja wananji.Na mne natenda mnei ili vapalanje kuokolewa.
1Mngagulanje mne,kama na mne pungumkagula Kristo. 2Lelo na kumsifunji kwa sababu ja mneila pumkungumbukanga katika mambo gowe.Nakumsifunji kwa sababu mchikugakamulanga mapokeo kama nigajianago kwenuni. 3Bai napinga muumanyanje ya kuwa Kristo ni mtwe gwa kila jwa shileu,na jwashileuni mtwe gwa handonya,na ya kuwa mnunguni mtwe gwa Kristo. 4Kila jwashileu ajuga na ashoya unabii akuno aunishile mtwe gwake a na kushihaibishwa mtwe gwake.5Lakini kuila jwandonya ajuga au ashoya unabii hali mtwe gwake guli wazi anakuhaibisha mtwe gwake.Kwa maana ni sawa sawa na kama ashimogwa. 6Iwaga jwandonja aunishilaga mtwe gwake,na akatwe umbo yake iwe ya itupi.Maana ni aibu jwandonya kukata umbo yake au kumoga,bai aunishile mtwe gwake.7Kwa indi jashileu ika kumpasa kuunishila mtwe gwake,kwasababu jwene ni mfano gwa utukufu gwa Mnungu.Lakini jwa ndonga ni utukufu gwa jira shileu. 8Maana jwashileu angashokana na jwandonya bali jwandonya ashikushokana jwa shileu.9Wala jwashileu angaumbwa kwa ajili ja jwa ndonya.Bali jwandonya ashi kuumbwa kwa ajili jwa shileu. 10Ajino ndio sababu ja jwandonya anapasira awe na shara ja mamaka juu ja mtwe gwake,kwa sababu ja malaika.11Mkali mneyo,katika Bwana,jwandonya angawa jikape pangapagwa jwashileu,au jwashileu pangali jwandonya. 12Maana kama mneila jwandonya ashikushoka kwa jwashileu,mneipeila jwashileu ashikushoka kuka jwandonya.Na indu yowe inashoka kwa Mnungu.13Mngukumunji mmaijenenji:Je! ni sahihi jwandonya amnjuje mnungu hali mtwe gwake guli wazi? 14Je hata asili jika pe jika kumfundishanga ya kwamba jwashileu akolaga umbo ya ileu ni aibu kwake? 15Je asili jika kumfundishanga ya kwamba jwa ndonya avagaga na umbo ya ileuni utukufu gwake?Maana ashipegwa yeila umbo ya ileu kama livazi lyake. 16Lakini iwaga mundu jojowe apinga bishana kwa alino,uwe twangali namna jina,wala makanisa ga Mnungu.17Katika maagizo gakagulago,Mne na kumsifunji.Maana pumkukusanyikanga,mngaa kwa faida bali kwa hasara. 18Maana kwanza,napilikana kwamba pumku imananga mmakanisa,jishipangwa migawanyiko kati jenunji,kwa sehemu ninaamini. 19Kwa maana lazima jipagwe misuguano kati jenunji,ili kwamba vevala vakubaliwenje vamanyikananje kwenunji.20Kwa maana pumkuimanangapo,shimkulya nganga mngaa shalya sha Bwana. 21Pumkulyanganga,Kila jumo analya shalyashake mnyene kabla ja vananji kulya.Mkali aju akwete shiwanga,na aju ashikolelwa. 22Je mwangalanginji nyumba ya lila na kupapila Je mnakulizalaunji likanisa lya Mnungu na kwa fedhehe shanga vangalinginji shindu?Nugule indi kwenunji ?Nimsifunji?Ngamsifunji kwa lyelino!23Maana njikuposhela kushoka kwa Bwana sheshila ambacho shinimpelenje mmanganya ya kuwa.Bwana Yesu shilo shila pasalitiwe,ashikulola mkate. 24Baada ya kushukuru,ashikuutemanya na kuveleketa,''Ashino ndio shiilu shangu,shili kwa ajili jenunji.Mtendanje mnei kwa kungumbushila mnei.''25Na mnepeila ghwatolile shikombe baada ja lya,na kuveleketa,''Ashino shiko mbeshino ni liagano lya mpya katika minyai jangu.Mtendanje mnei mara kibao kila pumkuvanganga,kwa kungumbushila mne.'' 26Kwa kita muda pumkulyanganga mkategu na kushipapilila shikombe,mjilanga zanje maite ja Bwana mpaka puvapingaika.27Kwa mneyo,kila alya mkate au kushipapilila ashi shikombe sha Bwana pwikastahili,shaipatile hatia ja shiilu na minyai ja Bwana. 28Mundu aioji mnyeneti,na ndio alye mkate,na kushipapilila shikombe. 29Maana alya na kupapila bila kuupambanua shiilu,analya na kupapila hukumu jake mnyene. 30Hajindio sababu vandu wawajinji kati jenunji ni valelwenji na dhaifu,na baadhi jenunji wawilenje.31Lakini twilolaga tuvayene tukahukumiwa. 32Ila putuhukumiwa na Bwana,tuna ujilwa ili tunaukumiwe pamo na dunia.33Kwa mneyo,asha kaka na asha dada yangu,pumkuimanangapo mpalanje kulya,mnindilanje. 34Mundu akolaga shwanga,na alye kumngwake,ili kwamba mngimananganya pamoja ina we kwa hukumu.Na kuhusu mambo gana gumnja ndikenye,shini mngelekekezanje punga kwia.
1Kuhusu karama ya mumtima,asha kaka na asha dada yangu ngapinga mkosanje kuumanya. 2Muumanyinji kuwa pumwalinginji wapagani mchikuongozwanga kuikagula sanamu ikavelekelaga,kwa mipanda jojowe jinongoywenje. 3Kwa hiyo,napinga muumanyanje kwamba jwakwa aveleketa kwa Roho jwa Mnungu Roho mtakatifu aliveleketa,''Yesu ashilaaniwa,''Jwakwa jojowe apingaveleketa,''Yesu ni Bwana,''katika Roho mtakatifu.4Bai gashipangwa ma karama tofauti tofauti,bali Roho ni jwejuila. 5Na ishikupangwa huduma tofauti tofauti,bali Bwana ni vevalape vala. 6Na ishipangwa aina mbalimbali ya liengo,lakini Mnungu ni jula pejula akugatenda maenengo gowe katika wowe.7Bai kila jumo anapegwa ufunuo gwa Roho kwa faida ja Wowenji. 8Maana mundu jumo ashipegwa na Roho lilowe lya hekima,na juna lilowe lya maarifa kwa Roho jula.9Kwa juna kumpa imani kwa Roho jwene jula,na kwa juna karama ja kulamia kwa Roho jimo. 10Kwa juna matendo ga nguvu,na juna unabii.Na kwa juna uwezo gwa kupambanua Roho,juna aina mbali mbali ja Lugha ,na juna tafasiri ya lugha. 11Lakini Roho ni jula pejula atenda liengo lyake lyowe,kumpa kila mundu karama kwa kadai ja uchaguzi gwake mnyene.12Kwa maana mbuti mneila shiilu shimo,na gushikola iungo ua ijinji,na viungo vyowe nivya shiilu shila peshila,na Kristo mnepeila. 13Kwa maana katika Roho jumo uwe tubowe tushikubatizwa kwa kuwa shiilu shimo,kwamba wayahudi au wayunanipe,kwamba watumwa au huru,na tubowe tushikupapilishwa na Roho jumo.14Kwa maana shiilu ngaa shiungo shimo,bali ni yaijinji. 15Iwaga lukolongono shuluvelekele,''Kwa kura mne mbgaa mkono,mnei ni sehemu ja shiluu,''jene jikatenda kuti mngawa sehemu ja shiilu. 16Na uwaga lishikilo shilivelekete,''Kwa kuwa mne mngaa liyo,mne ni sehemu ja,shiilu,''Jene jikatenda kuti mngaa sehemu ja shiilu. 17Mwanaga shiilu showe shiwe lio,kukaliji kwei kupilikana?Mwanaga shiilu sjowe shika liji lishikilo kukaliji kwei kunuya?18Lakini Mnungu ashikuwika kila shiungo mahala pake mbuti puvapanjile vayene. 19Na kama yowe ikaliji shiungo shimo,shiilu shikaliji kwei? 20Kwa mneyo mneino iungo ya ijinji,lakini shiilu ni shimo.21Lio likaweza kulugulila mkono,''Nangali mpangi na mwe.''Wala mtwe ukakombola kugavalanjila makongono,Nangali haja na mmanganya.'' 22Lakini iungo ya shiiulu iyonekana kuwa na heshima,kashoko inapingwa kaje. 23Na viungo ya hiilu tukwiganishia ishikola heshima kushoka,tunakwipa heshima kaje,na viungo yetu yangali mvuto ishikola uzuri kaje. 24Na mneino viungo yetu ikwete mvuto yangali haja pengwa heshima,kwa kuwa tayari ikwete heshima.Lakini Mnungu vashikwiunganisha viungo yowe pamo,na vashikwipa heshima kaje yeila ika heshimiwa.25Vashikutenda mneyo ili kunapangwe na mgawanyiko katika shiilu,bali iungo yowe itunzane kwa upendo kwa jumo. 26Na muda shiungo shimo shiulalaga,viungo yowe inaulala kwa amo.Au muda shiungo shimo shiheshimiwaga,iungo yowe ifurahi kwa pamo. 27Lelo mmanganya ni shiilu sha Kristo,na viungo kila shimo jikape.28Na Mnungu ashivika katika likanisa mitume kwanza,pili manabii,tatu valimu,alafu vene wowenji batendanga matendo makuu,na karama ya uponyaji,vasaidianga,vatendanga maengo ga ongoza,na wowenji wakwetenje aina mbali mbali ja lugha. 29Je uwe tubowe ni mitume/Uwe tubowe ni manabii?tubowe ni waalimu?Je uwe tubowe tunatenda matendo ga miujiza?30Je uwe tubowe tushikola makarama ga uponyaji?Uwe tubowe tunaveleketa lugha?.Uwe tubowe tunatafsiri lugha? 31Mnoleanje kaje ili ya ikulu.Na mne shinimna ngwianje mpanda guli bora kaje.
1Tuligule kwamba naveleketa kwa lugha ya wanadamu na ya malaika.Lakini kama nangali upendo,njiva shabajiona au upatu guvuma. 2Na kwamba njikola karama ya unabii na ufahamu gwa kweli iishiwe na maarifa,na kwamba ngwete imani ja kuaminisha itumbi.Lakini iwaga nangali upendo,Mne mngaa shindu. 3Na tulugule kwamba ngunashoya milki jangu jowe kwa kwaliyanga masikini,na kwamba ngunashoya shiilushangu ili njomwe moto.Lakini kama nangali upendo,hikafaidia shindu.4Upendo guna vumilia na guna fadhili.Uprndo ukakwisifu au kwifuna.Gwangali kiburi au ukorofi. 5Gukaloleya mambo gake,gukakuona uchungu haraka,wala gukahesabu mabaya. 6Gukafurahia udhalimu.Badala jake hufurahi katika kweli. 7Upendo gunavumilia mambo gowe;kuhamini mambo gowe,gushikola ujasiri katika mambo gowe,na gunahimili mambo gowe.8Upendo gwangali mwisho.Iwaga gudhipangwa unabii,gowe shugupite.Iwaga ishipangwa lugha,shikome.Iwaga gashipangwa maarifa,shigapite. 9Kwa kuwa tulikuumanya kwa sehemu na uwe tunatenda unabii kwa sehemu. 10Lakini jijiaga jejila jili kamili,jejila jangali kamili shijipite.11Punalijimwana,njikuveleke mbuti mwana,njikufikilia mbuti mwana,njikuamwa mbuti mwana,punaliji jwa mkulungwa,njikuvika mbali na mne mambo ga shivana. 12Kwa kuwa mneino tunalola kama kwa kioo kama sura paluwindu,lakini mida gwegula tulilola sura kwa sura.Lelo nimumanyi kwa sehemu ,lakini agula muda gula shiniumanaye kaje kama na mne pungumanyikana kaje. 13Lakini lelo mambo aga gatatu,ganadumu imani:tumaini lijia na upendo.Lakini lile likulungwa katika aga ni Upendo.
1Muloleyanje upondo na mtumaninji kaje karama ya mumtima,zaidi kaje mpatanje kushoya unabii. 2Maana jwene aveleketa kwa lugha hakave veleketa na vandu bali kuveleketa na Mnungu maana jwakwa aelewa kwa sababu anaveleketa mambo gaiishie katika Roho. 3Lakini jwene ashoya unabii,anaveleketana vandu na kwashenganga,kwatanganga mtima,na kwafarijinji. 4Jwene aveleketa kwa lugha ana kwishenga mnyene,lakini jwene ashoya unabii anakulishenga likanisa.5Lelo natamani mmanganya mowenji mmeleketanje kwa lugha.Lakini zaidi ja mneyo,natamani mchoyanje unabii.Jwene ashoya unabii ni mkuu kuliko aveleketa kwa lugha (labda apagwe jwa tafsiri),ili kwamba likanisa lipate kushengwa. 6Lakini lelo kaka na asha dada yangu nyiaga kwenunji ni veleketa kwa lugha ,shimpatanje faida jashi mmanganya?Ngakombola,isipokuwa ngunaveleketa na mmanganya kwa mpanda gwa ufunuo,au kwa mpanda gwa maarifa,au unabii,au kwa mpanda gwa ufundisho.7Iwaga indu yangali uhai kama filimbi au kinubi ikashoye lisauti lilitofauti,shishilambulishe buli na shombo shashi shingandwa? 8Kwa maana ivaga baragumu shijishoye lilowe likamanyikana,ni namna jashi mundu shaulanye ya kwamba muda gwa kuiandaa kwa vita? 9Mnenepeyo na mmanganya.Mchoyangaga kwa ulimi lilowe lyangali dhahiri,ni jimsi jashi mundu shaelewe shiku veleketanga?Shimanganje mniveleketanga,na jwakwa apingakumngelewanga.10Gakwa mashaka kwamba ishipangwa lugha ya ijinji mabalimbali padunia,na jakwa wala jimo jangali maana. 11Lakini iwaga ngakombola maana ja lugha,shime na mjani kuka jwene aveleketa,na jwene aveleketa shave mjani kwangu.12Mnepeyo na mmanganya.Kwa kuwa mnatamani nji kaje kulola ushahudi gwa Roh,Mpinga nje kaje na mjenjeshekanje kulishenga likanisa. 13Kwa mneyo jwene aveleketa kwa lugha,ajuajwe na kutafsiri. 14Kwa maana nyugagaga kwa lugha,mtima gwangu gunajuga,lakini akili yangu yangali matunda.15Ndende indi?shinyuje kwa mtima gwangu,lakini mnepeila shinyuje kwa akili yangu.shinyimbe kwa mtima gwangu,nashinyimbe kwa akilijangu mnepeila. 16Vinginevyo mumsifuji mnungu kwa mtima jwene ali mjani shajitushe buli.''Amina ''Pumkushoya shukrani,iwaga akakuga manya gumkuveleketa?17Maana ni kweli mmwe mnashukuru ukote,lakini jwene juna akashengwa. 18Nakwashukuru a Mnungu kwa kuwa na veleketa kwa lugha kaje na mmanganya mmowe. 19Lakini katika likanisa ni afudhali melekete malowe tano kwa ufahamu gwangu ili mbate kwafundishanga vananji,zaidi ja veleketa malowe elfu kumikwa lugha.20Asha kaka na asha dada yangu,mnavanganje vana katika kufikiri kwenunji.Badala jake,kuhusiana na uovu,iweni mbuti vana vya mnganji.Lakini katika kufikiri kwenunji mkavanganje mamakulungwanji. 21Ishijandikwa katika sheria,''Kwa wandu wa lugha ina na kwa midomo ja vajaninji shimelekete na wandu awanji.Wala hata mneyo vakambili ngavanga,''Vashikulugula Bwana.22Hivyo,ndimi ni ishara ,mngaa kwa waamininji,bali kwa wangaamininji.Lakini kushoya unabii ni ishara,mngaa kwa vangaamininji,bali kwa ajili ja vaaminanji. 23Haya iwaga likanisa lyowe likusanyikaga pamo na wowenji voweleketangaga kwa lugha,na vajani nji na vangaa mininji vajijilenje,Je vakawezanga kuveleketa kwa mchikolani sharua?24Lakini iwaga nkowe mnishoyanga unabii na angamini na mjani ajinjilaga,shashawishiwe na jojowe apingapilikane.Shaukumiwe gogowe galugwilwe. 25Siri ya mtima gwake ikaunukwilwe.Matokeo gake,akagwile kifudifudi na kwajuga a Mnungu.Akakubali ja kwamba Mnungu ali pakati jenunji.26Shindi shikagula bai,ashakaka na ashadada yangu?Pumkaimananga pamo,kila jumo ashikola zaburi,mafundisho,mafunuo,lugha au tafsiri.Mtendanje kilashindu ili mchenanje kanisa. 27Mwanaga jojowe anaveleketa kwa lugha,wapangwa nje vawili au watatu,na kilajumo katika zamu.Na mundu lazima atafsiri shilungwilwe. 28Lakini kama jwakwa mundu jwa tafsiri,bai kila jumo jwa wonji atame kimya mnyumba ja likanisa.Bai kila jumo avelekete jikape na kwa Mnungu.29Na Manabii vawili au vatatu vavele ketanje,na vananji vapalikananje kwa kushipambanua shilu gwilwe. 30Lakini atemi afundishwaga lijambo katika huduma jwejula ambaye aveleketaga atame kimya.31Kwa kuwa kila jumo jwenunji anakombola kushoya unabii jumo badala ja juna ili kwamba kila jumo akombole kwifundisha na wowe vakombolanje kutaga mitima. 32Kwa kuwa mitima ya manabii pujili pai ja lolwa na manabii. 33Kwa kuwa mnungu mngaa Mnungu jwa machafuko,bali wa amani.Mwanga pwili katika makanisa gowe ga waumini,34Ishipingwa vandonyanji vatamanje kimya katika kanisa.Kwa kuwa wakaruhusiwanga kuweleketa.Badala jake,vanapingwa wawanganje katika kunyenye kea,mwanaga mneila sheria pwiku luguka. 35Mwanaga shipali shoshowe shakwifundisha,bai vavuyanje valume vaonji kumui.Kwa kuwa ni aibu kwa jwandonya kuweleketa katika kanisa . 36Je lilowe lya Mnungu lishikushoka kwenunji?Je lishikumngi manana mmanganyepe?37Mwanaga mundu ainaonga kuti ni nabii au jwa mumtima inakumpwa agatambue mambo mngugajandika ya kwamba ni maagizo ga Bwana. 38Lakni akagamanye aga,mumnekanje anama nye.39Kwa mneyo basi,asha kaka na asha dada yangu,mpinga kaje kushoya unabii,na mnamng'ivilanje mundu jojowe kuweleketa kwa lugha. 40Lakini mambo gowe gatendeshe ukoto na kwa utaratibu.
1Lelo na kumkumbushanga,asha kaka na asha dada juu ja injili jini matangazienje,ambajo mchikujiposhelanga na kujima kwa jene. 2Na katika aji injili ji mchiokolewanga,mwana ga mkamulangaga imara lilowe lini mtangazienje mmanganya,isipokuwa mchikuamininje bure.3Kama kwanza punijiposhele kwa umuhimu njikuji kwianajo kwenunji mbuti pujili.Kwamba kushokana na maandiko,Kristo ashi kuwa kwa ajili dhambi yetu, 4Kushoka na na maandiko ashi kushikwa,na kwamba ashikuyuka lyuvu lya tatu.5Na kwamba ashikumshoshela Kefa kisha kwa wewe la kumi na mbili. 6Alafu ashikwashoshelanga kwa muda gumo asha kaka na asha dada zaidi ja mia tano.Wengi waonji bado valinginji ukoto,lakini baadhi jaonji vashigonanga lugono. 7Alafu gwa mkoposhele Yakobo,alafu mitume jowe.8Mwisho gwa gowe,ashi kunoshela mne,kama mneila kwa mwana avelekwa muda mngaa sahihi. 9Kwa kuwa mnei ni mwana katija mitume.Ngastahili kushemwa mtume,kwa sababu njikulitesa likanisa lya Mnungu.10Lakini kwa neema ja Mnungu mbali mbuti puni na neema yawo kwangune jangawa ja yoyo.Badala jake,njikutenda bidii kuliko wowe lakini ikalijiji mne,bali neema ja Mnungu jili mnyumba jangu. 11Kwa mneyo kama mne au wenewonji,tuna tangaza mneyo na tunaamini mneyo.12Lelo mwanaga Kristo ashi kutangaziwa kama ashikuyuka kwa wawilenje,buli iwe baadhi jenunji mnugulanje gwakwa ufunuo gwa wawilenje? 13Lakini kama gwa kwa Ufunuo gwa wawilenje,bai mkali Kristo angayuka. 14Na kama Kristo angayuka,kwa mneyo matangazo genunji ni gayoyo,na imani jenunji jayoyo.15Na tishipatikana kuwa mashahidi wa unami kumng'usa Mnungu, kwa sababu tushikumshudia Mnungu kinyume,kulugula ashikunznyuya Kristo,wakati angamyuya. 16Mwanaga iwaya wawilenje wakayuywanga,Yesu mnepeila angayuywa. 17Na kama Kristo angayuywa,imani jenunji ni jayo yo na bado muni mdhambi yenunji.18Hivyo mkali vevala vawilenje katika kristo mnepeyo vamalilenje. 19Iwaga kwa maisha aga pega jikape tushikola ujasiri kwa muda gukwia mnyumba ja Kristo, vandu vowe,ni vandu vya kuhurumiwa zaidija wowe.20Lakini lelo Kristo ashiyuka kushoka kwa wawilenje,matunda ga kwanza ga wewala wawilenje. 21Kwa kuwa kuwa kushikwia kupitila mwanadamu,mnepeila kupitila mwanadamu ufufuo gwa wawilenje.22Kwa kuwa kama katika Adamu wowe wawilenje na mneyo katika kristo wowe shivayuywa nje. 23Lakini kila jumo katika mpango hwake.Kristo,matunda ga kwanza ,na kisha vevala vali va kristo shivayuywanje muda gwa kwia kwake.24Na ndio shiguwe mwisho,pepala Kristo pakupinga kamu ya ufalme kwa Mnugu Baba.Haji ni pepala papinga mali ya utawala gowe na mamlaka yowe na nguvu. 25Kwa kuwa lazima atawale mpaka papingawika maadui wake wowe pai ja makongoono gake. 26Adui jwa mwisho kuharibiwa ni shiwo.27Kwa kura,''ashivika kila shindu pai ja makongono gake.''Lakini pwikulugula''ashivika kila shindu,''ni wazi kwamba liaji jikahusisha we wala wawishilenje kila shindu paija mnyene. 28Muda gwa indu yowe ivishilwe paijake,kisha mwa na mnyene shavikwe pai kuka jwene ambaye ashikwivika indu yowe pai jake.Haji hijikoposhele ili kwamba Mungu Baba vave yowe katika yowe.29Au shivalendanje indivevala vabatizwenje kwa ajili ja wawilenje?Mwanaga wawilenje wakayuywanga kabisa,kwa indi tena vanabatizwanga kwa ajili jaonji? 30Na kwa indu tuli ku hatari kilasaa?31Asha kaka na asha dada yangu,kupilila kwisifu kwangu katika mmanganya,ambavyo ngwete katika kristo Yesu Bwana wetu,natangaza mnei:Nawa kila siku. 32Njikola jashi katika mnolo gwa wanadamu kama punakomeme na wanyama wakalinji kwene Efeso,kama wawilenje wakayuywangwa?''Mneshe ba i tulye na tupapile kwa sababu malawi tunawa.''33Mnatembanjwe:''Makundi gangalimana ganaharibia tabia ya mmbone. 34''Mmanganje kiasi!kiasi!mtamanje katika haki!Mnaendeleanje kutendwa mashambi.Kwa kuwa baadhi jenunji mwangalinginji maarifaga Mnungu.Naveleketa mnei kwa aibujeminji.35Lakini mundu juna shalugule,''Namna jashi wawilenje pushi wa yuywanje?Na shivajianje na aina jashi ja shiilu?'' 36Mmwe mmajinga kaje!sheshila shimpandile shikakombola kutandua kukula mpaka shiwe.37Na sheshila shimpandile mngaa shiilu ambasho shishikule,bali ni mbeju jiipwishe.Jinaweza wa ngano au shindu shina. 38Lakini Mnungu shashipe shiilu mbutipuvapinga,na katika kila mmbeju shiilushake mnyene. 39Hiilu,yowe ikalandana ila,shishipangwa shiilu shimo sha wanadamu,na shiitushina sha wanamnyama,na shiiilu shina sha ijuni, Na shina ni kwa ajili ja yamaki.40Mneipeila ishipangwa iilu ya kumbinguna kudunia.Lakini utukufu gwa iilu ya kumbinguni aina jimo na utukufu gwa dunia ni guna. 41Gushipangwa utukufu gumo lyuwa,na utukufu guna gwa mwezi,na utukufu guna ni nyota,nyota jimo jinatofautiananga inatofautiana na ndondwa ina katika utukufu.42Gwene ndio puguli katika ufunuo gwa wawilenje.Shipandwa shina haribika,na shimela shikahalibika. 43Shishipandwa katika matumizi ga kawaida na shinameywa katika utukufu.Shishi pandwa katika udhaifu,shina meywa katika nguvu. 44Shishipandwa katika shiilusha asili,shini meywa ,katika shiilusho kimtima.Mwanaga shishipagwa shiilusha asili,na shishi pangwa shiilusha kimtima mnepeila.45Mkali mneyo ishijandikwa,''Mundu jwa kwanza Adamu ashikutendeka mtima gutama.''Adamu jwamwisho ashikutendeka mtima gushoya uhai. 46Lakini jwa kiroho angajia kwanza bali jwa asili,na kisha jwa mtima.47Mundu jwa kwanza ni jwa dunia,.ashikuala ywana vumbi.Mundu jwa vili ashikushoka mbinguni. 48Kama mneila jwejula geleywe na mavumbi,Mnepeyo vevalanji vashikualaywanga kwa mavumbi.Mbuti mneila mundu jwa kumbingupali,mnepeyo vevala vya kumbingu. 49Kama mfano ambavyo tumjigele mundu jwa mavumbi,shutujigale mnepeila mfano gwa mundu jwa kumbingu.50Lelo na kummalanjilanga,asha kaka na asha dada yangu,kwamba shiilu na minyai ikaweza kuurithi ufalme gwa Mnungu.Wala gwa haribika kuurithi gwanga haribika. 51Mnolanje!Nakummalanjikanja mmanganya sili ya kweli:Tukawa tubowe,bali tubowe tupinga badilishwa.52Shitubadilishwe katika muda,katika kuu nukula na kuunika kwa lio,katika litarumbeta lya mwisho.Kwa kuwa litarumbeta shilione,na wawilenje shivayuywanje katika hali jangaharibika,na shitubadilishwe. 53Kwani agu gwa haribika lazima guwale gwanga haribika,na agu gwa kuwa,lazima guwale gwangawa.54Lakini agu gwa kuharibika a ba gwanga haribika na agu wa guvalaga gwa mngawa,ndio shigujie mmeleketo ambao gushijandikwa,''Kua kushimelwa katika ushindi.'' 55'' Kifo,ushindi kuti kwei!kifo,kuli kwei uchungu gwako?''56Uchungu gwa kua ni dhambi,na nguvu ja dhmbi ni sheria. 57Lakini shukurani kwa Mnungu,vakutupa uwe ushindi kupilila Bwana wetu Yesu Kristo!58Kwa mneyo,wapendwa ashakaka na asha dada,monanganje imara na mnatikinyikanje.Daima mjitendanje kazi ja Bwana,kwa sababu mnikumumanyanga kwamba liengo lyenunji katika Bwana mngaa lyayoyo.
1Lelo kuhusu michango kwa ajili ja waumia,mbuti pungwelekeza katika makanisa ga Galatia,na mneyo ndio pumkupingwanga kutenda. 2Katika lyuva lya kwanza lya wiki ,kila jumo jwenunji ave shindu fulani mbali na ashiwishwe,mbuti pumkumanyanga.Mtenda nje mneyo ili kwamba mnakolanje mchango muda gungwia.3Na ngikaga,jojowe ngupinga kumngagula shinimtume pamo na barua kushoya sadaka jenunji kwene Yerusalem. 4Na kama ni sahihi kwenda na mne, shibva jendangananje na mne.5Lakini shinyie kwenunji,muda gwapitila Makedonia.Kwa kuwa shimbitile Makedonia. 6Labda naweza tama na mmanganya au hata kumaliga majira ga mmbepo,ili kwamba mkolanje kuzaidia katika safari jangu popowe pungwenda.7Kwa kuwa ngatarajia kummonanga aguno muda guno.Natumaini kutama na mmanganya kwa muda fulani,mwanaga Bwana shivaruhusu. 8Lakini shindame Efaso mpaka Pentekoste, 9Kwa kuwa mnango gwa panuka gushiugulwa kwa ajili jangu,na gashipagwa maadui gamajinji gangana.10Lelo Timotheo ajiaga,mummonanje kwamba pali na mmanganya bila kumnjogopa,ana tenda liengo lya Bwana,kama pungutenda. 11Mundu jojowe anamzalau.Musaidianje katika mpanda gwake kwa amani,ili kwamba akombole kwia kwangune.Kwa kuwa namtarajia ajie pamo na ashapwanga. 12Lelo kuhusu mpwetu Apolo.Njiikumtaga kaje mtima awaowelanje mmanganya pamona ashapwanga.Lakini ashikuamua mngajia kwa mneino.Mkalimneyo,shajie akologa nafasi.13Mmanganje meyo,mjimanje imara,mtendanje mbuti mmashileunji,mmanganje na nguvu. 14Bai gowe gumkutendanga mtendanje katika upendo.15Mnikujimanya familijika stefana.Mmumanyinji kwamba washikwanganga waamini wa kwanzanji kwa ku Akaya na kwamba vashi kwivikanga vayenenji katika huduma ja wahumini .Na lelo na kumsiinji asha kaka na ashadada yangu. 16Mmanganje wanyenye kevu kwa wandu kama wenewo,na kwa kila kila mundu asaidia katika liengo na watendanga liengo pamo na uwe.17Na ngunafurahi kwa kwia kwa stefana Fotunato,na Akiko.Vashijimangananga mahala ambapo mmanganya pumkalinginji. 18Kwa kuwa washi ku furahishanga mtima gwangu na gwenunji.Kwa mneyo lelo mwamanyanje vamdu kama ava.19Makamisa ga Asia Vashitumanga salamu kwenunji.Akila na Priska wana kumsalimianga katika Bwana,pamoja na likanisa lili kumngwawonji. 20Asha kaka na asha dada yangu wowe wana kumsalimunji,Msalimiananje kwa busu litakatifu.21Mne,Paulo,najandika mnei kwa mkono gwangu. 22Mwanaga jojowe akakwapinga Bwana,bali laana jiwe kwawo.Bwana wetu mnjie! 23Baraka ja Bwana jiwe na Mmanganya. 24Upendo gwangu guwe pamo na mmanganya katika Kristo Yesu.
1Paulo,mtume jwaka Kristo Yesu kwa mapenzi gaka Nnungu,na Timotheo mpweti jwaa,kanisa lika nungu lipali Korintho,bavenji bauzulianga kwafamilia. 2Neema jive kuchoka kuka nungu na awawa yetu a Bwana Yesu Kristo.3Tusifie Nnungu na awawa aBwana Yesu Kristo.Venee ni awawa wa balaka jaka Nnungu faraja jake jowe. 4Nnungu nakutuombee mateso getu gowe,twasaidianje walinginji na matesa,twafariji vananji kwa balaka jichoka kuka Nnungu akujitumia kutufaliki uwe.5Kupita kupitia kwa Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo. 6Lakini kama tunatabishwa,kwajili jafaraja jetu na wokovu ngwetu.na kama tunafarijiwa,falaja jetu jina tenda liengo kikamilifu pukushikinji na mateso.Twafaliji vananji kwa balaka.kama uwe puteseka. 7Hujasili sawasatunakugamanya matendo gukushilikingi mnashilinji kwafulaaa.8Tukapinga mmanganje majinganjii,mpwanga matatizo gutulinago kweneko Asia.Tukushikuwonelwa kajekaje,twangakola na imani jatama tena. 9Hukweli tushikuwa nakumu jawaa juu jenunje.Lakini jishikututenda tunatumaini juu jetu tuvayene,Badala jake tuvishe tumaini kukannungu,ka fufufnga wandu. 10Ashikutuokoaa uwe kushoka maafaga umauti,shatuokee tena.Tushivika ujasiri getu katika jwenejo ya kwamba atuokoe tena.11Shatende neyo kama vile nyinyi pia kutumsaidianga kwa mambo getu.Hivyo shiwashoyanje shukrani kwa niaba getu kwa ajiri ya upendeleo wa neema tushikunsadianga uwe kupitia maombi getu.12Tunakuipunia:Ushuhuda gwetu.Kwa kuwa ni katika nia safi na usafiri wa Nnungu kwamba tulienenda tuwayene pa dunia.Tumefanya nneyo hasa na nyinyi na sio kateka heshima ja kwa ulimwengu,Lakini badala yake ni katika neema ya Nnunga. 13Tukajandishia shashowe ambacho kukakomboranga kushishoma au kuelewa.Ninaujasiri. 14Kwamba kwa sehemu ntuelewenje.Na ninaujasiri kwamba katika liyuva ya Bwana Yesu tunawana sababu genu kwa ajili ya kiburi jenu,kama nnayo pushive kungwenu.15Kwa sababu njikuwa na ujasiri kuhusu hili,njikupinga kwiya kungwenu kwanza ili kwamba muweze mposheranje faida ja olewa mara mbili. 16Nilikuwa njikupanga kwa olelanga wakati nikielekea make donia.Tena nilitaka kuwalolelanga tena wakati mujaga kushoka makedonia,na kisha nyinyi kuntumaa mimi wakati nikielekea uyahudi.17Tunanganishianga namna hii,Buri,ndenda sitasita?Buri njipanga pa mambo kulingana na viwango vya kibinadamu,ili kwamba niseme,''Ndiyo ''ndiyo'' na ''Ngapinga''ngapinga kwa wakati mmoja? 18Lakini kama nneyo Nnungu alivyo mwaminifu,tukaweleketa vyote ''Ndiyo'' na ''Ngapanga''.19Kwa kuwa mwana kwa juu ja Nnungu,Yesu Kristo ambaye silvano,Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni jenu,siyo ''Ndiyo''na ''Ngapinga''.Badala yake,yeye wakati wote ni ''Ndiyo''. 20Nneyo ni Nnungu ambaye kututhibitisha uwe pamoja nanyi katika kristo,na ashi kututuma uwe Nnungu.21Nneyo ni Nnungu ambaye kututhibitisha uwe pamoja nanyi katika kristo,na ashi kutuma uwe. 22Ashi kuvika muhuri juu jetu na alitupa Roho kutaka mitima getu kama dhamana ya kile ambacho kaliji atupatie baadaye.23Badala jake,nnansihi nnungu kunishuhudia mimi kwamba sababu jitutendile nisije korintho ni kwamba nisiwalemee nyinyi. 24Hii sio kwa sababu tunatandilie kuthibiti jinsi ja imani yenu pujipingwa kuwa.Badala jake,tunatenda pamoja nanyi kwa ajili ja ufahamu getu,kama pukunji mangana katika imani getu.
1Njikuamua jika pe na mwene ningaishe je kauuli ningaishe tena kungwenunji katika hali ja uchungu. 2Kama njikunsababishianga mmanganyanji maumivu,ni nani angamfurahishe nne,lakini jwe jula tuleywe na nne?3Njikuandika kama tutendile ili kwamba nnaino nuyaga kungwanunji nguna kombolwe kulaiwa na wendendilenje mvulai.Njikora ujasiri kuhusu mmanganjanji vyote kwamba furaha jangu ni furaha jila pe jila jikwetende mmanganyanji mmowenji. 4Pawa njikunjandishira mmanganyanji kushoka na mateso ga makurungwa,na dhiki ja mtima,na kwa minyoi jajigwinji.Nangapinga kuwasababishianga mmanganganya nji maumivu.Badala jake,Njikupinga ngumanyanje upendo gwa dhati gumkwetenje kwa ajili gwenunji.5Apale jo jowe asababisha maumivu,jangwasababisha ku mgwangu,lakini kwa kiwango fulani-Nnawishe ukali kaje kaje-kungwenu mmanganyanji mmowenji. 6Jenejo adhabu ya mundu huyu kwa bawagwinji inatosha pe. 7Kwa hiyo sasa badala ya adhabu,Musa mehenji na kumpanganje pole.Mtendanje nneyo ili kwamba anashindwe na huzuni kaje.8Kwa hiyo kuna kunteganga mtima kusibitishanga upendo genunji hadharani kwa ajili genunji. 9Je nejo ndo sababu nji kujandika,ili kwamba ngombele kwalinganga na wamumanyanje bakolanje kama ni watii katika kila shindu.10Kama nsamehenji kwa jowe,na nne pia nsamee mundu huyo.She shile shimzamehe kama nsamehe shwa showe kisamehiwa kwa Faida genunji katika uwepo wa Kristo. 11Hii ni kwamba shetani anatutendile ya unami.Kwa kuwa nneyo sio wajinga kwa mipango ja wowenji.12Nnango shikuguliwa kwangu na Bwana punyishe kweneko mji wa Troa kuhubiri injiri ya Kristo pale. 13Hata nneyo,nanga kora raha kumtima gangu kwa sababu nanga pinga mpwanga Tito pale.Hivyo nneyo njikwalekango na kwanguvunja Makedonia.14Lakini tumshukuru Nnungu,Ambaye akutuongoza katika ushindi Kristo mara gowe anakutuongoza uwe katika ushindi kupite kwa tuwe kutangaza mambo ga mbone mahala papowe. 15Pawa uwe kukannungu,ni harufi ja mbone tukakristo,bowenji bokowenje na wangamienje.16Kwa wandunji bangamienji,ni harufu kushoka kifo hadi kifo.Baokolewenje,ni harufu nzuri kushoka kwa uzima hadi uzima.Gani akugamanya mambo gao hivi? 17Pawa uwe nga kama vandu wana vandu vazanga lilelo kannungu kwa faida.Badala jake,kwa usafiri wa nia,funaweleketa katika ukristo,kama nneyo tututumwa kushoka kwa nnungu,mbele jika Nnungu.
1Buri,tusikuisifia tuwayene?Two kapinga barua twakuipendekeza genu au kushoka kugwenu,kama mbuti wandu,Buri tunapinga? 2Mmanganya mmaenenji ni barua jenu ya mapendekezo,Ijandishirwe kwenye miti ma jetu,jimanyisho kushomango bandubowe. 3Nna langulanga barua kwamba mmanganya nji ni barua kushoka kwa kristo,jishoshiwe na uwe.Ijandishwe nga kwa wino bali kwa roho kuka Annungu aliye hai jangajandila kwa na ibao ga maganga,bali juu ibao vya mtima ya wandunji.4Aguno ujasiri gutukwete gwa pitile kwa Kristo. 5Kukawiya minitwashayene kulonga shashoye kama kushoka kungwenu.Badala jake,kuiyamini kumgwantu kushoka kwa Annungu. 6Ni nnungu atutendile tuwe na liagano jipya.Hili ni agano sio la barua bali ni la Roho.Kwa kuwa barua jinaulaga,lakini roho inashoga uhai.7Nnaino lyengo ya kifo jialewee katika herufi ibao maganga iishe kwa namna ja utukufu kwamba bhanda wa israeli wala kumrolanga moja kwa moja kwenye moyo meyo kwa Musa .Ajino kwa sababu ja utukufu gwake . 8Buri lyengo ya Roho shijive utukufu zaidi?9Pawa kama huduma ya hukumu ilikuwa na utukufu,ni mara galingwa huduma ya haki jazidi katika utukufu! 10Hero ni kweli kwamba,sheshila sjitendilwe utukufu kwanza shangali utukufu tena katika heshima hii,pawa se ja ngali sababu ya utukufu unaozidi. 11Pawa kama she shila shapitaga shishi kolana na utukufu,ni kwa kiasi gashi zaidi sheshila shadumu shishiwe na utukufu!12Pawa tunakwiyamini hiyo,tunaujasiri kaje. 13Twangawa kama Musa,awishile utajiri juu ja uso gake,ili kwamba binadamu wa Israeli banako mbolanje kulola moja kwa moja kwa mwisho gwa utukufu mbali gashokaga.14Lakini fahamu jawonji ishi kuugalwa.Hata siku jijipeji bado jinajala juu ja sima wa agano la kale.Jangawikwa wazi,kwa sababu jaka kristo jika pe inashoywa mbali. 15Lakini hata lelo,wakati gogoye musa pasho mwa,utaji hukaa juu ya mtima gao. 16Lakini mundu pa kupindikuka kuvaa Bwana,utaji unashoywa.17Nnao Bwana ni Roho.Pali na mtima jula bwana,pagwa uhuru. 18Nnano uwe tubowe,pamija na meyo ikanawa ivishiwe utaji,kulola utukufu ju kwa bwana .Tunabadilishwa na muonekano getu gula pegula kwa utukufu kushoka shahada moja ya utukufu kwenda kuna,kama pwili kushoka kwa bwana ambayue ni roho.
1Pawa hiyo,nji kwasababu tushikora huduma ju jenejo,na kama inneyo tushiposhera rehema,tukaakata tamaa. 2Badala jake,tushikana mipanda ja aibu na iishiwe.tukatama hila,na tukatumia vibaya lilowe tukannungu.Kwa kuwa silisha gali kweli,tunakuwilangula tuwa shayene wa dhamini ya mundu ju ka Nnungu.3Lakini kama injili jetu jishiwa,Jinsi wa kwa waangamianga. 4Katika uchaguzi gwawonji,Nnungu wa ulimwengu gweguno ashikwaposhanga fahamu gawonji zisizo amini.Matokeo gake,bakakombolanga kujiona nuru ya injili ya utukufu jwa Kristo,ambaye mfano guka Nnungu.5Pakuwa tukaitangaza tuwayene,bali Kristo Yesu kama Bwana,na uwe tuwa yene kama tuwatumishi wa Injili jika Yesu. 6Pa kuwa Nnungu ndiye ambaye awarekete,''Mwanga utaanganza kushoka paruindu.''Ashilola tu mmitima Jetu,kushoya mwanga maarifa ja utukufu kwa Nnungu katika uwepo wa Yesu Kristo.7Lakini tushikora hazina hii katika yaani ya udongo,ili kwamba ieleweshe kuwa nguuvu jaji kurugwa jika nnungu nasio jetu. 8Tunataga kwa kila hali,lakini tukaso gwa.Tukaona shaka lakini tukajali na kukata tamaaa. 9Tunateswa lakini tukanawe tekelezwa.Tuna japai lakini tukakumng'ovya. 10Mowa gowe tunajigala pashilu shetu kifo cha Yesu,ili kwamba uzima wa Yesu uonekane pa shiilu shetu.11Uwe tuli hali mowa gowe tushishoywa kufa kwa ajili jika Yesu,ili kwamba uhai guka Yesu,uonekane pa iiru yetu ya wandu. 12Kwa sababu hii,kifo shinatenda lyengo iinu yetu,bali uzima unatenda lyengo.13Lakini tushikora mtima neypeila yaimani kama paijandikwe:''Nji kuamini,na nneyo nji kuwereketa.Uwe pia njikuamini nneyo pia njikuwereketa.Uwe pia nji kuamini nneyo pia njikuwereketa. 14Tunakumunganya jwe jula amchoshie bwana Yesu shatuyuye uwepa moja naye.Tumumanyi kama uwe shajie kutulola pamoja nanyi katika kupagwa kwakwe. 15Kila shindu kwa ajili jetu ili kwamba,kwa lyenga kuliendelea kwa wandu wawenji,shukrani zizidi kuongezeka kwa utukufu kuka Nnungu.16Nneyo tukakata tamaa.Mkali kwa palanga tunanyata,kwa nnyumba tunatendwa upya liyuva hadi liyuva. 17Kwa wakati Aguno mchoko pe,Mateso ga mashoko gana kutuandama ueve kwa ajili ya umilele kutopa utukufu uzidi ipimo yowe. 18Pawa tukalolana kwa ajili ja indu ionekana bali kwa ajili ya indu mbali ka onekana.Indu ituli kombola kuiyona ni yamuda tu,bali indu ikaonekana ni vya milele.
1Tumumanyi kama maskani ga padunia pututama gana haribiwa tukwete lijengo kushoka kwa Nnungu.Ni nyumba jikalaywa na wandunji,bali na nyumba ja milele,katika mbingu. 2Pawa katika lyena hii,jeneji tunalwala,Tunatamani kuvikwa na maskani getu mbinguni. 3Tunaatamani kwa ajili ya hii kwa sababu kuivaa tukawonekana kuwa tuuchi.4Kwa hakika kwa wakati tulimnyumba jali hema hii,Tunarwarwa tuelemewaga. Tukapinga kuhurwa,Badala jake,Tunapinga kuwashwa,ili kwamba shiwili shimiwona uzima. 5Jwe jula atuandalie uwe shene shindushi Nnungu ambaye atupele uwe mtima kama ahadi kwa sheshila shipinga kuya.6Kwa nneyo mmanganya na ujasiri mawagowe mmanganji meyo kwamba wakati tulipamuwi katika pa shiiru,tuko mbali na Bwana. 7Pawa tunaowa kwa Imani,Ngawa kuwa lola.Kwa nneyo tushikora ujasiri. 8Ni bora tuwenimbali kushoka pa shiiru na kugwetu pamoja na Bwana.9Kwa nneyo tunatenda lilengo lyetu,kama tuwaga pamui au mbali tumpendeze jwenejo. 10Nneyo pawa lazima tushikora mbele ja kiti cha hukumu ja Kristo,ili kwamba sheshila jumuapishere sheshila shista hili kwa mambo gatendesha katika pa shiiru,shi waga kwa shambone au kwa ubaya.11Kwa Nneyo,kwa kujimanya hope ja bwana,tuna kuwashawishingi wandanji.Jinsi tulivyo,Inaonekana wazi na pa Nnungu.Naamini inaeleweka pia kwenye dhamiri jene. 12Tukalinga kumshawishingi mmanganiyanji tena kutulola uwe kama wakweli.Badala jake,Tuna kumpanganga ninyi sababu ja kuipuna kwa ajili getu,ili kwamba mkoranje na majibu bakwinipulilanga kuhusu na muonekano lakini ngawa sheshila shilima mtima.13Kwa Nneyo ikiwa kama tushiguru kwa na kama sheshela na akili,ni kwa ajili jika Nnungu.Na tulia akili jetu timamu,ni kwa ajiri jenunji. 14Pawa Nneyo kwapinganga kwa Kristo wanakutu shuhurishanga,kwa sababu tuna uhakika na hili:Kwa ajili mundu juma ashiwa kwa ajiri ya wandu bowe,kwa nneyo bowenji bawilenje. 15Ta kristo ashiuwa kwa ajili ja wowe,ili kwamba vewala watangamananga bana tangamanje kwa ajiri ja shae enenji.Badala jake,lazima watananje kwa ajiri jake jwenejo awile na ayushiwe.16Kwa sababu jwenejo,kuanzia nnaino na kuendelea kwa kuhumukumu mundu kulingana na lwango ya wandunji,Ingawa tushi kumnora Kristo katika nneyo.Lakini nnaino kwa kumuhukumu jojoye kwa namna hii tena. 17Kwa Nneyo,lwaga mundu jojoye yako ndani ya Kristo,jwenejo shiumbe shayambi.mambo ga bukara gapitile kulola ga shiwanga yami.18Indu yowe yeneyo kuishoka kwa Nnungu.Ashiku tupatanisha uwe kwa kumgwake bayene kushoka Kristo,na ashiku tupatia huduma jo Upatanisho. 19Kweneko ni kuvereketa,katika Kristo,Nnungu Ashi kupatanisha pa dunia kumgwake bayene,ngawa kuhesabu makosa gawonji.Vabawika ujumbe go upatanisho.20Kwa Nneyo tunaagulwa kama wawakilishianga kristo,kana kwamba Nnungu ashikukata rufaa jake kushoka uwe.Tunakuwasihinji nyinyi kwa ajiri ya kristo upatanisho kuka Nnungu!'' 21Ashikumtenda kristo kuwa sadaka kwa ajilipe ja dhambi jetu.Jwenejo ndiye ambaye akanatenda shambi.Ashi kutenda Nneino ili tukambole kutenda ka haki jika Nnungu katika Jwenejo.
1Na kwa Nneyo,kutenda lyengo pamoja,tuna kushihinji mposheranje neema juka Nnungu pasipo matokeo. 2Pawa anasema,''Wakati ukubalishe itikuwa makini kungwenunji na katika lyango ya wokovi nji kumsaidianga.Rola,lyongo ni wakati ukubalishe.Rola lyengo ni iku ya wokovu. 3Tukavika liganga lalivila tuka mundu jojoye,pawa nneyo tunga pinga huduma getu iletwe katika sifa jangali mana.4Badala jake,tuna kuiyamini tuwayene matendo getu yote,kwamba tu watumishi lika Nnungu.Tu watumishi jake katika wingi bashikora ustamilivu,mateso,dhiki,ugumu gwa maisha, 5Kukomwa,vifungo,ghasia,katika kutenda lyengo kwa bidii,katika kukwa usingizi usiku,katika shiwanga, 6Katika usafiri,maarifa,uvumilivu,wema katika Roho mtakatifu,katika upendo halisi. 7Tu watumishi jake katika lilowe la kweli,katika mashiri juka Nnungu.Tushikora si laha kuume gwa kushoto.8Tunatenda lyengo katika heshima na kudharauliwa,katika kashfa na sifa.Tuna hutumiwa kuwa baunami na wakati tu wakweli. 9Tunatenda lyengo kana kwamba tukamanyika na wala bado tukamanyika okoto.Tunatenda lyengo kama wawilenje na mnore bado masikitiko,lakini sio kama baakumiwenje hata kuwa. 10Tunatenda lyengo kama wenye masikitiko lakini mowa gowe tuna furahi.tunatenda lyengo kama masikini,lakini tunakuwa faidishanga wawagwinji.Tuna tenda lyengo kana kwamba tukapatak ilab ama tunaomiliki kitu.11Tushiwereketa ukweli gwenu,wakorintho na mtima jetu imefunguka kwa upana. 12Mtima jetu jikaivilwa na uwe,bali mnaivilwangu na hisia jenunji. 13Inaino katika kubadilishana kwa haki kuwereketa kama kwa wana-mlungulanje mitima jenunji.14Nanganyanje pamoja ba ka amini nji pawa uhusiano gwashi kwa upana?Na kuna ushirikiano gani kati ya Nuni na lawindu. 15Ni makubaliano gani Kristo anaweza kuwa najo na Beriali?Au jwenejo aminiwe akotesehemu jashi pamoja na jangaamini? 16Gapa makubaliano gashi kati ya hekalu na Nnunga na shanamu?pawa uwe ni hekalu la mungu aliyehai,kama ambavyo Nnungu ashikuwereketa:Ashindame kati jao na kuwaa kati jao.Shimme Nnungu jao,shiwa wanganje wandu wangu.''17Kwa Nneyo,''Nchokangane kati jao,na mkatengwe nao.''anawareketa Bwana.''Na kamuranje shindu sha nyata,na gani shamkaribishange mmang'anyanyi. 18Shimme na mngwawenunji kumgwe nunji mmnanganyanji shimme shiwa nangu jwa shileu na jwandonga,''awereketa Bwana mwenyezi.
1Napendwa wangu,pawa tushikora ahazi jeneje,na tujitakase tuwashayene kila shindu ambalo jikututenda tunyate pa shiiru shetu na katika roho.Na tulolee utakatifu katika hofu juka Nnungu.2Mtendanje nafasi kwa ajili jetu!tunga mkosa mundu jojoye.Hatukumdhuru mundu jojoye.Twa ngaji na faisha kwa faida ja mundu jojoye. 3Wanavereketanga hilisiyo kwa kuwalaumunju pana nimvereketanga kwamba mmo mtima getu,kumgwetu uwe kufa pamoja na kutama pamoja. 4Nina ujasiri mwingi kati yenunji,Ninakuipanila nga kwa ajili jenunji.Nimejawa faraja .Nina jawa na furaha hata katikati ya mateso genu.5Twahishe makedonia,shiiru shetu yangawa na mapumziko.Badala jake,tushikupata taba kwa namna jowe kwa kupingwa vita upande gwa kalanga na upande gwa kati. 6Lakini Nnungu,anayefanji na waliokata tyamaa,alitufariji kwa ujio wa Tito. 7Yangawa kwa Ujio gake kwamba Nnungu ashitufariji.Ishi kuwa faraja zile Tito ashi kuipashera kushoka kumgwetu jwe nejo ashikuwanjila upendo tuligonako,huzuni jenu,na mlivyo kuwa na wasiwasi kwa ajili jangu.Nneyo njizidina furajo kaje.8Hata ingawa waraka jangu njikutenda na basi kutishana,mimi nnenga jutia.Lakini nguna hutia wakati nimlolanga waraka huo mwa tendilenje mmangonyanji kuwa na huzuni.Lakini njikoranga na huzuni kwa muda mchope. 9Nnaino nina furaha,si kwa sababu mlikuwa na shida,lakini kwa sababu huzuni jetu iliwaleta kwenye tobo.njiikupatwangwa na huzuni ja kiungu,nneyo njikuteswanga si kwa hasara kwasababu yetu. 10Pawa huzuni ya kiungu huleta toba ambayo hukamilisha wokovu bila ya kuwa na majuto.Huzuni ya kidunia,Hata hivyo huleta mauti.11Mnoranje huzuni hii ya kiunga ilizalisha azma yake kubwa ndani jenu.Jinsi gani azma ishikuwa jikulungwa ndani jenu,kuthibitisha kuwa twangali hatia.kwa jashi uchungu ngwetu uligwa mkurungwa,hofu jenunji,matamanio jenunji,bidii jenunji,na shauku jenunji kulola kwamba haki jinapaswa kutendeka.katika kila jambo mmethibitisha wenyewe kutokuwa na hatia. 12Ingawa nji kuwajandishira mmanganyanji kunjandishira kwa ajili ya mkasaji,wala si kwa mundu atesilwe na maovu.Kunjandishira ili kwamba udhabiti gwa mitima jenunji kwa ajili jetu ifanywe kujuli kana kumngwenunji mbele ya meyo ya Nnungu.13Ni kwa ajili hii kwamba tunafarijika.Katika Nyongeza faraja jetu tuwa yenetunafuraha ya Tito,pawa roho jake nji kubudulika na mmanganyaji wawe. 14Pawa kama nilijivuna kumgwake kuhusiana na mmanganyanji,sikuwa na aibu.kinyume chake,kama tu kila neno tulilosema kumgwena lilikuwa kweli,majivuno jetu kuhusu mmanganyanji kwa Tito yalithibitisha kuwa jakweli.15Upendo gwake kwa ajili jenu hata ni makubwa zaidi,kama akumbukapo utili wenu nyote jinsi mlivyomkaribisha yeye kwa hofu na anatetemeka. 16Njifurahi kwa sababu nina ujasiri kamili ndani yenu.
1Tunakuwa pinganga mmanganyanji mjue,akaka na adada,kuhusu neema ja kwa Nnungu ambayo jishoshiwe kwa makanisa makedonia. 2Wakati wa gwamajaribu ga mateso,jajigwinji wa furaha jao na ongezejo la umasikini gwao ushiwerekwa utajiri gwamkurungwa wa ukarimu.3Kwa neyo maana tunashuhudia kwamba washa shienje kadiri pakombolenje,na hata zaidi ya pakombolenje. 4Na kwa hiari gawonji kwa kutusihi kwa kugwinji,washi kutuombaga kwa ajili ja shirika katika huduma hii kwa waumini. 5Hii janga kuposhera kama tulivyotarajiaga.Badala jake,kwanza Bashi kuishoyanga gwao gwawonji kwa Bwana.Kisha Bashikuishayanga gwa baenenji kumgweta kwa mapenzi ya Nnungu.6Nneyo tushikumsihi Tito,aliteyali kuanzisha lene lyengo,kuleta katika utimilifu lyengo hili la ukarimu jenu. 7Lakini mmanganyanji wingi katika kila shindu-katika imani,katika usemi,katika maarifa,katika bidii,na katika litendo hili la ukarimu.8Nawereketa hili si kama amri,Badala jake,na sema hili kupima uhalisi wa upendo jenu kwa ringanisha na shauku ja wandu wana. 9Nneyo maana nikumanyanga ya Bwana jetu.Yesu Kristo.Nneyo kama pariji tajiri,kwa ajili jenu pariji maskini.Ili kwamba kushoka umasikini gwake mweze utajiri.10Katika jambo hili shinimpanganje ushauri ambao kushimsaidianje.Shaka shimo shipitile mmanga tandu wanga kutenda shindu.lakini mwatamanynji kufanya. 11Nnaino mkami lishanje.kama tu pu twariji na shauku na nia ya jatenda jambo.Lakini mlitamani jatenda,kisha je kalinji pia mkombolenje katika ukamilifu,kwa kadri ya mnavyoweza. 12Kwa Nneyo mshauku ya kutenda tenda hili,ni jambo zuri la jambone linakubalika.Lazima lijime juu sha sheshila sha kwete mundu,siyo juu shakanawa jwawa mundu.13Kwa Nneyo lyengo leneyo sio kwa ajili kwamba pawa wananji bakombo lanje kupata nafuu na mmanganyanji mkombolanje kuelemewa. 14Gwinji gwenunji wa wakati wa sasa shi msaidia kwa sheshila sha kupinganga kwa sheshila kwa kupinganga.Hii ni hivyo pia ili kwamba wananji bakolelanje kusaidiana mahitaji getu na kwamba kuwe na usawa. 15Hii ni kama kujijandikula,yeye yeye aliye na vingi jangawa na shindu shosho ule shejela na ka jenejo ali na shishoko jangali na uhitaji jojoye.''16Lakini ashi kuriwe Nnungu,awishile ndani ya mtima wa Tito mtima ulelile wa bidii ya kujal ambayo nnayo kwa ajili getu. 17Kwa Nneyo si kitu ashi kuposhera maombe jetu bali pia alikuwa na bidii kuhusiana na maombi gawonji alikuja kumgwetu kwa hiari yake mwenyewe.18Tushikumtuma pamoja naye mpwanga ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa kwa ajili ya lyengo jake katika kutangaza injili. 19Si nneyo tu,lakini pia ashi kuwagalwa na makanisa kusafiri na uwe katika kujigala sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu.Hii ni kwa utukufu wa Bwana mnyene na kwa shauku jetu ya kusaidia.20Tunaepuka uwezekano kwamba jojoye napaswa kulalamishe kuhusu na uwe.Kuhusiana na ukarimu huu ambao tunaoabeba. 21Tunatenda wangalifu gwa walayendu kilicho cha heshima,sio tu mbele za Bwana,lakini pia mbele za wandu.22Pia tunakumtuma mundu juna pamoja nao.Tushikumpima mara nyingii,na tushi kumuona ni mwenye shauku ajili ya kazi nyingi.Hata sasa ana bidii zaidi kwa sababu ya ujasiri gama kurungwa alionao ndani jenu. 23Kwa habari jika Tito yeye ni mshirika mwenza wangu na jwa tenda lyengo mwenzangu kwa ajili jena.Kama kwa mpwake yetu,banatumwanga na makanisa.Ni baeshimanje kwa Kristo. 24Nneye,watangulanje upendo gwenu na mnangulanje kwa makanisa sababu ya majivuno getu kwa ajili jenu.
1Kuhusiana na huduma kwa ajili ja waumini,ni bora zaidi kwangu kuwajandishiranga. 2Nina kumumanya kuhusu amu jenunji,ambayo nji kwipunila ku wandu wa makedonia,Njiku nnugulilanga kwamba Akaya jishi kuwa teyari tangu shaka shipitile.Hamu jenunji jishi kuataganga mtima bowenji wao kutenda.3Sasa nji kuwatumanga mpwake ili kwamba majivuno jenunji kuhusu mmanganyanji yasiwe ya bure,na ili kwamba Ngaliji tayari,kama pumereketenje ngaliji. 4Vinginevyo,kama mundu jojowe wa makedonia ajiyaga pomoname na kwaimananga wakawa nae manyanga tayari,ashikuiona haya kwa kuwa jasiri sana katika mmanganyanji. 5Nneyo kurola ishi kuwa muhimu kwa sihinji kuya kumgwe nunji na kutenda mipango mapema kwa ajili ya zawadi mlizoahidi.Hii ni hivyo ili kwamba iwe tayari kama baraka na si kama shindu shiamuriwe.6Liwazo lyenelo:apandaye haba pia kuuna haba,na jojoye apandaye kwa lengo la baraka pia kuuna baraka. 7Bai na kila mundu ashoye kama papanjive mumtima gwake.Basi naye anashoye kwa huzuni ana kumpenda yule ataye kwa furaha.8Na Nnungu anakombola kuizidisha kila baraka kwa ajili jenu,ili kwamba ,kila wakati katika mambo gowe,mkombolanje gowe mahitaji,Hii shijiwe ili kwamba mkombolanje kuzidisha kila tendo jema. 9Ni kama kujijandikwe.''Ashitapanya utajiri gwake na shoya kwa umasikini.Haki jake yadumu milele.''10Ashoye mbegu kwa mpanzi na mkate kwa ajili ja shalya,pia shashaye na zidisha mbegu jenu kwa ajili japanda jwenejo shajenje shei mavuno ga haki jawonji. 11Shimtajiri shwange kwa kila namna ili kwamba mmanganje mmakarimu .Jenejo shijiwe shukrani kwa Nnungu kushoka uwe.12Kwa tenda huduma jenejo ngawa jinagusa mahitaji ya waumini pia kuzidisha katika matendo gamagwinji ya shukrani kwa Nnungu. 13Kwa sababu ya japima kwenunji na kuthibitisha huduma kwa utii kwa ukiri gwenu wa injili ya Kristo.pia shimu mtu kuzanje Nnungu kwa ukarimu wa karama kwao na kwa kila jumo. 14Wana kwa tamani,na wanajuganga kwa ajili jetu.wanatendanga hivi kwa sababu ya neema jikurungwa ya Nnungu iliyo juu jenu. 15Shukrani jiwe kwa Nnungu kwa karama jake jikalugulika!
1Nne Paulo,mnyene nguna kunnugulilanga kwa unyenyekevu na upole wa Kristo.Nne ni mpole wakati mmagamunju jwenunji ,lakini ninaujasiri kungwenunji wakati mbali mmanganyanji. 2Nna kunjigwanga mmanganyanji kwamba,wakati moga pamoja mmanganyanji,napinga kuwa jasiri na kujiamini kwangu mwenyewe.Lakini ngunaganishira nnapinga kuwa na ujasiri wakati njikuwapinga wale wanaodhani kwamba tunatama kwa jinsi ya shiiru.3Pawa hata kama tunawa katika shiiru,Tukakomana vita kwa jinsi ya mwili. 4Pawa silaha itutumia tukakomana siza shiiru.Badala jake,Zinanguvu ya kiungu ya kuhalibiya ngome ishoywa kabisa mijadara ji potashwa.5Pia,tunaliviya kila chenye mamlaka kijiinuacho dhidi ya maarifa ya Nnungu.Tushikutenda mateka kila wazo katika utii kwa kristo. 6Na tunapata utayari wa kwa adhibu kila matendo likanawa la utii,maratu utii gwawonji uwa kamili.7Lolanga sheshila shiliwazi mmujo gwenunji.Kama shoshowe anabilishika kwamba jwenejo ja kwa kristo.Na hebu muikumbushe jwenejo mnenye kwamba kama tu alina kristo,Nneyo ndiyo pwiri na uwe pia tulimneyo. 8Pawa nguna kuipuna kashoko zaidi kuhusu mamlaka getu,ambayo bwana basheshie kwa ajili getu kuashenganga nga kuwaharibianga,Ngaona hayo.9Ngapinga lenelyo lionekane kwamba nguna kumtishanga mmanganyanji kwa nyaraka zangu. 10Kwa vile baadhi ya wandunji huvereketanga,''Nyaraka yake ni kali zina nguvu,lakini kwa shiiru dhaifu.Malowi gake ga kasta hili kupilikaniwa.''11Hebu wandu wajene jinsijo waelewanje kwamba sheshila tuvereketa kwa waraka wakati tuwanga kuwatalika,ni sawasawa na vile kututenda wakati tuwaga pepala. 12Tukakwenda kwa hatari ka kama kujikusanya wayene au kuilinganisha wayene na wananganyaji bakwisifianga baenenji.Lakini bakwipimanga wayene na kila mundu wao,bangali akili.13Uwe,hata nneyo,twangaipuna kupita mipaka.Badala jake,shitutende nneyo tu ndani ya mipaka ambayo Nnungu ashikutupumila uwe.Mipika jiika umbali kama gwetu ulivyo. 14Pawa twangazidishia wayene pushaishirenje uwe.Kutwariji kuwa kwanza kuika kwa umbali kama jenunji kwa injili kristo.15Twangaipulana kupita mipaka kuhusu lyengo la wananji.Badala jake,tunatumaini kama Imani jenu ikuavyo kwamba liyeneo letu la lyengo shipanuliwe sana,na bado ndani ya mipiko sahihi. 16Tunatumaini kwa hili,ili kwamba tukombole kuhubiri injili kwenye mikoa zaidi jetu Tukaipuna kuhusu lyengo litendwa katika maeneo gana.17''Lakini jojoye akwipuno,akwipuno katika Bwana.'' 18Kwa maana nga jejula athibitishaye mnyene anathibitishwa.Isipokuwa,ni yule ambaye Bwana humthibitisha.
1Nasihi kwamba mkavumilienenje na nne katika baadhi ya upumbavu.Lakini kwa kweli nnavumiliananga na nne. 2Pawa ni mwenye wivu kuhusu mmanganyanji.Njikora wivu wa Nnungu kwa ajili henunji,tangu puningaidinji mmanganuanji kwenye ndoa ya bwana wamo.Nikuwaidi wapelekana mmanganyanji kwa Kristo kama bikra safi.3Lakini ngunajokopa kwamba kwa namna fulani,kama lijoka pantembile Eva kwa hilijake,mawazo jetu ga nawezwa halibiwa mbali kushoka kwenye ibada halisi na safi kwa Kristo. 4Pawa mfano kwamba mundu fulani ashikwiya kutangaza Yesu juna tofauti na jwe jula twa hubirinji.Au kwa mfano kwamba Nikwenda kumposhera mjilijina tofauti na jejila jimposherenji.Nikumvumilianga mambo genego vema ganatosha!5Pawa ngunadhania kwamba nne si miongoni mwa walio duni kwa weneo washemwanga mitume-bora. 6Lakini hata kama nne nangajiganya katika kushoya hotuba,nangawa nneyo katika maarifa.Kwa kila namna na katika mambo gowe gutunde bdile hili tumanyishe kumngwenunji.7Buri,njikutenda dhambi kwa nakuinyenyekeza na mwene ili mmanganyanji ila mkombolanje kujinalwa?pawa Njikuhubiri kwa uhuru injili jika Nnungu kumngwenu. 8Njikumpokonyera makanisa gana kwa posnera msaada kushoka kumngwao ili kwamba ngakombole kuwa hudumianga mmanganyanji. 9Wakati punaliji mmanganyanji na njikuwa katika uhitaji,Nanga mtegemea jwa joye.pawa mahitaji gangu ashikutekelezwa na ndugu baikengenenje kushoka makedonia.Katika kila shindu njikuivila na mwene kwa ngava mchingo kumgwenunji,na shingendele kutenda nnego.10Kama kweli ya kristo puwiri ndani jangu,kweneko kusifia kumgwangu,kukapumuywa katika sehemu za Akaya. 11Kwa Nndiyashi?kwa sababu ngakwapi nganga?Nnungu ammanyi kama Nangwapinganga.12Lakini she shila shindendile,shindende pia.Shindende ili kwamba ngombole kuivila nafasi ja wanangananji batamaninji nafasi ya kuwa kama putuli na sheshila shakuipunilanga. 13Pawa wandu ni mitume wa unami na watendanga lyengo,baunamiji.Wanakuigeuzanga washaenenji kama mitume wa Kristo.14Na jejino jikashangaza pawa hata shetani kuipindi kula mnyene kama malaika ga Nuru. 15Hii haina jangalimshangao gamakurungwa kama watumishi wake pia kuipindikula mnyene kama watumishi wa haki.Hatma jawonji shiga we kama matendo gastanilivyo16Na wereketa tena:Bai na anapangwe mundu jojoje afikiri mune ni mpumbayu.Lakini kama mtendaga,mposheranje nne kama mpumbavu ili ngombolwe kuisifia kushoka. 17She shela njinguvereketa kuhusu huko kwiyamini kukaukumiwa na Bwana,lakini ngunavereketa kama mpumbavu. 18Kwa Nneyo wandu wawangwinji kwipunanga kwa ajili ja pashiiru,shinipune kaje.19Pawa Nchi kumtorelanga kwa furaha na upumbavu,mmang'anyanji mweneo mna busara! 20Pawa Nnatolelananga na mundu kama akututaga utumula,kama kusababisha mgawanyiko kati jawanji,kama atutumiaga mmanganyanyi kwa faida jake,kama aiwishe panani,au kama akutukomanga tumeyo. 21Shimerekete kwa aibu jetu kwamba uwe tuwaga dhaifu kaje kutenda nneyo.Na bado kama jojoye akwipuna--nuna vereketa kama mpumbavu--Nne pia shinipune.22Buri,benanganyanji wayahudi?Na ne ni nneyo.Buri,weneo ni waisraeli? Na nne ni Nneyo.Buri,weneo ni uzao wa Abrahamu?Na Nne ni Nneyo. 23Buri benanganyanji watumishi wa ka Kristo?{Nguna wereketa kama Njikunukwa na akili jangu.}Nne ni kaje.Njivataka katika lyengo lya ligumu kaje,mbali kaje ya kuwa vifungoni,katika kukomwa kupita ipimo katika kukabili hatari ja shiwa.24Kushoka kwa wayahudi Njiposhera mara tano''Mapigo arobaini kutoa mmoja.'' 25Mara tatu njikomwa na shiboko.Mara moja nji komwa maganga.Mara tatu njikunu sulika melini.Njitumia shilona katika bahari wazi. 26Njikuwa na mianya ja kila wakati,katika hatari za mito,katika za majambazi,katika hatari kushoka kwa wandu wangu na mwene,katika hatari kushoka kwa wandu wa mataifa,katika hatari ya mji,katika hatari ya Anga,katika hatari bahari,katika hatari kushoka kwa ndugu waongo.27Njiwanga katika lyengo ligumu na katika maisha gamagumu,katika shila shashi gwingi wa gwangali kugona,katika shiwanga na njota,mara gamongwinji katika kuugala,katika baridi na uchi. 28Mbali na shindu shina,kuna msukumo gwa kila siku juu jangu wa kwa wasiwasi jangu kwa ajili ya makanisa. 29Nani dhaifu,na Nne nga dhaifu?Gani gani asababishe juno kwanguka kungwa kuma shambi,na Nne ngalwalila ndani?30Kama lazima niipe,shi niipunile kuhusu sheshila shilangula udhaifu gwake. 31Nnungu na Awawa wa Bwana Yesu,Jenejo ambaye atukuzwa milele,anakummang'anya kwamba Nne Ngalambila.32Kule Dameski,mkuu wa mkoa chini ya mfalme Areta paliji atenda kushi linda mji wa Dameski ili kungamlo. 33Lakini nji kuvikwa nchi kapu,kupitila pa dirisha katika ukuta,na njinusari ka kushoka mikononi mulao.
1Ni lazima niipune,lakini shakwashio ngezeka kwa nneyo,Bali shinyendelee kwenye moono na mafundo kushoka kwa Bwana. 2Nilikummanyanga mundu jumo katika kristo ambaye yaka kumi na minnejipitile ambaye ikiwa katika mwili,au nje ya pa shiiru,Nne kumumanya,Nnungu anakumumanya ashikunya kurwa kunani katika mbingu ya tatu.3Na nguli kamunyanga kwamba mundu jwenejo ikiwa katika pa shiinu au nje ya pa shiiru,Nne kumumanya,Nnungu anajua-- 4ashi kutorwa kunanu hadi paradiso na Nguna piri kana mambo matakatifu kaje kwa mundu jojoye kugawereketa. 5Kwa niaba jika mundu kama jwe jeno shiinnipune.Lakini kwa niaba jangu na mwene Ngaipuna .Isipokuwa kuhusu udhaifu gwangu.6Kama mbinga kwipuna,Ningaweje mpumbavu,pawa kaliji nganiwereke ukweli.Lakini shineshe kuipuna,ili kwamba anapague jojoye apingamvi kiria zaidi hayo kuliko shionekana ndani jangu au kupirikani ka kushoka kumgwana. 7Ngaipuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu.Kwa Nneyo,hivyo nga zajwa na kiburi miiva ushikuvi kwa ndani pa shiiru shangu,mjumbe wa shetani kuicha mbulila Nne,ili nguna pindi kushekuwa na majivuno.8Mara tatu nji kwasihi a Bwana kuhusu hili,ili weneo kujaula kushoka kumgwangu. 9Nawashihi kumutuka,''Neema jangu inatosha,kwa ajili jangu,pawa mashiri kutenda kamili katika udhaifu.Nneyo kalijindamani zaidi kuipuna zaidi kuhusu udhaifu gwangu,ili kwamba uwezo wa Kristo kombole juu jangu. 10Kwa nneyo inatosha kwa ajili ja kwa Kristo,katika udhaifu,katika matukano,katika shida,katika mateso,katika hali ja maji kitiko.Pawa wakati maga dhaifu njikora nguvu.11Nne njiwa mpumbavu! mmanganyanji nchi nilazimishanga kwa lyeneli,pawa kalijii msifiwenje na mmanganyanji.Pawa nangawa mifume -bora,hata Nne nga shindu. 12Ishara ya kweli za mitume ishikutendeka katikati jetu kwa uvumilivu,ishara na maajabu na matendo ga makungwa. 13Kwa namna gashi pumwalinginji mmahimu wa chini kuliko makanisa gaigele,Nikawe kwamba nangawa mchigo ku mngwenunji?Mzamehenji kwa likanisa lyeneli!14Nnole!Nne puni tayari kuya kumgwenunji kwa mara ja tatu ngawa mchigo kumgwenunji pawa.Ngapinga shiri shenunji.Kunakumpinganga Mmanganyanji pawa wana bakapaswanga kuwi kanga akiba kwa ajili ya wazazi.Badala jake,wazazi bakapaswanga kuwikanga akiba kwa ajili ya wana. 15Shimvula kaje kutumia na Atumiga kwa ajili ja nafsi jenu.Kama nguna kuwa pinganja kaje,Ngunapingwa kashoka?16Lakini kama puwiri.Na ngamlemeanga mchego mmanganyanji.Lakini pawa Nne ni ngunaelewa kaje,Nne ni jwe jula ashikwa kamulanga mmanganyaji kwa nimekuwa ambaye awapatilenje kwa unami. 17Buri,Njikutora kwa kuitendela faida jojoye na mtumile kumgwenunji? 18Njikumsihi Tito kwiya kumgwenu,na nji kutuma ndugu juna pamoja na jwenejo.Tito ashikwatendilanga faida mmanganyanji?Buri,twangaowa tuka mpanda gula pe gula?Je twangaowa katika luwajo lala pe lula?19Mnaganishianga kwa muda gweguno gowe tushi kuwa tutenda kuitetea kumgwenunji mbele jika Nnungu,na katika kristo,tushikuwa tundawereketa kilashinda kwa ajili ya kuimalisha mmanganyanji.20Njikora hofu kwamba kungupinga kwiya nnawezekana Nnampata nje mmanganyaji kama pungutamani.Njikora hofu kama .Nna kombolanga nne kama pukumtamanenje.Ngunahofia kwamba shituwe na majadiliano,wivu,milipukoya hasira,tamaa ya ubinafsi,umbeya,kiburi,na mpwai. 21Njikora hofu kwamba pushimuje kawili,Nnungu jwangu shakombola kuninyenyekeza mmoja jetu.Shikola hofu kwamba Ngulikombola kuhuzunishwa na wawangwinji washitendanga mashambi kabla ya sasa,na ambao wangatu bunji ushapu na uasherati na mambo ga tamaa gakutendanga.
1Aguna mara ya tatu kwamba nguna kwiya kumngwenunji.''Kila lishitaka lazima lishenjwe na uthibitisho gwamashahidi bawilinji au watatu.'' 2Merekete kwa wenanganyanji watendile nje mashambi kabla na kwa wananji bowenji wakati palinginji kweneko mara gawili,na vereketa tena:Kushinyie tena,ngamvumi lianga.3Nakwaluguli langa mmanganyanji hili kwa sababu jake mnaloleanga ushahidi kwamba kristo anavereketa kushoka Nne.Jwe neyo ngawa dhaifu kumgwenu,Badala jake,jwe nejo ni mnyene mashiri ndani jenu. 4Pawa ashikulindwa katika udhaifu,lakini jwa mkoto kwa mashiri za Nnungu miongoni mwenu.5Muilolanje mmashaenenje muilolanje kama nni nginji na katika imani.Mwipimanje mmaenenji.Nkakumumanyanga kwamba Yesu kristo Yu ndani jenu?jwe nejo Apali,inna kama nkanathibitishanga. 6Njikara ujasiri kwamba mmanganyanji shimgundaanje kwamba uwe twangakanwa.7Nnaino tunajuga kuka Nnungu kwamba Nna kombolanje kutenda shashoye kibaya.Tukajuga kwamba uwe tuonekane tushipita jaribu,badala jake Ngunajuga kwamba mkombola nje kutenda kwa usahihi,Ingawa tunao ni kana tushishindwe lijaribu. 8Pawa uwe tukatenda shashoye kinyume na kweli,lakini ni kwa ajili ya jakweli tu.9Pawa tunafurahi wakati patuwa dhaifu nanyi mkiwa na mshiru.Tunajuga pia kwamba tutende ukamilifu. 10Najandika mambo haya wakati maga mbali na mmanjanyanji,ili kwamba wakati maga pamo Ngapinga kuwa langulanga ukali mmanganyanji.Ngapinga kutumia mamlaka Bwana ambele nne ashenga nje nga kuharibianga chini.11Hatimaye,mpwanga ja shireu na,jwa ndoya mfurahinji!mtendanje lyengo kwa ajili ya lejesho,mtanganje mtima,mkubaliananje mmanganyanji kwa mmanganyaji muishi katika amani.Na Nnangu wa upendo na amani shawe pamo na mmanganyanji. 12Msalimiananje kila mundu kwa busu takatifu.13Waumini bowe wana kumsalimianga. 14Neema ya Bwana Yesu Kristo,upendo wa Nnungu na ushirika wa Roho mtakatifu pamo mmanganyanji mmowenji.
1Mneni Paulo mtume.Mne mnangaa mtume kushoka kwa wanadamu wala kupitila kwa wanadamu,lakini kupitila kwa Yesu Kristo na Mnungu Baba awayushie kushoka kwa wawilenje. 2Pamoja na ashapwanga wowe na mne,na kugajandishila makanisa ga Galitia.3Neema jiwe kwenunji na amani jishoka kwa Mnungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo, 4aishoshie mnyene kwa ajili ja dhambi yetu ili kwamba vatugombole na nyakati aina ya uovu,kushokana na mapenzi ga Mnungu jwetu na na Awawa. 5Kwawo uwe utukufu gwa yakana yaka.6Ngunashangaa kwamba mnageukianga haraka kuinjili jina.Ngunashangaa kwamba mnageukianga mbali kushoka kwake jwene amchemilenje kwa neema ya Kristo. 7Jakwa injili jina,lakini vashapangwanga baadhi ja vandunji va kumsababishianga mmanganya matatizo na kupinga kubadilisha injili ja Krfisto.8Lakini mkali uwe au malaika kushoka kumbinguni shatangaze kwenunji injili tofauti na jejila jutujitengeze kwenunji,na alaaniwe. 9Mbuti putuvelekete pamwanzo,na mneino naveleketa tena,''Mwanaga shapangwe mundu shamlangazianje kwenunji injili tofauti na mjiposhelenje,na alaaniwe.'' 10Kwani mneino naloleya usibitisho gwa wanda au Mnungu?Ngunalolela kwa furahishanga wanadamu?Kama ngunaendelea kwafurahishanga wanadamu,mnemngaa mtumishi jwa Kristo.11Ashapwanga,napinga muumanyanje mmanyanga kwamba injili jinitengeshe jikashokana na wanadamu. 12Nangajiposhela kushoka kwa wandu,wala nangafundishwa.Badala jake ishikuwa ni kwa ufunuo gwa Yeru Kristo kwangune.13Mwapilikenenje maisha gangu ga mnyuma katika dini ja kiyahudi,jinsi punalitesaga kwa ukali likanisa lya Mnungu zaidi ja shipimo na kulimaliya. 14Njikuendelea katika Dini ja kiyahudi zaidi ja ndugu yangu wawajinji wayahudi.Njikukola na bidii kaje katika tamaduni ya ashawawa yangu.15Lakini Mnungu vashi kukonjelwa kung'agula mne kushoka kulipitiu lya amama.vashiku njema mne kupitila neema yawo. 16Kumdhihirisha mwanajwawo mnyumbajangu,ili kwamba nimtangaze kwamba jwene ni miongoni mwa wandu wa mataifa,wala nangaloleya ushauri gwa shulu na minyai 17na nangapinga kwenda Yerusalemu kwa wewala walinginji mitume kabla jangu.Badala jake njikwenda uarabuni na baadae ni vuja ku Damesiki.18Na baada ja yaka italu njikupanga kwenda Yerusalem kumngowela kefa,gundemi na jwene muda gwa siku kumi na tano. 19Lakini nangajiona mitume jina isipokuwa Yakobo,mpwake na Bwana. 20Mnole,mbele ja Mnungu,ngatemba kwa sheshila shinyandishe kwenunji.21Alafu njikwenda mikoa ja shamu na kilikia. 22Ngamanyikanaga kwa meyo kwa makanisa ga uyahudi gegala gali katika Kristo, 23Lakini vatendapilikananga pe,''vene valiji valikututesa lelo vanatangaza imani jivaji haribiya.'' 24Vatenda kumtu kuzanga Mnungu kwa ajili jangu.
1Baada ja yaka kumi na me njikwenda tena Yerusalem pamoja na Barnaba.Alafu njikumtola Tito pamoja na mne. 2Njikwenda kwa sababu a Mnungu vashikwidhihirisha kwangu kwamba njikupingwanyende.Njikuwika mmujo jaoni injili ambayo njikutangaza kwa wanduji wa mataifa.(Lakini njia kuveleketa kwa siri kwa walugwilwenje kuti viongozi muhimu).Njikutenda mnei ili kuhakikisha kwamba ngautukaga,au njikuutuka givayoyo.3Lakini mkali Tito,alijipamo na mne,aliji Myunani,ashikulazimishwa kung'andwa. 4Ali lijamboli lishikukoposhela kwasababu ja ashopwanga wa unami wajilenje kwa siri kupeleleza uhuru gutwa kwete katika Kristo Yesu.Vashi kupinganga kutulenda uwe watumwa wa sheria. 5Twanga ishoya kwa heshimunji wala kwa lisaa limo,ili kwamba injili ja kweli jiigale bila kubadilishwa kwenunji.6Lakini wewala walugwilenje kuti vashikuwanganga viongzoi,vanashanjilanga shashowe kwangune.Shoshoowe shivatendangaga shangakola maana kwangune.Mnungu haka kubali upendeleo gwa wanadamu. 7Badala jake, Vashikumunanga kwambanjiaminiwa kujitangaza Injlikwa wewala ambao wanangandwaga. Ishikiwa kama Petro atangaze injili kwa vangandilwenje. 8Kwa maana a Mnungu,uashi kutenda liengo ndani jika petro kwa ajili ja utume kwa wewa la wang'a ndilwenje,alafu vashi kutenda liengo mnyumbajangu kwa wandu wa mataifa.9Wakati Yakobo,kefa,na Yohana,Vashi kumanyikanga kuti vashi kushenganga kanisa,Vashikujimanyanga neema jimbegwile mne,vashikutuposhelanga katika ushirika mnena Barnaba.Vashikutenitanga mnei ili kwamba wakombolanje kwenda kwa wewala wang'andilwenje. 10Alafu vashikupinganga uwe twakumbukanje masikini.Na mnepeila njikutamani kulilenda ali lijambo li.11Muda kefa gwaaishe Antiokia,njikumbisha waziwazi kwa sababu ashikukosea. 12Kabla ja wandu kadhaa kwia kushoka kuka Yakobo,kefa atendega lya pamo na wandu wa mataifa.Lakini awa wandunje puvaikengenenje,ashikueleka na kujaula kushoka kwa wandu wa mataifa.Atendajogopa wandu ambao vatenda pinganga tohara.13Mnepile wayaudi wananji vashikuungananga na unafiki guu pamoja na kefa.Matokeo yake gashikuwa kwamba hata Barnaba ashikutolwa na unafiki gwawonji. 14Lakini pumweni kwamba vakakagulangaga ijili ja kweli,njimku malanjila kefa mbele ja wowenji mwanaga mmanganya ni waijahudi mnata manga tabia ya wandu wa mataifa badala ja tabia ja kiyahudi,kwa indi mnakwalazimishanga wandu wa mataifa kutama kama wayahudi?''15Uwe ambao ni wayahudi wa welekwa na mngaa''Wandu wa mataifa tukwete dhambi'' 16muumanye kwamba jwakwa ahesabiwa hakikwa matyendo ga sheria.Bada la jake wanahesabiwanga haki kwa imani mnyumba jika Yesu Kristo.Tushikwia kwa imani ndani ya Kristo Yesu ili kwamba tunahesabiwa haki kwa imani mnyumba jika Kristo na mngaa kwa matendo ga sheria.Kwa matendo sheria shakwa shiilu shipinga hesabiwa haki.17Lakini mbuti putu kumnolea mnungu kwa kutuhesabu haki ndani ya Kristo,tunakwimana tuvayene mnepeila kuwa tushikola dhambi,Je Kristo ashikutendwa mtumwa jwa shambi?Mngaa mneyo! 18Maana njengaga litegemeo lyangu ja kutunza sheria,litegemeo ambalo nalishoshie,na na kwilanguya nemwene kwa mvunja sheria. 19Kupitila sheria njikuwa kwa sheria,kwa mneyo napingwa kutama kwa ajili ja Mnungu.20Njiteswa pamo na Kristo.Mngaa mne tena mbgutama,bali Kristo anatama Mnyumba jangu.Maisha gungutama katika shiilu natama kwa imani mnyumba ja Mwana jwa Mnungu,ambaye ashikumbinga na shikwishoya kwa asjili jangu. 21Nga kujikana neema ja Mnungu,maana kama haki japali kupitiliza sheria,bai Kristo akaliji awile gayoyo.
1Wagalatia vajinga,ni lio lyashi lya ualibifu livaalibienje?Kwani Yesu Kristo angaoneshwa kama jwateswa mbele ja meyo gawonji? 2Mne napinga pe kulimanya hali kusho kwenunji.Je mshikumposhelanga Roho kwa matendo ga sheria au kwa kuamini sheshila shimpilikenenje? Kwani mmanganya wajinga aji kiasiji? 3Je mshikatanduwanga katika Roho ili mmalianje katika shiilu?4Je mchikutesekanga kwa mambo gamajinji gwayoya kama kweli gashikwa ga yoyo? 5Je jwene ashoya Roho kwenunji na kutenda matendo ga nguvu kati jenunji anatenda kwa matendo ga sheria au kwa pilikana pamoja na imani?6Abraham,''Ashikwaamini a Mnungu na ashikuhesabiwa kuti akwete haki.'' 7Kwa namna jilapejila Mng'elewa nje kwamba vevalanji ambao vaamininji ni vana va Abrahamu. 8Liandiko lishi kutabiliwa kwamba Mnungu akavaisabienje haki vandu wa mataifa kwa njia ja imani.Injili jishikutangazwa kwanza kwa Abrahamu.''Katika mmwe mataifa gowe shigabarikiwe.'' 9Ili baadae vevala ambao vakwetenje imani wabarikiwanje pamo na Abrahamu,ambaye ashikukola imani.10Avalanji vategemeanga matendo ga sheria valinginji pai ja laana.Kwa kuwa jishijandikwa,''ashilaaniwa kila mundu ambae akakamula na mambo gowe gajandishwe katika shita busha sheria,kugatenda gowe. '' 11Lelo ni wazazi kwamba Mnungu akakumngesabia haki wala jumo kwa sheria ,kwa kuwa akwete haki shatame kwa imani.'' 12Sheria jikashokana na imani,Lakini badala jake,''ambaye atenda aga ,mambo ga katika sheria,shatame kwa sheria.''13Kristo ashi kutugombola uwe kushoka katika laana ja sheria muda gujitendishe laana kwa ajili jetu kwa kuwa ishijandikwa,''Ashilaaniwa kila mundu agwa kunani ja mkongo. '' 14Malengo gashikuwa kwamba,baraka ambayo ishikuwa kuka Ibrahimu ikaishe kwa wandu wa mataifa katika Kristo Yesu,ili kwamba tukombole kuposhela ahadi ya Roho Kupitila imani.15Ashapwanga,nalugula kwa namna ja kibinadamu.Mkali muda gwa liagano lya kibinadamu lyavishilwe ukoto jwakwa apingamanya kupuuzia au kuongezea. 16Lelo ahadi ishi kweleketwa kwa Ibrahimu na kwa kizazi shake.Jikaveleketa,''Kwa Vizazi,''Kumaanisha yaijinji,bali badala jake kwa jumo jikape,''Kwa shizazimshenu,''ambaye ni Kristo.17Lelo nalugula mnei,sheria ambajo jishi kwia yaka 430 baadaye jikashoya liagano lya Mnyuma liivishilwe na Mnungu. 18Kwa kuwa kama urithi ukaliji kwa njia ja sheria,ukalijiji tena kwia kwa njia ja aliahidi.Lakini a Mnungu vashi kuushoya gwa yoyo kuka Ibrahimu kwa njia ja ahadi.19Kwa indi mneyo sheria jishi kushogwa?Jinsi kuongezwa klwa sababu ja makosa,mpaka mzao gwa Ibrahimu guishe kwa wewala ambao kwaonji ashikwa ahaidiwe.Sheria jishi kuvi kwa katika shinikizo kupitila malaika kwa mkono gwa patanisha. 20Lelo mpalanishi anamaanisha zaidi ja mundu jumo,Mnungu ni jumo jikape.21Kwa hiyo je sheria pujili kinyume na ahadi ja Mnungu?Walaa!Kwa kuwa kama sheria jaliji jashoshiwe jishi kukola na uwezo gwa kwianago uzima,haki jikapatikene kisheria. 22Lakini badala jake,liandiko lishita va mambo gowe pai ja dhambi.A Mnungu vashi kutenda mnei ili kwamba ahadi jawo ja kutuokoa uwe kwa imani katika Yesu Kristo jikombole kupatikana kwa vevala vaamininji.23Lakini kabla ja imani katika Kristo jikana veika,tuishikutawa na kuwa pai ja sheria mpaka gujie ufunuo gwa imani. 24Kwa mmneyo sheria jishi kutendeka kiongozi jwetu mpaka Kristo paishe,ili kwamba tuhesabiwe haki kwa imani. 25Lelo kwa kuwa imani jiishe,twakwapi tena paija mwangalizi. 26Kwa kuwa mmanganya mmowe ni vana vya Mnungu kupitila mani katika Kristo Yesu27Wawe ambao mchikubatizwanga katika Kristo mwivishilenje Kristo. 28Jwakwa myahudi wa Myuni,mtumwa wala huru,jwashileu wa jwandonya,kwa kuwa mmwe mmanganya mmowe ni jumo katika Kristo Yesu. 29Mwana mmanganya ni wa Kristo,baini uzao gwa Ibrahimu,Mmarithinji kwa mujibu gwa ahadi.
1Naveleketa kwamba kwa kuwa mrithi ni mwana,hangali tofauti na mtumwa,mkali iwaga ni mmiliki jwa mali yowe. 2Badala yake,pali pai ja waangalizi na wadhamini mpaka muda guvishilwe na awawa yake.3Mnepeila mkali uwe,putwaliji wana,tuishiku kamulilwa katika utumwa gwa kanuni ya kwanza ya ulimwengu. 4Lakini muda sahihi puguishe,Mnungu ashikumtuma mwana jwake,avelekwa na jwandonya,avelekwe pai ja sheria. 5Ashi kutenda mnei ili kwa jombalanga vevala valinjinji ja sheria,ili kwamba tuposhele hali ja wa mbuti wana.6Kwasababu mmanganya ni wana,Mnungu ashikumtuma Roho jwa mwanangwe mnyumba ja mitima jenunji,Roho ashemwaga,''Abba,Baba.'' 7Kwa jene sababu ji mmwe mngaa mmatumwa tena bali mwana.Kama ni mwana,bai mmwe mnepeila ni mmarithi kupilila Mnungu.8Hata kabla ,muda guka mmanyangaga Mnungu,Mchikuwanganya watu mwa kwa vevala ambao kwa asili mngaa miungu kabisa. 9Lakini lelo mnikummanyanga Mnungu,au kwamba mnimanyikananga na Mnungu,kwa indi mnaujanga tena ku kamuni dhaifu ya kwanza na ingali ya thamani?Je mnapinganga mmanganje watumwa tena?10Mkamulanje kwa uangalifu lyuva maalumu,kuandama kwa miei,majira na yaka.Najigipa kwa ajili jenunji. 11Najogopa kwamba kwa namna fulani nji kwianganisha gayoyo.12Nakumgusianga,ashapwanga,mmanganje mbuti puni,kwa mnepeila puni mbuti pumninginji.Mwangangoseanga. 13Bali mmumanyinji kwamba ishi kuwa ni kwa sababu ja ugonjwa gwa shilu kwamba njikutangasha ionjili kwenunji kwa mara ja kwanza. 14Ingawa hali jangu ja shilu jishi kummikanga katika majaribu,mwanganizalaunji au kungana.Badala jake mchi kumboshelanga kama malaika wa Mnungu,na kwamba njikwa Krsto mnyene.15Kwa mneyo,kujili kwei furaha jenunji?Kwa kuwa nashuhudia kwenunji kwamba,iwezekanaga,mkatutumbwilenje meyo genunji na kumba mne. 16Kwa mneyo lelo,Je njiva adui venunji kwa sababu na kummalanjilanga ukweli?17Wana kumnoleyanga kwa hamu,bali mngaa kwa wema.Vanapinganga kumtenganishanga mmanganya na mne ili mwakagulanje. 18Ni vizuri daima kuwa na hamu kwa sababu ili yuammbone,na mngape muda gunguwa pamo na mmanganya.19Wana wangu wawashiki,nalwala uchungu kwa ajili jenunji tena mpaka Kristo aumbwe mnyumba jenunji. 20Ngapinjile kwa pepala na mmanganya na kulingeuza lisauti lyangu kwa sababu njikola wasiwasi juu jenunji.21Mmalanjilanje,mmanganya ambao mnatamani nji kuwa pai ja sheria,mkapili kananga sheria pujiveleketa? 22Kwa kuwa ishijandikwa kwamba Abrahamu ashikukola na wana wa shileu vavili jumo ni jwa jwejula mwanamke mtumwa na jina ni jwa mwanamke huru. 23Mkali mneyo jwejula jwa mtumwa ashikuvelekwa kwa shiilu pe,bali jwe jula jwa mwanamke huru ashikuvelekwa kwa ahadi.24Aga mambo ga ganaweza kuelezwa kwa kutumia mfano,kwa kuwa awa wanawake vanalandananga na maagano gawili .Limo kushoka katika shitumbi sinai kukola vana ambao ni watumwa.Hajui ni Hajiri. 25Lelo Hajiri ni shitumbi guli Arabuni.Gunalandangwa na Yerusalem ja nneino,kwa kuwa ni mtumwa pamoja na wana vake.26Bali Yerusalemu ambajo jili kunani ni huru,na jeneji ndio mama jetu. 27Kwa kuwa jishijandikwa,''Mfurahi,mmwe mmandonja mkakola.Mchoye lisauti na mkome nyenye kwa furaha,mmwe ambaye mmangali uzoefu gwa kola.Kwa maana ambaye vavajinji ni vana valinginji tasa,zaidi ja vevalanji va jwejula akwete jwashileu.''28Lelo ashapwanga,kama Isaka,mmanganya ni wana wa ahadi. 29Kwa gwegula muda ambao mundu ambaye ashikuvelekwa kwa mujibu gwa shiilu ashikumtesa jwejula avelekwe kwa mujibu Roho.Kwa mneino ni mnepeila.30Maandiko ganaveleketa,'Mumchoyanje mwanamke mtumwa pamoja na mwana jwakwe jwa shileu.Kwa kuwa mwana jwa mwanamke mtumwa akarithi pana mwana jwa mwana mke huru.'' 31Kwa mneyo,mpwanga,uwe mngaa ni wana wa mwanamke mtumwa,bali ni wa mwanamke huru.
1Ni kwa sababu Kristo ashiikutupa uhuru ilituve huru.Kwa mneyo,mjimanje imara wala,mnanaswanje tena katika kongwa la utumwa. 2Mnole,mne Paulo,nakummalanjilanga kwamba iwaga shimng'andwanje,Kristo shanfaidianje kwa njia jojowe jila.3Tena,nakumshuhudia kila jwa mnume ang'adilwe kwamba anapaswa kuwajibika kwa sheria jojowe. 4Mchivikwanga mbali na Kristo,vevala vowenji mkuhesabiwanga haki kwa sheria.Mgwilenje mbali na neema.5Maana kwa njia ja Roho,kwa imani tunalindila ujasiri gwa haki. 6Katika Kristo Yesu,kung'andwa au kutongangwa kwa ngali maana jojowe.Ni imani jikape jitendwa liengo kupitila upendo ndio kumaanisha shindu. 7Mtendaga utukanga mbio ukoto;Gani amng'ivi ulenje kuto kutii ukweli? 8Ushawishi gwatenda mneyo gukashoka kwawo vene va kumchemanga mmanganya.9Shashashama shishoko huathiri lidonji lyowe. 10Njikola matyumaini na mmanganya katika Bwana kwamba mkafikirinji kwa mpanda guna gogowa.Jojowa jula apinga kumpotoshanga shajigala hukumu jake jwene mnyene,jojowe jula.11Ashapwangu,kama naendelea kutangaza tohara,kwa indi bado nateswa?Kwa lyelino liswala lino ambalyo ni kizuri sha msalaba shishikombole kuharibiwa. 12Ni kupinga kwangu kwa wewalanji va kung'ongozanga vibaya shirahi hasinji vyayenenji.13Mnungu a chikumchemanga mmanganya,ndugu,kuuhuru.Ili mnautumianje uhuru gwenunji kama fursa kwa shiilu.Badala jake kwa upendo mnguchumiananje mmanganya kwa mmanganya. 14Kwa kuwa sheria jowe jikamilishe katika amri jimo;na jenejo ni ''Lazima mumpinje jirani jwako kama ugwe gumnyene.'' 15Lakini mwanaga shingumanje na kulyana,mwilolanje kwamba mnahiaribia nje mmanganya kwa mmanganya.16Naveleketa,mngowanje kwa mtima,na wala mkahitimizanga tamaa ya shiilu. 17Kwa kuwa shiilu shishi kola tamaa jikulungwa dhidi ja mtima,na mtima gushikola tamaa jikulungwa zaidi ja shiilu.Hali ina kaniana kila jimo na jina.Matokeo gake ni kwamba mkatendaga indu ikutamaninji kwitenda. 18Lakini kama Roho ana kumng'ongozanga mmanganya,m,wangavanga pai ja sheria.19Lelo matendo ga shiilu ganaonekana.Na genego ni umalaya,uchafu,ufisadi, 20ibada ja sanamu,uchawi,uadui,ugomvi,husuda,kukolela hasira,kushindana, faraka,mgawanyiko gwa madhehebu. 21wivu,ulevi,ulafi na matendo gana mbutiaga nmakumgonyanga mmanganya,mbuti puni mng'onyilanje mwanzoni,kwamba vevala vatendanga mambo mbuti aga vaka urithi ufalme gwa Mnungu.22Lakini litunda lya mtima ni upendo,furaha,amani uvumilivu,ukarimu,utu mwema imani, 23Upole na kiasi.Jakwa sheria dhidi ja mambo kama aga. 24Vevala walinginji na Kristo Yesu vashi kuutesanga mwili pamoja na shauku na tamaa yaonji mbaya.25Mwananga tutamaga kwa mtima,mnepeila tuowe kwa mtima. 26Tunawe tuwakwivuna,tunachokozane kila jumo naka mjake,wala tunaonelane wivu.
1Ndugu,iwaga mundu a kamulangwa katika uovu,mmanganya mninginji wa Kiroho,mnapingwanga kummuja najo aju ndugu katika mtima gwa upole.Akuno mnikwilolanga mmayenenji ili mnajalibiwanje. 2Mjagalikananje mishingo,na kwa mneyo shimji kamili shanje sheria ja Kristo.3Iwaga kila mundu alikwiona ni bora wakati mngaa shindu,ana kwilemba mnyene. 4Kila juma na aipime lienga lyake.Alafu shako shindu mnyene sha kwisifu,bila kwilinganya mnyene na mundu jojowe. 5Kwa maana kila mundu shatole mchigo gwake mnyene.6Mundu afundishwe lilowe lazima amshirikishe gambone gowe mwalimu jwake. 7Mnatembwanje:Mnungu akataniwa .Kila shapanga mundu ndio shapinga una. 8Kila apanda mmbeju katika asili jake ja mashambi,shaune uaribifu.Lakini apanda mmbengu katika Roho,shaune uzima gwake kushoka kwa Roho.9Tunatotoshele katika kutenda gambone,maana kwa muda gwake shituune mwanaga tukakata tamaa. 10Kwa mneyo bai,muda gutupinga kola nafasi tutenda gambone kila jumo.Tutenda gambone kaje hasa kwa walinginji mjumba ja imani.11Mnolanje ukulungwa barua inimjandishilanje kwa mkono gwangu nemwene. 12Vevala vapinga tendanga ga mmone kwa mtazamo gwa shiilu na ndio vapinga kumlazimishanga mng'andwanje.Vanalendanga mneyo kwa sababu vanajinjilanje kumateso ga msalaba gwa Kristo. 13Maana mkali vene vyayenenji vangandilwe njeve vakakujikamulanga sheria.Badala jake wanapinganga mmanganya mng'andwanje ili wakombolanje kwifunila ulu yenunji.14Inakoposhele ni kwifuna isipokuwa msalaba gwa Bwana wetu Yesu Kristo.Ni kama tuvayene ulimwenguni gushileswa kwangu na mne katika ulimwengu. 15Kwa kuwa ikamaanisha kungandwa au kuto ngwandwa kuwa ni shindu.Badala jake uzao gwa mpya ni muhimu. 16Kwa wowe wenye kutama kwa kanuni hai,vavanganje na amani na rehema ive juu jaonji wowe,na juu ja Israel ja Mnungu.17Kuanzia mneino mundu jojowe anang'a ngaishe,maana njijigala chapa ika Yesu mchichu shangu. 18Neema ya Bwana wetu Yesu.Kristo jiwe na mitima jenunji,ashapwanga.Amina.
1Paulo,mtume jwa Yesu Kristo kwa mapenzi ga Mnungu,kwa waliotengwa kwa ajili ja Mnungu valinginji Efeso na aubao ni waaminifu katika Kristo Yesu. 2Neema jiwe kuweninunj na amani jishoka kwa Mnungu anawa yetu na Abwana Yestu Kristo.3Mnungu na awawa wa Abwana vetu Yesu Kristo apegwe sifa.Ni jwenejo atubariki kwa kila baraka za kiroho,katika mahali pa mbinguni ja Kristo. 4Kabla ja ahaywa ulimwenguni,Mnungu a shikutuagula uwe tunaamini katika Yesu Kristo.Ashi kutuagula uwe ili tukombole kuwa watakatifu na tusiolaumika mbele yake.5Katika pendo Mnungu ashikutuagula mwanzo kwa kututwaa malinga vana vake kwa mpanda gwa Yesu Kristo.Ashikutenda nnei kwasababu ashikupinga kutemda sha pinjile. 6Matokeo gake kwamba Mnungu anatukuzwa kwa neema ya utukufu wake.Sheneshi ndicho shatupele shayo kwa mpanda gwa Mpendwa jwake.7Kwava katika mpendwa jwake,tunaukombozi kupitila minyani jake msamaha wa shambi,Tukuete lyeneli kwa sababu ja utajiri wa neema jake. 8Ashikutenda neema jeneji kuva jajigwinji kwa ajili jetu katika hekima na ufahamu.9Mnungu ahikutenda imanyikane kumngwetu jejila jishikuiya mmapango,kutokana na hamu iliyo dhihirishwa nkati ja Kristo. 10Wakati nyakati zimetia kwa utimilifu wa mpango wake Mnungu shaivishe pamo kila shindu sha mbinguni na cha kunani nkati ja Kristo..11Katika Kristo fushikuaguliwa na kukusudiwa kabla ja wakali.Yenai ishikuva ni kutokana na mpango gwa atenda induyowe kwa kusudi la mapenzi yake. 12Mnungu ashikutenda nneyo ili kwamba tukombole kuwapo kwa sifa ya utukufu wake.Tushikuwa na kwanza kuva na ujasiri nkati ja Kristo.13Ishikuwa kwa mpanda gwa Kristo kwamba mshikupilikana lilove lya kweli,injili ya wokovu wenu kwa mpanda gwa Kristo.Ilikuwa na kutagwa muhuni na Roho mtakatifu aliye ahidiwa. 14Roho ndiyo dhamana ya urithi wetu mpaka umiliki pupinga patikana.Hii jishilkuva ni kwa sifa ja utukufu wake.15Kwasababu jeneji tangu wakati pumbilikene.Kuhusu imani jenunji nkati ja Abwana na Yesu na kuhusu pendo lenu kwa vevala vowe wametengwa kwa ajili yake. 16Ninajuga Mnungu wa Abwana Yesu Kristo,awawa wa utukufu,shava panganje mtima gwa hekima,mafunuo ya ufahamu make.17Ninajuaga Mnungu wa Abwana yetu Yesu Kristo,awawa wa utukufu,shavapanganje mtima gwa hekima,mafunuo ya ufhamu make. 18Ninajuga kwamba mmanye utajiri wa utukufu wa urithi wake miongoni mwa vevala walio tendwa kwa ajili yake.19Najuga kwamba umanje ukuu uzindio na mashili gake nkati jetu ambao tunaamini Gwenegu ukuu ni kutokana na kutenda maengo katika mashili gake. 20Jeneji ni mashili jitendile liengo nkati ja Kristo wakati Mnungu pamyushie kushoka kwa wanile na kumtamiya katika mkono gwake gwa kuume katika mahali pa Mnungu. 21Ashikumtamiya Kristo juu kwatalika na utawala,mamlaka,mashili,enzi na kila njina lishemilwe.Ashikumtamiya Yesu ngava tu kwa wakati gwenegu lakini kwa wakati ukuiya pia.22Mnungu amevitiisha indu yowe pai pa makongono ya Kristo.Ashitenda jwenejo mtwe juu ya katika kanisa. 23Ni likanisa kwamba ndilo shiilu shake,ukamilifu gwake ambaye hugumbaya indu yowe katika mipanda jowe.
1Malinga mwalyi nshiwanganga katika makosa na dhambi zenu. 2Ishikuva katika genega kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu.Mlikuwa mkienenda kwa kukagula utawala wa mamulaka ga kunani.Yenei ndiyo mtima gwa jwejula atenda liengo katika vana va kuasi. 3Uwe tuwome penepo mwanzo tushikuva miongoni mwa hawa wasioamini.Tushikuva tunatenda kwa namna ya tamaa mbaya ya shiilu shetu.Putwalyi tunatenda mapenzi ga shiilu na ufahamu wetu.Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu malinga vananji.4Lakini Mnungu ni jwamgwinji jwa Rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa lyatupingile uwe. 5Wakati putwalyi tuwile katika makosa getu alituleta pamoja katika maisha mapya nkatija Kristo.Ni kwa neema kwamba mmeokolewa. 6Nnungu ashikutuyuya pamo na kututenda kutama katika mahali pa mbinguni nkati ja Kristo Yesu. 7Ashikutenda nneyi ili katika nyakati ikwiya akombole kutulanguya utajiri mkuu wa neema jake.Hutulanguya uwe kwa mpanda gwa mema gwake nkati ja Kristo Yesu.8Kwa neema mmekolewa kwa mpanda gwa imani,Na yenei yangakoposhela kumgwenu.Ni zawadi ja Mnungu. 9Jikashoshela na matendo,matokeo gake anapagwa jumo jwa kuigamba. 10Kwa sababu uwe tu maengo ga Mnungu,tu meumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema.Ni matendo genega ambayo Mnungu ashikugapanga shoka vukala ja kale kwa ajili Jetu,ili tujende katika genego.11Kwa nneyo mkumbukanje kwamba penepo vukala mshikuva vandu va mataifa kwa jinsi ja shiilu.Mnashemwa ''Mwangahinginji tohara ''kwa sheshile shiishemwa tohara ja shiilu jitendwa kwa makono ga vandu. 12Kwa wakati genego mlikuwa mmetengwa na Kristo.Mlikuwa wageni kwa vandu va Israeli.Mshikuva vajeni kwa agano la ahadi.Mwangalinginji na uhakika wa wakati ukwiya,Mshikuva bila Mnungu katika ulimwengu.13Lakini nnaino katika Kristo Yesu mmanganyanji ambao penepo mwanzo mshikuva kwatalika na Mnungu mmeletwa karibu na Mnungu kwa minyai ja Kristo. 14Kwa maana jwenejo ndiye amani jetu.Ashikutenda vavili kuva jumo.Kwa shiilu shake ashikuangavanya ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetenganishwa gwenego uadui. 15Kwamba alikonesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mundu jumo jwaambi nkati jake.Gwatendile amani. 16Ashikutenda nnei ili kuwapatanisha makundi mawili ga vandu kuva shiilu shimu sha Mnungu kupitila msalaba.Kwa mpanda gwa msalaba ashikuliiya uadui.17Yesu ashikwiya na kutangaza amani kwenunji mmanghanyaji mlimanginji kwatalika na amani kwa vevala valinginji tome. 18Kwa maana kwa mpanda gwa Yesu uwe tumove vavili tuna nafasi kwa jwejula Roho jumo kujinjila kwa Ababa.19Nneyo bai mmanganyanyi vandu va mataifa ngava wasafiri na vajenzi kavili.Bali ni menyeji pamona vevala waliotengwa kwa ajili ja Mnungu na wajumbe katika nyumba ja Mnungu na wajumbe katika nyumba ja Mnungu. 20Mshishengwa kunani ja msingi gwa mitume na manabii Kristo Yesu mmwene ashikuva liganga likuu lya kunyenje. 21Katika jwenejo jengo lote limeungamanishwa pamo na kukula malinga hekalu nkati ja Bwana. 22Ni nkati jake mmanganyanyi na mji mnashengwa pamo malinga mahali pa tamapa Mnungu katika mtima.
1Kwa sababu ja nnei nne,Paulo ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa. 2Naamini ya kuva mshipilikana juu ja maengo ya neema ja Mnungu ambele kwa ajili jenunji.3Nakumjandishilanga kutokana na jinsi ufunuo ulivyofunuliwa kwangu.Gwenegu ni ukweli uliyofichika ambao jikujandika kwa kifupi kwenye barua jina. 4Usomapo kuhusu genega,shiukombole kumanya busara jangu katika ukweli gwenegu guishwile kuhusu Kristo. 5Kwa vizazi vingine,ukweli gmenegu gwangatendwa utambulike kwa vana va vandu.Ila kwa nnaino ushivikwa wazi kwa Roho kwa mitume waliotengwa na manabii.6Ukweli gwenengu uishilwe ni kwamba vandu va mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wemetu wa shiilu.Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitila injili. 7Na kwa lyeneli njitendekwa mtumishi kwa zawadi ja neema ja Mnungu jishoshinu kwa ngune kupitila utendaji gwa mashili gake.8Mnungu ashikushoya zawadi jeneji kwangune jopo nne ni mundu jwamshoko kwa vowe katika vevala waliotengwa kwa ajili ja Mnungu zawadi jeneji ni kwamba inanipasa kuwala ngazi Mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika kwa Kristo. 9inakunipasa kuwangazia vandu vowe juu ja indi mpando gwa Mnungu na siri.Gwenegu ni mpango ambao ushikuiywa kwa yaaka yaigwinji ipitile na Mnungu ambaye ashikua la indu yowe.10Hii ilikuwa kwamba kupitia kanisa,watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kumanya pande yaigwinji za asili ya hekima ja Mnungu. 11Genega gakakoposhele kupitila mpango gwa milele ambao aliukamilisha nkati ja Yesu Kristo Bwana wetu.12Kwava katika Kristo tushikola ujasiri na uwezo gwa jinjila kwa ujasiri kwa sababu ja imani yetu kwake. 13Kwa nneyo nakwajuganga mnakate tamaa kwa sababu ja mateso kwa ajili yenu Haya ni utukufu wenu.14Kwa sababu jeneji napiga magoti kwa Baba. 15ambaye kwa jmenejo kila familia mbinguni na juu ya nchi ishishemwa lina. 16Ninajuga kwamba apate kuwaneemesha,kutokana na utajiri wa utukufu wake,na natende imara kwa mashili kupitila Roho wako,ambaye yu nkati jenunji.17Ninajuga kwamba Kristo atame nkati ja mitima jenunji kupitila imani. 18Ninajugu kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake.Muwe katika pendo lake ili mkombole kumanya pamo na lomekina cha Upendo wa Kristo. 19Ninajuga kwamba mmanye ukuu wa upendo wa Kristo,ambao uazidi ufahamu.Mtende genega ili Mgumbaywe na ukamilifu gone gwa Mnungu.20Na nnaino kwake jwenejo akombola kutenda kila jambo zaidi ya gowe tukukajuga au tuu kombola kupitila mashili gake iitenda maengo nkati jetu, 21Kwake jwenejo kuwe utukufu nkati ja kanisa na katika Kristo Yesu kwa Vizazi Vyote milele na milele.Amina.
1Kwa nneyo malinga Mfungwa kwa ajili ja Abwana,nawasihi mjendejende sawa sawa na wito ambao Mnungu ashikwashema. 2Mtamanje kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu.Mkichukuliana katika upendo. 3Mtendenje bidii kuutunza unjwa wa Roho katika kifungo cha amani.4Kuna shiilu shimo na mtima gumo malinga pumwalinginji mnashemwa katika uhakika wa daraja jimo ja wito wenu. 5Na kuna Bwana jumo,imani jimo,ubatizo gumo, 6na Mnungu jumo na awawa va vowe.Jinejo ali kunani va vowe,na klatika yowe na nkati ja yowe.7Kwa kila jumo ashipengwa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha kristo. 8Ni kama maandiko pugalugula.''Alipopaa juu sana aliongoza mateka katika utumwa,Gwashoshiye vipawa kwa vandu.''9Ni nini maana ya,Alipopaa isipokuwa kwamba ashikuuuluka pia pande za pai za dunia? 10Jwenejo ambaye ashikuuluka ni mundu jwejula pejula ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote.Ashikutenda nnei ili uwepo wake ume katika indu yowe.11Kristo ashikushoya vipawa malinga yeneyi mitume,manabii;wainjilisti,wachungaji na waalimu. 12Ashi kutenda nnei kuwawezesha waumini kwa ajili ja maenengo ga huduma,kwa ajili ja kushenga shiilu sha Kristo. 13Anatenda nnei mpaka uwe tunove tuishile umoja gwa imanina umoja gwa imani na maarifa ga mwana jwa Mnungu.Anatenda nnei hadi tukombole kukomaa malinga vevala vashile kimo kamili cha Kristo.14Hii ni ili kwauba tunave avili m,alinga vana tunaguluymwegulunywe akuno na kwekula.Ili klwamba tunatolwe na kila aina ja mbungo ja fundisho,kwa hila za vandu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka. 15Badala jake tushikungurushe ukweli katika upendo na kukula zaidi katika mipanda jowe nkati yake ambaye ndiye mtwe Kristo. 16Kristo ameunganisha,kwa pamo ilu yowe ya waumini:Umeungamanisha pamoja na kila kiungo ili kwamba shiilu showe shikule na kuishenga mmwene katika upendo.17Kwa nneyo nalugula lyeneli,na nawasihi katika Bwana:Mnajendelejende kavili malinga vandu va Mataifa puvakuendanga katika ubatili wa akili zao. 18Vashitagangwa luvindu katika mawazo yao.Vashiringwangwa kushoka katika uzima gwa Mnungu kwa ujinga ulio nkati jao kwa sababu ja ugumu wa mitima jao. 19Vakapilikwa oni vashikwipanganga vayenenji kwa ufisadi katika matendo machafu katika kila aina ja shienga.20Lakini nneyi ngava muijiganyenje kuhusu Kristo. 21Nadhani mpilikenenje kuhusu jwenejo nadhani kwamba mtenda fundishwa katika jwenejo.Malinga ukweli pauuli nkati ja Yesu. 22Lazima mngulanje mambo gowe gaendana na mwenendo gwenu gwa nikala,utu wa nikala.Ni utu wa rukala unabola kwa sababu ya tamaa za Udanganyifu.23Mngulanje utu gwenunji wa mkala ili kwamba mtendwanje upya katika roho ya akili zenu. 24Mngulanje utu gwenunji wa mkala ili kwamba mtendanje upya katika roho ya akili zenu.25Kwa nneyo,rika kwa falika udanganyifu.''Mkungurukanje ukweli kila jumo na jirani jwake kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwemake. 26Mvanganje na hasira,lakini mnatendanye dhambi,''Lyuva litimile mkiwa katika hasira zenu. 27Mnapanganye Iblisi nafasi.28Jojowe ajiva laizma anajive kavili.Badala yake ni lazima atende liengo.Atende liengo likwete manufaa kwa mikono jake ili kwamba akombole kumhumia mundu aliye na hitaji. 29Kauli janyata jinasheshe mkangwa mwenunji.Badala yake malove lazima gashosho katika kangwa jenunji gaafa kwa mahitaji,kwapanga faida vevala vakupi likanishianga. 30Na msimhuzunishe Roho mtakatifu jwa Mnungu.Ni kwa jwenejo kwamba mshirikwa muhubiri kwa ajili ja movaga ukombozi.31Lazima mvikanje kwa talika uchungu gowe,ghadhabu,hasira,Ugomvi na matusi pamoja na kila aina ya uovu,Iweni wema mmanganyanji kwa mmanganyanji . 32Mme na huruma.Msamchane mmanganyanji kwa mmanganyaji,malinga Mnungu katika Kristo aliyewasamehe ninyi.
1Kwa nneyo mmanganje vandu va kumkagula Mnungu,malinga vana vake wapendwao. 2Mjende katika pendo,vilevile malinga Kristo patupinjile uwe,alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu.Jwenejo ashikuva sadaka na dhabihu kuwa harufu nzuri ja kumfurahisha Mnungu.3ZInaa au uchafu wowote na tamaa mbaya lazima inaluguliwe kati jenunji malinga puipinjikwa kwa waaminio, 4Wala machukizo ganataywe,mazingumzo ya kipumbavu,au mizaha ya udhalilishaji ambayo ngava sawa,badala jake imepo shukrani.5Mnakombola kuva na uhakika ya kwamba jishipangwa zinaa,uchafu,wala atamaniye,jwenejo nimwabudu sanamu,jwangali urithi gogowe katika ufalme wa Kristo na Mnungu. 6Mundu jojowe anakutembe kwa malove jika,kwa sababu ja mambo genega hasira ja Mnungu inakwiya juu ya wana wasio tii. 7Nneyo unashiriki pamo nao.8Kwava mmamganyanji mwanzo mshikuva paluvindu,lakini nnaino mshiva nuru katika Bwana.Nneyo mjendanje malinga mwana wa nuru. 9Kwava matunda ga nuru ganajumlisha uzuri gowe,haki na ukweli. 10Loleya sheshila kinachofurahisha kwa a Bwana. 11Unapagwe ushiriki katika maengo ga lu vindu yangali matunda,badala yake zimeke wazi. 12Kwa sababu mambo gatendwa na vene voni aibu sana hata kugataya.13Mambo gowe yanapofichuliwa na nuni huwa wazi, 14Kwa kuwa kila shindu kilichofichuliwa shanava nunini.Nneyo hulugula nnei,''Jimuka ugwe ugonile,na jinuka kushoka wawilenje na Kristo atang'aa juu yako.''15Nneyo iweni makini jinsi pumkujendanga ngava malinga vandu wangalinginyi werevu bali malinga murevu. 16Ukomboeni muda kwava moga ni ga wokovu. 17Mnave vabelu badala jake mmanyanje indi mapenzi ga a Bwana.18Mnakolelwe kwa mvinyo,huongoza kwenye uharibifu,badala yake mgumbaywe na Roho mtakatifu. 19Mkungushilaye na kila jumo jmenunji kwa Zaburi,na sifa,na nyimbo za rohoni.Mji mbanye na sifuni kwa mtima gwa Abwana. 20Daima shoya shukrani kwa mambo gowe katika lyina lya Kristo Yesu Bwana wetu kwa mungu Baba. 21Muishoyanje mmayene kila jumo kwa juna kwa heshima ya Kristo.22Vandonya muishoyanje kwa vashileu venunji mahinga kwa Abwana. 23Kwa sababu jwajishileu ni mtwe gwa jwa ndonya,malinga Kristo pali mtwe kwa kanisa.Ni mwokozi wa shiilu. 24Lakini malinga kanisa.Pulili pai ja Kristo nnepeyo vandonya lazima vatende nneyo kwa wa vashileu vaonji katika kila jambo.25Vashileu,mwapendanje vakongwe venunji malinga nneila Kristo palipinjile kanisa na gwaishoshiye mmwene kwa ajili yake. 26Ashikutenda nneyo ili liwe takatifu.Alijitakasa kwa kuukanga na mashi katika lilove. 27Ashi kutenda nnei di kwauba akombole kujiwasilishia mmayene kanisa tukufu,pangali na doa wala waa au shindu shilinga na na genega,badala jake ni takatifu lyangali na kosa.28Kwa mpanda gwegulapegula vashileu vano pingwangwa kwapinganga vandonya vaonji malinga shiilu shao.Jwejula akumpinga mkongwe jwake anakuipinga mmanyene. 29Jwaka hata jumo akaushima shiilu shake.Badala jake hurutubisha na kuupinga malinga Kristo papinjile likanisa. 30Kwava uwe ni washiriki wa shiilu shake.31Kwasababu jeneji jwashileu shamleshe awana yake na amama yake na kuungana na mkongwe jwake,na venevo vavili shivavanganye shiilu shimo.'' 32huu ushikuiiya.Lakini ninalugula kuhusu Kristo na kanisa. 33Walakini,kila jimo jmenunji lazima ampinje jwamkongwe jwake malinga mmene na jwaukongwe amuheshimu jwashileu jwake.
1Vaana watiini ashawawa venunji katika Abwana ,kwa maana jeneji ni haki.'' 2Mheshimu baba yako na mama yako''(Maana jeneji ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi), 3ili jive heri kwenu na mkombole kuishi maisha marefu juu ya nchi.''4Na mmanganyanyi ashawawa nawakwaze vana venunji na kuwasababishia hasira,badala jake, mwalelanje katika maonyo na maagizo ya Bwana.5Enyi watumwa,imeni watiifu kwa mabwana zenu wa ghapa duniani kwa heshiema jajikulungwa na kutetemela kwa hofu jishoka mumtima gwenunji.Mmanganje watiifu kwaonji malinga mnavyomtii Kristo. 6Utii gwenunji unave tu pepala mabwana zenu puvakuvalolanga ili kuwafurahisha.Badala jake mmanganje watiifu malinga watumwa wa Kristo. 7Mtendanje mapenzi ga Mnungu kushoka mumtima gwenunji,watumikieni kwa mioyo yenu yote,kwava mnakumtumikia Abwana na wala ngava vandu. 8Mnapaswa kumanya kwamba katika kila tendo jema mundu atenda shaposhele zawadi kushoka kwa Bwana,ikiwa ni mtumwa au mundu huru.9Na mmanganyaji mabwana mtendanje nnepeyo kwa watumwa venunji.Msiwatishe mmanye kuwa jwenejo aliye Abwana wa vowe ni jwejula atama kumbinguni,Mmanyanje gwakwa upendeleo nkati jake.10Hatimaye,iweni na mashili katika Abwana na katika uwezo gwa mashili gake. 11Mngwalanye silaha yolwe ya Mnungu ili kwamba mpate kujima kinyume na hila za shetani.12kwava vita jetu ngava ja minyai na nyama bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na luvindu,dhidi ja mbungo katika sehemu za mbingu. 13Kwa nneyo mngwalanje silaha yowo ya Mnungu ili mpate kujima imara dhidi ya uovu katika kipindi sheneshi kiovu.Baada ja maliya kila shindu shimji manye imara.14Hatimaye mjimanje imara.Mtendanye nnei baada ja tava mkanda katika kweli na haki kifrani. 15Mtendaye nnei akuno mliwala utayari mmakongono mwenunji kwa kutangaza injili ya amani. 16Katika kila hali mtolanje ngao ya imani ambayo itakuwezesha kuizima mishale ya yule muovu.17Mngwaalanje kofia ya wokovu na upanga wa Roho,ambayo ni lilove lya Mnungu. 18pamoja na maombi na dua,mjiganje kwa mtima kila wakati kwa mtazamo gwenegu imeni waangalifu kila wakati kwa uvumilivu gome na maombi kwa ajili ya waamini wave.19Mjuganje kwa ajili jangu,ili mbegwe njumbe punguugula lugomo lwangu.Mjiganje kwamba nieleweshwe kwa ujasiri kweli iishiye ihusuyo injili. 20Ni kwa ajili ja injili nne ni balazo ndavi ime minyororo,ili kwamba nkati jaonji nugule kwa ujasiri kama ninavyooniwa kusema.21Lakini mmanyanyi pia mmanye mambo gangu na jinsi pungujendelela .Tikiko ndugu yangu kipenzi na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawajulisha kila kitu. 22Nimemtuma kwenu kwa kusudi hii maalumu ili kwamba mmanye mambo kuhusu iwe,akombole kuwafariji mitima jenunji.23Amani na jive kwa ashapwanga,na upendo pamo na imani kushoka kwa Mnungu baba na aBwana Yesu Kristo. 24Neema na jive pamo na vowe va ku mpinga Abwana Yesu Kristo kwa Pendo lyetila ambalo likawa.
1Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu, kwa anganyanji washenjilwe katika Kristo wanaoishi Filipi, pamoja na waangalizina mashemasi. 2Neema na iwe kwenu na amani ikoposhela kwa Nnungu awawa yetuna bwana wetu Yesu kristo.3Ngunashukulu kuka Nnungu kila ninapowakumbuka mmwe bowe. 4Mala bowe kujuga kwangu kwaajili jenunji wowe, ninakola furaha ninapowaombea. 5Ngunashukuru kwasababu ja ushirika gwenu katika injili tangu siku ja kwanza mpaka lelo. 6Njikola uhakika kuwa nnyene atandule liengo lya mmbone ndani jetu shiakamilishe mpka moga ga Bwana wetu Yesu Kristo.7Ni sawa kwangune kujipilikanile juu jenu bowe kwasababu njikwaikanga mumtima gwangu. mmana nshiwa washirika wenza katika neema ja kifungo shangu kayika utetezi na uthibitishaji gwangune gwa injili. 8Nnungu ni shahidi wangu, mbuli nshikola shauku juu jenu bowe kaka undani wa pendo la kristo9Ngunajuga kwamba. Upendo gwenu gujenjeshee kajekaje katika maarifa na ufahamu gowe. 10Ngunajuga kwaajili jeneji ili mkwete uwezo gwapima na kugagula mambo gambone. na nguna kuwajuganga muwe na mitima jambone pangali hatia jejowe katika siku ja Kristo. 11Ajazwe na litunda lya haki likpatikana katika Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ja Nnungu.12Lelo ashapwanga napinga mmanyanje mambo gakoposhele gatendile injili ijende sana. 13Ndio maana ifungo yangu kwa kristo, imanyikana kwa walinzi wa ikulu wowe na kwakila mundu. 14Na ashapwanga wawagwinji katika Bwana, kwasababu ya ifungo yangu, wameshawishika na kuthubutu kulihubiri lilowe pangali hofu.15Bana kutangazanga Kristo kwa fitna na ugomvi, na bana kwa nia ja mbone. 16Anganyanji wanatangazanga kristo kwa upendo wanamanya njitama penepa kwaajili ja utetezi ja injili. 17Bali wana wanatangazanga kristo kwa ubinafsi na nia mbaya. pakuganishia wanasababishanga matatizo kwangune katika minyonyoro jangu.18Nneyo? nngajali, aidha mpanda gukawa kwa hila au kwa kweli, kristo shiatangazwena katika lyenelyi ngunafurahia! Ndio, shinifurahie. 19Kwakua ngunamanya lyenelyi shililete kuuguliwa kwangu. jambo lyeneli shilikoposhele kwasababu ya maombi jenu na kwa msaada guka Mtima gwa Yesu Kristo.20Kulingana na matarajio gangu ga uhakika na ukweli ni kwamba, gawona aibu. badala jake, kwa ujasiri gowe, malinga moga gowe nan nnaino, ngunatarajia kristo shiainuliwe pashiilu pangu, ikiwa katika uzima au kuwaa. 21kwa maaana gangu nne, kuishi ninkristo na kuwaa ni faidaa.22Lakini mbuti kuishi katika shiilu kuwelekwa litunda katika liengo lyangu, kwaiyo ngamanya la chagua. 23Maana nguna sukumwa kaje na mawazo genega mawili. njikola hamu ja leka shiilu pamoja na Kristo, shindu cha thamani kaje kaje. 24Ingawa kubaki katika shiilu sheneshi ni jambo lya mmbone kaje kwaajili jenu.25Pava njikola uhakika juu ya lyeneli, ngunamanya shinibaki pamoja na nnyi bowe, kwaajili ja maendeleo na furha na amani jenu. 26Na jeneji shijilete furaha jenu kubwa katika KristoYesu, kwasababun jangune shijijenjeshee, kwasababu ya uwepo gwangu kawili na mwee. 27Mnapingwangwa kuishi maisha genunjin katika mwenendo mzuri uipasavyo injili jika Yesu Krito.ntende nei ili nijiaga kuwalolanga au nangaja, nipilikane msimamienje katika ntiman gumo. ngunatamani pilikana mkwete mtima gumo, mkiishindania imani ja injilin kwa mtima gumo.28Mnatishwanje na sheshoye shitendwa na maadui zenu. Jeneji kwao ni ishara ja uharibifu. bali kwenunji ni ishara ja wokovu kushoka kwa Nnungu. 29Kwamaana mwe mmepewa kwaaajilinja Kristo, nga kumwani jika, bali na teswanga katika yeye. 30Kwamaana mshikola mgogoro gwegula kama muuwonenji kwangunena mnapilikana gupali hata Nnaino.
1Iwaga kutiwanga mtima katika Kristo. iwaga jishipagwa faraja koposhela katika pendo lyake.iwaga gupali ushirika gwa mtima iwaga ishipagwa rehema na huruma. 2Jikamilisheni furaha juu yangu kwa kuwania mamoja mkiwa na upendo ngumo, tuwaga pamo katika katika mtima pakuwa bora zaidi jenu.3Mnatende kwa ubinafsi na majivuno. japokua kwa unyenyekevu , mwawonanga wanakuwa bora zaidi jenu. 4Kila mmoja jwenu alolile tu mahitaji yawe binafsi bali pia mahitaji gawana.5Ikole na nia kama hakwetenge Kristo Yesu. 6Pakuwa yeye ni sawa na Nnungu. lakini jwangajali kuwa sawa na Nnungu kwa shindu cha shikamananga nacho. 7Badala jake atelemwishe wayene ajiegele umbo la mtumishi. akoposhele katika mfano wa mwanadamu aoneshele mwanadamu. 8Nnyene ashikunyenyekea pakuwa mtii mpaka kuwa, na kiwo cha msalaba.9Ineyo bai Nnungu ashitukuzwa kaje, hawapele lyina kuu lipitalo kila lyina. 10Atendile nneyo ili kwamba katika lyina lya Yesu kila goti sharti ajiname. magoti ga wapalinji mbinguni na wapalinji mnani ja ardhi na pai ya ardhi. 11Na atendele nneyo ili kwamba kila ulimi sharti ukiri kwamba Yesu kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Nnungu Baba.12Kwa ineyo basi, wapendwa njangu kama mwaatii mowa gowe, pakuwa tu tupali kwangune lakini inaino ni zaidi sana hata pakuwa uwepo gwangu, wokovu gwenu kwa hofu na jatetemeka. 13Kwa ineyo Nnungu, atendile maengo mkati jenu ili kuwawezeshanga kunia na kutinda mambo yale yampendezayo yeye.14Itende mambo gowe bila malalamiko na mabishano . 15Itendele ineyo ili kwamba nnelaumikanje nakuwa wana wa Nnungu waaminifu wangali na lawama, Ntende nneyo ili muwe Nuru ya dunia katika kizazi cha uasi na uovu. 16Tukamule sana lilowe lya uzima ili kwamba muwe na sababu ja tukuzwa mowa ga kristo. kisha shingelewe kwamba nangakomwa mbio burea wala nanga tabishila bure.17Lakini hata kama ninaaminiwa mbuti sadaka juu ja dhabibu na huduma ja imani jenu, ninafurahi na ninafurahi pamo na nyi bowe. 18Na hakuti nneyo na nanyi pia mnafurahi, na mnafurahi pamo na nne.19Lakini natumaini katika Bwana Yesu Kristo amtumile Timotheo kungwenu hivi karibuni ii kwamba niwezile kutaga mtima nimanyile mambo getu. 20Kwakua nangali juna aliye mtazamo kama gwangune mwenye nia ja kweli kwaaajili jenu. 21Anganyaji bowe ambao ngawatumilenge kungwenu wanaloleanga mambo gao binafsi na inayo mambo ga Yesu Kristo.22Lakini mnamanya thamani jake, kwasababu kama mtoto anavomuhudumianga awawa yake, ndivyo atumishile pamoo nami katika injili. 23Kwa ineyo nitamuamini kumtuma haraka pindi tu wamenyilenge hindi koposhela kwangune. Lakini nina hakika katika Bwana nne mmanyene pia naishi hivi karibuni. 24Lakini nina hakika katika Bwana kwamba nne nnyene pia naishe hivi karibuni.25Lakini nafikiri ni muhimu kumrejeshanga kungwenu Epafradito. yeye ni anungunangu na mtenda maengo ajetuna askari ajetu mjumbe na mtumishi jwenu kwaajili ja mahitaji gangu. 26Kwasababu alikuwa na hofu na atamanile kuwa pamoo nanyi nyowe kwakua mwapilikene kwamba alikua analwala. 27Maana hakika pakuwa analalwa sana kiasi cha kuwa. lakini Nnungu alimhurumia, na wema gwenego haukua juu yake tu. lakini pia upaliji nnani kwangu, ili kwamba nisiwe na huzuni juu ya huzuni.28Kwa ineyo nina kumrejeshanga kwenye haraka kwenye haraka iwezekanayo ili kwamba mtakapomwona tena mpate kufurahia na nne pakuti pakuwa ngondolewe wasiwasi. 29Muwakalibishenge Epafradito katika bwana kwa furaha yowe. waheshimuni wandu kama nnyene. 30Pakuwa paaliji kwaajili ya maengo ga kristo kwamba alikaribia kuwa. alihatarisha maisha yawe ili kunikombola nne na atendile kile kitu ambacho ngamanyanga kutenda katika kumuhudumianga nne kwakua mpo mbali na nne.
1Hatimaye, ashapwanga mfurahinji kwa Bwana. ngalola ukomo kumjandishilanga malowe gala pe gala. agana mambo shigampanganje usalama. 2Jihadharini na mbwa. Jihadharini na watendanga maengo gangalimana. Jihadharini na vevala vakuikataanga iilu yaonji. 3Kwakua uwe ndio twangang'andwa. uwe ndio tunamuabudu Nnungu kwa msaada gwa Mtima. Tujivuniao katika Kristo Yesu, na ambao twangali ujasiri katika shiilu.4Nkali nneyo, kama akapali mundu jwakutumainia shiilu sheneshi, nne ngakombola kutenda nneyo kaje. 5Kwani njikung'andwa lelo lyuva lya nane na nivelekwa katika kabila la waizilaeli.ni wakabira la benjamini. Ni Mwebrania wa waebrania katika kutimilia haki ya sheria ika Musa, niva, Farisayo.6Kwa juhudi zangu njikuteseka kulikanisa, kwaataga haki ja sheria na nangakola lawama ya sheria. 7Lakin i mambo gowe kunigaweni ga faida kwangunne, njikugavalanganya mbuti takataka ili kummanya Kristo.8Kwa kweli, Ngunavalanganya mambo gowe ni vahasara kushokana na ubora gwa kumanya Kristo Yesu Bwana wangu. kwaajili jao njileka mambo gowe na nguna hesabia mbuti takataka ili nipate Kristo. 9Na mmonekane nnyumba jake, Nangali haki jangu binafsi kushoka kwa sheria, Bali ngwete haki jejila jipatikana kwa imani katika Kristo. jikoposhela kwa Nnungu, jikwete msingi katika imani. 10Lelo ngunapinga kwaamanya venevyo na nguvu gwa ufufuo gwao na ushriki gwa mateso gawo. Ngunapinga kubadilishwa na Kristo kuwa na mfano gwa shiwo shake, 11Pana shimanye kuwa na matumaini katika ufufuo gwa wawilenje.12Nga kweli kuti tayari nigapatile mambo genego, au kwamba ngamilishe katika agano Bali ngunakuitaidi manye kushipata sheshila kushipata sheshila shipatikene na Kristo Yesu. 13Ashapwanga sidhani kwamba nimekwisha kupata genega mambo ga. Bali ngunatenda jambo limo: nguna livala ga bukala ni kugalola ga mmujo. 14Ngunakwitaidi ngishile malengo kusudi mbate tuzo ja kunani ja shemwa na Nnungu katika Kristo Yesu.15Tubowe tukubali uwokovu, tunapingwa kuganishia namna jino. Na avagaga juna aliganishia ajino namna jambo lyolyowe, a Nnungu shivaliunukule kungwenu. 16Nkali nneyo hatua jitupingaishila nikwenda katika agu ntindo gu.17Ashapwanga, mnolanje nne, muwalolanje kwa ukoto vevalanji vakwendangana kwa mfano gwetu. 18Vavagwinji vatamananga ni vevala vunammalanjile mala gwinji, na nnaino nguna mmalanjila kwa minyoi- vavagwinji wanatama mbuti maadui wa msalaba guka Yesu Kristo. 19Mwisho gwawonji kuharibia. Kwakua Nnungu jwawonji lipitiu na kiburi chao shipali katika aibu jawonji. walikumbushiranga mambo ga dunia.20Bali uraia gwetu gupali kuliundi, ambako tunamkusudia mwokozi wetu Yesu Kristo. 21Shivabadilishe iilu yetu ya udhaifu na kuwa mbuti yake ya utukufu; kwa uwezo uleule gwa kombola kudhibitu indu yowe.
1Kwa nneyo vapenda vangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Mjimanje imara katika Abwana, amanganyanji marafiki wapendwa. 2Ninakusihi gwegwejo Eudia, pia nina kusihi gwegweje Sintike, mrejesho mahusiano katika ga amani kati jenunji kwasababu mmanganyanji nyote mmawili mshikuungana na Abwana. 3Kwakweli niwasihi kawili mwe watenda maengo wenzangu, mujangutile hawa wandonyakwa vashikutumika pamo na nne katika kujeneya injili ya aBwana tukiwa na kelementi pamoo na vatumishi vana va Bwana ambao majina gao gajandikwe katika shitabu sha uzima.4Katika Bwana moga gowe, tena shinugule furahini. 5Upole gwenunji umanyikane kwa vowe. Bwana puvali patome. 6Mnaishumbuanje kwa jambo lyolyowe. Badala jake, ntendanje indu yowe kwa mpanda gwa sali kujuga na kushukuru. na mahitaji genunji gamanyikane kwa Nnungu. 7Bai amani ja bwana jili kunani kuliko ufahamu gowe shiilinde mitima na mawazo genunjikwa msaada guka Kristo Yesu.8Hatimaye ashapwanga; yatafakarini sana mambo gowe gakwete ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, gakwete taarifa njema, gakwete busara, pamoja na gowe yanayohitaji kulumbililwa. 9Ntekelezanje indu yowemujiganyenji, mposhelenje mpilikenenje na gowe mmonenje kwangune na Awawa yetu wa amani shawe na mmanganyanji.10Njiva na furahab kubwa kaje juu jenunji katika Bwana kwakua mwe mshilanguyanga kawili nia jakujihusisha kwenunji juu ya mahitaji gangu kwakweli penepo awali mshikupinganga kunijali kwa mahitaji gangu japo mwangapatanga fursa ja kuninyangutila. 11Ngalugula nneyo kwaajili ja kujipatia shindu kwaajili ja mahitaji gangu. kwani njikujiganya kuridhika katika hali jowe. 12Nafahamu kuishi katika hali ja pungukiwa na pia katika hali ja na indu yaigwinji. katika ,mazingira gowe ga nne njikuijiganya siri jalya wakati wa shibe na jinsi jalya wakati wa shiwanga, yaani ya igwinji na kuwa mhitaji. 13Ngunamanya tenda gowe hii kwa jangutilwa na jwenejo ambele mashili.14Nkali nneyo njikutenda vyema kushirikiana na nne katika dhiki jangu. 15Mmanganyanji Wafilipi mnaman yanga kwamba mwanzo gwa injili punyawile Makedonia, lyakwa kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji nakuposhela isipokua mmanganyanji mmayene. 16Hata panaliji Thelasonika, mmanganyanji njikutumila msaada zaidi ja mara moja kwaajili nja mahitaji gangu. 17Ngamanisha kuwa naloleya msaada Bali naluguila ili mbate matunda galetayo faida kungwenunji.18Njiposhela indu yowe, na nnaino njigumbalwa na indu yab igwinji. Njiposhela indu yenu kushoka kwa Epafradito. Ni indu ya mmbone yanushila mithiri ya manukato, yenye kukubalika yowe ni sadaka ikumpendeza Nnungu. 19Kwaajili jenejo Nnungu jwangu shagumbale mahitaji genunji kwa utajiri wa utukufu wake katika Yesu Kristo. 20Nnaino kwa Nnungu na Awawa yetu utukufu gwa milele na milele Amina.21Salamu zangu zimng'imane kila muumini katika Kristo Yesu wapendwa gwetenao pepano wanawasilimieni. 22Pia waumini wowe valinginji pepano wanawasalimieni, hususani wowe wa familia ja Kaisari. 23Na nnaino Neema ja Bwana wetu Yesu Kristo iwe na Mitima jenunji.
1Paulo,Mtume jwa Kristo Yesu kwa mapenzi ga Mnungu,na Timotheo ndugu jwetu, 2Kwa waumini na ndugu waaminifu katika kristo wali kolosai.Neema jiwe kwenunji,na amani kushoka kwa Mnungu Awawa yetu. 3Tunashoya shukrani kwa Mnungu,Awawa wa Bwana wetu Yesu Kristo na tunakwajujilanga mara kwa mara.4Tupilikeni imani jenunji katika Yesu Kristo na upendo gumkwetenje kwa wewala wowenji vatenjilwenje kwa ajili ja Mnungu. 5Mchikolanga agu upendo gu kwa sababu ja taraja uhakika jihifadhiliwe kumbinguni kwa ajili jetu.Mwapilikenenje kuhusu taraji jene ja uhakika kabla katika lilowe lya kweli,injili,ambayo jaishe kwenunji, 6Injili aji jinakola litunda najinajenela kuu ulimwengu kowe.Jitendagatenda mnei mnyumba jetu mnepeila tangu lyuvu limpikenenje na kuifundisha kuusu neema ya Mnungu katika kweli.7Haji ndio injili jimumwifundishenje kushoka kwa Epafra,mpendwa jwetu mtumishi mnjwetu,ambaye ni mtumishi mwaminifu jwa Kristo na kwa niaba jetu. 8Epafra ashikutenda umanyikane Kwetu upendo gwetu katika Roho.9Kwa sababu ja agu upendo gu,tangia lyuvu putwapilikene mnei,twangaleka kwao mbeanga.Tutendaga juga ili kwamba tugumbaywe na maarifa ga mapenzi gawo katika heshima jowe na ufahamugwa kiroho. 10Twaliji tulijuga kwamba shimng'owanje kwa uvumilivu gwa Bwana katika mipanda jakonja twaliji tulijuga kwamba shimkolanje litunda katika kila litendo lyammbone na kwamba shimmanganje katika maarifa ga Mnungu.11Tunajuga mkombolanjwe kutangwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu ya utukufu gwake katika uvumilivu na uimara gowe. 12Tunajuga kwamba,kwa furaha,shimchoyanje shukrani kwa Awawa,vamtendilenje mmanganya mmanganje na sehemu katika urithi gwa uaminifu katika nuru.13Vashikutuokoa katika utawalaga luwindu na kutuamishia katika ufalme gwa mwana jwake mpendwa. 14Katika mwana jwawo tushikola ukombozi,msamaha gwa dhambi.15Mwa ni mfano gwa Mnungu akaonekana.Ni mzaliwa jwa kwanza jwa uumbaji gowe. 16Kwa kuwa kwa vene indu yowe ishikuumbiwa,yeile ili kumbingu na ili kudunia,indu ionekana na ikaonekana.Iwaga ni ya enzi au mamlaka au utawala au gukwete nguvu,ili yowe ishikuumbwa na jwene na kwa ajili jake. 17Jwene ashikupangwa kabla ja indu yowe,na katika jwenejo indu yowe inakumula na pamo.18Na jwene ni mtwe gwa shiilu yani likanisa,jwene ni mwanzo na mzaliwaja kwanza kushoka mmiongoni mwa wawilenje,kwa mneyo,ashikola nafasi ja kwanza miongozni mwa indu yowe. 19Kwakuwa Mnungu ashikupinga kwamba utimilifu gwake gowe gutame mnyumba jake,na kupatanisha indu yowe kwake kwa njia mwana jwake, 20na mmanganya mnepeila,kwa muda gumo mchikuvanganga vajininji.Mnungu na mchi kuwanganga maaadui kwawo katika akili na matendo maovu.21Na mmanganya mnepeila,kwa muda gumo mchikuvanganga vajaninji.Kwa Mnungu na mchi kuwanganga maadui kwawo katika akili na matendo maovu. 22Lakini lelo ashikumpatanishanga mmanganya kwa shiilu shake kupitila kuwa.Vashikutenda mnei ili kumnjianagonji mmanganya watakatifu,vangalinginji mmanganya watakatifu,vangalinginji ni lawama bila dosari mmujo jawo. 23Mwanga mjendangaga katika imani,mngimari shwenjwe na kuwa thabiti,Pangali kujauywa mbali kushoka ku taraja lya ujasiri ja injili mjipilike nenje.Haji ndio injili jitengeshwe kwa kila mundu aumbilwe paija mbingu.Haji ndio injili ambayo jingwete mne ,Paulo,mni mtumishi.24Lelo nafurahia mateso gangu kwa ajili jenunji.Na mne natimilia shipungie katika shulushangu kwa mateso ga Kristo kwa ajili ja shillu shake,ambao ni kanisa. 25Mne ni mtumishi jwa kanisa aji,sawa na wajibu gumbegwileve kushoka kwa mnungu kwa ajili jenunji,kugumbaya lilowe lya Mnungu. 26Haguni ukweli siri jaishiwe kwa yaka ya ijinji na kwa vizazi.Lekini lelo ishiunukulwa kwa wowe waamininji katika vene. 27Kwa wewala ambao Mnungu ashikupinga kuunu.Kula kuli utajiiri gwa utukufu gwa siri ja ukweli agu miongozni mwa mataifa.Ni kwamba Kristo apali mnyumba jenunji ujasiri gwa utukufu gukwia.28Hajundio tukumtangaza.Tuna kumkania kila mundu,na kumfundisha kila mundu kwa heshima jowe,ili kwamba tumjianajo kila mundu mkamilifu katika kristo. 29Kwa ajili aji mne na kwibisha na kwilahidi kulingana na nguvu jake jitenda liengo mnyumba jangu katika kukomboleke.
1Kwakuwa napinga muumanyanje jinsi ambavyo njikukola na tabu jajijinji kwa ajili jenunji,kwa wowe wali Laodikia na kwa wowe ambao vangauonanga uso gwangu katika shiilu. 2Natenda ali liengo li ili kwamba mitima jawonji jikombole kufarijika kwa kujianajo pamo katika upendo na katika utajiri gowe gwa gwinji gwa uhakika kamiligwa mataifa,katika kujimanya siri ja kweli ja Mnungu,ambaye ni Kristo. 3Katika venevo hazina yowe ya heshima na maarifa iishiwe.4Naveleketa mnei ili kwamba mundu jojowe ana kumtendelanga hila kwa hotuba ja ushawishi. 5Na ikali na nangapangwa pamo na mmanganya katika shiilu,lakni mbali na mmanganya katika mtima.Na furahi kuguo na utaratibu gwenunji gwa mmbone na nguvu ya imani yenunji katika kristo.6Mwanaga pumumposhelenje Kristo Bwana,mngowanje katika jwene. 7Mngimarishwa njwe katika jwene,na mchenganjwe katika jwene,Mngimarishanjeve katika imani mbuti pumfundisha shwenjwe na kutoa katika shukrani yainjii.8Mnolanje ya kwamba mundu jojowe anamtanjianje kwa Falsafa na malowe gangali shindu ga temba kulingana na mapokeo ga wandamu,kulingana na kunani ya kidunia,na mngaa kulingana na Kristo. 9Kwa kuwa katika vene ukamilifu gowe gwa Mnungu guna tama katika shiilu.10Na mmanganya mchigumba ywanga katika vene.Jwene ni mtwe gwa kila uweza na mamlaka. 11Katika vene mnepeila mchikutahiriwanga kwa tohara janga tendwa na wanadamu katika kushongwa shilu sha mnyama,lakini ni katika tohara ya Kristo. 12Mchikushikwanga pamo na jwene katika ubatizo.Na kwa njia imani katika jwene mchikuyuywanga kwa uwezo gwa Mnungu,amnyushio kushoka kwa wawilenje.13Na pumwawilenje katika makosa genunji na kutokutahiriwa kwa iihi yenunji,vashikumnyunga,pamoja na vene na kutusamehe makosa gehi gowe. 14Vashikufunda kumbukumbu ja magambo gajandikwe,na taratibu yaliji kinyume na uwe.Ashikujishoya jowe na kujikomela mumralaba. 15Vashikwishoya nguvu na mamlaka.Vashikuga vika wazi na kugatenda kuwa sherehe ya ushindi kwa njia ja msalaba gwake.16Kwa mneyo,mundu jojowe anaming'ukumunji mmanganya katika kulya au katika kupapila au kuhusu lyuva lya sikuwa au mwezi mpiya au siku ya sabato. 17Hai ni vivuli vya mambo ga kwia,lakini shiini ni Kristo.18Mundu jojowe apingwa ananyang'anywe tuzo jake kwa kutamani unyenyekevu na kwa kuabudu malaika.Mundu jwa jene jinsi jo anajinjila katika mambo gagaweni na kushawishiwa na mawazo gake ga shilu. 19Jwene akakamulila mtwe.Ni kushoka katika mtwe kwamba shiilu showe kupitila viungo vyake na maupa kuunganya na kukusanishwa pamoja,na kukula kwa ukuaji gwa Mnungu.20Iwaga mchikuwanganga pamo na Kristo kwa tabia ya dunia,mbona mnatamanga mbuli mnawajibika kwa dunia: 21''Mnakamulanje,wala kupaya''? 22Haga gowe gashiamuliwa kwa ajili ja uaribifu gukwia na matumizi,kutokana na maelezo na mafundisho ga wanadamu. 23Sheria hai ishikola heshima ya chini iyeleywa kwa ubinafsi na unyenyekevu na mateso ga shiilu.Lakini yangali thamani dhidi ja tamaa ya shiilu.
1Iwanga tena Mnungu ashikumnyuyanga pamo na Kristo,Mgaloleanje mambo ga kunani amboko Kristo anatama mkono gwa shilume gwa Mnungu. 2Mfikirianje kuuhusu mambo ya kunani,mngaa kuhusu mambo ga dunia. 3Kwa kuwa mchiwanganga,na maisha genunji gashiiywa pamo na kristo katika Mnungu. 4Muda gwapinga onekana Kristo,ambaye ni maisha genunji,na ndio na mmanganya mnepeila shimmonekananje na jwene katika utukufu.5Kwa mneye mgaiyanje mambo gali katika nchi yaani,zinaa,uchafu,shauku jangalimana,nia jangalimana,na tamaa,amboyo ni ibada ja sanamu. 6Ni kwaajili ja aga mambo ga ghadhabu ja Mnungu jinakwia juu ja wana wakatunji. 7Ni kwa ajili ja aga mambo ga mmanga ya mnepeila mchikuowanga kwa gene pumwatemilenje kati jaonji. 8Lakini lelo ni lazima mgashoyanje aga mambo gowe ga.Yaani ghadhabu,hasira nia mbaya,matusi,na matendo machafu gashoka Mnugomo lwenunji.9Mnatembananje mmanganya kwa mmanganya,kwa kuuva mchikuulanga utu gwenunjigwa kale na matendo gake. 10Mchiwalanga utu gwa mpya,ambao gunetendwa gwa mpya katika maarifa kushoka na na mfano gwa jwejula ali muumba. 11Katika aga maarifa,jwakwa myuhani na myahudi,kutahiriwa na kutokutahiriwa msomi,anga shoma,mtumwa,angalimtumwa lakini badala jake kristo ni mambo gowe katika gowe.12Kwa wateule wa Mnungu,watakatifu na wapendwao,mwivikanje utu mwena,ukarimu,unyenyevu,upole na uvumilivu. 13Mtolelananje mmanganya kwa mmanganya.Mngurumiananje kila mundu na mnjake mwanaga mundu ashikola lila miko dhidi ja juna,amsamehe kwa jinsi jila ambayo Bwana puvamsamehenje mmanganya. 14Zaidi ja mambo aga gowe mmanganje na Upendo,ambao ndio shigezo sha ukamilifu.15Amani ja Kristo jimng'ongozanje mmitima jenunji.Ishikuwa ni kwa ajili ja amani aji kamba mchikushemelwanga katika shilu shimo.Mkolanje shukrani. 16Na lilowe lya Kristo litame mnyumba jenunji kwa utajiri.Kwa heshima jowe,mfundishananje na mshauriananje mmanganya kwa mmanganya kwa Zaburi,nyimbo,na nyimbo ya mumtima.Mjimbanje kwa shukrani mitima jenunji na kwa Mnungu. 17Na shoshowe shimkutenga,katika malowe au katika matendo,mtenelanje gowe katika lina lya Bwana Yesu.Mwapanganye shukrani a Mnungu kupilila vene.18Wandonya,mwanyenyekeanje walume wenunji,mbuti pwikukonja katika Bwana. 19Na mmanganya mmashileu,Mwapinganje ashakongo wenunji,na mnavanganje wakali dhidi jaonji. 20Wana mwaeshimunji wazazi wenunji katika mambo gowe,maana ndio pwikwapendeza Bwana. 21Asha awawa mnachokozanje wana wenunji,ili kwamba wanakatanje tamaa.22Watumwa,mwaheshimunji mabwana wenu nji katika shiilu kwa mambo gowe,Mngaa kwa huduma ja meyo kama vandu va furaha ishangape,bali kwa mtima gwa kweli.Mumnjogopanje Mnungu. 23Shoshowe shimkutendaga,mtenda nje kushoka mnafsi jenunji kama kwa Bwana na mngaa kama kwa wanadamu. 24Muumanyinji ya kwamba mpinga poshelani tuzo ja umiliki kushokwa kwa Bwana.Ni kristo Bwana Mkutumikianga. 25Kwa sababu jojowe atendaga ngali haki shaposhele ukumu kwa matendo gangali haki gagalendile,na gwakwa upendeleo.
1Mabwana,mchoyanje kwa watumwa mambo gali ga haki na adili.Muumanyinji mnepeila kwamba mchikulanga Bwana kumbingu.2Mngendeleanje kuwa thabiti katika masombi.Mtamanje meyo katika lyene kwa shukrani. 3Mnjuganje pamo kwa ajili jetu mnepeila,ili kwamba Mnungu augule mnango kwa ajili ja lilowe,kuweleketa siri ja kweli ja Kristo kwa jene sababuji njila wa minyololo. 4Na mnjugaje kwamba ngombole kuli wika wazi,kama pumbinjilwe kuveleketa.5Jenda kwa heshima kwa wewala walinginji pilangu,na muugombolanje muda. 6Malowe genunji gawe na neema muda gowe,na ganonye mnjehe majira gowe,ili kwamba mkombolanje jinsi pumkupingwanga kumjangula kila mundu.7Kwa mambo gang'usu mne,Tikiko shagatende gamanyikane kwenunji.Jevene ni mpwanga,mpendwa,mtumishi mwaminifu,na mtumwa mnjetu katika Bwana. 8Na kumtuma kwenunji kwa ajili ja lyelino,kwamba mkombolanje kugamanya aga mambo ga kuhusu uwe na mnepeila kwamba akombole kumtanga mtima. 9Na kumtuma pamoja na Onesimo,ndugu jwetu mpendwa mwaminifu na jumo jwenunji.Shimnungulu lwanje kila shindu shikoposhele apano.10Aristarko, mfungwa mnjetu,ana kumsalimianga,mnepeila na Marko binamu jwake na Barnaba mwaposhelenje utalatibu kushoka kwakwe,''Mwanangu ajiaga kwenunji,mumposhelanje,'' 11Na mnepeila Yesu ashemwa Yusto.Hawajikapenji wa tohara ni watenda kazi vajanguji kwa ajili ja ufalme gwa Mnungu.Vashivanganga ni faraja kwangu.12Epafra anakumsalimianga.Jwene ni jumo jwenunji na mtumwa jwa Kristo Yesu.Jwene anatenda bidii katika kujuga kwa ajili,ili kwamba mkombolange kujima kwa ukamilifu na kuhakikishwa kikamilifu katika mapenzi gowe ga mnungu. 13Kwa kuwa na kumshukuhudia,anatenda liengo kwa bidii kwa ajili jetu,kwa wewala walinginji Laodekia,na kwa wewala wali Hierapoli. 14Luka jwejula tabibu mpendwa ,na Dema wanakumsalimianga.15Mwasalimianje ashapwanga valinginji ku Laodekia,na Nimfa,na likanisa lyelile liili kumngwake. 16Jene barua ji pujipingwa shomwa mmiongoni mwenunji,jishomwe mnepeila kwa kanisa lya walaodekia,na mmanganga jene barua kushoka Laodekia. 17Mmelekete kwa Arkipo,''Mnole jejila huduma jijiposhele kushoka kwa Bwana,kwamba mnapingwa kuji kamilisha.''18Aji salamu ni kwa mkono gwangu nemwene-Paulo.Mji kumbukanje minyororo jangu.Neema na jiwe na mmanganyanji.
1Apaulo, Silwano na Atimotheo kwa kanisa la wathesalonike katika Nnungu Baba na Bwana Yesu kristo Neema na amani jiwe nanyi.2Tunatola shukurani kwa Nnungukila mala kwaajili jenunji nyowe wakati kutowalugulanga katika maombi getu. 3Tunaikumbushila bila koma mbele ja Nnungu na awawa jetu maengo genu ga imani, juhudi ja upendo na uvumilivu, gwenyw ujasiri kwaajili ja baadae katika Abwana Yesu kristo.4Anugwana mnaopendwa na Nnungu tugumanyile wito gwenu, 5Na jinsi injili jetu iijile kungwenu nga ja lilowe jika, bali pia katika nguvu katika Roho Mtakatifu na katika uhakika kwa namna jenejo. mmanyile pia tuwe tupaliji wandu wa shindu shashi miongoni mwetu kwaajili yetu.6Mwaliji wandu wakutuiga tuwe na Bwana kama muposhele lilowe katika taabu kwa furaha jishoshile kwa roho Mtakatifu. 7Na matokeo gake mkawa mfano kwa wowe katika makedonia na akaya ambao wanaamini.8Kwakua kunakoposhela kukwenu lilowe la Nnungu lijenele kowe na si kwa makadoniana akaya jika pe, badala jake kwa kila mahali imaninjenu katika Nnungu jijenele kowe na matokeo gake mkahitajion kuweleketa chochowe, 9Kwakua gwao wayene wanaarifu ujio gwetu upaliji nan shindu shashi, kati jenu, wanasimulianga jinsi miuwageushile Nnungu kuposhela katika sanamu na kumtumikia Nnungu alie haio na jwakweli. 10Washishoya habari kuwa nguna kuninda mwana gwake kupoka mbinguni aliefufuliwa koposhela wafu na jwenejo ni Yesu, atuwishile huru koposhela kwenye ghadhabu jikwia.
1Kwakua mmanganya mnikummanya, ujio gwetunji nnga gwa yoyo. 2Mshikumanyanga kwamba pamwanzo tushikuteseka na bashi kututenda kwa oni akula kufilipi, mbnuti pumkumanyangapo. tushikukola ujasiri gwaveleketa injili jika Nnungu nkali na tabu jaigwinji.3Kwa maana mahusia getu gakashokana na ubaya, wala ya nyata, wala ya hila. 4Badala jake kama nneila tukubalishe na Nnungu na kuaminiwa injilindio putukuveleketa, tunaveleketa nnga kwa kuwafurahishanga wandunji, lakini kumfurahisha Nnungu, nnyene jika pe ndio analola mitima jetu.5Kwa maana twangatumia malowe gwakwipendekeza muda gogowe, mbuti pumkumanyanga, 6wala mwangatumia malowe ga lambililwa kwa tamaa, Nnungu shahidi jwetu. Wala twangaloleya utukufu kwa vandu, wala kushoka kwenunji wala kwa anganyanji, Tukamanyile kulonga kupendelewa mbuti mitume ja Kristo.7Badala jake putwaliji kimya kati jetu mbuti amama puvakwapembeleyanga wana wake, 8Kwa gweguno mpanda tushikukola na upendo kwenunjiputwaliji tayari kuwashirikishanga na wala injili jika Nnungu bali na maisha getu vayene. Kwakuwa mmekua wapendwa gwetu. 9Kwakua mmekuwa ndugu mnikumbushiranga liengolya kulaga kwetu. shilo na mui tunatenda liengo kusudi tukamlemea jejoye. Gwene mudago, nikuwahurianga injilin jika Nnungu.10Mmanganyanji mshuhudianje, na Nnungu jo, na kwa utakatifu gwa namna jashi, haki na wala lawama, tulivyoenenda wayene mbele jenu mnaoamini. 11Nnepeyo mmanyanje namna jashi kila jumo jwenu, mbuti awawa puvali vanavavo nikuwahimizanga na kuwataganga mtima. Tushikushuhudia 12Kwamba tushikupingwa kwenda mbuti putushemwile kuka Nnungu, avashemilenje kuufalme na utukufu gwake.13Kwa jene sababu tunamkushukuru Nnungu kikla muda. pava mda gumposhelenje kushoka kwetu uijumbe gwa Nnungu gutupilikene, mwaposhelenje malowe gavandunji. badala jake niposhera mbuti nneyo pwili lilowe lya Nnungu ni lilowe litenda liengo kati jenjnji mngamininji.14Kwa nneyo mmanganya, ashapwanga, mmanganje mmandu waiga makanisa ga ka Nnungu gali ku uyahudi katika Kristo Yesu. kwakua mmanganyanji mshikutesekanga kwa gegala mambo kushoka kwa wandunji vyenumbuti mwili kushoka kwa wayahudi. 15Puvalinginji wayahudi ndio vavulegenje Abwana yesu pamoja na manabii Ni wayahudi watuvingelenje tushoshe pilanga, vakakumpinganga Nnungu na ni maadui ga vandu vowe, 16Walituzuia tunavelekete na mataifa ili vapatanje kuokolewa, matokeo gake ni endelea na mashambi gaonji, mwisho gwake nikwighadhabu pamtundu jao.17Uwe ashapwanga tushitengana na mmanganya kwa muda mfupi na shiilu, ngaa pamtima. tushikutenda kwa uwezo gwetu na shauku kuu ni lola nyuso jenunji. 18Pava tushikupinga kwia kungwenunji, nne Paulo kwa mara jimo pe na kwa muda gwina, lakinji lishetani lishikutuivila. 19Pava kujiamininkwetu nnga shindu kwa baadaye, au kufurahi, au taji jakwivunila mbele ya Bwana wetu Yesu muda gwa kwia kwake. 20Pava mmanganya ni utukufu gwa furaha jetu.
1Kwaiyo putwali tukamamnya vumilia zaidi, gutuganishie niwa yambone ingala kwekula athene jika jetu. 2Twamtumile Timotheo ndugu yetu na mtumishi jwa Nnungu katika injili ya Kristo. kwaimalishianga na kwafalijinji kuhusiana na imani jenu. 3Tushikutenda genega ili kusudi anapagwe jojowe jwateteleka kutokana na mateso haya. kwakua namwene nimumanyi kwamba tumekwisha kwaajili ya hili.4Kwakweli wakati gutwaliji pamo nanyi, tushikulongolela kuwaeleza ya kuwa tulikuwa karibu kupata mateso, na genego gashikoposhela kama shimkuti manyanga. 5Kwasababu jino, punaliji ngamanya kuvumilia tena, namtumile ili kusudi mbate kumanya juu ya imani jenu. Huenda mjaribu ashikualinganga na liengo lyetu na kuwa lanyoyo.6Lakini Timotheo alikuja kungwetu kukoposhela kunngwenu na gwatupeleshele habari njema juu ya imani na upendo gwenu. Ashimkutulugulila yakuwa mnayo kumbukumbu mzuri juu jetu, na kwamba mnatamani kutuona kama kama amba na uwe tunatamani kummonanga mmanganyanji. 7Kwasababu haji ndugu twashimkufaliojika sana kwa imani jenunji, katika kulaga na mateso gowe.8Kwasasa tunaishi, kama msimamangaga imara kwa Abwana, 9Kwani shukulani jipali tumpe Annungu kwaajili jenu, kwa furaha jowe tulijinajo mbele ya Nnungu juu jenunji. 10Tunajuga sana shilo na muhi ili tuweze kuiona nyuso yenunji na kumjonjesheanga kinachopungua katika imani yenu.11Nnungu na awawa wayene, na Abwana yetu Yesu batuongoze mpanda gwaika kunngwenu. 12Na abwana atende mjojeshikanje upendo uzidi, Mpinganangaga na kuwapinga wandu bowe kama tushikuntendeaga mmanganya. 13Na atende nnei ili kuimarisha mioyo jenu jiwe bnila lawama katika utakatifu mbele ja Nnungu jwetu na awawa yetu katika ujio wa Abwana Yesu pamoja na watakatifu wake wote.
1Hatimaye, ndugu, tunakuwatia mtima na kuwasihi kwa Ayesu kristo. mbuti mpokelenje maelekezo kushoka kwetu namna iwapasavyo kuendana na kumpendeza Nnungu, 2kwakua mnamanyanga ni maelekezo gashi tuwapelenji kupitia Abwana Yesu.3Kwakua genega ndiyo mapenzi gaka Nnungu: utakaso gwenunji-kwamba muepukanje zinaa, 4Kwamba kila mundu anamanya namna japata jwandonya jwake nnyene katika utakatifu na heshima. 5Unakwete wandonya kwa tamaa ja shiilu (mbuti mataifa gakammanya Nnungu) 6Anapagwe mundu jejoye atakaevuka mipaka na kumkosea nnjake kwaajili ya jambo hili. kwakua Abwana ndiye mwenye kulipa kisasi kwa mambo gowe haga, kama tulivyo tangulia kuwaonya na kushuhudia.7Kwa kuwa Abwana wangatushema kwa ushafu, bali kwa utakatifu. 8Kwa hiyo alikukana lyeneli wakakana wandu, anakumkana Nnungu, ashikwapa Roho mtakatifu jwake.9Kuhusu upendo wa ndugu, hakuna haja ya mundu jejowe jula kukuandikishia, kwakua mshikufundishwanga na Nnungu kupingana ninyi kwa ninyi. 10Hakika mutendile genega gowe kwa ndugu wapalinji Makedonia gowe, lakini twawasihi, ndugu, ntende hata na zaidi. 11Twawasihi mtamani kuishi maisha ga utulivu , kujali shughuli zenu, natenda maengo kwa mikono jenu kama tuwaamuru. 12Ntende aga ili uweze kuenenda ukoto na kwa heshimakwa wenewo wali palang ja imani, ili unapiungushile na hitaji lolowe.13Tukapinga ninyi muelewe isivyo sahihi, enyi anungwana, juu ya wenewo wagonilenji, ili mnaishe mkahuzunika mbuti anganyanji wangali uhakika tykuhusu wakati 14ujao. Iwapo tunaamini Yesu awile na ashifufuka tena, Nnepeyo Nnungu awalete pamoo na Yesu na hao wagonilenje mauti katika yeye. 15Kwaajili ya ago tunakuwalugurira nanyi kwa lilowe la Bwana, kwamba uwee tulio hai, tupali wakati waja kwake Bwana, hakika tunalongolela wagonile mauti.16Kwakua awawa wayene atashuka kukoposhela mawinguni, Ajile na sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, pamoja na parapanda jika Nnungu, na wawile katika kristo watafufuka kwanza. 17Kisha tuwe tulio hai, tupeleshele, tutaungana katika mawingu pamoo nao kumlaki Bwana hewani. kwa mpanda gwenegu tutakuwa na Bwana moga gowe. 18Kwa hiyo, mfarijiane ninyi kwa ninyi kwa malowe genega.
1Sasa kwa habari ja muda na nyakayti, ashapwanga jakwa haja java kila shindu shoshowe kijandikwe kwenunji, 2Kwava mmanganyanji mmayene mnamanyanga kwa usahihi kuwa moga ga ABwana inakwia malinga mwii pai kashilo, 3Pepala pavakueleketanga kuna "Amani na Usalama" penepo uharibifu pukwiya ghafla. ni malinga ushungu puukwiya kwa jandonya akwete shitumbo, vakaepukangha kwa mpanda gogowe gula4Lakin mmanganyanji ashapwanga mwangalinginji mnuvindu hata siku malinga mwii. 5Kwa maana mmanganyanji mmowe ni wana wa nunu na wana muhi uwe ngawa wana na shilo au wana waluvindu. 6Nneyo bahi tugone malinga vananji puvagonilenje bali tukeshe na kuwa makini. 7Kwakua wanagonanga wagona shilo na vakolelwa vanakolelwa shilo.8Kwakua uwe ni wana wamuhi, tuwe makini. Tuwale ngao ya imani na Upendo na kofia ya chuma ambayo ni uhakika wa wokovu wakati ukwiya. 9Kwakua Nnungu jwaanga agula mwanzo kwaajili ya gadhabu, bali kwapata wokovu kwa mpanda gwa Abwana Yesu Kristo. 10Jwenejo ndo atuwile ili kwamba, hakuno tuli meyo au tugonile shituishi pamo na nnyene. 11Kwa nneyo, farijiananinji na kushenga mmanganyanji kwa mmanganyanji malinga pumtendanje.12Ashapwanga tunakuwajuga mwamanyanje wale wanaotumika nkati jenunji na vevala valinginji kunani nkati jenunji katika Abwana na vevela wakumshaurinji. 13Tunakuwajuganga pia muwatambue na kuwapa heshima katika upendo kwaajili ja maengo gaonji. Muwe na amani nkati jenunji mmayene. 14Tunakuwasihi, ashapwanga muwaonyanje wasio kwenda kwa utaratibu, mwapanganje mtima wakatilenje tamaa, wasaidieni wali wanyonge na muweenje wavumilivu muda gowe.15Mnolanje anapagwe mundu jwa lipa bya kwa baya kwa mundu juna, Badala jake mtendanje gali mema kwa kila jumo jwenunji na kwa wandu bowe. 16Mfurahinji mowa gowe. 17Mjuganje bila kupela. 18Mumshukuru Nnungu kwakila shindu pava genego mapenzi ga Nnungu kwenunji katika Yesu Kristo.19Msimzimishe mtima. 20Mnauzaraunji Unabii. 21Mninganje mambo gowe. Mkamulanje la mmbone. 22Nng'epukanje kila muonekano gwa Uovu.23Nnungu jwa Amani awakamilishe kaika utakatifu. Mtima, nafsi na shiilu vitunzwe pangali mawaa katika kwiya kwake Abwana wetu Yesu Kristo. 24Nnyene awashemile ni mwaminifu, na ndiye mwenye kutenda.25Ashapwanga mtujugalanje pia. 26Mwasalimunji ashapwanga bowe kwa busu takatifu. 27Nawasihi katika bwana kuwa jene barua aji jisomwe kwa ashapwanga bowe. 28Neema ja Abwana yetu Yesu Kristo iwe pamoja na mmanganyanji.
1Paulo, Silwano na Atimotheo kwa kanisa la Wathesalonike katika Nnungu Awawa jetu Yesu Kristo. 2Neema jiwe kungwenu kwa amani jishoka kwa Nnungu Ababa jetu na kwa Abwana jetu Yesu Kristo.3Jishikutupasa uwe kumshukulu Nnungu moga gowe kwaajili jenunji, ashapwanga. Maana pava nneyo ndiyo pwikupinjikwa, pava imani jenu inakua sana, na upendo gwenu gwa kila mundu mjonjeanje gwa ngwinji. 4Uwe twashayene tunaweleketa kwa ufahali juu jenunji katika makanisa ga Nnungu. Tunaweleketa abali ja saburi jenu na imani mkwetenji katika mateso gowe. Tunaweleketa kwa abali ja mateso jisitaili. 5Jejino ishara ja hukuku ja haki ja Nnungu. Matokeo ga nneyi kuwa muhesabiwanje kuwa mwastahili kulundila ufalme gwa Nnungu amnbao kwa ajili jake mnateswanga.6Kwakua haki ya Nnungu kwalipanga mateso banganya vala kuwa tesanga mmanganya, 7Nakuwapanganga raha mmanganya mkuteswanga pamo nauwe. shiuwatende nnei kipindi januikuliwa kwake Abwana Yesu shoka kumbinguini pamo na malaika na uwezo gwake . 8Katika amwali vamoto shiwalipizie kisasi bene anganya banga mmanya Nnungu na bene wanganyanji wangajiheshimunji injiili ja Bwana yetu Yesu.9Wapingatesekanga kwa maangamizi ga milele akuno wali watendilenjwe na uwepo gwa Abwana na utukufu gwa nguvu jake. 10Apinga tenda atakapokuja ili kutukuzwa na wandu gwake na kustaajabishwa na bowe wakwete imani. kwasbabu ushuhuda gwetu kwenunji ushisadikiwa kwenunji.11Kwasababu ajino tunakumjugalanjila moga gowe. Tunajuga kwamba Nnungu gwetu avahesabunji kwakua bashimkustahilinji shemwanga. Tunajuga kwamba bapate kutimiza kila haja ya wema na kila liengo lya imani kwa mashili. 12Tunajuga mambo aga ili mpatanje kutukuza lina lya Abwana bwana Yesu. Tunajuga kwamba mpate kutuzwa naye kwasababu Neema ja Nnungu na ja Bwana Yesu Kristo.
1Baada jaika Bwana wetu Yesu Kristo nitama pamo na uwe na kuwajuganga ashapwetu, 2Kwamba mnasumbuliwanje wala kutabishwanga kwa urahisi, kwa Mtima wala kwa ujumbe gwa barua jiionekana kushoka kungwetu, nibeleketa kuti luvya lya Abwama tayari liishe.3Mundu anamtembanje kwa namna jejoye. kwakua ingaika mpaka lyelila anguko likoposhele na mundu jwa uasi aunukulilwe jwejula mwana jwaalibia. 4Jweneju ndio anapinga nikwijinula nnyene Nakumpinga Nnungu na sheshoye shiabudiwa. Na matokeo gake, nitama kuekalu lya Nnungu nikwilola nnyene mbuti Nnungu.5Kwani mkakumbushilaga kuti punaliji na mmanganyanji njikumalanjilanga aga mambo ga? 6Nnaona mnamanya shikwaivila, vanapingwa vaunukulilwe kwa muda sahihi utakapowadia. 7Pava jishiwa siri ja mundu jwa tenda uasi inatenda liengo mpaka nnaino, ila pe pavali vakwaivila mpaka bavashoye mumpanda.8Ndio jwejula jwa uasi shianukiuliwe, na Bwana Yesu vya pinga kwa ula na mbumu yao yab mtwe, Bwana apingakwatenda shakwashindu shoshowe kwa ufunuo gwa kwia kwawo. 9Kwiya kukajwejula jwa uasi ni kwasababu ja liengo likishetani na mashirin gake gowe, kwa ishara na maajabu ga unami. 10Na unami gowe gwa udhalimu. Genega mambo ga shigapagwe mpaka vevala vyao vilenje, kwasbabu vyagaposhelanga upendo gwakweli kwaajili jaokelewa kwaonji.11Kwasababu jenejo Nnungu anakwatumiaga kazi jaangalimana na vaaminji kuti unami. 12Matokeo gake ni kwamba wowenji shivahukumiwanje, wewala wangaamininji ukweli ni nikuifurahisha katika udhalimu.13Lakini tunapingwa kumshukuru Nnungu kila muda na kwaaajioli jenunji munaapingwa na Bwana. Kwasababu Bwana ashikuwaaguilanga mmanganya mbuti malimbuko ga wokovu kwa utakaso gwa Ntima na Imani katika ile ja kweli. 14Hashino ndio shakumtemelenje mmanganyanji kwamba kupilila injili mnaweza kupatanga utukufu gwa Abwana wetu Yesu Kristo. 15Kwahiyo, ashapwanga, mjimanje imara. ueleweni gwegula utamaduni gumfundishwe, kwa lilowe au Barua jetu.16Lelo Bwana wetu Yesu kristo Nnyene, na Nnungu awawa yetu vyatupinjile nikutupa faraja ja milele na ujasiri gwa mmbone kwaajili ja maisha gakwia kupitila neema, 17Awafariji na kujitenda imara mitima jenunjikatika kila lilowe na liengo lya mbone.
1Nnaino, ashapwanga, tujuganenji, kwamba lilowe lya Bwana liweze kuenea na kutukuzwa, kama ilivyo kwenunji. 2Mjugenenji kwamba tuweze kuokolewa kushoka katika uovu na wandu waasi, kwakua nga bawonji wakwete Imani. 3Lakini Abwana ni mwaminifu, ambaye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kushoka kwa yuel muovu.4Tushikola ujasiri katika Bwana kwaajili jenunji, kwamba mnatendanga na shimtendanje mambo ambayo tunawaagiza. 5Bwana aweze kuongoza mitima jenunji katika upendo na uvumilivu gwa Kristo.6Nnainpo tunawaagizanga, ashapwanga, katika lyina lya Bwana Yesu Kristo, mwepukenje anganyanji wa maisha ga uvivu na nnga desturi mposhilenje kushoka kungwetu. 7pava mmanganya mnamanyanga ni sawa kwenunji kutuiga sisi. Twangaishi miongoni mwenu malinga wewala wangali nidhamu. 8Na twangalya shalya sha mundu jejowe jula bila kukilipia. Badala jake tushitenda maengo muhi na shilo maengo gamagumu na ga shida, ili tusiwe mizigo kwa jejowe yula. 9Tushitenda nnei nnga twangali mamlaka. Badala jake tushitenda nnei ili tuwe mfano kwenunji, ili kwamba muweze kutuiga sisi.10Wakati tulipokua pamoja na mwe tuliwaagiza, "Ikiwa jumo akapinga tenda liengo, na angalye." 11Pava tunapilikana kwamba baadhi washikola uvivu miongoni mwenu. wakatenda maengo lakini badala jake ni wandu wangali utaratibu. 12Nnaino hao nao tunaagiza na kuwaasa katika Bwana Yesu Kristo, Kwamba lazima watende liengo gwa utulivu na lyanganga shalya shao wayene.13Lakini mmanganyanji, msizimie mitima katikan tenda ga usahihi. 14Mundu akapinga tii lilowe lyetu katika gwenegu waraka guno, Mutamenae kwa umakini na na mnashirikiane najwenejo, ili atende kuaibika. 15Mnaposhele mbuti adui, lakini mumkalipile mbuti ndugu.16Bwana jwa amani nnyene awape amani muda gogowe na katika mipanda jowe. Bwana atame nanyi bowe. 17Jejino salamu jangu, Paulo, kwa nkono gwangu nnyene, ambayo ni alama katika kila waraka. hivi ndivyo nijiandikishe. 18Neema ja bwana wetu Yesu Kristo iwe na mmwe bowe.
1Paulo mtume wa Kristo Yesu Kulingana na amri ja Nnungu na mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu, 2Kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani Neema,rehema na amani ishaka kwa nnungu Baba na Kristo Yesu Abwana vatu.3Malinga punikusihi punyawile kwenda makedonia uigale Efeso ili kwamba ukombole kuwaamuru vandu fulani wanajiganye mafundisho tofauti. 4Pia mpilikanishianje hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho.Genega husababisha mabishano zaidi kuliko kwajangatila kuendeleza mpango gwa Nnungugwa imani.5Basi lengo la agizo lyeneli ni upendo ushoka katika mtima safi,katika dhamira jambone na katika imani ya kweli. 6Baaadhi ya vandu vashikulikosa lengo guvaleshile mafundisho genega na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu. 7Vanapinganga kwa waalimu wa sharia,lakini vakafahamu shilugulanga au wanachosisitiza. 8Lakini tunamanya kwamba sheria ni njema malinga mundu ataitamia kwa usahilu.9Tunamanya kuwa sheria jangatungwa kwa ajili ja mundu mwenye haki,bali kwa ajili ya wavunja sheria na waaasi, Vandu wasio wataua na mwenye dhambi,na ambao vangalinginji Nnungu na waovu.Imetungwa kwa ajili ya wanao sababu na amama yaonji kwa ajili ya wauaji. 10Kwa ajili ja washerati,kwa ajili ya vandu vanzinzi,kwa ajili ja vevala vakwatekanga vandu na kuwatenda watumwa,kwa ajili ya waongo kwa ajili ya mashahidi wa vongo na jojowe ali kinyume na maelekezo ya waminifu. 11Maelekezo genega ganashokana na injili yenye utukufu ja nnungu mwenye kubarikiwa ambayo kwao nimeaminiwa.12Nina kumshukuru Yesu Kristo Abwana vetu.Ashikunitaga mashili kuwava alinihesabu nne kuwava alinihesabu nne kuwa mwaminifu na gwamishile katika huduma. 13Njikuva mundu jwa kufuru,mtesaji na mundu jwa vurugu.Lakini njikupata rehema kwa sababu nji kutenda kwa ujinga kwa kutoamini. 14Lakini neema ja Mnungu vetu jishigumbala imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.15Ujumbe gwenegu ni wakuaminika na unastahili kuposhwelwa na vowe,ya va kristo Yesu ashikwiya padunia kuokoa wakwetenje mashambi,Nne ni mbaya zaidi ya wowe. 16Lakini kwa sababu jeneji nne njikupengwa rehema ili kwamba nkati jangune awali ya yowe Kristo Yesu adhihirishwe uvumilivu wowe.Ashikutenda nneyo malinga kidelezo kwa vowe vapinga kumwamini jwenejo kwa ajili ja uzima wa milele. 17Na nnaino kwa mfalme jwangali na ukomo,akawa,akaonekane,nnungujika ime heshima na utukufu milele na milele na milele .Amina.18Ninakuliivika agizo lyeneli mnuyo jako Timotheo,Mwana jwangu.Natenda nnei kulingana na unabii ushoshiwe penepo kwanza kuhusu ugwe,ili kwamba uhusika katika vita njema. 19Tenda nneyo ili kwamba uve na imani na dhamira njema.Baadhi ja vandu vashikuga kunanga genega wakaangamiza imani. 20Malinga nneila Himeneyo na Alekizanda ambao njikumpa shetani ili vajiganywe wasikufuru.
1Kwa nneyo awali ja jowe,napinga maombi na dua na maombezi na shukrani itendeshe kwa ajili ja vandu vowe, 2Kwa ajili ja wafalme na vowe ambao valinginji kwenye mamlaka,ili kwaula tukombole kuishi maisha ga amani na utulivu katika utauwa wowe na heshima. 3Lyeneli ni njema na lenye kukubalika mmujo ja nnungu mwokozi wetu. 4Jwenejo hutamani kuwa vandu vowe waokolewe na wapata kumanya ukweli.5Kwava apali nnungu jumo na kuna mpatanishi jumo kati ja nnungu na mwana damu ambaye ni Kristo Yesu. 6Ashikuishoya mmwene kama fidia kwa vowe,mahinga ushuhuda kwa wakati muafaka. 7Kwa sababu jeneji nne namwene njikutendwa kuva mjumbe wa injili na mtume.Nalugula kuchi,'ngalugula unami.Nne ni mwalimu vandu mataifa katika imani na kweli.8Kwa nneyo napinga vashileu kila mahali vajuje na kujinula makono matukatifu bila ghadhabu na mashaka. 9Nne peyo napinga vandonya waivisha mavazi gakubalika,kwa heshima na kujizuia,vanavanganje na umbo ilushilwe,au dhahabu,au lulu au mavazi ya gharama jajikulungwa. 10Pia napinga vawale mavazi yakwastahili vandivya wanaokini uchaji kwa kupitila matendo mema.11Jwandonya na aijiganye katika hali ja utulivu na kwa utii gowe. 12Ngakummhusu mundu jwandonya kujiganya au kuwa na mamlaka juu ja vashileu bali atame katika hali ja ukimya.13Kwava Adamu ashikualaywa kwanza kisha Eva. 14Adamu jwangatembwa,lakini jwandonya ashikutembwa kabisa katika hasi. 15Hata nneyo ataokolewa kwa kupitila kuveleka vana,kama shivajendelele katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.
1Usemi gwenegu ni gwaminika.Kama mundu anatamani kuva msimamizi,anatamani Liengo jema. 2Kwa nneyo msimamizi ni lazima anave na lawama.Ni lazima ave jwashileu jwa mkongwe jumo.Ni lazima ave kiasi,busara,mwenye utaratibu,mkarimu.Ni lazima awe na uwezo gwa jigamya. 3Anave anatumila mvinyo,anapwate,bali mpole mwenye amani.Ni lazima anave apinga mmbya.4Inampasa Kuwasimamia vema vandu va nyumba jake mmwene na vana vake imewapasa kumtii kwa heshima zote. 5Maana ikiwa mundu akamanya kuvajimila vandu va kumui kwake mwene atalilejeaje kanisa lya Mnungu?6Anave mwamini jwaambi ili kwamba asije akajiwina na kugwa katika hukumu kama yule mwovu. 7Lazima pia awe na sifa jambone.Kwa vome valinginji pilanga ili anagwe kwenye aibu na mtego wa mwovu.8Mashemasi,vilevile wanapaswa kuwa menye kustahili heshima,venave venye kauli ivili.Vanatumilaye mvinyo kupita kiasi au kuwa na tamaa. 9Vakombole kuitunza kwa dhamiri safi ile kweli ya imani iliyofunuliwa. 10Wawe pia wamethibitisha kwanza,alafu wakombole kuhudumu kwa sababu vangahinginji lawama.11Vando nyanji nnepeyo vawe wakuetenje heshima wasime wasingiziaji,wane ma kiasi na waaaminifu kwa mambo gawe. 12Mashemasi lazima vawe vashileu wa mkongwe jamo,lazima vakombole kwa jamilanga vema vana vao na majumba gao. 13Kwava vevala vanatumika ukoto hupata msimamo gwambone na ujasiri gwamkulungwa katika imani jili katika Kristo Yesu.14Ninajandika mambo geneja kumgwako na ninatumaini kwiya kumgwako nnei foome. 15Lakini ikiwa nitachelewa,ninajandika ili upate kumanya namna ya kuenda katika nyumba ja nnungu,au balo ni likanisa lya nnungu aliye hai,nguzo na msaada wa kweli.16Na haipingiki kwamba kweli ya wungu uliyofunuliwa ni mkuu:Ashi kuonekana katika shiilu,akathibitishwa na mtima gwalolilwe na malaika akatangazwa miongoni mwa mataifa akaaminiwa na ulimwengu na gwatolilwe katika utukufu.
1Nnao Roho analugula waziwazi katika nyakati.Ikwiya baadhi ja vandu shivajileshe imani na kuwa makini kupilikanishia mtima pugutemba na mafundisho ya kipepeo gapimgajiganya katika unami na unafiki. 2katika uongo na unafiki. Dhamira zao zitabadilishwa.3Wapinga kwakaniyanga kulomba na kuposhela yalya ambayo Mnungu aliviumba vitumiwe kwa skukrani miongoni mwao na wenye kuimanya kweli. 4Kwa sababu kila shindu ambacho nnungu amekivumba ni shambone.Shakwa ambacho tunapashela kwa shukrani kinastahili kukanwa. 5Kwa sababu kinatakaswa kupitila lilove lya Mnungu na kwa mpanda gwa maombi.6Kama shingavishe maombi genega mmujo ja nnungu shiuve mtumishi jwaubone wa Yesu Kristo kwa sababu umestanishwa kwa malove ga imani na kwa mafundisho gambone ambayo ushikukagula. 7Lakini zikane hadithi za kidunia ambazo zinapigwa na vandonya vazee.Badala yake jijiganye mmwene katika utaua. 8Kwa maana mazoezi ga shiilu ganafaa kashoko bali utauwa wafaa sana kwa mambo gowe.Hutunza ahadi kwa maisha ga nnaino na gegala gakwiya.9Ujumbe genegu ni wakuaminiwa na unastahili kukubaliwa kabisa. 10Kwa kuwa ni kwasababu jeneji tunalaga na kutenda maego kwa bidii sana.Kwa kuwa tunao ujasiri katika Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, lakini hasa kwa waaminio.11Ugalugule na kuggafundisha mambo genega. 12Mundu jojowe asiudharau ujana gwako.Badala yake ume mfano kwa vowe waaminio,katika usemi mmenendo,Upendo,vaminifu na usafi. 13Mpaka pupingakwiya dumu katika kushoma,katika kuonya na katika kujiganya.14Uaipuune karama jili nkati mwako ambayo ushikupengwa kupitila unabii kwa ushilwa makono na ashambuje. 15Uyajali mambo genega.Ishi katika henego ili kukula kwako kuve dhahiri kwa vandu vowe.Zingatia sana mwenendo wako na mafundisho. 16Dumu katika mambo genega.Maana kwa kutenda aneyo utajiokoa gummwene na vevala vakukupilikanishia.
1Unamkavipile jwashileu mzee.Bali mtaje mtima malinga awawa yako.Uwataganje mtima vijana vashileu kana kwamba ashapwanga vako. 2Gwataganje mtima vandonya vazee malinga ashamawa yako na vandonya vijana malinga ashadada yako kwa usafi gowe.3Waheshimu wajane,vevala valinginji wajane kwelikweli. 4Lakini kama mjane akuete vana au vaukulu,valeshe kwanza waijiganye kulangaya heshima kwa vandu va kumui kwaonyi vayenenji cvaleshe vavalipe ashawawa yao mema kwava yeneyi inakenja mmujo ja Mnungu.5Lakini mjane kweli ni jimejula aleshilwe jika.Naye hurika tegemeo lyake kwa Mnungu.Mora gowe huduma katika sala na maombi mui na shilo. 6Hata nneyo jwandonya jwejula atama kwa anasa awile,ingawaje yu hai.7Na uyahubiri genega mambo ili kwamba vanavanganje na lawama. 8Ila kama mundu akanaga kwatunza ashapwanga vake hususani vevala valinginji kumai kwake,ashikujikana imani na ni mbaya kuliko mtu asiye amini.9Basi jwandonya ajandikishwe kwenye orodha kama mjane akiwa na umri usiopungua miaka sitini na ni jwamkongwe jwa jwannume jumo. 10Lazima amanyikane kwa matendo mema ikiwa ni kwamba ashikwajali vana au ameshakuwa mkarimu kwa vajeni,au ashiukanga makongono ga waaminio au ashikwaajangutila ambao vatendateswa au ashi kuishoya kwa liengo lyo lyoma jema.11Lakini kwa vevala wajane vijana kana kuwaandikisha kwenye orodha ya wajane kwa kuwa vajinjila ga kwenye matamanio ga kimwili dhidi ya Kristo vanapigwa kulombwa. 12Kwa mpanda gwenegu hujinjila kwenye hafia kwakuwa huvunja kujitoa kwao kwa awali. 13Na pia hujinjila kwenye mazoea ga uvivu.Venavo hutimbilila nyumba kwa nyumba.Si tu kwamba ni wavivu bali pia huwa wasengenyaji na ni menye kuingilia mambo ya mengine venavo hulugula mambo yasiyopaswa kulugulwa.14Kwa nneyo nne napinga vandonya vijana valombwe,vakole vana,Vajimilile majumba gaonji ili kutokumpa adui nafasi ya kutushitaki kwa kufanya dhambi. 15Kwa sababu baadhi yao wameshamge ukia shetani. 16Kama jwandonya jojowe aaminiye akwete vajane basi na avajangutile ili kanisa lisielemewe ili likombole kuwasaidia vevala valingnji vajane kweli kweli.17Basi ashambuje vevala watawalao vyema wahesabiwe kuwa wamestahili heshima maradufu,hasa vevala vakui shughulisha na kujiganya lilove lya Mnungu. 18Kwa maandiko ganalugula,''Unamfumbe ng'ombe kang'wa apulapo nafaka,''na ''Mfanya kazi anastahili mshahara wake.''19Unaposhele mashitaka dhidi ya mzee isipokuwa kuna mashahidi vavili au vatatu. 20Waonye wakosaji mmoja ja vandu voweili vana vaigelenje labda shivajogope.21Nakulajila kwa dhati mmoja ja nnunguna mmujo ja Kristo Yesu na malaika wateule kwamba usitunze maagizo genega bila ubaguzi gogowe,na kwamba unatende jambo lyolyowe kwa upendeleo. 22Unamvishe mundu jojowe mikono haraka.Usishiriki dhambi ja mundu juna.Yakupasa kujitunza mwenyewe uwe safi.23Hakupaswi kupapila mashi jika.Badala jake upapile mvinyo kashoko kwa ajili ja lipyutuu na ihwele yako ya mara kwa mara. 24Dhambi za baadhi ja vandu humanyikana kwa uwazi na hulongolela hukumuni.Lakini baadhi ga mashambi hukagula baadaae. 25Nnepeyo baadhi ja maengo mema humanyikana kwa uwazi lakini hata ina,lakini ya hazitafichika.
1Vevala vome valinginji pai ja nira mahinga watumwa wawaekulie mabwana zao kama wenye heshima zote,Vanapingwa kutenda nneyo ili lyina lya Mnungu na mafundisho ganatukanwa. 2Watumwa wakuetenje mabwana waaminio wasiwadharau kwa sababu wao ni ngugu.Badala yake wawatumikie wao ni ndugu.Badala yake wawatumikie zaidi .Kwa sababu mabwana vajangutilwa maengo gao ni waamini na vana pingwa.Jiganya na kugatangaza mambo genega.3Iwapo mundu fulani anajiganya kwa upotovu na akakugaposhela maelekezo getu gaaminika ambayo ni malove ga Abwana vetu Yesu Kristo iwapo hawalikubali fundisho liongozalo kwenye utauwa. 4Mundu jwenejo anakuivuna na akamanya shoshowe,Badala jake akwete vulugu na mabishano juu ya maneno.Malove genega hukola nivu,mpwai,Matukano,shuku mbaya, 5na vurugu za mara kwa mara kati ja vandu wakuetenje akili ishikua ngavanyika.Wakujilekaanga kweli,wanaganishia kwamba utauwa''6Nnaino utauwa na kurishika ni faida jajikulungwa. 7Kwa maana akaakwiya na shoshowe Padunia.Wala tukakombola kutola shoshowe kushoka padunia. 8Badala jake tutosheke na shalya na mavazi.9Nnaino venevo vapingava na malihugwa katika majaribu,katika mtego.Hugwa katika upumbavu gwamgwinyinji na tamaa mbaya na katika shindu shoshowe shikwatendanga.Vandu wazame katika maangamizi na uharibifu. 10Kwava kupinga mbaya ni chanzo cha aina hutamani,nneyo wamepotoshwa kwa talika na imani na vashikuijoka vayene kwa huzuni jajikulungwa.11Lakini ugwe Mnungu jwa nnungu gautushe mambo genego.Kagula haki utauwa,uaminifu,Upendo,usitahimilivu na upole. 12Piga vita vizuri vizuri vya imani.Kamulila uzirua gwa milele ulioitiwa.Ishikuva ni kwa sababu jeneji kwamba ushi kushoya ushuhuda mmuujo ja mashahidi vavagwinji kwa sheshila shili chema.13Nakupa amri jeneji mmujo ja nnungu aasababisha indu yowe kuishi na ammujo ja Yesu Kristo aliyenena iliyo kweli kwa pontio Pilato: 14Itume amri kwa ukamilifu,Pasipo mashaka,hadi ujio wa Abwana Vetu Yesu Kristo.15Nnungu shadhihirishe ujio gwake kwa wakati sahihi Nnungu,mbarikiwa,mashilijika,Mfalme anayetawala,Bwana ashikugalongolela. 16Jikape apingatama milele na shatame katika mwanga usio karibiriwa.Jwaka mundu aakombola kumwona na wala aakombola kumlola.Kwake jive heshima na uweza gwa milele.Amina.17Valugulile matajiri katika ulimwengu gwenegu wasijivune na wasitumaini katika utajiri,ambao siyo wa uhakika.Baadala yake wanapaswa kumtumaini Mnungu.Ambaye hutupatila utajiri gowe wa kweli ili tufurahie. 18Valugulile vatenda mema,watajirike katika maengo gambone,wame wakarimu na utayari gwa shoya. 19Katika mpanda gwenego shivaishilanje msingi gwambone kwa mambo gakuiya,ili kwamba vakombole kukamula maisha halisi.20Timotheo, linda sheshila upegwile.Jiepushe na majadiliano ya kipumbavu na mabishano yenye kujipinga kwa unani hushemwa maarifa. 21Baadhi ja vandu hugatangaza mambo genega,na nneyo wameikasa imani Neema na jive pamo na ugwe.
1Paulo mtume gwa Yesu Kristo kwa mapenzi ga Nnungu, sawasawa na ahadi ja ukoto nkati ja Kristo Yesu, 2Kwa Timotheo mwana jwaapingwa: rehema na amani kopoka kwa Nnungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.3Nakwashukuru Nnungu, ambae nguna kumtumikia kwa nia njema mbuti watendile awawa yangu, ngunankumbushila daima katika maombi gangu. Shilo na 4mui pungupinga kummona, ili kwamba ngwete furaha. nigakumbushila minyoi jenu. 5Kunaliji nikumbushilagwa kuhusu imani jako halisi, ambayo hapo bukala kuyatameni kwa abibi yako Loisi na akwenu Yunisi. na nina hakika kwamba jene imani jo jilitama nkati mwenu pia.6Jenejo nisababu jab kunkumbushila kukuwila karama ja Nnungu jili nkati mwenu kwa mipanda ja vishilwa mikono jangu. 7Pava Nnungu akana kutupa ntima gwa woga, bali ga mashili na gaapinga na nidhamu.8Kwa nneyo nnaonele oni ushuhuda kuhusu Bwana wetu, wala gwangune Paulo mfungwa gwake. Bali ushiriki mateso kwaajili ja injili malinga na uwezo gwa Nnungu. 9Ni Nnungu kutuokoa na kutushema kwa wito mtakatifu. Bangatenda nnei malinga bnan kazi jetu bali paalingana na neema na mipango jao vayene. Bashikutupa gene mambo ga katika Kristo Yesu kabla ja yakatanduva. 10Lakini lelo wokovu gwa Nnungu ushiunukulwa pakwia kwa mwokozi gwetu Kristo Yesu. Ba Kristo bapeshile mauti na peleka kulama kwangapela kwa nuru ja injili. 11Kwa sababu jenejo njikuagulwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu.12Kwasababu jeneji nnateseka pia, lakini ngakola oni pava na kwamanya venevo niliekwisha kumwamini. Ninahakika pava nnyene vanamanya kukitunza sheshila nilichokikabidhi kwake hata liuva lila. 13Unaganishie mfano kwa ujumbe gwa uwaminifu gung'ishe gwa koposhela kungwangu, pamoja na imani na upendo uli nkati mwa Kristo Yesu. 14Yatunze mambo ga mmbone kuvampele Nnungu kupitila Roho mtakatifu atama nkati mwetu.15Mmanyi kuti bowenji batamanagana ku Asia bashikunnekanga. Kwenye alino likundi bapalinji Figelo na Homogene. 16Abwana bajirehemu nyyumba ja Onesiforo pava mala nyingi aliniburudisha na vangajionela aibu minyororo jangu. 17Baada va kaveje kuroma bashikuona laya kwa biddii na akanipata. 18Nnungu amjaalie kupata Reema kukoposhela kungwake lyelila lyuwa lila. Malinga alivyonisaidia nilipokuwa Efeso, ugwe unamanya ukoto.
1Kwa nneyo, ugwe mwanangu bantanjile mashili kuneema jili mnkati mwa Kristo Yesu. 2Na mambo gupilikene kungwangu vaaliji mashahidi vamajinji, gwapanganje bandunji vaaminika vananganyao livakombolanje kuwafundisha vajavonji pia.3Ushiriki mateso pamo na nne, kama askari ba mbone ba Kristo Yesu. 4Jwakwapi askari jwa tumika penepo pepo alikuishugulisha shuguli ja kawaida ya genego maisha ga, ikaveje anng'angalaye ofisa gwake jwa mkulungwa. 5Nkali mundu ashindanaga malinga jwa utushia akapata taji akakombole kwa kufuata kanuni.6Ni muhimu kuva vaalima va bidii bave va kwanza kuposhela mgao gwa ,azao gao. 7Nganishie inguveleketa, kwamaana tivape kumanya kwa mambo gowe.8Mumkumbushile Yesu Kristo, kushoka uzao wa Daudi, ashikufufliwa kushoka kwa wafu. Ajino ni kulingana na ujiumbe gwangu gwa injili. 9ambao kwasababu njiteswa na tawa minyororo malinga mhalifu. lakini lilowe lya Nnungulikaatawa na minyororo. 10Kwa nneyo nnavumilia indu nyowe kwaajili ja vene anganyao vapatanje wokovu kuli mu Kristo Yesu pamo na utukufu gwa milele.11Aga malove ga ni ga kuaminika. "Ivaga tushiwa na venevo, tututame pamo na venevo pia, 12Kama tuvumiliaga, shitutawale na venevo, ivaga twakananga venevo, na uwe shitwakane. 13Mwanaga tukava vaaminifu venevo shivave kuwa vaaminifu, bakaweza kuikana vayene".14Tuendelee kuwakumbushilanga juu gene mambio ga. makanyanje mbele ja Nnungu valekenanje kubishananga gene malove. kwasababu jakwaa manufaa kwa gene mambo ga. kwa lyene likoposhele lishipagwa uharibifu kwa vene anganya vapilikananga. 15Ntende bidii kujionesha nshikubalika pava ushikubalika kwa Nnungu kama ntenda maengo angali sababu ja kulaumiwa. ntumie lilowe lya kweli kwa usahihi.16Jiepushe na majadiliano ga kidunia, ga ongeza kwa zaidi kwa zaidi na zaidi ya uasi. 17Majadiliano gaonji shivajene malinga shilonda shangapona. miongoni mwaonji ni Himenayo na Fileto. 18Banganya ni vandu vangali ukweli. vanaveleketa kuwa ufufuo tayari ukoposhele. Banakupindukulanganya imani ja vandunji.19Hata nneyo, msingi gwa nkoto gwa Nnungu anajima, ashayeneyenji ajandikaku. "Bwana ashikwamanya vandu vake, na kila vataya lina lya Bwana ni lazima vaitenje na udhalimu." 20Nnyumba ja kitajiri kuti ishipwagwa vyombo ya dhahabu na shaba jika. kavili ishipagwa vyombo ya mikongo na litaka. Baadhib ja yenei kwaajili ja matumizi jan ishima na kavili kwa matumizi gangali na ishima. 21Pava mundi chaikonjelele nnyene gwa jaula kwa matumizi gangali ishima, benevo ni chombo cha eshimika. ashitengwa maalumu, bambone kwa Bwana, bashiyalashiwa kwakila maengon ga mbone22Gwiutushe tamaa ja ujana, Nkagulaga haki, imani, Upendo na amani pamon na benewo banakumshema Bwana kwa ntima gwa mbone. 23Lakini ukane upumbavu na maswali gakipuuzi. kwani unamanya pava yanazaa mpwai.24Batumishi ba Bwana bakapinga kupwata, badala jake panapaswa kuva vapole kwa vandu bowe, akombola kuifundisha na vavumilia. 25Ni lazima avajiganyanje kwa upole bakunkananga. ikave Nnungu avapinganje toba na kujimanya kweli. 26Bakombolanje kupata lunda kavili na epuka lukonji gwa shetani badala jatolwa na venevo kwaajili ja mapenzi gake.
1Lakini Ganishia lyeneli: katika moga ga mwisho kushiwe na moga ga ukomu. 2Kwasababu vandu tivavanganje ikuipinga veneva bapinganga ipanje, bakuisifunji, bakuifunaga, na vakwetenje mimbenga, vaangali ishima na sheinavaonji, vaangalinji chukrani na vaangali maana. 3Bangalinji upendo gwa asili bakapinganga kutama kwa ukoto na ajavonji, Banaminji, balaambila, vakakombolanga kuivila, vangondongondo, bakapinganga vya mbone. 4Tivavanganje va lung'wenyi, banaminji, bakuipinga ashayene na bapinganga anasa kuliko kwaapinga a Nnungu.5Kwa palanga tivavanganje va mbone, lakini tivakananje mashili gao. muiyepuye na vane vandunji vo. 6Pava balinginji bashileunji bakuyaangana mu nchipinga cha vandu na kuvashawishinji wandonya wajinga. Benevo ashimama vagumbelenje shambia na bapinganga tamaa ja kila aina. 7Vene ashimama vo kuijiganyanga moga gowe, lakini kamwe wakamanyanga kuufikia ufahamu wa ile kweli.8Kama nneyo malinga Yane na Yambre bashikujimananga kinyume na Musa. kwa mpanda gwenegu baalimu hawa wa unami hujima kinyume na ukweli. ni bandu walioharibiwa katika Fikra zao, wasioharibika kuhusiana na imani. 9Lakini bakajendangana kwa talika. pava upumbavu gwaonji tiuvikwe ukoto na vandu bowe, kama shalinginji vene vandunji vala.10Lakini ugwe ushikagula mafundisho gangu, mwenendo gwangu mele gangu, imani jangu, uvumilivu gwangu, upendo gwangu, na ustahimilivu gwangu, 11Mateso maumivu nagambatile akula Antiokia, Ikonio na Listra. Nishikumvumilia mateso. Bwana bashikung'okoa katika gowe go. 12Bowenji bapinganga tamananga kwa maisha ga kwapinga Nnungu katika Yesu Kristo tivateswanje. 13Bandu baovu na vanami watazidi kuwa waovu zaidi. watapotosha anganya. bao bayene wamepotoshwa14Lakininmwe ntame nnepeyo na mambo muijiganye kugaamini kwa uthabiti. Pava kugwijiganye kukeni. 15Umumanyi kuti tangu gwana gwako gwagamanyi maandiko matakatifu. Genega ganaweza kukuhekimisha kwaajili ja wokovu kwa mpanda gwa imani katika Yesu Kristo.16Kila lijandiko lishitagwa pumzi na Nnungu. linafaa kwa mafundisho ga faida, kwashawishi kwarekebisha makosa na kuwafundisha katika haki. 17Yenei mundu juka Nnungu ave kamili, alipatile nyenzo yowe kwaajili alaya kazi jambone.
1Nguna kumpa agizo shino lya topa mbele ja Nnungu na Kristo Yesu, shawahukumu lanje wakoto wawilenje, na Kwasababu ja unukulwa kwavo na ufalme gwake. 2Hubiri lilove. ugwe tayari kwa wakati ukapwaa nagupwaa. Mwavalanjiulanje vandunji mashambi gaonji, kalipa, kuhimiza, kwa uvumilivu wowe na kwa mafundisho.3Kwa maana wakati unakwiya ambao wandu vakatolelananga na mafundisho ga kweli Badala jake shivaloleanje valimu va fundisha kulingana na tamaa yaonji. kwa gwene mpanda gu mashikilo gao gashitekenywa. 4Shivalekanje kupilikanila mafundisho ga kweli, na kupindukilila lutango. 5Lakini ugwe mwaminifu katika mabo gowe, Mvumilie magumu, ntende maengo ga mwinjilisti, ntimize huduma jako.6Kwa maana nne tayari kumiminwa. Muda gwa jaula kungwangu utimilile. 7Njishindana mbele ja haki, mwendo niumaliye, imani nji kujilinda. 8Taji ja haki jichivikwa kwaajili jangu, ambayo Bwana, va hukumula kwa haki, shivambe lyene lyuva lyo. Ngava kungwangu pe bali pia kwa wowe valindililanga kwa hamu kuonekana kwavo.9Muitaidi kwiya kwangu haraka. 10Kwa kuwa Dema ashineka. Anapinga ulimwengu gwa Nnaino na ashijaula Thesalonike, Kreseni bashikwenda Galatia, na Tito bashikwenda Dalmatia.11Luka jika paali pamo na nne. 12Mumjigale Marko nnjie najo kwani benevo ni muhimu kwangune katika huduma. Njikwatumia TikikoEfeso. 13Alila lijoho njileka Tro kwa Karpo, pushinjie njienajo, pamoja na aila itabu hasaaila ya lipende.14Alekizanda jwafua shitale ashikutenda maovu gamagwinji. Bwana tivalipe kulingana na matendo gake. 15Na mmwe pia jihadhari naye, kwani ashikukana malove getu. 16Katika kutumia utetezi gwangu gwa kwanza, jwakwapi mundu jojowe aliyesimama pamo na nne, badala jake kila jumo ashineka. Nnungu anahesabie hatia.17Lakini Bwana ashikujima pamo na nne, gwandajile mashili ili kwamba kupitila kungwangu, lilowe liveleketwe kwa ukamilifu na mataifa vapatanje kupilikana. Njikuokolewa mu nkang'wa gwa simba. 18Bwana tuepushe na matendo gowe maovu yakuniokoa kwaajilio ja ufalme gwake gwa mbinguni. utukufu uve kungwake milele na milele. Amen19Mwasalimie a Prisca, Akila na nyumba ja Onesiforo. 20Erasto ashikuelekea kweneko Korintho, lakini Trifimo nishinleka mileto bali balwele. 21Ntende hima njie kabla ja mbepo. Eubulo vanakunsalimia, pia Pude, Lino, Claudia na na vandunji vowe. 22Nnungu bave pamo na mtima jako, Neema jiwe na mmwe.
1Paulo mtumishi wa Nnungu na mtume Yesu kristo, kwa imani ya wateule wa Nnungu na maarifa ja kweli 2Wapali katika tumaini ja uzima wa milele ambao Nnungu asiweza kutenda unami aliuahidi tangu milele, 3Aguno muda aunukulile lilowe lyake ndendenneyo amri jaka Nnungu mwokozi jwetu,4Kwatito mwana jwa kweli katika imani yetu, Neema uluma kushoka kwa Nnungu awawa Yesu kristo mwokozi wetu, 5Kwasababu nakuleshile krete kwamba kugalauya mambo gowe ganawe kamilika kuwika wazee wa kanisa kwakila shilambo kama puninajile,6Mzee jwa kanisa lazima asiwe na lawama, ambuje wa vandonya vamo, akole na wana waaminifu, wasioshuhudia mabaya na wangali nizamu, 7Ni muhimu kwa mwangalizi mbuti msimamizi wa nyumba ja Nnungu anave na lawama, anave na nyenyee , anave mwepesi jwa hasira, anave jwa ukana, anave jwa na tamaa,8Badala yake awe mundu mkalibishaji apendile wema lazima awe mundu mwenye akili timamu , mwenye haki, mcha Nnungu anayejitawala mwenyewe. 9Akombele kusimamia mafundisho yakweli gafundishwe ili amanye kuwatanganga mtima kwa mafundisho gambone na awezere kuwarekebisha wowe wapinganga10Kwakua kuna waasi wawagwinji hasa wale wa tohara malowe gao nga gambone wanatimbananga na kuwaongozanga wandu katika katika upotovu, 11Ni lazima kuwaiwilanga wandu kama wenewo wanafundishanga ga ga ukweli kwa faida zao oni na kualibia familia yowe,12Mmoja jwao mundu mwenye busara awelekete wakrete wana unami gwa ngali mwisho wabaaya na wanyamo wa hatari, wavivu na walafi, 13Aga maelekezo nga ga ukweli kwa ineyo muwahiwiranje kwa nguvu ili kwamba waweze kuweleketa ukweli katika imani,14mmwe unajihusishe na hadithi yangali ga kweli za kiyaudi au amri ja wandu ambao ngwangarudisha nyuma ja ukweli15Kwa wowe waliosafi indu yowe visafi lakini kwa wowe walio wachafu na wasioamini shakwa kili kisafi kwakua mawazo gao na dhamira jao jimechafuliwa, 16Wanakili kummanya Nnungu laikini kwa matendo gao wanakumkana weneo ni waovu na wasiotii, wangasibitishwanga kwa itendo yeyowe jema.
1Lakini mmwe ngaweleketa gale gajendana na maelekezo gaaminika. 2A wazee mna kiasi heshima busara imani safi katika upendo na katika uvumilivu.3Inepei wandonya wazee lazima daima wajionyeshe wao wenyewe kama gwenye kujisheshimu, na sio wasengenyaji. Na wanawangaje watumwa wa ukana. 4Wanapaswa kufundishwa galio gambone ili kuwandaa wandonya kwa busara kuwapendanga warume gwao na wana wao 5wanapaswa kutenda nnei ili neno la ashipanganya lisitukanwe.6Katika namna ja nneyo watieni moypo vijana wanarume wawe na busara. 7Katika mipanda ngowe tujiweketu wawayene kuwa mfano katika maengo gakoto: na mfundishapo aonesheni na heshima, 8Nkururusheni ujumbe gwa afya na wangali dosari ili kwamba gegowe apinjile Aaibishwe kwasababu jwangali na baya ja weleketa juu yetu.9Watumwa na wawatii mabwanazao katika kila shindu, wanapaswanga kuwafurahisha na wangali kubishananao. 10Hawapaswi kujiwa badala jake wanapaswanga kuonesha imani jowe yamkoto ili kwamba katika mpanda gowe wayapambe mafundishob getu kuhusu Nnungu mwokozi jwetu,11Kwakua neema ja Nnungu jionekane kwa wandu wowe, 12Linatufundisha kukana mambo yangali Kinnungu na tamaa za kidunia. linatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika mmpanda gwa Kinnungu na kwa wakati, 13Wakati tunatarajia kuposhela tumaini letu lenye Baraka mwonekano wa utukufu gwa Nnungu gwetu mkuu na mwokozi gwetu yesu kristo.14Yesu ashikuishoya wayene kwaajili yetu ili atukombwele kukopoka katika uasi na kututenda wasafi, klwaajili yawe wandu maalumu walio na hamu ya tenda maengo gakoto.15Yaweleketwe na kuyasisitiza mambo aga kalipila kwa mamiaka gowe anakubali mundu yeyowe akupuuze
1Uwakumbushile kuwanyenyekea aviongozi na mamlaka kuwapilikana na akamula kila liengo jema. 2Muwakumbushile nga kuwatendea ubaya jejote jula, waepukanje malumbano, wapanjeni nafasi wandu wana kutenda maamuzi, na kuwanyenyekea wandu wowe.3Kwa sisi pia tushikola mawazo potofu na gaukaidi tushikuwowa kwa tamaa na starehe mpaka tushikuwa tuwatumwa.4Lakini kwa huruma ja ashipanganya mwokozi jwetu upendo wake kwa wandunji tulikuuona, ashikutuuokoa kwa neema jyake. 5haikua kwa ,matendon jetu ja haki tulikuyatenda, alikutuokoa kwa neema jake. Ashikutuokoa na kutuosha kwa kuwelekwa upya kwa Roho Mtakatifu.6Ashipanganya ashimwaga Roho Mtakatifu kwa wingi juu yetu kupitia Yesu kiristo mwokozi jwetu. 7Ashitenda nnei ili kwamba, tukiwa tushihesabiwa haki na neema jake, tuwe washirika katika maisha ga milele.8Gwenegu ujumbe gwa kuaminika, Ninawataka muweleketanje kwa ujasiri genega mambo ga, ili wale wanakumuamini ashipanganya wawe na dhamira juu ya liengo la ashipanganya, genega mambo ga mmbone na gashikola manufaa kwa wandunji bowe.9Mijadala ja kipumbavu , nasaba malumbano, ja sheria jiepusheningi, genego mambo nga gambone na gangali faida, 10mkataeni jwajote jula anasesabnabisha kulumbana kati yenu, Baada ya onyo jakwanza au japili, 11jwenejo ashileka njia ya mbone na anatenda zambi.12Shinimtume kungwako Artemi ama Tikiko, utende mwanja kungwangu nikopoli kweneku ngunatama kipindi cha mbepo, 13utende mbio kumjuga Zena anakuimanya sheria na Apolo bila kupungukiwa shindu,14Wandunji alzima wajifunze maengo ga mbone ga mahitaji muhimu ili kwamba wasijekuwa wakaaweleka matunda.15Bowe walio karibu na nne nguna kuwasilimianga, jeneji salaam kwa bowe wanakutupinga katika imani. Neema namwe.
1Apaulo,ashitawa na Kristo Yesu na anungunayo Timotheo kwa Filemoni,mmapendwa njangu yetu na atendile maengo pamoo natue, 2na kwa afia ya dada yetu,na kwa Arkipas njetu,na kwa kanisa helila linalokutanika kumui kwenu. 3Neema ipali kungwenu na amani jikopweshe kwa achipanganya,awawa yenu na kwa bwana yesu Kristo.4Wakati wowoe nnakushukuru achipanganya.Nakutarajia katika maombi ngagune. 5Napilikana upendo na imani ngwete katika Bwana Yesu na kwa ajili ya waumini wowoe. 6Najuga kwa ineyo ushirika wa imani njenu jiwe na ufanisi katika ujuzi wa kila shindu jema lipali kati yatue katika kristo. 7Na kwa nnepeyo gwete na furaha na faraja kwa sababu ya upendo gwako.kwa sababu.Ja mitima ja waumini imekune jitulizwe namwe ,anungunayo.8Kwa kuwa ingali na ujasiri wowoe katika Kristo kumiwa muru mmwe kutenda shile shimanjire kutenda, 9Lakini nneyo sababu ja penda mbadala jao nakusihi nne,Paulo mbali na mzee na naino njitawa kwa ajili ja kristo Yesu.10Ninakumsihi kuhusu mwanangu onesmo awelekwe katika vifungo njangu. 11Pa kuwa patangulila pangafaa lakini naino anafaa mmwe na nne. 12Natumile- mumwe ambaye ni wa mtima ngwagu hasa kuuja kwako. 13Nataraji aendelee kubaki pamoo nne ili anitumikie mbadala jako,wakati niwako njiatawa kwa ajili ya injili.14Lakini nganile kutenda shindu lolowe bila ruhusa jenu natendile inai ili pa kuwa shinde lolowe sha mbone litendeka kwa sababu ulipendile mmayene kulitendela. 15Pa kuwa sababu ashitengwa namwe kwa muda ili nneyo tuwe pamoo na mmwe milele. 16Ili nneyo asiwe tena mmatumwa bali bora zaidi ya mmatumwa kama mnungunuyo mpendwa hasa kwangune,na zaidi sana kwene ko,katilia mwili na katika Bwana.17Na ineyo kama wanijingele nne mshiliki,mposhele kama ambavyo mmboshele nne. 18Lakini kama ashikukosea jambo lolowe au unakumdai shindu shashowe ikidai chene cho kupoka kwangune. 19Nne Paulo ninajaandika kwa makono ngangu mayene,nne nakumlipa,ngaweleketa kwako ineye ninakumdai maisha genu hasa. 20Naam mnunguna ache anipatile furaha ya bwana kupoka kwako uburudishe mtima ngwangu katika kristo.21Na pali na imani kuhusu utii ngwenu.najandika nimanyile ineyo natendile hata zaidi ya genego ninavyo kumjunganga. 22Wakati ngwenengo na kumwandalia chumba cha wajeni kwa ajili jangu,kwa kuwa nanatumaini kupiti maombi genu na minakumtembelea hivi karibuni.23Epafra,atawilwe na njangu katika kristo Yesu anakusalimia, 24na kama atendile marko,Aristarko,Dema,Luka watendile maengo pamoo natuwe. 25Neema ya Bwana Yesu Kristo jiwe pamoo na mtima yakoo.Amina.
1Nyakati ipitile Annungu washikuweleketa na mahabu yetu kupitila manabii mara nyingi na kwa njia jajigwinji. 2Lakini katika lyuwa naina tushikupweta,Annungu washiweleketa na uwe kupitila mwana,ambaye washikumika kuwa mrithi wa indu yowe,na ambaye kupitila jwenejo pia washinaba ulimwengu. 3Mwanagwe ni nuru ja utukufu gwake,tabia pekee ja asili jake,na aendeleza indu yowe kwa lineno lya nguvu jake,Baada ja kamilisha utakaso gwa enzi gweneko kunani.4Ashiwa bora kuliko malaika,kanza nneila alilolirithi lililo bora zaidi kuliko lina lyao. 5Kwa maana ni kwa malaika jwashi ashinuni kuwe leketa,''Ugweni mwanangu,lelo njiwa ababa yako?''Na tena ''Nitakuwa ababa kungwake,na jwenejo shawe mwana kwangu?''6Tena,wakati Annungu puwampeleshe mzalimu jwa kwanza ulimwenguni,huweleketa,''Malaika wawe wa Annungu wa Annungu lazima wamwabudunji.'' 7Kuhusu malika hutya,Jwenejo ambaye hutenda malaika jake kuwa mroho,na watumishi gwake kuwa ndimi ya moto.''8Lakini kuhusu mwana hutaya,''Kiti shako sha enzi,Annungu,ni sha milele na milele,Fimboo ja ufalme gwako ni shinabo sha haki. 9Ushipinga haki na kujishima uvunjaji gwa sheria,kwa mneyo Annungu,Annungu wenu,ashikupaka mahuta ga furaha kuliko wajenunji.''10Hapo mwanzo,Bwana,gushiwikwa msingi gwa dunia.Mbingu ni liengo ja mikono jako. 11Zitatowekwa,lakini ungwe shuendelee,yowe shichakae kama vazi. 12Shaipinde kama likoti,nayo shiiyaliwike kama livazi lakini ungweni ajula pejula,na miaka yako jikakoma.''13Lakinini kwa malaika gwashi Annungu bashikutaya wakati gogowe,''Keti mkono gwangu kulia mpaka shiniwatendanje adui yako kwa sha makongono jako''? 14Buli,malaika wowe mngawa mntima itumulwe kuwahudumianga na kuwatunzanga anganya shiwa mrithinji wokovu?
1Kwa hiyo lazima tuwishe kipao mbele zaidi kwa gegala gutupilikene ili kwamba tunaje tengwa mbali nago.2Kwa maana hiwangaga ujumbe guwelekete kwe na malaika ni halali nakila likosa na asi poshela adhabu tu, 3putushi pate shanabuli kuepuka tukasami ni wokovu haga mkuu?-wokovu ambao kwanza gwatengezwe na a Bwana nathibitishwa kwetu na wanganya wagupili kenenje. 4Annungu pia hasibitishe kwa ishira,maajabu kwa matendo makuu mbalimbali ,na kwa zawadi ya mtima mtakatifu hapelegenye kulingana mapenzi gake nyene.5Annungu jwanga guwika ulimwengu ujao,ambao tunakugu beleketela habari jake chinijamalaika. 6Badala jake mundu fulani ashuhudia mahali fulani alibeleketa,''Mtu ni gani,hata ukombole kumkumbu shila?Au mwana jwa mundu hata gumtunze?7Umemfunga mundu kuwa jwamchoko kuliko malika;umemrika taji ya utukufu na heshima.(Zingatia:malove haga,''Na ushikumika mnani mwa liengo jamikono jako). 8Umeweka kila shindu pai makongono gako.''Kwahiyo Annungu bashiwika kila shindu pai mkango.Bangaleka shinda shoshowe ambacho shangawa pai jake.Lakini mnaino tukalola bado kila shindu shiwa gaga pai jake.9Hatia nneyo tunawona ambaye ashimkuwa ashitendwa kwa muda,pai kuliko malaika Yesu,ambaye,kwa sababu ja mateso gake na kifo jake,ashirikwa litaji ja utukufu na heshima.Hivyo sasa kwa neema ja Annungu.Yesu bashipaya kifo kwa ajili ja kila Mundu. 10Ishinkuwa sahihi kwamba Annungu,kwa sababu shindu shipala kwa ajili jake na pitila jwenejo hishi mkupaswa kwajiana wonji wana wawa gwinjinji katika utukufu.na kwamba hashimkupa swa kutenda kiongozi katika wokovu gwao kuwa mkamilifu kupitila mateso gake.11Kwa maana bowe bavilinji hajula avika wakfu na hanganya ambao bana vikwanga wakfu bowe banashoka kwenye asili jimo.Annungu kwa sababu hajino ajula akwawikangu wakfu kwa Anunga hawona aibu kwashemanga ndugu. 12Anasema,''Ngatangasha lina lyako kwa hashapwanga ngajimba kuhusu hugwe shoka nyumba ja kusangika.''13Tena taya.''Shing'amini katika jwenejo,''na tena ,''Tazama.hazina pumili na wana ambao Annungu bashimba.'' 14Kwahiyo kwa kuwa wana wa Annungu bowe kushilikim shilu shaminyani kadhalika.Yesu ashimku shiliki kindu hila peila ili kwamba pitila kifo hapate kumdhohofisha jwejula ambae ashikola mamlaka juu ja mauti ambae ni ibilisi. 15Hii jishimkuu neyo ili hawa wikanje hura hanganya bowe pitila hofu ja kifo bashiishi maisha gawo gowe katika utumwa.16Kwa hakika gawa malaika anakwasai dianga.Badala jake anakwasaidiangu wazao wa Abrahamu. 17Kwa neyo,ishimkuwa lazima jwenejo awe kama mpwake. yake katika njia yowe,ili hakamba kuwa kuhani mkuu mwenye huruma na mwaminifu kwa nindu ya Annungu na hili kwamba awe na uwezo gwa shoya msamaha kwashambi sha wandu. 18Kwa sababu Yesu bayene bashiteseka na jalibiwa bashikola huwezo gwa gwakwa kwa saidia changu hanganya wala balingwanga.
1Kwanneyo,ashapwanga watakatifu washiriki gwa wito gwa mbingu,mfikilianje Yesu,Mtume na kuhani mkuu gwa ukiri gwetu. 2Washikuwa baaminifu kwa Annungu bateuliwe kama Musa pawile mwaminifu pia katika nyumba yowe ya Annungu. 3Kwa kuwa aYesu washiku balanganishiwa kuwa na heshima jaji kulungwa alinayo Musa,kwa sababu ajula ashenga nyumba ashiesabiwa kuwa heshima jikulungwa kuliko nyumba jiena. 4Kwa kuwa kila nyumba hushengwa na mundu fulani,lakini ajula ashenga kila shindu ni Annungu.5Hakika Musa ashikuwa nawaminifu kanaa natumishi katika nyumba jowe ja Annungu,alishoya ushuhuda kuhusu mambo gashiwele ketekwe wakati ujao. 6Lakini Kristo ni mwana katika nasimamizi wa nyumba ja Annungu.Uwe ni nyumba jake kanaa tushikamulile haraka katika kuiamini na fahari ja kuiyamini.7Kwa nneyo,ni kama ntima mtakatifu awelekete,''Lelo kama shiupilikane lisauti lyake, 8Unautende mntima gwako kwa nagunau kama waisraeli batendilenje katika wasi,katika wakati kujaribiwa nyikani.9Anguno gushikuwa wakati ambao baba.Yenunji waliniasi kwa kuninga na wakati kwa yaka arobaini,bashikuwaonanga matendo gangu. 10Kwa nneyo nangafurahishwa na kizazi sheresho.Njikutaya,''Wanaowanga kila mara katika mintima jaa na waka imanyanga mipanda jangu.'' 11Ni kama nneila punapatile katika hasira jangu bakajinjilanga raha jangu.''12Mmanganje baangalifu,ashapwanga,ili kwamba unaishe ukawepo mntima mwovu gwa kutong'amini kwa jumo jwenunji,mntima ambao gushijende mbali na annungu aliye hai. 13Badala jake,mhamisishananje kila lyuwa kima jumo na mnjake,ili kila iitwapo lelo mtamaninji,ili kwamba jumo kati jenunji anatende kuwa mgumu kwa tembenanga kwa shambi.14Kwa maana tushiwa washiriki wa Kristo ikiwa tushi kamlane na uthabiti gwetu kwa nguvu katika jwenejo kushoka mwanzo hadi mwisho. 15Kuhusu hali limalile kusemwa,''Lelo kama shipilikananje lisauti lyake,Mnatendanje mitima jenunji kuwa migumu,kama waisraeli puwatendilenje wakati gwa uasi.''16Ni ashi gani anganyauwo wapilikenenje Annungu na kuasi?Wangawanganga awalanji wote ambao Musa alikuwa ashikuwaongoza kushoka Misiri? 17Na ashi gani ambao Annungu ashikuwatumbaoyanga kwa miaka arobaini? Mnga pamo na awalanji batendilenje shambi,ambao hiilu yawonji iwile ishikugona jangwani? 18Ni ashi gani aliowaapia Annungu kwamba wakajinji langa katika raha jake,kama ngowe anganya ambao hawakuamini jwenejo? 19Tunalola kwamba wangamanyanga kujinjilanga katika raha jake kwa sababu ja kutongamini.
1Kwa mneyo,tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati jenunji anapagwe mkali jumo sheenekane kulepela kufikia ahadi endelevu ja kujinjila katika pumulila lya Annungu. 2Kwani tushiwa na habari njema kuhusu pumziko lya Annungu litengeshwe gwenego gwanga saidia anganga ambao wausikenje bila unganisha imani kwa lywnwlyo.3Kwa uwe ambao tumekwisha amini-uwe ndi miongoni tushijinjile katika lyelila pumziko,kama ipulitaya,''Kama pung'apize kwa hasira jangu,baraka jinjilanga katika pumziko mwangu.''Ashi kutaya tangu mwanzo gwa Ulimwengu. 4Kwani ashitaya sehemu fulani kuhusu lyuwa lya saba,''Annungu bashikupumulila lyuwa lya saba katika jowe atendile.'' 5Tena ashitaya,bakajinjilanga kwenye pumziko lyangu.''6Kwa sababu jenejo,tangu pumziko la Annungu bado ni akiba kwa ajili ja baadhi kujinjila,na tangu waisraeile wawagwinji ambao bashipilikananga habari njema kuhusu pumziko lyake bangajinjiranga kwa sababu ja kutotii, 7Annungu bashi kuweka lyuwa fulani,jishemwa ,''Lelo jwenejo bashi kujenjeshea lyuwa hali muda gwa mnewa baada ja agatashiye kwanza,''Lelo kama shimpilikanje lisauti lyake mnatendanje mitima jenunji kwa migumu.''8Kwani kama Yoshua ashikuwapanganga pumzika,Annungu nawakaweleketeje juu ja lyuwa lina. 9Kwa mneyo bado kuna sabato ja pumziko atuzwile kwa ajili ja wandu ba Annungu. 10Kwani anjila katika pumziko lya Annungu jwenejo. 11Kwa mneyo tuwanje na shauko ja jinjila katika lyiela pumziko,ili kwamba jangapwaga apingwa katika aina ja uasi guwatendilenje.12Kwa maana lineno lya Annungu li hazi na lina nguvu na lishikola ukali kuliko upanga gogowe gwenye makali kuwili.Na kuhoma hata kuishiba kugawanya nafsi na mtima,na viungo kutika uboho.Na lenye manya kufahamu fikra ja mitima nia jake. 13Shakwa shiumbulwe shihile katika uso gwa Annungu.Badala jake ,kila shindu ni dhahiri na wazi kwa meyo ja jumo ambaye ni lazima tushoe hesabu.14Badaye kuwa na kuhani mkuu ajinjile katika mbingu,Yesu mwana jwa Annungu,kwa uimara tukamulile imani yetu. 15Kwa kuwa twangali kuhani mkuu ambaye akamanya kuhisi huruma kwa ajili udhaifu gwetu,lakini jwenejo ambaye kwa anjia yowe ashiwa alilinjiwa kama uwe,isipokuwa jwenejo jwangali shambi. 16Nae tuishe kwa ujasiri katika kiti enzi sha neema,ili kwamba tuposhele rehema na kupata neema ja kutusaidia wakati gwa hitaji.
1Kwani kila mkuu haagwilwe kushoka miungoni mwa wandu,ashiangulwa kujima badala jawo katika hindu hiasiana Anungu,ili bakombole kushoya kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ja dhambi. 2Anaweza kuhishuhulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwakuwa jwenejo myene pia ashitimbalilwa na hudhaifu. 3Kwa sababu ga lyelino.ashikola wajibu gwa shoya sadaka kwa ajili jashambi jake kama shakutitenda kwa shambi ya wandanji.4Na jwakwa mundu atolile heshima ajino kwa ajili jake myene.Lakini badala jake.Lazima ashemwe na Anungu kama shishitewa Haruni. 5Hata Kristo jwanga heshima nyene kwa kuitenda nyene kuhani mkuu.Badala jake Annungu bashinkubeleketa kungwake ugwe ni gwamwa nangu.Lelo njiwa na ng'inango gwako.''6Ni kama shakuti beleketa pia sehemu jina,''hungwe ni kuwani milele baada ja mfumo gwa Melkizedeki.''7Wakati gwa kipindi jake katika shiilu,hashinkujuga na jujilwa ashinkujuga Annungu kwa minyoi kwa jwenejo akomwele kumwokoa kushoya kwenye kifo. 8Kwa sababu unyenyekevu gwake kwa Anungu,ashinkulikanwa. Ijapokuwa ashinkua mwana.ashinkuijigaya kutii kwa mambo gantesile.9Alikamilishwa kwa njia ajino ashitendeka kwa kila mundu ang'aminiye kuwa sababu ja wokovu gwa milele. 10Kwa tangwa na Anungu kama kuhani mkuu baada ja zamu ja Melkizedeki. 11Tuna mengu gabeleketa kuhusu a Yesu.Lakini ni vigumu kwahele kezanga kwa kuwa manganga makatanji wa pilikana .12Ijapokuwa kwa kipindi hajino mchikupa swanga kwa walimu.bado gushipangwa umuhimu gwa mundu kwajinga nganga mafundisho ga awali ga kanuni ja lineno lya anungu.Mnahitaji mabele na ngawo shalya shanonopa. 13Kwa kuwa jojowe ang'wele mavele nashikola uzoefu katika ujumbe gwa haki kwa kuwa bado ni mwana. 14Kwa upendo guna shalya shanonopa ni shawandu wawakotonji anganya ambaokwa.
1Kwa hiyo.tulekaga shituijigenye kwanza kuhusu ujumbe gwa Kristo,Kipaswa kuwa najuhudi kuelekea kuwokovu,tunavishe kavili misingi ja toba kushoka katika liyengo lyangali na uhai na imani katika Annungu, 2wala misingi ja mafundisho ja ubatizo na kwabishilanga mikono .ufufuo wa wafu na kuhukumu ja milele. 3Na tushitenda nneino hiwagaga anungu shibatuhusu.4Kwa kuwa izikawezekana kwa wanganya ambao washinkuipatanga nuru bawili,ambao washinkupayanga kipawa cha mbinguni,natendwa kwa washilika wa Roho mtakatifu, 5na ambao washinkupa yanga uzuli gwa lineno lya anungu na kwa nguvu ya wakati ujao, 6na kisha gwagwilenje-hikamezekana kwaleje shanga tena katika toba.ajino ni kwa sababu washiku mshumbisha mwana jwa anungu mara ja vili kwa nafsi yamo .Washineta kuntendanga chombo shadhiaka hadharani.7Kwa kuwa ardhi jiposhele hula jingu mara kwa mara juu jake na gwashoshie mazao muhimu kwa hamganyawo watendilenje maengo katika ardhi,poshela baraka kushoka kwa Annungu. 8Lakini iwagaga kola shitumbo na magugu ya kwapi tena thamani na ipali katika hatali jalahaniwa mwisho gwakwe niteketezwa.9Ijapo kuwa tunabeleketa nneino rafiki wapenzi tuna shaawishiwa na mambo gambone yawahusuyo mmanganya namambo yanusuyo makovu. 10Kwa kuwa Annungu si dhalimu hata baka livalila maenego genunji na kwa upendo gungulangwienje kwa ajili ja lina lyake.katika halimo nachikwatumikia waamini na bado mngali mnawatumikia11Na tunalokolila sana kwamba kila jumo jwenu anaweza kulanguya bidii jilapejila mpaka mwisho kwa uhakika gwa ujasili. 12Hatutaki mmanganje mavivu.Lakini mmanganje wafuasi wa kanganya wala marithio ahadi kwa sababu ja imani na uvumilivu.13Kwa maana Annungu pampele Abrahamu ahadi,ashiapa kwa nafsi jake kwa kuwa niakali apileje kwa mwisho guna jojowe ali jwamkulungwa kuliko jweneji. 14Alisema,'' Hakika shinikubariki na shigu jonje sheye uzao gwako zaidi.'' 15Kwa njia hajina Abrahamu ashipashela sheshila shaidiwe baada ja kulindilila kwa uvumilivu.16Maana wanadamu kuapa kwa jwenejo mkuu kuliko wanganyao,na kumgwawo ukomo gwa mashindano gowe nikiapo kwa kugasi bitisha. 17Wakati Annungu puwa hamuwe kulanguya kwa uwazi zaidi kwa warithi wa ahadi kusudi lyake lyambone lyanga badilika ashinkulithibitisha kwa kiapo. 18Alifanya hivyo ili kwa hindu hibili yangakombola badilika.ambavyo katika yeneyo Annungu bakombola kubeleketa unami.Uwe jibutushile hifadhi kutagwa mtima kukamulilwa kwa nguvu tumaini liphishilwe mbele jetu.19Tunao ujasiri huu kama nanga imara na ya tegemea ya mitima jatu.ujasiri ambao gwetu.akisha kutendeka kuani mkuu hata milele baada ja utaratibu gwa melkizedeki. 20Yesu ajinjile sehemu jejila kama jwalogelela gwetu pamalile kutendeka kuhani mkuru hata milele baada ja utaratibu gwa Melkizedeki.
1Ishikuwa mneino Melkizedeki,mfalme wa salamu,kuhani wa Annungu apali panani,ashikuimana na Abrahamu aliwuja kushoka kuwawulaganga wafalme na kumbariki. 2Abrahamu ashikunapa jimo ja kumi ja kila shindu alichokuwa amekiteka,lina lyake''Melkizedeki''maana jake''mfalme wa haki'' na pia mfalme wa selemu ''ambayo mfalme wa imani.'' 3Jwangali baba,jwangali mama,jwangali wazazi,jwangali mwanzo gwa siku wala mwisho gwa maisha gake.Badala jake,alibakia kuhani milele,kama mwana jwa Annungu.4Mneino fikiria jinsi aju mundu paliji mkuu.Mzazi jwetu Abrahamu ashikumpa jinao ja kumi ja shindusha konja alivyovichukua pa ngondo. 5Na hakika,ukoo gwa walawi guwaposhelenje ofisi ja kikuhani bashi kuwanganga na umri kushoka kwenye sheria kukusanya jimo ja kumi kushoke kwa wandu,ambayo ni,kushoka kwa waisraeli ajawonji,pamoja na kwamba anganya,pia ,ni ukoo kushoka kwa Abrahamu. 6Lakini Melkizedeki,ambaye jwangawa jwa ukoo kushoka kwa Walawi,ashikuposhela jimo ja kumi kushoka kwa Abrahamu,na akambariki,jwenejo paliji na ahadi.7Hapo jikakanwa kwamba mundu jwa nashoko habarikiwa na jwa mkulungwa. 8Kwa jambo hali mundu aposhele jimo ja kumi shiyawe lyuwa limo,lakini kwa jambo lina jumo aposhele jimo ja kumi,pia ashikulipa jimo ja kunai kwa Abrahamu akaelezwa kama anaeishi. 9Na kwa namna je zungumza,lawi aposheshe jimo ja kumi,pia ushikulipa jimo ja kumi kwa Abrahamu, 10Kwa sababu lawi ashikuwa katika hiwunu ya ababa yake Abrahamu wakati Melkizedeki puwa kutanenje na Abrahamu.11Mneino kama ukamilifu guwezekene kupitila ukuhani wa lawi,(hivyo pai jake wandu huposhela sheria),pashikuwa ni lihitaji gani zaidi kwa kuhani gunape kujinuka baada ja mfumo gwa Melkizedeki,na ngawa kushemwa baada ja mpangilio gwa Haruni? 12Kwa mneyo ukuhani ubadilikaga,hapana budi sheria nayo kubadilika.13Kwa kuwa jumo ambaye mambo aga gashitangwa kuhusu likabila lina,kushoka kwake shakwa adumu lywe madhabahuni. 14Mneino ni wazi kwamba Bwana wetu alishoka katika Yuda kabila ambalo Musa jwangataya kuhusu makuhani.15Na haga tukugataya ni wazi hasa ikiwa kuhani junape shakoposhele kwa mfano gwa melkizedeki. 16Kuhani haju mpya ngawa jumo ambaye nshiwa kuhani juu ja msingi gwa sheria hiusiana na uzao gwa mundu,lakini katika msingi gwa nguvu ja maisha gangawezekana kuhariwika. 17Mneyo maandiko gaashuhudia kuhusu jwenejo:''Ugwe ni kuhani milele baada ja mfumo gwa Melkizedeki.''18Kwa kuwa amri jitangulie jishiwekwa panyenje kwa sababu jishiwa dhaifu na jikafaa. 19Mneyo jangatenda shoshowe kikamilifu.Isipokuwa kushikuwa na ujasiri mzuri kwa genejo tunaku waegejela Annungu.20Na ujasiri hagu mzuri gwangokoposhe paspo kuzungumzia kiapo,kwa hali makuhani wanape wangatolanga kiapo shoshowe. 21Lakini Annungu bashikutola kiapo wakati puwa taile kuhusu Yesu,''Bwana anaeapa na shiwabadilishe mawazo gake ugwe ni kuhani milele.''22Kwa hali Yesu pia ashiika kuwa dhamana ja agana bora. 23Kwa hakika,kifo anawila makuhani kuhudumu milele.Haji ni kwa sababu bashikuwanganga makuhani wawagwinji,jumo baada ja jumape. 24Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele,ukuhani gwake gukabadilika.25Kwa naneyo jwenejo pia anaweza kwa ukamilifu kukamilishwa kuwaokoanga wakungegejeranga Annungu kupitila kwake,kwa kuwa jwenejo anaishi daima kwa kujuga kwa ajili jao. 26Kwa mneyo kuhani mkuu jwa namna hii anastahili kwehu.Asiye na shambi,hatia,msafi atenjilwa kushoka kwa wenye shambi,na ashiwa panani kuliko mbingu.27Jwenejo jwangawa na uhitaji,mfano gwa makuhani wakuu,kushoya dhabihu kila lyuwa,kwanza kwa shambi shake mnyene,na baadaye kwa shambi sha wandu.Ashikutenda mnei mara moja kwa bowe,paishoshiye jwenejo mnyene. 28Kwa sheria huwateuwanga wandu dhaifu kwa makuhani wakuu,lakini lineno lya kiapo lisshe baada ja sheria,ashikumteuwa mwana,atendilwe kuwa mkamilifu milele.
1Mneino jambo ambalo tuwebeleka ni hali tunaye kuhani mkuu atemi pai katika mkono gwa kulia gwa kiti sha enzi Mbinguni. 2Jwenejo ni mtumishi katika mahali patakatifu.hema lya kweli ambalo Bwana baliwishilemnanga mundu jojowe jwa waa.3Kwa maana kila kuhani mkuu huikwa kushoya zawadi na dhabihu;kwa mneyo ni muhimu kuwa na shindu sha shoya. 4Mneino kama Kristo bashikuwa panani ja nchi,jwenejo asingekuwa kuhani zaidi je penepo.kwa kuwa bashikuwanganga tayali anganya wala bashishoyanga vipawo kulingana na sheria. 5Walihudumu shindu ambacho shishikuwa nakala na shiwili sha indu ya mbinguni,sawa kama Musa alipoonywa na Annungu wakati alipotaka kushenga hema.''Ona Annungu puwawelekete,''kwamba halaya kila shindu kulingana na muunda gulanguywe panani ja shikweya.''6Lakini maneno Kristo bashiposhela huduma bora zaidi kwa sababu jwenejo pia ni mpatanishi jwa agano zuri,ambalo linakwisha kuimarishwa kwa ahadi nzuri, 7Mneyo kama agano la kwanza lisingekuwa na makosa,ndipo limale kuimarishwa kwa ahadi nzuri haja pili.8Kwa kuwa wakati Annungu puwagundue makosa kwa wandu bashikutaya,''Mnolanje lyuwa hiika,'asema Bwana,wakati nitakapotengeneza agano jipya pamoja na nyumba ja Israel,na nyumba ja Yuda. 9Likawa kama agano nililitendile pamoja na baba zao lyuwa ambayo njikuwatolanga kwa mkono kuwaongozanga kushoka nchi ja Msiri.Kwa kuwa bangaendeleanga katika agano lyangu,nane nangawajalinji tena,'asema Bwana.10Kwa kuwa hali ndilo agano shindende kwa nyumba ja Israel baada ja siku yeneyo;asema Bwana shimishe sheria yangu mawazoni mwaonji na shinyandishe mitima jawonji shime Annungu waonji anganya shiwawaonganje wandu wangu.11Wakafundishananga kila jumo na jirani jake,na kila jumo na ashapwanga,yake,alitaya,''Mmanyanje Bwana,''Mneyo bowe shiwamanyanje mne,kushoka jwa mshoko hadi jwa mkulungwa jwawonji. 12Mneyo shinanguye rehema kwa matendo gawanji gangawa ga haki,na ngaikumbushila mashambi gawonji tena.''13Kwa taya''Mpya,''ashitenda agano lya kwanza kuwa kuukuu.Na lyenelyo ambalo ashikulitangaza kuwa kuukuu liko tayali kutowekaa.
1Maneno hata agano lya kwanza lishikuwa na sehemu ja ibada hapano pa dunia na taratibu ja ibada. 2Kwani katika hema kushikuwa na shamba shishi kuandaliwa,shumba sha palanga,pashikushemwa mahali patakatifu.katika eneo hali pashikuwa na kinara sha taa,meza na mikate ja wanyeshi.3Na nyuma ja pazia la pili pashikuwa na shumba shina,pashikushemwa mahali patakatifu zaidi. 4Mshikuwanganga madhabahu ga dhahabu kwa kuvukizia uvumba.Pia mushikuwanganga sanduku lya agano,ambalo lishikuwa lishikuwa lishishengwa kwa dhahabu jika.Ndani jake kushikuwa na bakuli lya dhahabu lenye namna,fimbo ja Haruni jishoile maamba ,na haila ambazo za maganga ga agano. 5Panani ja sanduku lya agano maumbo ga maserafi gwa utukufu wafurika mabaya gawo mbele ja jiti sha upatanisho,ambacho kwa mnaino tukamanya kuelezea kwa kina.6Baada ja hindu hai kuwa imalile andaliwa,makuhani kawaida hujinjila shumba sha palanga sha hema kushoya huduma yawonji. 7Lakini kuhani mkuu hujinjila ashila shumba sha pili pekee mara oja kila mwaka,na pangali kuleka kushoya dhabihu kwa ajili jake binafsi,na kwa shambi ya wandu hiwatendilenje pangali kusudia.8Roho mtakatifu alishuhudia kwamba,mpanda gwa mahali patakatifu zaidi bado pangaunukulwa kwa vile ajila hema lya kwanza bado linajima. 9Hali ni kielelezo sha muda hagu gwa mnaino.Yowe zawadi ambovyo itolewa mnaino haviwezi kukamilishwa dhamiri ja anayeabudu. 10Ni vyakula na vinywaji pekee ishinganishwa katika namna ja taratibu ya ibada ja kujiosha.Yowe hai ishikuwa taratibu ja kimwili vilivyokuwa iyandaliwe hadi je amri mpya itakayowekwa mahali pake.11Kristo alikuja kama kuhani mkuu wa mambo mazuri ambayo gashiika.Kupitila ukuu na ukamilifu gwa hema kuu ambayo jangatendwa na mikono ja wandu ambayo si gwa ulimwengu hagu guumbulwe. 12Isikuwa nga kwa minyai ja mbwii na ndama,bali kwa minyai jake mnyene kwamba kristo ashikujinjila mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila jumo na kutuhakikisha ukombozi gwetu gwa milele.13Kama kwa minyai ja mbwii na mafahari na kunyunyiziwa kwa liwu lya ndama katika anganya wasiosafi bashikutengwa kwa Annungu na tenda hiilu yaonji safi, 14Buli si zaidi sana minyai ja Kristo ambaye kupitia mtima gwa milele ashikuishoya mnyene bila mawaa kwa Annungu,kugulula dhamiri yetu kushoka matendo mafu kutumikia Annungu bali hai? 15Kwa sababu hiyo,Kristo ni mjumbe ba agano jipya.Haji ndiyo sababu mauti imewaacha huru wowe walinginji na agano lya kwanza kushoka katika hatia ja shambi yawonji,hali kwamba wowe bashimwilwenje na Annungu bamanyanje kuposhela ahadi ja urithi gwao gwa milele.16Kama kuna agano linadumu,ni lazima kuthibitishwa kwa kifo sha mundu ajula atendile. 17Kwani agano linakuwa na nguvu mahali kulikoposhela mauti kwa sababu jakwa wakati mnyene kulitenda akiwa anaishi.18Mneyo hata nga halila agano lya kwanza lishikuwa limewekwa pasipo minyai. 19Wakakati Musa alipokuwa alishoya kila agizo la sheria kwa wandu bowe,alitola minyai ja ngombe na mbwii,pamoja na mashi,shitambaa shanashe,na hisopo na kuwanyunyizia gombo lenyewe na wandu wote. 20Kisha aliweketa,Haji ni minyai ja agano ambayo Annungu ashikuwapanganga amri kwenu.''21Katika hali ajila pejila,alinyunyiza minyai panani lihema na vyombo yowe vilivyotumiwa kwa lihema na vyombo yowe vilivyoyumiwa kwa huduma ja ukuhani. 22Na kulingana na sheria,karibu kila shindu kinatakaswa kwa minyai.Pasipo kujita minyai gwakwa msamaha.23Kwa nneyo hishikuwa lazima kwamba nakala ya indo vya kumbinguni sharti hisafishwe kwa halino dhabihu ja wananyama.Hata nneyo.hinduvya kumbinguni niyene hishi mkupaswa kusafishwa kwa dhabihu jili bora zaidi. 24Kwani Kristo jwangajinjila mahali patakatifu sana patendilwe na mikono.ambayo ni nakala ja shindu halisi.Badala jake ashinku jinjila mbingu jiyene,mahali ambapo sasa yuko mtumujo ja uso gwa Annungu kwa ajili jetu.25Hakuingia kwekula ajili ja kuishoya sadaka ajili jake mara kwa mara kama pukuti patendwa kutuani mkuu,ambaye kujinjila mahali patakatifu zaidi mwaka baada ja shaka pamoja na minyaijikajuna, 26Kama nneyo puyaliji kweli,basi puikaliji lazima kungwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo gwa ulimwengu.lakini lelo ni mara moja hadi mwisho gwa yaka jaiyunukwile kuishoga dhambi kwa dhabihu jake nyene.27Kama ilivyo kwakila mundu kuwa mara moja,na baada ya nneyo kwia hukumu, 28ndivyo hivyo naye ambaye ashinkushoywa mara moja kuiondoa shambi ya yawawagwinji .Shakoposhele mara jawili.ga kwa mele lyo shugulikia dhambi.bali kwa ukombozi kwa anganya wala malindi lilangaga kwa saburi.
1Kwa vile sheria ni shiwilishamambo mema yajayo.ngawa gegala gali halisi sheria kamwe jikaweza kwa kukamilishanga banganya bala ambao wakwabandishilanga Annungu kwa njia ja dhabihu hilapehila ambazo makuhani washinkuendeleanga kushoya shaka baada ja shaka. 2Au vinginevyo dhabihu hizo zisingweza kukoma kushoywa?kwa kigezo jenejo waabuduo,wawangaga wasafi shwenje mara moja.niwakalinginjinji na utambuzi zaidi gwa shambi. 3Bali katika dhabihu hizo kuna ukumbusho gwa dhambi hiendalwe mwaka baada ya mwaka. 4Kwa kuwa hikawezekana kwa damu ya mafahari nambii kuhiondoa dhambi.5Wakati Kristo paishe padunia,ashinkutaya,''Hamkutamani matoleo au dhabihu.baadala jake,nchikuandaa shiilu kwa hajili jangu. 6Hamkuwa na thamani katika matoleo gowe ga tetezwa au dhabihu kwa haji ja shambi. 7Kisha jinkutaya,''Ona,hapa ninukugatenda mapenzie gako,Annungu,kama puijandikwe kung'usu nne katika gombo.''8Alisema kama ilivyo sema hapo juu.''Hamkutamani dhabihu.Matoleo au sabaka ja tekeleza kwa ajili ja dhambi wala gwa ngawona furaha nkati jake dhabihu ambazo hinashoywa lingana nashelia. 9Kisha alisema,''Ona.niko hapa kuitenda mapenzi gako.''Ameweka panyenje mbole mbole hili ya awali ilikuimarisha yeila ya phili. 10Katika taratibu za pili.tushitengwa kwa Annungu kwa mapenzi gake pitila kuishoya kwa shiilu sha ayesu kristo mara moja kwa nyakati yowe.11Nikweli,kila kuhani husimama kwa huduma siku kwa siku ,alishoya dhabihu jila pejila,ambayo,kwa vyovyote,kamwe isingeweza kuiyondoa dhambi. 12Lakini baada ya Kristo kushoya dhabihu mara maja kwa dhambi milele jowe,ashinkuketi mkono gwa kuume gwa Annungu, 13akisubiri mpaka maadui zake wataganjwe pai na kutendwa kiti kwa ajili makngono gake. 14Kwa kuwa kwa njia jatoleo jimo ashikwamilisha milele hanganya ambao washitengwa kwa Annungu.15Na Roho mtakatifu pia ashishuhudia kungwetu.Kwa kuwa kwanza atashie, 16'' Hili ni agano tendeka pamoja nao baada ja siku hizo;asema aBwana:Shimishe sheria yangu ndani ya mioyo jawo.na shini hijandishe katika akili yawo.''17Kisha ashinkutaya.''Hawatazikumkubuka tena dhambi matendo yao mafu.'' 18Sasa mahali pali namsamaha kwa hanganya ,hakuna tena dhabihu jojowe kwa ajili ja dhambi.19Kwahiyo,hashapwanga wapalinji ujasiri gwa kujinjila mahali patakatifu zaidi kwa minyai ja Ayesu. 20Hiyo ni njia ambayo ashikujigopola kwa ajili jetu kwa njia ja shihilu shake jampia na hai hipitila kwenye panzia. 21Na kwa sababu hatupali kuhani mkuu juu ja nyumba ja Annungu, 22na tumandi shile na mtima gwa kweli katika utimilifu gwa uhakika gwa imani tuwaga namitima jinyunyiziwe safi kushoka uovu wa tadhamiri na kuwa namiili jetu jigulwilwe kwa mashi safi.23Basi na tukamuli kwa uthabiti katika ungamo la ujasiri gwa tumaini lyetu,bila ja tendeuka.kwa sababu anungu shashite ahidi nimwaminifu. 24Natuzidi tafakari namna jakumtaga mtima kila jumo kupenga na matendo mema. 25Na tunaleshe kusanyika pamo.Kama wafanyavyo bana .Baadala jake kutagana moyo kila jumo zaidi na zaidi.Kama shinkuti lolanga siku hinabandishila.26Kama twatendile melekuendelea kutenda dhambi baada ja kuwa tushiposhela elimu ya ukweli.Dhabihu hina ya dhambi haisalii kabili. 27Badala jake jishipagwatarajio pekee la hukumu jajogoya,na ukali gwa moto ambao shigwateketezanje maadui wa Annungu.28Yeyote ambae ashikujina sheria ja amusha kuwa bila rehema mmujoja ushuhuda gwa mashaidi wawilinji au batatu. 29Kiwango gani zaidi sha adhabu pugani shia kinamstahiri kila jumo ambaye ashidharau mwana jwa Annungu.Jojowe ajitendele minyai ya agano kama shindu shangawa kitakatifu,damu ambatyo kwayo ashinkujiwika wakfu kwa Annungu jojowe ambae ashi kwatukana Roho waneema?30Kwakuwa tunakumu manya jumo ambae ashibeleketa.''Kusasi ni shangu.Shinipe.''Natema.''a Bwana showahukumu bandu bake.'' 31Ni jambo la kuogofya mundu kugwilila katika mikono ja Annungu ali ahi!32Lakini kumbushila siku hipitile.baada ja tangwa kungwenu nuru,ni jinsi jashi mwakombolenje kuvumilia maumivu makali. 33Mlikuwa mishilwenje wazi katika dhihaka jamatukano na mateso.na pumwali nginji washirika pamoja na banganya bapitilenje mateso na banganya bapitilenje mateso kama genego. 34Kwa kuwa mchikuwanganga na mitima jahuruma kwa hanganyawo balinginji wafungwa na mwaposhelenje kwa furaha adhabu ja urithi gwenu ni kumumanya kwamba mmanganya mmashayene nchi kuwanganya na urithi bora na gwadumu milele.35Kwahiyo nagujaanje ujasiri gwenu guli na zawadi kuu. 36Kwa kuwa mnapinganga uvumilivu.ili kwamba mpatanje poshela ambacho Annungu bashi kushiahidi,baada jawa ngatendilenje mapenzi gake. 37Kwa kuwa baada ja muda kashoko.jumo akwiya.shaishe hakika nashukalwe.38Mwenye haki jangu shaishi kwa imani kama habuja nyuma,ngapendezewa najo.'' 39Lakini sisi ngakama banganya bala wabujanga nyuma kwa hangamia.Badala jake.huwe ni baadhi ja wanganya tulina imani ja kuilinda roho yetu.
1Mnaino imani ni hakika akwete nayo mundu wakati patarajia shindu fulani kwa ujasiri.Ni hakika ja shindu ambacho bado shangaonekana. 2Kwa sababu aji mababu getu bashi kuthibitishanga kwa imani jawo. 3Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu gushiumbwa kwa amri ja Annungu,ili kwamba ashila shiwonekana shangatengenezwa kushoka naindu ambavyo ishikuwa inaonekana.4Ishikuwa kwa sababu ja imani kwamba habili ashiku mshoshea Annungu sadaka ja faa kuliko atendile kaini.Ishikuwa ni kwa sababu aji kwamba ashikusifiwa kuwa mwenye haki.Annungu bashikusifu kwa sababu ja zawadi apeleshe.Kwa sababu jenejo,Habili bado ananena,ingawa bashiwaa.5Ishikuwa kwa imani kwamba Enoko ashikutolwa panani na kulola mauti.''Jangawanekana,kwa sababu Annungu bashikumtola kwa mneila alinenwa panani jake kuwa ashikukonjaa Annungu kabla ja kutolwa panani. 6Pangali imani ikawezekana kumkonjea Annungu,kwa kuwa ajaye kwa Annungu lazima aamini kwamba Annungu banaishi na kwamba huwapanganga zawadi anganya bawakuloleanga.7Ishikuwa ni kwa imani kwamba Nuhu,akiwa ameonywa na Annungu kuhusiana na mambo ambayo gangawa gashionekana kwa heshima ja ki Annungu bashikualaya safina kwa ajili ja kuikoa familia jake.kwa tenda mneyi, ashikuhumu ulimwengu na ashikuwa mrithi jwa haki ambayo huika kupitila imani.8Ishikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu,pashemwilwe ashikutii na kwenda mahali ambapo ashikupaswa kuposhela na kwenda mahali ambapo ashikupaswa kuposhela kama urithi.Ashikushoka bila kumanya mahali gani alikuwa anakwenda. 9Ishikuwa kwa imani kwamba ashikuishi katika nchi ja ahadi kama mjeni.Ashikuishi katika mahema pamoja na Isaka na Yakobo.Warithi anjake kwa ahadi ajilapejila. 10Haji ni kwa sababu ashikutarajia kuupata mji ambao mwenye kubuni na mjenzi jwake angelikuwa ni Annungu.11Ishikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu,na Sara mnyene,bashikuposhelanga nguvu ja kutunga mimba ingawa washikuwanganga wazee sana kwa kuwa washikumuona Annungu kwa mwaminifu,ambaye ashikuwaaidingi mwana jwa shilewu. 12Kwa mneyo pia kushoka kwa mundu aju jumo ambaye ashikuwa ashibandishila kuwaa puwawelekenje wana wangawalanganyika.Bashikuwa nganga wawangwinjwi kama ndondwa ya angani na wawagwinji kama mmbenju za mianji katika ufukwe gwa bahari.13Hawa bowe bashikuuwonga katika imani pasipo kuposhele ahadi.Isipokuwa wakiwa wameziona na kuikalibisha kwa mbali,washikulinji kwamba bashikuwanganga wajeninji na wapitaji panani ja nchi. 14Kwa anganya wawelekatanga mambo aga wana winganga bayana kuwa wanaloleanga nchi jao weyenji.15Kwa kweli,kama wangekuwa wakiifikiria nchi ambayo kwayo bashishokanga wangelikuwa na nafasi ja kurejea. 16Lakini kama ilivyo,wanatamaninji nchi iliyo bora ambayo ni ja kimbingu.kwa mneyo Annungu akalola aibu kushemwa anganyanji,kwa kuwa ametayarisha mji kwa ajili jawonji.17Ishikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu baada ja kujaribishiwa,ashikumshoya Isaka.Ndiyo jwenejo ambaye ashikuposhela kwa furaha ahadi ashikumshoya mwanangwe jwa pekee, 18ambaye panani jake ilinenwa,''kushoka kwa Isaka kushoka zao gwako shiushemwe.'' 19Ibrahimu ashikumanya kwamba Annungu ashikuwa na uwezo gwa kumfufua Isaka katika wafu,na kwa kubeleketa kwa lugha ja maumbo ashikumposhela,.20Ishikuwa ni kwa imani kwamba Isaka alimbariki Yakobo na Esau kuhusu mambo yayayo. 21Ishikuwa ni kwa imani kwamba Yakobo alipokuwa katika hali ja waha,alimbaliki kila jumo jwa bana ba Yusufu.Yakobo akaabudu,aliegemea panani ja fimbo shake. 22Ishikuwa ni kwa amani kwamba Musa,Pawelekwa ashikuiwa kwa myei jitatu na wazazi bake kwa sababu bashikumuonanga kuwa ni mwana mchanga alikuwa jwa konja,na hawa kutishwa na amri ja amfalme.23Ishikuwa ni kwa amani kwamba Musa,paweelekwe ashikuiwa kwa myei jitatu na wazazi bake kwa sababu bashi kumuonanga kuwa ni mwana mchanga alikuwa jwakonja,na hawa kutishwa na amri ja amfalme. 24Ishikuwa ni kwa imani kwamba Musa,pawele mundu mzima,ashikutana kushemwa mwana jwa binti farao. 25Badala jake,ashikuagula kushiriiki mateso pamoja na wandu ba Annungu badala ja furahia anasa ya shambi kwa kitambo. 26Ashikufikiri aibuja kumkagula Kristo kuwa ni utajiri mkuu kuliko hazina za misri kwa kuwa ashikukaza meyo gake katika zawadi ja wakati ujao.27Ishikuwa ni kwa imani kwamba musa ashikushoka Misri.Hakuhofia hasira ya mfalme,kwa kuwa ashiku vumilia kwa kulola kwa gangaonekana. 28Ishikuwa ni kwa imani ashikukamula pasaka na kunyunyiza minyai,ili kwamba mharibu jwa mzaliwa ja kwanza jwanganya kuwa kwaya wazaliwa wa kwanza ba shilewu wa waisrael.29Ishikuwa ni kwa imani kwamba bashikupitanga katika bahari ja shamu kama katika nchi kavu.Wakati wamisri puwajalibunji pita,bashikumilwangwa. 30Ishikuwa ni kwa imani kwamba ukuta gwa Yeriko bashikugwa pai,baada ya timbilila kwa siku saba. 31Ishikuwa ni kwa imani kwamba Rahabu ajula kahaba jwangangamia pamoja na anganya.32Na niseme nini zaidi? Maana muda hautoshi kusimulia ya Gideoni, Barak, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samwel na za manabii, 33ambao kupitia imani walizishinda falme, walitenda haki, na wakapokea ahadi. Walizuia vinywa vya simba, 34walizima nguvu za moto, walikwepa ncha ya upanga, waliponywa kutoka katika magonjwa, walikuwa mashujaa vitani, na walisababisha majeshi wageni kukimbia.35Wanawake walipokea wafu wao kwa njia ya ufufuo. Wengine waliteswa, bila kukubali kuachwa huru ili kwamba waweze kupata uzoefu wa ufufuo ulio bora zaidi. 36Wengine waliteswa kwa dhihaka na kwa vichapo, naam, hata kwa vifungo na kwa kutiwa gerezani. Walipondwa mawe. Walikatwa vipande kwa misumeno. 37Waliuawa kwa upanga. Walikwenda kwa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi walikuwa wahitaji, wakiendelea katika maumivu na wakitendewa mabaya 38(ambayo ulimwengu haukustahili kuwa nao), wakitangatanga nyikani, milimani, katika mapango na katika mashimo ya ardhini.39Ingawa watu wote hawa walikubaliwa na Mungu kwa sababu ya imani yao, hawakupokea alichoahidi. 40Annungu alitangulia kutupatia kitu kilichobora, ili kwamba bila sisi wasingeweza kukamilishwa.
1Kwahiyo,kuwatushitimbililwa na lihunde lyalikulungwa lya mashaidi na tujae kila shindu shinkutu helemea pamoja na dhambu ambayo shi hitu zingile kwa uraisi.Tupige mbio kwa saburi katika mashindano gabishilwe bele jetu. 2Tuya elekeze meyo grtu kwa aYesu.ali mwanzilishi na mwenye timiza imani jetu.ambaye kwa ajili ja furaha jibishilwe mbele jake aibu jake na tama pai mkono gwa kulia gwa kiti ja enzi sha Annungu. 3Maana mtafakarini jwenejo aliye stahimili malowe ga chuki kushoka kwa shayene dhambi.dhidi jake nyenye ili kwamba mjianje totoshela au kuondoka mitima jenunji.4Hamjataabika auteseka mshindananga gana dhambi kiasi shahishiwa minyoai. 5Tena mmesahau kwekula kutagwa moyo ambako kunakuaheleza kama wana washileu:Mwanangu.unagatole kwa wepesi marudio ga a Bwana,wala huna katetamaa pulekebishwa na nakajwenejo.'' 6Kwa kuwa aBwana humrudi jojowe ambaye akumpinga,na humwazibukila mwana ambaye humpokea.7Stahimili majalibu kama bujilwa.Annungu hushugulikiwa mmanyanya kama shakuti shugulikiwa na wana.Maana ni mwana jwei ambaye hainagwe hakakombola kumrudi? 8Lakini kama jwakuwa kubujilwa ambako huwe tubowetunashiriki,bali mmanganya na huwe wana wake.9Zaidi ja yowe,kushimkuwa na ababa yetu kidunia wa kutuludi na tushikwaheshimunji.bali na kakutupasa hata zaidi kwatii a Baba wa kiroho naishi? 10Kwa hakika ababa yetu washinkuathiribu kwa yaku nichache kama puhiwoneshe sawa kungwawo.Lakini Annungu hutuadhibu kwafaida jake ili tushiriki utakatifu gwake. 11Hakuna adhabu jifulahisha kwa wakati gwa enego kuwa na maumivu.Hata nneyo,baadaye hogola litunda lya amani ya utauwa kwa banganya wala wajigenyenjwe nayo.12Kwa nneyo njinalanje mikono jenu jilegeleshe natenda malungo genu gali dhaifu kwa ganguru tena; 13nyosheni mapito ga hiwayo yenu,ili kwamba gogowe hali mlemavu shaongozwe upoteruni lakini apate ponywa.14Tafutani amani na wandu,bowe na pia utakatifu ambao gwene gwakwa shamwone a Bwana. 15Muwe waangalifu ili kwamba anapaagwe jwatengwa mbali na neema ja Annungu,na kwamba linajie litepo lya uchungu shilili pashe na sababisha shida na kengeusha wawagwinji. 16Angalieni kuwa jakwa zinaa au mundu asiye mtauwa kama nneila Esau,amaye kwa sababu ya mlo gumo ashinkuhuzahakijake jabelekwa. 17Kwa kuwa nikumumanyanga kwamba badae.Palokolile kurithi baraka.Hashinkukanwo kwa sababu jwangapata fursa jatubu pamoja na ababa yake,hata ingawa ashinkuloleyea sana kwa minyoi.18Kwakuwa mmangajianga katika mlima ambao gunaweza kukwaywa mlima gukolela moto,luwindu.katisha tamaa na dhoruba. 19Hamkuja kwa sauti za tarumbeta au kwa maneno gashokana na sauti ambayo hishiku sababisha kila bapilikananga banajuganje lineno lolowe kubeleketa kwao. 20Kwa kuwa bangakombolanga kuvumilia sheshila shiamuliwe:''Ikiwa hananyama hakwa shie mlima.Lazima hakomwe kwa maganga.'' 21Ya kutisha zaidi gagaweni Musa ashikutaya .''Nishijogopa sana kias ja tetemela.''22Badala jake.nng'ikenje mlima sayuni na katika mji gwa Annungu aliyehai,yerusalemu ya kumbinguni,na kwamalaika elfu kumi bashelekeanga. 23Mmekuja katika nkusanyiko la wazaliwa bakwanza bowe basajiliwenje kumbinguni.Kwa Annungu hakimu wabowe.na kwa roho za watakatifu ambao washikamilishwa. 24Mmekuja kwa Yesu batanisha agano lyampia na kwa minyai jihunyunyuziwe ambao hunena mema zaidi kuliko minyai ya Habili.25Angalia kuwa asije kumkuna jumo ambae abelekete .Kwa kuwa kama banga epuka puankanilege jumo awakanyishienje padunia kwa hakika tukapuka tiwagaga tulitengeuka bali shoka kukajwejula hatukanyishie kushoka kumbinguni. 26Kwa wakati kweneyo sauti jake jishinkuti ngishika dunia.Lakini lelo ashiaidi na beleketa.''Bado mara jina tena ngatikinya dunia pekee,bali mbingu pia.''27Maneno haga.Mara moja tena.inalangu ya toweshwa kwa hindu yeila hitikinya haino ni hindu yeila ambavyo hishiumbwa ili kwamba yeila hindu hitetemeywa haino ni hindu yeila ambayo hukatetemegwa hiigale. 28Kwa hiyo,tuposhele ufalme ambao hukatete meshwa,tufurahi katika hali jakwa habudu Annungu kwa kubali pamoja na nyenyekea katika jicho. 29Kwa maana Annungu wetu ni moto ulao.
1Basi upendo gwa anungu na endelea. 2Msisahau kwakaribisha wajeni.Maana kwa tanda neinobaadhi washikaribishanga malaika pakana kuwa kumumanya.3Kumbuka bowe walinginji kumageleza kuna kwamba nchikuwa nawo nji hakula pamo nao kama hiilu yenunji hushinkutendelwa kama banganyawo. 4Basi ndoa na jiheshimiwe na bowenji na bai shinanda shandoa shitendwe kuwa sofi kwa maana Annungu shawahukumu waasherati na wazinzi.5Basi yetu yamaisha hiwe huru katika upendo gwa pesa.Muwe wanaridhika na hindu hininginji nayonji,kwa Annungu bayene bashinkutaya.''Nganekanga manganya kamwe wala kumtelekezanga manganya.'' 6Basi tulidhikeni ili tuseme kwa ujasiri.Bawani msaidizi wangu ngajogopa.Mwanadamu anaweza ndenela hindi?''7Wafikilieni anganya wang'ongozenje wanganyo wala watashienje lieno lya Annungu kungwenu,na mkumbushilanje matokeo ga nyendo gawo;ng'iganje imani yao. 8Yesu Kristo nijwenejo liyo.Lelo na ata milele.9Usije hongozwa na mafundisho mbalimbali ga shijeni na kwani yambone kwamba moyo ujengwa kwa neema,na ngawa kwa sheria kuhusu shalya genego gakansahidia anganya wahishinji kwa genego. 10Tunayo madhau ambayo wanganya watumika nkati ya hekalu banga linginji hakiyakila. 11Kwakuwa minyai jashinanyama,kikopweywe dhabihu kwa ajili jashambi,ja peleshwe na kuhani mkuu nkati ja sehemu takatifu.Lakini hiilu yawonji hishinkushangwa palanga ja likambi.12Kwa hiyo a Yesu na balawo bashikute seka nje ya lango la mji.hili kwamba kuwika wakfu bandu kwa Annungu pitila minyai jake. 13Na kwa nneyo twendanje kungwake nje jalinambi,tuhijigalaga fadheha zake. 14Kwani twangali makao gadumu katika mji huu.Badala jake tuloleye mji ambao gunakwia.15Kupitia a Yesu mnapaswa mara kwa mara kuishoya sadaka ja kumtukuza Annungu. 16Na usisahau kufanya gambone na sahihi ana mmanganya kwa manganya kwa kuwa ni kwasadaka kama nneyo ndiyo Anungu pendezwa sana. 17Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu.kwana wanaendelea anga kwalindanga shiwa shokanje hesabu.Tii ilikwamba viongozi wenu wakombolanje kwatunza kwa furaha na ngawa kwa kuzuni ambaye hikasahidianga.18Tuombeni ,kwani tuna uhakika kwamba tuna dhamira njema tunalokolila kuishi maisha gaheshima katika mambo gome. 19Na nyote nnakwashemelanga moyo zaidi mtendanje nnelino ili kwamba ngombole kuwuja kungwenu nneino tome.20Sasa Annungu wa amani ambuye hainawanji kawili kushoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo a Bwana wetu a Yesu,kwa damu ya agano la milele. 21Atawapa uwezo kwa kila lijambo lya mbone kutenda mapenzi gake atendaga maengo nkati jake galinjema gakonja mmeyo mwake.Pitila aYesu Kristo kungwake utukufu milele na milele.Amina.22Sasa ninakutia moyo,mwanga,tolelana na lineno lyatya moyo ambalo kwa ufupi njinku lijandika kungwenu. 23Fahamu kwamba mpwetu Timotheo aleshelwe huruambaye pamo na kajwenejo shina wonanje kama shaishe nnaino kalibunji.24Salimia viongozi wako bowe na waumini bowe.Anganyabashokanga Italia wakusalimianga. 25Na neema jiwe namanganya mmowe.
1Yakobo,mtumwa wa a Mnungu nawa a Bwana Yesu Kristo,makabila kuna mbili gashitawanyika,salama. 2Mmalanga nyange kwafuaha zaidi.hashapwanga punkupitanga mmatatizo mbalimbali. 3mmumanya ngaga kuwa mnaligwanga kwaima ni yenunji kumpanganga uvumilivu.4Mnwkanje uvumilivu mkamishe holiengo lyake.Kwamba mkombolanje kukomala kikamilifu bila pungukiwa lyolyowe. 5Lakini kama mundu kati jetu anapinga hekima.Ajuje shoka kwa a Mnungu.ambaye kushoya kwaukalimu na pakana kuwa kukalipa kwa bowe wamwombao na shawapanganje hekima.6Lakini jiga kwaimani .Bila shaka.kwa kuwa mwenye kutangu shaka ni kama mawimbi mbaali.Kutolwa na mbungo na jawa hakuna na nakoko. 7Kwa hakika aju mundu ju hanaganishi kwamba shaposhelwe ombi lake kushoka kwa a Bwana; 8haju mundu ju hashikolania hivilinga himala kati njia yake yowe.9Mpwanga masikini hapaswa kwifuna katika kujima kujima kwake nnani, 10Wakati gogo mwanga taji katika unyenye kevu gwake.shashoshe kama liuwa la kondeni mungunda gwapita. 11Jua huchomoza na lyoto lya hunguza na kausha mimeu,maua kugwa na huzuli gwake kuwa.Mnepeyo bandu hashimatajili shiwachakaanje katikakati jamahengo gawanji.12Amebarikiwa mundu jwejula havumilia majalibu kwa kuwa baada ja.Kushinda linga lyenelyo.Hapingaposhela litaji lya uzima.Hiahidiwe kwa wanganya bakwapinganga a Mnungu . 13Mundu jojowe hakapinji kubeleketa palingwa.''Linga hali linashoka kwa amnungu,''Kwa sababu hamngu bakalingwa na uwovu.a Mnungu bayene kakumjali jojowe.14Kila mundu kulingwa na tamaa yake mbaya hikumshawi kung'uta kwatalika. 15Ndipo baada jatamaa ja shambi jigala shitumbo.Shambi kubelekwa.nabaada ja shambi kukomala sawa sawa .Pakati mauti. 16Hashapanga mmapendwa mnatembekanje.17Kila zawadi jikamilishe na kila zawadi jikamilika shaka kanani kutulukai pai kushoka kwa a Bwana wa nuru.Kamwe kakabadilika kama shiwili kibadilikavyo. 18Mnungu bashimkuagula kutupa huwe uzima kwalineno lya kweli tuwe kama huzaho kwanza mchihilu mwa vihumbe mwake.19Mnajua halino hashapwanga mmapendwa kilajumo anapaswa kwa mwepesi wa husika.Siyo mwepesi gwambeleketa wala kutumbala, 20Pawa hasira jikamwanamu jikatenda haki ya a Mnungu. 21Kwahiyo bikambali uchafu wa dhambi na ubaya gowe guli mali popowe.nakwa unyenyekevu mniposhelanje lineno lipandilwe mkati jake,ambalo lishikola uwezo gwaokoa mitima22Lakini lineno mnalipilikananje tu.nakuitemba nafsi yenunji mmashayene. 23Kama jojowe hakulipilikana lineno bila bila kulitendea kazi sawa na mundu hailoleshe uso gwake halisi mkioo. 24Huhitathimini uso gwake.na kujendela baada ja muda gwa mgupi kuliphalila shakuti landana. 25Bali mundu jwejula akujilolesheo kwa uangalifu shelia kamili,sheria ya uhumu naendelea kujiti.Nga kwa sababu jwenejo msikilizaji alipolila,haju mundu apinga balikiwa pakuitenda.26Ikiwa mtu jojowe shanganishie nyene kuwa mundu jwa dini lakini mkaweza kulutawa lulimi lwake.Kugutemba mtima gwake na dini jake ni yayoyo. 27Dini jili safi nakina halibiwa mbele ya amnungu wetu na Baba ni katika mateso gawawonji.Kuilinda hashayene na ufisadi gwa dunia.
1Ndugu zangu mnakagulenje imani ja a Bwana Yesu Kristo,aBwana wa utukufu,kwa pendelea kwetu fulani. 2Kama mundu fulani ajinjilaga mmikutano yenu awete mbete ya dhahabu na mavazi gakonja,nijinjila masikini jwa mavazi gangata, 3na gumnangunyenje kumsamini zaidi jwejula jwa mavazi gakonja natenda,''Tafadhali ugwe uketi hapa mahali pakonja,''ugwe jima pepala,''au''tama pahi ja makongono gangu.'' 4Je,mkahukumiana nga manganya hashayene,na hamuhaga wenye mawazo mabaya?5Sikilizeni,hashapwanga wapendwa buli Mnungu bahanga hagulanga masini wa dunia kuwa matajili katika imani jalithi hashikahalidinji jwa wakumpinganga? 6Lakini mchikwa zalaunji masikini?buli nga matajili wakumtesanga mmanganya,nangawa wanganyawi bakumkwakwa tanga kumahakamni? 7Si matajili waku litukonanga lina lyakonja hambolo limkushemwanga?8Hata mneyo.Kama mtimizanga shelia ja kifalume pujindikwe mahandiko.''Shigumpinje mjilani jwako kama hugwe gumwene,''Mnatendanga vyema. 9Lakini kama mpendanganga bahazi javandu.Mnatenda dhambi mnahukumiwa nashelia kuwa mnakahanga sheria kuwa ni wavunja sheria.10Kwakuwa jojowe ataje shelia jojowe.baada nikuhiku wala nukta jimo tu.heshima na hati yavunja shilya jome! 11Pawa amnungu balungwile,''mzini.''na ndoye balugwile,''unabulaje.''kama hukazini.lakini unabulaje,''Uvunjile sheria ja Mnungu.12Kwahiyo mkungulukanje natii kama banganya bhala amba ninginji nawonji tome hukumiwa sheria ja uhuru. 13Pawa hukumu kwiya pangali huruma kwa nanganya wala wangalinginji huruma.Huruma huitukuza juu ja hukumu.14Kuna huzuli gwashi ashapwanga kama mundu ataya gumboli imani.Lakini jwangali matendo?jenelimani jo ajinaweza kumwokoa? 15Kama ndugu wandonga washileu kuitajiwa mavazi au shakya shakila siku, 16na jumojwenu gwawalanijelenje,njendanje kwa amani,mkajotanje moto na mniyanganje ukote,''Lakni ankakwapanganga mahitaji muhimu ga shiilu,genego igafaa indi? 17Hali kadhalika,imani pekee,kama jangali matendo,jiwele.18Bado mundu fulani anaweza beleketa,''Ukwete imani nane ngwete matendo.''Nanguye imani jako paka nakuwa na matendo, nane shinikulanguye imani jangu kwa matendo gangu. 19Mwaaamininji kuwa Mnunghu bamo;puli sahihi.Lakini mapepo nago gaamini neyo natetemela. 20Je,ulipanga kumumanya,ugwe gwa mpumbavu,ndama ambavyo imani jenejo pangali matendo gangafaa?21Je,si ababa yetu Abrahamu bashi mkubalanga ni shiwa haki kwa matendo puwa shoshie mwana gwawo isaka juu ja madhabahu? 22Mnaonanga kuwa imani jake jishikutenda liengo na matendo gake,na kwa matendo gake,imani jake jaishile kusudio lake. 23Maandiko gashitimizwa gaweleketekwa ,''Abrahamu ashikwaami anungu,na esabiwa kuwa jwa haki.''Hivyo Abrahamu bashiku shemwa rafiki ba Mnungu. 24Nnilolanga kwa matendo munduhuhesabiwa haki,na nga kwa imani pe.25Hali kadhalika,buli,jwangawa Rahabu jwejula kahaba ashimkubala nga nisgiwa haki kwa matendo,pawa kalibishinje wajumbe na kuwapelekanga barabara jina? 26Kwa kuwa kama nneila shiilu gwangalikuwa na ntima gwiwile,nnepeyo imani pangali matendo jiwile.
1Ndugu zangu,nga gwinji gwenunji mkupaswanga kuwa walimu,mmumanje kuimba tashituposhele hukumu ja jikulungwa zaidi. 2Kwa kuwa tuboe tunakosea atika njia jagigwinji kama jojoe kama akakwikuwala katika maneno hake jwenejo ni mundu mkamilifu,anauweza dhibiti shiilu shake shoe pia.3Sasa kama tunavika lijamu zaefarasi katika kang'wa yaho wanakututi, tunaweza geuza hilu yawonji yawo yowe. 4Tambua kwamba meli ingawa jijikulungwa na sukumwa na mbungo jikali,inajonje shewa kwa mshukani kwamchoko kwenda papowe kwapinga nahodha.5Mnepeyo ulimi nikiungo shashi shoko mwili,lakini husifia makuu sana,Angalia msitu gwamkulungwa pukombola kolea kwa cheche yaishoko ya moto! 6Ulimi pia ni moto na uilimwengu gwa uovu,ushiwikwa miongoni mwa kiungo yua shinilu yetu,ambao hunajisi shihitu showe na vika kunani ja moto njia ja masiha ,na hashayene kuhomwa moto gwa kuzumu.7Kila aina namnyama jwa mukonde.ndege,kitambaacho kiumbe sha mbahari shinazibitiwa wanadamu. 8Lakini jwakwapi mwanadamu wala jumo ambae akombola kuzibiti lulimi,ni uovu gwanga tuli,ushigumbala simu ya kufisha.9Kwa lulinu tunakwa tukuza a Bwana na a Baba yetu,nakwagenego tunakwalaani banelu ambao basliumbwa kwamfano gwa Mnungu. 10Katika kany'wa hichohicho kulugula maneno ga baraka na laana ,basha pwangu mambo haga gapaswa kwa.11Je,liko limo linaweza kushoya mashi matamu na machungu? 12Ndugu zangu buli mkongo wa mtini unaweza kuogola matunda ga mzuituni,au mzabibu unaogola matuna ga mkongo?wala chemchemi ja musti gamjete gakashoya mashi gangalimjete.13Ni gani miungoni mwenunji akwete naekima na ufaamu?Hebu mundu jwenejo na alanguye maisha mema kati liengo gake kwa unyenyekevu kutokana na hekima. 14Lakini kama mkwetenje wivu mkali na nia ja ubinafsi mutimwenu,msijivue nabeleketa unami nakugukana ukweli.15Hiin siyo hekima jituluka kushaka kunani,lakini badala jake nijakidunia,si yakiroho,najakipepo. 16Kwakua palipo na wivu na ubinafsi gupali,jishipagwaa ngura nakila matendo maovu 17Lakini hekima jishokayo kunani kwanza ni safi,kupinga amani,upole na ukalimu,gayene kugumbala rehema na matunda mema,bila pendelea baada fulani na kweli. 18Na tunda lya haki kupandwa katika amani kwa wewala ambao wanatenda mambo ga amani.
1Ugomvi na migogoro miongoni mweninji kuikopo shela kwei?Hikajunuka kutoka katika tamaa yenunji mbaya ipeleka vita mkati ja mashirika ge nunji? 2Mnatamani kile shinkana kolanga.Mnabulaganga na mnafukuzianga ashila mnakushi kambolanga kuwa nacho.Mnakomananga na pwata na bado mkapatanga kwa sababu mkajuganga Mnungu. 3Mnaomba na mkaposhela kwa sababu mnajuganga kwa ajili ja mambo mabaya,ile kwamba mkombolanje kuitumia kwa tamaa yenunji mbaya.4Enyi mkuzininji!mkakumunyanga kwa mbiga na ulimwengu ni uadui zaidi ja Mnungu?kwa hiyo,jojoe aamuye kuwa urafi na ulimwengu huitenda nyene adui wa Mnungu. 5Au puganishianga maandiko gangari maana yasemapo kwambo mntima gushile nyumba jetu jishikola wivu sana kwa ajili jetu?6Lakini Mnungu hushoya neema zaidi ndiyo maana maandiko hutaya,''Mnungu humpinga akwete kiburi,lakini kumpa neema mnyenyekitu.'' 7Hivyo,mushoyanje kwa Mnungu.Munkananje ibilisi na jwenejo shawutushe kushoka kungwenunji.8Ng'egejeranje tome na Mnungu,na wenewo shiwa egejere tome jenunji.Mgululanje mikono jenunji,mkwatenje shambi,na ntakoseni mitima jenunji mmangaa mkwetenje nia iwili. 9Nguzunikanje,ng'ombolenzanje,na guta! Mtendeuyanje shieko shenunji kuwa huzuni na furaha jenunji kuwa maombolezo. 10Tuinyenyekee twa shayene mbele ja Bwana,na nashaijulanje mnami.11Na weleketaji kinyume mmanganya kwa mmanganya,ndugu.Mundu aweleketa kinyume nankapwake,au kumhukumu mpwake,uweleketa kinyume na sheria na kujihukumu sheria ja Mnungu.Mkumunjiji sheria,mkajieshimunji sheria,bali mnakujikumunji. 12Ni jumo pe ambaye sheria na hakimu,Mnungu ,weneo ambao washikola uwezo gwa okoa na angamiza.Ugwe ni gani ukumuhukumu mjirani yako?13Mpuli kanaje,mmanganyanji mkutayanga,''Lelo u malawi tushijende kwene kushijiji kuna tamaa shaka kweneko,na tenda biashara,na alaya faida.'' 14Ni gani akumumanya indi shishikoposhele malawi,na maisha genunji indi hasa?pawa nnalanda kama ndambwe gukoposhela kwa muda ng'upi na guliowa.15Badala jake mkalugulanje,''Kama mapenzi ga Bwana,shituishi na shitutende ashi na ashila.'' 16Lakini sasa mnakuipunanga juu ja mipango jenunji.Majivuno goe go ni huaribifu. 17Kwahiyo jwenejo amanyi kutenda gambone,lakini akakugutenda,kungwake jwenejo shambi.
1Njianje nnaino,mmanganji nninginji matajiri,mgutanje kwa sauti jaji kulungwa kwa sababu ya taabu jikwiya juu jeenunji. 2Utajiri gwenunji kuharibiwe na mavazi genunji gashi taunwa na wadudu baharibifu. 3Dhahabu yenunji na hera yenunji ishikosa thamani na uharibifu shushuudie dhidi jenju na kuangamiza hiilu yenunji ndu moto.Mjiwishilenje hakiba jenunji katika lyuwalia mwisho.4Mnolanje malipo ga watenji liengo banganyanji mmangalipanga kwa vuna mungunda mwenu wanagutanga!Shililo sha wanganya waunilenje mazao genunji shishikuwa ishilanga mmashikilo ga a Bwana wa majeshi. 5Nchiishinji kwa anasa padunia na kuhifurahisha mmanganya mmashayayene.Mchikuijimbayanga mitima jenunji kwa lyua machinjo. 6Mshikung'umunji na kumulaga mnyene akana kombola kumpinga.7Kwahiyo mvumilianje,ashapwanga,mpaka ujio ga a Bwana,kama kamaa mkulima mkulima kulindilila mavuno ga thamani kushoka katika nchi,alilindilila uvumilivu kwa ajili jake,mpaka hula ya kwanza na yeyila ya mwisho jinyangaga. 8Na mnanganyanji mmanganje mmavumilivu mkazanje mitima jenunji,kwa sababu kwiya kwawo a Bwana ni karibu.9Ashapwanga,nnanung'unikanje mmanganya kwa mmanganya,na kwiya hukumiwanga.lola,hakimu anajima panango. 10Kwa mfano.Ashapwanga mnolanje mateso na uvumilivu gwa manabii waweleketenje lina lya a Bwana. 11Mnalonje tunakuwashemanga wewale wavumilianga,''heri.''Mgupilikenenje uvumilivu guka Ayubu,na mnimanji likusidio lya abwana kwa ajili ja Ayubu,na mnimanji likusidio lya abwana kwa ajili ja Ayubu,kwa jinsi gani a Bwana washigumbula huruma na rehema.12Zaidi jojowe,ashapwanga mnaapanje ,aidha kwa mbingu ama kwa mchi,au kwa kiapo ja aina jina.Bali jenu ''Ndiyo''na jimaanishe ''ndiyo''na ''hapana'' jenu jimanishe ''hapana'',ili kwamba mnajie mnajie gulilanga pai ja hukumu.13Apali jojowe miongoni munji a kwete mateso?lazimaa ajuje.Buli,mundu jojowe jwashamka?Na ajuje sifa. 14Buli,ashipangwa jojowe miongoni mwetu alinwele?Na awasheme wakongopanji bali kanisa,na bakongopa bakanisa bajuganje juu jake,walikumpanganga mahuta katika lina lya a Bwana, 15na maombi ga imani shiwalame walwele,na a Bwana shiwajinule.Na kama bashikutenda mashambi,Annungu shiwasamehe.16Kwa hija ngu'ungamanje mashambi genunji mamanganya kwa mmanganya,na ombeana kila jumo na kanjake,ili mkomnolanje ponjwa.Maombi ga wayene belekwa matokeo matokeo gamakulungwa. 17Eliya ashikuwa mundu jwa hisia kama yetu,ashikujuga kwa juhudi kwamba hula jinanye,nanganyaa katika nchi kwa muda gwa miaka jitatu na miei sita. 18Na Eliya ashikujuga tena,na mbingu ishikunya hula juu ja nchi na nchi nishoya mavuno.19Ashapwanga,kama jojowe miongoni anapotoka kushoka pa ukweli,lakini mundu juna gwampeleshe, 20Hebu na amumanye kuwa jojowe akung'oza jwa shambi kwenda katika mpanda gwake gwa ukosaji shaponywe nafsi jake katika mauti na taunika gwinji gwa shambi.
1Petro,mtume ja na Yesu Kristo,kwa wajeni watawanyiko kwa wateule,katika potito yote,Galatia,kapadokio,Asia na Bithinia, 2Kutokana na ufahamu ga amnungu Baba,kwatakaswa na mtima mtakatifu,kwa utiifu,gwa ayesu Kristo,na kwanyungu ziwa minyani jake,iteema jiwe kwengwenu,na amani jenu jijonjesheshe.3Mnungu a Baba wa a Bwana yetu hayesu Kristo na abarikiwe katika ukuu wa rehema jake ashikupa kubelekwa upya kwa ujasiri gwa urithi pitila ufufuo gwa Yesu Kristo kushoka katika wafu, 4Kwa urithi ukanuha ngamia,hukukola na uchafu walapungua,gushini fadhiwa kumbinguni kwa hajilu jenu. 5Kwa uwezo gwa amnungu mnalindwanga kupitila imani kwa wokovu ambao puguli teyali kuhunukulwa katika nyakati ya mwisho.6Mfurahishanji katika lyeneli,ingawaje nnainope ni lazima kungwanunji kuisikia huzuni katika majaribu ga aina mbalimbali. 7Aji,ni kwasababu imani yenunji iweze kulinjilwa imani ambayo ni ja thamani kuliko dhahabu,ambayo inaowa na katika moto kulinga imani jenunji.Aji kukoposhela imani jenunji ipate kukola sifa,utukufu,na heshima katika ufunuo gwa Ayesu Kristo.8Mmangamonanga jwenejo,lakini mnakimpinganga.mkakumonanga nnaino,lakini mnaaminji katika jwenejo na mafurahinji jangawezekana kueleketesha kwa furaha ambayo ishigumbala na furaha. 9Nnaino mnaposhelanga mmashayene matokeo ga imani yenenji,wokovu gwa nafsi ikaliji yenunji. 10Manabii washikuloleanga na wuya kwa umakini kuhusu wokovu gwenugu,kuhusu neema ambayo jikaliji jenu.11Bashikuloleanga kumumanya aina jashi ja wokovu ambao ukaishe.Bashikuloleanga kumumanya muda gwashi Roho ja Kristo aliji nyumba jao yaweleketa india na anganya wo aji puyaliji inakoposhela wakati paliji alikuwalanjilanga mapema kuhusu mateso ga Kristo na utukufu ambao ukarikagwile. 12Ishikuunukuliwa na manabii kwa puwalinginji washida kugatumianga mamaba aga na nga kwa ajili jawonji ashayene,bali kwa ajili jenunji nzimulizi injili kwenunji kwa njia ja Roho mtakatifu atumwile kushoka kumbinguni,mambo ambayo mnkali malaika banalokolinga kuunu kulwa kwake.13Kwahiyo mtawanje ihungo ya akili yenunji.Mmanganye mmatulivu katika mfikira yenunji.Mmanganye na ujasiri mkamilifu neema ambayo jipinga pelekwa kungwenu wakati gwa hunukulwa kwa Yesu Kristo. 14Kama wana watiifu,mnatawanje na ashayene na tamaa ambayo jimwakagwilenje pumwalinginji mmangilinji ufahamu.15Lakini kama nneila awashimilenje alivyo mtakatifu,na anganya,pia,mmanganje mmatakatifu katika tabia yenunji joe ja mashani. 16Pawa ishijandikwa,lweni watakatifu,kwa sababu nne na mtakatifu.'' 17Na mshemangaga ''a Baba''wewala haukumiwe kwa haki kulingana na maengo ga kila mundu,tumia muda gwa mwanja gwako katika unyenyekevu.18Mnafahamu kwamba jangawa kwa hera au dhahabu indu iyalibika ambavyo nshikombolewanga kushoka tabia yenunji ya ujinga ambavyo mwajigenenje kushoka kwa ababa yenunji. 19Lakini nshikombolewanga kwa minyani ja heshima ja Kristo,kama ja ngondoro jwangali hila wala lidoa.20Kristo nashumku mkuaguhwa kabla ja misingi ja dunia,lakini sasa nnaino siku ya mwisho,ashiunukulwa kumgwenu. 21Mnakwahamininji annungungu kupitia jwenejo,ambaye amungu ashimkukagula kushokuka awafu na ambaye ashikumpa utukudu ili kwamba imani jenunji na ujasiri guwe katika Mnungu.22Mtendite nafsi jenunji kuwa safi kwa utii gwa lyiela,kwa dhumuni lya upendo lya ulongo lili na unyofu,nneyo mmpingananje kwa bidii kushoka muntima. 23Mmelekwenje mara ja wili,na nga kwa nanabenju jialibishe,lakini kushoka katika mmenju jangaalibika,kupita uzima na lineno lya annungu lilepeshe.24Kwa maana hiilu yowe ni kama maamba,na utukufu gwake gowe ni kama liuwa lya liaanabaa.liambaa ujumla na liuwa kugagwaa, 25lakini lineno lya a Bwana huigala milele.''Aguno ni ujumbe ambao gushitangazwa kama injili kungwenunji.
1Kwa mneyo mikanje kunyenje uovu gowe,kutembeka unafika,wivu kashifa. 2Kama wanawanambombe,hana lokolila mavele safi gakiroho,ili kwamba mkombolanje kukula nkati ja wokovu, 3Kama mpashenje kwamba Abwana ni mwema.4Njianje kumgwake ali liganga hai linaishi ambalo lishikanwa na wandu,lakini lyenelyo lishigulwa na annungu na nilyasamani kumgwake. 5Ninyi pia kama maganga gali hai gashengwa kunani kuwa nyumba ja Kristo,ili kuwa ukuhani mtakatifu ambao hushoya dhabihu za kiroho hikubaliwa kwa Mnungu pitia Yesu Kristo.6Andiko hutaya nnehino,''Tazama,nishivika katika sayuli liganga lya kunyenje kuu na liya gwile na lyathamani,jojowe shaamie katika jwene jo shawone noni''.7Hivyo heshima nijema kumgwenu mmanganya mkuamininji.Lakini,''liganga likanilwe nawajenzi hilino lishiwa liganga kuu lya kunyenje.'' 8na,liganga lyakuikawala na mwamba gwa kuikuwalaa.''Anganya huikuwala,bakulikanga lineno ,kwa lyelila ambalo pia washikuwangang bashiteuliwa kwalo.9Lakini mmanyanya mngagulunjwe,ukuhani gwa kifalme,taifa takatifu,wandunji wa miliki ja Mnungu,Ili kwamba mkombolanje tangasha matendo ga ajabu ajala awashimilenje kushoka paluwindu kuiya kunudu jake ja ajabu. 10Mmanyanya kwanza mkali ginjinji mmandunji,lakini mnaino mmanganya bandu wa annungu.Mnanyanya mamangaposhelanga rehema,lakini mnaino mposhelanji rehema.11Wapendwa ,njikuwashemanga kama wajeninji bazururanga kuijima kushoka kutama mabaya ja shambi,ambayo jikomana vita na mitima jenunji. 12Mnapaswa kuwa na tabia ja mbone kati ja mataifa,kwamba kama kamashi wabeleketanje.Kama kama mtendilenjemaovu,shiwagalolanje maengo genunji njema na kwasifa Mnungu kati siku ya kwiha kungwawo.13Tiika kila mamlaka ga mwanadamu kwa ajili ja Abwana,hiwagaga mfalu kama mkuu, 14Ikiwa watawala batumilwenje kuwaadhibunji watenda mabaya na kwasifiananga hanganya batendanga mema. 15Kwakuwa mapenzi ga annangu,kwamba kwatenda mema mema mnapumuyanga mazungumzo ga shipuuzi ga bandu bapumbavu. 16Kama bandu huru,mnahutumanje uhuru gwenu kama shuniko shama ovu,bali mmanganye kama watumishi ba Mnungu. 17Mwaheshimunji bandu bowe mwapinganje nashapwenu.Mwajogopanje annungu,mwaeshimunji hamfulume.18Mmatumwa mwatiinji Abwana yetu kwa heshima jawe tu Abwana balinginji bakonjanga na bapole lakini pia walio waovu. 19Kwakweli sifa kama jojowe shavumilie maumivu wakati gwateseka pangali haki kwa sababu ja dhamira jake kwa amnungu. Ni faida jashi jipali kama mnidumunji kutenda shambi kisha ngendeleanje 20kuadhibiwa?Lakini kama ntendilenje mema na ndipo mtesekanje kwa hukumiwa,jejino ni sifa njema kwa Mnungu.21Kwa lyelino mchi kushemwanga,kwasababu Kristo pia ashimkuteswa kwa ajili jetu,asikwa leshelanga mfano kwa ajili jetu kukagula hiwajo yake. 22Jwenejo jwanga tenda dhambi.Wala gwangabonekana udanganyifu gogowe nikanywa jake. 23Wakati jwenejo patukenwe,jwanga bujisha matusi,pateseshe ,jkwangojogoya bali ashimkai shoya myene kumgwoke jwenejo ahaukumiwe kwa haki.24Jwenejo myene ashimkuijigala shambi yetu katika mchilu shake munkongo ilikwamba tunawe nasehemu kabili katika shambi,nakwamba tuishi kwa ajili ja haki,kwa komwa kwakwe mmanyanya mnamilenje. 25Mmowenji mwalinginyi mwalagangaga kama ngondolo ahowile laki lelo mmunjilenje kwa ho mchungaji na walinzi wa mitima jetu.
1Kwanjia jejino,ambao ni mmandoya mnapaswa inga kuishoya kwa washileu benu mmashoyene,lyelino bata kama baadhi juwo bangalitii nji lineno,pitila tabia ya hashakongowawonji bamo naweza kuutwa panguli lilowe, 2kwa sababu wene wene angunya nashayene liwe waweninji tabiya janunji njema panoja na heshima.3Hii jitendeshejenejo kwa mapambo ga palanga-kutiwa humbo,vito ya dhahabu,mavazi ga mtindo. 4Lakini badala jake jityendeshe kwa gundu gwamkati gwa mtima,na panda katika uzuri gwa unyenyekevu na kutulivu ga mtima,ambao ni gwa thamani bele ja anungu.5Kwakuwa bandonyanji batakatifu bashi mkuipambanga hashayene kwa namna jeneji.Bashkua nganya na imani kati anungu na washimkwaa tiinji nasha mbaje wawonji hasha yene. 6Kwanjia jejino sara ashikumtii Ibrahimu na kumchana jwenejo''Abwana''wake.Mmanganya mnaino ni hashi wanagwe kama shitendanje gambone kama mkajogopanga mabaya.7Kwa mpanda gogo.mmashilenji mnapwanga kuishi masha kongowenu.mniku mumanya nyanga kuwa banganya wo wagwiinji wa slindanya dhaifu.mwatambuanje hanya kama waposhelanga hashajenu wa zawadi ja uzima.Mtendanje mnei ili kwamba ,maombi genu ganaiwile.8Hatimaye,mmanganya mmone,mmanganje nania jimo kwa huruma,upendo kama ndugu,wanyenyekerunji,upendo kama ndugu,wanyenyekerunji na bapole. 9Mnalipanje mdovu kwa maovu au matwikwa matusi,kinyume jake,ng'endele anje kubariki,kwa sababu mchimkushe wanga,ili kwamba mkombo lanje kurithi baraja.10Jwenejo shakubelekete penda maisha nakujiwana siku njema lazima azulie lulhi lwale kwamabaya na magomo gake kubeleketa nalino. 11Na atende ukana leka mabaya na teda gali gambone.Aloleye amani na kujikagula. 12Macho ga abwana kumwona akwete haki na mashikilo gake pilikanishio maombi gake lakini uso gwa abwana.13Ni gani hapinga kumzulungi mmanganya hwanga mnitumaninji lili vyakonja? 14Lakini kama mtesekanga kwa haki,mbarikiwenji.Mnajogopanje gegala ambayo bene baganya bana kugajokopanga.Mnawanganje na wasiwasi.15Badala jake,mwawikanje Kristo Olswanao katika mitima jenu kama mtakatifu.Kila mara mmanganje tehali kwajangula kila mundu hakwa wuyanga mmanganya kwa hindi mnatumaini katika anungu.Mtendanje mneino kwaupole na heshima. 16Mmanganje na dhamiri njema ili kwamba bandu watu kanangu maisha genunji mema katika kristo bakombolanje kuaibika kwa sababu banajonje sheanga kinyume dhidi jenunji kwaba nchimku wanganga watenda maovu. 17Ni yambone zaidi,hiwagaga anungu bana lokolila.kwamba mnatesekanga kwa tendamema kuliko kutenda mabaya.18Kristo pia hasli mkuteseka mara moja kwa ajili ja shambi jwenejo ni nyene haki ashimkuteseka kwa ajili jake,ambao twangawa twashayene haki,ili kwamba hatapeleshe huwe kwa anungu.Ashi mkuwa katika shiilu,lakini hashi kutendwa jwakoto katika mtima. 19Katika mtima,apite na ubiri riho ambazo nnaino mvili mkifunga. 20Hazina kuwa tiifu wakati uvumilivu ga anungu pungwaliji ulilindi wakati gwa Nuhu,siku ya za ujenzi wa safina,na anungu ashimkuokoa bandu bachache nafsi -nane -katika mashi.21Hii ni alama ja ubatizo hakwa hokowanga mmanganya mnaino siyo kama kugula hushapa kushoka mshihilu,lakini kama liombi lya dhamili njama kwa anungu pitila ufufuo gwa Yesu Kristo. 22Yeye kwali mkono wa kuume wa anungu.Ashimkwenda kumbinguni.Malaika mamlaka,na nguvu lazima vitii yeye.
1Pa ineyo pa kuwa Kristo aliteseka katika mwili,jivikeni silaha za nia jejila,jejila jwejula aliyeteseka katika mwili ajawilwe na yambi. 2Mundu jweneju jwanga endelea hawili unishi katika tamaa za gwili bali kwa mapenzi ga mnungu kwa maisha gake gaigere.3Pa kuwa muda upitile utishile kutenda mambo ambayo wamataifa wanapinga kutenda ufisadi,nia mbaya,ulevi,ulafi,sherehe ja kipagani na ibada ja sanamu ngali machuhizo. 4Wanafikiri ni ajabu mupingo kuepusha kutenda mambo gayo pamo nao ineyo wanena maovu juu jenu. 5Washashwa hesabu uwale apali tajili kuhukumu wapali hai na wafu. 6Pa kusudi jeneji injili lilihubiriwa kukwao wamalile kuwa kwamba japoluwa wamalile kuhukumira katika miili jao kama wanadamu ili wamanyire kuishi kulingana na Mnungu katika mtima.7Mwisho gwa mambo yowe unaika kwa ineyo mwe na ufahamu upali sahihi na ipali na nia njema kwa ajili ja mambo genu. 8Kabla ga mambo gowe kuwanganje na bidii katika upendo kwa kila jimo pa kuwa upendo hukalolea kuunukula yambi ja wana. 9Muonyeshange ukarimu kwa kila jumoo bila kunung'unika.10Kama ambavyo kila jumo jwenu paposhele karama,itumikite katika kuhudumiana,kama wanaji mila vema kwa karama yajingwinji ikopwesha bure na Mnungu. 11Kama mundu alojela na ipali kama mausia ga Mnungu na kama Mundu akihudumu na pali na kama mundu akihudumu na pali kama uwezo apegwile na Mnungu ili kwamba kwa kila jambo Mnungu apegwe.Kutukuzwa kupitila Yesu Kristo utukufu na unakombola vina jejila milele na milele.Amina.12Wapendwa minahesabu jaribu ambalo huilia kuwajaribu kama indu jakigeni ingawa kuna shindu shashijeni lupaliji kinatukia kungwenu. 13Lakini kwa kadiri mnavyozidi hupengwa uzoefu gwa mateso ga Kristo mpurahi pia na huangarara katika ufunuo gwa utukufu gwake. 14Iwapo mmetukanwa kwa ajili ja lina lya Kristo mmebarikiwa kwa sababu ja mtima gwa utukufu na mtima gwa Mnungu atamile kunani jenu.15Lakini asiwepo yeyowe mwenye kuteswa kama mulagaji gwii,Mtenda maovu,au ajishughulishaye na mambo gana. 16Lakini apali mundu anateswa kama Mkristo alolile aibu,bali amtukuze mnungu katika lina lyenelo.17Pa luura wahati uishile kwa hukumu hutandua leatika nyumba ja mnungu.Na kema inatandua liwukwetu ipalijiliwa wewala wangaitii injili ja Mnungu? 18Na kama apali na haki onaokolewa kupitila magumu.Ipaliji liwa mundu angali na haki na wapali na yambi?'' 19Kwa ineyo wowe wanaoteseka kuposhela na mapenzi ga Mnungu wakabidhi nafsi jao kwa nyumba mwaminifu ili hali atendile mema.
1Nina kwashinji baze balinginji miongoni mwenunji,nne na mzee hajawo na shaidi wa mateso ga kristo na ambaye mnepeila ni bashilika katika utukufu utakakao dhihirika. 2Kwa mneyo,mnakuwataganga ntima mmanganya mmazee,michunganje likundi la annunhu lililo miongoni mwenunji mlilolanje,nanga kwa sababu mnapaswanga,lakini kwa sababu mnalokolilanga mneyo,kulinganaa na annungu.Mlilolanje,nanga kwa pinga pesa ya oni,lakini kwa pingaa. 3Mnaitendanje mabwana juu ya wandunji walinginji paija uangalizi gwenunji,lakini guwe mfano katika likundi. 4Pepale mchungaji amkuu atakapodhiihirishwa,shinaposhelanje litaji lya utukufu gukaowa uthamani gwake.5Mnepeyo,mmanganya vijana washako,mnyenyekeanje kwa wakulungwa wenunji.Mmanganya mmowe,mng'walanje unyenyekevu na kuhudumiana mmanya kwa mmanganya kwani annungu huwapingaa wakwetenje kiburi,lakini huwapanga neema wanyenyekevu. 6Kwa mneyo mnyenyekeanje pai ya mikono ja annunguliyo hodari ili kwamba iwajulanje kwa wakati gwake. 7Mumishilanje fadhaa jenunji panani jake,kwa sababu anakujalinji.8Iweni na busara,iweni waangalifu,ajula adui jenunji,ibilisi,kama inaba angulumaa alinyatia,alisaka mundu jwa kunaparura. 9Mjimanje shinyume shake mmanganje na nguvu katika imani jenunji.Mnimanji kwamba ashapwanganji wapalinji ulimwenguni wanapitilanga mateso kama agala.10Badala ja teseka kwa muda kitambo,annungu wa neema jowe,awashimelenje katika utukufu gwa milele ndani ja Kristo,shiwakamilishanje,Shiwaimalishanje na kuwa taganga nguvu. 11Enzi jwe kwake milele na milele,Amina.12Nguna kunathamini silwano kama mpwanga ,mwaminifu,na njikuwandishilanga anganya kwa ufupi kupitila kwake ngunakuwatanga mntima na ngunashuhudia kwamba shinyandishe ni neema ja kweli ja annungu.Mjimanje ndani jake. 13Waamininji waliloko Babeli,waagulwenje pamoja nanganya,nguna kuwasalimianga na marko mwanangu,anakuwasalianga. 14Msaliamianje kila jumo kwa busu la upendo.Na amani iwe kwanunji mpalinji munkate ja Kristo.
1Simon Petro Mtumwa na mtimer wa Yesub kristo, vevala vijaposhelenje imani jila pe jila ja thamani mbuti putujipokele imani jili nnyumba jika Nnungu na mwokozi jetu Yesu kristo. 2Neema jiwe kungwenunji amani jijenjesheshe kupitia kwa maarifa jab Nnungu na Bwana wetu Yesu.3Kupitia maarifa gaka Nnungu, tushipata mambo gake gowe kwaajili ja uchaji gwa maisha , kushoka kwa Nnungu vatushemile kwaajili ja akonjan na utukufu gwao, 4Kwa gweguno mpanda guno vashikutuvalanjila ahadi ya mbone na ya thamani , vyashikututenda nnei ni kututenda tuwe vahisi vya ka Nnungu kwa kila putuendelea kuleka indu iovu pa dunia pano5Kwasababu jino nkolanje bidii nijenjeshea ukioto na mpanda gwa imani jetukwasababu ya mmbone maarifa, 6Kupitila maarifa kiasi na na kupitila kiasi saburi na kupitia saburi utauwa, 7kupitiloa utauwa kupingwa na ashapwake na kupitila ashapwake kupingwa8Kama mambogo gapali mnyumba jenunji gajejenjeshelaga mnyumba mo, bai mkavanganga tasa au vandu mkakolanga matunda pakati ja maarifa ga ka Bwana jetu Yesu Kristo, 9Lakini jejoye angali aga mambo ga kugaona mambo gatome pe, venevyo vyakalola kukonja kwa yambi yao ya bukara.10Lelo ashapwanga, mtendaje juudi na mwiakikishianje uteule na wito kwaajili jenunji, kama mtendangaga agano mkaikuvalanga, 11Na shimwipatilanje gwinji gwa jinjila kumnango katika ufalme gwa milele gwa bwana jetu mwokozi Yesu kristo.12Kwa nne shiniwe ntayari kukumbushanga mambo ga kila mala nkali mkugamamnyanga na lelo puninginji imara katika kqweli, 13Nguna fikiri kuti ni tayari kuwajumuyanga na kumkujmbushilaga kwaajioli ya gene mambo ga mbuti ngupali amuno mniema muno, 14Kwa maana nimumanyi kutyi ngaa muda kwa nnjinjishinilishoye lyema langu mbuti bwana Yesu kristo puvanangwie, 15Shinijitahidi kwa bidii na kwaajili jenunji mkumbushilanje agana mambo gano baada ya nne kujaula.16Kwa uwe twangafataga hadithi ijinjiwe kwa usitadi pepala tulipowaeleza juu ya nguvu ja kujidhihirisha kwa Bwana wetu Yesunkristo bali tuwe mashahidi gwa utukufu gwake, 17Nyenye aposhele utukufu na heshima kutoka kwa Nnungu awawa pepala sauti jipilikanishile ishiweleketa "Haju ndio mwanangu mpendwa jwangu ambae tupendezene najo" 18Tushipilikana ali lilowe likoposhela kumbingu pepala pashitumbi shitakatifu.19Tukwete ali lilowe la Unabii lisibitishwe lyenelyo litendile ukoto kulitekeleza, nikama taa jing'ara paluvindu mpaka kuchapo na ndondwa ya mawio ionekananje mumtima jenunji, 20Mgamanye agano kuti, gwakwa Unabii gujandikwa kwasababu ja kujifikirisha kwa anabii nnyene, 21Kwakua gwa kwa unabii guishile kwaapingwa na ka mundu isipokua wandunji wasiwezeshwa na Mtima mtakatifu gwa velekete kutoka kwa Nnungu.
1Manabii wa unami vashikuilanguyanga kwa waizilaeli na Vaalimu va unami shivajianje pia kumngwenunji. kwa siri shivajianago mafundisho ga inami na wapinga kumkananga abwana avaumilenje wanakuilelela uharibifu gwa haraka juu jayonji vayenenji, 2Wawagwinji shivakagule mpanda gwao gwa aibu na kupitila vayonji shivakufuru mpanda gwa kweli, 3Kwa shiyenga shivawaonyanje wandu kutumila malowe ga unami hukumu jaonjikakava uharibifu shiujiye4Maana Nnungu angaveleka malaika vakengeukenje Bali ashikuvajaa kuzimu ili watawe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia, 5Wala Nnungu angavumilia ulimwengu va ukala, Bali ashikumwika Nuhu, akwete wito wa haki pamoja na vananji saba , wakuti paleshile ganika kuulimwengu uo vile, 6Nnungu ashikuhukiumu ilambo ya sodoma na gomora kiasi cha ava liyiu na uharibifu ili awe mfano kwaajili ya waovu katika moga ga tome,7Lakini patendile jenejo ashikumuokoa Lutu kuwa mundu jwa haki ambae ashikuhuzunishwa na tabia ja nyata ja kutokagula sheria jaka Mnungu, 8Pava jwenejo mundun jwa haki ateminelayo molva kwa mova akiitesa nafsi yake kwaajili ya gegila apilikene na agawane, 9Kwa nneyo abwana anamanya jinsi jakuwaokolanga kwaajili ya ukumu katika moga ga mwisho.10Kwahakika gwenegu ndio ukweli gwa wanao jendelela kuishi katika tamaa ja shihilu na kuyadharau mamalaka ya wandu wa jinsi wa kuuleta ujasiri katika dhamira jaonji, wakajogopanga kuwa kufuru Watukufu. 11Ingawa malaika wakwete uwezo na mashili kuliko wandu lakini vakakopolanga kujianago hukumu dhidi jaonji kwa Abwana,12lakini hawa vanyama wavangalingingi akili washialaywa kwaajili ya kamulwa na kuangamizwa. 13Vanaulwaya kwa ujira wa maovu gao muhi kutwa kuishi kwa anasa vashigumbala uchafu na mahafa hufurahia anasa za tendana wanaposhererkea na ugwe. 14Meyo gao gashiunikwa na uzinzi vakatosheka kutenda dhambi, huvalaghai na kwaguyanga waumini vashoke katika dhambi vashikola mitima jigumbale tamaa na vaana valaaniwe.15Vashilekanga mpanda gwa ukweli, vashipotoka na vashikagulanga mpanda gwa balaam mwana wa boeri, apinjile kupata malipo ya udhalimu, 16Lakini ashikukomelwa kwaajili ya ukosaji gwake , punda avele bubu ashikukunguruka lilowe lya binadamu ashikuivila wazimu wa nabii.17Vene vandu ni malinga chemichemi jangali mashi ni malinga maunde jakwenda na mbungo, liunde lya topa lishiifadhiwa kwaaajili yako, 18Wanakunguruka kwa kwa majivuno jika, huwaangusha wandu kwa tamaa za shihilu, huwatemba vandu kwa vapinga jaribu kuutuka vandu vatemanje katika ukosaji, 19Wanakuwaidi wandu uhuru wakati wayenenji ni watumwa wa dhambi ja ufisadi maana mundu hutendwa kuwa mtumwa kwakwekula shikumtawala,20Jwenejo ajiepushaye na uchafu gwa ulimwengu kwa kutumila maarifa ya Abwana na mwokozi Yesu kristo, na kisha kuujila kavila uchafu gula, hali jake kuwa jangakonja kuliko ja mwanzo, 21Yafile vene vanduvo wanamanye mpanda gwa haki kuliko kumanyana kuleka amri takatifu wapengwenje. 22Mithali hii huwa ja ukweli kwaonji, "mbwa hujila matapishi gake"Na nguruwe aokwenje kuja kuuvili mmatope"
1Nnaino nguna kukujandishila barua japili ili kukujumiuya lunda, 2ili kwamba ukombole kumbushila malove gaveleketwe kabla ja manabii watakatifu na kuhusu amri ja Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume.3Ulimanye ili kwanza wsasliti shiwaikanje mogagamwisho kukumkananga mmnannganya wajendaga sawa na matakwa jao, 4Balugulangaga "kuili kwei ahadi ja awawa yenu jawuja? Ababa yetu washikuuwa lakini indu yowe ishikuwa nneyo tangu mwanzo gwa uumbaji,5Washikuitemba liwala kama nchi na mbingu puitwandwile na kutokana na mashi na kupitia mashi bukala kaje kwa ,lilowe lya Nnungu, 6Na kwamba kupitia lillowe lyake na mashi gapali kwa ulimwengu jene kipindi jo, ikiwa jishigumbala mashi niaribiwa, 7Lakini lelo mbingu na dunia ishitunzwa kwa lilowe lyolyo kwaajili ja moto. Ishihifadhiwa kwaajili ya siku ja ukumu kwaa wanbdu wangali Nnungu8Jeneji jikaweza kuchengwa ujumbe gwako wapendwa, lyuwa limo kwa bwana ni kama yaka elfu moja, na yaka elfu moja nikama lyuwa limo, 9Nga abwana wanatenda mbolembole kutimiza ahadi kama pujifikiriwa lakini benewo ni wavumilivu kwaajili jenu, benewo wakapinga wala jumo aangamie lakini wakalokolila kushoya muda ili bowe watubu.10Ingawa siku ya bwana ipingaika mbuti ngwii, mbingu jipingapita kwagomba nyenye , indu ipinga teketezewa kwa moto. indu na wandubwowe ipinga unukulwa wazi.11Kwakua indu yowe ipinga teketezwa kupitila aji njia. je upinga wa mundu jwa aina jashi? Uishi kitakatifu na maisha ga Nnungu. 12Inapaswa umumanye na tambua shangwe ujio gwa siku ja Nnungu. Lyenelyo lyuwalo mbinu shijitetemele kwa moto na indu ipinga yeyuka lyoto likali. 13Lakini kutokana na ahadfi yake tunbalindila mbingu na nchi mpya, ambapo wakwete haki wapinga ishinji.14Hivyo wapendwa kwakua tunatalajia hindu hii, jitaidi kuwa makini na kutolaumika na uwe na amani pamoja naye. 15Na uzingatie uvumilivu kwa abwana wetu na uwokozi , kama mpendwa akaka yetu Apaulo, ashikuwaandikia manganyanji kutokana na hekima ashikupegwa, 16Paulo anabeleketa haga gowe mbalua jake kuna hindu ambayo ni igumu kuielewa,. bandu wangali adabu na uimara bashikuiharibianga yene hindu yo, na mbuti shakutendanga kwa maandiko. helekea kwa maangamizi jao.17Hivyo wapendwa mgamanyinji genego, muulindanje mashayene ili kwamba mnapotoshwanje na udanganyifu gwa ulagai na poteza uaminifu. 18Lakini mkulanje katika Neema na ufahamu gwa Bwana na mwokozi Yesu kristo. Nnaino utukufu gwa kwa nnyene nnaino milele Amina.
1Ashi shipali tangu bukala-ashila shitupilikene, ashila tushiwene kwa meyo getu, ashila tushilolile, na makono getu gashikamula-kuhusu lilove lya uzima. 2Na kukula kulama gwatendile kumjanyikana wazi, na tuuwene, na kushuhudia na kuvatangazia uzimagwa milele, ambao gwaajili kwa awawa na litendilwe kumanyikana kwetu.3Ashila shitushiwene na kushipilikana tulikushikulugula kungwenu pia, ili kwamba nkombole kujumujika pamoja na uwe, na ushirika gwetu pamo na awawa na mwana gwao Yesu Kristo. 4Na tunakunjandishilanga aga mambo mmwe kwa nneyo furaha jetu jive timilifu.5Gwenegu ndio ujumbe tuupilikene kukoposhela kungwao na kuvatangazia Nnungu ni Nuru na nkati gwake yangali luvindu hata kashoko, 6Mmonaga tulugule kuti ushilika navo na tunaowa nluvindu, tunatemba na tukatenda kweli. 7Lakini tuliowa katika nuru kama paali katika nuru, tulishirikiana uwe, na minyai ja Yesu Kristo, mwanagwao, jatutakasa kukioposhela shambi showe.8Kama tulugulaga twangalin shambi, tunakujitemba twashayene, na kweli jakwa nkati mwetu. 9Lakini tukizitubu shambi shetu, benevo ni vaaminika na haki ntusamehe mashambi getu na kututakasa uovu gowe. 10Tulugulaga kuti tukanavetenda shambi, tunakwatenda benevo kuva banami, na lilowe lyake likanapangwa nkati mwetu.
1Wana wangu wapendwa, ngunakuwajandikia mambo ga kungwenunji ili nnatendanje shambi. Lakini nnjenunji atendaga shambi, vapali wakili vali pamo pe na awawa, Yesu Kristo bali na haki. 2Benevo ni vapatanishi shambi shetu, na ngava kwa shambi shetub jika, lakini pava dunia jowe. 3Kwa lyeneli tulimanyi kuti twaamanyi venevo monaga shituivishe a,mri jake.4Benevo valugule "Naamanuyia Nnungu" Lakini bakakuimaula amri jake ni banami, nan kweli jwakwapi mkati mwake, 5Lakini jojowe bakamula malove gao kweli katika mundu jula upendo gwa Nnungu kukamilishwe. katika genega tuumanyi kuti tuli nkati mwao. 6Benevo balugula mwakutama nkati mwa Nnungu banapingwa bayene kwenda malinga Yesu Jristo paapite.7Bapenzi ganjandichilaga amri ja yambi, ikaveje amri ja bukala ikaveje mkwetenje tangu bukala. Amri ja bukala ni lilove nlipilikenje. 8Hata nneyo ngunjandishilaga mmanganya amri ja yambi, ikaveje kweli katika Kristo, na kungwenu pava luvindu lunapita, na nuru ja kweli jiloi tayari jinakolela9Jwenejo alilugula alin pa nuru na anakunchima mpwake ali nnuvindu hata nnaino. 10Jwenejo akumpinga mpwake banatama katika nuru na yakwapi lilowe lyolyowe liwezekana kiunchima. 11Lakini jwenejo akunchima mpwake mwali nnuvindu bna anaona nnuvindu, Jwenejo akakumanya kwapi kwa kwenda, kwasababu luvindu lushukumpujula meyo gake.12Na ngunakunjandishilanga mmanganya,. bana bvapingwa pava nshisamehewanga shambi jenunji kwaajili ja nlina lyake. 13Na kunjandishilanga mmanganya, ashawawa pava mmanyinji benevo bali tangu bukala. na kunjandishilanga mmanganya, pava nshikunnepelanga maovu. nishikwajindishilanga mmanganya, bana ba chokochoko, pava nchikwamanyanga awawa. 14Nijandishilenje mmanganya, asha awawa pava nchikummanyanga jwenejo tangu bukala. Ninjandishilenje mmanaganya, vijana, kwasababu nliji imara lilovye lya Nnungu lilitama nkati mwenu na munnepelanje ajula muovu.15Mnajipinganje dunia wala mambo gali katika dunia. pava ajula shajipinje dunia, Upendo gwa kwapinga Awawa gwakwapi nkatin mwake. 16Kwani kila shindu shiuli pa dunia ni tamaa ja shiilu, tamaa ja meyo na shibuli sha ukoto ikakopokana na awawa lakinib puikopokana na dunia. 17Dunia na tamaa jake jinapita, Ikaveje jwenejo atendeje mapenzi ga Nnungu jwenejo adumu milele.18Vana vachokochoklo, ni wakati gwa mwisho. kama malingav pumpilikenenje kuti vakumpinga Kristo vanakwiya, hata nnaino va kumpinga Kristo vashikwiya, Kwa nneyo tunamanya kuti ninukati gwa mwisho. 19Bashikwendananga kukoposhela kungwetu, pava ngava vetuy. malinga nneyo kaaliji betu kali vaendelenje, chenecho chaapali vakalinginji vetu.20Lakini nshitagangwa mauta na jwene Mtakatifu, na mmanganya bowe mmanyinji Kweli. 21Ngava kunjandishila mmanganya pava nkana kummanyanga kweli, ikave pava mummanji na ikave gwakwapi unami gwa kweli.22Gani nnamini ikaveje jwenejo aakana kuti Yesu nin Kristo? Jweneju mundu ni vaapinga Kristo, penepa pakwakana Awawa na Akamwana. 23Jwakwa akumpinga mwana niava na ainagwe. jojowe akumpinga mwana akwete ainagwe pia.24Kama kwaajili jenunji chechila shimpilikenenje toka bukala nchileche shiendelee kuva nkati mwenu. malinga ashila shimpilikene toka bukala shishitame nkati mwenu pia, tintamangane nkati mwaka mwaana na Awawa. 25Na jeneji ni ahadi ja atupele uwe uzimagwa milele. 26Ninjandishilenje aga mmanganya kuhusu anganya vala vakanng'ongoze nje mmanganya katika upotevu.27Na kwaajili jenunji, gene mauta mgaposhele kushoka kungwao ganatama nkatin mwenunji, na mkapinganga mundu jojowe jula kwafundishanga ikavceje malinga mauta gakweganakwajiganya kuhusu mambo gowe na nin kweli na ngava unami, kama bajigenyenji, ntamanangane nkatyi mwake. 28Na nnaino banapingangwa, ntamangane nkati mwake ili ukati papinga koposhela, tukombole kuva na ujasiri na tunapilikane aibu mmujo jakwe katika kuya kwake. 29Mmonanga mmanyinji kuva venevo vayene haki, mmumanyinji kuti nkila mundu atenda haki avalekwe naka jwenejo.
1Nnolanje ni pendo lya namna jashi atupele Awawa, kuti tunashemwa vana va Nnungu, na nnei puli pene. Kwa nneyo aji dunia akakutumanya pava ukana kwamanya venevo. 2Gwapendwa uwe lelo ni vana va Nnungu, na ikanave manyika bado jinsi tukupinga ava. tumumanyi kuti Kristo pakupinga onekana, tutulingane navo, kwani tutwaone malinga chali. 3Na kila mmoja pava bakwete ujasiri ga kuhusu ukati ukwiya ubalanjilwe kungwao, kuitakasa nnyene malinga benevo paali Mtakatifu.4Kila mundu aendelea tenda shambi kutemanya sheria. Pava shambi shatemanya sheria. 5Mmanyinji Kristo alidhihilishwa ili kuishoya shambi kabisa. na nkati mwake mwangali shambi. 6Jwakwapi wala jumo jwadumu nkati mwake na aendelea tenda shambi. jwakwapi mundu hata jumo vadumu katika shambi avaga amweni au kummanya jwenejo.7Vana vapingwa nnapinje kuvalanjilwa na mundu jojowe. Atenda haki nnyene haki, malinga Kristo nnyene shali nye na haki. 8Atenda shambi ni va ibilisi, kwasababu ibilisi ni vatenda shambi tangu bukala. pava mwana jwa Nnungu ashidhihilishwa ili vakombole kuialibia maengo ga ibilisi.9Jojowe avalekwe na Nnungu akatenda shambi, pava mbejiu ja Nnungu jinatama mnkati mwake. akaweza endelea kutenda shambi pava shivelekwa na Nnungu. 10Katika genega vana va Nnungu na vana va ibilisi valimanyikanga. Jojowe akatenda haki, nga jwa Nnugu, wala jwejula akamanya kumpinga mpwake.11Kwani gwenegu ni ujumbe gumpilikeneje toka bukala, kuti tunapaswa kupingana sisi kwa sisi, 12Nga malinga kaini kwa nneyo baliji ba muovu na shikummulaga mpwake. na kwanndi ashikummulaga? pava matendo gake bashikuva maovu na gegala ga ka mpwake gashikuva gambone.13Ashapwanga nnashangaeje pava ulimwengu utawachukia. 14Tumumanyi tuyushiuke na jinjila mu ukoto, pava tunakwapinga ashapwetu. jojowe jwangali upendo akutama mmauti. 15Mundu jojowe akuchima mpwake ni muuaji. na mumanyinji kuti uzima gwa milele ukatama nkati jwa muuaji.16Kwa nneyo tuliimanyi pendo, kwasababu Kristo ashikushoya uhai gwake kwaajili jetu. numbowe tunapingwa kugashoya maisha getu kwaajili ja ashapwetu. 17Lakini jojowe apali na indu, na bana mmona mpwake bahitaji, lakini banazuia ntima gwake gwa huruma kwaajili jake, je upendo gwa Nnungu tuutame uli nkati gwake? 18Vana vangu vapenzi, tunapinje kwa midomo wla kwa malowe jika bali katika vitendo na kweli.19Katika nnei tunamanya kuti uwe tuli katika kweli, na mitima jetu jinathibitika katika venevo. 20Ivaga mitima jetu jinatuhukumu, Nnungu ni nkulungwa katika mioyo jetu na benevo banamanya mambo gowe. 21Vapenzi, malinga mioyo jetu ikatuhukumu, uwe upalinji ujasiri kwa Nnungu. 22Na shashowe shitukujuga shituposhele kushoka kungwao, Kwasababu tunakuikamula katika amri jake na tunatenda mambo ngakonja mbele jake.23Na ajino ndio amri jake jakuti jatupasa kuamini katika lina lya mwana gwao Yesu Kristo na Kupingana uwe pe uwe, malinga pa atupele amri jao. 24Vapunda amri jake vadumu nkati jake, na Nnungu banatama nkati jao. malinga nnei tumumanyi kuti banatama nkati jetu. kwa benevo Roho batupele.
1Gwapendwa, nnaamini kila roho, lakini njilinganje roho muivonanje malinga ikukopokana na Nnungu, kwasababu minabii gavajinji va unami bakoposhele dunia. 2Kwa nneyo shimumanyanje roho ja Nnungu-kila ntima shiupinje kuti Yesu Kristo alikwiya katika nchiilu ni ja Nnungu, 3Na kila ntima ukakumpinga Yesu nga ja Nnungu. Gwenegu ni ntima gwa kunkana Kristo, ambi gumpilikenenje kuti jinakwiya na nnaino tayari shila pa dunia.4Mwe wa Nnungu, vana va pingwa, nna mwalepekenje kwasababu jwenejo ali nkati mwenunji ni nkulungwa, kuliko jwenejo pali katika ulimwengu. 5Benevo ni ba ulimwengu, kwa nneyo chakulugulanga ni shaulimwengu na ulimwengu ulikuwapilikananga. 6Uwe ni vandu va Nnungu jwenejo ammanyi Nnungu atupilikanile uwe. jwenejo akanave jwa Nnungu akatupilikana. pava lyeneli tumumanyi ntimagwa ukweli na ntima gwa unami.7Bapingwa, tupingane twashayene, kwa nneyo upendo ni jwa ka Nnungu, nan kila jumo apinga ashivelekwe na Nnungu na kummanya Nnungu. 8Jwenejo akapingajo akakummanya Nnungu, kwasababu Nnungu ni upendo.9Kwa lyeneli pendo lya Nnungu lishikuunukulwa nkati jwetu, kuti Nnungu ashikuntuma mwanagwe gwa pekee pa dunia ili tutame bapinjile benevo. 10Katika pendo, ngava kuti tushimpinga Nnungu, lakini benevo batupinjile na nia ja kuntuma mwanagwake ave fidia ja shambi jetu.11Vapingwa, ivaga Nnungu atupinjile uwe, vilevile tunapaswa tupendane uwe kwa uwe. 12Jwakwapi wala jumo amwene Nnungu. kama tupingananga uwe kwa uwe, Nnungu alitama nkati mwetu na pendo lyake likamilishe nkati mwetu. 13Katika lyeneli tumumanyi kuti tulitama nkati mwake na venevo nkati mwetu, pava ashikutupa ntima gwake. 14Na tulolile na kushuhudia kuti awawa bashikuntuma mwana kuva mwokozi va ulimwengu.15Kila anaekiri kuti Yesu ni mwana jwa Nnungu, Nnungu anatama nkati mwake jwenejo na nnyene nkati jwa Nnungu. 16Na tunamanya na kuamini upendo akwete Nnungu nkati mwetu, Nnungu ni pendo na jwenejo aatama nkati ja upendo anatama nkati ja Nnungu, na Nnungu banatama nkati mwake.17Katika pendo lyeneli lili tayari likamilishwe kati jetu, ili tuve na ujasiri liuva lya hukumu kwa nneyo kama jwenejo paali, na uwe ndivyo tulivyo katika gweguno ulimwengu. 18Jwakwapi hofu nkati mwa pendo. lakini pendo kamili jinajaa hofu palanga, pava hofu jinalingana na hukumu. lakini jwenejo jwajogopa akanavekamilishwa katika pendo.19Tunapinga kwasababu Nnungu ashikutupinga kwanza. 20Ivaga jumo shalugula, "Ngunakumpinga Nnungu" lakini anakunchima mpwake ni nnami. pava akakumpinga mpwakeakummona akakombola kumpinga Nnungu pava akanave kummona. 21Na jeneji ni amri jitulinago kukopoka kungwake: Jojowe akumpinga Nnungu, anapaswa kumpinga mpwake pia.
1Jojowe aamini kuti Yesu Kristo ashivelekwa na Nnungu. Na jojowe jwakumpinga jwenejo ambaye akoposhele kwa Awawa kavili kwapinganga ashivanagwe. 2Kwa nneyo tulikumumanya kuti tunakwapinganga bana ba ka Nnungu--tunakumpinga Nnungu na tekeleza amri jake. 3kwa nnei putukwapinga Nnungu kuti tulikujikamula amri jake. Na amri jake yapepeka.5Pava kila avelekwe na Nnungu huushindwa ulimwengu. na gwenegu ndigo ushindi gwa kuushinda ulimwengu, imani jetu. 4Ni gani ashindile ulimwengu?ni jwejula aamini kuti Yesu ni mwana jwa Nnungu.6Jweneju ndio aishe kwa mashi na minyai-Yesu Kristo. Akanaika pe na mashi ikaveje mashi na minyai. 7Pava bashipagangwa batatu balolilenje: 8Ntima mashi na minyai. Bene batatu ba bakubaliene. (Zingatia: malove aga "Awawa, lilove, na Roho Mtakatifu" gakavoneka katika nakala bora ja bukala)9Monaga tunapokea ushahidi wa wanadamu ushuhuda gwa Nnungu ni mkuu kuliko gwenego. pava ushuhuda gwa Nnungu ni gwenegu kutin upali ushuhuda kuhusiana na mwana gwake. 10Jwenejo jwaamini mwana jwa Nnungu aali ni ushuda nkati gwake mmanyene. Na jojowe bankwaamini Nnungu atendile kuva banami Pava ganakuamini ushuhuda ambao Nnungu ashikujianavo kuhusu mwana gwake.11Na ushuhuda ni gwenegu-- kuti Nnungu bashikutupa ukoto gwa milele, na gwenegu ukoto uli nkati mwa mwanagwake. 12Baali na mwana bana ukoto. Bakaalinavo mwana jwa Nnungu jwangali ukoto.13Nijandishikenje genega mkombolanje kumumanya kuti ngwete uzima gwa milele mmanganya nkuamininji katika lyina lya Nnungu. 14Na gwenegu ndio ujasiri putulinago mmujo jake, ivaga tujugaga shindu shoshowe sawasawa na mapenzi gao balikutupilikana. 15Mmonaga tumumanyi kuti alikutupilikana--shoshowe shitukwajuga tumumanyi kuti tukwete shenesho shitwajujile.16Malinga mundu akumwona mpwake ashitenda shambi isiopelekea kifo, inakumpasa ajuje na Nnungu shampe uzima. Ninalugula kwa venye vanganya vala kuti shambi yaonji ni jejila isopelekea kifo -- jipali shambi jangamanyika kifo -- ngalugula kuti anapingwa kujuga kwaajili ja shambi shao. 17Uasi gowe ni shambi -- lakini shipali shambi isiyopelekea kifo.18Tumumanyi kuti avelekwe na Nnungu akatenda shambi. ikaveje avelekwe na Nnungu kulelwanavo salama daima na jujula muovu akakombola kumdhuru. 19Tumumanyi kuti uwe tuva ka Nnungu na tumumanyi kuti dunia jowe uli pai pa utawala pa kujujula muovu.20Lakini tumumanyi kuti mwana jwa Nnungu aishe na atupele ujuzi, kuti tulikumumanya benevo bali ba kweli na kuti tupali nkati mwao benevo baali ba kweli, hata katika mwanagwao Yesu Kristo. ni Nnungu gwa jweli na ukoto gwa milele. 21Vana vapenzi, muiyepuyanje na yanamu.
1Kushoka kwa ababu kwenda kwa jandonya agwile na wana wake,na ngwapinganga kweli nganepene,na wananji wowenji wakujimanyanga okoto, 2Jipali sababu jikutenda tutame yaka na yaka. 3Baraka shijive na uwee kushoka kwa awawa Yesu Kristo,Mwanajo awawa,jwa kweli tukumpinga.4Njifurahi kaje njiwaonanga vana wanakwe ndanga okoto,kama nneila kushoka kwa awawa. 5Na inneino na kummranjira mwe,mmambonya,ngawa ninakunnugulila malowe gana,ila galagabukala,elo tugawene,na kweneko kupinga,inapingwa tujiandane mbuti tuwapinga weneo. 6Agano malowe mbilikene tangu bukala,tunapinga kujenda kwa relinoo.7Pawa baunami bawagwinji pa duniaaa nawakubalinji kwamba ashikwiya nchiiru,Aju ndio atauka kwamba Ukristo jakwapi. 8Muilolanje mmanenji,lyengo litutendilile tunaliwiye.9Jwa jowe akwenda mmujo nang'ajima kufundishwa na kristo angali nnungu awawa na mwanape. 10Mwanaga mundu alikwiya kungwenunji na akakumfundishaga inaposheranje nnasalimianje. 11Pawa akwasalimiya mambo gao jangali.12Njikora indu yaigwinji ya kunjandishira,nangapinga kunjandishira na karatasi na wino.Lakini nguna kwiya kungwenu nunji kuvereketa meyo kwa meyo,tuelewane okoto. 13Vana va dada yenu inunjii wakuvugwa vana kunsalimianga.
1Amzee kwa Gayo Mpenzi,napendile katika kweli. 2Mpendwa ngunajuga ufanikiwe katika mambo gowe na kuwa na afywa njema,kama ineyo mtima jenu ngufanikiwe. 3Maana nafurahika sana wakati nnungulilwe na anungunayo waishile na kutola ushuhuda juu ya kweli yenu kama ineyo unanyoendanga katika kweli. 4Nangali na furaha jaji kurungwa zaidi ya naye.Napilikene pa kuwa wanawenu wanajenda katika kweli.5Mpendwa,uendendanga kwa uaminifu unapowahudumianga anunguna na wajeni. 6Pa kuwa watoile ushuhuda wa upendo ngwenu mbele ya kanisa unatenda uleoto kuwasafirishanga katika safari yao kwa namna hayo inakupendezanga achipanganya. 7Kwa sababu kwa ajili ya lina wajendilie bila tolanga chinu chochowe kopoka kwa wanu wa mataifa. 8Ineyo, uwe tupendile kuwakaribishanga wanu kama awo ili tuwe watendile maenengo wenza kwa ajili ya kweli.9Najandishile mkusanyiko shinu fulani na kuwa Diotrofe niyapendile kuwa gwa kwanza miongoni mwenu akakubali na uwe. 10Ineyo,kama aishele nnayakumbukila matenda gawe yatendile na jinsi palungulile maneno m,abaya,kunyene nasi,nganaweridhika na ikowe yao ya wayene ngaposhela anungunuyo,hata wakananga wengine awo anungunayo na kuwawinganga washoshe kwenye mkusanyiko.11Mpenzi unaige shinu shibaya bali ingige shilisho shema pa kuwa atendile mema ni wa achipanganya na yeye atendile mabaya ngamwona achipanganya. 12Demetrio ashihudie na woo na kweli jenyewe.Uwe pia ni mashahidi na umanyile kuwa ushahudia wetu ni kweli.13Ngwete shinu ya ingwinji ya kujandishila kwa kalamu ja wino. 14Bali natarajia kumwona hivi punde na tulonjele nawe ana kwa ana. 15Amani iwe pamoo nawe,Hajungu wanakusalimu,wasalimu hajangu kila jumo kwa lina lyao.
1Yuda ashikutumwa na Yesu kristo na kampwake Yakobo mnanganyanji mchishemwanga naka Nnungu nilugulilwa kuti kuninginjipa kwaajili jika Yesu kristo. 2Lelo barakan yowe ijenjesheke kuumngwenunji.3Mpingenenje pavanne ndendegatenda kila shindu kumjandishilanga mmanganyanji kuti akuna kuokoka kwetu bowe , nne nililazimisha kujandika nikummalanjilanga kuti aji imani jishiika kamo pe lakini kwa jwejula ajipinjile, 4Pava bashipagwanga bhandunji bashijinjilanga wla kumanyikana kati jenunji washikuvikwanga alama kwaajili ja ukumiwa venevonji vashikubadilishanga indu ika Nnungu ni kutenda kuti ya unami, hubadili Neema ya Nnungu jetu kuwa ufisadi, na kunkana awawa yetun pekee na Abwana Yesu kristo.5Lelo ngunakumalanjilanga kuti vevala awawa ndio wawagombwelenje vandu kushoka kumisiri nikwamaliya vevalanji vakanilenje kuamini, 6Na gegala malaika gowe gakanile kutenda indu yaka Nnungu bai gowe gashitawa ja yakana yaka nivikwa paluvindu kulindilwa lyene lyuwa lya ukumu.7Mbuti kwekula kwa Sodoma na Gomora na ijiji inaitimbilile nikola hamu, janghali jiene nilangwa mbuti vevaranji valinginji kumoto yaka na yaka, 8Nnepeila vaganilanga shilo ni nyatia iilu yavonji nikana mamulaka alafu niveleketa unami pa watakatifu.9Lakini mikaeli malaika jwankulungwa gwegula muda gwa bishananga na ibilisi ni vuyana kwaajili ya shiilu shika Musa, wala wangajianajo azabu ya unami pepala lakini baada ja nne niveleketa "Abwana amkalipile" 10Lakini vandu venewa wanakwiya na unami kwa shindu sheshoye wakushimanya, sheshila ambacho wanyama wangali lunda wanamanya kwa silika genego ndio gawaaribienje. 11Shonde venevonji wanaopitanga mpanda gwa kaioni niikagula likosa lika Baalam bai vashimaliyangwa na uasi gwa kora.12Venewa miamba katika sherehe yenu ya upendo, watenda gulikaguluikanga bila oni, nikwiluyanga vyayenenji na maunde gangali mashi kashijigalwa na mmbepo jenejo mikkongo jipakalishe jangali matunda na jiwile mala mbili na ,mishiga kjitutumbwile , 13Mawimbi gambaali galitaga nyenye kushoya oni jawonji vyayenenji, na ndondwa yanapi kwaajili javaenenji yaka na yaka14Enoko jwa saba katika orodha ja Adamu ashikutabiri kuti "mnolanje! awawa wanakwia na maelfu kwa maelfu ya Utakatifu kwake, 15Lelo kila mundu akupingapata azabu jake nikubali amri jowe jika Nnungu Pava vangakulana indu yatendwaga mmipanda jangali jambonne niveleketa malowe ga kalipa bai gowe gashikuweleketwa ambayo wasio watauwa wanaweleketa dhidi yao, 16VenevaTumbalanga kulalamikanga kukagula indu nngawa ya mmbone gwa faida jao wankuwatembanga vananji.17Mmanganyanji mpengenenje mkumbushilanje malowe gabukara gaweleketwe na mtume kuga Yesu kristo, 18Washikiuweleketa kumngwenunji "Katika moga ga mwisho wandu kuveleketa ,masiara niikagula indu ngaa ya mmbone" Venevanyandunji vya vyalekanyanga pava bashikoranga tamaa jabukara na vyangikilinginji mtima. 19Ila mmanganya mpingenenje mshenganje imani jammbone kaje mbuti pumkujuganga pamtima kwa mmbone.20Na mwilolenje pava mmapingwanga naka Nnungu na mlindilanje baraka jika Yesu kristo avampanganje kulama kwa yaka na yaka. 21Mlolanje baraka ya vevalanji vyakwetenji wasiwasi,22Mlolanje Rehema kwa wakwete shaka 23Na mualolenji vananji nikwanyakulanga kushoka kumoto na kwa vananji mnolanje huruma jawonji mnatumbalanje mkali liwalo litajilqe lidowa lashiilu.24Lelo kumngwake amani kumkakamulanga mnaikumbnavalanje nisababisha mjimanganaje pamoja najake wala mashak na furaha ni jukumu. 25Venevyo jikape vanamanya kugombola uwe kupitia kwsa Yesu kristo, ukulugwa gwao , uwezo gwao, na mashili kabla ya muda gwso na lelo mpaka yowe, Amina.
1Gwenego ni ufunuo gwa Yesu Kristo ambao Nnungu apeile ili kuwalugulila watumishi gwake mambo ambayo laizma gaeloposhwe Karibuni. atendile gamanyile uwatumwa malaika gwake kwa mtumishi gwakwe Yohana. 2Yohana ashoshike ushuhuda wa kila shindu aonile kuhusiana na lilowe lya Nnunguna kwa ushuhuda ushoshiwe kuhusu Yesu Kristo. 3Amebarikiwa jwejula asomae kwa sauti na wewala wowe wapilikane malowe ga unabii gweguno na kutii chinjandishwe mwenemo kwasababu ja muda ukaribie.4Yohana kwa makanisa saba gapali Asia: Neema iwe kungwenu na amani kushoka kwake apali, apaliji, na shaajie, na kushoka kwa roho saba walio mmujo mwa shitengu shake sha enzi, 5na kushoka kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mmelekwa wakwanza kwa wawile na mtawala wa wafalume wa dunia jeneji. kungwake jwejula atupendae na atuwishile huru kukopoka kwa shambi shetu kwa minyai jake, 6atendile kuwa ufalme, makuhani wa Nnungu na Awawa jake- kugwake kuwa utukufu na mashili milele daima. Amina.7Mnole, anaika na mawingu; kila liyo linamlola, pamoo na wowee wamchomile. Na kabila jowe ja dunia shiwaomboleze kukwake ndivo Amina. 8"Nne ni Alfa na Omega" aweleketa bwana Nnungu, "jwejula apali, na apaliji, na amabae anaisha, Akwete mashili."9Nne, Yohana - ndugu na jumo anayeshiriki pamoo nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katikia Yesu mipaliji katika kisiwa kiitwacho Patimo kwasababu ja lilowe lya Nnungu na ushuhuda kuhusu Yesu. 10Nipaliji katika Roho lyuwa lya Bwana Napilikene nyuma jangu sauti ja nnani kama ja tarumbeta, 11iweleketa "mjandishe katika shitabu unago kulola na mgatume kwa makanisa saba kujenda Efeso, kujenda Smirna, kujenda Pergamo, kujenda Thiatatira, kujenda Sardi, kujenda philadelphia, na kujenda Laodikia"12Nikageushila kukola ni sauti lya nani aapaliji akilojela nami na nigauchile niwonile kinara cha dhahabu cha taa saba. 13Katikati ja kinara cha taa apaliji jumoo kama mwana jwa Adamu awete kanzu jajileu jiishile pai pa magulu jake n mkanda wa dhahabu, kujuguka kifua shake.14Mtwe gwake na nywele jake ipaliji nyeupe mbuti sufi nyeupe malinga saruji, na meyo gake gapali mbuti mwali jwa moto. 15Unyayo gwake upaliji kama shaba jisuguliwe sana, kama shaba ambayo jimalile palishwe katika moto na sauti jake upaliji kama sauti ja mashi gamagwinji ganagotiririka kwa kasi. 16Apaliji akamwile nyota saba katika mkono gwake gwa kuume, na kopoka kushinywa shake kupaliji na upanga mkali wenye makali kuwili, uso gwake upaliji uking'aa kama mwanga mkali wa lyuwa.17Nimonile, nishigwaa mumakongono gake kama mundu awile. awishile mkono gwake gwa kulia juu jangu na kuweleketa, "Unjogope nne ni wakwanza na wa mwisho, 18na ambaye ninaishi, Nipaliji niwile, lakini mnole ninaishi milele! na nikwete funguo za mauti na kuzimu.19Kwa nneyo, yajandike wayaonele, gapalioji nnaino, na gegala gakoposhele baada ya genega. 20Kwamaana iliyojificha kuhusu nyota saba ijionile katika mkono gwangu wa kuume na sheshilam kinara cha dhahabu cha taa saba nyota saba ni malaika ga gegala makanisa saba na kinara cha taa saba ni gegala makanisa saba."
1Kwa malaika gwa kanisa lya Efeso jandika Aga ni malowe ga jwejula anyekamulila yeila nyota saba katika mkono gwake gwa kuume, jwenejo ajendike kati ja vinara vya dhahabu vya taa saba anawaweleketa ineyi, 2"Namanyile ambacho ndendile na bidii jako ja maengo na uvumilivu gwako thabiti na kwamba mkakombola kuhusiana nao wangali waovu. na muwajaribie wowe wajichemile kuwa mtume na kumbe nga na waonile kuwa wanatemba.3Ngunamanya mkwete subira na uvumilivu, na upitile gamagwinji kwasababu la lyina lyangu na nganaweshoka bado. 4Lakini lyeneli ndio nilikwete dhidi jako, mneshile upendo gwako gwa kwanza. 5Kwa ineyo mkumbushe pepala ajangwishe nitubu na kutenda matundo utendile tangu mwanzo. ungatubu. nashile kungwenu na kukishoya kinara shako kopoka mahali pake.6Lakini mmwe upali na lyeneli, ujigale gegela ambayo wanikolai watendile ambayo hata nne ninakuyachukia. 7Kama ukwete sikio mupilikane gegala ambayo roho anayalugulila makanisa. na kwa jwenejo ashindaye shinimpr kibali cha kulya8Kwa malaika wa kanisa lya Smirna ajandishe: 'Aga ni malowe ga jwejula ambaye ni mwanzo na mwisho ambaye ashikuwa na kuwa hai kawili: 9Nagamanyile mateso gako (lakini mmwe ni tajiri), na unami gwa wewala wawashemileni Wayahudi (lakini nga wenewo ni sinagogi lya shetani).10Mnajigope mateso gapigile kumpate mnole Ibilisi anapinga kuwajaa baadhi jenu gerezani ili mpate kujaribiwa na mteseke uwa moga kumi, muwe ni waaminifu hadi kuwa na kuwapea taji la uzima. 11Kama mkwete lisikilo, mpilikane Roho anavyokuyalugulila makanisa. jwejula ashindaye shapate madhara ga umauti wa pili.'12Kwa malaika wa kanisa la Pergamo ajandike: Aga ndivo anenayo jwejula aliye nago gweguno upanga mkali. upali na makali kuwili. 13Namanya mahali unapoishi mahali shipali shitengo cha enzi ja shetani hata ineyo mmwe akamwile sana lina lyangu na kuikana imani jako. ingaliji kungwetu hata moga gegala ja Antipasi shahidi jwangu mwaminifu jwangu. awileje miongoni mwenu hapo ndivo shetani anaishi.14Lakini nikwete mambo machache dhidi yako: mkwete kweneko vandu wakamulao mafundisho ga Baalamu jwejula aliyemfundisho Balaki kuwika vikwazo mbele ga wana wa Israeli ili walye yalya vishoshiwe sadaka kwa miungu na kuzini. 15Katika hali ya nepeyo, hata mmwe upali baadhi jao wakamwile mafundisho ya wanikolai.16Basi tubu na upigie kutenda ineyo naishi upesi na nitendile vita dhidi jao kwa upanga ushokao katika shinywa shangu. 17Kama mkwete lisikilo, mpilikane Roho anachowalugulila makanisa jwejula ashindaye shimpele baadhi ga gegala maana gaiiwilwe pia nakupea liwe jeupe lijandishwe lina lipya kuliganga lyina ambalo jwangalimanya jwakwa akuliamanya jwejula aliposhelele.'18Kwa malaika wa kanisa la Thiatira ajandishe: "Aga ndivyo malowe ga mwana jwa Nnungu, jwejula apali na meyo gake kama mwali jwa moto na nnyayo kama shaba jiunguliwe sana: 19Namanyi ambacho utendile upendo gwake na imani na huduma na uvumilivu gwake thabiti na kwamba sheshila utendile ineyi karibuni ni zaidi ga sheshila utendile mwanzo.20Lakini nikwete lyeneli dhidi jako unamvulia jwandonya yezebeli ashemilwe mmayene nabii mleongwe kwa mafundisho mmayene nabii mkongwe kwa mafundisho gake anakuwapotosha watumishi gwangu kuzini na kulya shalya lishoshiwe sadaka kwa sanamu. 21Nampele muda gwa tubu lakini jwangali tayari kuutubia uovu gwake.22Mnole kujaa pa shinanda sha maradhi na wewala wajendao uasharati naye pa mateso makali inapeyo watubu kwa gatendile. 23Nakuwakomanga wanawe kuwa na makanisa gowe watambwile kwamba nne ndiye nigachunguzae mawazo na tamaa nankupea kila jumo gwenu kadri ga matendo gake.24Lakini kwa baadhi jenu mlepeshe katika Thiatira, kwa wewala wowe mwangakamula mafundisho lyeneli baadhi ushema mafumbo ga shetani na weleketa kungwenu, ngaweka juu jenu mzigo gogowe,' 25Kwa jambo lolowe lazima muwe imara mpaka niishapo.26Yeyowe ashindae na kutenda sheshila shitendile hadi mwisho, kukwake jwejula nampele mamlaka juu ja mataifa. 27Shiwatawale imbo ja shuma, kama makabuli ja udongo shiwatemanje ipande ipande.' 28Kama niposhele kushoka kwa Awawa yangu makupea pia nyota ja lyamba. 29Ivaga upali na lisikilo, mpilikane sheshila ambacho Roho anayaalugulila makanisa.'
1Kwa malaika gwa kanisa la Sardi ajandishe: Malowe ga jwejula jwakamulenje yeila roho saba ja Nnungu na nyota saba. mmanyile ambacho utendile ukwete sifa ja kuwa hai, lakini u-mfu. 2Jimuka mkaimarishe kulepesha, lakini gapali karibu na kuwa. kwasababu nangalola matendo gowe gakamilike meyoni pa Nnungu gwangu.3Kwa ineyo mkumbuke gegala muposhele na kupilikana Yatii na kutubu lakini ukapinga jimuka, sheniishe kama mwivi na mukamanyanga saa jepi napinga isha juu jako. 4Lakini gapali mena machache ga vandu katika Sardi ambao wangabilila nguo jao wali ndele pamoo nami wawete nnguo nyeupe kwasababu wanastahili.5Jwejula ashindeye avikilwa mavazi meupe na kamwe ningaluuta lyina lyake kopoka katika shitabu sha uzima nalichemile lina lyake mmujo mwa malaika. 6Ukwete na lisikilo lipilikanile roho niwalugulilavyo makanisa."7Kwa malaika ga kanisa la Philadefia mjandike, malowe ga abile mtakatifu na kweli akwete funguo ja Daudi niugula na jwakwapi augele niugale na jwakwapi jwangamaye kuugula. 8Mmanyile ambacho utendile mnole nileuwishile mble jako ja mlango guugwile ambao jwakwapi amanyile kuugula, namanya mkwete mashili kashoko lakini umelitii lilowe lyangu na munalikane lyina lyangu.9Mnole mowe wewala wapali sinagogi lya shetani, wewala waweleketao. wenewo ni wayahudi nan kumbe nga badala jake wana kukutemba niwatendile waishe na kusujudu mbele ja magulu jako na mumanyile pakuwa nampendile. 10Pava utuzile amri jangu kwa uvumilivu, na uthabiti ninakumlinda pia katika saa jako ja jaribiwa ambayo inaika katika ulimwengu wowe kuwajaribia wewala wowe wanaoshi katika nchi. 11Naisha upesi mkamule sana sheshila ukwenacho ili jwangalipo mundu gwa kulitwaa taji lyako.12Shinimtendele jweneji ashindaye kuwe nguzo katika hekalu ja Nnungu jwangu (Yerusalemu jayambi, utelemkayo paishoka mbinguni. kwa Nnungu jwangu) la lina lyangu lyayambi. 13Jweneji aliji na Sikilo na apilikene ambacho Roho anaweleketa kwa makaisa.'14Kwa malaika gwa kanisa ja Lodikia jaandika malowe gake apalijin Amina wanategemewa nashahidi mwaminifu, mtawala mnani mwa muumbaji gwa Nnungu. 15Ngunamanya ambacho utendile nakwamba mmwe nga mmbepo wala moto ngunatamani kwamba ungekua na mmbepo au moto. 16Ineyo kwasababu mwee ni vuguvuguga moto wala mmbepo nitakutapika ushoke munking'wa jangu.17Kwa kuwa unaweleketa, Nne ni tajiri, ningaliji na mali jajigwinji na gahitaji shoshowe lakini mkamanya kwamba mmwe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi. 18Mpilikanile ushauri gwangu: mngume kwangune dhahabu jioswele kwa moto uli ukwete kuwa tajiri na nnguo nyeupe ja kumetemeta, ili mujivike mmanyene na ungana boneshe aibu ja uchi gwake na mauta gapaka katika meyo gao mkwete kulola.19Kila nimpendaye, ngunakumwelekeza na kumfundisha namna jipasavyo kuishi kwa ineyo kuwa mkweli na kutubu. 20Mnole najima katika mlango na kubisha. Yejowe apilikanaye lisauti lyangu na ugula mlango. naisha na jinjili kukaya kwake na kulya shalya nawo na jweneji pamoo nami.21Jweneji ashindaye shipele haki tama pai pamoo nami mnani mwa shitengu shangu sha enzi, kama vile nne njindile pai pamoo na Awawa jangu kunani mwa shitengu shake sha enzi. 22Jweneji akwete lisikilo, na apilikane ambacho Roho analugulila makanisa"
1Baada ga mambo aga nilolile, nilola kuwa mlango upaliji uhugwiliwe mbinguni jejila sautin ja kwanza jinazungumzwa nami mbuti tarumbeta, ikiweleketa, "Mjianje penepa, ninakumuonesha gakoposhele baada ga mambo aga. 2Mara jimoo nipaliji katika Roho nawaonile gupaliji na shitengu cha enzi kimewekwa mbinguni na mundu atamile. 3Jumo apaliji atamile ashionekana mbuti liganga la yaspi na akiki. kulikuwa na upinde waula umekizunguka shitengu sha enzi. Upinde gwa ula gushionekana mbuti zumaridi.4Kuunguruka shitengu sha enzi uupaliji shitengu sha enzi shina ishirini na Vinne na watemile kwenye shitengu sha enzi wapaliji wazee ishirini na wancheshe, wamevikwa mavazi meupe na taji ga dhahabu mumtwe mwawo. 5Kukopoka katika shitengu sha enzi kulishoka miale ja radi, muungurumo gwa radi. Taa saba zipaliji zikikolela mmujo mwa shetangu sha enzi taa ambazo ni Roho saba ja Nnungu.6Kavili mmujo mwa shitengu sha enzi kupalijina bahari jingali ja wazi kam a kioo. Wowe wajinguke shitengu sha enzi kuupalijina wenye uhai wanne wagumbele meyo mmujo na nyuma.7Shiumbe sha kwanza wene uhai ashiwa mbuti imba, kiumbe jwa pili mwenye uhai apaliji kama ndama kiumbe jwa tatu, mwenye uhai apaliji na uso kama wa mwanadamu na jwejula mwenyeb uhai wa nne apaliji kama tai apagwile. 8Viumbe wakwete uhai wancheshe kila jumo apaliji na mabawa sita, wagumbele meyo nnani na pai pake. shilo na muhi wakakomanga lugula, "Mtakatifu ni Bwana wa Nnungu, mtawala kunani ya wowe wapaliji na wapali na wakwiya."9Kila wakati viumbe wa uhai puwaonile utukufu, heshima na kushukuru mbele na jwejula apaliji amekiti kwenye sheneshe shitengu sha enzi jweneji aishiye milele na daima. 10Wazee ishirini na ncheshe walisujudu wayene mmujo njake aliekikatia shitengu sha enzi. washijinama pai kukwake aishiye milele na daima na kujaa pai taji jao mmujo mwa shitengu sha enzi niweleketa. 11Wastahili mmwe Bwana jwetu na Nnungu jwetu, kuposhela utkufu wa heshima na mashili gowe kwakua uliviumba vindu vyowe na kwa mapenzi gwako vipaliji na viumbwile,"
1Kisha nimonile katika mkono gwa mnilo wa jwejula apaliji atamile katika shitengu sha enzi, gombo lijandishwe mmujo na nnyuma na apaliji litajirwe mihuri saba. 2Namonile malaika mwenye nguvu alihubiri kwa sauti jijikuringwa, "gani astahiliye kuliugula gambo na kutemenga mihuri jake?3Jwakwapi mundu mbinguni au duniani au pai pa dunia jwangamanyile kulugula gomba au kuyoma. 4Nagutile kwa uchungu pa kwakua jwangapatikana na yeyowe aliestahili kulugula gombo na kuyoma. 5Lakini jumo wa wazee nikwalugulila, "Unagute. Inole imba wa kabila la Yuda, shin a la Daudi ashindile na amanyile kulugula gombo na mihuri gake saba.''6Kati ja shitengu sha enzi na wewala uhai wancheshe na miongoni mwa wazee namonile mwanakondoo ajimile, nioneka kama jwejula awilege, paliji na pembe saba na meyo saba yeneyi ni Roho saba za Nnungu zitumwile duniani kowe. 7Ajendile ajigele gambo kushoka katika mkono gwa kuume wa jwejula apaliji atamile katika shitengu sha enzi.8Pajigele gombo wenye uhai wanne na wazee ishirini na wanne nijinama hadi nchi ja mmujo jwa mwanakondoo. kila jumo apaliji na kinubi na bakuli ja dhahabu ugumbele uvumba ambayo ni maombi gawaamini.9Wajimbilenje wimbo gwa yambi: "unastahili kulitwaa gombo na kuzifungua muhuri gwake. kwa kuwa ulichinjwa, na kwa minyai jako ukamnunulia Nnungu wandu wakila kabila, lugha, jamaa na taifa. 10Ukawatendile ufalme na makuhani kwaajili ja kumtumikia Nnungu jwetu, na wenewo shiwatawale kunani ja nchi."11Kisha nililolile na nikapilikana sauti nja malaika wawagwinji wazunguluke shitengu sha enzi idadi jao jipaliji 200,000,000 na wakwete uhai na wazee. 12Washikuweleketa kwa sauti jikuru, "Astahili mwanakondoo ambaye aingilwe, kuposhela, uwezo utajiri hekima, mashili, heshima, utukufu na sifa."13Nikapilikana sheshila kiumbilwe shipaliji mbinguni na duniani na pai ga nchi na kunani mwa bahari kila shindu mkati mwake uliweleketa, "Kungwake jweneji aketiye kunani mwa shitengu sha enzi na kwa mwanakondoo, kupali na sifa, heshima, utukufu na mashili ja kutawala milele na milele. " 14Wakwete uhai wancheshe wakaweleketa "Amina'' na wazee washijinama pai kuabudu.
1Nikalola wakati wa mwanakondoo paugwile jumo gab gegala muhuli saba nikapilakana jumo wa wewala wenye uhai wanne akiweleketa kwasauti jilandane na radi "Njie" 2Nikalola paliji nafarasi mweupe! apandilwe paliji na bakuli banan apegwile taji ashikoshela kama mshindi ashindaye ili ashindile.3Wakati mwanakondoo pualugulile muhuri gwa pili, napilikene mwenyeb uhai gwa pili na kuweleketa "Mjie" 4Kisha farasi juna ashikoposhela mwekundu kama moto paliji apandile ashipegwa ruhusa ja shoya amani duniani ili uwambie wandu wachinjane. jweneju apandile apegwile upanga gwa mkurungwa.5Wakati mwanakondoo paugule gwegula muhuri gwa tatu, napilikene mwenye uhaiwa tatu na kuweleketa "Mjie" Niweni farasi mweusi na ampandile mizani mikononi mwake. 6Nikapilikana sauti jionilwe kuwa ga jumo wa wewala wenye uhai ukiweleketa, "Shibaba sha ngano kwa dinarijumo na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari jimo lakini usiyadhuru mauta na divai."7Wakati mwanakondoo pualugule muhuri gwa ncheshe, napilikene sauti ga mwenye Uhai wa ncheshe ikuweleketa "Mjie" 8Kisha nilola farasi gwa kijivu jwewjula ampandile alishemwa lina lyake mauti, nakuzimu apaliji akimkagula apangilwe mamlaka juu ga robo gab nchi. kuulaga jwa upanga, kwa shiwanga, na kwa ugonjwa na kwa wanyama wa muitu katikia nchi.9Wakati mwanakondoo puugule muhiri gwa nng'ano, naloliole pai ga madhabahu Roho za wewala wapaliji wawaulaje kwasababu ja lilowe lya Nnungu na kuposhela na ushuhuda waukamule kwa uthabiti. 10Ni guta kwa sauiti jikuru, "Mpaka lyuwa gani, Mtawala gwa wowe, Mtakatifu gwa kweli, shiahukumu watamao panani pa nchi, na kulipiza kisasi minyai jetu? 11Kisha kila jumo apigwe kanzu nyeupe kulugulilwa kuwa wanapaswa kusubiri kashoko hata jitakapotimila hesabu jao kamilija watumishi wenzao na ndugu zao wandonya na walume patimilile ambao waulaganga kama wewala ambavyo wenewo waliulaga.12Wakati mwanakondoo paugulu muhuri gwa sita, nilolile na paliji na teteneko kuu. lyua likanawe jeusi kama gunia la singa na mwei mzima gupaliji kama minyai. 13Nyota ya kumbingu zikaanguka katika nchi, kama mkongo upukutishayo matunda gake ga wakati wa mmbepo shiutikiswe na kimbunga. 14Anga jashoshile kama gombo lilivyoviringishwa. kila mlima na kisiwanilikuhamishwea mahala pake.15Kisha wafalme wa nchi na wabndu maarufu na majemedari, matajiri, wakweteb mashili na kila jumo alijimtumwa nna huru, nikwiya katika mapango na katika miamba ja milima. 16Nikuilugulila milima na miamba, "Tuianje dhidi ja uso gwake akwete kwenye shitengu cha enzi na kopoka hasira ja mwanakondoo. 17Pakuwa lyua jikuru ja gadhabu jao jiwadie ni gani amanyile kujiima?"
1Baada ya genega niwonile malaika mancheshe wajimile kwenye kona ncheshe za dunia, wamezuia pepo nne za nchi kwa mashili ili kwamba kunawe na mmbepo jivuma katik nchi, kunani kwa bahari au dhidi ya mkongo gogowe. 2Nikamonile malaika jwingi aishile kpoka mashariki apaliji na muhuri wa Nnungu aliji hai. nihuta kwa sauti jikuru kwa malaika wancheshe ambao wapegwile ruhusa ja kudhuru nchi na bahari. 3Msidhuru nchi bahari au mikongo mpaka tunapinga pakuwa tumalie kuwaweka muhuri katika paji la mtwe lya watumishi wa Nnungu jwetu."4Napilikene idadi ja wewala watajirwe muhuri: 14,000, ambao watajirwe muhuri kopoka kila kabila ja vandu wa israeli. 512,000 kopoka katika kabila la Yuda watajirwe muhuri, 12,000kopoka kwa kabila ja Rubeni, 12,000 kopoka katika kabila ja Gadi. 612, 000 kopoka katika kabila ja Asheri 12,000 kopoka katioka kabila ja Naftali, 12,000 kopoka katika kabila ja Manase712,000 kopoka katika kabila ja Simoni, 12,000 kopoka kabila ja Lawi 12,000 kopoka kabila ja Isakari, 812,000 kopoka kabila ja Zebuloni, 12,000 kopoka kabila ja Yusufu, na 12,000 kopoka kabila ja Benyamini watajirwe mihuri.9Baada ga mambo aga nilolilena wapaliji na umati gwa mkuriungwa ambao jwakwapi mudu awezile kuhesabau - koposhela kila taifa, kabila, jamaa, na lugha - washijimanga mbele ja shitengu sha enzi na mmujo mwa wanakondoo. washiwalanga kanzu nyeupe na washikola matawi na mitende mijononi mwao, 10na wapaliji wakichema kwa sauti ja kunani: "Wokovu ni kwa Nnungu ambaye aketile katika shitengu sha enzi na mwanakondoo!"11Malaika wowe wapaliji washijimanga kujunguluka shitengu sha enzi na kuwazungulu wewala wazee pamoo na nwenye uhai na wancheshe wakajinama pai ardhini na kuiweka nyuso zao kunani ja ardhi mmujo mwa shitengu sha enzi na kumwabudu Nnungu. 12Wakiweleketa, " Amina sifa, utukufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Nnungu jwetu milele na milele Amina!"13Kisha jumo ja wewala wazee nimuya, "wenewa ashiganin wawetenje kanzu nyeupe na wakoposhele kwei? 14Nikawarugulila, "Bwana jwamkurungwa unamanyi mmwe" na ashikunilugulila, Wenewa ni wewala washokile kwenye dhili jajikuru wauleje kanzu jao na kuzitenda nyeupe kwa damu ja mwanakondoo.15Kwasababu jeneji wako mmujo mwa shitengu sha enzi sha Nnungu na wanamwabudu njwene shilo na mui katika hekalun lyake nnyene apali aketile kunani pa shitengu sha enzi nisambaze hema jake mnani jao. 16Wangalola shiwanga kawili wala shiu kawili lyua likachomoka, wala lyota la kuunguza. 17Pava mwanakondoo apali katikati mwa shitengu sha enzi apalijin mchungaji wawo. na shiwalongoza katika chemichemi ga mashi ga uzima, na Nnungu atauta shila chozi katika meyo gao.
1Wakati mwanakondoo paugule muhuri gwa saba kuupaliji na ukimya mbinguni takribani nusu saa. 2kisha niwalole malaika saba wajimanga na mmujo mwa Nnungu na nipegwa tarumbeta saba.3Malaika jun an aishile ashikamula bakuli ja dhahabu genye uvumba, ajimile madhabahuni, anapengwa uvumba gwamgwinji ili kwamba autole pamoo na maombi ga waamini wowe katika dhahabu mmujon mwa shitengu sha enzi. 4Lyoyi lya uvumba, pamoo na maombi ga waamini akapandile kunani mwa Nnungu kopoka mumkono mwa malaika. 5Malaikan nijigala bakula lya uvumba na kugumbala moto kopoka kwenye madhabahu nankisha nikulijaa paa na panani na nchi na kushikoposhela sauti ja radi, miale ja radi na tetemo la nchi.6wewala malaika saba ambao wapaliji na tarumbeta saba waliji tayari kuzipiga. 7Malaika kwanzanikoma tarumbeta jake na kukoposhela ula ja maganga na moto uanganyike na minyai ni jawa pai katika nchi ili kwamba theluji jake jitinike theluji ja mkongo ni tinika na manyai gowe za kijani nitika.8Malaika jwa pili nikoma tarumbeta jake na shindun kama mlima gwa mkurungwa wapaliji unatinika kwa moto nijawa baharini. 9Theluthi ja viumbe hai katika bahari niwa na theluthi ja meli niaribiwa.10Malaika jwa tatu nikoma tarumbeta jake na nyota jajikurungwa nigwakopoka mbinguni nimulika kama kurunzi kunani mwa theluthi ja mito ja chemichemi ja mashi. 11Nilya nyota nipakanga, theluthi ga mashi jipali pakangab na vandu wagwinji niuwa kopokela na mashi gapaliji machungu.12Malaika jwa ncheshe akomile tarumbeta jake theluthi ja lyua mnikomwa pamoo na theluji ja mwei na theluthi ja nyota kwa ineyo theluthi ja yowe nigeushila kuwa kiiza theluthi ja mui na theluthi ga shilo vikapaliji na mwanga.13Nalolile na kupilikana tai apali kuwa ananguruka katikati ja anga kwa sauti jikurungwa, "Ole, ole, ole, kwa wewala watamao katika nchi kwasababu ga mripuko gwa tarumbeta jirepeshe ambayo jikaribia kukomwa na malaika watatu."
1Kisha malaika jwa tano ashikoma tarumbeta jake. naonile nyota kopoka mbingunijipali jijagwishe kwenye Dunia. Nyota jipeilwe funguo gwa shimo linaloelekea kwenye shimo lyangali mwisho. 2Augwile liimo lingali na likomo na lyoi mipanda mnani kwa safu kopoka nkati ja liimo kama lyohi kopoka katika tanuri lyalikurungwa lyua lya anga vilibadilika vipalin kiiza kwasababu ja lyoi ukoposhele liimo.3Nkati mwa liimo nzige wakoposhele kwiya mnani mwa dunia, nao wapegwele mashili kama jejila ja nge kunani mwa dunia. 4Washukilugulilwa kuto kuyadhuru maamba katika nchi au mmea gogowe wakijani au mkongo japokuanpe vandu ambao vapaliji na muhuri gwa Nnungu katika paji lya nyuso gao.5Wangapewanga ruhusa ja bulaga wenewo vandu bali kuwatesanga pe kwa mei mitano. uchungu gwao upaliji kama gwegula gwa kuumwa na nge walumapo mundu. 6Katika moga genego wandu wataloleya kiwo, lakii nwangalipata, wapinga kutamani kuwa, kiwo kinawutuka.7Nzige washilandana na farasi wajandaliwe kwa viita, pamtwe gwawo kupaliji na shindun kama tajilya dhahabu na nyuso jao zipaliji kama za binadamu. 8Wapaliji na umbo kama lya wakongwe na meno gao gapaliji kama ga imba. 9Wapaliji na viua kama viua vya yuma ya sauti ja mabawa gao jipaliji kama sauti jamutuka gamagwinji gaiita na farasi wautukao kujenda kuiita.10Wapaliji na nchila inayoluma kama nge, katika michili njao wapaliji na mashili ja kudhuru vandu kwa miyei mitano. 11Wapaliji naye kama kunani mwao malaika muliimo lingali na mwiyo lina lyake katika Kiebrania ni Abadoni na katika kiyunani wangali na lina Apolioni. 12Ole jwa kwanza apitile inolanje baada ja lyeneli yangali maafa mawili ganakwiya.13Malaika jwa sita akomile tarumbeta jake na nikapilikkana sauti jishoshile katika pembe ja madhabahu ambayo ipali mmujo ja Nnungu. 14Sauti ilimrugulila malaika jwa sita apaliji na tarumbeta, " waweleshe malaika wancheshe ambao watawilwe katika mto wamkulungwa Efrata" 15Malaika wewala wancheshe wapaliji waandaliwe kwasaa jenejo maalumu moga ago, meyi igo, na mwaka ago, walepeshwe wawaulaje theluthi ya wanadamu.16Idadi ja maaskari wapaliji kunani mwa farasi wapaliji 200,000,000. Napilikane idadi jao. 17Aga ndivo nigaonile farasi katika maono gangu ga wewala wapandile kunani mwao viua vyao vipaliji vyaanache kama moto, bluu jiivile na njano jangali iva. mitwe ja farasi vilendene na mitwe jaimba na midomoni mwao ushoshile moto, lyoyi na salfa.18Thgeluthi ja wanadamu waulegwe na aga mapigo matatu moto, lyoyi na salfa jishoshile katika midomo jao. 19Pava mashili ga farasi jipaliji katikan midomo jao na katika mikia jao--pava michila jao kama lyoka na wapaliji na mitwe ambayo watumile kupengwa majeraha wanadamu.20Vandu vapeleshe wewala ambao wapaliji wangabulagwa na mapigo aga wangakutubia matendo gao wapaliji watendile, wewala wangaleka kuabudu mapepo na Nnungu ja dhahabu, fedha, shaba, maganga, na mikongo--indu ambayo vingamanya kulola, kupilikana kujenda. 21Wewala wangakutubia kuulaga kwao, uwawi gwao, uasherati gwao, na mipanda jao ja wii.
1Kisha nilolile malaika jua akitelemshwa pai kushoka kumbungu. apali atawile katika liwingu, na upaliji upinde gwa ula kunani mwa mtwe gwake. Uso gwake upaliji kama lyua na migulu jake jipaliji malinga nguzoja moto. 2Akamwile gambo jashishoka katika mkono gwake lipaliji liunilwe, naye awikile mgulu gwake gwa mnilo kunani mwa bahari ja mgulu gwake kushoto kunani mwa nchi kavu.3Kisha alipaza sauti kunani kama imba aungurumapo na wakati alipopaza sauti saba ziliunguruma. 4Wakati raba saba zilipounguruma, paliji nakaribia kujandika, lakini napilikene sautin kopoka mbinguni jinaweleketa, "Tunza ive siri sheshila ambacho radi saba jiwelekete. Unajandike."5Kisha malaika nimonile ajimile kunani mwa bahari ja nchi kavu, ajinule mkono gwake kunanin mbinguni 6na vyowe vikapaliji. dunia vyowe vipaliji na bahari na vyowe vikapaliji.''panga palikuchelewakawili. 7lakini katika moga gale wakati malaika wa saba atakapoukaribia kukoma tarumbeta jake ndivo siri ja mnungu jipali jitimizwe kama watangazile kwa watumishi gwake kwa manabii.''8Sauti nipilikene kopoka mbinguni jinilugulile kawili: "Ijende, mjigare gombo ja jishoko lililofunuliwa ambalo liwile katika mkono gwa malaika ajimile kunani ja bahari kunani ja nchin kavu." 9Kisha najendile kwa maliaka na kunugulila anipe gombo jajishoko. Anugulile, "Mjigale gombo na mlyanganje linatendile litumbo lyako libile na uchungu, lakini katika mdomo gwako lipaliji litamu malinga asali."10Najigere gombo jajishoko kopoka mmakono mwa malaika na kulila. lipaliji litamu malinga asali katika mdomo gwangu, alakini baada ja kulya lipitiu lyangu lipaliji na uchungu. 11Kisha baadhi ja sauti zilinugulila, " Unapaswa kutabili kawili kuhusu wandu wawagwinji wa amataifa, lugha na wafalme.'
1Nipegwile mnayio gwa tumila kama imbo japimila. Nalugililwe, Mjaule na mkapime hekalu ja Nnungu na madhabahu na wewala wanaoabudu nkati mwake. 2Lakini manpime eneo lya ua wa palanga ga hekalu pakuwa wapegwile vandu va mataifa waliwete mji mtakatifu kwa muda wa miye arobaini na miwili.3Nawapeile mashahidi gwangu wawili mamlaka ga kutabiri kwa muda wa moga 1,260 wapaliji wawete magunia. 4Wenewa mashahidi ni mikongo miwili ga mizeituni na vinara viwili ambavyo vijimile mmujo gwa Bwana wa dunia. 5Kama mundu yeyowe amwile kuwadhuru moto kushoka minywa mwao na kuwadharau adui jao. yeyowe apingile kuwadharu lazima abulage kwa mpanda gwenegu.6Wewala mashahidi wangali na uwezo gwa ugalanga ili kwamba ula jinye wakati wanatabiri wengali na mashili ja badili mashi kuwa minyai na kuikoma nchi kwa kita aina ja kumwa wakati wowowe upingile. 7Wakati wapaliji kumalia ushuhuda gwao jwejula mnyama akoposhaye kwenye liimo lingali la mwiyo atendile vita dhidi jao wapinga kuwashida na kuwaulaga.8Miili jao jigonile katika mtaa wa mji mkuru (ambao kimfano unachemwa sodoma na Misri ) ambapo Bwana gwao alisubiwa. 9Kwa lyua lya tatu na nusu baadhi kushoka katika jamaa za vandu, kabila lugha na kila taifa wanalolana miili jao na wangashoya kibali kuwika katika kaburi.10Wewala wanaoishi katika nchi shiwafurahi kwaajili jao na kushangilia hata kutumiana zawadi kwasababu jao manabii wawili watasilwe wewala waishie katika nchi. 11Lakini baada ga moga gatatu na nusu pumzi ja uhai kopoka kwa Nnungu jiwajinjile nao watajima kwa magulu gao. Hofu jajikuru nikuwaangushikla wewala wa kulolana. 12Kisha shiwapilikane sauti jikuru kopoka mbinguni ikiwalugulila, "Njianje hakuno!" na wenewo nijendanga kunani mbinguni katika liwingu, wakati adui jao wakilolana.13Katika saa jenejo kupaliji na tetemeko na wewala wapeleshe hai shiwaogopeshwe na kupea utukufu Nnungu wa mbinguni. 14Ole ja pili jipitile. mnolanje! Ole ja tatu jinakwiya upesi.15Kisha malaika wa saba ashikukoma tarumbeta jake na sauti jikurungwa zijenele mbinguni na kuweleketa, "Ufalme wa dunia upaliji ufalme wa Bwana jwetu na wa Kristo jwake. shiatawale milele na milele."16Kisha wazee ishirini nancheshe wapaliji waketile kwenye vitengu vya enzi mbele ja Nnungu washigwa wayene pai pa ardhi, Nyuso jao zijiname pai na wayene walikumwabudu Nnungu. 17Wawelekete, "tunashoya shukrani jetu kungwako, Bwana Nnungu mtawala kunani ja yowe, ambaye apali na ambaye akapaliji, kwasababu utwaaile mashili gako jikuru na kuamnza kutawala.18Mataifa washikukasirika lakini ghadhbau jako jiishile. wakati unaika kwa wafu kuhukumiwa na mmwee nna kuwazawadia zawadi watumishi gwako manabii, waamini na wewala wapali na hofu ja lyina lyako, wowe wawili wakafaa shindu na wakwete mashili. na wakati gwako guishile wa kuwaharibia wewala mbao wapaliji wakiharibia dunia."19Kisha hekalu lya Nnungu mbinguni liliunukulwa na sanduku lya agano lililoonekan nkati mwa hekalu lyake. kupaliji na milae ja mwanga, nyenye, ngurumo ja radi, tetemeko la ardhi na maganga ga ula.
1Ishara jikuru jioneke mbingunimkongwe aunikwe na lyua na apali na juna pain ja migulu jake na ntajin jan nyota kumi na iwili apaliji kunani mwa mtwew gwake. 2Aaplaiji na shitumbo na apaliji anaguta kwa maumivu ga weleka-- katika uchungu wa weleka.3Na ishara jina jionekane mbinguni: Mnole! kuupaliji na lyoka jwa nashe mkurungwa ambaye apaliji nan mitwe saba na pembe kumi na kupaliji na taji saba kwenye mitwe gake. 4Mchila gwake ukokwete theluthi jimo ja nyota mbinguni na kujaa pai pa dunia. lyoka lijimile mmujon mwa wandonya apaliji anakaribia kuweleka, ili kwamba wakati anaweleka, apate kumeya mwana jwake.5Amelekwe mwana, mwana jwa Nnume ambaye shiatawale mataifa gowe kwa imbo ja yuma. mtoto jwake anyakwile kunaninkwa Nnungu na kwenye shitengu shake sha enzi, 6Na jwandonya awutwishe nyikani mahali ambako Nnungu apaliji liandaliwe eneo kwaajili jake ili amanye kuhudumiwa kwa moga 1,260.7Ineyo kupaliji na vita mbinguni. mikaeli na malaika jwakewashikomananga na jwejula lyooka; jwamkurungwa na malaika njwake ni komananga. 8Lakini lyiyoka jwangali na mashili ngaatosha kushinda. kwaiyo jangapagwa kawili nafasi mbinguni kwaajili jake na malaika jake. 9Lyoyoka likurungwa-- jwejula lyioka lya ukala achemilwe ibilisi au shetani ambayo kutembanga-- dunia nzima jijawa pai katika dunia na malaika gwake wajailwe pai pamon naye.10Kisha napilikene sauti jikurungwa kopoka mbinguni: "Nnaino wokovu uishile, mashili--nanufalme wa Nnungu jwetu, na mamlaka ga Kristo jwake. pava mshtaki wa ashapwanga jetu ajawe pai--ambaye ashikujwashtaki mmujo mwa Nnungu jwetu muhi na shilo.11Wahikumshinda kwa miyai ja mwanakondoo na kwalilowe kya ushuhuda gwao, kwa maana hawakupenda sana kwa maisha gao hata kuwa. 12Kwaiyo, mshangilie, mmnanganyanji kumbingu na wowe watemile nkati jake. lakini Ole wa nchi na bahari kwasababu muovu atelemishwe kungwenu aliji nan hasira hali kwasababu anamanya kwamba akwete muda mchache pe.13Wakati lyoyoka alipoanza ajiwe pai pa nchi, ashikumkagula jwandonya ambaye apaliji ashiwelekwa mwana mnalume. 14Lakini jwandonya apegwile mabawa mawili ga tai makulungwa. ili kwamba apinjile kuguruka hadi kwenye eneo lililoandaliwa kwaajili jake kwekula kujangwa, eneo ambalo jwawenzile kutunzwa kwa wakati nyakati ja nusu wakati--mahala awezile kuoafikia jwenejo lyoyoka.15Lyoka amwagile mashi kopoka muinywa mwake malinga mto ili atende gharika ja kumgharikisha. 16Lakini ardhi jigombweshe jwandonya ilikuinula shinywa shake na kumeya mto autumile lyiyoka kopoka nkushinywa shake. 17kisha lyiyoka ashikukasiria jwandonya nae ajawilwe na kutendwa vita na uwelekaji gwake wowe wewala watii amri ja Nnungu na kukamulila ushuhuda kuhusu Yesu. 18Kisha lyiyoka nijima kunani ga mchanga ufukwe gwa bahari.
1Kisha namonile mnyama alikopoka kwenye bahari. apaliji na pembe na mitwe saba katika pembe jake wapaliji na taji kumi na katika mtwe gwake kupaliji na malowe ga kufuru kwa Nnungu. 2Jweneju mnyama nimonile ni kama chui. magulu gake gapalijin kama dubu na mdomo ngwake upalijin kama gwa imba jwejula lyiyoka ampegwile mashili na katika shitengu sjhake sha enzi na mamlaka gene mashili sana ga kutawala.3Mtwe jwa mnyama jumo jwao kilolile kuwa na jeraha jajikulungwa ambao lingesababisha mauti gake Lakini jeraha lyake liponilwe na dunia jowe ikishangazwa na kumkagula mnyama. 4Pia wakamwabudu lyiyoka maana wampelekemamlaka jwejula mnyama, wakamwamubudu mnyama pia na nijendelea kuweleketa, "Gani kama mnyama? na yani shakomane nagwe?''5Mnyama apegirwe mdomo ili alongele malowe ga kujisifu na matusi. Aluhusiwe kuwa na mamlaka kwa meyi arobaini na iwili. 6Ineyo mnayama agula mdomo gwake nilongela matusi dhidi ja Nnungu, nitukana lina pekee eneo apaliji akiishi na wewala wanaoshi mbinguni.7Mnyama aruhusiwe kutenda vita na waamini na kugashinda. Pia, apegwile mammalaka juu ja kila kabila, vandu, lugha na taifa. 8Wowe waishio duniani watamwabudu Nnungu jwejula kila jumo ambaye lyina lyake likanawe jandikwa shoka uumbaji mwa dunia katika shitabu sha uzima ambacho ni sha mwanakondoo ambaye alichinjwa.9Apali yeyowe akwete lisikilo, na apilkane. 10Ivaga jumo jwao ajamwile mateka na kwenye mateka shajende apali jumo jwao shaulage kwa upanga, wa upanga shiauwawe, gweguno mwito gwa utulivu na uvumilivu na imanin kwa wenewo wapali watakatifu.11Kawili nalolile mnyama juna anaika kopoka katika nchi. apaliji na pembe mbili malinga kondoo na aweleketa malinga lyoyoka. 12Aboneshwe mamlaka jowe katika mnyama, kama jwejula wakwanza katika kupali kwake na kutenda katika duniab na wewala walioishi wakimwabudu jwejula ambaye jereha lyake liponile.13Atendile miujiza ja mashili, hata atenda moto ushuke katika dunia kopoka mbinguni mmujo ja vandu, 14na kwa ishara washiruhusiwa kuwatemba wenewo watamile katika dunia nikuwalugulila kuwalaya sanamu kwa heshima ja mnyama ambaye apaliji ajeruhiwe kwa upanga lakinin bado aliishi.15Aruhusiwe kushoya pumzi katika jejila sanamu ja mnyama ili sanamu jimanyile weleketa na kusababisha wewala wowe wakanile kumwabudu mnyama wabulagwe. 16Pia nilazimisha kila jumo apali na thamani na mwenye mashili, tajiri na maskini, huru na mtumwa, aposhele alama katika mkono gwa kuume katika pajin la uso. 17Apaliji jwangawezekana kwa kila shindu kuwuya na kuuma japo apaliji akwete alama ja mnyama, na jejino ni namba ja wakilisha lina lyake.18Jeneji jinahitaji busara apaliji yeyowe ana atambwile, mneche amanye kutenda hesabu ja namba na mnyama maana ni namba ja kibinadamu. Namba jake ni 666.
1Nikalolile na kulola mwanakondoo ashijima mmujo jangu kunani mwa mlima Sayuni. Pamoja na jwejula wapaliji 144,000 kwenye lyina lyake na awawa jake lijandishwe katika vipaji vya nyuso jao. 2Napilikene sauti kopoka mbinguni ipilikana mbuti mashi ga magwinji na sauti jajikurungwa ja radi. sauti nipilikene nikama wakoma vinubi vyao.3Wakijimba gwimbo gwa yambi mmujo mwa shitengu sha enzi na mmujo gwa uhai gwa wanne na wazee jwakwapi hata mwenye uwezo wa kujifunza gwenego wimbo japo wapaliji kwa 144,000 ambao wakombole kopoka duniani. 4Wenewa ni wewala ambao wanganyata wayene kwa wandonya maana wajitulize wayene dhidi ja matendo ga zinaa ni wewala ambao walimnkagula mwanakondoo kokowe ajendile. wenewo wakombwele kopoka kwa wanadamu wapali na matunda ga kwanza kwa Nnungu na kwa mwanakondoo. 5Gwakwapi unami upegwile katika inywa jao ngalaumiwa.6Nalolile malaika juna akunguruka katikati ja mbingu, ambaye mwene ujumbe wa mbinguni na habari njema kwa kuwatangazia wenye kuiishi pa duniani kwa kila taifa, kabila, lugha na vandu. 7Nikwashema kwa sauti jajikuru. "mjogopanje Nnungu na mumpaye utukufu. kwa maana muda ja hukumu ukaribie mumwabudu jweneji, Jwenejo aumbile mbingu na dunia ma habari na chemichemi ja mashi."8Malaika juna - malaika jwapili nikukagula niweleketa, "Ujagwishe, ujagwishe Babeli jwamkuru, ambaye uwanywile mataifa divai ja ukahaba, divai ambayo jiletile ghadhabu kunani jake."9Malaika juna - malaika jwa tatu akagwile niweleketa kwa sauti jikuru, "yeyowe apingaye kumwabudu jweneju mnyama na sanamu jakee na kuposhela alama katika paji lyake lya uso au mmakono. 10Jweneju pia anywele divai ja ghadhabu ja Nnungu, divai ambayo jiandaliwe na kumwaga bila anganywa katika shikombe sha hasira jake mundu angwele shateswe kwa moto na moto gwa kiberiti mmujo mwa malaika jake watakatifu na mmujo ja mwanakondoo.11Na lyoyi jwa maumivu jao ujendile milele na milele na jwangapali na mapumziko muhi na shilo - wenewo waabuduyo mnyama na sanamu jake na kila mundu aposhele alama ja lina lyake. 12Gwenegu ni wito wa subira na uvumilivu kwa waamini, wewala ambao hutii amri ja Nnungu na imani katika Yesu."13Napilikene sauti kopoka mbinguni ikiweleketa, "mjandishe aga. Heri ja wafu wafao katika Bwana. "Ndivo jiwelekete Roho, "ili wamanyi kupumulila kopoka kwenye maengo gao, Maana matendo gao ganakumkagula."14Nalolile na kukola kuupaliji na liwingu jeupe na aketile kwenye liwingu na jumo apaliji wa mfano wa mwana wa mundu. Apaliji nan taji ja dhahabu katika mtwe gwake na mundu mkali katika mkono gwake. 15Malaika juna kawili aishile kopoka kwenye hakulu na shemile kwa sauti jikuru kujenda kwa jwejula atamile katika liwingu. mtole mundu gwenu na mtanduwe kuuna pakuwa muda gwa mavuno uwadie. maana mavuno katika dunia gaivile." 16Kawili jwejula apali katika wingu aliupitisha gwake kunani mwa dunia, na dunia ikavuma.17Na malaika juna aishile kopoka kwenye hekalu la mbinguni; naye apali na mundu mkali. 18Na bado malaika juna aishile kopoka kwenye madhabahu, na malaika apaliji kwa sauti la likuru malaika ambaye apaliji na mundu mkali "mjigare mundu mkali na lyakusanye matawi, ga mzabibu kopoka kwenye mzabibu gwa nchi. pa kuwa zabibu nnaino ziivile"19Malaika apeleshe mundu gwake katika dunia na alikusanya mavuno ga zabibu na dunia na ashigurusha katika pipa likuru la divai ja ghadhabu ja Nnungu. 20Liungulo la divai lishipondwapondwa palanga mwa mji na minyai jimwagishe kopoka katika lyenelo shimo sha hatanu ja farasi kwa stadia 1,600.
1Kawili nilolile ishara jina ja mbinguni, jikurungwa na genye kushangaza; apaliji na malaika saba wenye mapigo saba, ambayo yapaliji mapigo ga mwisho (katika genego hasira ga Nnungu aliji jitimile).2Nilolile sheshila kikoposhelem kwa bahari ja bilauri iliochanganywa na moto na mjimanga pembeni mwa bahari ambapo wewala wapaliji washindile dhidi ja mnyama na sanamu jake, na kunani mwa namba jinajowakilisha lina lyake. walikua wakamule vinubiwapegwile na Nnungu.3Wapaliji walijimba wimbo gwa musa mtumishi jwa Nnungu na gwimbo gwa mwanakondoo: "Maengo gako ni makurungwa na genye kushangaza, Bwana Nnungu, utawale vyoye. mwaminifu na mpanda gwako ni gwa ukweli, mfalme wa mataifa. 4Ni gani ashindilwe kukuhofu mmwe Bwana na kulitukuza lina lyako? na kuwa mmwe jika npe ni mtakatifu. mataifa gowe gaishile na kukuabudu mmujo jako kwasababu umwema na matendo gako gamanyile"5Baada ya mambo aga nilolile, na sehemu takatifu sana ambapo paliji na hema ja ushuhuda. iliofungukia mbinguni. 6kopoka mahali patakatifu sana waishile malaika saba wenye mapigo saba wawete mavazi safi, kitani genyen kung'aa na mshipi gwa dhahabu kuungukula vifuan jao.7Jumo wa wewala wapali na uhai wanne nishoya kwa malaika saba, mabakuli saba ga dhahabu gagumbele ghadhabu ja Nnungu mwenye kuishi milele na milele. 8Mahali patakatifu sana kugombele lyoyi kopoka kwenye utukufu gwa Nnungu na nkopoka kwenye uwezo gwake. jwakwapi hata jumo amanyile kujinjila mpaka mapigo saba ga malaika saba galiji gakamilike.
1Napilikene sauti jajikulungwa jikishema kopoka sehemu jitakatifu na kulugula nkwa wewala malaika saba, "Mjende mkajite kunani ja dunia mabakuri saba ga dhahabu ja Nnungu."2Malaika gwa kwanza ajendile nan kujita bakuli jake katika dunia; majeraha mabaya na genye maumivu makali gaishe kwa wandu wakwete alama ja mnyama, kwa wewala ambao waabudie sanamu jake.3Malaika jwa pili ajitile sanamu jake katika bahari jipali kama minyain ja mundu awile, na kila kiumbe hai katika bahari shiwile.4Malika jwa tatu ajitile bakuli jake katika miiton na katika chemichemi ga mashi; iwaga minyai. 5Napilikene malaika jwa mashi ashikuweleketa, "mmwe ni mwaminifu - jumo apali na uliyekuweko, Mtakatifu - 6kwasababu nneletile hukumu yeneyi. Kwasababu wajitile minyai ya waamini na manabii uwapatile wenewo kung'wa minyai; ndicho wanachostahili," 7Napilikene madhabahu ikijibu, "Ndiyo! Bwana Nnungu mwenye kutawala kunani na nyowe, hukumu jako ni kweli na ja haki,"8Malaika jwa ncheshe nijita kopoka kwenye bakuli lyake mnani mwa lyua, na lipengwile ruhusu kuugula vandu kwa moto. 9Waugwile kwa lyoto lya tisha na wakarikufuru lilowe lya Nnungu, mwenye mashili kunani mwa mapigo gowe. wangatubu wala kumpa nnyene utukufu.10Malaika jwa tano ajitile kopoka kwenye bakuli jake katika shitengu sha enzi sha mnyama, na luvindu kufunika ufalme gwake. washiyaga meno katika maumivu makali. 11Wakamtukana Nnungu jwa mbinguni kwasababu ga maumivu gao na majeraha gao, na bado waeendeleenje kutotubu kwa sheshila watendasho.12Malaika jwa sita ajitile bakuli jake kopoka katika mto mkurungwa, Frati, na mashi gake gajumwile ili kumanya kuandaa mpanda gwa wafalme shiwaishe kopoka mashariki. 13Nikalolile mitima mitatub jajibii zilolile kama chura wakoposhele palanga palikang'wa mwa lyoka, jwejula mnyama, na jwejula nabii jwa unami. 14Ni mitima jwa pepo zitendazo ishara ja miujiza wapaliji wakijenda kwa wafalme wa dunia yowe ili kumanya kuwakusanya pamoo kwa vita katika moga jikuru ja Nnungu, mwenye kutawala kunani ja yowe.15("Inole nakwiya kama mwii! Heri jwejula adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi gake ili jwangamanya kujenda palanga uchi na kujilola aibu jake.") 16Wawapeleshe pamoo katika sehemu jichemilwe katika Kiebrania Amagedoni.17Malaika jwa saba ajitile kopoka kwenya bakuli jake katika anga. kisha sauti jikuru jipilikenike kopoka Ptakatifu na kopoka kwenye shitengu sha enzi, ikiweleketa, "Imalile!" 18Kupaliji nan miale ja mwanga wa radi, ngurumo, vishindo vya radi, na tetemeko lya tisha - tetemeko lyalikuru lya ardhi ambalo likanawe koposhela pa duniani tangu mwanadamu jwapali duniani lyenelyo ni tetemeko rikurungwa zaidi. 19Mji mkuru gwagawanyika katika sehemu tatu, na miji ga mataifa jijangwishe, kisha Nnungu akamkumbusha Babeli mkulu, na akaupa mji huo shikombe shigumbele divai kopoka kwenye ghadhabu jake jaliji kali.20Kila kisiwa shiwowile na milima jangaonekana kawili. 21Ula jikurungwa ja maganga ipaliji na uzito gwa talanta, jitelemishwe kopoka mbinguni kunani mwa vandu, na wakamlaani Nnungu kwa mapigo ga ula ga maganga kwasababu lyelila pigo lipali baya sana.
1Jumo jwa malaika saba apaliji nan vitasa saba aishile na kuninugulila, "Njie" nimuoneshe hukumu ja kahaba mkuru atimile kunani mwa mashi gamagwinji, 2ambaye wafalme gwa nchi watendile mambo ga uzinzi gwake watamao kudunia wameleweshwa."3Malaika panijigelen katika mtima mpaka nyikani na nimwonile mkongwe atamile kunani mwa mnyama jwanache meya ga matukano. mnyama apaliji na mitwe saba na pembe kumi. 4Jwandonya awete nguo ja dhambarau na janache na apambwile kwa dhahabu maganga ga thamani, na lulu. apaliji akamwile mmakono mwake shikombe sha dhahabu kigumbele indu ya machukizo ga uchafu gwa uasharati gwake. 5Kunani mwa paji la uso gwake lijandishwe lyina lya kisiri."BABELI MKURU, MAMA JWA MAKAHABA NA GA INDU VYA MACHUKIZO GA NCHI."6Nikalolile ja kuwa jwandonya jwejuno apaliji akolelwe kwa minyai ga waumini na minyai ja wawile kwaajili ja Yesu. wakati nammonile naliji na mshangao mkuru. 7Lakini malaika panilugulile, "Kwa di unashangaa? shinimmalanjile maana ja jwandonya na mnyama amjigele (mnyama jwenejo mwenye mitwe saba na yeila pembe kumi).8Mnyama mummonile apali, jwakwapi kawili nnaino, lakini apali tayari kuwela kopoka katika liimo lingali na mwisho. kisha shaendelee na uharibifu. wewala watamao kunani mwa nchi, wewala ambao mena gao gangajandikwa kwenye shitabu sha uzima tangu kubikwa misingi ja ulimwengu - watashangaa wamlolapo mnyama apaliji kwamba jwakwapi nnaino lakini apali karibu kuika.9Wito gweguno ni kwaajili ja akili jikwete na hekima. mitwe saba ni milima saba ambapo jwandonya atamile kunani kwake. 10Nayo pia ni wafalme saba, wafalme watano wajagwishe, jumo apali, na juna jwangali bado, wakati aishile shatame kwa muda muupi pe.11Mnyama jwapaliji lakini nnaino jwakwapi jwejula pia ni mfalme wanane; lakini ni jumo wa wewala wafalme saba na ajenda kwenye uharibifu.12Yeila pembe kumi ulizozionz ni wafalme kumi ambao wakanawe poshela ufalme lakini waposhele mamlaka kama wafalme kwa sa jimo pamoo na mnyama. 13Wenewa wakwete ushauri gumo na shiwapele mashiloi jao na mamlaka ga jwejula mnyama. 14Shiwatende vita baina jao na mwanakondoo, lakini mwanakondoo atawashinda kwasababu ni Bwana gwa mabwana, na mfalme gwa mfalme - na katika jweneji tuchemilwe, tuchaguliwa, waaminifu."15Mlaika anigulile, 'Gegala mashi ugaweni, pepala aketin jwejula kahaba ni vandu, makutano, mataifa na lugha.16Yeila pembe kumi ujiweni - yeneyo na jwejula mnyama shiwamchime jwejula kahaba. Nao shiwatende kuwa mpweke na uchi, shiwamlyangange mwili gwake, na kuuteketeza kwa moto. 17Maana Nnungu awikwile mioyoni mwao kubeba kusudi lyake kwa makubaliano ga kumpea mnyama mashili jao kiumtawala mpaka malowe ga Nnungu gapingapotimia.18Jwejula jwandonya ummonile ni mji gula gwa mkurungwa utawalao kunani mwa wafalme wa nchi."
1Baada ya indu yeneyi namlolile malaika atelemwishe pai kushoka mbinguni. jweneji paliji na mamlaka makuruga nchi jiliangazwa kwa utukufu gwake. 2Agutile kwa sauti jajikuru, akiweleketa, "Mjangwishe, jwegula mji mkuu Babeliupaliji sehemu gatamilapo mapepo, na sehemu jitamapo kila roho chafu, na sehemu gatamapo machafu na shijuni achukizaye. 3pakuwa mataifa goweganyweile mvinyo gwa tamaa ga uesharati gwake ambao upeile ghadhabu. wafalme wa nchi wamezini naye, wauyanga biashara wa nchi wapaliji matajiri kwa mashili ga maisha gake ga anasa."4Kisha napilikene sauti jinakopoka mbinguni ikiweleketa, "Mshokanje kungwake wandu wangune, mnaishe mkashiriki katikan yambi gake na ili mnajie kuposhela mapigo gake gegowe. 5Yambi yake ilundikene kunani ja mbingu. na Nnungu akumbushile matendo gake maobvu. 6Mumlipe kama muwalipange wana, na mkalipe mara mbili kwa jisniandendile katika shikombe shakiengenye , mchanganyisheni mara mbili kwaajili jake.7Kama mutukuze nyie mmayene na aishile kwa anasa, mupeyange mateso gamagwinji na huzuni, pakuwa huweleketa mumtima gwake, Natamile kama malkia, wala nga mjane, na wala gagaona maombolezo. 8Kwa ineyo nkayti mwa lyua limo mapigo gake gapinga kulemea, shatekelezwe uwo moto, pa kuwa Bwana Nnungu ni mwenye mashili na n i mhukumu gwake."9Wafalme wa nchi waliozini na mwanga nikiwa pamoo naye wagutile na kumuombolezea wapingapo kuulola lyoyin na kuungula kwake. 10Shiwajime mbali naye kwa hofu ja maumivu washikuweleketa Ole, ole kwa mji mkuru, Babeli mji mwenye nashili kwa saa jimo hukumujako jiishe.''11Watendanga biashara jwa nchi mgutange na kuomboleza kwaajili jako pakuwa jwakwapi hata jumo aumele bidhaa jake kawili - 12bidhaa ja dhahabu, fedha, maganga ga thamani, lulu, kitani cha mkoto, zamabarau, hariri shanashe, aina jowe ja mikongo ja harufu jamkoto, kila shombo sha mbembe za ndovu, kila shombo kielelywe kwa mkongo ja thamani, shaba, shuma, liwe, 13mdalasini, viungo, uvumba, manemane, ub ani, mvinyo, mauta, utandi gwa mbone, ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na mutuka, na watumwa, na mitima za vandu.14Matunda ugatamani kwa mashili jako gajawile kopoka kungweko. anasa jako jowe na mapambo gashoshile, gangapangwa kawili.15Watenda biashara wa indu yeneyi wapatile utajiri kwa mapenzi gake shiwajimanje mbali kopoka kungwake kwasababu ja hofu ja maumivu gake, waligutanga kwa sauti ja maombolezo. 16Waliweleketa, "Ole, ole nji gwegula mkuru uvikilwe kitani chambone, zambarau, na janache, na kupambwe kwa dhahabu, na vito vya thamani na lulu!" 17Nkati ja saa jino utajiri wowe gwenego shiukoposhe. kila naodha jwa meli, kila baharia, na wowe wanamashi, na wowe watendao liengo baharini, washijiamangana mbali.18Wagutile walipouona lyiyi wa kuungua kwake. Waweleketenje, Ni mji gani ulendene na mji gwenegu mkuru?" 19Wajaile mavumbi mnani mwa mitwe jao na waliguta wasshishoka miyoyi nja kuomboleza, "Ole ole mji mkurungwa mahali gowe wapaliji na meli zao baharini washiwa matajiri koposhela mali jake, nkati ja saa jimo gaangamizwe." 20Furahini mnani mwake, mbingu, mmanganyanyi waumini, mitume na manabii, kwa maana Nnungu aletile hukumu jenu juu jake!"21Malaika akwete mashili ashijinula liganga likuru lya sajila na alilitupa baharini, akiweleketa, "kwa mpanda gwenegu Babeli, gwegula mji mkuru, gunajawa pai kwa ukatili na gukaonekana kawili. 22Sauti ja vinanda, wanamuziki, filimbi na tarumbeta wangapilikana kawili kungwenu. wala fundi wa aina yeyowe mukamuinanga kungwenu, wala sauti jaliinu jikapilikana kawili kungwenu.23Mwanga gwa taa gukaangaza nkati jako, sauti ja bwana harusi na bibi harusi jangali pilikanika kawili bkati jako, maana watenda biashara gwako wapaliji wakuru wa nchi, na wamataifa, washitembwa kwa uwawi gwako. 24Nkati jwake minyai ja manabii na waamini jitolile na minyai ja wowe waulegwe kunani mwa nchi."
1Baadda ga mambo genega napilikene sauti kama ja mnito gukurungwa ja kikundi likulungwa lya wandu mbinguni jishiweleketa, "Haleluya. wokovu, utukufu, na mashili ni ga Nnungu jwetu. 2Hukumu njake ni kweli na haki, pava aamemuhukumu nkahaba mkuru aalibiye nchi kwa uzinzi gwake. Atendile kisasi ja minyai ja watumishi gwake, ambaye ajitile nyene."3Kwa mala japili palugulile, "Haleluya lyoi nikopoka kungwake milele na milele." 4Wewala wazee ishirini na wancheshe na iyumbe hai wancheshe wakasujudu na kumwabudu Nnungu atemile pa shitengu sha enzi wapatiji wakiweleketa, "Amina Haleluya!"5Ndivo lilowe lishoshile pashitengu sha enzi, liweleketa, "Mumsifu Nnungu jwetu mmanganyi watumishi gwake wowe, mmanganya mnaomcha jwejula wowe wangawa na umuhimu na wakweteb mashili."6Ndivo napilikene lilowe kama lilowe ja likundi likurungwalya vandu kama lilowe ja ngurumo ga mashi gamagwinji na kama ngurumo ja radi, jiweleketa, Haleluya Bwana ni Nnungu jwetu, mtawala jwakuamini ja wowe, hutawala.7Na tushangilie na kufurahi na kupea utukufu kwasababu harusi na sherehe ja Mwana kondolo jiishile na awiawi jwa harusi apali tayari." 8Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'ala(Kitani safi ni matendo ga haki ga waumini}.9Malaika niweleketa nanne, "Mjaandishe genega: wabarikiwe wewala walikwe kwenye sherehe ja harusi ja mwanakondoo." inepeyi nikuwarugulila, "Genega ni malowe ga kweli ga kweli ga Nnungu." 10Ninasujudu mmujo ja migulu jake nin kumwabudu lakini anilugulile, "Mnatende nnei! nne ni mtumshi njako na gwa anungunayo wewala wakamwile ushuhuda gwa Yesu ni mtima ja unabii."11Kiaha najnilole mbingu jikiugulaka na nnole nankupaliji na farasi mweupe! na jwejula alijib anamkwela alichemwa mwaminifu na gwa ukweli Hukumu kwa haki na kutenda vita. 12Meyo gake ni kama mwali jwan moto nabn kunani mwa mtwe gwake ashikola taji jajigwinji. ashikola lyin a lijandishwe kunani jake jwangalimanya mundu jojoiwe ipaliji jwejula mmayene. 13Awete vazi lionilwe katika minyai na lina lyake lichemilwe lilowe lya Nnungu.14Majeshi ga mbinguni gashikumkagula kunani ja farasi weuepe, wavishwenge kitani cha mbone, nyeupe na sifa. 15Mukinywa mwake hukopoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa imbo ya yuma, naye aliwataka yombo vya vya mvinyo kwa hasira kali ja Nnungu, hutawala kunani jwa wowe. 16Naye ajandishwe kunani ja vazi lyake na nkatioka paja lake lina MFALNME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.17Namulolile malaika ajimule pan lyua. awachemilen kwa lilowe likuru ijunin wowe wagurukao kunani "Njianje" mkusanyikenin pamoo kwwenye shalya shikulu sha Nnungu. 18Njianje mlyanganje nyama ja wafalme, nnyama ja majemedari, nnyama ja vandu wakulungwa, mnayama ja farasi na wakwela faraxsi na nnyama ja vandu wowe wangali huru na watumwa, wangali na umuhimu na wakwete mashili.''19Namlolile mnyama na wafalme wa nchi pamoo na majeshi gao. wapaliji wajipanmjile kwaajili ja kutenda vita na jumoo akwetile farasi na lijeshi lyake. 20Mnyama akamwilwe nan nabii jwake jwa unami azitendile ishara katika kupali kwake. kwa ishara yeneyi awatembile wewala wajiposhele chapa ja mnyama na wangalisujudia sanamu jake. wowe wawili wajawe wangali hai katika ziwa la mto likolelalo kwa kiberiti.21Wewala wapeleshe waulegwe kwa upanga ukoposhwe muhinywa mwa jumo apandile kunani ja farasi. ijuni wowe walile mizoga ja iilu yaonji.
1Kisha nalolile malaika alilugulamkopoka mbinguni, na ugulo gwa liimo liongali na mwiyo na mnyororo mkulungwa mmakono gwake. 2Amkamwile jwejula lyiyoka, lijoka lyab ukala ambaye na ibilisin au shetani, na kumugala miaka elfu. 3Amjaile na liimo lingali na mwiyo, ninkulugala na kutaga muhuri kunani jake, jeneji jipaliji ineyo ili kwamba mwangawatemba mataifa kawili mpaka miaka elfu jikamilapo , baada ja penepo, ashaashirwe huru kwa muda gwa mshoko.4Kisha nilolile itengu ya enzi. itamilwe na wewala ambao wapaliji wapegwile mamlaka ja kuhukumu. Inepeyo nalolele nafsi ja wewala ambao wapaliji wajatwile mitwe kwaajili ja ushuhuda kuhusu Yesu na lilowe lya Nnungu. wapaliji wakanawe mwabudu mnyama wala sanamu jake, na wakanile kuposhela alama kunani mwa paji ja nyuso jao au mmakono. waishile uzimani na wakatawala pamoo na Kristo kwa miaka elfu.5Wafu walepeshwe wangaika uzimani mpaka miaka elfu jopaliji, jimalile. gwenegu ndo ufufuo gwa kwanza. 6Mbarikiwa na mtakatifu ni undu jojowe ambaye ajigere nafsi katika ufufuo na kwanza! Mauti jwa pili jwangali mashili juu ja vandu malinga wenewa. shiwawe makuhani wa Nnungu na Kristo na shiwatawale na jwenejo kwa iyaka elfu.7Wakati iyaka elfu itakapofikia mwisho, shetani shauguliwe kushoka kugereza jeke. 8Shajende palanga kuwatembanga mataifa katika kona ncheshe ja dunia - Gogu na Magogu - kuwaleta pamoo kwaajili ja vita. wapaliji wagwinji mbuti miyanga ja bahari.9Wajendile kunani kwenye tambarare ja nchi, nao nijunguka kambi ja waumini, mji upingwao. lakini nmoto waishile kopoka mbinguni na kuwaangamiza. 10Shetani ambaye ashikwatembanga, ajailwe mukati ja ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii jwa unami wapaliji wajailwe, shiwateswange muyi na shilo milele na milele.11Kisha nalolile shitengu shaenzi shikurungwa sheupe na jwejuala ambaye atamile kunani jake. dunia na mbingu ziutushwe mbali kopoka katika kupali kwake, Lakini jangapaliji nafasi ja wenewo kujenda. 12Nawalolile wawile - hodari na wangali wamuhimu wajimile katika shitengu sha enzi, na itabu ihunulwe, kisha shitabu shina shiugulwe-- shitabu sha uzima wafu walihukumiwa kwa sheshila kijandishishwe nkati mwa itabu, matokeo ga sheshila wakitendile.13Bahari jishikuwashoya wafu ambao wapaliji nkati jake, kiwo na kuzimu viwashoshie wafu ambao wapaliji nkati jake na wafu walihukumiwa kulandana na watendile. 14Shiwo na kuzimu zijailwe nkati mwa ziwa lya moto. jeneji ni mauti ja pili ziwa lya moto. 15Kama lina lya yeyowe lyangapatikana lijandishwe nkati ja shitabu sha uzima, kujawa nkati ja ziwa lya moto.*
1Kisha nalolile mbingu ja yambi na nchi ja yambi, kwakua mbingu ja kwanza na nchi ja kwanza jipitile, na bahari jangapali kawili. 2Niwonile mji mtakatifu, Yerusalemu ja yambi, ambao uishile nchini kopoka mbinguni kwa Nnungu, ulioandaliwa mbuti bibi harusi apambilwe kwaajili ja Mnume gwake.3Napilikene lilowe lya likurungwa kopoka kwenye shitengu sha enzi ikiweleketa, "Mnole makao ga Nnungu gapali pamoo na wanadamu, naye shaisha pamoo nao, wapaliji vabdu vake, na Nnungu mmayene apaliji nao na apaliji Nnungu gwao. 4Atafuta kila lyoyoyi kopoka katika meyo gao na pangaliji na kiwo kawilin au kuomboleza, au kuguta, au maumivu, mambo ga ukala gamalile kupita.5Jweneji ambaye apaliji aketile kunani mwa shitengu sha enzi awelekete, "Mnole ngunatenda mambo gowe kuwa gayambi" Awelekete, Njandika lyeneli kwasababu malowe agab ni ga hakika na kweli. 6" Anugulile" Mmbo genega gamaliye kupita! nne ni Alfa na Omega. mwanzo na mwisho. kwa jejowe aonile njota napegwile shinywaji bila garama kopoka katika chemichemi ja mashi ga uzima.7Jweneju ashindaye atayarithi mambo aga na nipaliji Nnungu gwake, naye apaliji mwanagwangu. 8Lakini kama jipali kwa woga, wangali amani, wachukizao, wabulagaji, wazinzi wawi, waabudu sanamu, na waumini wowe, sehemu jao jipali katika ziwa lya moto wa kiberiti utinikao, Ineyo ndivo mauti japili."9Jumo jwa malaika saba aishile kungwangu, jumo akwete mabakuli saba yagumbale mapigo saba ja mwisho ashikuweleketa, "Njie pepano. nitakuonesha bibi harusi, mkongwa gwa mwanakondoo." 10Kisha anijigele mbali katika mtima kwenye mlima mkurungwa na mreu pamuoneshe mji mtakatifu, Yerusalemu, niuluka pai kopoka mbinguni mwa Nnungu.11Yerusalemu na utukufu gwa Nnungu na uzuri gwake upaliji mbuti kitu cha thamani, kama lyiwe lya kioo safi ja Yaspi. 12Papaliji na ukuta gwa mkurungwa mreu gwenye milango kumi na miwili, pamoo na malaika kumi na wawili milango ni kunanji mwa mlango paaliji na paandwishe mena ga makabila kumi na mawili ja wana wa Israeli. 13Upande gwa mashariki paaliji na milango mitatu. Upande wa kaskazini milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu.14Kuta za mji zipaliji na misingi kumi na iwili, na juun jake pakwete mena kumin na iwili ja mitume kumin na iwili na mwanakondoo. 15jumoo jwalongele na nne apaliji na shipoimo sha imbo shieleywe kwa dhahabu kwaajili ja pima mji, milango jake na kuta jake.16Mji ubikwile mukati ja mraba, ureu gwake upaliji sawa na upana gwake. Apimile mji sawa na kipimo cha imbo, stadia 12,000 kwa ureu. (Ureu gwake, upana, na kimo vilendane). 17Nneila apimile ukuta gwake, unene gwake upaliji dhiraa 144 kwa ipimo ya wanadamu(ambayo pia ni ipimo ya malaika).18Ukuta upaliji uchenjilwe kwa Yaspi na mji ukwete dhahabu safi, kama kioo nkisafi. 19Misingi ja ukuta ipaliji apambilwe na kila aina ja liganga lya thamani, la kwanza lipaliji Yaspi, lya pili ipaliji yakuti samawi na lya tatu lipaliji kalkedon, na lya ncheshe zumaridi, 20Lya tano Sardoniki, lya sita akiki, lya saba krisolitho, lya nane zebarajadi, lya tisa yakuti ya manjano, lya kumi krisopraso, lya kumi na moja haikintho, lya kumi na mbili amethisto.21Milango kumi na iwili iliji lulu kumi na iwili, kila mlango ulitengenezwa kopokan kwenye lulu jimo. mitaa ja mjiniliklua dhahabu safi, ikionekana mbuti kioo safi. 22Nangalilola hekalu lolowe nkati mwa mji, pakuwa Bwana Nnungu ambaye anatawala kunani mwa yowe na mwanakondoo ni hekalu lyake.23Mji gwangahitaji lyua au mwei kuanhgaza kunani jake kwasababu utukufu wa Nnungu uengazwe kunani jake na btaa jake ni mwanakondoo. 24Mataifa shiwajendanje kwa mwanga gwa mji gwenego. wafame wa dunia wapeleshe fahari jao mkati jake. 25Milango jake jingaugalwa wakati wa muhi na pangapaliji na shilo pepala.26Wapeleshe fahari ja heshima ja mataifa nkati jake, 27na jwakwapi kibii chijinjila mukati jake. wala jejoye ambaye atendile jambo lolowe la aibu au kutembanga jwangajinjila, bali ni wewala pe ambao mena gao gaandwishe katika shitabu sha uzima sha mwanakondoo.
1Kisha malaika akamlolela mtu gwa mashi ga uzima, mashi gapaliji ga mng'ao kama gwa bilauri. gapaliji gatililika kopoka shitengu sha enzi sha Nnungu na wana wa kondoo 2Kupitila katika mtaa gwa mji katika kila pembe ja mto paliji na mkongo wa uzima, uwelekwe aina kumi na mbili ja matunda na uweleka matunda katika mwei. na mahamba ga mkongo kwaajilii ja uponaji gwa mataifa.3Wala wangapaliji na laana jojowe kawili. shutengu sha enzi sha Nnungu na mwanakondoo shipali mkati gwa mji, na watumishi gwake wapinga kutumikia. 4Shiwamlolange uso gwake na lina lyake liapaliji kunani ga vipaji vya nyuso jao. 5Wangapaliji na shilo kawili; wala wangapaliji kupinga hitaji lya mwanga gwa taa au lyua kwasababu Bwana Nnungu shangaazo kuanani jao . nao watatawala milele na milele.6Malaika shanugulile, " malowe aga ni ga kuaminika na kweli. Bwana Nnungu jwa mitima gwa manabii atume malaika gwake kuwalola watumishi gwake shipinga koposhela nneino karibuni." 7"Mnole! Naishike upesi! amabarikiwa jweneju agukatii malowe ga unabii ga shitabu sheneshi."8Nne, Yohana ndiye nipilikanile na kulola mambo aga. pumbilikene na kuyalola najagwishe pai mmayene mmujo ja migulu ja malaikakumwabudu malaika jwaniboneshe mambo aga. 9Akanilugulila "Mnatende nneyo! nne ni mtumishi nnjako, pamoo na anungunayo manabii, pamoo na wewala wangatii malowe ga shitabu sheneshi. mwabudu Nnungu!"10Akanilugulila, Mnataje muhuri malowe ga unabii wa shitabu sheneshi, maana wakati ushikaribia. 11Jwangali mwenye haki, aendelee kutopali na haki. Ambaye ni mchafu klimaadili aendelee kuwa mchafu kimaandili.Akwete haki aendelee kuwa mwwenye haki, na aendelee kuwa mwenya haki. Apaliji Mtakatifu, na aendelee kuwa mtakatifu."12Mnole! Naika upesi, Ujira gwangu upali pamoo nami, kumlipa kila jumo kulandana na shiwatendile. 13Nne ni Alfa na Omega, Wakwanza na Wamwisho, Mwanzo na Mwisho.14Wamebarikiwa wewala wakundao mavazi gao ili wawe na haki na lyanganga kopoka mkongo gwa uzima na kujinjila mji kupitila mlangoni. 15Palanga kupali mbwa, wawi, wazinzi, waulaga, waabudu sanamu, na kila apendaye na ashuhudiaye ushahidi gwa unami.16Nne,Yesu, nimtumile malaika gwangukuwashuhudia kuhusu mambo aga kwa makanisa. Nne ni mzinzi na uzao gwa Daudi, nyota ja lyamba ing'aayo."17Mtima na bibi harusi awelekete, "Njie" na jweneji aplikanaye awelekete, "Njie" yeyowe akwete na kiu na aishe, na yeyowe anayetamani, na apegwe mashi ga uzima bure.18Namshukuru kila mundu apilikanaye malowe ga unabii gwa shitabu sheneshi kama yeyowe shajengeshe katika ago Nnungu shiamjeshee mapigo galiyo jandikwa kwa katika shutabu sheneshi. 19Malinga mundu jejowe shashoshiye malowe ga shitabu sheneshi sha unabii Nnungu shashoe sehemu jake katika mkongo gwa uzima na katika mji mtakatifu ambao habari jake zijandishwe mukati mwa shitabu sheneshi.20Jweneju ashuhudiaye mambo aga awelekete, " Ndiyo! Naika upesi." Amaina Njie, Bwana Yesu! 21Neema ja Bwana Yesu iwe na kila mundu. Amina.